Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

[133]

 

 

 

Uzima Wa Milele

 

(Toleo 2.0 19950902–20000422)

 

Shala la uzima wa uzima limechungzwa hapa huku ukubaliana wa umilele wa pamoja baina ya mashihi na Mungu ukichunguzwa kutoka katika maanidhi ya kibililia. Mashala ya muda na uwezo wa kutufakiri yamechungzwa na dhara ya hali ya utatu pia zimechunguzwa. Matatizo ya kifilosifia ambayo huzuku yamelinganishwa na maandiko ya kibibilia.

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

 

 

(Copyright © 1995, 2000  Wade Cox)

(Tr. 2009)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 

 


Uzima Wa Milele

 

 


Hatua nyeti katika kumetolewa uongozi wa Mungu ni kuletewa maana ya maneno ya kibililia ya husianayo na uzima wa milele.

 

Yapo matamshi yanayotofautiana ya uzima wa milele, ambayo yanahusiana na nafsi tofauti.

 

Neno moja ambalo halieleweki na wakristo ni “umilele wa pamoja”. Wakristo husema aghalabu kuwa Kristo na Mungu wana umilele wa pamoja. Watu wawili wanaweza kulijadili suala hili na kupata majibu mawili tofauti kuhusu suala lili hili moja.

 

Kwa mfano wafuasi wa utatu na wale wa uwili wanapolitumia neno hili, wanamaanisha kuwa kuna uwepo wa kutofariki ndani ya Yesu Kristo kiasi kwamba Kristo pamoja na Mungu walikuwa pamoja kabla ya mwanzo wa muda. Wafuasi wa utatu na wale wa uwili wanashikilia kuwa Mungu na Kristo walikuwa na uwezo wa kutofarila mfuasi wa umoja hukataa mkubalio huu katika msingi na kuktadha wa kibibilia. Yeye hushikilia kuwa kuna Mungu mmoja wa pekee na wa kweli.

 

Kuwepo kabla ya muda kwa maanisha kuwa nafsi husika ni Mungu wa kweli kuwa na uwezo wa kutofariki milele kwamaanisha kuwa nafsi husika ni Mungu wa kweli. Hivyo, kwa Kristo ni Mungu wa kweli, basi kuna miungu wawili wa kweli, nasi mmoja.

Isaya 43:10-11 yashughulikia na suala la Mungu kama mwanzo na mwisho (tazama karatasi. Arche of the Creation of God as Alpha and Omega (No. 299)). Pia inashughulikia suala la mtumishi wake aliyemtena, ambaye wazi wazi si wa milele kwa jinsi ile ile alivyo na milele au mwepo wa awali.

 

Isaya 43:10-11 Mungu ni mashahidi wangu, asema Bwana na mtumishi niliyemchagua, mpate kujua na kuamini na kufahamu ya kuwa mimi ndiye, kabla yangu hakuubwa Mungu awape yote, wala baada yangu mimi hapatakuwapo mwingine. Mimi naam, mimi ni Bwana, zaidi yangu mimi hapana mwokoa.

 

El humaanisha Mungu. Hapa maana ya Bwana ni Yehova. Hapana El mwingine kwa dhana yeyote kabla yake. Yeye tu ndiye Mungu na mwokozi. Neno mwokozi limetumika kwake Yesu Kristo. Hivyo wafuasi wa utatu huchanganyikiwa na suala hili. Hivyo wao husema huyu Mungu mmoja ni mwokozi na pia Mungu na ni Baba na pia mwana na kuwa hakua tofauti. Neno Yehova, mkombozi wetu mtakatifu wa Israeli lapatikana katika Isaya 43:14, linarejelea Isaya 41:14. Soncino hulitafsiri kivingine.  Wa Soncino alibadilishi msemo kuogopa si kusudu Yakobo, na wanaume wa Israeli; nasaidia saith wa Bwana, na wanakubali, Roho mtakatifi wa Israeli.

 

Msemo usema wa Kukombolewa:

Go goel la Hibrania ni neno gumu linalotumika kwa wana ukoo wa karibu ambao kazi zao zilihusihswa katika ukombozi au kurejesha ikiwa aliuawa malipo ya kisasi ya damu yake kwa kumuwa manaji wake. Yawezekana kuwa ni muktadha huu hutumikao kwa Mungu mkombozi na mlipia visasi vya watu wake.

 

Suala la Mungu na mtakatifu wa Israeli kama nafasi mbili halijatiliwa maanani katika maandiko haya. Kwa mfano, Isaya 41:20 yaonyesha tofauti baina ya masuala ya Bwana na mkono wa Bwana, mtakatifu wa Israeli. Wingi huu waendelea katika mstari wa 23 ambapo kuna tofauti ya wingi na kuna nafasi mbili zinazo ongelewa.

 

Isaya 41:20-23 ili waone na kujua watafikiwa na kufahamu pamoja ya kuwa mkono wa Bwana ndio uliefanya jambo hilo. Mtakatifu wa Israeli ndiye aliyeliumba. Haya hleteni maneno yenu, asema Bwana toeni hoja zenu nguvu, asema mfalme wa yakobo. Wayatangaze na kutufulisha upayokuwa watuonyeshe mambo ya zamani ni jambo gani tukapate kuyatia moyoni tukafue mwisho wake au watudhihirishe yatakayotokea baadaye. Tujulisheni yatayokuwa baadaye nasi tutakiri mema au tendeni mabaya ili tujipime tukaone pamoja.

 

Ya kuwa kuwa nafsi mbili, hapa halipingiki kufunga hiki chote kiko katika wingi. Matumizi ya neno “na” kwa kweli yaliunga nafsi mbili. Hazionyeshi marejeleo ya mawili kwa mtu mmoja. Hili ni kosa rahisi, wayahudi hawataki mambo yawe hivi; wanachofanya wao ni kukipunza kifungu hiki, kifungu hiki chaonyesha ya kuwa hapakuwa Mungu kabla na baada.

