Makanisa ya Kikristo ya Mungu

[110]

 

 

 

Nadharia Kuhusu Vita ya Haki

Kuruhusiwa na Kulewa Kwa Mpandafarasi wa Kwanza na wa Pili

(Toleo La 1.0 19950429-19991009)

Jarida hili linaelezea kuhusu Dhana ya kihistoria na kifalsafa kuhusu Nadharia kuhusu Vita vya Haki inayoonekana kuendelea kwa mchakato wa pamoja wa Augustine wa Hippo na kwenye imani za kiorthodoksi na kikatoliki tangua karne ya nne. Maana ya tangazo la kipapa lijulikanalo kama Unam Sanctam limeelezewa na madondoo yanayopelekea kuwepo kwa vita na Nadharia ya Vita vya Haki. Pamoja na dhana ya kanisa kama ilivyo kuwa ni shirika lisilopangilika, uanachama ulio muhimu kwa wokovu. Historia ya kimafundisho hadi kufikia nyakati za kisasa ina umuhimu mkubwa sana kwa Wakristo wanachukua nafasi yotote kwenye huduma za kijeshi na kivita.

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

Email: secretary@ccg.org

 

(Hatimiliki © 1995, 1999 Wade Cox)

(tr. 2016)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia.  Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org


Nadharia Kuhusu Vita ya Haki

 


Hadi kufikia kipindi cha matengenezo, Kanisa Katoliki la Roma lilikuwa linahalalisha kitendo chake cha kutendea kazi mamlaka yake ya kikanisa kwa mikururu ya hila potofu za kihila za kifalsafa. Ulaghai huu uikusudia kufafanua matumizi ya jeshi na uingiliaji wa Kanisa kwenye mamlaka ya nchi pasi kujali makatazo ya biblia yaliyofanywa kwenye Agano Jipya. Hoja hii ilikuja kujulikana kama ni Nadhaia Kuhusu Vita ya Haki na, baada ya zama za Matengenezo ilijikuta ikikubalika kikamilifu ni kama baadhi ya hoja zilivyochukuliwa kwenye maandiko kadhaa wa kadha ya waliojulikana kama mababa wa kanisa. Kwa wanamatengenezo, mamlaka ya biblia peke yake ndiyo kilikuwa kigezo na kipimo chao, na kwa hiyo, ndiyo dhana iliyoko kwenye Nadharia ya Vita vya Haki na kufanya iwe ya kijamii na kidunia ili kuweza kueneza maneno na itikadi zake kwa hiyo. Ili kuelewa chanzo na chimbuko lake na, hata, kushughulikia na nafasi ya utekelezaji wake, basi ni lazima ieleweke historia ya kuenea kwake.

 

Kutoka mwishoni mwa karne ya kwanza, mafundisho ya Kikristo yalianza kupata mashambulizi kwa vipindi kadhaa vya roborobo, mengine yakifanyika kama ya Kikristo, na mengine yakituatia kama yakiwa yameratibiwa ya Kikristo, kama vile imani ya Kinostiki. Dini kuu ya Kikristo ilikuwa ni ya mrengo wa kipasifisi na uliendelea sana kw kiasi cha kuwa karibu kufikilia kikomo na utimilifu wake hadi mwanzoni mwa karne ya 4 wakati wa mlipuko uliolazimishwa au kushinikizwa na Ukristo wa Kimagharibi na makanisa ya Kielabagalistiki yaliyojitokeza chini ya Constantine. Ili kurekebisha udanganyifu na mvuto wa utambulisho wa kifalme, mambo mawili yalijitokeza yaliyojiita Ukristo lakini yaliyodumu tangu yalipojivika kwa njia ya ukengeufu. Makundi haya ambayo hatimaye yalikuja kujulikana kama kundi la Waathanasiani ambalo jana lake lilitokana na jina la Athanasius, Askofu wa Alexandria (296-373 BK) na lingine la Waarian lililoitwa hivyo kutokana na jina la Arius, Mzee wa Kanisa na Mwangalizi wa Alexandria (250-336), makundi haya yote mawili yalitokana na sinodi kuu zilizokuweko na zilizoanzishwa na kuendelezwa na Arius huko Alexandria mwaka 321 na lile la Athanasius wa huko Tiro (Tyre) mwaka 335. Historia ya mgogoro huu imeainishwa kwa kina na kwenda hadi huko lakini ilikuwa ikitumiwa vizuri sana kwa uzalishaji wa theory nyingi na mafundisho na kwa mazao au matokeo yake yalikuwa ni Theori ya Vita vya Haki.

 

Kanisa lilikabiliwa na mkanganyiko wa kuwa ni dini rasmi ya nchi au taifa na kuendelea kuyatendea kazi mamlaka ya kidunia nay a kijeshi, kinume kabisa na maelekezo au nasaha za mafundisho ya Kristo. Kwa hiyo, ilipasa kwamba ni budi mafundisho yawe yameghoshiwa. Uainisho mkuu wa kwanza wa kibiblia tuliyonayo kwenye matumizi ya nguvu za kijeshi yaliyojitokeza kwenye maandiko ya Augustine, mwanazuoni mahiri wa Afrika Kaskazini, aliyebatizwa kuwa Mkristo na alipata elimu yake huko Punic, akabobea kwenye elimu ya lugha mbalimbali za Kiebrania na Kilatini. Tangu miaka ya 373-383, alikuwa muumini na mwanafalsafa mkuu na mbobevu wa mrengo wa Kimanichean na Kiplatoni. Alibatizwa tena mwaka 387 kwenye mrengo wa Kiathanasian. Ambrose wa Milan pamoja na Theodosius walipata mamlaka ya uthibiti na utawala wa Kanisa Katoliki la Roma kwa mrengo wa Kiathanasian mwaka 381 na kuitisha Mkutano wa Baraza Kuu la Mtaguso wa Constantinople. Kuhusishwa kwa Ambrose na Augustine kulikuwa na umuhumu mkubwa sana kwa mtungo uliofuatia wa kilichojulikana kama ukiri wa imani, ambayo kwa wakati ule bilashaka ulionekana kama jambo la busara. Theodosius alikomesha na kuufutilia mbali upagani baada ya kumshinda Eugenius hapo Septemba ya mwaka 394.

 

Kile kinachoitwa au kujulikana kama hoja au malumbano ya Athanasian/Arian yalipelekea kuibuka kwa mateso makali sana yaliyofanywa na waliokuwa wa mrengo wa Waathanasians au Waamini tatu au Watrinitarian. Wagoths na Vandals walikuwa Wayunitariani (Biblia ya Kigothiki inaaanzia tangu mwaka 351). Hatimaye waliitwa Waarians na waliokuwa kwenye mrengo wa Waamini Utatu au Watrinitarian, jambo walilolifanya kama hila ili kupindisha sababu yenye mashiko ya hoja au malumbano haya. Mabishano haya yaliendelea kibuka tena na tena hadi kipindi cha baadae wakati Mtawala Mwanamke au Malkia Placidia aliwatuma Goths, waliowasaidiwa na Vandals, kupinga harakati za maasi ya Jimbo la Boniface barani Afrika mwaka 427. Walisaidiwa na Maximinius, Askofu Myunitarian. Augustine ilimpasa kuwatetea kwa wazi sana Waathanasian au waamini Utatu au dini na imani ya Watrinitarian mwaka 428.

 

Kwa nina na kwa upana, Theori au Dhana ya Vita vya Haki inatuama kwenye maandiko ya Augustine wa Hippo.

 

Ni ubaguzi wa kimadaraja ya uingizaji wa Ukristo kwa utohoaji wake kama ni taifa la kinadharia ya kidini. Kuchukuliwa kwa Ukristo kuwa ni dini ya kitaifa kulimaanisha kulipelekea kila mara kuhusisha miundombinu ya kijeshi na kijamii. Maranyingi, mrengo wa Augustine uliwatesa wafuasi wa dini nyingine. Dhana hii ya Vita vya Haki ilijaribu kuhalalisha harakati hizo.

 

Mrengo wa Augustine na fikra zake zilichukuliwa na wanazuoni waliobobea kwenye elimu ya imani ya kanisa kwenye shule zake na ambaye alikuja fanyika kuwa mwanafunzi wa mawazo yake mwenyewe. Mtu huyu mwenye msimamo mkali na mwenyenguvu hatimaye alikuja kufanyika kuwa Gregory 1 (au Mkuu). Alifanikiwa kikamilifu sana kujumuisha au kuunganisha pamoja nguvu za kimamlaka ya kiserikali na kikanisa. Mwaka 590 alianzisha muunganiko wa kiserikali wa kanisa na nchi. Muungano huu uliunda mikururu wa vikundi vya kidola, ambavyo vilifanikisha mwendelezo kama huo huo hadi mwaka 1850 – ukihitimisha miaka hiyohiyo 1,260 kamili. Miaka 1,260 ni nyakati tatu na nusu za hesabu za kinabii. Maana ya kipimo cha nyakati hakijapotea wala kusahauliwa na wasomaji wa Biblia.

 

Mafundisho yaliyoanzishwa na kina Augustine na Gregory kimsingi yalikuwa hayabadiliki kabisa hadi matukio ya kwenye karne ya kumi na tatu na ambayo yalishirikishwa na nadharia zilizoongezewa zaidi. Kwanza kabisa, Gregory IX mwaka 1232 kwenye mgogoro wake na Wayunani. Mwaka 1236, Gregory IX akiwa na Frederick II aliyedai kwamba Constantine Mkuu aliwapa nguvu bandia mapapa na kwamba watawala na wafalme walikuwa ni wasaidizi, waliofungwa kutumia upanga halisi kwenye maelekezo yake. Tangu miaka ya 1265-1272 Aquinas aliendeleza nadharia hii kwenye kitabu chake cha Summa Theologica (at II II, 40. c.~271) na pamoja na maandiko ya Bernard wa Clairvaux na Hugo wa St Victor na vinginevyo ambavyo viliweka hamasa kwenye maandiko ya Tamko Kuu lililojulikana kama Unam Sanctam lililotolewa na Boniface VIII mnamo tarehe 18 Novemba 1302. Hili lilikujafanyika kuwa neno muhimu kwa mabishano yenye nguvu za pande mbili zote na matumizi halali ya nguvu.

