Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[CB71]
Torati la Pili
(Edition 2.0
20050914-20070202)
Torati la pili la sema: Usitengeneze miungu au kifaa kinacho fanana na chochote mbinguni au chini ya maji.
Christian Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Copyright ã 2005, 2007 Dana Hilburn, ed. Wade Cox)
(Tr. 2009)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia
yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Leseni:
Torati
la Pili
Jukumu
Kuelewa nini torati la pili
Kiini
1) Watoto wa Mungu wataelewa nini maana ya torati la pili
2) Watoto watakua na uwezo wa kuorodhesha njia tatu ambazo zina vunja torati la pili.
3) Watoto wataelewa njia ambazo tutatumia ishara ya kujua au kuwatoa katika kuabudu Mungu wa kweli.
4) Watoto au wana wa Mungu wataelewa maagizo yake Mungu yakutoa picha na sanamu zilizo chagwa.
5) Wana wa Mungu wataelewa njia za kunyonyekea Mungu kwa ishara (kf nyuzi samawati).
Rasilimali
Sheria na
torari la Pili (No. 254)
Torati la
Kumi (No. CB317)
Sheria ya
Mungu (No. CB25)
Kutoka 20
Hesabu 15:37-41
Wa Rumi 1:21-25
1 Wakorintho 8:4-6
Mistari ya kukumbusha
Kutoka 20:4-6 usitengeneze kiumbe au kile kinacho fanana na kitu chochote mbinguni au kile kilicho katika ardhi au chini ya maji, usije ukapige goti kuabudu haya Miungu, kwa sababu mimi ndiye Mungu, Mungu wako, Mungu wa haya. Kuwa tembelea wasio na usawa kwa baba juu ya watoto hadi kisasi cha nne kwa wale hawanitaki na wanaonyesha upendo kwa maelfu ya wale wanaonipenda na kutii torati zangu. (RSV).
Kufungua kwa maombi
Leseni
Maelezo
Zoezi
Kufunga kwa maombi
Mafundisho
Uliza ni nini torati la pili. Weka tarati katika bango ili kuleta katika torati.
1
swali: Torati la pili la sema nini?
A. Usitengeneze sanamu kinacho fanana na kitu chochote katika mbingu au ndani ya bahari na arthi. Usije ukapigia sanamu magoti na kuiabudu. Meme ndiye Mungu Mungu wako na itaji upendo wakko. Ukinikikata nitawapa adhabu familia yako kwa miongo ya tatu hadi ya nne. Na ukiniponda mimi na kutinononita kua na huruma na familia yako hadi kisasa maelfu na maelfu (kutoka 20:4-6)(Kingereza).
Swali la pili, Ni nini kaburi ya miungu au sanamu
A. Mungu kwa kina Anatuambia kuwa kutengeneza miungu kwa hisia ya kuiabudu ni kuvunja sheria.
Kuelewa torati lazima tuelewe nini sanamu. Neno sanamu inamaanisha kitu ambacho kimechongwa kwa mikono.
The readers digest great encyclopedia dictionary wanatambua kuwa umbo ni ishara au kufanana kwa ya pili au mafikirio ya mtu, kiumbe au kitu –kuchonga usawa, kifaa sana sana kile kinacho kaa kama kifaa cha waumini kusimamia miungu katika makanisa ya Orthodox. Miungu haya huchukua nafasi ya Mungu, Yesu Krisro au watu takatifu ambao tumeweka kati majumba zetu au kanisani. Wana abudu wana onyesha unyenyekovu mbele ya vifaa hivi, kuabusu au kuwasha misumaa pengine wamezingirwa na mambo ya kidini.
Sanamu ni kazi ya mikono ya binadamu. Wanao abudu sanamu wao hata kuna umetengenezwa na mawe, mbao au kitu chochote tayari wanaabudu kisichofaa haina dhamana haipendezi Mungu kwa njia yeyote, inatupeleka mbali na kuabudu Mungu moja wa kweli. Sanamu wenyewe waitaji kujengwa na kutembea katikati yao, kwa kuwa haziwezi songa au kuongea au kufanya chochote na kwa wale wanao chonga sanamu wao hufanana na sanamu na ndio wale pia wanao tegemea sanamu hizo (Kutoka 20:22-23).