 

Toka miisho ya dunia na kukuta toka pembe zake nikikuambia wewe u mtumishi wangu, nimekuchagua wala sikukutupa.

 

Pia katika msemo wa Isaya 43:10-11 tuna imani kuwa neno na inaunganisha kitukimoja, hilo ni , tuna tumika ambaye ni mnenaji kwa wasudia na wafanyi kazi. Philisophia zingine ambyae ni sawa katika kwa neno Na kueunganisha mesemo mbili husiano na Mungu au El ambaye hawana El kabla na Badaye. Hili ni ukweli ambayo hli fungo kinaelewakana kwa wafuasi kwa njia iliyofaa. Roho mtakatifu waIsreli kuumbwa, kama mkono wa Bwana, Sasa Mesiah aliumba Utakaji wa Mungu (Rev 4:11).

 

Wakati Paulo aliandika kuwa Hebrania hawakuwapata kwa hewa. Walitoka kwa Agaono la kale na hiki fungo alizipata kutoka. Wazee wote wa kamati sasa wako mbele ya Mungu wanasema kwa Nia yako vitu vyote vitu vyote ziko na waliubwa' Ni nia ya Mungu walikuwa, lakini waliumwa na kristo (na Elohim) ka Hebrania 1 inatuambia. Kwa mwanaume wana elewa pamoja kuwa mikona ya bwana ni Mesaya. Kwa wingi ni Isaya 41:22-23 ni wazi muno. Wafanyi kazi wangu ambaye nime wachagua inachukiliwa ka Maonyesho. Israeli kama Yakobo kutoka Isaya 41:8-9.

Isaya 41:8-9 Lakini, Israel mtumishi wangu, Yakobo, ambaye nime chagua, wajukuu wa Abrahamu, Marafiki; Wewe ambaye nilichukua kumaliza dunia, na kuita mbali, wewe ni mtumishi wangu, nimekuchagua (RSV)

 

Kutoka Mwanzo 49:24 kutoka na Yosufu atakea mchungi, jiwe la Israeli. Uzilishaji unabakia kwake Efraimu (Yusufu). Si kwake manase. Manase yamaanisha kusahau ilhali Efoaimu yamaanisha wa kirabi. Rashi amfanya Yusufu mchangaji na jiwe. Rashman na iba Ezra wanasemekeana kukubaliana na tafsiri ya Wayahudi wa marekani ila wamfanye. Yusufu kuwa mdungaji (tofauti na jiwe la Israeli). Hivyo jiwe la Israeli hapa si masihi ambaye ni wa Yuda, wala Yusufu kutawala Yuda. Badala yake ni kuwa Mungu wa Israeli ndiye chanzo cha jiwe na hivyo anakuwa mwenzi.

 

Yakobo alimwambia Yusufu kuwa mkombozi wake alikuwa ni malaika (aliyekuwa masihi). Kutokana na baraka zake kufika mwanzo 48:15-16.

 

Mwanzo 48:15-16 akambariki Yusufu akasema waliendenda mbele zake, yeye Mungu aliyenilisha maisha yangu yote hata siku hii ya leo.

 

Naye malaika aliyeniokoa na maovu yote na awabariki vijana hawa, jina langu na lifajwe juu yao na jina la baba zangu Irahimu na Isaka, na wawe wingi wa watu kati ya nchi.

 

Suala la mwokozi na mtakatifu wa Israeli kwa masihi laonekana kama mtu ambaye anajishusha kwa ajili ya Mungu wa pekee na wa kweli. Nafasi ndiyo ile iliyoigwa na Paulo na 1 Timotheo 6 na Yohana katika Yohana 1 na 1 Yohana. Hivyo wokovu ni tendo Kristo ila kwa wongozi wake Mungu. Wokovu hivyo, uko kwake Kristo kama chombo cha Mungu.

 

Suala hili ni muhimu sana. Wokuvu upo kwake Kristo kama chombo tu. Mungu ni mwokozi wetu, si Yesu Kristo. Yesu Kristo alivigiza wokocu wetu kama chombo wa chini nguvu za Mungu mmoja wa pekee.

 

Wokovu upo ndani ya masihi, ambaye ni mwokozi wetu, ila kwa uongozi wa Mungu. Vitu vyote vipo ndani ya nguvu za Mungu wa pekee wa wakweli. Hapa ndipo wafuasi wa utatu hupotokea. Wanasema Bwana Yesu ndiye mwokozi katika agano jipya; Mungu ni mwokozi wetu katika agno la kale. Hivyo Yesu Kristo ndiye Mungu wa agano la kale. Hivyo Mungu ni wa utatu kwa kuwa kugusia Baba, Mwana na Roho Mtakatifu na ni wazi kuwa Mungu wa agano la kale alikuwa Baba kwa kweli.

 

Wafuasi wa uwili (na Ditheists) wamejaribu kutuondoa kwa kusema kuwa Baba hakuwa akijulikana katika Agano la kale; Mungu wa Agano la kale alikuwa ni Yesu Kristo. Jinsi ambavyo Mungu wa agano la kale livyo mwokozi, ndivyo Yesu Kristo alivyo mwokozi, na hivyo hakuna mtafaruku (Tazama God our Savior (No. 198)).

 

Mungu ni mwamba wetu, huku Yesu Kristo ni jiwe pia, mwamba usioweza kukafwa kwa mikono ya binadamu; ambao waliharibu ustaarabu wa ulimwengu. Mungu ni mwamba ambamo kwamo kila jiwe ilishilo huwekwa. Kila huchipuza kutoka kwenye nguvu na ruhusa ya Mungu, hata uzima wa milele nao. Ni Mungu tu ndiye aliye na uwezo wa kutofariki.

