Makanisa ya Kikristo ya Mungu
[059]
Maswali
Yaulizwayo Mara kwa Mara Kwa Ujumla Kwenye Mafundisho ya Biblia
(Toleo La 1.1 20000730-20011208)
Mswali Yaulizwayo
Mara kwa Mara kuhusu Biblia na mambo yanayohusiananayo yameorodheshwa ndani
yake.
Christian Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Hatimiliki © 2000, 2001 Wade Cox)
(tr. 2016)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu
bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja
na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa
mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza
kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka
maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni katika
tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara Kwenye Mafundisho ya
Biblia
Yaliyomo
Biblia…Je Biblia ni Biblia ya kweli iliyo kama Biblia
iliyoandaliwa kwa kuandikwa, Kitu muhimu kilichovuviwa na Roho chenye kuleta
maana huko Gutenberg Bibli-NET Mafundisho ya Biblia Biblia ya Douay Nakala za
Kughushi za Rheims-Sola Maandiko Matakatifu-Ni nini Maandiko Matakatifu-Jumbe
za Kinabii za Mungu-Utaratibu au usomaji wa Biblia-Nyongeza-Marudio, mawazo na
nia ya Septuagint/Kurios-ya Israeli Utaratibu wa Kuhifadhi historia-miaka 6,000
ya umri wa Dunia-Miaka iliyopimwa-Umiliki Bora wa fedha-Nakala Iliyofichwa-Iliyotiwa
rangi
Hatima…Starehe za dunia-Hatima ya Mwanadamu-Mpango wa Mungu-Mateso
na Masumbuko-Ni nani anayewajibika-Bahati/bahati mbaya au mikosi
Maana ya Tarakimu…72 sadaka-jinsi tarakimu zinavyopunguza-ukubwa wa 4-rejea
zake hadi 300
Jamii…Bangi-Bangi na Biblia-Ufiraji-Ushoga-Aina ya Mazao- Ulaji Mbogamboga tupu
au Uvijiteriani-Maji uchawi au ulozi-Wanyama wajulikanao kama-Dinosauria-Hereni
au Vikuku-Uchomaji maiti-Uhai utakatifu-Kushindwa kuona wazi-Afisa wa
Polisi-Wazazi wasiomcha wala kuzitii sheria Mungu-upandikizaji wa Viungo-Kutandika
Fimbo Matakoni-Msamaha-Kuasili watoto au Kutohoa-Kotoa heshima kwenye bendera-Uwongo
mweupe-Kileo-Uvutaji-Uchezaji Bahati nasibu-Kuapa na nadhiri-Matendo ya Kisodoma-Madawa
au Tiba Mbadala-Kutowatii na kuwaasi wazazi-Wasio-amini-Mabadiliko ya tabia
nchi-Uwashaji Moto siku ya Saabato-Jina la Mume-Kusaidia wahitaji-Utiaji damu
mwilini kwa uparesheni-Utii
Desturi za Kipagani…Upagani wa Krismas-Kuzaliwa kwa Kristo-Mungu mungu Attis-
Krismas-Mlimbo Nyekundu & ya kijani-Baba Krismas-Nyota ya Bethlehemu-alama
ya kipagani ya Msalaba-Historia ya Msalaba-Siku ya Wamama au ya Wababa
Historia…Vita vya Kidini vya Crusades-Mababa Waliosafiri na Kuishi
kwa Kuhama hama-Mateso ya Wakristo-John Bunyan-Mchungaji wa Hermas
Kanisa…Mpango wa Mungu-Magugu-Mchungaji/mtumishi/Mchungaji
msimikwa-Utoaji sadaka za Watoti-Wito wa kuwa Mkristo-Dini Sahihi-Sadaka za
kila juma-Kwanini Dini-Ubatizo wa kuzamishwa majini-Uponyaji-Eusebius-Ni Kanisa
lipi-Watu wa Kitabu-Siri za Mungu
Maombi & Kufunga…Ni nani mlengwa wa maombi-Kujipigapiga kifuani-Kuomba
Kanisani-Maombi yasiyo na mlengwaWakristo-Kufunika Vichwa-Mara 3 kwa siku-Kuvaa
nguo za magunia na kujitia majivu-Kuwalisha wenye njaa wakati wa kufunga saumu.
Rohot…Roho Mtakatifu & roho za mashetani pamoja-Ni nini kinachomtoke mtu kama
huyo-Je, hawa roho wanaweza kufa?
Kalenda…Kazi za kalenda zote mbili-Mstari wa tarehe au siku-Siku
au saa
Fundisho la Uwongo…Ufufuo wa tatu-Mahali pema pa mapumziko
Wamataifa…Waedomu-Njia ya makabila yaliyopotea-Mungu Mbaguzi-Shekemu-Kipindi
Maalumu cha Miaka 430-Hatima ya Ukristo-Kipindi cha Wamataifa-Maagano
************************************
Maswali Yaulizwayo Mara Nyingi kwa Ujumla
Biblia
Je, Biblia ni ya kweli?
Jibu: Mchakato
wote wa Wanamatengenezo wa Kiprotestanti ulipigana kwa msingi wa “Sola
Scriptura” yaani Kuweka Msingi Kwenye Maandiko Peke yake.” Biblia ilichukuliwa
na kuaminiwa kama Neno la Mungu na Amri Kumi zilichukuliwa kuwa ni kigezo
kinachowafungamanisha na kuwaunganisha wanaoikiri wote
Maandiko ya Apokrifa yalikataliwa miongoni mwa yale yenye
uvuvio wa pumzi ya Mungu kwa kuwa yalijikanganya kimaelezo na Maandiko mengine
yenye uvuvio na mtazamo wa Jerome ulikubalika, ambao kwa kiasi kikubwa, uliendana
sawa na mtazamo wa baraza la Kiyahudi la Jamnia katika karne ya pili
lililoyashutumu maandiko haya ya Apokrifa. Apokrifa [Apocrypha] maana yake ni “kilichofichwa”
na hivyo ndivyo yalivyokuwa. Kanuni za kuyakubali maandiko za Agano la Kale
zilizojulikana kama canon zilifungwa baada ya kufa kwa Ezra mnamo mwaka 323-1 KK
na maandiko ya Apokrifa yalitumika kama maandiko yanayoweza kutumika lakini
hayakuchukuliwa kama yaliyovuviwa. Hippo na Carthage walikubaliana na suala la kutumia hii canon na maamuzi
yake.
Baraza Mtaguso wa Trent, kwa kujaribu kuwajibu wana
Matengenezo, lilifanya kosa kubwa sana kwa kuvitangaza vitabu vya Apokrifa kuwa
vimepitishwa na kukubalika kwenye mchakato wa kuvitenga vitabu vinavyoonewa
mashaka uandishi wake, ikidaiwa kuwa ilifuatiwa na Augustine. Hivyo basi, unaposema kuwa Biblia ni ya kweli, mwingine
anaweza kuuliza ni biblia gani? Tazama kama ilivyo kwenye jarida la Biblia (Na. 164).
Kwa bahati mbaya sana, kuitangaza Biblia kuwa ni kweli
hakumaanishi kwamba watu, wanaofanya hivyo, wanafanya kile inachokisema. Huko
Ulaya karne hii wakati wa Mauaji makubwa ya kibaguzi yajulikanayo kama Holocaust,
kulikuwa na aina ya watu kwenye kambi za mateso walionyongwa kwa kuning’inizwa
kwenye nguzo zilizopakwa rangi ya zambarau. Hii ilikuwa imeandaliwa kwa
kuwanyonga waliojulikana kama “Bibelforschers” au “Watafiti wa Biblia.” Lilikuwa
ndilo lengo la kufannyika kwa mauaji haya ya kuangamiza ya Holocaust ili
kuifanya Ulaya iwe ni ni bara la madhehebu ya Kilutheri na Kikatoliki, na lenye
Ukristo usiofuata maongozi ya Biblia, lisilo na Wayahudi washika Sabato na ni
bara lisilo na Wakristo washika Sabato na wenye kuyaamini maandiko.
Inaonekana kuwa Walutheri waliichua mambo ya kwanza ya
mateso iliyokuwa karibu na Hamburg kutoka kwa Waafrika ya Kusini mwishoni mwa
mwaka 1932. Hii ilikuwa ni desturi ya zamani. Baada ya kipindi cha Matengenezo
Walutheri walichukua mahala pa Wakatoliki wa Roma huko Transylvania. Rabbi Kohn
anaandika kwenye kitabu chake chenye kichwa cha somo Wasabato wa Transylvania [Sabbatarians in Transylvania] (CCG
Publishing 1998) kwamba Wakristo Washika Sabato wa Transylvania waliteswa
vibaya na kwa ukatili mubwa kwa ajili ya kuzishika kwao Sheria au Torati ya
Mungu. Mauaji haya ya kukatwa vichwa wakiwa wamesimama wima waliyofanyiwa watu
wasio na hatia wa jamii ya Wakristo na wanawake kudhalilishwa mitaani
yalitokana na kuwa walionekana wakifuga bata bukini wanene badala ya mafuta ya nyama
za nguruwe majikoni mwao.
Idadi kubwa ya Waarmenia walitolewa nje na kuuawa kwa
kupigwa risasi kati ya miaka ya 1919 na kipindi chenyewe cha mauaji haya ya Holocaust
kwa kuwa waliishika Biblia na kuiamini kuwa ni kweli ya pekee. Kati ya Wasabato
milioni moja hadi mbili, waliokuwa wamekimbilia ili kujihifadhi huko Bektashi
Uturuki, walipotea tu baada ya mwaka 1927 papona na huenda idadi nyingine ya milioni
tano ya Wabektashi.
Soma kwenye historia ya watu wa Mungu wanaoiamini na
kuitii Biblia kwnye jarida la Wajibu wa
Amri ya Nne Kwenye Historia ya Makanisa ya Mungu Yanayozishika Sabato (Na.
170). Kwa hiyo mtu anaweza kusema, “Ndiyo, Biblia ni kweli (pamoja na vitabu
vya Apokrifa).” Hata hivyo, kuna tafsiri chache zisizo sahihi na nyongeza
nyingine za uwongo zinzoyafanya baadhi ya maandiko yasiwe ya kweli (mfano ni 1Yohana
5:7 KJV na 1Timotheo 3:16 hasa kwenye tafsiri ya KJV, Kumbukumbu la Torati 32:8
kwenye tafsiri ya MT, na kwenye Biblia ningine zote zinazofuata tafsiri hizi,
na kadhalika).
Unadhaniaje kuhusu nakala asilia ya Biblia kuwa ni halisi? Hasahasa,
napenda kujua unavyofikiria kuhusu Biblia kuwa ni tafsiri nyingine ya tofauti na
huenda kuwa ni maandishi ya zamani zaidi kuliko yale ya Misri ya ale, ya
Kikushi na Kiaxumu? Ni kama mashairi ya zamani yaliyoandikwa kwenye kta za
kaburi la Antef kwenye Misri ya kale yanaonekana kufanana sana kifungu kilicho
kwenye Wakara kwa Wakorintho.
Jibu: Je, Biblia
imechukua maandiko yanayofanana na kwendana sambamba kimtazamo na kimatendo wakati
wote, kwa kipindi chote cha kuandikwa kwake. Agano la Kale limelinganishwa sana
na karibia kuiondoa haraka kwenye eneo lake zote ili kulithibitisha kuwa lina makosa.
Vifaa kama, kwa mfano, taarifa za kifo cha Musa na
waandishi zimechukuliwa kama ashirio la ukweli kwamba Musa hakuwa na taarifa za
kifo chake, kwa hiyo ni mambo yaliyoandikwa baadae. Kurudiwa kwa mahusio ya
Torati kwenye Kumbukumbu la Torati kunaaminika kuwa ni kazi iliyofanywa na
nakala tatu za Vitabu vya Torati vya P, J, na Suali la kiuandishi.
Matumizi tofauti ya majina ya Mungu na ya watu wanaotenda
kazi yake yamechukuliwa kama ushahidi wa mitindo mingine iliyo tofauti ya ibada
za Wakanaani, zaidi ya kuzifanya kuwa ni ushahidi wa madai ya kijinga ya
kiteolojia ya wawazuoni wenyewe, ambavyo ni suala lenyewe hasa. Ukweli wa
kwamba kitabu cha Danieli kimeandikwa kwa lugha za kiebrania na Kikaldayo
(Kiaramu) yamechukuliwa kama ushahidi kwa maandiko yaliyofuatia baadae, na sio
kama ushahidi kwa muundo wa kiteolojia ya kiujumbe, unaoupa shauku kubwa na
nguvu. Mgeni angeweza kuiharibu kabisa kazi yake ya uandishi kwa kuongeza Kiaramu
kwenye maandiko ya Kiebrania aliyoyaghushi kwenye siku zilizofuatia baadae.
Rejea iliyo kwenye tafsiri ya LXX kwenye Agano Jipya inaonyesha
matumizi na mazoea au uhusiano. Mpangilio wa kutenganisha faraseolojia kwenye kitabu
cha Yuda unaonyesha kuwa watu walikuwa na taarifa za Enoshi, lakini hakiashirii
kutokuwa na uvuvio. Kubadilishwa kwa Kiebrania cha Agano la Kale na baraza la Sopherim
hakumaanishi kuwepo kwa utungaji mwingine uliofanyika baadae, bali ni zaidi
sana tu kwenye tafsiri za DSS na LXX, tunajua kwamba walibadili maandiko, na
wanateolojia waaminifu wanajua sababu yake.
Tatizo la upangiliaji wa kihistoaia ni kwamba kila mara
unajiri na hali ya kutoelewa kabisa na utata wa wanazuoni wenyewe. Kwa mfano,
maktaba ya historia ya Wamisri imeegama kwa Manetho. Wasomi wenye Shahada ya
Uzamili ya Udaktari wamekuwa wakinufaika na muundo huo. Kwa hiyo, Biblia inashushwa
hadhi ya kuaminika zaidi kuliko livyo kwa wasomi wengine wanaowaweka kwenye
kipindi cha kihistoria kilicho sahihi. I. Velikovsky aligharimika sana kwa kuupinga
utaratibu huo.
Mlolongo wa historia wa Wakaldayo ni vivyohivyo. Wahiti
wanadhaniwa kuwa hawajawahi kuwepo kabisa bado, kwa kuwa ni kwa karne nyingi
wamekuwa wakitajwa na kuonekana kwenye Biblia tu, peke yake. Sasa wameikuta na
kuigundua miji yao. Kwa kipindi kifupi tu kijacho, watawaunganisha kwenye jamii
ya Waseltiki kwenye muungano wa Israeli. Hadi sasa hambo hilo limekuwa
kilipingwa kwa kuwa muundo wa Wazungu umekuwa na maumivu makali sana ya kuficha
chimbuko lao halisi la mataifa yao kwa kuwa wanataka kutengeneza mtindo wa
kimgeuzi wa kuondokana na sheria za Kiblia.
Historia ya Waanglo Saxons imebadilishwa kwa hila kwa
makusudi kabisa na kwa njia ya kificho, hadi kipindi cha utawala wa Kaisari Julius,
kwakuwa Kanisa Katoliki halitaki Waingereza kutafuta na kuupata ukweli kuhusu
chimbuko lao hasa. Tazama jarida la Vita
vya Wayunitariani na Watrinitariani (Na. 268) ili ujionee na kujifunza
baadhi ya historia ya mataifa ya Ulaya
Mpango wa hivi karibuni ni kuipangilia Biblia kwenye hesabu
za tarehe za baada ya mwaka 600 KK, na kisha kudai kuwa inatokana na maandiko ya
Kihindi (Vedas na Upanishads), ambayo ni kulirudisha nyuma jambo hili kutoka
mashambulizi ya Waaryani ya India mwaka 1000 KK. Wanatumaini kwa hiyo kuanzisha
mtindo wa Teolojia Mpangilio kama Dini Mpya Ulimwenguni. Hii ilitokana na dini
za Kihindu na imani ya Shintoism kutoka kwenye Shule ya Kyoto na kina Harteshorne
na Whitehead. Kipimo cha
wakati na shauku ya Biblia vimeelezewa kwenye jarida la Biblia (Na. 164).
Nimegundua kwamba wataalamu wengi wanaonekana kushikilia na kuamini mtazamo
wa kwamba Biblia haijavuviwa na pumzi ya Mungu. Je, unaamini kwamba Biblia ni
neno lililovuviwa na pumzi ya Mungu? Na kama ni hivyo, je, tunaweza
kushawishika kwa kweli tunaungana na wasemao hivyo?
Jibu: Kama
Maandiko Matakatifu ni nakala yenye uvuvio wa pumzi ya Mungu kwa hiyo ametupa
maelekezo ya kuyafuata. Hata hivyo, tunaamini kwamba ina sifa zote mbili kwamba
imevuviwa na haina makosa. Kwa jinsi tunavyoweza kukubaliana na sifa hizi mbili
zote ila sawa na kusema "imevuviwa" kwa "kuamriwa".
Biblia “iliamriwa” kwa maana ya kwamba Mungu alizitoa
Sheria zake kwa kupitia watumishi wake manabii. Injili ni maandiko ya viongozi
na waalimu wa Kanisa la kwanza ili Kanisa letu lionekane kuwa lina Maandiko
yenye uvuvio. Mungu alizitoa Sheria zake kwa kupitia watumishi wake manabii.
Kwa jinsi hii, mfumo wote wa torati na manabii unasimama kwenye Amri Kuu Mbili.
Soma mkururo wa majarida ya torati kutoka lile Sheria za Mungu (Na. L1).
Je, unao “mwongozo” unaoelezea kwa kina maana ashiria za maneno yaliyotumika
kwenye unabii wa Biblia?
Jibu: Kuna
mkururo wa miongozo ya kukusaidia uuelewa unabii. Nyakati husika zimeelezewa
kwenye jarida la Ishara ya Yona na Historia
ya Ujenzi Upya wa Hekalu (Na. 13). Unahitaji pia kujua baadhi ya makabila
ni kina nani, na utambulisho wa Waisraeli wa sasa. Soma jarida la Vita vya Wayunitariani na Watrinitariani (Na.
268).
Matumizi ya neno, kwa mfano, “miti” yana maana yake (soma kwene jarida la Anguko la Misri
,Unabii wa Mikono Iliovunjika ya Farao (Na. 36)) ni kama ilivyo kwenye neno
“mwanamke” linavyomaanisha makanisa, na miji ya watawala kwa karne kadhaa sasa
kwa nyakati. Maana zake zinagusa kote kote ya yanatokana na maelezo na
ufafanuzi wa maandiko. Hebu soma majarida haya na yatakufafanulia na kukuelezea
maana ya ishara nyingi. Mji wa Mungu (Na.
180) itakusaidia kukuonyesha ni nini ishara kamili ya Biblia.
Ni lini ilipochapishwa Biblia ijulikanayo kama Gutenberg Bible? Ni lini ilipochapishwa Biblia ijulikanayo kama Geneva Bible na ni nani
aliyeichapisha?
Jibu: Kwa faida
ya wasomaji, tarehe za kuchapishwa kwa Biblia mashuhuri sana za Kiingereza ni
kwamba: Wycliffe (Lollard Bible) (ni kama mwaka 1380); Tyndale (mwaka 1525);
Coverdale (mwaka 1535); Matthews (mwaka 1537); Chapisho la kwanza la Biblia ya
Cromwell au the Great Bible 1st edition (mwaka 1539) na toleo la 2 la ile
inayojulikana kama ka Cranmers Bible; The Geneva Bible (mwaka 1557-1560);
Bishops Bible (mwaka 1568); tafsiri ya Vulgate Reims ya Agano Jipya (mwaka 1582);
Douay Bible (mwaka 1609-10). Biblia ya Gutenbergs ya mistari 42 ilihitimika mnamo
mwaka 1453-1455. Aina ya mstari thelathini na sita inaonekana kuwa tayari
mapema sana ya kabla ya muongo wa 4 ya karne.
Napenda kuipitia kwa kuitathimini Biblia mpya iitwayo NET Bible kuhusu
uaminifu wake kwenye sehemu kubwa ya maandiko yake mengi ya zamani.
Kinachoonyesha mfano wa aya za Agano la Kale & Agano Jipya kingekuwa kigezo
kizuri kukitumia kwa kulinganisha nay ale yaliyo kwenye tafsiri ya NKJV? Sio
kuwa ni lugha ya mwanazuoni au msomi tu, ningekutaka kuonyesha maana ya tofauti
ndogo kuiangalia mbili zote. Nagundua kwamba zote mbili zilitafsiriwa &
kuchukuliwa na waamini Utatu au Watrinitarian. Napenda pia kujua maoni yako
kuhusu tafsiri hizi za NET na ile ya NKJV.
Jibu: Ni vizuri
sana kuyachunguza maandiko. Tafsiri ya NKJV ililisahihisha tatizo hili kwenye
Agano Jipya kwenye andiko moja kwa kubadilisha andilo lake asilia kwenye
tafsiri yake ya Agano la Kale. Hivyo, zinamatatizo yote ya tafsiri ya KJV, na
zaidi ya vile zilivyofanya wao wenyewe. Tazama maandiko kwene Kumbukumbu la Torati
32:8. Iwapo kama haisemi “wana wa Mungu”, ni uwongo.
Ezekieli 28 ni andiko zuri. Hebu tazama tafsiri ya
Interlinear Bible na endelea kwenye andiko la Agano la Kale kwa kuitazama
kamusi ya Strong’s pia: Yohana 1:18, 1Timotheo 3:16; 6:16; Wafilipi 2:5-9; 1Yohana
5:20; 1Yohana 5:7. Kwa mfano jarida la Stadi
wa Uumbaji wa Mungu Kama Alfa na Omega (Na. 229) ni mwanzo mzuri kwa Ufunuo
1 na nyinginezo.
Ni Biblia gani inayostahili kuiamini na kuitumia kwenye ufundishaji kati ya
hizi Biblia? Maelekezo mengi sana kwa ukweli wa kiujumla wa vifungu na maneno,
kisha kupuuzia kabisa vifungu na vifungu ambazo ni vigumu kuzielewa. Ni nani
anayehitaji msaada huu usiostahili? Nimekutana na Mafunzo ya Biblia ya tafsiri
ya NIV kutoka kwenye tafsiri ya Zondervan iliyorekebishwa na K. Bakker, kwa mfano,
pasipo na msaada kamili wowote isipikuwa ni kuamsha hasira tu.
Jibu: Tunaelewa
unalomaanisha. Tafsiri ya NIV inakanganya pia. Inatetea imani ya Utatu na inaikataa na hata kuyafuta
maandiko mengi muhimu. Maelezo mara nyingi yamekuwa yakituama uwazi na kupuuzia
ugumu zaidi. Baadhi ya bango kitita yanathamani hata hivyo na yanaweza kutumika
vizuri sana.
Tafsiri bora kabisa ya KJV unayoweza kuitumia ni ile ya Companion Bible iliyoandikwa na
Bullinger. Uandishi wake ni mzuri sana isipokuwa pale inapouelezea Uungu au
Kronolojia. Hizo zote ameziosea. Hatimaye baada ya uandishi wa Biblia
kukamilika na ikachapishwa, aliyagundua makosa yake aliposhawishiwa na A. E. Knock. Hata hivyo, alikuwa amezeeka
sana na akamwachia imaliziwe na Knoch, ambayo ameifanya kwenye tafsiri ya Agano
Jipya ya the Concordant Literal New Testament. Kwa hiyo, andiko hilo ni la
muhimu sana.
Nyongeza hizi yana thamani bora sipokuwa, mara nyingine
tena, kwa kronolojia na maelekezo yametuama kwenye hilo. Tafsiri ya Kiyunani ya
The Marshall’s Greek English Interlinear
ni nzuri na kama tafsiri ya toleo la RSV ni bora zaidi. Na sasa wanajaribu
kuichapisha hii na tafsiri ya NIV zaidi kuliko ile ya RSV, ambayo ni aibu.
Tafsiri ya Green’s
Interlinear Bible ni Interlinear nzuri pamoja na ile ya Strong’s ikihesabiwa
inaweza kutumiwa kwa Agano la Kale. Agano Jipya limetuama kwenye tafsiri ya Receptus
na kwa hiyo unaweza kuitumia tafsiri ya Marshall’s pia. Notisi za Bullinger inashughulikia
matatizo yaliyo kwenye tafsiri ya Receptus kwenye bango kitita, kwenye Agano Jipya
kwenye tafsiri ya the Companion Bible.
Kitabu cha ufafanuzi cha Kiyahudi cha Agano la Kale ni ya Soncino. Inaendana na
tafsiri ya Masoretic Text na haina mwingiliano lakini zaidi ni Kiingereza
kizuri kilichomo. Ina nukuu za maandiko ya marabi, zinazoweza hata kukufanya hata
ujihisi kuchoshwa sana kuliko kama ungekuwa na NIV kwa kupuuzia kwake kwa
makusudi na marabi fulani na kushindwa kwa wengine kutenda kwenye kweli iliyo
wazi ya kimasihi. Kwenye maeneo karibu mengi kuna majarida yaliyoandikwa yakitilia
maanani maandiko hayo. Ni matarajio kuwa tutakuwa tunaweza kuzalisha andiko
zuri lililoandikwa kwenye Mradi wa Kimataifa wa Biblia kwa kupitia Machapisho ya CCG, siku zijazo.
Hakuna kitabu cha Ufafanuzi zinazohusu Vitabu vya Apocrypha/Deuterocanonical
vilivypoandikwa na Collins, ambavyo vitakusaidia pia wewe kwa kuvifanyia rejea.
Tafsiri ya the New Oxford Annotated RSV
pia ni nzuri pamoja na kwamba haijanukuu ila inaendana nayo.
Je, unaichukulia Biblia ya Douay Rheims kuwa inastahili na inaweza kusaidia
kwenye huduma ya ufundishaji Biblia? Kuna vitabu vya ziada vinavyojumuishwa
ambavyo havipo kwenye Biblia zingine, kwahiyo nashangaa ni kwa nini na ni lini
vitabu hivi viliongezwa? Je, vitabu hivi ni vya kuhamasisha au vimeongezwa tu
ndani mwake?
Jibu: Vitabu
vilivyoongezeka ni uandishi ulioanzisha uwepo wa vitabu vya Apokrifa. Kundi hili la vitabu lilitangazwa kutokubalika kinanuni
na Baraza la Mtaguso wa Trent. Vitabu hivi vyote viliandikwa baada ya kipindi cha
Kukanunisha kwa maandiko na baada ya kufa kwa Ezra mwaka 323 KK. Vyote vina
matatizo makubwa kutokana na maandiko ya Agano la Kale.
Kwa mfano, kitabu cha 1 Endhra kinatofautiana sana na
kuwa na mgongano mkubwa na Kitabu cha Ezra. Endhra kina hadithi ya ujenzi wa
Hekalu wakati wa utawala wa Dario Hystaspes, jambo ambalo haliwezekani kwa
namna zote mbili, yaani kihistoria na kibiblia. Ni vya muhimu tu kwenye dini ya
Kikatoliki ya Roma kwa sababu mbalimbali zisizo za kibiblia na za kipagani.
Fundisho la pagatory linatokana na vitabu hivi vya Apokriyifa. Hivyo ndiyo
maana kimeongezwa.
Kazi na uandishi wa historia ya Wamakabayo pia
haukukubalika wakati wa kukanunisha, ila ni somo linalopendeza sana. Soma
majarida ya Biblia (Na. 164); Ishara ya Yona na Historia ya Ujenzi Upya wa
Hekalu (Na. 13); Mgawanyiko Mkuu wa Makanisa ya Washika
Sabato (Na. 122) na Wajibu wa Amri ya
Nne ya Historia ya Makanisa ya Mungu ya Washika Sabato (Na. 170).
Kitabu cha ufafanuzi wa maandiko kijulikanach o kama
Heydock commentary (chapisho la 1851) kina rejea za muhimu sana, zinazoonysha
kiini cha tatizo kwenye matumizi ya makala yenyewe inayohusiana tu na Mungu
Mmoja, wa Pekee na wa Kweli na kwamba sio Kristo kabisa, kwa maana ya “theos” kwene
Agano Jipya pamoja na makosa yake hapa. Andiko hilo limetokana na tafsiri ya Vulgate
na inammaanisha Kristo kimakosa kwenye andiko happlieili.
Umetaja hapo kabla kwamba kulikuwa na makosa kadhaa ya ughushaji na upotoshaji
wa kiutafsiri kwenye Biblia fulani kadhaa. Je, unaweza kuziorodhesha nakala
hizi kwa ukumbusho wetu na ni ipi basi tafsiri sahihi? Sina hakika ni ngapi
unazoziongelea; kama zipo nyingi, ni zipi angalau 10 zilizo za muhimu sana kwa
ushauri na muono wako za muanza nazo?
Jibu: Sawa, kuna
mabadiliko mengi na upotoshaji wa kiutafsiri. Kwa bahati mbaya sana, tunazijua.
Iliyo bora sana kuipata miongoni mwa kundi la tafsiri la KJV unayoshauriwa
kuipata ni ile ya Companion Bible.
Bullinger anayaonyesha yaliyokuwako kwenye maandiko ya kale na yale yaliyorukwa
au kuachwa ndani yake kwenye notisi za kila aya.
Pia, kwenye majalada ya nyongeza kuna orodha ya maeneo 134
yaliyobadilishwa na tafsiri ya Sopherim kutoka jina “Yahova” likabadilishwa na
kuwa “Adonai” (Nyongeza namba 32). Nyongeza hii ina maandiko yaliyogeuzwa na
kuwa “Elohim”, na uchapishaji kwenye KJV unaashiria kubadilishwa na kuwa elohim.
Tafsiri ya the AV inaonyesha kuwa maandiko yaliyo kwenye 2Samweli 5:19-25 na
6:9-17 yafaa yasomeke “Bwana.” Wakati tafsiri za the AV na ya Revised Versions bado
inasomeka “Mungu” kwenye maandiko ya 1Nyakati na Zaburi, inaonekana namna hiyo
kwenye tafsiri ya Companion Bible bali pamoja na mhuri wa mchapishaji.
Tafsiri ya Moja kwa moja ya Agano Jipya ya Concordant
Literal ni ya muhimu sana, ni sawa tu na kama ilivyo tafsiri ya Kiyunani na
Kiingereza ya Marshall’s Greek English Interlinear. Tafsiri nyingine ya Greens Interlinear Bible pia inatumika kwa
Agano la Kale. Agano Jipya limetuama kwenye tafsiri ya Receptus, ambayo ina
matatizo makubwa sana. La muhimu sana ni upotoshoaji, au ughashaji na makosa ya
kiutasfiri, kwenye KJV ni kughushiwa kwa andiko la 1Yohana 5:7 inayosababisha
kufanyiwa rejea na Waamini Utatu na ambalo halipo kwenye nakala yoyote ya
zamani.
1Timotheo 3:16 kwenye KJV msingi wake ni andiko la kughushi
kwenye Codex A iliyokutikana kwenye makumbusho ya mambo ya zamani ya Uingereza.
Limekuwa na Herufi O iliyobadilishwa kwa kuongezwa “sigma,” na kuweka herufi
zinazosomeka “theta sigma,” nah ii ilitafsiriwa kama neno “theos” na kufanya
itafsirike “Mungu” badala ya “yeye ndiye.” Kughushi huku kumefanyika hata
kwenye aina mbili tofauti za wino.
Wafilipi 2:6 kwenye KJV imefunikiliwa mbali na iko wazi
sana zaidi kwenye RSV. Yohana 1:1 imefanyiwa uporoshaji na Watrinitarian. Yohana
1:18 ina neno “monogenes theos” lililoondolewa na kuwekwa neno “Monogenes Uios”
kwenye Receptus na ndivyo lilivyo kwenye KJV. Watrinitarian wengi wanaendelea
kuienzi tafsiri potofu. (kama ya Marshall’s Interlinear).
Waefeso 3:9 ina maneno “katika Yesu Kristo” yaliyoongezwa
mwishoni mwa andiko, “Kwa Mungu aliyeviumba vitu vyote.” Tafsiri ya KJV ina
neno “alfa omega” limejumuishwa kwenye KJV kwenye Ufunuo 1:8, ambayo yamerukwa
kwenye maandiko ya kale. Mchakato huu na maandiko yake vimeainishwa kwa undani
zaidi kwenye jarida la Stadi wa Uumbaji
wa Mungu Kama Alfa na Omega (Na. 229).
Kumbukumbu la Torati 32:8, aya hii imebadilishwa usomekaji
wake kwenye tafsiri ya Masoretic kutoka kusomeka “wana (malaika) wa Mungu” na
kuwa “wana wa Israeli.” Ipo sahihi kwenye tafsiri ya RSV na tafsiri chache nyingine
zinazotokana na muundo wa tafsiri za LXX na DSS zinazotokana na maandiko asilia
ya zamani. Mwanzo 23:6 ina neno “mfalme wa elohim” kwenye Kiebrania na hii imetafsiriwa
kama “mfalme mwenye nguvu.”
Tafsiri ya Companion Bible pia ina marekebisha au
masahihisho ya tafsiri ya Sopherim hadi “Elohim” kwenye jalada la Nyongeza namba
33, ambayo kwamba walikuwa 18. Vipengele vya nyongeza kumi na tano vya tafsiri
ya Sopherim vinaonyeshwa kwenye jadala la Nyongeza namba 31 la Companion Bible.
Gombo la Hekaluni lililochukuliwa hadi Roma na Tito, na
likatolewa kwa Jamii ya Wayahudi na Mfalme Severin yapata mwaka 220 BK, lilikuwa
na vifungu thelathini na mbili vinavyopingana na maandiko mengine. Orodha zake
zilihifadhiwa kwenye Companion Bible inayoziorodhesha kwenye Nyongeza ya 34 na
pia ina maandiko pembeni mwa aya zake. Tafsiri ya Companion Bible inaonyesha
kuwa ni lazima na muhimu kwenye usomaji wowote wa kweli wa KJV. Tafsiri ya
Annotated Oxford RSV ni ya muhimu pia.
Lina maana gani hili neno Sola Scriptura? Liko wapi neno hili kwenye Biblia?
Jibu: Neno hili “Sola
Scriptura” maana yake ni “kwa Maandiko Matakatifu peke yake.” Ni msimamo
unaopinga kuyaingiza au kuyapa haki na nafasi aina yoyote ya mapokeo au
desturi, ya ama Kanisa au imani ya Kiyahudi, kuyafanya yachukue mahala au
nafasi ya Maandiko Matakatifu au kugeuza nia au lengo hasa yaliyokusudia maneno
ya Mungu.
Maandiko ya Biblia ambayo yanafanya msukumo wa mtazamo
huu kwenye Isaya 8:20 inayosema kuwa kama hawatanena sawasawa na Sheria na
Ushuhuda hakuna nuru ndani yao. Andiko lingine linaloshughulika na dhana hii ni
kwamba Maandiko hayana yafsiri nyingine ya binafsi. Kristo aliwakemea sana
Mafarisayo kwa kuyahalifu maneno ya Mungu na kuyafanya kuwa hayana umuhimu kwa
ajili ya mapokeao yao. Torati yote
na Manabii vinafanya kuwa na Amri Mbili Kuu. Hakuna mapokeo yaliyojumuishwa ama
kutiwa ndani yake. Kitabu cha Ufunuo kinafunga mchakato wote wa uandishi wa
vitabu vya Agano Jipya. Utaratibu uliokemewa na Biblia yanatafuta nafasi ya
kubadili nyakati na Sheria. Hivyo basi, Biblia eke yake ndilo Neno la Mungu
ambalo kwalo kila mtu yampasa aishi kwalo: kila neno litokanalo kwayo. Hoja na
mjadala wa uandishi na muundo wa Biblia imeelezewa kwa kina kwenye jarida la Biblia (Na. 164).
Ni yepi hasa “Maandiko Matakatifu” yenyewe? Nadhani kwamba ni njia
anayoitumia Mungu kujidhihirisha mwenyewe, ila kuna mambo mengine yoyote
unayoweza kuniambia?
Jibu: Ndiyo,
Maandiko Matakatifu yamevuviwa. Hii inamaanisha moja kwa moja kuwa Mungu
ameyapulizia pumzi yake. Inafuatia kwamba kama Mungu anaishi na kama alituumba
sisi, wakati alipokuwa na umuhimu wa kiadili, kama atatuhukumu sisi kwa
mwenendo wetu, ili atupe aina ya kanuni ya jinsi ya kuishi.
Alifanya hilo na alinena nasi kwa kupitia watumishi wake,
manabii, ambao walivuviwa na Roho Mtakatifu wanene na kuiambia dunia. aliyanya
hivyo hapo mwanzoni kwa njia ya mwana wa Adamu, na hatimaye kwa kupitia Nuhu,
na kisha kwa kupitia wana wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo kwa taifa la Israeli.
Wakati Kristo na Mitume walipokuwa wanafundisha, Maandiko
Matakatifu yalikuwa ni ya Agano la Kale peke yake. Agano Jipya ni nukuu ya
mafundisho ya Kristo, kwa kile kinachojulikana kama injili, ikimaanisha ni
“habari njema.” Kitabu cha
Matendo ni ainisho au masimulizi ya historia ya Kanisa la kwanza na uhusiano
wake kwenye Maandiko Matakatifu. Nyaraka zote zingine ni ama tafsiri ya Agano
la Kale katika kusaidia kuyapa ufumbuzi matatizo yaliyojitokeza Kanisani kwa
ufunuo aliowapa Mungu wanadamu kwa maongozi ya Roho Mtakatifu, au kwa Ufunuo wa
moja kwa moja wa Mungu kwa Yesu Kristo, kwa mfano kama alivyoonyeshwa na kuelekezwa
Yohana kama nabii. Jinsi ambavyo Biblia ilielekezwa kuandikwa na uandishi wake
imeelezewa vizuri kwenye jarida la Biblia
(Na. 164).
Haya
“mahusia au maonyo ya Mungu” ni nini?
Jibu: Maandiko
Matakatifu, na hasahasa Torati, ndiyo mausia au maonyo ya Mungu. Maneno haya ya
maonyo walipewa watu wa Mungu kwa kupitia manabii na manabii hao wote walikuwa
Waisraeli (ni sawa na ilivyo kwenye jarida la Maonyo na Mahusia ya Mungu (Na. 184)). Mwisho wa maonyo na mahusia
ya Mungu kwenye fungu la kwanza yanatokea kwenye vitabu vya manabii Ezra na
Nehemia. Agano la Kale lilihitimishwa na watu hawa. Mungu alinyamaza kimya
kutoka kipindi hiki cha mwisho wa uandishi wa watu hawa na kutoendelea kuwafunulia
watu zaidi kipindi hiki cha Agano la Kale hadi aliponena tena kwa huduma ya
Roho wake kwa nabii Zakaria, baba yake Yohana Mbatizaji (Luka 1:5-30).
