Makanisa
ya Kikristo ya Mungu
[CB49]
(Edition 2.0 20050709-20061126)
Balaki ali ona vitendo viote ambayo wan Israeli waliwafanyia wana Amoreti na Moabu ali kwa na shaka. Kwa hivyo Balakia ambaye alikuwa Mfalme wa Moabu wakati wuo ,alituma ujumbewa kumita Balaamu .Hiki kiji karatasi kime tolewa katika ufungo 46 na 47 kutoka kwa adithi ya bibilia shura wa II na Basil Wolverton,na kuchapishwa na Ambassada College press covers nambari 22 mpaka 25 toka kwa bibilia .
Christian Churches of God
PO Box 369,
WODEN ACT 2606, AUSTRALIA
Email: secretary@ccg.org
(Copyright ã 2005, 2006 Christian Churches of God, ed. Wade Cox)
(Tr. 2008)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama
yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji
na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna
malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo
pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha
lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia yanapatikana
Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org
and http://www.ccg.org
Balaamu
Mpango
wa Moabu kwa wana Israeli
Kwa hivyo habari ya kitendo kilicho tendeka kili sambaza kwa inchi jirani viongozi wa hizi nchi wali tetemeshwa kwa kusikia wanajeshi wa nguvu walijitokeza kusini mwa nchi. Kuwa baadhi ya aliyekuwa na saka ni Balaki, mfalme wa moabu. Alikumbuka, wakati Israeli wali pitakwa araka katika kusini mwampaka, hawa watu walipitia amri jesi kuu.
Kukaribia ardhi ya kale wa Mesopotamia, juu wa bonde ya Euphrati, kuliashi mnabii kwa jina Balaamu. Huyu Mtu alijulikana maali kwingi kama mtu ambayo ana vipaji wa kipekee wa unabii alikuwa ana weza kusema makuu za Baraka na laana kwa watu.
Balaki
ka Amri Balaamu
Balaki alisikia kuwa Balaamu ana nguvu, kutoka kwa Mungu, ya kubariki watu na ya kulaani. Nguvu kama icho, alifikiri, ina weza kwa kuu kuliko ya Mrogi au mng’ang’a ambaye ana fanya kwa mapepo na vyitu ambayvo vime changanywa.
“Kama huyo Balaamu ana weza kuajiriwa kutamuka laana katika nchi ya Israeli,’’Balaki aka ambia mafisa,’’ Wale ambao wanapitia wenzao tuna weza hata kuwa fanya kwa viwete au vilema ili tuweze kwa fukuza au kwa haribu. Lazima tufanye juhudi ya kuweka hawa wa Israeli mbali ,badaaye nina taka Balaamu aletwe hapa.’’
Mfalme saa hizo haka tume baadhi ya wana wa kiumme kaskashini wa Midiani, pahali wali unganishua na wana wa Midiani.Mzafara huka Anza ku helekea magaribi mwa mji kuu wa Pethori pahali Balaamu ali ishi, kuchukua nao malipo ununuzi. Halafu waka mwambia Balaamu kile Balaki ali sema.
“Watu waka toka nchi ya Misiri; waka jazaa Ardhi na kukaa karibu na mimi. Sasa kuja na uweke laana juu yao, Zababu wako na nguvu kuni shinda. Ndipo ni weze kuwa shinda alafu niwatoe katika nchi. Zababu najua wale ambao umewabariki wame barikiwa na wale ambao ume walaani wame laaniwa’’ (Nambari 22:1-7).
Balaki alijua yale aliyo sema zio kweli Mungu ali wakataza Israeli wazi pigane na Moabu {Kumbu kumbu la Torati 2:5,9,19. Balaki alikuwa na wivu kwa Israeli kwazabau Mungu ali wabariki watu wa Moabu na kuwaacha. Halafu watu wa Moabu wali mwabudu miungu sasa hawaku onekana wazuri mbeli ya Mungu Moja ambayo ni wa Ukweli.” Usiku huu lala hapa, Balaamu haka wambia,’’ Halafu nita waleteni majibu ambayo Mtawala Mkuu ame niambia”. Sasa wana wa Moabu wali kaa naye (v. 8).
Mungu haka kujia Balaamu na akamliza,’’Hawa ni watu gani amba wako nawewe?’’Balaamu haka mwambia Mungu hawa watu alikuja kuni uliza kuweka laana juu ya Israeli (vv. 9-11).
