Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[048]
Mafundisho ya Mapepo katika siku za Mwisho
(Toleo la 2.0 19940813-1999129)
Mafundisho ya mapepo yaliyoorodheshwa na Biblia yametathiminiwa
kimsingi kwamba yamewekwa kwa madhumuni
ya kudhoofisha imani. Kimsingi, somo
hili lashugulika na mafundisho mawili ya kishenzi yanayohusu ndoa na nyama.
Christian
Churches of God
Barua Pepe: secretary@ccg.org
(Hati Miliki ©
1994, 1999 Wade Cox)
(tr. 2012)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakaotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia
yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Mafundisho Ya Mapepo Katika Siku Za Mwisho
Kwa kweli Watu hawajafahamu maana ya maendeleo ya mafundisho ya mapepo. Tunafaa kufahamu kuwa Paulo
aliandika maandiko matakatifu kwa pumzi ya Roho Mtakatifu kwa ajili ya manfaa
yetu na kufahamu jinsi mafundisho ya mapepo yalivyo na vile yangejitokeza wazi katika siku za
mwisho.
Paulo
anasema katika 1 Timotheo 4:1-5
Sasa Roho wazi (katika maneno (‘retoos))
Yasema kwamba katika nyakati za baadaye wengi wataiaja imani na kutii roho za uwongo na mafundisho ya mapepo, kwa madai ya uwongo ambayo madhumuni yake ni ya kuharibu (aidha pia umaanisha ushuhuda wa uwongo kiunafiki (pseudologoon) ambayo utia nia kwenye dhamiri (kekausteriasmenoon ten Indian suneidesin)), ni nani anaye kataza nyama pamoja na kujihepusha na vyakula ambavyo Mungu aliviumba ili viweze kupokelewa na shukurani kwa wanaofahamu na kusadiki ukweli. Kwa kuwa kila kitu kilicho umbua na Mungu ni bora na hakuna chochote kitakachokataliwa ikiwa kitapokelewa kwa ajili ya shukurani; kwa maana kimetakazwa na neono la Mungu kwa njia ya maombi
Roho
Mtakatifu ulitamka maneno kwa nguvu aukimwambia Paulo kwamba katika siku za
mwisho mafundisho muhimu aina mbili ya mapepo yatatokea hata hivyo lazima yatapingwa na kudhihirishwa na wateule
waliofahamu ukweli.
Mapepo hayakuamua kutoa mafundisho haya hivi. Nayo si havivu.
Katika kutekeza kazi azke yanagonga ile nafsi ambayo ni ya maana kwa Mungu katika mpango
wa ukombozi na pia inayostahili kafara ya Yesu Kristo. Mafundisho haya ni kosa mbili maalum, yaliyo tafuta jinsi ya kudunisha maana
ya uumbaji.
Mafundisho
ya kwanza ya mapepo ni mafundisho kwamba watu wajitenge
na Ndoa. mafundisho haya ni ya kishetani yanayo tafuta
muungano wa kiroho au kufananishwa kuwa kama ni mwenyewe. Kusudi la fundisho
hili la mapepo ni kujaribu kuingilia msingi wa mwanzo
wa masomo ambayo mungu amechangua kushughulikia kama mfano wa mfumo wake. Umoja ni familia. Kwa
kuharibu usalama wa kifamilia, mapepo yanaharibu jengo
la msingi la jamii yetu.Tunatazama jamii hii ikijikuwaa majoni petu sababu watu
wameanza kuishi pamoja inche ya ndoa. Ni muhimu tukifahamu mwanzo kabisa na kuelewa uhusiano wetu na Yesu Kristo na kwa ibada zetu
kwa Mungu kwamba umoja wa kifamilia sharti ufahamike vizuri. Kwanguka kwa familia pamoja na mifumo ya kitaifa huelekeza katika
upotovu kama wa Sodoma na Gomorra.
Mchakato wa fundisho hili umeshirikishwa na ibada ya sanamu. Hilishitawishwa
na Paulo katika Warumi 1:1-32. Mafungu haya yanausiana
na swala nzima la ibada na kilicho sababisha kuanzishwa
kwa usherati katika jamii. Ni msingi unaofanana na usherati wa kiroho katika
uhusiano wetu na Mungu, ambayo ni ibada ya sanamu pamoja na ujawi..