Patakatifu pa Patakatifu panasemekana pia kuwa palikuwa na sanduku na utukufu
wake huko (hususan kuanzia 1Wafalme 6: 16,19,20). Huenda hii ilibakia kama
tunavyoona, kutokana na ukweli kwamba Torati ilihifadhiwa huko na Mungu
alijidhihirisha mwenyewe kwa kupitia unabii huko. Kilikuwa ni chumba chenye
dhiraa ishirini (soma 1Wafalme 6:20). Hii inaitwa “naos” kwenye Agano Jipya,
inayolitaja hasahasa Kanisa, ambalo ndilo lilikuwa naos (sawa na lisemavyo
jarida la Sanduku la Agano (Na. 196)).
1Wakorintho 3:17 17 Kama mtu akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu
atamharibu mtu huyo. Kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu, ambalo ndilo ninyi.
Kwahiyo, Kanisa ndilo hii “naos” au “Patakatifu pa Patakatifu” na ndilo
hema na maskani ya Mungu. Maskani ya Mungu ndipo ilifanyika kuwa Kanisa kwenye
Pentekoste ya mwaka 30 BK. Ndivyo hata sisi, ndipo tumeona kwawa ndivyo
alivyomaanisha Paulo alipotaja hekalu la Mungu kwa maana pana na kwa maana iliyo
sahihi zaidi.
Ningependa nianze kuisoma Biblia kutoka ukurasa
hadi ukurasa mwingine. Je, kuna mpangilio wowote uliowekwa au kitu chochote
kitakachoweza kunisaidia kuyaelewa maana yake?
Jibu: Usomaji wa Biblia kutoka ukurasa mmoja hadi mwingine kunaweza kufanyika
kwa mwaka mmoja iwapo kama inaweza kusoma sura mbili au tatu kwa kila siku. Tatizo
lililoko katika kuielewa Biblia, ni kwamba imeandikwa ili iweze tu kueleweka
hapa kidogo, kuna kidogo, kipengele hadi kipengele, mstari hadi mstari. Kristo
alinena kwa kutumia mifano ili watu WASIWEZE kuelewa kabla haujafika kuda wake
wa wao kuelewa.
Mcakato huu ni wa muhimu katika kuuelewa muundo na lengo
la Biblia. Kwenye mwisho huo, kuna Programu ya Mafunzo ya Biblia iliyoanzishwa
ili watu waweze kujifunza kwa kuzingatia vichwa vya habari. Soma jarida la Programu ya Kusoma Biblia (Na. B1). Kuuelewa
muundo wa mpango wa Mungu kumesaidiwa na jarida la: Kuiainisha Ratiba ya Nyakati (Na. 272). Kuuangalia mpangilio wa Biblia kunasaidia sana pia: Jarida
la Biblia (Na. 164). Kuhusika kwa
Kristo kwenye utunzi au uandisho Biblia kunaweza kuonekana pia kwenye majarida
ya: Uhusika wa Masihi (Na. 226); na lile
la Uwepo wa Yesu Kristo Kipindi cha Kabla
ya Kuzaliwa Kwake Rasmi Duniani (Na. 243).
Naweza kuyapata maandiko ya Biblia ya kujisomea na
kusoma li “niyafanye upya mawazo yangu?”
Jibu. Kama utatembelea tovuti yetu ya www.ccg.org utaiona sehemu yenye idadi
kubwa ya mabo muhimu upande wa chini ya ukurasa wa ili wa CCG. Kwa juu, kuna
Kitufe che majarida ya Kujisomea na pia Programu
ya Kujisomea Biblia (Na. B1). Kama utakwenda kuwa kufuata mkururu kwenye
jarida hilo utayaona takriban majarida 300 yaliyoorodheshwa kwa mpangilio.
Majarida kama vile ya Kutubu na Kubatizwa
(Na. 52) na mkururu wa majarida ya Asili
ya Mungu yatakuambia ni “nani” kuhusu Mungu tunayemuabudu.
Majarida ya Uhusika wa Masihi (Na. 226) yatakuambia
nafasi ambayo Kristo alihusika kwayo kwenye mchakato huu. Majarida kama lile la
Kalenda ya Mungu (Na. 156) na
majarida mengine mbalimbali ya Siku Takatifu, na ufafanuzi unaoyahusu haya,
yatakueleza “jinsi” ya kuabudu. Pia kuna majarida
yahusuyo mpango wa wokovu na lile la the various Holy Day papers, and
explanations regarding them, will tell you the “how” of worship. There are also
papers on the plan of salvation and the Kuiainisha
Ratiba ya Nyakati (Na. 272) ili kukuonyesha mkururu wa matukio ya kinabii.
Kuna machapisho mengi na yakutosha ya Maandiko nay a kihistoria huko ili
kumfanya mwanafunzi aliyemaanisha ayatumie kwa miaka mingi kwa utafiri makini.
Kisha unapokuwa mzee, utafaidi kufanya hivyo tena na tena kwa kuwa utaikabili
kwa mtazamo wa ndani zaidi. Kwa watu wa Mungu, hakuna mwisho wa kujifunza.
Kama nitakuwa
sahihi, Yahova ni neno ambalo limetafsiriwa kuwa Bwana na BWANA kwenye aya moja
hiyo hiyo. Kama hiyo ni sahihi, kwa nini unadhani hazikuweza kudumu? Inaifanya
ikanganyike tu. Unaweza kufafanua kwamba Septuagint ni nini na hii Kurios
ni nini nayo?
Jibu: Tafsiri nyingi
za Biblia, kwa kweli karibu zote, zimetafsiriwa kwa mtazamo wa waamini Utatu. Nyingine
zinzficha kutumia jila “Yahova.” Kwenye tafsiri ya Sopherim, Waandishi wa
Kiyahudi walilibadilisha neno “Yahovah” mara 134 kama ilivyo kwenye tafsiri ya
Masoretic neno “Adonai.” Tafsiri ya Septuagint kwenye Biblia iliyotafsiriwa kwa
Kiyunani kutoka Kiebrania chini ya Ptolemies huko Misri. Ufupisho wake, ni LXX inayomaanisha
sabini, ambao ni waandishi sabini wanaodaiwa kuwa waliitafsiri. Imenukuliwa
mara nyingi kwenye Agano Jipya na inawezekana kabisa ilikuwa ni Biblia ya
kawaida na iliyojulikana na waliyokuwa wakiitumia kuliko nyingineyoyote. “Kurios”
ni neno la Kiyunani la “Bwana” lililotumika kwenye Agano Jipya na kwenye LXX.
Mimi ni
msomaji mzuri wa Biblia na ninayehitaji kuwa na vyanzo vingi iwezekanavyo
kuipata Historia ya kieneo ya Israeli wa kale, na Historia eneo ya Agano la
Kale. Kama una ushauri wowote ule nitaupenda sana kuyajua mambo haya.
Ningependezwa mawazo ya wakongwe.
Jibu: Unaposema ukongwe, inapasa
ijulikane kwamba Biblia imewahi kuharibiwa ili isiwe ni chanzo muhimu chenye
mamlaka na uweza na dini za imani kongwe. Utakuta historia ya Kanoni na uandishi
wake kwenye tovuti yetu kwenye jarida la Biblia
(Na. 164). Pia kuna ufafanuzi zaidi kwenye jarida la Khristo na Koran (Na. 163). Utakwenda kukuta pia ufafanuzi kadhaa
kuhusu kipindi cha kufungwa kwa kanoni kwenye majarida ya Jinsi Usomaji wa Torati Ulivyofanywa na Kina Ezra na Nehemia (Na. 250);
na lile la Ishara ya Yona na Historia ya
Ujenzi Tena wa Hekalu (Na. 13). Kitabu cha Historia ya Kanoni cha Westcott’s History of the Canon ni kizuri kama utakipata kimoja.
Nakumbuka kusoma kwamba mtu fulani peke yake alisifiwa kwa kusema kwake
kwamba, kama yangekuwa ni matukio yaliyotokea kwenye nyakati na tarehe ndiyo
yaliyoandikwa kwenye Biblia, dunia ingekuwa na umri wa miaka 6,000 tu. Je,
unamjua mtu huyu alikuwa nani na unaweza kuniambia alipotajwa tafadhali?
Jibu: Inadhaniwa
kwamba unamaanisha kronolojia iliyofanwa na Askofu Mkuu James Ussher kwenye
maandiko yake yaliyoko kwenye tafsiri ya Authorised. Mfuatano huu wa nyakati na
matukio kwa kweli ulikuwa ni kuanzia mwaka 6004 KK. Habari hii inapatikana
kwenye toleo la Bilia ya Authorised ya mwaka 1701. Kwenye matoleo mengi yaliyochapishwa
baadae ya notisi na rejea vimeachwa au kurukwa. Kwa hiyo kama ikipenda kwa
hesabu ya kikronolojia kamili na orodha yake, hebu lipate toleo hilo kutoka
kwenye maktaba iliyokaribu sana nawe yenye chapisho hili.
Ni kwa namna gani kulitumika kuipima miaka kwenye Biblia, yaani, waliwezaje
kuujua umri wa mtu fulani?
Jibu: Biblia
inaanza mwaka wake tangu mwezi wa Abibu, ambao ndiyo Mwezi wa Mpya uliokaribu
zaidi na siku ya ikwinoksi. Kipindi cha mpito cha kutoonekana mwezi ndicho
kinachoweka msingi wa kuamua mwanzo wa mwezi kwa Waebrania. Mwonekano wa
Kidolegumba cha mungu Ashirat, au mwezi mchanga wa duara, ulikuwa ndiyo msingi
wa mwanzo wa miezi ya Wababelonia na Wamisri. Kulikuwa na miezi iliyozidi ya
kumi na tatu iliyopangwa mar asana katika kila kipindi cha miaka kumi na tisa.
Miaka ilipimwa tangu siku ya 1 Abibu, au 1 Nisani kama ulivyoitwa hivyo na
Wababeloni waliouita Nisanu. Soma majarida ya Kalenda ya Mungu (Na. 156); na pia la Mwezi na Mwaka Mpya (Na. 213). Mafarisayo walianzisha vyanzo
vingine vya kuipatia miaka mipya baada ya kuangamizwa kwa Hekalu, kama tujuavyo
kutokana na kile likichojulikana kama Mishnah lakini haikuwepo wala kuwa hivyo
kipindi cha Hekalu. Mwanzo wao wa Mwaka Mpya tangu karne ya 3 ulikuwa ni Rosh
Hashanah katika mwezi wa Tishri, au mwezi wa saba, jina walilolitohoa kutoka
kwa Wababeloni baada ya kipindi chao cha utawanyiko.
Waebrania hawakuwa wakisherehekea siku za kuzaliwa kama
ilivyokuwa ikifanywa kwenye imani potofu za Wababeloni, watazama nyakati mbaya
na waumini wa imani nyingine potofu za waabudu jua. Watoto wa Ayubu waliuawa
kwa sababu hii ya kujiungamanisha na ibada na imani hizi. Vitendo na imani za
Unajimu pamoja na kuangalia mwenendo wa siku na tarehe pia vimetakazwa. Soma
jarida la Maadhimisho ya Siku za Kuzaliwa
(Na. 286). Tarehe ya kuzaliwa kwa Kristo imefichwa kwa makusudi kwa sababu
hii hii ya kwamba imekatazwa kuadhimishwa.
Mwezi ulionaojulikana kama Adari II, ulioongezwa kwenye
mwaka mrefu, ulianzishwa na kuwekwa kama “WeAdari” au “Na Adari,” na siku zote
kwenye mwezi huu zilianzishwa zikiwa kama Adari kwa lengo la kibiashara. Kutoza
riba kumekatazwa na madeni yote yaliamriwa kusamehewa ufikapo mwaka wa saba au
mwaka wa Sabato wa mzunguko wa miaka. Utakuta maswali mwngi yakijibiwa kwenye
majarida kwenye tovuti yanahusu mambo ya kalenda.
Ni mtu gani kwenye Biblia anajulikana kwa kumudu kutumia fedha zake au
raslimali zake kwa busara?
Jibu: Kuna mifano
iliyo kwenye Agano la Kale na Agano Jipya. Ayubu alikuwa mtunzaji makini.
Yusufu alikuwa ni mtunzaji makini zaidi wa fedha za wengine akifanya hivyo kwa
uaminifu mkubwa kama mtumishi mwaminifu. Yakobo alimudu pia kuyatunza mashamba
na mifugo ya baba mkwe wake na akajipatia utajiri hata yeye mwenyewe pia. Danieli
alikuwa ni mfano mwingine pia wa mtumishi mwaminifu.
Mfano uliopo kwenye Agano Jipya ni wa mtu aliyefanyika
kuwa mwaminifu na mwenye busara katika njia za ulimwengu. Hata hivyo, ilikuwa
ni vigumu sana kumfuata. Sulemani alikuwa ni mfano wa Hekima na utunzaji wa
raslimali za Ufalme, bali aliangika pia kwenye ibada za sanamu. Baba yake Daudi
alikuwa pia ni mtu mwenye busara kwa kiasi hicho.
Napenda kujua kama kuna ukweli wowote kwenye madai yaliyofanywa na wale
wanaotetea kwamba Biblia ni nakala au gombo lililofichwa?
Jibu: Biblia imeandikwa
na watu wengi kwa mtindo kururu fulani kama nakala au gombo. Biblia pia
inatumika kama kifaa au chombo chenye kuonyesha mambo yaliyoko mbele au
yaliyfichika ikitumia mikururo kadhaa mbalimbali ya gombo. Na ndivyo ilivyokuwa
pia kwamba hata Moby Dick aliitumia njia hii nayo imekuwa ikitumika kama
tuonavyo hapa chini.
Nasaha zake za kimaelezo ilikuwa kama ifuatavyo:
“Kwa haraka sana ilielezewa, maneno yote mawili ya jozi
yamewekwa kwa kukuta kwa kila ilipoonekana kwa wastani wake stahiki inayolingana
na mkururo uliofuatia badae (ELS). Kwa kinadharia, mkururo hii ya wastani
inaweza kuwa na idadi nyingine yoyote ya herusi (ingawaje sio ndefu kwa zaidi
ya c. 78,000 iliyogawanyika kwa chini ya moja ya idadi ya herufi kwenye maneno);
kimatendo, wameonekana kuwa ni fupi kwa kulinganisha na urefu kamili wa
uandishi wa kitabu cha Mwanzo. Lakini ni kama tutakavyoweza kujionea, kwamba ELS
halisi haikingani na matokeo.
http://www.meru.org/Codes/lettresp.html
http://www.meru.org/Codes/review.html”
“Kwenye mahojiano yaliyofanyika hivi karibuni, David
Kazhdan, mkufunzi au profesa na mwenyekiti wa jopo la wana mahesabu kwenye Chuo
Kikuu cha Harvard, aliwatahadharisha watu wenye mawazo ya kuionea mashaka gombo
au uandishi wa kitabu cha Torati, akisema kuwa “Hali iliyopo ya kinadharia ni
ya kweli. Hitimisho ulilolifikia kutokana na hii ni juu ya kila mtu peke yake
mmoja mmoja.’ Kwa kuongezea, neno vifungu, kama ilivyotajwa kwenye vitabu vya
kina Witztum na Drosnin na kile kinachoitwa gombo au maandiko ya kimasihi, ni mambo
nadharia au mambo yasiyoweza kuthibiwa na ni vifungu sawa tu vinaweza
kukutikana kwenye andiko lingine lolote lenye urefu sawa. Madai yoyote yenye
mwonekano onekano wowote ongezeko kwa vifungu ni upotofu, kwa kuwa vimechapishwa
kinyume na viwango vya kikanuni za kimizania na kitakwimu.
http://math.caltech.edu/code/petition.html”
“Miongoni mwa watia saini walioorodheshwa hapa chini ni
za wake walioamini kwamba Torati iliandikwa kwa maongozi ya Mungu kabisa. Hatuuoni
mgongano wala mkanganyiko wowote kati ya imani ile na maoni tuliyoyaelezea au
kuyatoa hapo juu.
Hebu pia fungua na kuisoma tovuti hii:
http://www.bible-prophecy.com/codes.htm
Hizi ni nakala nzuri zinazokanushwa:
http://cs.anu.edu.au/~bdm/dilugim/torah.html
Hii inaonyesha kwamba hizi ELS zinatabiri kuhusu mashambulizi
kwenye Moby Dick. Kiingereza chenye vokali hakiwezi kabisa kufanya hili kuliko
vilivyo konsonantya hili kuliko vilivyo konsonanti za Kiebrania.
http://cs.anu.edu.au/~bdm/dilugim/moby.html
Tunadhani kwamba nyingi ya aina hizi za Nakala za Biblia
zina muono wa kupuuzia uwezo wa wanadamu wa kuishi kwa imani, na huenda hili
lilikuwa ndilo lengo. Inaanzisha na kuendeleza tafiti kupata maarifa z siku za
mbele ambayo yatawanufaisha kila mtu binafsi yake na siyo kiafya sana. Yapasa
ijulikane pia kwamba hata Moby Dick ina ELS kama hii hii kwenye nakala yake ya
Kiingereza.
Kuanzisha msingi wa kisayansi na kitakwimu wa kuthibitisha
jinsi Maandiko Matakatifu yalivyoandiwa bado upo. Theomatikali za Agano Jipya
ni maafisa wenye kauli kubwa na ya mwisho wa Kanisa waliojifunza au kusoma, na
sasa Washburn analitendea kazi kwenye Agano Jipya.
Je, kuna mahala kwenye Biblia alipoelezea kuhusu rangi za samawati (bluu)
na rangi ya chungwa? Kundi letu la wanawake kanisani kwetu linaandaa
kinachoitwa chai upindi wa mvua.
Jibu: Ndiyo, kuna
sehemu nyingi sana zilizoandikwa kuhusiana na rangi ya samawati, hususan kwenye
maandiko yanayoelekeza utendaji wa huduma za Hekalu la Mungu kwenye maandiko ya
Kutoka 25:4 hadi Kutoka 39:31. Kuna sehemu maelezo mengine kwenye kitabu cha
Hesabu 4:6-12; 15:38; 2Nyakati 2:7,14; 3:14; Esta 1:6,6; 8:15; Yeremia 10:9;
Ezekieli 23:6; 27:7,24.
Rangi nyingine zinazohusiana na Mungu na Hekalu la Mungu ni
nyekundu, uzurungi na dhahabu. Kulikuwa na makomam. Hekaluni ila inaonekana kwamba
yalikuwa ya rangi ya samawati na zambarau. Rangi ya nyekundu ilitumiwa kwa
kuitia nakshi kanzu ya efodi na ilitanganishwa na kengele ndogo za dhahabu (sawa
na ilivyo kwenye Kutoka 28:33; 39:24); au zilikuwa ni rangi za asili tu za nguo
zenyewe.
Dhana ya kuwa na nembo ya Upinde wa Mvua inatokana na
vuguvugu la imani potofu za “Kizazi Kipya.” Rangi za Chungwa au nyinginezo kama
hizo hazionekani kutumiwa kwenye shughuli za Kihekalu. Rangi hii imetukuzwa na
Wayunani na Warumi kama rangi bandia inayohitaji maandalio. Kulikuwa na aina mbalimbali za pigmenti zilizojulikana na
watu wa kale. Kulikuwa na aina mbalimbali za rangi mng’aro na utomvu na salfeti
zinzopatikana kutoka kwenye umbali mkubwa.
Makundi yalikuwa kwenye matabaka ya rangi ya nyekundu
(ambayo inajumuisha kahawia na damu ya mzee, na miniamu kama rangi nyekundu inayopakwa
ili kuzuia kutu ya kuwaongoza Warumi na Wayunani), rangi za manjano, kijani,
samawi, blue nili, rangi ya nili, zambarau, udhurungi, nyeusi na nyeupe.
Makundi na rangi za asili hizi zinaweza kukutikana kwenye Kamusi ijulikanayo
kama Smith’s Dictionary of Greek and
Roman Antiquities, 1848, p. 320-322 esp.p. 321). Rangi inayojulikana na
kujulikana sana katika Israeli ilikuwa ni ya samawati. Warumi hawakuijumuisha
rangi hii bali waliitumia rangi nyeusi. Uwekaji wa riboni ya rangi ya samawati
kwenye pembe za nguo au mavazi kulitumika kama ukumbusho wa kumkumbusha aliyeishonea
maagizo yaliyo kwenye Torati ya Mungu. Soma jarida la Riboni za Bluu (Na. 273).
Hatima
Naamini kwamba inatupasa kumkunjulia mikono ili kumsaidia mwenye mahitaji.
Sisi sote tuliumbwa na Mungu huyohuyo mmoja. Nafahamu kwamba Mungu hapendi sisi
tuangukie kwenye mtego wa kuipenda dunia. Hata hivyo, maana hasa ya neno
“dunia” ni nini? Je, ni hara na mapenzi ya kidunia au kuipenda dunia? pia, ni
kwamba kama tunautumia kweli muda wetu kwa kupenda Mungu na kuisoma Biblia na
kuyatendea kazi mafundisho yake Mungu, basi hatungeweza kuipa shule iwapo kama
haitusaidii tunapokufa na kwenda mbinguni? Ni kwa nini tunapoteza muda kwa
kujifunza kitu chochote hapa duniani na kuweka malengo?
Jibu: Selemani
alisema kwamba, hii ndiyo kazi impasayo mwanadamu: “Kuzishika Amri za Mungu” (Mhubiri
12:13). Watakatifu ni wale wanaozishika Amri za Mungu na ushuhuda au imani ya
Yesu Kristo (Ufunuo 12:17; 14:12). Katika karne mbili za kwanza, kama kuna mtu
angesema kwamba kulikuwa na Wakristo na kwamba kama wanakufa walikwenda
mbinguni, basi ungejua kwa kusema kwao hivyo kwamba hawakuwa Wakristo chochote,
bali walikuwa waamini wa mafundisho na imani ya Kinostiki waliojiingiza
kanisani (sawa na kisemavyo kitabu cha Justin Martyr cha Second Apology (utetezi wa Pili), LXXX; na majarida ya Nafsi Hai (Na. 92); na lile la Ufufuo wa Wafu (Na. 143).
Sasa, kama ukiwauliza watu watakuambia, kama ulivyoandika
hapa, wanashikilia na kuamini kwenda mbinguni. Ni kwa kuwa hawajui tu wala
kuuelewa Mpango wa Mungu na hawajampata mtu wa kuwafafanulia na kuwafundisha
kiusahihi jinsi isemavyo Biblia. Fursa ya kuelewa jinsi anavyofanya Mungu bado
ipo, unaweza kujisomea majarida ya Kuchambua
Ratiba na Nyakati (Na. 272). Pia soma jarida la Tangazo la Ukiri
wa Imani ya Kikristo (A1). Maandiko hayo yatakupa mafundisho na imani
asilia ya Imani ya Kikristo na iliyofundishwa na Masihi na Mitume.
Utakapouelewa Mpango wa Mungu, ndipo utajua linamaana
gani swali na kwa nini Biblia imeandikwa kwa lugha ya mifano. Imefanywa hivyo
ili watu wasielewe na kugeuka na kuokolewa kabla ya wakati wao.
Ni lipi tumaini kwa hatima ya wanadamu kwa mujibu wa kama ilivyoandikwa
kwenye neno la Mungu? Tafadhali nijibu kwa kutumia nukuu za Maandiko Matakatifu.
Jibu: Je! Haikuandikwa katika torati yenu ya kwamba, Mimi
nimesema, Ndinyi miungu? na maandiko hayawezi kutanguka. (Yohana 10:34-35). Sisi tutafanyika kuwa elohim, kama
Malaika wa Yahova kwenye vipaji vya nyuso zetu (Zekaria 12:8). Sisi ni “naos” au
“Patakatifu pa Patakatifu” pa Hekalu la Mungu (1Wakorintho 3:17) kwa njia ya
Roho Mtakatifu.
Hatima yetu ni kufanyika kuwa Mji wa Mungu na Mungu
akifanyika kuwa yote katika yote na ndani ya yote (Waefeso 4:6). Soma kwenye
jarida la Mji wa Mungu (Na. 180). Siyo
mapenzi ya Mungu kwamba yeyote mwenye mwili apotee. Kwa hiyo, amekusudia kuweka
mfumo au imani itakayowezesha wokovu wa watu wote. Lundo la mkururo wa Maandiko
Matakatifu yanayohusu mchakato huu yapo kwenye majarida ya Upembuzi wa Ratiba za Nyakati (Na. 272); Uwepo wa Yesu Kristo Kipindi cha
Kabla ya Kuzaliwa Kwake Rasmi Duniani (Na. 243); Nafsi Hai (Na. 92) na Ufufuo wa Wafu (Na. 143). Na andiko la:
Na uzima wa
milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo
uliyemtuma (Yohana
17:3).
Naja kuwa Mungu anajua kila kitu, hivyo basi, je, hatima yetu hasa maafa
yetu yalitiwa mhuri na kuruhusiwa hata wahati tulipozaliwa ili kuhitimisha hali
yetu kwa jinsi tunavyoishi kwenye maisha yetu, watu tunaokutana nao, magonjwa
tunayoyapata, najua kuwa jenetikali yetu inahusika kwa sehemu kubwa kuamua
habari ya afya yetu. Inakuwaje basi kama hatupati wasaa ya kukutana na ukweli,
ndivyo hivyo alivyotupangia sisi tuwe? Swali langu linguine ni kwamba, iwapo
kama mzazi akibatizwa, je, hii inaweza kuwalinda watoto ambao hawakuwahi
kubatizwa?
Jibu: Hapana,
maafa yetu “hayatiwa mhuri” kupasishwa. Sisi sote tuna uhuru wa kuamua na kuchagua. Mungu
hajaanza kuuhukumu ulimwengu bado. Dunia hii bado iko chini ya Yule
anayejulikana kama mungu wa dunia hii, na utawala wake utaishia hivi karibuni. Kwa
sasa, Mungu anawafunza makada wa waalimu watakaochukua nafasi na kazi ya Mapepo
wakati utawala wao utakapofikia kikomo. Watu hawa watafanyika kuwa wa ulimwengu
wa roho na wataitawala dunia kwa kipindi cha miaka 1000 ya Millennia. Mwishoni
mwa kipindi hiki cha Milenia Shetani atafunguliwa tena na dunia itakuwa kwenye
maasi makuu kwa mara nyingine tena.
Ufufuo wa Pili wa Wafu utatokea hatimaye na watu wote
walioko duniani wataishi tena kwa kipindi cha miaka 100. Hii itakuwa ni Hukumu kubwa ya kuwarudi ama ya
marekebisho. Yeyote ambaye hakuwahi kuishi bado atapewa fursa ya kuokolewa kwa
mtindo bora na mzuri zaidi na kwa mafundisho. Mwishoni mwa miaka hii 100, wale
watakaokuwa hawajatubu bado na wakiwa wameongoka wataachwa wafe na miili yao
itachomwa au kuungua kwa moto. Watatoweka tu na kupotea kutoka kwenye
kumbukumbu za wateule na malaika wakibakia kukumbukwa tu kwenye fikra ya
viumbe. Wale watakaotubu wataongolewa na Roho Mtakatifu na kisha watabadilishwa
miili yao na kufanyika kuwa viumbe katika ulimwengu wa kiroho na kuungana na
waalimu na watakaotoa hukumu kwenye Ufufuo wa Kwanza wa Wafu. Ndipo hatimaye,
Mji wa Mungu utashuka hapa duniani na Mungu atafanyika kuwa yote katika yote na
ndani ya yote. Soma majarida ya Nafsi Hai
(Na. 92); Ufufu wa Wafu (Na. 143); Mchanganuo wa Ratiba ya Matukio ya Nyakati (Na.
272); na Mji wa Mungu (Na. 180).
Je, unaweza kunipa rejea za Biblia kuonyesha kwamba Mngu anamakusudi kwa
ajili ya mateso yetu?
Jibu: Hili ni
swali gumu. Tatizo la uwepo wa maovu au dhambi na mateso kwa watu wasio na
hatia mara nyingi kunafanyika au kutokea kama tatizo kuhusu uwepo wa Mungu.
Kama yeye ni Mungu mwema, ni kwa nini basi anaruhusu kutokee mateso mengi sana?
Jibu linatuama kwenye maamuzi na machaguo yetu. Tuliumbwa na hali ya kuwa na
uhuru wa kuchagua mambo tupendayo. Malaika wale waliopangiwa kutusimamia au
kutulinda pia walipewa utashi wa kuamua mambo. Chini ya uongozi wa Shetani,
malaika hawa waliasi. Adamuu na Hawa walitenda dhambi. Kwa hiyo, waliitendea
kazi haki waliyopewa na Mungu wao ya kuwa na utashi na uhuru wa kuamua mambo au
wa kuchagua walipendalo.
Tangia wakati huo dunia imekuwa ikifuata njia ya ridhaa
yake, ilishinikizwa na Shetani na malaika waasi. Kadiri tunavyoelekea nyakati
za mwisho za utawala wa mungu wa dunia hii (2Wakorintho 4:4) na cha kurudi kwa
Masihi, mambo yataendelea kuwa mabaya kwa kuwa hawazishiki wala kuzifuata njia
za Mungu.
Mungu atamtuma Masihi arudi ili kuweka utaratibu wa
serikali yake kutoka Yerusalemu. Utawala huu utadumu kwa kipindi cha miaka elfu
moja (kama inavyosema Ufunuo 20:1-15). Dunia itaponywa na mataifa yataponywa na tutazifuata Sheria
za Mungu. Hadi wakati huo au kipindi hicho, mambo yanakwenda kuwa mazuri sana. Soma majarida ya: Matamko
ya Ukiri wa Imani ya Kikristo (Na. A1); Lengo la Uumbaji
na Dhabihu ya Kristo (Na. 160); Baragumu (Na. 136); Mihuri Saba (Na. 140);
Baragumu Saba (Na. 141); Serikali ya Mungu (Na. 174); Milenia na Unyakuo (Na.
95); Nafsi Hai (Na. 92); Ufufuo wa Wafu (Na. 143); na Mchanganuo wa Ratiba ya Matukio ya Nyakati (Na. 272).
Kwenye majarida haya utajionea Maandiko yaleainishwa, na
yatapuonyesha Mpango wa Mungu na jinsi vitu vyote vitakavyokuwa vizuri na
kupangilika vizuri.
Nawajua watu wengi waliokuwa kwenye hatua yao ya mwisho, iwe ni ya mambo ya
mihadarati, madeni au mambo mengine yaliyowafanya wakate tama na
kuchanganyikiwa, waliokuja kwa Kristo, au waliokolewa, au walisema kuwa Yesu
alikuwa anatembea ndani yao, na waliobadili mwenendo wa maisha yao. Swali langu
ni kwamba, zina umuhimu kwa kiasi gani imani za kidini, kama zinamsaidia
kumbadilisha mtu kutokwa kwenye tabia zake chafu? Ni vipi basi kama watadhani
kuwa wameipata kweli na kwamba hucho tu ndicho wanachokijua. Je, Mungu
atawahukumu? Utawezaje kujua, kwa kuwa kila mmoja anakushawishi akisema kuwa
wapo sahihi?
Jibu: Ni misingi
ya imani zozote katika Mungu, kwamba Mungu anao wajibu wa kuonyesha au
kudhihirisha mapenzi yake kwa mwanadamu kwa kupitia watumishi wake. Biblia ni nakala inayokubalika kwa
Wayahudi na Wakristo na pia hata kwenye Korani, iwapo kama waifuatwi na wale
wanaoitwa Waislamu. Korani ni kitabu kinachoifafanua tu Biblia.
Biblia inasema wazi tu kwamba jambo analotakiwa kulifanya
mwanadamu ni kuzitii tu amri za Mungu. Watakatifu ambao ni mbegu ya uzao wa
mwanamke ambao ni kanisa na Israeli wa kiroho, ni wale wazishikao Amri za Mungu
na Ushuhuda au Imani ya Yesu Kristo (Ufunuo 12:17; 14:12).
Watu wanaweza kwenda kwenye aina yoyote ile ya mchakato
wa kisaikolojia unaowasaidia kuyatatua matatizo yao. Hiki sicho kinachomaanishwa
kwenye masuala ya imani. Mungu anachagua mkururu wa watu kutoka kwenye
ulimwengu huu ili waongoze awamu inayofuatia au ya utawala wa Milenia wakati
Kristo atakapochukua utawala kutoka kwa mamlaka iliyopo sasa ya Shetani.
Anafanya hivyo kwa kupitia mchakato wa uweza wake wa kujua kila kitu na kwa
neema. Watu wamechaguliwa na kukusudiwa tangu mwanzo na kuitwa, kuchaguliwa, na
kisha kuitwa, kisha kuhebiwa haki, na hatimaye kutukuzwa (Warumi 8:29-30).
Mungu
hashughuliki na watu wote sasa. Uchaguzi ni rahisi. Kama mtu atakuwa
amekusudiwa tangu mwanzo, basi wangeweza kuitwa kwa wakati muafaka na kuwekwa
mafunzoni wakifundishwa na Roho Mtakatifu kuifanya kazi itakayohitajika
waifanye kipindi cha utawala wa Milenia na kwenye Hukumu ya Ufufuo wa Pili wa
Wafu.
Kama
ktu hatakuwa sehemu ya mchakato huu, ndipo hawataweza kuelewa. Na kama watakuwa
ni sehemu yake, ndiko Roho Mtakatifu atafungua moyo wake na ataelewa. Na hii
ndiyo sababu kwamba Biblia imeandikwa kwa mifano. Imefanywa hivyo ili watu
wasielewe na wakageuka na kuokolewa kabla haujafika wakati wao.
Torati
itatumika kwenye maamuzi na maongozi yahusuyo sheria za Mungu kwa kipindi chote
cha miaka 1000 chini ya imani moja nay a kweli. Iwapo kama wewe unapenda kuwa
sehemu ya utawala hu wa Mungu kwa mchakato huu na kama Mungu amekujua tangu
mwanzo kwa wito wako, basi utakuwa na imani iliyo sawasawa na imani waliyopewa
watatifu mara moja tu.
Haijabadilika
kwa kipindi chake chote cha miaka 2000. Hata hivyo, kuna baadhi ya wachache wanaoiona
njia iliyonyooka na mlango ulio mwembamba.
Nimesikia kwamba Mungu anasema nasi mioyoni mwetu, basi hii ina maana gani? Wakati mwingine kuna swali kwamba ambalo silijui jibu lake, kwa hiyo naifunua Biblia bila mpangilio na kama nikilikuta neno ‘ndiyo’ ndipo nadhani kuwa hili ndilo jibu lake, na ndivuo ninavyochukulia pia ninapokutana na neno ‘hapana’. Kwa kweli naogopa sana kujikuta kikibahatika au kutobahatika kupata mambo kwa kutumia mtindo huu wa kubahatisha. Je, Biblia inasema chochote kuhusu kubahatika au kutobahatika?
Jibu: Mungu ni mwenye uweza wa kujua kila jambo. Hii inamaana kwamba anaelewa kila kitu kikamilifu sana kwa makusudio yoyote ya kweli. Ametuandalia na kuziweka kazi fulani tutakazozifanya baadhi yetu. Alimjua Yeremia hata kabla hajaumbwa kwenye tumbo la mama yake na Mungu akampangia kazi atakayoifanya. hii haimaanishi kwamba Mungu anatuamulia kinachotutokea, au hata kile anachokiingilia kwenye mambo fulani. Mungu anashughulika na baadhi ya watu wachache tu kwa wakati huu. Mungu wa dunia hii ambaye sasa ni Shetani na ana uthibiti wote kwa kipindi fulani na kifupi tu kilichoko mbele.
Kitendo unachokiongelea hapo kinaitwa “bibliomansi”
na ni mtindo au aina ya ubahatishaji wa namna ya kiramli wa kutumia usomaji wa
Biblia, ila ni sawa tu na upigaji wa ramli ya kishirikina, na haina tofauti
yoyote. Mungu amekataza kusifanywe hivyo. Alichotuagiza ni kuishi na kuenenda
kwa imani. Wala usitatishike zaidi na kitu ukifanyacho au ulichonacho au
unachokwenda kukila au kuvaa. Mungu anajua unachokihitaji na atakupatia, iwapo
tu kama utamkabidhi njia zako. Zishike tu Amri za Mungu na Imani au Ushuhuda wa
Yesu Kristo, kwa kuwa hilo ndilo limfaalo mtu kulifanya. Nasibu ni imani za
Kimisri, ambayo inahusiana na hali ya ubinafsi na kujipendelea wa mtu. Ni kama sehemu ya imani za maroho na haina
nafasi wala sehemu kwenye imani ya Kikristo. Jaribu kumkabidhi na kumshirikisha
matatizo yako Mungu na kuzishika Amri zake. Ndipo mkate wako na maji vitakuwa
vitu vya uhakika au vitathibitika.
Maana ya Namba au Tarakimu
Nimesoma jarida la Maana ya Tarakimu
(Na. 7) na kukuomba tafadhali nifafanulie kuhusu jinsi ulivyofika kwenye dhabihu
za kwanza 71 ambayo pamoja na Mganda wa Kutikiswa inafikia jumla ya 72.
Jibu: Mwaka wa
kinabii una miezi thenashara yenye siku thelathini kila mmoja. Kwa hiyo hii
inaweza kuchukuliwa kuwa na jumla ya Sabato 52 kama ilivyo kwenye mwaka wa
mzunguko wa jua. Miandamo ya Mwezi Mpya inatimiliza iko kumi na miwili na
kufanya idadi ya 64. Kuna siku saba za sikukuu ya Pasaka na Mikate Isiyotiwa
Chachu, Pentekoste, Baragumu, ambazo zinatolewa dhabihu maradufu za Baragumu na
Mwandamo wa Mwezi; Siku ya Upatanisho, na Sikukuu ya Vibanda na Mkutano wa
Makini. Hii inafikiliza 71 pamoja na Sadaka ya Mganda wa Kutikiswa,
iliyoandikwa na kuamriwa kwenye Walawi 23 kuwa ni moja ya siku za lazima za
sikukuu. Hivyo, inatufana tuwe na 72.
