Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

[112B]

 

 

 

Upatanisho Kupitia Msamaha

 

(Toleo 2.0 2008119-20080203)

 

Toleo hili lafuatia kutoka karatasi Msamaha (No. 122) na inashugulikia upatanisho wa mizozo ya kanisa ya baina yetu.

 

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

 

 

(Copyright ã 2008  Wade Cox)

(Tr. 2009)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 

 


 Upatanisho Kupitia Msamaha

 


Kwa kipindi kirefu, kanisa limewapoteza watu wengi kupitia dhambi, hitilafu na kujichukulia kuwa wenye haki.

 

Saa nyingine watu hufuatia zao na kutaka kufuatia mizozo iliyo baina yao na kanisa.

 

Kutokana ombi, wengi hauma nguvu kutatua ugomvi wengi huchakia sababu hii.

 

Kanisa ni mwli wa waumini wanaoaminia mkondo Fulani wa utendaji, wahamarishaji wanaomba kushika usukani au kubadili namna ya mkondo wa uamuzi kwa njia zisizofaa. Watu kama hao hujiondoa pindi wakamtwapo. Baadhi yao hujitenfa kimaksidi ambayo hayamamiliki azimio lolote.

 

Mara nyingi watu wengine hudhani kuwa wanatumikia Mungu wakati ambapo wao hukutona na watu wanaoamini vitu tofauti na wao.

 

Matoketo ya kawaida ni kuwa hawajadiliani kuhusu jambo ambalo linawatatanisha. Hiyo ilikuwa ni moja wapo ya sababu ambazo hayafanya makanisa ya Mungu yalioyo chini ya Herbert Armstrong kutohubiri kuhusu maumbile ya Mungu.

 

Hawakuyaelewa na kulikuweko hitilafu kadhaa wa kadha za imani kuhusiana nayo. Kwa sababu hiyo hiyo, wafuasi wa Armstrong pia wana mitazamo kadha kadha hivyo, nao pia, hawakadili maumbile ya Mungu. Hiyo ndiyo sababu ya Central Organization na baadhi wazawa wake walibadilishwa kuwa wafuasi wa utate.

 

Watu hutenda makosa mara kwa mara na wanapaswa kuchukuliwa kama udugu.

 

Maandishi katika karatasi Forgiveness (No. 112) ilimalisika kwa utaratibu wa msamaha.

 

Matendo Katika Msamaha

 

Awamu 1: Kosa

Zingatia: Je udhalilisho wa sheria za Mungu, au ni majivuno yetu au yao, au mzizi wa akili? Je limewahi kutokea awali?

 

Hatua 1: Mwendee Mungu a uombe uongozi?

Hatua 2: Changua kupuuza au kutenda jambo. Tukipuuza, twapaswa kusamehe na kusahau na kutamatisha tatizo husika.

 

Awamuu 2: Gundua jukumu la kila mmoja

 

Hatua 1: Tulifanya nini? Tungefanya nini badala yake?

Hatua 2: Je huyo mwengine alifanya nini? Angepaswa kufanya nini badala yake?

Awamu 3: Mwendee mtu huyo

 

Hatua 1: Jadilianeni kuzingatia mtazamo kutoka kila upande

a)      Tjubali (ma) kosa (1) yetu kwanza

b)      Anudua tatizo lao. Jiweke chini

 

Hatua 2: Matendo yao baadaye:

a)      Wanatubia matendo yao.

 Nenda kwenye awamu 5.

b)      Hawatubu

Endelea na wamu 4.

 

Awamu 4: Litigation

 

Litigation ni katafua ugomui mbele ya sheria.

 

Zipo harakati na sheria zilizotengwa ili kutafua mizozo. Hujaa kutatuliwa kanisani.

 

Hatua 1: Mwende mtu mhusika na mashahidi Eleza tatizo kama mwanzo.

 

Hatua 2: Ikiwa hakuna suluhisho ya hapo kwa hapo, nenda kwenye wizara na baraza la kanisa mara kadha, watu huenda kwenye wizara kabla ya kuenda kwa ndugu zao. Hata waziri anaweza kumwakilisha shahidi.