 

Katika 1 Timotheo 6:12-16 Bibilia imasema:

Piga vita vile vizuri vya imani; shika uzima ule wa milele. Uliotiwa, kakakungama wengi. Nauagiza mbele za Mungu anayevihifadhi hai vitu  vyote, na mbele za Kristo Yesu, aliyeungama managamo mazuri yale mbele ya Pontio Pilato kwamba nilinde unri hii pasipo mawae, pasipo lawama hata kufunuliwa kwake Bwana wetu Yesu Kristo, ambako yeye kwa majina yake atakudbhihirisha yeye aliyehimidiwa mwenye uwezo peke yake, mfalme wa wafalme. Bwana wa mabwana; ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika huru isiyoweza kukaribiwa, wala  awezaye kumwona. Heshima na uwezo una yeye hata milele. Amina.

 

Hapa Kristo ni tofauti sana na Mungu ambaye hupeana uhai kwa vyote. Mungu alinipa uhai Yesu Kristo. Wafuasi wa utatu hutaka kuupinga ukweli kwa ikiwa Mungu alinipa Yesu uhai, basi utamaduni wa nafsi ni potovu na italazimika kufariki. Wametaka kuidumisha kuulimba ya kiibilisi na “hamtakufa kweli”. Uzima wa milele, ue ni ndani ya Kristo au yeyote, kutegemea baba ambaye yeye tu ndiye asiyekufa.

 

Paulo yuko wazi sana anapotufautisha kasi ya Mungu na Kristo, anasema kuwa ni Mungu tu asiyeweza kufa. Ni mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.

 

Hakuna mtu amewahi kuliona suala hili kama inavyotambulishwa katika Yohana 1:18.

 

Theon oudeis eooraken poopote monogenes theos

 

Mungu hamua aliyewahi kumwona ni Mungu aliyezaliwa (tu)

O oon eis ton kolpon tou patros ekeinos ezegesatu.

Nafsi yapekee iliyo ndani ya Baba, ambaye amezungumziwa, imeongezwa kwenye maandiko hayo.

Dhana iliyoko hapa ni kuwa krito alikuwa ni Mungu alizungumza. Ho Legon ya kiywani (Tazama Marshall’s Greek–English Interlinear for Greek text and translation).

 

[Theon oudeis eooraken poopote      monogenes              theos

God   no man has seen never; [the] only begotten [onlyborn] god

o              oon   eis ton kolpon     tou patros  ekeinos  ezegesato

the [one] being in  the bosom of the Father, that one declared. [?him] has been added to the text.

The intent is in fact that Christ was the God who spoke, the Ho Legon of the Greeks (see Marshall Greek-English Interlinear for Greek text and translation).]

 

Maandiko ya kijunavi yanatia maneno kama ulos au mwana dabala ya theor ila maandiko yaalieleweka awali kama theos na yaliyodiliwa kwenye muktadha huu katika mataraza ya awali.

 

Wasomi wa kisasa wanakubaliwa kwa jumla kuwa neno lililotumika kwa hakika ni Mungu na si mwana. 1 Yohana 4:12 pia yasema kuwa hakuna mtu ambewahi kumwona Mungu wakati wowote. Tukipendana Mungu hukaa ndani yetu na pendo lake linakamilika ndani yetu.

 

Yohana yu wazi sana kutokana na maandik haya nay ale yanatofuatia kuwa Kristo na Mungu ni tofauti. Alimtuma mwanawe kuwa kipatanisho kwa dhambi zetu (1 Yn 4:10) Yesu Kristo hivyo anaipata remsi ya mfalme wa wafalme na Bwana na mabwana kutoka katika ufunuo 17:14 na Ufunuo 19:16 kwa uongozi wa Mungu mweyezi aliyemteua kuupunguza ukali wa ghadhabu yake.

 

Licha ya hayo, kutoka 1 Timotheo 6:12-16 tunaonekana kama kwamba nasi tunaona uzima wa milele, kuwa waliotwa wateule na waminifu (Uf 17:14). Mtu hapaswi kuitwa tu bali kuteuliwa pia na Mungu.

 

Warumi 8:29-30 maana wale aliowajua. Tangu awali aliwachagua tangu asili wafananishwe na mfano wa mwanawe, ili yeye awe mzalwa wa kwanza miongozi ndugu wengi. Na wale aliowachagua tangu asili hao akawaita; na wale aliowaita hao akawahesabia haki, hadi akawatukuza.

 

Hivyo suala la uwezo wa kutofariki na uzima wa milele ni la kiurithi kwake Baba na limewekwa kwa wana w Mungu ambao ni wengi na walikuwa wengi (Mwa 6:2,4; Ayu 1:6; 2:1; 38:4-7; Hos. 1:10; Rom. 8:14,19; Gal. 4:5-6; Phil. 2:15; Waeb 12:7; 1 Yoh 3:1-2) waitwao ni wengi bali wateule ni wachache (Mat 20:16; 22:14). Kwa hivyo ni wateule kama Kristo alivyo mteule wa Mungu (Luk 23:35).

 

Kwa Kristo kuteuliwa na Mungu, alichaguliwa kutoka katika kitu. Kama angekuwapo mwana mmoja tu wa kuteuliwa, basi Kristo hangeteuliwa na Mungu. Ilikuwa lazima achanguliwe, aapishwa na kutumwa hapa na kukubalika kabla.

 

Wateule walichaguliwa na Kristo (Yn 6:70; 15:6,19) chini ya uongozi wa Mungu (1 Pet 2:4) ambaye aliwaapisha kupitia kwa roho mtakatifu (Matendo 22:14). Hivi ndivyo vilivyokuwa vitu dhaifu na vya kujinga duniani (1Wak 1:27). Mafukara wa ulimwengu ni waliitwa ili wawe matajiri wa imani na warithi wa ufalme ambao ameuahidi kwa wale wampendao (Yas 2:5). Katika mtazamo huu, ufalme u miongoni mwa wateule ila hampo hapa bado, waja hatimaye pamoja na kurudi kwa masihi (Ufu 20:4-6) katika muktadha huu sisi ni kuzazi kiteule na cheye thamani (1 Pet 2:4,9) Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo alituchagua ndani yake kabla ya misingi ya ulimwengu, kuwa twapaswa kuwa takatifu na wasio na lawama mbele zake (Waef 1:4).

