Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[299D]
Mwaka 2012 na
Mpingakristo
(Toleo La 2.0 20100515-20120528)
Kuna hali ya wasiwasi
inayoandaliwa hivi sasa inayolenga kufanya muonekano ashirio wa
maana ya mwaka wa 2012. Jarida hili linalenga kuitolelea fafanuzi hali hiyo na
kuelezea mtiririko wa matukio na maana ya mwaka 2012, kwa mujibu wa uelewa wa
watu wa dini inayofanya mambo yake kwa siri na fumbo yaani occult ambayo
wanahusisha sana kufanya mambo ya siri kwa maana zao Fulani. Tunafanya kazi hii
ili kutulinda na udanganyifu na pia itusaidie
kumtambua Nabii wa Uwongo na kuujua mfumo wa Mpingakristo hapo utakapoanza
kufanya kazi zake waziwazi hivi karibuni.
E-mail: secretary@ccg.org
(Copyright © 2010, 2012 Wade
Cox)
(Imetafsiriwa
Mwaka 2012)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu
Masomo haya pia
yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Mwaka 2012 na
Mpingakristo
Ni jambo linalohitaji kujua kwamba Shetani anajiandaa kwa kila hali katika Siku hizi za Mwisho na ameweka utaratibu fulani ambao kwa huo, anase na kuwapoteza yamkini hata walio wateule. Lakini sisi tunaweza kutofautisha jisi vita hivi vilivyo na majira ambayo aliwaambia wanafunzi wake.
Kuna kazi inayoitwa Appollyon Rising 2012, yaani Mchomozo
wa Apoliyon uliotungwa na kuandikwa na mtu aitwaye
Thomas Horn unaohusu na nambari za vitu vyenye maana yake fulani. Kazi hii
inahusianisha na nabii kadhaa zilizotolewa na manabii
wa zamani na baadhi ya mambo yaliyotokana na kazi ya mtu aitwaye Malachi Martin kwenye kitabu kiitwacho Windswept House, yaani Nyumba Iliyochukuliwa na Upepo. Nimeandika
jarida hili ili kuuelezea mwaka wa 2012 unavyotajwa
kwenye Kalenda ijulikanayo
Nabii za Malachy wa
Mhuri au alama Kuu ya nchi ya Marekani ni ashirio la
muundo wa kitu kinachoitwa kama Amri Mpya Ulimwenguni
maarufu kama the New Word Order (NWO) na ni muundo wa mfumo wa imani ya Kimasoni. Kujishamirisha kwake na kuiteka kwake Vatican na Waabudu Shetani na hawa
wajulikanao
Mwaka huu wa 2012 ulipaswa kuwa ni mwanzo wa “Majira
ya Taabu yake Yakobo” na kuja kwake Masihi, lakini tutajifunza hayo zaidi huko
mbele.
Kwenye kitabu cha Martin, tutaenda kufunza na kujionea
pia juu ya jinsi Malaika huyu Muasi Lusifa atakavyotawazwa na kupewa mamlaka kwenye
miji au majimbo ya Vatican na
Mwaka 2012 una
maana muhimu kwa waumini wa dini ya waabudu jua.
Tutatathimini nabii nyingi zaidi na kuona zipi
tutakazo jikita nazo kujifunza kwa wakati huu kwa majira yake.
Sote tunataraji
kwamba Mashahidi hawa waje na tujifunze kwao. Tunajua
kwamba Masihi atakuja hapa duniani baada ya hawa Mashahidi watakapokuwa huko
Yerusalemu kwa kipindi cha siku 1263.5. Mashahidi hawa bado hawajaanza kazi zao huko Yerusalemu wakivaa
nguo za magunia. Na hii ndiyo maana tunathubutu kusema kuwa mwaka 2012
hauwezi kuwa ni mwaka wa kurudi kwake Masihi, bali
kunampango tu hapo wa Mpinga-Kristo na Nabii wa Uwongo ndani yake. Kunafuatia
hali tu ya kujiuliza, na ukifikiri kwa kina utagundua
kuwa haikosi watu hawa wa abudu jua wanachotaka kukitafuta au wanachotaka
kukifanya.
Kitu kimoja tunachoweza kukijua sisi ni kwamba mchakato
huu wa kukabidhiana madaraka hautakuwa ni kitu cha rahisi na amani. Shetani na jeshi lake la mapepo wameweka utaratibu wa kimchakato wa
kupigana na Kristo na Wateule wake. Kupitia mchakato huo,
atafanikiwa kuwadanganya yamkini hata walio wateule.
Kazi aliyoifanya Malachi Martin ina maana
http://www.ccg.org/english/s/p067b.html.
Mfumo wa
Kalenda ya Mayan
Shetani ameweka mfumo katika Siku hizi za Mwisho ambao unaathari kwetu ya moja kwa moja.
Lifuatalo ni
dondoo kutoka kwenye jarida liitwalo Advent of the Messiah (No. 210a) [Kuja kwa Masihi] utasoma kwenye wavuti
yetu ya:
http://www.ccg.org/english/s/p210a.html.
Mfumo wa Jua una umuhimu wake
na jarida hili lina nyongeza yake inayoelezea kwa kina juu ya mfumo wa kalenda
hii ya Mayan pia.
Sehemu ya I: Kipengele cha C: Nyota ya
Alfajiri na Kalenda ya Mayan
Tumejifunza kuhusu kalenda ya Mayan kwenye jarida lile. Kuna mambo ya kuhimu kuyaangalia kuhusu
mfumo ule. Haukukamilika hadi kwenye maandishi ya kitabu cha makala za mambo ya
kale maarufu kama Dresden Codex, takriban 934 BK. Tutajifunza
tena jambo
Utaratibu wa kipimo cha kuchunguza damu maarufu
http://www.ccg.org/english/s/p265.html).
Kwa hiyo, Kalenda
hii ilianzia kipindi cha baada ya gharika kuu ya Nuhu, na
iliwekwa kwenye kiwango cha mrengo au kundi la kalenda iliyojulikana kama Dresden
Codex, huenda haina mabadiliko ya siku za kale
Inarejesha nyuma kwenye mfumo unaotuamanisha chimbuko la elimu ya mambo kale
kwenye mwaka wa 3114 BK, miaka arobaini kabla ya kifo
cha Adamu. Ni mfumo tatanishi unaofungamanisha na
maamuzi ya Kuchomoza kwa Venua akiwa
Idadi hii ya miaka 5125 inadaiwa kuhusiana na Mzunguko
Mkuu ambao ni muendelezo wa vipindi vya masaa kuwa sawa mchana na usiku. Hivyo
basi, inadaiwa kuwa na zama tano za ambazo pia huitwa
aenos ya Mzingo Mkubwa ambayo ina vipindi viitwavyo Baktuns 13. Hii sio sahihi. Migawanyo mitano ya Baktun 13 unafanya
kuweko kwa jumla ya miaka 25,625 ya mfumo wa jua.
Migawanyo 12 ya ukanda wa anga unaopita sayari
hailingani na migawanyo mitano ya Baktun ya Maya. Kuna
utofauti muhimu kwenye jumla ya Mizingo Mikuu ya miaka ya jua 295.
Tarakimu hizi ni sawa na zinaweza kufanya uhusiano
mwingine elekevu unaotokana na kiini cha zamani.
Mwendlezo wa huu mfumo wa siku kuwa na masaa sawa ya usiku na mchana ni kitu
kilichorudi nyuma pole pole ukichukua kipindi cha takriban miaka 2,160 kupita
kwenye ukanda wa anga unaopita sayari, au miaka 25,920 kupita kwenye ukanda huu
wote wa njia inayopitia sayari. Hakuna mabadiliko ya ghafla
wala ya haraka haraka. Dhana ya kuwa na ‘Mwaka
Mkubwa’ uliokuwa kwenye fikra za Wayunani unaweza kuchukuliwa kuwa ni fikra za
Heraclitus lakini nia yake hasa bado haijulikani. “Inaonekana kazi ya undishi wa Plato iliiridhia na dhana hii ya kuwa na ‘Mwaka Mkubwa’
kwa kadiri muda unavyojiri kwa nyota kurejea tena kwenye mahali ilipoanzia
mzunguko wake ulimwenguni (Ti. 39d) na kuonekana ikitoa thamani ya kimahesabu kwake
(Rep.546b-c), [1][25]. Hii ingeashiria umakinifu wa Plato kwa mbinu zake za ujuzi wa mambo ya kimbinguni kwa
kipindi kikubwa sana na Celsus akaonekana kuwa makini wa kuijua mwinendo miwili
ya mzunguko wa ulimwengu” (Simon Mahoney, An
Interpretation of Mithraic Remains. Soma kwenye wavuti hii http://pages.britishlibrary.net/simon.mahony/ma-mith.html).
Mfumo mzima wa Mayan unatuama kwenye idadi ya walioko
kwenye Baraza la Jeshi la mbinguni. Idadi inayowekwa ni
72 au pia huitwa Hebdomekonta [au duo] ya Luka 10:1 na
17. Inaashiria
Mwaka 3114 KK Adamu alikuwa hai bado. Wazee wetu
wafuatao walikuwa pia wangali hai: Sethi (b. 3874, d. 2964); Enoshi (b. 3769,
d. 2864); Kenani (b. 3679, d. 2768); Mahalaleli (b. 3609, d. 2714); Yaredi (b.
