Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

[021A]

 

 

 

Ufafanuzi wa Kitabu cha Hosea

 

(Toleo La 1.0 20150131-20150131)

 

Hapo mwanzoni, kwenye Kanuni ya Manabii Kumi na mbili, baada ya Hosea kwa kweli alifuatiwa na Amosi na mwendelezo wenye mpangilio maalumu na kuhitimisha utaratibu wake. Lakini Mungu ananena kwa kupitia Hosea kwa namna tofauti akishughulika na Israeli. Mahudhui ya ufafanuzi huu yanatuama kwenye maandiko ya tafsiri za biblia za RSV na MT. maandiko ya Bullinger ya tafsiri ya KJV yameongezewa.

 

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

 

 

(Hati Miliki © 2015  Wade Cox)

(tr. 2015)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayopewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 

 


Ufafanuzi wa Kitabu cha Hosea



Utangulizi

Hosea ni kitabu cha kwanza kati ya Manabii Kumi na wawili, lakini ni cha pili kimpangilio baada ya Amos.

 

Amos alitumwa kaskazini kwenda kuwaonya watu wa huko kutokana na makuhani waliotumikia ibada za sanamu na manabii wao huko. Hosea aliwafuatia lakini alikuwa ni nabii aliyekuwa peke yake hapo kwanza upande wa Kaskazini mwa Israeli baada ya Amosi. Kazi ya Hosea ni kubwa na inaweza kueleza kwa nini alichukua mahala a Amosi kwenye mchakato. Ujumbe wa Hosea uliwalenga Israeli lakini andiko linaelekea pia kuwaonya Yuda na pande zote za kusini pia. Mungu anaelezea kuchukizwa kwake na ibada za sanamu na ubadhirifu kwa pande zote mbili. Kisha andiko linaelezea ahadi ya baraka zijazo kwa pande zote mbili za Israeli.

 

Manabii Eliya na Mika waliwatangulia manabii hawa kwenye karne ya nane KK makuhani na manabii wa Samaria na Betheli walikuwa wameongezeka kwa kiasi ambacho kwamba Amosi alikuwa amepuuzwa na kuonekana kuwa alihesabiwa miongoni mwao (Amosi 7:14). Hosea alikuwa pia anawalaumu na kuwakemea makuhani na manabii pia kwa kushindwa kwao kabisa kuwajibika kwenye huduma zao na kwa kupuuzia kwao kabisa kwa kutojua hali ya Asili ya Mungu na kwamba walipaswa kuwalinda watu dhidi ya matendo ya Kipagani na kuwaongoza kwenye imani sahihi. Kwa hiyo ni siku hii na makuhani wa zama za sasa ni makubani waabudu sanamu wa dini ya imani ya mungu Jua. Wengi wa makuhani au makasisi wa Kanisa la Mungu wapo kwenye imani za Kiditheisti au Wabinitariani wa imani na dini potofu za kipagani. Hawauelewi unabii na Mungu haneni neno lake kwa kupitia wao.

 

Hosea alikabiliwa na ongezeko kamili miongi mwa makuhani na manabii wa nyamati zake na alitumwa na Mungu kenda kuwakanusha kwa ujasiri mwingi bila woga. Alikuwa kwenye nyakati za Hekalu la |Kwanza kabla ya kipindi cha utumwa, lakini bado mauhani na manabii walikua wamejikanganya kwa matendo ya dhambi. Maneno haya yalikusudiwa kukemewa ongezeko la imani mbalimbali za kidini. Maana haijatolewa na waandishi wa baadae wa baraza la Watalmudi liliokuwa katika kipindi cha baada ya Helaku nawanazuoni wa Kitrinitariani wa kipindi cha baadae cha Ukristo (kama sura ya 4:4-6). 

 

Maana imeelekezwa kama daraja la uwadhifa la makuhani na manabii na waliowatii na kuwaamini kuwaelekeza na kuumizwa na ukosoaji. Waliruhu dhambi kusambaa wote wawili, yaani wajuu na wachini kutoka kwa watawala hadi kwa watu wa kawaida. Makuhani na watawala na watu wengine walihusishwa na msingi wa jamii umekuwa ukipuuzwa na ukengeufu, machafuko au upotofu na kumkaa Mungu ni kama ilivyo leo ikiwa mwiwshoni mwa zama.

 

Israeli walipewa maonyo kwa kipindi cha miaka arobaini tangu mwaka 761-721 KK kama tulivyoona kwa manabii waliopita kwanza Yona na Amosi. Abraham ibn Ezra mwanazuoni wakipindi cha zama za kati alimuweka kwenye miaka arobaini ya mwanzoni kabla ya kuanguka kwa Samaria lakini wanazuoni wa baadae walimuweka kwenye kipindi cha miaka thelathini mapema kabla ya kuanguka kwa mji huu (miaka ya 750-720) (soma Soncino Intro to p. 1).

 

Hakuna shaka kwamba Mungu huelekeza maonyo kwa Israeli kwa miaka arobaini kabla ya kuanguka kwa Samaria kwa sawasawa na mwelekeo na mwenendo wa kawaida wa unabii.

 

Israeli walipewa miaka 40 na ndivyo ilivyokuwa kwa Yuda ia na pia kama walivyopewa Yuda tangu mwaka 30 BK wakati wa Pasaka ya kuuawa kwa Kristo hadi mwaka 70 BK mwishoni mwa majuma Sabini ya miaka na kuangamizwa kwa Hekalu na Warumi (soma majarida ya Ishara ya Yona na Historia ya Ujenzi Mpya wa Hekalu (Na. 013) na Vita na Warumi na Kuanguka kwa Hekalu (Na. 298)).

 

Ndivyo alivyofanya kwa Ishara ya Yona iliendelea wa yubile 40 kwa mtindo wa mwaka mmoja kuulinganisha na Yubile moja ya kanisa kuwa jangwani kama walivyofanya Israeli kuwa jangwani kwene tukio la Kutoka. Ndivyo ilivyokuwa pia kwamba sisi kama Makanisa ya Mungu tumepewa miaka 40 ya Kupimwa ka Hekalu tangu mwaka 1987 hadi kwenye Yubile ya mwaka 2027 (soma pia jarida la Upimaji wa Hekalu (Na. 137)). 

 

Manabii wote Kumi na Mbili wanafanya kipindi cha jumla ya miaka 40 ya kabla ya kuanguka kwa Samaria katika Siku za Mwisho na ujio wa Masihi na utumwa wa Yerusalemu. Kisha Zekaria anaendelea mbele kuuelezea utawala wa Milenia.

 

Tafsiri za Talmud na Midrash zina maeneo mengi yanayomtaja Hosea na humo anachukuliwa kuwa ni mkuu kati ya manabii waliohudumu kwa wakati mmoja (soma Pes. 87a). Wafafanuzi wanaamini kuwa baba yake Beeri kuwa ndiye alikuwa nabkuwa ndiye alikuwa nabii na unabii wake ulifanana na Isaya 8:19ff (sawa na kitabu cha Lev. Rabba 6, xv, 2). Wafafanuzi wanamaoni kwamba sio unabii wote wa Hosea umeandikwa kwa mpangilio mzuri lakini tutaona kama hiyo inabakia kuzuia maji kwenye zuio la kihistoria. Talmud inakubali kwamba kwamba Kanuni haipo kwenye mpangilio pia (B.B 14a).

 

HOSEA.

Bullinger anaamini kuwa mpangilio kuwa ifuatavyo:

 

MPANGILIO WA KITABU KWA UJUMLA.

1:1. UTANGULIZI.

1:2-3:5. MIFANO ELEKEZI.

4:1-14:8. MANENO YENYE MAANA ZA WAZI.

14:9. HITIMISHO.

 

Mpamgilio wake kwa kweli ni kama ufuatao:

 

Sura tatu za kwanza zinafafanua jinsi Hosea alivyoitwa kuwa nabii katika Israeli akikemea uasi na kutokuwa na uaminifu wao kwa Mungu. Kutajwa kwake kuhusu ndoa yake na mke wake ni mambo yanayofikirika tu moja kwa moja kuhusu mfano halisi wa uhusiano wake Mungu na Waisraeli. Kila sura inatangaza hukumu bali inaishia kwa tangazo la matumaini linayoyataja marejesho yanayofuatia hukumu ya Mungu kwa Iswaeli katika Siku za Mwisho.

 

Sura nyingine kumi zinazofuatia inaelezea hukumu kubwa inayowangoja Israeli na ni kutokana na hukumu hizi ndipo kwazo tunaona mfuatano wa matukio ya kimchakato ya namna ambavyo Mungu anawashughulikia wao. Hukumu hizi ni kama zile ambazo nabii Amosi amezitaja kwa namna zote mbili kwamba, mshara wa dhambi ni mauti na hukumu hizi haziepukiki.

 

Amosi anawahubiri na kuwaonya Israeli na Hosea (ni kama tunavyoona pia kwenye Yeremia) akiwasihi, kana kwamba Mungu anawasihi waje na kugeuza nia zao na waponywe kwa kufanywa upya.

 

Amosi anasikitishwa na chanzo cha upotovu wao na sifa ya umaarufu wao wakati kwamba Hosea anasikitishwa na kubonea kwao kwenye ukanusho ya uhusiano wa Waisraeli na agano lao na Mungu wao. Israeli na Yuda hawakustahili kubakia salama na ujasiri wa watu inawapelekea wao kuwa jamii isyo imara na isiyoweza kudumu. Ni lazima watubu au vinginevyo wapelekwe utumwani.

 

Wote ni manabii wenye ujumbe mfupi na ambao unnadhihisha uovu na uasi wa Israeli na kushindwa kwao kuendelea au kudumu kama taifa. Hosea anakemea na kulaumu hali ya kutowajibika kwa kuhani na manabii, kutofaa kwa wafalme na wasaidizi wao kwenye mambo ya utawala, na mmomonyoko wa viwango vya kiroho kwa watu wengi.

 

Hali kwa saea ni mbaya sana na inadidimia kuliko ilivyokuwa wakati mwingine wowote katika historian a wanakaribia kuadhibiwa sasa kwenye Nyakati hizi za Mwisho. Mavazi ya makasisi yajulikanayo kama majoho meusi yaitwayo Khemarim yatumiwayo kwenye Dini potofu ya waabudu Juan a mabo ya kisodoma kwa sasa vimeshamiri sana kuliko yalivyowahi kuwa huko nyuma katika zama za Israeli ya kale na yamekuwa yakishabikiwa ulimwenguni kote. Ni katika siku hizi za mwisho ambako Waamini Utatu au Mwatrinitari na Waantinomia au imani isyojali kushika Amri za Mungu ndipo wanapuuza na kupinga au kutafsiri kimakosa ujumbe wa nabii Hosea na wa manabii wengine ili kukwepa madhara ya ibada zao za sanamu na dhambi zao.

 

Sura ya mwisho inaelezea kuhusu marekebisho muhimu na adhimu ya Israeli chini ya Mungu na wito wake anaowaita watubu na ukombozi wao.

 

Mtindo wa Hosea ni wa kificho na una asili ya kidhana na kutoa kebehi kwa wasikilizaji wake ambao haukuzoeleka kwenye nakati zile kwenye jamii ambayo alikuwa akiishhi.

 

Kwa kweli ni unabii kwa Israeli na kwa msongamano wao wengine pamoja na wana wa Gomeri baada ya utawanyiko wao na zaidi sana katika Nyakati za Mwisho na marejesho mapya yatakayofanywa na Masihi, kama tutakavyoona kwenye maandiko.

 

Kitabu cha Hosea kinaonyesha matukio yanayojitokeza kwa haraka na mara moja yakitangulia kuanguka kwa Samaria (mji mkuu wa ufalmr wa yale Makabila Kumi), tukio lililojiri katika mwaka wa sita wa utawala wa Hezekia na maelezo ya mwisho kwenye Hosea 13:16, yanadhaniwa kuwa ni unabii wa hatari sana kuhusu mwisho wa dola ya Samaria, lakini unajiri siku zijazo kwenye Nyakati za Mwisho.

 

Bullinger anashikilia kuamini kwamba tukio hili lilitimilika mwaka 611 KK, na tarehe inayowekwa na Hosea inaweza kuwa ni kabla ya mwaka 613 KK, iwapo kama kifungu cha 13:16 ambacho kinasema, ni miaka miwili kabl ya kuanguka kwa Samaria mwaka 611 KK. Anaihesabia hii kuwa ni kama mwaka wa sita wa utawala wa Hezekia lakini anauruka ukweli wa kwamba Hezekia alianza kutawala akiwa kama Kaimu au Msaidizi huko Yuda mwaka 727 na mwaka wake wa sita wa utawala wake akiwa kama kaimu ulikuwa  ni mwaka 721 KK ambao kwa kweli ni kipindi ambacho dola ya Israeli ilipoanguka na wakaenda utumwani.

 

Unabii wa Hosea unafanya tarehe hii kuwa ni ya utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi, na Hezekia, Wafalme wa Yuda, na katika siku za Yeroboamu mwana wa Yoashi, Mfalme wa Israeli (Hosea 1:1).

 

Mtindo wake ni wa tofauti kabisa na wa Amosi ambaye alimfuatia miaka kadhaa michache baadae.

 

Uzia alitawala huko Yuda tangu mwaka 775 na Yothamu alitawala kwa niaba yake mwaka 757 KK. Kwa hiyo ni budi sana kwamba Hosea alimfuatia kuhudumu kabla ya mwaka 757 na pia sawasawa na kipindi cha miaka 40 ya kipindi cha rehema kuanza kuanzia mwaka 761 KK.

 

Tafsiri ya Soncino inauweka utawala wa Uzia kuwa ni mwaka 789-740 ambavyo haiwezi kuwa sahihi. Makusi mashuhuri iitwayo The Interpreter’s Dictionary inakipa kipindi hiki kuwa mi miaka ya 783-742 na zote mbili haziko sahihi. Kamusi hii ya The Interpreter’s Dictionary kuonyesha kuwa utawala wa Amazia akiwa kama mfalme wa Yuda ni tangu mwaka 800-783 KK ambavyo haiwezi kuwa sahihi kama 2Wafalme 12:1 inavyoonyesha kuwa Yehoashi alitawala miaka 40 huko Yerusalemu tangu mwaka wa saba wa Yehu.

 

Mwaka 753 Yeroboamu II mfalme wa Israeli alifariki dunia na Zekaria akawa mfalme wa Israeli. Mwaka 752 Shalumu akafanyika kuwa mfalme kwa kipindi cha mwezi mmoja na kisha Menahemu alianza kutawala na Peka alifanyika pia kuwa mfalme akishindana na Menahemu huko Gileadi.

 

Mwaka 741 Menahemu wa Israeli alifariki na Pekahia akafanyika kuwa Mfalme wa Israeli. 

 

Mwaka 739 Uzia mfalme wa Yuda alifariki. Kamusi maarufu ya The Interpreter’s Dictionary inautaja mwaka 742 ikihimilisha ukosefu wa fafanuzi kwenye Matukio ya Nyakati za Waashuru na mwanae Yothamu alitawala kama kaimu kwa kipindi cha zaidi ya miaka ya mwisho ya maisha yake kutokana na ugonjwa wake wa ukoma. Mwaka 734 Ahazi alifanyika kuwa mfalme wa Yuda na alitawala hadi mwaka 717 (Kamusi ya Interp. Dict. Inaitaja miaka ya 735-715). Mwaka 727 Hezekia alifanyika kuwa Kaimu mfalme/Rejent wa Yuda na mwaka 717 alifanyika kuwa mfalme kamili wa Yuda na alilitakasa Hekalu. 

 

Mwaka 730 Hoshea alitawazwa kuwa mfalme wa Israeli na alifariki mwaka 722, miaka miwili baada ya Sargon II kutawazwa kuwa mfalme wa Ashuru na tukio la Israeli kwenda utumwani kwa kuhamishwa.

 

Kwa hiyo Hosea alikuwa nabii kuanzia yapata mwaka 761 hadi 727 wakati Hezekia alipotawazwa kuwa kaimu kaim na kuendelea hadi wakati Israeli walipokwenda utumwani mwaka 722 na huenda katika Yuda hadi mwaka 717 wakati Hezekia hapo mwanzoni alitawazwa kuwa mfalme. Kwa hiyo anaweza kuwa alikuwa nabii aliyehudumu kwenye kipindi cha marejesho ya Hezekia kwa zaidi ya miaka 50 au zaidi.

 

Soma pia jarida la Upambanuzi wa Ratiba ya Nyakati (Na. 272).

 

Kwa rejea za Hosea (kama Eli, kwenye 1Samweli 4:15). Hosea amenukuliwa, kwenye Agano Jipya, kwenye Mathayo 2:16; 9:13; 12:7; Warumi 9:25, 9:26; 1Wakorintho 15:55; 1Petro 2:5; 2:10.

 

Kumbuka hapa kwamba Hosea alikuwa amechoshwa kwenye mlolongo wa mfuatano wa Wafalme wa Yuda na kuelekea chini kwenye kipindi baada ya utawala wa Hezekia kilichanza baada ya kipindi chake cha ukaimu kilichoendelea tangu mwaka 727 hadi 717 alipofariki Ahazi.

 

Kwenye sehemu ya kwanza tunaona kwamba Mungu anatoa amri akiwaambia kupitia kwa Hosea na anamuamuru Hosea aende akamchukue mwanamke kahaba. Nabii alilielewa jambo hili kuwa kulikuwa na makusudi fulani nyuma ya agizo hili ambalo lilikuwa ni hukumu kwa ajili ya ibada za sanam katika nyumba ya Israeli na kwamba hatimaye wote wangeenda utumwani na ufalme wao kukomeshwa.

 

Alimchagua mwanamke aliyeitwa Gomeri binti wa Diblaimu na akapata mimba na kuzaa mtoto wa kiume na Mungu akasema kuwa aitwe jina lake Yezreeli kwa kuwa Mungu alikuwa anakaribia kuiadhibu nyumba ya Yehu kwa ajili ya damu iliyomwagwa ya Yesreeli. Majina haya yalichaguliwa na hayajatolewa kwa nasibu.

 

Gomeri (kwa mujibu wa SHD 1586) ni jina la mwana wa Yafeti na maana yake ni ukomo linalotokana na shina la neno lisilotumika sana la Gamar (SHD 1584 maana yake ni kukomesha). Jina Gomeri ni pekee lisilotumiwa na mwanamke huyu kwenye jambo au tukio hili. Kwenye matukio mengine yote linahusu wana wa Gomeri na kabila lake.

 

Hosea alijua kwamba ufalme wa Israeli ulikuwa unakwenda kufikia mwisho wake lakini la muhimu sana ni kwamba aliyajua pia matendo ya Waashuru na maandalizi yao ya kuyahamisha na kuyapeleka utumwani makabila haya na kukomesha nguvu za utawala wao. Kwa hiyo alijua kwamba Israeli watakwenda utumwani maeneo ya mbali na Araxes kwenye nchi za wana wa Gomeri walio miongoni mwa Waseltiki wa Kihiti na wangejichanganya na kuwa sehemu ya Waanglo-Saxon, Wasalieni na Wafaransa wa jamii ya Kirifathiani na makabila mengine ya Wahiti Waseltiki. Alijua pia kwamba watapelekwa nchi ya mbali huko Kaskazini Magharibi ya Ulaya yapata karne nane baadae katika kuanguka kwa dola ya Waparthi waliojitenga kutoka kwenye tawi la Wawilusi la wana wa Gomeri wa Wahiti wa magharibi, Troy wa sehemu mbili zote, yaani Uingereza na huko Rumi. Pia Yuda wenyewe watameguka na kuwa matawi mengine takriban karne sita baadae tena.

 

Jina Diblaim (SHD 1691) linatokana na jina la kiume kwenye SHD 1690 linamaana ya kushinikizwa pamoja. Ni jina la ishara linalotaja kimfano keki ya tini. Majina haya ni ishara ya juu sana kwa taifa la Israeli likionyeshwa kuwa ni tunda la uzao wa mwanamke kahaba na kama keki ya tini zilizokamuliwa na zilizoandaliwa na kuwa tayari kwa kwenda utumwani kwa ajili ya kujikita kwake kwenye matendo ya kikahaba yanayotokana na ibada zao za sanamu.  

 

Yezreeli maana yake kwa lugha nyepesi ni “Mungu ndiye apandaye” na maana ya kimfano hapa yalikuwa kwamba Israeli wataadhibiwa kwa ajili ya maovu yao yaliyopandwa na Yehu na yaliyoendelezwa katika nyumba ya Israeeli, na walipaswa kupandwa upya kwa sababu ya dhambi zao. Neno lisemalo itasababisha kukoma kwenye aya ya 4 liaeleweka kama la maana kwa ajili ya dhambi za Nyuma ya Yehu wa Ufalme na KaskazIni ungepasa upandwe upya na Mungu. Manabii waliujua mfano huu na nia ya Mungu ya kuwapeleka utumwani ili kuwapanda huko Gomeri. Miongoni mwa Waanglo-Saxon wa jamii ya Wahordo wa Kiparthi kuna vikundi vidogo vya vifuniko vya makundidamu la Haplo I wa Kisemitii (AS) na kuna takriban mmoja pia miongoni mwa Waseltiki Waingereza wa kundidamu hili la I (Visiwani) Hg. Kuwa jamii ya Tuatha De Danaan waliopandwa huko Ireland na Yeremia na walihamia Uingereza. Mambo haya yameelezewa kwa kina kwenye jarida la Wana wa Yafethi Sehemu ya II: Gomeri (Na. 046B).

 

Mungu anasema kwamba yu karibu kuihukumu nyumba ya Yehu kwa ajili ya damu ya Yesreeli na ataukomesha ufalme wa nyumba ya Israeli. Pia kuna rejea mtambuka ya Yehu kuliko kuuawa kwa Yoramu kwa upinde kulikoandikwa kwenye 2Wafalme 10:11. Nguvu na uweza wa Israeli huko Yezreeli umetajwa kwenye Mwanzo 49:24.

 

Binti alichukuliwa kwenye mamlaka kuwa ni haramu na jina Lo Ruhama maana yake ni asiyeuhurumiwa na ilikuwa ni mfano unaoashiria maafa kwa Makabila Kumi wakati yalipochukuliwa mbali na Waashuru kaskazini mwa Araxes. Hili lilikuwa ni taifa la Israeli katika Gomeri ambalo lilipandwa upya sawasawa na mpango wa Mungu.

 

Mungu anasema hata hivyo atawahurumia Yuda na walitunzwa baadae kwa Wababeloni na kisha kufanywa upya kwa ajili ya Masihi na kwa hukumu.

 

Kumbuka kuwa Malaika wa Bwana aliwapiga Waashuru wakati wa Sennakarebu walipowashambulia Yuda siku za Hezekia na wokovu wao haukuwa wa namna ya kawaida ya kupigana Vita (2Wafalme 19:35).

 

Tunaona sasa mfuatano wa matukio wa watoto watatu.