Nimekuwa nikisoma jarida la Maana ya
Tarakimu (Na. 7). Dhana yenyewe ni vigumu kwangu kuishika na nasifu na
kuuhitaji msaada wako kuhusiana na moja na maneno yaliyopo. Kwenye nambari kumi
na nne na pia nambari kumi na tano, sielewi maana ya “kupunguza tano” au
“kupunguza sita” ina maana gani. Nambari hizi zinapunguaje?
Jibu: Mifumo ya Kigeometriki
na kinumerali hupunguza nambari kwa kuongeza jumla zake ili kuzipunguza kwenye
mifumo msingi ya tarakimu 1 hadi kumi. Ambavyo ni 14 ni 4+1 = 5 na kadhalika
wakadhalika.
Kwenye rejea ya jarida la Maana za
Tarakimu (Na. 7) unaposema: “Tarakimu Tatu ina maanisha ukamilifu kwa maana
mistari mitatu kwenye umbo” – unakuwa unaelezea urefu, kina cha kwenda juu, na
upana? Hakuwezi kuwa na kina au kipimo cha 4 ambacho kwa sasa
hatujakijua bado?
Jibu: Ndiyo, huo
ndio uhalisia wa mstari wa umbo unaofanya kuwa na kipimo cha tatu. Kipimo cha
nne ni cha kiroho, kilichoko ndani mwetu tangu wakati wa ubatizo.
Jarida la Maana ya Tarakimu (Na. 7) ni
zuri sana. Nilitaka kujua ni kwa nini nambari 300 haikujumuishwa kenye jarida.
Kunaonekana kutajwa mara nyingi tarakimu hii ya 300 kwenye Maandiko Matakatifu.
Hii ina maana gani?
Jibu: Huenda
ilitakiwa iwepo miongoni mwake. Maana ya tarakimu hii ya mia tatu imeainishwa
kwenye jarida la Jeshi la Gideoni na Siku
za Mwisho (Na. 22). Tarakimu hii ya mia tatu inawakilisha vikosi vitatu
kila moja kikiwa na wanajeshi mia moja, kwamba Mungu anawainua kutokana na Roho
Mtakatifu ili kuyashinda majeshi ya waabudu Baali katika siku za mwisho. Hii
ina maanisha kwa hiyo muundo wa Kanisa pia na ule utakaokuwa chini ya Masihi.
Nimeliona jarida linaloelezea Bangi, na jinsi mafuta, na maua, tunayotumia
kupaka au kutengeneza uvumba, bali ni kazi gani, kama ipo, inayofanya Bangi
leo? Je, haistahili? Na pia, je, naweza kuelezea kuhusu Madawa, na kuelezea
thamani vidonge vizuri na vibaya?
Jibu: Hili ni
jambo lenye utata sana. Bangi ina madhara makubwa sana ya wazi na ya muda mrefu
sana kwenye kromosomu yanayomkumba mwanadamu na yanaweza kuendelea kwa kupitia
kwenye mfumo wa uzazi wanapozaliwa watoto. Hili ni jambo tata la kitabibu.
Haiwezu kuelezewa kikamilifu na yote hapa.
Mimea yote tuliyonayo inatumika. Mkatani, ambalo ni jina
lingine la mmea ina kamba nzuri na karatasi na mazao mengine. Unatengenezewa
mikeka na mazulia na ukitunzwa na kukuzwa vizuri ungeweza kuwa suluhu la
upungufu mkubwa uliopo kwa muda mrefu wa karatasi.
Ni kama vitu. Kila kemikali ina makusudi na inaweza
kutumika kwa uzuri na una mambo mabaya. Mafuta ya Petroli inayapatia nguvu ya kinishati
magari bali pia inaweza kulipuka mnuso au harufu ya moto kama gundi na hiyo
inaharibu akili za vijana wengi nchini Australia. Cocaine inasaidia kupunguza
maumivu lakini kama ukiinusa kwa kupitia matundu ya pua inaifanya ua yako kutoa
mlio mkubwa.
Kanuni ya msingi kwenye mihadarati yote ni kuchukua kile
tu unachotaka kukichukua ili kupata suluhu ya tatizo. Hebu fuata sababu na usiitumia
sana kwa kuzidisha kipimo. Kilamara muulize mtu anayetumia mihadarati ni nini
kilichopo na nini unachikifanya ili kukipata na ni madhara gani ya ndani
yaliyopo. Kamwe usiitumie mihadarati kwa kujifurahisha na kujizoeza kijinga tu.
Vitu rahisi ni vya muhimu kwenye afya yetu. Hospitali ya
kanisa la SDA hivi karibuni imefanya jaribio kwa wachungaji wake kwenye AU na
kukuta kwamba 77% walikuwa wameathirika kwa sababu ya imani yao ya ulaji wa
mbongamboga tupu au uvijiteriani. Mungu alitupa chakula bora kwa sababu. Kemikali
wakati mwingine zinatusaidia kwa kupitia matatizo lakini kinsingi kama tunakula
vizuri tunawezesha mfumo wetu uwe sawa.
Pia ni kama alivyosema Paulo kwamba tumia mvinyo kidogo
kwa ajili ya tumbo lako. Unywaji wa Kiasi na utiaji chumvi usio na mashiko ya
kimaandiko ya kinadharia na kifikra tu yanawajibika kwa ukweli kwamba
Wamarekani wana kiwango ccha mara 2.5 cha ugonywa wa mapigo ya moyo ya
Wafaransa wanaokunywa kiasi hichohicho cha kiwango cha mafuta. Wafaransa hunywa
mvinyo mwekundu na unawasaidia kupunguza kiwango hiki cha magonjwa ya moyo.
Pia matumizi ya kemikali fulani zinazoendana na mazingira
yake hitajika yanaruhusiwa yanayoendana na usalama wa mtumiaji na yanayozingatia
maagizo ya sheria ya vyakula kwenye maandiko matakatifu. Hebu na zishike sheria
za vyakula zilizoagizwa kwenye maandiko na ushuhudie kupungua kiwango cha
mashambulizi ya magonjwa na ulishwaji wa sumu za kimekuria ufanywao pasipo
kujua na wa chuma nyingine nzito. Soma majarida ya: Sheria za Vyakula
(Na. 15); Uwiano (Na. 209); Uvijiteriani na Biblia (Na. 183); Mvinyo Kwenye
Biblia (Na. 188).
Umefanya madai ya kwamba “Bangi ina madhara makubwa sana ya muda mrefu
kwenye kromosomu iliyofanywa na wanadamu na inaweza kuendelea kupita ikiuathiri
mfumo wa uzazi kwa watoto.” Je, unaweza kuufanyia usemi huo kwa kutoa
uthibitisho halisi hasa? Nilidhani kwamba huenda ungegusia imani ya Rostafarian
wa Jamaica na wafuasi wao na jinsi wanavyoitumia Bangi? Je, hawajawahi kusikia
mijadala kuhusu matuizi ya Bangi kwenye Biblia? Je, haipo hivyo kwenye
kuitafsiri calamus au jina la kutisha kama hilo?
Jibu: Calamus unayoitaja
ina aina mbalimbali na tofauti na hakuna hata moja wapo iliyo na uhusiano na
Bangi. Neno hili linatokana kwenye kamusi ya SHD 7070 quaneh kwa Kiebrania ni
kawneh na kwa Kiyunani ni kalamos. Msingi wake ni neno kwa ajili ya kuhasiwa ikiwa
ndiyo ile iiyosimama wima au iliyo sahihi.
Kwenye Kutoka 30:23 inatajwa kama Chupa cha Mafuta
Matakatifu (qeneh bosem) (Gr. kalamos euodes) Inaitwa qeneh hattob kwenye Yeremia
6:20 au "Mafuta Mazuri." (Gr. thymiama) (Isaya 43:24; Kinnamomon na pia "marashi yene harufu
nzuri" (Yeremia 6:20). Soma pia kwenye Wimbo Uliobora 4:14 ambapo kumetajwa pamoja na mdalasini.
Kuta tofauti kati ya ladha nzuri ya mafuta yaliyotajwa
kwenye Isaya (huenda ni muwa: Saccharum officinarum L.) na vitu vyenye harufu nzuri
nay a kupendeza inayotajwa kwenye vifungu vingine, ambavyo vinachukuliwa
kumaanisha majani ya tangawizi liitwalo andropogon aromaticus Roxb, yanayopatikana
kaskazini mwa India na yana harufu nzuri sana na kali.
Upingaji wa matumizi ya Bangi kwenye nchi nyingi
unatokana na kuongezeka kukubwa kulikopo sasa kwa mambo ya kimadawa kama
madhara makubwa ya kiuzao. Kwa hakika haijaelezwa kwenye maandiko ya Biblia kama
Calamus kutoka na jinsi tunavyojua. Tutafanya utafiti mwingine zaidi na
tutakapokuwa kwenye nafasi nzuri tutaandika jarida lingine litakalojiri na
madhara ya kitabibu. Ni kama ilivyo kwamba hakuna hata mmoja wa watu wetu
anayevuta aina yoyote ya mmea basi ni zaidi sawa tu na tulivyo sisi pia.
Sijui ni kwa nini Yesu hakukemea matendo ya ushoga ama ufiraji kwenye hata mojawapo
tu ya Injili zake. Ni vipi badi Maandiko Matakatifu yanaweza kutumiwa ili
kuelewa kwa nini Mungu haungi mkono wala kuafikiana na matendo haya ya ushoga,
hususan kwenye Agano Jipya?
Jibu: Kristo hakuhitaji
kusema au kuongelea matendo haya ya ushoga kwa kuwa yaiikuwa yamekwisha
kukemewa na kulaaniwa kwa wazi kabisa na maandiko kwenye Torati ya Mungu.
Biblia yote kabisa inakemea matendo haya ya ufiraji, kama inavyofanya hata
kwenye uzinzi wowote wa kila namna. Hakuna mzinifu, wala mfirwaji. Na wala
hakuna waoga, wasioamini, waongo, waabudu sanamu, wachawi, wachukizao, hawa
wote hawatauingia ufalme wa Mungu (Ufunuo 21:8) wala chochote knacholitia
unajisi Hekalu la Mungu.
Kuna Maandiko mengi Matakatifu yanayohusika na kukataza. Usagaji
pia umekatazwa pamoja matendo ya Kisodoma na wazinifu na waasherati (1Wakorintho
6:9; sawa na Warumi Sura ya 1; Ufufnuo 21:8, 27). Soma jarida la Torati na Amri ya Saba (Na. 260).
Kumekuwa na makala za mwanzo kwenye habari za hivi karibuni kuhusu uweza
uliopo sasa wa kupandikiza mitamba wanyama na mimi hata nadhani ingewezekana
kuwapandikiza mitamba wanadamu pia. Kama nimelielewa vyema jambo hili, upandikizaji
mitamba ni la kutoa toleo lingine la asilia na lisingeenda moja kwa moja kwenye
mwendelezo wote mzima na mchakato wa kimafunzo kwa miaka. Unaweza kusema kwamba
watu waliopandikizwa mitamba wanaweza kuchukuliwa kuwa ni wana wa Mungu?
Jibu: Mungu
alikataa kufufuliwa au kuanzishwa tena fikra za Warefai au Wanefili. Suala hili la kupandikiza mbegu za mitamba ni tatizo
kubwa sana. Upandikizaji huu unaendelea kutoka na kipimo cha DNA cha kila mtu,
ila kinajiri na umri mmoja huohuo kama wa mtu alivyokuwa wakati ulipochukuliwa.
Kwa hiyo, kipimo cha DNA cha upandikizaji mbegu ya mtamba
chapasa kichukuliwe kwenye umri wa mapema sana kutoka kwa mtu huyohuyo. Urefushaji
wa maisha huenda ni matokeo ya hiyo bali uzoefu unaendelea kuonyesha kuwa ni
matatizo makubwa ya kimaadili na kimaumbile ambayo yanakanganya sana kuendelea
nayo. Kwa mfano, mtu halisia ana asili ya kimwili na kimaumbile ya kineflishi.
Je, unadhani kwamba Mungu anapendezwa na uumbaji pamoja
na maumbile mapya ya mtindo huu wa kupandikiza mbegu au uzidisho wa kineflishi
mara mbili? Kwa maneno mengine ni kwamba, ni kwa wingi kiasi gani wazaliwa wa
kwenye mbegu hizi za mtamba watakuwa kwenye tukio la ufufuo wa wafu? Je, wote
hawa watakuwa na fursa kama watakuwa na maisha au uhai? Swali hili gumu sana
linahusisha na biashara ya spea.
Je, uundaji wa kichanga kwa njia ya vifaa vya spea kunaweza
kuanzisha mauaji? Mwanadamu alichanganywa lugha na usemi pale Babeli kwa
makusudi ili asiweze kuifikia hatua ya kiwango cha elohimu kwa mapema sana. Hii
ni sehemu ya mchakato ambao Mungu aliuzuia. Kitendo cha kukipunguza kipindi cha
utawala wa Shetani pia kina kitu cha kuhusiana na mchakato wa wokovu wa wateule
pamoja na kuilinda hii sayari. Na pia itaangamizwa kabisa. Kristo anakuja ili
awakute wenye mwili waookoka walio hai.
Maelezo yangu yanataja imani ya ulaji wa mbogamboga tupu yaani uvijiterian.
Niliona kwenye habari kuhusu Serikali ya Marekani ilifanya tena piramidi ya
chakula. Waliifanyiza ulaji ule wa nyama mara mbili au tatu kwa juma ambayo
ilitufaidia sisi. Ndipo hatimaye tunaliona tena kundi la waamini ulaji huu wa
mbogamboga peke yake likipinga na kuandamana na wakiitaka serikali ienekeze
kikamilifu aina ile ya ulaji au ya chakula. Walisema kwamba lingekuwa jambo la
kiafya sana kwa ulimwengu kufuata sheria zao za vyakula. Je, hii ndiyo jinsi
ambayo Shetani atapata mitazamo yake ya kimsimamo kotekote?
Jibu: Imani ya
Uvijiteriani haifungamani na suala la kiafya. Ni shutuma ya moja kwa moja dhidi
ya Sheria au Amri za Mungu na muundo Mungu aliyowapa Israeli. Ni sehemu mojawapo
ya hoja za Kiantinomia za Wakostiki na wala haina uhusiano wowote na Ukristo.
Mtume Paulo aliyaita haya kuwa mafundisho ya mapepo na mshetani. Ni desturi na
mapokeo yanayoendelea na kudumu yanayotokana na imani ya Kihindu.
Hospitali ya Waadventista Wasabato wa huko Sydney,
Australia hivi karibuni wlifanya oparesheni ya upasuaji wakiwatibu wachungaji
wa Kiadventista na wakagundua kuwa takriban asilimia 77% walikuwa na upungufu
mkubwa wa nguvu yaliyosababishwa na tabia ya ulaji mbogamboga au uvijiterian.
Ni chanzo cha kilichopelekea ukosefu wa kutenda kazi vizuri mishipa au neva na
hali yake mbaya ulipelekea mabaya sana ya matatizo ya kiafya kwa vijana. Imani
ya Uvijiteriani inahitaji kuwe na akiba nyingi nay a kutosha mwilini ambayo
haihitajiki au isiyopatikana kwenye mlo wa kawaida wa nyama. Tutakabiliwa na
matatizo makubwa yatakayoongezeka na kuendelea pamoja nao na mijadala au
miswada ya kutetea uhuru wa wanyama kwa kipindi cha zaidi ya miongo kadhaa
inayokuja mbele yetu.
Iwapo kama unataka kuyaona matatizo yanayosababishwa na
uvijiterian yakienda India na kuona kwenye mtazamo mpana na mrefu wa mfumo wa
uvijiterian. Soma kwenye majarida ya: Uwiano
(Na. 209); Uvijiteriani na Biblia (No. 183); Mafundisho ya Mashetani ya Nyakati za Mwisho (Na. 48); Mvinyo Kwenye
Biblia (Na. 188).
Nimejionea kazi ya “ushirikina wa kutumia maji.” Hapa ndipo mahali
unaposhikilia yote mawili ya kijiti kilichoinuka na kuja juu (au waya 2 zilizopinda)
na kuenenda na fimbo sambamba ardhini. Unapotembea juu ya maji, fimbo itajivuta
kuelekea nyuma. Au waya zitakuwa zinavuka. Je, haya ni mazingaombwe ya
kimapepo? Au je, hii inaweza kuwa tukio linalotokana na nguvu za asili? Kuna
watu wanaoweza kufanya hivyo, na wengine hawawezi. Ni kemikali zinazofanya watu
watofautiane au kuvutwa kwa nguvu za sumaku?
Jibu: Inchini
Marekani neno hilo linatumika. Kwenye Jumuiya ya Madola ya Kiingereza inaitwa maji matakatifu. Mchakato
unachukuliwa na watu wao wao kama maelezo ya kawaida ya nguvu za mashambani.
Baadhi ya bodi za kidini hawaruhusu jambo hilo kama ushirikina bali nimeona
hakuna maelezo ya Biblia ya makatazo haya.
Tukio la kuchimba linachokesha na pasipo hivyo yaonekana kuwa
ni jambo lililo kwenye mchakato wa kihisia tu. Linaonekana kutokuwa na ushahidi
au uthibitisho wa kisayansi wa mchakato huu ulinaoweza kupimika au kueleweshwa.
Ni habari au taarifa gani naweza kumpa mtu anayeuliza maswali na mwenye
kuuonea mashaka Ukristo kwa sababu ya viumbe majitu waitwao dinosaurs ambao
hawatajwi kwenye Biblia?
Jibu: Hili ni
tatizo tu kwa wale wanaozuia kipindi cha uumbaji kuwa kinajiri kwa urefu wa
miaka 6000 cha uwepo wa wana wa Adamu. Jambo hili limeelezewa na kutathiminiwa
kwa kina kwenye jarida la Wanefili (Na.
154). Kuna majarida mengine mengi sana kwenye tovuti yetu yanayoweza
kukusaidia kuelewa jambo hili.
Je, wanaume au wanawake wanaruhusiwa kuvaa ndewe na hereni?
Jibu: Hereni na
ndewe zimekatazwa kuvaliwa na Waisraeli. Matundu ya mwili yalilindwa ili
yasiingiwe na roho chafu kwa kutumia kujipamba huku kwa pete na vifaa
vinginevyo. Mapambo haya, hasahasa pete yaliwalinda wavaaji kutokana na
kuingiwa na maroho haya machafu. Ndama wa Dhahabu alitengenezwa kwa dhahabu
iliyochukuliwa kutoka ndewe na pete za watu. Ndiyo maana Haruni alitumia uwingi
alipowaelezea kwa kuwaambia, “hii ndiyo miungu…” nk. Wakati andiko lililo
kwenye kitabu cha Nehemia ni usahihishaji wa kiuandishi kwa kile kilichochukuliwa
kama makosa ya kigrama. Soma kwenye jarida la Ndama wa Dhahabu (Na. 222).
Wasraeli hawakuwa wanavaa mapambo haya ya vidani. Maneno
yaliyotajwa kwenye tafsiri ya KJV kwa kweli yanakusudia kutaja vidani. Jambo
hili limeainishwa vizuri kwenye jarida la Chimbuko
la Uvaaji wa Vito Kwenye yakati za Kale (Na. 197).
Unamtazamo gani kuhusu kitendo cha kuchoma maiti? Je, ni kitendo kizuri au
kibaya kwa muktatha wa Biblia? Je, kitendi hiki kinarahisisha na kisicho na
gharama kuliko kile cha kumazika mfu kaburini hasa kwa siku zetu hizi?
Jibu: Je, Mungu
anasemaje, kwa njia ya Kristo, kitakachotokea kwa mtu muovu ambaye hajatubu mwishoni
mwa Ufufuo wa Pili wa wafu? Watahesabiwa kuwa wanastahili kwenda Jehanamu ya
moto? Jehanamu ni jalala la kutupia takataka lililokuwepo zamani nje ya mji wa
Yerusalemu. Kwa hiyo ni vizuri sana vya kutosha kwa Kristo kuwachoma na
kuwateketeza watu waovu, pale inapokuwa sio dhambi kufanya hivyo.
Ufufuo wa wafu
unategemea na nguvu za Mungu muweza. Kama mwili wako hauwezi kuungua ili wewe
uufukie Ufufuo wa Kwanza wa wafu, ndivyo basi kwamba Mashahidi walioifia imani
watakuwa kwenye hatari na matatizo makubwa. Kwa kuwa njia waliyoipitia ya
ukatili uliofanywa na Mabaraza ya Mahakama ya kidini na mateso waliyofanyika
hata kabla hawajateswa kwa kuchomwa moto. Pia, kuna watu wengi sana waliokufa
kwa kuchomwa moto kwa vipindi vingine kadhaa.
Pia kuna watu
wengi sana walio chini kwenye kilindi cha bahari, bahari itawatema na kuwatoa
pia. Mizoga michache iliyotokana na kuliwa kwenye matumbo ya papa na mamba ni
mfano mwingine. Mungu hazuiwi na mambo haya ya kuoza kwetu au jinsi
zinavyofanyiwa maiti zetu kama ziliharibiwa au kuzikwa vizuri na kadhalika.
Dhana nyingi za aina hii ya kishirikina zinatokana na imani za Kinostiki zinazoelezea
kuhusu mbinguni na motoni. Soma jarida la Nafsi Hai (Na. 92) na lile la Ufufuo wa Wafu (Na. 143). Watu wengi walitiwa madawa wasioze walipozikwa kwenye
karne ya kwanza kwa minajiri sawa na matendo na desturi za Wamisri na hapa
ndipo wazo hili linapotokea. Kanisa la kwanza lilinchukulia mtu yeyote anayeongelea
kuhusu imani au mawazo haya ya kwenda mbinguni kuwa ni Mkristo bandia au wa
uwongo asiye halisia.
Ni kwa nini Wakristo
na Waislamu wanaamini kuwa maisha ni utakatifu?
Jibu: Wanaamini kuwa maisha ni matakatifu kwa
kuwa yalifanywa kuwa matakatifu na Mungu wa Pekee wa Kweli, kama sehemu ya uumbaji
wake. Wote wawili wanaamini kwamba Shetani (au Ibilisi) na mapepo waliasi dhidi
ya kuumbwa kwa mwanadamu na, kwa sababu hiyo, walitupwa chini duniani na waliwajibika
kwa viumbe hawa.
Misaafu yote
miwili, yaani Biblia na Korani zinasema kwamba maisha na kiumbe mpya vinatokana
na kifo au mauti ya huyu Nyota wa Alfajiri Al Tarikh au Masihi. Soma
majarida ya: Kristo Kwenye the Korani (Na. 163); Fundisho la Dhambi ya Asili Sehemu ya I Bustani
ya Edeni (Na. 246); Fundisho la Dhambi ya Asili Sehemu ya 2 Kizazi cha
Adamu (Na. 248); Torati na Amri ya Tano (Na. 258); na la Torati ya Mungu (Na. L1)
Nimefurahishwa
kukuta mifano ya mazingira ambayo kwayo mtu (au jamii nzima yote kwa ujumla)
hawaoni au kukifikiliza kile kilichoonekana kwa wazi sana kwa wengine. Kiuhalisia,
nafikiria habari au hadithi ya Wapolynesians ambao (wanadhaniwa sana) hawakuiona
meli ya Kaptani Cook – ingawaje ilitia nanga kwenye bandari yao, mbele ya macho
yao – jambo ambalo lilisababisha mstuko wa aina yake "kutokana na jambo
hili la duniani." Au hadithi au habari ya meli za Pizaro na za Wamayani (ambao
nao pia hawakuiona meli ingawa nayo ilikuwa imekaribia sana kwenye upeo wa macho
yao). Je, hadithi hizi ni za kweli? Je, zina mashiko au uungaji mkono wowote wa
kiuandishi kwenye desturi za kiimani za kisaikolojia ama za kidesturi? Napenda
kuepukana na imani mashuhuri za mithiolojia za kimila, na kusimamia na kile
ambacho kwa kweli kimeandikwa na kukubalika kisayansi.
Jibu: Kitendo cha kushindwa kuona wazi, na cha
kuyadhania mambo yasiyo bayana, yaonekana kujitokeza na kuhadithiwa mara nyingi
kwenye nyakati zote za historia. Twaweza kuyaelezea matukio kadhaa fulani fulani
kutokana na hadhithi za kiimani zinazowazunguka. Baadhi nyingine hatuwezi
kuzielezea kirahisi. Tukio la kutoziona meli laweza kuwa ni la kweli, na laweza
kuwa na maana yake fulani ya kimila. Napenda tu kutolea mfano kwenye hadithi ya
Torres Strait, ili kujaribu huenda kuelezea muono na mtazamo wa Wapolynesiani.
Kwenye hadithi ya
Torres Strait, meli za magharibi ziliitwa "Lamar Nar" ambavyo maana
yake ni "meli za roho au mzimu." Jina hili lenyewe linatokana na
lugha ya Kihindi yenye asili yake kwenye Sanskrit. Kwa hiyiyo ilitumika kwa
kuwa ilitengenezwa kwa umbo la nguruwe mweupe, umbo lililoashiria kuwa ni kama
roho au mizimu ya wakazi wa visiwani waliokwisha kufa hapo zamani. Wakazi wa
visiwa vya Torres Strait, ambao wote walikuwa wamejikita kwenye shughuli za uwindaji
hadi kwenye karne ya kumi na tisa, mara nyingi waliwaua kutokana na imani hii.
Wakazi wa kisiwani wanaashiria au kuonyesha kila mtu na kumchukulia kama ndugu
wa waanga waliokufa waliowaokoa baadhi ya watu, na wakawa hai na kuendelea
kuishi kutokana na kutambuliwa kwao na kuchukuliwa kuwa ni ndugu wa
kupanganisha na sio wa kuzaliwa.
Matokeo yake hatimaye
yalitokana na makundi ya kutengwa na kukataliwa kwao kuliopelekea hali ya
kutisha. Najua kwa ukweli kwamba baadhi ya wanawake, kwa mfano, kwa kweli
hawaoni mambo kuwa yanatisha sana kwao. Wanaendelea tu kutoyatazama mambo hayo.
Hali hii inafanywa na wanaume pia, lakini kwa ujumla ni pamoja na soksi na
mashati na karatasi. Wapolynesiani wanaweza kuwa walikataa tu kuamini hatari ya
meli hii iliyojaa mizimu na iliyopigwa mbiu kubwa na mizimu kwenye bandari yao,
na vivyo hivyo tungeweza kuzuia kuiona mizimu. Hii inatupeleka kwenye kundi
lingine la kuona maono.
Fatima ilikuwa ni
mfano mzuri wa watu waliosumbuliwa na mipagawisho kwa wakati mwingi. Kwanza
kabisa, hakuna aliyeona kitu chochote ila ni binti mmoja tu, peke yake. Kisha
waliona, lakini hawakusikia kitu chochote. Baada ya muda, mamia ya watu
walianza kuliona jua likitembea na likija karibu yao. Ruya ya umati wa pamoja ni kitu cha kawaida na
ndicho tunachokiona sasa. Kitendo cha kulitazama jua kinasababisha jicho
kuungua na kulihatirisha. Pia, huenda na sisi tuko tayari kabisa kuachana na
hali halisi ya maumbile ya asili.
Kwenye jamii ya
Waaborigine wa Australia, wanaume wa Kibain walikuwa wanaandamana sambamba na
mabango yenye matangazo ya vita katikati ya majoka makubwa au nyoka, na watu
waliwatazama. Siku hizi, uwezo huu waonekana kuwapotea. Uwezo wa watu kupokea
ushiriki wa matukio ndicho kitu kilichopungua na kupotea kabisa. Kadiri ya
mapendekezo na hali ya kujionea ruya, ndpo mtu anavyoweza kujitoa kushiriki au
kuamini. Pia, watu wengi hawaoni vizuri kwenye umri unaowastahili kutumia
miwani. Jambo hili limeainishwa vyema kwenye kitabu cha Imani za Fumbo na Siri
Sura ya 1 [Mysticism Chapter 1] kwenye tovuti ya www.ccg.org/english/s/B7_1.html.
Je, kuna sababu
yoyote ya kibiblia kuamini kuwa fi vyema kuwa afisa wa jeshi la polisi?
Jibu: Polisi ndiyo shambulio la Uingereza
lililofanyika hivi karibuni kufanywa na Bwana [Sir] Robert Peel, ambapo jina “Mapolisi”
au “Wamenyaji.” Mtume Paulo anasema tuwatii wale wanaokutawala na pia mahakimu
hawaubebi upanga bure.
Jambo na mchakato wote wa kuianikiza Sheria na hukumu ya
kuwaua watu kufa kwa mujibu wa maagizo ya Torati imeainishwa kwenye majarida ya
Torati ya Mungu (Na. L1). Inashauriwa kwamba
usome majarida ya Torati na Amri ya Sita (Na. 259) na pia Torati na Amri ya Tisa (Na. 262).
Kwa ufupi, jibu lake ni, “Hapana.” Unaweza kuwa afisa wa polisi, ni kama tu, anavyosema
Kristo kwamba, mtosheke na mishahara yenu. Mzunguko wa zamu za kazi unaweza
kukinzana au kukuzuia kuzishika Sabato na hili ndilo tatizo litakalokukabili
kukuwezesha kupata fursa ya kuishika amri hii ya Sabato.
Iwapo kama mzazi wa mtu fulani haishiki kweli ya Biblia, ni kwa muda gani
basi, kama ni kwa vyovyote, mtu anapaswa kuwatii wakati amri zao ziko kinyume
kabisa na maagizo ya Torati yake Mungu? Nikiwa kama mtu mzima, je nawajibika
kuwaonyesha makosa yao waliyopotoka kwayo? Je, inanipasa niharibu maadhimisho
yao ya kipagani kwa kuwaonyesha makosa yao na upotofu wake? Ni mstari upi basi
unaoweka ukomo kwa mujibu wa Amri ya Tano na kile anachokisema Kristo kwenye
Mathayo 10:34-40?
Jibu: Ndiyo,
Kristo alisema, adui wa mtu ni wale wa nyumbani mwake mwenyewe. Mwana
halazimiki wala kufungwa kuwafuata wazazi wake kwenye matendo yao yaliyo
kinyume na maagizo ya Torati yake Mungu. Wakati mtoto anapokuwa mtu mzima vya
kutosha kuujua ukweli, wanaweza kumlaumu au kumshutumu sana. Mtoto anachukuliwa
kuwa ni mwenye umri ulio chini ya mintaarafu ya sheria mbalimbali kwenye kila
nchi. Biblia inasema ni Yule mwenye umri wa miaka ishirini. Iwapo kama wazazi
wako wanazivunja Sheria za Mungu, ndipo unao wajibu wa kuzikosoa na kuwaonyesha
upotoe wake. Kama wataendelea kuzishikilia, ndipo itakuwa ni juu yao. Kama
wataendelea kuzisisitiza na kuzishikilia na kukulazimimisha uzigeukie na
wakikutisha kwa namna mbalimbali, basi uachana nao nawe hulazimiki kuzirudia
njia zao.
Yakupasa uwe tayari kutoa jibu la tumaini lako litokalo
ndani yako. Yawapasa pia kufundishwa kutokana na maagizo ya maandiko kuhusu
kile wanachokifanya. Wazazi wanaendelea bado kuwa wazazi hata kama watakuwa
watenda dhambi. Familia nazo zinabakia kuwa ni familia tu hata kama watu wake
watakuwa hawaafikiani. Jaribu kushuhudia uyajuayo kutokana na imani yako. Mara
zote uwe mpole na mkimya unapowajibu. maneno laini yanauwezo wa kuibadilisha
hasira ya mwanadamu.
Je, ni vizuri au vibaya kwa Mkristo kupiga punyeto? Tukijua kwamba sisi ni
wanadamu, na nina hakika wavulana wote walio na umri wa miaka chini ya ishirini
wanakua wakiwa na ghaiba ya namna hiyohiyo ya “mpagawo wa kingono.”
Jibu: Hakuna
karipio lolote rasmi la Biblia linalokataza kupiga punyeto. Linaweza tu
kujengewa hoja na kufanyizwa kutokana kwamba kitendo hicho ni cha
kujidhalilisha kilichotajwa kwenye mtazamo wa Agano Jipya, lakini hilo halina
mashiko yoyote kabisa.
Ni tendo la kawaida lililokuwa likifanywa na watu wa zama
kale za ujima. Kima wa Kagedi hupiga punyeto na ni sawa tu na wanadamu nao hufanya
hivyo. Mahala tu pa Biblia ni pale inapomtaja au kumchukulia Onani, ni jaribio
la kuficha dhambi za Kanisa, ambalo lilibadilishwa na kupotoshwa kwenye tafsiri
yao ya dhambi.
Dhambi ya Onani haikuwa upigaji wa punyeto. Bali Onani aliuawa
kwa kosa la kushindwa kuzishika sheria za Kilevirate na kumzalisha Tamari mtoto,
akimlazimisha avunje mwiko kwa kufanyenaye ngono za ukoo mmoja huku akiwa ni
mjomba wake, Yuda. Kitendo chake cha kuzimwaga mbegu zake chini kilikuwa ni
mkanganyiko wa moja kwa moja na ni machukuzo kwa sheria za Mungu na hakina
uhusiano wowote na upigaji punyeto.
Sababu iliyopelekea upigaji wa punyeto uitwe Uonanismu na
watu wa makanisa ni kwamba wanawashawishi watu wayatoe mashamba yao na kuyapa
makanisa na jambo hili limekatazwa kabisa na Torati yake Mungu. Sababu
iliyompelekea Onani kuuawa imeelezwa na kuainishwa kwa kina kwenye jarida la Dhambi ya Onani (Na. 162). Upigaji wa punyeto unaweza kuwa dhambi kwa kuktatha wa moja kwa moja na sheria
au torati yake Mungu na kile kinachoelekea na kuendelea mawazoni mwako.
Yapasa iongezwe kwamba haina la maana lolote la kuwezesha
kumuongeszea mtu kukua au maendeleo ya kiroho, na Biblia haijasema lolote
kuhusu jambo hili. Andiko moja au mawili yameyumbishwa na kugeuzwa ili yaweze
kutafsiriwa ili kujalizia fundisho hili, jambo ambalo linatiliwa mashaka
makubwa sana.
Je, ni vibaya kuitumia au kutengeneza michoro ya kingono kama namna ya
kujikinga au kujilinda, iwapo kama itahusiana na "chi" au msukumo wa
kimaisha au nguvu za uzima?
Jibu: Kuna mambo
mawili kuhusu michoro ya kimapenzi. Ubondia na mambo mengine yoyote ya
kujilinda kwa mikono au miguu yamejumuishwa kwenye kundi hili.
Swali la kwanza linahusu mawazo ya anayekusudia kutuama
nayo na utaratibu anaojifunzia kwao. Kusudi la kujifunza ili kujilinda mwenyewe
ni moja ya sababu ya vita. Unataja habari za “chi” na inadhaniwa kuwa unataja aina
na sanaa iliyo kwenye muundo wa Kichina.
Aina ya sanaa na michoro ya Shaolin ni ya mrengo wa kidini,
ambayo imekatazwa kabisa kutumiwa na Wakristo. Viwango vya kimo vya Tae Kwando ni
vya kunadharia na kufikirika tu kwenye viwango vya juu sana ya digrii muhimu ya
ukanda mweusi. Kusudi la mafunzo haya muhimu ni kuendeleza “mawazo yaliyo kama
maji mengi na mwezi.” Hapa ni mahali zilipo fikra na chanzo cha msisimko wa
kujibu hamasa au kitendo. Mchezo wa Kareti “mikono tupu” ilianzia huko Okinawa ikiwa
kama aina ya kujilinda dhidi ya washambulizi wa Kijapani wakati Waokinawa
walipokatazwa kubeba silaha.
Sanaa hii, mkomo ni silaha kubwa. Hii imetokea mbali sana
kwenye mwagiko au mtawanyiko yake tangu nyakati za Mas Oyama, bila shaka
ilichochewa na kushinikizwa na Taekwondo, “namna ya kupanchi na kupiga kiustadi.”
Mchezo wa ngumi ni mtindo wa kimagharibi, ambayo iliendelezwa chini ya kanuni
zilizowekwa kutokana na kundi la Marquis wa Queensberry ili kuifanya zionekane
kuwa ni miwani za kisasa na kistaarabu zaidi za mapigano ya mitaa ya London.
Kwa hiyo, kuna aina zisizo,za kianimisti moja kwa moja
ila zinahusiana na “Chi,” au “Shinto,” au jambo linaloshabihiana na mabo ya
kianimismu. Kama moja itakuwa huru na mbali kutoka kwayo, na moja italazimu
kuwa na swali la kifalsafa litakalojitokeza kwamba ni kwa nini mtu afane hivi?
Majeshi ya Marekani sasa yanaenda Uchina ili kuijifunza mifumo ya Kichina.
Walikuwa na mifomo hiyo chini ya sanaa ya Mabondia wakati wa maasi ya Bondia na
hatujasumbukia nayo hatimaye. Sasa, kwa nini ni muhimu sasa? Jibu linatuama
kwene udhaifu wa kimaadili wa kimagharibi, na sio kwa mawazo yoyote ya makuu ya
Kimashariki. Kujilinda mtu mwenyewe ni suala linalohisisha Mungu na mwanadamu
mwenyewe. Wengine hutumainia, au wanashurutishwa kutumainia, Mungu pekee. Hivyo
ndivyo mara nyingi ni kwa kuwa amefanya mataifa yetu kuwa huru kabisa.
Kwa kulijibu swali, la kwamba je, ungepigana ili kumlinda
mtotnswer to the question, would you fight to proowako asidhuriwe na mwingilio kwenye
nyumba uliyojaribu kuwaua? Jibu lake halina kigugumizi kuwa ni “Ndiyo,” watakavyojibu
watu wengi. Mungu na sheria wanahitaji kwamba watu waletwe kwene haki na walipe
adhabu ya uhalifu wao. Ili kufana hivyo, mtu anapaswa awe mlipakisasi cha damu.
Wakati mwingine inabidi kushitakiwa kwa mashitaka na kuwazuiwa.
Kwenye dunia hii dhaifu na isiyo kamilifu tunakabiliwa na
uchaguzi na kzi ili kuzilinda familia zetu na watu wetu kwa Sheria za Mungu.
Wakati tunapokuwa chini ya ulinzi wake, hatuhitaji kujihusisha kila mara, ni
kama Israeli walivyolindwa vitani kwenye kipindi cha Kutoka, na Mungu
akawatangulia na kuwapiga maadui zao.