3544, d. 2582); Henoko (b. 3382, t. 3017); Methusala (b. 3317, d. 2348); Lameki
(b. 3130, d. 2353). Yaredi alikuwa ni baba wa Henoko. Nuhu alikuwa hajazaliwa bado hadi mwaka 2948 KK. Kwa hiyo,
mwaka huu wa 3114 kilikuwa ni kipindi ambacho mababa
hawa wote walikuwa wangali hai na kupelekea zama za kuokolewa kwake Nuhu. Anguko
la watu wa Mungu kimapokeo linadhaniwa kuhusishwa na
kipindi cha utwala wa Yaredi na kwamba katika zama zake hizi Wachamungu
waliinuka na kujitwalia wanawake waasi na kufanyanao ngono. Inadaiwa
kwamba baba yake Mahalaleli alimwita jina hili Yaredi kinabii. Kwa
mujibu wa kitabu fasihi, jina la Yaredi maana yake ni anguko au mporomoko wa kiroho, (SHD
3382), na linaashiria mwonekano wa Watu wa Mungu ulivyokuwa siku hizo.
Alizaliwa mwaka 3544 na alikuwa na umri wa miaka 430
kufikia mwaka 3114 KK. Mporomoko na maanguko haya ya
Wachamungu na maingiliano ya kingono yalitokea kipindi hiki cha utawala wake.
Henoko aliahubiria
Kuchoza kwa Venus kumechangia kipindi kiitwacho 1
Ahau. Tatehe yenye maana ya “wa 1 kwa Bwana".
Ahau ni neno lionekanalo kwenye lugha nyingi na linahusiana
na neno Yaho na laweza kutokana na Elohim wa Majeshi.
Mfumo wake unatuama kwenye mwezi wa siku ishirini, ambao
unajina uinal. Neno hili uinal maana
yake ni nafsi au
mtu-mume. Nambari 20 ni nambari ya mwaka wa kibiblia unaohitajika kabla ya mtu
hajachukuliwa kuwa amekua na kukomaa kikamilifu. Kuna uainal 18 kwenye mzunguko
wa Tun moja au mwaka mmoja wa siku 360. Mwaka wa kinabii ni ule uliowekwa kwa madhumuni la kumuwezesha
mwanadamu kuwa na maendeleo yanayoonekana. Siku tano zimerekebishwa
Miaka imewekwa hivyo ili kufanya mizunguko 100 ya siku
72, au uinail 360 (mwaka wa miezi), na kufikia hesabu ya siku 7200, ambayo
inaitwa Katuni moja. Katuni 20 (miaka
ya miezi) sawa na siku 144,000, inayoitwa Baktuni
Kwa hiyo,
wanazuoni wa Biblia wanaweza kujionea kwamba mfumo
mzima imefanyizwa kwa maongozi yanayolenga kukidhi haja ya huyu Nyota ya
Asubuhi ukishikamana na mfumo wa Jua. Inaweka mwelekeo wa
utawala wa huyu Nyota ya Asubuhi anayetawala zama zetu hizi. Huyu Nyota ya
Asubuhi atawalaye siku hizi ni Shetani. Nyota Mpya ya
Asubuhi ni Kristo na wateule wake 1440,000 chini ya
Mitume. Kalenda hii inaonekana kuwa inakusudia kuwalenga watu wanaorudi kwa muonekano wa kimiungu katika siku za mwisho. Hata hivyo,
haina uhusiano shikamanishi na ule wa mwezi.
Mzunguko
wakalenda ya Venus na mchomozo wake, na mchomozo wa
Nyota ya Asubuhi na ashirio la mwanzo wake.
Kwa hiyo, kalenda
ya Mayan inaleta mfumo wa Jua ulio chini ya Shetani
anayekuja kuhitimisha zama za uumbaji, ukiwa ni Mwaka Mkuu kwao wa 2012. Tarehe
ya mwisho katika mwaka 2012 inakusudiwa kuwa ni ile
ijulikanayo
Hesabu ya kile kinachoitwa Tzolkin inaaminika kuwa imeanza tangia siku ya 4
Ahau na kwamba itaishia tarehe 4 Ahau; hata hivyo,
kuna mabishano makubwa
Mwaka Mkuu mwingine unaofuatia utakuwa chini ya na
wenye maana ya Nyota Mpya ya Alfajiri.
Wataalamu wa mambo ya uchimbuzi wa Mayan walikuta huko Xultun katika
Guatamala iliyochapishwa mapema ya mwaka 2012 iliyoonyeshwa zaidi ya kujiuliza
kutoka kwenye majengo yaliyojengwa kikamilifu yaliyokutwa kwenye kazi za ujenzi
za zama za kale za Mayan ambazo hesabu yake Ndefu ilitarajuwa kuendelea kwa
kipindi cha miaka elfu ba zaidi sana baada ya kipindi cha mpito cha tarehe 21
Disemba 2012. kimapokeo, Wamayani
waliachana na mfumo wao wa kizamani wa ujenzi na kujenga kwenye kifusi au
kokoto lakini hii iliyookutwa kwanza ilionekana kuwa walijazia tu kwenye jengo
lao na ndipo walijenga ili kwamba waliweka mapambo yao na kuweka kalenda zao
ukutani na hesabu zao na mataifa yote walibakia salama. Kipindi Kirefu Sana
Kilichotajwa kiliishia tarehe 21 Disemba 2012 na na
kiliendelea mbele kwenye hesabu Kipindi Cha Pili cha hii nyota mpya ya asubuhi
na ilionyesha mzunguko wake mpya. Kwa hiyo, Mfumo wa
Wamayani ulikusudiwa kubadilishwa katika mwaka 2012 na inaonekana kuwa ilikaa
vizuri katika kipindi cha zaidi ya miaka maelfu iliyopita. Mabaki haya
yanakadiriwa na wanasayansi kuwa yamedumu tangu karne
ya 9 na yalitathminiwa kujua umri wa mabaki mengine kwa karne nyingi kadhaa. Ustaarabu wa Wamayani uliingia na kuenea kwenye nchi za Amerika ya
Kati tangia kipindi cha kuanzia mwaka wa 2000KK ambako ni kwenye makoloni ya
Wahispania tangu karne ya 15 na kuendelea. Kumbukumbu nyingi
za makazi ya Wamayani bado vimefichwa au hayaonekani. Maganjo ya
Waxultuni yaligunduliwa kwanza kwenye miaka ya 1920 na
ya 70 ambayo yalichukuliwa zaidi kama yalionyesha mfumo wa kimakazi yao.
Maelezo mengine yaliyo rahisi zaidi yenye maana ya kina zaidi kuuhusu mfumo huu unavyohusiana yapo kwenye sehemu ya nyongeza ya jarida hili.
Hebu na tuzione sasa nabii kadhaa zilizotolewa kuuhusu mwaka 2012.
Unabii wa Joka Kuu
Machachari la Kihindi
Wahindi wa imani ya Cherokee Indians wana mfumo wao wa
kalenda na imani
Unabii uliotolewa
na kabila kwa wakati ule unachukuliwa kuwa ulimaanisha
kurudi kwa joka kuu lenye manyoya maarufu
Sehemu mojawapo kuhusu unabii huu wa joka machachari
inasema hivi:
“Kipindi hiki cha
mwaka 2012 cha msukosuko wa mungu Jupita kuwa mfumo wa
[hii] nyota ya Orion utatikisika. Na hii miungu Pleiades na
Orion itafanya vita tena
Hatimaye Joka huyu atakuwa ni joka mwenye manyoya au
atakujikana
Sambamba na huyu Joka Mkubwa kutakuwa na kipindi cha heri au cha Njia
ya Maziwa. Mkatizo au mpito wa kipindi cha Njia ya
Maziwa kitaonekana mwaka huu wa 2012. Na Kalenda ya Cherokee itaishia mwaka huu
2012… [na] “ujio wa Mharibifu
na Mdanganyifu utatokea”.
Kikomo cha
Kalenda ya Mayan kwa ujumla wake ni tarehe 21 Desemba
2012 na hata ya Cherokee. Ishara hizi za mbinguni ni muhimu sana katika kujua
kurudi kwa joka huyu mwenye manyoya na kumeainishwa kwa nyakati zetu na Mapepo
yanazitumia matukio haya kwa kumneemesha Nabii wa Uwongo na Mpinga Kristo. Huku
muundo wa kidini ukiuunga mkono muundo wa Kisiasa.
Kipindi cha kuanzishwa kwake kinatuama kwenye chanzo chake asilia kutoka kwa
wafuatiliaji ni mwaka huu ujulikanao kama wa Duma (Tiger) kwenye kipindi
kinachokadiriwa kuwa ni cha Desemba na kitaendelea hadi mwisho wa 2012 kwa
mujibu wa nabii zao.
Mwaka 2012 na Waazteki
Kugunduliwa kwa Kalenda ya Jiwe ya Aztec huko
Hawa wote, yaani
Waazteki na Maya waliamini kuwa Kipindi-zama cha
Kwanza au Jua la
Kipindi hiki cha mwisho na cha Tano kinaishia tarehe 21 Desemba 2012.