 

Mafundisho ya kisasa ya Nadharia hii ya Vita vya Haki yanategemeana na kile kijulikanacho kama status quo na uwepo wa taifa kama lilivyo. Kwa utegemezi zaidi juu ya dhana ya kwamba jinai inayotokana na matumizi ya nguvu za kupita kawaida ni kipimo cha kuanza kwa Nadharia hii ya Vita vya Haki. Kufuatia kutoka nadharia hii, kulijitokeza mirengo ya kile kilichojulikana kama Jus ad Bellum iliyoshughulika na kutoa maamuzi ya Vita ya Haki na Jus in Bello kuhusu mwenendo wa washiriki.

 

Ili kuona jinsi tofauti hizi zilivyofanyika, na kutoka kule ilikotolea, yatupasa tuone kwenye mazingira yaleyale ya Augustine na hatimaye yale ya Aquinas. Tutakwenda kujionea na kutathimini kujitokeza kwake na kisha kuangalia na kusoka kwenye Unam Sanctam. Kutokana na adharia hii ya Vita vya Haki ndpo tutajionea haya yafuatayo.

 

Kutokana na nakala za maandiko ya kisiasa za Augustine, tunajionea fursa zifuatazo. Kwenye C a, anaonyesha kwenye nyakati za mwanzoni za Waplatoni pale alipomnukuu hivi Cicero: kwamba nchi inapasa ijumuishwe sana kwenye mkakati wa kikatiba kuwa iwe ni ya milele. Kifo siyo kitu cha kiasilia kulikumba taifa kama kimkumbavyo mwanadamu, na, hakuna vita itakayochukuliwa kuwa inaweza kuwezesha usalama wake au kwa heshima.

 

Kutokana na rejea ya uchaguzi au maamuzi ya Saguntine ya kuangamia kwa taifa zaidi tu kuliko kuivunja imani anayoinyooshea kidole Augustine kwamba Cicero hakielezea kile kilichokuwa kimeonyeshwa au kuelezewa, uasalama au imani (washriki wa baraza la Saguntines walichagua kuitunza imani pamoja na washiriki wao kwa sababu ya neno ingawaje walijua kuwa ni kukomesha). Kwa hiyo, mkanganyiko wa usalama, na kusinda kwa uenezi wake, kunaonyesha dalili kuwa kwenye mgogoro na madili hapa ya imani. Anahitimisha hapa kwa kusema hivi:

Lakini usalama wa mji wa Mungu ni kitu ambacho kwamba kinaweza kurejeshwa au kuwezekana, au kwa zaidi tu kunapatikana kwa imani na kwa kuitendea kazi imani, lakini iwapo kama imani itaachwa au kupuuzwa hakuna atakayeipata.

 

Kwenye kipengele cha C b anasema:

Bado utaratibu wa kiasili unaoitafuta amani ya mwanadamu, inaonyesha kwamba mfalme yampasa awe na mamlaka na nguvu za kuielewa vita kama atadhania hii kuwa inafaa kuwa ni ushauri mzuri na kuwa maaskari au wanajeshi wanapaswa kufanya harakati zao za kivita kwa nia na lengo la amani na usalama wa jamii.

 

Anaendelea kwa kuuliza maswali ya kawaida sana na yanayoulizwa kila mara yafuatayo.

Ni nini kilicho kibaya vitani? Je, ni kufa kwa mtu ambaye atakufa tu hivi karibuni kwa namna nyinginezozote na kifo chake kikasababisha wengine waishi kwa amani na utii? Huu ni woga tu na usio na maana na usiotakiwa kuwepo kwenye hisia za kidini.

 

Kuna maeneo makuu mawili ya utii kwenye uwanja huu.

·      La kwanza ni kwamba ni kinyume kabisa na amri za Mungu na inajaribu kutia moyo kuwa watawala waliopo wa muda mfupi wanaweza kumuagiza mtu afanye kitendo kilicho kinyume kabisa na sheria za biblia.

·      La pili ni kwamba, kama hoja hizi zitakubalika kwamba kifo cha mtu kinakubalika, ili kwamba wengine waliosalia waishi kwa amani na kwa utiifu, basi tutakuwa tunakubaliana na mkururu wa mafundisho; yuathanasia kuhusu masuala ya kiuchumi nay a mauaji kwa msingi wa kimafundisho au hata kwa kimaadili.

 

Augustine anajaribu kuorodhesha maovu halisi yanayosababishwa na vita kama kupenda ugomvi, utatili wa kulipiza kisasi, uadui mkubwa na wenye uchungu mwingi, upinzani wa kupigana maporini, na uchoyo wa madaraka, nk.

 

Haya yalioenekana kuwa ni malengo na shabaha ya hii iliyojulikana kama Jus in Bello (Haki Kwenye Vita) na kwa hiyo, inahusiana na kuwazuia au kuwapinga washiriki. Anajenga hoja zake kwenye andiko la Warumi 13:1 lisemalo: kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu, ili kumfanya mwenye haki aliye chini ya mamlaka ya mtu muovu aweze kuwa chini ya mtawala au mfalme muovu lakini aweze kupigana kwa sababu kuu mbili. Kwanza ni kuwa:

·      Ni mapenzi halisi ya Mungu, au

·      Inaweza kuwa ni amri mbovu na ovu kwa upande wa mfalme, lakini askari wake anakumbana kwa ajili ya nafasi yake aliyonayo inamfanya awe mtiifu kwenye kazi yake.

 

Zaidi sana alisema Ni kwa kiasi gani basi yampasa mtu awe safi pasipo hatia wala kulaumiwa anapokuwa anakwenda kuchukua majukumu ya vita kwa mamlaka ya Mungu? Ukomo wa mirengo hii ulikuwa wazi na dhahiri huko Nuremburg.

 

Augustine hana mashiko ya kibiblia kwa mikururu yake ya jambo hili. mwisho kabisa, mifano yake ya kibiblia kwa kuunga mokono maneno yake ya hapo juu ametumia vibaya na kimakosa. Luka 3:14 inahusiana na ubatizo wa Yohana Mbatizaji kabla ya kutambulishwa kwake na Kristo wa Agano Jipya. Kwenye mambo yote yale, wale waliobatizwa na Yohana kwa ajili ya toba walikuwa mara zote wakibatizwa tena na tena, hadi kuwekewa kwao mikono ili wapokee uweza au nguvu za Roho. Vita vilivyoruhusiwa kupiganwa kwenye Agano la Kale viikuwa kwenye awamu ya kwanza, vikikusudia kufanya uhakika wa mkakati wao wa kutamalaki usizuiwe na hatimaye kushindwa kuitwaa nchi yote ya Kanaani na Waisraeli kwa sababu kuu mbili. Ya kwanza, ni kuchukua nchi kwa kufanya mbadala, kitendo kilichokamilisha lengo la haki yake kwa kuasi aukutotii kwao na sababu ya pili, ni kuwezesha kiusalama sana kutoa maelekezo ya biblia nay a mpango wa wokovu.

 

Mathayo 22:21 inataja utoaji wa kodi ya fedha na kumpa Kaisari chochote kilicho cha Kaisari. Augustine anajaribu kuonyesha hivyo kwa kuwa fedha ya kodi ilitumiwa kuwalipa mishahara askari au wanajeshi, kwa hiyo Kristo alikuwa anawashutumu kwa njia ya mzunguko na kupigavita mambo haya ya vita.

 

Mathayo 8:9-10 inamtaja kadhi aliyemuomba Kristo akamponye mtumishi wake. Na kwa kuwa alisifiwa sana kwa mema na kwa imani yake ndipo hakuwa amekemewa wala kuziiwa na wala kuambiwa abadili kazi yake, na badala yake fursa ile ilitumiwa kwa kuelekezea kwamba kuna wale walioteuliwa na ambao siyo miongoni mwa Waisraeli, mfano huu ulitumiwa vibaya. Hakuna rekodi wala taarifa yoyote ya mtu aliyebatizwa akiwa askari isipokuwa Kornelio peke yake wa kwenye Matendo 10.

 

Hoja iliyo kwenye Warumi 13:1-6 inahitaji utii wa kuyatii mamlaka na kulipa kodi ikiwa ni jambo la lazima na muhimu waaminio. Ukweli wa kwamba wale wa dunia wanaouchukua upanga na kwamba wanatokana na Mungu haimaanishi kwamba wameitwa au wamechaguliwa kufanya hivyohivyo.

 

Majibu ya Kristo ya kwenye Yohana 18:36 yalikuwa Ufalme wangu sio wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, watumishi wangu wangenipigania, nisije nikatiwa mikononi mwa Wayahudi. Kwenye aya ya 11 alimwamuru Petro kuurudisha upanga wake kwenye ala yake. Tangu kipindi cha Pentekoste haijanukuliwa, wala kuonekana kwenye biblia au kwenye rekodi za Kanisa la kwanza au Mtume yeyote yule au mzee wa kanisa yeyote yule kuonekana wamebeba silaha au mikuki mikononi mwao au wakionekana kuwa wanawaruhusu watu kuvimiliki.

 

Hoja ya Augustine inatokana na mambo au sababu mbili. Ya kwanza ni kwamba alikuwa ni wa mrengo wa mafundisho mapotofu nay a kiukengeufu ya Athanasian ambaye hakuwa ameuelewa mpango wa wokovu na, ya pili, ni kwamba mrengo wa Athanasian (ambao sasa wanaitwa Waorthodox au Wakatoliki) walikuwa wanajaribu kuieneza imani yao kwa kuifanya iwe ya kitaifa kwa mamlaka yao mpya waliyojiundia au waliyoianzisha, na mafundisho yakarekebishwa ili yaendane sawasawa.

