Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[242z]
Ufupisho:
Kifo
Cha Mwanakondoo
(Toleo 1.0 19980314 – 19980314)
Wakristo wengi hawashukuru kile kinachofanyika katika nyataka za pasaka na wakati umuhimu wa kifo cha Mesaya mwanakondoo wa Mungu
Christian Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Copyright ã 1998 Wade Cox)
(Summary edited by Wade Cox)
(Tr. 2009)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia
yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Kifo
Cha Mwanakondoo
Karatasi nyingi zimeandikwa kuhusiana na fikara nyingi pasaka, wakati, usulubishi na ufufushi na vipande vya chakula cha jioni cha kristo. See paper Nos. 159, 98, 99, 100, 103.
Pasaka ni sheria lililotolewa na Mungu na iliheshimiwa na Israeli hadi mwisho wa wakati wa sinagogi 70CE. Kila kipande cha tukio hii ilitendeka kulingana na utabiri, mpango wa Mungu, wakati na sheria.
Kusherekea pasaka ni mmoja wa sakarameti ya
kanisa na ubatiso kwa ya pili (see
paper No. 52 and 150.
Lev. 23:4-14 inafunika sherehe na kuonyesha vipande vya pasaka. Wakati wa kujitolea, Nisan ya 14, siku za sherehe ya mkate wa wishwa, wakati wa sherehe ya toleo la matunda mambayo inaonyesha siku pentekosti (see paper No. 173).
Pasaka ya ukweli ni kile chakula kulicholiwa jioni ya Nisan 15 na kufuata matoleo ya mwanakondoo ya Nisan 14, kuanzia saa tida hadi kumi na moja (i.e from 3 p.m. to 5 p.m. see Josephus (Wars of the Jews, Bk. VI, IX, 3).
Damu yalimwagiliwa kwenye mlango ya Waisraeli na wanaoishi walipitwa na kutotuwawa na malaika ya kifo usiku wa manane, vilevile watoto kufungua mamba wa binadamu na mnyama kule Misri. (Kut 12:1-14, 29-36).
Jioni hiyo ilikuwa inafaa kuheshimiwa milele, kama makumbusho na kuchughulikiwa uokovu wa dunia na damu ya matoleo ya Yesu kristo (Kut 12:42).
Walipotoka Misri sherehe hiyo ilikuwa muhimu inavyoonekana kwenye kitabu cha Deut. 16:1-8.
Damu ya pasaka ya kwanza usaidizi kwa wanaisraeli kwenye ardhi gani ilitengenezwa kwa mfano juu ya uizingiraji wa ardhi chini ya Joshna. Uzi nyekundu kutoka kwa Rahab, ambayo ni nyane ulimsaidia na familia yake walipokuwa Jeriko (see paper No. 142).
Wakati Israeli ilipozingira na kuimiliki, pasaka ingetendeka nje ya nyumba yao kwa kuuwa. Mnyama yoyote aziye na kasoro angeuwawa, ingawa pasaka imezimamiwa na mwanakondoo. Hii inaashiria Yesu kristo, Mesaya, mwanakondoo wa Mungu, asulubishe wake na damu yake ya kujitolea ambayo inasafisha dhambi na kuokoa yeyote.
Mesaya na wafuasi walienda kwa makasi ya muda inavyolitajika na sherehe kwenye Deut 16:5-7.
Mesaya amechukuliwa kama mwanakondoo wa Mungu (Jn. 1:29-37), Yohana anasema hapa pia ukuaji wa Yesu kristo na kuyafuatwa na Yohana 1:18 ambapo Yesu Kristo ambechukuliwa kama Mungu wa pekee aliyezaliwa (manogesthes). Hali yake ilikuwa kama mwanakondoo wa Mungu anayetoa dhambi za dunia.
Mabadiliko kwa maisha ya mwanakondoo kwenye Isaya 16:1-5 maandiko yametumiwa kuonyesha wafuasi wa mwanakondoo watakaa na Moab, ambaye aumbiwa awanuzuzi kutoka kwa uso wa waaribiaji. Kazi hapa ilikuwa kuwaficha wafuazi wa Mesaya miongoni mwa wagentino, na kutolewa shtaka kwa sababu hii. Hii maandiko yanatoa kipevu cha tashibihi wa kondoo na mbuzi kwa Mathayo 25:31-46.