Horn ana mahali pazuri
Mnara-Kuba Maarufu na Mnara
Mrefu na Mwembamba
Minara mikubwa au
Kuba (Dome) maarufu na Minara mirefu na myembamba (Obelisk) huwekwa mijini kwa
lengo la kumkumbuka na kumpa heshima kila kiongozi wa daraja la juu wa imani ya
uwekaji wa alama kufuru za kimafumbo aliyewahikupita na kuonyesha kuwa hata
yeye alikuwa ni mungu. Wao huamini kuwa kila mtawala amezaliwa akitokea kwenye
Tumbo la mungu
Minara hii ya
obelisk (mwembamba mrefu) na Dome (Kuba) kufuru
inayowakilisha miungu
Kuba ya
iliyowekwa jengo jengo maarufu lililo kilimani (Capitol) ilipakwa rangi na Mtaliano, Brumidi
ambaye alipewa maelekezo na uangalizi wa Wajesuiti. Alipelekwa huko
Ni hakika kwamba
wote wanalijua
Mwonekano Mbalimbali Wa
Mambo
Mwaka wa 2012 ni
wa muhima na wa maana sana kwa dini hii ya waabudu Shetani na wanaohusika na
taaluma ya kuweka alama imani zenye mana kufuru zinazojulikana maana zake kwa
watu wachache na kwa wengi kuwa siri isiyojulikana yaani okaliti (occult) wa
Kifreemasons na tutayaelezea mambo hayo.
Kwanza na tuone jinsi uhusiano wa mwaka 2012 na alama za kufuru za hawa
waokaliti kwa mujibu wa mitazamo ya wa Kabbalisti dhidi ya ule wa Zohar na kisha
kwa mujibu wa alama na imani kufuru za Mafreemasos kwa jinsi pia vinavyotukuka
na kukumbatiwa na Vatican.
Pia Mwaka wa 2012 umekuta na kipindi cha utengenezaji wa kile kinachoitwa I Ching ambao maana yake ni Kitabu cha Mabadiliko huku kiwango chake kikiwa kimefanyika kuelekea kwenye utimilifu wa Kitabu hiki cha Mabadiliko ambacho kinahusishwa na kitabu cha fafanuzi cha Wen Yen. Kimefanyizwa kwa mfumo wa kipimo cha hexagram 65.
Kuba ilijengwa kwaka 1973 wakati Terrence na Dennis McKenna ndio walioifanya kazi hii, ikiwa ni kazi nyingine mbali ya dhana ya Kalenda ya mayan.
Mabadiliko yalitokea na
sehemu ya mwisho yalitokea kwa kifupi tu ilipofika tarehe 11 Septemba 2001 na
yakakoma au kutoweka yakisubiria kutokea tarehe 21 Desemba 2012. Inaoeneka
kwamba kipindi hiki kutakuwa na mlipuko mkubwa
Mradi
wa Mtandao Uvumi
Mradi uliofanyizwa hivi karibuni wa Uvumia ama uwongo umekuwa ukihusisha na muono wa mambo asilia na kwa kutumia mtandao wa Intaneti na kuanza kubuni na kueneza uvumi wa siku ambazo maafa yanaweza kutokea. Mnamo mwezi wa Juni 2001 waliitabiri tarehe za Septemba 11, 2001, na pia wametabiri kuwa maafa makuu yataukumba ulimwengu hapo mwezi Desemba 2012 (Horn, uk. 309).
Jambo linalotuama kwa ukaribu zaidi ni kwamba matukio lililotokea Septemba 11, 2001 yalijadiliwa kwenye mtandao wa intaneti na mtandao wa mtandao huu wa kuvumisha uwongo ukaanza kukusanya vyanzo vya jinsi tukio hili lilivyotokea.
Mwaka
2012 na Zohari
Kazi iliyofanywa na
Kabbalist kuhusu Zohar ilifanywa katika kipindi cha zaidi ya miaka 700 iliyopita
na kuandikwa kwa lugha ya Kiaramu kwenye miaka ijulikanayo kuwa ni zama za
kati. Inahusisha pia na fafanuzi za zisizo wazi za
kitabu cha Torati. Kwa kuongezea tu kuhusu fafanuzi za Maandiko Matakatifu
kwenye Sura ya “Vaera” (Toleo la 3, sura ya 34) kuna maneno haya: “Ishara za
kumtangaza Mashiach (Masihi).” Zohar alitabiri ujio wa
Masihi kuwa utakuwa mwaka 2012. Kwa ajili hiyo, tunaweza kutafsiri kuwa
inamaanisha Mpinga Kristo atafunuliwa na kutangazwa
rasmi tahere 11 Desemba 2012. Watu wa jamii ya
Kabbalist hawakumtambua Kristo kuwa ni Masihi bali walikuwa wamependeza na
kujikita tu kwenye itikadi ya imani za sirisiri. Horn mwenyewe alidiriki kusema
kwamba hii inamaanisha ni kufunuliwa kwa Mpinga
Kristo. Alisema aliwahi kujadiliana na jarida
lijulikanalo kama J.R.
Hii itatanguliwa na
tendo la kumtangaza Masihi wa Uwongo kufanyika tangu mwaka 2010-2012
Papa anayefuatia, ambaye ni Petro wa Kirumi, atakuwa ni papa wa mwisho atakayefuatia kipindi cha kuangamizwa kwa Roma. [tazama jarida la Pap wa Mwisho Na. 288) (The Last Pope (No. 288) kwenye tovuti ya http://www.ccg.org/english/s/p288.html).
Matukio haya yanaonekana kuwa yatatokea.
Kwa mujibu wa unabii wa Kikatoliki, mtu aitwaye Pius XIII, ataiacha au kuondoka Roma akipitia juu ya miili ya makuhani. Nambari 13 ni nambari wanayoitumia watu wa imani ya alama za fumbo za siri wa kiokaliti na ni namba ya uasi.
Inadhaniwa pia kwamba mwaka 2012 utakuwa ni mwisho wa zama hii, na wanaulinanisha na Mathayo 24 kuhusu siku za Nuhu na kuchukuliwa maana yake kuwa mbingu zitakuwa na uasi mkuu sana kama ilivyokuwa siku za Nuhu na mwisho wa dunia au Aeon.
Misingi
ya unabii kwa mwaka 2012
Je, ninini hasa maana ya mwaka 2012 kwa Malaika Waasi au watu waliomuasi Mungu ambao hapo mwanzo
walikuwa watiifu kwake na ni kwa nini nambari za waokaliti wengine ziwe ni
muhimu
Shetani anaonyesha urefu wa kipindi alichopewa. Kitolewa na kupimwa kwa Kalenda ya Mungu.
Utaratibu au Mfumo wa
Yubile
Tutaona sasa
jinsi mfumo wa yubile unavyofanya kazi na maana zake kwa
mujibu wa unabii.
Miaka ya yubile
inaendana kwa mtindo wa tarakimu za miaka ya 27 na 77
kwa miaka ilivyo zama hizi, na katika miaka ya KK ilikuwa miaka 24 na 74 KK.
Jinsi zilivyohesabiwa hizi yubile na kuainishwa imefafanuliwa kwenye jarida la Usomaji wa Torati
na Ezra na Nehemia (Na. 250) [Reading the Law with Ezra and
Nehemiah (No. 250)] kwenye tovuti ya http://www.ccg.org/english/s/p250.html
na pia kwenye jarida la Maana ya Maono ya Ezekieli Na. 108 [The
Meaning of Ezekiel's Vision (No. 108)] kwenye wavuti ya http://www.ccg.org/english/s/p108.html.
Mungu hatupi sheria tusizoweza kuzifuata au kuzishika na
chochote kinachofanyika ni kwa dhumuni ya kufanya Marejesho ya Torati na
ushuhuda umewekwa tayari kwenye Maandiko Matakatifu.
Utaratibu wa mzunguko wa mwaka wa saba unawekwa kwenye utaratibu wa kundi la
miaka saba ambalo kila moja lina miaka saba-saba na kwenye mwaka wa sita wa
mzunguko wa kundi la saba, tunakirimiwa na Mwenyezi-Mungu kwa kupewa baraka za
mavuno mara tatu ili yatuchukue hadi kutufikisha kwenye Mwaka wa Sabato ya Saba
na kwenye mwaka wa Hamsini wa Yubile. Baragumu la kuutangaza Mwaka wa Yubile hupigwa kwenye Siku ya Upatanisho inayofanyika
katika Mwaka wa Sabato na inaishia kwenye maadhimisho ya Siku ya Upatanisho ya
mwaka unaofuatia ambao ni wa Yubile. Kutoka kwenye siku hii ya Upatanisho ya
mwaka huu wa Hamsini ardhi yote inatakiwa iachwe ipumzike na inalimwa tena
kwenye mwaka wa “nane” ili kufanya kuwe na mavuno kwenye mwezi wa kwanza ambao
ni wa Abibu unaofuatia ambao ni mwaka wa tisa ambao ni mwaka wa kwanza wa
Yubile mpya. Utaratibu huu umefafanuliwa kwa kina kwenye jarida liitwalo Kalenda ya Mungu
(Na. 156) [God's
Calendar (No. 156)] kwenye wavuti ya http://www.ccg.org/english/s/p156.html
na kwenye jarida la Utoaji wa Zaka Na. 161 [Tithing (No. 161)] kwenye wavuti ya http://www.ccg.org/english/s/p161.html.