 

Hatua 3: Tatizo limeamuliwa na kutatuliwa na baraza la kanisa. Nenda   kwenye awamu 5.

 

Hatua 4: Tatizo halijasuluhishwa na baraza la kanisa, na ni kubwa kiasi cha kuhitaji na mizi wa juu zaidi. Paulo aeleza wazi kuwa hii ni hatua ya mwisho na kanisa la faa kuhusika katika utatuzi wa mizozo. Ni sharti             tuamue matatizo baina ya wateule, kwani twapaswa kuhuku ulimwengu na malaika (Wakor. 6:2-3). Ikiwa kanisa halitatenda jambo na toba haipo nenda kwenye “civil litigation” yaani, ikiwa hakuna njia nyingine na tatizo            ni zito zaidi.

 

Awamu 5: Upatanisho

 

Hatua 1: Muwe na amani katika utatizo wa tatizo. Dumuni katika mapenzi ya kidugu.

 

Hatua 2: Rekebisha shida husika

c)      Kimwili

d)      Kiroho na kihisia

 

Hatua 3: Uhusiano iliopo utunzwe na tahadhari ichukuliwe dhidi ya makosa ya mbeleni.

 

Kosa hikirejelewa, anza tena. Msamaha ikihitajika, semehe tena na uendeleze uhusiano. Liruhusa kosa husika akilini tu likirudiwa.

 

Kuti tu ya kuachiliwa ni katika ishara ya imani wa kristo na kuwa naye milele ili wala si wasiomtka Kristo kupitia maoni Mungu mkubwa, ambaye intakata kugawanya Ishara ya Kristo kupitia ubinadamu wake 2yoana 9 sasa inhitaji kuwa wakose wasemewe. Kutubu kufanywa milele.

 

Matendo Husika Katika Uhufadhi Wa Kanisa

 

Awamu 1: Baini sababu za mkosano

 

Jiulize: “Mbona mliondoka kamsoni? Je, ilikuwa ni kwa sababu ya kutoelewana, baina yangu ya kiongozo wateule wa wa kanisa? Au alitenda dhambi na kuondoka tu?

 

1.A: Kama ndivyo, nililipeleka tatizo kanisani na kukubalina na salulusho la wazee wa kanisa na sikufanya hivyo, mbona sikufanya hivyo?

 

Kama sing fanya hivyo, ninge fanyaje?

 

Kumbuka, uasi ni dhambi ya kichawi, 1 Samweli 15:22-25, inasema.

 

“Naye Samweli akasema, je Bwana huzipendi sasaka za kuteketezwa ba dhabihu sawasawa na kuitii sauti ya bwana? Angalia kutii ni bora kuliko dhabihu, na kusikia kuliko mafuta ya beberu. Kama ukafiri na vipango, kwa kuwa mwelikataa neno la Bwana. Yeye naye amekukataa usiwe mfalme. Ndipo Sauli akamwambia Samweli. Nimefanya dhambi maana nimemhalifu amri ya Bwana, pia na maneno yake kwa sababu sasa nakuomba umdamehe dhambi yangu, rudi pamoja nami nipate kumwabudu Bwana.

 

Maswali mengine ni: Je nilifeli katika matendo yangu yaliyoandikwa; ya kushikilia imani na katiba iliyawekwe? Je kundi ambalo ninalo sasa linaendeshwa vyema kidemokrasia? Je, nina kura? Mbona nimo humo?

 

Je, niliwasikiliza wasengenyi na walio kinyume na ndugu? Wako wapi watu hao sasa hivi, na matendo yao yaleo wapi? Wanaifanyia nini imani?

 

Kama sikupenda kiongozi yeyote iliyenongoza, uthibitisho wa mimi kunacha mwili wa Kristo wapi kibibilia?

 

Mwili halisi wa Kristo unafanya kazi wapi naye, ninapokea pasaka pamoja na mwili huo, baada ya kufahamu uliko na matendo yake? Je, nalitolea fungu la kumi mwili huo? Ikiwa sivyo, basi niko katika dhambi au si mwili wa Kristo.