``Lazima Uziende na hawa Watu ku laani Israeli, kwa sababu wame barikiwa,‘’ kesho yake asubui Balaamu haka kutana na wana wa mfalme, halafu akawambia warudi katika nchi yao zababu Mungu haku Mruuzu aend nao (vv.12-13).
Mwana wa mfalme walirudi na kumwambia Balaki ati Balaamu ame kataa kuja noa. Alafu Balaki haka tumana wana wa wafalme wengine, wengi kuliko wale kwanza (vv.14-15).
Walikujia Balaamu na kumuambia,’’ Balaki akashema; Usifanye kitu lolote ikufanye usikuje, sababu nta kulipa vizuri kuwa vivote usemaye. Kuja na uweke lana kuwa hawa watu kuwa sabubu yangu’’(v.16).
Lakini Balaamu akawajibu, “Hata kama Balaki atanipatiya palipake la fedha na dhahabu, siwezi kufanya kitu kidogo hatakigubwa bila amri wa mungu. Sasa usiku huu wewe piya lala hapa vile wengine Usiku mungu akakujia Balaamu akamuambiya, tanangu awa watu wakuje kuako sasa nenda nao naufanye vile nitakuambia’’.
Balaamu aliamka asubui na mapema na kaenda na wana wafalme. Lakini mungu alikasirika na Balaamu kulingana na kukaa mbeyake, na malaika wa mungu walisimama kando wa njiya kumsawisi yeye. Balaamu alikuwa akiendesa farasi na wafanya kazi wake aliyekuwa naye. Bunda alipo ona malaika wa mungu wakisimama kando mwa barabara na upanga mkononi mweke, akabadilisa njia kuwa uwanja. Nakusangazua na matendo ya mnyama na tabia zake, Balaamu alimpigakumrejesha barabarani (vv. 21-23).
Ghadhabu yake aliku mfanya punda kusimama epesi, lakini malaika alijfanya asiye onekana ilatu kuwa punda mwenyewe. Badaaye malaika akasimama katika njia pana .Na ukuta pande zote. Wakati punda alimuona malaika wa mungu akisimama alijibana kuelekea ukutani, na kulikunja miguu zake kuelekeya Balaamu’Alafu malaika wa mungu akasonga bele na kusimama katika njia pana halikuwa na nafasi hata la kujibadilisa, pasipo na kusoto wa kulia. Punda alipona hawezi na malaika, alijianguka chini na kulala chini ya Balaamu, na alikasirika na kumpi
Bunda
Akaongea
Kwa mungu yote ya wezekana (Mariko10.27). Alafu mungu akafungua kinyua mua punda amuambia Balaamu, “Nimekufanyia nini ambaye ume fanya umenipiga mara tatu?’’(v. 28).
Balaamua ali stuka ya kuwa myama ameongea
na yeye na lakini huwa na lolote la kujibu."Menifanya mjinge. Kama nenge kuwa upanga
mkononi ninge kua sasa hivi”.
Alafu mnyama akaongeya tena. “Kwani mimi zii punda wako, Je nimewai kuku
fanyia haya tangu zamani?”
“Hapana!” hafu aka kumbuka unyama ambayo aliufanya (v.30).
Alafu mungu aka mupatia Balaamu nguvu ili aweze kumuona malaika na macho yake. Akaji na misha kichwa chake chini. Malaika wa mungu akamuliza, kuanini umepiga punda wako maraa tata? Nimekuja kinyume kuwa sababu njia zako si nzuri bele ya yangu.
Balaamu aka kumbuka nafasi na funza nzuri ambo alipewa kuu su lana kuwa watu wa Israeli. rudi.’’ ‘’Nimefanya dhambi!’’ Akapaza sauti ya mlio." Niutambua ya kwa ulisimama njiani kinyume ya njia zangu. Kama aufaharai na kuenda kuangu nita.
Malaika akamuanbia Balaamu “nenda na wa watu na useme vile nime kuku ambiya”. Balaamu akaenda na wana wafalme kuwa Balaki.
Mungu ali juwa moyo wa Balaamu si nzuri aka ongeya malipo ambaye ange pata. Sasa mungu ange murusu balaamu ata muke maneno ya lana kuwa Isaraeli kuwa jina lake ambaye Balaamu alifaafanye. Bibilia ina tua abia katika malaki 3.11 sasa si viziri kuwa mpadri kutamuka neno malipo. Neneno la mungu ni wazi (medhali. 23:23). Kama padri katika upadri wake awezi kukiri na kristo ata muhukumu na upanga wa kinyuwa mwake.
