Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[CB107_2]
Mafunzo:
Hekalu Iliyojengwa na Solomon
(Toleo 1.0 20070727-20070827)
Katika somo hili tutapitia upya hoja muhimu kufunikwa katika karatasi Hekalu Solomon
Kujengwa (No. CB107)
na kutoa masomo shughuli
katika kuimarisha dhana kuwa kufundishwa.
E-mail: secretary@ccg.org
(Copyright ©
2007 Diane Flanagan, ed. Wade Cox)
(Tr. 2012)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu
Masomo haya pia
yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Hekalu Iliyojengwa na
Solomon
Kushingulikia fikira zinazohusiana na hekalu Solomon alijenga na mfano yanayojitokeza hapo.
Dhamira
1) Watoto wataweza kufahamu Solomon alikuwa nani
2) Watoto watataja aina saba za fanisha au penye Solomon alijenga hekalu
3) Watoto watataja kila mifano inazimamia nini
4) Watoto watajua kuwa hekalu ni ya kiroho.
The
Maandiko
Ya Kuisoma
1 Bibilia ya Wahubiri 28:2-3
Mipangilio
- Anza na maombi
- Waulize watoto kuhusu hekalu jangwani na jumwisha kile wanachofikiria
- Waulize kama hekalu ya Solomon ni tofauti na ile ya jangwani.
- Funzo – Hekalu somolom alijenga
- Fanyia kukio zinazohusiana na hekalu Solomon aliyejenga
- Maliza na maombi
Funzo
1) Soma karatasi ukipitia kwa karatasi hekalu Solomon alijenga (No. CB107) ikiwa imesomwa kwa umoja
2) Tumia maswali na majibu kuangalia hoja muhimu kwa funzo No. CB107.
Maswali
ya watoto imeandikwa kwa makaa na kufuatwa na jawabu
Sw1. Nani alitamani au kutoka kungengea Eloah Hekalu?
Jibu. Daudi (1 Wafalme 5:3, Kron 17:1-15, 28:3)
Sw2. Nani lichaguliwa kujengea Eloah hekalu?
Jibu. Solomon (1 Kron 28:6-7, 17:12, 1 Wafalme 5:5)
Sw3.
Je! Ufalme wa
Daudi ungetengenezwa kwa umilele?
Jibu. Ndiyo; Mungu alimwambia Daudi (1 Kor 28:6-7) kuwa Solomon atajenga nyumba ya Mungu na ufalme utakuwa wa milele (1 Kr 28:19-20)
Sw4.
Solomon alipogundua alikuwa akiwa kwa maba ya babake?
Daudi kama mfalme alimwomba Mungu uerevu na hekima kuongoza watu wa Mungu. Mungu alimpa hekima na kuubariki na utajiri wa kuonekana (2 Kron 1:8ff)
Sw5.
Je! Daudi alitoa vitu kwa hekalu kabla ya kufochake?
Jibu. Ndivyo Daudi alitoa vituvyake vya dhamana ya hekalu (1 Kron 29:2-3)
Sw6.
Je! Mungu anataka dhabihu kuwa katika hekalu ya kiroho?
Jibu. Mungu anautaka maskini, ambaye amevunjika roho kuliko dhabihu.
Sw7.
Je! Watu walitoa kwa mapendeleo kulinganishwa na
nyakati za hekalu?
Jibu. Ndiyo (1 Kron 29:6-9)
Sw8.
Je! Hekalu ilijengwa wapiu
Jibu. Mlima wa Moriah, hapa ndipo malaika wa
kujitokeza ulimtokea Daudi, na mahali Daudi alitengeneza altari kwenye sakafu
ya Aranuach au Ornan wa Jebusite (2 Kron 3:1) tena ni mahali Abrahamu kumfanya
Isaka
Sw9. Nani alipewa jukumu la kujenga Hekalu?
Jibu. Mungu alimpa Daudi mipangp hiyo (1 Kron 28:19) na Daudi akampa Solomon (vv 11-12). Hii imejumuisha mipangilio ya ukahani na Wanalevi kwakazi ya Hekalu (v13).
Sw10.