Hivyo basi, jibu lake sio rahisi sana. Ni kwamba, kunahitajika
imani upande mmoja na kuwajibika kwa upande mwingine, na upendo wa mtu. Ni
jambo gumu kumpenda jirani yako wakati unapokuwa kwenye hatua ya mwisho ya ghafla,
wakati unapojaribu mambo yote mawili, kuharibiana kila mmoja wenu kwa kadiri
inavyowezekana. Pia kuna usemi wa maonyo kwenye Biblia usemao: “Yeye aishiye na
upanga hufa kwa upanga.”
Mwili wa mtu unapotaka kuonyesha kujiuliza maswali yahusuyo
maisha yajayo ya ujana. Inaweza kuwa ni kujijenga kupendezako kwa mbururo au
kipigo na sehemu za maeneo yaliyo kwenye mikono, miguuni na kichwani, na na
mafunzo yafanyikayo kwenye ubao wa makiwara, lakini mtu pia anapaka sumu kwenye
mikono hiyo iliyovunjika. Ile yabisi au homa inayoweza kusababishwa na mafunzo
au lishe ya askari kwenye jumuia za siku hizi zinasababisha kuwa na matatizo
makubwa kwenye mikono, miguuni, kwenye vifundo, magotini, na mgongoni. Kichwa
na ubongo vinaharibika kiurahisi hususan kutokana na nguvu zitakazotumika
kwenye “michezo” hii. Kwa hiyo, jibu ni “Hapana” kwenye imani za dini za
Kimashariki numa ya sanaa hizi za kiwenza.
Jibu kwa sababu ya pili ni kwamba unapaswa kuchagua kwa
umakini jinsi unavyopenda kuendeleza akili zako na amri ya kumpenda jirani
yako. Swali linalofuatia hatimaye linahusu ni kwa jinsi ipi tunailinda nguvu ya
kujilinda kwa sheria kamilifu? Swali linguine ni lipi kwa wakati mwingine.
Je, mtindo uliopo siku hizi wa kujichora na kujitoboa miili unatokana au
kukubalika kimaandiko au ni namna tu ya kuulinda mwili kutokana na vipenyo wazi
vinavyotokana na “maroho” ni sawa tu na kama watu waliyvofanya miaka mingi
iliyopita?
Jibu: Ni masalia
yatokanayo na imani fumbo na zenye maana ya siri na ni matendo ya kulinda vimelea
vya mwili. Makuhani wa mungu Attis pia walikuwa wanafanya hivyo majira ya
sikukuu ya Easter.
Unaweza kunijulisha ni kwa nini kutumia falaki au uaguzi ni vibaya? Najua
kwamba Biblia inakataza jambo hili, ila basi je, kuna taarifa yoyote ya
kihistoria kuhusu jambo hili na k8una madhara gani ya kusoma elimu ya nyota na
ubashiri au ishara zake?
Jibu: Kupiga
falaki au uaguzi kumekatazwa kwenye Biblia (Isaya 47:13). Chimbuko la upotovu
huu ni imani machanganyiko ya Waashuru na Wababelni tangu nyakati za mapema sana
za kabla ya millennia ya tatu KK. Wazo hili lilitokana na dhana au imani ya
kwamba mwanadamu hafi moja kwa moja. Imani ya kishetani ndiyo iliyoanzisha
maadhimisho ya sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa mwanadamu na kuifanya kuwa ni
siku takatifu nay a kuitukuza sana kuliko zote katika mwaka. Wababeloni walikuwa
na makundi matatu ya madaraja ya wanasayansi.
Walikuwa waandishi wa mambo yafuatayo:
1. Talasimu au hirizi alizovalishwa mtu aliye kwenye
mateso au zilizowekwa majumbani.
2. Uzushi wa imani ya mzunguko wa kuzaliwa kwa viumbe
kutoka umbile hili na jingine, fundisho lijulikanalo kama incantations: na
3. Rekodi za mchanganyiko wa watazama nyakati mbaya au
watazama ramli au nyota pamoja na wenye elimu unajimu na mambo mengine yote ya
angani. Imani hii pia ilidhania na kuamini hivyo kila mara au matukio ya
kiushindi kama sababu zilizosababisha kutokea kwa kila moja na jingine, na
kwahiyo ndipo imani ya kianimism ilianza kutokana na hii na funsisho la
usababisho wa miili ya kimbinguni lilianzishwa pia.
Imani ya uchawis na
ushirikina ya kutumia hirizi ilichelewesha maendeleo ya kisayansi kwa kipindi
kirefu. Watoto wa Ayubu waliuawa kwa sababu ya kushiriki kwao maadhimisho haya
ya “siku” ya kuzaliwa yaliyotokana na imani hizi. Tazama na kulisoma jarida la Maadhimisho ya Siku ya Kuzaliwa (Na. 286)
ili ujifunze zaidi kwa kina kuhusu jambo hili na jinsi Biblia inavyosema.
Je, kuna kanuni yoyote ya kibiblia ambayo imemkataza mtu kukubali kuwekewa
kiungo cha mtu mwingine mwilini mwake kama maisha ya mtu huyo yatakuwa
yanafikia ukingoni au hata kama hayako hatarini kihivyo? Ninashangaa pia kuwa
jambo kama hili litaendelea hata kwa kutumia viumgo vya wanyama vinavyotumika sasa
kwa wanadamu?
Jibu: Malumbano
au hoja inaweza kuonekana kuhusishwa sana kwenye jambo hili. Wazo au dhana ya
kutumia viungo vya mtu ili kumpa uhai mtu mwingine lipo tangu mwanzoni sana mwa
historia ya mwanadamu.
Na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu (Yehova
Elohimu) akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu (Mwanzo 2:22). Kwa hiyo, alizaliwa kutoka mifupani mwake na kwenye mwili
wake. Kwa hiyo, hakuonekani kuwa na kizuizi kutumia kiungo cha mtu mwingine ili
kusaidia kuendeleza uzima au uhai wa mwingine, kwa kuwa sisi sote tumetokana na
jozi moja nasi sote ni ndugu kwenye uumbaji tukiwa ni wamoja.
Hatua ya ili ni kufikia uamuzi kuhusu viungo vya wanyama.
Hii ni sawa kama malumbano au hoja zilizoko kuhusu matumizi ya damu, hata
hivyo, kuna maandiko mengine mengi yanayolenga moja kwa moja kuhusu hoja hii
yanayokataza kuigusa mizoga na wanama najisi. Hivyo basi, yatupasa kuipunguza
ni vyema kuwa na dawa ya insulini kutokana na ng’ombe na sio kwa nguruwe. Wengi
wanaifanya tofauti hii kila siku.
Hii kwa kweli ni kitendo cha kupandikiza kiungo kingine
kwa ukweli kwamba haya ni matokeo ya kiungo kilicholiwa na mwili, ila mtu
anaweza kubisha, kwa hiyo ni maziwa ya ng’ombe. Hii ndiyo tofauti kati ya damu
na maziwa. Vyote viwili vinatokana na mnyama aliye safi. Moja inaweza kuliwa na
moja hailiwi. Hata hivyo, kupaka dawa ya insulini na kwa bidhaa ghafi zinaweza
kutumika kwenye shughuli za utabibu.
Hii inatupeleka sisi kwenye hatua ya pili ya kimaadili.
Je, ni dhambi na vibaya sana kula vyakula najisi? Jibu ni kwamba “Hapana” iwapo
kama mazingira yatamsababishia mtu kufanya hivyo, basi anaweza kula ili kulinda
uzima au uhai wake. Kwenye kambi za Mateso ilifanywa hivyo kwa makusudi kabisa
ili kuwachukiza na kuwakwaza Wayahudi na waumini wa Kanisa linaloshika sheria
ya Vyakula, hususan waumini waliokuwepo wa Kanisa la Mungu na wa SDA.
Mwanamke mmoja wa Kiyahudi, aliyepewa achague kati ya
kula mkate au nyama ya farasi kwenye kambi hizi za mateso anajulikana kuwa alisema
maneno haya. “Mimi nakula mkate mwaka mzima na wakati wa idi ya mikate
isiyoliwa na chachu nakula nyama ya farasi. Hivi ndivyo n9inavyoishika imani
yangu.” Kwa hiyo, inaruhusiwa ili kulinda uhai kwene mazingira yasiyo ya
kawaida. Kwa hiyo tunaweza kuishia hapa tu kama inaonekana kuwa inafaa tunaweza
kuchukua viungo vya wanyama na kuvitumia miilini mwetu kwa wanama wanaoonekana
kuwa si najisi na tunaoweza kuwala, na kwenye mazingira magumu na adimu twaweza
hata kuwatumia hata wanama walio najisi. Teknolojia sasa inaongezeka na
kuendelea kwa kiasi kwamba tunaweza kuongeza siku za kuishi kwetu na kutumia
vifaa bandia na hili ni jambo lignine linalojiri kwenye masuala ya kimaadili na
desturi ambayo hayawezi kujadiliwa au kuelezewa kwa hapa.
Ni upi mtazamo wa Biblia kuhusu nidhamu kama vile kupiga matakoni, inaonekana
kuwa watoto wadogo wanawatawala wazazi wao sasa.
Jibu: Biblia inasema
wazi sana kabisa kuhusu nidhamu, kwa pande zote mbili, yaani kwa Mungu na kwa
wazazi. Kitabu cha Mithali kinasema kwamba Yule asiyetumia fimbo anamchukia
mwanae (Mithali 13:24). Fimbo ni fimbo ya kumrudi mtoto (Mithali 22:15). Utoaji
wa adhabu stahiki kwenye maagizo ya Biblia umeainishwa kwa wazi kwenye jarida
la Torati na Amri ya Sita (Na. 259). Moja
ya sababu iliyovunjwa moyo au kukatazwa ni kwa sababu ilikuwa imetumiwa vibaya
na wazazi walioongeza matumizi yake.
Wazo la kumdhalilisha mdhalilishaji jambo linalohusika.
Wazazi walio kwenye jamii yetu leo, wenyewe tu wanahitaji kuadibishwa na hili
ndilo moja ya tatizo kubwa. Nidhamu inapasa iwe kwa ndani na nidhamu binafsi ya
mtu ni nzuri sana mara zote kuliko nidhamu ya kuagizwa au kuamriwa.
Hata hivyo, wakati taifa linapokuwa linaongezeka, Mungu
anasema kuwa atawapa wanawake na watoto wa kuwatawala. Hiki ndicho hasa
kinachofanyika kwenye mataifa yanayoongea lugha ya Kiingereza sasa. Soma jarida
la Torati na Amri ya Tano (Na. 258)
Je, unaweza kumsamehe mtu fulani pasipo kuwasiliana, su mtu aliye sehemu ya
maisha yako kama vile baba muumiza kichwa? Najua kwamba moja wapo ya amri za
Mungu inasema kuhusu kuwaheshimu mama na baba, lakini inakuwaje basi iwapo kama
yeye hatakuheshimu wewe?
Jibu: Tenda mema
kwao wanaokuchukia wewe na wanaokutumilia vibaya. Amri hii haisemi lolote
kuhusu kuwapenda wale wanaokupenda wewe. Wasamehe wale wanaokuja na waombe
msamaha na wanaozisalimisha wenyewe panga zao na wakaja kutubu miguuni mwako.
Ni nini alikifanya Stefano walipokuwa wanampiga mawe hadi kufa? Wamekuwa
wakituua sisi kwa kipindi cha karne kadhaa zaidi ya Milenia mbili. Ikiwa mtu
amekuudhi wewe anangojea hadi anapokuja mbele yako kukuomba msamaha, ndipo
atakuwa na sehemu kwenye Ufufuo wa Kwanza wa Wafu nawe hutaweza kuwepo huko.
Mtu tutakayekuwa na matatizo naye kwene Ufufuo wa Pili wa
wafu wanaweza kuona makosa yao sio Manazi walioendesha kambi za mateso.
Watakuwa rahisi kuwashawishi na kuwarekebisha. Ni wamama waliokuwa na watoto
wao wachanga wameraruliwa mbele zao na wakatumika kwenye utafiti wa kimaabara
za kitabibu, au wakapigwa hadi kufa, au wakawachoma kwa singe mbele ya macho
yao, hii ni changamoto ya kweli tunayokutana nayo kwenye marekebisho au
tunaporudiwa.
Msamaha ni jambo muhimu kwa ukuaji wako wa kiroho na sio
kwa mwingine yoyote bali ni zaidi tu ya kama matokeo ya kile unachokifanya na
kukifikiria. Kama tungekuwa mmoja wa watu wetu kwenye zama za Matengenezo na
kipindi cha kabla ya Wakatoliki wa Roma, na hatimaye cha Walutheri, waliotembea
majumbani mwetu wakati wanaume wakiwa nje ya mashamba na wakiwaua wake zetu
mbele ya milango yetu kwa kuwa waliwapika kwa mafuta ya bata bukini na sio kwa mafuta
ya nguruwe, ndipo sote tungejua nini nini maana ya msamaha. Hatari iliyoko
kwenye jamii zetu hazitokani na dhambi. Bali mara nyingi inatokana na hali ya
kujihesabia haki ambavyo itofautiana kabisa na historia, mara nyingi inaonekana
kuwa ni vibaya. Soma jarida la Msamaha (Na.112).
Inaweza kuwa na ubaya gani kibiblia kumuasili mtoto wa jamii tofauti ya
historia kuliko ile uliyonayo wewe mwenyewe?
Jibu: Musa
aliasiliwa na Mmisri. Yusufu alimuoa binti Potifa. Mrithi wa Ibrahimu hakuwa wa
kutoka kwene damu yake hadi alipopata watoto wake mwenyewe. Mataifa yote wameasiliwa
kama wana wa Mungu.
Sioni katazo lolote la kibiblia kufanya hivyo machoni pa
hii. Lakini ukweli ni kwamba mtoto anaweza kupenda kufuata mtazamo wa wazazi
wake wa asili wakati anapokuwa mzee vya kutosha na kutambulika na watu wake
mwenyewe, ambavyo inaweza kusababisha maumivu ya moyo. Unapasa pia kulitazama
Kanisa ulilopo, kama wanavyofundisha wengine waweza kuwa na kasumba mbaya ya
ubaguzi wa rangi na tabaka kwa walio tabaka geni lingine chini ya kisingizio
cha kujifanya kuwa ni wa Yesu Kristo, ambayo inaweza kusababisha maumivu
baadae. Kama atakuwa ni mwanume wa jamii ya Kimoabu, ndipo kuna uhusiano wa
kimuuanganiko wa Kibiblia. Wanaonekana kuwa walikufilia na Waamori ndiyo pekee
waliosalia kwenye makabila hayo.
Je, Wakristo wanapaswa kutoa heshima yao mbele ya
bendera?
Jibu: Kristo alisema kumpa Kaisari kilicho cha Kaisari na kumpa Mungu kilicho
chake Mungu. Mungu alifanya mataifa na akatuweka sisi ndani yake kama sehemu ya
mpango wake. Kwa hiyo, una kazi mara dufu zaidi. Kazi yako ya kwanza ni kwa
Mungu na ya pili ni kwa binadamu wenzako. Kama majukumu yako kwa wanadamu
wenzako hayakinzani na wajibu wako kwa Mungu, basi hapo hatuzuiliki kutoa heshima
zetu kwenye taratibu zozote za taifa ulilomo. Imeandikwa kwamba mahakimu
wanaotoa hukumu hawaubebi upanga bure. Ia Kristo alisema kwamba maaskari walinzi
yawapasa watosheke na mishahara yao. Haikatazwi kwenye Biblia kushika sheria za
kulitolea heshima taifa la mtu. Kwa kweli, Mungu alitaka iwe hivyo.
Wakati nilipokuwa nakua mama yangu alinieleza kitu
fulani akasema “ni vizuri kusema uwongo mzuri au uwongo mweupe” na kisha
akajitetea. Nikiwa mtoto mdogo niliona kama uwongo ni uwongo tu haijalishi jinsi
ulivyopenda kuuita. Je, dhana hii inaweza kuwa kama ni dhambi za kuchipukiza?
Jibu: Dhana hii inatokana na mtazamo wa uchawi mweupe na mweusi. Uwongo mweupe
ni haunashida kwa kuwa haukusudii kumdhuru mtu, au vinginevyo utatafakariwa.
Kwa msingi huu, kanisa limehesabia haki kuendelea kwake kuishika kweli na
uuzaji wa jumla wa kukengeusha mafundisho. Sasa ni watu wenye kujiuliza na
kutilia mambo maanani huwaambia watoto kuhusu kifo cha mtu fulani kinapotokea. Lakini
wanawaambia “Oo, wako mbinguni sasa.”
Ilikuja kanisani
kama mzaha, lakini sasa ni fundisho lililo kubalika, wakati likiwa ni fundisho
lisilo la kibiblia na ni uzushi kabisa unaotokana na mafundisho potofu ya imani
ya Kinostiki. Imani hii na mafundisho yake yameharibu kabisa imani ya Kikristo
kuhusu Ufufuo wa wafu na bado tungali tukisikia hii ikiitwa kuwa ni “uwongo
mdogo.” Sio tu kwamba imeiathiri imani yote ya Kanisa Katoliki peke yake, bali hata
imani yote ya Kiprotestanti nchini Marekani inasema kana kwamba fundisho hili
lisilo la kimungu na lenye mukufuru kwa kweli. Mifano mingine ni fundisho kuhusu anayeitwa kuwa
ni Santa Claus. Mfano mwingine ni imani ya Utatu. Mifano mingine ni mafundisho na
maadhimisho ya Krismas na Easter. Soma majarida ya: Chimbuko la Krismas nd Easter (Na. 235); Teolojia ya Kwanza ya Uungu (Na.
127); Nafsi Hai (Na. 92); Ufufuo wa Wafu (Na. 143).
Mimi ni aina ya waumini wanaoamini kwamba kutumia kileo, (aina yoyote ya
kileo) hakiruhusiwi kutumiwa kwenye maisha ya Mkristo na kwamba utumiaji wa
kileo unaweza kuwa ni dirisha analoweza kulitumia shetani kukamilisha matendo
yake au kuwatesa watu. Natafuta furushi la maandiko maakatifu yanayounga mkono
kuwa Mungu ameagiza na kupendezwa na msimamo wangu huu.
Jibu: Bilashaka,
hutapenda vile tutakavyokuambia. Watu ambao pia wamefikiria kwa namna hii,
walimshutumu Kristo kuwa ni mlevi na mlafi. Yeye pamoja na mitume walikunywa
mvinyo, na Biblia imeutaja na kuukubali mvinyo kuwa ndio kitu cha kutumiwa
kwenye kitendo cha maadhimisho ya sakramenti za msingi na muhimu kanisani.
Ukumbi uliojulikana kama Temperance Lobby ulisababisha
chanzo cha dirisha la fursa ya kupanga matendo ya kihalifu nchini Marekani.
Mataifa ya Marekani na Ufaransa na nchi za Scandinavia hula kiasi hichohicho
cha mafuta kwa wakati mmoja, lakini bado Wafaransa wanakuwa na 40% ya magonjwa
ya moyo na shinikizo la damu ukiwalinganisha na Wamarekani kwa sababu kubwa
moja tu kwamba hawa wanakunywa mvinyo, na HAKUNA sababu nyingine yoyote ile.
Soma majarida ya Uwiano (Na. 209) na
pia la Mvinyo Kwenye Biblia (Na. 188).
Jarida la Uvijitariani na Biblia (Na.
183) ni jarida ambalo ni la muhimu sana pia katika kulielewa fundisho hili.
Uvutaji wa tumbaku hadharani unakuwa ni chukizo kubwa sana kwa watu siku
hizi. Sioni mahali popote unapokatazwa hasahasa, kwenye Biblia lakini wengi
wanasema haufai kwa kuwa unauharibu mwili kwa kuuletea madhara na kuuumiza.
Vinywaji vikali (vileo) hufanya uharibifu mkubwa sana na kuuchakaza mwili
pengine hata kuliko uvutaji wa tumbaku na lakini bado umeachwa kueleweshwa au
kutajwa kwenye Biblia. Kwa hiyo, ni ipi tofauti yake hapa? Na ia, Mungu mwenyewe
anapendezwa na harufu ya uudi au ubani unapochomwa na moshi wake ukapaa juu
pamoja na maombi ya watakatifu yakipaa kwenda juu mbele zake kama moshi. Anasema kuwa hiyo ni harufu ya kupendeza ya marashi kwake. Tafadhali
nijulishe hili na kunipa msimamo wako. Unasemaje kwa hili?
Jibu: Tunapingana
na mtazamo wako na msimamo wako kuhusu kileo kwamba kinasababisha maafa makubwa
kama yanayosababishwa na uvutaji wa tumbaku. Mvinyo unafaida kwa mwanadamu, kwa
namna zote mbili, yaani kiafya na hususan kwa magonjwa ya moyo na kwa
ushabihiano wa kijamii. Biblia inaunga mkono na kusisitizia kuutumia vizuri.
Uvutaji wa tumbaku unasababisha magonjwa ya moyo na mgando
wa moshi wake unasababisha ugonjwa wa saratani. Ni kiasi gani basi cha kemikali
kinachotumiwa na viwanda vya kusindika tumbaku kinachosababisha kiwango cha kutisha.
Tumefikia kujionea sasa kwa amoja kwamba kulikuwa na biashara ya kupitia
atlantiki kwenye tumbaku na kwenye mihadarati aina ya cocaine wakati wa zma za
utawala wa Mfalme Daudi, na kwamba ilitumiwa na Wamisri yapata kama mwaka 1000 KK
hivi. Kuna ushahidi wa matumizi ya tumbaku kwenye miili ya maiti wengi sasa
waliopimwa kwenye nchi hizi mbili za Uingereza na Ujerumani.
Miili ya maiti wote waliopimwa kwenye jumba la makumbusho
la Ujerumani pia wanaushahidi na dalili kwamba walitumia mihadarati aina ya
cocaine. Vitu hivi yaonekana kuwa vililetwa huko na muungano wa wafanabiashara
wa Kiisraeli/Kifoinike, biashara iliyoanzishwa na Daudi na Hiramu. Inaonekana
kuwa kulikuwa na masalia ya watumiaji miongoni mwa Wamisri wa daraja la juu.
Maiti za Waisraeli wakati ule zilihitajika pia kupimwa ili kuthibitisha kama
alikuwa anatumia mihadarati hii.
Makatazo ya kutumia tumbaku yanatokana na madhara yake
inayosababisha mwene mwili ulio Hekalu la Mungu, na jinsi kunavyosababisha
kiurahisi magonjwa ya shinikizo la damu pamoja na saratani. Imekuwa pia ni tabia
iliyofanya uwepo wa vitu hivyo na, ni kama vile, vinatokana na makundi hayohayo
ya udhalilishaji wa watu, kama ilivyo kwenye vyakula na mvinyo. Sheria ya ulaji
wa vyakula iliwekwa na ilikuwepo kwa nia ya kuwalinda au kuwaepusha watu dhidi
ya magonjwa na, kama vile, tumbaku ilivyo na hali ya kemikali na kulinda kwene
shughuli za kilimo, bali inapasa ichambuliwe na kuwekwa kwenye daraja au kundi
la mihadarati inayolevya na kusababisha uteja na, ambayo kwamba inapaswa
itumiwe kwa uangalifu na kwa tahadhari kubwa. Soma kwenye jarida la Sheria ya Vyakula (Na. 15). Kwa viwango
tulivyonacho sasa vya kuelewa masuala ya kitabibu, ni mtu asiyejijali tu ndiye
anayeweza kushobokea uvutaji wa tumbaku`.
Je, kwani
kutumia pesa kwenye michezo ya bahatinasibu kila mara ni vibaya?
Jibu: Mchezo wa Bahatinasibu ni aina ya ubahatishaji. Makanisa mengi ya Kikristo
yanapinga au kukataza aina zozote za ubahatishi kwa sababu za kibiblia na
kifilosofia. Wazo lililoko numa yah ii ni kwamba watu wananufaika kutokana na mikosi
wa wenzao wengine. Kila mmoja anaomba mwenzake akosee ili ashinde au apate
yeye. Kitendo hiki kwa upande mwingine kinaweza kuonekana kama ni cha
kumuwezesha mtu mmoja atajirike huku wengine wakifurahia kinachoendelea na
wengine wakifilisika. Kwa kweli, uhalisia ni kwamba inaharibu na kupotosha
mawazo yote na malengo aliyojaribu kukabiliana nayo Kristo kwenye injili.
Mchezo huu unatafuta kuwafana wengine wajipatie utajiri wakati ujumbe aliowapa
ni wa kuwatumikia wengine, na kuwapa utajiri wako wengine na kujiwekea akiba ya
utajiri wako mbinguni. Fundisho lake la kudumu hapa ni kwamba yatupasa kujitoa sadaka
kwa ajili ya wengine ili kuzifanya familia zetu na jamii zetu na taifa letu
kuwa ni mahala pazuri kuishi. Hali hii ya “kujipatia” namna ya kuishi nay a kufikiria
uharibifu na uhalifu inatokana na mchakato ule na watu wengi, wanaojitahidi kwa
bidii na kwa moyo safi sana kumfuata Kristo wanaweza kuona hivyo.
Je, ni vizuri kwa Mkristo kufanya kazi ya uhakimu?
Je, tunaweza kuapa au kula kiapo tuwapo mahakamani?
Jibu: Kama hamwezi kuhukumiana ninyi wenewe, mtawezaje kuwahukumu malaika (1Wakorintho
6:3)? Hakuna ubaya wowote kuhudumu kiumahiri kama utafanya kazi yako kwa haki.
Mara tu walipoanza kumhoji Mkristo wa kweli hata hivyo, kutokana na kile
tulichokiona, wanasheria wengi wa utetezi watakutolea udhuru kwa namna moja au
nyingine.
Jamii yetu
inapasa iendelee kufana kazi na mfumo wetu wa kimahakama unahakika ya kuwa na
uadilifu. Mara tu tunapokuwa kwenye mfumo uliowekwa na dunia, chini ya mfumo wa
Kimahakama wa Umoja wa Mataifa uliotuama kwenye Sheria za mataifa ya Ulaya na
za Kimataifa, ndipo sote tutaona umuhimu na thamani ya mfumo wa kale wa Kianglo-Saxon-Useltiki
wa Kidanish wa Sheria Zilizozoeleka, na pia wa kwetu wa Habeus Corpus. Hata
hivyo, tutakuwa kwenye utumwa, tukiuzwa huko kwa ujinga wetu wenyewe na kwa
kutokuwa na umakini na juhudi kwetu kwenye maamuzi yetu ya kuchagua viongozi.
Soma jarida la Kuapishwa Na Mungu (Na.
32).
Jinsi
ninavyoelewa ni kwamba neno “sodoma” kama lilivyo kwenye Biblia ni kwamba
linamaanisha kitendo cha ufiraji. Maana iliyo kwene kamusi ijulikanayo kama Webster’s
dictionary inajumuisha matendo yoyote ya kingono yanayofanyika kwa
kuwashirikisha watu wa jinsia nyingine. Ni ipi maana hasa ya kibiblia kwa neno
hili la sodoma? Je, ngono za kawaida hizi nazo ni dhambi kuzitenda?
Jibu: Kamusi ijulikanayo kama Oxford Universal Dictionary inalitafsiri
neno Sodoma kuwa ni kama tendo la ngono lisilo la asilia na kawaida ya
kimaumbile hasahasa linatendwa kati ya wanaume kwa wanaume. Na kutokana na hapo
ndipo kamusi hiyo ya Webster’s imeendelea kujumuisha hadi ngono nyiginezo za
jinsia moja kuwa ni kitendo kisicho cha kawaida kiasilia. Kanisa Katoliki la Roma
na makanisa mengine ya Kiprotestanti wameenda mbele zaidi kujumuisha tendo hili
hadi kwenye kitendo cha upigaji punyeto na kuutafsiri Umwagaji nje shahawa kuwa
ni upigaji wa punyeto pia. Tumekumbwa na jinamizi la uvulana la kulala kwenye
gulovus za maboksi ili tusalie wasafi. Hii ilifanyika ili kuiepa dhambi halisi
ya Umwagaji nje shahawa, ambao ulikuwa unafanywa na kanisa lenyewe. Jambo hili
limeainishwa kwa kina kwenye jarida la Dhambi
ya Onani (Na. 162).
Sodoma maana yake
hasa ni kitendo cha kumfira mwanaume. Mtu anayefanya tendo hili anaitwa kuwa ni
Mfiraji au Msodoma. Mtu anayeshirii kitendo hiki cha kumfira mwanamke anaitwa
Mkatami. Hivyo, chimbuko la maneno haya yanatokana na maneno “kat” na “sod.”
Ushiriki wa ngono kwa watu wa jinsia moja kumetakazwa kwenye Biblia.
Neno sahihi la
kukiita kitendo cha kufiraji mwamke ni "fellatio." Mwanaume mfiraji
anaitwa basha au "fellator" na mwanamke mfirwaji anaitwa msenge au "fellatrix."
Kitendo chenyewe kinaitwa ufiranaji au "fellatory" au "kitendo
cha kufirana." Kinaitwa "fellation."
Biblia haisemi
chochote kuhusu kitendo hiki cha kumfira mwanamke, yaani kinapofanyika kati ya
wanandoa mume na mke wake. Dhana iliyopo ni kwamba wao ni mwili mmoja. Kufanya
ngono kwenye majumba ya ibada za kipagani na mbele ya sanamu zao, kulikemewa
sana na kufanywa na Waisrael. Zinaa na ukahaba vilikatazwa sana pia. Kwa hiyo,
uzinzi ni kitendo cha kujamiiana kati ya mwanamke na mwanaume ambao wote
hawajaolewa wala hawajaoana. Watenda ngono wa jinsia moja hawaitwi wazinifu
bali wafiranaji na wafirwaji au wasaganaji na hivyo matendo yao yamekatwa pia
kwenye sheria za Biblia. Kuna hukumu wanayokabiliwa watendao matendo haya yote,
lakini hakuna kinachoelezwa kufanyika kutokana na wanaotenda tendo la ufiranaji
kwene ndoa kati ya mke na mumewe au upigaji wa punyeto. Soma kwenye jarida la Torati na Amri ya Saba (Na. 260).
Ilipasa isemwe
kwamba kazi muhimu na ya kwanza ya ngono ni uzaaji wa watoto, bali ia ni kwa
ajili ya starehe za pande zote, wote wawili. Inapofanywa pasipo utaratibu na
kwa ajili ya starehe tu inachukuliwa kama ni uzinifu au ukahaba au uasherati wa
wote wawili, yaani mwanaume na mwanamke. Yuda alimchukua mwanamke kahaba
akamlipa mashahara na kwa njia hiyo ndipo Tamari anamlaghai ili amzalie mtoto
chini ya sheria za Kilevirate wakati alipowashikilia wanae. Soma pia kwenye
jarida la Uzao wa Masihi (Na. 119).
Je, ni vibaya kujipatia afya njema kwa kupitia uwezekano wa madawa ya
kitabibu, kama vile mboga na mimea tiba? Je, ni vibaya pia kukubali kutiwa damu
au msaada wa viungo vya mtu mwingine?
Jibu: Suala hili
la “Tiba Mbadala” ni gumu sana habari zake. Jibu lake yapasa liwe ni, “Hakuna
ubaya” ila upatikanaji wake yapasa ujumuishwe na mtazamo wa kwamba ni uwezekano
mbadala tu na hauhusu kukata kiu cha maswali yote. Hakuna ubaya wowote kabisa
kutafuta msaada wa kitabibu kutoka kwa watu wenye ujuzi na sifa ya kitabibu.
Kuna utata mwingi sana kwenye huduma hizi za tiba mbadala kuliko sehemu
nyingine yoyote, hasahasa ni kwa sababu hazija ruhusiwa au kukaguliwa vizuri na
zinawa na uhuru wa kuingia.
Watu wengine waliowahi kupewa ushauri na wahudumu wa tiba
hizi mbadala wamewahi kupata mafanikio makubwa ya wagunduzi wa madawa ya
kutuliza maumivu na hata kupona kabisa na mapungufu yaliyosababishwa na utabibu
wao. Watu watakubaliana kwa hamasa kubwa ushauri kutoka kwa watu wasiowajua, na
kuukataliwa na watu wa kwenye familia zao wenyewe na wahudumu au wagunduzi wa
madawa wanaowajua.
Dini potofu nay a uwongo ya uponyaji ikiwemo ya Escalapius
ilikuwa ni ya kuabudu mungu wa kigeni, na makuhani wake pia walitengeneza aina
ya mazingira ya kisaikolojia. Kwa hiyo tofauti ilikuwa ni kwamba wewe unatafuta
msaada kutoka kwa watu wasiopenda wewe uiabudu miungu migeni kwenye tendo la
uponyaji.
Tiba Mbadala zina mambo yanayoshabihiana na vuguvugu la
kipagani la Zama Mpya ndani yake kuliko tunavyotegemea kuona ilivyo kwenye madawa
ya kisasa. Luka alikuwa tabibu. Hivyo basi moja ya injili zilizopo na kitabu
cha Matendo ya Mitume viliandikwa na mtu wa tathinia ya utabibu.
Kanisa lilikuwa na watafiti wengi wa madawa na matabibu
kwa muda mrefu na lingali bado linafanya hivyo na linao. Yakobo alipakwa dawa
ili asioze na wataalamu Watabibu wa Kimisri. Ayubu anawaelezea watu awa pia kwa
mtazamo chana, kama wanavyofanya wengine pia.
Watu wamekuwa wanajulikana kuwa wamekufa kwa kupitia
mafundisho yanayowakataza watu wasitafute msaada wa kitabibu au kwa sababu ya
mafundisho ya kanisa. Wale wote wanaotokana kwenye uelewa mdogo wa kiafidhina wa
historia na mafundisho ya Biblia kuhusu uponyaji. Jibu ni kuchagua mshauri wako
wa masuala ya kitabibu kwa uangalifu, pata ushauri, na usikubaliane na mabadiliko
hasi ya lishe, au kufuata utapeli na ulaghai. Aina ya hatari sana ya utapeli katika
karne ya ishirini ni fundisho la uvijiteriani, ambalo linawaumiza watu wengi (Soma
majarida ya Uwiano (Na. 209), Uvijiteriani
na Biblia (No. 183) na pia la Sheria
ya Vyakula (Na. 15).
Kama ulikata kutandika wavu au neti ya mbu, ni vibaya kutumia taarifa ulizozipata
kwa kuwa ulizipata kwa kutendakwako dhambi (kwa kuwanenea vibaya kinyume na
mapenzi ya wazazi wako)?
Jibu: Swali hili
ni dogo na tata huenda kama inayooonekana. Mtandao wa Internet ni chombo
kilichopo cha kimasomo unachopaswa kukitumia, kisha ndipo ujihesabie haki na
kujijengea uhalali.
Iwapo kama ulikuwa huwaheshimu wazazi wako, ndipo utakuwa
umeivunja amri ya tano na wakati wote kuna adhabu inayofuatia. Some kwenye
jarida la Torati na Amri ya Tano (Na.
258) ili kuona kila kinachotokea kwenye wajibu wa wazazi. Hakuna taarifa
zilizowahi kupotea. Inatumika inapokuwa ni lazima au kusahauliwa hadi hitaji
linapojitokeza. Nidhamu inategemewa na wazazi wako.
Nimekuwa Mkristo tangu nikiwa kijana mdogo sana bali ghafla ilinishangaza
mimi jinsi ilivyo ya kipuuzi au ya kuchekesha dhana hii ya Mungu. Nililelewa na
kukua nikijua kwamba kulikuwa na Mungu nje yangu anayenisaidia na anayenilinda
na sasa siwezi ivyo tena. Siioni tena furaha niliyoiona wakati nilipoamini.
Najisikia uchungu na ghadhabiko ndani yangu na naichukia hali hii. Nimejaribu
kulitafuta jawabu kwa kujisomea vitabu, na kwa kuuliza mwaswali, bali sitapata
ahueni yoyote bado. Nimegundua kuwa pasipo imani hii, maisha yangu hayatakuwa
na maana yoyote. Kwa kweli napenda kuamini lakini akili yangu hainiruhusu mimi
kufanya hivyo. Je, unaweza kunipa maelekezo?
Jibu: Watu wengi
wanaelekea kwenda mchakato zaidi sawa na wewe. Wakati mtu anapoanza kuisoma Biblia,
anaweza uona kuwa kuna mgongano au mkanganyiko na imani ya dini aliyonayo
kutokana na jinsi inavyosema Biblia. Kwa mfano, ukweli rahisi tu kuhusu Sabato na
ushikaji wa Amri ya Nne. Wakati unapouliza “Ni siku ipi hasa ya Sabato?” Dini
kongwe za Kikristo zaweza kusema kuwa ni siku ya Jumapili. Kama utauliza, wanaweza
kukuambia “Ilikuwa ni siku ya Jumamosi lakini tuliibadilisha.” Ni upuuzi mkubwa
sana kwamba wanasema kuwa Mungu alitupa Amri Kumi lakini tunaweza kuzibadilisha
Sabato na kuiweka siku nyingine ya Jumapili, na kumuua mtu yeyote anayeishika
kikamilifu siku aliyoiagiza Mungu.
Ni nini anachokifanya Mungu? Jibu ni kwamba Mungu hauhukumu
ulimwengu hivi sasa. Dunia ipo chini na Shetani. Mungu anashughulika na watu
wachache tu kwa hivi sasa, na wanatolewa nje ya safari au harakati na
kuchukuliwa na mapepo wakati anaporudi tena Masihi. Makasisi wa duniani hapa ni
sehemu ya imani potofu na yakizushi ya kidini na wanaendeleza kwa makusudi
kabisa uwongo kwa kiasi fulani, na pasipo ukweli wowote kwa mengine.
Soma kwenye Biblia na kama kuna Mungu aanayelazimika
kujidhihirisha mwenyee na kuwahukumu wanadamu kwa sheria za haki na kwa
utaratibu ambayo haimpendelei yeyote. Kwa hiyo haijalishi Biblia inasema nini
ni neno la Mungu na hawa watu wengine hawajaitwa bado.
Iwapo kama Kristo ni Masihi wa kweli wa kwenye Biblia
ndipo kiasi fulani kutapasa kuwa na kundi linaloelewa. Ndipo unapolazimika kuwa
na wazee na watumishi wa Mungu na ubatizwe. Muombe Mungu akupe uelewa naye
atakupatia kama utakuwa mtiifu kwa kile anachokupa ukielewe. Utii endelevu
unapelekea kuwa na ujuzi au uelewa endelevu.