Kisa Balaamu aka kubaliana matakuwa ya mungu, lakini aka kubuka mali yake Balaki Aliandamana na wana wa wafalme wawili ambayo ni wafanya kazi wake, ambao wali uona na kuli tazama ugeni wakujua kutoka kuwa umbli, akaingia katika wana wafalme kuwa ukali na kelekea moabu (Nambari 22:34-35). Wakati Balaki ali usikia ya kuwa Balaamu alikuwa ana kuja kuku Tanana na yeye katika muji wa Moabu wa Arnon.
Balaamu
Akauzidi na Tamaa
``Kwa nini haukuja Moabu wakati ule nili tumana?’’ Mfalme Balaki aliuliza utulifu udogo, katika kukutana na Balaamu. ``Je una jua ya kuwa ninge weza kukulipa?’’(v.36). Balaamu alisikuwa na furaha kwa kusikia kuusu malipo kutamkwa tena. Alianza kutafakari kuwa uwingi na kusaa au na onyo wa Mungu ambaye alipatiana kupitia Malaika.
Balaamu akajibu ``Lakini niko hapa atimae, lakini nina taka ujue ya kuwa mimi sina nguvu ya kulaani ama kubariki nchi ila Mungu anipatia Nguvu. Nita sema tu lile ambayo nime ambiwa ni seme‘’(vv. 37-38) Balaamu alikuwa ana ongea kuwa njia ya kuleweka hili Balaki asichoke, lakini hafanye hima ili aweze kununua wana lesi wake. Alikuwa na uchungu kwa malipo ambayo Balaki alimuahidi.
Mfalme alisawishwa ya kuwa mnabii kuwa njia linguine ange lileta asira wa Mungu katika Israeli. Balaamu akaenda na Balaki katika Moabu, Katika mji wa Kirjathhuzoth ambaye ni ya jia ya mji mkuu .Balaamu alitowa dhabiu ya Ng’ombe na kondoo na kuwafuata Balaamuna zingine kwa wana wafalme ambao wali kuwa nao.Kesho yake Mfalme alijukuwa Balaamu hadi Bomath Baal,na papo aliona dhambi ya watu (vv.39-41).
Balaamu alijua ya kuwa nchi yake tiyare wame katika nchi mwa Misiri, na aliufahamu ya kuwa Mungu wa Israeli Ndiyo Mungu wa Ukweli-yule aliye Muogopa. Alifikiria vile aliukimbilia katika njia ya uhali na ukweli. Kama ange liomba Mungu kulani Israeli, ange liomba Mungu kuli angusha nchi Mumbaji alichagua kuwa alinyamaza kimia. Balaamu ali kubali kujakaribu kupatiana Mungu.
Balaamu
Kutowa Dhabihu la Kwanza
Balaamu akasema, “Nijengieni shehemu saba ya dhabau hapa, alafu mutengeneze Ng’ombe saba za dume na kondoo dume‘’ Balaki alifanya hayo na kilammoja kati ya wawili waki ziweka katika sehemu zao za Dhabiu (Nambari 23:1-2).
Balaamu akamwambia Balaki,``Kaa hapa mimi nikienda kando. Mungu anaweza kunena na mimi au kukutana na mimi chochote atakacho ni ambiya amakunifunulia,’’akaenda katikati mlimani (v.3).
Sababu Mungu alikua na tumia Balaamu kwa sababu la kini siyo tu kafika dhabiu Balaamu akauliza Balaki kufanya Mungu kuleta Ujumbe kupitia kinyuani mwa Balaamu akamuambia, ``Nenda Kwa Balaki na umpatie ujumbe hiki’’. Wakati Balaamu aliporudi alipata Balaki akisimama kando ya dhabiu, na wana wafalme wa Moabu. Halafu Balaamu akafanya Dhabiu:
``Balaki
alikusanya mimi kutoka nyumbani mwa Aramu katika milima wa magaribi lengo ya
mfalme ilikuwa ati nitee hasira zake Mungu katika nchi wa Israeli nchi ambaye
karibu walitoka kaytika nchi wa Misiri kwa aribu watu wa Amoreti. Mungu ni
Mungu wa Israeli. Halifu hiki wezekana kuwa mimi ili niweze kuleta lana katika
nchi ambaye umebariki. Lita kuwa kitu la unjinga kuwa kila nchi ambaye
atajaribu kuenda kinyume la nchi ambayo Mungu siyo adui muao na kuwachokoza.