Warumi 1:1-32 Paulo, mtumwa wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume, na kutengwa aihubiri Injili ya Mungu; (Biblia Takatifu)
Ni
inchili ya Mungu na ilikabidhiwa kwa Yetu Kristo. Na
sisi sote tumetengwa kwa lengo hilo
2 ambayo Mungu amekwisha kuiahidi kwa kinywa cha manabii wake katika maandiko matakatifu; 3 yaani, habari za Mwanawe, aliyezaliwa katika ukoo wa Daudi kwa jinsi ya mwili, 4 na kudhihirishwa kwa uweza kuwa Mwana wa Mungu, kwa jinsi ya roho ya utakatifu, kwa ufufuo wa wafu, Yesu Kristo Bwana wetu;
Kristo
alikuwa mwana wa Mungu, moja kati ya wana wengi wa
Jeshi, kabla hajaabishwa. Hayo yote aliacha na akawa
kama mwanadamu. Hatutasema Kristo alibaki na sehemu
yoyote ya nafsi yake katika Uungu au nje yake mwenyewe. Paulo amenena hapa
kimasomaso kwamba Kristo alikuwa mwana wa Mungu katika nguvu kulingana na Roho
Matakatifu, kwa njia ya kufufuka kwake kutoka mauti aliweka kando kuwa mwana wa
Mungu ili kufanyika mwanadamu kwamba aweze kuwa mwana wa Mungu wa kwanza katika
ubinadamu. Hiyo ndiyo ilikuwa maana. Hakuna kitu
chochote cha Yesu Kristo kilichobakia nje ya uwepo wake wa
kibinadamu. Na hii ni mafundisho kwamba Kristo anayo
sehemu yake ilio kando na kule kuwa binadamu na kiasi fulani alibaki kuwa na
sehemu ya Mungu nje ya uwepo wake wa kimwili. Hata hivyo
hakufanya hivyo.
5 ambaye katika yeye tulipokea neema na utume ili mataifa yote wapate kujitiisha kwa imani, kwa ajili ya jina lake;
Tena
Imani ilielekezwa kwa mataifa. Ilikuwa muundo wa utiifu wa imani. Imani yetu ni tiifu kwa Mungu na kutambuwa
kwamba Mungu pekee ndiye Mungu wa kweli, hitaji letu la kutuwezesha kuriithi
uzima wa milele kutoka Yohana 17: 3 ni kumjua Mungu wa kweli na mwanawe Yesu
Kristo aliyemtuma. Biblia imedhihirisha wazi kwamba Yesu Kristo si Mungu pekee wa kweli. Ni wazi kuwa imani yenye utiifu kwa
Mungu moja wa kweli, ambaye ni Mungu Baba, Mungu mwenyezi aliye juu, ni hitaji
kwetu litakalotuwezeza kupokea kuitwa wana wa Mungu ukombozi wa miili yetu,
kutoka Warumi 8:29. Hiyo inajumuisha wale wote walioitwa kumstahili Yesu Kristo
katika
6 ambao katika hao ninyi mmekuwa wateule wa Yesu Kristo; 7 kwa wote walioko Rumi, wapendwao na Mungu, walioitwa kuwa watakatifu. Neema na iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu, na kwa Bwana Yesu Kristo.
Hapo
tunaona Uungu katika mistari saba ya kwanza na ufahamu wa imani ya Mungu moja
wa kweli, na kwamba Kristo aliweka kando kuwa mwana wa Mungu ili kuwa bindamu
na kufanywa kuwa mwana tena kutokana na ukombozi wa mwili wake katika kufufuka
kwake. Hakuna uwepo wa Yesu Kristo nje ya ubinadamu
wake hadi wakati wa kufufuka kwake.
Kuthibitisha hayo wamekana kafara ya Yesu Kristo na
kukana kabisa ufufuo wake, ambapo sasa hayo ni mafundisho ya kishetani. Utatu
pia nimafundisho ya uongo na kutoka kwayo mafundisho
mengine mawili yanafuata
8 Kwanza namshukuru Mungu wangu katika Yesu Kristo kwa ajili yenu nyote, kwa kuwa imani yenu inahubiriwa katika dunia nzima. 9 Kwa maana Mungu, nimwabuduye kwa roho yangu katika Injili ya Mwana wake, ni shahidi wangu jinsi niwatajavyo pasipo kukoma,
Bila
shaka katika dhamiri ya Paulo alimtumikia Mungu vile ilivyoelezewa na mkuu wake ambaye ni Yesu Kristo. Hakukuwa na utata wowote katika dhamiri ya Paulo juu ya kuwepo kwa
Mungu wawili au kwamba Kristo alikuwa Mungu wa kweli. Hakuna
kabisa taswishi yoyote.