 

Hosea Sura ya 1

Hili ndilo neno la Bwana lililomjia Hosea, mwana wa Beeri, siku za Uzia, na Yothamu, na Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda; na siku za Yeroboamu, mwana wa Yoashi, mfalme wa Israeli. 2 Hapo kwanza Bwana aliponena kwa kinywa cha Hosea, Bwana alimwambia Hosea, Enenda ukatwae mke wa uzinzi, na watoto wa uzinzi; kwa maana nchi hii inafanya uzinzi mwingi, kwa kumwacha Bwana. 3 Basi akaenda akamwoa Gomeri, binti Diblaimu; naye akachukua mimba, akamzalia mtoto mwanamume. 4 Bwana akamwambia, Mwite jina lake Yezreeli; kwa maana bado kitambo kidogo, nitaipatiliza nyumba ya Yehu damu ya Yezreeli, na kuukomesha ufalme wa nyumba ya Israeli. 5 Tena itakuwa siku ile, nitauvunja upinde wa Israeli katika bonde la Yezreeli. 6 Akachukua mimba tena, akazaa mtoto mwanamke. Bwana akamwambia, Mwite jina lake Lo-ruhama kwa maana sitairehemu nyumba ya Israeli tena,nisije nikawasamehe kwa njia yoyote. 7 Lakini nitairehemu nyumba ya Yuda; nitawaokoa kwa Bwana, Mungu wao; wala sitawaokoa kwa upinde, wala kwa upanga, wala kwa silaha, wala kwa farasi, wala kwa wapanda farasi. 8 Basi, akiisha kumwachisha Lo-ruhama, akachukua mimba, akazaa mtoto mwanamume. 9 Bwana akasema, Mwite jina lake Lo-ami kwa maana ninyi si watu wangu,wala mimi sitakuwa MUNGU wenu. 10 Tena itakuwa ya kwamba hesabu ya wana wa Israeli itafanana na mchanga wa bahari, usioweza kupimwa wala kuhesabiwa; tena itakuwa, badala ya kuambiwa, Ninyi si watu wangu, wataambiwa, Ninyi ndio wana wa Mungu aliye hai. 11 Na wana wa Yuda na wana wa Israeli watakusanyika pamoja, nao watajiwekea kichwa kimoja, nao watakwea watoke katika nchi hii; kwa maana siku ya Yezreeli itakuwa kuu sana.

 

Wakati alipoacha kunyonyesha Hakuhurumiwa (ambayo ilitafsiriwa kuwa ni takriban miaka mitatu katika Mashariki ya Kati) na Rashi anasoma jambo hili rejea kwa kukihusisha kizazi kiovu na chenye dhambi na kama kinavyoendelea mbele katika nyakati zake (kama inavyosema tafsiri ya Soncino fn. hadi aya ya 8) alikuwa na mtoto wa tatu.

 

Mtoto huyu wa tatu alikuwa Lo Ammi au Si Watu Wangu. Hii ilikuwa ni kuonyesha kwamba Israeli walikuwa wamekataliwa na Mungu na walikuwa wapelekwe sasa utumwani kwa ajili ya njia zao za ibada za sanamu, uchoyo wao, uovu, kutoaminika kwao na dhuluma zao, mambo waliyoyaleta kwenye nchi yao kupitia biashara zao za sanamu na matendo yao kutoka kwa Ufalme wa Kaskazini na Kusini, na Mashariki na Magharibi. Unabii huu ulijiri kwa siku za Yeroboamu II wakati matendo ya choyo, tama mbaya za ngono, uovu na ibada za sanamu yalishika kasi sana siku hizo. 

 

Walipea miaka 40 tangu mwaka 761 hadi 722 kutubu. Bali wao hawakutubu na hawajatubu bado. Kwa hiyo tunaendelea mbele sasa kupitia historia hadi katika Siku za Mwisho na tunaona tabia ya kutotubu ya watu hawa wenye shingo ngumu.

 

Kwenye mateso yao yote, yeye (Mungu) aliteseka pamoja nao (Isaya 63:9) na hiyo inaonekana kwenye kuwasihi kwao alikofanya Hosea. Hata kwenye kiasi cha yeye kutajwa au kuonekana kama mwenda wazimu (9:7).

 

Kilakit Hosea alipaswa kufanya kwenye sura tatu za kwanza kilikuwa na maana ya mfano wa mamlaka ya kimbinguni ya Mungu katika kuonyesha taswira kupitia Hosea kwa upotofu mkubwa na kuwa kwao mbali Israeli.

 

Sura ya 2

Tunaendelea kwenye Sura ya 2 na Yezreeli, ambaye ni mtoto wa kwanza aliyepandwa na Mungu kwa Wagomeri, anaambiwa amwabie ndugu yake (aliyekuwa miongoni mwa Wagomeri kama Sio Watu Wangu) na dada yake ambaye alikuwa ni mwana wa haramu amwambie kuwa sasa walikuwa ni Watu wa Mungu na kwamba sasa amepata huruma na wanapaswa sasa kumsihi mama yao Gomeri kwamba aachane na kuachilia ,mbali mambo yake ya kikahaba kutoka machoni pake na wale wazinio naye. Yeye sio tena mke wa mume wake kama Israeli walivyokosa kabisa kuwa mke mwaminifu kwa Mungu. Kwa hiyo Mungu anafanya kitu fulani cha kuwafanya Israeli wamrudie yeye kama taifa ambalo kwalo amelichanganya damu ba wengine.

 

Kumbuka kwamba taifa la Israeli lilijifungisha ndoa kwa mungu Baali na dini ningine ya uwongo ya waabudu Jua na ilimpasa Mungu kuwashughulikia Israeli kwa namna endelevu kwa ajili ya kumtumia Khermarimu au kasisi mwenye majoho meusi wa Baali ambaye alikuwa anaabudiwa kwenye siku za Jumapili na majira ya Solistaisi na sikukuu za waabudu Juan a dini nyingine za Siri. Walifanya hivyo hata kabla hawajaenda tutumwani na wanaendelea kufanya hivyo hata siku ya leo na makasisi wao wataadhibiwa sasa kwenye hisi Siku za Mwisho kama taifa lilivyoadhibiwa kwenye miaka yake ya kuabudu kwake sanamu.

 

Masihi alitumwa kwao kwa ajili ya wokovu wa Wamataifa.

 

Hosea Sura ya 2

Waambieni ndugu zenu wanaume, Ami na ndugu zenu wanawake , Ruhama. 2 Msihini mama yenu, msihini; kwa maana yeye si mke wangu, wala mimi si mume wake; na ayawekee mbali mambo ya uasherati wake yasiwe mbele ya uso wake, na mambo ya uzinzi wake yasiwe kati ya maziwa yake; 3 nisije nikamvua nguo zake akawa uchi, nikamweka katika hali aliyokuwa nayo siku ya kuzaliwa kwake, na kumfanya kama jangwa, na kumweka kama nchi kame, na kumfisha kwa kiu; 4 naam, sitawaonea rehema watoto wake; kwa maana ni watoto wa uzinzi. 5 Maana mama yao amezini; yeye aliyewachukua mimba ametenda mambo ya aibu; maana alisema, Nitafuatana na wapenzi wangu, wanipao chakula changu na maji yangu, sufu yangu na kitani yangu, mafuta yangu na vileo vyangu. 6 Basi kwa ajili ya hayo, angalia, nitaiziba njia yako kwa miiba, nami nitafanya kitalu juu yake, asipate kuyaona mapito yake. 7 Naye atawafuata wapenzi wake, lakini hatawapata; atawatafuta, lakini hatawaona; ndipo atakaposema, Nitakwenda nikamrudie mume wangu wa kwanza; kwa maana hali yangu ya zamani ilikuwa njema kuliko hali yangu ya sasa. 8 Maana hakujua ya kuwa mimi ndiye aliyempa ngano, na divai, na mafuta, na kumwongezea fedha na dhahabu, walivyovitumia kwa ajili ya Baali. 9 Basi kwa ajili ya hayo, nitaitwaa tena ngano yangu kwa wakati wake, na divai yangu kwa wakati wake, nami nitamnyang'anya sufu yangu na kitani yangu, vya kumfunika uchi wake. 10 Na sasa nitaifunua aibu yake mbele ya macho ya wapenzi wake, wala hapana mtu atakayemwokoa katika mkono wangu. 11 Tena nitaikomesha furaha yake yote, na sikukuu zake, na siku zake za mwandamo wa mwezi, na sabato zake, na makusanyiko yake yote yaliyoamriwa. 12 Nami nitaiharibu mizabibu yake na mitini yake, ambayo alisema, Hii ndiyo ujira wangu niliopewa na wapenzi wangu; nami nitaifanya kuwa msitu, na wanyama wa mashamba wataila.

 

Kumbuka kwamba Mungu aliliadhibu taifa pamoja na dini yake ya kuabudu sanamu na makuhani wake wa Baali. Sikuku hizi za Baali zilikuwa ni sikukuu au sherehe za majira ya jua kulemea upande wa kaskazini iliyoadhimishwa tarehe 24/25 Disemba na Sikukuu ya Ashitorethi au ya mungu mke Easter. Wanaiabudu miungu hii mikahaba hadi siku hizi za leo na Mungu atawahukumu kwa hili. Sikukuu hizi na maadhimisho yake ya Jumapili, Krismas na Easter vitapigwa mhuri kwenye uso wa dunia. Soma jarida la Chanzo cha Krismas na Easter (Na. 235). Ndivyo pia Yuda walijifanyia kalenda ya uwongo wakati wa kipindi cha utawanyiko.

 

13 Nami nitamwadhibu kwa sababu ya siku za Mabaali, aliowafukizia uvumba; hapo alipojipamba kwa pete masikioni mwake, na kwa vito asema Bwana. 14 Kwa hiyo angalia, mimi nitamshawishi, na kumleta nyikani, na kusema naye maneno ya kumtuliza moyo. 15 Nami nitampa mashamba yake ya mizabibu toka huko, na bonde la Akori kuwa mlango wa tumaini; naye ataniitikia huko, kama siku zile za ujana wake, na kama siku ile alipopanda kutoka nchi ya Misri. 16 Tena siku hiyo itakuwa, asema Bwana, utaniita Ishi 17 Kwa maana nitayaondoa majina ya Mabaali kinywani mwake, wala hawatatajwa tena kwa majina yao. 18 Nami siku hiyo nitafanya agano na wanyama wa mashamba kwa ajili yao, tena na ndege wa angani, tena na wadudu wa nchi; nami nitavivunja upinde na upanga na silaha vitoke katika nchi, nami nitawalalisha salama salimini. 19 Nami nitakuposa uwe wangu kwa milele; naam, nitakuposa kwa haki, na kwa hukumu, na kwa ufadhili, na kwa rehema. 20 Nami nitakuposa kwa uaminifu; nawe utamjua Bwana. 21 Tena itakuwa siku hiyo, mimi nitaitika, asema Bwana; nitaziitikia mbingu, nazo zitaiitikia nchi; 22 nayo nchi itaiitikia nafaka na divai na mafuta; nayo yataiitikia Yezreeli. 23 Nami nitampanda katika nchi kwa ajili yangu mwenyewe; nami nitamrehemu yeye asiyepewa rehema; nami nitawaambia wale wasiokuwa watu wangu, Ninyi ndinyi watu wangu; nao watasema, Wewe ndiwe Mungu wangu.  

 

Kwa hiyo, kwa kipindi hiki chote Mungu ameshughulika na Israeli na Gomeri akiwataka watubu na kumrudia yeye na kuachana na hawa makuhani vibaraka wa Baali, Khemarim wavaa majoho meusi, kutoka miongoni mwao na kumgeukia Mungu kwa toba ili wasife.

 

Kumbuka kwamba Sura ya 3 baada ya kuwa wamepewa fursa ya Sura ya 2, wakati alipomtuma Masihi kwao na kisha mitume baada ya walipowaua manabii na kumkataa Mungu, yeye anawasihi tena Israeli.

 

Hosea Sura ya 3

Bwana akaniambia, Enenda tena, mpende mwanamke apendwaye na rafiki yake, naye ni mzinzi; kama vile Bwana awapendavyo wana wa Israeli, ingawa wanaigeukia miungu mingine, na kupenda mikate ya zabibu kavu. 2 Basi nikajinunulia mwanamke huyo kwa vipande kumi na vitano vya fedha, na homeri moja ya shayiri, na nusu ya homeri ya shayiri; 3 nami nilimwambia, Utatawa kwa ajili yangu siku nyingi; hutafanya mambo ya ukahaba, wala hutakuwa mke wa mtu awaye yote; nami nitakuwa hali iyo hiyo kwa ajili yako. 4 Kwa maana wana wa Israeli watakaa siku nyingi bila mfalme, wala mtu mkuu, wala sadaka, wala nguzo, wala naivera, wala kinyago; 5 baada ya hayo wana wa Israeli watarejea, na kumtafuta Bwana, Mungu wao, na Daudi, mfalme wao; nao watamwendea Bwana na wema wake kwa kicho siku za mwisho.  

 

Kwa hiyo tunaona kwamba tunaendelea mbele kutoka kwenye ujumbe wa Masihi siku nyingi jangwani. Walizishika sikukuu za dini potofu ya mungu Jua na hawakuwa na Sabato na wafalme wao na watawala wao hawakuwepo huko Yudea na Efraimu walitawaliwa na waabudu Baali wa imani na dini za Jumapili za mungu Jua ambao walitawala na kuwashawishi kufanya yote waliyoyatenda kutoka kwa kahaba mkuu ambaye ndiye Babeli ya Kisasa. Walijenga mahekalu yao katika Mahali pa Juu kila mahali katika nchi yao waliyoimiliki na kuikaa wakati Mungu anasema wanapaswa kujenga mahali pa chini kwenye viwanja vya chini (Isaya 32:19).  Katika siku zijazo watamtafuta Mungu na kugeuka na kuokolewa na hawa makuhani wa Baali wataangamizwa kutoka miongoni mwa watu wetu na watakataliwa kutoka duniani na Masihi.

 

Kisha Mungu atayaweka maovu pamoja na Israeli mahali pake stahiki, pamoja na makuhani. Limekuwa ni kosa lao wakati wote na kwenye Nyakati za Mwisho atawashughulikia wao wote. Alianza kwenye Nyumba ya Mungu ambayo ni Kanisa la Mungu. Aliliondoa Hekalu na kuliteketeza na kuwapleka Yuda utumwani. Kanisa limekaa jangwani kwa kipindi cha Yubile Arobaini hadi wateule walipochukuliwa na kutolewa wakiwa ni wale 144,000 na Mkutano Mkubwa ulioonyeshwa kwenye Ufunuo sura ya 7. Yuda waliondolewa hadi nyakati za unbii ulipokuwa umetimilika. Mchakato ule wa mwisho kwenye sehemu ya mwanzoni ya karne ya ishirini kama tunavyoona kutoka kwa manabii Ezekieli (soma majarida ya Kuanguka kwa Misri (Na. 36) na Sehemu ya II (Na. 36_2)) na wengine wengi katika Manabii Kumi na Mbili waliofuatia.

 

Kumbuka kwamba imani ya antinomia miongoni mwa makuhani na manabii ni kiini cha tatizo la hawa makuhani na kwa watu waliowafuata, kwa kuwa hicho kilikuwa ni kiini na chanzo cha uharibifu wa mtengamano wa kijamii. Kumbuka Mungu anasema atamwangamiza mama wa makuhani na manabii. Huyu mama ni mungu mke wa imani ya Baali, kahaba wa Babeli.

 

Hosea Sura ya 4

Lisikieni neno la Bwana, enyi wana wa Israeli; kwa maana Bwana ana mateto nao wakaao katika nchi, kwa sababu hapana kweli, wala fadhili, wala kumjua Mungu katika nchi. 2 Hapana neno ila kuapa kwa uongo, na kuvunja ahadi, na kuua, na kuiba, na kuzini; huruka mpaka, na damu hugusana na damu. 3 Kwa ajili ya hayo nchi itaomboleza, na kila mtu akaaye ndani yake atadhoofika, pamoja na wanyama wa kondeni na ndege wa angani; naam, samaki wa baharini pia wataondolewa. 4 Walakini asishindane mtu, wala mtu asikemee; maana watu wako ni kama wao washindanao na kuhani. 5 Na wewe utajikwaa wakati wa mchana, na nabii naye atajikwaa pamoja nawe wakati wa usiku; nami nitamwangamiza mama yako. 6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako. 7 Kadiri walivyozidishwa, kwa kadiri iyo hiyo walinitenda dhambi; nami nitageuza utukufu wao kuwa aibu. 8 Hujilisha dhambi ya watu wangu, hujifurahisha moyo kwa uovu wao.

 

Kwa hiyo jinsi walivyo watu ndiyo walivyo makuhani. Dhambi inaenea kwa watu wote, kutoka kwenye mfumo mzima wote wa kidini inaenea kwa watawala na waamuzi wao. Hata hivyo, chanzo chake kinatuama kwa makuhani na manabii. Makuhani hawa watahukumiwa kwa yale waliyoyatenda na dini za waabudu Jua na za Siri zitaondolewa pamoja nao kabisa.

 

9 Hata itakuwa, kama walivyo watu, ndivyo atakavyokuwa kuhani; nami nitawaadhibu kwa ajili ya njia zao, na kuwalipa kwa matendo yao. 10 Nao watakula, lakini hawatashiba; watafanya zinaa, lakini hawataongezeka; kwa sababu wameacha kumwangalia Bwana. 11 Uzinzi na divai na divai mpya huondoa fahamu za wanadamu. 12 Watu wangu hutaka shauri kwa gongo lao, na fimbo yao huwahubiri mambo; maana roho ya uzinzi imewakosesha, nao wamekwenda kuzini mbali na Mungu wao. 13 Hutoa dhabihu juu ya vilele vya milima, na kufukiza uvumba juu ya vilima, chini ya mialoni na milibua na miela, kwa kuwa uvuli wake ni mwema; kwa sababu hiyo binti zenu huzini, na bibi arusi zenu hufanya uasherati. 14 Sitawaadhibu binti zenu wazinipo, wala bibi arusi zenu wafanyapo uasherati; maana wao wenyewe huenda kando pamoja na wanawake wazinzi, hutoa dhabihu pamoja na makahaba; na watu hawa wasiofahamu wataangamia. 15 Ingawa wewe, Israeli, unafanya uzinzi, lakini asiasi Yuda; nanyi msiende Gilgali wala msipande mpaka Beth-Aveni, wala msiape mkisema, Aishivyo Bwana. 16 Kwa maana Israeli ametenda kwa ukaidi, kama ndama mkaidi; sasa je! Bwana atawalisha kama mwana-kondoo katika mahali penye nafasi! 17 Efraimu amejiungamanisha na sanamu; mwache. 18 Kileo chao kimegeuka kuwa uchungu; huzini daima; wakuu wake hupenda aibu. 19 Upepo umemfunikiza kwa mbawa zake; nao watatahayarika kwa sababu ya dhabihu zao.  

 

Ndipo sasa tunawaua watoto wetu na mvi zi vichwani mwetu na wageni wanatumia nguvu zetu nasi hatujui kabisa. Maongeo yetu yanafikia kikomo na mali na utajiri wetu unakwenda kwa wageni. Hosea anawasihi Yuda wasiwe kama walivyokuwa Israeli lakini anakuwa amechelewa sana na Yuda wanakuwa wame-bobea kwenye dhambi wakiifuata kalenda ya uwongo na kuabudu dini potofu za Siri nyuma ya mambo. Wanasiasa wetu wameharibika.

 

Hosea Sura ya 5

Sikieni haya, enyi makuhani, sikilizeni, enyi nyumba ya Israeli, tegeni masikio yenu, enyi wa nyumba ya mfalme, kwa kuwa hukumu hii yawahusu ninyi; maana mmekuwa mtego huko Mizpa, na wavu uliotandwa juu ya Tabori. 2 Nao walioasi wameongeza sana ufisadi wao; lakini mimi ndiye awakaripiaye wote pia. 3 Mimi namjua Efraimu, wala Israeli hakufichwa nisimwone; maana sasa, Ee Efraimu, umefanya uzinzi; Israeli ametiwa unajisi. 4 Matendo yao hayatawaacha kumgeukia Mungu wao; maana roho ya uzinzi imo ndani yao, wala hawamjui Bwana. 5 Na kiburi cha Israeli chamshuhudia mbele ya uso wake; kwa sababu hiyo, Israeli na Efraimu watajikwaa katika uovu wao. Yuda naye atajikwaa pamoja nao. 6 Watakwenda na makundi yao ya kondoo na ng'ombe wamtafute Bwana; lakini hawatamwona; amejitenga nao. 7 Wametenda kwa hila juu ya Bwana; maana wamezaa wana wageni; sasa mwezi huu uandamao utawala pamoja na mashamba yao. 8 Pigeni tarumbeta katika Gibea, na baragumu katika Rama; pazeni sauti ya hofu katika Beth-Aveni; nyuma yako, Ee Benyamini! 9 Efraimu atakuwa ukiwa siku ya kukemewa; katika kabila za Israeli nimetangaza habari itakayotokea halafu bila shaka. 10 Wakuu wa Yuda ni kama watu waondoao alama ya mpaka; nitawamwagia ghadhabu yangu kama maji. 11 Efraimu ameonewa, amesetwa katika hukumu, kwa sababu alikuwa radhi kufuata ubatili. 12 Kwa sababu hiyo mimi nimekuwa kama nondo kwa Efraimu, nimekuwa kama ubovu kwa nyumba ya Yuda. 13 Efraimu alipouona ugonjwa wake, na Yuda jeraha yake, ndipo Efraimu alipokwenda kwa Ashuru, akatuma watu kwa mfalme Yarebu; lakini yeye hawezi kuwapoza, wala hatawaponya jeraha yenu. 14 Maana mimi nitakuwa kama simba kwa Efraimu, na kama mwana-simba kwa nyumba ya Yuda; mimi, naam, mimi nitararua, kisha nitakwenda zangu; nitachukulia mbali, wala hapatakuwa na mtu wa kupokonya. 15 Nitakwenda zangu niparudie mahali pangu, hata watakapoungama makosa yao na kunitafuta uso wangu; katika taabu yao watanitafuta kwa bidii.  

 

Kumbuka kuwa Efraimu anachukuliwa kuwa ni kama kichwa katika Israeli na ni chanzo au kiini cha uwajibikaji. Ni hiihii ahadi ya haki ya uzliwa wa kwanza ambayo alipewa Efraimu kwenye Mwanzo 48:15-16, kwamba kutokana na yeye Wamataifa wataupokea wokovu na atafanyika kuwa kiungo cha mataifa. Baraka hizi zimeharibu uweza wake wa kuwa kama nguvu za Mungu katika Israeli. Makuhani wa uwongo wa imani ya mungu Jua waliwapotosha na Efraimu na Israeli wote na Yuda wanapaswa kutubu kama tunavyoona hapo chini.