Je! Solomon alihaidiana na nani kwa usambazaji wa vitu
vya Hekalu?
Jibu. Solomon alihaidiana na Hiram mfalme wa
Sw11.
Je! Kulikuwa na wegeni katika ujenzi wa Hekalu? Kama ni hivyo, wanasimamia nini?
Jibu. Ndivyo, kulikuwa na 153,600 wageni Israeli waliosaidiana katika ujenzi wa Hekalu. Hii inalionyesha kwamba ukovu ni kwa wote au uko huru kwa wote.
Sw12.
Je! Sherehe za Mungu za kila mwaka hutuonyesha nini?
Jibu. Mipango ya Mungu.
Sw13.
Je! Mawe ya Hekalu zilikatwa kwenye kwawe? Kwa nini au kwanini
isiwe?
Jibu. Mawe haya zilitengezwa kwa kware na kuletwa kwa Hekalu ikiwa na mpangilio shabiti (1 Waef 6:7). Kwa njia sawa, mawe ya kuishi yametengenezwa mbali na yerusalemu na kuletwa hapo kwa utengenezaji wa Hekalu ya kiroho katika kumdi kwa Kristo. Wako sawa na haikuhitaji kazi tena kwa sababu tayari wapo pamoja (Waefeso 2:21)
Sw14.
Je! Solomon alianza kutengeneza Hekalu linii?
Jibu. Solomon alianza kujenga siku ya pili wa mwezi wa pili wa mwaka wa nne ya uongozi wake (2 Kron 3:2)
Sw15.Je!
Hekalu ilializwa lini?
Jibu. Hekalu ilimalizwa mwaka kumi na moja wa uongozi wa Solomon, mwaka moja na nusu baada ya kuanzishwa. Ilikuwa nzuri kuliko jingo lolote wa wakati huo. Kwa miaka kumi na mitatu ilisimama hapo, kwenye mpangilio ya Morcah, iliyoyamaza na kutotumika. Solomon angekuwa akifanya kazi kwa Hekalu kwa miaka zadi ya ishirini. (2 Kron 8:1). Ishirini ni nambari ya utaraji (cf companion Bible note to 8:1) iliyokua miaka saba na mwezi saba kujenga nyumba ya Mungu na tena miaka kumi na tatu kwa nyumba ya mfalme, kuumba cha uhukumu na nyumba ya mauti wa Labanon.
Sw16. Nani moja ambaye amejulikana kuona Hekalu?
Jibu. Malkia wa
Sw17.
Kulingana na wakati wanaisreali waliacha Misri ujenzi
ulianzishwa wapi?
Jibu. 480 inasimamia mzunguko 12 wa kutubu (12 x 40 = 480). Kumi na mbili inasimamia nzuri na 40 imejengwa na wakati wa kutubu kwa hivyo tunaona kutubu na utengenezaji wa nzuri wa serikali
Sw18.
Kutokana na ujenzi uliomalizika kwenye Hekalu, ni
miaka ngapi tangu wanaisraeli watoke Misri?
Jibu. Ilikuwa miaka 500 au jubili 10 kutokana na
waisraeli kama nchi iliyochaguliwa na Mungu kutoka misri kwa umalizaji wa
Hekalu ya kwanza kule Yerusalemu
Sw19.
Mwaka upi zijazo ambapo kazi imeanza kwenye Hekalu
inavyolezwa na Ezekieli?
Jibu. Mwaka wa 2028. mwaka inaanzia miaka ya 50 au jubili ya uzamizi wa Hekalu. Vile tunavyoona tabanako kuwa jangwa iliyojengwa na kuzumamishwa au kuwekwa kwa mwaka ya pili ya kutoka, kwa hiyo tunaona kazi ya Hekalu kwa Yerusalemu inayoonyesha 2028. Hekalu ya milinia ya nyumba ya uongozi ya Mesaya na kusema utamalizwa na jubili. Tazama Rule of the kings part III; Solomon and the key of David (No. 282C) kuhusu nyingi angalia vinavuohusiana na Mungu wa template.
Sw20.
Je! Watu wsalikusanyika wapi kumwabudu Mungu?