Mungu
amewateua hawa watu kwa sababu ya kazi kubwa. Israeli itasimama juu ya nchi
zote za dunia, na italikuwa yenye adadi lake ita kuwa kama mchanga wa sakafu.
Nina amini atanikikufa kifo change lita hesimiwa kama wale watu ambao
wamechanguliwa kwa sababu la kazi la juu” (vv. 6-10).
Kitu cha mana la kukumbuka ni ya kuwa, shetani ali takakuwa na lana ya Israeli ndipo christo pia alaniwe. Lakini mungu angeweza hayo kutendeka.
Balaki alistuka sana na maneno ambayo yalitoka kuwa Balaamu. Alikuwa anatarajia lana, lakini Balaamu na maneno, ambayo mungu alimuomba aseme, yalete Baraka siyo lana.
“Kwa
nini umesema haya maneno. Mzuri Kuusu Israeli?’’Mfalme ali uliza kwa uchungu.”
Hili kuteta hapa ili uwlani madui zangu, lakini Hijafanya Hivyo na unasema
Baraka siyo lana’’(v.11).
``Sina haki la kusema lile ambaye Mungu ameniambia?” Balaamu akauliza (v.12).
Dhabihu
La Pili wa Balaamu
Mfalme wa Moabu aka uliza Balaamu kuendea mlima lingine Kutoka sehemu mwa Israeli ili waonekane .Ili kuwa mpango wa Balaki ili Balaamu amulini Israeli kutokea hapo. Haka mchukua hadi lile uwanja wa Zophima katika juu ya pisgahni papo akanjenga sehemu saba za Dhabiu na kutiwa dume na Kondoo dume kwa kila sehemu (vv.13-14).
Balaamu akaenda tena katika sehemu ya milima kuongea na Mungu (v.15). Ingawa Balaamu alikumcha guwa malipo ya Balaki, Mungu alikuwa angoja kama Balaamu angeweza kutabu na kuwacha njia zake za Satani. Lakini ali kuwa ana Muogopa Mungu hange weza Kutubu.
Kwa wakati mwengine alikuwa mzuri, Lakini kwa sababu Mungu alimuahidi Kuongea nay eye. Ujumbe likawa kelewa katika kinyue mwa Balaamu akaambiwa arudi na apatie Balaki Ujumbe (v.16).
Balaamu akarudi kutoka pale aliko zuru na kirudi kwa Balaki na Kumpatia Ujumbe ambaye alipatiwa.
``Mungu amesema nini?’’ Balaki akauliza. Ingawa Mungu na Balaamu wenge weza Kupadishwa mafikira zao na nia zao (vv.15-17) Akauakisha zile dhabiu.
Maoni
Ya Uchunguzi
``Amesema wewe, Balaki usikizi yeye’’ Balaamu akajibu ``Amesema ya kuwa utambui ya kuwa asemi uwongo, kama binadamu ya kwamba atalibata Sababu zote na ahadi ambavyo amesema Mungu amebariki Israeli na nime ambiwa niendele kulingana na baraka hayo. Lita kuwa vigumu kwa ngu kubadilisha Baraka kwa Lana.
“Lazima
ujuwe ya kuwa Mungu ako na Sukrani kwa ufupi wa kuja kwa Yakobo, kwa mababu ya
wana Israeli Satani litamfuata kizazi cha Yakobo mpaka watu angusuwa na
Kusahaulika kabisa. Mungu aliwatowa watu wa Misiri, na kupatia Nguvu jitu
Wamyama dume. Hakuna maombi, hakuna saana, hakuna uchawi hata usirikiano kutoka
nje ambayo yana weza kuaribu Israeli. Nyakati ambao una kuja watu wata ufahamu
vile Mungu aliulinda nchi hii na mkono wake wa dhahabu. Kwa hakika, Israeli ita
kuja julikana kama mwana wasimba ambaye awesi kubumzika kabla haja kula mateka
yake. Na hilo mateka ita kuwa nchi ambao inafananishwa na gazelle, deeri na
wanyama wengine ambayo ni wanyonge kusinda Simba’’(vv.18-24).