Kwenye karne ya pili KK, Mafarisayo wa kwanza alikuwa
wamevutiwa na kuamini imani ya watu wanaoamini kuwa elimu au kujua mambo pekee
kwa weza kumwokoa mtu yaani Kinosis wa Alexandria walianzisha yubile ya uwongo
yenye kuchukua jumla ya miaka 49 na wakajaribu kuvunja
utaratibu ulioagizwa na Torati na utaratibu wake. Ubadilishaji huu wenye kupotosha
na mbinu na kipindi chake vimefafanuliwa kwa kina
kwenye jarida la Upotoshaji
wa Kalenda ya Mungu Katika Yudea Na. 195B [Distortion of God's
Calendar in Judah (No. 195B)] kwenye wavuti ya http://www.ccg.org/english/s/p195b.html.
Kazi alizozifanya Josephus zinaonyesha jinsi mabadiliko haya yalivyotokea pale
alipokuwa, akiwa kama Farisayo, anajaribu kuingiza
mawazo yao lakini akipaswa kuelezea kanuni za Warumi kama zilivyotungwa ambazo
zinaionyesha kisahihi sana Kalenda ya Hekalu na karatasi inauonyesha ukweli huu
kama unavyoonyesha uthibitisho wa wataalamu wanaochimbua na kuvumbua mambo ya
kale tulioupata, unaoonyesha uhusiano wake na kalenda ya Hekalu.
Tendo la kuzijua
hizi Yubile na lini zinakuwa, ni jambo muhimu
Kwa mujibu wa kronolojia ya Biblia inaoneysha uumbaji
wa Adamu na Hawa kuwa ulifanyika mnamo mwaka 4004 KK.
Kronolojia ya Waashuru inaonyeshwa kwenye toleo la Biblia ya Mfalme Yakobo
(KJV) ya mwaka 1611.
Hata hivyo, Shetani hakupewa mamlaka yote hadi kwenye kipindi
kilichofuatia baadae. Shetani alipewa miaka takriban elfu sita ya
kuitawala hii dunia akiwa
Tunapouanngalia utawala huu wa miaka elfu sita wa Shetani kuanzia mwaka 4004 tangu
uumbaji wa Adamu na hadi kufikia mwaka 1996/7, tunaona kuwa kipindi cha Milenia kilipaswa kiwe kimeanza.
Hata hivyo, Adamu asingehukumiwa kwa kufuata sheria
kwa kuwa alikuwa hajatimiza bado umri wa miaka thelathini. Aliumbwa akiwa ni mtu mzima tayari (akiwa na umri wa takriban miaka ishirini)
lakini alipaswa kufikia umri wa thelathini ili kuwa mtu mzima wa kustahili
kuhukumiwa, ni umri muafaka ambao Kristo aliufikia.
Kristo alibatizwa
na kujaribiwa mnamo mwaka 27BK, mwaka alioutangaza
kuwa ni wa Yubile au “mwaka wa Bwana uliokubaliwa” na kisha akaenda kujaribiwa
nyikani. Mnamo mwaka 3976KK, Adamu alijaribiwa na
akashindwa na kuanguka na ile bustani ikafungwa. Na kipindi
kipya cha yubile kwenye dunia iliyolaaniwa kilianza. Na kwa kipindi chote cha yubile 40 dunia ilipewa fursa ya
kutubu lakini haikufanya hivyo, na nddipo Mungu aliiangamiza kwa gharika kuu
dunia ile ya wakati ule, na kisha akamuita Ibrahimu kutoka Uru ya Wakaldayo ili
aandae ujio wa Masihi ambaye hatimaye alikuja baadae katika kipindi cha yubile
40 ziliyofuatia. Kisha Mungu akalianzisha Kanisa
Mwaka wa 2012 kwenye mfumo wa
Kichina
Sio jambo lililotokea kwa bahati mbaya tu kuwa mfumo huu ulifanyizwa ili kwamba Mwaka 2012 uwe ni mwaka wa Joka mkuu na mwaka unaofuatia wa 2013 uwe ni Mwaka wa Joka. Mgongano wa kipindi zama cha kuanzia Mwaka wa Duma wa 2010 ni mwanzo wa mgogoro na juhudi kuelekea kwenye mwaka wa 2013. Waokalisti na Waabudu Shetani wanaamni kuwa wataitawala dunia yote kuanzia mwaka 2013.
Mpango wa Shetani
Kwa kweli, hatuna mambo mengi
Tangu kuangua kwa mji wa Yeriko na maelekezo aliyoyatoa Masihi akiwa ni Kapteni Shujaa wa Jeshi la BWANA tunajua kuwa ni lazima Kristo awepo hapa kwa miaka saba kabla ya ule Mwaka wa Sabato utakaokitangulia kipindi cha utawala wa Milenia. Ili uueleze unabii huu, jisomee jarida letu liitwalo Kuanguka Kwa Yeriko (Na. 142) [The Fall of Jericho (No. 142)] kwenye wavuti ya http://www.ccg.org/english/s/p142.html.
Shetani anajua kuwa ni lazima Torati itasomwa kuwa ushuhuda na kuwa Mungu hana jambo lingine zaidi ya kufanya maonyo tu kwa watu wake, kazi atakayoifanya kupitia watumishi wake manabii. Katika Siku hizi za Mwisho anafanya hivyo kwa kulitumia kanisa. Torati hii imesomwa sasa kwa vipindi viwili vya miaka mitakatifu ya Sabato vya miaka ya nyuma ya 1998 na 2005. Mmwaka unaofuatia wa Sabato utakuwa ni 2012 na Torati itasomwa tena mwaka huo. Hii itakuwa ni mara ya tatu kwa Torati kusomwa tena kwenye Mwaka wa Sabato. Kuanzia siku ya Mwandamo wa Mwezi wa Nane, Shetani ataruhusiwa kuwafungulia Mpingakristo na Manabii wa Uwongo waanze kazi hapa duniani. Ni kipindi kitakachojiri kati ya tarehe 21 Desemba 2012 na Kuja kwa Masihi zikipigwa Baragumu mwaka 2019. Kitakuwa ni kipindi cha Ibilisi kuwadanganya wote wakaao duniani na kuwaangamiza.na kurudi kwakwe Mwokozi.
Anajua pia kuwa wakati huu wa kipindi chake, Mashahidi Wawili watakuja kuwaonya watu dhidi yake. Ndipo Eliya atarudisha na kuyafanya upya mambo yote, ikiwa ni pamoja na kuwaonyesha watu Umuhimu na Heshima ya Torati. Kwa hiyo, wakati Eliya atakapokuja na kufundisha umuhimu wa Torati, utawala wa Shetani utakuwa umekoma kabisa. Ukweli huu unatupa matumaini makubwa kuhusu kipindi hiki. Hata hivyo, hawa vibaraka watapigwa na kushindwa.
Mpango wake ni kuanzisha na kuendeleza Udanganyifu Mkubwa mwishoni mwa kipindi hiki, udanganyifu ambao utawazoa yamkini hata wateule. Pia anajua toka mwanzo kuhusu mlolongo wa mambo wa siku za mwisho ulivyo na kipindi ambacho Heshima na umuhimu wa Torati itakavyorejeshwa na kipindi cha utawala wake kitakavyofika ukingoni. Ameufanya mwaka wa 2012 kuwa ni mwanzo wa mwisho wa kipindi cha kazi zake na ni mwaka atakaouwekea alama kwa watumishi wake wa harakati za kiokaliti wa kufanya mapenzi yake ya kupotoa na kuwaganganya mataifa ili wajitoe zaidi kwake kumwamini na kumtii kikamilifu sana.
Kwa hiyo, wanaharakati chafu wa kiokaliti wote wanapaswa kuwa sawa na mujibu wa mpango wake ulivyo na kwa mujibu wa alama za tarakimu zake na utaratibu wake kwa kufuatia vile zilivyofanywa na Mungu. Tangu mwaka ule mambo mwngi kufuru haribifu katika sayari hii na kumilikiwa kikamilifu na wao ni mchakato uliopangwa.
Malengo
ya Mpango wa Shetani
Mipango ya Shetani imewekwa wazi kwenye kwenye matamko ya watumishi wa harakati potofu za kiokaliti..