Jibu. Watu walidanyika nje ya mahakama. Hii ndio maana walileta dhabihu kwa mkuhani.
Sw21.
Je! Altari ya sadaka ya kuteketezwa iko wapi?
Jibu. Altari ya sadaka ya kuteketezwa iko kwenye eneo la ndani ya mahakama, pia inaitwa mjengo wa mahakama ya Hekalu. Hapa ndipo makuhani walitoa dhabihu kwa Eloah.
Sw22.
Brazen ni nini / ziwe ya kuliwa moto?
Jibu. Brazen / ziwa ya kutiwa moto kwenye ziwa kubwa (pool) ya maji iliyokuwa kubiti tano na kumi (kupimwa 7½ ft 2.3m juu na 15ft au 4.5m kwa upana). Iliwekwa kuzini mashariki ya eneno la ndani ya korti. Ziwa iliwekwa nyuma ya daliali kumi na wawili, na miangalio mitatu kuelekea kila upande wa dira. Hapa ndipo makuhani walijidafisha kabla ya kutoa dhabihu.
Sw23.
Nini ilikuwa ndani wa ziwa Brazen?
Jibu. Ziwa lilikuwa na mipangilio mbili ya mpira 300 kwa mfano wa kichwa cha fahali juu ya mivisho wa ziwa.
Sw24.
Je! Vioo kumi ulikuwa nini?
Jibu. Ni beseni ambayo ilikuwa 4 x 4 x 3 kubiti (kupimwa 6ft au 1.8m undani na kwa upana na 4½ ft au 1.4m juu) na miguu vioo tano kusni kaskazini wa Hekalu. Kila kioo kilikuwa na bafu 40, kwa ujumla 400.
Sw25.
Mipangilio
Jibu. Mipangilio ya Hekalu iliashiria mipango ya ukovu. Tukikumbuka mipangilio ya jangwa ilikuwa 10 x 30x 10 kiubit. Mfalme 6:3 inatuambia Hekalu ya mara mbili au tatu ya tabanako 20 x 60 x 30 kuibiti (kupimwa 30ft au 9.1m juu) kwa hivyo tunauona uwingi wa Hekalu Solomon ikiongezeka mzunguko kumi na miwli kwa idadi kutoka kwa tabanakoli ya jangwani. Kule jagwani tunaona idadi ya 3000 kibibilia vile imelinganishwa na 36000 ya Hekalu Solomon alijenga. Kumbuka, nambari kumi na mbili inahusiana umalizo kamili. Tena tunauona majengo ya Mungu, jumuiya ya Mungu inaonekana kuongezeka na kuendelea na wakati.
Sw26.
Makuhani walikuwa na makao wapi?
Jibu. Makao yalijengwa kuzini, magharibi na kaskazini mwa Hekalu haya makao yalikuwa kipande cha Hekalu.
Sw27.
Je! Podi ilikuwa wapi?
Jibu. Ilikuwa katika kuingilio kabla ya Hekalu mashariki podi ilikuwa 120 kwa uredu (Kupima 180ft au 55m) mara nne urefu wa Hekalu na ilikuwa na mipatano saba (stepu sita) kuingia kwenye Hekalu.
Sw28.
Je! Majina ya kusiki cha mjenga mbili vilitwaje?
Jibu. Wa kulia kuzini uliitwa Jachin inayomanisha Mugnu atautengeneza. Wa kushoto kaskazini ilitwa Boaz inayomaanisha Mungu ni nguvu.
Sw29.
Mahali takatifu
ilikuwa wapi?
Jibu. Mahali takatifu ilikuwa ndani ya jingo la Hekalu. Hii ndio mahali mezi kumi za mikate ya kushukumwa na nisimomizo kumbiza taa na altari ya sadaka.
Sw30. Msimamizo la taa zilikuwa ngapi kwenye Hekalu?
Jibu. Zilikuwa kumi, tano kulia na tano kushoto.
Sw31.
Je!
Jibu. Zilikuwa kumi na tano na tano kushoto. Kila meza ilikuwa na mikate kumi na mwil na kwa jumla mikate 120.
Sw32.
Je! Altari ya sadaka ilikuwa wapi?