Balaki alisutuka kwa maneno ambayo nabii alitamuka. Balaamu alikuwa katika utilivu mwa Mfalme hadi Mwisho kama alikuwa upueke kuwa usaidizi kwa Israeli, alimuarisha Nabii ili atoke Mbele yake. “Kama auwezi kulaani Israeli sasa,’’Balaki alichoka na mashavuni,” Hatimaye Baraka likatamukua ‘’Balaamu akamjibu nita fanya vile Mungu ame niambia (vv.25-26).
Dhabihu
la Tatu wa Balaamu
Alafu Balaki haka wambia,"Kuja wacha nikupeleke pahali ingine. Kueamda kwamba Mungu hata kuruhusu huwa laani kutoka hapo.’’ Na Balaki kachukua Balaamu mpaka kichwa wa Mlima Peori, Na kuangalia ardhi ya bure. Balaki shangaa kusikia Balaamu kwa mara saba kwa Ukuwani kujengwa wa kuweka dhabiu ya wanyama (vv. 27-29).
Lakini Alidhani alingeweza kumsawisi Mungu ili aweze kumrusu aseme Laana kwa Israeli hili haweze kuziweka malipoza Balaki. Balaki akatoa amri ili matakuwa ya Balaamu kufanywe (v.30).
Katika matarajio kupata upendo na lahati kutoka kwa wana Moabu Mfalme, Balaamu akakumbuka ya kuwa na tumaini ya kuwa Mungu bado atatamuka neno la laana kwa Israeli kutoka kwa Balaki. Malasiliano yake y kuanza na Mungu ni Dhairi ya kuwa majaribu ya Mungu kubaadilishwa nia yake. Kwa Hivyo Balaamu akuenda mbele na kutafuta maono vile alikuwa akufanya hapo hawali. Vile nabii aliye angalia chini ya mlima mwa Peori pali watu wa Israeli walikuwa waki sanyika kama desturi yao na mipango ya moabu, aliuliza na Mungu tena aliasema lingine dhairi unabii kwa Balaki na ambaye yana muhusu.
“Mimi Balaamu, Kijana wa Beori ni mepatiwa kuelewa Mungu kwa maneno ambayo nimeshema,’’Balaamu alijiweka dhairi halafu akaendelea mbele na hotuba ya kuwa taliza wafuashi wake, Kusema kuhusu Israeli na Lile ambayo ya tandeka kuwa nchi.
``Umalidadi
wa haya matandarua yana pendeza na meza ya Israeli ambayo ni Dhairi hapa
chini‘’ Balaamu akataka haki ``Wata tapakaa kama mfiriko wa maji kutoka
mlimani, kama mashaba kando ya baharini, kama miti za kubazi na Cedari wa
Lebanoniambaye yame meya peke yake katika kando ya mto.
``Israeli
atakuwa na uwingi wa kufanikiwa wafuasi wake hayata hesabika kamue. Mfalme wake
atakuwa na Nguvu kuliko mfalme wowote wa dunia ina ufalme wa Israeli ndiyo
utakuwa na Nguvu duniani kote. Mungu aliye watoa nchi kutoka nchi ya Misiri na
kumpatia nguvu za jitu fahali. Hawea watu wata wa meza madui zao baada ya kuwa
funja mifupa zao kupenya wao la silaha zao.
``Israeli
ni kama mwana wa Simba ambayo watu uhofia kumshumbua ama kutatiza. Wale ambao
wana bariki Israeli wata barikiwa, na wale ambao wana laani Israeli wata
laaniwa‘’(Nambari 24:1-9).
Hili lili kuwa kinyume cha matarajio ya mfalme wa Moabu ali tarajia kusikia. Alishi ya Kuwa Balaamu alimusaliti yeye akalipiga mikono zake kwa Nguvu kwa ishara za hizo nyakati za kuonyeza hashira makubwa.
``Nilipatiana
matoleo mazuri ili ukuje hapa na kulaani madui zangu’’. Balaki alipasa shauti
akielekia kukuna huku mpaka kwa Balaamu. "Badala ya kubariki sasa chukua
wafanyi kazi wako na utoke hapa bila malipo Mungu amekuzuia husipate au
kusipokea’’(vv.10-11)
``Kana
onekana umesahau,’’ Balaamu akamukumbusha mfalme, wakati ujumbe uli nikujia wa
kwanza nilisema hata kama uta nipatia Dhahabu ambayo yana jaza Nyumba
halitafanya mimi ni fanye lolote lakini lile ambayo Mungu ataniruhusu ni fanye.