Jenerali wa
Kimarekani, Albert Pike, aliwahi kuwafanya watu kuvutiwa na kupendezwa na alama
ya Vidole viwili vilivyotumiwa na kuonyeshwa na Guiseppe Mazzini. Mwaka 1871,
Pike, akiwa na cheo cha digrii ya 33 ya Kamanda Mkuu
Mtukuka wa kanuni na tamaduni za
Lengo la Kuanzishwa kwa
Vita Kuu ya Kwanza Duniani: Lilikuwa ni kuwaondoa na kuliangamiza kabila la
Tsar huko Urusi,
Vita ya Pili ya Dunia ilifanyizwa kwa mbinu wa kuwagonganisha Mafashisti wajulikanao kuwa ni
wa mrengo wa kushoto na Wanasiasa wa mrengo wa Kizayoni. Mauaji ya Wayahudi
maarufu
Wakati huo huo, ulimwengu uliobakia wa Kikristo uwe unaingiliwa kirahisi na wanaharakati kufuru
wa Kiokaliti na wenye alama Mvutio waendelee na kufanikiwa kwenye maeneo yote
na daraja zote za watu maarufu. Nchi ya Marekani ni
kituo kukii cha kuweka mipango hii ya kuwafanya watu wautumie Ukristo vibaya
Vita Kuu ya Tatu ilitumika kuwaondoa Waislamu kutoka kwenye ardhi inayojulikana kisiasa kuwa ni ya Wazayoni, na kuuangamiza na kuuharibu ulimwengu wa Kikristo kwa kufanya njama za migongano inayochechewa na kulazimishwa na waokaliti kwa kuwatumia viongozi wao na vyeo vyao vilivyo namna ya kiakili, kimwili, na mfumo wa kidini au kiroho na kiuchumi.
Mnamo tarehe 15 Augost 1871 Pike aliandika waraka, na uko hadi leo kwenye Jumba la Makumbusho la Uingereza, akimwandikia Guiseppe Mazzini alimwambia mambo yafuatayo:
“Tutawaafungulia walewatakayoikufuru na kuikana imani yao na wale wanaoukana uwepo wa Mungu na tutauchochea moyo wa uamsho mkubwa wa jambo hilo kwenye jamii ambao kwa namna yoyote ile ya vitisho tutayaonyesha mataifa yote kwa waziwazi mafanikio makubwa ya imani hii inayomkana Mungu: chanzo au kiini cha ushenzi na zaidi zasa kwa kumwaga damu nyingi.
Kisha hapo, watu watalazimika kujilinda dhidi ya idadi hii ndogo ya watu walioko hapa ulimwenguni na wanamageuzi hawa ulimwenguni na watawakomesha wasiwepo watu hawa watakaoonekana kuwa ni hatari kwa ustaarabu wa dunia na watu wengi watakatishwa tamaa na Ukristo na kuachana nao, uamuzi ambao unatokana na hali ilivyo kwa kipindi kile pasipo kuongozwa muono na mapenzi yanayotoka na miyoni mwao, na pasipo kujua ya kinsi ya kufanya pambo zake, ndipo nuru ya kweli kwa kupitia mwonekano wa kidunia wa mafundisho ya Lusifeli yataletwa hatimaye kwa wazi wazi.
Mwonekano huu utapelekea kuwa na matokeo ya jumla ya harakati itakayofuatia kuangamizwa kwa imani za Ukristo na wakana Mungu, wote wakiwa wameshindwa na kukomeshwa kwa wakati huu.” (pia imeandikwa kwenye kitabu cha A.C. Hitchcock, kiitwacho The Synagogue of Satan [Sinagogi la Shetani], RCP 2009, kurasa za. 73-75)
Pike alikuwa ni Mfrimason mwenye nguvu na kuogopwa kuliko wengine wote huko Marekani na aliendelea kuwa tishio hivyo hadi mwaka 1891.
Kwenye kitabu chake maarufu cha Maadili na Mapokeo
ya Zamakale na Kukubalika kwa Taratibu za Dinikale za Frimason wa Kiscotland,
[Morals and Dogma of the Ancient and Accepted Rite of Scottish Freemasonry]
Pike anaeleza kinagaubaga lengo la kishetani walilonalo Wafrimason. Aliweka
taratibu za kidini kwenye ibada zenye lengo la mwelekeo wa
kumwabudu Lusifeli lakini jambo
Kuhusu masuala ya Maadili na Mapokeo ya dini kale alisema,
“jina halisi na la kweli la Lusifeli, Wakabalisti wanasema ni lile ambalo Yahwe
amelichukua: kwakuwa Shetani sio mungu mweusi, bali ni kinyume cha Mungu. Kwa
utendaji, huyu sio Kiumbe bali ni Nguvu iliyoumbwa kwa
ajili ya mambo mema, ambayo pia inaweza kufanya kazi mbaya. Ni chombo
kinachofanya kazi za kuwepa watu Uhuru na kutimiza
Makusudi
LUSIFELI, maana yake ni
Mleta-nuru! Jina geni na la siri ililopewa Roho hii ya
Usishangae kuambiwa kwamba vita hivi vitatu vya Dunia vilipangwa tangia miaka 120 iliyopita huko Marekani na Mwamerika huyu Mfrimason na mbinu za kufanikisha tangu kipindi hicho hadi kukamilika kwake ulifanywa na maafisa waliomfuatia wote hadi wale walioukamilisha.
Matukio yanayoendelea leo dhidi ya Uislamu ni matokeo ya mambo yaliyoratibiwa siku nyingi na mpagao wenye jazba unaojitokeza dhidi ya Uislamu na Ukomunisti kwa upande wa Magharibi ni mambo yaliyoratibiwa na Wamarekani hawa hawa kwa ujanja na mbinu za hali ya juu wakiwa sambamba na waokaliti kwa lengo la makusudi la kumtumikia Shetani wakisaidiwa kiuwezo na taifa la Marekani na kwa mataifa yote yaliyo kwenye Jumuia ya Madola iliyo chini ya dola ya Uingereza.
Taratibu za Kitarakimu za Waokaliti
Tarakimu zenye maana na
umuhimu kwa imani hii ya watu waliomuasi na kumkana Mungu 33 na 13. tarakimu hii ya 33 imechukuliwa
Malaika hawa waovu walishuka na kukutana kwenye mkutano wa Mlima Hermoni. Hii ilichaguliwa kwa kuwa inasimama na kushabihiana na tarakimu hii ya 33.33 yenye nyuzi mlalo za maili 2012 toka kwenye nyuzi 0 za ikweta. Hivyo basi alama hii inaenda sambasamba na utaratibu wa Malaika hawa Waovu na walipewa kipindi maalumu kilitolewa na kikawekwa.
Tarakimu muhimu
Aina hii ya imani fichivu potofu za siri inahusika pia na utoaji kafara watoto wadogo kwenye ibada zao na imani hii inahusianishwa na sherehe zilizofanywa kwenye Misitu ya Wahemiani na ibada zilizofanywa kwa kuwachoma moto na kuwateketeza watoto wachanga au kwenye ibada za sanamu inaitwa “Kutunza Kinyago”.
Wakati wataalamu wa mambo ya nyota au wanajimu wa kale, na ambao walikuwa wataalamu hasa, walipoweka alama za nyuzi wima za mzingo wa dunia, waliifanya nyuzi 0 ya wima za dunia kuwa kwenye kipimo cha maili 2012 kuelekea pande za magharibi mwa Mlima Hermon katika kuipa heshima zaidi tarakimu hii ya 33.33 inapotumika kama alama ya nyuzi wima na kuifanya tena tarakimu hii ya 33.33 iwe kwenye nyuzi mlalo.
Kilakitu kwenye mfumo wa
kalenda zao na kwenye mifumo
Magonjwa
hatari ya kuambukiza kwa njia ya virusi katika Duniani
Miongoni mwa mambo wanayofanya watu hawa
wenye kumuasi Mungu ni mikakati ineyolenga kuangamiza
wanadamu kwa kutengeneza virusi vya mangamizi na magonjwa hatari ya kuambukiza.
Maafa haya yanafanyizwa kwa makusudi mazima na watu
hawa waabudu Mashetani. Wanafanya hivyo kwa maslahi ya
kuvipatia faida kubwa viwanda vyao vya madawa. Kwa kufanya hivyo wanakuwa pia
wanatimiliza azima
Pale kwenye Mnara wa
Babeli lilitokea tukio kubwa
Namna rahisi
Kwa kweli, Horn anapingana na yanayosemwa kwenye Mwanzo 10:8 inavyosema kuwa Nimrodi
alianza kuwa mtu hodari na mwindaji mbele za BWANA, akisema kuwa imetokana na
neno Gibbowr
(Kamusi ya SHD 1368) ambalo lilitumika kuwaelezea Wanefili, likimaanisha mtu
aliyetokana na mabadiliko ya umbo
Kwa vyovyote vile, viini vya kinasaba na mnururisho sio tu kuwa vinawezekana bali pia ni vitu vilivyo dhahiri.
Mpango wa kupunguza idadi ya watu duniani umekwisha ongelewa tayari na na uko kwenye vipaumbele vya watu wa tabaka hili la waokaliti.
Kitabu cha Mwanzo 6:2 kinasema kwamba Wana wa Ha Elohim au Wana wa Mungu walitwalia binti za wanadamu. Waliowaona kuwa wanafaa kuenezea mchakato wao wa kuzaa na kuongezeka hawa wana wa Mungu.