Sasa tunaweza kushughulika na jambo hili kwa umakini na
mashiko zaidi. Kuna jarida linalochanganua suala hili la uumbaji kwa kiwango
cha juu zaidi. Inahusu na usababisho wa Kiumoja na pia Uumbaji kama harakati ya
maelekezo ya wakati na kutowezekana kwa uumbaji wote (soma jarida la Uumbaji (Na. B5). Pia unachohitaji kukifanya ni kuisoma Sheria ya Pili ya Mwendojoto
na pia ile ya Kijoto. Unaweza kusaidika kwa kupitia tatizo hili na kusaidiwa
kwenye masomo yako kama unapenda kikweli kweli kujifunza ukweli.
Hivi punde tumesikia taarifa kuhusu mabadiliko ya tabia nchi ulimwenguni na
jinsi tunavyoweza kuyatarajia kuathiri hali yetu ya hewa na maisha yetu. Je,
Biblia inasema lolote kuhusu tukio hili la mabadiliko ya tabia nchi ulimwenguni?
Kama ni hivyo, kitu hiki ni nini?
Jibu: Ndiyo,
angalau tunaanza kuona mwanzo wa kilele cha barafu zikiyeyuka, na sasa
zinajulikana kwamba ni haraka sana. Soma jarida la: Mabadiliko ya Tabia Nchi na Unabii wa Biblia (Na. 218), lililoandikwa
mwaka 1997. Watu, hapo mwanzoni, walidhani ilikuwa ni kengele ndogo ya
kuashiria kitu. Liko hivyo hivyo tangu liliporekebishwa kiuandishi hadi sasa,
iwapo kama kuna kitu chochote, limebakia hivyohivyo bila kubadilika. Mambo
yahusuyo unabii wa Biblia yameandikwa kwene jarida hili.
Je, vi vizuri kuwasha moto kuni na kupika siku ya Sabato?
Jibu: Haya ni
madini ya zamani kutengeneza sufuria. Andiko linautaja moto uwashwao kwa malengo
ya kikazi na sio kwa ajili ya kupika. Kuna amri maalumu inayoagiza kuwasha moto
na kupika siku ya Sabato. Kwa hiyo, ufafanuzi na tafsiri inapasa ituame kotekote.
Ufafanuzi kuhusu maandiko haya umeainishwa kwenye jarida la Ijuma'a: Maandalio ya Sabato (Na. 285).
Bilia inasemaje kuhusu kasumba ya mwanamke kubadilisha jina lake la mwisho
na kulichukua la mume wake anapoolewa? Analazimika kufanya hivyo au ni kasumba
na utamaduni tu?
Jibu: Hili ni
swali zuri sana. Linafanya taswira ya sherehe za arusi. Mwanume na mwanamke
wanafanyika kuwa mwili mmoja kwenye ndoa. Hivyo basi, mwanamke anakwenda kwenye
kabila la mume wake kwa mujibu wa kanuni na sheria za biblia. Hii inalinda utendaji
kazi na urithi wa kabila.
Sheria za Kilevirate pia zinaonesha jambo hili. Shughuli za arusi na ndoa na ya Kilevirate imeandikwa na
kuainishwa kwenye majarida ya Torati na
Amri ya Tano (Na. 258); Torati na Amri ya Saba (Na. 260); Uzao wa Masihi (Na.
119); na jarida la Ruthu (Na. 27).
Hakuna uhalali wa kisheria kwenye nchi nyingi wa kubadilisha jina la mwanamke,
ila Biblia iko wazi kwamba yeye na mume wake wanafanyika kuwa mwili mmoja na
anakwenda kwenye kabila la mume wake.
Wakati mwingine ninakuwa sijui la kufanya au jinsi ya kuwasaidia watu wengi
wanaonioba chakula au kazi. Biblia inasemaje kuhusu nifanye nini katika
mazingira haya?
Jibu: Tunakabiliwa
na tatizo hali kila mara. Tumedhibiti raslimali, vipaumbele vya muhimu na
uwezekano usio na mwisho na mahitaji. Jibu ni kwamba tunafanya kile
tunachokiweza kwa raslimali zilizopo kwetu. Tunakitoa kile tulichonacho, kama
Biblia na neno la Mungu lisemavyo “kuinunua kweli lakini tusiiuze.”
Ikiwa kuna watu miongoni mwetu ni wahitaji, tunajaribu
kuwasaidia, kama tuwezavyo. Wakati mwingine, ili kuwasaidia wengine, yakupasa
kujipima kama upo kwene nafasi au hali inayoruhusu kufanya hivyo. Hii inamaana
kuwa ni kuhakikisha kuwa una afya nzuri na kwamba umewajibia vyema kwenye
majukumu yako, na ndipo sasa unaweza kuwasaidia wengine iwezekanavyo. Maskini
wataendelea kuwepo kati yetu. Fanya vile uwezavyo kwa uwezo wako wote kwa mwili
wako kama unavyojaliwa kama vile kuihubiri Sheria au Torati ya Mungu kwa usahihi
iwezekanavyo kama Biblia inavyokuambia ifanyike. Sehemu nyingine iliyobakia mwachie
Mungu. Mkabidhi yeye mambo yako yote, naye atamwambia Kristo ashughulikie kila hitaji
lako. Kumbuka pia kuwa maombi ya mwenye haki yana nguvu sana.
Waweza kuniambia kwamba kama Biblia inaruhusu uhamishaji wa damu na kumtia
mwingine. Biblia inakataza ulaji wa damu. Je, utoaji huu wa damu na kumtia
mwingine ni kitu kimoja hichohicho kama ulaji? Hata hivyo, je, iwapo kama
tukichomwa sindano za kileo au mihadarati kwenye miilini mwetu tunaweza kuwa
walevi au waovu.
Jibu: Biblia inasema
kuwa tusiile damu, kwa kuwa kwenye damu kuna uhai ndani yake. Tunafana utiaji
wa damu kwa mhitaji pale uhai wetu unapokuwa atarini. Kwa kufanya hivyo,
hatuili damu. Hoja na malumbano kuhusu utiaji wa damu kwa mhitaji kumetiliwa
chumvi sana kama fundisho la mashahidi kurudi kwa Masihi. Mtu asitarajie
kuelewa mashiko yake kwa kuwa haipo. Limeandaliwa ili kuhalalisha makosa ya
kiimani mwanzoni mwa karne hii.
Ni sawa na misingi wa kipuuzi kwa Kashrut kwenye imani ya
Kiyahudi. Maziwa yatachemka tumboni pamoja na nyama na inawezekana kuwa
tutatenda dhambi kama tutanunua kuyapata maziwa ya ng’ombe wakati huku tukiwa
tunakula nyama ya ndama wake, ingawaje andiko linasema inamaanisha ndama na
maziwa ya mbuzi. Usijaribu kutafakari sana nje iliyotata na isiyo na mashiko ya
malumbano ya hoja.
Maambukizi ya UKIMWI hayakusaidia kujiuliza kwa ujinga.
Wala, hakuna shaka, kwa ng’ombe kuwa na maradhi ya wazimu. Hata hivyo, haina
misingi kwa kweli au sababu. Adhabu pekee aliyopewa mtu aliyedhulumu ni kwa
vijana waliofungwa kwaa kutokuwa na heshima na asiyeweza kuisoma biblia
kuwasomea wazazi wake.
Kuwa mtiifu kuna maana gani? Je ni kwa kuzishika amri au kile
alichofundisha Yesu?
Jibu: Yote
mawili. Samweli alisema kuwa Mungu anataka utii zaidi kuliko dhabihu. Kwenye
Ufunuo kunasema kwamba uzao wa mwanamke watakaopigwa vita na Joka ni wale
wazishikao Amri za Mungu na Ushuhuda au Imani ya Yesu Kristo. Apa ndipo penye
subira ya Watakatifu (Ufunuo 12:17; 14:12). Soma kwenye majarida ya Totari ya Mungu (Na. L1) na mkururo
wa majarida ya somo hili na pia jarida la Uhusiano
Kati ya Wokovu na Neema na Torati (Na. 82).
Desturi za Kipagani
Niliambiwa kwamba Krismas ilianza kutokana na sikukuu za kipagani. Je,
Krismas ilianzaje na iliwezaje kuwa ni sikukuu ya Wakristo na huku ikiwa
imetokana na upagani?
Jibu: Ni sikukuu
ya kale ya kipagani iliyohusiana na imani au dini za waabudu jua. Ilinuia
kuadhimisha kuzaliwa kwa mungu jua asiyedhahiri baada ya majira ya baridi ya
pande za kaskazini mwa dunia wakati jua linapoanza kuchomoza na kuwaka kwa
nguvu kutoka kwenye lindi la majira ya baridi kali. Inamjumuiko na miungu Lupercalia
na Saturnalia walioabudiwa kwa mapokeo au desturi za wapagani wa zamani za kale.
Ilikuwa inajulikana kuwa ni ya kipagani kabisa hadi mwaka
375 BK wakati ilipoingizwa kwenye imani ya Kikristo huko Syria ya Anthiokia, na
kisha huko Yerusalemu mwaka 386. Kimsingi, Krismas ilikuwa ni kilele cha
mafundisho ya kizushi yaliyopelekea kujipenyeza kwa imani na dini za kuabudu
Jua kwenye Ukristo. Ilikuwa ni chanzo cha kukubalika kwa ibada za Jumapili huko
Roma katia karne ya 2. Sambamba na hiyo ndipo sikukuu nyingine ya kipagani ya Easter
iliingizwa Kanisani huko huko Roma kutoka Anicetus yapata kama mwaka 150 na kisha
ikashurutishwa kuingizwa kwa shinikizo kutoka Roma kwa amri ya mfalme Victor mwaka
190-192.
Chimbuko la sikukuu hizi za Krismas na Easter limeainishwa
kwa kina kwenye jarida la Chimbuko la
Krismas na Easter (Na. 235). Soma pia kwenye majarida ya Hoja na
Malumbano ya Wakwartodesiman (Na. 277) na Fundisho la Dhambi ya Asili Sehemu ya I Bustani ya Edeni (Na. 246).
Kama huamini kwamba Kristo alizaliwa siku ya Desemba 25, basi ni lini wewe
unasherehekea kuzaliwa kwake?
Jibu: Sisi hatusherehekei
kuzaliwa kwake. Sherehe za kuzaliwa zinatokana na imani na dini za Kibabeloni
zinazofungamana na imani za waabudu jua na dhana iliyokuwepo ya mwanadamu
kufanyika kuwa mungu mdogo pasipo kuwa na uweza wa Mungu Mwenyezi. Soma jarida
la Maadhimisho ya Kuzaliwa (Na.
287). Inaonekana kuwa Kristo
alizaliwa karibu na wakati wa Sikukuu ya Vibanda. Kwa kweli hakuzaliwa mwezi
huo wa Desemba. Biblia imenyamaza kwa makusudi kuelezea wakati wa kuzaliwa
kwake.
Biblia inasema siku ya kufa kwake mtu ni bora kuliko siku
ya kuzaliwa kwake. Mungu ametupa mkururu wa sikukuu zinazojiri na taswira ya
Mpango wake wa Wokovu na mchakato wa harakati za Mungu na wanadamu. Haya yote yameainishwa
kwenye majarida ya Kalenda ya Mungu (Na.
156); na Siku Takatifu za Mungu (Na.
97). Pia kuna majarida mengine mengi yanayoelezea umuhimu wa sikukuu hizi.
Unasema kwamba mungu Attis alihusika kwenye maadhimisho ya Krismas. Nilidhani
kwamba Mithris ndiye alijumuishwa. Je, kitendo cha kuiabudu miungu hii kinakishana
kwa namna yoyote?
Jibu: Ndiyo, wanapishana
kwa kuwa wote wawili ni vitu vinavyotokana na Dini potofu za Sirifumbo na za
imani za waabudu jua. Miungu hiyo yote imetokea pande za Mashariki ya Kati.
Mithras alikuwa ni sanamu ya Dume la Ng’ombe lililochinjwa na alitumika sana kwene
mambo yahusuyo dunia au elimu ya kosmolojia kwenye miaka ya 2000 KK. Ni sanamu
adimu na iliyoabudiwa kiuficho yenye umbo la kiume. Umbo la wazi la hadharani
la mungu huyu lilionekana kama Sol Invictus Elagabal, au Uelagabalismu. Kitendo
cha kushiriki mkate na maji kiliingia kwene imani ya Kikristo kutokana na
mapokeo ya ibada za huyu mungu Mithras.
Imani au dini ya Mithras ilienekezwa kwa Solstice, na ndipo
tulipoipata Krismas kutokana Mithras na kuzaliwa kwa jua Lililokuwa halionekanu
kwa kitambo kulikuwa ni sehemu ya sherehe hii. Maendeleo kwa kupitia
Saturnalia, Lupercalia, Shrove, na Shamrashamra au Matamasha vilifanywa pia
vikijumuishwa na Bacchanalia. Imani ya Easter ilijumuishwa na mungu Attis kwa
upande wa Magharibi na Adonis upande wa Mashariki.
Attis ni mungu mfu aliyekuwa na mti uliokatwa msituni na
ukapambwa kwa fedha na dhahabu kwa nembo za mauti na kuzaliwa tena. Hizi sita
ziliashiria nyota za dhabihu ambazo pia zilihusika na Baal-Easter na inaonekana
kwenye ibada ya Atargatis. Soma majarida ya Daudi na Goliathi (Na. 126) na pia la Piñata (Na. 276).
Mtoto anayeonekana kwenye pango na kupiga gwaride au
maandamano ya Kristo mtoto na alama au nembo ya jua vimetokana na imani ya
Kimisri na ni alama nyingine mojawapo iliyokuwa inatumika kumhusisha mungu mfu
iliyokutikana kwenye dini za sirifumbo za Isis, na Osiris, na Horus. Pia ni ashirio la kuzaliwa au kuonekana tena kwa jua.
Soma kwenye jarida la Chimbuko la Krismas
na Easter (Na. 235) itakupa historia ya mapokeo au desturi nyingi na vyanzo
vyake.
Je, unajua kwamba kuna wanaomaanisha Krismas kuwa ni X-Mas? Je, wanajaribu
kumweka nje Kristo na maana ya siku hii?
Jibu: Kristo hajawahi
kuwepo wala kuhusika kwenye siu hii. Krismas ni sikukuu ya kipagani kabisa kwa
asilimia zote na ambayo iliingizwa kwenye Ukristo tangu mkutano mkuu wa Antiokia
wa mwaka 375 BK na ilikubaliwa na Kanisa la Yerusalemu na la Roma baadae.
Sikukuu yenewe kila mara ilikuwa ikiadhishwa au kusherehekea huko Roma kabla ya
wakati huu na ilikuwa inamhusu au ilikuwa ya mungu Attis.
Herufi hii X inaweza kuwa inahusishwa na herufi ya
Kiyunani Chi. Hata hivyo, kuhusishwa kwa upagani kwenye Krismas kulijulikana
sana wakati wote na watu wetu kwamba Krismas ilipingwa sana na iliharimishwa au
kupigwa marufuku na Henry VIII wakati wa Matengenezo. Ilinenwa tena na binti wake
Mkatoliki aliyeitwa Mary Tudor. Elizabeth hakuikataza au kuipiga marufuku au
kuharamisha tena alipoingia madarakani. Jumukumu hilo aliachiwa Cromwell aliyeielezea
Krismas kuwa ni sikukuu ya kipagani lakini alipofarii ndipo Stuarts aliruhusu
kuwa ianze tena kuadhimishwa rasmi.
Kwa hiyo, matumizi ya herufi X kwenye Xmas huenda ni
kitendo cha kukubaliana kuwa hakukuwa kamwe na uhusia wa Kristo kwenye Krismas.
Soma jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235)
Rangni za kijani na nyekundu zimetokana na nini kwene rangi za Krismas?
Jibu: Nyeupe na
Kijani ni rangi za zamani za dini potofu za kipagani. Ni za kokwa na za majani
tunazoziona kwenhye mapambo ya Krismas. Upandaji wa magogo ya Mholi, Muivi, Mlimbo,
Myule na kadhalika yote yanahusiana na mambo mengi mbalimbali yamhusuyo mungu
wa Utatu.
Muivi ulikuwa ni mti mtakatifu kwa Attis na makuhani wake
walichorwa michoro ya tatuu pamoja na chale (soma jarida la Kujichora Tatuu (Na. 5). Msunobari ulikuwa
ni mti wake mtakatifu. Ulikusanywa na kupambwa kwa riboni na vito vya chumba na
mapambo yake ya juu yanaashiria au kuwakilisha rutuba ya dini au imani
iliyoshikiliwa kwa kwa mwaka na kuchomwa kwa ajili ya mwaka unaofuatia. Soma
jarida la Chimbuko la Krismas na Easter
(Na. 235).
Je, unajua chochote kuhusu Mti wa Ulimbo na jinsi ilivyokuja kuunganishwa
kwenye maadhimisho au sikukuu za Kikristo?
Jibu: Mistletoe ilikuwa
takatifu kwa wa Druids na wa Aryans kwa ujumla. Mti wa Ulimbo ilikutwa kwenye mwaloni
na kwa kweli hasahasa ilikuwa inaheshimiwa. Wazo au dhana linatokana na ukweli
kwamba Mti wa Ulimbo iliyoenea na kuja na kuingia kwenye mti kutoka mbinguni na
haikugusa kabisa ardhini.
Mara zote ilikatwa na mundu maalumu wa dhahabu. Imeshirikishwa
au kufungamanishwa na sadaka ya mwanadamu kama ilivyokuwa kwenye imani yote ya
Kikristo. Ufafanuzi umetolewa kwenye jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235).
Je, ni Baba Krismas kweli yule?
Jibu: Hapana, Baba
Krisma au Father Xmas si mtu wa kweli. Imetuama kwenye mkururu wa hadithi za
kipagani na biashara ya nchini Marekani ya zaidi ya miaka 150 ya mwisho.
Chimbuko la hadithi ya Krismas na kweli halisi nyuma ya desturi au mapokeo
yaliyokuwa yanaadhimishwa kwa siku ile yanayotokea kwenye dini au imani za
kipagani mapema kabla ya Kristo, na ambayo yamefungamanishwa na siku za
kishenzi za sadaka. Hadithi ya kweli imeelezewa kwenye jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235).
Nimekuwa nikitafiti kuhusu habari au taarifa kuhusu Nyota ya Bethlehemu iliyowapelekea
Mamajusi kwenye mahali alipozaliwa Yesu na rejea yoyote kwenye tukio la
kuzaliwa kwenye unabii wa Agano Jipya. Ni dhahiri sana kwamba hii ilikuwa kimondo,
ijulikanayo kama tukio la kinajimu, hivi tunajua kama inaweza kutokea tena?
Jibu: Andiko
linasema kwamba waliiona nyota upande wa mashariki. Walitokea upande wa
Kaskazini Magharibi, kwa ukaribu kama tunavyoweza kusema, huenda kutoka kwa Waisraeli,
nk, kwenye dola wa wa Parthian. Kujitokeza kwake kunapasa kuchukuliwa kama ni
kitendo cha kimiujiza na hiyo inalifanya jambo kuwa zaidi ya mambo ya
kufikirika tu. Unabii ulio kwenye Hesabu 24:17-19 ni kwamba nyota itatokea kwa
Yakobo. Hii ni rejea ya
moja kwa moja iliyokuwa inamhusu Masihi. Yeye ndiye fimbo ya ufalme ambayo itainuka
kutoka Israeli. Hii inahusika na Nyota ya Alfajiri ya kwenye hii sayari yetu.
Kristo atachukua nafasi ya Shetani, ambaye kwa hivi sasa ndiye Nyota ya
Asubuhi, atakaporudi.
Suala hili limeainishwa kwa kina kwene jarida la Lusifa: Mbeba Nuru na Nota ya Asubuhi (Na.
223). Mapokeo au desturi ni kwamba kulikuwa na mamajusi watatu, lakini hii
haina misingi kwenye Biblia. Rejea kuhusu hawa watatu ni ya aina tu ya zawadi
walizoleta. Chanzo cha idadi watatu ya Mamajusi inatokana na dini potofu ya Demeteri
(soma jarida la Chimbuko la Krismas na
Easter (Na. 235).
Wakati wa kuzaliwa kwake unadhaniwa kuwa huenda ni
katikati ya miezi ya Septemba/Octoba kwenye kipindi cha kuanzia mwaka 8 hadi 5 KK.
Inaweza kuwa ni mapema sana na hata kuwa ni mapema kabla ya mwaka 12 KK, lakini
huenda ilikuwa ni mwaka wa 5 KK. Haikuwa kwa kweli sio baadae, kama alivyokufa
Herode kati ya siku 1-13 Nisani, mwaka 4 KK. Haikuwa ni wakati wa Krismas kwa
kuwa kondoo hawakuwa kwenye mashamba wakati huo wa mwezi Desemba.
Nyakati za kuanzia mgawanyiko wa Abiya alipokuwa kwenye huduma
Hekaluni kwenye umoja au vikao vya ukaaji kwenye maono ya Zekaria inaonyesha kuwa
Septemba unaweza kuwa uenda ni wakati wa tukio hili. Kwa hiyo ilikupasa ufanye
mchoro wa jedwali la vuguvugu la sayari zote na nyota kwa miezi ya
Septemba/Oktoba tangu mwaka wa 12-5 KK kuona kama kuna ushahidi mzito wa hii
kuhusiana na hayakimondo. Ni kama ilivyosemwa hapo mapema, mawazo yote
yameondolewa kama itakuwa inachukuliwa kuwa ni ya kimiujiza.
Je, sio kweli kwamba msalaba ni nebo ya zamani za kale zaidi, na kwamba
kanisa la kwanza kamwe haikuutumi huu kuwa ni alama ya imani yao? Hata Drury (kwenye
Kamusi ya Imani za Siri na Okaliti) anauelezea msalaba kuwa ni: “Ni nembo ya
zamani mno za kale za kabla ya Kristo iliyotfsiriwa na wataalamu wa okaliti
kama ni muunganiko wa uume wa mwanaume (mstari wa mima) na uke wa mwanadamu
(mstari wa ulalo). Na pia ni alama ya pande nne na ni silaha yenye nguvu dhidi ya
uovu.” Kwa hiyo, ilikuwaje basi hata msalaba ukafanywa kuwa ni nembo au alama
ya Wakristo?
Jibu: Ndiyo,
hivyo ndivyo inavyosema. Msalaba ulitumika kwenye nyakati za zamani, kipindi
kirefu kabla ya Ukristo na inawakilisha uwepo wa nguvu. Kwenye Roma ya zamani,
ilikuwa ni mwaloni uliosimama wima ndiyo iliyomwakilisha mwanaume Genii wa Roma.
Nembo ya kinazi au kishabiki ya swastika nit oleo la nembo hii. Msalaba
ulitumika huko Misri kwenye milenia ya tatu KK, sambamba na inzi, akiwa kama
alama au nembo ya imani ya Utatu na Beeli Zebubu, mungu wa Ekroni, alikuwa ni “Bwana
wa Mainzi.”
Kanisa la kale la Kikristo kamwe halikuutumia msalaba,
ulitokana na upotofu. Kwa kweli, hoja na malumbano ni kwamba Kristo alisulibiwa
kwenye mti wa wima, na sio msalabani. Dhana ya msalaba inatokana na matumizi ya
Kilatini ya neno “crux” katika kulitafsiri neno la Kiyunani la “stauros.” Baadaye,
mtindo wa usulibishaji wa Warumi uliainishwa kwa nyongeza zaidi kwa kuongeza
mti uliokinzana ili kufanya msalaba. Huu ulitumika wakati fulani kwa kunyongea
wafungwa.
Habari za chanzo na kuendelezwa kwa matumizi na dhana ya
msalaba inakutikana kwenye jarida la Msalaba:
Chanzo Chake na Maana Yake (Na. 39). Makuhani wa mungu mfu, Attis kila
wakati walijitengeneza sanamu zao za msonubari, na hii ndiyo sababu mabaki ya
msalaba wakati wote ni ya mti wa msonubari kwa kuwa ulikuwa ni mtakatifu kwa
Attis. Huu ndio pia mwanzo au chanzo cha matumizi ya mti wa Krismas. Soma kwenye jarida la Chimbuko
la Krismas na Easter (Na. 235).
Napenda kuijia historia ya msalaba. Rafiki yangu aliniambia kuwa Msalaba wa
Wakristo ulitumika kuwa ni Nyota ya Daudi na Wakristo na Msalaba pia ulitumika
ili kuwakilisha au kuonyesha dini ya Kiyahudi. Je, unaweza kunipa taarifa
yoyote kuhusu somo hili?
Jibu: Hakuna
msalaba, wala Magani “Daudi” iliyotumiwa na Wskristo au Wayahudi. Nyota ya
Daudi ni nembo au ishara ya uharibifu iliyotoka kwenye imani za siri. Inahusiana
na utoaji wa sadaka za wanadcamu na huenda ni nyota ya mungu Remphan aliyetajwa
kwenye maandiko na aya za Biblia (Matendo 7:43).
Msalaba ni nembo ya zamani sana iliyoendelezwa kutokana
na jua na dini potofu za kisirisiri. Ulitumiwa kwenye michoro ya tatuu na
Wamisri wa kale kwenye milenia ya tatu KK sambamba na alama ya inzi,
inayoonekana kushabihiana na Beelizebubu mungu wa Ekroni. Soma jarida la Uchoraji wa Tatuu (Na. 5).
Historia ya nembo au alama na tofauti zake inaonekana
kwenye jarida la Msalaba: Chanzo Chake na
Maana Yake (Na. 39).
Inakuwa vibaya kusherehekea au kuadhimisha 'Siku ya Wamama' na siku shirika
yake ijulikanayo kama 'Siku ya Wababa'? kuna uwezekeno pia wa kwamba siku hizi
zikawa za chimbuko la kipagani?
Jibu: Imani potofu
ya kuadhimisha siu za Wamama na Wababa iliyotoholewa na Warumi na inayounda imani
ya Utatu kama ilivyoelezewa kwenye jarida la Fundisho la Dhambi ya Asili Sehemu ya 1 Bustani ya Edeni (Na. 246).
Siku za Wamama na Wababa zilizoko siku hizi zinatofautiana
kutoka taifa moja hadi jingine. Ningi zake ni za kibiashara lakini baadhi yake
zimefungamanishwa na imani za zamani pia. Soma kwenye jarida la Chimbuko
la Krismas na Easter (Na. 235).
Nimegundua kuwa kuna idadi kubwa ya washiriki waliovalia nguo nyeupe na ya
mistari na mishipi myekundu wanaokimbia na mafahali ya g’ombe 6 na mishikio 11 kwenye
mbio za meta 825 wakikimbia kutoka kwenye tumbawe hadi kwenye ukingoni. Mamia kwa maelfu walitazama matendo haya huko Pamplona. Ni nini chanzo cha
mashindano haya ya cha yale mapigano ya mafahali ya ng’ombe?
Jibu: Mashindano
ya madume ya ng’ombe yalianzishwa hivi karibuni kama tutakavyoelezea huko Crete
kwa desiuri ya kukimbia huku wakiwa wamepandwa migongoni mwao kwa mjumuisho na
kwa ujumla. Imani na
dini hii ya ng’ombe dume inayohusiana na Zimwi na imani ya Ndama wa Dhahabu.
Dini potofu za imani ya kuchinja Dume la Ng’ombe zilihusiana
na Mithras huko Ulaya na ilitokea Roma. Ilienea sehemu zote za Ulaya na ilikuwa
ndiyo dini iliyokubalika sana jeshini. Michezo hii tunayoiona siku hizi ni
mwendelezo tu wa kile kilichokuwa kiifanywa kwenye ibada za kuchinja Dume la
ng’ombe iliyokuwa ikifanyika yapata takriban miaka elfu moja iliyopita kwenye
dini na ibada za kuchinja Dume la ng’ombe.
Je, wazo la kwamba Kristo kuwa alizaliwa katia usiku wa
kuuangalia sana katika mwezi wa kwanza siku ya 15, ni wazo lililoazimwa tu au
lina chimbuko lake fulani?
Jibu: Wazo la kuzaliwa kwa Kristo linatokana na nadharia ya imani za dini potofu
za kipagani za waabudu jua. Tarehe 25 Desemba ni siku inayojulikana kama majira
ya Solstaisi au siku ambayo jua linaonekana kwa mara ya kwanza baada ya kipindi
cha kutokuonekana kilichochukuliwa kuwa jua lililopotea lilikuwa limezaliwa
rena. Hali ya Usiku wa Manane ni sehemu kuhimu ya undani sana ya usiku ya siku
muhimu ya kina kikubwa sana katika mwaka. Kutoka kwenye hali hii, jua linaanza
kufanya njia yake irudi. Wazo la kutukuza kitoto kichanga cha Kristo lilitokana
na imani za dini za siri za huko Misri, kitoto kichanga kilichokea kutoka
pangoni na kubebwa kwa gwaride na makuhani wa Kimisri. Ukweli wa mambo ni
kwamba sisi hatuna uhakika kuhusu siku halisi hasa aliyozaliwa Kristo lakini
yanadhaniwa tu kuwa huenda ilikuwa ni karibu na mwezi Septemba na sio baada ya
mwaka 5 KK.
Hali au mazingira ya usiku inatokana na kujitokeza kwa
malaika waliowatokea wachungaji waliokuwa makondeni usiku. Hawa ndiyo waliokuwa
karibu zaidi waliofika kwenye tukio hili. Usiku wa Kuuangalia Sana wa maadhimisho
ya Pasaka, siku ya 15 Abibu unawezekana kuwa na la kuhusiana na wazo hili. Hata
hivyo, mazingira yanayolizunguka tukio yote yanatuama kwenye imani za waabudu
jua yanayohusishwa na kuzaliwa kwa jua. Soma jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235).
Imani inayojulikana sana ni kwamba kulikuwa na mamajusi 3
waliomtembelea Yesu alipozaliwa. Je, hivi ndivyo hasa Biblia inavyosema?
Jibu. Biblia haitaji idadi ya watu hawa ilikuwa ni wangapi. Bali inataja tu aina
tatu ya zawadi walizomletea: dhahabu, ubani na manemane. Dhana ya kuwa mamajusi
hawa walikuwa watatu inatokana na mbinu za kufungamanisha tukio hili na sherehe
za kipagani za uzazi alizofanyiwa mungumke aitwaye Demeter. Na ndiyo sababu
mmoja wao kila mara anaonyeshwa kama anaigezia nyuma sura yake.
Mungu huhu mfu mwenye sura inayogeukia nyuma na mungumke
ndiyo chimbuko la kuanzishwa kwa michoro ya Masihi mweusi na pia ya Madonna
mweusi. Huyu Madonna Mweusi ni mungumke aitwaye Demeter. Kitendo hiki kimeendeleza
mchakato mrefu kuhusu Kristo na bado ungali unaendelea. historia imebuniwa na
majina ya hao mamajusi watatu yameainishwa kwenye jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235).
Bibi yangu aliye huko Ufilipino anatajwa kuwa anawaponya
watu kwa kuwagusa tu na kuwaombea. Ni dhahiri sana kwamba alimeza jiwe
alilopewa na kibeti, lililompa nguvu na uweza. Aliweza kumfanya binti mdogo
aweze kuongea na mahoho au mizimu. Alikuwa ni Mkatoliki aliyejitoa sana kwenye
imani hiyo na ilisemekana kuwa sanamu alizokuwanazo nyumbani mwake zilimsaidia
kupata nguvu na uweza huo wa kuponya. Baada ya kufa kwake ilisemekana kuwa maroho
haya yalimpagaa shangazi yangu. Mimi ni Mkristo na sio Mkatholiki, hivyo
sikubaliani na kuomba kipande cha sanamu, na nadhani kwamba nyingi ya hii inayoitwa
miujiza yawezekana inatoka kwa ibilisi. Bali je, inawezekana kuwa miujiza yake
yeye ilitoka kwa Mungu?
Jibu: Watu wa nchi za Ufulipino, Indonesia, India, na sehemu nyingine kubwa wana
asili ya kutoka kwenye oitwa uanimism. Wanatokana na dini ya eneo lao hilo
wakati mungu wa kundi bora anapokuwa na nguvu zaidi. Na ndiyo maana dini ya
Wakatoliki ilikuwa na nguvu sana na mshuhuri nchini Ufilipino. Waindonesia
waliingia Uislamu lakini wanakutana na matatizo makubwa sana na imani ya Kianimism
kati ya watu.
Sio watu wanaoponya,
bali imani waliyonayo kwenye hayo maroho wanayotaabudu. Kwa hiyo, kama watu
wakiyaamini ndipo hayo mapepo yanawaponya baadhi yao. Unachokisema na
kukielezea hapa ni ushirikina wa wazi kabisa, wenye msingi wa imani ya
kishamanism yenye mchanganyiko na kianimistiki. Jiwe hilo ndilo kiini cha
miujiza hiyo. Mara nyingi wanayameza hayo mawe au vitu vingine kama hivyo. Hii
haimaanishi kwamba watu wa Mungu hawawezi kutumiwa kwa uponyaji. Tukio
unalolitaja, kwa bahati mbaya, halitokani na nguvu za Mungu.
Je, kuna nini nyuma ya utamaduni wa kukimbiza Mwenge wa Olympiki
ambao unakimbizwa kutoka nchi moja hadi nyingine, na mji mmoja hadi mwingine?
Jibu: Inahusiana na mawazo yaliyokuwa yakiaminiwa kwenye imani za kdini za
Wayunani na Warumi walioamini Olympus kuwa ni kama kiti au kitovu cha miungu
wao. Miali ya moto inawashwa kwa kuashiria kuzindua michezo na unabebwa kutoka
kwenye kiti cha imani au cha dini ya taifa linalodhamini au kuandaa michezo
hiyo, na kisha mizimu ya mapepo ya miungu inakuja kufanya makao kwenye mji
unaoandaa michezo hii.
Na ndiyo maana
wapagani wanauhusiano wa karibu na jambo hili la kukimbiza mwenge. Mchawi mkuu
aliyetoa hotuba kwenye Michezo hii huko Los Angeles alielezea hukusu maana ya
kichawi ya kitendo hiki cha kuwasha mwenge. Alikuwa ni mwenye mtazamo uliokuwa
na tukio la maana zaidi lililopangwa kwa ajili ya mji wa Sydney iliyohuana na
uchawi au ushirikina.
Mwaka huu (wa 2000)
binti wa Kiaustralia aliingizwa kimbadala huko Athens ili aubebe mwenge,
uliokuwa na maana yake fulani. Neno la Bwana litaichukua imani ya Wayunani na
kuiangamiza katika siku hizi za mwisho na wakati wake utakoma. Wakati wa
Waisraeli utaanza mara moja kama nuru ya Mungu na chachu ya ulimwengu. Soma pia
jarida la Jeshi la Gdeoni na Nyakati za Mwisho
(Na. 22).
.
Nilipokuwa nayatazama maana ya neno “elfu,” nilikuta
namba 505 kwenye kamusi ya Strongs ya Kiebrania. 505 'eleph prop. ni sawa tu
kama 504 kwa hiyo (kichwa cha punda kuwa ni herufi ya kwanza kwenye alfabeti, nah
ii hatimaye ilitumika numerali) elfu moja-elfu. 504 'eleph kutokana na 502
familia; pia (kutokana na maana ya kumfungia nira au hatamu) punda au ng’ombe:-aina
ya familia, punda. Mambo yanayonivutia mimi ni kwamba Masihi yuko upande wa
magharibi mwa alipo ng’ombe dume karibu na kiti cha enzi, na Ayubu 33:23-24 inawaelezea
malaika kama waombezi, “mmoja katika elfu, Ili kumwonyesha binadamu hayo
yampasayo;.” Inakuwa imejitokeza tu kwa lugha ya Kiebrania kwamba
inayonekana kwamba lugha inaonekana ni karibu ielezee jambo fulani la wazo hili?
Jibu: Dini potofu za ibada za kuchinja mafahali ya ng’ombe za waabudu Mithras zote
zilipata msukumo karibia na vilimia yapata takriban mwaka 2000 KK, na uchinjaji
wa dume la ng’ombe. Pia Perseus alihusishwa na
Gorgon, ambaye kwa hapo zamani alihusishwa pamoja na samba. s anciently
associated with the lion. Gorgon ni nyua ya Simba au imani ya Aeon.
Imani na dini ya
Perseus inahusiana na Aeon na ni inapingana na imani ya Fahali la Ng’ombe, na
pia ile ya Aeon, ambayo ni ya Gorgon na kichwa cha Medusa. Tunatazama hadithi
za zamani za mapigano au vita huko mbinguni ambako Perseus (mwenye kofia ya Phrygian)
na Aeon wanammiliki Ng’ombe dume na ni sehemu ya imani ya kichwa cha Simba. Genii
wa imani ya Wababeloni pia anaonyesha kiumbe mwenye kichwa cha tai. Hivi ni
vita vya zamani huko mbinguni ambayo Kristo alihusikanayo. Shetani kama Perseus, anamuua Kristo na imani ya Ng’ombe
mume. Moja ya elfu hii
huenda inautaja ukweli huo. Tena hii ni ya kisirisiri.
Nilikuwa natazama onyesho lililofafanua kwamba nembo yenye
mishumaa saba juu yake na samaki chini yake inayounganishwa katikati ili
kufanya nyota ya Daudi, kuwa ilikuwa alama asilia iliyotumika na Wakristo wa
kwanza. Je, ni kweli?
Jibu: Hapana, hiyo sio kweli. Kile kinachoitwa kuwa ni Magan ya Daudi ni nembo au
alama ya kipagani ya uzao kupitia dhabihu. Inahusiana pia na Nyota ya mungu
Kemoshi au Raifani, ambaye alikuwa wanamtolea sadaka za wanadamu.
Samaki alikuwa ni
mtakatifu kwa Atargatis, ambaye ni mungu wa dini potofu ya Kisirisiri katika
Mashariki ya Kati ambaye pia aliitwa Derceto au Cato. Nembo hii yenye kinara
cha taa pia inatumika kwenye gematria.
Ufafanuzi kuhusu imani ya kipagani wanazowakilisha
unakutikana kwenye majarida ya Daud na
Goliathi (Na. 126); Ndama wa Dhahabu (Na. 222); Piñata (Na. 276); na Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235).
Kwa kulinganisha na sadaka ya Kaini na ile ya Abeli,
Biblia inaonyesha kuwa Mungu alipendezwa zaidi na sadaka ya wanyama iliyotolewa
na Abeli kuliko alivyopendezwa na sadaka ya mazao iliyotolewa na Kaini. Nagundua
kwamba sadaka ya Kristo imelipa gharama ya dhambi za wanadamu mara moja na kwa
wote, bali bado inaonekana pia kuwa sadaka au dhabihu zilihijajika, ambazo sio
za aina ya upatanisho. kwa nini watu wanaziamini sadaka zilizotolewa na kitu
kama hicho kama maua na chakula kwa miungu yao?