Ama siku sema lile ambalo Mungu alimia, bia niseme? Sasa na rudi kwa kwa watu
wangu, lakini kuja wacha nikuonyi kuwa lili kitu ambayo hawa watu watakufanyia
kwa siku ambazo zina kuja’’(vv.12-14).
Dhabihu
la Nne wa Balaamu
Tena Mungu haka amrisha Balaamu kunena
maono lingine: “Tena Mfalme wa wana
Israeli atakuja na Nguvu na atapiga nchi yako kwa nguvu na nchi yako yata
anguka mara mojo. Na watu wa Moabu wata kao baki wakiwa hai watafanyiwa watumua
wa Israeli’’.
``Vile Edoni na seria, Haya nchi piya yata angukia Israeli hata Amaleki wenye nguvu wata inama mbela ya Israeli, na wata potea kabisha kama nchi. Na Kenitasi pia wata fanyua wafungua, hata kama wana ishi kwenye jiwe ambaye ni imara kama Milimani.
``Kikomo
italeta mushtuko wa mabadiliko ndani ya shehemu za Dunia. Mataifa kutoka upande
wa bahari wata pigana na kwa upande na kwa upande, lita kuwa na shida kuwa
wakati ujao. Israeli ambao Mungu amechngua kulifanya mapenzi lake katika dunia,
yata fika mwesho na kuleta sifa nchi’’.
Balaamu na wafanyi kazi wake wali kupanda wanyama za na kwelekw chini wa mlima Peori. Na Balaki kuenda njia zake (vv.14-25).
Baadhi ya maono ambazo Balaamu alitamuka yalikuwa maono ya nyakati za kale. Zingine bado litakija kwa ukweli katika barua ya hizi nyakati kwa sababu Mungu ana timiza zote ambavyo amesema na kuahidi na kutendeka.
Balaki akarudi nchi ambaye alikuwa Mfalme moabu, lakini Balaamu angeweza kurudi katika nchi yake. Aliendelea na tama baada ya malipo kulikosa. Alianza asauri ya mipango kama angeweza kupata angalau sehemu yake akasimama katika udongo wa Midiani (angalia Nambari 31:8,16).
Kujua yakua wana Midiani pia kama wana Moabu wali tarajia kuona Israeli kuaribiwa, Balaamu aliwafundiza wao jinzi ya kuleta laana ya Mungu kati ya Israeli .Na mpango yake yalikuwa ni kuanganisha dhambi kati ya Israeli wanaume na pagani wanawake wa midiani na Moabu.
Moabu
kushawizi Israeli
Israeli alikuwa wana ishi katika Shittimi wanaume mmoja alianza kutamani mwanamuke wa Moabu. Kulingana na mafunzo wa Balaamu alikuwa anaendelea na fundiza wanawake na wanaume wa Israeli wali chukua kimwili na haki ya mtu kuolewa na wasio olewa. Nikumanisha wali kuwa wazi aribu toratila saba (Ufunuo 2:14).
Wanaume wa Israeli wali howana na hawa wapagani wanawake. Mungu aliwakataza Israeli wasiwese kuowana na watu kutoka nchi ambayo si yao kuwa ni watu wa pagani, na kwa yule ambayo alingeweza kukubali Israeli na Imani yao wangeweza kuwa kubaliwa nchi Israeli vile Rahabu na Ruthi na watu wengine. Lakini laku kataliwa na muhimu washavuni ili kuwa wanawake wa Israeli ambao wali kuwa wakiongoza wanaume wao na wapenzi na kuaribu siku wa Sabato na kuamua budu miungu wa pagani katika Israeli. Sasa watu wa Israeli wakaungana nao ndani nakuabudu Baaali wa Peori. Na hasira ya Mungu ikawangukia (Nambari 25:1-3). Dhambi moja iliwaongoza kila siku hilo dhambi wali urudia.
Mungu akambia Musa,``Chukua waongozi wote wa hawa watu,na uwauwena uwaweke mwili zao katika sehemu wazi lenye mwangaza mbele zake Mungu’na Hasira zake zita rudi kwa Israeli’’(v.4). Hili lili kuwa onyo kwa wote watendao dhambi kama hao.
