Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[133]
(Toleo 2.0
19950902–20000422)
Shala
la uzima wa uzima limechungzwa hapa huku ukubaliana wa umilele wa pamoja baina
ya mashihi na Mungu ukichunguzwa kutoka katika maanidhi ya kibililia. Mashala
ya muda na uwezo wa kutufakiri yamechungzwa na dhara ya hali ya utatu pia
zimechunguzwa. Matatizo ya
kifilosifia ambayo huzuku yamelinganishwa na maandiko ya kibibilia.
Christian
Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Copyright © 1995, 2000 Wade Cox)
(Tr. 2009)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na
kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au
kufuta maneno. Jina la
mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe
pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote
atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja
ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Uzima Wa Milele
Hatua nyeti
katika kumetolewa uongozi wa Mungu ni kuletewa maana ya maneno ya kibililia ya
husianayo na uzima wa milele.
Yapo matamshi
yanayotofautiana ya uzima wa milele, ambayo yanahusiana na nafsi tofauti.
Neno moja ambalo
halieleweki na wakristo ni “umilele wa pamoja”. Wakristo husema aghalabu kuwa
Kristo na Mungu wana umilele wa pamoja. Watu wawili wanaweza kulijadili suala
hili na kupata majibu mawili tofauti kuhusu suala lili hili moja.
Kwa mfano wafuasi
wa utatu na wale wa uwili wanapolitumia neno hili, wanamaanisha kuwa kuna uwepo
wa kutofariki ndani ya Yesu Kristo kiasi kwamba Kristo pamoja na Mungu walikuwa
pamoja kabla ya mwanzo wa muda. Wafuasi wa utatu na wale wa uwili wanashikilia
kuwa Mungu na Kristo walikuwa na uwezo wa kutofarila mfuasi wa umoja hukataa
mkubalio huu katika msingi na kuktadha wa kibibilia. Yeye hushikilia kuwa kuna
Mungu mmoja wa pekee na wa kweli.
Kuwepo kabla ya
muda kwa maanisha kuwa nafsi husika ni Mungu wa kweli kuwa na uwezo wa
kutofariki milele kwamaanisha kuwa nafsi husika ni Mungu wa kweli. Hivyo, kwa
Kristo ni Mungu wa kweli, basi kuna miungu wawili wa kweli, nasi mmoja.
Isaya 43:10-11 yashughulikia na suala la
Mungu kama mwanzo na mwisho (tazama karatasi. Arche of the Creation of God as
Alpha and Omega (No. 299)). Pia inashughulikia suala la mtumishi wake
aliyemtena, ambaye wazi wazi si wa milele kwa jinsi ile ile alivyo na milele au
mwepo wa awali.
Isaya 43:10-11 Mungu ni mashahidi wangu, asema
Bwana na mtumishi niliyemchagua, mpate kujua na kuamini na kufahamu ya kuwa
mimi ndiye, kabla yangu hakuubwa Mungu awape yote, wala baada yangu mimi
hapatakuwapo mwingine. Mimi naam, mimi ni Bwana, zaidi yangu mimi hapana
mwokoa.
El humaanisha
Mungu. Hapa maana ya Bwana ni Yehova. Hapana El mwingine kwa dhana yeyote kabla
yake. Yeye tu ndiye Mungu na mwokozi. Neno mwokozi limetumika kwake Yesu
Kristo. Hivyo wafuasi wa utatu huchanganyikiwa na suala hili. Hivyo wao husema
huyu Mungu mmoja ni mwokozi na pia Mungu na ni Baba na pia mwana na kuwa hakua
tofauti. Neno Yehova, mkombozi wetu mtakatifu wa Israeli lapatikana katika
Isaya 43:14, linarejelea Isaya 41:14. Soncino hulitafsiri kivingine. Wa Soncino alibadilishi msemo kuogopa si
kusudu Yakobo, na wanaume wa Israeli; nasaidia saith wa Bwana, na wanakubali,
Roho mtakatifi wa Israeli.
Msemo usema wa
Kukombolewa:
Go goel la Hibrania
ni neno gumu linalotumika kwa wana ukoo wa karibu ambao kazi zao zilihusihswa
katika ukombozi au kurejesha ikiwa aliuawa malipo ya kisasi ya damu yake kwa
kumuwa manaji wake. Yawezekana kuwa ni muktadha huu hutumikao kwa Mungu
mkombozi na mlipia visasi vya watu wake.
