Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[CB93]
Utekaji Wa Daudi
(Toleo 1.0 20061208–20061208)
Chini ya utawala wa Daudi taifa hili la Israeli iliendelewa jinsi Mungu alivyoahidi. Waliwashinda adui zao na mipaka ya Israeli ililindwa. Daudi alitaka kujenga hekalu kwa Bwana bali hakuruhusiwa kufunza hivyo. Vipi, Mungu aliahidi Daudi nyumba na ufalme ambao ungedumu. Hii karatasi imetolewa kutoka vifunvu 98-102 za hadithi ya Bibilia Volume IV na Basil Wolverton, kuchapishwa na chuo cha Ambassador College Press.
Christian Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Copyright ă 2006 Christian Churches of God, ed.
Wade Cox)
(Tr. 2009)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia
yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Utekaji
Wa Daudi
Hapa tunaendeleza kutoka karatasi la Mfalme Daudi (No. CB92).
Ahadi
za Mungu kwa Daudi
Baada ya Daudi alipotoka katika hekalu ambao llikuwa zawadi kutoka kwa Hiram, mfalme wa Taira alianza kuzingatia bora zaidi wa mazingira ya kibinadamu kuliko yake ya Safina, ambapo ilikuwa katika nyumba ya hema
“Safina inafaa kuwa katika pahali panapofaa kuliko ambapo ninapoishi,” Daudi alimwambia Nathan aliyekuwa banii. “Unafikiria nni kuhusu mpango wangu katika nyumba ya hekalu katika safina?”
“Kwa kweli Mungu angependezwa na jambo la heshima kama hilo,” Nathan akajibu “Nafikiria kuwa angewabariki na Israeli yote kwa wazo zuri kama hilo.”
Usiku huo, tena, Bwana aliwasiliana na Nathan kwa maono kumwambia kwamba mpango wa Daudi haukuwa jinsi Mungu alivyopanga
“Mwambie Daudi asiufunge. Skitaka chochote zaidi ya Hema au Hekalu kwa uwepo wangu tangu wana wa Israeli walipotoka Misri,” Bwana alimjulisha Nathan. Sijawahi kulalamika kwa viongozi wa Isreali au kutoka wazo kwamba ninataka au kutaka kuabudu kwengine kwa Safina
“Sasa mpe Daudi ujumbe huu:” Ninakuchagua wewe kama kiongozi wa watu wangu. Nimekuwa nawe popote umekuwa ukienda na kuwaangamiza hadui zako, na nitalifanya jina lako kuwa kuu. Na nitaandaa pahali pa watu wangu israeli na hawata sumbuliwa tena. Hakuta kuwa na vita bidhi yenu tena na wazao wenu wataitawala nchi hii kwa vizazi vinavyokuja. Wakati utakapokufa nitaweka mmoja wa wanao katika utawala wako na kuweka ufalme wake kuwa thabiti. Yeye ndiye atakaye nijengea hekalu. Nitakuwa Baba yake na yeye anatakuwa mwanangu. Iwapo atafanya dhambi nitatumia mataifa mengine kumuhadibu, lakini upendo wangu na ungwana hakumuacha jinsi nilivyo chukuwa kutoka kwa Saulo. Nyumba yake na ufalme utafurahia siku zote mbele yangu, ougozi wako utafanywa wa milele” (2 Samweli 7:1-16; Kumb 17:1-14).
Asubuhi ilioyofuata Nathan alimwambia Daudi kuhusu maono yake na yote ambayo Mungu alimwambia. Daudi hakuhuzunika kugundua kuwa Mungu hakutaka ajenge nyumba maalum ya Safina. Badala yake, alikuwa na furaha kutambua kwamba atakuwa na mwana ambaye Mungu atamuelekeza kuijenga Hekalu ambalo lingepanwa kwa Safina. Kwa haraka Daudi akafika pahali pa upweke kukaa katika majadiliano mbele za Mungu na kumpa shukrani kwa ahadi nzuri za Mungu ba baraka kwake mwenyewe na kwa Iareali (2 Sam 7:17-29; Kumb 17:15-27).
Kwa sababu ya heshima ya Daudi na kwa sababu watu walikuwa wakiangalia sana na sana kwa Mungu kwa namana njema ya kusihi, wakati wa mawazo kutoka kwa mawazo kwa adui wanaowazunguka kulianza kutoka kwa Israeli haikuamini vilivyo katika ulinzi wa Mungu, lakini, usalama huu ulitokea pekee baada ya makabiliano ambayo Daudi aliongoza majeshi yake wa usaidizi wa Mungu wa kimiujiza. Iwapo Israeli haikutengemea Mungu sana. Alitunza ahadi zake na kuwaongoza kutoka kwa adui zao.