Balaamu aliendelea na kuwa fundiza watu wa
Moabu na Midiani na nchi ambao ulizingira Israeli, atawawange liweza kufanya
Mungu kurudi kinyume na kuwa fanyia matoleo kwa sanamu na kwa tenda unyama.
Unyonge wa Balaamu ulianza kwa lipa watu wa midiani na watu wa Moabu.Musa
akawambia majaji wa wana Israeli,
``kila mtu katiyenu lazima awekuwe katika kifo wale ambao wata patikana waki
muabudu miungu wa baali na peari’’ (vv. 4-5).
Kulikuwa kilele na vitaleo via shauti na tabia ya siyo leweka kutoka kwa misiri. Kwa ukweli watu wa Isareli wali tufia yale yaliyo tendka na kutoka kwa na ukweli wa huzuni wa kulia na haya ya kutubu (v.6).
Hata kwa maendeleo ya haraka kutaabisha kuli kuwa na watu wa kumdharau Mungu na hata kukataa kuwacha wanawake wan chi wa pagani.
Mwana
wa Mfalme Muhasi
Alikuwa moja wa Zimiri, Mwana wa Mfalme wa kabila ya Simoni. Hata kwa lile kipindi wa kuopoleza kwa nmaombia ya toba. Zimiri alikuja katika meza la dhabiu na mwana wa Midiani wa mfalme aitwaye Cozbi (vv.13-14). Alafu wana wawili nyeupe kupitia kati kati ya kusunika Israeli na kuenda katika tandama la kipeke mwa Simoni.Sababu ya zimiri na cheo yake kubwa, lakini mafisa ambayo wa Midiani kuenda ndani bila ya kuwasumbua wao.
Kama Phinehasi kijana wa Eliazari (mmoja wa wajukuu wa Aruni) aliona haya na kuliwacha msanyiko na kuchukua mkuki mkononi mwake na kuwafuata watu wa Israeli. Maojiano kati ya wana Israeli lilikatiswa, na watu ambao wali kufa katika maojiano waka hesabiwa 23,000(Nambari 25:6-9).
Bwana aka mwambia Musa,``Phinihasi amebaadiliza hasira
yangu kutoka kwa Israeli; kwa sababu yeye ni mwenye bidii kama vile nili
wapatia hesima na sifa wwake mwisho kati yao, kwa bidii yangu siku wawekea
mwisho. Sasa umwambie ya kuwa nina weka agano ya amani nay eye pamoja na
wafuashi wake wata kuwa katika agano upadri wake, kwa sababu ya bidii kwa
hesima wa Mungu na kutengeneza mfuta wa upako kwa wana wa Israeli.’’(vv.10-13)
Haya yote majuto na huzuni alikuja kwa sababu ya Balaki na uchoyo wa Israeli kwa sababu Balaamu na tamaa na ujira mwingi baadaye ahadi kwa Balaki na kwa fundiza pagani vile wange enda katika dhambi na wanaume wa Israeli (2 Petro 2:15; Juda 11; Ufunuo 2:14).
Mungu aliona aibu na haya hadithi ambayo yali andikwa hili tufundishwe tusikuwe na tama wa pesa na kuwafuata na kutenda mapenzi wa Satani mwanamuke ila tumuabudu Mungu moja ambayo ni Mkweli (1Wakorintho 10:6-11).
Baada ya siku chache wale wazio baki, waliona aibu na mojuto kwa Israeli.Kwa wakati kama huo, ingawa baadhi ya watu awakujiadhari kwa kuanguka kuta zidi, wali kuwa na sababu ya kucheza kufurahi na kusema asante kwa Mungu kwa sababu hasira ulibaadilishwa kutoka kuawo.
Hii ahikumanisha ya kuwa Mungu ali tosheka na kijiwe kutolewa nje. Na alijua ya kuwa watu wa Midiani na Moabu sanasana ya kuwa Midiani kuwa na shauri mbaya kwa kutumia wanawake kwa njia mbaya na niya mbaya wanaume wa Israeli. Halipanga kuhukumu Midiani, lakini Siyo mpaka akamilishe vitu vingine (vv.16-18).
(The paper The Doctrine of Balaam and Balaam’s Prophecy (No. 204) na International Study Bible wali toka kwa karatasi ilo.)
q