Ndio maana ilipingwa kuamini kuwa hawa
Wanefili au uzao wa viumbe hawa ulitokana na
mwingiliano huu wa Kinasaba na mbegu za Wanadam,
Ni hakika
Kile wanachoona wataalamu wa mambo kale
kinacyohusiana na jambo hili ni kwamba Maangalizi walianza kufanyia uzoefu wa
kimatendo kwa kuchanganya mbegu za wanyama na waliadhibiwa kwa ajili ya kufanya
hivyo na pia walipofanya matendo ya kujamiiana na wanadamu wanaume. Inaonekana
kuwa watu hawa walianza kuwachukua wanawake na
kuchaganya nasaba zao za DNA mbegu za wanadamu na nasaba za wanyama au
utaratibu
Jaribio hili la kuchanganya damu kati ya
wanyama na wanadamu linapelekea kwenye mwelekeo wa mwisho
uleule ulioko sasa wa
Tunaweza kutarajia kuona ikitokea tena. Ipo kwenye mchakato huo sasa na maroboti wanatumiwa kwa matimizi ya kimawasiliano na mengineyo ya kisayansi kwenye mambo ya kivita.
Sayansi itatumika tena katika kupanua wigo na kuendeleza malengo na utawala wa Mapepo.
Horn ameeneza mtazamo huu na kuwanukuu wafuasi wa okaliti kwenye mtazamo huu. Anasema hivi:
“Osiris afufuka toka kwa wafuna kuanza enzi yake akiwa na utukufu na kutawala ulimwengu na watu wake watukufu na wanafalsafa ambao kwao hekima haikomi” (Manly P. Hall, 33 Ofisa Mfrimason mwenye Shahada ya 33).
“Dunia itakuja kwetu kwa hali ya utukufu utakaotokana na Wafalme maarufu na Mapapa. Tutaweka utaratibu utakaoleta usawa katika hii Dunia, na kuwa watawala juu ya Bwana wa hii Dunia” (Albert Pike, Kamdanda Mkuu Mtukuka wa Mapokeo ya Wasotland ya Kifrimason).
Nilikuwepo jana na nipo pia hata Leo, na nina uwezo wa kuzaliwa kwa mara ya pili (Nukuu toka mawazo ya Osiris kutoka kwenye kitabu kiitwacho Kitabu cha Wafu wa Misri [Egyptian Book of the Dead] (nukuu za Horn, ukurasa wa 181).
Kwa kweli, kitabu hiki kinachojulikana
Waabudu Shetani wanaamini pia kuwa wanauwezo dhidi ya ufufuo, yaani watafufuka, na kisha wataitawala tena hii Dunia kwa mfumo endelevu usiokoma.
Kwa hiyo, wanaamini kuwa vita inayofuatia itakuwa ni kwa wao kupigana na wafu ili waitawale hii dunia na vyote vilivyomo.
Mhuri
na Alama Kuu ya Nchi ya Marekani
Mnamo mwaka 1933 Rais Franklyn Delano Roosevelt (inaaminika kuwa huyu Rosenfelt ambaye ni wa uzao wa Claes Martenzen van Roosevelt, Msefarvaimu Myahudi wa Kidachi aliyehamia Marekani) aliamuru kurudishwa kwa Mhuri Mkubwa na Jicho la Horus na kauli-mbiu isemayo Novus Ordo Seclorum iliwekwa kwenye upande wa nyuma wa Sarafu-noti ya Marekani.
Mhuri wa alama ya nchi ya Marekani una
mlolongo wa alama za siri za waokaliti na yule ndege anayeonekana ambaye wengi
hudhani kuwa ni tai, kwa kweli sio tai bali ni finiki ambaye ni ndege mwenye
hadithi yake ndefu kama anavyoonekana jinsi alivyochorwa kwenye uandishi wa kale.
Sikusudii kwenda kwa kina kuelezea alama zote hapa ila
inatosha tu sasa nishughulike na ile nembo maarufu
Kwa mujibu wa kitabu cha Kumbukumbu la Torati 32:8, mawe sabini na mawili yanawawakilisha wana wa Mungu ambayo ilikujatumiwa na Wakabalisti wa Kisoferimu kuwabadilisha Watu wa Mungu. Hawa sabini na mbili ni wakuu wa mataifa na mpango uliopo ni kuwashirikisha kwenye malengo ya matimizi ya kiokaliti kwa mtindo wa Kitetagrama kama jina la Mungu ili kuwafanya watawaliwe na dunia ishirikishwe kwa malengo fanikishi ya waokaliti ambao ni waabudu Shetani.
Tarakimu hii 1776 sio mwaka wa tukio hili ingawa ni mwaka wa kuanzishwa kwa alama ya vidole viwili vyenye maana na kichawi ya kuvuta watu iliyoanzishwa na Adam Weishaupt.
Mwaka huu ulitukika pia kumtangaza Masihi wa Sibylline Oracles kuwa ni watu wawili wanaoitumia thamani ya kitarakimu ya Sybil kwa jina la Masihi. Tarakimu ya mungu Apollo kuwa ni Masihi inadhaniwa kuwa jumla yake ni 888. Masihi hawa wawili wa tarakimu 888+888=1776. Kwa hiyo, tarakimu hii 1776 ilitumika kuwa ni mwaka wa kutangaza matayarisho kipindi cha kubadilika kutoka Kristo Masihi, na mwanzo wa Apollo akiwa na uweza wa Kishetani mnamo mwaka 2012. Hili lilikuwa ndiyo hasa lengo la kuanzishwa kwa taifa la Marekani.
Kitabu maarufu cha Wabashiri kiitwacho [The Oracles state in Book 1: 324-333]:
Ni hakika kuwa hatimaye Mwana wa Mungu mkuu atakuja, atakuja katika mwili, akifanana na
wanadamu wa kawaida wenye kufa hapa duniani, jina
Kama tulivyojionea wenyewe jinsi waabudu Shetani hawa wanavyoitumia tarakimu hii ya 888 ya Wabashiri wa Kisybile kumchanganya Masihi na kumweka kwenye dhana yao ya kurudi kwa mungu Apollo, na kisha kuongeza umri tangu mwaka 1776 hadi 2012 ambalo ndilo lengo hasa la kuanzishwa kwa taifa la Marekani.
Kuna tarakimu za maana kwenye somo hili na Horn ni mfano mzuri.
Alama Kuu ya taifa la Marekani ni ule mnara mrefu ambao ni alama ishara ya jumuia ya Waokaliti inayofanya kazi na Mafrimason wakishirikiana pamoja na Wailuminati na jumuia ngingine zinazofanya kazi zake kwa siri kubwa kwa ujumla wake.
Horn anamnukuu pia Manly P. Hall (ofisa wa ngazi ya shahada ya 33 wa Grand Master) akisema:
“Sio tu kwamba mwengi wa walioanzisha taifa
la Marekani walikuwa ni Frimason, bali pia walipokea misaada iliyotolewa kwa
siri na jumuia au taasisi adhimu na yenye heshima kubwa iliyoko Ulaya, taasisi
iliyosaidia sana kuundwa kwa taifa hili kwa lengo la kipekee na kwa namna yake
ambavyo linatakiwa kujulikana na watu wachache tu. Mhuri ule Mkuu ni saini ya taasisi tukufu-ambayo na haijulikani na wengi-na
lile piramidi linaloonekana halijaisha kwa upande wa nyuma ni taasisi inayotegemewa
iliyowekwa lengo la kuashiria kazi inayotakiwa ikamilishwe aambayo ndiyo kwayo
Serikali ya Marekani ilipewa jukumu
Kwa hiyo tunaona sasa kuwa taifa la Marekani
ni chombo cha kuitumikia na kukamilisha dhana
ijulikanayo
Kauli mbiu ya hii ijulikanayo
Hii ndio sababu mfumo wa
taifa la Marekani umefungamanishwa
Miungu hii limwakilisha Horus akiwa kama mungu aliyefufuka kwenye imani
Kile kinachosubiriwa na waabudu Shetani hawa ni jambo lililosemwa tangu zamani na ndilo lilikuwa kusudi halisi la kubuniwa kwa taifa la Marekani likiwa chini ya uongozi wake wa Kiokaliti. Waabudu Shetani hawa walio kwenye mkakati wa shirika la Agizo Jipya la Mfumo Mmoja wa Mambo Duniani watajaribu kuleta Agizo Jipya la Mfumo Mmoja wa Mambo Duniani kwenye utawala wa dunia na watatumia mamlaka yake kuharibu moyo mwema wa wanadamu duniani na kutumia nguvu zake zote kuzuia utendaji kazi wake.
