Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

[186]

 

 

 

Ukristo na Ulezi wa Mtoto

 

(Toleo 1.0 20050612-20050612)

 

Hata kama kuna fasaha na maoni mengi kuhusu ulezi wa mtoto, karatasi itashughulika washike dua wa kimsingi wa uhusiano na ulezi katika familia.

 

 

 

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

 

 

(Copyright © 2005 Dana Hlburn, Diane Flanagan, ed. by Wade Cox

(Tr. 2009)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 

 


Ukristo na Ulezi wa Mtoto

 

 


Maoni ya chama

 

Katika ulimwengu wa sasa mtu anaweza kupata ushauri na maagizo kuhusu mada ya yote. Kuhusu masa ya ukusafi wa mtoto maoni yatatoefautiana kwanzia kwa yale ya wazi kabisa hadi kwa yale. Nchi mbali mbali pia zina tunaini viwango na kanuni ambazo zinatathmini tabia za kukubalika au zizizokubalika. Kwa vile familia ndio msingi wa jamii inaonekana wazi sababu ya shetani kufaribu kuharibu kila kiungo cha familia kutoka kwa njia yote ile.

 

Bibilia inasema nini kuhusu majukumu ya mwanamme na mwanamke?

 

Ni wazi kwamba neno linasema “si vyema mwanamke kua pake yake! (Mwanzo 2:18). Mwanamke alilimbwa kwa afili ya mwanamme. Kama mzaidizi wake (Mwanzo 2:18). Wawili hawa walipaswa kuwa kitu kimoja na kuishi kama kitu kimoja. Mme na bibi walipswa kuwa mwili mmoja, ndio kusema, wote wawe na amfukuna na wajibu mbalimbali lakini wameunganishwa pamoja kimawazo na kiroho. Ni kama vile kafika maumbile yetu miguu na viungo mbali mbali vimeumbwa bora kufanya kazi mbalimbali ndivyo inavyopaswa kuwa katika ndoa vile.

 

Tulipewa sifa / maumbile ya kuoa na kukuza watoto kwa mapenzi ya Mungu (Mwanzo 2:24; 9:1,7; Tim 5:14). Uamusi kama vile ni nani, ni wapi aolewe na ni lini kuzaa watoto inategemea nafsi ya mahitaji ya mtu binafsi. Watoto ni baraka kutoka kwa Mungu ambazo ameamua (Zab 127:3-5).

 

Mfano wa kiroho

 

Yesu ndiye  kichwa cha binadamu

 

Kristo alitoa mfano mzuri kwa kuwa mnyenyekevu na mtiivu kabisa mbele ya Mungu na amri zake. Wanaume wapaswa kufuata mfano wa Kristo na kuweka maisha yao jinni kwa wake zao vile Massia. Alilifanyia kanisa. Wakati mwingine hii inaamisha kumtetea mke hata kama haoni maana ya vitendo hici vyake (mwanmme). Kiongozi wa nyumba lazima abebe wajibu kwa jinsi wa amri (cf. Kutoka 22:8 lwa wajibu wa sheria).

 

Baba anashtahili kuwa chanzo cha  uthabiti wa kimwetu kimaumbile na kiroho kwa familia yako kama vile Kristo hukumu maslahi ya kimaumbile na kiroho ya uumbaji bibi (kanisa) humpatia bwana yake (Masia) moyo ili kuleta watoto wengi kwa  uokovu (Waebrania 2:10).

 

Bwana kama kichwa cha mwanamke

 

Waefeso 5:24 Vile kanisa linawajibika kwa Mungu, ndivyo wanawake wanapaswa kuwa kwa waume zao. (RSV).

 

Mwanamke si mtumwa wa mwanamme bali ni msaidizi wake (Tazama pia Zaburi 31). Bibi hudhihirisha uwezo na uwajibikaji pakubwa kwa nyumba yake na watoto wake. Mwanamke ni mfano wa aina ya kanisa. Tazama karatasi Zaburi 31 (No. 114). Ni kupitia kwa, mfano wa mama na baba ambapo watoto hujifunza jinsi ya kumwogopa Mungu na kutii amri zake.

