Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[CB35]
Kuitayarisha
Hekalu Ya Mungu
(Toleo 2.0 20031025-20061220)
Kila mkristo ni mahali pasafi ya MUNGU. Njia ambazo mapadri wa Levi walikuwa wakiomba katika Hekalu ya Mungu ua ta sherehe ambazo zilifanyika kuhusu nyumba ya Mungu inahusiano moja kwa moja katika Kanisa na wakristo.
Christian Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Copyright ã 2003, 2006 Peter Donis, ed.
Wade Cox)
(Tr. 2009)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia
yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Kuitayarisha
Hekalu Ya Mungu
Wakristo wa kweli ni nyumba ya Mungu. Sisi ni mawe yaliungwa pamoja kuifanya hekalu ya Mungu. Lazima tuwe huru katika lawama wa maradhi. Upo usombamba katika jinsi hekalu ya kimwili ilivyolifadhiwa katika agano la kale na jinsi tunavyoijenga hakalu yetu ya kimwili.
Sote tunahusika kwenye hekalu ya kiroho
Wakorintho wa kwanza 3:16-17 hanyina niliyi ni hekalu la Mungu na ooho wa Mungu anakaa ndani yanu mtu akiliharibu hekalu a Mungu, Mung atamharibu.
Tunaashiria hekalu ya kimwili ambayo atayajngwa upwa katika karne hii. Ikiwa hekalu hii itadunishwa upwa uabadu wa miungu, itakuwa ni uakisi wa hali ya kiroho tulimo kwamo.
Kwenye hali ya kuifadhi hali yetu chini ya mfalme Jusia (Jina hili lamaanisha Yawehyuaponya) kuna usambamba kati ya Mesia na wizara yake. Kupitia kwa Kristo, Mungu anatapanya. Matakio yaliyofuata na ulifadhi huu wa hali yetu yanahasika na pasaka ya Mesia, ubatizo wa wateule, tuna ya Roho mtakatifu na urithi wetu kama wana wa Mungu na waisreali wa kiroho.
2 Mambo ya Nyakati 35:1-3 naye Yosia akamfanyia Bwana pasaka huku Yerusalemu wakichinja pasaka sijku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza. Akawasimamisha makuhani katika malinzi yao akwatia moyo kufanya walawi waliofundisha waisraeli wote waliotakasika kwa Bwana, wekumi sanduku takatifu katika nyumba aliyojenga suleimani mwana wa Daudi, mfalme wa israeli hamtakuwa tena mizigo mabegani. Sasa mfunikieni Bwana Mungu wana na watu wake Israeli.
Kristo anaashiria yule mwanakondoo wa pasaka ili kishabatiszwa, huku tumeratibiwa katika huduma ya nyumba Bwana Mungu wetu. Innakuwa ukuhani mtakatifu (1 Petro 2:5). Tunamithilishwa na roho mtakatifu kupitia kwa kristo. Kristo anatushungulikia kama kanisa na kibinafsi pia. Tunagaliwa yenu ya kujijenga sisi wenyewe kwa wenyewe na pia kuinenga mwili wa Ksristo ambao ni kanisa (Waef 4:12).
Yosia aliwaambia makuhani waweke lile sanduku katika hekalu alilojijenga Seluimani. Sanduku lile lilitagenzwa kwa mbai wa lilibeba kwa nguzo mabegani na makuhani. Yale mawe mawili yaliyochongwa kwa ajili ya Aruni kumi (ushuhuda) yaliwekwa ndani ya sanduku lile (Kut. 25:1-22); Kumb 10:1-2). Hivyo hatutalibeba sanduku lile tena mabegani bali tutalibeba mioyoni mwetu. Mungu huziweka sheria zake katika mioyo yetu na kuziandika akilini mwetu (Waeb 8:10) kwa utaratibu ni kuwa kuba watu wazima twapaswa kutubu, tubatizwe na tuwe kilewe mikoni kupokea roho mtakatifu, kisha tunafanywa na kutayarshwa kuhudumua Bwana Mungu na watu wake wa Israeli, taifia lililo kanisani mwake, ambamo kupimo tumechipuka (Wagali 6:16; Waeb 8:8).