 

Hosea Sura ya 6

Njoni, tumrudie Bwana; maana yeye amerarua, na yeye atatuponya; yeye amepiga, na yeye atatufunga jeraha zetu. 2 Baada ya siku mbili atatufufua; siku ya tatu atatuinua, nasi tutaishi mbele zake. 3 Nasi na tujue, naam, tukaendelee kumjua Bwana; kutokea kwake ni yakini kama asubuhi; naye atatujilia kama mvua, kama mvua ya vuli iinyweshayo nchi. 4 Ee Efraimu, nikutendee nini? Ee Yuda, nikutendee nini? Kwa maana fadhili zenu ni kama wingu la asubuhi na kama umande utowekao mapema. 5 Kwa sababu hiyo nimewakata-kata kwa vinywa vya manabii; nimewaua kwa maneno ya kinywa changu; na hukumu yangu itatokea kama mwanga. 6 Maana nataka fadhili wala si sadaka; na kumjua Mungu kuliko sadaka za kuteketezwa. 7 Lakini wao wamelivunja hilo agano kama Adamu; huko wamenitenda mambo ya hiana. 8 Gileadi ni mji wa hao watendao maovu, umetiwa rangi ya damu. 9 Na kama vile makundi ya wanyang'anyi wamwoteavyo mtu, ndivyo kundi la makuhani wauavyo katika njia ielekeayo Shekemu; naam, wametenda mambo maovu sana. 10 Katika nyumba ya Israeli nimeona jambo bovu kabisa; huko uzinzi umeonekana katika Efraimu; Israeli ametiwa unajisi. 11 Tena, Ee Yuda, wewe umeandikiwa mavuno, hapo nitakapowarudisha wafungwa wa watu wangu.

 

Kumbuka kuwa agano limevunjwa na kutiwa unajisi tangu Mwanzo na Adamu na kutoka kwenye nchi yote ya Israeli. Makuhani wamekusanyika pamoja ili kufanya uovu na Mungu anawashughulikia Israeli kwanza tangu Gileadi na ukanda wa Mashariki uliowapelekea wao kwenda utumwani na kisha kwa kupitia Efraimu wote na makabila mengine. Ilikuwa ni hawa makuhani ndio waliokula njama na kuungana kwa muovu kufanya maovu na kwa wote wawili yaani Waefraimu kama majeshi ya Israeli na Yuda. Mavuno ya Yuda yalikuwa ni kutoka mwaka 70 BK wakati walipotawanyika tangu hapo hadi kipindi cha mauaji ya kuangamiza watu wa Mungu yajulikanayo kama Holocaust, kwa sababu hawakuwa Yuda bali ni masalia ya uzao wa Hamu na Yafethi pamoja na wale Waedomu na Waesau na wana wa Ketura pia. Nasaba damu yao yaani DNA inawakataa wao (soma pia majarida ya Chimbuko la Kijenetikali la Mataifa (Na. 265); Uzao wa Ibrahimu Sehemu ya V: Yuda (Na. 212E); Uzao wa Ibrahimu Sehemu ya VI: Israeli (Na. 212F)). Katia Siku za Mwisho kabla ya Masihi kutakuwa na umwagikaji mkubwa sana wa damu bado ukiendelea nab ado hawatatubu.

 

Sura ya 7 inaelezea udhaifu wa Samaria na uovu wa wana wa Efraimu, bado hata siku hizi wanatia unajisi mahala pa ibada, wanajenga mahali pa juu, kwa mizoga/ wafalme wao na ishara ya dini zao za ibada za Jua. Sanamu ya ndege Fonikisi ya waabudu sanamu zinaonekana kwenye madhabahu za Baali katika nchi ya Efraimu hata kwenye madhabahu za Watawa au Wamonaki huko Windsor kwenye kile wanachokiabudu kwenye sherehe za dini za waabudu Jua wa Baali na Ashtorethi au Easter. Sherehe au tamasha la majira ya Solistaisi ya Mtoto wa Jua inayofanyika tarehe za 24/25 Disemba inaadhimishwa na waabudu sanamu hawa kotekote kutoka mwisho moja wa dunia hadi mwingine.

 

Wanasimamisha minara mirefu mwembamba au nguzo kwene miji yao yote wakati imekatazwa kufanya (Mambo ya Walawi 26:1 hususan kwenye biblia za RSV, ESV). Ashera ni malkia na mungumke wa Baali. Alikuwa anawakilisha kwa kuwekwa nguzo kadhaa ambazo zilikuwa zinazungukwa na kuchezwa mbele zake na kufanyizwa kwenye nchi zote walizokaa. Akiwa kama mungumke Athirat huko Uarabuni alikuwa ni malkia wa Mungu Mwezi aliyeitwa Sin na kudumu kuwa kama malkia wa Qamar kwa Waarabu hadi leo na misikiti yao inawashuhudia lakini ndivyo ilivyo pia kwa mahekalu yanavyofanywa ya dini za mungu Jua zinazodai kuwa Kristo wa uwongo ni Masihi.

 

Dhana iliyopo ni kwamba ilikuwa imefichwa kwa makusudi ya kudhamiria kwenye tafsiri zao iliyonuia kupotezea ibada zao za sanamu. Ashera na Baali ni mungumke na ni mungu aliyeabudiwa rasmi Siku ya Jua au Jumapili na sikukuu rasmi ya Jua ilikuwa ikifanyika tarehe 24/25 Disemba ikifuatiwa ma majira ya solistaisi na sikukuu yao. Nguzo za Ukumbusho zilisimamishwa ambazo ziliitwa Ashera lakini huko Misri kulikuwa na minara mirefu na myembamba zilizoitwa Ben au Ben-ben zilizojulikana na kuwa muhimu sana na zilimwakilisha mungu wa uume. Phallus asilia wa kwanza wenyewe ya Kimisri kwa sasa imesimamishwa kwenye Kanisa Kuu la Makao Makuu huko Vatican mjini Roma ambayo iliwekwa na Trojan Mhiti wa Gomeri. Nakala yake iko kwenye Kuba ya Jengo la Ikulu ya Washington DC na hizi Big Ben na nyingine nyingi nyingine zimezagaa kila mahali kwenye ulimwengu wa Jumuia ya Madola. Minara na miamba hii yote inayoashiria ibada za sanamu itaondolewa na kuteketezwa kabisa, pamoja na makanisa yao makuu na matukufu, wakati wa kuja kwake Masihi. Uteketezaji wake utaanzia kipindi cha huduma ya mashahidi wawili walioandikwa kwenye Ufunuo 11:3-13.

 

Hosea Sura ya 7

Wakati nitakapo kumponya Israeli, ndipo yafunuliwapo maovu ya Efraimu, na ubaya wa Samaria; maana wanatenda uongo, na mwivi huvunja nyumba za watu, na kundi la wanyang'anyi hushambulia nje. 2 Wala hawafikiri mioyoni mwao ya kwamba naukumbuka uovu wao wote; sasa matendo yao wenyewe yamewazunguka pande zote; yako mbele za uso wangu. 3 Humfurahisha mfalme kwa uovu wao, na wakuu wao kwa uongo wao. 4 Hao wote ni wazinzi; wamekuwa kama tanuu iliyotiwa moto na mwokaji; huacha kuuchochea moto, tangu kuukanda unga hata umekwisha kutiwa chachu. 5 Sikukuu ya mfalme wetu, wakuu walijitapisha kwa ukali wa divai; alinyosha mkono wake pamoja na wenye mzaha. 6 Maana wamefanya moyo wao kuwa tayari kama tanuu, wakati waoteapo; hasira yao hulala usiku kucha; asubuhi yawaka kama moto utoao miali. 7 Wote wamepata moto kama tanuu, nao hula makadhi wao; wafalme wao wote wameanguka; hakuna hata mmoja wao aniitaye mimi. 8 Efraimu ajichanganya na mataifa; Efraimu ni mkate usiogeuzwa. 9 Wageni wamekula nguvu zake, naye hana habari; naam, nywele za mvi zimeonekana huko na huko juu yake, naye hana habari. 10 Na kiburi cha Israeli chamshuhudia mbele ya uso wake; ila hata hivyo hawakumrudia Bwana, Mungu wao, wala hawakumtafuta kwa ajili ya hayo yote. 11 Naye Efraimu amekuwa kama njiwa mpumbavu, asiye na fahamu; humwita Misri, huenda Ashuru. 12 Watakapokwenda nitatandika wavu wangu juu yao; nitawashusha kama ndege wa angani; nitawarudi, kama vile mkutano wao ulivyosikia. 13 Ole wao! Kwa kuwa wamenikimbia; uharibifu na uwapate! Kwa kuwa wameniasi; ingawa ninataka kuwakomboa, hata hivyo wamenena uongo juu yangu. 14 Wala hawakunililia kwa moyo, lakini wanalalamika vitandani mwao; hujikutanisha ili kupata nafaka na divai; huniasi mimi. 15 Ingawa nimewafundisha na kuwatia nguvu mikono yao, hata hivyo hukusudia udhalimu juu yangu. 16 Wao hurudi, lakini si kwake Aliye juu; wamekuwa kama upinde usiotumainika; wakuu wao wataanguka kwa upanga, kwa sababu ya jeuri ya ndimi zao; jambo hili litakuwa kwao sababu ya kuchekwa katika nchi ya Misri.

 

Efraimu na Manase ni nguvu ya Israeli na bado wao ni wapuuzi na hawajui lolote. Wamefanyika kuwa ni wanajeshi wa jeshi la nguvu za Mnyama za Siku  za Mwisho na wataangamizwa kwa ajili ya hilo. Wala hawazishiki Sabato, wala Miandamo ya Mwezi Mpya, wala Sikukuu zilizoamriwa na Mungu na makuhani wao wanakimbia kama makahaba kwenye mahekalu ya Baali na Ashitorethi au Easter na wanakwenda pasipo kukemewa. Viongozi wao na makuhani wao na manabii wao ni kama mbwa bubu. Wafalme wao na utajiri wao husababisha na kufanya maovu.

 

Ndipo Mungu hutabiri maovu dhidi yao ili kuwapunguza wasitubu.

 

Hosea Sura ya 8

Tia baragumu kinywani mwako. Kama tai, anakuja juu ya nyumba ya Bwana; kwa sababu wamelihalifu agano langu, wameiasi sheria yangu. 2 Watanililia, Mungu wangu, sisi Israeli tunakujua. 3 Israeli ameyatupa yaliyo mema; adui watamfuatia. 4 Wamesimamisha wafalme, lakini si kwa shauri langu; wamejifanyia wakuu, lakini nalikuwa sina habari; kwa fedha yao na dhahabu yao wamejifanyizia sanamu, kusudi wakatiliwe mbali. 5 Amemtupa ndama yako, Ee Samaria; hasira yangu imewaka juu yao; siku ngapi zitapita kabla ya hao kupata hali isiyo na hatia? 6 Maana katika Israeli kimetokea hata na kitu hiki; fundi ndiye aliyekifanya, nacho si mungu kamwe; naam, ndama ya Samaria itavunjika vipande vipande. 7 Kwa maana wao hupanda upepo, nao watavuna tufani; nafaka haina bua; machipuko yake hayatoi masuke; hata ikiwa yatoa, wageni watayameza. 8 Israeli amemezwa; sasa wamo miongoni mwa mataifa kama chombo kisichopendeza. 9 Kwa maana wamekwea kwenda Ashuru, mfano wa punda wa mwituni aliye peke yake; Efraimu ameajiri wapenzi. 10 Naam, ijapokuwa waajiri kati ya mataifa, sasa nitawakusanya; nao wanaanza kupunguka kwa sababu ya mzigo wa mfalme wa wakuu. 11 Kwa kuwa Efraimu ameongeza madhabahu kwa dhambi, madhabahu zimekuwa dhambi kwake. 12 Nijapomwandikia sheria yangu katika amri elfu kumi, zimehesabiwa kuwa ni kitu kigeni. 13 Kwa habari za dhabihu za matoleo yangu, hutoa dhabihu ya nyama na kuila; lakini Bwana hawakubali; sasa ataukumbuka uovu wao, na kuwapatiliza dhambi zao; watarudi kwenda Misri. 14 Maana Israeli amemsahau Muumba wake, naye amejenga nyumba za enzi; na Yuda ameongeza miji yenye maboma; lakini nitapeleka moto juu ya miji yake, nao utaziteketeza ngome zake.

 

Hatimaye Israeli waliobaki kutoka Yuda walipelekwa jangwani tangu mwaka 70 BK na kisha walitawanyika huko Ulaya baada ya kuanguka kwa dola ya Waparthi. Waliiacha na kuihalifu kwa makusudi kabisa Torati ya Mungu kupitia makuhani wao kwa kipindi cha miaka 1400. Walipewa Torati kwa lugha yao wenyewe na waliipuuza torati ambayo ni sheia ya Mungu na kujifanyia dini ya Baali na kujitangaza wenyewe kuwa wao ni watu wasioishi kwa kufuata sheria au waantinomia kwa kipindi cha karne kadhaa sasa. Makuhani wao walijaribu kuwazuia wasielewe na wamewapotosha Israeli na Wagomeri kwa mtindi endelevu. Vita haijawahi kuondoka kwao na watu wao wameteseka kutokana na makuhani wao watawala na manabii na ibada zao za sanamu za dini zao.

 

Hosea Sura ya 9

Usifurahi, Israeli, kwa sababu ya furaha, kama hao mataifa; kwa kuwa umezini juu ya Mungu wako, umependa ujira katika kila sakafu ya nafaka. 2 Sakafu na shinikizo hazitawalisha, na divai mpya itampungukia. 3 Hawatakaa katika nchi ya Bwana; lakini Efraimu atarudi Misri, nao watakula chakula kinajisi katika Ashuru. 4 Hawatammiminia Bwana divai, wala hazitampendeza sadaka zao; mkate wao utakuwa kama chakula cha matanga kwao; wote watakaokila watatiwa unajisi; kwa maana mkate wao utakuwa kwa shauku zao; hautaingia katika nyumba ya Bwana. 5 Mtafanya nini katika siku ya mkutano wa idi, na katika siku ya karamu ya Bwana? 6 Kwa maana, tazama, wamekwenda zao ili kukimbia uharibifu, lakini Misri itawakusanya, Nofu itawazika; vitu vyao vya fedha viwapendezavyo, magugu yatavimiliki; miiba itakuwa katika hema zao. 7 Siku za kupatilizwa zimekuja, siku za kulipa zimefika; Israeli atayajua hayo; huyo nabii ni mpumbavu, huyo mtu mwenye roho ana wazimu; kwa sababu ya wingi wa uovu wako, na kwa sababu uadui umekuwa mkubwa. 8 Efraimu alikuwa mlinzi pamoja na Mungu wangu; na huyo nabii, mtego wa mwinda ndege u katika njia zake zote; katika nyumba ya Mungu wake umo uadui. 9 Wamejiharibu mno, kama katika siku za Gibea; ataukumbuka uovu wao, atazilipiza dhambi zao. 10 Mimi nalimkuta Israeli kama zabibu nyikani; nami naliwaona baba zenu kama matunda ya mtini yaliyoiva kwanza, wakati wake wa kwanza; lakini walikwenda Baal-Peori, wakajiweka wakfu kwa kitu cha aibu, wakawa chukizo kama kitu kile walichokipenda. 11 Naye Efraimu, utukufu wake utarukia mbali kama ndege, uzazi hautakuwako, wala aliye na mimba, wala achukuaye mimba. 12 Wajapolea watoto wao, mimi nitawanyang'anya watoto wao, asisalie hata mtu mmoja; naam, ole wao! Nitakapoondoka na kuwaacha. 13 Efraimu amepandwa mahali pazuri, kama nilivyoona Tiro; lakini Efraimu atamtolea mwuaji watoto wake. 14 Wape, Ee Bwana; utawapa kitu gani? Wape tumbo lenye kuharibu mimba na maziwa makavu. 15 Uovu wao wote u katika Gilgali; maana huko naliwachukia; kwa sababu ya uovu wa matendo yao nitawafukuza watoke katika nyumba yangu; sitawapenda tena; wakuu wao wote ni waasi. 16 Efraimu amepigwa; mzizi wao umekauka; hawatazaa matunda; naam, wajapozaa, nitaliua tunda la tumbo lipendwalo sana. 17 Mungu wangu atawatupilia mbali, kwa sababu hawakumsikiliza; nao watakuwa watu wa kutanga-tanga kati ya mataifa.  

 

Kumbuka kuwa hawakuzishika Sikukuu zilizoagizwa na kuamriwa na Bwana. Sabato za Mwisho na Sikukuu za Bwana zilikuwa zikiazimishwa hadi mwaka 664 BK. Kwenye Sinodi ya Whitby, kwenye Jumba la Watawa la Hilda, Mwanamke Kahaba aliitwa nchi ya Uingereza kwa nguvu ya huko Angles aliyewaalika Wakatoliki wa Roma waje Uingereza mwaka 597 BK wakiongozwa na Augustine wa Canterbury. 

 

Efraimu alipewa mema ya nchi na alikuwa ni mzabibu uzaao uliotanda nchini kote Israeli lakini alishindwa na akaadhibiwa kwa vifo vya watoto wake. Wake zake wakabadilishwa na kuwa kama wanaume na wanawake wa Sodoma na watu wakazeeka na wageni wazitumia na kuzimaliza nguvu zao.

 

Tena kwa kadiri Mungu alivyokuwa anawabariki ndipo walipozidi kujiharibu njia zao kwa kuabudu sanamu na kuandama dini za Mabaali na za Juan a za kuabudu nguzo ambazo walikatazwa kuziandama. Makuhani wao wavaa majoho meusi walivalia kama walivyofanya waliowatangulia walipokuwa wanaabudu Mabaali na imani za Wagomeri na ya Wavestals na Warumi Wacuria na Wapontificus Maximus. Mungu wa Utatu akawa ameingizwa na kuwa bora zaidi kwao na walikufa kwenye dhambi zao. Hata Makanisa ya Mungu katika Siku za Mwisho walipungua kwa kuandama imani ya kibinitariani ya mungu Attis aliyetokana na imani ya mungu Jua na dini za Siri na za Kifumbo (soma majarida ya Uditheismu (Na. 076B) na Makosa ya Ufundishaji wya Ubinitariani na Utrinitariani ya Teolojia ya Mwanzoni Kuhusu Uungu (Na. 127B)).

 

Hawatendi dhambi pasipo adhabu na kwa miaka mingi iliwalazimu kulipa lakini kwenye karne ya ishirini walilipa wanachostahili kabisa. Waliodoalea mbali malaka ya kiutawala ya Marekani na hatimaye wakadharauliwa na kupuuzia kwa jambo hilo kwenye kila nchi kutoka Afrika ya Kusini na kisha huko Ireland na Scotland na hatimaye kwenye nchi nyingine zilizosalia kutoka umoja wa Jumuia ya Madola. Wlipuuza na kudharau uwezo wao wenyewe na umoja wao. Nadhiri zao zikawa tupu na za bre na wanasema uwongo na hatimaye Mungu aliweka sawa kwa kuziangusha chini nguzo zao katika Nyakati za Mwisho.

 

Dini ya Wasamaria ya kuabudu mungu Sin na Baali hatimaye itakomeshwa na kuondolewa kabisa kutoka kwao na makuhani wao watakomeshwa. Dini ya mungu Mke anayeabudiwa kiupofu na wakezao itakomeshwa pia.

 

Hosea Sura ya 10

Israeli ni mzabibu, utoao matunda yake; kwa kadiri ya wingi wa matunda yake, kwa kadiri iyo hiyo ameongeza madhabahu zake; kwa kadiri ya wema wa nchi yake, kwa kadiri iyo hiyo wamefanya nguzo nzuri. 2 Moyo wao umegawanyika; sasa wataonekana kuwa na hatia; yeye atazipiga madhabahu zao, ataziharibu nguzo zao. 3 Yakini sasa watasema, Hatuna mfalme; kwa maana hatumchi Bwana; na mfalme huyu je! Aweza kututendea nini? 4 Hunena maneno yasiyo na maana; huapa kwa uongo wafanyapo maagano; basi ndipo hukumu huchipuka kama mbaruti katika matuta ya shamba. 5 Wakaao Samaria wataona hofu kwa ajili ya ndama za Beth-Aveni; kwa maana watu wa mji huo wataulilia, na makuhani wake walioufurahia, kwa sababu ya utukufu wake; kwa maana umetoweka. 6 Nayo itachukuliwa Ashuru, iwe zawadi kwa mfalme Yarebu; Efraimu atapata aibu, na Israeli atalionea haya shauri lake mwenyewe. 7 Katika habari za Samaria, mfalme wake amekatiliwa mbali, kama povu usoni pa maji. 8 Mahali pa Aveni palipoinuka, yaani, dhambi ya Israeli, pataharibika; mwiba na mbigili itamea juu ya madhabahu zake; nao wataiambia milima, Tusitirini; na vilima, Tuangukieni. 9 Ee Israeli, umefanya dhambi tangu siku za Gibea; huko ndiko walikosimama; ili vita vilivyokuwa juu ya wana wa uovu visiwapate katika Gibea. 10 Wakati nitakapopenda nitawaadhibu; na hao mataifa watakusanyika juu yao, watakapofungwa kwa sababu ya makosa yao mawili. 11 Naye Efraimu ni ndama aliyefundishwa, apendaye kupura; lakini nimepitisha kongwa juu ya shingo yake nzuri; nitampandisha mwenye kupanda juu ya Efraimu; Yuda atalima, na Yakobo atavunja madongoa yake. 12 Jipandieni katika haki, vuneni kwa fadhili; uchimbueni udongo wa mashamba yenu, kwa maana wakati umewadia wa kumtafuta Bwana, hata atakapokuja na kuwanyeshea haki. 13 Mmelima dhuluma, mmevuna uovu; mmekula matunda ya uongo; kwa maana uliitumainia njia yako, na wingi wa mashujaa wako. 14 Kwa sababu hiyo fitina itatokea kati ya watu wako, na ngome zako zote zitaharibiwa, kama vile Shalmani alivyoharibu Betharbeli, katika siku ya vita; mama akavunjika-vunjika pamoja na watoto wake. 15 Hivyo ndivyo Betheli atakavyowatenda ninyi, kwa sababu ya ubaya wenu mwingi; wakati wa mapambazuko mfalme wa Israeli atakatiliwa mbali kabisa.  

 

Vifaa vya kupigania vita vya Israeli vitashindwa na Yuda watalazimika kulima na haro ya Yakobo kwa ajili yake mwenyewe. Efraimu alibakizwa na kuhifadhiwa kwenye Vita Vikuu na kwa zaidi ya karne kadhaa. Ndipo katika Nyakati za Mwisho wote watatiwa kwenye kazi ya haki na utakatifu na itawalazimu wote kutubu. Israeli aqalipanda uovu na kuvuna dhulua na amekula matunda ya uwongo wao. Efraimu na Yuda wataadhibiwa paoja.