Suala la Mungu na
mtakatifu wa Israeli kama nafasi mbili halijatiliwa maanani katika maandiko
haya. Kwa mfano, Isaya 41:20 yaonyesha tofauti baina ya masuala ya Bwana na
mkono wa Bwana, mtakatifu wa Israeli. Wingi huu waendelea katika mstari wa 23
ambapo kuna tofauti ya wingi na kuna nafasi mbili zinazo ongelewa.
Isaya 41:20-23 ili
waone na kujua watafikiwa na kufahamu pamoja ya kuwa mkono wa Bwana ndio
uliefanya jambo hilo. Mtakatifu wa Israeli ndiye aliyeliumba. Haya hleteni
maneno yenu, asema Bwana toeni hoja zenu nguvu, asema mfalme wa yakobo.
Wayatangaze na kutufulisha upayokuwa watuonyeshe mambo ya zamani ni jambo gani
tukapate kuyatia moyoni tukafue mwisho wake au watudhihirishe yatakayotokea
baadaye. Tujulisheni yatayokuwa baadaye nasi tutakiri mema au tendeni mabaya
ili tujipime tukaone pamoja.
Ya kuwa kuwa
nafsi mbili, hapa halipingiki kufunga hiki chote kiko katika wingi. Matumizi ya
neno “na” kwa kweli yaliunga nafsi mbili. Hazionyeshi marejeleo ya mawili kwa
mtu mmoja. Hili ni kosa rahisi, wayahudi hawataki mambo yawe hivi; wanachofanya
wao ni kukipunza kifungu hiki, kifungu hiki chaonyesha ya kuwa hapakuwa Mungu
kabla na baada.
Toka miisho ya
dunia na kukuta toka pembe zake nikikuambia wewe u mtumishi wangu, nimekuchagua
wala sikukutupa.
Pia katika msemo
wa Isaya 43:10-11 tuna imani kuwa neno na inaunganisha kitukimoja, hilo ni ,
tuna tumika ambaye ni mnenaji kwa wasudia na wafanyi kazi. Philisophia zingine
ambyae ni sawa katika kwa neno Na kueunganisha mesemo mbili husiano na Mungu au
El ambaye hawana El kabla na Badaye. Hili ni ukweli ambayo hli fungo
kinaelewakana kwa wafuasi kwa njia iliyofaa. Roho mtakatifu waIsreli kuumbwa,
kama mkono wa Bwana, Sasa Mesiah aliumba Utakaji wa Mungu (Rev 4:11).
Wakati Paulo
aliandika kuwa Hebrania hawakuwapata kwa hewa. Walitoka kwa Agaono la kale na
hiki fungo alizipata kutoka. Wazee wote wa kamati sasa wako mbele ya Mungu
wanasema kwa Nia yako vitu vyote vitu vyote ziko na waliubwa' Ni nia ya Mungu
walikuwa, lakini waliumwa na kristo (na Elohim) ka Hebrania 1 inatuambia. Kwa mwanaume wana elewa pamoja kuwa mikona
ya bwana ni Mesaya. Kwa wingi ni Isaya 41:22-23 ni wazi muno. Wafanyi kazi
wangu ambaye nime wachagua inachukiliwa ka Maonyesho. Israeli kama Yakobo
kutoka Isaya 41:8-9.
Isaya 41:8-9 Lakini,
Israel mtumishi wangu, Yakobo, ambaye nime chagua, wajukuu wa Abrahamu,
Marafiki; Wewe ambaye nilichukua kumaliza dunia, na kuita mbali, wewe ni
mtumishi wangu, nimekuchagua (RSV)
Kutoka Mwanzo
49:24 kutoka na Yosufu atakea mchungi, jiwe la Israeli. Uzilishaji unabakia
kwake Efraimu (Yusufu). Si kwake manase. Manase yamaanisha kusahau ilhali
Efoaimu yamaanisha wa kirabi. Rashi amfanya Yusufu mchangaji na jiwe. Rashman
na iba Ezra wanasemekeana kukubaliana na tafsiri ya Wayahudi wa marekani ila
wamfanye. Yusufu kuwa mdungaji (tofauti na jiwe la Israeli). Hivyo jiwe la
Israeli hapa si masihi ambaye ni wa Yuda, wala Yusufu kutawala Yuda. Badala
yake ni kuwa Mungu wa Israeli ndiye chanzo cha jiwe na hivyo anakuwa mwenzi.