Ni Baba yetu aliye binguni aiziaduaye roho zetu na kutufuangoza katika tabu. Tunaazo kuwa katika kila ulifadhi wa kimwili katika agano la lake, ni Mungu Baba aliyewarejesha watu kwake (Ezra 1:5) aliwatayarisha watu katika hali zozote na haya yalifanyika kulingana muda wake (2 Mambo ya Nyakati 29:36).
Tunapaswa kuwa na matakwa ya kujenga nyumba yetu kwake Mungu. Kutoka mioyoni mwtu lazima tuwe na hakikisho la Mungu na kuingia katika agano naye.(2mab. 2:1)
Nilazima tuwe na imani kujenga nyumba yetu wa Mungu. Inapawa tuwe na bidii katika mioyo yetu kuhesimu Mungu nakuwa na mktaba naye.
2 Mambo ya Nyakati 2:4-5 angalia najenga nyumba kwa jua la Bwana Mungu wangu ili kumfanyia wakfu la wakfu wa kufukizo mble zake fukizo la manukato na ya kate wa wonyesha wa dunia naya sadaka za kutekelezwa za asubuhi na jioni na siku za sabato na za mwezi mpya naza sikukuu zilizongizwa na Bwana Mungu wetu hili ni agizo milele kwa Israeli.
Hii inamaana kuwa lazima tujenge msingi mpya katika kweli, na tuliunge kwa usawa neno la Bwana, Mungu anatuambia wakati na jinsi ya kumuabudu, sabato katika miezimpya, na nyakati za sikkuu ndizo zilizowekwa kumwabudu Bwana Mungu wetu. Lazima tuifungue mioyo yetu katika siku hizi takatifu ili kumhimidi na kumuabudu huyu Mungu mmjoa na wa kseli. Ni changamfu kwa Waisraeli, ambao ni sisi (wagal 6:16; Waeb 8:8).
Hizi siku takatifu ndizo msingi wetu. Inatuposa sote kuwa na mipango na msingi sawa. Tukipuunza hatua moja, hulegeza jengo lote na kulifanya nyufa. Hili huenda likatokana na kuzipuuza siku za sikukuu. Mungu ndiye nyenzi mkuu (Waeb 10:11). Lazima tujitayarishe kutenda matakwa yake tukiwa na msingi dhabiti katika ukweli wake.
Miezi, dabato na siku za sikukuu ni siku za kujitolea kafara; kama ilivyoandikwa katika torati za Mungu.
2 Mambo ya Yakati 31:3. Tena akaweka sehemu ya mfalme ya mali zake kuwa sadaka za kutekelezwa yaani za kutekezwa asubuhi na jioni, naza kuteketezwa sabato na za mwezi mpya na sikukuu sawa ilivyoandikwa katika torati ya Bwana.
Basi miezi mpya ni sehemu muhimu ya jengo lote hili hivyo ni siku ambazo sharti tuziziingatia msingi huu ni muhimu katka nyumba (hekalu) letu iweze kufaulu ukaguzi.
Mawe tuyatumiayo kujenga sharti yawe safi. Tunatayarajiwa kuwa mawe yenye uhai lile la Kristo vichwani mwetu (1 Pet 2:4). Tunawasilisha miili yetu kama sadaka hai takatifu na inayokubaliska kwake Mungu (War 12:1) kujenga nyumba zetu kwa mawe yenye mianadio yenye makosa na mitazamo mibaya kwaweza kuonekana kama kujenga nyumba yenye ulemavu / ukona wa kiroho.
Sheria inahhushisha ukoma ambao huathiri boma inaweza kuhusika na mtu binanfi kanisani kwa kuwa vyaitwa nyumba za kiroho katika bibilia.