 

Bibilia inasema zote tunapswa kuwa na furaha katika Kristo (Waefeso 5:27). Siku zijazo hatutatoa au kupatiwa katika ndoa (Mat. 22:30). Lakini katika kuvuvuka kwa mara ya kwanza wote wanaume na wanawake  wa furahia Kristo (Ufunuo 19:7-10). Tikiwa hai tunajifunza baadhi a najaribu na nguvu za kijinsia kupitia kwa wapenzi wetu.

 

Watoto katika kuwanyenyekea wazazi wao

 

Zote tumeumbwa kwa mfano wa Baba (Mwanzo 1:27; 2:7). Tuhamriwa tuendelee na kuonmgoza idadi na kujifanya mpya maumbile ya dunia. Hapa tunaona mtendo wa Mungu ukiwa hata zaidi au ehyer asher ehyer (Kut. 3:14 fn. to Companion Bible; meaning I will be what I will become.)

 

Kumaanisha “nitakuwa kile nita kuwa”. Tunapokuwa na watoto na kuwalea kataka unyenyekevu na kumwogopa tunapanua familia ya Mungu (1 Wakolosai 3:16). Tunazaidi katika upanuzi na ukuwaji wa familia ya Mungu mpango wa Mungu ikiwa unaendelea wakati upita.

 

Sisi sote Tutakuwa wana wa Mungu (Warumi 8:14; Phil 2:15; 1Yhn 3:1-2).

 

Jukumu La Baba / Wajibu Wa Baba

 

Kwa jumla baba ndiye anayewajibika zaidi katika maswala ya nche ya familia. Mwanamme ndiye kichwa cha familia na huwakilisha familia katika pana na hata taifa lote.

 

Kazi ya Baba ni kiikidhi mahitaji ya kimaumbile ya familia kama vile chakula, nyumba n.k mtu yeyote asipokidhi mahitaji ya jamaa yake hasa familia yake ya ndani basi amekaidi uaminifu ni mwovu kuliko asiyeamini (1Tim 5:8) pia “kama mtu hafanyi kazi hatakula (2 Watesalonika 3:10).

 

Kazi baba si tu kakadiria mahitaji ya kimaumbile ya familia bali pia ya kiroho. Ni kupitia kwa unyenyekevu wake ambapo bibi na watoto wake husema na kujifunza.

 

Sahihi ya baba ni muhimu sana. Wanawake na watoto katika familia zinazomwogopa Mungu huhitaji sahihi na uzaidizi kutoka kwa baba na mme.

 

1 Yohana 4:18 Hakuna hovu (5401) kwa upendo lakini upando thabiti (5046) huvunja hovu, kwa sababu hovu hujumwisha adabu (2851) na mwenye kuogopa (5399) hana upendo thabiti.

 

“Kundi au familia yenye hovu haiwezi / haliwezi kudumu kwa musa. Watu huwa na shida sana kukaa au kufanya kazi katika hovu. Mungu ni Mungu wa upendo (1 Yohana 4:8).

 

1 Yohana 4:16-17 Na tumejua na kuamini upendo ambao Mungu anatupenda. Mungu ni upendo na mwenye kuwa na upendo umethihirika kwetu, tuwe na ujasiri siku ya hukumu ikifika maanake vile yeye hako pia nasi duniani humu.

 

Tumekwisha sote kuwa wazazi wenye upendo. Baba lazima wajitahidi kuwa makini wasiwakere watoto wao hadi wakasirike.

 

Waefeso 6:4 na nyinyi Baba wazazi msiwaudhi watoto wenu (3949); ila walee kiuzazi (3809) na maagizo (3559) ya Mungu (KJV).

 

Rathi ni SHD 3949 parogizo kuwa Rathi, kuingilia, au kuwa na hasira.

 

Lakini inapaswa tuwalete juu na kuwangalia. Kuwaangalia ni paideia (SGD 3809). (See also 2Tim. 3:6; Heb. 12:5,7,8,11.) 

 

Ila tunapaswa kuwalea na kuwatunza

(See also 2 Tim. 3:6 Waeb 12:5,7,8,11.)

 

1)      Mafunzo yote na elimu ya mtoto (ambao huhusiana na ukusaji wa mawazo na mienendo) wakati mwingine hujumuisha amri na madharti, uhafiki na adabu. Pia hujumwisha mafunzo na utunzaji wa mwili.