Moja wapo wa ushindi wa vita vya kijeshi vya Daudi ilikuwa kuwashinda Waphilistina na kuwasambaratisha Waiareali waliteka mji yao mengine na kuitawala kwa miaka mingi. Hili tukio la kinyume la Waisraeli ambao wametaka Waphilistina kwa muda mrefu (2 Sam 8:1; Kumb 18:1).
Daudi pia alimshinda Wamoabi. Aliwafanya wao kulala chini kando kwa kando katika milolongo. Thuluthi mbli ya kila mlolongo jinsi ipimavyo kwa futi, walikusanywa, na thuluthi moja walijangwa kuwa watumwa wa Daudi. Wale ambao walikuwa wamechukuwa katika walio vamia Canaan (2 Sam 8:1; 1 Kumb 18:2).
Daudi pia alipigana na utawala wa mfalme Hadadazer wa Zobah katika vita kwa mto Euphrates. Aliwashika wanajeshi wake elfu moja, elfu saba ya ya viongozi wa jeshi na ishirini elfu ya wapiganaji; na akawalemeza farasi isipokuwa ya pande mia moja. Aliwachinja elfu ishirini na mbili pia wa Aramean (Syrians) kutoka damascus walipokuja kumsaidia Hadadezer (2 Sam 8:3-5; Kumb 18:5).
Mungu aliwaamuru Israeli msichukue idadi kubwa ya farasi, wa vita, baadaye walianza kuwategemea farasi wa kivita badala ya Mungu kwa ajili ya usalama (Kut 17:16). Hiyo ndiyo sababu Daudi aliamuru kuuwawa kwa farasi wa kivita wa mia moja na kuwaokoa kwa utumishi kwa Waisraeli. Viuma vingi vilitolewa kutoka katika vifaru, pia vishikia vya maana (1 Chro. 18:3-4).
Watu wa Daudi walikusanya vingi kwa vilivyoaribiwa katika vita. Hivi vilitumwa Jerusalemu kama sadaka kwa Mungu kuongega utajiri wa Israeli. Kwa wakati huo, Daudi aliwaacha wengi wa wanajeshi wake katika pahali pale ili kuilinfa mipaka ya Caanan. Kama Maobita, wa Syrian walikuwa watumwa maalum na kodi maalum, ilitajika kutoka kwao. (2 Sam 8:6-8; Kumb 18:6-8).
Katika wakati Syriani waliposoma funzo lao. Adhabu yao ulitokea kuu kuwa walikuwa wameiba nchi ambayo Mungu alikuwa amepana kwa makabila matatu ya israeli (Kumb. 5L6; 9-11; 18-23) kwa hivyo Bwana alimpa Daudi ushindi popote alipohitaji.
Haikuwa kale kabla Toi, kiongozi wa mji wa karibu wa Hamath, aliposikia yale yaliyo-tokea. Yeye na Hadadezer walikuwa maadui na majeshi yao yalikuwa katika vita kila mara. Toi alikuwa na furaha alipogundua kwamba Waisraeli waliwashinda majeshi ya Hadadezer.
Kabisa, aliwatuma wanawe, Joram, kuongoza mkutano kumtembelea daudi na kumshukuru katka ushindi wake wa vita vya hivyo karibuni. Kuakikisha urafiki wa Baba yake kwa mfalme wa Israeli, Joram alimuakilisha Daudi na nishani ya shaba, fehda na dhahabu. Haya yote Daudi aliongeza kwa hazina maalum ijengwayo kutokana na bidhaa zilizochukuliwa waliofukuza na kumpatia Bwana. Alitumai kwamba mali hii ingetumika kusaidia kujenga hekalu la Mungu (2 Sam 8:9-12; Kmb 18:9-11).
Vita vikuu bidhi ya mataifa kwa Israeli vimfanya Daudi kuwa wa hukeshiika sana na maaduizake pia wa watu wake. Mwishoni nchi ya ahadi ya Caanan ailikuwa imechukulia na kushikwa kwa mipaka kwa watu wa Israeli. Kwa wakati, Daudi alifanya kuweka serekali. Aliwafanya wakuu katika afisi watu ambao walikuwa na uuwezo. Alikuwa aina ya mfalme ambayi kwa uma na kibinafsi akipatiana mikopo kwa watu ambapo mkopo alipotolewa kwao, badala ya kujaribu kulipa jina lake (2 Sam 8:15-18; Kumb 18:14-17).
Joab, ijapokuwa ameiamusha hasira ya Daudi kwa wakati uliopita, aliwekwa kama mkuu wa jeshi la Israeli. Daudi alitoa ahadi ya afisi kwa yeyote ambaye angeongozwa majeshi na kushinda katika Jerusalemu wakati wa vimizi katika mji kwa Waisreali, na Joab alipata zawadi. Alikuwa kiongozi mkuu wa jeshi mwenye uwezo, alipokuwa mwenye kuita na kupenda vitendo vya kivita, pamoja nanduguze, Abishai, ambao walikuwa wakuu waliofuata wake, Joab alifanya kazi zake zote vizuri.