 

Ilimpasa Gregory achukue mdinu na fikra za Augustine za kuweka matabaka ya watu ili kuanzisha kipidni cha mpito cha kuwa na dola ya kidini yenye kushikwa hatamu zake na kanisa ikiwa chini ya mamlaka kuu ya Papa.

 

Gregory IX aliurudiarudia na kuusisitiza msimamo wa mrengo huu yaliyopelekea kuzuka kwa mafundisho ya kama yalivyokuwa kwenye mataifa yote waliyokuwepo kwa mamlaka ya Roma. Wakati mamlaka haya yalipoondolewa, ilionekana kwamba kulipelekea kuwepo kwa mkanganyiko mkubwa wa ndani kwa ndani, kwa kadiri nchi zote zilipokuwa zikiachiliwa kutokana na viapo vya waliowashirikisha.

 

Hoja iliyopelekea kuwepo kwa Ndharia ya Vita vya Haki vya kama vilivyokuwa ni kitu ambacho kwa kiasi kikubwa kinatokana na Mamlaka ya Kipapa. Nadharia ya vita ya haki ya kina Augustine na ya Gregory vilifanya kazi kwa ufanisi mkubwa mahali palipokuwa na adui mkubwa na mashuhuri au penye tishio la kudumu la ndani kwa ndani kwenye dola hii (ikiwavutia au kuchukuliwa kuwa ni ya kipagani). Hadi kufikia mwaka 1000 BK dola hii iikuwa inaenea na kujitanua vizuri kwa mbinu ya kuanzishwa kwa utawala shirikishi na Kanisa la Kikatoliki ambapo maaskofu wakuu wa Gniezno huko Poland mwaka 1000 na Gran iliyoko Hungary mwaka 1001, na mnamo mwaka 1018 Wabyzantine waliitwaa na kuikalia Bulgaria.

 

Mnamo mwaka 1031 Waislamu wa Hispania walimeguka na kumwondoa madarakani Khalifa wa mwisho wa Cordoba na mnamo mwaka 1050 walifukuzwa kutoka Sardinia. Mnamo mwaka 1092 Waalmoravids walianzisha utawala wao kusini mwa Hispania pamoja na jamhuri tatu zilizoachwa zenyewe. Mwaka 1094, El Cid aliitwaa Valencia. Mwaka 1095, Urban II alitangaza vita ya kidini maarufu kama Crusade iliyopelekea kuushambulia mji wa Constantinople mwaka 1097. Muonekano wa kihistoria wa hoja au mabishano yahusuyo hali halisi ilivyokuwa ulioekana tangu mwaka 1041 kwa kutwaliwa na kukaliwa kwa nji wa Melfi na Wanormans wakiongozwa na Tancred d'Hauteville.

 

Nchi zote za kikabaila huko Ulaya zilitegemea kanisa kwa kuendeshwa kiurahisi. Mfumo mkubwa zaidi wa kikabaila uliowahi kufanywa kuliko mifumo yote ulikuwa ni ule wa Ujerumani au ulioitwa pia kuwa ni Dola Takatifu ya Rumi. Kukaliwa na Wanormans wa Melfi kwenye mpaka wa Lombardy/Byzantine upande wa kusini mwa Italia kulionekana kuwa ni mkakati mkubwa wa kuanzisha ushawishi. Kwa kushirikiana na kusini mwa Byzantine na magharibi mwa iliyojulikana kama Dola Takatifu ya Rumi pamoja na Papa kujaribu kuwakomesha na kuwatokomezelea mbali bali walishindwa huko Civitate na Leo IX alikamatwa na kutekwa.

 

Mateso yaliyojirudiarudia mara kadhaa yaliendelea kutokana na hii na ni kama Papa alivyowalaumu wenyeji wa Byzantine kwa kushindwa huku. Matokeo yake yalikuwa ni kugawanywa kwa pande zake mbili za Mashariki na Magharibi kufikia mwaka 1054. Yakiwa ni matokeo ya msimamo na uwezo hafifu wa utawala wa kipapa, ndipo matengenezo kadhaa ya ndani kwa ndani mwa kanisa yalifanywa. Hata hivyo, Nicholas II alijitwika jukumu la kumchagua papa kutoka nje ya baraza la maaskofu na nje ya watu wa Roma kwa kutangaza mamlaka kamili ya Papa ya kuwachagua Makardinali. Na ili kurejesha uimara kwenye suala la mamlaka ndipo aliwatambua jamii ya Normans, ambao hadi kufikia mwaka 1060 walikuwa wameteka na kuumiliki upande wote wa kusini mwa Italia, na mnamo mwaka 1061 waliwafukuza na kuwaondoa Waislamu kutoka Kaskazini Mashariki mwa Sicily. Mabishano kuhusu vigezo vya kukutumiwa katika kuwachagua maaskofu likawa ni jambo muhimu sana kwenye hali hii. Malumbano haya yalilipuka tena kati ya Mfalme Henry IV na Papa Gregory VII (Hildebrand) mwaka 1076. Baada ya kuondolewa na kutengwa kwa Henry, kulikofuatiwa na kushindwa na kujisalimisha kwa toba na majuto ya mwaka 1077, hatimaye kulipelekea kutwaa na kutamalaki kwa Henry wa Roma mwaka 1084 na kuchaguliwa kwa Papa Clement III alitemtawaza yeye. Hildebrand alitekwa na kushikiliwa kama mfungwa kwenye Kasri ya Castel San Angelo ambako hatimaye alikua kuokolewa na Mnorman Robert Guiscard.

 

Mbali ya kuwa hafanani na washindaji wengine na ugomvi au mizozo, juhudi hizi za kufa na kupona zilikuwa za muhimu kwa suala la hali mbili halisi zilizoanzishwa na uhalali wa utambulisho wa nchi, jambo ambalo lilikuwa la muhimu sana kwenye Nadharia hii ya Vita vya Haki. Kwa kipindi chote cha kuanzia kuenea kwa Wanorman na tangu takriban mwaka wa 1066 mfoko au hasira kuu kwenye ujenzi na kutengenezwa kwa jumba la watawa kulifanyika. Tangu mwaka 1076 (huko Salerno) misingi iliwekwa au kujengwa kwa ajili ya kuanzishwa kwa Vyuo Vikuu. Mnamo mwaka 1098, Robert alianzisha mji wa Cistercians huko Citeaux na shule ya Lafudhi au Lugha au Matamshi ilifunguliwa na William wa Champeaux huko Paris mwaka 1104 iliyotanguliwa na chuo kikuu cha huko. Mnamo mwaka 1107 Sinodi ya Westminster iliusuluhisha mgogoro au mkanganyiko huu wa jinsi ya kuwachagua maaskofu, nchini Uingereza, kati ya Anselm, Akofu Mkuu wa Canterbury, na Henry I kwa mkujumuiko wa ki muafaka wa pamoja uliokubaliwa. Kwenye kipindi hikihiki pia, mwonekano wa mji ulianza mashariki mwa Ulaya na Kizazi cha Kujiuliza na Kutafakari (kilichosaidiwa hatimaye mwaka 1210 na kuanzishwa kwa shirika la Wafranciscans) kilikuwa kinaanza, ingawaje mafundisho ya Abelard yalishutumiwa na kulaaniwa na Baraza la Halmashauri Kuu ya Mtaguso wa Sens mwaka 1141. Mwaka 1115, Bernard alianzisha Makazi ya Watawa huko Clairvaux. Mwaka 1122, Mapatano ya huko Worms kati ya Papa Calixtus II na Henry V, Mjerumani au Mfalme wa Dola Takatifu ya Rumi, alisawazisha suala tata la kuchaguliwa au kuteuliwa kwa wazee wa huko Ulaya, jambo lililoonekana kuwa kufanya muafaka au mchanganyo kungekuwa ni kukaribisha kushindwa kwa Dola ambayo ilihitaji kwa kiasi kikubwa sana kutenganisha na utii wa wazee au maaskofu wake. Kwa uamuzi kama huu, ndipo uanzishwaji wa mataifa yenye hali hiyohiyo kulibakia kuwa imara ndani ya himaya hii ya papa.

 

Mwaka 1158, kutambua kwa haki za mwanafunzi kwa Frederick Barbarosa wa huko Bologna kuliweka mwanzo wa kawaida wa chuo kikuu huko na Chuo Kikuu cha Paris kiligawanyika kama bodi iliyoruhusiwa. Mwaka 1160-62 Henry aliyejulikana pia kama Simba Dume (the Lion Duke) wa Saxony aliishinda na kuuteka mji wa Wends wa Elbe ya Chini uliolazimika kuikubali imani Kaoliki ya Rumi na mwaka 1164 ofisi ya Askofu Mkuu wa Kiswidish wa Upsala ilianzishwa.

 

Kwa kuanzishwa kwa nchi thabiti ya kikabaila inayoendana nayo kimpangilio chini ya utawala wa Kanisa Katoliki la Roma kwa kuzitiisha kwa kusababisha migooro isiyokoma na vitisho visivyo na mwisho, mambo mawili yalijitokeza. La kwanza, kuongezeka kukubwa kwa idadi ya watu, na la pili, ni hamasa ya watu kupenda na kujifunza falsafa na sayansi iliongezeka.

 

Ushindi na utamalaki wa vita hivi vya crusade ulianza kushindwa, tangia mwaka 1145 kwa ushindi wa Waturuki wa Edessa na maangamizo ya Saladin ya Jesshi la Yerusalemu mwaka 1187. Hali hii ilimfanya Papa alazimike kutangaza vita vipya tena vya crusade iliyoongozwa na Wafalme wa Uingereza na Ufaransa, yaani, kina Richard Lionheart na Phillip II.