2)      Kwa watu wazima tabia njema hujengwa kwa kurekebisha makosa na kukinga raha

a)      Masharti ambayo yanalenga katika kuongeza mema

b)      Mungu huwapaka wanaume kwa manufaa yao. (Waebrania 12:5-11)

 

Jinsi Kristo huturekebisha na kutuelekeza ndivyo mwanamme / Baba anapaswa kwa bibi na watoto wake. Ukweli ni kuwa Bibi ni chombo dhaifu (1 Petro 3:7). Kutegemea umri wa mtoto, anaweza kuwa au kutokuwa na fikira zenye mfano au ueledi uliokamilika kabisa. Wanaume wanapaswa kujitahidi kuwa kama Kristo kafika kushughulika makosa, hitlafu na masuala ya kukuwa kwa bibi na watoto wao.

 

Nakala za funzo kuu la Bibilia katika 3559 ni kama ifwatayo.

 

Ndiposa baadaye matunda ya amani na wema kwao ambayo yanaliwa hapo. Katika masomo haya tunaona jinsi Mungu anavyoshughulika nasi na vile tunavyopaswa kishughulika na watoto wetu.

 

Nouthesia admonition kutoka nous (3563) Fikiria, na Thesisi kuweka. Vebi noutheteo (3560) kutoka nous fikiria na a tithemi 5087 kuweka au kuwekwa kwa fikiria. Nouthesia kwa mazoezi wa maneno wa kujiendelea ikiwekwa kuwa , lakini pia kwa maneno wa kuabudu, kuangalia kwa makini, kjeia, paedia (3809) kupewa mawaitha na kuwa na adabu  Nouthesia ni neon la katikati ambyae paideia aitaa kuwa sawa bila, Nouthesia injumika kurekebisha kuwa inavyo takikana, kwa maneno hayo yote kuna nura ya kutumika.

 

Wahebrania 12:11 kila adhabu wakati wake haionekani kuwa kitu cha furaha, bali cha huzuni; lakini baadaye huwaleta wao waliozea nayo matunda ya haki yenye amani.

 

Wakolosai 3:21 adds “fathers don’t expatriate your children, that they may not lose heart (NASV).

 

Exasperati ni 2042 kutoka kwa aliyejadiliwa wa 2054 ili ichangamuke (Kuwa na hasira): kuingamiza.

 

Tena tunaona onyo kwa akina baba dhidi ya kuchochea au kukasirisha mtoto. Kwa bahati mbaya hili likitokea inasababishia kazi ngumu mtoto ya badilidhaji ujuzi finye huu  ambao amekuwa na mazoea nao kutoka kwa Babake maishani. Hali hii hata huleta kazi ngumu katika kuelewa upendo wa Mungu kwetu.

 

Mikataba ya upatanisho

 

Jini ya sheria ya Mungu, Baba au mme anaweza kutotilia maanani kiapo ambacho Bibiye au Binti wake ambaye hajaolewa huweka (Heb 30:1-16).

 

Hii ni aina nyingine ya utetezzi ambao unatolewa kwa Bibi kupitia kwa mmwe na jukumu la mwanamme kama kichwa cha nyumba yake. Tazama pia Sheria na amri ya tana (No. 258).

 

Jukumu la mama

 

Akina mama wana jukumu la kazi ya ndani ya familia nyumbani. Aliumbwa na ni wazi kuwa mzaidizi wa mmewe kwa bahati mbaya katika jamii za siku hizi wanawake hujifunza jinsi ya kuwadunisha na kuwaharibia waume zao uwezo wao. Makabiliano dhidi ya sifa za bwana yanadhiribu saidi. Jukumu la mwanamme na watoto. Badala ya kujifunza jinsi ya kumtii Mungu na amri zake, watoto hushuhudia  ushahidishi ambao ni uchawi (1 Sam 15:23; Deut. 18:10-14). Wakati mwingine wanawake ni kama hawaoni makali au hadhari ya maneno yao.  Pia wanaume ni hicyo. Wote hawa wanapswa kuwa maakini jinsi wanavyotumia maneno yao baina yao. Ulimi unaweza kuwa silaha hatari (Jas 3:5-8). Watoto wetu watafunzwa kupitia mifano yetu.