Jambo walilokosa kuligundua ni kwamba wanatumika ili waendeleze mamlaka
Horn anaendeleza wazo
Watakachokifanya ni
kuweka kitu chenye mwonekano mbadala ili wayaachilie mapepo kutoka kwenye Shimo
refu waliko leo waje na kuendeleza mchakato wao wa kuwatesa na kuwaangamiza
wanadamu
Hili ndilo kusudi la hawa waabudu Shetani na ndilo wanalolifanyia kazi kwa kipindi cha karne na
milenia kadhaa hadi sasa, wakiwa wameanza kipindi kirefu
Mwaka
2016 na mikakati ya waokaliti
Mabashiri haya ya kiokaliti kuhusu mwaka
2012 pia yana kipindi tangulizi cha miaka mitatu na
nusu kabla ya kuufikia mwaka 2016. Pia kina maashirio mengi
yahusuyo matukio yatakayotokea katika siku za mwisho. Jambo hili kwa jinsi lilivyo linaonekana kuwa limetokana na unabii wa
uwongo au tasfiri potofu ya Danieli 9:25 inayotumiwa
Kwenye kabrasha la mikanda ya sinema ya Wakabalist
lililotolewa kwenye kijiji cha maigizo cha Wamarekani maarufu kama
Uislamu
na Mwaka huu wa 2012
Horn anachukua nukuu za kusisimua
“Wakati nabii Danieli alipoonyeshwa kipindi
cha kati ya uteka wake na kuachiliwa kwao, kipindi cha
kati ya mateso na kubarikiwa kwao, alikionyesha kana kwamba ni cha miaka
abobaini na tano tu! Tumejionea pia kuwa alikielezea kipindi cha kuwekwa kwa chukizo la uharibifu kuwa ni
Kwa hiyo, tunapaswa kujua kwamba iwapo
Mwaka
2012 na Wabudha wa Kitibeti
Kwa miaka kadhaa sasa tumekuwa tukitaarifa
za mara kwa mara kutoka kwa watawa wa Kitibeti wa dini
ya Kibudha na kwenye taarifa zao mpya wanasema kuwa dhiki kuu
Mtu anaweza kujionea vema kuwa dodoso hizi
zinatufanya tuamini kuwa Waangaliaji hawa wanakuja na
kuinglia kati kuokoa sayari yetu hii. Swali kuu tunalobaki tukijiuliza ni kwamba ni kina nani hao wanaokuja kutuokoa? Mashetani
wanaweza kujitokeza kwa mwonekano wa
Maandalizi
ya Kuyumba Kwa Uchumi Mwaka 2012
Matatizo ya Kuyumba kwa Uchumi Duniani ni
tukio lililofanyizwa kwa makusudi kabisa kwa mujibu wa mpango ulioanzishwa kwa
umakini mkubwa sana na Pike uliolenga kudhoofisha mfumo wa kiuchumi wa dunia.
Umesaidia
Nia iliyoko ni kuua Muungano wa Nchi za Ulaya kwa kuuporomosha kiuchumi ili umiliki wa nguvu za kiuchumi za dunia ubakie kwao na mfumo wa sarafu moja duniani ufanikiwe na iwe rahisi kuumiliki ama kuuendesha.
Haya yote yanaandaliwa na kufanywa na hawahawa waabudu shetani wakiwa ni chombo chake katika kumtumikisha mwanadamu na kumfanya aendelee kuwa mjinga kiasi cha kudhani wanaweza kummiliki na kuimiliki dunia.
Taifa la Marekani linaangamia kwa ajili ya mfumo wake wa kibenki na inajimaliza kwa makusudi kabisa. Haya yote yameratibiwa na kutokea kwa mwisho fulani na maalumu katika kuutangulia ujio wa mwaka uliokusudiwa tangia mwaka 2010.
Katika kipindi cha kati ya miaka ya 2010 na 2012 uchumi wa dunia utafanywa uonekane kuwa unamatatizo na itafanywa hivyo ili kuuwezesha mfumo wa serikali moja ya dunia ufanikiwe kupitia kile kitakachojulikana kama Matatizo makubwa ya Mabadiliko ya Tabia-nchi Ulimwenguni na watatumia mbinu za uwongo za kisayansi kulazimisha kukubalika kwa mbinu za upunguzaji wa idadi ya watu duniani na kufanyiza mabadiliko ya kijamii yenye lengo la kuziharibu familia na mahala pake kuendeleza mkakati wa kishetani ili kazi zake ziwe na nguvu zaidi kwa mujibu wa vile walivyopanga na kukusudia.
Tangia tulipotoa toleo
la jarida hili mwaka 2010, kila kilichosemwa kuhusu msukosuko wa kiuchumi kimetokea au kinatokea, au kimonjiani kutokea.
Ulaya iliingizwa kwa makusudi kwenye msukosuko huu wa
kiuchumi na nchi ya Ugiriki ni miongoni mwa nchi iliyotumiwa kupandisha joto
kwenye masoko. Dosari inayotokana na udhaifu ulioko kwenye mfumo wa kikanda
wa nchi za Ulaya ndio uliokuwa mojawapo ya sababu iliyopelekea kila nchi kuwa
na mfumo wake wa kitaifa wa kifedha au sarafu. Jambo hili lilifanyika kwa kweli
na mataifa ya Ulaya kaskazini kwa lengo la kujilinda yenyewe dhidi ya unyonyaji
na ufujaji wa kifedha kwa kile kilichokuwa kinaonekana kama utepetevu na
kudhoofika kulikotokana na
ubadhirifu wa nchi za kusini. Nchi ya Ugiriki ilipotoka (lies its way in) na
mliruhusiwa kuingia kwa kuwa ingefanyika kuwa kama kitu muhimu sana kwa Achilles wa mfumo wa
kiuchumi unaotegemewa na nchi za Umoja wa Ulaya (Euro).
Hata hivyo, mpango wa kuifanya dunia yote iwe kwenye Serikali Kuu Moja ya Dunia nzima chini ya kitu kinachoitwa New World Order (Amri Mpya Ulimwenguni) unahitaji dubia nzima ikubali kutelekeza utambulisho na heshima ya utaifa wake kama ilivyotabiriwa kwenye Maandiko Matakatifu, ambayo hayawzi kutanguka kama Kristo alivyotuambia (Yohana 10:34-36).
Ulaya ndiyo kituo cha vuguvugu hili na
mdororro huu ulifanyizwa tu na utahitimika mwaka 2012, ambao ndio uliokusudiwa.
Na ukali wake utazidi kuendelea kwenye Kiini/Muhimu cha nchi za Ufaransa na
Ujerumani na watu wenye msimamo mkali wa kizalendo wa Ugiriki, Italia na Uhispania
na mahali pengine iliyopelekea kuweko kwa kiasi kikubwa cha vurugu na upinzani
wa kisiasa na uchaguzi wa jinsi ya kuchagua viongozi unaofanywa na watu wa
Mrengo wa kushoto, kama ilivyotarajiwa na kupangwa. Nchi ya Ufaransa ilichagua
viongozi wa mrengo wa kishoshalisti na watu wenye mtazamo wa kikiritimba wa
Jumuia ya Ulaya ambao hatimaye walipewa fursa muhimu ya kuingiza mipanango yao ya
kuanzisha mfumo wa kuieka Rehani Jumuia hii ya Ulaya ambao hatimaye ilipelekea
udhibiti wa mfumo wa kifedha wa kitaifa ambao uliweka kwa nia ya kuilazimisha
nchi ya Ujerumani ikubaliane na kuundoa heshima ya utaifa wake na kujiingiza
kwenye Benki Kuu ya Ulaya (European Central Bank) na hatimaye kuiingiza kwenye
sarafu ya Ulaya nzima yaani Euro na halafu ikawekwa juu ya udhibiti wa kifedha
wa kitaifa, kama ulivyokusudiwa na kupangwa siku nyingi zilizopita huko nyuma.
Katika
kipimdi cha Pentekoste ya mwaka 2012, kama msukosuko huu ulivyokuwa umepamba
moto na nchi ya Ugiriki ikiwa imewekwa kwenye malgo wa kanda ya Ulaya na wa
sarafu hii ya Euro, watu wenye misimamo mikali ya kikiritimba wa nchi hizi za
ukanda wa Ulaya hatimaye wakaja mbele na wazo kuu wakikusudia kuwa ufumbuzi
ulikuwa ni kuunda ukanda mpana zaidi unaokubaliana na mfumo wa Euro
utakaokubali kuachilia mbali na hali yao ya kushikilia uthamani wa utaifa wao.
Shirika la Fedha la Kimataifa (The International Monetary Fund au IMF) limetoa
hali inayoonekana kama nafuu kwa matatizo yaliyoikumba
nchi ya Ugiriki. Matatizo haya yalifanyizwa ili
kuukuza udhaifu uliotokana na mfumo wa kiuchumi kwa mahali pa kwanza. Ilipangwa
kwamba nchi ya Marekani ikumbwe na aunguko la kiuchumi na ifeatiwe na mgogoro
wa kiuchumi kwa nchi za Ulaya kufungulia hali itakayoifuatia dunia yote na
mfumo mzima wa uchumi wa ulimwengu uliopangiliwa kufuatia baadae, kwa nchi moja
baada ya nyingine. Ulimwengu mzima unalazimishwa kumpa mamlaka yao huyu Mnyama na kwa hiyo Ulimwengu mzima unalazimishwa
kusalimu amri kwenye mamlaka ya huyu Mnyama. Na Shirika la Fedha Ulimwenguni
(IFM) kwa kushikiana na Benki ya Dunia, vitafanya kazi
zake kwenye kanda kumi zilizobuniwa kwenye makubaliano ya Klabu hii maarufu
kama Klabu ya Roma tangu mwaka 1956/7. Mkakati wa
kuanza kazi kwake ulikubaliwa tangia mwaka 1997, na kwa sasa umeshaanza kufanya
kazi yake. NWO wa
Mnyama utaileta dunia yote magotini kwa kipindi cha miezi 42 ya mfumo na dunia
itaenda vitani kwa hali endelevu. Mgogoro uliendelea hadi kipindi cha
Pentekoste ya mwaka 2012 na kuendelea hadi tarehe 21
Disemba 2012 na hadi mwaka 2013 na zaidi. Migongano hii haitaisha
hadi kwenye kipindi cha mavuno ya kutikiswa ya mwaka 2025.