 

Hivyo Mungu na Babaye Kristo alimteua nma kumwapisha Kristo katika uzima wa milele (Yn. 5:26) na kumpa ruhusu ya kuuweka kando na kuudhimisha tena (Yn. 10:18).

 

Yn 5:26 maana kama vile isaba ilivyo na uzima nafsini mwake vivyo alimpa na mwana uzima nafsini mwake.

 

Haitayakinka Kristo akiwa na uhai ndani yake bila ya ruhusa ya baba. Hivyo Kristo si mwenzi wa kudumu wa Mungu. Sababu hasa watu hawateki kulikubali hili ni kuwa hili huwatupa hadi katika hadi ya utii. Ili kuwa na uzima wa milele, lazima tuwe waatiifu kama Kristo alivykuwa, hadi hata wakati wa kufa.

 

Hakuna anayetaka kuwa mtiifu. Ndio sababu wanataka nafsi na uzima wa milele bila utaratibu mwafaka, wala uapisho wa Mungu. Wanataka kuwa na haki ya kuwa na uzima wa milele bali si kwa kuwa watiifu kwa Mungu. Ndio sababu hakuna atakaye kusema kuwa ikiwa Kristo aliumbwa, sisi tusimame wapi? Kristo amesimama wima katika utiifu wake na kuhesabiwa kwake kuwa haki, hivyo wahataki kujifikisha kwenye neena na utiifu wa Mungu. Hilo ndilo suala la hakika.

 

Haja ya awali kabla ya mapokezi ya uzima wa milele ni kuelewa kifka kuwa Mungu ni nani na kuwa huyu tumwabuduye ni nani.

 

Yohana 17:1-3 maneno haya aliyesema Yesu akinuoa macho yake kuelekea mbinguni akasema. Baba saa imekwisha kufika, mtukuze mwanao ili mwana wake naya akufukuze wewe; kama vile ulivyompa mamlaka ju ya wote wenye mwili ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele. Na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe, Mungu wapekee wa kweli na Yesu Kristo uliye mtuma.

 

Hivyo basi, matakwa ya kuurithi uzima milele ni kuweza kutufautisha kati ya Mungu wa pekee na wa kweli na Yesu Kristo ambaye alimtuma na kuwajua wote. Hivyo mojawapo kati wa utatu na uwili haikubaliki katika mapokezi ya uzima wa miele. Basi utatu au uwili ulio tumamu utajaliwa ufufuo wa pile na kufunzwa upya. Ni wazi kuwa wateule hawakosi kuelewa wala hawapotoki kuhusiana na suala hili. Hili, bila shaka halimaanishi kuwa wale wote walio wafuasi wa uwili watajaliwa ufufuo wa pili. Maarifa ya wateule na uhusiano wao na Mungu wa kweli na wa pekee na Kristo aghabu huwa  muhiwa katika huduma inavyohudumia. Nao uwezo wa kuurithi uzima wa milele umetabiriwa kutokana na kuzidumisha amri za Mungu na ushududa wa Yesu Kristo watu hawa wameelezewa katika Ufunuo 12:17; 14:12; 22:14.

 

Ufunuo 12:17 Joka akamkasirikia yule mwanamke akaenda zake afanye vita juu ya wazao wake waliosalia, wazishikao amri za Mungu na kuwa na ushuhusa wa Yesu naye akasimama juu ya milinga wa bahari.

 

Funuo 14:12 hapa ndipo penye subira ya watakatifu hao wazishikao amri za Mungu, na imani ya Yesu.

 

Ufunuo 22:14 Heri wazifua nguo zao wawe na amti kuendea huo mti wa uzima wa kuingia mtini kwa mlango yake.

 

RSV yatumia maandiko kulinga na maandiko ya Nestles Greek na tafsiri yake huwa sahihi yaani “save” kwa ajili ya neno “right” ambalo kwa hakika ni “ezousia” au ruhusa juu ya mti wa uzima ili kwamba waweze kuingia jijini kupitia kwenye lango lake. Mlango haya ndiyo makabila kumi na miwili ya Israeli chini ya mitume.

 

KJV yatumia “commandments” kutoka katika “peceptus” ambalo lina tamko makarivi oi poiountes tus entolas autou, ina estai e ezousia autoon epi to zulontes zooes. Kwa kisahihi hili ni wamebarikiwa wale ambao wanazitimiza amri zake kwani watakuwa na ruhusa juu ya mti wa uzima kwa hivyo KJV ni:

Ufunuo 22:14 Heri wazifuao nguo wawe na mari kuendelea huo mti wa uzima na kuingia mjini kwa mlango yake.

 

Zote zatafsiri “ezousia” au “authority” kama “rights”. Labda mtazamo huu huchipuza kutokana na tamaduni ya nafsi ambayo wafuasi wa utatu huukumbatia na ambayo kwayo wanataka kuujenga uzima wa milele bila ya utambuzi wa Mungu.

 

Haki ya mti wa uzima, kwa hivyo, una dondoo kadhaa. Maarifa ya Mungu wa kweli na wa pekee na mwanawe Yesu Kristo ni majarabu. Baadaye, baada ya maarifa hayo, utiifu kwa amri za Mungu na ushuhuda wa Yesu yanafuatia. Kama jinsi kulivyo na viwango viwili vya wateule ndivyo kulivyo viwango viwili katika maarifa.

 

Roho mtakatifu hubeba ndani yake matakwa ya ukweli na uwezo wa kumtii Mungu. Wapo wengi waelewao uhusiano kati ya Yesu Kristo na Mungu na walionjenga uhusiano wao kwake Mungu na Kristo kupita mikataba waliyojua. Katika siku za mwisho wengi watizidamisha amri za Mungu. Kupata ubatizo na kuwa mwili wa Kristo, wanakuwa watiifu hata kufa kwako. Wataingia katika ufalme wa Mungu, kwa sababu wanazidumihsa amri za Mungu na ushuhida wa Yesu. Hata hivyo, suala moja haliwezi kutengwa na jingine.

