Makanisa
la wakristo wa Mungu
[003]
Maswali yanoyoulizwa kila mara sehemu ya 1: Maumbile
ya Mungu
(Edition 1.0
20000115-20000907)
Maswali yanayoulizwa kila mara katika sehemu hii ya kwanza inahusu maandiko juu ya umbo la Mungu ambayo haijaelezwa na haielezeki katika makanisa mapya ya Wakristo. Yanapotosha/ dhihirisho upotovu wa baadhi ya majina makuu, Messanic Wayahudi na Wachiria.
Christian Churches of God
PO Box 369,
WODEN ACT 2606, AUSTRALIA
Email: secretary@ccg.org
(Copyright ã 2000 Wade Cox)
(tr. 2008)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
This paper is available from the World
Wide Web page:
http://www.logon.org
and http://www.ccg.org
Maswali
yanoyoulizwa kila mara sehemu ya 1:
Maumbile
ya Mungu
Nakala Hii imetayarishwa kujibu barua pepe ya hapo awali. Swala hili inadhihirisha matatizo ya Kithiologia inayokumba jumia ya Wakristo wote na ambazo wanakumbana nazo wakati wote. Mengi yanapatikana kwenye nakala hii kwa kuipitia kusoma na tunaweza kuzitumia maisha yetu ya kila siku kama ushahidi.
Swali hili ni ishara ya uwongo wa Kithiologia kwenye kikundi takatifu cha wayahudi wa (Messianic). Kanisa la kweli la Yesu pia imeweza kubadili umbo la Mungu na mwana kabisa.
Kwa sababu hii makanisa ya Mungu wamejanikiwa kujadili swala hili.
Majubu ya maswali yame nakiliwa chini ya kila swali kama ifuatavyo:
Swali
1: Tunaamini kwa ELOHIM
(MUNGU) mmoja. Mungu anaitwa `Elohim’ au `Eloah’ lakini neno “MUNGU KICHWA’’
liliazia wapi?
Jawabu: Jinan a neno hili lilitumiia na Wathiologia kuelezea /kielelezo cha swala gumu la Miungu. (Elohim) katika maandiko ya Bibilia (Zaburi 45:6-7 na Hibrania 1:8-9) na pia kuwa Bibilia inasema kuwa Shetani ni `Theos’ ama elohim katika neno hili (2Wakorintho 4:4).
Swali
2: Hapo mwanzo ELOHIM (umoja au wingi)
aliumba mbingu na ardhi. Huyu ELOHIM ni nani? Je ni Yahweh au Yahshua?
Jawabu: Elohim ni jumla. Makundi matakatifu yanatofautisha majina Yahweh na Yahshua bali Trinitarians na Binitarians wanajumuisha majina haya. Elohim ndiyo Mungu moja wakweli na nafsi inayompangia. Neno linarza kuwa umoja au uwingi. Eloah haiezi kuwa wingi.
Thiologia ya majina takatifu huko USA inatumia na imebadili majina ya Yahweh (Strong’s Hebrew Dictionary (SHD) 3068 NA Yahoshua (au Joshua kama tunavyojua kwa Ufupi) na kufanya Yahweh na Yashua kuwa viumbe mbili. Kama haya majina yakitumika kwa bibilia kama viumbe tofauti.
Yahweh (anafana iwe) ni jina dogo linalopewa wafuasi wote wa Yehovah na mkuu ama Yahovah aliye mbinguni (Yehovih angalia (SHD 3068). Bibilia inadhihirisha kutumiwa kwa Jehova na malaika watatu kwa wakuti mmoja nyakati za Abrahamu, Luti na Sodomu, ambapo Yahovah alishusha moto kutoka kwa Yahovah Aliyembinguni (cf. Mwanzo 18 na 19).
Yahovih (SHD 3069) ndio jina moja linalotumika kwa Mungu mmoja wa kweli Eloah na kusomwa na wa Lawi kama Elohim. Yahovah (SHD 3068) inatumika kwa viumbe vingine pia, pamoja na Yohovah mkuu na husomwa kama Adonai kwa maswala hayo. Yahovah alibadilishwa kuwa Adonai katika sehemu 134 na wasopherim kwa sababu hii (cf. pia Bullinger’s Appodex 32 kwa umoja wa Companion Bible kwa nakala hii).
Kuna majina mengine yanayopewa mungu mmoja wa kweli kama Ellyon aliyo mkuu zaidi. (Kumbu 32:8) na mengine mengi kama tunavyoona kwenye nakala. Nakala zingine kuhusu majina mengine na umbo la Mungu pamoja baba wa mbingu zinapatikana kwenye matandao www.logon.org or www.ccg.org.