 

Kumbuka hakuna kisababu katika kutoshirikiana kutenda kazi katika mwili wa Kristo.

 

Watu wengi wanaotka kanisani huacha kutoa fungu la kumi miezi kumi na miwili kabla ya kutangaza kuwa wanaondoka.

 

Katika kurejelea kwake, Christo awaadhibu ambao wamezificha talanta zao.

 

Mathayo 25:14-30 “Maana ni mfano wa mtu atakaye kudafiri, aliwaita watumwa wake akaweka kwao mali zake. Akampa mmjoja talanta tano, na mmoja talanta mbili, na mmoja talanta moja, kila mtu kwa kadri ya uwezo wake; akasafiri. Mara yule aliyepokea talanta tano akaenda akafanya biashara nazo, akachma faida talanta nyingine tano. Vilevile na yule mwenye mbili, yeye naye akachuma mbili nyingine faidi. Lakini yule aliyepokea moja alikwenda akafukua chini akaificha chini fedha ya bwana wake. Baaday ya siku nyingi, kaja bwana wa watumwa wale, akafanya hesabu nao. Kajua yule aliyepokea talanta tano akaleta talanta nyingine tano akasema. “Bwana uliweka kwangu talanta tano, tazama talanta nyingine tano nilizopata faida”, Bwaba wake akamwambia, vema, mtumwa mwena na uaminifu ulikuwa mwaminifu kwa machache, nitakuweka juu ya mengi, ingia katika furaha ya Bwana wako. Kaja na yule aliyepokea talanta mbili akasema, Bwana, uliweka kwangu talanta mbili tazama talanta nyingine mbili mlizopata faidia. Bwana wake akamwambia, vema, mtumwa mwena na uaminifu. Ulikuwa mwaminifu kwa machache, nitakuweka juu ya mengi, ingia kwatika furaha ya bwana wako. Akaja na yule aliyepokea talanta moja akasema, Bwana nilitambua wewe u mtu mgumu, wavuna usipopanda, wakusanya usipotawanya, basi nikaogopa nikaenda kuficha talanta yako katika ardhi; tazama unayo iliyo yako, Bwana wake akajibu akamwambia; wewe mtumwa mbaya na ulegevu, ulijua mavuma msipopawa nakusanya nisipatawanya basi ilikupasa kujweka fedha yangu na faisa yake. Basi mnyang’anyeni mumpe mwenyekuni. Kwa maana mwenye kifo ataongezwewa na asiye na kitu atanyanganywa kilicho nacho…. Mtupeinje kutakakokuwako kilio na kusaga meno.

 

Baasa kuyajibu masali yote, na kugundua kuwa wapaswa kupatana na mliyeko sawa, ni wakati mwafaka kurekebisha hali hiyo. Hatuwezi kuipokea pasaka bila upatanisho bora kati ya wale walio ndani ya mwili wa Kristo.

 

1.B: Kufungwa kwenye dhambi

 

Twapaswa kujiuliza. Nilipotubu na kukemewa na kanisa, niliondoka kwa hasira au niliondoshwa kutokana na uchungu?

 

Ikiwa niliondika kwa hasira, ni wakati kwema wa kulishingulikia tatizo husika kikomavu na nipatanishwe.

 

Ikiwa mtu aliondewa, ilikuwa ni kwa sababu alikataa kurekebishwa au alijaribu kutawala uasi au kusababisha mtafaruku katika mwili wa Kristo.

 

Je, waliondoshwa watu hao kwa ajili ya wizi au dhambi nyingine? Je walijaribu kujirekesha?

 

Ikiwa hakujaribi kufanya marekebisho, si ni wakati bora kwake kufanya hivyo sasa?

 

Upatanisho Na Uhifadhi

 

Lazima tungundue sasa kuwa. Licha ya ukosa na usawa ulio kwenye suala, lazima sote tupatanishwe na kanisa. Pengine twaweza kusema: “Nilikosa ila nani pia nilikosewa, kwa maoni yangu.” Hta ikiwa hivi ni sharti sote tuyaweke kando haya na kuutaka upatanisho.