Katika vita vya mwisho kwa wakati Waisraeli waliwamaliza adui zao kutoka kusini mashariki Canaan, alikuwa Abishai aliyeongoza majeshi. Hapo haikuwa ya kuchapishwa kumi na nane elfu mejeshi ya Edom waliuwawa (2 Sam 8:13-14; 1 Kumb 18:12-13). Mungu hutumia watu wa aina yeyote kutimiza mipango yake yote. Lakini watumishi wake wa kweli lazima wawe wenye heshima katika amri za muumba kimwili na kiroho.
Uamuzi wa Daudi kuwa sawa katika sera za serikali alimpelekea kushangaa ikiwa kulikuwa na familia ya Saul ambayo bado ilikuwa hai. Iwapo walikuwepo, ilikuwa uamuzi wa mfalme kuwasaidia kwa sababu ya mwana Sauli Jonathan, ambaye alikuwa rafiki wa Daudi wa karibu wakati alipokuwa kijana mdogo aliyejiriwa na Sauli kama wmanamziki na mbebaji nyundo (2 Sam 9:1).
Baadaye mtu aliyetwa ziba ambaye alikuwa mtumwa katika kazi za Sauli aliletwa katika Jerusalemu.
Mfalme alimuuliza ikiwa bado kulikuwa na yeyote aliyeachwa wa nyumba ya Sauli ambaye angemwonyesha ungwana wa Mungu. Daudi aitambua kuwa mtu ana faa kuwa mngwana kwa rafiki zake wa kale (Mat 17:17; 18:24; 27:10).
Alafu ziba akwambia kijana aliyekuwa akiisha na mtu mngwana na mgonjwa jina lake Makir katika mji wa Lo-Debar.
Hivyo mfalme Daudi akamtuma. Wakati Mephibasheth alipokuja mbele za Daudi amimuinamia na kumpa utukufu.
“Mimi ni mjakazi wako, Bwana!” alitamika kwa uoga (2 Sam 9:2-6).
“Usiogope” Daudi alimwabia; “kwa kuwa ninataka kukuongesha ungwana kwa sababu ya babako Jonathan. Nitakuhitadhia aridhi ambayo ni ya babu yako Sauli, na utakuwa ukila katika meza yangu.
“Nini sababu gani ungekuwa nayo ya kufanya hayo?” Mephibesheth aliuliza, “kwa kweli mimi si kitu kuliko mbwa aliyekufa kwako” (vv. 7-8).
Alafu mfalme akamuhutubia ziba na akwambia, “Nimempa mkuu wako mjikuu wa kuime kila kitu cha Sauli na familia yake. Wewe na familia yako na watumishi wako munapaswa kuchukuwa jukumu ambalo ingefanywa na kuufanya mji wa kufana kwa Mophibasheth na kwa wote ambo wataishi au fufanya kazi hapo.”
Ziba alifurahishwa na mpangilia huu. Alikuwa na vijana kumi na watano ambaio walikuwa na uwezo wa kufanya kazi. Aluikuwa na watumishi ishirini pia ambao angependelea kuendelea kuwaajiri.
“Inanipasa kufanya lolote ambalo mfalme ana amuru,” Ziba alisema.
Kijana mdogo alikuwa na furaha tele. Alimshukuru Daudi sana, ambaye alikuwa na furaha kwa nafasi ya kufanya jambo kwa mwana wa Jonathan.
Mephibosheth aliwatuma walete mke wake, na wali kuwa na starehe katika nyumbani wao mpya. Kuweka maisha kuwa huru sana, Mungu aliwabariki na mtoto mme mbaye walimita Micha. Watatu hao waliwekwa kama wafalme, na mara kwa mar waalikuwa katika nyumba ya Daudi kwa chakula cha jioni na mtsarehe zingine (vv. 9-13).
Daudi
awashinda waamoni
Kwa wakati Daudi aliarifiwa kwamba mfalme wa Waamoni alikwa kafa. Bibilia haielezi uhusiano ambao Daudi alikuwa nao kwa mtu huyu. Lakini kwa pengine alikuwa na urafiki kwa uwezekano wakati alipowatoa wakimbizi wa Sauli nje ya Canaan.Daudi alitaka mwana wa mfalme, Hanun, kujuwa kuwa mfalme wa Israeli alikuwa na uchungu aliposikia kifo cha baba yake. Daudi alituma kundi na zawasi katika nchi ya Waamoni mashariki mwa ziwa la chumvi (ililokufa) kutoa ujumbe wa pole wa Daudi (2 Sam 10:1-2; 1 Kumb 19:1-2).
Hanun aliwapokea wana wa Israeli wa upendo, lakini baada ya kuwapelekea katika vyumba vya wageni kwa ajili ya mapumziko ya usiku kabla ya kuanza kurudi Jerusalemu, wazee wengine wadogo wa Waamoni ambao hawakuwa na urafiki na Waisraeli walikuja kuongea na Hanun.