Baraza la Elohim na Zaburi inawajibika na baraza la mbinguni inayoitwa elohim kwa hivyo tunaangazia viumbe wengi. Mungu kichwa imetumika kutahini swala hili na pia kulisitiza.
Swali 3: Melchizadek ni nani mwanzo 14:18? Yahweh au Yashua?
Jawabu: Si yeyote ilikuwa Shem au mzaidizi wake (cf. nakala Melchisedek (No. 128).
Swali
4: Mwanzo 1:26,27; 11:6,7; Isaya 6:8; je, neno “sisi’’ linazungumzia kuhusu
baba na mwana, au maharusi na bibi harusi au Elohim na malaika?
Jawabu:
Maandiko yanazungumzia juu ya mabaraza la Elohim.
Inazungumzia Eloah na Elohim: wana wa Mungu (cf Ayubu 1:6; 2:1; 38:4-7; Zaburi
81:1,6). Wateule wanastahili kuwa elohim kama malaika wa yahovah kwa vichwa
vyetu (Zakaria 12:8). Jina Elohim imerefushwa ambapo Mungu kama Eloah ni Mungu,
kama Ilivyo Elohim (Wa Efeso 4:6) (cf. nakala The Elect as Elohim (No 1).
Swali
5: Kuna Hekalu ngapi Mbinguni? moja tuu au mbili au tatu?
Jawabu: Kuna hekalu nyingi. Hekalu yako ni ya ya bwana (Zaburi 45:6). Kwa hivyo elohim wako amekupa upako wa mafuta wa furaha kuliko wenzako. Kuna Elohim wengi lakini Eloah mmoija tuu (cf. Ezra 4:24; 7:26).
Swali
6: Ni nani huyu kwenye Mwanzo 32:24-30 (c.p na Hosea 12:3) Yawheh au Yahshua?
Je, ni malaika mwingine? Kama ni malaika jina lake ni nani?
Jawabu: Jina lake ni pole au kupendesha na alikuwa elohim kama msemaji wa Yahovah. Alikuwa Yesu Kristo Alikuwa malaika wa Yahovah ambayo aliitwa Yahovah, pia anashiria wa watu anasababisha iwe (cf Annatoted Oxford RSV fn. 10 Kutoka 3:14). Anajulikana kamma Mikaeli ambaye inamaanisha ` nani kama Mungu’.
Swali 7: Kulingana na Yohana 3:13; 6:62; 8:58 Yhshua ni nani? Alikuwapo kabla ya Abrahamu? Alikuwapo kabla ya Abrahamu kimaumbila hata kwa jina?
Jawabu: Jawabu liko juu kwa 6. Alikuwa sura na umbo la Mungu na hata Baraka zake Mungu.
Swali
8: Ilikuwaje Yahshua akajifanya baba, kwenye Yohana 14:8-9? Alitamka neno Baba
kwenye methali /vifungo vya mandishi kwenye Yohana 16:25,26?
Jawabu: Mesia ana roho mtakatifu ambaye ni nguvu za baba. Hakuna mwanadamu ambayo amewahi na atakayewahi kumwona. (Yohana 1:18; 1Timotheo 6:16) Mesia anapewa jina baba anaeishi, kutoka Isaya 9:6 yeye ni mwana wa amani na malaika wa baraza kuu (cf. Isaya 9:6 LXX).
Swali
9: Kutoka Isaya 9:6 ni nani mototo, mwana mshauri mkuu, baba wa milele, mfalme
wa amani?
Jawabu: Anatambuliwa na Waisraeli wakongwe kama malaika mshauri mkuu (LXX) au malaika wa Yahovah (cf. Zakaria 12:8).
Anatambuliwa na Zakaria kama elohim na mkuu
wa nyumba ya Daudi; ambayo ni mteule kama kanisa. Hii ilieweka kumtambua mteule
kama kuwa elohim au katika theologia ya wagiriki utauna hii kwenye kazi ya
Irenaeus na imetahiniwa kwenye nakala The Elect as Elohim (No 1). Haijanakiliwa kwenye sheria zenu nasema
nyingi miungu …….na maandiko hayawezi kuvunja (Yohana 10:34-35).
Swali 10: Kwenye Mathayo 1:23 Emmanuel ni nani? Je, inamaanisha ELOHIM NA SISI? Kama hivyo ELOHIM ni nani?