Jibu. Altari ya sadaka ilikuwa mbele ya utakatifu ya watakatifu.
Sw33.
Ni kulinganisha mahali takatifu na nmahali
uliotakatifu zaidi au utakatifu wa watakatifu?
Jibu. Mlango miwili na pasia ya buluu, zambarau na krispn.
Sw34.
Je! Mahali ulio takatifu zaidi ilikuwa nini?
Jibu. Ilikuwa mahali pa kuishi ya Mungu duniani.
Sw35. Nini kulikuwa ndani ya mahali takatifu?
Jibu. Kulikuwa na kifaa cha makubaliano na cherubini.
Sw36. Nini kulikuwa ndani ya kifaa cha makubaliano.
Jibu. Kulikuwa na tableti mbili, vilivyokuwa na sheria kumi vilivyoandikwa kwao.
Sw37. Ni jukumu gani la kufukika Cherubini?
Jibu. Jukumu ni kulinfa uongozi wa Mungu, wasimama ndani ya mahali ulio takatifu zaidi na zilikuwa kwa kifaa hicho. Mabawa ya hivi vifaa vya ahadi. Zinawakilisha chembuni ya waodalizi.
Sw38.
Je! Hekalu ilionyeshwa lini?
Jibu. Solomon alionyesha Hekalu siku ya saba ya mwezi wa saba. Nambari saba inayonyesha uzuri wa kiroho na inanakili mipango ya Mungu iliyoko kwenye kalenda.
Sw39.
Je! Kulikuwa na wanaaluziki waliotumikia Hekalu?
Jibu. Ndivyo, wanamuziki waliimba na kupiga mlio tufauti. Mfalme Daudi aliandika Zaburi nyingi
kuimbwa na ala za muziki kwa kuabudu Mungu mmoja wa
kweli.
Sw40. Je! Kunayo Hekalu ya kiroho?
Jibu. Ndivyo, kanisa ambayo
inajumuisha wakristo waliobatizwa ndio Hekalu ya kiroho ya Mungu.
Shughuli:
1.Kupata vipande vya Hekalu
Maelezo
watoto kupokea mwaliko na "kupata vipande Hekalu" (angalia mwaliko masharti). watoto kufika katika siku kufanyika na wakati wa
tukio hilo na mwaliko wao. watu wazima inaruhusu watoto wa kuchukua kadi kutoka
moja ya vyombo saba / mapipa. watoto ama alama mbali idadi ya bin wao
kuchaguliwa kutoka, au kuuliza watu wazima kuvuka mbali idadi sahihi na kusoma
kadi kwa mtoto. mtoto anadhani ya ambayo kipande cha samani ni jibu sahihi kwa
swali na anaendesha kwa kuwa eneo la yadi au chumba. Wakati mtoto fika katika
eneo sahihi ya watu wazima huko anauliza maswali kuhusu mtoto kwamba kipande
cha samani (sahihi yake ya ngazi ya akili). Wakati mtoto kwa usahihi swali
muhimu (s) yeye / yeye ni uwezo wa kuchagua zawadi kutoka mfuko wa tuzo ya
kituo hicho. mtoto basi anaendesha nyuma kwa watu wazima na vyombo saba na
huchota swali kutoka bin mwingine hadi maswali yote saba wamekuwa akajibu.
Eneo
okubwa ya ndani au nje ya eneo kulingana na idadi ya watoto sasa. o Items
kuanzisha kuwa: nje uani au ukumbi, madhabahu ya kuteketezwa, bahari ya kusubu,
kinara, mikate ya wonyesho, madhabahu ya kufukizia uvumba na sanduku ya Agano.
Vifaa
°
Mwaliko
"kupata vipande Hekalu" - moja kwa kila mtoto.
°
Shughuli
maswali moja kwa kila mtoto, kabla ya kukata na kuweka katika bin usahihi
namba.
°
Watu
wazima kwa mwanaadamu "bin uteuzi" na watu wazima katika kila moja ya
maeneo saba ya Hekalu.
°
Zawadi
kwa kila kituo cha kila kulingana na idadi ya watoto kushiriki.