 

Ikwa tumaweza kulitambua suala la msingi basi ni sharti tutii na kufuata kiini cha sheria.

 

Luka 10:25-28 (Imenukuliwa kutoka Kumb. 6:5). Na tazama mwanasheria mmoja alisamama mjaribu, akisema mwalimu mfanye nini ili viurithi uzima wa milele? Akamwambia, imeandikwa nini katika torati? Wasowaje? Akajibu akasema, mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na roho yako yote na kwa nguvu zako zote na jirani yako kama nafsi yako. Akamwambia na jirani yako kama nafsi yao. Akamwambia umejibu vema, fanya hivi nawe utaishi.

 

Dondoo la kimsingi katika mandiko ya Yohana 17:1-3 ni kumjua Mungu wa kweli na wa pekee na Yesu Kristo aliyemtuma. Tofauti hii ilifanywa na Kristo ili kuwa kielelezo cha uongozi wa sheria, yaani amri ya kwanza (katika Kutoka 20:3; Kumb 5:7). Kutokana na amri hii zile nyingine zote zapatikana. Hivyo wafuasi wa utatu au uwili wanaharibu dondoo hili la msingi na nafasi hizo tu zatosha kuondosha ufungamano wa uzima wa milele na ufufuo wa kwanza. Hivyo basi, suala hili ni muhimu sana katika wokovu.

 

Dondoo la pili na muhima pia ni kuamini kwake Yesu Kristo.

 

Yohana 6:40 kwakuwa mapenzi ya Baba yangu ni  haya, ya kwamba kila amtazamaye mwana na kumwamini yeye awe na uzima wa milele; nami nitaufafta siku ya mwisho.

 

Hili lajengeka kutoka katika injili ya Yohana na kuletwa katika suala la kuzaliwa upya kupitia ubatizo wa maji na roho. Kristo alisema kuwa:

 

Yohana 2:3, 5…… mtu asipozaliwa mara ya pili hawezi kuona ufalme wa Mungu….. mtu asipozaliwa kwa maji na roho hawezi kuingia ufalme wa Mungu.

 

Hivyo Kristo amepewa uwezo wa kuwafufua wafu ambao wamebatizwa katika mwili wake (si katika dhehebu lolote bali katika mwili wake tu) katika ufufuo wa kwanza pindi ajapo tena. Huu ndio ufufuo wa maisha (Ya 5:29). Ufufuo wa pili ni ufufuo wa hukumu. Hili hata hivyo halimaanishi maswala mauti bali ya marudio Kristo alikuwa na mtazamo wa moja kwa moja kwa maandiko hayapeani uzima wa milele. Mtu anaweza tu kuokolewa. Kwa kumwendea Kristo, huku Kristo alikuja kwa jina la Baba wala si wake mwenyewe. (Ya 5:39-40,43)

 

Kristo alisema:

Yoh.11:25 Yesu akamwambia, mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi ajapokufa atakuwa anaishi.

 

Mataushi mwafaka ni by no means dies unto the age (ou me apothane eis ton aioona) (see Marshall’s Interlinear).

 

Hivyo wateule wamewekwa na kristo kwenye hirima au milenia ambap watapata ufufuo wa kwanza. Kisha wapewe uzima wa milele. Faula la kufa kwenye hirima laonekana kuepulasa.

 

Muda Na Uwezo Wa Kutofariki

 

Faula la muda lajitokeza ikiwa tu kama umfuano kati vitu. Kwa mfano siku hufitoke za tu kutokana namzunguko wa dunia kwenye mhimili wake ikihusiana na jua.Ipo miaka kadha wa kadha ambayo imehusishiwa na mzunguko wa mambo ya angani,Yaani Solar/ Sideral/ Galactic. Ulimwengu wa hali ya upanzi ambayo inahusiana na mwondoko wakando kutoka kwenye sehemu ya kimsingi.

 

Sehemu hii ya kimsingi ilitambuliwa na Penrose kuwa ya kumi kwenye sehemu ya 10 ile nguvu ya 123. Hivyo kutokana na mazamo rohifi wa nambari hii, lazima kulikuweko chimbuko, na hakuna kingine ulimwenguni pote. Miondoko hii yote imeelezewa kwa namna ya muda ambayo inahusiana na mfano wa kidunia.

 

Haijalihsi vigezo vya upimaji vipi, yamwezekama tu kuwa muda huchipuza pamoja na uhusiano wa vitu viwili au zaidi. Hivyo muda ungeanza tu ikiwa kungekuwapo vitu viwili au zaidi. Mungu alikuwapo kabla ya muda kizazi cha Elohim ndicho kwa hakika kilichokuwa mwanza wa muda – mwanzo wa uumbaji wa Mungu (Uf 3:14).

 

Wakolosai 1:15 inasema kuwa Kristo ndiye alikuwa mwana wa pekee wa kwanza wa maumbile (Tazama karatasi (see the papers The Pre-Existence of Jesus Christ (No. 243); How God Became a Family (No. 187); and The Purpose of the Creation and the Sacrifice of Christ (No. 160)).

 

Hivyo Bwana Mungu ni Alfa na pia ni Omega (Tazama karatasi Arche of the Creation of God as Alpha and Omega (No. 229)).

 

Ufunuo 1:8 Mimi ni Alfa na Omega aliyeko na aliyekuwako na atakayejuka mwenyezi.

 

…anayekamilika kuwa vyote kwa vyote (Eph. 1:23).

 

Mungu aliweka vitu vyote chini ya miguu ya Kristo na akamfanya kiviongozi vitu vyote kanisani.

 

Mungu alimwita Kristo

 

Waefeso 1:22 akivitia vitu vyote chini ya miguu yake vyote kwa ajili ya kanisa ambalo ndilo mwili wake ukamilifu wake anayekamilika kwa vyote katika vyote.