Jibu: Hakuna mashaka
kwamba damu iliyotolewa sadaka ilihitajika. Kristo alilipa gharama ile na alichukua
sadaka yote kwake yeye mwenyewe mara moja na kwa wote. Kwa nini basi tuna watu
wanaotoa sadaka za matunda na mbogamboga leo? Kwenye imani ya Kikristo, kitendo
hiki kinatoka kwenye mchanganyiko mgeni wa sikukuu au sherehe za mavuno za
Bibliaa na zile zilizo kwenye imani ya Kikristo bali sanasana zilihusiana na
sikukuu za mungu mfu, ambayo hatimaye iliingizwa kwenye Ukristo kutoka kwenye
imani ya Baali-Easter. Jambo hilohilo lilikuja kufanyiza utaratibu wa kutoa
Zaka pia. Somo hilo limeainishwa kwa kina kwenye jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235). Soma pia majarida ya Kusudi
la Uumbaji na Dhabihu ya Kristo (Na. 160); Fundisho la Dhambi ya Asili Sehemu
ya I Bustani ya Edeni (Na. 246); Utoajii
wa Zaka (Na. 161); na Uvejitariani na Biblia (Na. 183).
Naelewa kwamba alama ya gurudumu la jua imekuwa
ikihusishwa na waokaliti na wataalamu wa nyota kwenye desturi zilizopita za
zamani (huenda na hata pia siku hizi). Wakati Israeli walipokengeuka,
walitengeneza magari yaliyowekwa wakfu kwa mungu jua, ambaye alizaniwa,
alisafiri kuzunguka mawingu kwa gari kubwa. Hicho ndicho chanzo na chimbuko la
gurudumu la jua. Kwa nini alama hiihii imepewa kipaumbele sana kwenye imani ya
Kikatoliki? Unaweza kutazama tu kwenye viwanja vya Mtakatifu Petro! Pia kwenye
makanisa mengi ya Kikatoliki unaweza kukuta mchoro wa gurudumu hili la jua
umechorwa madirishani. Ni kwa vipi gurudumu hili la jua, alama ya wapagani wa
zamani, ikawekwa na kukubalika kwenye Ukristo?
Jibu: Gurudumu la jua la imani na dini za zamani za kipagani lilihusishwa pia na
dhana ya kuishi au maisha baada ya kifo na imani ya kubadilikabadilika kwa
viumbe kutoka kiumbe mmoja hadi mwingine mtu anapokufa. Imni na dini za waabudu
jua na za dini za siri huunda msingi wa imani yote ya kiibada ya imani ya
kidini ya ulimwengu. Kwa kipindi cha miaka 1700 ya mwisho, iliutumia Ukristo
kama gari au chombo chake kwa kuwa imani ya Kikristo ilikuwa inafanya njia ya
kujipenyezea dhidi yake. Hivyo, imani ya Kirumi ililazimika kuichukua nembo au
alama hii kuwa haiwezi kuiondoa au kuachana nayo.
Walizidi kuyaingiza
mafundisho yake kwenye imani za kidini za Warumi. Gurudumu la Kuzaliwa tena ilikuwa
pia ni alama au ishara ya Waseltiki na waliamini kwa nguvu kubwa sana kuhusu
hali hii ya viumbe kuhamia maisha mengine baada ya kufa kwao. Waliaunda kundi
la Aryans ambalo huenda lilishambulia India kutoka kwenye kingo (yapata mwaka
1000 KK), huenda hata na washirika wa Waisraeli wakati wa Daudi.
Kinachopita kwenye Ukristo leo ni mwendelezo wa uliojaa imani
ya dini ya mungu jua na dini za siri. Alama za jua ni kiini cha imani za
kisirisiri ya imani hii ya kidini. Soma kwenye majarida ya: Ndama wa Dhahabu
(Na. 222); Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235); Malumbano ya
Wakuartadesimani (Na. 277); na Musa
na Mungu wa Misri (Na. 105).
Historia
Swali hili linahusu Vita vya Kidini mashuhuri kama
Crusades. Ni nani aliviamuru vita hivi na kuna madhara gani zilizosababisha kwenye
jamii za zama za kati? Pia, ni madhara gani lililopata kanisa kwenye maisha ya
kipindi hiki cha zama za kati na zilikuwa na umuhimu kwa kiasi gani?
Jibu: Kuna idadi kadhaa ya vita hivi na vilipiganwa kwa malengo tofauti tofauti.
Nyingine zilipiganwa kwa lengo la kupanua umiliki wa mfumo na dini ya Ulaya
huko Mashariki ya Kati wakitumia dhana ya kuidai na kuirejesha kwao Nchi
Takatifu kama lengo lao la kwanza. Vita vingine, kama vile vita vya kuwapelekea
maradhi Watoto, ziliishia kwa madhara na maafa makubwa sana. Nyingi zimekuwa
anzishwa au kupangiliwa kwa amri ya papa kwa malengo ya kisiasa.
Moja ya vita
mashuhuri sana ilikuwa ni Crusade ya Albigensian, ambayo ilianza katika karne
ya kumi na tatu kwa makusudio ya haraka ya kumuu kila MKristo anayeishika
Sabato na asiye Mkatoliki kutoka Ufaransa na Hispania. Hii ilikuwa ni sehemu ya maazimio ya Mabaraza la Kidini
ya Hukumu. Dondoo za vita hivi vya Crusades na msingi wa Mabaraza ya Hukumu ya
Kidini zinapatikana kwenye majarida ya Migawanyo
Mikuu ya Makanisa Yanayozishika Sabato (Na. 122) na Kazi ya Amri ya Nne Kwenye Historia ya Makanisa ya Mungu Yanayozishika
Sabato (Na. 170).
Sababu ya migongano
iliyoibuka kwenye Vita hivi vya Crusades ni ya mapema mno na zinaweza kuwa
zinaonekana kwenye jarida la Vita ya
Waunitariani na Watrinitariani (Na. 268). Hii itakupa pia wazo la chimbuko
la mataifa ya Ulaya.
Kuna makala nzuri
sana kuhusu vita hivi vya Crusades kwenye kitabu cha Fasihi ya Dini na Maadili [Encyclopaedia of Religion and Ethics, Vol.
4.pp 345-351.] Pia sababu kubwa ilikuwa ni Kuchomoza kwa Seljuk Waturuki na ushawishi
wao kwenye Uislamu. Kwenye karne ya tisa na ya kumi mtengano kwenye Uislamu
kati ya Makhalifa wa Mashariki na wa Magharibi hawakuonyesha tishio kwenye mji
wa Constantinople. Hata hivyo, kuinuka kwa Seljuks na kujengwa kwa kikosi cha
jeshi la majini kwa ajili yao na watumwa wa Kigiriki kuliutisha mji wa Constantinople.
Waliwaomba Walatini wawasaidie mwaka wa 1088. Hii ilikuwa baadae kwenye waraka
alioandikiwa Robert wa Flanders kutoka kwa Alexius Comnenus.
Mawazo ya watu wa
zama za kati yalikuwa na aina isiyozidi, ambapo walidhani kwamba mambo yote ya
kimwili yalikuwa yamejawa na roho ya namna na kwamba ilikuwa ni lazima kuwa na
sanamu hizi za kuziabudu. Walidhania kwa maana ya mbali zaidi kuliko
tunavyodhania leo. Hivyo, kwa mtazamo na muono ule kulipelekea hamu ya kumiliki
sehemu zote takatifu na kuzijaza sanamu na kuharibu kitu chochote kinachopingaa
na mtazamo ule. Mawazo haya ya kisanamu yaliwekwa kwenye mwelekeo wa
kimafundisho ma Mabaraza ya mahaama ya Kidini, na kwa ujumla iliishia kwenye Mauaji
ya Kuangamiza Halaiki ya Holocaust yaliyotokea katika karne ya ishirini.
Huu ni mwanzo halisi wa Mababa Wasafiri wa Imani. Walitokea
wapi na ni nini kilichowatokea?
Jibu: Mababa wa Imani Wasafiri walikuwa ni Wayunitariani Walioitunza Siku ya
Saba (Jumamosi) na ni dini ya Washika
Sabato wa Kanisa la Mungu walioitwa au kujulikana kama Brownists au Wasioamini
au wasio wafuasi wao. Walikimbilia Uholanzi na kuishi huko kwa miaka mingi.
Baada ya kifo cha Oldenbarneveldt kundi lao waliamua kuondoka na kwenda
Marekani kwa sababu za kiuchumi wengi wao kama sio wengi waliishi huko Uholanzi.
Waliweka alama ya Mayflower
na Speedwell na kuondoka kutoka Uholanzi kwenda Uingereza na hatiaye wakashukia
Marekani, ila iliwabidi kugeuka na kurudi nyuma kwa kuwa Speedwell alikuwa
anaomba maji. Waliwachukua pamoja nao “wenye kujali na kutilia maanani” wa
mambo ya kiuchumi na walifuatwa baadae na ndani ya miaka ishirini waliteswa kwenye
koloni lao wenyewe na walipaswa kujipanga kwenye sehemu nyingine iliyojulikana
kama Uingereza Mpya au New England.
Habari hii na
utunzaji wa taarifa vinapatikana kwenye jarida la Uhusiano wa Wadachi na Mababa wa Imani Wasafiri (Na. 264).
Watu wengi wako chini
ya kutoshikamana kote na Mababa wa Imani Wasafiri. Wasafiri hawa waliwachukulia
Wapuritani washika Jumapili kama ni watu waliopotoshwa ambao walikuwa hawakuitwa
kwenye imani na waliteswa bila huruma na Wapuritans waabudu siku ya Jumapili wa
sehemu zote mbili, yaani Uingereza na Marekani wakati walipowafuata wao huko.
Ni kweli kabisa kwamba Wakristo washika Sabato waliteswa,
wakiwemo Wayahudi wakati wa mauaji ya kuangamiza ya Holocaust?
Jibu: Ndiyo, kwa hakika ni kweli. Katika nchi za Romania watunza Sabato wa Kihungari
walipelekwa kama Wayahudi na kuchomwa moto wakiwa hai kwenye kambi za mateso za
Manazi. Matatizo yaliyojitokeza kwenye upangaji wa madaraja ya Wasabato kuwa ni
kama dini kwenye baadhi ya mataifa huko Ulaya ya Mashariki, na hatimaye idadi
kubwa ya watu waliorodheshwa kuwa ni kama Wayahudi kwa kweli walikuwa ni
Wakristo Wasabato. Nafasi ya kihistoria kwenye matatizo haya, hata kwenye
muongo uliyopita, yameainishwa kwenye utanguliz wa kitabu cha Rabbi Samuel
Kohn, cha Wasabato wa Transylvania [The
Sabbatarians in Transylvania, (CCG Publishing, USA, 1998)].
Kwenye makambi, kulikuwa na mikatale ya pembe tatu
iliyogeuzwa juu chini ya rangi ya zambarau, ambayo iliwakilisha tabaka
lililoitwa “Bibelforscher” au “Watafiti wa Biblia.” Begi hii ya kujitwalia
kirahisi ilijumuisha wanazuoni wa Kisabato, wengi wao wakiwa ni Mashahidi wa
Yehova, na wasomi wa Biblia wa namna zote ambao hawakuwa Walutheri au
Wakatoliki, ambazo Hitler aliamua kuwa ndio ziwe dini mbili pekee a Ulaya.
Wasabato wengi waliuawa kama Wayahudi kwasababu ya kuzishika kwao na kuziadhimisha
Siku Takatifu na Sheria ya Vyakula.
Mauaji ya kutisha yaliyofanyika kwenye makambi ya mauaji
ni kama horrendous tu. Inaonekana kuwa na kambi za mahojiano na za mateso kiasi
cha 15,000 katika Ulaya. Kwenye baadhi ya nchi, kama vile nchini Romania na
Croatia, waathirika wa tukio hili walichomwa moto wakiwa hai
Nchini Croatia, kwa mara ya kwanza kwenye historia ya
mwanadamu, kulitaarifiwa kuwa zizlianzishwa kambi tatu zilizotengwa rasmi kwa
kuwauwa watoto na kwamba inadhaniwa kwa tuhuma ya ushahidi uliotolewa kwenye
kamati ya mauaji za Holocaust huko New York mwaka 1997, zilisimamiwa na
wafanyakazi au wahudumu watawa wakshriua la wa Franciscans. Tutajionea zaidi kuhusu
tuhuma hizi zilizotolewa kuhusu jambo hili baadae. Picha za makda chini ya
Pavlic na maaskofu wa Kikatoliki zinakutikana kwenye kitabucha, “Jasenovac,
Then and Now: A Conspiracy of Silence” cha William Dorich. Kililetwa kwenye
Mkutano Mkuu wa Kwanza wa Kimataifa wa Kuthibitisha Kambi za Mahijiano ya
Kimateso ya Wajasenovaki mwezi Octoba 30-31 1997 (Ilifadhiliwa na Kituo cha
Akiba ya Utafiti wa Mauaji ya Holocaust, Chuo cha Kijamii cha Kingsborough,
C.U.N.Y., N.Y.). Dondoo zake zipo kwenye tovuti ya www.holocaustrevealed.org.
Jarida la, Jukumu la Amri ya Nne
Kwenye Historia ya makanisa ya Mungu ya Washika Sabato (Na. 170) litakuonyesha
pia dondoo za mateso ya Wasabato kwa kipindi chote cha historia.
Uhusu suala la wafia dini au mashujaa wa Kikristo, unaweza kuniambia kuwa huyu
John Bunyan alikuwa nani? Alikuwa ni mtu wa namna gani huyu? Alifanya nini
kipindi cha maisha ya Kikristo? Ni kitabu gani ni chaguo bora zaidi kufanyia
utafiti kuhusu yeye?
Jibu: Kuna makala
nzuri sana kuhusu John Bunyan kwenye kitabu cha the Encyclopaedia of Religion and Ethics, Vol. 2:pp. 897 ff. Ni mzaliwa
wa Elstow karibu na Bedford mwaka 1628 alifariki huko London mwaka 1688. Alikuwa
ni mtu wa tafakari aliyemfuata baba yake. Alikuwa ni kijana askari mwaka 1645 kama
maisha yake yalivyofunika kipindi cha vita vya wenyewe kwa wenyewe. Mtazamo wa
Brown (kitabu cha Life, p. 49) ulikuwa kwamba alikuwa ni Mwanasheria wa Bunge
nah ii inaonekana kumpendeza. Wataalamu wa mambo ya historia wamefuata mawazo
ya kujilinda kuhusu jambo hili.
Mke wa kwanza wa Bunyan alimsaidia kuongeza elimu ndogo
aliyokuwanayo na kuipoteza kwa ajili ya kutoitumia. Alimleta kwenye maelekezo
ya kwanza ya utendaji kazi wa dini. Wote wawili walikuwa maskini sana lakini
vitabu alivyoleta mke wake na yeye vilikuwa vya Arthur Dent, cha “Ukweli Njia
Nyembamba ya Mwanadamu kwenda Mbinguni, ambayo kwamba kila mwanadamu anaweza
kuona wazi sana kama anaweza kuokoka au kuangamia [The Plaine Man’s Pathway to
Heaven, wherein every man may clearly see whether he shall be saved or damned],”
na cha Lewis Bayly, cha “The Lewis Bayly’s, cha “Mazoezi ya Pietle, kumuelekeza
Mkristo jinsi ya kuenenda ili aweze kumpendeza Mungu [The Practice of Pietie,
directing a Christian how to walk that he may please God].”
Alisaidiwa na John Gifford ofisa wa matengenezo ya mwanzo
aliyepoteza maisha wa Jeshi Tiifu aliyefanyika kuwa mhubiri wa kusanyiko la wasioamini
au wasio wafuasi huko Bedford mwaka 1650.
Baada ya kupotea kwa mke wa Bunyan mwaka 1655, alihamia Bedford na aka
mhubiri. Mnamo mwaka 1666, baada ya kama miaka mine hivi ya mapinduzi,
aliandika kitabu cha, “Neema Tele kwa Mwenye Dhambi Mkubwa.” Brown amasema
aliandika vitabu 60 kwa ujumla. Hii ni pamoja na vipeperushi.
Baada ya kitendo cha kufanana yalijitokeza matatizo kwa wasio
wafuasi na mapema sana ya mwezi Machi mwaka 1658, inaonekana kutokana na rekodi
ya kanisa kwamba inaashiria kuwa alihubiri huko Eaton. Hakuna kinachoonekana
nayo, lakini mnamo mwaka 1660 alitiwa mbaroni na kufungwa gerezani. Ufungwaji
wake jela wa kwanza ulikuwa ni kwenye Kaunti ya Gaol huko Bedford na kifungo
chake kiliishia miaka kumi na mbili, kwa mapumziko katikati na kwa uhuru
ulioonekana unafaa wa nyakati. Kipindi cha pili cha kufungwa kwake kilikuwa
kwenye Mji wa Gaol huko Bedford Bridge na kiliishia miezi sita mwaka 1675.
Alikuwa mashuhuri baada ya kifungo chake cha kwanza na
mahubiri yake rahisi na yenye nguvu yalilileta kundi kubwa kuja kumsikiliza.
Alijulikana kama Askofu Bunyan na alisafiri mara nyingi hadi London. Kitabu
chake cha “Maendeleo ya Wasafiri [Pilgrims Progress],” baada ya kutafsiriwa kwa
lugha ya Kidachi mwaka 1682, Ufarasa mwaka 1685, na Welsh mwaka 1688, mwanzoni
mwa karne ya ishirini kilitafsiriwa kwenye lugha 112 na kabila kadhaa. Anachukuliwa
kama ni mmoja wa wainjilisti wakubwa kwa kuwa alikuwa pia mwongofu mkubwa.
Nimesikia kuhusu nakala za kwanza zikitajwa kama za Mchungaji wa Hermas; je, unaweza kunieleza zaidi kuhusu
kitabu hiki?
Jibu: Mchungaji
wa Hermas ni kitabu pekee cha kanisa kilichochukuliwa kama Maandiko Matakatifu
na Kanisa lilikitumia hadi katika karne ya nne. Kilisomwa kwenye ibada kwa
kipindi cha karne nne. Irenaeus na Tertullian (wakati akiwa Mkatoliki) alikitangaza
hiki kuwa ni Maandiko Matakatifu. Tertullian, wakat alipojiunga na imani ya Montana,
ndipo alikishambulia wakati Papa Callistus alipokitangaza kuwa kinakubalika. Tertullian
alipinga kuwa kilikuwa hakimo miongoni mwa vitabu vilivyokubalika kwenye baraza
la kanuni la maandiko la Roma nah ii inaonyesha kuwa ni sahihi (C. E. Hermas
vol. VII, p. 268).
Sababu ya kutokijumuisha kwake ilikuwa ni kwa sababu
alikuwa ni Myunitariani na alikuwa anayachambua maandiko ya Biblia na ujenzi wa
Hekalu la Mungu kwa maana ya Uyunitariani, na kwa hiyo ndipo kilipunguziwa
umuhimu hadi wakati uliofuatia baadae. Clement wa Alexandria anasema kiliandikwa na Hermas aliyetajwa
na Mtume Paulo kwenye Warumi 16:14. Huu kwa kweli ndiyo ulikuwa ni mtazamo wa Irenaeus
na Tertullian wakati akiwa Mkatoliki, kabla ya nyakati za Wamontana. Sasa, Irenaeus
alikuwa ni mwanafunzi wa Polycarp huko Smyrna na ni shule ya Mtume Yohana,
ambapo ndipo palikuwa kitovu cha kazi ya aadae ya mitume.
Athanasius pia alipinga kuwa hakikuwa sehemu ya vilivyokubalika
kwenye kanoni ila alisema kuwa kinastahili kuheshimika. Mashambulizi ya
Wamontana juu ya hiki barani Afrika yanaonekana kuwa yalisaidia kihivyo, kwamba
kutoka wakati wa Clement wa Alexandria hadi wakati ule wa Cyprian, tunakuta
kuwa kiliachwa kutumiwa. Ni kama alivyofanya Cyprian kutokinukuu, kwa kuwa
hakikuwa kinatumika kwenye miongo ya mwanzoni ya karne ya tatu. Ni hata hivo,
kilinukuliwa kama Maandiko Matakatifu kwenye maandiko ya uwongo ya Cypriani.
Kilipitwa na wakati kwa pande za Mashariki zaidi kuliko pande za Magharibi,
ambako kilinukuliwa kwenye Zama za Kati na ndicho tulichonacho sasa.
Ni Gombo lijulikanalo kama Sinaiticus pamoja na waraka wa
Barnabus mwishoni mwa Agano Jipya. Jaribio la kukiweka kitabu hiki na Hermas, ndugu
wa askofu, mwaka 185 ni uwongo wa wazi, kwa kuwa Irenaeus hakukichukulia kitabu
hiki kuwa ni Maandiko Matakatifu huko Lyons iwapo kama yaliandikwa wakati akiwa
huko. Suala la rekodi ya Clement
wa Alexandria ni sahihi, na iliandikwa na Hermas wa kwenye Warumi 16:14. Andiko
hili pia lina misukumo ya muundo wa kanoni ya kabla ya kitabu cha Ufunuo kwenye
maandiko ya Paulo na Petro, na pia ya Yohana, na hivyo ni sehemu ya kanoni ya
Agano Jipya ya kipindi cha kabla ya maandiko ya Ufunuo. Hili litaelezwa na
kuainishwa kwenye kitabu kinachokuja cha ufafanuzi kuhusu mchungaji. Kimsingi, Wamodalists
au proto ambao ni Wagiriki Waamini Utatu na Warumi, na Wabinitarians wa Afrika walikuwa
ni wagumu nacho, ni kama ilivokuwa kwa Wayunitarian wasiopingika.
Nawezaje kuijua njia anayotaka Mungu tuishi kwayo maishani mwetu?
Jibu: Kristo alituambia
sisi kwamba hatuitupasi tuishi kwa mkate tu, bali ni kwa kila neno litokalo
kinywani mwa Mungu. Kanuni ya msingi tunayoifuata ni kama Mungu anasema tufanye
hivyo. Kama anatuambia tuzishike sikukuu tatu kwa mwaka, ndipo yatupasa
tuzishike. Kama akisema tutoe zaka, ndipo yatupasa kutoe. Kama akisema tuishike
Pasaka tangu siku ya 14 Abibu na kuula Mkate Usiliotiwa Chachu kwa muda wa siku
saba tangu siku ya 15 Abibu, tufanye hivyo. Kama akisema tuzishike Sabato zake
na Miezi Mipya, tufanye hivyo. Kama akisema tuadhimishe Ibada ya Mganda wa
Kutikiswa, na Pentekoste, na Baragumu, na Upatanisho na Vibanda na Siku ya
Kusanyiko la Makini, na tufanye hivyo. Tunazishika sheria za vyakula na tunapendana
kama alivyotuamuru Mungu.
Kama anasema kushike Amri Kuu Mbili na ambazo kwazo
zinatuama Amri Kumi pamoja na Torati yote na Manabii, ndipo na tufanye hivyo. Tukijikuta
kuwa tuna kitu kisicho sawa, basin a tubadilike, kwa manufaa na kwa
kuwashirikisha wapedwa. Hili limetokea kwa miaka kadhaa iliyopita kutoka
kipindi kimoja na kingine, kwa namna zote mbili, yaani kwa maongozi na kwa
mafundisho.
Mtu mzima aliyebatizwa aliyejiunga kuwa mshirika
anaruhusiwa kuyapigia kura mambo yote muhimu Kanisani kwetu, kama lilivyofanya
Kanisa la kwanza. Hii ni pamoja na ili kumpata anayetakiwa kuwa mhubiri au
mchungaji. Viongozi wa mataifa na Viongozi wa Kidunia wote wanapatikana kwa
kupigiwa kura, kwa hiyo Mungu anaamua yupi ni kiongozi, ni kama ilivyofanyika
kwenye Hekalu la Israeli la zamani katika Kuwapata Makuhani Wakuu na Kuhani Mkuu.
Kwenye Makanisa ya Mungu ya Kikristo utapewa kila fursa
ya kusoma neno la Mungu na kulijadili kwenye mijadala ya wazi au ukiwa pamoja
na wazazi wako na rafiki zako pia. Ni moja ya utendaji wetu wa muhimu na
unaothaminiwa zaidi na watu wetu. Wengi wa wanaokuja kwenye sikukuu au kujifunza
neno na sisi kwa mara ya kwanza, wanajionea hali ya kuhamasika kiasi cha
kufikia kujiuliza maswali kwenye kila kichwa cha somo na wanachangia kwenye
mijadala. Kuna kanuni chache tu, kama vile kuelezea lengo la swali na kuonyesha
kuonyesha na kulisoma andiko kwa kila mmoja kama wanafuatia kwenye Biblia zao
na ndivyo tunajua mambo yote kwenye majadiliano. Kuheshimina na kuzuilia au
kujinyima kwa ajili ya kiasi ni kitu cha muhimu sana kwa kila mtu.
Vijana wadogo watajionea roho ya kijamii ya marafiki wengine
na furaha ya ushirikiani wa pamoja kwenye sikukuu za Mungu. Utapata pia
mapumziko mara mbili kwa mwaka, kama vile Pasaka na Idi ya Mikate Isiyotiwa
Chachu ambacho pia ni majira makuu ya sikukuu kama ilivyo sikukuu ya Vibanda.
Tunakusanyika sote kwenye kambi la mkusanyiko mahali ambapo “Bwana amepachagua
kwa mkono wake,” ambapo ndipo mahali kanisa limeamua kuwa ni mahali muafaka na
panapofaa. Pentekoste, kama wewe huenda unajua, ni sikukuu inayoadhimishwa kwa
siku mbili, na inasherehekewa na makundi madogomadogo kwenye sehemu au maeneo
mahalia. Ni kwa takriban kama miaka thelathini iliyopia, kimsingi, jumuia au
sharika zote za Makanisa ya Mungu zilitoka nje kwenda kuziadhimisha sikukuu
zote mbili kama zilivyoamriwa na Biblia.
Utawapata marafiki wazuri na utajifunza kumuweka Mungu
mbele kwa mambo yote yahusuyo Amri zake au Imani ya Yesu Kristo aliyemtuma.
Kwenye mashamba ya ngano
kuna ngano nyingi sana kuliko magugu, lakini kwenye hii dunia kuna kiasi
kikubwa sana cha Wakristo wa uwongo kuliko wa kweli. Je, huu ni mlinganisho
mbaya na uliokosewa wa Keisto? Unawezaje kuiambia ngano kutoka kwenye magugu?
Jibu: Kama hawaneni sawasawa na sheria za
torati na ushuhuda hakuna nuru ndani yao (Isaya 8:20). Watakatifu ni wale
wanaozishika Amri za Mungu na Ushuhuda wa Yesu Kristo (Ufunuo 12:17; 14:12). Sio
tu suala la wewe kuweza kusema. Kanisa linapaswa kushughulikia hayo yote. Utawatambua
wakati Kristo atakapowashughulikia mwishoni. Hadi hapo, tuna mamlaka ya kuhukumu
na kumshughulikia kila mmoja wao. Hivyo tunafanya kwa namna zote za rehema kama
iwezekanavyo. Kile ambacho Mungu anachukuamuru ufanye na muache Mungu
ashughulike na mengine yaliyosalia.
Ni nini tofauti kati ya mchungaji, mhudumu au mtumishi na mchungaji
msimikwa?
Jibu: Vitu
vingine kuhusiana na mapokeo. Njiwa, samba na baba vilikuwa ni vyeo na madaraja
kwenye imani ya Mithras ya dini potofu ya waabudu jua wa zama za imani ya
wachinja ng’ombe dume.
Ndivyo ilivyo kwa habari za “mchungaji msimikwa.” Kwa ufupi, vyeo au majina haya hayana misingi wa mashiko
ya kibiblia. Ni vyeo vilivyotolewa na wanadamu tu kwa wale wanaoshikilia amri
za kusimamia taratibu takatifu. Hivyo, makanisa mengi hayatumii vyeo hivi ama
vya mchungaji msimikwa au reverend au baba. Kuna aina mbili tu kwenye Biblia; kuna wazee wa kanisa na
mashemasi. Mzee wa kanisa anachaguliwa na kupewa huduma ya kuwashirikisha
sakramenti za Kanisa. Mashemasi wanaweza kuwasaidia kuhudumu kushirikisha watu
huduma hii kwa ruhusa na maelekezo ya wazee, na hawa wazee wanaitwa maaskofu
kwenye mkururu huu wa madara ya uongozi.
Tofauti kubwa ya kiutendaji kwenye Biblia ni kwamba hawa
wazee wanaweza kuwaweka wakfu kuwasimika hawa wote, yaani mashemasi na wazee wa
kanisa kwenye wakfu wa Kanisa. Vyeo au huduma za mtume, mchungaji, mwinjilisti
au mwalimu, na mwangalizi ni kazi au hudma ambazo shemasi au mzee wa kanisa
anaweza kupangiwa (kama kwenye Waefeso 4:11). Mahemasi wanaweza kufanya kazi ya
maongozi ili kwamba wazee wasiwe wamefungwa na shughuli nyingi kwa mahitaji ya
kishughuli. Wakati mwingine, hiyo haiwapi uhuru sana wazee kwa kiasi cha kadri
wanavypenda.
Kumbuka kuwa Mtume Petro alijinena mwenyewe kama ni mzee
wa Kanisa la Mungu. Waangalizi wakuu wanashughulika na kazi hizi kwa wao
wenyewe na wanaweza kuwachagua watu na kuwapangia huduma za wainjilisti na
mitume na wachungaji kwenye eneo lao.
Sasa, muwakilishi wa kweli na halisi ni Roho Mtakatifu,
anayezifanya karama za Mungu zionekane na kulisaidia Kanisa liwaone walio na
karama na wito wa Mungu. Kwa namnahyo, makosa yanaruhusiwa kufanyika Kanisani ili
kumuonyesha wale waliokubalika au kuthibika na Mungu. Kuna aina nyingi za
maongozi bali Bwana ni mmoja. Kimaendo, kazi au huduma hizi na maono yake
vimekanganywa na yamerahisishwa sana kwa mambo Fulani, au kugeukia kwenye mfumo
mgumu wa kimadaraja ya vyeo kwa wengine. Wengi wamechukua majina fulani ya
kivyeo ambayo hata hayajatolewa wala kuruhusiwa na Biblia na hata kwa yale yaliyokatawa
kabisa kujiita mtu na biblia, kama vile jina au cheo cha mtu kuitwa “baba.”
Je, unatweza kufafanua tafadhali ina maana gani utakaso wa watoto? Je, neno
watoto linaonyesha cheo au jina la mtu wa umri fulani?
Jibu: Andiko hili
linaelezea ukweli kwamba watoto hawapaswi kubatizwa ha hawana jukumu lolote la kufanya wafikie kiwango cha
kutakasika kwa kupitia juhudi zao wenyewe, kama wafanyavyo wateule ambao
wametakaswa na Mungu kwa Roho Mtakatifu tangia pale wanapobatizwa. Soma kwenye
majarida ya Toba na Ubatizo (Na. 52); na
lile la Kuwa Wamoja na Baba (Na. 81).
Watoto wanatakaswa kutokana na wazazi wao hadi
wanapofikia umri wa kubatizwa kwao, au wa kuchagua kufuata njia zao wakiwa watu
wazima. Huu ni umri wa miaka ishirini kwa mujibu wa torati. Huu pia ndiyo umri
wa kubatizwa wa muumini anayehesabiwa kuwa ni mtu mzima. Watu wengine wanaweza
kubatizwa mapema kabla ya umri huu kutegemea na hali na mwonekano wao.
Inategemea hali aliyonayo mtu, lakini miaka 20 ni umri wa mwanaume kuandikishwa
kuingia kwenye Jeshi la Mungu (ni sawa na ilivyoagizwa kwenye jarida la Kumbukumbu la Torati 20 (Na. 201)). Kanisa la kwanza halikufanya ubatizo
wa watoto wachanga. Soma jarida la Utakaso
na Tohara (Na. 251).
Kwenye dini hii unawaambiaje watu cha kufanya ili wafanyika kuwa Wakristo?
Jibu: 1) Sikr.....Waebrania 11:6 na Warumi
10:17; 2) Sikia... Marko 16:16 na
Matendo 16:31; 3) Tubu.... Luka
13:3, Matendo 2:38; 4) Kiri...Mathayo
10:32-33,16:16 na Matendo 8:37-38.
Hatua hizi nne za kwanza ni za muhimu, na ni kwa njia ya
Roho Mtakatifu afanyapo kazi na sisi ndipo unaweza kuelewa umuhimu wa neema
iokoayo ya Mungu kwa kupitia dhabihu ya Yesu Kristo (soma kwenye jarida la Kusudi la Uumbaji na Dhabihu ya Kristo (Na.
160)). Kitendo cha kukiri ni cha Mungu, na kukiri dhambi walizotendeana
watu mara nyingi haimaanishi kuwa ni mjadala wa jumla au kusanyiko la watu
wenye akili nyingi la wazee au maaskofu
5) Batizwa...Marko
16:15-16, Matendo 2:38 na 1Petro 3:19-22.
Unapokuwa mzee vya kutosha kwa kwenda kwa hatua za
kwanza, itakupasa ubatizwe kwa kuzamishwa kwenye maji mengi ikiwa ni ishara ya
kialama ya kuziosha dhambi za kale za mtu na kuwa amezaliwa upya tena kwenye
familia ya Kristo. Kuingia kwenye jeshi la Mngu ni kwa mujibu wa maagizo ya
Torati yake na hivyo, umri wa miaka 20 ulikuwa ndio wa kuandikishwa kujiunga na
jeshi. Soma kwenye jarida la Kumbukumbu
la Torati 20 (Na. 201).
6) Ishi kwa
uaminifu kwenye mafundisho yake...IIPetro 1:4-11 na IWakorintho 10:12-13.
Sote tunajua kwamba hatupo wakamilifu, lakini tunajaribu kuishi
maisha yetu kwa kujitahidi tuwe wakamilifu zaidi ili tufanane na Kristo. Sasa
jambo hili linahitaji kulikuza na kuliendeleza kwa kuwa wengi hawafanyi hivyo.
Kila mtu ama majaaliwa yake kwa Mungu ya kupata mwito wake. Kristo hakuamua tu
ni nani awe mtu wake. Mungu alimpa watu hao naye hakuwapoteza. Tumechaguliwa,
tukaitwa na kisha tukahesabiwa haki na kutukuzwa (Warumi 8:29-30).
Mchakato wa kuhesabiwa haki ni kwa kukamilishwa kwenye
Sheria na Torati ya Mungu. Hii ndiyo impasayo mtu kuifanya: “Kumcha Mungu na kuzishika
amri zake” (Mhubiri 12:13). Kuielewa imani ni jambo la muhimu. Soma majarida ya
Nafsi Hai (Na. 92) na Ufufuo wa Wafu (Na. 143). Ubatizo wako
ni lazima ufanywe na mzee au na shemasi aliyepewa ruhusa na aliyesimikwa kumtumikia
Mungu kwenye mwili wa Kristo, na sio wa kwenye imani nyingine yoyote au kikundi
chochote tu cha kidini au dhehebu. Hiyo inamvuta tu mtu awe wa kidini tu kama
wanavyotaka kukubatiza wewe kwenye kanisa. Mara tu unapoanza kutoka na kupita
kwenye njia au barabara ndefu, yakupasa ufanye kile alichokitenda Kristo na
Mitume, na hiyo iliwapelekea Wakristo wengi kuuawa na wengine wanaodai kuwa ni
Wakristo kwa kipindi cha miaka elfu moja na mia nne. Soma jarida la Jukumu
la Amri ya Nne Kwenye Historia ya Makanisa ya Mungu Yanayozishika Sabato (Na.
170).
Njia imesonga na mlango ni mwembamba inayoingia kwenye
Ufalme wa Mungu, na wengi hawaioni. Kanisa la Mungu linaitwa moja ya mji na
wawili wa familia. Hawa ndiyo wale wanaozishika amri za Mungu na Ushuhuda wa
Yesu Kristo (Ufunuo 12:17; 14:12). Fanya kile kinachoelekezwa kwenye Biblia na
uzitii amri zake, na utajikuta ikiwa kwenye njia yako pekeyako, lakini ni mtu
mwenye marafiki na ndugu wa kiume na wa kike uwapo njiani ambao ni marafiki wa
kweli na Wakristo wa kweli. Zaidi ya yote, mtii na kumcha Mungu na ufuate kile Biblia inachokifundisha.
Sijawahi kuisoma Biblia kabisa na uelewa wangu ni wa wastani tu. Naamini … kuna
Mungu mmoja tu; haijalishi ni dini gani uliyonayo kwa Mungu bado atasikia maombi
yako; tunapaswa kuomba dua na kumshukuru; Mungu anatupenda sisi sote sawasawa
iwe kwamba ni wema au wabaya, tajiri au maskini; tunautashi na lengo la
kukamilisha; tunapasa pia kushiriki ngono na wapenzi wetu wa muda mrefu au
marafiki wa kimoyo tu; ndoa ni ya muhimu; hakuna mtu anayepaswa kuhukumu kimakosa,
ni suala la dhamira tu; kwa ajili ya utaji mimba na kwa kizuia mimba: HAKUNA
mtoto anayepasa kuzaliwa akiwa hahitajiki na akiwa hapendwi; Mungu ni ndiye
aliyehusika katika kutuumba sisi sote. Ni dini gani iliyo nzuri na sahihi?
Jibu: Unaonekana
kuendeleza itikadi ya imani ambayo unajihisi kuridhika nayo. Unakubaliana na uwepo
wa Mungu. Kwa kupewa ukweli huo, tunaweza kufanya mahijiano na kukupa mtihani
kutokana na uhalisi ulionao. Kama sisi ni viumbe wa Mungu, basi Mungu ana
apenda kutushirikisha mapenzi yake. Kama ameweka kiwango ambacho kwacho
tutahukumiwa kwacho, ndipo ana maagizo ya kila mara ili kutimiliza kanuni hizo
kwetu sisi.
Kuna andiko moja tu ambalo ni mwambatano wa kiimani yake
na lengo kutoka mwanzo hadi mwisho. Hiyo ni Biblia. Kurani ni kitabu cha
ufafanuzi tu wa Biblia. Kama unamwamini Mungu ndipoo inakupasa pia ukubali kuwa
yeye hawezi kuzibadilisha sheria kwa kiumbe wake kama Hukumu ingekuwa si ya
haki.