°
Zilizopendekezwa
zawadi ni:
CB107_2 kadi ya template
Lango kuu la
Hekalu Eneo la
mahakama na msingi Altari ya brunt Ziwa la Brazen
\mkute wa kushonwa Misimamia ya
taa Altari ya
sadaka Kifaa ya ahadi Zipe alama
fanidi hivi vyote Zitafute na
ujibu maswali Kuvihusu |
Tafuta
vipande vya Hekalu Tarehe
_____________________ Wakati
_____________________ Mahali
______________________ Kitu
cha kuvaliwa ______________ Kitu
cha kuletwa ______________ |
Lazima upate
lango kuu la Hekalu eneo la mahakama na msingi Altari ya brunt Ziwa la Brazen Mkate wa
kushonwa Misimamio ya
taa Altari ya
sadaka Kifaa cha ahadi
Zipe alama famisha hivi vyote Zitafute na
ujibu maswali Kuvihusi |
Tafuta
vipande vya Hekalu Tarehe
____________________ Wakati
____________________ Mahali
______________________ Kifaa
cha kuyalishwa ___________ Kitu
cha kuletwa ______________ |
CB 107_ 2 kadi ya temple: mswali ya eneo la
mahakama
Je! Hekalu iliyojengwa na
Solomon ilikuwa wapi? |
Je! Mawe ya Hekalu
yalikatwa vilivyotolewa? Kwa nini au kwa nini isiwe. |
Je! Watu walikusanyika
wapi kuabudu Mungu? |
Je! Altari ya sadaka ya
kuteketewa iko wapi |
Makao ya makuhani yalikuwa
wapi? |
Pochi ilikuwa wapi?
Ilikuwa pana kiasi kipi? Milango ya Hekalu ilifunguka vipi? Kwa nini? |
Majiba ya msingi mwili kwa
pochi ya Hekalu yalikuwa nini? |
Je! Ziwa la Brazen na vioo
10 kwenye eneo la mahakama zilikuwa wapi? Viliwekwa wapi? |
Je? Jachin na Boaza
zilikuwa |
Je! Pongranti ngapi
zilikuwa kwa kula mingi? Je! Vilikuwa ngapi kwa idadi? |
Je! Kunayo maelezo zaidi
yanayopewa kwa Hekalu ya miliona ya eneo la mahakama? |
Je! Ziwa la Brazen, altari
ya kuteketezwa na msingi zilikuwa na nini sawa? |
Maswali ya Altari ya kuteketezwa
Je! Wapi altari ya sadaka
ya kuteketezwa? |
Nini inaoona ya kwanza au
kuwa wa kwanza unapoingia hekaluni jangwani? |
Je! Altari ilikuwa duara
dufu kwenye Hekalu ya jangwa? |
Je! Altari ya sadaka ya
kuteketezwa yalikuwa na pembe nne kwa kona? |
Ni miti upi au chuma
iliyotumika kutengeneza altari ya kuteketeza kule jangwani? |
Je! Moto katika altari ya kuteketeza
ilichomeka kila mara |
Je! Wanyama aina gani
walitolewa |
Je! Altari ya kuteketeza
kwa Hekalu Solomon alijenga ni kubwa au ndgo kuliko ile ya jangwa? |
Je! Chuma za nyakati za
Solomon zilikuwa tofauti au sawa na za wakati wa jangwa? |
Je! Ukubwa na altari ya
kuteketeza ya Hekalu ya milima ni kubwa kuliko ili iliyojengwa na Solomon? |
Je! Kutakuwa na altari ya
kuteketeza, mji wa Mungu? |
Je! Dhabihu itatendeka
tena kwenye altari ya kuteketeza? |
Swali ya ziwa la Brazen
Ziwa la Brazen ziwa la
kutiwa moto ni nini? Nani alitumia na kwa nini? |
Nini ilikuwa juu ya ziwa
litwalo |
Vichwa ngapi vya fahali
vilikuwa kwa ziwa la Brazen? |
Vioo kumi ni nini?