 

Kama hatutaki kuonyesha mfano mbaya, tunahitaji kufanya bidii na kuwaiga wanawake wa nyakati zilizopita, wanawake watakatifu waliotegemea Mungu na waliojinyenyesha wazi kwa waume zao (1 Pet 3:5).

 

Wanawake heri wajaribu kwa bidii kuwa mke na mama wa Methali 31. Tafadhali pia tazama “Jukumu la mwanamke mkiristo (No. 62); “Ndoa (No 289) na sheria na amri ya saba (No. 260). Maagizo yanayotolewa katika Methali 31 ni vigumu kutumikia kuyafwata, lakini haja kusema ni yenye dhamani kwa mwanamke binafsi na kanisa (cf makaratasi Methali 31 (No. 114) and also Song of Songs (No. 145).

 

Majukumu ya pamoja ya wazai

 

Wengi siku hizi hawajui kuwa wana mashahidi muhimu wa watoto wao kupitia kwa mifano yao. Watoto wadogo hawana mawazo / fikira bila mifano. Wanatazama na baina ao na hujifunza tabia hivyo watoto kweli wanaweza kuwa vya tabia za wakubwa wao ziwe tabia mbaya au nzuri.

 

Nyumba ambayo imegawanyika haiwezi kusimama (Mat 12:25). Kauli hii huadhiri familia pia. Watoto kimaumbile hutafuta  ukweli na usalama, wakati mwingine watawauliza wazazi wao wote kila mmoja vyake kuhusu ruhusa ya kitu Fulani. Wazazi wanapowapatia watoto majibu tofauti inakuwa vigumu mbali na kutatanisha kwa mtoto. Mtoto anapokua mkubwa hapo atajifunza kufanya yale aliyoyapata ili kupata chenye anataka. Hata hivyo, kamwe Mungu na amri zake hawatungiziki (Malaki 3:6; 1 Sam 15:29; Hes 23:19; Jas 1:17).

 

Kristo alifanya alichomwona baba akifanya.  Tunahitaji kujitahidi katika ukweli huu uwazi na uhusiano wetu kimaumbile jinsi Kristo na kanisa wanaonyesha umoja wa kimawazo na vitendo.

 

Tunahitaji kuwafunza watoto wetu

 

Tunahitaji kuwafunza watoto wetu na kuwalea ndani ya uhitaji wa bwana (Deut 4:9,10; Zab 78:1-7).

 

Tunahitaji kuwafunza watoto wetu wakati wote:

Deut 11:19 na mtawaambia (3925) watoto wenu, mkiwangoeleza mkisha ndani ya nyumba zeni na mnapotembea barabarani na mnapolala na manapoamka (NASV).

 

SHD 3925 Lamad  ku soma, kuwa na uwezo na; kufunza kujifunza kufundisha, kufunzwa, kufundiswa, kutolwa kwa malmad (4451) ilikuwa ni muumbo wa ngombe. Lamad inauwezo wa kufunza na elimu. Ugiriki initaji maneno mawili mathano (1321) kufunza, kufikia kitu ambacho wahebrania wanafanya kwa malad. Uwezo wote inatokana kwa kuogopa wa Bwana (Kumb. 4:10; 14:23; 17:19; 31:12,13; Pro 1:7) hakuna mwneye anamfundisha au kumpea mawaitha (Isa 40:14) ni chanzo cha ukweli (cf. NASV nenp muhimu kwa Bibilia).

 

Methali 1:8 hear my son your father’s instructions and do not forsake your mothers teaching (8451).

 

SHD 8451 Towrah au Torah. Nomino hii ya kigiriki hutokana kutoka 3384. Maanake ni utamaduni wa maagizo, masharti mfano picha (ya binadamu) sheria (takatifu) sheria kimkusanyiko……….. mwishowee Torah inakuwa sawa na Pentateuch ….hivyo Torah inakuwa zaidi ya sheria au kundi la sheria, haikuwa ieleweke kama vikwazo ila njia kwafaka ambazo mtu angetumia ili akika katika kiroho kamili. (NASV nakala ya somo kuu la Bibilia)

 

Methali 22:6 funzo (2596) mtoto.

 

Mithali 22:6 Traini (2596) Mle motto katika njia impasayo Naye hataicha, hata atakapokuwa mzee.

