Makanisa La Wakristo Wa Mungu

 

[103B]

 

 

 

Hatua za Mezs ya Bwana

Vile unaweza panga meza ya bwana kama wakuu hawako

 

 

(Edition 2.0 19960323-19991008-20070919)

 

Hiki karatasi inaeleza maneno kwa watu binafsi ambayo haiwezi kufika na kikundi wakati wa pasaka.

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

Email: secretary@ccg.org

 

(Copyright ã  1996, 1998,1999,2007 Wade Cox)

(Tr. 2008)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 


 

Hatua za Meza ya Bwana



 


Kama unauwezo wa kuchukua meza ya bwana, lakini hauna uwezo wa kukutana na watu pali pa kusanyika na moja wa makanisa ya Mungu kwa wakati unaofaa, inaweza tazama pekee yako au na vikundi ua mwana chama yeyote.

 

Jithahidi kwa siku ya meza ya bwana kwa kununua vitu za wa Yaudi katika Duka lolote ya kununua, store au kwa mali pa kutengeneza mkate, au unaweza jitengenezea mkate bila kuweka yeast, soda, unga ya maandazi au kiti kingine isichofaa. Ryevita au inachofanana, biskuiti pia inaweza tumika.

 

Nunua chupa ya pombe yenye asili ya wine ya hali ya juu ambaye ni nyekundu. Cabernet Sauvignon au Shiraz na nzuri. Usitumie pombe ambaye imetengenezwa na grape etc kama hizo haifai kabisa.

 

Jiusi ya grape haikutumika katika pasaka wakati wa Yaudi ua wana Israeli, ata Kristo mwenyewe, wanafunzi au kanisa ya agano jipya. Mafundiso ya kikundi za makundi za hivi karibuni ni kinyume na ukweli. Jiusi ya grape haiwezi wekwa kwa muda mrefu ukifuati hizo maagizo. Imekufa, na pombe iko na maisha na nimfano wa damu ya Yesu kristo kama mwana ume.

 

Kujitayarashi kwa Meza ya bwana

1)      Tengeneza nyumba ambayo imewekwa kando kwa siku hiyo, kwa kuiweka ikwe safi na kuirembesha.

2)      Kuwa na kiasi kidogo ya makate na wine ambaye imewekwa kwa kikapu, na kufunikwa na kitamba nyeupe, au taulo au karatasi za meza. Tumia kiasi kidogo kwa glasii kwa kila mtu.

3)      Weak kando basini amboyo ni safi na taulo ya kosha mguu.

4)      Mfunya hiki sazingine kama kuna giza lakini si kama imechelewa sana.

 

Chakula cha bwana haufai kukulua kwa nyumba yako unayo kaa. Inafaa ipelekwe nje ya nyumba yako au pali pako ya kawaida, kwa maana ni ni jioni mwingine, pasaka (au usiku ni laziam itazamwe sana) kulingana na kumbu kumbu la Toarati 16:6-7 (angalia karatasi The Night to be much Observed (No. 101)).  Katika asubuhi ya siku ya kwanza takatifu unaweza rudi kwa nyumba yako unayokaa. Wale ambayo ni wagojwa kutembea wanaweza baki kwa nyumba yao.

 

Sherehe hilo lazima ifanyike kwa uchungu au makumbuzo, lakini, si sherehe ambaye inakataa mazungumuzo kwa mutu. Mkubwa wa famulia, au mtu ambaye amechaguliwa  kwa kikundu inato sanyika, ndiye atakaye ongozo sherehe. Meza ya bwana iko katika kaseti na ime chapishwa kwa karatasi The Lord’s Supper (No 103), ambaye infaa ifutwe kwa sheria ya sherehe.

 

Hiki ni ukumbuzo muhimu ya kusherekea  wa mulo ya mwisho ya mfalme wetu Yesu kristo kabla kusulubiwa kama kondo ya mulo wa mwisho ya jioni ujayo-usiku lazima itazamwe-amabye ni ni usiku wa pili ya mulo wa mwisho (Kut 12:8-11; Tora. 16:6-7). Hiki ndiyo pasaka ya ukweli ya Kutoka na usiku amboyo wana Israeli wali samehewa na malaika wa kuaribu.

 

Hakuna mkate au wine ambayo iltumika katika usiku wa kwanza mabayo ilitumika katika jioni wa kweanza, au chakula ya jioni wa pili, itaachwa mpaka asubuhi ya siku ya kwanza takatifu. Ni lazima zitupwe.

 

Vile unaweza undelea bila karatasi No 103:

Kama karatasi ya kusoma haipatikani ku somwa, mkuu was here inafaa asome maandiko katika Biblia. Huyo mtu asome Luka 22:7-8,14-15; then Mathew 26:17, 26-30; alafu uendelea kwa 1Wakoritho 11:23-30 alafu Yohana 13:1-17.

 

Kuosha miguu pia infa ifanywe kama wawili au wengi ambayo wame batizwa wako. Pasipo watu wengi hivyo infaa wagawanywe kulingana na ubinafsi yao na kuwekwa kwa tofauti.

 

Watu binafsi si lazima wafanye hiki kitendo. Baada ya kumaliza, chumba inafa itandzwe tena.

 

Mkate  na  divai  zinafunuliwa na  mwenye.

Mwenye ana fanya huduma kasha ana ombea divai, hutoa shukrani na kuliombea  baraka kama mfano takatifu ya damu ya Yesu kristo, yenye  ilimwagwa kwajili  ya  ukombozi yetu. Divai  kasha  ya  pitishwa kwa kila  mmoja  kwa gilasi na  kunyewa kama  mfano na wa upya wa  ukubaliano wadamu ya Yesu kristo kwa  ukombozi yetu.

 

Gilasi na mikate ambayo hayaja  tumika  yana badilishwa kwa sahani kubwa na meza kasha inafunikwa kwa kutumia   napkini ya meza.

 

Mwenye  anatoa  huduma  anafaa kusoma  kwa  sauti somo  takatifu kutoka kwenye  bibilia takatifu Johana 13:18 hadi  Johana 17:26. Juu baada ya maneno haya yalinenwa, kasha alienda kwa shamba na alikatazwa na kusulubiwa msalabani. Anayetoa  huduma anaweza kusoma hayaza mahali Fulani kama imependekezwa.Kama  kuna zawadi  za kutosha nyimbo yaweza kuimbwa.

 

Kila mtu anaweza kuenda kwamakao zao.

 

 

 

q