Mataifa yanayoendelea yataenda sambamba na jambo hili kwa kuwa yatafaidika na misamaha itakayotolewa
kutokana na madeni wanayodaiwa na nchi za Magharibi na watadanganyika kijinga
Utaratibu wa chanjo
na huduma za madawa ya binadamu vitatumika
Matokeo yake yatakuwa ni mlipuko wa kupungua idadi ya watu utakaofanyika kwa utaratibu wa kijanja na wenye kupangiliwa vema, au kwa maneno mengine ni kwamba kutaratibiwa mauaji ya namna isiyowahi kutoke huko nyuma kabla yetu.
Mwaka
2012 na Mikakati ya
Kwenye Kitabu kiitwacho Nyumba Iliyopeperushwa na
Upepo [Windswept House (cha Broadway, NY, 1996)] Malachi Martin anaelezea
kuhusu sherehe iliyofanywa kwa ajili ya kumtawaza Malaika Muasi Lusifeli,
wakimtawaza na kumpa kiti cha yeye kuiwa mungu. Hafla hii ilifanyika huko
Vatican ikienda sambamba na kwa wakati mmoja na ibada
iliyofanyika huko
Sherehe hii ilifanyika kwa kufuata itifaki yote ya mabashirio ya waabudu Shetani hawa kwa mabashiri yaliyotolewa huko nyuma kwamba Kipindi-zama cha Utawala wa Mwana wa Mfalme kingeanza wakati papa atakapochukua na kujiita jina la Mtume Paulo. Sharti hili lilikuwa ni ishara ya kwamba “kipindi cha Mafaniko” kimeanza (Kitabu cha Martin, uk. 7). Paulo VI ndiye alikuwa huyu papa. Tarakimu yake ya VI ilikuwa na maana ya kiokaliti. Jina la Yohane-Paulo lilikuwa pia na maana ya kufanya endelezo ya mwanzo wa kipindi hiki muhimu.
Kipindi hiku Muhimu kilikuwa ni cha kutoka tukio lile la kutawazwa kwa Lusifeli mwaka 1963 kwa kipindi cha Yubile ya miaka 49.5 hadi tarehe 21 Desemba 2012.
Yubile ya miaka 50 inaishia Juni 2013 kwenye mwaka wa Joka.
Sherehe ile iliyofanyika South Carolina Marekani mwaka 1963 iliandaliwa na kusimamiwa na kundi la maaskofu wa kanisa Katoliki la Roma huku wakiwasiliana kikamilifu na kupewa mwongozo wa jinsi ya kuiendesha na uongozi wa Vatican.
Kwa kweli, ilifanywa kwa kufuata taratibu zote za mapokeo ya Kishetani ilifanywa na waabudu Shetani hawa kwa ushirikiano mkubwa na uongozi wa Kanisa Katoliki la Roma na nchini Marekani.
Kile wanachokiita “Kanisa dogo Linalokusudiwa”
kiliandaliwa kwenye eneo la chini la nyuma ya shule ya parokia na likatiwa nakshi vizuri
Kwenye kitabu chake Martin aliyaandika haya yote kwa kuwa alijisikia vibaya na kusitushwa kuona uhusika wa moja kwa moja wa Kanisa Katoliki la Roma na mahusiano ya kanisa lote la waamini Utatu na hawa waabudu Shetani mahusiano ambayo lengo lake zima ni kuchukua hatamu na kuliondolea nguvu zake kwa kulisababishia tuhuma za kingono na ubakaji wa watoto na rushwa na kila sifa mbaya.
Tangia kipindi hiki kijulikanacho
Msisitizo wa “papa wa Kislavi” katika kuppinga mkakati wa uzazi wa mpango ulikuwa pia unaenda sambamba na kupinga faida iliyoko kwenye utaratibu wa Kimarekani na Martin anaielezea migongano na matumizi ya wakala, aliyeaminika kuwa ni Rosicrucian (aliyepewa jina la utani na la bandia na Martin la “Gibson Appleyard”) inchini Marekani aliyetumwa aende Roma ili akafanye mazungumzo na papa ili asisitizie na kurahisisha mkakati huu wa uzazi wa mpango.
Papa alipingwa na mawakala wa Umoja wa
Mataifa waliongozwa na Bischara Francis kwa lengo la kufanikisha kwa haraka mkakati
huu wa uzazi wa mpango ambao ulikuwa ni moja ya mikakati muhimu ya mpango wa
kile kinachoitwa Agizo Jipya la Mfumo Mmoja wa Mambo Duniani ambao kusudi lake
kuu ni kupunguza idadi ya watu duniani. Mkakati huu unahusisha utoaji mamba
ukikusudia hasa kuwalenga watu kutoka nchi za kundi la mataifa yanayoendelea na Umoja wa Mataifa unatumia uwezo wao wa kumiliki uchumi wa
dunia kama silaha
Rais wa Marekani alikuwa anajaribu alikuwa anajaribu kumlazimisha papa ili akubaliane na kutangaza azimio la kwamba utaratibu wa idadi ya watoto wawili kwa kila familia ya mke na mume ndio ufuatwe kwa wtu wote duniani, yaani Wakatoliki na wasio Wakatoliki pia. Papa huyu wa Kislavi alikataa na mazungumzo ili kuweka muafaka yaliendelea kufanywa ili kumshawishi akubaliane na jambo hili.
Yohana Paulo II alisema yafuatayo alipokuwa
anajiandaa kufanya ziara yake ya kutembelea nwenye nchi za
Benedict XVI aliyemrithi kwa mujibu wa
ubashiri wa Malachy naye bado anaendeleza kazi hiyo hiyo mbovu ambyo iko kwa
mujibu wa mikakati ya Wabudu Shetani na Kanisa litajikuta likimezwa na
mishuguliko ya vikundi vya waamini Utatu na kubadilishwa kwa kadiri muda unavyopangiliwa
kuelekea kwenye zama ya kushamirika kwa dini ya Mnyama na utawala wake (tazama
kwenye jarida liitwalo Vita
ya III ya Dunia Sehemu ya II: Mwanamke Kahaba na Mnyama (Na. 299B), [WWIII Part
II: The Whore and the Beast (No . 299B)] kwenye wavuti ya
http://www.ccg.org/english/s/p299b.html).
Matokeo ya mwisho ni kuukomesha Ukristo na watu wake wote na mahala pake kuufanya ulimwengu wote ugeukie kwenye dini ya kidunia inayomwabudu Lusifeli.
Kitabu cha Martin kinafafanua vizuri
Uwongo
ama Udanganyifu wa Mwisho
Wateule watakuwa ndio walengwa wao katika jambo hili.
Jambo hili litawachanganya watu wengi litakapotokea wakati wale Mashahidi watakavyofanya kazi ya kuwahubiria watu kwa Mfululizo na Juhudi kubwa yaliyoandikwa kwenye Torati kwa kipindi cha siku 1263.5 kabla ya kurudi kwake Kristo.
Ni vema na dhana
salama kujua kuwa Adui na Mshitaki wetu hatapoteza muda mwingi
Tunapaswa kuelewa pia kwamba kalenda hii mashuhuri duniani ni miongoni mwa mambo yanayowasaidia katika juhudi zao wa kuufanya ulimwengu uvutwe na kushawishika na dini ya Shetani. Dennis Exiguus au Dennis Mfupi aliyehusika katika kuitengeneza kalenda kwa makosa na kuuweka mwaka 1BK, akikosea kwa kuacha miaka 5 nyuma. Kwa hiyo, tarehe na matukio viliwekwa vyote kwa mujibu walivyopenda hawa Waokaliti sambamba na sababu zao za siri na Ratiba walizojiwekea sambamba na mambo yalivyo kwa siku hizi. Soma jarida la Umri Aliobatiziwa Kristo na Kipindi Alichofanya Huduma yake, (Na. 019) [Christ’s Age at Baptism and the Duration of His Ministry (No. 019)] kwenye wavuti ya http://www.ccg.org/english/s/p019.html na Significance of the Year 2000 (No. 286) kwenye wavuti ya
http://www.ccg.org/english/s/p286.html.
Inapnekana kuwa na mambo yaliyo zaidi ya bahati mbaya kwenye makosa yaliyofanywa na Dennis Mfupi katika kufanyiza zama tulizonazo sasa ukilinganisha na mabashiri mengine ya kitaifa yanayolinganishwa na mwaka huu wa 2012 na mkutano ulifanywa na kundi la waasi kwa Mungu kwenye Mlima wa Hermon kitovu cha dunia.
Watu wanaovuma kwa
umaarufu
Wamedanganyika kijinga mno wakati ambapo
ukweli unaweka dhahiri kuwa hawana kipindi kingine kirefu cha kuishi zaidi ya
mwaka 2025 wasipozitubia dhambi zao ila wamekuwa
wakijifundisha mambo ya ndani
q