 

SHD 2595 chanak ni kuweka  kufundisha, kutiaa bidii kurekebisha, Kukewaka juu. Hii heb, Verbi inkuwa mara 5. ni kama kupaswa udongo kwa sjerehe;” Mafunzo wa mapema sana kwa watoto vile imewekw kwa Mthali 22:6. ni ktiu ya Makundi (NASV kifunguo neon wa kusma kwa Bibilia).

 

Kupitia kwa maneno tofauti ya kusomesha na kufunza, tunaona mbinu ikikuwa. Tunahitaji kuwaunza watoto wetu tangu uchanga wao. Mbwa anaweza kufunzwa na watoto wetu wana dhamani kubwa kuliko wanyama hicyo wanaweza a wanahitaji kufunzwa kwa utiivu kwa amri zote za wazazi. Mafunzo tunayowapa watoto wetu wadogo huwasaidia kukuza roho zao thibiti ili kujizoeza kujizuia na haja yake katika maisha yao yote. Mtoto anavyokuwa, anahitaji kufunzwa njia za Mungu.

 

Wazazi hufanya kazi ya kuwa wathamini wa watoto, walinzi na watetezi wao hadi mtoto awe mtu mkubwa ambapo anaweza kama hathari za maovu na hatari ambazo mzazi anamkinga mtoto dhidi yao ni nyingi basi na alama za kimaumbile na kiroho atakazozipata mtoto akiwa mtu mkubwa zitakuwa chache. Lakini hii haimanishi mtoto akuwe katika mahali tinye.

 

Watoto wetu ni watakatifu na wametakazwa kwetu (1Wak 7:14). Bado tunahitaji kuwa takaza kupitia kwa maagizo yetu kwa maneno na kwa vitendo. Ni kama ile sherehe ya kuapishwa ambayo huweka msingi ambapo jingo litengewa juu yako. Kama msingi ni thabiti jendo litakuwa thabiti. Mungu ametupatia imani yake kutufanye viumbe bila malipo kwa kutupa watoto; hali sio jukumu ambalo linahitaji kujukuliwa hivi hivi.

 

Mtoto anapokuwa kujifunza kuwa na uthibiti wake mwenyewe kiroho na utiivu huwa msingi wa mswala magumu saidi ya sheria za Mungu kumduza mtoto au mwari / kijana kwa desturi za uaminifu kwa Mungu, hivyo wanaweza kufikia kiwango cha kiroho.

 

Watoto wetu wanastahili kumzikia na kumwogopa Mungu na kufuta maneno yote ya sheria (Deut 13:12,13; Zab 34:11, Meth 5:1,2; 6:20-24; 23:26). Hawa funzi nyumbani pekee bali pia katika mkusanyiko ya Mungu (Yos 8:35; Kut 13:8-10; 14-16; Deut 31:12). Kanisa inatenda kazi kama jamii ya waumini ambao husaidia katika mafuzo ya mtoto kwa maneno au kwa mifano.

 

Tukiwasomesha watoto wetu, familia zetu za ndani na baadaye taifa zitabarikiwa (1 Wahubiri 2:1-4) kama hatuwasomeshi kwa unyenyekevu na kuwangopa Mungu, madhara mabaya yatafwata (Deut 4:25-28; 8:18-20; 17-19). Kuwa na watoto ni baraka na wajibu muhimu. Ni wajibu wa wazazi kuwafunza watoto wao kumwogopa Mungu.

 

Hata kama adabu ni ya kibibilia na yenye kututajika swala la kuwafunza watoto na linahitajika ni kuwasifu wanapofanya uamuzi wema na  kamili. Ni ile Mungu  anatuambia kuchagua maisha na tullafunza baraka. Watoto huitaji kupewa moyo na sifa wakati wote kwa kufanya jambo zuri watu wengi wadogo kwa wakubwa hutafuta na hutaji upendo na uzikivu. Wakati mwingine watoto watafanya maamuzi mabaya kwa madhumuni ya kupata majibu kutoka kwa wazazi.

 

Tusidumishe dhamani ya kuwasifu watoto wetu na kuzikuza tabia zak kwa kuyasifu maamuzi mazuri wanayoyafanya. Mungu hutufanyia hivi wazi kwa vile tunapokea baraka zake kwa kuwa watiivu (Deut 28) na kuelewa kazi kwa sheria zake (Meth 16:3).