 

Matokeo ya kupendeza ya hali hii mpya yalikuwa kwamba ni roho ya uvumilivu ambayo iliinukia huko Ulaya. Kanisa la Mungu lilianza upande wa kusini mwa Ufaransa, Hispania na kwa kiasi fulani huko Ujerumani, Austria na Hungary na Ukraine upande wa mashariki. Kitendo cha kuzishika sikukuu hizohizo kama Kanisa la kwanza la Wayahudi lilivyofanya, kulionekana na kukubalika na Wayahudi. Mnamo mwaka 1182, Phillip II alitangaza sheria ya kuwakomesha na kuwadhulumu au kuwafukuza Wayahudi wote huko Ufarasna. Upande wa kusini uliundwa ama na visiwa vilivyotumia kugha za Kiingereza au ardhi zilizodaiwa na wao na hasahasa kanisa, la wale waliojulikana kama Waalbigensian, ambao walikuwa bado wanayakalia na kuyamiliki maeneo ya Toulouse, Languedoc, Gevaudan na sehemu ya maeneo ya Provence na Guyenne kwa kufanyika kuwa mahali pa kuwatunzia kwa kuwadhulumu na kufuzwa kwa “Wayahudi” kama ilivyofanya Uhispania na baadaye Ureno.

 

Mnamo mwaka 1208, mwaka ulioshuhudia kuanzishwa kwa Chuo kikuu cha Oxford, na ndipo Innocent III aliitisha vita vya crusade ili kupigana na hawa aliowaita wazushi. Dini iliyojulikana kama ya Cathars (yaani ya Cathari au Puritans) iliibuka na kuenea kwa nguvu kwenye maeneo hayahaya na ilikuwa ni kile kilichodaiwa kuwa matendo yao ndiyo yaliyopelekea kuhalalisha kwa vita hii ya crusade.

 

Mwaka 1226, Louis VII aliitwaa Avignon kama sehemu ya mafaniko ya crusade na kulikuwa na mfululizo wa matangazo yaliyotolewa yakihusiana na uhalalishaji wa vita hivi vya crusade. Mwaka 1229 vita hivi vya crusade viliisha kwa kusimiwa kwa ufalme wa Ufaransa na kujumuisha Languedoc na Baraza la Mahakama iliyojulikana kama Inquisition iliyoanzishwa huko Toulouse. Mwanzoni kabisa, Benedictine alithibiti, kuanzishwa kwa shirika la Wadominican huko Toulouse mwaka 1215 ili kuthibiti kile kilichojulikana kama uzushi huu wakionekana wakichukua uthibiti wa Mahakama hii ya Inquisition. Chini ya hawa Wadominican, Mahakama hii ya Inquisition ilifikia kwenye upeo wa juu sana wa ukengeufu, upotoshaji, ukatili au unyama na ulafi wa mali.

 

Kuenea kwa mfumo na chuo kikuu cha Cambridge mwaka 1213 na Padua mwaka 1222 (kutoka Bologna) kulishuhudia kuwepo kwa tabaka la kifalsafa lenye nadharia hii ya Vita vya Haki na vya krusedi na kukomeshwa kwa kile walichokiita uzushi kanisani. Kanisa likafanyika kuwa lililonywesha na kuleweshwa damu ya watakatifu.

 

Ujinga huu wa mamlaka ya Vita vya Haki ulifanyika kwa migogoro au migongano kati ya Gregory IX na Mfalme Frederick II, wakati Gregory alipomtenga Frederick kwa ajili ya kukataa kwake kwenda au kujiunga na vita vya krusedi mwaka 1227, kwa kwenda kwake au kujiunga na krusedi ya mwaka 1228 na kwa kuutwaa kwake tena mji wa Yerusalemu, bila kupewa ruhusa na papa mwaka 1229.

 

Mwaka 1241 Wamongolia walizishambulia Poland na Hungary. Walijiondoa kwa kupokea habari au taarifa ya kifo cha Ogadai Khan, lakini kushindwa kwa Henry wa Silesia huko Liegnitz na Bela IV wa Hungary huko Mohi kulizua mtafaruku.

 

Kuzalishwa au kuongezwa kwa vituo vya mafunzo na mahojiano, na matatizo ya kifalsafa ya kufuatilia uhalali wa vita vilikuwa vinazua maswali magumu miongoni mwa waumini wa makanisani na ya kifalsafa na kuibua maswali mengine mengi ya kimaadili yaliyoibuliwa na krusedi ya wa Albig(h)ensian na kuanzishwa kwa Mahakama ya Inquisition iliyohitajika ufafanuzi.

 

Ili kuliponya na kulinusuru Kanisa la Roma kutokana na mkanganyiko wake wa kifalsafa, Thomas Aquinas, akiwa ni mmoja wa wataalamu wa mapokeo ya kanisa, maarufu kama dogma, alilazimika kufanya kazi za Augustine na kuanzisha mfululizo wa mahakama nyingi za kidini. Majibu kuhusu hatua za wanaojiuliza maswali kuhusu Swali la 40 kuhusu Vita yalikuwa ya muhimu sana ili kuhalalisha Nadharia hii ya Vita vya Haki kwa Wakristo wa mrengo wa Athanasias na hatimaye kwenye ulimwengu wa wote wa kimagharibi.

 

Vipengele vya Aquinas kuhusu mahakama hii ni:

1. Je, ni vita kama vilevile ndivyo vilivyoruhusiwa?

2. Je, watu wenye msimamo mkali ndiyo waliojiunga kwenye vita hivyo?

3. Je, wapiganaji au wachokozi wente hila?

4. Je, vita hivyo vinaweza kulipiwa siku za sikukuu?

 

Kwa kukijibu kipengele cha kwanza, Aquinas anaonyesha waziwazi lakini si kwa weledi mkubwa kwamba mara zote imekuwa ni dhambi kuilipia vita kwa makundi yanayofuatia:

 

a. Inakuwa imekatazwa na Mungu kwa hukumu iliyoainishwa, kwa kuwa wote wanaoishi kwa upanga watakufa kwa upanga.

 

b. kinaendana kinyume na maagizo matakatifu ya Maandiko Matakatifu. Mfano anaoutumia Aquinas ni kutoka kwenye Mathayo 5:39 ambapo Kristo ameiondoa kwa fundisho la jicho kwa jicho, kwa kusema:

Lakini mimi nawaambia, Msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kuume, mgeuzie na la pili, nk.

Hii pia inaainishwa na Mtume Paulo kwenye waraka wake kwa Wakorintho (kwenye 2Wakorintho 11:20).

Maana mwachukuliana na mtu akiwatia utumwani, akiwameza, akiwateka nyara, akijikuza, akiwapiga usoni. (ingawa yeye mwenyewe alikuwa mdhaifu sana kwenye holo).

Kipengele hiki kiliwekwa baada ya ukweli wa kwamba Shetani anajigeuza na kuwa kama malaika wa nuru na watumishi wake pia hujigeuza na kuonekana kama watumishi wa haki na utakatifu (aya za 12-15). Andiko hili linafanana au kuendana sana na suala hilo lote zima la vita vya haki na kurekebisha au kusahihisha mambo ya uwongo na upotofu.

 

2Wakorintho 11:12-21  Lakini nifanyalo nitalifanya, ili niwapinge hao watafutao nafasi wasipate nafasi; ili kwamba katika neno hilo wajisifialo waonekane kuwa kama sisi. 13 Maana watu kama hao ni mitume wa uongo, watendao kazi kwa hila, wanaojigeuza wawe mfano wa mitume wa Kristo. 14 Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru. 15 Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakijigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao. 16 Nasema tena, mtu asidhani ya kuwa mimi ni mpumbavu; lakini mjaponidhania hivi, mnikubali kama mpumbavu; ili mimi nami nipate kujisifu ngaa kidogo. 17 Ninenalo silineni agizo la Bwana, bali kama kwa upumbavu, katika ujasiri huu wa kujisifu. 18 Kwa sababu wengi wanajisifu kwa jinsi ya mwili, mimi nami nitajisifu. 19 Ninyi, kwa kuwa mna akili, mnachukuliana na wajinga kwa furaha. 20 Maana mwachukuliana na mtu akiwatia utumwani, akiwameza, akiwateka nyara, akijikuza, akiwapiga usoni. 21 Nanena kwa jinsi ya kujidhili kana kwamba sisi tulikuwa dhaifu. Walakini, akiwa mtu anao ujasiri kwa lo lote, (nanena kipuuzi), mimi nami ninao ujasiri.

 

Tena kwenye Warumi 12:19

Wapenzi, msijilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu; maana imeandikwa, Kisasi ni juu yangu mimi; mimi nitalipa, anena Bwana.

 

c. Chochote kilicho kinyume na haki au uadilifu ni dhambi. Na kwa kuwa vita inaendana kinyume na amani basi wakati wote itakuwa dhambi.

 

d. Kwenye kipengele cha nne, Aquinas anaweka taswira ya kanisa la siku hizi, ambapo linaondoa au kutangua mashindano ya vita na kukana madhara yanayotokana na mazishi ya kikanisa. Mara nyingi kama matendo ya vita hayafai ndipo kitendo chenyewe kwa hiyo kinakuwa ni upotoe wa wazi sana.

 

Licha ya jambo hili kuwa wazi, Aquinas bado anaendelea kutofautisha hali hii na kutajwa kwa idadi ya falsafa zinazoanzisha na makosa ya kiutafsiri ya Augustine kuhusu andiko la Luka 3:14 inayohusiana na ukweli wa kwamba Yohana hakuwaambia maaskari kushusha chini mikono yao bali ni kwamba wasimuudhi wala kufanya fujo mtu yeyote. Ni kama tulivyoona, hii ilikuwa ni kipindi cha Agano la Kale na Kristo aliweka maelekezo ya wazi sana ambayo Augustine aliyapuuza.

 

Majibu yake kwenye jambo hili yanatuama kwenye ukweli wa kwamba mamlaka za utawala wa kidunia yaliyoruhusiwa na Mungu yanapaswa yaheshimiwe kwa kuwa hayanabebi upanga bure yakiwa kama watumishi wa Mungu kwa kuwahukumu na kuwapatiliza watendao maovu. Wakati kwamba akatalwaye na mtu fulani, au vikundi vya Kikristo wanaweza kuchukua mahala pa mamlaka ya kidunia kwa kutumia silaha.