Profesa Russell alisema kwamba Torati haiwezi kuendelea
kutoka kwake yeye na inapasa itoke kwenye misingi fulani zaidi kuliko kwenye maagizo
au amri ya mbinguni. Hii ndiyo sababu iliyompeleke asiwe Mkristo. Hakuelewa
sawasawa kwamba Torati ilitoka na kuendelezwa kutoka kwenye asili halisi yake
yeye Aliye Mungu wa Pekee na wa Kweli, ambaye hakuna mwanadamu aliyewahi
kumuona au wala atakayeweza kumuona. Yeye hazuiliwi kusikika na alitupa sheria
zake kwa mikono ya mjumbe wake na mwombezi wetu.
Kila mmoja wetu ameagizwa kuonyesha vile ilivyo na kile
ambacho Mungu aliachowasiliana nasi. Hivyo, una wajibu wa kusoma makusudi
mazima na ya moja kwa moja ya Biblia. Huenda hujui wito wa Mungu. Hajaanza
kuuhukumu ulimwengu kwa hivi sasa. Anawaita watu na kufungua mioyo yao kwa Roho
Mtakatifu na anawapeleka kwenye hukumuni kila mmoja kwa wakati wake mwenyewe.
Na ndiyo maana Biblia iliandikwa kwa mifano. Ili kwamba
watu wasiielewe na wakageuka na wakaokolewa kabla ya wakati wao. Kuuelewa
mpango wa Mungu kunaweza kuonekana kutoka kwenye majarida yaliyo kwenye tovuti
yetu. Hebu soma majarida
kuanzia lile la Tangazo la Msingi wa
Imani ya Kanisa la Kikristo (A1). Soma pia kwenye jarida la Torati ya Mungu (Na. L1) na majarida yanayofanya
mkururu wa masomo ya aina moja. Mazingira ambayo kwayo utoaji mimba unaruhusiwa
yameelezwa ndani yake. Marfab tu unapoanza kufanya moja kwa moja basi
utajipatia hukumu.
Wakati nilipokuwa mdogo na kwenda kanisani na wazazi wangu, nakumbuka kuwa
kulikuwa na utoaji sadaka wa kila juma. Je, kufanya vile ni maagizo ya maandiko
matakatifu? Je, kuhusu matangazo ya ripoti za makusanyo ya fedha yanayotangazwa
kanisani yanayoonyesha ni kiasi gani kinatolewa na kila familia. Hii ilionyesha
kuwa si maagizo ya maandiko matakatifu. Au vipi?
Jibu: Hapana,
imeandikwa “Kifanywacho na mkono wako wa kushoto kisijulikane na mkono wako wa
kuume.” Nchini Marekani, ni lazima kupewa risiti kwa sababu za kikodi na kwa
hiyo ni lazima makanisa yatunze rekodi. Lakini imeandikwa kwamba kuna mara tatu
kila mwaka ambavyo wanaume wanapaswa kukusanyika pamoja na hawaruhusiwi kuja
mikono mitupu. Zaka yapasa itolewe Kanisani na Kanisa linapasa litoe zaka yake
ya zaka makao makuu.
Kwa hiyo, sadaka za aina tatu zimeamriwa zitolewe kila
mwaka na sio 52. Zaka ndizo zimeamriwa lazima zitolewe. Moja ni kwa kila miaka
saba, zaka ya pili inabidi itolewe kwa ajili ya maskini ikiwa ni kama zaka ya
tatu. Mtume Paulo aliwatolea mwito watoe changizo siku ya Kwanza ya juma ili
kulisaidia kanisa la Yerusalemu. Kutokana na tukio hili ndipo kumeibuka na
kuenezwa mafundisho ya uzushi nay a uwongo yaliyolenga kuhalalisha ibada za
kipagani za Jumapili na utoaji wa sadaka za kila wiki.
Suala lote ya ukusanyaji wa sadaka na zaka limefafanuliwa
kwenye jarida la Utoaji wa Zaka (Na.
161). Kama watu watu watalazimika kutoa hesabu kwa kudai stakabadhi kwa
sababu za utunzaji taarifa zao, basi Kanisa litalazimika kuweka wazi dondoo ili
kuwaonyesha maafisa wenye dhamana wanaohitaje kujua.
Kwa nini watu wamejifanyia Mungu na ni kwa nini sisi tuna dini?
Jibu: Hili ni
swali lililoshiba lenye mashiko. Inadhaniwa kwamba nafasi ambayo mwanadamu
amejifanyia aina ya Mungu na dini ni kweli. Watu wa kale hawakuhoji wala kuonea
mashaka uwepo wa Mungu. Huenda kama umekuwa umeondolewa kutoka Misri kwa kupitia
Bahari ya Shamu, ungekuwa na imani. Lakini tunaona kwamba hata Waisraeli baada
ya kuvumilia hali hii bado walitenda dhambi walipokuwa Sinai. Adamu alimjua muumba wake na alisema kwenye Bustani na
malaika nab ado alitenda dhambi.
Sheria au kanuni za Sayansi ya Mwendojoto zinadai
muumbaji. Uumbaji unatangaza
uwepo wa Mungu. Hakuna ushahidi kwa itikadi ya mabadiliko ya kimaumbile
ijulikanayo kama evolusheni kuwa rekodi ya uumbaji kuwa haiendelei na imeishia
hapohapo. Uchaguzi wa sauti ya anga ya dunia inataka pointi rahisi ya chanzo na
si vinginevyo. Kwa karidi tujuavyo, ndipo tunapopata uhakika zaidi kuhusu nguvu
za uumbaji.
Kama ulivyoonyesha hapo kabla, historia ya Kanisa la Kikristo, liualojulikana
pia kama Kanisa Asilia la Kikatoliki la Kirumi, linaweza kuwa limeingiza na
kudumu na mafundisho yake tangu miaka 2000 iliyopita, na mafundisho haya
hayajabadilika kabisa. Nimesoma kwamba baadhi ya magofu ya makanisa ya zamani
ya kanisa hili Kikatoliki la Kirumi yana visima virefu ndani yake vya kubatizia,
ambavyo vinaashiria kwamba waliwahi kuwa na ubatizo wa kuzamisha waumini wao
kwenye maji mengi. Unaweza kunieleza kama jambo hili lina ukweli wowote?
Jibu: Bila shaka
kwamba Kanisa la kwanza na mwanzoni huko Roma lilikuwa na ubatizo huu wa maji
mengi, na tuna ushahidi wa kimamlaka wa mfia dini Justin Martyr kwa ukweli.
Kisima kukubwa cha kubatizia watu kilichokuwa karibu na Ravenna kilijengwa mwishoni
mwa karne ya sita, lakini kwa sasa hilo linapingwa na kuonekana kama imani ya
Kiyunitarian ya Kigothiki kuwa ilikuwa imetamalaki huko Italia na Roma hadi
kufikia karne ya sita, kwa hiyo hii hi pointi ya muhimu sana kujua. Soma jarida la Utakaso
na Tohara (Na. 251).
Natafuta shirika la kujiunganalo na kushirikiana nalo. Watu wengi
walinishauri nijiunge na Wayunitariani au kanisa lililojulikana kama Kanisa la
Maisha Ulimwenguni, au Universal Life Church. Unaweza kunieleza
kiusahihi kuhusu ni nini hasa maana ya Uyunitariani?
Jibu:
Wayunitarians wamegawanyika kwenye makundi. Wayunitariani asilia, na ambao watu
wetu sisi ndivyo walivyo, wanaamini kwamba kuna Mungu mmoja tu wa pekee na wa
kweli na kwamba alimtuma Jesu Kristo kumdhihisha huyo Mungu wa Pekee na wa
Kweli kwa wanadamu. Tunafundisha mafundisho hayohayo kama yanavyokutikana
kwenye kanisa asilia la kwanza la Mungu kama lilivyoanzishwa na Kristo na Mitume.
Utakuta kwamba Kanisa la Kwanza la Kikatoliki lilikuwa la mrengo wa Kiyunitariani
na lilikuwa la mamna moja hata huko Roma katika karne ya pili. Tembelea kwenye
tovuti yetu ya www.originalcatholicchurch.org
Tawi
linguine la Kanisa la kiyunitarian ni lile tunaloliita Uyunitarian wa Kihafidhina.
Wanapinga uwepo wa Kristo wa zama za kabla ya kuzaliwa kwake rasmi hapa duniani.
Aina hii ya imani pia imetokea kwenye Uislamu baada ya Muhammadi na Makhalifa
wake Wanne Waliochukua Haki ya Kuongoza dini. Uislamu unakubaliana na matoleo
hayo mawili hapo juu lakini unapinga kuwa ni uzushi na upotofu imani ya Utatu. Kwa hiyo, Uislamu pia ni moja wapo ya makundi ya
Uyunitarian.
Kwnye Matengenezo, vikundi hivi vilivyokuwa vya
Wayunitarian wahafidhina pia viliiingiza imani yaw a Waldensian na pia walikuwa
shirika na waabudu siku za Jumapili kutoka kwenye Uprotestanti. Kwa hiyo,
matawi haya mawili yanatofautinana sana. Habari hii imesimuliwa na Rabi Kohn
kwenye kitabu chake cha Wasabato wa
Transylvania [Sabbatarians in Transylvania, (CCG Publishing, 1998)]
Hivi karibuni sana, Wayuniveso walijiunga kwenye makanisa
au mashirika ya Wayunitarian wahafidhina na kuunda kile kilichojulikana kama
mashirika ya Wayunitarian wa Kiyuniveso. Wako tofauti kabisa na Wayunitarian
Wasabato.
Maelezo kuhusu mitizamo hii miwili yameainishwa na
kuandikwa kwenye majarida ya Usosiniani, Uariani
na Uyunitariani (Na. 185). Na kwa uelewa vizuri zaidi historia hii ya
fundisho kuhusu asili ya Kristo, tazama kwenye jarida la Uwepo wa Yesu Kristo Kipindi cha Kabla ya Kuzaliwa Kwake Rasmi Duniani
(Na. 243).
Tofauti zao zina maana na ziko wazi sana. Kundi moja
linafanya kile kilichofanywa na kanisa la karne ya Kwanza, na lingine kwa
makusudi kabisa linapuuzia Mafundisho ya Biblia yanayotuama kwenye Torati ya
Mungu. Kama unapenda kujua zaidi kuhusu upande mwingine wanavyosema na kuamini
basi fungua tovuti kwa maneno ya “Unitarian Universalist” yaani “Wayuniveso Wayunitariani”
kwenye kitufe cha kutafutia tovuti na watakupatia tovuti kadhaa, zinazoweza
kukuorodheshea maeneo yaliyo karibu yako. Kama unatafuta kumtii na kumcha Mungu
na Sheria zake, basi tutajaribu kukusaidia.
Makundi yote mawili yanakubaliana na tofauti ya imani ya
upande mwingine na kwamba kila kundi linafuata njia yake kwa Mungu na kwenye
kweli? Au je, makundi yote yanachukua msimamo wa kushupaza shingo zao na
kujiona bora na kudai kufikia kikomo kuhusu Mungu na kusema kuna njia moja tu
na kweli? Kristo alisema kwamba kuna njia moja tu na mlango mmoja tu mwembamba
inayoingia kwenye wokovu na kwenye Ufalme wa Mungu, na ni wachache tu ndiyo
wataiona.
Je, ni kweli kwamba Mungu huwa anaponya papo kwa papo au kazi hii ni ya Yesu
Kristo? Je, tunaweza kupokea uponyaji kutoka kwa magonjwa yetu kama tutaomba?
Jibu: Mara nyingi
Mungu anaponya hapohapo na mara nyingine anaamua kutoponya. Mtume Paulo
walitumiwa kuwaponya wengine lakini hakujihudumia mwenyewe kujiponya.
Haimaanishi kuwa tunaishi maisha au hali ya dhambi ndiyo maana hatuponywi.
Fundisho linalosema kuwa magonjwa yanasababishwa na dhambi ni mafundisho ya
mapepo. Magonjwa kwenye jamii hii ni matokeo mtambuka ya kuzikataa Sheria za Mungu
na wakati mwingine mtu hawezi kulaumiwa, au kuwa na mbinu yoyote ya kuthibiti
kile kinachowatokeza.
Mara nyingi magonjwa kwenye Kanisa la Mungu ni matokeo ya
kuila Pasaka visivyostahili na wakati mwingine hali hiyo inasababisha vifo. Hata
hivyo, unapaswa kuogopa sana na mtindo wa uponyaji wa jumla na wa watu wengi unaofanyika
kwa maonyesho ya wahubiri wa kwenye Runinga ambayo yanaonyeshwa kila siku. Usimuache
mungu nje ya taswira au picha, bali uyachukulie maonyesho haya ya kibinadamu na
punje ya chumvi. Watu wengi hudhania kuwa wamepona nah ii ni tabia nzuri ya
mara kwa mara iliyopo akilini. Lakini kinyume chake wakati mwingine ni kwa wale
watu wanaoshiriki kwenye tiba hizi zisizo na mashiko wala maana
zinazosimamishwa wakati wakiwa sivyo, na kwa hiyo wakifanya uponyaji wao sawia.
Wengine hufanya hivyo kama maonyesho wakionyesha wanachodhani kuwa ni utakatifu.
Watu wema na watakatifu wamekuwa wakipakwa mafuta na
wakafa. Wadhambi nao wamekuwa wakipakwa mafuta na kupona. Vitambaa vilivyotiwa
mafuta zimekuwa vikipelekwa maeneo mahalia ya vijijini na mtu akapona hata kabla
kitambaa chenyewe hakijaanza kusafirishwa. Wanaume na wanawake nchini India
wamekuwa wakipakwa mafuta na kupona kutoka kwenye sumu iliyotokana na kuumwa
nyoka na na maradhi na miujiza mingi mingine inayoweza kukushangaza. Watu wamekuwa
wakidai pia kinyume ili kuonyesha au kujipatia umaarufu.
Kuna sababu nyingine nyingi tofauti na aina nyingi za
tofauti za uingiliaji kati wa Mungu. Wakati mwingine Mungu huruhusu kuwaachia
watu wafe sasa, zaidi kuliko kuirefusha hali. Wakati mwingine Mungu anakuwa
wala hafanyi kazi kwa na yeyote kati ya watu hawa wanaoshughulika na mambo haya
na wanakuwa ni watumishi wa mungu wa dunia hii. Mifano mingi ya kile unachoongelea inatokana na misisimko
ya mipagao ya kihisia au ya kikarismatiki.
Kuna pia wengi wanaofanya mbinu au hila ya kujionyesha wakitumia
ibada au maonyesho haya ya kwenye aina ya mahema. Jibu lake ni kwamba uwe na
imani, omba kwa bidii na kumtumaini Mungu na sio kwenye maonyesho haya ya
kwenye mahema ya kufundishia kwa kupayuka. Tafuta ushauri wa maana na uachane
na mambo haya yote.
Nimeisoma “Historia ya Kanisa” na kwenye Kitabu cha I, Sura ya 12.3,
Eusebius anahusishwa kukiri kuwa Yesu alikuwepo. Sambamba na hilo, anatoa au
kuandika mambo au maelezo kuhusu Yesu yaliyo kwenye Kitabu cha Flavius Josephus,
cha “Antiquities.” Baada ya hapo anatoa maelezo au ufafanuzi ufuatao akisema:
"Wakati mwana historia kutoka kwa Waebrania wenyewe amepamba kwenye
maandiko yake mwenyewe kwa karibia rekodi za wakati mmoja au zinayofanana na
Yohana Mbatizaji na Mwokozi wetu pia, kinachofanya udhuru ni kwamba viliachwa
pasipo kuzikemea ukosefu wao wa uadilifu usio na haya wa wale walioighushi
MTAALA KATIBA au MEMORANDA waliichafua yote miwili...?"
Nashangaa kwamba Eusebius alimaanisha na “Memoranda?” je, anataja aina
nyingine ya kitabu au maandiko? Je, unajua aina ya malighafi ya memoranda hii
ni na huenda ndiye aliyekiandika?
Jibu: Nakala
uliyonayo haijakamilika na ina mapungufu kwenye tafsiri na tarakimu. Andiko
unalolitaja kwa kweli lipo kwenye Kitabu cha 1 sura ya 11 mwishoni.
Kinasema:
“Tangu mwanahistoria ambaye ni mmoja wa Waebrania wenyewe, ameandika kwenye
kitabu mambo haya kuhusu Yohana Mbatizaji na Mwokozi wetu, ni udhuru gani basi
ulioachwa kwa kuto shawishi wao kuwa hawakuona aibu yoyote, aliyeghushi matendo
yaliyo kinyume nao? Basi na acha sadaka yako hapa.”
Kughushi kulikopo na inayotajwa haikuwa ya matendo ya
Pilato. Nukuu ya sura ya 8 na ya 9 inasema kwamba Eusebius anachotaja hapa sio
Matendo ya Pilato yaliyoandikwa na Wakristo, ambao kwamba wengi wao wangali
wapo bado (sawa na Kitabu cha II, sura ya 2, sehemu ya 1), bali kwa vile
vilivyogushiwa na adui zao na uthibitisho wa mfalme Maximinius (tazama hapo
chini Kitabu cha IX. Sura ya 5).
Hivyo, neno “memoranda” kwa kweli ni “Matendo” na
kinaitaja hali hii ya kughushi kulikofanyika chini ya Maximinius. Kuna sehemu
kama hapo juu na pia inataja maandiko kwenye kipengele cha 12 hadi sura ya 11.
Ninamwamini Mungu na Yesu Kristo, lakini siielewi tofauti iliyoko kati ya
Myahudi, Mkristo, Mkatoliki, Mashahidi wa Yehova, nk. Ni kivipi mtu anaweza
kuchagua kanisa na kubatizwa? Sijaelewa tofauti yao ni ipi na nende wapi?
Jibu: Kuna Mungu
Mmoja tu aliye wa Pekee na wa Kweli. Sote tulikabiliwa na tatizo hili moja. Jibu lake linatuama kwenye kweli ya wazi ya Biblia nay a historia
ya Kanisa lililofuata imani ile. Tazama na usome jarida la Maelezo ya Msingi wa Imani ya Kikristo (A1). Kinafanya kazi
sambamba na maagizo ya Biblia, kizitilia maanani rejea na maandiko yhenyewe.
Kisha, kinaanza kumuonyesha Mungu ni yupi na ni sheria zipi alizokupa wewe
uzifuate unapomwabudu. Jarida la Programu
ya Kujisomea Biblia (Na. B1) litakupa majarida unayoyahitaji.
Je, umewahi kusikia kuhusu watu wanaotajwa kuwa ni Watu wa Kitabu?
Jibu: Watu wa
kitabu au Watu wa Maandiko Matakatifu ni Wayunitariani washika Sabato wa Kanisa
la Kikristo katika Mashariki ya Kati, waliotambuliwa na Mtume Muhammadi na Korani
kama Kanisa la Kwanza la Waaminio. Hivyo kundi hili likijulikana kama Waislamu
mara nyingi walikuwa wamepewa ulinzi na hiyo. Waliendelea kwa jina la
Wapaulicians katika siku za mwanzoni za Uislamu. Hawa ni pamoja na Wakristo
Wayunitarian wakiwemo Vandals. Vandals walikuwa ni watu wa daraja la juu na
mhimili aliomudu kuviteketeza sanamu kwa kigezo cha kwamba wanaitii Amri ya
Pili ya Mungu.
Wengine wanaziamini Siri za Mungu na kuziona kwamba ni siri zinazostahili
kukubalika kwenye imani bila kuelewa. Je, inaruhusiwa na Maandiko Matakatifu?
Jibu: Huu ni
mtazamo ulioainishwa na eneo ambalo haiwezi kuwa na mashiko ya mafundisho ya
karne ya 4 yakaingizwa Kanisani. Walitengenezwa karibu na mungu wa
utatu wa zama kale, hususan kutoka Roma. Kwa kweli walikuwa hawashikamani kwa
kwa hiyo ililazimu yafafanuliwe kama imani za siri. Hichohicho ndicho
kinachofanyika kwenye nyororo wa 15 wa maombi ambao umeshuka chini kama “Fumbo
la Rosary”.
1Wakorintho 4:1 inaonyesha kwamba makanisa ni watumishi
au wahudumu wa Siri za Mungu. Hii
inamaanisha kwamba inawabidi waweze kuziainisha na kuwafafanulia. Kuna mambo
yanayopasa yakubalike kwenye imani. Imani ni kuwa na hakika ya mabo
yatarajiwayo na mabo yaliyoahidiwa. Sio utiifu tu wa kufumba macho kiakili kwa
sababu yenye mashiko. Kwa mfano, tunajua kwamba vitu vinavyoonekana vimetokana
na vile visivyoonekana. Haitupasi kuweza kuifafanua Theori ya Kimakenikali ya Quantum
isipokuwa uumbaji wa Mungu. Biblia inasema kwamba uzima wa milele ni huu,
kwamba wakujue wewe Mungu wa Pekee na wa Kweli na Yesu Kristo uliyemtuma (Yohana
17:3). Hii inamaana kwamba inawezekana kumjua Mungu wa Pekee wa Kweli na Yesu
Kristo aliyemtuma. Haimaanishi kwamba hawezi kuwa iligunduliwa tena kama Mungu
wa Utatu na kuishia kwenye “Fumbo” lisilo na maana..
Kama utakuja karibu na mtu anayesema kwamba hawawezi
kuielezea Asili ya Mungu kwa kuwa ni fumbo au Siri za Mungu hazijulikani na
kwenye kizimba cha Kanisa, ndipo huenda unaweza kukuta kwamba watu wale wale
watasema kwamba wanapokufa watakwenda mbinguni na maasimu wao watakwenda motoni
kukabiliana na mateso ya milele. Kanisa Katoliki la Kwanza huko Roma katika
karne ya 2 lilimwambia mfalme kwamba kama mtu angekuja mbele yao akasema kuwa
wao ni Wakristo na kwamba wakifa wanakwenda mbinguni, usiwaamini kwa kuwa wao
sio Wakristo chochote. Soma
majarida ya Nafsi Hai (Na. 92) na Ufufuo wa Wafu (Na. 143).
Wakristo hao hao wa uwongo au Wakostiki wanapita karibu
kwenye uwingi sasa wakielezea kwamba kila kitu ni fumbo kwa kuwa walikuwa
wameharibu kabisa na heshima waliyoweza kuwa nayo. Waliichukulia na
kuilinganisha sayansi sambamba na Biblia kwa ufafanuzi wao mahiri kutokana na
Augustine. Kwa ufupi, siri hutokea kutokana na ujinga wao wa Kinostiki na
Kiantinomia. Soma kwenye majarida ya Uvijiteriani
na Biblia (Na. 183), Wanikolai (Na. 202), na lile la Siri za Mungu (Na. 131).
Maombi na Kufunga
Ni nani ninayepaswa kumlenga ninapoomba dua, ni Yesu, Mungu, au mmojawapo
ya malaika, au Mariamu?
Jibu. Kristo alituambia
Tuombe kwa Baba kwa jina lake. Simjui mwingine anayestahili kulengwa au
kuombwa. Kosmolojia yenyewe ya Biblia inakuzuia wewe kumuomba Mariamu au
Watakatifu kwa kuwa wao bado wako makaburini wakingojea Ufufuko wa Wafu.
Soma kwenye jarida la Ufufuo
wa Wafu (Na. 143). Biblia inakataza. Hakuna mtu aliyewahi kushuka kutoka
mbinguni isipokuwa mwana wa adamu (Yohana 3:13). Kama wote wamekufa basi kuna
sababu gani ya kuwaomba wao. Ufunuo 4 na 5 inaonyesha kwamba maombi kwa Mungu
yanakusanywa kama ubani wenye harufu nzuri na baraza la Mungu Mwenyezi. Soma
jarida la Tufundishe Kuomba (Na. 111).
Nimesikia maandiko haya
yakitumika na “mtu akijipiga kifuani mwake” anapokuwa akiomba; andiko hili
linamaana gani? Nakumbuka watu wakijipiga vifuani mwao wanapokuwa wanaomba
lakini wala hawajui ni kwa nini wanafanya hivyo.
Jibu: Neno linalotaja matendo ya watu
wanaoingiza mambo ndani na toba hii ya kina na maumivu mara nyingi inaashiria na
matokeo haya ya kimwili. Kwa sababu ya ukweli huu, watu wengi wanaonyesha
vitendo vya “Mea Culpa,” ambayo yamefanyika kuwa ni mtindo au tabia tu kutokana
na andiko hili, na hawamaanishi chochote kutokana nayo. Kristo alitaja maombi
yenye toba ya kweli ya watenda dhambi na kulinganisha na hali ya kujihesabia
haki ya wanaojiita wanadini.
Nawajua watu fulani
wanaoamini kuhusu mahali pazuri sana pa kufanyia maombi ni Kanisani wakiamini
kuwa “Mungu anaishi humo na hivyo tutasikia kila mara maombi kwamba yakitolewa
hapo.” Je, knna mashiko yoyote yenye msingi wa kimaandiko kwenye mstari huu wa
kifikra?
Jibu: Inatoka kutoka kwenye dhana ya utaratibu
wa zamani wa hekalu na kuliona kanisa kama jingo badala ya kuwa ni kundi la
watu. Kristo anasema kwamba walipo wawili au watatu kati yenu wamekusanyika
pamoja kwa jina langu, nitawasikia. Na pia alituambia kuingia vyumbani mwetu
peke yetu na kuomba huko. Usiende na kuomba hadharani. Mwanzini kabisa, kanisa
lilikutanika kwenye sinagogi ambapo kimpokeo na kidesturi walikuwa wanaitafakari na kujadiliana kuhusu
Torati ya Mungu na manabii wake. Huko Roma, walikutanyika majumbani. Kidesturi,
walijaribu kuwafungamanisha na mashambulizi ili kuepuka mateso. Hakuna jingo
linalohitajika ili kufanikisha maombi
Je, Mungu anasikia na kujibu maombi ya asiye Mkristo? Pia, inawezekanaje
mtu amuombe Mungu na ikiwa kama hajawa muongofu bado? Ni nini anachopasa
kukiomba?
Jibu: Mlango wa
Wokovu umefunguliwa kwa Wamataifa. Mtu yeyote hapa duniani anaweza kumrudia
Mungu, naye atasikia na kujibu iwapo kama mtu atamtafuta kwa bidii na kumtii
kwa moyo wake wote (Matendo 13:47; Waebrania 5:9).
Iwapo kama, kwa namna yoyote ile, mtu ni mwabudu sanamu,
ndipo yeye hatamsikiliza. Kuna maandiko mengi sana yanayoonyesha jinsi Mungu
alivyokataa mara nyingi kuyasikiliza maombi ya waabudu sanamu. Wengi wa watu
wanaojidai kuamini kuwa Kristo ni Bwana au Bwana wao, hawazitii Amri za Mungu. Watakatifu
ni wale wazishikao Amri za Mungu na Ushuhuda wa Yesu Kristo (Ufunuo 12:17;
14:12). Mungu anahitaji utii zaidi kuliko sadaka.
Je, wanawake na wasichana wanatakiwa kuvaa kofia au kitu fulani ili kufunia
nywele za vichwa vyao wanapoomba?
Jibu: Dhana iliyo
kwenye andiko ni kuonyesha uhusiano wa muundo au utaratibu wa uumbaji. Haimpasi
mwanaume kufunika kichwa chake anapoomba, kwa kuwa kichwa cha kila mwanaume ni
Kristo, na Kichwa cha Kanisa ni Mungu. Mwanamke anatakiwa kuwa na nywele ndefu
kuliko za mwanaume kama ishara ya uhusiano wake kwa mwanamume wake na baba
yake. Hizi nywele ni kwa ajili ya malaika.
Hii ni kutokana na uasi wao na anguko lao na umoja uliosababishwa
na Wanefili (soma jarida la T Wanefili (Na.
154). Kwa mwanamke nywele ndefu ni utukufu kwake pamoja na kuzifunika kwake.
Yampasa mwanaume asifunike kichwa chake anapoomba, kwa
kuwa nywele ndefu ni aibu kwa mwanaume kwa sababu hiyo. Ni kujivunjia heshima
kwa moja kwa moja na ni kuudhalilishwa uwanaume wake na kunaathiri uhusiano
wake na Mungu na Kristo pia. Mwanaume anayefuga nywele ndefu au anayevaa kofia
anapokuwa anaomba na kwenye ibada, anaweka kipingamizi kati yake na Mungu na ni
kinyume kabisa na maagizo ya Torati. Mwanamke mwnye nywle ndefu anaonyesha
ishara ya kuwa ni mtiifu kwa mumewe, na hata kwa Mungu na kwa Kristo pia.
Mwanaume mwenye nywele ndefu au mwanamke anayenyoa nywele zake kama mwanamume
anakidhalilisha kichwa chake.
Huu ni ukusiano muhimu na wa msingi kwenye Kanisa na
Torati ya Mungu. Pia tazama kwenye majarida ya Torati na Amri ya Tano (Na. 258); Torati na Amri ya Saba (Na. 260); Utakaso
na Tohara (Na. 251).
Nimegundua kutokana na jibu linguine kwamba ulisema Wakristo wanapaswa
kuomba mara tatu kwa kila siku. Je, kuna namna bora ya kuomba? Je, yatupasa
tujigeuze na kujikatia tamaa wenyewe? Je, “maombi ya harakaharaka” yanakubalika
na kumpendeza Mungu?
Jibu: hakuna
kikomo au ukomo wa kuomba. Unaweza kuomba ukiwa unatembea kwenye ufukwe wa
bahari, au ukiwa umeketi kwenye viwanja vya ufukwe wa bahari, au hata ukiwa
katikati ya matatizo. Maelekezo yaliyoelekezwa ni kuingia chumbani mwako na
kumuomba Baba, kwa jina la Mwana wake, na ndipo maombi yako yataheshimiwa.
Masharti yake kwa kweli ni kwamba yawe ni maombi sahihi tu na yenye nia njema
kwa wengine na yanayozingatia mapenzi ya Mungu, na kwamba uwe ni mmoja wa
wateule. Watu wote wanaweza kumjongolea Mungu na kumuomba Roho na ufahamu naye
atawapa wanachomuomba, lakini wanapaswa kukitendea kazi kile walichopewa kukiendeleza.
Tazama jarida la Tufundishe Kuomba (Na.
111).
Inaonekana kama yapasa kuwe na ishara kwenye rejea zote za mtu kufunga saumu
aliwa amejivika nguo za magunia na kujitia majivu kichwani. Kama ni hivyo,
maana yake ni nini?
Jibu: Kinachokusudiwa
hapo ni kuonyesha mwonekano wa wazi kutokana na maombolezo yako, kama dini
potofu za siri zilizvyokuwa zikifanya kwenye maombolezo yao kumuombolezea Osiris
huko Misri, au Attis, au Adonis, au mungumke aliyejulikana kama mungu Mama, wa
dini na imani ya Malkia wa Mbinguni wa Easter (soma jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235)). Jivu wanalopakwa kwenye vipaji vya
nyuso lijulikanalo kama siku ya Jumatano ya Majivu linatokana na mapokeo ya
maombolezo yaliyokuwa yanafanywa na wapagani Maombolezo ya kidini kwenye
maadhimisho ya sherehe za kipagani. Mungu anachukia aina hii ufungaji wa saumu
na kujionyesha wazi ujulikane na watu wote. Aina ya kweli ya ufungaji saumu inakutikana kwenye Isaya sura
ya 58. Soma jarida la Upatanisho (Na.
138).
Nimesikia watu walishauri kwamba tunapofunga saumu tunapaswa kutoa chakula
cha siku hizo kuwapa wenye njaa kutokana na andiko la Isaya 58:7. Je, hicho
ndicho kinachomaanishwa na aya hiyo?
Jibu: Bila shaka
hiyo ilikuwa ni tafsiri potofu ya watu kutoka kwenye makundi yanayofuga nywele
ndefu zilizotawanyika.
Ndiyo, unahitajika kuwapa mkate au chakula chako maskini
na kwa jinsi hiyo, chakula unachobakiwa nacho pasi kutumika wakati unapofunga
saumu yapasa uwagawie masikini, ndiyo. Hata hivyo, ina maana kwamba mahitaji ya
maskini liwe ni jambo muhimu na la kwanza. Ufungaji wako saumu yapasa iwe ni
kwa ajili ya kuwasaidia wengine na ni kwa ajili ya kuzivunja nira za uovu na
kuvunja kila nira.
Mtazamo huu ni njia mujarabu ya kuchangisha au kuokoa
fedha ambazo ungezitumia kwa chakula walichopewa maskini.
Totari ya Mungu inajiri mahitaji ya watu maskini kwa
msingi mkubwa kuliko kuwapa tu maskini chakula kilichohifadhiwa wakati wa
kufunga. Soma jarida la Utoaj wa Zaka (Na. 161).
Kuhusu Roho na Aina Zakei
Kwani inawezekana kwamba watu waweza kuwa na Roho wa Mtakatifu wa Mungu na
wakaingiwa na maroho ya kishetani au mapepo kwa wakati mmoja?
Jibu: diyo, inawezekana
kuwa hivyo kwa mazingira fulani maalumu. Sehemu ya kwanza ni wakati ule ambapo
mtu anaongoka. Pepo anakabiliwa vikali kwa kuondolewa au kufukuzwa na ndipo
Roho Mtakatifu huingia. Kwenye matukio mengine, pepo anaweza kusikika akitubu,
kama ilivyotokea kwenye Kanisa kwa nyakati kadhaa mbalimbali. Katika siku za
mwanzoni tuliruhusiwa kwenye miji fulani na sio kwa wengine. Hii ilionekana
kuwa ni kama matokeo yaliyosababishwa kutokana na mapepo yaliyosimamia ya
maeneo maalumu yaliyotujilia.
Kwenye hali ambayo pepo yupo sambamba na Roho Mtakatifu
akiruhusu uwepo wa pepo, ndipo hilo laweza kutokea. Kwa kawaida, Roho Mtakatifu
hana uhusiano na uovu na Roho huondoka kutoka mahali ambapo mapepo yameruhusiwa
au kupewa fursa ya kubaki. Ni kama alivyosema Kristo, wakati nyuma inapokuwa
tupu na imefagiwa na Roho anapoondoka, mazingira au hali yake inakuwa mbaya
zaidi kuliko ilivyokuwa hapo zamani.
Kitendo cha kumzima Roho Mtakatifu kinaruhusu kurudi tena
kwa mapepo. Huu sio mchakato wa haraka haraka. Watu wanajaribiwa wakati wote na
inatoa mwanya kwamba mapepo yarudi na kuingia tena. Yatupasa tusisahau kwamba
Malaika waasi wakati fulani waliwahi kuwa wana wa Mungu. Wapo chini ya hukumu
wote na wataendelea kuhukumiwa na sisi kwenye Ufufuo wa Pili wa wafu. Soma
majarida ya Jinsi Mungu Alivyofanyika
Familia (Na. 187); Hukumu ya Mapepo (Na. 80); na Kondoo Aliyepotea na Mwana Mpottevu (Na. 199).
Ni nini kitamtokea mtu ambaye Roho Mtakatifu na roho za mapepo vimeruhusiwa
vyote kuwa ndani yake na ikiwa kama roho za mapepo hazijatubu? Inamaanisha
kutokuwa na haki au kwa kiasi fulani inamletea shida mtu huyu kuwa na roho za
aina zote mbili wakiwa wamekutana pamoja na huyu muovu. Nashangaa pia kwamba ni
nani aliyechagua kuwa kuiruhu itokee hali hii – ni huyu mtu, pepo au kitu
kingine?
Jibu: Roho
Mtakatifu ni muimla wa yote yanayojitokeza. Kwa kawaida hakai pamoja na uovu.
Hata hivyo, Mungu anamuelekeza kuwa ni uweza wake na wakati mwingine atakuwa
anashughulikia vitu vile anavyovijua tu. Anaweza kuwa aliamua kueneza roho ya
toba kwa mapepo yanayohusika. Anaweza asikudhuru na hatimaye anaweza kuongoka.
Kanisa la kwanza waliamini kwamba uongofu unaweza kuendelea hata kuwafikia
mapepo, na ukweli wa kwamba kanisa limeruzukiwa Kuwahukumu viumbe hawa
inatuambia kuwa yawapasa kuongoka (sawa na 1Wakorintho 6:3).
Kama mtu atajua ya kwamba hivi ndivyo ilivyo, kisha basi
kwa kawaida kwenye ubatizo watakuwa wangekuwa wameomba kuondolewa kwa mapepo.
Angekuwa ni mlalaji usingizi na, kwa mfano ule, mtu anaweza kuomba aondolewe au
kuongolewa kwake. Mungu atawapatia wakiomba wateule. Yatupasa kuwa waangalifu
sana kwa tunachokiomba na tunachokifanya, kwa kuwa sisi ni wateule tunaozishika
sheria na amri za Mungu na Ushuhuda wa Yesu Kristo, tuliye na uweza wa
kuziangusha ngome. Soma kwenye jarida la Hukumu
ya Mapepo (Na. 80) na pia lile la Kondoo
Aliyepotea na Mwana Mpotevu (Na. 199).
Inasemekana kuwa Shetani ni Roho na hivyo hawezi
kufa. Lakini ni wazi kabisa kwamba Shetani na mapepo wanakwenda kuchomwa na
kuunguzwa motoni milele. Je, roho zinaweza kufa?
Jibu. Mungu anasifa ya kipekee ya kuwa na nguvu na
uwezo wote. Hii inamaana kwamba yeye ana nguvu na uweza wote. Yeye pia ni Mungu
wa pekee wa kweli nay eye peke yake ndiye hafi (1Timotheo 6:16). Hii inamaana
kwamba ni Mungu peke yake ndiye asiyeweza kufa. Aliwaumba Malaika wa mbinguni nao
wanaweza kufa wote. Kristo alidhaniwa kuwa alikuwa ndiye mwenye umbo la Mungu
na hakupenda kushikilia kuwa sawa na Mungu. Bali alitoa umbo lake halisi na
akafanyika mwanadamu na akawa mtii hadi mauti yake pale mtini (Wafilipi 2:5-8).
Kristo alikufa na Biblia inanatuambia kuwa hata hawa malaika nao watakufa.
Watatupwa chini kwenye shimo kubwa na watakufa kama mwanadamu mwingine yeyote
afavyo. Mwandamano huu wa
matukio umeandikwa kwenye Isaya sura ya 14 na Ezekieli sura ya 28. Mungu
anaweza kuwafufua viumbe wote na kumuuliambali kiumbe yeyote.