“Ikiwa mfalme wa Israeli alimtii baba yako, anatumia hii pekee kama sababu kwa kuwatuma watimishi wake hapa,” walimwambia Hanun.” Hama watu na zawadi kwa kweli wanaitazama nchi yetu ili wapelekee habari. Inamaanisha kwamba Israeli inapanga kutushambulia hivi karibuni.”
Hanun alitatizwa na nia hii. Asubuhi aliyofuata alikubali kuwa wazee walikuwa sawa, na akatoa amri ya kuwashika Waisraeli. Kila ndovu ya mtu zilitolewa nusu, na waligongwa hadi viunoni kwa jambo hilo walitaka kwenda tena hadi Jerusalemu na kuwambia Daudi kwamba jaribio la kuvamia Waamoni ilikuwa ya kushangaza na angeona wakati wangerudi.
Habari hizi za kushutumia kwa vingine zilimfikia Daudi kabla kurudi lilioabishwa kufika mto Yordani. Daudi aliwatuma watu kuwaletea nguo kutoka sehemu ya mji wa Jericho. Waliambiwa kubahi hapo hadi wakati ndevu zao zimee.
Kwa wakati, Harun pia alipokea habari ambazo zilimfanya kuwaita kwa pamoja wazee ambao walimkimbilia kuongea naye kuhusu kuwatesha waisraeli (1 Sam 10:3-5; Kumb 19:35).
Mfalme Hanun wa Ammon baadaye alitambua kuwa hakuwa mwenye hekima kuwatesa watu wa Daudi. Waandishi waliendelea kumjia kwamba Waisreali walikuwa na uchungu ambapo walikuwa tayari kwa kushambulia Wamoni katika sehemu ya mashariki ya ziwa lilokufa.
Jeshi la Hanun ilikuwa ndogo sana ikilinganishwa na ya mfalme Daudi. Hanun alingundua kuwa njia pekee ya kukutana na adui wake kwa chochote kwa kulinganisha usawa ilikuwa kukodhisha majeshi kutoka kwa mataifa ya karibu ya Armeria na Mespopotamia.
Hanan aliweza kulinda majeshi 33,000 – wengi wao walikuwa waendeshaji farasi na wa vifaru – kutoka kwa wafalme wanne majirani (2 Sam 10:6; Kumb 19:6-7).
Wakati Daudi aliposiki haya alihuzunika sana kuliko wasiwasi. Alidhani kuwa vita vingeachwa kwa miaka mingi, lakini sasa alijua kwamba, kwa kuwa israeli haikumuamini Mungu kwa kulinda, jeshi la Israeli lingetumwa nje tena. Ijapokuwa watu wa Israeli, na sana sana Daudi, walikuwa na udungu kwa sababu ya yale Hanun alifanya kwa watu ambao walikujwa kwa Amoni kwa nia ya urafiki, Daudi hakupanga kwa na vita vikuu sababu ya hili jambo. Lakini waameni walikuwa tayari washaitisha ufamizi kwao wenyewe kwa mara ya pili.
Waphilisti hawakuweka tishio lolote kwa Israeli kwa wakati huo, kwa hivyo majeshi ya Israeli walitumwa nje kukutana na maadui. Daudi alibaki katika Jerusalemu, akamtuma Joab kama kiongozi wa pigano, na Abishai, nduguye Joab, kama kiongozi wa pii (2 Sam 10:7; Kumb 19:8).
Waamoni walilinda milango ya miji bali Syrian kupigana katika viwanja. Wakati Joab alipogundua angepata kupigana kwa pande mbili mbele aliwachagua askari wazuri wa jeshi na kupigana na Wasatiani 33,000. Majeshi yaliyobaki waliwekwa chini yongozi wa abishai kutumika bidhi ya Waamoni.
Alafu Joab akawaambia majeshi ya Israeli, “Ikiwa Waarimeria wako wagumu sana kwangu, kujeni haraka na watu wako kunisadia mimi, ikiwa waamoni wakijifanya kuwa wenye nguvu kuliko, nitakibilia kukuisaidia – usihusike na kushindwa. Ikiwa Mungu atatuona, atatusaidia kushinda” (2 Sam 10:8-12; Kumb 19:9-13).
Mawaidha ya mwisho ya Joab ingelinganishwa kuwa si sawa kwa mmjoa ambaye si maarufu wa majesho na ambaye alieamini katika nguvu na vita kutuliza mambo. Usipojali, aliamini katika nguvu kuu za Mungu, hata ikiwa hakupenda kutii amri za Mungu. Hakungundua kwa kiwango cha Mungu kuwatoa wasigamini, wenye wa Israeli kutoka kwa majirani.