 

Mungu amewafanya Israeli wawe kama nguzo au alama ya dunia a kutoka Israeli Masihi alizaliwa na huko Misri Mungu alimuita Mwanangu. Kristo alipelekwa Misri ambako alifanyika kuwa nuru huko Gosheni iliyoko Heliopolis kabla ya kifo cha Herode siku ya 1-13 Abibu mwaka 4 KK. Kuhani Mkuu Onani IV alikuwa amejenga madhabahu huko yapata kama mwaka 160 KK sawasawa na unabii wa Isaya 19:19. Kanisa lilianzishwa na Masihi kwa maelekezo au maongozi ya Mungu tangu mwaka 27-30 BK na Yuda walimkataa na kanisa pia. Yuda walitenda dhambi na kwa kumkataa kwao na mataifa yaliendelea na kushamiri ibada za Juan a kwa kupitia mlango wa Ukristo. Katika karne ya 4 makuhani wa Attis huko Roma walkuwa wanalalamika kwamba “Wakristo” wa huko wamewaibia mafundisho yao yote.

 

Licha ya dhambi zao Mungu aliwasaidia Efraimu na Israeli na waliwafundisha kutembea na wakawalinda Israeli wote huku wakiwa hawamjui. Mara zote walirudi kwenye imani potofu za mchanganyiko wa Kiashuru na Kibabeloni na kwenye dini za Siri na Fumbo za Kimisri.

 

Hosea Sura ya 11

Israeli alipokuwa mtoto, nalikuwa nikimpenda, nikamwita mwanangu atoke Misri. 2 Kadiri walivyowaita ndivyo walivyoondoka na kuwaacha; waliwatolea dhabihu Mabaali, na kuzifukizia uvumba sanamu za kuchonga. 3 Lakini nalimfundisha Efraimu kwenda kwa miguu; naliwachukua mikononi mwangu; hawakujua ya kuwa naliwaponya. 4 Naliwavuta kwa kamba za kibinadamu, kwa mafungo ya upendo; nami nalikuwa kwao kama hao waondoao kongwa tayani mwao, nikaandika chakula mbele yao. 5 Hatarudi tena nchi ya Misri; bali huyo Mwashuri atakuwa mfalme wake; kwa sababu walikataa kurejea. 6 Na upanga utaiangukia miji yake, utayaharibu makomeo yake na kuyala, kwa sababu ya mashauri yao wenyewe. 7 Na watu wangu wamejipinda kuniacha; ingawa wawaita kwenda kwake Aliye juu, hapana hata mmoja atakayemtukuza. 8 Niwezeje kukuacha, Efraimu? Niwezeje kukuponya, Israeli? Niwezeje kukufanya kama Adma? Niwezeje kukuweka kama Seboimu ? Moyo wangu umegeuka ndani yangu, huruma zangu zimewaka pamoja. 9 Sitatumia ukali wa hasira yangu, sitarudi kumwangamiza Efraimu; kwa maana mimi ni Mungu, si mwanadamu mimi; mimi ndiye aliye Mtakatifu katikati yenu; wala sitaingia ndani ya mji. 10 Watakwenda kumfuata Bwana, atakayenguruma kama simba; kwa maana atanguruma, nao watoto watakuja kutoka magharibi wakitetemeka. 11 Watakuja wakitetemeka kama shomoro, toka Misri, na kama hua, toka nchi ya Ashuru; nami nitawakalisha katika nyumba zao, asema Bwana. 12 Efraimu amenizinga kwa maneno ya uongo, na nyumba ya Israeli kwa udanganyifu; na Yuda hata sasa anasita-sita kwa Mungu, na kwake aliye Mtakatifu, naye ni mwaminifu.

 

Kumbuka kuwa |Mungu anawahurumia Efraimu na watoto wao watakuja kutetemeka kutoka Magharibi ambako ndiko walikopelekwa. Kipindi hiki ni Yuda tu ndio watakuwa hawajapotoshwa kabisa na imani hizi za Jua hata ingawa Kabbalists yao itakuwa imewapotosha kwenye giza la Sinagogi ya Shetani.

 

Katika Siku za Mwisho watazidisha dhambi na maovu na Yuda watalazimika kuadhibiwa pia kwa sababu ya uwongo wao na utajiri wao hautaweza kupimwa kulinganisha na makosa yao na hata haitakuwa hivyo kwa Yuda.

 

Hosea Sura ya 12

Efraimu hujilisha upepo, na kuandamana na upepo wa mashariki; haachi kuongeza uongo na uharibifu; nao wafanya agano na Ashuru, na mafuta huchukuliwa kwenda Misri. 2 Bwana naye ana mateto na Yuda, naye atamwadhibu Yakobo kwa kadiri ya njia zake; kwa kadiri ya matendo yake atamlipa. 3 Tumboni alimshika ndugu yake kisigino; Na alipokuwa mtu mzima alikuwa na uwezo kwa Mungu; 4 Naam, alikuwa na uwezo juu ya malaika Akashinda; alilia, na kumsihi; Alimwona huko Betheli, naye akasema nasi huko; 5 Naam, Bwana, Mungu wa majeshi; Bwana ndilo kumbukumbu lake. 6 Basi, mrudie Mungu wako; shika fadhili na hukumu; ukamngojee Mungu wako daima. 7 Ni mchuuzi, mizani ya udanganyifu i mkononi mwake; anapenda kudhulumu. 8 Naye Efraimu alisema, Kweli nimekuwa tajiri, nimejipatia mali nyingi; katika kazi zangu zote hawataona kwangu uovu wo wote uliokuwa dhambi. 9 Lakini mimi ni Bwana, Mungu wako tangu ulipotoka katika nchi ya Misri; nitakukalisha tena katika hema, kama siku za karamu ya idi. 10 Tena nimenena na hao manabii, nami nimeongeza maono, na kwa utumishi wa manabii nimetumia mifano. 11 Je! Gileadi ni uovu? Wamekuwa ubatili tu; huko Gilgali hutoa dhabihu za ng'ombe; naam, madhabahu zao zimekuwa kama chungu katika matuta ya mashamba. 12 Na Yakobo alikimbia mpaka Padan-Aramu, Na Israeli alitumika apate mke; Ili apate mke alichunga kondoo. 13 Na kwa nabii Bwana alimtoa Israeli katika Misri, Na kwa mkono wa nabii alihifadhiwa. 14 Efraimu amenitia hasira kali sana; kwa sababu hiyo damu yake itaachwa juu yake, na Bwana wake atamrudishia lawama yake.

 

Katika Siku za Mwisho Israeli watafanywa kuishi kwenye hema kama ilivyo kwenye sikukuu zalizoamriwa na makemeo ya Efraimu yatafanywa yarudishwe nyuma na kuwarudia wao wenyewe kama wanavyostahili kuwa (kama ilivyo kwenye Zekaria 14:16-19).

 

Kumbuka kuwa ni kwa kutokana na dini hizi za mungu jua na za Kisiri na Fumbo ndizo zilimsababisha Efraimu kutenda dhambi na kuwa na hatia na aliuawa kwa sababu ya hilo. Sanamu na vinyago vya mungumke vimesambazwa kila mahali na watuwazima miongoni mwao huvibusu na kumuabudu Baali na Ashitorethi kwa mtindo wa imani ya miungu Sin ambaye ni mungu Mwezi. Mahekalu yao yamewekwa alama kama ya jua na misalaba na alama zao zote zimelengwa kwa minajiri ya kutukuza ibada za dini ya Baali.

 

Kama unasema unamwabudu Kristo lakini unaabudu siku ya Jumapili, na ukiadhimisha sikukuu ya mungu Jua ziitwayo “Krismas” na unaiadhimisha Easter kuanzia siku iitwayo Ijuma Kuu hadi siku ya Jumapili kwenye kipindi cha Mwezi Mkamilifu majira ya Ikwinoksi na ukizikataa Sabato, Mwandamo wa Mwezi Mpya na Sikukuu zilizowekwa na Mungu, basi wewe sio Mkristo kabisa. Bali wewe ni kuhani au mtu aliyejitoa kuwatumikia Baali na Ashtorethi au Easter. Sehemu yako ya ibada kwa usemi rahisi ni kusema kwamba unamlenga Mungumke na wale wanaoitwa watakatifu wa imani za kipagani walioingizwa kwenye Ukristo. Kwa sababu hiyo taifa lenu limedhoofika kwa dhambi na mtahukumiwa na Mungu aliyehai.

 

Hosea Sura ya 13

Efraimu aliponena, palikuwa na tetemeko; alijitukuza katika Israeli; Lakini alipokosa katika Baali, alikufa. 2 Na sasa wanazidi kufanya dhambi, nao wamejifanyizia sanamu kwa fedha yao, naam, sanamu kwa kadiri ya akili zao; zote pia ni kazi ya mafundi; nao huzitaja hivi, Wanaume watoao dhabihu na wazibusu ndama. 3 Kwa sababu hiyo watakuwa kama wingu la asubuhi, na kama umande utowekao upesi, kama makapi yaliyopeperushwa na tufani sakafuni, na kama moshi utokao katika bomba. 4 Lakini mimi ni Bwana, Mungu wako tangu nchi ya Misri; wala hutamjua mungu mwingine ila mimi; wala zaidi ya mimi hakuna Mwokozi. 5 Mimi nalikujua katika jangwa, katika nchi yenye kiu nyingi. 6 Kwa kadiri ya malisho yao, kwa kadiri iyo hiyo walishiba; walishiba na moyo wao ukatukuka; ndiyo sababu wamenisahau mimi. 7 Basi nimekuwa kama simba kwao; kama chui nitavizia njiani; 8 nitakutana nao kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake; nami nitararua nyama ya mioyo yao; na huko nitawala kama simba; huyo mnyama mkali atawararua. 9 Haya ndiyo maangamizo yako, Ee Israeli, ya kuwa wewe u kinyume changu mimi, kinyume cha msaada wako. 10 Yuko wapi sasa mfalme wako, apate kukuokoa katika miji yako yote? Na hao waamuzi wako, uliowanena hivi, Nipe mfalme na wakuu? 11 Nimekupa mfalme katika hasira yangu, nikamwondoa katika ghadhabu yangu. 12 Uovu wa Efraimu umefungwa kwa kukazwa; dhambi yake imewekwa akiba. 13 Utungu wa mwanamke mwenye mimba utampata; yeye ni mwana asiye na akili; maana wakati umewadia, ambao haimpasi kukawia mahali wapenyapo watoto. 14 Nitawakomboa na nguvu za kaburi; nitawaokoa na mauti; ewe mauti, ya wapi mapigo yako? Ewe kaburi, ku wapi kuharibu kwako? Kujuta kutafichwa na macho yangu. 15 Ajapokuwa yeye ni mwenye kuzaa sana kati ya ndugu zake, upepo wa mashariki utakuja, hiyo pumzi ya Bwana itokayo upande wa nyikani, na kijito chake cha maji kitakauka, na chemchemi yake itakaushwa; yeye atateka nyara hazina ya vyombo vyote vipendezavyo. 16 Samaria atachukua hatia yake; kwa maana amemwasi Mungu wake; wataanguka kwa upanga; watoto wao wachanga watavunjwa vipande vipande, na wanawake wao wenye mimba watatambuliwa.

 

Ni kwa huruma na rehema za Mungu tu ndipo hatimaye Efraimu watapunguzwa na kutubu. Waliondolewa kutoka Samaria na kupelekwa ng’ambo na kwa kipindi cha miaka 2745 Mungu alishughulika nao  na ataendelea kushughulika nao. Habari ya kukemewa kwao na marejeshoya Israeli vinaendelea kwa kupirtia Manabii hawa Kumi na Mbili kwa kila awamu.

 

Mungu anafanya mapatano, kupatana na Israeli kupitia nabii wao Hosea kwenye sura hii ya mwisho. Washirika wao na Waashuru hawataweza kuwaokoa. Bali wataitwa na Mungu na kumrudia. Mfano wa jinsi itakavyokuwa utaonyeshwa na manabii wanaofuatia kwa Amosi na Hosea. Mfuatano wa matukio ya marejesho ya Nyakati za Mwisho nay a utawala wa kipindi cha millennia vimefunuliwa kwa kila nabii na hakuna mjadala au mchanganyo.

 

Hosea Sura ya 14

Ee Israeli, mrudie Bwana, Mungu wako; maana umeanguka kwa sababu ya uovu wako. 2 Chukueni maneno pamoja nanyi, mkamrudie Bwana; mkamwambie, Ondoa maovu yote, uyatakabali yaliyo mema; na hivyo ndivyo mtakavyotoa sadaka za midomo yetu kana kwamba ni ng'ombe. 3 Ashuru hatatuokoa; hatutapanda farasi; wala hatutaiambia tena kazi ya mikono yetu, Ninyi ndinyi miungu yetu; maana kwako wewe wasio na baba hupata rehema. 4 Mimi nitawaponya kurudi nyuma kwao; nitawapenda kwa ukunjufu wa moyo; kwa maana hasira yangu imemwacha. 5 Nitakuwa kama umande kwa Israeli; naye atachanua maua kama nyinyoro, na kuieneza mizizi yake kama Lebanoni. 6 Matawi yake yatatandaa, na uzuri wake utakuwa kama uzuri wa mzeituni, na harufu yake kama Lebanoni. 7 Na wao wakaao chini ya uvuli wake watarejea; watafufuka kama ngano, na kuchanua maua kama mzabibu; harufu yake itakuwa kama harufu ya divai ya Lebanoni. 8 Efraimu atasema, Mimi nina nini tena na sanamu? Mimi nimeitika, nami nitamwangalia. Mimi ni kama mberoshi wenye majani mabichi. Kwangu mimi yamepatikana matunda yako. 9 Ni nani aliye na hekima, naye atayafahamu mambo haya? Ni nani aliye na busara, naye atayajua? Kwa maana njia za Bwana zimenyoka, nao wenye haki watakwenda katika njia hizo; bali waasio wataanguka ndani yake.

 

Na kwa hiyo inabaki kwamba Mungu anawaita Israeli na anawaonyesha wao kwamba vinyago vyao ni machukizo makubwa sana kwakewa sana kwake na kitu anachohitaji ni ibada ya moyo safi na wa kweli itokanayo na unyenyekevu na ukweli, kwa watu safi na wenye haki.

 

**************

 

Jarida la Nyongeza kwenye Ufafanuzi wa Kitabu cha Hosea                                                                 

Hosea

Biblia ya Bullinger iitwayo Companion Bible Inaona kijineno “re” au kufanywa tena kwenye tafsiri ya KJV

 

1:2-3:5. MFANO AU ASHIRIO.

1:2-. Mfano ashirio. Mke wa Kwanza. "Nenda, Kamtwae."

1:-2. Maana yake. Nchi inaondokwa na Yehova.

1:3. Nabii anamchukua Gomeri.

1:4-9. Nchi ya Zamani.

1:10, 11. Nchi Inayofuatia.

2:1-4. Samaria. Lalamika.

2:5-23. Samaria. Inatafakari.

3:1-. Ishara. Mke wa Pili. "Nenda na Ukampende", &c.

3:-1. Maana yake. Israeli inatafuta miungu mingine.

3:2, 3. Nabii anamchukua Mwanamke.

3:4. Nchi ya Sasa.

3:5. Nchi Ijayo.

1:4-9. NCHI YA ZAMANI.

4-. Ishara. Jina la Mtoto ("Yezreeli").

-4, 5. Maana yake, na Sababu yake.

6-. Ishara. Jina la Bintiye (Lo-Ruhama).

-6, 7. Maana yake, na Sababu yake.

8, 9-. Ishara. Jina la Mtoto wa Kiume (Lo-Ammi).

-9. Ishara, na Maana yake.

1:10, 11. NCHI IJAYO.

10. Israeli.

11. Juda.

2:5-23. SABABU.

5. Wapenzi Wake wa Uwongo.

6, 7-. Adhbu zake.

-7. Kurejea Kwake.

8. Mpenzi Wake wa Kweli.

9-13. Adhabu aake.

14-23. Mapokezi Yake.

3:4, 5. NCHI YA SASA NA IJAYO. (Kwa mujibu wa maandiko ya Kiebrania.)

4-. Wakati. "Siku nyingi."

-4-. "Atadumu."

-4-. "Wana wa Israeli."

-4. "Bila mfalme, & kwa hiyo (Kinyume)

5-. Wakati "Baadae."

-5-. "Watarudi."

-5-. "Wana wa Israeli."

-5-. "Yehova na Daudi mfalme wao."(Tukio asi.)

-5. Wakati. "Katika siku zijazo."

4:1-14:8. MAANA YA MOJA KWA MOJA.

4:1-5:15. Hatari na Vitisho.

6:1-3. Kuziki kurudi.

6:4-13:8. Hatari na Vitisho.

13:9-14:8. Wito wa kurejea.

4:1-5:13. HATARI, NK.

4:1-5. Wito kwa Israeli. Kwa ujumla.

4:6-14. Hatari, & kama hivyo.

4:15-19. Maonyo kama kuyaweka katika Yuda.

5:1, 2. Wito kwa Israeli. Hasahasa.

5:3-7. Hatari.

5:8-15. Maonyo kama kuyaweka katika Yuda.

4:1-5. WITO KWA ISRAELi.

1-. Wito.

-1, 2. Sababu.

3. Vitisho.

4-.Wito.

-4. Sababu.

5. Kutishia.

4:6-14. VIFUNIKO NA VITISHO.

6-11. Makuhani.

12-14. Watu.

6:4-13:8. VIFUNIKO NA VITISHO.

6:4. Uvumilivu wa Mungu.

6:5-10:15. Kutorekebishika.

11:1-7. Mwenendo wa Uliotofauti.

11:8-11. Uvumilivu wa Mungu.

11:12-12:14. Kutorekebishika.

13:1-8. Mwenendo Uliokanganyika au Kinyume.

6:5-10:15. KUTOREKEBISHIKA.

(Ubaya zaidi ya maonyo)

6:5. Hukumu za Mungu.

6:6-11-. Kutorekebishika.

6:-11-7:1-. Rehema ya Mungu.

7:-1-10:15. Kutorekebishika.

7:1-10:15. KUTOREKEBISHIKA. (mbaya zaidi ya kutengeneza)

7:-1-7. Udhaifu wa ndani. Kuabudu sanamu.

7:8-8:3. Tatizo la nje. Wageni kutoka nje.

8:4-6. Udhaifu wa ndani. Kuabadu sanamu.

8:7-10. Tatizo la nje. Wageni kutoka nje.

8:11-9:8. Udhaifu wa ndani. Kuabudu sanamu.

9:9. Tatizo kutoka nje. Siku za Gibea.

9:10-10:8. Udhaifu kutoka ndani. Kuabudu sanamu.

10:9-15. Adibisho. Siku za Gibea.

11:1-7. MKANGANYO WA KIMWENENDO.

1. Upendo.

2. Kukosa shukurani.

3-.Upendo.

-3. Kukosa mahasa.

4. Upendo .

5-7. Vitisho.

11:12-12:14. KUTOREKEBISHIKA.

11:12-12:2. Hatari. Uwongo, & mengine.

12:3, 4-. Yakobo. Historia binafsi.

12:-4-6. Upendeleo wa Mungu na Mawasiliano.

12:7, 8. Uchokozi.

12:9, 10. Sababu.

12:11. Hatari. Kuabudu sanamu.

12:12. Yakobo. Historia yake binafsi.

12:13. Upendeleo wa Mungu na Mawasiliano.

12:14-. Uchokozi.

12:-14. Mapatilizo.

13:1-8. MWENENDO ULIOJIKANGANYA.

1. Kutangulia kwa Efraimu.

-1, 2. Angko la Efraimu. Kuabudu sanamu.

3. Vitisho, na Mlinganisho.

4, 5. Yehova kiini cha nguvu za Efraimu.

6. Anguko la Efraimu. Kumsahau Yehova.

7, 8. Vitisho, na Mlinganisho.

13:9-14:8. WITO WA KUREJEA.

13:9-16.. Uasi.

14:1-8. Kurejea.

13:9-16. MAASI.

9-. Hatari.

-9-11. Ahadi.

12, 13. Hatari.

14. Ahadi.

15, 16. Hatari.

14:1-8. KUREJEA.

 

Maandiko ya tafsiri ya Companion Bible ya mwaka 1909 - Hosea Sura ya 1-7

Hosea 1:1

BWANA. Kiebrania. Yehova. Nyongeza ya 4.

Hosea. Kiebrania. Hoshe'a' = Wokovu.

Beeri. Kwa Mapokeo ya Kiyahudi inaonyesha Be'eri pamoja na Be'era, wa Reuben (1Nyakati 5:6). Mapokeo ya Kikristo yanamfanya Hosea kuwa wa kabila la Isakari. Majina yote mawili ni ya ishara kama yalivyo majina mengine kwenye kitabu hiki. Kialama hiki “hakijaingizwa kwa wazi na waandishi wengine” kama ilivyodaiwa.

Uzia. Soma maandiko ya kwenye ukurasa 1208.

Yeroboamu: yaani Yeroboamu II, mfalme wa mwisho alim- mmoja wa nyumba ya Yehu. Soma pia maandiko ya 2Wafalme 10:30; 14:23-29. Hii inaturudisha sisi nyuma hadi kwenye miaka kumi na nne ya utawala mrefu wa Uzia. Soma maandiko kwenye ukurasa wa 1208, ili kujua maana ya jina la Yeroboamu hapa.

 

Hosea 1:2

Mwanzo, & kadhalika. Hii inaweza kueleweka sio tu kwa unabii wa Hosea peke yake, bali kama unataja ukweli kwamba Hosea alikuwa ni wa kwanza (kikanuni ya manabii kumi na tano waliojumuishwa kwenye kanuni ya Kuwatambua manabii na jumbe zao ya Kiebrania. Soma jarida la nyongeza hesemu ya 77.

kwa = kwenye, kama ilivyo kwenye Hesabu 12:6, 8. Habakuki 2:1. Zekaria 1:9, yaani kupitia humo.

mke wa uzinzi:yaani mwanamke wa ufalme wa kaskazini, na kwa hiyo alichukuliwa kama wanamke mwabudu sanamu.

makahaba = waabudu sanamu. Ni neno moja linalotumiwa kwa maana nyingine kwa Lugha ya Fumbo kuwa ni Metonymy (y Somo au Fundisho), Sehemu ya Nyongez ya 6, kwakuwa yote mawili yalikuwa yanaashiria maana ya kutoaminika; mume wa zamani, na hatimaye kwa Yehova, Aliyedumisha uhusiano ule na Israeli (Yeremia 31:32). Linganisha na 2Wafalme 9:22. 2Nyakati 21:13. Yeremia 3:2. Ezekieli 16:17-35; Ezekieli 20:30; 23:3, 7, 43. Nahumu 3:4. Tazama pia 4:2, 12; 5:3, 4; 6:10; 7:4, & kadhalika.

na = na [zaa].

watoto = uzao. Kwa Kiebrania. yalad. Mama ni lugha ya nfano wa ufalme, na uzao wa watu.

kwa nchi, & kadhalika. Kumbuka sababu hii (1:4-9 hapo juu): ambayo inaelezwa kuwa inamaana yake, na inatoa tafsiri ya, “makahaba”. Fanya rejea kwenye  Vitabu vya Torati (Kutoka 34:16. Walawi 17:7; 20:5. Hesabu 15:39. Kumbukumbu la Torati 31:16). Nyongeza ya 92.

nchi. Kwa Kiebrania. 'eretz = dunia. Imewekwa kwa lugha ya Fumbo ya Synecdoche (ya Yote), Nyongeza  6, kwa nchi ya Israeli. “nchi” Iliyokombolewa kwenye 4:1. Linganisha na Yoeli 1:2, & kadhalika.