Hata mfalme Suleiman hakuabudu sanamu. Alianza kuabudu sanamu baada ya kuoa wanawake wengi kutawaliwa na wanawake hawa wenye imani potovu na kufuata miungu badala ya Mungu mmoja wa kweli. Alianza kuabudu miungu mingi na kuziweka katikati makao yake ya kasri. Mungu akawagawa wana wa Israeli kama kichapo kwa sababu ya matendo yake Suleimani na ukabakia hivyo hadi leo (1Wafalme 11:1-13).
Katika jamii ya kisasa watu wengine wanabishana kuhusu picha kuwa na ishara ya kuwasaidia wanaoabudu kufikiria Mungu.hizi zinaonekana ndani ya makanisa ambao kwa kawaida kuna umbo la musalaba kubwa wa Yesu akiwa amesulubiwa washiriki mara kwa mara wanaenda chini ya miguu yao kuomba Mungu.Na bibilia inatufundisha kuabudu miungu, sanamu ni kamwe hairuhusiwi.
Kwa kawaida hakuna picha ya Mungu baba popote, kwa sababu sura yake haijaonekana na Binadamu (Johana 1:18). Katika nakala ya NKJW inasema wachimba mabaki wamepata Ikuwa sura ya Mungu haijapatikana katika Arthi, au mabaki ya jiji la wanaisraeli.Haya yaonyesha kuwa waesraeli hawakuyatengeneza picha ya Mungu.
Walilinda torati la pili kwa sababu picha na Sanamu zinapatikana kwa makabila Fulani ziko hizi majuzi. Kuna wakati (kama ilivyoorodheshwa na mfalme suleimani). Kuwa wana wa Israeli waliongozwa na makabila fulanikuenda mbali na Mungu.Kila mmoja alichagua kufuata Mungu au kutii sheria hii bado haijageuzwa.
Tukichora au kutengeneza picha lazima tujiadhari kuwa ni kitugain kinatuonyesha.katika jamii ya kisasa wamechukua picha kutoka kwa waumini wasioitajika na kuzileta kutoka maisha yetu ya kila sik. Kazi yetu kama wanafunzi wa Mungu sheria ni kuwa tujiadhari kwa yale tuyafanyayo na kuhakikisha tusiabudu kitu chochote ila Mungu aishie milele.
Swali
la tatu. Nini kuchora au picha
A. Jambo jingine tunalo faa kufikiria ni kua torati haikatai picha za kuchorwa, lakini ina tuonyesha kua kuabudu chochote ila Mungu aishiye milele ambaye ana ukataa sanamu kamwe. Kwa mfano kuwepo kwa sanabu ya ndege (ambacho ni kilele ambacho kinalinganishwa na kitu duniani) kwa sababu za kuleta picha nzuri katika majumba zetu haitakuwa inaharibu torati la pili. Ingawa tukiziweka ndege mbele ya nyumba zetu kwa sababu tunazijua kua ni za kufanyia hii baada kwa sababu kiusalama kwa wale walio wafu. Basi tutakua tumeuvunja Torati ya 2 sawa na michoro ya picha za angelica kuwa sio mbaya, kwa kweli, wana Israeli walipewa maagizo kuhusu picha cherubim ndani ya hewa. Hizi zilikuwa na picha na mifano; ingawa hazikuwekwa au kutumiwa kwa maombi.
Swali
la nne. Bibilia inatupa maagizo yapi kufanya / kufuata dhidi ya sanamu au
miungu mingine?
A. Tuziharibu kabisa
Picha, sanamu na Miungu ya chomwa kwa moto: usije ukabadilisha fedheha ya dhahabu ambazo zimo ndani yao au ujichukue mwenyewe, usijeukawa na hamu nazo kwa sababu sio mema mbele ya Mungu, Mungu wako na usije ukaleta kile hakifai chumbani mwako, usije ukashtakiwa kama yeye kwa sababu imeshtakiwa na kudhihakiwa.
Atakapo rudi, Yesu ata haribu chochote kinacho abudiwa na hakifai (kama picha ya msalaba) au Mariamu mamake. Nyingi kati ya hizi zimetoka kwa kuzimu, yote ambayo sio ya Mungu yatachomwa.