Isaya 53:1-12 ameongea juu ya utabiri mingi kuhusu Yesu Kristo ambayo yamedhibitishwa kwenye pasaka wa 30CE kwenye matoleo na tabia ya Yesu Kristo vile maandiko hayawezi kuvunjwa (repeated in Acts 8:32-33 cf. Jn. 1:36).
Mesaya alinazwa penye makaazi ya makuhani (Yohana 18:2-14) na sanhedria alitumiwa kwenye jaribio ambayo haikuwa kisheria kutokana na shibitisho mingi. Mengi yapo kwenye karatasi 15a na 217 na makaratasi mengine.
Mwanafunzi mmoja alienda kwa ufalme wa makuhani na Mesaya na alimleta Perto pale na jaribio lake likaanzishwa.
Kwenye dhibitisho ya Isaya 53, tunaona mateso na matatizo ikamwashwa vile imeonyesha kwa Yohana 18:19-24, Kristo alijibu kwenye aya ya 23, na hakuvunja sheria ya kutoka 22:28 Matendo 23:5 na 2 Perto 2:10 lakini hakukubalia hokum huo na dhambi ya kumheshimu vile hakuwa na dhambi.
Majibu aliyoyatoa ni muhimu kwa kutoa mfano katika tabia mbele ya waku na maandiko yaamgeayo kuhusu Yesu ingetoa mifano kulingana na sheria za bibilia.
Petro aliyambiwa tena (Yoh 18:25-27) nah ii ni funzo kwetu kwa kutazama majaribio ya kanisa na waumini na vile tunavyowasaidia au sivyo.
Mathayo 26:58 hadi 27:2 inatua sheria kuhusu jaribio la Yesu kutoka kwa Yohana 18:27-28. Ni kitu kibaya yasiyofaa kuonyesha ilionyeshwa kwa Mathayo 26:59, 60 kuwa makuhani wazee na wenye sheria walijilaumu walivyofanya kuiharibu sheria kupata mwisho wao, kifo cha Messsaya.
Majaribio ya Petro iliisha vile Kristo alisema ingefanyika
Mathayo 27:1-2 kristo amewekewa kifo bila
hatia na Yuda na samhedrin akiwa mkuu wa wafarisayo na wanaongoza. Walisimamia
kufunguliwa mashtaka chini ya sheria ya Mungu (Kut 23:1-9).
Sheria ya kuhumu ya kutoheshimu sheria, kufungia mashtaka ilitolewa kwa Yuda na sanhedrin na kupewa kwa kanisa (Lev. 19:16-16) kutokuwa na hukumu kutokana na ukweli, Deut. 16:18-20.
Ilikuwa jukumu la sanherdin na kundi ya makuhani kufungwa shtaka. Lakini lazima liwe ile ya ukweli (Deut 17:8-13).
Yohana 18:28-40 kwenye mpangilio hii tuonaona Mesaya alipelekwa kwa wakuu wa Gentino kwa majaribio kwenye aya ya 37 kristo anamwambia Pilato sababu ya kutukuhumiwa na Pilato akawaendea Wayahudi na kusema. Sijapata kosa lolote kwake.
Wayahudi walipewa nafasi ya kuacha nia mbaya lakini wakataka Banavas aliyekuwa mmoja kutolewa Barabbas maanisha mwana wa kiume wa baba.
Kinachojitokea hapa ni kwamba Kristo alikufa ili iadulime huu kama mwana wa Mungu wa kiume.
Yohana 19:1-7 Pilato tena aliyajibu kuwaomba na kugundua anakabiliana na mambi ya kiumini (aya ya 71 na ameogopa.
Kilichokuwa mbaya kwa Wayahudi ni kiwa Yesu Kristo alisema yeye ni mwanawe Mungu ha hii ni neni la ukweli lilotumia na Malaki 2:10. Si sisi sote tuna baba mmja? Kristo alijitolea kabla ya hukumu Yoh. 10:33-38.
Kulikuwa na hukumu ya kishetani yaliyowekwa Yesu Kristo yaliyotengenezwa na wayahudi waliowazembe kuhusu sheria na mpango ya Mungu.
Pilato alijibu tena kumfangilia huyu ambaye hakuna na kosa (Yoh 19:8011) Mungu anatoza sheria ya kuongoza. Kwwa hiyo serikali yote amekubaliwa na Mungu kwa waliochaguliwa.
Yohana 19:12-16 wayahudi walimkana Yesu Kristo kama mfalme na endelea kufanya hivyo na kumchukua Kaisari alivyo.