Ambo ya Walawi 14:40-42 ndipo uhai atawambaia wayatoe mawe yaliyo na pigo na kuyatupa mahali penye uchaf nje ya mji, anye atafanya kwamba iile nyumba ikiwanguwe ndani pande zote. Na chokaa watakayoikwangua waimwange nje ya mji halali palipo na uchafu. Kristo yatatwaa mawe mengine na uyatia mahali pa mawe hayo; naye atatwaa chokaa yingine na kuipaka hiyo nyumba.
Mawe haya huweza kuashiria zetu. Tunajenga imani zetu kwa mawe haya. Maradhi ambayo huyakumba ni miendo yenye makosa. Lazima yatwaliwe na kutupwa, yasitumiwe tena. Hayalishi ni kwa kiwango gani tunajaribu kumdosha matendo yenye makosa katika mawe haya, bali ya machafu. Mawe yenye mienendo ya uongo hayatanihusiwa katika jiji la Mungu.
Taswira na matendo yetu kwa mambo tuyafahamuyo uvyaweza kutazamwa kama chokaa iliyoporomoka na kutupwa nje ya mji. Mungu huyaondoa mawe mabovu nna kutia mengine yanayofaa; yenye ukweli; kupitia kwa kujitolea kwake Kristo, tumetakaswa, tukatiwa upyachokaa na kuongozwa naye Roho mtakatify jinsi ya kuishi kwa kuziegengea sheria za Mungu. Lakini tunaweza kuathirika na kuzuka kwa gonjwa liitwalo ukutabasi wa uongo na mawazo maovu.
Hatutiwi chokaa upya mara tu tutendapo dhambi. Hii si sawa na doa lionekalo wakati tukitenda dhambi na kutubu na kutakaswa. Ni wakti tukitenda dhambi, kuyarejelea maisha yetu ya awali, kuishi kinyume cha sheria za Mungu zilizoeletezwa. Ikiwa hatuko tayari kuadili dhambi mienendo, basi tu watumwa wadhambi, na kutenda. Leo hii tunashuhudia mitazamo ya ubaguzi warangi, chuki na taama ambavyo vimepitishwa hadi kwa wana. Aina hii ya ukoma huenda ikaporaga familia nyingi kwa kipindi kirefu (2 Waf 25:27).
Dhambi isiponelewa itasambaa hadi manyumbani mwetu. Tukumbuke kuwa tulipobatizwa, hatukufanywa kamili bali kasoto. Badala yake, ungu anadhihirishwa uoz wetu kupitia kwa Kristo. Akili na mioyoni mwetu tumekwanguliwa vilivyo na kufanywa binadamu wapya. Tumetiwa chokaa upya na roho mtakatifu wa Mungu. Imani za kale zisizo na msingi katika ukweli zimeondoshwa.
Katika Danieli 4, tunasoma kuwa mfalme Nebukadinezar alituliwa ufalme kwa kuwa uliuruhusu myo kutiwa “chokaa ya majivuno.” Mfalme akanena. “mji huu sio Beheli mkubwa niliujenga mimi” (Dan 4:30). Hakuyakumbuka yale ambaye Mungu alikuwa ameutendea. Tukilinganisha hili na sheria katika mambo ya Walawi 14:40 tunagundua kuwa, kwa kifupi alitupoa katika sehemu isiyo safi. Hili liliashiriwa na ukweli kuwa mienendo yake yalikuwa sayansi na hayawani wa nyikani nje ya mji, kuleta picha kuandolewa kwake kutoka ufalmeni
Mungu akwaonea imani mfalme Nebukadinezar na kujenga upya himaya yake ya kifalme. Kwa mawe mapya kwa kuwa alijuiza tofauti za juu zaidi za ufalme wa wanadamu na kupeana kwa yeyote awaye yote amtenaye (Dan 4:26-34) mfalme akamzuna “Ufahamu wangu umenirejea tena, na namtukuza yeule aliye juu zaidi (Dan. 4:34).
Katika Danieli 5 tunana tutokea ya ukana ukirejea katika nyumba ile ile.