Picha, sanamu na Miungu ya chomwa kwa moto: usije ukabadilisha fedheha ya dhahabu ambazo zimo ndani yao au ujichukue mwenyewe, usijeukawa na hamu nazo kwa sababu sio mema mbele ya Mungu, Mungu wako na usije ukaleta kile hakifai chumbani mwako, usije ukashtakiwa kama yeye kwa sababu imeshtakiwa na kudhihakiwa.
Atakapo rudi, Yesu ata haribu chochote kinacho abudiwa na hakifai (kama picha ya msalaba) au Mariamu mamake. Nyingi kati ya hizi zimetoka kwa kuzimu, yote ambayo sio ya Mungu yatachomwa.
Tuna faa tuharibu hao kabisa na usoni.
Swali
la tano. Usifuate njia za mwenendo za duniani.
A. Tumeambiwa kwa torati kuwa tusije tukafwata chochote mwendo wa wale wanao abudu desturi za kijamii za kale ambazo ni kinyume na matarajio yake Mungu, sheria za watu majirani; sabato zake Mungu (No. CB22); siku za shetani kuabudu (No. CB23): kwa nini hatusherekei krismasi (No. CB24) na Piñata (No. 276).
A. Hesabu 15:37-41: Mungu akamwambia Musa hivi; ongea na
wana Israeli na uwape maagizo kutotengeneza nyuzi katika kila upandewa kanzu
zao; uwaambie kufanya uzi zamawati katika kila upande wa nguo. Zitakua ni
makumbusho mkiziangalia, itawakumbusha torati za Mungu ili msije mkawafuata
matendo ya moyo na jicho hiyo mtakumbuka na kuangalia torati kuwa safi mbele
yake Mungu, mimi ni Mungu! Mungu wenu, ambaye aliwatoa katika mji wa Egypt
(Misri) kama Mungu wenu.
Swali la saba.
Tunatumia nyuzi samawati katika mavazi yetu ili tukumbushe Mungu na sheria zake. Ilituwe tukitenda mema mbele zake. Hasitumiwe kama njia za kulinda au kuabudu, niza kukumbusha katika kuchagua tukiongozwa na Mungu na sheria zake tena tuweke sheria juu ya milango yetu.i za Mungu zilikuwemo katika wakati ule wa kuambaai za Nakala ya yaliyomoa kumwabudu Mungu aishie milele chini a.
Tumeelewa ya kuwa lazima tusije taka tengeneza umbo au picha zinazo onyesha ishara u au ya miungu wengine. Hakuta kuwa wakati wa usoni ambapo miungu wasiop takikana zitaharibiwa .Tua jua kuwa ikiwa tutaweka kitu chochote kama sinema za furaha au kifaa cha wa toto kuchezea mbele zake mwenyezi Mungu tayari tutakuwa tumetengeneza miungu au pahala pa jua kuliko ushirikiano na Mungu.
Kujiandaa katika sherehe za Krismasi kama wasio Sali siku za wapendanao a nakadhalika. Ni sawa na kuabudu miungu na ni hatia kufanya hivyo. Kucheza michezo za au kupata hoja kutoka watabiri ni sawa na kutoamini na kueshimu Mungu wa a kweli. Tukiwa wenye moyo nzito na kutaka kumfata Mungu na sheria zake ni kama kuvunja torati zake Mungu.
Torati za Mungu zilikuwemo katika wakati ule wa kuambaa. Torati la pili unakata kuabudu miungu au kutosali kwa wengine ni njia ya kuabudu Mungu aishie milele chini la torati la kwanza.