 

Hosea 1:3

Gomeri = hitimisho (yaani kufikia kiwango cha juu cha kipimo cha kuabudu sanamu).

Diblaimu = marambili ya keki za mtini, mfano wa hisia ya tamaa.

 

Hosea 1:4

Yezreeli. Kumbuka Paronomasia ya lugha ya Mfano (Nyongezaa 6) katikati ya Israeli (aya ya 1) na Yezreeli (Kiebrania Yisra'el na Yizr! eel). Jina hili ni la kinabii likiashiria hukumu inayokuja (tazama 1:5) na rehema zitakazokuja baadae. Yezreeli ni jina la Ki-Homoniumu, lenye maana mbili: (1) MUNGU na atawanyer (Yeremia 31:10); na (2) MUNGU na apande mbegu (Zekaria 10:9). Hii ilifungamanisha matangazo mawili ya kinabii. Yezreeli, shamba lizaalo matunda, limechafuliwa au kutiwa unajisi kwa damu (2Wafalme 9:16, 25, 33; 10:11, 14), na Israeli watatawanyika, na kupandwa kwenye mataifa, lakini mashauri ya Mungu yatakapoiva, Israeli watapandwa kwenye nchi yao wenyewe (Soma 2:22, 23).

kitambo kidogo. Spma kutimilika kwake kwenye 10:14.

atalipa kisasi = atawatembelea.

damu = damu-isiyo na hatia.

Yezreeli. Hapa inatumika kwa bonde ambalo damu ilimwagika.

nyumba ya Yehu. Yehu aliichukua adhabu ya Mungu kwenye nyumba ya Ahabu, kwakuwa ilikuwa sawasawa na mapenzi yake; lakini alikuwa na hatia ya mauaji, kwa kuwa haikuwa imeamriwa vizurisawasawa na mapenzi ya Mungu. Angeweza kuwa asitii iwapo kama isingekuwa na maslahi kwake. Hii inaonekana kutokana na ukweli kwamba alijiunga kwenye ibada za sanamu za Yeroboamu, ambavyo kwazo Ahabu alihukumiwa.

sababisha waache, & kadhalika. Hii ilitimilika mwaka 611 KK. (Jarida la Nyongeza la 50.) Soma 2Wafalme 18:11.

 

Hosea 1:5

katika siku hiyo ya 2Wafalme 18:11.

jinsi. Iliyowekwa kwa lugha ya Mfano ya Kimetonymy (kwenye Kiungo), Nyongeza 6, kwa majeshi ya Israeli.

 

Hosea 1:6

Mungu. Toa riziki "Yehova" kutoka kwenye aya ziliyotangulia.

Lo-ruhama = hajahurumiwa. Linamaanisha "asiyependwa" kwenye Warumi 9:25, na "asiyerehemiwa" kwenye 1Petro 2:10. Herufi hizi ni tafsiri za Kimungu za Roho Mtakatifu za unabii wake mwenyewe.

wachukue na kuwaondolea mbali. Umbo duara jeupe, "chukulia mbali [ufalme ambao ni mali] yao".

wao. Kwa Kiebrania. lahem = kwao.

 

Hosea 1:7

Yuda. Aya ya 7 sio “tafsiri", lakini ni kweli na ni mkanganyo wa tofauti na unabii kuhusu Israeli.

kwa BWANA Mungu wao = kwa (Yehova, Elohimo wao: yaani Masihi, au malaika wa Yehova. Soma 2Wafalme 19:35. Lakini inaangalia mbele kwenye utimilifu wa siku za mbeleni, ambayo unabii wa kuchosha kwenye uharibifu wa Mpingakisto (Isaya 11:4. 2Wathesalonike 2:8, &kadhalika).

 

Hosea 1:9

Lo-ammi = Sio watu Wangu.

Sitakuwa Mungu wenu = Mimi sio "Mimi niko" kwenu.

wenu = kwenu. Kwa Kiebrania. lakem.

 

Hosea 1:10

Kwenye maandiko ya Kiebrania, sura ya 2 inatangulia hapa.

idadi, &kadhalika. Rejea kwenye vitabu vya Torati (Mwanzo 22:17; 32:12).

watoto = wana. Haujatimilika kwa Watu wengine wowote, sasa lakini utatimilika bado siku zijazo katika Israeli.

kama mchanga, &kadhalika. Kwa lugha ya fumbo Paroemia. Nyongeza 6. Soma Mwanzo 13:16.

haiwezi kupimwa, &kadhalika. Rejea kwenye vitabu vya Torati (Hesabu 23:10).

itakuja kutokea, &kadhalika. Aya ya 10 sio “kwenye kwenye mkanganyo wa muwako" hadi 1:9, ila inafanya utofauti kati ya herufi (na yena ulimwengu ujao), na uliopita. Angalia jarida la Muundo, ukurasa wa 1209.

ninyi sio Watu Wangu = Sio Watu Wangu ninyi. Kwa Kiebrania Lo-'ammi 'attem. Imenukuliwa kwenye Waruni 9:25,sio ya Wamataifa, lakini ni kama kielelezo cha kile kinachoweza kuwa kweli kwa habari zao kama itakavyokuwa katika. Kwenye 1Petro 2:10 maelezo ni kuwa kwenye Utawanyiko au Diaspora: yaani "wageni waliotawanyika" wa Israeli, ambao kwa sasa wako mbali sana". Linganisha na Danieli 9:7. Matendo 2:32.

MUNGU aliyehai. Kilamara lilitumika kwa namna tofauti na miungu ya uwongo, ambao hawana uhai. Linganisha na 1Wathesalonike 1:9, &kadhalika.

 

Hosea 1:11

kukusanyika pamoja = kukusanyika nje. Soma Isaya 11:12, 13. Yeremia 3:18. Ezekieli 37:16-24.

kiongozi mmoja. Zerubabeli alikuwa ni tarajio kuu, kwa kuwa chini ya uongozi wake pekee Yuda walirejea. Hii inaelezea muunganiko mpya ujao (Yeremia 23:5, 6. Ezekieli 34:23).

moja. Kwa Kiebrania. 'echad. Soma andiko la Kumbukumbu la Torati 6:4.

nchi. Eneza au toa Ellipsis: "nchi [ya uhamisho ya mbali]. "

Yezreeli. Hapa linatumika kwa maana ya: "MUNGU atawapanda". Soma andiko la 1:4; na linganisha na  2:23. Kurejea kwenye ya marejesho ya Israeli kuwa kama “uzima kutoka kwa wafu" (Warumi 11:15). Linganisha na Yeremia 24:6; 31:28; 32:41. Amosi 9:15.

 

Hosea 2:2

mama yako. Gomeri (1:3). Makabila kumi yalijulikana kwa makao yao wa kifalme.

mume wake. Linganisha na Yeremia 31:32.

makahaba . . . wazinifu = waabudu sanamu. Tazama andiko la 1:2.

katikati ya matiti yake = kubatio lake.

 

Hosea 2:3

Aya ya mwisho, &kadhalika. Aya ya 3 inahusu historia ya mwanzoni kabisa ya Israeli.

yake: yani nchi yake, kama ilivyoonyeshwa kwa maneno yafuatayo. Linganisha na Ezekieli 16:23-43.

katika siku. Soma jarida la Nyongeza 18.

 

Hosea 2:4

watoto = wana: yaani washirika mmoja mmoja wa taifa kiujumla wake.

 

Hosea 2:5

alimchezea kahaba: yaani alifanya ibada za sanamu. Kimya kilichopo kama maelezo ya kina hapa ni kitu cha kuelezeka kwa umahiri wa kimazungumzo.

wapenzi wangu = Mabaali wangu au mabwana zangu. Linganisha na Yeremia 44:17, 18.

wangu, &kadhalika. Kumbuka jozi tatu, pamoja na chakula, nguo, na starehe. Zote zinadaiwa kuwa zake.

 

Hosea 2:6

tazama. Kwa lugha ya Mfano ni Alama ya nyota au Asterismos (Nyongeza 6) kwa msisitizo.

Otesha, &kadhalika. Linganisha na Ayubu 8:23; 19:8. Maombolezo 3:7, 9.

njia yako. Yehova amewaambia Israeli. Sasa ananena na yeye.

jenga au fanya ukuta = Kwa Kiebrania. Ukuta (jiwe) ukuta. Kwa lugha ya Fumbo ya Polyptoton (Nyongeza 6) kwa msisitizo = mara chache ukuta wa jiwe.

 

Hosea 2:7

mfuatilie = mtuatilie kwa bidii.

Nitaenda, &kadhalika. Linganisha na  6:15. Luka 15:18.

mume wa kwanza. Linganisha na Ezekieli 16:8.

kuliko. Toa na sambaza Ellipsis: "kuliko [ilivyo] sasa".

 

Hosea 2:9

nitarejea. Kwa kuhumu.

chukua na ondokanayo = rudisha nyuma. Linganisha na 2:3.

Mvinyo wangu, &kadhalika. Wote walikuwa wake, na kutoka kwake.

ponya au ganga= okoa taabuni (Mwanzo 31:16).

 

Hosea 2:15

kutoka hapo: yaani [wakati ajapo] tangu wakati huo. Fanya reread kwenye vitabu vya Torati [Hesabu 16:13, 14). nyongeza 92.

bode la Akori. Rejea kwenye Yoshua 7:26. Nyongeza 92. Tukio hili yawezekana lilikuwa limeandikwa wakati ule na likatuzwa Nyongeza 47.

Akori = kadhia. Linganisha na Yoshua 7:24-26.

mlango = mahali pa kuingilia.

tumaini = matarajio hayatakuwa ya kadhia tena.

zitaimbwa hapo. Rejea kwenye kitabu cha Torati (Kutoka 15:1). Nyongeza 92.

huko. Ambapo Yehova anavutia, na kuleta, na kusema au kunena.

kama ilivyo kwenye siku za, &kadhalika. Linganisha na Yeremia 2:2. Ezekieli 16:8, 22, 60.

Wakati alipokwea na kuja Rejea kwenye Torati (Kutoka 1:10; 12:38; 13:18, &kadhalika); na wakati Yehova aliposema "Mwanangu" (Kutoka 4:22). Nyongeza 92.

 

Hosea 2:18

katika siku hiyo. Hii bado ni siku ijayo kwa marejesho mapya ya Israeli.

fanya au weka agano, &kadhalika. Linganisha na Ayubu 5:23. Isaya 11:6-9. Ezekieli 34:25.

na. Kumbuka Lugha Fumbo ya Polysyndeton (Nyongeza 6) hadi sisitizo la kila jambo.

na nitaivunja. Linganisha na Zaburi 46:9. Isaya 2:4. Zekaria 9:10.

Wafanye walale chini salama. Rejea kwenye Vitabu vya Torati  (Walawi 25:18, 19; 26:5, 6. Kumbukumbu la Torati 12:10; 33:12, 28). Nyongeza 92.

 

Hosea 2:21

Nnitasikia. Marejesho yanatokea kutoka, na yanaanzia na Yehova.

kusikia = kuuliza, au kuitika wito wake (Zekaria 8:12).

 

Hosea 2:22

kila moja. Kumbuka Lugha Fumbo Anadiplosis (Nyongeza 6), kwayo neno la mwishoni mwa 2:21 limerudiwa mwanzoni mwa 2:22.

Yezreeli = mbegu ya MUNGU [ambaye atapanda mbegu], kama ilivyosema kwenye 2:23.

 

Hosea 2:23

Nitampandia mbegu: yaani Israeli mpya.

nitawarehemu, &kadhalika = kuwa na huruma; yaani nita [muita] Ruhama.

yeye ambaye hajarehemewa = Lo-Ruhama (Hajarehemewa).

sio Watu Wangu = Lo-ammi.

Ninyi ni Watu Wangu = Ammi [ni] yako.

watasema = na yeye, atakayesema, &kkadhalika: yaani taifa zima lote taifa zima lote kama mtu mmoja. Linganisha na 1:11. Zekaria 13:9. Warumi 9:26. 1Petro 2:10.

Mungu, kwa Kiebrania Elohim. Nyongeza 4.

 

Hosea 3:1

Bwana. Kwa Kiebrania Yehova. Nyongeza 4.

Nenda tena = nenda tena. Soma maandiko ya 1:2.

pendo. “Usichukue", kama kwenye 1:2, au penda tena. mwanamke. Sio "Gomeri" (1:3) tena, bali mwingine; ambavyo yatupasa kuamini kwamba Gomeri alikuwa amekufa; na kwamba hii ilikuwa ni ndoa ya pili na ambayo ina maana yake fulani maalumu.

rafiki yake: yaani. Hosea mwenyewe.

bado, &kadhalika = kwa yeye [amefanyika kuwa] mwanamke mzinzi. Rejea kwenye hali ya sasa ya Israeli walivyo kwenye nchi za Utawanyiko (Nyongeza 12).

Mwanamke mzinifu: yaani mwabudu sanamu, na linafananisha tu mwanamke wa makabila ya kaskazini.

hasahasa, &kadhalika. Huu ni udhihirisho wa upendo wa Kimungu.

watoto = wana.

wanatafuta miungu mingine. Rejea kwenye Torati. (Kumbukumbu la Torati 31:18, 20).

kuzi la mvinyo = keki za zabibu.

 

Hosea 3:2

vipand kumi na tano vya fedha = shekel kumi na tano (Nyongeza 51.) Thamani ya kiwango cha ukombozi wa mtumwa mmoja.

homeri. Tazama Nyongeza 61.

 

Hosea 3:3

bibiarusi . . . siku nyingi. Tazama maana yake kwenye 4:5. Linganisha na Yeremia 3:1, 2.

kaa au dumu. Rejea kwenye Torati (Kumbukumbu la Torati 21:13). Nyongeza 92. Tazama maana ya ishra kwenye 4:5, na linganisha na Yeremia 31:1, 2. Kwa Kiebrania yashab = kufanya makao (iliyofuatiwa). Ni neno lililosawa na kwenye Kumbukumbu la Torati 21:13. Sio neno lililo sawa na kama lilivyo kwenye 11:6.

siku nyingi. Kwa habari ya ishara = kipindi cha mwezi kuwa kamili. Maana yake yanaonekana sasa, kwenye Utawanyiko uliopo sasa.

mwanadamu. Kwa Kiebrania. 'ish. Nyongeza 14.

kewa. Sambaza na kuwagawia wengine ["fanya"]. Mpangilio uliopo hapo juu unaendana na utaratibu wa maneno yaliyo kwenye maandiko ya Kiebrania, sio tafsiri ya A. V.

 

Hosea 3:4

Israeli. Sio Yuda peke yao, bali ni makabila kumi na mbili. Sio “Uingereza” au “Israeli” yoyote nyingine.

siku nyingi. Siku zote za tuko la Utawanyiko wa leo, “wengi” wanaashiria urefu wa wakat, “siku” inamaanisha ukomo wake.

pasipo. Kumbuka kanuni ya Lugha fumbo za Mfano ya Anaphora (Nyongeza 6), ikisisitiza kila kipengele, sasa kimetimilika mbele za macho yetu.

bila mfalme. Kuwa wamemkataa Masihi (Yohana 19:15). Kwahiyo hii haiwezi kutafsiriwa sasa kuwa ni Watu wengine wowote walio na mfalme.

na. Kumbuka Lugha ya mfano ya Polysyndeton ikimaanisha kutilia mkazo kwenye kila kipengele.

mfalme = mtawala. Kwa Kiebrania sar, kama ilivyo kwene 8:4.

dhabihu. Kwa Kiebrania zabach. Nyongeza 43. Inajmuisha sadaka zote ambapo kuna umwagaji wa damu.

sanamu. Kwa Kiebrania mazzebah = kila sanamu iliyosimamishwa wima. Linganisha na Kutoka 23:24; 34:13. Isaya 19:19.

ephod. Tiwa na Lugha ya Mfano ya Metonymy (au Kiunganisho), Nyongeza 6, kwa kuhani au mtu anayelivaa. Rejea kwenye Torati (Kutxka 28:4-8). Nyongeza 92. Hii ilikuwa ni mzingo wa sahani ya maziwa ambacho kilikuwa na “Urimu na Thumimu”, vazi ambalo lilikuwa rasmi kwa kuhani mkuu. Linganisha na 1Samweli 22:18; 23:9. Ezra 2:63; na Nehemia 7:65.

teraphim = vinyago vya namna yoyote. Kwenye 3:3, Yehova anasema “hawatafanya ukahaba”: na, sasa, ndivyo (tangu mwaka 426 KK.) miaka 2,300 ukweli wa hilo umeonekana. Rejea kwenye Torati (Mwanzo 31:19, 34, 35).

 

Hosea 3:5

Baadae, &kadhalika. Alama hiyo ya wakati haijafika bado. Inamalinganishwa na “siku nyingi” ya 3:4. Tazama Mpangilio wa hapo juu ("4-. ").

kurudi, &kadhalika:yaan  kurejea [kwa Yehova]. Soma 5:15, na 6:1.

angalia. Linganisha na 5:6. Yeremia 60:4, 5.

Mungu. Kwa Kiebrania Elohimu. Nyongeza ya 4.

Daudi. Linganisha na Yeremia 30:9. Ezekieli 34:23, 24; 37:22, 24. Kwa hiyo Daudi ni lazima ainuke tena, kama ilivyokuwa lazima kwa Ibrahimu, Isaka na Yakobo; na kumbuka ukweli wa Israeli kumtafuta Daudi.

watamcha = watafurahi ndani yake, kama ilivyo kwenye Isaya 60:6. Yeremia 33:9. Kwa Kiebrania pahad, Linashabihiana na maana nyingine (kumcha, kama lilivyo kwenye Kumbukukmbu  la Torati 28:66. Ayubu 23:15. Tazama maandiko hapa).

wema. Kwa kiebrania tub, kama lilivyo kwenye sura na aya 14:2 ("kirimu sana") = Mtu Mkarimu: yaani Masihi. Rejea kwenye kitabu cha Torati (Kutoka 33:19). Nyongeza 92. Soma maandiko ya 8:3; 14:2.

katika siku zijazo. Rabi Kimchi (mwaka 1160-1235 BK) na Wayahudi wengine wenye kuheshimika waliokubaliana na uandishi au maandiko ya Isaya 2:2, wanadai kwamba maelezo haya mara zote yanamaanisha “katika siku za Masihi". Linganisha na Yeremia 30:24. Ezekieli 38:8, 16. Danieli 2:28. Mika 4:1. Rejea kwenye vitabu vya Torati (Mwanzo 49:1. Hesabu 24:14. Kumbukumbu la Torati 4:30; 31:29). Nyongeza 92.

 

Hosea 4:2

Kwa kiapo, &kadhalika. Haya ni maovu yanayotokana na uhitaji wa maarifa ya kumjua Mungu. Linganisha na 4:6; 2:20. Warumi 1:21. 1Yohana 2:3, 4; 4:7, 8.

damu agusaye damu: au muuaji, mfuataye mauaji; "damu" limewekwa kwa lugha fumbo za Mfano mtindo wa Synecdoche (wa Anga za juu), Nyongeza ya 6, kwa umwagaji wa damu.

 

Hosea 4:5

kuanguka = kujikwaa.

Katika siku. Linganisha na Yeremia 6:4, 5 na 15:8.

haribu = fanya maangamizi.

mama yake: yaani taifa lote zima linatajwa na kuchukuliwa, kama liko safi kutokana na aya za 4, 3, & pia; 2:3, 9, 12.

 

Hosea 4:7

walitenda dhambi. Kwa Kiebrania. chata'. Nyongeza ya 44.

kwa hiyo Nitaubadilisha utukufu wao kuwa aibu. Tafsiri ya Sopherim inakiri (Nyongeza ya 33) kwamba walibadilisha maana halisi ya maandiko ya Kiebrania cha kale: ambacho kinasomeka "Utukufu wangu wameubadili kuwa aibu": yaani waliibadili vebu hemiru (wameubadili) kuwa 'amir (Nitaubadili); na, kebodi (Utukufu wangu) kuwa kebodam (utukufu wao). Ubadilishaji huu ulifanywa kimakosa ya kiuandishi na tafsiri. Kama hii itaonekana kwamba neno “kwa hiyo” halihitajik sana.

 

Hosea 4:8

kuleni dhambi zenu = sadaka za dhambi. Rejea kwenye kitabu cha Torati (Walawi 6:30): yaani hizo sadaka za dhambi ambazo zingeweza kuwa zimechomwa zote kabisa, na zisiliwe. Soma maandiko ya Walawi 6:26, 30. Nyongeza ya  92.

Anda mioyo yao = inua juu mioyo yao: yaani hamu. Kwa Kiebrania. nephesh. Nyongeza ya 13.

uovu = matendo maovu.

 

Hosea 4:12

taka ushauri = ulizia au taka ushauri wa (kitabia). Linganisha na Yeremia 2:27. Habakuki 2:19.

vinyago = sanamu zilizotengenezwa kwa miti.

fimbo, &kadhalika. Inamaanisha ulozi wa kiutambuzi ufanywao barabarani.

roho. Kwa Kiebrania ruach. Nyongeza ya 9. Linganisha na 5:4. Isa 44:20.

kufanya ukahaba au uasherati: yaani kuziendea na kufuata ibada za sanamu. Linganisha na Ezekieli 23:5.

tangia chini = tangu chini [mamlaka] ya, &kadhalika, kama Gomeri alivyomuacha Hosea.linganisha na Hesabu 5:19, 29. Ezekieli 23:5.

 

Hosea 4:14

mabinti: waliofanyika kuwa wanawake wa Hekaluni. Tazama andiko linalofuatia.

wenyewe = [wamaune] wenyewe.

walitengwa = waliratibiwa.

makahaba. Kwa Kiebrania kedeshah =Wanawake wa Hekaluni, waliojitoa na kuwa wakfu kwa “ibada” potofu na najisi za Wakanaani, ambazo kwazo upotofu mkubwa ukafanyika kuwa kazi takatifu. Rejea kwenye vitabu vya Torati. Ilionekana hapa peke yake na kwenye Mwanzo 38:21, 22, na Kumbukumbu la Torati 23:17. Nyongeza ya 92.