 

Kukwazo cha jambo hili ni kwamba maelezo na fafanuzi za Kristo kwenye Yohana 18:36 kwamba ufalme wake haukuwa wa dunia hii kunakinzana kwa wazi na tafsiri hii ya kina Aquinas na Augustine. Ili kuendana sawa na lengo hili ilikuwa ni lazima kwa Gregory na kanisa kuutangaza Ufalme wa Mungu hapa duniani kwa maana au mwonekano wa Kanisa Katoliki na Kidola, na kwamba cheo cha upapa kiwe ni Mwakilishi wa Kristo.

 

Malumbano au hoja hizi ni hazina maana kwa sababu au maana zifuatazo;

 

Kwanza kabisa, Danieli 2:44 inaonyesha kuwa katika siku za mwisho za wafalme kumi, Mungu wa Mbinguni atausimamsha Ufalme ambao hautaangamizwa. Utazivunja vipande vipande falme hizo zote, na kuzikomesha. Maana hapa ni kwamba hadhi ya utawala wake hataachiwa mtu yeyote. Jiwe litajwalo hapa ni Kristo na falme hizi zote zinazotajwa hapa zitakomeshelewa mbali kwa ukomo wa milele. Ukweli wa kwamba kuna idadi kubwa na kadhaa ya maonyo kwa mataifa yanayoendelea yanayosaidia ushindi wa hoja za Warumi.

 

Pili, maelezo yaliyo kwenye kitabu cha Ufunuo yanaonyesha miaka 1,000 ambayo Roma inajaribu kulinganisha nayo na Aquinas bila shaka anakubaliana kuwa iliishia mnamo mwaka 1590 pamoja na hukumu na ufufuo wa wafu. Ni kama tujuavyo, mwaka 1590 ilifika na kupita zake pasipo kutokea kwa tukio kama hilo na ndani yake kukawa na malumbano. Kitabu cha Ufunuo kilibidi kipangilia upya na kitafsiwe tena ili kukifanya kiendane na mafundisho ya nadharia ya Kikatoliki kama ilivyo kwenye Danieli sura za 2 na 11, maandiko ambayo yamepingwa na kukataliwa sana. Majibu ya Aquinas kwenye hoja ya kwanza kwa hiyo hayaendani na ukweli kwenye Ukristo na mahitaji yake matatu ni mabahatisho ya kifalsafa tupu yaendanayo ya tabia na asili ya dalili za kidunia ya mahafidhina wakengeufu.

 

Hoja zake tatu za muhimu za kuandaa Vita ya Haki ni:

 

1. Mamlaka ya nchi huru kwenye maamrisho hayo ya vita yanalipiwa (kwenye mamlaka ya baraza na kutangaza vita itokanayo na mamlaka hizo kuu).

 

2. Sababu ya haki inahitajika. Kutokana na Augustine inaelezwa kama kitu kinacholipia visasi vya upvu, iwe ni kwa kuzihukumu nchi zilizokataa kurekebisha mpangilio uliofanywa na kasomo au kureiesha kile kile kilichotwaliwa kinyume na sheria.

 

Hoja hii haiendani kabisa na nia njema ya maelezo ya Kristo kwenye Mathayo 5:38-42 ambapo mtu yampasa ashangae ukanganyiko wa Aquinas kwa kisema kwake hivi.

Mathayo 5:38-42 Mmesikia kwamba imenenwa, Jicho kwa jicho, na jino kwa jino; 39 Lakini mimi nawaambia, Msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kuume, mgeuzie na la pili. 40 Na mtu atakaye kukushitaki na kuitwaa kanzu yako, mwachie na joho pia. 41 Na mtu atakayekulazimisha mwendo wa maili moja, nenda naye mbili. 42 Akuombaye, mpe; naye atakaye kukopa kwako, usimpe kisogo.

 

Sambamba na uiingizaji kwenye vita ili kujivisha tena au kujiosha na uovu kunapelekea kudhibiti zaidi ya ukubwa na asili au tabia ya vita au kwamba kuchukua mateka ya mali ni kitu kinachoonekana kuwa ni kikubwa zaidi kuliko vile ilivyotathminiwa kuwa vilipotea kwenye vita. Historia imeonyesha kiwango hiki kuwa ni makosa makubwa sana ni kama kwa kweli ilivyoonyeshwa sana kuwa ilikuwa ni wakati Aquinas alipoandika. Lengo lake liliuwa ni kuhalalisha (sambamba na kipengele cha tatu) mwenendo wa vita vya krusedi vya ndani na vya nje.

 

3. Lengo sahihi. Washiriki yawapasa wakududie kuenekeza mambo mema na kujiepusha na uovu. Aquinas anaitaja tena hoja ya Augustine kwamba

Miongoni mwa wamuabuduo wa kweli Mungu, vita hivyo vinaonekana kuwa ni kama uwekaji amani ambao umelipiwa ama kutokana nakujitwalia wala kiukatili, lakini ni kwa lengo la kulinda amani, au kuzuia uovu au kusaidia wema.

 

Aquinas anaruhusu kwamba vita inaweza kuwa na masharti mawili ya kwanza na lakini inaweza kuwa mbaya kwa sababu ya kupotosha lengo na nia yenewe. Mtazamo wa Augustine wa kusudio na maandalizi yake yanatumika kama udhuru wa kundi hili na hivyo kwamba mtazamo wa Jus wa huko Bello kwa pamoja sana ulichukuliwa au ulichukuliwa kwa uweza unaweza kuwa ni kigezo cha Jus ad Bellum.

 

Hoja za Augustine ni kwamba kuchukua upanga kunamaanisha kujidhuru mwenyewe au kumwaga damu bila ya kuamriwa au kuruhusiwa na maafisa wa ngazi za juu au na mamlaka iliyowekwa kisheria. Aquinas anapinga wazo hili kwamba kutumiwa kwa upanga na mamlaka yaliyo juu, au mtumishi wa umma mwenye juhudi ya kutafuta haki ni kwa mamlaka, kwa hiyo ni kusema ya Mungu na kwa hiyo kwa ajili ya hukumu.

 

Ukweli wa mambo wa kwamba hata wale wanaoutumia kwa kutenda dhambi sio ndiyo wanaouawa mara nyingi bali mara zote watakufa kwa upanga kwa kuwa watahukumiwa milele kwa matumizi yao ya kidhambi kama hawatatubu.

 

Hoja ya Aquinas hapa haina msingi wa kibiblia, na kwa kweli iko kinyume sana na Maandiko Matakatifu na kwa hakika ni matokeo ya mtazamo wa kidunia.

 

Makala ya pili ya Aquinas ya Nasaha ni kwamba iwapo kama ni vyema kwa wahafidhina na maaskofu kupigana.

 

Kwa kushughulikia hoja anaitumia mamlaka ya Gregory (Hom in Ev XIV) na yale ya Leo IV aliyewaamuru wahafidhina wakutane na Wasaracens. Naye anaweka uwanja mkubwa sana pia kwenye nadharia ya kusamehe na kutohesabia hatia maovu wakati anapoanzisha lengo la 3 kwamba kwa mujibu wa Warumi 1:32, inasema: ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao. Wale, juu ya yote wanaoonekana kubobea kwenye kit uni wale ambao wana washurutisha wengine wafanye hivyo. Ni kama Adrian alivyomshurutisha Charles kwenda vitani pamoja na Lombards kwa utangulizi huu, wanaruhusiwa pia kupigana. Ingeonekana hapa kwamba Aquinas anapinga kwamba kuwashurutisha wengine sio tu kwamba ni kutowachukulia hatua au kuwasamehe bali pia ni kukubali au ukiri wa ushiriki kwa mwendelezo mpana. Kwa kweli, hiki ndicho kinachotakiwa kupunguzwa kutoka kwenye hii.

 

Kwenye kipengele cha 4 Aquinas anapuuzia wazo la kuifanya vita ya krusedi au Vita Takatifu kuwa ni kizuizi cha maandiko ya wazee au maaskofu wa zamani lakini hapohapo anamnukuu Kristo kwenye Mathayo 26:52 pamoja na Petro kwa Rudisha upanga wako mahali pake (tafsiri ya the Vulgate inasema mahala pake ingawaje neno alani linatokea kwenye Yohana 18:11).

 

Ni kwa muono hu ndipo Aquinas alianzisha wazo la wapiganaji wasio na kombati rasrmi za kijeshi kwa muono wa umuhimu wa kazi. Vita haikuruhusiwa na wahafidhina kwa maana ya kwamba ilikuwa na asili ya kidunia (kutokana na 2Timotheo 2:14 mbapo Aquinas alifafanua maana ya maelezo ya Mtume Paulo). Lienekeza maamrisho zaidi akisema kwamba umwagaji wa damu lisiwe ni jambo la kawaida na kwa hiyo, wahafidhina au wanadini wangeonekana kutofaa kwa kazi zao muhimu za vita ilipelekea uwagaji wa damu. Kwa sababu hizi, yeyote aliyeitwa kwenye imani, huduma au sio, ilimlazimu kutojumuishwa, ila Aquinas halizungumzii jambo hili.

 

Kueleza kwamba jamii ya Maaskofu hatimaye wanaachwa kujumuishwa na kwa maana ya kwamba silaha walizonazo ni za kiroho kama ilivyosemwa na Mtume Paulo kwenye 2Wakorintho 10:4 Maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu. Kwa uhafidhina wa uwezo wa Aquinas wa kupinga kwamba wahafidhina wanaachwa kujumuishwa kwenye masuala ya kijamii kwa andiko hili na kupinga mahala pengine kwamba walei wanaruhusiwa kujishirikisha au kushiriki vita ni upuuzi. Aya iliyopita inasema Maana ingawa tunaenenda katika mwili, hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili. Aya ya 4 ilipunguzwa pia na Aquinas na anajumuisha usemi wa rudicha kwenye ala upanga wako.

2Wakorintho 10:4 maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha ngome.