10 siku zote katika sala zangu, nikiomba nije kwenu hivi karibu, Mungu akipenda kuifanikisha safari yangu. 11 Kwa maana ninatamani sana kuwaona, nipate kuwapa karama ya rohoni, ili mfanywe imara;
Mbona alikusudia kufanya hivyo? Kanisa lilikuwa Rumi, katikati ya utawala wa juma, uliofuata utawala wa shaba ambao tunaona
ukiashiriwa kimfano katika Danieli (Dane 2:1-49). Utawala wa
juma uliangusha chini na kuharibu kila kitu na makao yake yalikuwa ngome ya
ibada ya sanamu. Watakatifu pale waliitaji kutiwa nguvu na
ufahamu.
12 yaani, tufarijiane mimi na ninyi, kila mtu kwa imani ya mwenzake, yenu na yangu. 13 Lakini, ndugu zangu, sipendi msiwe na habari, ya kuwa mara nyingi nalikusudia kuja kwenu, nikazuiliwa hata sasa, ili nipate kuwa na matunda kwenu ninyi pia kama nilivyo nayo katika Mataifa wengine.
Fahamu
kwamba mafungu yamekatwakatwa kwa mpangilio. Kuna
mafungu saba ya kutambua Mungu mkuu, tena mengine
tano. Tunakabiliana na saba na tano hadi kumi na mbili yanayohusu kazi ya wingi
wa Rehema na Roho . Hayo yanahusu
mafumbo pia.
14 Nawiwa na Wayunani na wasio Wayunani, nawiwa na wenye hekima na wasio na hekima. 15 Kwa hiyo, kwa upande wangu, mimi ni tayari kuihubiri Injili hata na kwenu ninyi mnaokaa Rumi. 16 Kwa maana siionei haya Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye, kwa Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia. 17 Kwa maana haki ya Mungu inadhihirishwa ndani yake, toka imani hata imani; kama ilivyoandikwa, Mwenye haki ataishi kwa imani.
Hapa
tunaona kanuni za imani na matakwa ya kupongesana
kiurafiki pamoja na ukweli kwamba imani uelekeza katika haki. Ni imani ile
Mungu anayotoa, imani ianyodokeza kuwa neno la Mungu ni
kweli na kwamba Mungu ametoa neno lake kwa ajiri ya kuwaelimisha watakatifu
wake. Imani hiyo utupa sisi uwezo wa kuwa wenye haki,
kupitia kwa utiifu wa sheria chini ya rehema ya Yesu Kristo.
18 Kwa maana ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni juu ya uasi wote na uovu wa wanadamu waipingao kweli kwa uovu.
Fungu hilo pia limetafsiriwa “zuia ukweli kwa wasio haki”. Paulo
anadokeza hapa kuwa watu wale ambao wanazuia ukweli, uficha taarifa. Paulo yu
wazi hapa kwamba yeyote anaye ficha ukweli kati ya wasiohaki hatapatana na ghadhabu ya mbinguni. Hii ni
ahadi Mungu amefanya kupitia Paulo.
19 Kwa kuwa mambo ya Mungu yanayojulikana yamekuwa dhahiri ndani yao, kwa maana Mungu aliwadhihirishia. 20 Kwa sababu mambo yake yasiyoonekana tangu kuumbwa ulimwengu yanaonekana, na kufahamika kwa kazi zake; yaani, uweza wake wa milele na Uungu wake; hata wasiwe na udhuru;
Sasa
tunatoka kwa muundo wa Mungu mkuu (kutoka kwa Mungu moja wa kweli) na imani,
kuenda kwa utunzaji wa Mungu mkuu na hakikisho kutoka kwa uumbaji. Kadiri ujuzi
wetu unavyo ongezeka, kwa kweli ndivyo tunadhihirisha
uwepo wa Mungu. Mageuzi yametupiliwa mbali tunapoendelea.
Kimsingi yanatenganishwa na hayana maana. Wasayansi wanauweka katika kaburi la sahau. Tunapata kuwa
mbingu na ardhi zinaonyesha nguvu za Mungu wanachopishania
wasayansi ni swala hili (asiri ya Mungu.)
21 kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza. 22 Wakijinena kuwa wenye hekima walipumbazika; 23 wakaubadili utukufu wa Mungu asiye na uharibifu kwa mfano wa sura ya binadamu aliye na uharibifu, na ya ndege, na ya wanyama, na ya vitambaavyo.