 

Kwa habati mbaya katika jamii ya siku kupata watu wawili waliongamshwa pamoja katika ndoa takatifu ni nadra sana. Lakini vitu vyote vinawezekana kwa Mungu. Hivyo hali yoyote iwayo: ndoa kwa mtu ambaye hajaikoka, thaka au kifo kuna mifano mingi ya jinsi Mungu anavyowafunza wafana na wasio na baba. Ni jukumu la wazazi wa wazazi pamoja na kama kusaidia kufika kuwalea watoto ndipo watoto wajidunza juu ya usawa wa majukumu ya mwanamme ya yale mwanamke.

 

Tunahitaji kuwapatia adabu watoto wetu

 

Vile tunahitaji kuwafunza kuwasomesha na kuwachimisha watoto wetu ndivyo tunavyohitaji kuwaadhibu kuwaadhibu na kuwarekebisha wakati inabidi.

 

Methali 13:24 Yule ambaye hampatii mtoto wake kiboko anamfikia lakini yule ambaye humpenda mtoto wake humwaadhibu.

 

Methali 19:18 “Mwadhibu mtoto wako matumaini yangalipo na usitamani mauti yake”.

 

Methali 22:15 “Ujinga hupatikana ndani ya roho ya mtoto; kiboko kitamtoa kabisa kutoka kwa roho yake.”

 

Methali 23:13-16 “Usizuie adabu kutoka kwa mtoto hata kama unamchapa (5221) kiboka (7626) na kuhamisha roho yake kutoka sheol.”

 

SDH 5221 ina maanisha: chapa 1 kupiga kugonga kujinja kuua (Niphal) kupigwa au kugongwa (Paul) kuoigwa au kugongwa (Hiphil).

Kugonga, kupiga piga umiza, kofi shangilia pea msukumo.

Kugonga, ua, jinja (binadamu au wanyama)

Kugonga fihia famia na kuaribu dhida nyanganya.

Kugonga, adhibu, toa hukumu, adhabu, aribu d) (Hopal) kugongwa kupatiwa mapigo 2) kudhuriwa 3), kupigwa 4) kuognwa (vibaya), kuwauwa, kujinjwa.

Kufamiwa na kutekwa

Kugongwa (na ugonjwa)

Kuadhiriwa (kwa mimea)

 

SHD 7626 mti

1-      Mti, bakora, tawi, kijimbo

SHD 7626 rodi

1) rodi, wafanyi kazi, ukoa, kwaleki, clubi, Vimu, kabil, shaft (of sehena, darti) (of mchunga mnyama) truncheoni, (Alama ya uongozi) ukoo, kabila. 

 

Hapa tunaona neno “piga” lina maana pan asana kuanzia kugonga hadi kuua na kuteka, pamoja na maana zingine. Vile vile hali hiyo ya upana wa maana iko katika neno mti-kuanzia kuwa tawi au mkuki, hadi kwa ishara ya utawala.

 

Kutoka na haya, maneno ya “kiebrania” tunajufunza kuwa tunahitaji kuwaadhibu watoto wetu, lakini jinsi ya kuadhibu huko ni uamuzi wa mzazi. Kuna masharti muhimu katika mataifa mengi kama vile ngumi, kupiga kofi ambalo hufanywa mikono ikiwa imefunuliwa dhidi ya ngumi, kupiga kofi ifanywe kupitia kwa nguo. Kupiga uso au kichwa hakutajikani. Ni wazi kwamba kufumia knyaye za stima n.k kama njia ya kuadhibu hukukuliwa kama kudharau haki.

 

Kutengemea nchi, wale walio katika mshapitali na kulingana na sheria nchi wanapswa kupiga ripoti juu ya mikiwaruzo au mifupa iliyovunjika kwa masharika ya kuwatetea watoto / au na polisi. Tunahitaji kutumia hekima katika kuwaadhibu watoto wetu na tusije tukawa wakali na matumizi ya nguvu.

 

Vile Mungu hutuadhibu kibinafsi marekebisho yanastahili kuwa ninafsi kwa mazazi na mtoto. Mungu hajawahi kutuadhibu akiwa na hamaki. Vile vile nasi tusiwarekebishe watoto wetu kama tuko na harira kitu cha muhimu ni kuwa mazazi awe na uthibiti kwa hasira zake kabla ya kumwadhibu mwanawe ambaye amepotoka kinidhamu.