Mambo ya Walawi 14:43–45 “Naye ataibiwa nyumba, mawe yake na miti yake, na chokaa yake ya hiyo nyumba, naye ataivichukua vyote nje ya mji hadi pasipo uchafu tena mtu aliyeingia ndani ya hiyo nyumba wakati huo wote uliofungua atakuwa najisi hatajioni”.
Belshazar aliyetenkina katika ufalme alifahamu kilichotendeka Babake (Dan 5:22) ili bado lakuupoza moyo wake. Alipima kulipona na lichom kifahamu na nauma alivyotenda katika ujuzi aliopewa ungonjwa alikuwa umerejea na ulikuwa unasambaa kwa kasi. Alitenda dhambi kupitia kwa majivuno yake alikunywa kutoka kwenye kikombe takatifu wa wengine pia wakanywa kutoka kwach. Makosa yalikuwa ni kuwa alitia ila kile alichofahamu kuwa safina takatifu. Alitukuze sahani na wali hakumheshimu Mungu.
Belshazar aluimuliwa kupitia kwa torati ambaye ilishuduo nyumba kutunena (Dan 5:30-31) naye na falme zake wakaandikiwa vilivyo. Nyumba ya Bushaza haikuhusikwa kuendela. Vivyo hivyo tutarudishwa kutoka katika ufalme wa Mungu tusipitilia maanani napenzi ya Mungu. Kupitia kwa Yesu Kristo kushudua sote (1 Wathesalonike 5:18).
Mungu inaangalia moyo wa mwanadamu nasi hali yake nje kwa mfano mfalme uzia alipewa uwezo mkuu mpaka alipoinua moyo wake dhidi ya Mungu (2 Mambo ya Nyakati 26:5).
2 Mambo ya Nyakati 26:16-18 lakini aipokuwa na nguvu moyo wake ulitikuka hata akafanya maovu akamwasi Bwana Mungu wake kwani alingia hekaluni mwa Bwana ili afukize uvumba juu ya madhabalu ya kufukizia. Azaria hakuamini akaingia nyumba yake na pamoja naye makuhani themanini wa mwana Bwana mashujaa si haki yako, uzia, kumfukuzia Bwana uvumba ila ni hakiya makuhani wana wa Haruni walio fanyawalefu ili wafukize uvumba. Toka katika patakatiofu Kwa kuwa umekosa wala haitakuwa kwa heshima yako kutoka kwa Bwana Mungu.
Kama ukuhani wa kifalme ni sharti tumwendee Mungu kwa njia nzuri. Tunamwona Uzia akiiendea hekalu ya Mungu kwa mtazamo mbaya. Mioyo yetu ikijawa na majivuno, kuna uwezekano wa kufanya mambo kivyetu ila si kiungu. Kama Uzia tunaweza kuyaruhusu mioyoyetu kujawa na majivuno. Baraka anazotupa Mungu Baba yapasa kututuliza vinginevyo tutaenda visivyo.
2 mambo ya nyakati 26:19-21 akaghadhabui Uzia, naye alikuwa na chetezo mkononi cha kufukizia uvumba; naye hapo alipowaghadhabikia makuhani ukamtokea ukoma katika paji la uso wake mbele ya makuhani nyumbani mwa bwana karibu na madhahabu ya kufukizia.Azaria kuhani mkuu wa makuhani wote wakamtazama, na kumwangalia, alikuwa na ukoma pajini mwa usoni wakamtoa humo upesi;hata yeye mwenyewe akafanya haraka kutoka kwa sababu Bwana amempiga.
Kazi aliyokuwa akifanya Uzia haikuwa yake wala hakumwabudu Mungu kama alivyokusudia. Majivuno yake yalimghadhabisha na makuhani waliokuwa wakimkosoa. Ghadhabu huleta chuki,chuki huleta mauti.Angepaswa kutubu.Hatuwezi kuenda mbele za Mungu bila mioyo safi.Hatuwezi kubakia na ghadhabu na ndugu zetu.Twaweza ghadhabika upesi na wale watu watukosoao ikiwatunaamini kuwa yale tunayoyatenda hayana makosa.