Zinatumika kufanya nini? Vimewekwa wapi? Vinaweza kutolewa? |
Ziwa la Brazen
ilipunguzshwa wapi? Unafikiria inasimania nini? |
Nani ni chemichemi ya maji
ya kuishi? Je, mto wa maji ya uzima inatokana wapi? |
Je! Ziwa la Brazen ako
wapi? |
Je! Kulikuwa na ziwa la
Brazen kule Hekalu ya jangwani? |
Je ziwa la Brazen / vioo
vilisimamia nini? |
Je! Kunayo ziwa la Brazen
kwa Hekalu ya milima? |
Je! Wakubwa wanafanya nini
mara moja kwa kila mwaka inayoshukana na maji? Je sherehe hii inasimamia
nini? |
Je! Kunayo ziwa la Brazen
kwa mji wa Mungu? |
Maswali ya msimamo ya taa
Je! Mahali takatifu
ilikuwa wapi? |
Muimamio ngapi ya taa ziluwa
kwa Hekalu zilikuwa wapi? |
Je! Msimamio kumi ya taa
kwenye Hekalu Solomon alijenga inasimamia nini |
Nini maana ya kuweka taa
yetu ikijazwa na mafuta na inawaka |
Bakuli ngapi ziko juu ya
kila msimamo wa taa? Zinazimamia nini? |
Je? Nani ni hdahabu ya msimamo wa taa wa
Zakaria? Nani ni miti miwili ya Olive kwa kila upande wa msimamio wa dhahabu
wa taa? |
Nini inawekwa kwa taa ili
iwake? Inasimamia nini? |
Je? Kutakuwa na msimamio
wa taa kwenye mji wa Mungu? |
Nani nahudumia msimamo wa
taa? Zinahudumiwa vipi? |
Je! Kutakuwa na jua mwezi
katika mjiwa wa Mungu? |
Upande upi wa Hekalu
jangwani mzimanuo wa taa uliwekwa? |
Nani ni mwangaza wa dunia? |
Maswali ya mkete wa
wishwa
Mahali takatify ilikuwa
wapi? |
|
Je! Unauona mesa ya mkate
wa kushonwa kata mji wa Mungu? Kwa nini au kwa lazimwa? |
Nani alitengeneza mkate wa
kushonwa? Zilitengenezwa siku ipi? |
Mikate mingapi yalikuwa
kwa Hekalu jangwani? |
Mkate ya kushonwa
zilitolewa siku upi? Nani alivikula mkate wa manyesho ya kali na siku upi? |
Mkate ngapi ilikuwa kwa
Hekaluni Solomon alijenga? |
Onyesha vile mkate wa
kushonwa ilikuwa kwenye meza ya mkati wa unaonyesha? |
Nini mkate wa uzima? |
Nini tena inachofahamu
iliyoko kwenye mpangilio mbili? |
Je! Mkate wa kushonwa
haukuwa wa wishwa? |
Nini ilikuwa juu ya mkate
wa kushonwa? |
Blue Utepe Mufano
Blue Utepe |
Blue Utepe Kumbukumbu la Torati 22:12 Wewe atafanya pindo
yako juu ya mipaka
ya nne ya vazi lako, ambayo
wewe kufunika mwenyewe. |
Blue Utepe
|
Blue Utepe |
Maswali ya kifaa cha ahadi
Nini ilitenganishwa mahali
takatifu na mahali takatifu zaidi au utakatifu wa watakatifu? |
Je! Nini kulikuwa mahali
takatifu zaidi? Eleza vile mahali takatifu ilikuwa kwenye Hekalu jangwani na
Hekalu Solomon alijenga? |
Nini ilikuwa ndani ya
mahali takatifu
zaidi? |
Nini ilikuwa ndani ya
kifaa cha ahadi kwenye Hekalu ya jangwa? Je! Wakati wa Solomon ilikuwa hivi? |
Chemichemi mbili kufinika
zilikuwa na fakumu ipi? Zilifanana aje na cile kuwa kubwa kiazi kipi? |
Je! Mtu yeyote angeweza
kuguza kifaa cha ahadi? Kwa nini au kwa nini hisiwe? |
Je! Mbao tatu iliyotumika