Badiliko
hili halitatokea hivi tu kuwa la moja kwa moja. Ni jambo
la pole pole na lilichukuliwa muda mrefu kuafikiwa.
Walitoka kwa kumtambua Mungu kama Mungu, ndani ya
Ukristo badala yake wakinua Yesu Kristo kuwa Mungu na wakaanza kumuabudu.
Wakishafanya hivyo tena waliwainua watakatifu kati hali moja na
wakaanza kuwaabudu mwisho wakaanza kwemba kwa sanamu za maria na miungu mingine
kama hiyo, wakapoteza maono kabisa ya ufahamu wa ufufuo. Mariam, visivyo anitwa
Maria, amekufa! (cf. Masomo Bikira Maria na
Familia ya Yesu Kristo [232]). Mariamu, anayeiitwa maria,
atafufuliwa kwanza. Yseu Kristo ni ntu wa pekee
aliyefufuka kwenda mbinguni (Yohana 3:13).
Hapo matokeo ya kuabudu sanamu polepole umedidimia katika dhamiri ya
watu wanaousika.
Dhamiri zao zimepungukiwa nasi sahihi.
24 Kwa ajili ya hayo Mungu aliwaacha katika tamaa za mioyo yao, waufuate uchafu, hata wakavunjiana heshima miili yao.
Hii ndio
utokea tunapoanzaia katika hatua zilizo katika mstari wa
24 na 25. Mara tukifikia kudidimia wa ibada za miungu,
tunapewa tamaa sisizo za kawaida. Hii uelekeza kwa
usherati na hapo tena kwa upotovu na utaendelea kuwa mbaya zaidi na zaidi. Watu
hawajafahamu mlolongo wa kuendelea kudhoofika. Mafundisho ya kishetani
mwanzo uanzia kushambilia kichua cha uungu na kwendelea
pande zingine. Na hapo Mungu ukabidhi watu kufuata tamaa zao.
Tunaona katika kizazi hiki ambapo watu wamekosa uadilifu wa
kimbingu. Walakini hawajafanya hivyo bila adabu. Jamii
yao iliporomoka wakawa wamepotoka kabisa. Jamii sharti
itubu kwa ajiri ya upotovu. Mtu lazima arejeshe
uhusiano wake na Mungu
ili kushinda haya na hatutaweza kushinda dhiki hizi mpaka tumtambue Mungu na
tutubu na kurejesha uhusiano wetu na Mungu kupitia kwa Yesu Kristo. Ikiwa
tunamwabudu Yesu Kristo tunafanya sawa na kuabudu
yeyote kati ya miungu, isipokuwa Mungu Baba. Tunafanya dhambi kwa Kristo tulivyofanya kwa Shetani.
25 Kwa maana waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakakisujudia kiumbe na kukiabudu badala ya Muumba anayehimidiwa milele. Amina. 26 Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili; 27 wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao. 28 Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.
Katika sentensi moja tunajulizwa taarifa yote. Katika kukosa ufahamu wa Mungu ambaye ni kichwa haya ni matokeo ya uvunjaji wa
misingi ya jamii.
29 Wamejawa na udhalimu wa kila namna, uovu na tamaa na ubaya; wamejawa na husuda, na uuaji, na fitina, na hadaa; watu wa nia mbaya, wenye kusengenya, 30 wenye kusingizia, wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kutakabari, wenye majivuno, wenye kutunga mabaya, wasiowatii wazazi wao, 31 wasio na ufahamu, wenye kuvunja maagano, wasiopenda jamaa zao, wasio na rehema;
Mambo
haya yote ufuata uvunjaji wa uhusiano baina yetu na
Mungu. Mambo haya yote ukumbana na uhusiano wa hatua
ya familia na hatua ya utangamano na ndio matokeo ya mwisho ya shida za Mungu
kama kichwa.
32 ambao
wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayo
wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao
wayatendao. (Biblia Takatifu BT)
Inafikia
sasa hali ambayo watu wanasema mazuri ni mabaya na
mabaya ni mazuri. Wale watu ambao wanakemea vitendo hivi
wanakataliwa wenyewe.
Tunaona
kutoka kwa wazo hili kwamba mchakato wa ibada ya
sanamu umeendelezwa kuwa hule wa tama zizizo za kawaida. Michakato
hiyo inakuwa wazi kadri mchakato wenyewe ukikatiswa. Mafundisho ya useja
wa wakuhani ni hatua ya ndani ya mwozo. Useja ni jambo linguine tofauti kando na mafundisho ya kishetani,
lakini useja wa wakuhani ni hatua ya ndani ya mwonzo. Useja wa
wakuhani uenyewe si fundisho la kimsingi. Hata hivyo, useja wa
wakuhani na umoja ni mafundisho ya kishetani. Paul anasema “ni
vyema usioe lakini kama inalazimu oa”.