 

Hosea 4:15

kahaba = mwanamke mtukutu au mtundu. Sio neno moja kama lilivyo kwenye 4:14, ingawa alama yake ni sawasawa.

Yuda. Linganisha na 1:7.

Gilgali. Yeroboamu alilije hekalu lake la ibada za sanamu hapo. Soma 9:15; 12:11. Amosi 4:4; 5:5. Linganisha na Waamuzi 3:19. Huko pia walimkataa Yehova kuwa mfalme wao (1Samweli 7:16; 10:8; 11:14, 15). Soma maandiko yote kwenye 9:15.

Beth-aven = nyumba ya kubezwa. Iweke katika Beth-eli (= nyumba ya MUNGU), sasa ulitiwa unajisi na Yeroboamu (1Wafalme 12:28-33; 1Wafalme 13:1. Amosi 3:14). Unabii ulitimilika kwenye Yeremia 48:13. Soma pia 2Wafalme 10:29; 17:6-23. Amosi 7:13.

hakuna shida, &kadhalika. Linganisha na Amosi 8:14. Sefania 1:5.

 

Hosea 4:16

kurudi nyuma = umekuwa na shingo ngumu, wenye shingo ngumu, au wasio na kiasi, wakaidi.

mwanakondoo = kondoo mume mchanga mwenye umri wa zaidi ya mwaka mmoja.

kwenye eneo kubwa = mahali pa wazi wasipofungwa yaani nchi za wanataifa.

 

Hosea 4:18

uchachu. Kwa Kiebrania kurudishwa, kurudishwa nyuma, kubadikishwa na kuwa mbaya.

Mpeni yeye. Kwa lugha fumbo ya mfano ya Metallage (Nyongeza ya 6) ukweli wa kuendelea kwa ukahaba (au iada za sanamu) umebadilishwa kuwa ni wazo jipya la watawala kupenda mara zote kuamuru, "Mpeni yeye [sadaka]", na kudharau sadaka alizoziamuru Yehova. Soma 8:13. Kwa hiyo, aya hii sio kwamba "haitafsiriki", kama inavyodaiwa au kunenwa.

 

Hosea 4:19

upeo, &kadhalika = roho ya ukahaba (aya ya 12) imejifunga yenyewe. Kwa Kiebrania ruach. Nyongeza ya 9.

kwenye mbawa zake = kwenye sketi zake (kwa hiyo ni kama kuzuia magonjwa yake).

wataaibika. Linganisha na Isaya 1:29. Yeremia 2:26. Aya hii “haikanganyi”, kama inavyodaiwa. Aya hizi (16-19) sio za "mabaki au masalio", kama inavyodaiwa, bali zinauhusiano wa karibu na dhana kuu yake. Zinahitajika na Maandiko Matakatifu "4:15-19" na "5:8-15" on p. 1213.

 

Hosea 5:1

Sikieni . . . Enyi makuhani. Huu ni mwito kwa makuhani na wengineo, kama ilivyo kwenye 4:1-5 ulikuwa pia ni wito kwa Israeli.

hukumu ni kwa ajili yenu = hukumu imetangazwa dhidi yenu.

Mispa. Kulikuwa na maeneo matano yenye jina hili: (1) Sasa ni Sufi (Mwanzo 31:49. Waamuzi 10:17; 11:11, 29, 34; 20:1, 3; 21:1, 6, 8). (2) Katika Moabu (1Samweli 22:3), halionekani. (3) Nchi (au bonde) la Moabu, sasa ni el Bukei'a (Yoshua 11:3). (4) Katika Yudea, hapajulikani (Yoshua 15:38). (5) Katika Benyamin, hapajulikani (Yoshua 18:26. Waamuzi 22:1-3; Waamuzi 21:1, 5, 8; 1Samweli 7:5-16; 1Samweli 10:17. 1Wafalme 15:22; 2Wafalme 25:23, 25; 2Nyakati 16:6. Nehemia 3:7, 15, 19. Yeremia 40:6-15; Yeremia 41:1-16, na kwenye kifungu hiki, 5:1). Mispa ilikuwa ni ishara ya sehem ya kushika, sio ya kukutanika tena, kama ilivyotumika kimakosa hadi leo. Tabori ni magharibi ya Yordani na haihusiani wala kuungana na Efraimu; lakini Tabori maana yake ni  lundo; kiasi kwamba madhabahu ya ibada za sanamu yawezekana kuwa iliitwa Mispa, wakati kwamba Tabori iliuwa "lundo" ya Mwanzo 31, miji yote miwili ikiwa kwenye wilaya moja. Inasemekana kuwa Hosea alizikwa huko Miapa.

 

Hosea 5:5

fahari ya Israeli. Jina Kiwadhifa la Yehova = heshima au utukufu wa Israeli. Yeye ambaye Israeli anapaswa kumtukuza; ndicyo tena kwenye 7:10. Liganisha na Amosi 8:7, mahali ilipo "Heshima ya Yakobo".

yake: yaani ya Efraimu, au ya Israeli.

uovu. Kwa Kiebrania 'avah. Nyongeza ya 44.

 

Hosea 5:7

geni = ukengeufua (waliofantika kama wageni). Kwa |Kiebrania sur. Soma kwenye Mithali 5:3.

watoto = wana.

Mwezi mmoja. Kipidi kifupi kitakamilisha kutomiliki kwao. Shalumu alitawala kwa mwezi mmoja tu (2Wafalme 15:13).

 

Hosea 5:8

buruji = pembe.

Beth-aven. Soma kwenye andiko la 4:15.

kukutafuta wewe, &kadhalika. Dhahiri kilio cha vita = "[Tazama] nyuma yako, Ee, Benyamini! "Linganisha na Waamuzi 5:14; 20:40.

 

Hosea 5:11

aliyeteswa, kudhulumiwa na kuvunjwa. Rejea kwenye Torati (Kumbukumbu la Torati 28:33).

kwa moyo wa hiyari sana= kwa hiyari.

kwenda kumfuatia = kufuatiwa (kuvumilia).

amri za Mungu. Kumbuka Ellipsis: " amri ya [waabudu sanamu] [ya Yeroboamu]" (1Wafalme 12:28. 2Wafalme 10:29-31). Linganisha na Mika 6:16. Aramu., Sept., na Syria. ilisomeka "uwongo". Tafsiri ya Vulgate inasomeka "uchafu", inasomeka zo kwenye uwingi, kwa zav.

 

Hosea 5:13

mfalme Yarebu. Kwa mujibu wa kitabu cha Profesa Sayce (Kiitwacho Ukosoaji Mkubwa na Masanamu [Higher Criticism and the Monuments, kurasa za 416, 417]) anadhani kuwa "Yarebu" laweza kuwa ni jina la kuzaliwa nalo la mfalme mkatili Sargon II, aliyerithi kiti cha ufalme cha Shalmaneser. Shalmaneser hakuwahi kuitwa Samaria, lakini mrithi wake aliutwaa, kama ilivyoelezwa kwenye maandiko yao ya mambo ya kifalme yaliyokutikana kwenye ikulu aliyoijenga karibu na Ninawi. Hii inapelekea kuwepo na sababu sa kudhania na kuamini dalili za kuwepo kwa maana ya jina hili la "Yarebu" sambamba na ufafanuzi wa ugumu wa kihistoria wa kufafanua linganisha na 10:6.

 

Hosea 5:15

hadi watakapotambua uovu na machukizo yao. Rejea kwenye Torati (Walawi 26:40-42). Toba ya kitaifa ni sharti muhimu kwa ajili ya kurejeshwa upya Israeli.

Tafuta uso wangu. Rejea kwenye Torati (Kumbukumbu la Torati 4:29). Nyongeza ya 92.

nitafuteni Mimi mapema. Maelezo haya, ingawa hayapatikani kwenye maandiko ya Torati, lakini yanaonekana kwenye Ayubu 7:21; 8:5; 24:5. Zaburi 63:1; 78:34. Mithali 1:28; 7:15; 8:17; 11:27; 13:24. Kwa Kiebrania kuamka mapema kabla ya mapambazuko ili kutafuta. Kumbuka maneno hayohayo kama kwenye mafungu yaliyotangulia kabla. Kuwapa watu ellipsis baada ya "mapema": "[watasema] 'Njooni'", &kadhalika.

 

Hosea 6:1

hebu na turudi. Haya ni maneno ya Israeli kwenye kipindi kijacho na kilichoanza, kama kilivyoanza kuonekana kwa ishara au mfano wa kitendo cha kurudi kwa Gomeri (3:2, 3), na imenenwa mapema kwenye 3:5. Tazama mpangilio na utaratibu wake kwenye ukurasa wa 1213). Hii ni rejea tambulishi iliyotajwa kwenye 5:15. Kumbukumbu la Torati 82:39.

BWANA. Kwa Kiebrania Yehova. Nyongeza ya 4.

Atatuponya sisi sote. Linganisha na Yeremia 30:17.

 

Hosea 6:2

Bada ya siku mbili: yaani siku mbili baaya ya toba hii ya kitaifa. Soma 5:15, "hadi".

atatuamsha = kuturudisha kwenye uzima wetu tena.

kwenye = juu yake.

kuishi = kuishi tena kwenye ufufuo. Inakitaja kipindi kijacho mbeleni cha ufufuo wa wafu wa Israeli mpya (Ezekieli 37), ambayo kwa hiyo atawakusanya waliofufuka kwa Masihi (1Waritho 15:20).

kwa haki yake. Kwa Kiebrania. = mbele ya uso wake, kwa kuwa dhambi zao zitakuwa (7:2).

 

Hosea 6:5

Kwahiyo ni mimi niliyewachonga jabalini wao, &kadhalika = Hii ndiyo sababu niliwachonga na kuwatoa wao. Kwa Kiebrania kijisemi, ambacho kwamba kinatangaza kuwa kitu kinatakiwa kufanyika kwa maneno yaliyoelezwa ya matendo binafsi ya kufanya hilo. Tazama naandiko ya Yeremia 1:18; na linganiasha na Yeremia 1:10; 5:14.

na manabii: yaani kuhubiriwa na manabii.

hukumu zako ni. Mkusanyiko wa nyaraka za maneno ya Kiebrania unakubaliana na Kiaramu, Septuagint, na Syria, na inasomeka "Hukumu zangu ni". Aya ya 5 inayataja matendo ya Yehova (tazama Mpangilio wake hapo juu). Rejea kwenye maandiko ya Torati (kumbukumbu la Torati 33:2). Nyongeza 92.

nuru = mwangaza.

 

Hosea 6:9

majeshi = magenge.

kwa msafara = kuelekea Shekemu, kama ilivyo kwenye Mwanzo 37:14.

Shekemu (kama "Gileadi", 6:8) ulikuwa ni mji wa makuhani (Yoshua 21:21).

kuandama ufisadi: yaani matendo ya ibada za sanamu. Yeroboamu aliujengat Shekemu (sasa unaitwa Nablous), na bila shaka aliishamirisha ibada yake ya kuabudu ndama huko (1Wafalme 12:25).

Ufisadi. Rejea kwenye maandiko ya Torati (Kwa Kiebrania zimmah, ni neno la Kilawi, lililokutikana kwenye Walawi 18:17; 19:29; 20:14, 14). Nyongeza 92.

 

Hosea 7:4

wote miongoni mwao = miongoni mwao wote (wafalme, wana wakifalme na Watu wote waliziandama ibada za sanamu). Neno "Wote" limewekwa kwa lugha ya Mfano ya Synecdoche (ya Genus), kwa sehemu kubwa.

wazinifu: yaani waabudu sanamu. Soma andiko la 1:2.

kama = [joto] kama.

kuishia = kuachilia mbali.

kuinuka = kukiweka akiba.

baada ya kuwa amepondaponda au kutwanga au kukanda, &kadhalika = kutoka [kipindi kilichopita] kutwanga au kukanda donge donge hadi liwe tayari kwa moto. Kisha anayaoka jikoni ili kuzuia lisichachuke. Hata kwa hawa waabudu sanamu. Soma andiko kuhusu “mwokaji” kwenye 7:6.

 

Hosea 7:5

Katika siku ya mfalme wetu. Soma 2Wafalme 15:10.

siku. Huenda = siku ya [sikukuu].

yeye. Wagawane "wenyewe" badala ya "yeye".

umwa, &kadhalika. Ugua kwa unjwaji wa mvinyo.

mvinyo. Kwa Kiebrania yayin. Nyongeza ya 27.

 

Hosea 7:6

wame, &kadhalika. Kama mwokaji kwenye 7:4.

mwokaji wao kalala = hasira yao inafuka moshi: inasomeka ye'shan 'apphem badala ya yashen 'ophehem. Inaendana kiusawa na matamshi na kwa namna ya kikale ya Ayin (') na Aleph ('). Herufi hizikuwa hazibadiliki. Tafsiri ya Massorah inaorodha ya maneno ambapo Aleph (= ') inasimama badala ya Ayin (= ') na vivyohivyo (soma tafsiri ijulikanayo kama Ginsburg's Massorah, letter, vol. i, p. 57, 514; na herufi au letter, vol. ii, p. 390, 352, 360, &kadhalika). Soma maandiko ya Isaya 49:7. Amosi 6:8. Sefania 3:1, &kadhalika. Kiaramu na Kisyria vinatunza usomaji wa maandiko ya zama kale: "hasira yao inafuk moshi usiku kucha" (kama jiko la "oveni" kwenye 7:4).

hiki: yaani jiko la oveni.

 

Hosea 7:7

wafalme wao wote, &kadhalika. Linganisha na 8:4. Ya nyumba mbili za Omri na Yehu: Nadabu, Zimri, Tibni, Yehoramu, Zekaria, Shalumu, Pekahiya, na Peka wote waliuawa kwa kuchijwa na waliowapindua na kuchukua viti vyao, au na wengine.

kuna. Kiambato fulani, pamoja na matoleo yaliyochapishwa mwanzoni sana (moja ya Marabi kwenye pambizo zake), inayosomeka "na kulikuwa".

 

Hosea 7:14

hawakulia. Linganisha na Ayubu 35:9, 10. Zaburi 78:36. Yeremia 3:10. Zekaria 7:5.

kwa roho zao. Walilia kwa sauti zao.

wakajikusanya kwa pamoja. Kwenye mahekalu yao ya sanamu.

mvinyo = mvinyo mpya. Kwa Kiebrania tirosh. Nyongeza ya 27. Sio neno moja na lililo kwenye 7:5.

asi dhidi ya = kugengeushwa dhidi ya.

 

Hosea 8- 14

8:1

Israeli Inavuna Kimbunga

Andaa baragumu au tatumbeta, &kadhalika. Soma 5:8. Linganisha na Isaya 58:1.

atakuja. Gawanya Ellipsis (Nyongeza ya 6) ndivyo: "[Hiki (yaani vitisho vya hukumu)] inakuja", &kadhalika. Rejea kwenye nakala za Torati (Kumbukumbu la Torati 28:49). Nyongeza 92.

kama. Huu si mlinganisho tu ila ni madai: yaani kuchekechwa sana. Sio tai huyu anayekuja kuliharibu au kulitia unajisi Hekalu. Linganisha na Yeremia 4:13. Habakuki 1:8.

Bwana. Kwa Kiebrania Yehova. Nyongeza ya 4.

imenajisika. Kwa Kiebrania 'abar. Nyongeza ya 44. Neno moja tu na lilivyo kwenye 6:7; sio moja na lilivyo kwenye 7:13; 14:9.

Agano langu . . . Sheria yangu. Rejea nakala za Torati (Kumbukumbu la Torati 4:13), ambapo ni kama Mabadiliko ya maana yake halisi yanakutikana. Nyongeza ya 92.

fanya uovu. Kwa Kiebrania pasha'. Nyongeza ya 44 Israeli watalia, &kadhalika. Wakiniasi: "Mimi watalia: 'Mungu wangu, 'tunakujua Wewe: Israeli [anakujua Wewe]".

Mungu. Kwa Kiebrania Elohim. Nyongeza ya 4.

tunakujua Wewe. Linganisha na Mathayo 7:22. Yohana 8:54, 55. Isaya 29:13 (Mathayo 15:8).

 

8:3

kitu kilicho kizuri = Mwenye Rehema. Linganisha na 3:5; 14:2.

 

8:4

wamewasimika wafalme. Linganisha na 7:7. Soma 2Wafalme 15:13, 17, 27 (Shalumu, Menahemu, Peka).

walifanywa kuwa wafalme = walisababisha [watu] kuchukua sheria. Kwa Kiebrania sarar = kubeba utawala. Soma andiko la kwene 12:3.

alijua = alitambua.

vinyago = vinajulikana kama sanamu.

za fedha zao, &kadhalika. Linganisha na 2:8; 13:2.

wao = yeye. Taifa linaloongelewa kama mtu mmoja. Lakini kwenye tafsiri ya Kiaramu., Septuagint., na Syria inasomeka "wao", pamoja na tafsiri ya A. V.

 

8:5

Ndama wenu, &kadhalika. Inasema: "Yeye [Yehova] amemkataa ndama wako, Ewe Samaria".

Samaria. Mji huu Mkuu umewekwa hapa kwa lugha ya mfano ya Synecdoche (ya Sehemu), nyongeza 6, kwa taifa lote zima.

kujipatia. Angalia Ellipsis ya  kisarufi shina. Sambaza: "[weza au mudu] kujipatia", &kadhalika.

 

8:6

Kwa kutoka Israeli, &kadhalika. Inasomeka: "kwa kutokaIsraeli! (yaani kutoka Israeli, ya watu wote) [je, mwenendo kama huu unaendelea! na yeye! (yaani., na ndama Yule, ni kitu gani)]? Fundi alimchonga, kwa hiyo sio Mungu ni yeye".

kuwa = kufanyika kuwa.

vipande = vipande vilivyochongwa, au michongo. Kwa Kiebrania shebabim. Litaonekana hapa peke yake.

 

8:7

upepo. Kwa Kiebrania ruach. Nyongeza ya 9.

tumba . . . chakula. Kumbuka lugha ya mfano ya Paronomasia (Nyongeza ya 6), kwa msisitizo. Kwa Kiebrania zemach . . . kemach. Inaweza kuwa ni neno la Kiingereza: "ua halitamea sakafuni".

wageni = watokao nje. Linganisha na 7:9.

 

8:8

Israeli imemezwa. Soma 2Wafalme 17:6.

wamataifa = mataifa.

kama chombo. Linganisha na Yeremia 22:28; 48:38.

 

8:9

ondoka. Linganisha na 5:13; 7:11.

a = [kama] a. Farasi pori au nyumbu. Linganisha na Isaya 1:3.

kodishwa kwa thamani ndogo = lipwa malipo ya upendo. Linganisha ibada ya sanamu na ukahaba. Linganisha na Ezekieli 16:33, 34; na tazama 2Nyakati 28:20, 21.

 

8:10

kodiwa au ajiriwa = kodiwa kwa [malipo madogo].

kusanya = kusanyika [dhidi ya].

wao: yaani mataifa (wanaowaona duni Israeli).

sikitiko = kuwa kwenye ole.

kidogo = kwenye kipindi kidogo, kwa kasi kubwa kukimbilia; kama ilivyo kwenye Hagai 2:6. Lafudhi ya Kiebrania inaonyesha dalili kwamba tunaweza kusema kwamba "na, ere ni ndefu, watakuwa wanaandika chini ya mzigo": mfalme [atakuwa anaandika], wafalme [watakuwa wakijinyonga].

mzigo wa kitu: yaani kodi [umewekwa juu yao].

mfalme wa wafalme = mfalme na wafalme. Linganisha na Isaya 10:8. 11

fanywa kuwa wengi = zidishwa. Linganisha na 12:10.

kuwa ni juu yake = kufanyika kuwa yeye.

dhambi. Ni neno moja, ila hapa limewekwa kwa lugha ya mfano ya  Metonymy (inayoeleweka), nyongeza ya 6, kwa hukumu iliyosababishwa na dhambi.

 

8:12

Tumeandika. Sio Musa: alikuwa peke yake mwenye kalamu au peni. Bali ni Mungu ndiye "aliyenena na manabii" (Waebrania 1:1); kupitia kwa Mwanae (Yohana 7:16; 8:28, 46, 47; 12:49; 14:10, 24; 17:8); kwa Roho wake (Yohana 16:13. Linganisha na Waebrania 2:4); na kupitia kwa Paulo, "mfungwa wa Yesu Kristo" (linganisha na 2Timotheo 1:8). Zingatia rejea ya maandiko ya Torati (Kutoka 17:14; 24:4, 7; 34:27. Hesabu 33:1, 2. Kumbukumbu la Torati 4:6-8, &kadhalika) tazama Nyongeza ya 47 na Nyongeza ya 92.

kubwa = uzito. Linganisha na Mathayo 23:23. Maandiko ya Kiebrania yanasomeka ribbo = idadi kubwa mno; lakini rnarg. inasomeka kifusi = uwingi au umati, au maranyingi, pamoja na Septuagint, Syria, na Vulgate. Sheria yangu na sio sheria ya Musa.

iliyohesabiwa = inayohesabika.

kama kitu kigeni = kama kitu fulani kigeni au kipya cha kutoka nchi ya nje, kama wakosoaji wa kisasa wafanyavyo leo. Aya hii inaweka umuhimu wenye mashiko uingiaji wa sheria kwa namna ya kimaandiko, na inatoa zaidi kuliko ilivyohitajika sana katika siku za uandishi wa vitabu vya Torati. Angalia Nyongeza ya 47.

 

8:13

Wanatoa sadaka za mwili, &kadhalika. Soma maandiko ya Yeremia 7:21-23. Zekaria 7:6.

dhabihu = zawadi za dhabihu. Kwa Kiebrania habhabim. Inatokea hapa pekeyake.

kula hii = kwamba waweze kuila hii [kama chakula cha kawaida].

lakini. Shule moja au upande mmoja wa wanazuoni wa Massorites unasoma hivi "bali" kwenye andiko. Linganisha na 5:6, na 9:4. Yeremia 14:10, 12.

sasa, &kadhalika. Linganisha na 9:9. Amosi 8:7.

watarudi Misri. Rejea kwenye maandiko ya Torati (Kumbukumbu la Torati 28:68). Nyongeza ya 92. Linganisha na 2:15; 9:3, 6; 11:5. Septuagint inasomeka "wamerudi", &kadhalika.

 

8:14

kumsahau Muumba wake. Rejea maandiko ya Torati (Kumbukumbu la Torati 32:18).

kajenga mahekalu. Linganisha na 1Wafalme 12:31, na 2Nyakati 24:7 pamoja na 2Nyakati 23:17.

miji iliyozungushiwa kuta = miji yenye maboma au ngome. Soma 2Nyakati 26:9, 10.

miji yake. Soma 2Wafalme 18:13, yaani wa Yuda.

ikulu zilizopo = miji yake yenye maboma, umashuhuri kisarufi vinakubaliana na "miji", ambayo nii maarufu kwenye Kiebrania cha Kisasa, wakosoaji wanaiona ayah ii kama "iliongezwa baadae, huenda ilichukuliwa kutoka kwenye kitabu cha Amosi", kwa kuwa "ikulu au hekalu za sanamu havikutajwa na Hosea"!