Jawabu: Inamaanisha EL na sisi. Hii haimanishi Mungu mmoja wa kweli kwenye Yohana 17:3. Inamaanisha kama elohim aliyopakwa kama elohim kwa mafuta ya furaha juu ya wenzake (Zaburi 46:6-7; Wahibrania 1:8-9). Elohim ndiye malaika aliyepigana na Patriarch na akaleta Musa na Waisraeli kupitia maji ya zamu kama ishara ya Elohim ama Mungu (cf. Wakorintho 10:4 pia). Huyu malaika wa sheria na sura ya Mungu, alikuwa Yahovah na Elohim Waisraeli aliyechaguliwa na Elohim wake, ambayo alikuwa ni Yahweh Mkuu (SHD 3069), Mungu mmoja wa kweli, Elyon. Yeye peke yake ni Eloah, Mungu mmoja wa kweli. Alimtuma Yesu Kristo nakuelewa hili jambo ni kuwa na maisha ya Uzima (Yohana 17:3) (cf. nakala The Angel of YHVH (No. 24); The Pre-Existence of Jesus Christ (No. 243); The Deity of Christ (No. 147); The Purpose of the Creation and the Sacrifice of Christ (No. 160); Psalm 45 (No. 177); Psalm 110 (No. 178); How God Became a Family (No. 187); Eternal Life (No. 133); Joshua, the Messiah, the Son of God (No. 134)).
Hapa kwa maumbile ya Trinitarian, ambayo ipo nyuma ya maswali kuna theologia moja inayotokana ubara thuli. Historia hii pamoja theologia imetahiniwa kwenye nakala inayohusika na Early Theology of the Godhead (No. 127); Binitarianism and Trinitarianism (No. 76) and The Development of the Neo-Platonist Model (No. 17).
Ukweli unapatikana kwenye nakala. The Government of God (No. 174); The City of God (No. 180) and also The Holy
Spirit (No. 117).
Nafasi katika sheria ya Mungu inavyodhihirika katika Yesu Kristo, inaonekana Kwenye nakala Law and the First Commandment (No. 253) and Law and the Fifth Commandment (No. 258). Majukumu ya Mesia inapatikana kwenye nakala Role of Messiah (No. 226) na mambo mengine yametainiwa kwenye The Pre-Existence of Jesus Christ (No. 243) na kwenye Arche of the Creation of God as Alpha and Omega (No. 229). Hizo zote zinapatikana kwenye mtandao www.logon.org or www.ccg.org.
Swali 11: Nakala kwenye Mathayo 11:27 na Luka 10:22 inamaanisha nini?
Jawabu: Mambo haya yameelezwa kwenye nakala za juuKristo alikuja kama kielezo cha baba kwa wanadamu. Alitumwa na Roho mtakatifu, na nguvu za Mungu na kwa imani hiyo kuweza kumtambua Baba na likubwa la umbo la Mungu alishi ndani ya kiwiliwili chake. Nakala kwenye Luka inaonyesha kuwa wale sabini waliteuliwa na majina yao kuandikwa Mbinguni.
Hii inadhihirisha wito wa Mungu kama ilivyo kwenye Warumi 8:29-30. Utukufu wa Mungu haukudhihirishwa kwa wanadamu mpaka nyakati hizi za mwisho. Bibilia ilipeanwa kwa mafumbo na Kristo akaongea kwa mafumbo ili wanadamu wasimwelewe na akawatumikia kabla ya wakati wao.
Mipango ya Mungu inaweza wanadamu kuhukumiwa kwa viwango. Wanaotaka kumtambua roho mtakatifu ubadilika na kumjua Baba. Kwani huu ni uzima wa milele kumjua Mungu mmoja wa kweli na Yesu Kristo aliyetumwa (Yohana 17:3). Mungu anajua nyoyo na uwezo wa kuingia kwenye ukumu.
Wale wanaoanza na kukoza, huenda kwenye hatua /Ufufua wa pili na wanadamu wote huenda kwenye hukumu kwa wakati unafaa. Hawakuwa kati ya wateule. Roho Mtakatifu upewa kwa wale wakristo na wanaokuja kwa Kristo. Hufadhiwa kwa kumcha Mungu na kutii amri zake pamoja na injili ya Yesu Kristo (Ufunuo 12:17; 14:12). Mungu anajua watakao ridhi na kuwaita wakati ufahao.