Hivyo
sasa kuwabfundisho la kuhitajika kuhepuka kuoa, hili peke yake ni mafundisho ya kishetani.
Biblia
ianelezea wazi kwamba fundisho hili halijafaulu kabisa kwa
kuwa watu bado wanaoa wakati wa kurudi kwa Masihi (Mat.24:30-39). Hata hivyo, ni fundisho kuu na la mshangao mkuu katika siku za mwisho.
Ndoa ni takatifu iliowekwa wakfu na Mungu kuonyesha
uhusiano kati ya ubinadamu na Yesu Kristo na kuunganishwa kwa mataifa chini ya
Baba. Kile ambacho mafundisho ya kishetani yananuia kufanya ni
kuharibu ufahamu wa huu mchakato kumzingizia Mungu kwa kusema mfano aliouazisha
wastahili kutunzwa na unaleta sitofahamu katika jamii. Wanadai kuwa ushababisha
ghasia mbaya kwa dana yoyote ya kisasi, wa urithi, wa
utaratibu na wa usalama. Unajenga kutoamini kabisa na
imani yeyote katika dhamiri ya mtu.
Sababu ya
kushindwa kwa jamii ya Sparitani ni kwamba walingilia
umoja wakifamilia. Sparita ilikuwa serikali ya kijeshi.
Waume wote walikuwa wamefundishwa kwa ajiri ya vikozi
vya jeshi. Ni nchi yenye ukosefu wa nidhamu ambao ulimwengu haujawahi shuhudia ilijiharibu yenyewe sababu
ilitupilia mbali umoja wa kifamilia.
Mchakato
mwingine ni ule wa mafundisho ya kuacha nyama
zilizoanzishwa kupokelewa kwa shukrani. Nyama hizi zimetambuliwa na Biblia katika Walawi 11 na kumbu 14.
Mchakato
huu wa utakaso ni wa zamani kushinda ukristo. Ulijkuwa
sehemu ya mfumo wa Pythogorani wa wagiriki na
unadhihiirika katika wabuda. Mchakato huu sasa unaitwa wakukula mboga (Taz somo
la Wanaokula
mboga na Biblia (Nam. 183).
Mchakato
hu umekosa viungo muhimu kwa ajiri ya kufanya kazi
kiusawa kwa ubongo. Liwe liwalo, mafundisho yanagonga mfumo ule ule ya kwamba
Mungu alianzisha adamu
kutoka mwanzo. Imezingatiwa bayana pale kwamba Kaini alikuwa mkulima wa shamba na Abeli alikuwa mfungaji. Kafara
ya Abeli ilikubaliwa machoni pa Mungu zaidi kuliko ile ya Kaini. Hii
ndio ilisababisha asira ya Kaini na ndio sababu
alimuua abeli (mwanzo 4:1-16).
Maana ya
huindinishaji wa upaguzi unalenga kafara ya Masihi.
Mfano wote wa upadri ulianzishwa kudhihirisha damu ya
kafara ya Masihi na kudhihirisha muundo wa vyakula vilivyo kusudiwa kuchukuliwa
na kuliwa.
Mchakato wa mboga unaibua swala la ukweli na ufahamu wa mchakato wa
ukombozi na mfumo wote wa kafara za hekalu na muundo ulionzishwa na Mungu.
Kinachosemwa kiusahihi hapa ni: ulipata kumwelewa
vibaya umekosea, we ni mkali. Hitaji la kafara ya damu inaitajika” au,
“tunakataa kuwa ni sharti tule nyama. Kwa njia nyingine, ulipata kuelewa muundo wote vibaya na
hatutafikia kukamilisha kwa mpango wa ukombozi tukifuata maelezo yako”.
Hiyo ndio walaji wa mboga wanambia Mungu.