 

Pia Aquinas anapingana na maelezo ya Yoshua 6:4 kwamba wahafidhina wanaruhusiwa kujiunga na kuungana na majeshi vitani lakini siyo kujijumuisha. Pia anadai kwamba ni wajibu wa wahafidhina kuwashawishi na kuwashauri watu wengine kujiunga kwenye Vita vya Haki lakini wamekatazwa kubeba silaha, siyo kwamba ilikuwa ni dhambi bali kwa kuwa kitendo cha kuteka maeneo na kuyakalia kwa nguvu si jambo lililokuwa ni tabia na desturi yao.

 

Pia anadai kwamba ingawa si vizuri kulipia Vita vya Haki inaonekana na kuchukuliwa kuwa ni kitu cha haramu na kisichofaa kwa wahafidhina kwa sababu hizohizo kama ndoa inavyofanyika kuwa muhimu kwa wale wenye kiapo cha ubikira.

 

Wakati ikiwa ni ya kuchokesha, mifano iliyonukuliwa hapo juu haina maana kwa kufikia kwenye kiwango cha suala la kiakili linalohitajika kuainisha migogoro yote mizima inayoibuka kutoka kwenye mitazamo iliyochukuliwa na kanisa kati ya karne ya nne na ya kumi na tatu. Mitazamo kama hii zinasumbua mawazo ya mwanadamu na zimeharibu nia na misimamo yake karibia zaidi ya marekebisho.

 

Kitendo cha kutoa msamaha wa kutohesabiwa hatia kwa maafa yanayofanywa vitani na jukumu la watu wasioingia jeshini yanaonekana wazi kwa Aquinas. Kutokana na hoja hii, inaingia maanani sana kuamini kwamba wahafidhina wanapaswa kupigwa risasi mara moja ni kama suala la harakati kubwa za kijeshi kwa maana ya ukalifu mkubwa uliopingwa kuliko ushiriki. Mafundisho yake yanaruhusu kuwepo kwa mauaji ya kuangamiza yanayofanywa kwa kuwalenga wanaokusudiwa mmoja mmoja kutokana na hii na kufuatiwa na mitazamo ya wahafidhina wote wanaopinga suala hili la kuwepo kwa Vita vya Haki.

 

Makala ya tatu ya Aquinas inaonyesha wazi sana sababu inayopelekea vita kufanya hila na uwongo ulio kwenye mfano wake Kunakurupusha na kwamba jambo hili linakinzana moja kwa moja na sheria za kibiblia (kama vile Mathayo 7:12). Kwenye kile kinachoonekana kila mara kama kichekesho cha desturi ni kwamba wahafidhina hawa wanahalalisha unyeti kwenye kuifanyia kampeni, na siyo kwa maana ya kujikita moja kwa moja, lakini kwa mujibu wa Mathayo 7:6 inasema: Msiwape mbwa kilicho kitakatifu. Zaidi sana, inapingwa kwenye kitabu cha Augustine (QQ in Heptateuch, qu X super jos), akisema: kushauri au kudhania kwamba vita vya haki haihusiani na haki hata kama itachukuliwa kwa uwazi sana au kwa misukumo, linathibitika hili kwenye Yoshua 8:2.

Yoshua 8:2 nawe utautenda mji wa Ai na mfalme wake kama ulivyoutenda mji wa Yeriko na mfalme wake; lakini nyara zake na wanyama wake wa mji mtavitwaa kuwa mateka yenu wenyewe; huo mji uuwekee waoteaji upande wa nyuma.

 

Aquinas anaonyesha sababu iliyopelekea kuwepo kwa kanuni za mikanganyiko ya kimisukumo ya mwenendo mtafatifu na mzuri na ikiwa imepindukia lengo hili kwa mitizamo ya kuchokesha zaidi.

 

Kwa hiyo, sisi tunaendeleza kutoka kwa hili kwamba Nadharia ya Vita vya Haki hapo havina kikomo cha kudanganya au kufanya ropaganda. Aquinas anapinga, hata hivyo, kwamba kuna ukomo wa kudanganya. Kumdanganya adui kwa kutumia usemi wa uwongo au kwa kuvunja ahadi ni kuvunja haki ya vita na maagano au makubaliano ambayo yalipaswa kuhushimiwa. Hii imechukuliwa kutoka kwenye kitabu cha Ambrose (De Offic 1). Kushindwa kote kwa kuteda kazi kwa maono na mgogoro wa mawazo ya Aquinas ni wazi sana.

 

Aquinas anayapinga maandiko ya Kiapokrifa (1Wamakabayo sura ya 41) kwamba inaruhusiwa kupigana katika siku takatifu. Huenda hii ndiyo sababu makosa haya ya kiuandishi yamejumuishwa kwenye kanoni za Kikatoliki.

 

Yuko macho na muono wa Isaya kwenye andiko lake la 18:3 la kulinganisha na lile la kwanza, nk, katika siku za kufunga saumu lakini anakanganya haya na Sabato. Kwenye vipande visivyo vya kawaida sana mtu angejaribu kumfikiria kuwa anaweza, amehalalisha, kutokana na Yohana 7:23, kwamba kwa kuwa Kristo alimponya mtu siku ya Sabato basi kwa hiyo inaruhusiwa kwamba pia kila mmoja anaweza kuchana vipande vipande siku ya Sabato ili kulinda hali ya kawaida ya uaminifu kwa kuwa siyo kupigana kungalikoweza kumjaribu Mungu.

 

Mafundisho ya Kikatoliki yalifanyika kuwa yakutegemea kwenye uwianisho wa uhafidhina na kwenye Mtaguso wa Trent kile kilichojulikana kama Summa Theologica kilitukuzwa sambamba na maandiko au nyaraka za kipatristiki na Maamrisho kwenye usawa na Maandiko Matakatifu vikiwa kama nguzo kuu tatu za imani ya Kikatoliki (soma kitabu cha fasihi cha Catholic Encyclopedia makala ya St. Thomas).

 

Unam Sanctam

Kutoka kwenye maandiko haya, mikusanyiko ya Nadharia ya Vita vya Haki ilitokana na Tangazo la Amrisho la Unam Sanctam [kwa Kilatin – Yeye Aliye Mtakatifu (yaani Kanisa)]. Lilitolewa tarehe 18 Novemba 1302 wakati wa malumbano na Phillip Mtenda Haki yaliibuka kutoka kwenye Mtaguso wa Oktoba 1302 na lilishirikishwa kwenye kile kilichojulikana kama Corpus juris canonici na hivyo ilianzishwa kama kanoni halisi kisheria kwenye suala la mamlaka na nguvu za kijeshi.

 

Madai mengi ya kimapokeo au ya kidogma kuhusiana na umoja na umuhimu wa kuwa kwenye ushirika wa kanisa na nafasi ya Papa kama kiongozi mkuu asiyeweza kupingwa na wajibu wake viliibuka kutoka humo na utaratibu wa kumnyenyekea ili kuupata wokovu. Jambo hili linachukuliwa kuwa ni la kusisitiziwa umuhimu wake kwa kiasi kikubwa kiroho kwa uhusiano wake na mambo ya kidunia.

 

Kusudio kuu la kutolewa kwa Tangazo hili la Amrisho ni:

 

Kwanza, umoja wa kanisa na umuhimu wa kuwa kwenye ushirika wake kulikochukuliwa na rejea kwenye safina moja ya gharika na kuwa kwene vazi lisilotoboka na lisilo na doa la Kristo. Na kwa kuwa kuna umoja wa mwili kwa hiyo kuna umoja wa kiongozi ndani ya Papa akiwa kama halifa wa Petro, yaani, yeye asiyekuwa chini ya Papa na asiyemtii yeye basi atakuwa anapinga kuwa yeye ni kondoo wa Kristo. Fundisho hili linapingwa sana na liko kinyume kabisa na mafundisho ya Kanisa la Agano Jipya na imani yake kwa ujumla, amoja na unabii wa Agano Jipya, hususan kitabu cha Ufunuo sura za 2 na 3.

 

La pili, kanuni nne zifuatazo na hitimisho lake zinatuama kwenye Amrisho hili:

 

1. Chini ya udhibiti wa Kanisa kuna panga mbili, yaani, nguvu au mamlaka mbili ambazo zinaelezewa kuwahi kuwepo kwenye nadharia ya panga mbili, moja ya kiroho na nyingine ni ya kimwili. Hivi ndivyo ilivyoainishwa na rejea za kimapokeo kuhusu nadharia ya upanga ilivyojulikana na Mitume wakati wa kukamatwa kwake Kristo (Luka 22:38 & Mathayo 26:52).

Luka 22:38 Wakasema, Bwana, tazama, hapa pana panga mbili. Akawaambia, Basi.

 

Mathayo 26:52 Ndipo Yesu akamwambia, Rudisha upanga wako mahali pake, maana wote waushikao upanga, wataangamia kwa upanga.

 

2. Panga mbili zote zinachukuliwa kuwa ni nguvu ya kanisa, iliyotunzwa alani kiroho kwa mikono ya wazee au maaskofu na ule wa kidunia unaotumiwa na kanisa kwa mokono ya mamlaka ya kidunia lakini kwa maelekezo ya nguvu za kiroho (hii inajibu kiukamilifu sana andiko la Ufunuo 13:15).

Ufunuo 13:15 Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe.

 

3. Upanga mmoja yapasa uwe no mdogo kwa mwingine, mamlaka ya dunia yapasa ijiweke chini ya ile ya kiroho ambayo ina utangulizi kwa ajili ya ukubwa wake na uweza wake ikiwa pia na haki ya kulinda na kuanzisha mamlaka ya kidunia, ikiwa na mamlaka ya kuihukumu wakati inapokuwa inashindwa kuhukumu vyema. Mamlaka ya kidunia yamehukumiwa na mamlaka ya kiroho, ambayo kinyume chake inahukumiwa na mamlaka iliyo juu sana ya kiroho (yak papa) ambayo kinyume chake imekwishahukumiwa na Mungu. (Inaonekana kutokana na hii kwamba mamlaka ya Vita ya Haki ni upotoe mkubwa au ni madaraja ya kivyeo).