 

Hosea 9:

Hukumu ya Efraimu

9:1

watu = watu wengi.

kuuandama ukahaba: yaani kuandama ibada za sanamu. Soma andiko la 1:2.

zawadi au thawabu = malipo ya upendo. Rejea kwenye maandiko ya Torati (Kumbukumbu ya Torati 23:18, "ajiri"). Nyongeza ya 92.

 

9:2

sakafu = kusaga sakafu.

shinikizo la mvinyo = mvinyo mnene. Kwa Kiebrania yekeb, mvinyo uliokubaliwa au kupokelewa; sio dunduliza, shinikizo la mvinyo. Soma andiko la Isaya 5:2.

mvinyo mpya. Kwa Kiebrania. tirosh. Nyongeza ya 27. Sio sawasawa na kama kwenye 9:4.

yeye. Maandiko maalumu yasomwayo nyakati mbalimbali yaitwayo Sevir (Nyongeza 34), ambayo baadhi ya viambato, nakala za machapisho ya kale ya Aram., Septuagint, Syria, na Vulgate, yanawapa “wao"; baadhi hutoa "pamoja naye" kwenye maandiko ya pambizoni.

 

9:4

mvinyo. Kwa Kiebrania yayin. Nyongeza 27. Sio sawa kama lilivyo kwenye 9:2.

mkate. Umewekwa kwa lugha za Mfano, Synecdoche (ya Maeneo au Anga), Nyongeza ya 6, kwa aina zote za vyakula.

za waombolezaji. Rejea kwenye maandiko ya Torati (Kumbukumbu la Torati 26:14. Hesabu 19:14). Nyongeza ya 92. Kwa Kiebrania ni 'aven. A Homonym. Soma andiko kuhusu "Benyamini", Mwanzo 35:18.

 

9:6

Kwa sababu ya = kutoka.

Misri = [bado] Misri. Linganisha na 7:16.

watawakusanya wote pamoja = watawafagiliambali [kwa mbolea ya samadi, au kwa kuwachoma moto]; sio kwa kuwazika kwenye nchi yao wenyewe; huyu alikuwa ni 'asafu. Lakini hapa ni kabazi. (Yeremia 8:2. Ezekieli 29:5.)

Memfis. Mji Mkuu wa Misri ya Chini (ulio karibu na Cairo). Kwa sasa Mitrahumy; pia unaitwa Nofu.

maskani = mahema. Kwa Kiebrania 'ohel (Nyongeza ya 40.); "mahema" yaliyowekwa kwa lugha ya Mfano aina ya Metonymy (ya Kiunganishi), nyongeza ya 6, kwa mahali ambapo hema zao zilisimikwa au kukitwa.

 

9:7

Siku za kutembelewa zimefika. Rejea kwenye maandiko ya Torati (Kutoka 32:34). Nyongeza ya 92.linganisha na Luka 19:44; 21:22.

kufidia tena = tozo ya kodi.

elewa [hii] = gundua [udhaifu wake, wakati aliposema].

mtu wa kiroho = mtu mwenye Roho: yaani nabii wa Mungu ambaye alijulikana kama ni mtu ambaye Roho wa Mungu alikuwa ndani yake.

kwa umati mkubwa, &kadhalika = kwa kuwa uovu wako ni mkubwa, uadui wako ni mwingi.

uovu = uharibifu. Kwa Kiebrania 'avah. Nyongeza ya 44.

chuki = uchokozi.

 

9:8

Mlinzi. Zingatia mfululizo wa mambo tofauti, ambayo Efraimu alikuwanayo, na ambayo kwayo Efraimu amefanyika sasa, ambalo linaanzia hapa; kwa maelezo yanayofuatia kila moja. Soma aya ya 10 na 13; 10:1, 9; 11:1; 13:1.

,linzi. Limetumika kwa nabii wa kweli kwenye Isaya 21:6-11. Yeremia 6:17; 31:6. Ezekieli 3:17; 33:7.

alikuwa. Inamaanisha: "Efraimu [alikuwa hivyo], kwa mfano, katika siku za Yoshua.

Mungu wangu: yaani Mungu wa Hosea.

lakini = [lakini sasa].

nabii: yaani Efraimu.

ni = anafanyika.

Mungu wake. kinyume chake na Mungu wa Hosea.

 

9:9

siku za Gibea. Soma 10:9. Hii inaashiria maarifa ya kawaida ya historia ya Waamuzi 19:15, &kadhalika.

kwa hiyo. Baadhi ya viambato, zenye machapisho yaliyotolewa na nakala za mwanzoni (moja yenye fafanuzi za Marabi), inasomeka "sasa yeye atatenda", &kadhalika.

Yeye yaani Yehova Nyongeza ya 4. Atatembelea. Baadhi ya viambato zinasomeka "kwamba Anaweza kutembelea". Linganisha na 8:13.

 

9:10

Kama itakutikana, &kadhalika. Mkanganyo mwingine. Soma 9:8.

walikwenda, &kadhalika. Rejea vitabu vya Torati (Hesabu 25:3). Historia ilijulikana sana, au vinginevyo rejea hii kwa ajili yake isingekuwa na maana yoyote. Nyongeza ya 92.

Baal-peori. Rejea vitabu vya Torati (Hesabu 25:3. Kumbukumbu la Torati 4:3). Penginepopote ni pekeyake kwenye Zaburi 106:28. Linganisha na Yoshua 22:17.

aibu ile = kile kitu cha aibu sana: Ashera na ibada zake. Soma Nyongeza ya 42.

yao, &kadhalika. Sambaza Ellipsis, na inasema: "imefanyika kuwa machukizo kama kimada au suria wao".

 

9:11

tangu kuzaliwa, &kadhalika  = hakuna kuzliwa, hakuna mwenye mtoto, wala kuwa na ujauzito.

mimba. Neno maalumu la herayon linaonekana hapa peke yake, na Ruthu 4:13. Neno lililosawa nalo (Kwa Kiebrania ni haron) la kwenye Mwanzo 3:16.

 

9:12

Ingawa wanawalea na kuwakuza, &kadhalika Sio "kisahihi sana baada ya 9:11", bali ni kinyume na kilichotanguli hapa.

watoto = wana.

nitakuwa mbele yao. Rejea kwenye Torati (Walawi 26:22. Kumbukumbu la Torati 28:41, 62).

Wakati nitakapoondoka nitoke kati yao = wakati nitakapochukua amri kutoka kwao. Kwa Kiebrania sur, kama ilivyo kwenye 8:4, na 12:3 (soma maandiko mengine zaidi hapa). Sio neno moja kama "kuondoa"kwenye 5:6, ambalo ni halaz.

 

9:13

kama niliuona Tiro. Mkanganyo mwingine. Soma andiko kwenye 9:8. Aya hai "chukuliani na maelezo au ufafanuzi".

kama = sawasawa na ilivyo.

Tiro. Tazama kwenye Isaya 23. Ezekieli 26-28.

 

9:15

uovu au dhambi. Kwa Kiebrania ni. ra'a'. Nyongeza ya 44.

Gilgali. Linganisha na 4:15; 12:11. Mahali ambapo Yehova alikataliwa, na mfalme mwanadamu aliwekwa; na ni mahali ambapo ilionekana hali ya mwanadamu ya kutokuwa na subira na uasi na mahala ambapo Sauli alipata ujumbe wake wa kwanza wa kukataliwa kwake (1Samweli 13:4-15), na ujumbe wake wa pili (1Samweli 15:12-33). Soma andiko la aya ya 4:15.

Niliwachukia wao = nitakuja kuwachukia wao.

Kwa uovu wao, &kadhalika. Linganisha na 1:6.

wafalme wao ni waasi. Kumbuka kuwa hii ni lugha ya Mfano na fumbo aina ya Paronomasia (Nyongeza ya 6), kwa msisitizo. Kwa Kiebrania sareyhem. sorerim. Inaweza kuwa imehusiana na usemi wa Kiingereza wa "watawala wao hawatawali". Linganisha na Isaya 1:23, ambapo neno hilohilo limetumika.

 

9:17

wamekuwa wenye kutangatanga, &kadhalika. Rejea maneno ya Torati (Kumbukumbu la Torati 28:64, 65).

 

Hosea 10:

Adhabu kwa Kuifidia Dhambi ya Israeli

10:1

mzabibu tupu usiozaa = mzabibu uzaao au mwororo. Kwa Kiebrania mzabibu usio na kitu au uzaao matunda yake. Soma maandiko ya Waamuzi 9:8-13.kwa Kiebrania gephen. Wakati wote maarufu isipokuwa hapa na kwenye 2Wafalme 4:39. Hapa kwa kuwa inawakusudia Israeli: yaani kwa watu.

kwanza. Kumbuka lugha ya Mifano aina ya Polyptoton (Nyongeza ya 6) kwenye mwonekano unaoashiria kiutofauti wa maneno, "tunda", "zidisha", na "njema"; na lugha ya Mifano aina ya Synonymia kwenye "madhabahu" na "sanamu"; yote ni kuongeza mkazo au msisitizo wa tofauti. Soma maandiko ya 9:8 ("mlinzi").

juu yake mwenyewe = kama mwenyewe: yaani sio kwa ajili yangu.

kwa mujibu wa. Kumbuka ni lugha ya Mifano aina ya Anaphora (Nyongeza ya 6).

umati au mkutano mkubwa. . .uliongezeka. ni neno sawa na masanamu = nguzo: yaani  'Maashera (Nyongeza ya 42). Kwa Kiebrania mazsebah = kusimamisha kwenda juu (kusimamishaau kuzisimika) mguzo.

 

10:2

Mioyo yao imegawanyika. Linganisha na 1Wafalme 18:21. 2Wafalme 17:32, 33, 41.

kukuta makosa = kuchukuliwa muovu au mwenye hatia. Rejea nyuma kwenye 9:17.

atafanya, &kadhalika. Rejea kwenye Torati (Kutoka 23:24; 34:13. Kumbukumbu la Torati 7:5; 12:3).

 

10:3   tufanyie sisi: fanya kwa ajili yetu, au, tuneemeshe.

 

10:4

sauti ya mkoomo = mpopi. Rejea isemavyo Torati (Kumbukumbu la Torati 29:18; 32:32, 33). Nyongeza ya 92. Mahali penginepo ni kwenye Ayubu, Zaburi, Yeremia na Amosi 5:7; 6:12 peke yake.

kwenye mikondo. Baadhi ya viambaya vyenye matoleo manne yaliyochapishwa mwanzoni (moja yenye maneno ya ufafanuzi wa Marabi.), yanasomeka "mikondo yote"

 

10:5

Samaria. Soma 10:7; 7:1; 8:5, 6; 13:16.

Beth-aven. Soma maandiko ya 4:15.

makuhani. Kwa Kiebrania. kemarim = makuhani wa Baali, au weusi, kutokana na neno kamar = kuwa mweusi, kutoka kwenye mavazi meusi wayavaayo (au majoho) yanayovaliwa na wao. Inaonekana hapa peke yake na kwenye 2Wafalme 23:5. Sefania 1:4.

iliyofurahiwa = kuza au tukuza. Linganisha na 1Wafalme 18:26.

utukufu . . . uliondoka. Rejea kwenye historia (1Samweli 4:21, 22).

 

10:6

Mfalme Yarebu. Soma kwenye 5:13.

shauri: yaani sera.ya Yeroboamu.

 

10:7   kama povu, &kadhalika = usoni pa maji mengi. Rejea kwenye Torati (Mwanzo 1:2; 7:18). Nyongeza ya 92.

 

10:8

dhambi. Kwa Kiebrania chata. Nyongeza ya 44. Imewekwa kwa lugha ya Mfano ya Metonymy (ya Kiunganisho), nyongeza ya 6, kwa sanamu zilizo na ushirika nayo. Linganisha na Kumbukumbu la Torati 9:21. 1Wafalme 12:30.

Mwiba na mchongoma. Rejea kwenye Torati (Mwanzo 3:18). Muunganiko huu wa maneno ulijitokeza tu sehemu hizi mbili. "Miiba au Michongoma" inapatikana kwenye Kutoka 22:6, &kadhalika "michongoma", kwa Kiebrania ni darda, hapa tu, na kwenye Mwanzo 3:18. Linganisha na 9:6.

milima. Hii ilikuwa ni ya Beth-eli kwenye nchi ya kilimani mwa Efraimu (Waamuzi 4:5). Kinyume na Mwanzo 49:2, 6.

 

10:9

kutoka: au, zaidi ya siku za Gibea. Soma 9:9 na Waamuzi 19 na 20. Ikumbuke Makala.

hawa walisimama. Kwenye mstari wa mapigano.

watoto = wana.

uovu. Kwa Kiebrania 'alvah. Linajitokeza hapa peke yake, kutoka kwenye neno la Kiebrania la 'avah. Nyongeza ya 44.

haikuwapita kwa kando wao. Eneza kwa kuipa Ellipsis: [nanyi mtaepa? ].

 

10:10

Ipo kwenye hamu yangu, &kadhalika = ninawezeshwa nayo. Rejea maandiko ya Torati (Kumbukumbu la Torati 28:63).

watu = watu wengi

wakati watakaposhikamanisha = watakuwa wanaungana (au kufungiwa nira pamoja)  kwenye makazi yao ya kudumu. Imewekwa kuelezea ibada za sanamu] pamoja wakijitoa kwenye ibada za sanamu.

mikondo wawili. Imewekwa kwa lugha ya Mfano ijulikanayo Metonymy (kwa Kiunganisho), kwa kutiwa nira pamoja kama punda kwa kufanya dhambi hizohizo za ibada za sanamu. Soma tafsiri yake kwenye aya za 11-13.

 

10:11

Na Efraimu = yaani nchi ya Efraimu. Hapa ni kinyume. Tazama maandiko yamhusuyo "lminzi", 9:8.

mtamba wa ng’ombe. Inganisha na Yeremia 50:11. Mika 4:13.

pita juu yake = funga nira juu yake.

Yakobo. Amewekwa hapa kama lugha ya Mfano aina ya Metonymy (ya Kiunganisho), nyongeza ya 6, kwa Efraimu.

 

10:12

kumtafuta BWANA. Rejea kwenye mafundisho ya Torati (Kumbukumbu la Torati 4:29). Nyongeza ya 92.

nyeshea haki na utakatifu, &kadhalika. Rejea mafundisho ya Torati (Kumbukumbu la Torati 32:2).

 

10:13

Mmelima kwa plau = mmepanda. Kwa Kiebrania harashtem. Linatokea kwa spelingi hii, hapa tu na kwenye Waamuzi 14:18. Tafsiri ya The Massorah (Nyongeza ya 30 na Nyongeza ya 93) inaliweka neno hili kwenye kwenye orodha ya maneno ya kialfabetikali, likijitokeza mara mbili, kwa maana mbili tofauti (soma kitabu cha Ginsburg's Massorah, vol. i, p. 498). Ndipo kwa hiyo ni neno la Mwingiliano [Homonym] wa maana moja ninyi mmelima kwa plau (Waamuzi 14:18); na lingine, mmepanda mbegu (10:13).

uovu = ukengeufu. Kwa Kiebrania ni rasha'. Nyongeza ya 44.

tumainia = kufikia kikomo. Kwa Kiebrania ni batah. Nyongeza ya 69.

njia. Septuagint inasomeka "magari ya farasi". Hii inahusiana na kifungu cha maandiko.

 

10:14

Shalman. Sayce anadhaniwa kuwa ni Salamanu, mfalme wa Moabu, mtoza ushuru au kodi wa mfalme Tiglath-Pileser III (Linganisha na 1:1); kwa hiyo ni wakati mmoja na wa Hosea.

Beth-arbel. Kwa Kiebrania ni Beth-'arbeel = nyumba ya mvizio wa MUNGU (Kwa Kiebrania ni El. Nyongeza ya 4. IV). Kwenye maandiko saidizi ya Kiebrania inasomeka Beth-'arbel, ndivyo ilivyo pia kwa kubadilisha jina la El na kuepuka maelezo mabaya yaliyostahili.

mama, &kadhalika. Linganisha na 13:16.

 

10:15

uovu wenu mkubwa. Kwa Kiebrania ni "uou wa uovu wenu". Jua kuwa ni lugha ya Kimifano tu ya Polyptoton (nyongeza ya 6), kwa Kiebrania ni. ra'a'.

kwenye asubuhi. Baadhi ya viambata vyenye matoleo mawili yaliyochapishwa mapema (moja lenye fafanuzi za Marabi), inasomeka "kama pambazuko".

ndipo atakuwa mfalme wa Israeli. Linganisha na 10:7, mfalme anayetajwa hapa ni Hoshea.

 

Hosea 11:

Mungu Anawataka Watu Wake

11:1

Nilimpenda yeye. Linganisha na Yeremia 2:2. Malaki 1:2.

aliitwa Mwanangu, &kadhalika = kumuitwa Mwanangu. Rejea kwenye mafundisho ya Torati (Kutoka 4:22, 23). Nyongeza ya 92. Imenukuliwa kwenye Mathayo 2:15.

 

11:2

wao. Waitaji au watoa mwito: yaani manabii, &kadhalika waliokuwa wanawaita.

wao. Tafsiri za Septuagint na Syria zinasomeka "Mimi".

wao. Israeli.

walitoa sadaka = walizitunza sadaka. Linganisha na 2:13; 13:2. 2Wafalme 17:16.

 

11:3

Nilifundisha, &kadhalika. Rejea kwenye mafundisho ya Torati (Kumbukumbu la Torati 1:31; 32:10, 11, 12). Inganisha na Isaya 46:3.

nenda = tembea. Soma maneno ya kwenye pambizo ya Matendo 13:18.

kuchukua = Nilijaribu kuchukua.

Niliwaponywa. Rejea mafundisho ya Torati (Kutkao 15:26).

 

11:4

nilitoa = Ningetoa.

mwanadamu. Kwa Kiebrania ni 'adam. Nyongeza ya 14.

chukua uende = inua ju, au legeza: dhidi ya kamba zinazozuia nira za shingo.

niliweka nyama = niliitoa kuwapa [chakula] kumpa. Nilimruhusu akile.

 

11:5

sio. Unganisha hili na 11:4, kwa kuwa atarejea hadi Ashuru (8:13; 9:3).

itakuwa = yeye [atakuwa].

 

11:6  

matawi. Imewekwa kwa lugha ya Kimifano ya. Metonymy (ya Fundisho), Nyongeza ya 6, kwa "wana", kama kuwa waasiliwa na walinzi.

 

11:7

pinda kwa orodha ya nyuma. Linganisha na 4:16.

ambayo kwayo waliwaita, &kadhalika = kwayo wanamuita yeye Aliye Juu Sana.

Aliye Juu Sana. Kwa Kiebrania.ni  'al.

Hakuna yeyote aangaliyemuinua Yeye juu = Hataweza yeye mwenyewe wote kuwainua wao ju.

 

11:8

Kivipi . . . ? tini. Erotesis na Pathopoeia. Nyongeza ya 6.

Adma . . . Zeboimu. Rejea mafundisho ya Torati (Mwanzo 10:19; 14:2, 8. Kumbukumbu la Torati 29:23). Nyongeza ya 92. Sehem hizi hazijatajwa mahali pengine popote.

matendo ya toba = matendo ya huruma.

 

11:9

Mimi ni MUNGU sio mwanadamu. Lugha ya Kimifano ya Pleonasm (Nyogeza ya 6): imewekwa kwa namna zote mbili kwa msisitizo. Rejea kwenye mafundisho ya Torati (Hesabu 23:19). Linganisha na Isaya 55:8, 9. Malaki 3:6.

MUNGU. Kwa Kiebrania ni 'El. Nyongeza ya 4.

manadamu. Kwa Kiebrania ni 'ish. Nyongeza ya 14.

katikati take = [hatakuja] katikati yao. Rejea kwenye mafundisho ya Torati (Kutoka 33:5). Nyongeza ya 92.

ingia ndani = kuja kinyume cha: yaani kama adui. Aya hii sio kuwa “haina maana”, kama inavyodhaniwa. Inakusudia kufanya rejea kwenye 11:8.

mji: yaani kama nilivyokuja kinyume na Sodoma na Gomora.

 

11:9

Mimi ni MUNGU, na sio mwanadamu. Lugha ya Kimfano ya Pleonasm (Nyongeza ya 6): imewekwa kwa namna zote mbili kwa msisitizo. Rejea mafundisho ya Torati (Hesabu 23:19). Linganisha na Isaya 55:8, 9. Malaki 3:6.

MUNGU. Kwa Kiebrania ni 'El. Nyongeza ya 4.

mwanadamu. Kwa Kiebrania ni 'ish. Nyongeza ya 14.

katikati yake = [hataweza kuja] katikati. Rejea kwenye mafundisho ya Torati (Kutoka 33:5). Nyongeza ya 92.

Ingia kwenye = kuja kinyume chake: yaani kama adui. Aya hii sio kuwa "haina mashiko", kama inavyodhaniwa. Rejea yake inalenga kwenye 11:8.

mji: yaani ni kama nilivyokuja kinyume na Sodoma na Gomora.

 

11:11  kwenye nyumba zao. Linganisha na Ezekieli 28:25, 26; 37:21, 25.

 

11:12

Efraimu ananilinganisha Mimi, &kadhalika. Muundo uliotumika (ukurasa wa 1221) unaonyesha mabadiliko ya fundisho kwenye 11:12 12:8, ambayo ni "kutorekebishika". Sura hizi zimegawanyika vibaya sana hapa.

pamoja na uwongo. Soma Isaya 29:13. Ezekieli 33:31. Mathayo 15:8, 9. Marko 7:6, 7.

Yuda hawakutawala bado, &kadhalika.linganisha na  2Nyakati 13:10-12.

Pamoja na watakatifu = pamoja na Yeye Aliye Mtakatifu. Kwa Kiebrania uwingi; kwa hiyo ilitumika sehemu nyingine yoyote. Linganisha na Yoshua 24:19. Mithali 30:3.

 

Hosea 12:

Efraimu Alikumbushwa

12:1

kujilisha upepo. Linganisha na 8:7.

upepo. Kwa Kiebrania ni ruach. Nyongeza ya 9.

ikifuatia baada  = fuatilia.

kila siku = siku zote zilizofuatia

uharibfu = machafuko.

fanya au weka agano, &kadhalika. Linganisha na 5:13; 7:11.

mafuta yamechukuliwa, &kadhalika. Kama ipo ili kupata upendeleo na msaada. Inganisha na 5:13. Isaya 30:2-7; Isaya 57:9. Soma 2Wafalme 17:4.

 

12:2

BWANA. Kwa Kiebrania ni Yehova. Nyongeza ya 4.

adhibu = kutembelea hapo.