Kwa amri ya Joab upande wa nguvu wa jeshi kwa ghafula walibadilisha milolongo kukutana na wasayari wakati Wasayari waligundua kuwa, badala ya wasayari walikuwa kitu cha kwanza kuchabulia, walianguka katika kundi la kelele la wasiwasi. Walikimbia kutoka Medeba na amri ya Joab watu hawakuwa wamefungwa katika kifungo.
Kwa wakati kama huo majeshi ya Abishai alikimbia kwa Waamoni, ambao waliku kashingazwa katika kuwapiga wasayari kwamba walikimbia na kuwapiga katika mji. Baadaye Joab alirudi Jerusalemu (2 Sam 10:13-14; 1 Kumb 19:14-15).
Wasayari waligundua kwamba hawakuwa sawa kwa Waisraeli. Kwa hivyo viongozi walipanga mkutano wa ghafla. Mtu ambaye alikuwa tayari kuwa bingwa kwa sababu ya Hadadezer. Alikuwa msayari mfalme ambaye hivi karibuni ailikuwa amepoteza maelfu ya watu na farasi wengie na majeshi kwa majeshi ya Israeli. Kwa wakati huu Hadadezer walikuwa mamejenga tena jesha. Kumuisha na watu wa wafalme wengine wa sayari, hii ilifanya hakutosheka hadi alipowatoka majeshi ya arinesi kutoka Mesopotamia. Haya majeshi yalifika katika Halam chini ya uongozi wa Sabach, kiongozi wa jeshi la Hadadezar (2 Sam 10:15-16; 1 Kumb 19:16).
Wakati alisikia hivyo, Daudi aliamua kuwa yeye binafsi peleka wana Jeshi Katika Helam ambapo Syrians alienda kutoka Israeli, Walitoka watu mia saba wa jeshi wakufa katika kiwanja , pia Wati elfu arubainne wa Cavalry, pia Generali Shobach.
Wakati wafalme wote ambaye walikuwa waminifu kwa Hadadezer waliona kuwa wameshindwa na wanaIsraeli , waliweka amani na Wana Israeli na kuwa watulivu kwao (2Sam. 10:17-19; 1Cor. 19:17-19).
Mwaka ujao, wakati pengine uliruhusiwa nyakati zinazofaa kwa vikosi, Daudi alimtuma Joab nje na wafalme wa jeshi na Waisraeli wote bidhi ya Waamoni. Daudi hakuhusika na pigano. Alitaka kufanya muungano wa vita vya upondo, Waamoni wenye mipango kabla ya kuunda jeshi zito kupambana na israeli kwa nyakati zijazo.
Waliharibu Waamoni na kushika mji wa Rabbah. Lakini Daudi aliishi katika Jerusalemu (2 Sam 11:1; 1 Kumb 20:1).
Usiku mmoja Daudi alienda juu na akatembea katika paa la ikulu yake. Kutoka paani aimwona mwanamke mdogo akioga na Daudi akaona kwamba alikuwa mrembo sana. Hakukuwa na chochote kisicho cha kwawaida kwa mtu kuoga kwa mtazamo wa wakati ule. Ubinafsi kilikuwa kitu ambacho hakikuwa cha uwezokano lakini walitka kuwa mtu awe amevaa wakati anapooga katika mtu au kwa nje hiyo.
Kwa kijua mwanamke yule alikuwa nani, Daudi alitambua kuwa jina lake ni Bethsheba, na hivyo alikuwa mke wa mtu aitwaye Uriah, alihite (Walihite walikuwa wakiishi kando ya mto Jordani wakati Waisraeli walikuja Canaani). Uriah alikuwa mmoja wa maelfu ya majeshi ya Israeli (23:39) ambao pia mmoja wa majeshi thelathini na saba mabeberu hakumjua, uwezekano wa kumchukuwa kama mke ulianza kuingia katika fikira zake. Hakuwa na hekima huruhusu kutawaliwa na urembo wa kimaumbile pekee.
Ilikatiza uwezo wake wa kawaida wa usawa, na hukumu ya haki, Daudi aliendela kufikiria kumhusu Bethsheba. Aliamua kufanya jambo kwa hili neno. Alafu Daudi akawatuma wajumbe wakamlete kwa hivyo alikuja kwake na Daudi alilala naye. Alafu akarudi nyumbani.
Badala ya kutoka mawazo ya majaribu katika fikra zake, Daudi aliziruhusu. Matokeo yalikuwa kuanza kwa ukosefu katika maisha yake. Alikuwa mevunja amri ya saba na ya kumi. Sasa shida alikuenea (2 Sam 11:4).
Futio la kwanza lilikuza Daudi alipopokea ujumbe kutoka kwa Bethsheba kumjulisha kwamba alikuwa atapata mtoto miezi kadhaa baadaye. Njia pekee ya uwezeka wa kuepuka shinda hii, alifikiria mwenyewe alikuwa kumrudisha Uriah kwa mkewe mara moja. Ikiwa Uriah atakaa na mke wake kwa siku chache, atafikiria mtoto alikuwa wake.