 

4. Mamlaka, ingawa yametolewa na yanafanyiwa kazi na mwanadamu, ni ya kimungu au matakatifu na amepewa Mtume Petro kwa agizo takatifu na amethibitishwanayo na kwa warithi wake. Yeyote anayeyapinga mamlaka haya yaliyotolewa na Mungu, basi anapingana na sheria za Mungu na, kama asemavyo Manichean (aliyeshikilia kuiamini teolojia ya kuwili), kuzikubali kanuni mbili. Na sasa kwa hiyo, tunatangaza, kusema, amuani na tangazeni kwamba kwa kila mwanadamu aliyeumbwa ni lazima kwa wokovu kuwa aitii mamlaka ya Papa wa Kanisa la Roma.

 

Kutokana na tangazo la pambizo la andiko la rekodi ya sentensi ya mwisho imeonekana kama tafsiri ya kweli ya Tangazo hili la Maamrisho. Declaratio quod subesse Romano Pontifici est omni humanœ creaturœ de necessitate salutis (tafsiri yake ni imesemwa hapa kwamba kwa wokovu ni lazima kwamba kila mtu au kila mwanadamu aliyeumbwa na aitii mamlaka ya Papa wa Roma).

Haya yamekuwa ni mafundisho ya mara kwa mara ya kanisa na yalitangazwa kwa nana hiyohiyo na baraza la Tano la kikumene la Lateran la mwaka 1516. ... Tangazo hili la Maamrisho pia limetangaza kuyatii mamlaka ya kidunia kwenye yale ya kiroho kama kwa yeye aliye kwenye mamlaka ya juu na anafanya hitimisho kwamba mwakilishi wa mamlaka ya kiroho anaweza kuwaheshimu waliyonayo wenye mamlaka ya kidunia na wanaotoa hukumu kuwahukumu viongozi ...

Hii ni kanuni ya muhimu sana, ambayo yametokana na maendeleo mazima yote kwenye kipindi cha Zama za mwanzo za Kati ya kipindi cha zama kati za mamlaka au utawala wa kipapa kwenye familia ya kitaifa ya Kikristo ya Magharibi mwa Ulaya. Imekuwa ikielezewa tangu kwenye karne ya kumi na moja na wanateolojia kama akina Bernard wa Clairvaux na John wa Salisbury, na kwa mapaa wengine kama akina Nicholas II na Leo IX. Boniface VIII aliielezea kwa kina sana kwa kukandamiza waliokuwa wakipinga utaratibu na mchakato wa Mfalme wa Ufaransa. Ushauri mkubwa umechorwa kwenye maandiko ya Mtakatifu Bernard, Hugo wa St Victor, St Thomas Aquinas na nyaraka za Innocent III.

 

Tangazo la Maamrisho na nafasi ya Kikanoni iliyochukuliwa kwenye mazingira au hali halisi ya kipindi cha zama kati ya Ulaya Magharibi (Catholic Encyclopaedia (1912), article Unam Sanctam, pp. 126-127).

 

Na kwa hiyo ilionyeshwa kuchokesha sana kutoka hapo juu kwamba wazo la kuwa na Vita ya Haki ni fundisho la Kanisa Katoliki la Roma na inahusiana na kuhalalisha kwa ushindi wake wa nje na kuenea kwake na mateso yake yalitosababishwa nayo ya ndani kwa ndani.

 

Tangua mwaka 590 hadi 1850, kwa miaka 1260, mamlaka hii ilijaribu kufanikisha mkakati wake wa kuitawala na kuithibiti dunia kwa kutumia mbinu zozote kama zilivyoelezewa, kwa kutumia mamlaka yote mawili, yaani, ya kidunia na ya kiteolojia, wakiruhusu kila kitu cha kisheria na kijamii, wakitumia mamlaka yote kamili na kuithibiti au kuiongoza. Kwa hofu na vizuizi, walihalalisha kwa uyakinifu wa kifilosofia na kibiblia, ikafanyika kuwa mwanamke kahaba aliyejikita na kuzamia kwa wachache wake waundani na kulewa damu ya watakatifu na mashahidi wafia dini au imani (Ufunuo 17:6).

 

Wakati wa Matengenezo ya karne ya kumi na saba wanamatengenezo walitaka kurudisha mwenendo wake wa kimaadili na huku ikimtaja au kumtangaza au kuendana na mamlaka ya papa na ikajikuta yenyewe ikiwa kwenye mkanganyiko mkubwa wa kifilosofia na wa kihistoria.

 

Kwenye kuihusianisha Nadharia ya Vita vya Haki, pasipo mamlaka ya Roma, fundisho la kinachojulikana kama Status quo haina maana yoyote. Kwa hakika, ni wazi sana kabisa kushmbulia sambamba na mstari maridhawa wa kitabu cha Stalin (kisemacho: How many divisions has the Pope? Yaani, Kuna majimbo mangapi aliyonayo Papa?) na kile cha Napoleon (cha God is on the side of the big battalions; yaani: Mungu yuko upenda wa bataliani kubwakubwa). Fundisho hili linaendelea kudumu tu kwa kadiri ambayo mataifa yanapoyatambua na kujizuia yenyewe kutoka kwayo.

 

Kwa sababu ya tatizo hili mtambuka ambalo mataifa na viongozi wamelitafuta jinsi ya kuiunganisha au kuijumuisha Roma kwenye mamlaka ya mamlaka ya kdunia ulimwenguni na vuguvugu lililopo hivi saaa kwakuwa Serikali ya Dunia inakusanya hamasa ilinayosaidiwa na Ulaya ya Kati ambayo mataifa yake yanaona na kuushuhudia uamsho au kuinuka upya kwa kile kilichojulikana hapo zamani kama Dola Takatifu ya Rumi yenye udhibiti wa ulimwengu wa Wazungu wa Ulaya. Muunganiko huu mpya ujulikanao kama Muungano wa Kimadola wa Ulaya ilipangwa na kukususudiwa iunganishwe pamoja na kuanza harakati zake rasmi mnamo mwaka 1992 na iwe ni dola au jumuia kamili inayotenda kazi zake. Mnamo mwaka 1990 kulishuhudiwa usaliti ikifanywa na iliyokuwa ikijulikana kama Umoja wa Kujihami wa Kambi ya Mashariki iliyojulikana kama Warsaw Pact.

 

Uingereza ilipitisha Muswada wa kufanikisha mkakati wa Kuanzishwa kwa Ulaya Moja wa mwaka 1986 na ikakomesha mamlaka ya Bunge la Ulaya ianze kuondoleambali kitendo cha kuupigavita ufalme na mamlaka ya kamili ya nchi ya Uingereza na watu wake (habari hizi kwa kina zipo kwenye kitabu cha T. C Hartley, Foundation of European Community Law, Oxford, 1981 (yaani cha Kuanzishwa kwa Sheria ya Jumuia ya Ulaya ya Oxford, mwaka 1981) na kuonyesha muendelezo wake uliofanywa kwenye show the development from the Treaty of Rome leadingMkataba wa Mapatano au Makubaliano ya Roma ambayo kupangiliwa kwake upya kwa kiundani wa ksiasa kunaweza kuwezekana tu kisheria kwa kurithisha kutoka Ulaya ambavyo kwa yenyewe tu inaweza kutangazwa kisheria na Ulaya ingeihalalisha mashambulizi kwa visingizio vya kwamba ni Vita vya Haki kama tulivyoeleza hapo juu.

 

Chini ya mafundisho yaliyoanzishwa na sheria ya kanoni, amani ya dunia haiwezekani kama Ulaya na Roma haitapata uthibiti kamili wa kuitawala dunia ikitamakali mamlaka kamili ya kuongoza kanisa na mamlaka. Historia imeonyesha kutilia maanani Ulaya iliyofanikiwa na Roma itafanya kazi ili kugundua lengo hili. hivyo, kihistoria, Nadharia ya Vita vya Haki inaweza kuonekana tu kama kifaa au silaha ya kujihalalishia kwa Wakristo wa Ulaya wa mrengo wa Kiathanasian kwa kupenda kwao kujihusisha kwenye tamaa ya kujumuisha pamoja dini na siasa. Fundisho hili linaendana sawa na mafundisho ya sasa ya Hadithi za Kiislamu na kwenye fikra za Kimaxisti na Uleninisti. Majaribio ya sasa ya kuyaenekeza mno fikra za Kimaxisti kwenye Teolojia ya Kirumi huko Amerika ya Kusini kunaonekana kama ni nje ya kuondosha kwa vikundi hivi viwili. Vuguvugu la kidini la kizazi kipya ni upande mwingine wa almalgamu ya kisinkretiki kwa mamlaka ya dunia na kwa hiyo ilianzisha miuundo ya kimamlaka, inayohalalisha hali ilivyo.

 

Kitabu cha Ufunuo kinaonyesha kwa lugha ya picha na mafumbo, jinsi mkururu huu wa kihistoria inakuja kupita. Inaonyesha mkururu wa chanzo na matokeo ukianza kwa mpanda farasi wa kwanza aliyeonyeshwa kwa lugha ya Kimafumbo au ya Kipicha: ambayo ni dini ya uwongo, ambayo inajinyooshea yenyewe kwa uta au upinde na ikitafuta jinsi ya kushinda na kupangilia mnyororo wa matukio na ambao yamedumu kwa kipindi cha zaidi ya miaka 1,400 na hasahasa kupelekea hatimayake kuanzishwa kwa serikali moja ya dunia, ambayo itapewa mamlaka kamili, yatakayowatesa wale walio kwenye mamlaka yake, nasiokubaliana nayo, hadi itakapoondolewa au kupinduliwa wakati atakaporudi Kristo. Wanafalsafa, kwa kweli, wanayaacha mambo ya kidini ya kimabishano na kupenda kufanya mambo yabishaniwayo kwenye kustahili na kisha kushindwa kufikia upeo wa malengo yake na vigezo vyake.