Tunachofikiria kuwa sawa hakina usawa mochoni mbele ya Mungu. Hatuwezi kughadhabika na ndugu zetu na pia tuende mbele za Mungu. Mungu huwaweka watu kanisani mwake na kuwapa majukumu wale ambao wanahusika.Lazima turuhusu kukosolewa na wale ambao wako katika wadhifa.
Twapaswa pia kuchukuwa kwa yale tunayafahamu kuwa kweli. Mungu ni namna fulani ya majivuno na ibada ya sanamu. Lazima tutilize mioyo yetu ili Mungu azidi kufufuza mapenzi yake.
2 Mambo ya Nyakati 26:21 uzia mfalme akawa na ukoma hata siku ya kufa kwake, akakaa katika nyumba ya pekee, kwa kuwa ni mwenye ukoma, maana alitengwa na nyumba ya Bwana.
Twaweza tumatisha kuwa uzia hakutu dhambi. Sheria kuhusu mwenye ukoma inasema, siku zote ambazo ana majeraha ataishi nje ya mji, peke yake Mungu anweka alama ya kiroho kwa wale wanaomwabudu kinyume cha sheria zake. Tusipitubu dhambi zetu, tutaondolewa kutoka kwa nyumba ya Mungu.
Wasio Watakatifu Hawana Ruhusa Kuingia
2 Mambo ya Nyakati 23:16-19 kisha Yehovava alafanya agano yeye na watu wote na mfalme kwamba watakuwa watu wa Bwana, na wote wakaiendea nyumba ya Baali wakavunja vunja madhahabu yake na sanamu zake, wakamwona matani kuhani wa Baali mbele ya Madhabahi Yehoyada akavumba usimamizi wa nyumba ya Bwana chini ya mikono ya makuhani Walawi, waliwagawa Daudi nyumbani mwa Bwana ili waziongeze sadaka ya Musa, kwa kufahamu na kuimba kama alivyoamuru Daudi. Akawasimamisha walinzi mlangoni pa nyumba ya Bwana asiingia aliye mehafu kwa vyovyote.
Sote tulikuwa wadhafu kabla ya ubatiso na kwa mwili wa Kristo. Tukirejea kwa Mungu tuharibu miungu yote ya uongo tuliokuwa nayo kabla ya madiliko haya. Kati yetu hapona aliye kawili bila kasoro, lakini kanisa lina jukumu la kuhakikisha kuwa yeyote aingia, vazi lake lazima litakawe kwa kofosa ya Ksristo.
Mungu huhitaji walinzi langoni mwa Hekau yake (2 Mambo ya Nyakati 23:19) lazima tufahamu kuwa kanisa lina jukumi la kuhakikisha kuwa wale wanao kuingia wanaziheshimu na kuzitii sheria alizoweka Mungu kati nyumba yake. Hii inawezekana kwa kuadika mkataba ili kuambtana na protokoli ya kanisa na sheria zake.
Mungu hatajimhusu kutiwa mawaa. Kanisa linalo jukumu la kuhakikisha kuwa wasiutahiriwa kiroho hawachafui hydyma ya Mungu. Mungu ananena wazi hapana mgeni, yaani asiyejua kuwa Mungu ni mmoja (Kumb 6:4) ataingia katika huduma yake wala wasiutahiriwa kiroho, yaani, wasio chukulia ubatizo na toba kama njia ya wokovu, wala wasiotahiriwa kimwil kwani wanawakilisha wasiozingatia sheria za Mungu (Eze 44:5-9) nyumba ya Mungu si ukumbi wa starehe.
Wanyama walioweza kuliwa na kufanyiwa tambiko waligawanya katika walio safi na wasio safi. Mambo ya Walawi 11:14 inatuelekeza kuhusu wanyama safi. Ni wanyama safi tu ndio waliorhusiwa kwani wanaashiria kafara ya Kristo, ambayo haikuwa na najisi wala mawaa. (1 Pet 1:19).