Swali 12: Kulingana na matendo ya Mitume 20:28, nani aliyetoa damu yake: Je, alikuwa Elohim (Mungu), Yahovah au Yahshua? Je, Baba nitafauti na Yahovah (inayoitwa kimakosa Yaweh) anaeitwa Baba kwenye Agano la kale?
Jawabu: Majina yote ya maanisha kitu kimmoja kama ilivyoelezwa hapo juu Kristo ni umbo la mwingu la Mungu mmoja mkuu Yahovah au Yahovih, Elyon au Eloah.
Swali
13: Je, Yahshua ni mpatanishi kulingana na 1Timotheo 2:5? Angalia Wagalatia
3:20; Mika 4:3 na Isaya 59:15,16. Mpatanishi ni nani?
Jawabu: Sheria hii ilipagawa na mpatanishi kwa malaika. Malaika wa kuishi aliyopewa sheria kwa Musa ni Kristo (Matendo 7:35-36).
Kristo alikuwa mwamba wa Israeli kwenye
jangwa (Wakorintho 10:3-4). Alikuwa mwamba wa moto na wingu na kasha akanena na
Musa ana kwa ana. Tazama nakala Moses and the Gods of Egypt (No. 105) pia Pentecost at Sinai (No. 115). Kuna nakala zingine nyingi zinajadili swala hili kwenye
mtandao http://www.logon.org and
http://www.ccg.org
Swali
14: Ni nani anaejidhihirisha kutoka mwanzo
wa Mika 5:2?
Jawabu: Huyu mtu ni Mesia /nabii na anaelezewa kwenye nakala Micah 5:2-3 (No. 121). Inatumika kimakosa kama Mungu wa pili madofu ya Mungu pamoja na Mungu mmoja wa kweli nakala inaoeleza kuwa Mesia /nabii alikuwepo lakini sio kama mdogo. Tazama pia nakala The Pre-Existence of Jesus Christ (No. 243). Makanisa mengine pia yametumia nakala kuashiria uwepo wa Mungu wawili, mmoja aliyekubali kuwa mwana na mwenzake. Huu ni upuzi na unabaini uzembe wa maneno Baba na mwana kama ilivyotumika.
Swali
15: Linganisha na ukosoe Mithali 30:4 sehemu ya mwisho Zakaria 14:9 kuna viumbe
ngapi? Ni wawili au kuna mmoja tuu?
Jawabu: Mithali inauliza swali: Jina lake ni nani na la mwana ni lipi litangaze kama unaelewa au kama una ufahamu? Kwa hivyo inamaanisha swali kwenye fungo linalofuata. Maneno yote ya Eloah ni takatifu (Mithali 30:5) jawabu liko kwenye mstari unaofuata Mesia ni mwanawe.
Yahshua inamaanisha wokofu wa Yaho. Yaho
ilikuwa zizi la jina ambayo hutamkwa kimakosa Jah. Mandiko ya Kiaramia kwenye
nakala ya Elophantino huko misiri hadi nakala ya Yerusalemu ca 410 BCE ina sema
hivi (cf. Pritchard The Ancient Near East, Aramaic
Letters, Ginsberg tr. vol 1, pp. 278ff.).
Swali
16: Ikiwa hakuna anemjua baba na hakuna aliewahi kusikia sauti yake (kulingana
na Yohana 1:18; 5:37) sauti yake itokea wapi? Tazama pia Mathayo 3:17; 17:5; 2
Petro 1:17,18. Tutazemaje kuwa ni ya Baba?
Jawabu: Yohana 1:18 inasema Mungu aliyozaliwa pekee kutoka kwa baba alinena (cf. Hort, On Monogenes Theos in Scripture and Tradition). Nakali hii inaeleza hapo juu esp. ibid. (No. 243). Wakali hwa walisuiliwa kusoma monogenese uion hata hivyo ni wazi kwa hiyo nakala.
Swali
17: Ni nini inapatikana kwenye methali 8:22-23? Inaashiria nini, Ufahamu au
Yahshua?
Jawabu: Methali 8:22 ilieleweka kwangazia busara kama roho mtakatifu. Wazo hili lilibadili na kufanya Ukristo kuwa roho mtakatifu na kugeuza kwa mtakatifu kuwa umoja wa vitu viwili (cf. karatasi Consubstantial with the Father (No. 81)).
Swali
18: Mwamba ni nani? Ni Yahweh ama Yahshua jinsi ilivyoelezwa wenye 1Wakorintho
10:4? Kama ni Yahshua, basi Yahovah kwenye agano la kale na Yahoshua kwenye
agano Jipya ni nani?