Anayekula
mboga anajiweka juu kama hakimu wa Mungu, kukataa kabisa mfumo wa sheria za
vyakula na kukataa ufahamu wa uumbaji na uwezo wa mwili wa mwadamu kujisoesha
na kujiusisha na vyakula vilivyopeanwa kwa ajiri ya shukrani. Inanena kwa Mungu hukuelewa muundo na kuwa mwili utaharibika kwa
kufuata maelekezo ya mungu. Maswali yanayo wekwa mbali ni
bure kabisa. Yanajaribu kudunisha matendo ya siku za mwisho na
kuibwa swali la uwezo wa masihi kuanzisha tu mifumo. Unabii uko wasi kwamba
masihi ataanzisha mfumo Fulani na kutokuwa na kula
nyama wakati wa kipindi cha miaka elfu moja, na kututokea urejesho na kuwa Masihi
atarejesha kafara. Maswala yote haya yanasababisha swala la vitendo na ufahamu wa Masihi na mpango wa Mungu. Inashitaki Mungu na Masihi na kabisa hii ni kupinga Ukristo.
Swala la
uwezekano wa kula aina sote za nyama kutoka kwa
kifungu cha Biblia ni kweli. Matendo 10 na 11 uonyesha
kuoshwa kwa watu wa mataifa kwa kukubalika kuingia katika ufalme wa Mungu.
Kifungu hiki hakina lolote kuambatana na vyakula jinsi
ilivyo wazi kutoka mitendo 11. Ni baana kuwa maono alionyeshwa Petero yaliosha
watu wa mataifa na si vaykula. Swala zima la
kukubaliwa kwa vyakula vinavyosunguka ukweli kwamba
maana kuu ni kwamba nyama zilitolewa kafara kwa sanamu kabla ya kuuzwa au
kuliwa. Mafundisho ya Biblia yaliwekwa ili weteule
wangeweza kula nyama bila kujali kuwa ilitolewa kafara kuwa chakula.
Warumi 14:1-4 Yeye
aliye dhaifu wa imani, mkaribisheni, walakini
msimhukumu mawazo yake. 2 Mtu mmoja anayo imani, anakula
vyote; lakini yeye aliye dhaifu hula mboga. 3 Yeye
alaye asimdharau huyo asiyekula, wala yeye asiyekula asimhukumu huyo alaye; kwa
maana Mungu amemkubali. 4 Wewe u nani unayemhukumu
mtumishi wa mwingine? Kwa bwana wake mwenyewe yeye husimama au huanguka. Naam,
atasimamishwa, kwa kuwa Bwana aweza kumsimamisha.
Sasa
fungu hili haliezi haswa kuwa udhaifu wa ulaji wa
mboga. Biblia inoredhesha ulaji wa mboa kama
mafundisho ya kishetani. Cha maana katika fungu hili ni
kweli kwamba udhaifu si kutokana na matumizi ya mboga bali kutoka kwa ukweli
kuwa mshiriki alikuwa na imani pungufu, kule kutojali ikiwa nyama ilitolewa
kafara kwa sanamu au la. Hapo maana ni kwamba italiwa
pamoja na kutoa shukwrani ndani ya maagizo yaliyotolwa na sheria ya vyakula.
Mipangilio
iliyoigwa na wayuda katika kafara na mchakato wa
kuchinjwa haukuwa kwa watu wa mataifa. Paulo aliweka maelezo madogo kwao
kuajana na damu n asana ili ilichanganyika na kafara za snamu (mitendo 15:20,29; 21:25). Hapo tunakumbana na
dhana mbili kuhusu matumizi ya nyama ilipotolewa kafara kwa sanamu.
Ikichulikana,
na kuwa jambo linalohusu uma na linaweza kusababisha
ndugu kujikuwaa au kuonekana kama kuidisha vitendo vya dini ya kipangani, hapo
sasa itakataliwa na kuhitajiaka kuachwa kabisa. Kama aiambatani na mchakato, itachukuliwa kuwa isiona na maana na bila
umuhimu wowote. Chakula inapaswa kuliwa kwa imani, na
kama haitaliwa kwa imani hapo ushikanishaji umehukumiwa.
Hivyo
ulaji wa mboga unatazamiwa kuwa dhambi katika swala la
kupekuwa vyakula zinahusu nyama katika mfumo wa kipangani. Kwa njia nyingine ni mafundisho yaliyo wazi. ya
mafundisho ya kishetani wakati yanahubiriwa kuwa kuacha nyama kwa ajiri ya
utakazo au hitaji la kibiblia au sababu za kiafya. Dhana ya kuwa Mungu
hakuanzisha mchakato wa matumizi ya nyama kutoka
mwanzo au na kuendelesha huo mchakato kupitia. Gharika ni
kosa la kibiblia au ufumi (mw 7:2). Dhan ya kuwa mungu angeanzisha mchakato
usio wa kiafya pia ni fukizo didhi ya asiri yake.
q