Daudi hakutopeza muda kwa kutuma mjumbe wa kwanza kwa Joab, akioma mumewe Bethsheba arudi Jerusalemu kwa majaribio yapatikayano kutoa ripoti ya kuendela kwa vita. Uriah alikimbia na akaletwa kwa Daudi.
Wakati Uriah alikuja kwake Daudi alimuuliza vipi Joab na majeshi walivyo na akamuuliza kuhusu vita.
Mwishowe Daudi awambia Uriah. “Nenda chini kwako na uoshe miguu yako” (2 Sam 11:2-8).
Mfalme alitazama kwa uchungu alipomwangalia Uriah akitembea nje ya mlango swali pekee lilikuwa tendo la kuwatoa na nababu maalum ya kuwarudisha kwa hittite kudishwa Jerusalemu.
Kuongea kwa kujikisia mkosa, jinsi katika uwepo wa ubeberu na ungwana wa afisaa ambaye alikuwa amemkosea. Kujaribu kusikiliza wazo la kutokuwa sawa, Daudi alituma zawadi kwa nyumba ya Uriah.
Siku aliyofuata Daudi alisalimiwa na mshangao usiofurahisha. Alijulishwa kwamba Uriah hakuenda nyumbani. Badala yake, alikuwa akilala katika vyumba vya watumishi katika nyumba ya mfalme.
“Mbona haukulala nyumbani na mkeo suku uliopita? Mfalme aliuliza wakati Uriah alipoletwa mbele zamke.
Hatuma furaha kumwona baada ya kuwa mbali naye kwa muda mrefu.
“Nilitaka sana kuwa na mke wangu.” Uriah alifafanua,,” lakini nilifikiria kiongozi wangu na majeshi wenzangu walikuwa walale sakafuni na kwenye mapango, nisichukuwe kitu chichote kizuri kuwa sababu. Vipi ningeenda nyumbani mwangu na kula na kunywa na kuwa na mke wangu? Singe fanya kitu kama hicho” (vv. 9-11).
“Sawa kaa hapa usiku huu”, Daudi akasema, “na kesho nitakutuma urudi uungane na jeshi.”
Kwa hivyo Uriah alikaa plae hikulini. Alikulia na kunywa pamoja na Daudi na Daudi alimfanya kulewa. Lakini Uriah kakuenda nyumbani jinsi Daudi alivyofikira bali alienda tena kulala kat vyumba vya watumishi (vv 12-13).
Kumfanya Uriah kulewa kulikuwa kupoteza nguvu. Hata kwa hiyo hatua Uriah alikataa kumtembea mke wake, ambaye alikuwa karibu sana mkononi. Aliskia kwamba angeburudika kwa maisha yoyote ya nyumba ni ikiwa majeshi wenzake wanasiki ugumu katimka pigano bidhi ya Waamoni.
Daudi alikuwa na wasiwasi sana kwa kufikiria nini ambacho kingefanyika ikiwa umati ungegundua kwamba alitaka kuwa baba wa mtoto na mke wa mwanamume mwengine. Kwa kujaribu kuhepuka hili jambo, Daudi aliamu kufanya jambo haya. Alituma waraka uliofunikkwa kwa Joab, mkuu wa jeshi lake, na Uriah kame mpelekaji. Uriah alirudi kwa haraka jinsi alivyotaka, kwa pale waisraeli walikuwa katika hema.
Kufungua barua, hata Joab alisongwa kidogo. Aliagizwa kumuweka, Uriah mbele kwa vita na Waamoni. Alafu alikuwa awatoe majeshi yake kwa ghafla na asiwaache wamwookowe au kumsaidia Uriah kwa nia yeyote. Huyu askati kifo chake kilipangwa na Daudi, na kwa kutojua alipena kwa mtu ambaye alikuwa na nguvu ya kubeba amri zote (vv. 14-15).
Wakati Joab alikuwa na mji, alimweka Uriah katika pahali ambapo alijua kulikuwa na walinzi wagumu. Wakati watu wa mji walikuja nje na kupigana bidhi ya Joab wengine wa watu katika jeshi la Daudi walianguka. Ziaidi sana, Uriah alikuwa baadhi yao. Waamoni wengine waliuchukuwa uzima wa Uriah, lakini ilikuwa Daudi ndiye muhusika katika kifo cha Mhittite (vv 16-17).
Joab alimtuma mjumbe kwa Daudi kumpatia ripoti kamili ya vita.
“Maadui walikuja bidhi yetu”, alisema, “na tulipowafukuza kurudi kwa milango mji”, watu katika ukuta walitushambulia na wengine wa watu wetu waliuwawa Uriah Mhittite amekuf pia.”