 

Waefeso 1:22 kwa waliokufa na kumfanya akaea kwa mkono wakulia katika mahali, far rule na Hukumu na nguvu na dini, na kwa majina ambaye imetajwa, si tu kwa mwaka hii ambaye in kuja; na ako na ameweka vitu vyote kwa miguu na amemweka ukumbwa wa kanisa, ambaye ni mwili, kwa vitu vyote ambeye anaingia vyote.

 

Hivyo Kristo amepewa uwezo juu ya majina yote, kwani hata jina lenyewe laashiria uwezo. Amepewa uwezo juu ya vyote ili kanisa lije kuweza kujirithi kupitia Kristo ambaye kwake ukaamtifu wa uongozi wa kuunga uliendeka kimwili (Wakol 2:9). Maana hapa ni kuwa uungu ulidumu ndani ya Kristo kimwili. Ni ujao huu wa kiungu hali ya kiungu (Wakol 3:10).

 

Hawakuwa wayahudi wala wayanani ila wote walikuwa wake Kristo kwani yuko katika wote (Wakol 3:11).

 

Analeta uwepo wa watu, kupitia kwa nguvu za roho mtakatifu ili hatimaye Mungu awe yote katika wote (1Cor. 15:28).

 

Vitu vyote vilipoelekezwa kwame, naye mwana mwenyewe ataelekezwa kwake yeye aliyeviweka vitu vyote chini yake, ili Mungu aweze kuwa (Yote kwa vyote KJV) (panta en pasin) (see Marshal’s interlear and also col. 3:11) (panta kai en pasin). (see Marshall's Interlinear and also Col. 3:11 (panta kai en pasin).

 

Wafuasi wa utatu wameanza kutafsiri maandiko haya kama “kila kitu kwa kila mmoja”, ili kuuchelea upanuzi sahihi wa uungu kuwafikia watu wote kama ilivyofanyika kwake Kristo kutokana na maandiko.

 

Ni Kristo atujazaye na ufazo w Mungu (Waef 3:19) ujazo wa Kristo kuwa uakisi wa Baba (Waef 4:13). Hicyo tunakuwa uakisi au eikon wa Baba kama vile Kristo alivyokuwa na hivyo tunakuwa wana wa Mungu na warithi wenzi pamoja naye Kristo katika ufalme wa Mungu (Mar 8:17; Jas 2:5), na warithi kulingana na ahadi (Wagal 3:29) ya wokovu (Waeb 1:14) na warithi pamoja wa neena (1 Pet 3:7), mwana wa Mungu hivyo anakuwa Baba wa milele (Isa 9:6) ambaye ni kichwa cha ubaba wa kibinadamu, hivyo kuchukua nafasi yake pamoja na ubaba wa mbinguni ambapo wapo wengi (tazama karatasi Isaiah 9:6 (No. 224)).

 

Waefeso 3:14 kwa hiyo nampigia Baba magoti ambaye kwa jina lake ubaba wote wa mbinguni na wa dunani unaitwa.

 

Neno familia hapa ni patria au ubaba. Hivyo nemsi Baba, ni nemsi teule inavyoonyesha jukumu la moja kwa moja kwa kila kiongozi katika kila mmoja kwenye familia. Hivyo utaratibu ni kutoka kwake Mungu kuja kwa Kristo hadi kichwa kiume cha nyumba (1 Wak 11:3). Ni sharti ajiachiliavyo majukumu yake kama Mungu ayaachiliavyo kwa Kristo, na wana wengine wa Mungu ambao ni Elohim na jinsi ambavyo Elohim hao nao wanavyoyaachilia majukumu yao kwa wale walio chiwi yao.

 

Elohim haa ndio nyota ya asubuhi ya Ayubu 38:7 na wana wa Mungu ambao wako mbele za uwepo wa Mungu (Ayu 1:6; 2:1). Hawa ndio wana wa Mungu kama, jinsi tukavyokuwa wana wa Mungu aishiye (Hos. 1:10). Nyota hizi za asubuhi ndizo ambaye miendo yake si ya kimwili walikuwa ni wa kiroho. Walikimuishwa baraza la ndani la Mungu (Zab 89:6-8) walipewa ndiwo quedosim au wale walio takatifu na wote walikuwa wana wa Mungu. Baraza hili latambulishwa katikaufunuo 4 na 5 ndiwo wenzi metoxons wa kuhani mkuu wa nyumba ya Mungu (Waeb 10:21) ambaye ndiye mwana kondoo aliyeyeuliwa, kama Elohim wa Israeli (Zab 4:6-7 na Waeb 1:8).

 

Zaburi zinasherehekea uapishwaji wa Yehovah of israel kama mfalme wa mataifa ni Zaburi 47, 93; 96; 97; 98. Wenzi hawa walikuwa baraza la Elohim waliokuwamo miongozi mwa maumbile ya mwanzo ya Mungu. Harakati za mwanzo umba wanawe. Elohim hawa wakanzisha muda kwa shughuli zao kulingana na Baba. Kristo aliumbwa pamoja na Elohim hawa wote walikuwa vizazi vya baba waliokuwa na hale ya uungu kupitia kwa Roho mtakatifu (Tazama karatasi How God Became a Family (No. 187)).

 

Kristo alitungulezwa kama kuhani mkuu katika uongozi kutokana na ukubaliano wake kwnye ukombozi wa mwanaadamu, kutoka kwenye maasi.

 

Waebrania 5:8-9 na ingawa ni mwana alijifunza kutii kwa mates ohayo yaliyompata. Naye alipokwisha kukamilishwa akawa sababu ya wokovu wa milele kwa watu wote wanashitii kasha ametajwa kwa Mungu kuwa kuhani mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.

 

Hivyo Kristo alipewa kazi kama kuhani mkuu kwa sababu ya hali ya utii wake. (Tazama karatasi The Purpose of the Creation and the Sacrifice of Christ (No. 160)).

 

Hivyo hakuwa mara kwa mara kwenye nafasi ya juu dhidi ya wenzi wake. Dondoo hili ambamo Kristo aliyaweka maisha yake na kuichukuwa damu yake mwenyewe katika mtakatifu wa watakatifu ndio sababu hangeweza kuwa dhabihu.