 

Chanzo cha adhabu na matokeo haraka ndio mtoto aone na msimamo katika kuwarekebisha watoto wao na adhabu iliyochelewa inaonekana sio adhabu. Sharti mtoto afahamu na kuelewa ni kipi ilikosea na aelewezwe wazi kinachotakikana pia adhabu inahitaji kuwa sambamba na kiasi. Mtu hawezi kupatia mwenye makosa adhabu kali kwa kila kosa. Pia mtu anahitaji kufikiria maumbile ya mwenye makosa. Watoto wengine wanaweza kusababishwa kulia na kufuta kupitia kwa kuangaliwa kwa macho makili. Watoto wengine wanahitaji kuchapwa bado wengine huitaji kupoteza au kukosa zawadi au mifano ndio wafikiria matokeo ya matendo yao.

 

Uhusiano ya mtoto huanzia pale anapozaliwa. Ni juu ya mzazi kuamua ni lini na ni lini mtoto anapaswa kuaddibiwa akuapo. Mungu alimpatia binadamu na mwenyeji wake ushahifi wabure wa heshima, pia na iwe kwa watoto wetu. Tunapswa kuwalea, kuwafunza kuwaelimisha na kuwalekeza katika sheria za Mungu.

 

Pia lazima tuwarekebishe kwa hekima. Baada ya marekebisho mtoto anahitaji kujua kuwa bado mzazi anampenda hata kama angekuwa amefanya chaguo bovu au makosa kama tutaweka mpango wa Mungu mbele katika mawazo yetu wakati tunashughulika na watoto wetu tunongeza uwezekano wetu kutekeleza marekebisho katikatifu. Uwezo wa kujifunza kutokana na marekebisho ni ishara ya hekima (Meth 15:31-33).

 

Kwa mujibu wa amri ya Mungu watoto wanawajibika kwa wazazi na wanatengwa na hukumu ya kifo kama watakuwa wakaidi (Deut 21:18-23). Hukumu ya kifo hupatikana kwa wazazi wetu. Tazama karatasi Sheria na mari ya tano (No. 258). kama kawaida hakuna mwenye kuhitaji mauti kwa mtoto hivyo watende inavyostahili.

 

Wazazi wanapswa kushughulika na kukimu haja ya watoto wao.

 

2 Wakorintho 12:14 “Kumbuka mara ya tatu niko tayari kuja kwenu, na sitakuwa mzigo kwenu kwani ninafaulu sio chenu ila nyinyi; kwa vile watoto hawapaswi. Kufungua mamba hupewa sehemu mara dufu ya urithi wa wote ule na hivyo anawajibika kutafutia na kufanyia wazazi wake wakiwa wazee (Deut 21:15-17; 25:31).

 

Majukumu na wajibu wa watoto

 

Mungu aliweka wazi juu kile anataka tutende katika uhusiano wa familia/ amri hii ya tano inalenga familia (Mk 10:19, Lk 18:20; Waefeso 6:1-3).

 

Kutoka 20:12 “Waheshimu babako na mamako siku zako zitakuwa nyingi katika nchi ambayo bwana Mungu wake anakupatia.”

 

Deut 5:16 “Wahedhimu baba yako na mama yako, vile Bwana Mungu wako amekuamuru ndio siku zako ziweze kuwa nyingi na ndio huweze kuishi siku nyingi duniani.”

 

Amri ya tano huelesekwa kuwa amri ya kwanza ya ahadi.

 

Waef 6:1-3 “watoto waheshimu wazaziwetu katika Mungu kwani huu ni haki. Waheshimu baba na mama yako ambayo ndio sheria ya kwanza yenye ahadi – ndio uwe vyema nawe na ndi uwezee kwishi kwa siku nyingi duniani.”

 

Tunapaswa kuwaheshimu kuwauezi na kuwakumbuka mama na baba yetu wazee na Mungu (Lev 19:3; 32; Muhubiri 12:1; Math 19:19).

 

Watoto wanapswa kuwa watiivu

 

Wakolosai 3:20 watoto kueni watiivu kwa wazazi wenu katika mambo yale, kwani hili humpendeza bwana. (KJV)

 

“Watoto waheshimu wazazi wenu” (Mwanzo 28:7; 47:30).