Jawabu: Jina Yahovah si Yahweh. Jina Yahweh limelelezwa kwenye nakala Abracadabra: The Meaning of Names (No. 240)).
Yahovah Mkuu ndio Eloah (cf Matamko ya Imani ya Makanisa ys Kikristo [A1]. Hiyo ndiyo mwamba. Kristo ndiyo mwamba wa kiroho uliokuwa na wana wa Israeli kwenye jangwa. 1Wakorintho 10:4 Yahovah aliye Kristo si mwamba ambayo ni Eloah Yahovah mkuu.
Majina ya makundi takatifu yameibua utata hali kadhalikka kwenye thiologia kuhusu hili swala. Hili lisipoeleweka, hawawezi kuelewa umbo la Mungu.Utata ni ju ya anefanya aitwae Yahovah kufikiriwa kuwa Mungu. Theologia ya majina matakatifu hauelewi matumizi ya majina mengine ya Yahovah na Yahovih (3069), Eloah na Elohim na HaElohim kama inavyotumika kwa Mungu mmoja wa kweli na Yahovah na Elohim kama inavyotumika kwa Kristo na wana wengine wa Mungu.
Swali
19: Je, Unajua kuwa Thoma alimtambua Yahshua kama "Bwana wangu (Kurios) na
Mungu wangu (Theos)’’ Yohana 20:28 Huyo Mtu ni nani? Ni yahshua, Elohim au wana
wa Elohim?
Jawabu: Ndiye wala si Mungu Gr Ho Theos (Mungu) Heb Ha Elohim (Mungu). Wana Eloaha kama ishara ya Mungu anaebadiwa (Ezra 4:24-7:24). Na-kala sahihi limetumiwa kwa Mungu, Eloah, Ambao ni Baba wa wote.
Swali
20: Tuna mtambua huyu MwokoziElohim kwenye Luka 1:48; 2:11?
Jawabu: Hii imedhihirika kwenye nakala lakini anaekomboa, wokofu kwa niaba ya Mwokozi ambayo ni Eloah Ayubu 33:23 (RSV) inaongesha jinsi Malaika mmoja angefanya kwa niaba na Kujukumika kama mwokozi. Malaika mkombozi alikuwa Elohim wa Patriachi (Mwanzo 48:15-16).
Swali
21(a): Mkono wa kiuume wa Mungu ni upi kwenye Agano la Kale?
Jawabu (a) Mkono wa Kiuume wa Mungu ni nafsi na Umbo lake. Hii nafsi ni urithi, Kristo alirithi na pamoja nasi tutarithi. Kwenye Agano la Kale mkono wa kiuume wa Mungu ni Elohim kama ilivyo kwenye Zaburi 45:6-7 tnayoelewa inamaanisha Yesu Kristo kutoka wahibrania 1:8-9 alitakaswa kwa furaha na upako wa juu ya wenzake. Enzi yake ni enzi ya Mungu. (Kutoa Enzi lako Ee Mungu katika Zaburi)
Swali
21 (b) Kwa nini stepano aliongea jinsi aliongea katika Mitume 7:55 na kwan nini
nabii Mika alisema alishosema kwenye 1 Wafalme 22:19 na 2 Mambo ya nyakati 18:18?
Jawabu
(b): Mwana wa Mungu amesimama kwenye mkono wa
Kiuume na mkono wa kushoto ni ufalme wake. Kristo alifufuka kama mwana wa Mungu
kutoka kwa kifo (Warumi 1:4). Ambapo aliwapa Utukufu kwa utukufu ambao alikuwa
nayo na Bababa kablaya ulimwengu kuwa (cf makaratasi kuonyesa kwanza FAQs).
Swali
22: Toa maoni kwa Yohana 1:1 “Neno lilikuwa na Yahovah” ni wangapi wanahusika
kwenye nakala hii?
Jawabu: Jina Yahovah halijatumika kwenye nakala hii na liko tu kwa kigiriki. Kama ilivyo eleswa awali na kama wangetumika jina Yahovah na kadhalikwa majina haya tunapatikanan Zakaria 2:5-9 kwa mfano Yahovah Sabaoth. Kiumbe takatifu inayotumwa Yerusalemu na Zayuni siku za mwisho ni Yahovah, lakini sio Yahovah mkuu ambao latuma. Katika v. 11 tuna soma.
Na watu wengi watajumuika kwa Bwana na wengi wataishi ndani yake na kumtambua Bwana alienituma kwenu.