Yakobo alimwambia
Yusufu kuwa mkombozi wake alikuwa ni malaika (aliyekuwa masihi). Kutokana na
baraka zake kufika mwanzo 48:15-16.
Mwanzo 48:15-16
akambariki Yusufu akasema waliendenda mbele zake, yeye Mungu aliyenilisha
maisha yangu yote hata siku hii ya leo.
Naye malaika
aliyeniokoa na maovu yote na awabariki vijana hawa, jina langu na lifajwe juu
yao na jina la baba zangu Irahimu na Isaka, na wawe wingi wa watu kati ya nchi.
Suala la mwokozi
na mtakatifu wa Israeli kwa masihi laonekana kama mtu ambaye anajishusha kwa
ajili ya Mungu wa pekee na wa kweli. Nafasi ndiyo ile iliyoigwa na Paulo na 1 Timotheo 6 na Yohana katika Yohana
1 na 1 Yohana. Hivyo wokovu ni tendo Kristo ila kwa wongozi wake Mungu. Wokovu
hivyo, uko kwake Kristo kama chombo cha Mungu.
Suala hili ni
muhimu sana. Wokuvu upo kwake Kristo kama chombo tu. Mungu ni mwokozi wetu, si
Yesu Kristo. Yesu Kristo alivigiza wokocu wetu kama chombo wa chini nguvu za
Mungu mmoja wa pekee.
Wokovu upo ndani
ya masihi, ambaye ni mwokozi wetu, ila kwa uongozi wa Mungu. Vitu vyote vipo
ndani ya nguvu za Mungu wa pekee wa wakweli. Hapa ndipo wafuasi wa utatu
hupotokea. Wanasema Bwana Yesu ndiye mwokozi katika agano jipya; Mungu ni
mwokozi wetu katika agno la kale. Hivyo Yesu Kristo ndiye Mungu wa agano la
kale. Hivyo Mungu ni wa utatu kwa kuwa kugusia Baba, Mwana na Roho Mtakatifu na
ni wazi kuwa Mungu wa agano la kale alikuwa Baba kwa kweli.
Wafuasi wa uwili
(na Ditheists) wamejaribu kutuondoa kwa kusema kuwa Baba hakuwa akijulikana
katika Agano la kale; Mungu wa Agano la kale alikuwa ni Yesu Kristo. Jinsi
ambavyo Mungu wa agano la kale livyo mwokozi, ndivyo Yesu Kristo alivyo
mwokozi, na hivyo hakuna mtafaruku (Tazama God our Savior (No. 198)).
Mungu ni mwamba
wetu, huku Yesu Kristo ni jiwe pia, mwamba usioweza kukafwa kwa mikono ya
binadamu; ambao waliharibu ustaarabu wa ulimwengu. Mungu ni mwamba ambamo kwamo
kila jiwe ilishilo huwekwa. Kila huchipuza kutoka kwenye nguvu na ruhusa ya
Mungu, hata uzima wa milele nao. Ni Mungu tu ndiye aliye na uwezo wa
kutofariki.
Katika 1 Timotheo
6:12-16 Bibilia imasema:
Piga vita vile
vizuri vya imani; shika uzima ule wa milele. Uliotiwa, kakakungama wengi. Nauagiza
mbele za Mungu anayevihifadhi hai vitu
vyote, na mbele za Kristo Yesu, aliyeungama managamo mazuri yale mbele
ya Pontio Pilato kwamba nilinde unri hii pasipo mawae, pasipo lawama hata
kufunuliwa kwake Bwana wetu Yesu Kristo, ambako yeye kwa majina yake
atakudbhihirisha yeye aliyehimidiwa mwenye uwezo peke yake, mfalme wa wafalme. Bwana
wa mabwana; ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika huru
isiyoweza kukaribiwa, wala awezaye
kumwona. Heshima na uwezo una yeye hata milele. Amina.