Ikiwa hatuna hakika kujiunga ni jambo wazi ambao tuafaa kuwauliza wazazi kuhusu michezo
Kaa tayari na picha ya vitu tofauti kutoka katika jarida, mtandao, vitambo, nakadhalika. Kuonyesha aina ya vitu ambavyo ni vya halali nay ale ambayo hajakabiliwa (sio halali). Weka katika mabango mbele ya nyumba kwa upande mmoja ya kubadilika,na mwinine haya hayakubaliki. Mifano ya picha za kushikanishwa
Halali |
Sio
halali |
Picha ya ndege za kurembeshwa. |
Ndege ilio katika |
Ng’ombe |
Ng’ombe ya kuabudu wahindi au Ndama wa dhahabu. |
Picha kutoka mbuga za wanyama |
Picha ya yesu Kristo katika kuta zetu |
Mchoro wa samaki |
Samaki nyuma ya magari zetu |
Mchoro wa miti |
Malaika katika bega zetu |
Sungura |
Mti wa Krismasi |
Nyota |
Kifaa cha kung’arisha vifunguo |
Keki |
Nyota |
Malenge |
Keki na misumaoto |
|
Malenge kilichotengenezwa sawa na mifano |
Chora mifano kama ilivyo dokezwa katika biblia. Weka picha zilizokatwa na kutayarishwa pamoja, leta watoto pamoja na kila mmoja kuchagua picha hizi na kuzishikanisha katika mabango sahihi.
Baada ya kuwasanya pamoja kuwaulize watoto kwa mfano mmoja wapo wa vitu ambavyo zimekubalika na zile ambazo hazijakubalika. Mfano hizi itatusaidia kuelewa vizuri yale ambayo sio halali katika torati la pili na nini kilichoko miungu.
Kumaliza kwa maombi
Sehemu
ya pili
Malenge ya noti
Vitu vinane katika kila malenge (kila motto)
Nyuzi nne zamawati
Miungu minne au picha
Kisimazi katika mwisho wa
Kwa mwisho chukua na kuchoma mifano hizo na kuunganisha usi samawati (nne).
Kugawanywa
kwa malenge
1 malenge kilicho chagwa kwa kila motto
4 nyuzi samawati kilicho unganishwa na kipini kila mmoja
4 sanamu / picha pia ziunganishwa kipini kila mmoja
Karatasi au
Nyundo
(kifa cha kuzima moto kwa sababu ya usalama)
Mangizo ya malengo (vidokezo / taratibu)
Kuwatayari kuanza kua katika mahali ambapo pamo zingiriwa nje au ndani, mahala panapo faa nje kama mtu au vitu ambayo kufunga malenga au katika viti vilioko pamoja. Kabla ya kuanza. Chagua visehemu au kuanzia watoto. Anza kwa futi tatu (3) chukua bafasi ya kufunganisha malenga kwa vijikaratasi ilikuleta kitu kama nyumba ya kiliwiwili ongeza na uongozi kila motto na vita hivi vinane.
Baada ya tokeo hilo chukua kila mmoja katika kila nyuzi. Kwanza kabisa mtoto wa kwanza kwa sababu itakuwa tate, watakao mfuata ni wachanga kwa sababu ni rahisi.
Kila mtoto kubeba karatasi au nguo kilicho shuguzwa na ya notikile. Angalia tukimfuata Mungu na kuheshimu Mungu na kukatika roho mtakatifu tata kwa kuwa sehemu ya ufalme wake.
Kama vile watoto kufuata njia sio rahisi, lakini Mungu haja tukia majaribuni kwa kua hatuja majaribuni kwa kua hatuja acha “kufuata kamba ya uzima” pengine tumeweza kuwauliza usaidizi kwa wenzetu iwapo mzunguko wa nyuzi ila sio rahisi; lakini kuna watu wakusaidia tukiwataka. Tujikakamue Mungu atatusaidia tukihitaji. Waambie watoto wakati zungunguka lazima “watende mama” wanaweza kuzinganisha kivyao. Kama katika maisha pengine tuna ona vitu vya kuvutia sana na pengine ni mabaya. Miungu au “mabaya” tatachomwa wakati ule tu zitatoka nje ya neti. Tukiona alimgumu na tukilazimizwa na mambo mabaya tuyachome au tuyaweke mbali, na kwa usalama tutazivunja kwa wakati wowote.
Baada kila mmoja yuko nje ya kifuhiki mji fundishe vitu ambavyo vina watoto pamoja na kuyalinganisha maisha na mistari.
Tuangalie tena mistari kuhusu miungu “kutoweka” na kuziaribuwa kwa moto, pia hakikisha usalama na kuachilia kila mtoto kutumia nyundo na kuvunja mbao au plaskiti tumia mahali ambapo vitu hivi vinaweza tupwa tupa miungu hizi mumo ndani.