Ni wazi huyu ni Bwana, anaezungumzia Mungu kama alivyomtuma.
Sura katika Yohana 1:1 Yasema maneno haya Kuenda kwa Mungu na sio Katika Mungu (i.e pros ton Theon), na (a)Theos
ni Logos (Nakala isio
sahihi); au mengi sio sahihi:
theos letu ndio alikuwa Logos kumanisha baadhi Elohim katika Zaburi 45:6-7 ambao ni Malaika wa Yahovah (cf
Zakaria 12:8). Hii kime eleswa wazi katika karatasi The Pre-Existence of Jesus Christ
(No. 243)).
Swali
23: Warumi 9:5,1Timotheo 3:16; Tito 2:13 zinasema kuhusu Theos?
Jawabu: Theoa imetumika na mwana bila kiungo kwenye mathayo 1:23; Yohana 1:1 (1:8 kwenye agano la kale na siyo kama kwenye Receptus ambapo imefanywa umoja) 20:28 etc. Warumi 9:5 2; Petro 1:1; 1Yohana 5:20 (cp. Wakolosai 2:9 na 2Petro 1:3,4). Matumizi ya theoa ni kama Yule ya Zaburi 45:6-7 na Wahibrania 1:8-9. Hii ndiyo tafauti ya Eloah na elohim. Kristo kama kichwa cha wana wa Mungu ilikuwa tafauti za kitikadi kwenye adhehebu kwa makanisa kadhaa. Nakala ya Hydock 1851 juu ya bibilia inaangazia 1Yohana 5:20, inayozua utata juu ya Kristo kama elohim. Hii ilitumiwa kuwahajili Ya hesabu kulingana na Hedock kama Socinians, katika neno lingine Umoja wa kila upande (cf karatasi Socinianism, Arianism and Unitarianism (No. 185); and also The Role of the Fourth Commandment in the Historical Sabbath-keeping Churches of God (No. 170)).
Timotheo 3:16 kwenye KJV inaangazia kizi kwenye Codex A ya meusiumu ya Uingereza. Companion Bible inaeleza zaidi. Kawaida neno O (i.e Ye nani) kimeondolewa na watu wahizi bande zote za andiko. A laini kiliongezwa na O kutengesa Theta na baadaye Sigma kiliongezwa kuleta Theta Sigma kwa ufupi theos na kuushiria Kristo kama Mungu ambavyo sivyo. Ni ubatilishi na umerekebishwa kwa baadhi ya Bibibila.
Tito 2:13 Inaangazia Kristo kama Mfalme na uwepo wa Mungu na mkombozi kwenye KJV inaonekana kana kwamba Kristo ni Mungu mkuu wakti ambapo yeye ni Utukufu wa Mungu. Kristo alikuwa Malaika wa uhai na Utukufu wa Bwana kwenye mwamba wa moto na moshi. Alitakaswa kama elohim wa Israeli na mpango maalum wa ukombozi. Hiki sura kwa Kingereza katika KJV kilifanyiwa ujensi na kufanywa Umoja.
Tazama pia nakala Arche of the Creation of God as Alpha and Omega (No. 229).
Swali
24(a): Wengine wanahubiri kuwa kuna Yahovah wawili (au Yahweh! ni akina nani?
1) Yahovah anaeonekana; 2 Yahovah
asiyeonekana. Ukweli wa haya ni nini?
Jawabu (a): Kuna Yahovah watatu na wane kwenye mandiko y mwanzo 18 na 19. Yahovah mmoja mkuu, aliishi na Abrahamu na wengine wawili walienda kunena na Luti na Sodoma. Yahovah akashusha mvua ya moto kwa sodoma kutoka mbinguni. Hivyo basi, Yahovah ni majina madogo yanayopewa malaika wanamtumikia baba au Mungu wa haki. Eloah, Na Elyon au Mkuu wa juu. Kuna mengi ya waliohai na jina ya Yahovah.
Majina ya Theologia mtakatifu haijafanikiwa kutatuwa swala hili kama inavyotumia jina Yahovah kumanisha au jina la kipekee la Mungu. Wakati ambapo maandiko yanatumia majina hayo kwa wale wanaomwakilisha. Awaweshi kutumia tamko hayo na Kithiologia inamaniisha kainga. Theologia yao ni kama ya makoza na kuteleza watu.
Swali
24(b): Je, Yahovah kwenye agano la kale ni Yahshua kwenye agano Jipya?