“Ninajua kwamba Joab lazima akekuwa kwa shida kwa bababu ya kuvamiwa na Waamoni, “Daudi alitamka kwa ujumbe. “Utakaporudi, mwambie asihusike sana. Umekumbushe kwa niaba yangu, kuwa waiso na bahato hufa katika pambano. Mwambia kwamba ni wazo lango kuwa asahau matokea yaliyo-pita na kuweka fikira zake kwa kuchukuwa mji wa Rabbah, ingawa miezi itahitajika kufanya hivyo” (vv. 18-25).
Wakati Behtsheba alisikia kwamba mumewe amekufa aliomboleza. Baada ya kuomboleza kwa muda wa kawaida, Daudi alitaka aletwe kutoka iliku na akawa mmjoa wa wake wake.
Chini ya husia hili Daudi aliongeza mke wengine na pia mtoto mwingine.
Ikiwa Mungu alikuwa analala, Daudi angekuwa anaishi katika hukumu hii bila watu wake kujua kutokuaminika kwake, amtendo ya kigaidi na mambo ya kushangaza ukweli hawezi kuwepo kwa taifa zima na pia kwa mtu binafsi.
Lakini Mungu hali. Wawe kundanganywa. Na Mungu hakufurahishwa na kile ambacho Daudi alifanya. Hata mfalme wa Israeli, kama mwingine yeyote, walikuwa wakiambia katika hukumu kwa sababu ya kuvunja amri zingine za Mungu (vv. 26-27).
Mungu alianza pigo la Daudi kwa kumuangamiza Nathan, mmoja wa manabii wa Mungu, kwa lile atakalomwambia mfalme.
Aliopokuja kwa mfalme, Nathan alimwambia hukusu watu wawili ambao walikuwa majirani mmoja alikuwa tayari na mmoja alikuwa masikini. Tajiri na mwana kondoo wengi na ng’ombe. Masikini alikuwa na mwana kondoo mmjoa kwa vitu vyake vyote. Alikuwa kama mtoto, na alikuwa peke wa familia.
“Shida alianza wakati rafiki alikuja kumtembea mtu tajiri”, Nathan aliendelea. “Badala ya kuwaambia watumishi kumchinja mmoja wa wanyama wake kwa chakula cha mgeni, alienda kwa boma la jirani yake masikini na kuchukuwa na ena kumchinja mnyama wake wa pekee, mwana kondoo mpendwa. Mwana kondoo alipakuliwa kwa mgeni wa tajiri.” (2 Sam 12:1-4)
Daudi kwa hasira alishangaa. Huyo mtu anafaa kurudisha wana kondoo wake wanne kwa jirani wake alikuwa mkaidi na mwenye kujipenda na hakuwa na huruma kwa jirani maskini, anafaa kufa (vv. 5-6).
“Haujali kutowa bama lako ili kupata mtu ambye alikuwa hana utu,” Nathan alisema. “Wewe ndiye huyu mtu!
Alafu Nathan akasema, “Umemkasirisha Mungu kwa tabia yako ya kale. Alikulinda mara nyingi kwa Sauli na Majeshi yake. Alifanya kuwezekana kwako kuwa na nguvu katika Israeli, boma na utajiri ulisherekea na wamawake wengie umechachagua. Ikiwa ulitaka chochote, Mungu angekupa. Kulingana na mambo ya ujabu muumba wako amekufanyia, mbona umevunja amri zake? Ulipanga kifo cha mtu mgwana na wakuaminika ambaye ulizini na mke wake? Uriah Mhittite alikufa katika mikoni yako kupitia adui zako, Waamoni. Alafu ukamchukuwa mjane wa Uriah kuwa mke wake ili udinifu wako usitambulike (vv. 7-9).
Mungu ameniangiza kukuambia ni nini ambacho kitafanyika kwa sababu umeteleza katika dhambi ndefu kama hii,” Nathan aliendela. Kutoka sasa kifo kutakuwa kikiizunguka nyumba yako. Kitashambulia kwa wakti usiyotarajia. Mambo mengine mabaya yatafanyika katika nyumba yako. Jirani atawachukuwa wanawake wako. Ulifanya mambi mengi kwa siri, lakini atakaye wachukuwa wake zako atafanya katika mwanga wa mchana na kuonekana na watu” (vv 10-12).
“Nimekubali dhambi yangu. Nimetenda bila utu”, Daudi alitubu baada ya muda mfupi. “Ninefanya mabo haya kwa kutokuja mbele za Mungu bila kuzingatia wengine. Ninafaa kufa!” (Zab 514 ni ombi la Daudi la kutubu).
“Sasa umegundua makoso ulivyofanya na umtubu, Mungu atakusameha,” Nathan alimshauri. “Hatachkuwa uhai wako. Basi, kwa sababu tendo lako litawapatia adui za Mungu sababu ya kukutoka kama kijana mwenye mchezo aliyependelewa na makwaji, kijana atakaye zaliwa kwako hakika atakufa.