 

Nadharia ya Vita vya Haki inafuatia kwa ukaribu sana mitazamo iliyowekwa na wanateolojia wa Kikatoliki. Mazingira yaliyopo ni kwamba:

1. Mamlaka Sahihi

2.Sababu ya Haki

3. Nia na Lengo la Haki

4. Lengo lenye amani

5. Mazingira waridhawa,

a. Uzuri unaofikiwa unaofikiwa unapasa upimwe madhara yanayofanywa

b. Hupaswi kutumia maana tata ili kufanikisha kuhitimisha mwisho wako

6. Uwezekano wa mafanikio.

 

Mazingira ya kiuwiano yaliongezeka kutoepukika kwa masuala ya kiuadui kama yanavyoongezeka. Mapokeo ya Vita Vitakatifu yawezekana kabisa kuwa yanapingwa kwenye mjumuisho wa Nadharia ya Vita vya Haki lakini ni kama ilivyoonyeshwa kuhusu Nadharia hii ya Vita vya Haki ilivyoendelezwa kama ni kuhalalisha Vita vya Haki iliendelezwa kama ni uhalalisho wa Vita Vitakatifu na mateso ya kidini.

 

Wanafalsafa wa Kiprotestanti wapo kwenye mkanganyiko mkubwa sana. Kwa kupewa kwao upotoe kuhusu tabia ya kibaguaji ya kibiblia inayotuama kwenye Nadharia hii ya Vita vya Haki iliyotungwa na kuanikizwa na kanisa la Roma, wanajikuta wakiachwa na uwezekano au fursa chache. Fursa zenyewe kiukubwa ni zile za kipasifiki au ukengeuzaji huohuo au ubaguaji. Ningi zimebagua.

 

Wakati vita ilipokuwa inakaribia kutostaarabika, hii ilikuwa kwa yenyewe tu kuwa kwa kiasi fulani haina madhara. Hata hivyo, mwendelezo au kuendelea kwa vita kwa awamu zake za sasa tangu mwaka 1860 pamoja na Vita ya Wenyewe kwa Wenyewe ya Wamarekani hadi kwenye vita vya karne ya ishirini vimeoyesha upuuzi mkubwa wa ukomo wa Nadharia hii ya Vita vya Haki. Kutokana na Clauswitz, tumeona vita hivi vya kisasa vikielezewa kwa maneno, yanayoonyesha dalili yake kwenye utimilifu na ukamilifu wote na kiasi kikubwa cha uharibifu. Kama ni kitendo cha uchokozi kilichosukumwa kilichofungamanishwa, ndipo hatimaye ipewe nafasi ya kuangamiza ulimwengu kama tunavyojua, kwamba vita ni lazima ionekane kama ni kitendo cha ukosefu wa hekima au busara kwa aina yote nzima ambapo mwanadamu na maisha yake yote yaliweza kuharibiwa au kangamia.

 

Vikomo vilivyoko siku hizi vimewekwa juu yake ni, aina au mtindo wa juu sana wa kubahatisha. Kimaadili inaonekana ni kama kutokuwa na wenye mahusiano a kimataifa ikiwa ni ulaji wa inyumbani. Kwa kweli hamasa inaonekana kuwa ni kama hatari sana kwenye mitizamo hii na maslahi ya nchi inaonekana kuwa ni kama jambo linalotiliwa maanani sana kimaadili. Ni kwa sababu hii ni kwamba mamlaka na nguvu zote mbili, yaani ya kibilia na ya kidunia yanaonekana kujumuisha serikali ya dunia. Hoja za kibiblia ziondolea mbali au zinatangua wakati atakaporudi Kristo. Viongozi wengine wa siasa kuunga mkono  serikali ya dunia. Kudhania kwamba serikali itapigana vita kubwa kunachukuliwa kama kweli na gharama inayoukumba uhuru wa kila mtu peke yake unapuuzwa. Matokeo yake ya mwisho ni maangamizo makubwa sana.

 

Kwenye mabadiliko ya taratibu ya vita kama silaha ya kisiasa tumeona kukomesshwa taratibu kwa utiliaji maanani au mwamko wa heshima na hisia au hamasiko. Kwa kiasi fulani hamasa hizi maranyingi zimekuwa zikitolewa kafara juu ya madhabahu kwa ufanisi, kivitendo na kwa ufanisi. Ufanisi wa matendo ni wa muhimu na kwa utofauti wa fundisho la mwisho kuna halalisha maana ya dharura.

 

Kutokana na hamasa hizi, mtazamo wa kuelekea utimilifu au uhakika marazote kunaondoa michoro an mwelekeo unaoshikamanisha au ukomo uliowekwa juu yake. Muono wake kwenye utimilifu kutaoinyesha na kuifanya iwe tegemezi wa kuwa nje ya uthibiti na kwa hiyo kuyageuza malengo yake ya kisiasa.

 

Vita yenye ukomo inawezekana tu wakati upande mmoja ukiwa unetishiwa na kushindwa kukubwa na kuna umuhimu au ubora kwenye silaha kwa kiasi cha kuthibi hatima yake. Wakati mataifa mawili yanapofungiwa pamoja na kisawasawa kwenye vita, yanahitimika tu kwa teknolojia yao na mengine yanakubaliana na kusimamishwa kwao kwenye kuonekana kwake kama kile kinachojulikana kama Jus in Bello. Kuhusu suala la vita vya kutumia silaha za kemikali ni mfano wake mmojawapo, ingawaje vita vya Mashariki ya Kati vinaonyesha kwamba mwanzoni kabisa mawazo yaliyochukuliwa kuhusu hamasa hizi ni mambo yanayodhaniwa tu.

 

Vita vina kile kinachoonekana kuwa ni matokeo ya mwisho na kilamara itafikia kwenye hali mbaya. Sababu zake zitachimbuliwa kwa undani kwenye maana yenye makosa makubwa ya dini au mtazamo wa kifilosofia, ambao unahalalisha kitenco cha kuua au kuidhulumu uhai wa mtu na ulazimisho wa imani ya kidini au kinadharia la kuua mtu aliye na hatia na wala asiyefanya fujo au vikundi vidogovidogo. Wakristo wahafidhina watapinga kwamba hairuhusiwi kupigana hata kwa madhumuni ya kulilinda taifa la mtu na uhai na wanafalsafa wengine wanafikia kudai kwamba harakati zilizopangwa ili kujilinda ndizo pekee zinazoruhusiwa kwenye harakati hizi za Nadharia ya Vita vya Haki. Kwa hiyo inaonekana hata hiyo ni kosa na uwongo.

 

Kitendo kisicho cha fujo kinaonekana kutenda kazi yake pale tu ambapo nguvu za utawala zinajumuishwa na miakati, ambayo inapelekea kwenye mafanikio. Kwa habari ya India, kwa utaratibu halali uliohalalisha ushiriki aina fulani ya mtandao wa halali kwenye utendaji kazi wake. Inatia mashaka makubwa sana kama Ghandi angeweza kufanikiwa zaidi dhidi ya Hitler kwa mfano.

 

Ni sawasawa tu, haiwezi kupigwa kwamba mitizamo ya Jus in Bello haituami kwenye uwanja mwingine uwao wote kuliko ule ambao washiriki wanakubali kuwa ni kiwango kinachchokubalika cha mwenendo wa wakati ule. Hata hivyo, hakuna viwango kamilifu kwayo. Kwa kweli, kumfanya mtu ajiondoe kwenye vita, ustawi wa siku hizi unadai mazingira kama hayo yanafanyika na inawezekana kabisa kulazimishwa kwa njia tu ya silaha bora.

 

Nadharia ya Vita vya Haki sasa haikubalii kama ilivyokuwa wakati wahafidhina wa Kirumi walivyoianzisha ili kuhalalisha tamaa isiyongojea hata kufikia ufungaji wa ndoa kwa kuitawala dunia, mamlaka na utajiri. Uanachama wa bodi au shirika la kidunia si wa lazima kabisa kwa ajili ya wokovu. Fundisho lile lisemalo kwamba Kanisa ni shirika au ni mfumo wa kimwili na unaoonekana au shirika ambalo uanachama au ushirika wake ni muhimu kwa kuupata wokovu, ni mafundisho ya kizushi kabisa. Huo unakuwa ni uzushi mkubwa zaidi hasa kwa ale kanisa hilo linapokuwa linahubiri mambo yaliyo kinyume sana na Sheria za Mungu. Kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu (1Wakorintho 11:3). Wateule wake Kristo watamfuata kokote aendako. Wale 144,000 wanamfuata kutokana na kutiwa kwao mhuri. Hawajatiwa unajisi na mfumo wa imani ya kanisa. Wanatembea na Kristo, nguzo ya Moto na Winguu (soma kwenye Ufunuo 14:1-5).

 

Mpanda farasi wa kwanza aliye kwenye kitabu cha Ufunuo au Apokalipse, ambaye anawakilisha dini ya uwongo, alitolewa kutoka kwenye Mabaraza ya Kanisa la kwanza. Lilianzishwa na kupangilia kwa mwendelezo wa mpanga farasi wa pili wa vita. Wakati miaka 1,260 ilipotimilika, imani ya dini ya uwongo iliimiliki na kuitawala dunia. Iliigawanya kwenye makambi ya kijeshi na kuanzisha mifumo ya kijeshi ambayo yalifanya kuwepo kwa milolono ya matukio ya kimapinduzi na ustawi wa kivita. Kilichofuatia sambamba na teknolojia ya kivita ni kwamba kuzuka kwa ii wa kisasa. Kuanzishwa kwa Vita ya Wenyewe kwa Wenyewe ya Wamarekani, vita vingine vya kwanza na vya kisasa, iliendelea kwenye vita vingine vya karne ya ishirini. Kilichofuatia sambamba na teknolojia hii ya vita ni kwamba uroho wa mali na utajiri ulioibuka kwenye miradi ya viwanda vya kutengeneza silaha. Mpanda farasi wa tatu na wa nne wanafunguliwa na wanafuata kutoka kwa wale wawili wa kwanza. Hebu na uombe kwa bidii “Ufalme wako na uje”.

q