Jawabu (b): Mmoja ni Mesia kwenye agano Jipya, Yahoshua au Yehoshua, na wengine watatu sio viumbe vingi vilivyomjia mwanadamu kwa agano la kale (1Timotheo 6:16).
Swali
25: Emmanueli wa Isaya ni nani (Isaya 7:14).
Jawabu: El pamoja nasi wala si Elohim. Hii el na sisi ndiye Mesia. El kinaweza kutumiwa kama Mkuu moja kama deiti au Malaika au tena Binadamu.
Swali
26: Kwa nini Yahoshua alilia “Baba kwa
mkono wako natoa utukufu wangu’’? Madhehebu mengine yanasema hakuna baba, cp.
Yohana 16:26? Wanasema Yahoshua ndiye baba na mwana na wala hakuna tofauti.
Jawabu: Yohana 16:27 inaeleza kuwa Baba mwenyewe ana uzoefu wa kukuona na uzoefu wangu na kuwa na imani kuwa nilitoka kwa Mungu (Concorndant Literal NT).
Huu
ni uzima wa milele anayojua na Mungu pamoja na Yesu Kristo aliyetumwa (Yohana
17:3)
Makundi za majina takatifu
wamessianiki na Theologia ya wayahudi
na Kanisa la Kweli wa Yesu kati ya wachina wanamini kuwa ni theologia ya
uwongo.Upotovu huu unatokea kwenye nakala za wahibrania na matumizi ya majina
.Ni umbo la kuabudu Mungu kati ya Warumi wa kale .Inapuzilia baadhi ya
theologia za makanisa ya kale na majina mbali mbali kwenye nakala ya Agano
Jipya na lile la kale .Nakala za juu zinagusia kuelewa hizi nakala Tazama The
Pre-Existence of Jesus Christ
(No. 243).
Swali
27: Nani alifufua Mesia kutoka kwa wafu? Alifufuka mwenyewe ama alifufuliwa?
(cf. Yohana 2:19; 11:25; Mariko 16:6; Mathayo 28:6; Luka 24:34,46).
Jawabu: Mungu alimfufua Kristo kwa amri. Aliamriwa juu ya maisha yake naye Mungu alikuwa na uwezo juu yake. Hata hivyo alikuwa mfu. Hakukuwa na sehemu ya mwili wake ukisheza cheza mbinguni. Kwani hiyo ndiyo imani ya wanaoenda kinyume na Ukristo. Nakala ya 1 Yohana 4:1-2 alibadilishwa kwenye nakala za Kigiriki kulingana na wana Historia. Anasema alikorofishwa na wale walptaka kugawanya Wakristo na Imani yao. 1Yohana 4:1-2 soma:
Hapa tunakujua Roho Mtakatifu wa Mungu:Kila roho unaokiri Kristo Yesu kama kwa mwili wa Mungu; na kila roho ambao utenganiza Yesu Kristo na Mungu ni Kichume wa Kristo (cf. Irenaeus 16:8 (ANF, Vol.1, fn. p. 443; see also Statement of Beliefs of the Christian Faith (A1), 4th edition, CCG, p. 7).
Madhabahu mengine yanasema kuwa Mungu na Baba ni kitu moja wasema Yahoshua ndiye Baba na mwana na wala hakuna tofauti.
Swali
28: Unajua kwa nini Mesia aliomba kama alivyo yanya katika Mathayo 27:46; Luka
23:34,46; Yohana 19:26? Ulikuwa kutimiza Unabii utabiri wa Zaburi 22; Isaya
53:12;Zaburi 69:3 na Zaburi 31:4?
Jawabu: Maombi ya Kristo Kwenye Zaburi 22:2 ni jibu kwa hiyo nakala Zaburi 22:24:
Hajawasahau
wanasumbuka na pia hawafichi macho yake na vile vile anayasikia maombi yao.
Hii ilifanywa kuonyesha imani na mapenzi ya
Mungu kwa ufufuo wa wafu. Tazama nakala I Thirst (No. 102).
Jawabu hili linatokana na nakala zilizo nakiliwa na mengine juu ya Ufufuo.
Swali
29: Je, Mesia alisema kuwa yeye ni Elohim kwenye Yohana 10:33 au 5:18?
Jawabu: Si Ukweli! Kristo hakuwema kwa wakati wowote yakuwa yeye ni elohim. Jambo hili lilisemwa wakati walipomshitaki kuwa yeye ni elohim, lakini aliwajibu.