Usulibishi inakulikana (Yon 17:17-22).
Kwenye Zaburi 22:1-8 inaona maandiko ya kwamba Kristo amepangwa kwenye utabiri, kutoka na aya ya 1 tunaona kilio chake aliposubiwa. Tunaona Zaburi 22:8 iliuoko kwenye Mathayo 27:43
Utabiri kwenye Zaburi 22:18 inaendelea kudhibitishwa kama usulibisho maendeleo na nguo zake kugawanywa.
Kwenye zaburi 22:22 tuonaona utabiri ukisemwa na imesemwa kwa Waebrania 2:12 tuonaona kutokana na zaburi kuwa Mungu hakumwacha lakini alimokoa.
Waebrania sababu ya kujitolea (Waeb 2:10-18) ingawa mwanakondoo wa Mungu alikubaliwa kuuwaowa sababu kutokana na kifo chake wengi watafawa maisha ya milele kutokana na uaminidu na amani yao.
Kwa nini tena mwanakodnoo wa Mungu alijibadilisha kuwa ya kiroho kuwa mwanaume na kuvumilia hadi kifo? (cf. Phil 2:5-8 RSV). Je Mungu alipenda matoleo? Siyo kulingana na Hoseya 6:4-7, 1 Sam 15:22 Wahibrania 5:1, Kika 6:8. Ni heshima inayotakikana kwa maisha ya milele. Wote wametenda dhambi na kupata idhinisho ya kifo. Ingawa maridhiano ni muhimu, na ni heshima ya Kristo kwa kifo na kutokana na damu ya Yesu ili tudhiano na Mungu.
Kutokana na damu ya Yesu ili tudhiano na Mungu. Hii ndiyo kiini cha kifo ya Mesaya. Kwa kujitolea kwa Kristo ilikuwa muhimu kwa madhano ya uumbaji wa Mungu za kidunia na kibingini.
Waliochaghuliwa pia wanahitaji kutoa maisha yao kwa ajili yaw engine vile Kristo alifanya. Kwa Waebrania 13L5-16 Paulo anajadili swali ya kujitolea na kazi yake kwa waliochaguliwa.
Matoleo yote yaliwekwa mahali kuelekea penye walimo walichaguliwa na Mesaya kama kiongozi wa serikali ya Mungu ambayo Mungu anataka. Mungu anahitaji heshima kwa sheria zake.
Maisha ya milele hatapeamwa kwa wale wasiokuwa na heshima. Hii ndiyo maana kuwa ufufuzi mara mbili (cf Rev. 2:4-15). Imani bila utendakazi umekuja. (Jas 2:20-26) na sisi kutokana na kazi yetu tunaonyesha imani (Jas. 2:18 kazi zetu ni heshima kwa Mungu anayeishi kama Mesaya ilovyoonyeshwa.
Kwa siku hiyo ya pasaka kwa 30CE duia nzima na makabiliano ya binadamu zote zilikuwa kwenye mgogo wa toleo ambayo hahina dhambi.
Yohana 19:25-42 inaonyesha mipango ya Kristo na tukio za binadamu. Alimwachia Yohana kazi ya kumlinda mamaye, ambaye atamtumikia hadi katika nyakati zake za uzeeni.
Moja ya matabiri inahitaji Kristo kuchomwa (Zech 12:8-14) nah ii ilidhibitishwa kwa Yohana 19:28-37, na akapeana roho mtakatifu. Linaitazama kutokana na maandiko kwenye Mathayo 27:39-54 kuwa wakati haya yanapotendeka pasia iligawanywa kwa vipande mbili, yanapotendeka pasia iligawanhwa kwa vipande mbili, ikifungua uzafi na wasafi kwa waliochaguliwa. Tunaeza elekea kwa makazi ya Mungu na kuomba kwa ajili yaw engine vile Kristo aliomba kwa ajili yetu.
Baadaye mwili wake ulishushwa na kuzikwa vile siku za kuheshimiwa zilikaribia kuazia (Yoh. 19:30-42).
Alikuwa mwanakondoo na mwli wake ulibaki kwenye kaburi kwa usiku na mchana tatu kutokea mwanzo wa Nisani 15 saa kumi na mbili jioni Jumatano mwaka wa 30CE hadi Jumamosi jioni saa kumi na mbili kuwa mwisho wa Nisan 17 kwenye maandalio ya kuenda binguni saa tatu Jumapili asubuhi kama toleo la matunda.
q