 

Upatanisho hatua 1

 

Mtu anayehitaji upatanisho ni muhimu kuwasiliana na wahazili wa kanisa na kutaka kupatanishwa.

 

Baadaye kisha watapeana wizara ya kuchunguza na kumasihi kila mmoja matunda ya upatanisho yatakuwa bayana na wazi.

 

Huenda wizara ikahitaji baadhi ya matatizo kumaliza au kurekebishwa kabla ya upatanisho.

 

Wizaea ikitosheka kwa mhusika ametubu na kwa hakika nakitaji upatanisho, atadhibitisha katika kanisa mtu huyu apokewa upya kanisani na atambulishe cheti cha “Application for Fellowship” kilichojazwa.

 

Kamati ya kanisa inayohusika na masuala kama hayo itakipitia cheti hicho. Upo wakati ambapo watu wamewahi kupewa. Muda zaidi wa marekebisho. Hii ni kwa sababu tatizo likikuwa zito kiasi cha kuhitaji uamuzi wa juu zaidi. Uamuzi huwa haufanywi kirahisi na aghalabu maumini hulipigia kura tatizo hilo, au mara nyingine matawi ya kimataifa.

 

Kanisa limewahi kuwa na waliotubu na kuwa uwezo wa kupiga kura punde kama wengine kwa kuwa hali ilifahamika kuwa isyoleweka.

 

Kwa kuwa CCG ni moja wapo kati ya makanisa machache ambaye yanaruhusu upiga kura kati ya waumini wake, inajalisha vipi ikiwa na kura au la? Katika hali kama hii, yampasa mtu kuamini kuwa Kristo analiendesha kanisa kupitia kwa roho mtakatifu na wanaopiga kura.

 

Limited Restoration (ulifadhi wenye hatima)

Wakati mwingine maafisa honndoshwa au hujiondosha kwa sababu mbalimbali ili muda uongezeke, au mtu arejeshwe kwenye ibada ila si kwenye wadhifa na kajukumu.

 

Sote tunaufanyia kazi wokovu na kupokea mshahara sawa kama lisemavyo lile fumbo la wafanya – kazi wa shambani.

 

Hata hivyo, ipo gharama ya kulipiwa kisa shetani atapewa nafasi ya kutubu ila hatajejea kwenye wadhifa aliokuwa nao kabla ya kuasi (Tazama karatasi Judgment of the Demons (No. 80)). Mara nyingine Mungu humrejelesha mtu na kumweka mbali na dhambi kama mashariki ilivyo mbali na magharibi na kuenenda kama awali.

 

Ni Mungu kupitia kwa Roho Mtakatifu ambaye hutambua kiwangu cha ukomavu na uelevu. Ni juu kila mmoja kufanya marekebisho ju ya harakati za upatanisho.

 

Tukiomba na kufanya kwa ajili toba na upatanisho, Mungu atatenda kazi ndani yetu. Si kitu kipya na makanisa ya awali yaliyapitia haya, na huruma ya Mungu haina kifani.

 

Hatakuwa wa kwza wala mwisho kuwepo katika hali hiyo. Kaa tayari kifanya marekebisho na urejeshwa kwa nduguzo.

 

Hawajawahi kukoma kufanya kazi na kupendana kwa imani. Wameombea upatanisho kwa ulimwengu mzima kupitia kwa Kristo na zaidi ya yote, wale ambao wametengwa kanisani.

 

Hawayajibu maombi ya waliotengwa kanisani, ila wakaombea upatanisho wao.

 

Ungamavu ni wa kumjalisha mtu mwepo wa tatizo na kumtambulisha haja ya upatanisho.

 

Pasaka ni kiini cha imani. Waliofungwa na wahitaji upatanisho wanapaswa kufanya hivyo ili kuweko uelewani na upande katika ndugu wakati wa pasaka katika kila mtazamo wa sikukuu, na katika sikukuu zote.

 

 

 

 

q