Imeandikwa katika Torati nasema ninyi ni mungu (theos/elohim kutaja Zaburi 82:6). Kama tume waita mungu (elohim) mpaka yeye ambao neno la Mungu kulikujia, Na maandiko haya wesi kufunjwa kama ninny mnavyo sema asema Baba ame toa dhabiu, na kutuma ulimwengu, Inaonekana kama mimi ni mwasii nikisema mimi ni Mwana wa Mungu (Yohana 10:34-36).
Wahibrania 2:11 Asema anaefanya na anaefanyia wote ni wa hali moja ijapokuwa Kristo alifanya na Mungu hapo mwanzo tunavyoona kwa Maandiko. Hiyo dhabihu yote ya Mungu kama Kristo wa Mungu.
Swali
30: Tukilinganisha Zaburi 47:5 na Luka 24:5, Matendo 1:9, aliyechukuliwa kuwa
Yahovah alikuwa Yahoshua ambayo ni Mesia?
Jawabu: Elohim ameenda juu,Yahovah na pembe ya kondoo .Huyu ni Kristo (cf. Zaburi 45:6-7; Wahibrania 1:8-9).
Swali
31: Ni nani kwenye Ufunuo 1:8, Yahovah au Yahoshua? Je, ni yeye Elohim?
Jawabu: Mambo haya na ina makosa kwenye nakala Ufunuo na ziko kwa KJV na yanaelezewa kuwa kirefu Arche of the Creation of God as Alpha and Omega (No. 229). Kristo siye elohim. Nafasi hiyo ni ya Eloah, Baba pekee.
Swali
32: Tunamtambuaje baba wa Mesia kulingana na nakala ya Yohana 14:7,9; Mariko
9:37; Yohana 12:45; 15:24; 1Yohana 2:13,14?
Jawabu: Ukimtambua Kristo basi utamtambua Baba aliye mtuma (Yohana 17:3). Si Mtu mmoja kama jinsi dhehebu la True Jesus linavyojaribu kusema juu ya wayahudi na majina matakatifu inavyoziweka kimakosa. Hekima hii inakuja kutokana na roho mtakatifu.
Swali
33: Unaweza kusema Elohim hana maswala
ya uzazi na kufa; alhali Yahoshua alikufa na hata kupoteza fahamu. Si kuzaliwa
na kufa kwa mwili na kiroho kama ilivyo Yohana 6:63?
Jawabu: Wanaoenda kinyume na Ukristo wanatafautisha utu na utukufu wa Kristo kama ilivyo hapo juu. Wakati wa kifo, roho haridi kwa Mungu aliyeiumba (Eklesiastis 12:70 (cf. The Resurrection of the Dead (No. 143); na The Soul (No. 92)).
Kristo aliamriwa kuwa atakufa na kufufuliwa baada ya siku tatu na usiku tatu. Anachoamuru Mungu ni hivyo.
Swali
34: Ukilinganisha Yohana 1:14 na Wahibrania 2:4 Je, hatuwezi kusema kuwa roho
ya Yahovah ilijitokeza kama Yahoshua aliye Mesia?
Limejibiwa hapo awali. Yahovah aliye malaika wa yahovah hakutaka kujitoshanisha na Mungu hivyo basi kuwa mwanadamu (Ufupi wa Yoshua) ama Yesu Kristo akanyenyekea na kujifanya mtiifu hadi kifo kwenye msalaba (cf. Wafilipi 2:5-8). Mesia alitumwa kupatanisha viumbe wote wa Mungu.
Swali
35: Kulingana na Wahibrania 9:16,17 Ni nani lazima ife hapa? Ni Yahovah au
Yahoshua? Ninani aliyeagana kwenye shamba la Edeni?
Limejibiwa hapo juu.kifo ilianzia kutokana na kutomtii Mungu wa wanadamu chini ya uongozi wa Shetani (cf. tazama The Doctrine of Original Sin Part 1 The Garden of Eden (No. 246) na Doctrine of Original Sin Part 2 The Generations of Adam (No. 248)).
Yahoshua alikuwa Yahovah na elohim kama tunavyoona hapo juu. Alitumwa, kwa maana jinsi hii, Mungu aliupenda ulimwengu ili kamtoa mwana wake (monogene) kila amwaminie asipaote bali awe na uzima wa milele. Zote tutakuwa elohim. Imenakiliwa kwenye sheria zetu: Nilisema nyinyi ni miungu (wana wa aliyemkuu)(Zaburi 82:6)….na maandiko hayawezi yakavunjiwa (Yohana 10:34-35).
q