katika mtengenezaji wa kifaa cha utakatifu wa watakatifu na utumika wapi? |
Nini ilikuwa juu kifaa cha
ahadi? |
Utakatifu wa watakatifu
ilikuwa na umbo upi? Nini tena nguzo zimeelezwa kwa umbo huu? |
Torati ya Mungu inafaa
kuwa wapi? Je! Sheria ya Mungu inabadilika? |
Nini ilikuwa kiazi cha
utakatifu na watakatifu kwa yafuatayo. Hekalu jangwani? Hekalu Solomon
aliyejenga? Hekalu yam |
Je! Mlingoti yepi yalikuwa
katika kifaa cha ahadi? Zingeweza kutolewa? |
Maswali ya altari ya sadaka
Altari ya sadaka ikiwa
repi? Hekalu ya jangwani? Hekalu Solomon aliyejenga? Ninguni? |
Je! Kunayo altari ya dhahabu
mbele ya uongozi wa Mungu? |
Je! Altari ya sadaka
inalingnewa kila mwaka? |
Je! Altari ya sadaka ni
pembe nne? Unaweza kufikiria nini tena ambayo inahusiana na nne? |
Je! Altari ya sadaka
imetengenezwa na bao sawa katika nyakati za Hekalu ya jangwa na Hekalu
Solomon alijenga? |
Nani angetoa sadaka kwenye
altari? |
Je! Altari ya sadaka huwa
inafuniwa na dhahabu? |
Je! Kulikwa na resipe
speseli ya sadaka? |
Je! Sadaka inanukiaje? |
Je! Altari ya sadaka
inasimamia nini? Je! Lazima kuwa na uteketezi wa sadaka kwenye altari? Hii
inamaanisha nini? |
Je! Moto ya kuwakisha
altari ya sadaka inatoka wapi? Je! Tunaweza kutumia moto mengine? Hii
inamaanisha nini? |
Nani naufuatilia maombi
yetu? |
Maswali ya jumla (1)
Je! Hakalu iliamilishwa
lini? |
Nani aliyejulikana
aliyekuja kuuona Hekalu? |
Kuhusiana na wakati
waisraeli walitoka Misri, ujenzi wa Hekalu ulianzishw mwaka upi? |
Kutoka wakati ujenzi
ulikamilika. Kwenye Hekalu ni miaka mingapi tangu waisraeli waache Misri? |
Mwaka vupi ujao kazi
utaanzishwa kwenye Hekalu ulioelezwa kwa Ezekiel? |
Je? Vipande vya viumbo
Solomon alijenga kwenye Hekalu ziliashiria nini? |
Je! Maonyeho ya Hekalu
ilitendeka lini? |
Je! Kulikuwa na wanamusiki
walioudumu kwenye Hekalu? |
Je! Kunayo Hekalu ya
kiroho |
Je! Hekalu ya mlinia
itakuwa na dhabihu tena? |
Nani ataongeoza kutoa
dhahihu kwenye Hekalu ya milinia? Ni
amri gani zimefuatwa? |
Ni mkuhani wetu mkuu sasa? |
Maswali
ya jumla (2)
Nani alitamani au alitaka
kumjengea Eloah Hekalu? |
Nani alichukuliwa
kumjengea Eloah Hekalu? |
Je! Ufalme wa Daudi
ungedhunishwa milele? Hii inamaanisha nini? |
Solomon alipogundua
angefaa kujenga heklalu na kuongoza watu wa Mungu, alimwomba Mungu nini? |
Je! Daudi alitoa vitu vya
ujenzi wa Hekalu kabla kifo chake? |
Nini Mungu anahitaji kuwa
dhabihu iwe katika Hekalu ya kiroho? |
Je! Watu walitoa kwa imani
vile iko kati nyakati za zamani? |
Je! Solomon kujenga Hekalu
lini? |
Mipango ya kujenga Hekalu
alipewa nani kutoka kwa Mungu? |
Je! Solomon alihaidhana na
nani kuhusu usambasaji wa vfaa vya ujenzi? |
Je! Kulikuwa na wwageni
waliojuhusisha kwenye ujenzi wa Hekalu? |
Je! Sherehe za Mungu za
kila mwaka zimatuonyesha nini? |
q