Kula chakula safi kuboresha afya zetu kumefananishwa na kula chakula cha kiroho ambachop huzitosheleza akili zetu. Sayansi ya sasa inasema kuwa chakula kilichokataliwa katika Bibilia kinadhuru afya zetu. Vivyo hivyo yeyote alaye chakula cha kiroho kisicho safi anauhatayarisha utu wake. Mungu atoa tofauti kati ya kilicho safi na kisicho safi kupitia kwa neno lake.
Katika ya wanyama walio juu ya nchi, walio safi wale wanaochena na wenye kwato zilizopasuka kati (Mambo ya Walawi 11:1-4). Badala baadhi ya wamezoea neno “Kuchna” ambayo humaanisha kulingilia kati saula fulani. Hivyo ndivyo tunafanya kuhusiana na neno la Mungu (Zab 1:2). Angalia karatsi The Biblical Food Laws (No. CB19).
Twapaswa kuzingatia kusoma maandiko kuhimiza na kufunza (1 Tim 4:12-16). Tunaingilia kati katika neno la Mungu ili tuwe kielelezo hai cha kuingu.
Tunajiwa na ufahamu kuwa kwatu hizo kumaanisha dondoo kadhaa kwatu humaani miguu yetu, na jinsi tunavyoenda na kutembea katika kweli, maishani. Tunatazamiwa kutembea mbele za Mungu na kuwa mamili (Mwa. 17:1; 48:15). Tunapotazamiwa kuenenda katika sheria za Mungu (Kut. 16:4) kwato zilizopasuka zinaonyesha wale waliposona neno la Mungu kwa usawa wa kuzingatia mari zake. Tunapasjwa kuishi maisha ambaye yanastahili kutufanya wapokezi (Waef 4:1) tumeitwa ili tutegwe kitabia (Ezra 10:11) na kutuweka kutoka ulimwengini (Ufu 18:4).
Nguruwe ana kwato zilizopasuka kati ila hacheoi. Hili pia linaakisiwa katika waja. Watu wengine wamejitenga ila hawajalishwi na chakula chao. Wengine wanajitenga na kuibadilisha Bibilia takatifu ya Mungu na vitabu vyao vyenye maagizo yao. Mlo wao, yaani, jinsi wanavyolipokea neno la Mungu haikatahiniwa dhidi ya maandiko. Ni vipi mtu aweza kukikagna chakula cha kiroho.
Isa 8:20 na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi sawasawa na neno hili basi kwao hao hapana asubahi.
Kristo akirejea kama mfalme Mesia kuitwaa hekalu, atipeota hekalu yetu katika hali gani? Ataipata milango ya mioyo yetu wazi kwa kuzingatia siku zilizomrishwa, sabato, miezi mpya na sikukuu? Je, atatupa tukiwa wazingativu wa pasaka au mtatukuta tukitoa kafara kwa Mungu ishta na kufanya sherehe yake badala ya zile takatifu? Kristo akija kuisafisha hekalu, tutakuwa miongoni mwa wale awachapao kuandoka katika hekalu ya Baba yake? Wa kiuza kwa kuyadhalilisha maisha ya mwanadamu, kiwadia watu kiwi na kuwapotosha kiroho? Ana tutakuwa kati ya wale ambao watalipokea upangaji wake (Mat. 21:12-14).
Kulisadisha hekalu kimehitajika kwa mujibu wa sheria Mesia aliitakasa hekalu kutoka mwaka mpya katika mwaka wake wa kujitolea kafara kuonyesha tunavyofaa kufanya. Sisi hufanya hivyo tangu mwaka mpya hadi pasaka na mkate isiyotiwa chachu, alivyofanya Kristo. Ni sharti tujitakase ili kuhusika katika chajio cha Bwana na pia kutuwezesha kuishi mwaka mwingine bila mwalimbikizi ya dhambi za mwaka uliongulia. Kutakaswa kwetu ni kwa kiroho, kwa kufunga na kujiombea sisi wenyewe ambao ni wanuonge au hawafahamu imani hii. Hili ni jukumu letu kama kanisa na watu binafsi kwani sisi ndio hekalu ya Mungu.
q