Kulikuwa na wakati mkubwa wa kutaabika mbele. Ilianza kutendeka mara tu baada ya mwaka waka alizaliwa na Bathsheba. Mtoto kwa ghala alikuwa mgonjwa kwa utabiri wa Nathan kuwa mtoto angekufa hakika, Daud aliomba na kufunga auri kuwa mtoto angeishi. Alilala usiku kucha kwenye sakafu ya nawe (vv 13-16).
Wazee wa nyumba walijaribu kumzunzisha aende kitandani, lakini alikataa na hangekula chakula chochote.
Mtoto alikuja kwa siku ya saba ya ugonjwa. Watumishi waliogopa kumwambia mfalme. Walifikiria kuwa tabia zake zilikuwa za kushangaza wakati mtoto zilikuwa mzima kwa hivyo angefanya jambo la kushangaza ikiwa angeambiwa kwamba mtoto alikufa. Wakati Daudi aligundua wakinongoneza, alijua kilichofanyika.
“Mtoto amekufa?” Aliuliza.
“Ndio” walijibu, “amekufa”.
Alfau Daudi akaamuka kutoka sakafuni, akajiosha gwaruza nyewele zake, akabadilisha nguo zake, na akaenda hekaluni na kuabudu Mungu. Alafu akarudi katika ikulu na akala (vv. 17-20).
“Vipi atasikia vizuri, sasa kuwa mtoto wako amekufa” mtu aliuliza.
Daudi alifafanua, “sasa hivi mtoto amekufa, hakuna haja ya kuendelea kufunga na kumuomba. Nilidhani angeishi, lakini sasa ameenda, hakuna ninachoeza kufanya ili nimrudishe.”
Baada ya kupokea nguvu zake, Daudi alienda kumtuliza Bathsheba kwa sababu ya kumpteza mwana wao. Baadaye, mwana mwengine alizaliwa kwa Daudi na aliangialia kwa upando wa ndoa ya na kuwapatia mtoto wa pili. Bwana alimpenda na alimtuma neno kupitia Nathan nabii. Kumuitia Jedidah, ambaye aliamaanisha mpendwa wa Mungu (Yohco). Daudi alimwita.Suleimani, ambayo ilimaanisha amani (vv. 21-25) Zaburi 127:2 aliandikwa na Solomon, inachukuwa jina la Yedida au mpendwa, ambayo ilikuwa jina ambalo Mungu alimpa Solomon kupitia Nathan.
Kwengine, kutoka wakati kuwa Uriah Mhittite alipowawa hadi baada ya Daudi alipotubu, Joab na waisraeli walipigana bidhi ya Rubbah wa Waamoni na kuthukuwa nchi yao.
Baadaye Joab aliwatuma wajumbe Jerusalemu kumwambia Daudi kwamba walipigana bidhi ya rabbah na kuchukuwa umiliki wa usambazaji wa maji hapo. Ujumbe pia ulikuwa wazo kwamba Daudi angekuja kwa Rabbah na majeshi mengine kuchukuwa mji. Pengine ikawa Joab alichukuwa mji ungitwa kwa jina lake (vv. 26-28).
Daudi alikubali na alienda na jeshi lote kuungana na Joab. Walivamia Rabbah na kuichukuwa. Daudi alichukuwa utawala wa mfalme, ambao ulikuwa utawala wa Milcom, alitwa kwa Mungu wao, na aliweka kwa kichwa chake mwenyewe (vv. 29-30).
1 Kumbukumbu 20:1-3 inasema Joab alienda kwa Rabbah na kumuomba, bali Daudi alibaki Jerusalemu. Baada ya kuzingiwa Daudi alienda hapo. Alitoa taji kichwani, ambaye inafikiriwa kuwa kiongozi wa mfalme sanamu Milcom, Mungu wa Waamoni. Daudi aliweka watu kufanya kazi na kupunguza mji kukwaruza na vyema, kama vile mji ya Waamoni, watu walichukuliwa na kufanywa wafanyi kazi wa Waisraeli.
Bibilia haisemi kilichofanyika kwa mfalme wa Waamoni, lakini kawaida alikuwa ameuwawa. Taji linalitajwa hapa, kama taji la mfalme, kuwa na zaidi ya pound mia moja. Ilikuwa na mawe mazuri ndani ya na dhahabu peke yake ilingaramia kiwango kikubwa cha fedha.
Taji lilieleweka kuwa katika kichwa cha sanamu na kuwakea kwa kichwa cha Daudi ailikuwa kuamisha mamla kutoka kwa kuabudu kwao kwa uongo hadi kwa mfalme wa taifa la Israeli chini ya Mungu wa kweli.
Taji ilikuwa mali ndogo pekee
iliyochukuliwa na Waisraeli kutoka Rabbah. Walichukuwa idadi kubwa kutoka kwa
mji. Hii pamoja na kuaribiwa kutoka miji mingine pale, yalichukuliwa yote a
kurudhishwa Jerusalemu wakati Daudi na majeshi yake yaporudi.
q