 

Kuhani mkuu aliichukuwa damu yake mwenyewe ili kufanya upatanisho wa Mungu katika mtakatifu wa watakatifu. Ndio sababu utatu wenyewe ni utovu wa utimamu. Kiongozi ni sharti ahudumu na pia awe tayari kujitolea kimaisha kwa ajili ya nduguze. Ni lazima aweze kushinda dhana ya ubinafsi ambao ndio mtazamo wa pendo la agape ambalo huwa hali kiungu Kristo alilazimika kufanya hivi na hata ndiyo yaliyokuwa maana ya dhabihu yake. Wala hhaikuhusiana na utushelevu wa Kristo (Tazama karatasi The Purpose of the Creation and the Sacrifice of Christ (No. 160)).

 

Hivyo, hamna suala la Kristo kuwa mwenzi wa milele pamoja na Mungu kabla ya kuumbwa kwa Elohim. Wala hanma maoni yeyote kuwa alikuwa mwenzi sawasawa na Mungu kwani alimtegemea Mungu kwa mamlaka yake. Aliyapata mamlaka hayo kupitia utiifu. Alipea mamlaka hayo kwakuwa liyatekeleza majukumu yaliyohusika. Alitengewa Israeli ilhali wenyeji wengine wote walitengewa mataifa ikiwa ndani ya majukumu  yao ya kibinafsi (K.M Dan 10:13, 20; 12:1 Kumb 32:8 [Tazama LXX na DSS) pia tazama karatasi The Elect as Elohim (No. 1)). Kupitia Israeli chini ya Elohim huyu mungu au Eloah angebomoa mpango wa wokovu.

 

Basi suala hapa ni kuwa Kristo alikuwa na uwezo wa kutofariki, lakini alitengewa uwezo wa kutofariki pamoja na Elohim wengine wote. Hafi kwa kuwa namjua na kumtii baba. Nadi twafaa kujivika uwezowa kutofariki (1 Wak 15:53-54) Kristo anahifadhi uwezo huo wa kutofariki kupitia utiifu kwa Baba. Hali ya uwezo wa kutofariki tuliyonayo ni sawasawa na ile aliyopewa Kristo (Tazama karatasi On Immrtality (No. 165)).

 

Mungu atupa uhai wa ‘aionioni’ (1 Yn 5:11) ambao alituahidi (1 Yn 2:25) uzima wa milele waweza tu kudumishwa kwa ibada na kwa kumjua Mungu wa kweli na wa pekee (Tazama juu Yn. 17:3) ila pia unaweza kupotezwa kwa kutozitii sheria. Yule ambaye hampendindugu yake ataupoteza uzima wake wa milele (1 Yn 3:14-15).  Kwa hivyo tunajua kuwa Mungu ni Mungu moja na Yesu Kristo ni Mwanawe.

 

1 Yn 4:15 kila akiriye kuwa Yesu ni mwana wa Mungu, Mungu hukaa ndani yake naye ndani ya Mungu.

 

Hivyo Mungu hudumu ndani ya wateule nao ndani yake. Mteule asipomtii Mungu ataupoteza uzima wa milele. Hivyo lazima wawe na uwezo wa kufa.

 

Elohim pia wana adhabu hiyo hiyo. Ibitisi na Kristo wote ni sehemu ya baraza la ndani la Elohim au walio takatifu. Ibilisi aliteuliwa kama kerubi (Isa 14:12ff; Ezek 28:14,16).

 

Mungu akamtoa kwa nguvu kerubi kutoka kwenye mlima wa Mungu na akamuangamiza. (Eze 28:16 afaangamizwa kwa moto na kutupwa duniani kama jivu. Haya ni maelezo yaliyolamishwa kuhusu mwenyeji aliyetupwa. Ni nafsi za kiroho na hivyo ni ngvu za kiroho. Namna ya kushughulika na ibilisi na wanadamu waasi katika ufufuo wa pili na hukumu imeshugulikiwa kwa undani katika karatasi the judgement of the Demons (No. 80) na lost sheep and the prodigal son (No. 199). Kilicho muhimu ni kujua kuwa udamishaji wa uzima wa milele ni kwa kudumisha utiifu kwa baba. Sisi wa nyumba ya mfalme tulizaliwa kuwa Elohim kama malaika wa yehova katika uongozi wetu (Zak 12:8). Uzima wetu wa milele ni kama Elohim.

 

Kuakumbatia utatu au uwili ni sawasawa na kutekeleza manafi nafsi ya kiroho hakika ni ishara ya wateule kuweza kutofautisha makosa. Nafasi isyodhihiri ya utatu ilitolewa katika karatasi Binitarianism and Trinitarianism (No. 76).

 

Hapa tunaifululiza nafasi hiyo ili kushughulika na dondoo kadhaa zikizo dhahiri kuhusu unaji (Taz. Karatasi Soncinianism, Arianism and Unitarianism (No 185).

 

****                           

 

Matokeo Yasiyo Dhahiri Ya Mwili

 

Uwili hupatikana baina ya makosa mengi ya marua moja, kwa mapana na marefu, kama tu utatu. Watu wengi ambao ni wafuasi wa utatu ni watu ambao huna hali isyo ya kibibilia ya utatu ili wanatazani kudumisha baadhi ya nyadhifa za Kristo, ambalo halitawatenga asilimia na utatu.

 

Hili, bila shaka haliwezekani. Mfuasi wa uwili ambaye anashikiliakuwa Mungu na Kristo ni sawa na tatokao kuwachanganya ni sharti amruhusu Roho mtakatifu kuwa ndani yake.

 

Hivyo ikiwa roho mtakatifu ni binadamu au gnvu uwili unadhurutishwa kuchanganyika na roho ndani ya vyote viwili na hivyo mazungumzo hayo yanakita kwenye namna ambavyo vitatu hivi vilivyo kimoja kutokana na hivyo uwili haiwezi kusmama na vivyo hivyo, hado kwenye karne ya ishirini wamekuwamo wafuasi wachache wa usili (Taz. Karatasi God Revealed Chapter 1: Acient Monotheism (No. 61); The Golden Calf (No. 222) na The Origins of Christmas and Easter (No. 235)).