Lakini anapendezwa sana kuwapa wateule wote uzima wa milele wakiwa kama
wana wa Mungu kwa uweza kama alivyofanya kwa Kristo aliyemfufua toka kwa wafu (sawa
na Warumi 1:4).
Kalenda
Kama huzitambui waka kuziadhimisha Krismas na Easter, na nyingine
zinazofanana nazo, unaihalalishaje siku yeyote ya juma au mwezi wa mwaka?
Nyingi zake zimeitwa majina yake kwa miungu ya kipagani! Je, unazitumia kalenda
zote mbili pasipo kujisikia kuhukumiwa na dhamira? Je hujikuti kama umekwama kwenye
ukuta? Ni kama Jumamosi ambayo kwa Kiingereza inaitwa Saturday jina hili linatokana
na mungu Saturn; hakuna mahali kwenye kanisa palipo kama la kwenu ninyi!
Jibu: Dhamira
yako pamoja na akili zako mwenyewe zinaweza kukupa jibu. Katiba iliyo kwenye
tovuti (A2) inakuonyesha kuwa Kanisa linaendeshwa kwa kufuata Kalenda Takatifu
inayoanzia siku ya I Abibu au mwezi Nisani na serikali zinatambua haki yetu ya
kufanya hivi.
Miezi inahesabiwa na tunaadhimisha Miezi Mipya kila
mwezi. Siku za juma zimetajwa sawa na mwezi kwa miungu ya kipagani. Hilo sio
jukumu letu. Zingali bado pia zikitajwa kutoka siku ya kwanza hadi ya saba ya
juma. Sabato inaonekana kuangukia kwenye siku ya saba ya juma, ambayo pia
inaitwa Jumamosi au kwa kimombo Saturday. Tunaiita hii kuwa ni Sabato. Lawezaje
kuleta mkanganyo jambo hili?
Wakati atakapokuja Kristo, kalenda ya kipagani
itaondolewa kabisa na tutarudi kwenye Kalenda halisi ya Hekaluni. Soma kwenye
majarida ya Kalenda ya Mungu (Na. 156);
Mwezi na Mwaka Mpya (Na. 213); Kalenda na Mwezi: Ni Uhairisho au Maadhimisho?
(Na. 195); na Torati na Amri ya Nne
(Na. 256). Tungali bado tunaishi duniani, ambayo inaendeshwa kwa nguvu za
mungu wa dunia hii na roho za uasi, lakini si kwa muda mrefu sana.
Vipi kuhusu mstari wa tarehe au mabadiliko ya siku nyingine? Siwezi
kusaidia na wala sijui, bali nadhani tu kwamba Sabato, Mwezi Mpya, Siku
Takatifu na kila siku kwa jambo hilo zapasa zianze kwa kuzama kwa jua huko
Yerusalemu na ndipo iendelee ulimwenguni kote. Je watu waishio mashariki mwa
Yerusalemu wanaanza kufikwa na Siku Takatifu kwanza na tunafanyaje kabla ya
mstari wa kubadilika kwa siku haujaanza?
Jibu: Inchini
Australia tunauona Mwezi Mpya, Sabato, na siku za Sikukuu kabla ya maeneo yote
mengine kwa kuwa sisi tupo mashariki mwa Yerusalemu. Hakuna mashaka kwamba
sheria zinatoka Yerusalemu na siku inatakiwa ianzie tangu kipindi cha mpito cha
siku ikilinganishwa na Yerusalemu.
Huenda Masihi atapangilia siku za kuanza kwa siku bali
hadi hapo utaratibu huu tulionao ndio sahihi na muafaka pamoja na uchokeshaji
wake na unakubalika na watu wengi. Yaonekana kuwa ni dhahiri unasoma kwa bidii
na huenda unapaswa upate masomo mengine mengi zaidi kutoka kwenye majarida ya Kalenda ya Mungu (Na. 156) na Mwezi Mpya na Mwaka Mpya (Na. 213).
Nimesoma mahali fulani penye maneno yasemayo “hakuna mtu aijuaye siku wala
saa” ni lahaja ya Kiebrania ya Sikukuu ya Baragumu inayokusudia kuionyesha siku
ya 1 ya mwezi wa 7. Je, kuna ukweli wowote katika hili?
Jibu: Hapana, hiyo
haina maana yoyote kabisa. Wala na haiingii hata kwenye imani na mfumo wa Hilleli. Inaonekana kuwa ni
waadhimishaji wa Karaite potofu ili kuhalalisha masharti ya maadhimisho yao.
Hesabu ya vipindi vya mpito kuliondolewa kama siku nyingi
sana za nyuma sana za Nuhu, na kumbukumbu za kihistoria wangali bado wamerekodiwa
na Wachina. Habari zao
yaonekana kuwa ni miaka 2000 ya kabla ya Meton. Imani yote ya siku za zamani
tangu zama za Nuhu, na sio tu kuwa walijua tu kuhesabu mifumo bali pia
walifanya hivyo na kulazimisha kuhesabu. Baadhi ya wataalamu wa nyota na anga
wa Kichina walishindwa kutangaza kupatwa kwa mwezi na jua, tukio linalodaiwa
lilitokea mwaka 2158 KK na Mwana wa Mfalme Tin alipelekwa kuwaadhibu. Mfalme wa
rangi ya Manjano Hwang Ti anarekodiwa kuwa alishurutisha kuhesabu ya mzunguko
wa mwaka wa tisa wa jua na kipindi cha mpito cha mwezi mnamo mwaka 2698 KK. Inaaminika
kuwa hiki kilikuwa ni kipindi cha kabla ya gharika kuu. Mtazamo sahihi wa wakati
umeainishwa kwa kina kwenye kitabu cha Imani za Siri kwenye sura ya 8 ya tovuti
ya www.ccg.org/english/s/B7_8.html.
Hapo zamani ilifundishwa
fundisho la Ufufuo wa 3 wa wafu. Ni wapi kwenye Biblia linakotokea wazo hili?
Je, kuna rekodi yoyote ya kihistoria inayoonyesha kama fundisho hili liliwahi
kufundishwa na kanisa? Ufufuo wahuu wa 3 wa wafu unalenga watu gani na
unakusudia nini?
Jibu: Fundish la Ufufuo wa Tatu wa wafu kwa
kweli ni uchafu na ni mashambiulzi makubwa na yenye kukatisha tamaa ya Herbert
W. Armstrong na huduma yake kwa kudhibiti mamlaka ya Kanisa. Fundisho hili
lilitungwa kwa lengo la kuwafanya waumini wa kanisa wamilikishike na lilikusudiwa
kwa wazo kwamba kwa kuwa wewe u sehemu ya ushirika wa kanisa lake la Worldwide
Church of God, baada ya kubatizwa kwako, basi unaweza kuurithi Ufalme wa Mungu.
Hii ina maana ya kuwa na makubaliano au maafikiano kamili kwenye huduma ya
kanisa hili la WCG na mambo mengine yote waliyoyafanya. Kama uliinuka na kupiga
kuyakemea matendo yasiyo halali au mafundisho yasiyo sahihi, basi walikuwa
wanakufukuzilia mbali kutoka kwenye ushirika wa kanisa lao. Kilichokuwa kizuri
kuliko kubakia humo, kama kufukuziliwa mbali huku ni kukupelekea wewe kuwa na
sehemu kwenye Ufufuo wa Pili wa wafu..
Kitu kibaya sana kilikuwa ni kuondoka kwa maana ile, machoni mwa kanisa, ni
kuondolewa hadi kwenye Ufufuo wa Tatu wa wafu. Usimamizi huu mbaya au mpotofu
na wenye kuhuzunisha sana, ilikuwa ikidhaniwa kwenye mawazo au nia ya Mungu,
ilikuwa ni kumfufua kila mmoja ambaye alikuwa hajawekezwa bado au kuaminishwa
mafundisho haya yasiyo na mashiko huko na sio “kukalishwa na kuomba na kulipa”
kama mmoja wa wainjilisti wa zamani wa Armstrong alivyoandika hata hivi
karibuni. Wangefufuliwa ili watupwe kwenye Ziwa la Moto. Kwa maneno mengine ni
kusema kuwa Mungu alikuwa anakwenda kuwafufua watu hawa kwa lengo la kwenda
kuwaua tu tena kwa kuwatupa kwenye Ziwa la Moto. Hii ingepelekea kufanyika kwa
moyo wa mzito na huzuni kubwa kufanya hivyo. Walipokea fumbo la kimafundisho
kwa kipande cha kushangaza sana cha chuma cha kisarakasi.
Kwenye Ufunuo, sura ya 20, tunaona kwamba kuna aina mbili za Ufufuo wa
Wafu. Ufufuo wa Kwanza wa Wafu ni wa mwanzoni mwa kipindi cha Milenia atakaporudi
Masihi. Fufuo huu utalihusu Kanisa pekeyake. Wale wote wasio watakatifu
wanaozishika Amri za Mungu na Ushuhuda au Imani ya Yesu Kristo watafufulwa kwenye
Ufufuo wa Pili mwishoni mwa kipindi cha Milenia na chakufunguliwa kwa Shetani
kwa vita vya mwisho. Ufufuo wa Kwanza utafuatiwa na kitendo cha kufungwa
Shetani kulikoandikwa kwenye Ufunuo 20:3. Ufunuo 20:7 inasema Na hiyo miaka
elfu itakapokwisha, Shetani atafunguliwa, atoke kifungoni mwake. Kwenye aya 8 tunaona kwamba atatoka na kwenda kuwadanganya
mataifa kwenye pembe zote nne za dunia. Baada ya uasi wao, ndipo Ufufuo wa Pili
utafanyika na roho ya ibilisi na ya mnyama nay a nabii wa uwongo au ya unabii
wa uwongo vitatupwa kwenye Ziwa la Moto. Ufunuo 20:11-14 inaendelea kuelezea
kutokea kwa Ufufuo wa Pili na kufanyika kwa Hukumu itakayofanyika wakati huo.
Sasa, ni kwa vipi imani ya Armstrong imejitungia fundisho hili la Ufufuo wa
Tatu ni kwa kuligawanya sehemu mbili kiutafsiri andiko la Ufunuo 20:13 kutokana
na Ufunuo 20:11 na 12. Haya ni matokeo ya kutojua kulitafsiri vyema andiko
lisemalo “Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa
wafu waliokuwamo ndani yake” wakadhani
kwamba huu ulikuwa ufufuo mwingine zaidi utafuatia. Sasa, upuuzi mkubwa wa
kumfanya kila mmoja aliyekufa baharini apelekwe kwenye Ufufuo wa Tatu haukufafanuliwa
kuwa ni awamu ipi na Armstrong mwenyewe au kurambishwa kwake. Armstrong alikuwa
na uongozi wa hila uliowagawa asilimia 50% ya waumini wa Kanisa wawachukie
asilimia nyingine 50%, yaani nusu yao wawachukie nusu nyingine ili apate mwanya
wa kumudu kulitawala na kulithibi kanisa na kuwatawala. Ukweli wa mambo ni
kwamba, mfumo huu ulipelekea hali ya kila upande kujiona kuwa wako sawa na
wenye haki zaidi ya wenzao kiasi cha kupelekea kuwa na “doa la Walaodikia” (na
huku wakifundishwa kuwa walikuwa Wafiladelfia). Fundisho hili la Ufufuo wa Tatu
lilifanywa ili kufanya kukithi haja dhidi ya jakamoto la kihisia kwa watu ambao
hawakuwa wameondolewa ili wasiwemo kwenye ushirika wa kanisa lao, kuliko kuwa wametupwa
wachomwe kwenye Ziwa la Moto kusoko na fusra ya kuokoka. Hali hii ya kutawala
akili za watu kwa hila ilikuwepo sana wakati huo.
Ilikuwepo sana kiasi kwamba ilichukua mawazo mazito kuikaribisha na ili
kuyaona kuwa ni mafundisho ya kijinga kwa jinsi yalivyokuwa. Kuna watu wengi
sana bado kwenye kanisa hili la WCG wasioamini neno la Teolojia mpya ya Waamini
Uatu, bali wanabakia hivyohivyo kwa kuwa lilikuwa ni kanisa walilobatizwa nalo,
na wakidhania kwamba kama wataliacha watajikuta wakitupwa kwenye Ziwa la Moto. Tabia
ya kuwathibiti watu ilikuwa kubwa sana kiasi kwamba kwao walikuwa wamejitoa
moja kwa moja kumwabudu mwanadamu na kuyafumbia macho matendo yote yasiyo ya
haki yaliyotendwa na Armstrong akiwa kama kazi za mtumishi wa Mungu. Unaona,
kwa kubadilisha hali ya ubaguzi wa kitabaka au rangi ya mtu ambaye aliweza
kumsamehe kwenye tuhuma mbaya ya kuigiza na kuiiba kazi ya mtu ambapo, mtu
yeyote mwenye ujuzi wowote ya fundisho lolote analolijua la WCG, liliibiwa
kutoka kwenye kitabu cha Allen cha Fimbo
ya Ufalme wa Yuda na Haki ya Uzliwa wa Kwanza ya Yusufu [Judah’s Sceptre and
Josephs Birthright]. Wangeteswa sana na kutozwa faini kubwa sana kama
wangefanya hivyo leo. Kwa jinsi hiyo, walisamehe wizi uliofanywa kwenye kitabu
cha G. G. Rupert. Walikubali kuchanwa kwa katiba na kujaza makabrasha yaliyopotoshwa
ya Armstrong na maafisa wake, wakijua hayakuwa ya kweli. Ni dhahiri kabisa
kwamba Armstrong aliliiba kanisa kutoka kwa waumini wake na kuyachambua na
kuandika upya wakati watu wake wamebakia kuduwaa kwa kile kilichokuwa
kinaendelea. Walibakia kuduwaa kama mbwa bubu kwa kuogopa wasije wakaingia
kwenye Ufufuo wa Tatu kama wataachwa. Mzuri waliokuwa wanautumainia na
kuungojea ni ule wa Pili kama watatupwa nje au kufukuzwa kanisani. Wewe
bilashaka umeyajua hayo yote na zaidi. Tumeandika na kufafanua juu ya fundisho
hili kwenye majarida ya Uwongo Kuhusu
Ufufuo wa Tatu (Na. 166); Ufufuo wa Wafu (Na. 143); na la Nafsi Hai (Na. 92).
Nimeitazama video ihusuyo
Jebel el Laws/Jebel el Musa. Ni wapi hapa mahali salama pa maficho? Ninashawishika
sana (kwa kiasi kikubwa) hiki ni kitu gani na kam dhana ya kuwepo mahali
kuitwako Petra si ya kweli.
Jibu: Petra ni jangwani, ni mji wa Edomu, na hatutaweza kudanyanyika
na hila za wazi kama hiyo. Mahali Salama ni mikononi mwa Mungu. Injili inasema kuwa
hatutamaliza kukimbilia miji ya Israeli hadi mwana wa Adamu atakaporudi (Mathayo
10:23). Kwa hiyo, Kanisa litakuwa kwenye mateso, kila mara kwa kipindi chote.
Uwongo kuhusu hoja au malumbano ya Petra na Mahali pa Salama yamefafanuliwa
kwenye jarida la (Mahali pa Salama (Na.
194). Kanisa hili la Worldwide Church of God lilisema lilikwisha kuwa Petra
kwenye miaka ya 1970. Kabla ya hapo, ulikuwa huko Canada mahali fulani. Kuna
idadi kubwa ya makanisa yanayofundisha kuwa yako Petra kwa kutokana na kuelewa
vibaya kuhusu neno Selah lililo kwenye Agano la Kale.
Mataifa
Unaweza kuniambia ni taifa lipi au mataifa yapi ni taifa la Edom kwa mujibu
wa unabii?
Jibu: Waedomu
wametawanyika. Waedomu walikuwepo na walijulikana kwene karne ya 13 hadi ya 8 KK.
Waedomu walitumikishwa kazi mbalimbali za shokoa makabila ya Yuda wakiwa kama
maadui zao. Hatimaye Yuda walichukuliwa utumwani Babeli, ndipo Waedomu
waliingia kufaya makazi Kusini mwa Yudea, na Hebroni wakaufanya mji mkuu wao,
na wakabakia huko.
Waideumeans au Waedomu walijichanganya au kuchanganyika katika
Yuda kwa kuinuka kwa Herode na kizazi chake. Waedomu wengi walisalia na
walienea katikati ya Wanabateans. Tangu kipindi cha Wamakabayo, John Hyrcanus (takriban
mwaka 120) aliiongoza Idumea na akawaingiza kwa shuruti Waidumeans kwenye dini
ya Kiyahudi (Josephus A of JJ XIII, ix,1; XV, vii, 9).
Kwenye awamu ya mwisho ya kuanguka kwa Hekalu na mji wa
Yerusalemu, Waidumeans, waliokuwa wamezidisha anguko lake kwa takriban miaka
mia sita kabla walikuwa walinzi wa kushangaza sana s (Interpreters Dictionary of
the Bible, Edom, vol. 2, p. 26).
Wanaweza kuchukuliwa kama walifanya kiini cha mapokeo ya Wayahudi
ya kipindi cha baada ya Hekalu. Wengi wao wanaweza kuwa ni miongoni mwa Waarabu
wa Saudi Arabia. Kujihusisha kwao kama washirika wa biashara ya Wafoinike
kumeelewa pia.
Unaweza kuonyesha mapito yao makabila yaliyopotea ya Israeli (uingiaji wao
Visiwani)? Ninakuwa nimevutiwa na namna ya uingiaji wao makabila haya
yaliyopotea pamoja na kiini na misingi ya Manisa lako na jinsi inavyohusiana na
imani ya Kiyahudi na la Ukristo wa kwanza.
Jibu: Ni mlolongo
mgumu tunaouchimbua. Mungu anatuamsha pale anapotaka. Kuingia kwa makabila
kulikuwa na awamu tatu kwa kura za Waisraeli, na huenda ni mara tatu kwa
Yuda/Lawi na sehemu ya Benyamini au wale tunaowaita Wayahudi. Wa kwanza kutoka walikuwa ni makabila ya Gadi, Rebeni na
nusu ya kabila la Manase. Waliondoka kwanza kwenye tukio la kutekwa utumwa wa
Waashuru mwaka 722. Walipelekwa ande za kaskazini mwa Araxes na wakaishi kwenye
eneo la Caucasus na kwenye kingo za kusini.
Wahiti (Wahati au Wakalti) waliwatangulia. Walikuwa na
ushirikiano na Waisraeli wakati wa Daudi, kama walivyokuwa Waamori na baadhi ya
makabila mengine. Daudi alikwenda nje kwenye nika au majangwa yaliyoko Mesheki
na Tubali katikati ya miaka 1000 KK na uasi. Inaonekana kuwa alichukua mikono
ya Wahiti pamoja naye, kwa ajili ya kuwakuta Waselts kwa wakati ule huko Scythia.
Jeshi hili kubwa linaonekana pia kuwa liliharakisha mashambulizi ya India ya
Waaryans, na yawezekana huenda yalikuwa ni matokeo ya majeshi ya Waebrania kwa
wakati ule.
Muungano wa Washirika wa Kifoenike ulioongozwa na Daudi
na Hiramu pia waliendelea mbele hadi kwenye misafara ya Baharini kwa pande
mbili zote, yaani kutoka Eilati iliyo upande wa mashariki na kutoka Tiro na
Sidoni upande wa magharibi. Mji wa Carthage ilianzishwa ili kulinda muungano
huu na Visiwa vilijaa wanenaji Walioshituka wa Kiebrania. Hii ndiyo sababu ya
kufanana kati ya Suala la Kibrythonik na Kipuniki kwa upande mwingine wa Anglo-Saxon
na maneno ya Kiebrania kwa upande mwingine, na licha ya muundo wa Kiashuru.
Waskochi walijiunga mkono Wamilesians huko Ireland baada
ya kushindwa kuwashambulia Waingereza kutoka Gaul. Walikwenda Uskochi mwaka 501
BK. Waseltiki nchini Uingereza waliitwa Waseltiki wa Hyperborean. Tangu
kuanguka kwa Ufalme wa Kaskazini tunajionea vuguvugu la Waselti upande wa
magharibi hadi huko Danube ulioko Ulaya kutokana mahali pake upande wa
kaskazini mwa Ashuru.
Waamori waliojiunga kwenye ushirika wa Israeli walikwenda
na Waselts na wakafanya makazi huko Amorica, ambao kwa sasa unaitwa Brittany. Wamilesians
asili yao walikuwa ni waamini Mungu mmoja. Mamajusi, ambao walikuwa ni kabila
kutoka kwenye jamii ya Wamedi, waliwaongoa na kuwaingiza kwenye dini ya waabudu
Ndama wa Dhahabu. Hatimaye waliitawanya sumu hii maeneo yote ya Ulaya na
Wayunani iliwapasa kuendeleza Filosofia ili kuidhibiti hali hii.
Baada ya kuinuka kwa dini ya Wababeloni, Waashuru
waliingia huko Ulaya kama mwanzo wa wa Teutons. Waisraeli, kaskazini mwa Araxes,
walikaa mahali na walikuwepo huko wakati wa Kristo, wakaunda Dola ya Parthian. Wajomba
wa upande wa magharibi mwa Uingereza waliitwa Waingereza. Huu ni muunganiko na
mshabihiano wa maneno mawili ya Kiebrania ya “Berith” au “agano” na “ish” maana
yake ni “mtu.” “Parthia” maana yake ni sawa tu na kama “nchi ya agano” - Perithia.
“Ain” ni “nchi” pia. Kwa hiyo kulikuwa na wajomba. Walipigwa na kushindwa na
Waajemi katika karne ya 2; baada ya kudhoofishwa na Warumi hapo mwanzoni. Kwa
hiyo, makabila haya yalichukua hatua na kuondoka yakielekea Magharibi mwa Ulaya
mbele na nyuma ya Ujerumani, wakiwasumumia pande za chini hadi kwa Warumi.
Hatimaye waliibuka kama matokeo yaliyokuweko huko Ulaya. Soma majarida ya Vita Vya Wayunitariani na Watrinitariani (Na.
268). Majarida yaliyo kwenye tovuti ya www.Abrahams-Legacy.org yatakupa
dondoo hizi kwa kina.
Israeli hawakuruhusiwa kujichangana au kuoana na watu wa makabila mengine
(au rangi nyingine). Kwa kuwa Mungu alichakugua kufana kazi na mambo yake yote
na kizazi cha mtu fulani binafsi yake, nah ii haioneshi alikuwa mbaguzi?
Tunaambiwa kwamba kuchagua kwetu kuoa tu na watu wa jamii yetu kuwa ni ubaguzi.
Nitashukuru ukinijibu na kunipa mtazamo wako kwa hili
Jibu: Mataifa hayana
ubaguzi. Kuna tabaka moja tu hivi sasa, baada ya kuangamia kwa Wanefili, nalo ni
tabaka la wanadamu (soma kwenye jarida la Wanefili
(Na. 154)). Kabila la haki ya kuzaliwa ya Yusufu ni Efraimu na Manase
alilokuwanalo huko Misri kama mama. Katazo la kuoana na Wamataifa liliuwa na
misingi ya kidini. Wazo lilikuwa ni kwamba watu wa Mungu wasifungiwe nira
pamoja na wasioamini. Kuna makabila ya mataifa ambayo Biblia inasema kuwa
yatapotea. Baadhi ya mataifa haya yamekwishapotea, na mengine yatakujapotea, na
kujumuishwa ndani ya Israeli.
Mungu alifanya mpango wa wokovu ambayo kwamba mataifa
yote yatakuja kwenye familia ya Mungu kupitia Israeli na Masihi. Masihi
atakaporudi, atauweka utaratibu na imani na mfumo wa kiutawala au serikali hapa
duniani kwa mujibu wa maagizo ya sheria za Torati ya Mungu. Nchi ya Israeli
itakuwa ni kitovu cha cha utawala huu, na mataifa yote wataitii Torati na
watazishika sikukuu zilizoamriwa na Mungu. Utawala huu pamoja na hali hii vitaendea
kwa kipindi cha miaka elfu.
Mwishoni mwa kipindi hiki, Ufufuo wa Pili wa wafu utashuhudia
wau wote wakifufuliwa na watahukumiwa bila upendeleo na wataongoka hadi pale
watu wote watakapofanyika kuwa ni wana wa kiroho wa Mungu chini ya Yesu Kristo.
Kisha ndipo Mungu ataanzisha utawala wake hapa duniani, na ndipo Mungu
atafanyika kuwa yote katika yote na ndani ya yote (Waefeso 4:6). Hapa ndipo
hakutakuwa na mgeni. Yeye ajitakasaye, na hao watakaotakaswa watakuwa wa
chimbuko moja na wote wataruzukiwa uweza wa kuwa kama Mungu. Soma kwenye majarida ya Ufufuo wa Wafu (Na. 143); Kufanana na Baba (Na. 81); Kuchanganua Ratiba
ya Zama na Nyakati (Na. 272); na Mji
wa Mungu (Na. 180).
Maana yake ni nini kuhusu kinachojulikana kama mahali pa Shekemu?
Inaonekana kama kuna matukio mengi kadhaa yaliyotokea hapo.
Jibu: Shekemu ni
“shingo” na unatokana na mtazamo wa kwamba kuujaza mzigo mgongo katikati ya
mabega kama mzigo. Nyumba ya Israeli walipokuwa chini ya uongozi mbaya,
walijiingiza wenyewe kwenye mzigo na hivyo likataabishwa sana vibaya na mataifa
waliowatawala. Linatumika hapa kama mahali pa mzigo na kushindwa kwa Waisraeli
kwa kupitia dini na utawala ule mbaya.
Unaweza kufafanua maana ya kipindi maalumu (cha miaka 430) na kinauhusiano
gani au kitakuwa kwenye tukio la Kutoka la Ujio wa Pili wa Masihi? Ni ninini
kitatokea SIKU ILE?
Jibu: Israeli walichukuliwa
na kupelekwa utumwani Misri kwa malengo mawili. Utumwa ule ulikuwa ni adhabu
lakini pia ulitumika kama kuwaokoa Israeli na kulifanya taifa hili likue na kuongezeka
chini ya maadui zao, lakini bado likiwa salama. Jaribio la kuwaangamiza
Waisraeli kwa kuwaua wazaliwa wa kwanza hatimaye liliwarudia Wamisri wenyewe.
Wazaliwa wa kwanza wa Kiisraeli walikuwa ni watakatifu kwa Mungu.
Mungu aliwatoa Israeli kutoka utumwani na kuwanao
jangwani kwa kipindi cha miaka arobaini. Tunaona tofauti ya kiuzawa ikiongezewa
ambayo ni mfano wa wazi sana, lakini hata hivyo iliashiria muundo wenewe. Taifa
hili lilikuwa chini ya Wamisri na dhambini utumwani, na kisha likatolewa
utumwani na kutembea jangwani kwa kipindi ch miaka arobaini. Miaka arobaini
tunaweza kuilinganisha na miaka elfu nne ya tangu Uumbaji hadi kuzaliwa kwa
Kristo.
Hizi ni nyakati mchanganyiko lakini miaka arobaini ya
kuwa jangwani ni kipindi cha matazamio. Arobaini wakati wote inafananishwa na kipindi
cha matazamio (Soma jarida la Maana ya
Tarakimu (Na. 7). Hii inalinganishwa na miaka elfu mbili, au yubile
arobaini, ya kanisa kuwa jangwani tangu kipindi cha Masihi.
Mwishoni, yaani, miaka thelatini ya kuondolewa kwa
wafalme, makuhani na manabii ni sawa kama miaka siu thelathini alizofanyiwa
maombolezo Musa mwishoni mwa miaka arobaini. Masihi atarudi hivi karibuni na
kuanzisha utawala wake utakaoduu kwa kipindi cha Milenia. Baada ya vita ya
Armagedon, mataifa yatafanywa upya na watu wake watatumwa waende Yerusalemu kama
tunavyoona kwenye Isaya 66.
Tukio hili la Kutoka litakuwa kubwa kuliko la kwanza na
lenye watu wengi sana wa kutoka mataifa mengi. Soma kwenye majarida ya Upimwaji wa Hekalu (Na. 137); Milenia na Unyakuo
(Na. 85); Mchanganuo wa Ratiba ya Nyakati (Na. 272); na Siu ya Bwana na Nyakati za Mwisho (Na. 192).
Kutakujakuwa na wakati ambapo maonyo yaliyotolewa kuionya dunia, kuhusu kuangamizwa
kwake ghafla na ujio wa Siku ile ya Bwana, Iiyokuu na ya Kutisha, itatangulia
na kuchukua mahala pake kwa mahubiri ya injili ya Ufalme wa Mungu? Kama ni
hivyo, ni lini itakuwa hivyo, na tunajuaje?
Jibu: Mungu
hafanyi kitu chochote hadi awaonye watu kwa kupitia watumishi wake manabii.
Hivyo, yampasa kulionya taifa kuhusu kuja kwa Masihi, na Maandiko Matakatifu
yanasema kwamba hiyo itafanyika kwa sauti ya Dani/Ufraimu kama tuonavyo kwenye
maandiko ya Yeremia 4:15. Jambo hili limechambuliwa kwa kina kwenye majarida ya
Maonyo ya Nyakati za Mwisho (Na. 44) na
Moto Kutoka Mbinguni (Na. 28).
Wakati huohuo kuna kazi ya kuihubiri injili ya Ufalme wa
Mungu. Kimsingi huu ndiyo Ujumbe wa Malaika wa Kwanza wa Ufunuo 14. Kuna jumbe
nne kwenye maandiko na zinakuja kwa mkururo. Kanisa linao wajibu wa kuufanyia
kazi Ujumbe wa Malaika wa Kwanza bila kukoma, hadi utakapotolewa au kuhubiriwa
mwishoni na mashahidi na kisha na Kanisa linatakiwa bado kuwaunga mkono kwa
kuwasaidia.
Nabii Yeremia 4:15, bila shaka ni sehemu ya Kanisa katika
siku za mwisho na inaweza kuwa kabisa kuwa ni Kanisa zima lote kwa haki yake
lenyewe na hasahasa Ujumbe wa Ufunuo 14 na unachukua matendo yanayohusiana na
Jeshi la Gideoni. Haya mambo mengine yamechambuliwa kwa kina pia kwenye
majarida ya Jeshi la Gideoni na Nyakati
za Mwisho (Na. 22); na Ujumbe wa
Ufunuo 14 (Na. 270).
Ni nini hatima ya Ukristo?
Jibu: Ukristo
utapungua idadi ya masalia waaminifu na ndipo Kristo atakaporudi, kisha utarejea
tena kuwa ni dini pekee ya ulimwenguni kote kwa kipindi cha miaka 1000. Hii inayojulikana
sasa kuwa ni Ukristo itaondolewa kwa kuwa hii ni dini ya uwongo.
Dini za Kiyahudi, Uislamu na Ukristo zitafanywa upya na kurejeshwa
kwenye imani ya kweli na kuwa ndiyo dini moja tu ya ulimwengu. Kabla
haijafanyika hivyo, Makanisa ya Kikristo ya waamini Utatu yatajaribu kuungana
na kuunda mfumo na dini moja chini ya sheria itakayojulikana kama Agizo Kuu
Jipya Ulimwenguni [New World Order]. Waslamu watalazimisha kuzuka kwa vita vya
Mfalme wa Kaskazini na Kusini. Hii ndiyo inayoendelea kupiganwa sasa. Wafalme
wa Mashariki watayapinga na kupigana na majeshi ya magharibi na kuwasaidia
wanaharakati wahafidhina wa Kiismalu wa maeneo yanayozalisha mafuta kwa wingi.
Waislamu watapata msukumo wa kuishambulia Ulaya, na Ulaya
itakuja juu na kuwaangamiza kabisa. Umoja wa mataifa ya Ulaya na dini yao kuu
wataishambulia Mashariki ya Kati na watautwa Yerusalemu na kuufanya kitovu cha
Makao Makuu. Hatimaye watashurutishwa na kusukumiwa kwenye Nyika za Urusi ingawa
Iraq na hapo vita vya Baragumu ya Tano nay a Sita italipuka na kushuhudia theluthi
moja ya dunia itaangamia.
Kipindi cha mwisho cha miaka mitatu na nusu ya mchakato
huu, mashahidi watasimama huko Yerusalemu na kisha watauawa. Kisha watafufuka
baada ya siku tatu na watapaa juu ili kumlaki Masihi. Tangu wakati huo, Masihi
ataiharibu imani na mfumo wa dini ya uwongo hapa duniani, na kuyakusanya
mataifa chini na kuyaangamiza majeshi yake ya vita kwenye vita vya Armagedoni.
Karibu dunia yote watakwenda kufanya vita na Kristo kwa
kuwa dini kuu za uwongo za ulimwengu watamtangaza yeye kuwa ni Mpingakristo kwa
kuwa atasisitiza ushikaji wa maagizo ya Torati ya Mungu aliyepewa nabii Musa.
Umuhimu wa maongozi ya Torati utarejeshwa tena.
Watu kwa ujumla watapaswa kuwa Wakristo na wenye
kuzishika Amri za Mungu na Ushuhuda wa Yesu Kristo kwa kuwa dunia itajulishwa
na kufundishwa na itakubali kuupokea mfumo na imani ile ya kuabudu. Shetani na
imani hii ya uwongo ya kiantinomia watatupwa kwenye shimo refu kwa kipindi cha
miaka elfu. Hiyo ndiyo Siku ya Bwana na Milenia ya Mungu.
Soma kwenye majarida ya: Milenia na Unyakuo (Na. 95); Kuiainisha Ratlba ya Nyakati (Na. 272); Mihuri
Saba (Na. 140); Baragumu Saba (Na. 141); Siku ya Bwana na Siku za Mwisho (Na.
192); Ufufuo wa Wafu (Na. 143); na Baragumu (Na. 136).
Unaweza kufafanua kwa hakika maana ya “utimilifu wa mataifa?” je, hiki ni
kile kipindi cha miaka 3 1/2 cha dhiki kuu?
Jibu: Wakati wa
Wamataifa umegawanyika kwa awamu zake kadhaa. Ulianzia kutoka mtawanyiko wa Babeli.
Hata hivyo, mwandamano halisi ni wa kipindi halisi na kikamilifu, kilichanzia
kutoka zama za Kichwa cha Dhahabu cha Nebukadneza kwenye vita ya Karkemishi. Hatimaye
kikaendelea tangu vipindi vya miaka arobaini arobaini tangu zama za ebukadneza
hadi Kuanguka kwa dola ya Misri chini ya Cambyses mwaka 525 KK, na kisha kwa nyakati
saba au miaka 2,520 iliyoishia mwaka 1997.
Huu ndiyo ulikuwa ni mwisho wa wakati wa Wamataifa au wa
Utimilifu wa Mataifa. Kwa kipindi cha zaidi ya miaka thelathini, dunia itakuwa
imetolewa kwenye mamlaka ya Mnyama na atainuka na kutawala kwa muda wa saa moja
na kisha ulimwengu utaangamia kwa maaafa makubwa. Itakapofikia mwaka 2027 mwezi
wa miaka utakamilika na Masihi ataanza kutawala kutoka Yerusalemu kwa kipindi
cha miaka elfu moja. Soma majarida ya: Muainisho
wa Ratiba ya Zama (Na. 272); Anguko la Misri, Unabii wa Mikono Iliovunjika ya
Farao (No. 36); Ujumbe wa Ufunuo 14 (Na. 270); Ishara ya Yona na Historia ya Ujenzi
Upya wa Hekalu (Na. 13); na Upimaji
wa Hekalu (Na. 137).
Ningependa kupata taarifa za kupangilia wazo la maagano kutoka kwenye Agano
la Kale na Agano Jipya, yaani, ni kama vile; ni maagano yapi yalifanywa? Ni kwa
kiasi gani yanafanana au kutofautiana? Ni kwa namna gani yanahusiana na maagano
ya zama Kale ya Mashariki ya Karibu? Ni mawazo gani ya kiagano tuliyoachiwa
mwishoni mwa Biblia ya Kiebrania?
Jibu: Agano
lilifanywa na nabii Nuhu na wanawe, na kisha likafanywa na Ibrahimu. Limetolewa
kwa ahai mbili, moja ni kwa kupitia Isaka na Yakobo au Israelina lindinge ni
kupitia kwa Ishimaeli. Wote wawili walikuwa ni chanzo cha kuwepo makabila kumi
na mawili kwa kila upande. Torati ilifundishwa na Musa, sio kwakuwa ilikuwa ni
mpya bali ni kwa kuwa ilipungua msisito wake walipokuwa utumwani Misri.
Wazo la kuyatenganisha na kuyaita Agano la Kale na Agano
Jipya ni potofu na kimsingi ilitumika ili kuendeleza nadharia ya Kinostiki inayosema
na kufundisha kuwa Torati ilikuja komeshwa
na Kristo. Hivyo basi, wamefundishwa na kukazana na kuukataa na kupinga ukweli
wa kwamba ni huyuhuyu Kristo ndiye aliyemkabidhi Torati nabii Musa. Huo haukuwa
mtazamo kabisa wa Kanisa la kwanza.
Msingi wa agano ni ahadi ya Mungu aliyeitoa kwa kupitia
Malaika wa Agano au Uwepo wa Mungu. Pia liliwekwa na Mungu kwa Malaika wa Agano
aliyewapa Israeli kama urithi wake. Kiumbe huyu alikuwa ni Kristo. Soma kwenye
jarida la Uwepo wa Yesu Kristo Kipindi cha
Kabla ya Kuzaliwa Kwake Rasmi Duniani (Na. 243).
Agano aliloliweka Mungu na Waisraeli chini ya Kristo
lilikuwa la milele. Asili ya agano lile imeelezewa kwa kina kwenye jarida la Agano la Mungu (Na. 152). Neno “Agano
Jipya” ni la kuwapotosha watu ili wafikiri kuwa kuna agano jipya lingine lililotolewa.
Sio kweli. Agano halisia la kwanza lilikamilika kwa kitendo cha kutolewa
sadaka, iliyomlenga Masihi ambaye alikuwa ndiye mwisho wa utoaji wa dhabihu.
Ahadi waliyopewa Ibrahimu, Isaka na Yakobo zilitimilizwa pia,
bali hazikutimia mara moja ila hadi karne kadhaa zilizofuatia baadae kwa mtazamo
wao wa kimali. Ni sawa tu na ilivyo kwa Ishimaeli. Matokeo ya mwisho yameandikwa
na kuainishwa kwenye jarida la Mji wa
Mungu (Na. 180).