 

Ni uamuzi kuwa mwenywe hekima na kumja Mungu (Meth 10:1; 23:15; 27:11; 29).

 

Watoto wanaweza kujifunza kuwa mfano mzuri kwa wengine.

 

1 Tim 4:12 “Yeyote asiudharau ujana wako, ila kwa vitendo maneno, upendo, imani na usafi kujionyesha mfano kwa wale wanaoamini.

 

Tunaambiwa katika 2 Tim 2:22 tuache tama za ujana na kutauta wema imani upendo na imani, kwa ushirikiano na wale  wanaomtafuta bwana kutoka roho mtakatifu.

 

Ahadi kwa watoto kwa uaminifu

 

Meth 1:3-8 Mtoto wangu usisahau amri yangu lakini roho yake ieshimu amri zangu; kwa sababu zitakuongezea siku zingi na maisha maregu na amani. Zingine hakuna na ukweli sizikupite. Shingoni mwako, ziandike katika jiwe la roho yako! Hivyo utapate upendo wa heshima. Mwaini BWANA kwa roho yako yote; na usiegemee katika kujielewa na njia zakozote, mwambie na atakuelekeza njia zao. Usiwe na hekima kwa macho yako pekee. Mwogope BWANA, na toka kwa dhambi, itakuwa afya kwa ngozi yako, na kwa mifupa yako.”

 

Mithali 3:1-8 Mwanangu, usiisahau sheria yangu, bali moyo wako uzisikie amri zangu. Maana zitakuongezea wingi wa siku. Na miaka ya Uzima, na amani. Rehema na kweli zisifarakane nawe; zifunge shingoni mwako; Ziandike juu ya kibao cha moyo wako. Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri, mbele za Mungu na mbele ya mwana damu. Mtumaini Bwana kwa Moyo wako wote, wala usizitegemee akili zako mwenyewe; katika njia zako zote mkiri yeye naye atanyosha mapito yako. Usiwe mwnye hekima machoni pako.

 

Maisha marefu ni baraka kwa wale wanaoamini maneno ya Mungu (Meth 4:10, 11, 20-23; 8:32, 33).

 

Matokeo kwa watoto kwa kutokuwa wattvu

 

Meth 30:17 Jicho ambalo lina dharau baba yake na kuyakaidi mama yake tilangolewa na ndege na ponde na watoto wao watalikula (KJV).

 

Mariko 7:10-13 Miusa akasema “waheshimu baba na mama yako; na mwenye amelaaniwa na Babake au mamake na afe mauti. Lakini akasema kama mtu atakuwa mwaminifu kwa wazazi wake atakuwa zawadi kubwa kwa wazazi wake na atakuwa huru, na ambaye ataangmia kwake hana mengi ya kufanya katika baba au mama kufanya kazi ya Mungu hakuna madhara kupitia mambo ya kidamatimu, ambaye wewe utakuwa umepatia na mengi kama vita ambavyo tunafanya (KJV).

 

Kwa upendo kila mmoja awaheshimu wengine zaidi yake pekee (Phi 2:3). Sisi zote na tujaribu kutenda majukumu yalivyotokwezwa na Mungu na kusaidia familia ya Mungu kulewa katika utukufu wa Mungu.

 

Vile wakati unapita na kizazi hiki kinapojukuliwa kwa ufugaji wa kazi wacha tufanye kazi mwangaza ukiwa na tutumie upendo na hekima kifike malezi yake watoto wetu.

 

James 3:17-18 lakini hekima ambayo hutoka juu ni takatifu halafu yenye amani na nyenyekevu (na) rahisi kutendekwa inayojaa huruma na matunda mena, bila ubaguzi na bila ufanganyifu. Na tunda la wema hupa – dwa kwa amani ya wale wanaotenda amani.

 

Tuombe watoto wetu wajufunze kupitia sisi upendo thabiti wa baba kwa kile mmoja. Mungu na mwana wake na kanisa wanaonyesha hili kwetu. Marekebisho yoyote wanayoyapokea kutoka kwetu watoto wetu, na yazae matunda ya imani ya wema.

 

(Matoleo yote kutoka Strong’s yanatoka kwa nakala ya “Blue Letter” isipokuwa yameelekezwa).

 

 

 

q