 

Wafuasi wa uwili ambao wandhugulikia kuwa Mungu na kristo ni nafsi mbili tofauti, ambayo kisahili ni “Ditheism” (kinyuma la Yn 17:3; 1 Yn 5:20, 1 Tim 6:16) wanazo shida zifuatazo

 

*        Ikiwa Mungu na Kristo walikuwapo toka awali kabla ya muda, basi muda, kama kihusishi baina ya vitu haiwezekani. Hivyo Mungu na Kristo si viumbe. Viumbe au nafsi, kwa maelezo vipi kwa hivyo Mungu na Kristo hawapo. (Yaani, Mungu na Kristo hawakuwa nafsi kama ilivyotangulizwa na wafuasi wa utatu wa kanisa lake Mungu kwenye miaka ya hivi majuzi. Hali hii ya kuyaelewa masuada haya haonekana kutanda hadi kwenye taaluma za mafunzo ya kidini na pia kutanda hadi kwenye dhana  ya kutokuwako katika ubudhi wa uhindi.

*        Ikiwa Mungu na Kristo walikuwako kama wenzi wa milele basi kuna nafsi mbili zinazotumia majina Mungu na Kristo. Jina Kristo laamanisha aliyepakwa mafuta. Hivyo nafsi moja tu ndiyo ilipakwa mafuta dhali ile nyingine haikupakwa mafuta. Hili huleta maswali haya.

*        Ni nani aliyempaka mafuta huyu mmoja?

*        Upako hutokana na mamlaka hivyo hawakuwa ni wenzi wenye usawa. Ikiwa hawakuwa na wenzi wenye usawa, uwiano u wapo ikiwa hawakuwa wenzi wa milele.

*        Hivyo, bila shaka, mmoja ana nguvu kuliko mwengine kwa hivyo, labfa hawana uwenzi sawa.

*        Kama kwa hakika wana usawa, na neno kupakwa mafuta latokana na maamuzi basi ndiko kusema wote wawili wangejitoa kama dhabihu.

*        Ni vipi Bwana angeweza kumwambia Bwana wa Danieli, ambayo alikuwa masihi au yehova wa Israeli:

Uketi mkono wangu wa kuume hata niwafanyapo adui zako kuwa chini ya miguu yako (Zab 110:1)

*        Iweje Kristo akae kwenye mkono wa kuume na yule waliye sawa naye?

*        Kama wangekuwa wenzi wa milele, wngeketi sako kwa sako. Mungu angekaa kwenye upande wa kushoto wa Kristo

*        Neno Mungu latokama na ‘uzuri’ je, hili lamaanisha kuw yule mwingine si mzuri? Wote waitwa Mungu?

*        Je, hilo basi lamaanisha kuwa wangelishara kuhusu yule ambaye angekuja duniani kusulubiwa (kama ilivyopendekezwa na baadhi ya wana utatu kwenye nyakati za 1989 – 1990)

 

*    Ikiwa mmoja ni Mungu Baba na mwengine ni Mungu mwana, tofauti iwapo dhidi ya utatu au ibada ya Mungu Attis? (Tazama karatasi The Origins of the Christmas and Easter (No.  235)).

*        Iweje Kristo awe na wenzi ilhali yenye anao wenzi na Mungu? Si hili langemaanisha kuwa Mungu ana wenzi? Ni vipi basi angekuwa Baba?

*        Ikiwa nafsi zina wenzi wa milele, ni vipi ubaba na wana unaweza kutabirika bila kuptotosha maana kwenye lugha?

*        Ikiwa ubaba na uana vyamaanisha kinyume cha kinachojitokeza katika lugha, basi hakika taswira zinazojitokeza bibilia ni potovu. Kama ndivyo, ni vipi maandiko yaweza kuwa ya kweli? Ikiwa mandiko hayana ukweli, Mungu aweza vipi kuwa na kwel? Na ikiwa Mungu si wa kweli, aweza vipi basi kuwa Mungu lakini Mungu ni Mungu wa ukweli, hivyo basi; lazima awe baba na Kristo awe mwana na hivyo hawa wenzi wa milele

 

Ikiwa mtu hana wenzi wa milele basi yeye ni Mungu au Elohim kwa upangaji au urithi, kama walivyo wana wote wa Mungu, wa mbinguni na hata duniani (Taz pia Zak 12:8) Elohim ni wingi Eloah ni umoja. Eloah ndiye baba (Meth 30:4-5) ambaye ndiye wa kuabuduwa na kutolewa dhabihu kwenye hekalu yake, kwani ameliweka jina lake Yerusalemu (Ezra 4:24 hadi 7:26)

 

Ikiwa hamna usaidizi katika wadhifu wa Yesu Kristo, basi agano lote jipya limeandikwa kwa lugha ya kupotosha. Hivyo manfiki ya utiifu kupotoka pia. Haileti maana hata ikiwa Bibilia ikifuatiliwa kama ilivyo au itiwe upake ndani ya taswira yeyote ambayo yaweza kuelezewa kwa nmna sahihi au kwa lugha.

 

Fauka ya hayo, yapo maswali kutoka “problems of evil” yanayohusiana na “Dualism” ambayo inahusika na ukristo. Ukriato hauwezi kutiwa katika umoja na miungu wawili wenye wenzi wa milele.

 

Yupo Mungu mmoja tu wa kweli na mwnawe Yesu Kristo, kichwa chetu, baada ya kupakwa mafuta na Mungu wake (Zab 45:6-7); Waeb 1:8-9). Hivyo basi nafasi ya Bibilia na “Potatinal theism” ni ya kiumoja na siuwili wala utatu. Uzima wa milele hutabirika kutokana maarifa haya na utiifu kwa Mungu.

 

 

 

 

q