Yakobo. Imewekwa kwa lugha ya Kimfano ya Metonymy (ya Kiunganisho), nyongeza ya 6, kwa Israeli, hususan mbegu asilia.

kwa mujibu. Baadhi ya viambata vyenye nakala mbili za machapisho ya mwanzoni (moja yenye mandishi ya pambizoni ya fafanuzi za Marabi), Aramu., Septuagint, Syria na Vulgate, inasomeka "na kwa mujibu".

kufidia tena = kuachana, au kulipa tena.

 

12:3

Alimchukua ndugu yake. Rejea kwenye mafundisho ya Torati (Mwanzo 25:26).

tazama . . . kwa kisigino. Kwa Kiebrania ni 'akab. Ndilo jina lake Yakobo.

ndugu yake = ndugu yake mwenyewe kabisa (pamoja naye).

kwa uweza wake yeye = kwa ubinadamu wake: yaani mfano mwingine, baade maishani mwake, bali ni wenye asili inayofanana.

alitiwa nguvu na = alishindana naye (Oxford Gesenius, ukurasa 40). Kwa Kiebrania Sara. (Kwa hiyo jina lake likawa Israeli). Tukio hili linatajwa hapa tu, na kwenye Mwanzo 32:28. Soma maandiko haya.

Munbu. Kwa Kiebrania ni Elohim.(pamoja na herufi 'eth) = Mungu mwenyewe. Nyongeza ya 4.

 

12:4

Malaika. Anatafsiriwa kwenye 12:5.

alishinda = Yeye (Malaika) alimshinda yeye (Yakobo). Tazama maandiko kwenye Mwanzo 32:28. Kwa hiyo badiliko la jina la Yakobo na kuitwa “Israeli”= Mungu ameamuru.

alimshikilia: yaani Yakobo. Hii ni lugha ya Kimifano ya Hysteresis (Nyongeza ya 6), ambayo kwayo historia za zamani zimeingizwa kwa kile kilichojulikana baadae kama uvuvio kutok Mbinguni.

Alimpata: yaani Mungu alimpata Yakobo huko Beth-eli. Rejea kwenye Torati (Mwanzo 28:17, 19). Kumbuka mkanganyo unaoshiria kuwepo, Beth-eli  kuwa sasa makao au kiti cha ibada za sanamu.

Alisema akamwambia = Yehova alinena. Soma aya inayofuatia.

pamoja nasi. Tafsiri za Aquila, Symmachus, Theodotion, na Syria zinasomeka "pamoja naye".

 

12:5

Hata, &kadhalika Inasomeka: "na Yehova [ni] Mungu (Elohimu) wa Majeshi; Yehova [ni] [Jina]. La Kukumbukwa milele "Hii ni kwa uthibitisho au uimarisho wa nguvu.

la kukumbukwa. Rejea kwenye mafundisho ya Torati (Kutoka 3:15). Nyongeza 92.

 

12:6

Kwahiyo, &kadhalika. Inganisha na 14:1.

rehema = upendo wa kujitoa, au rehema.

Kumngoja Mungu wao. Rejea kwenye Torati (Mwanzo 49:18). Inganisha na Zaburi 37:7. Isaya 25:9; 26:8; 33:2. Marko 15:43. Luka 2:25; 23:51.

 

12:7

Yeye ni mfanya biashara. Sambaza na gawa Ellipsis (Nyongeza ya 6): [Yeye, Efraimu, ni] mfanyabiashara. Huu ni uchokozi wa kwanza kati ya mbili zilizofanywa. Soma Muundo wake hapo juu; na Linganisha na 12:14.

akiba au mlingano wa uwongo = mlingano wenye dhuuma. Rejea kwenye Torati (Walawi 19:36).

anapenda kudhulumu. Fedha zilipatikana kwa kudhulumu. Rejea mafundisho ya Torati (Walawi 6:2; 19:13). Nyongza ya 92.

dhulumu = nyang’anya au tapeli.

 

12:8

kazi = mateso.

uovu = ukengeufu. Kwa Kiebrania ni 'avah. Nyongeza ya 44. Sio neno moja na lililo kwenye 12:11.

hivyo walikuwa = ambayo [ni].

 

12:9

Na I, &kadhalika. Aya hizi (9, 10) zinahusiana na 12:14, na zinatoa sababu ya uchokozi huu. Kulikuwa na Ellipsis muhimu, ambayo inaweza kuwa ndiyo iliyogawanywa au kutawanywa: "Nawe [umesahau kwamba] Mimi, Yehova, Elohimu ambaye tangu nchini Misri, [kwamba nilikuahidi kwamba] bado Nitakufanya wewe uishi hemani kama ilivyo kwenye Sikukuu ya Vibanda".

kuishi kwenye vibanda. Hii tena imeahadiwa kwenye Zekaria 14:16.

vibanda. Tangu siku za Nehemia 8:17, sikukuu hii inaitwa 'ohalim (Nyongeza ya 40.), kama hapa, badala ya kuitwa sukkoth, booths. Maneno ya Nehemia yanaumuhimu isipokuwa sheria zilikuwa zimepitwa na wakati.

kama kwenye siku hizo, &kadhalika. Rejea kwenye Torati (Walawi 23:42, 43). Nyongeza ya 92.

 

12:10 ilinenwa na manabii. Linganisha na 2Wafalme 17:13. Waebrania 1:1. 2Petro 1:21.

 

12:11

Kulikuwa na uovu = [Ni kweli, hasa katika Gileadi upo] uovu: kusambaza Ellipsis (Nyongeza ya 6) kutoka kwenye kifungu kinachofuatia.

uovu. Kwa Kiebrania ni 'avert. Nyongeza ya 44. Sio sawasawa na neno lililo kwenye 12:8.

Gileadi . . . Gilgali . . . lundo la mawe. Lundiko la mawe ya ushuhuda  . . . lundo la malundnikano . . . malundo. Kumbuka hii ni lugha ya Kimifano ya Paronomasia (Nyongeza ya 6). Kwa Kiebrania Gil'ad . . . Gilgal . . gallim.

 

12:12

kukimbia . . . Syria. Rejea kwenye Torati (Mwanzo 28:5. Kumbukumbu la Torati 26:5). Nyongeza ya 92.

Syria. Rejea kwenye Torati (Kumbukumbu la Torati 26:5).

Israeli walimtumikia, &kadhalika. Rejea kwenye Torati (Mwanzo 29:18).

alichunga kondoo. Rejea kwenye Torati (Mwanzo 30:31, ni neno moja tu kwa Kiebrania, shamar). Tunaweza kusambaza wazo lenye kujumuisha na lenye mashiko: "[bado kwenye kuzitafuta siku] Israeli walitolewa kutoka Misri . . . na kuhifadhiwa [jangwani]".

 

12:13

kwa kumtumia nabii: yaani Mesa. Rejea kwenye Torati (Kutoka 12:50, 51; 13:3. Hesabu 12:6-8. Nyongeza ya 92. Linganisha na kumbukumbu la Torati 18:15). kuhifadhiwa = kutunzwa, kama ilivyo kwenye 12:12.

 

12:14

Efraimu. Kama ilivyowakilishwa na Yeroboamu (1Wafalme 12:25, 13:5), na Hoshea (2Wafalme 17:11-23).

Yeye = Mungu.

dam. Imewekwa kwa lugha ya Kimfano ya Metonymy (ya Kumaanisha), Nyongeza ya 6, kwa dam isiyo na hatia.

maonyo yake. Rejea kwenye Torati (Kumbukumbu la Torati 28:37).

BWANA. Kwa Kiebrania ni 'Adonim. Nyongeza ya 4.

 

Hosea 13:

Ibada za Sanamu za Efraimu

13:1

alinena wakatetemeka = alinena (kwa mamlaka makubwa sana) [kulikuwa na] usikivu; kama kwenye gombo ya Yoshua (Yoshua 4:14). Linganisha na Ayubu 29:21-25.

kutetemeka = kushituka. Kwa Kiebrania. retheth. Inaonekana hapa peke yake. Sawasawa na kupangilia upya, ambayo inatokea tu kwenye Yeremia 49:24 ("hofu").

amejiiua na kujitukuza mwenyewe: alibeba uzito, au aliinuliwa na kutukuzwa.

alitoa sadaka = ya hatia. Kwa Kiebrnia ni 'asham. Nyongeza ya 44.

kwa Baali = na Baali: yaani pamoja na ibada za sanamu za kuabudu Baali, katika siku za Ahabu.

 

13:2

kuelewa = dhana au wazo.

lao = kwa wao: yaani kwa Watu.

kuwabusu ndama. Kitendo cha kubusu kilikuwa ni cha muhimu na cha msingi kwenye ibada zote za sanamu za wapagani. Ni chimbuko au kiini cha utoaji heshima na kuabudu kwenye jamii ya Latin  = ili [kuleta kitu fulani kwake] mdomo. "Ulimi usio na hila na msafi" (Sefania 3:9) inaonyekana zaidi kuliko lugha.

 

13:3

umande. Kwa Kiebrania tal = umande wa usiku. Soma maandiko kuhusu "Sayuii", Zaburi 133:3.

kitu = a.

unga =kusaga unga.

chemli = dirisha, au kufungua. Hakuna neno la kuielezea chemli kwa Kiebrania.

 

13:4

Bado I, &kadhalika. Eneza kuunganisha mawazo: "[Ninyi mnawaabudu hawa ndama], bado I, hata Mimi". &kadhalika. Linganisha na 12:9. Isaya 43:11.

BWANA. Kwa Kiebrania Yehova. Nyongeza ya 4.

Mungu. Kwa Kiebrania ni Elohim. Nyongeza 4.

Kutoka kwenye nchi ya Misri. Sambaza Ellipsis (Nyongeza 6); "[Aliyewatoa kutoka huko] kutoka", &kadhalika. Rejea kwenye Torati (Kutoka 20:2, 3).

wala hawatajua kitu: yaani hawakujua, au hawakumudu kabisa kujua.

hakuna mwokozi, &kadhalika. Linganisha na Isaya 43:11; 45:21. Eneza: "hakuna mwokozi mwingine [ulikuwa wewe] zaidi ya Mimi". Linganisha na Matendo 4:12.

 

13:5

Niliwajua ninyi, &kadhalika. Rejea kwenye Torati (Kumbukumbu  la Torati 2:7; 8:15; 32:10). Inganisha na Amosi 3:2. Tafsiri ya Septuagint inasomeka "Mimi niliwachunga, au nilkuiwa mchungaji wenu", inasomeka kwma re ithika badala ya yeda tika: yaani (Resh = R) for (Daleth = D).

Nchi yenye baa kuu la ukame. Linganisha na Kumbukumbu la Torati 8:15.

 

13:6

Kwa mujibu wa malisho yao, &kadhalika: yaani kwa kadiri nilivyowalisha wao, ndivyo walivyozidi kuniweka kando mbali na wao.

walilishwa. Kumbuka hii ni lugha ya kimafumbo ya Anadiplosis (Nyongeza ya 6), imerudiwa kwa kukazia.

wa wamenisahau Mimi. Rejea kwenye Torati (Kumbukumbu la Torati 8:12-14; Kumbukumbu la Torati 32:15).

 

13:7

Kama simba. Nyongeza ya 92. Linganisha na 5:14.

kama chui. Linganisha na Yeremia 5:6

hata hivyo. Baadhi ya viambata vyenye matoleo matatu yaliyochapishwa mapema, ya Septuaagint, Syria, na Vulgate, yanasomeka "kwa njia ya kwenda Ashuru".

nitakuadhimisha = nitakutazama au kukuangalia.

 

13:8

tandabui = ufungaji (yaani utandoubongo).

mnyama wa porini atawararua. Rejea kwenye Torati (Walawi 26:22).

 

13:9

nanyi mtajiangamiza wenyewe = maangamizo [ambayo mtakuwa mnataabika kwayo] ni zote mlizonazo. Rejea kwenye Torati (Kumbukumbu la Torati 32:5. Kwa Kiebrania shahath, ni neno moja tu na kama "kumaliza au kuhitimisha"). Nyongeza ya 92.

lakini ndani yangu Mimi, &kadhalika = kwa kuwa mimi ndimi msaada wenu wa [kweli].

 

13:10

Nitakuwa mfalme wenu = Yuko wapi mfalme wenu? Kwa Kiebrania 'ehi = wapi, kama kwenye 13:14 marambili; 'ehi imetenganishwa kutoka kwenye neno lifuatalo la "mfalme" kwa lafudhi ya zakeph, na kuunganishwa na 'epho' = sasa. Kwa hiyo inamaanisha "Yu wapi sasa mfalme wenu? (Hoshea)":jibu lake ni kwamba yuko “kifungoni” (soma 2Wafalme 17:4).

wakati kuna mwingine zaidi ambaye anaweza kuwaokoa ninyi . . . ? = kuwao ninyi, au ambaye anaweza kuwaokoa ninyi.

 

13:11

nawaokoa ninyi, &kadhalika. Rejea kwenye 1Samweli 8:7; 10:19; 15:22, 23; 16:1. Linganisha na 10:3. Gr.lit. "Nawapa . . . na mchukue na umpeleke mbali",inataja kitendo kilichoendelezwa, kifo cha ghasia cha wafalme wa Israeli waliofuatia baadae: Zekaria aliuawa na Shalumu; Shalumu na Menahemu; Pekahiya na Peka; na Peka na Hoshea, ambaye sasa alikuwa ni mfungwa wa huko Ashuru.

 

13:12

uovu = ukengeufu. Kwa Kiebrania ni avah. Nyongeza ya 44.

kufungwa = kufungwa, kama kwenye mfuko au begi. Rejea kwenye Torati (Kumbukumbu la Torati 32:32, 35). Nyongeza ya 92.

fichwa = wekwa akiba.

 

13:13

atakuja, &kadhalika. Isaya 13:8. Yeremia 30:6. Mathayo 24:8.

mwana mpumbavu. Kumbuka kuwa ni lugha ya Kimfano ya Meiosis (Nyongeza ya 6), kwa msisitizo, maanayake ni mtoto mpumbavu kuliko wote.

ishimaisha marefu = ishi miaka mingi.

kwenye mahali, &kadhalika: yaani kwenye.tendo la kuzaliwa. Linganisha na 2Wafalme 19:3.

watoto = wana.

 

13:14

kikombozi = komboa (kwa nguvu). Kwa Kiebrania padah, kukomboa kwa nguvu kwa umuhimu wa haki ya kisheria. Soma andiko la Kutoka 13:13.

kutoka = nje na kwenda.

uweza = mkono: yaani. Nguvu za kuzimuni au za Sheol (kuweka kwenye ukumbatio).

kaburi = kuzimni au Sheol. Tazama Nyongeza ya 35.

komboa. Kwa Kiebrania ni ga'al, kukomboa kwa kununua kwa kudai ya haki ya udugu. Kuna maana nyingine ya kulipa kisasi. Soma kwenye Kutoka 6:6.

Ewe mauti. Lugha ya Kimfano ya Apostrophe, kwa msisitizo. Imenukuliwa kwenye 1Wakorintho 15:54, 55.

nitakuwa = wako wapi [wao], &kadhalika. Soma andiko la 13:10.

tauni. Kwa Kiebrania ni deber = gonjwa baya. Imetafsiriwa kwenye 1Wakorintho 15:55 kama "kung’ata". Kwanza Occ. Kutoka 5:3.

toba = huruma [juu yao], macho. Lugha ya Kimfano ya Anthropopatheia. Nyongeza ya 6.

 

13:15

yeye. yaani Efraimu.

kuzaa na kuongezeka. Lilitumika kwa lugha ya Kimifano ya Irony, jina lake kuwa Efraimu = kuzaana na kuongezeka. Rejea kwenye Torati (Mwanzo 41:52; 48:19).

upepo wa mashariki. Kwa Kiebrania ni kadim; sio upepo wa kisulisuli uitwao shirocco (Mwanzo 41:6. Yeremia 18:17. Ezekieli 17:10; 19:12).

upepo. Kwa Kiebrania ruach. Nyongez ya 9.

machipuko yake, &kadhalika. Rejea kwenye Torati (Kumbukumbu la Torati 33:28).

atagawanya = atateka na kutawanya. Ilitimilizwa na Shalmaneser kipindi kifupi sana baadaye, na tangu siku ile unabii huu unabakia ukiwa umetimilika. Kitabu kinaishia kwa kutoa matumaini, kwenye sehemu ya mwisho hapo chini. 1

 

13:16

Samaria. Tazama 2Wafalme 17:6.

zao. Baadhi ya viambato vyenye toleo moja la machapisho ya mwanzoni yaliyochapishwa ya Aram., Septuagint, na Syria, yanasomeka "na zao".

 

Hosea 14:

Baraka Zijazo za Israeli

14:1

rudi au rejea. Linganisha na 12:6. Joe 2:13.

kwenye = weka sawa na. Kwa Kiebrania ni 'ad; sio ni kwa “kuelekea” tu, ambavyo ingekuwa 'el.

kwayo. Linganisha na 13:9.

uovu. Kwa Kiebrania ni 'avah. Nyongeza ya 44. Baadhi ya viambato vyenye matoleo matatu yaliyochapishwa mwanzoni na Septuagint, yanasomeka "kuvunja sheria" (uwingi)

 

14:2

maneno. Kumbuka yanaendana na Muundo: ukiri ulioamriwa, na amri iliyotiiwa.

geuka = rejea, au geuka nyuma, kama ilivyo kwenye 14:1.

inavyosema. Linganisha na Luka 15:18, 19.

kwa ukarimu mwingi = Ewe Mwenye Rehema. Spma maandiko ya 3:5, na 8:3. Wafafanuzi na wafasiri wa haraka wa Kiyahudi wanalichukulia hili kama cheo au wadhifa wa Masihi. Hakuna neno “sisi” kwenye Kiebrania.

kwa hiyo tunaamini. Imenukuliwa kwenye Kiebrania 13:15.

inaonekana = lipa (kama nadhiri) kwa kutoa dhabihu zinazostahili (Zaburi 66:13, 14; 116:14, 18. Yohana 2:9).

ndama = maksai. Limewekwa kwa lugha ya kimasumbo ya Metonymy (ya Somo), nyongeza ya 6, kwa ajili ya sadaka zilizotolewa (Zaburi 51:17).

ndimi. Limewekwa kwa lugha ya Kifumbo ya Metonymy (ya Sababisho), kwa ajili ya ukiri, &kadhalika, iliyotengenezwa na wao.linganisha na Zaburi 69:30, 31; 116:17; 141:2. Waebrania 13:15.

 

14:3

Ashuru, &kadhalika. Tazama 5:13, 12:1; na linganisha na Yeremia 31:18.

hatutaendesha. Baadhi ya viambata, vyenye matoleo manne yaliyochapishwa mwanzoni na kwa lugha ya Syria, yanasomeka "wala juu ya farasi hatutapanda kuwaendesha". Rejea kwenye Torati (Kumbukumbu la Torati 17:16). Linganisha na Zaburi 33:17. Isaya 30:2, 16; 31:1.

kazi ya mikono yenu. Imewekwa kwenye lugha ya Kimafumbo ya Metonymy (ya Kimasomo), Nyongeza ya 6, kwa sanamu au vinyago vya ina yoyote ile.

kwakuwa ndani Yako Wewe = Ewe Kutoka Kwako.

yatima: yaani kundi lililoachwa yatima la Israeli. Hapa tuna msingi wa majina ya kimfano ya sura ya 1: Gomeri anaonyesha kwamba kipimo cha uovu ilikuwa kimekamilika au kimejaa. Yezreeli anachukuliwa kama myawanyiko wa mara kwa mara. Lo-Ruhama (mtoto wa pili, wa kike au binti) ambaye alikuwa ni taswira kwa Israeli kama ni wainukao kuja juu au kupambazuka. Lo-Ammi (mtoto wa tatu) anayemaanisha hali iliyokuwepo katika Israeli. Ammi anawakilisha hali ijayo ya Israeli (2:1). Ruhama = aliye hurumiwa, jina jipya la Lo-Ruharna (2:23).

amepata rehema = Ruhama = aliyehurumiwa. Linamaanisha marejesho mapya na ya mwisho ya Israeli. Tazama andiko la 2:23.

 

14:5

umande. Soma maandiko ya 6:4; 13:3.

kuza au lima = maua mazuri.

ondoleambali au komesha = pigilia mbali.

mizizi yake. Sifa za Lebanoni zinamwonekano wa mizizi ichomozayo nje.

kama = kama [hizo za kwao].

 

14:6    harufu yake = harufu ya manukato, au marashi, kama.

 

14:7

wasifa uliotolewakwahiyo = kumbukumbu yake au ukumbusho [wenye kupendeza] kama, &kadhalika. Kwa hiyo tafsiri ya Septuagint.

mvinyo. Kwa Kiebrania ni yayin. Nyongeza ya 27.

 

14:8

utasema. Kwa kutii kwenye amri na agizo lililo kwenye 14:1.

Nimesikia = nimesikia na kutii.

na kushika au kutilia maanani = na kuyashika kikamilifu. Kinyume na 13:7.

Mimi ni kama: au, Naupenda mvinje wa kijani [nitamtia kivuli]. Vebu inapaswa ienezwe. Kwa kukitaja "kivuli" kwenye 14:7.

Kutoka Kwangu, &kadhalika. Ushirika huyu ni majibu ya Yehova. Kumbuka msisitizo unaoonyeshwa kwa usemi wa "Mimi" uliowekwa. Linganisha na Yeremia 31:18.

matunda yako yamekutikana. Kutoongezeka kulitolewa, pia kama ulinzi na rehema.

 

14:9

Ni nani mwenye hekima . . . ? Lugha ya kifumbo Erotesis. Jarida la nyongeza 6. Kinahitimish kitabu chote kama Zaburi 107:43.

Mwenye hekima. Kwa Kiebrania chakam (adj.) tazama ilivyo kwenye Mithali 1:2. Linganisha na Zaburi 107:43. Yeremia 9:12. Danieli 12:10.

Mwenye busara = [ambaye ni] kuelewa? Kiebrania binah. Tazama andiko la Mithali 1:2. Hapa ipo kwa mrengo wa mtendewa = kukirimiwa uelewa.

Sahihi = unyofu. Rejea kwenye vitabu vya Torati (Kumbukumbu la Torati 32:4). Linganisha na Ayubu 26:14; 36:23. Zaburi 18:30; 77, 19; 145:17. Mithali 10:29. Danieli 4:37.

Haki = mwenye haki au mtakatifu.

Wavunja au waovu sheria. Kiebrania pasha'. Jarida la nyongdza 41 ix.

Kuangukia ndani yake = kujikwaa kwa sababu yao. Linganisha na Zaburi 119:165. Mithali 4:19; 10:29; 11:5; 15:9. Mika 2:7. Nahumu 3:3. 1Wakoritho 1:23, 24; 1Petro 2:7, 8.

 

q