Hapa Kristo ni
tofauti sana na Mungu ambaye hupeana uhai kwa vyote. Mungu alinipa uhai Yesu
Kristo. Wafuasi wa utatu hutaka kuupinga ukweli kwa ikiwa Mungu alinipa Yesu
uhai, basi utamaduni wa nafsi ni potovu na italazimika kufariki. Wametaka
kuidumisha kuulimba ya kiibilisi na “hamtakufa kweli”. Uzima wa milele, ue ni
ndani ya Kristo au yeyote, kutegemea baba ambaye yeye tu ndiye asiyekufa.
Paulo yuko wazi
sana anapotufautisha kasi ya Mungu na Kristo, anasema kuwa ni Mungu tu
asiyeweza kufa. Ni mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.
Hakuna mtu
amewahi kuliona suala hili kama inavyotambulishwa katika Yohana 1:18.
Theon oudeis eooraken poopote monogenes theos
Mungu hamua aliyewahi kumwona ni Mungu
aliyezaliwa (tu)
O oon eis ton kolpon
tou patros ekeinos ezegesatu.
Nafsi yapekee iliyo
ndani ya Baba, ambaye amezungumziwa, imeongezwa kwenye maandiko hayo.
Dhana iliyoko hapa
ni kuwa krito alikuwa ni Mungu alizungumza. Ho Legon ya
kiywani (Tazama Marshall’s Greek–English Interlinear for Greek text and
translation).
[Theon oudeis eooraken poopote monogenes theos
God no
man has seen never; [the] only begotten [onlyborn] god
o oon eis ton kolpon tou patros
ekeinos ezegesato
the [one] being in the bosom of the Father, that one declared.
[?him] has been added to the text.
The intent is in fact that Christ was the God who spoke, the Ho Legon of the Greeks (see Marshall Greek-English Interlinear for Greek text and translation).]
Maandiko ya kijunavi yanatia maneno kama
ulos au mwana dabala ya theor ila maandiko yaalieleweka awali kama theos na
yaliyodiliwa kwenye muktadha huu katika mataraza ya awali.
Wasomi wa kisasa wanakubaliwa kwa jumla kuwa neno lililotumika kwa hakika ni Mungu na si mwana. 1 Yohana 4:12 pia yasema kuwa hakuna mtu ambewahi kumwona Mungu wakati wowote. Tukipendana Mungu hukaa ndani yetu na pendo lake linakamilika ndani yetu.
Yohana yu wazi sana kutokana na maandik
haya nay ale yanatofuatia kuwa Kristo na Mungu ni tofauti. Alimtuma mwanawe
kuwa kipatanisho kwa dhambi zetu (1 Yn 4:10) Yesu Kristo hivyo anaipata remsi
ya mfalme wa wafalme na Bwana na mabwana kutoka katika ufunuo 17:14 na Ufunuo
19:16 kwa uongozi wa Mungu mweyezi aliyemteua kuupunguza ukali wa ghadhabu
yake.
Licha ya hayo, kutoka 1 Timotheo 6:12-16
tunaonekana kama kwamba nasi tunaona uzima wa milele, kuwa waliotwa wateule na
waminifu (Uf 17:14). Mtu hapaswi kuitwa tu bali kuteuliwa pia na Mungu.
Warumi 8:29-30 maana wale aliowajua. Tangu
awali aliwachagua tangu asili wafananishwe na mfano wa mwanawe, ili yeye awe
mzalwa wa kwanza miongozi ndugu wengi. Na wale aliowachagua tangu asili hao
akawaita; na wale aliowaita hao akawahesabia haki, hadi akawatukuza.
Hivyo suala la uwezo wa kutofariki na uzima
wa milele ni la kiurithi kwake Baba na limewekwa kwa wana w Mungu ambao ni
wengi na walikuwa wengi (Mwa 6:2,4; Ayu 1:6; 2:1; 38:4-7; Hos. 1:10; Rom. 8:14,19; Gal. 4:5-6;
Phil. 2:15; Waeb 12:7; 1 Yoh 3:1-2) waitwao ni wengi bali wateule ni
wachache (Mat 20:16; 22:14). Kwa hivyo ni wateule kama Kristo alivyo mteule wa
Mungu (Luk 23:35).
Kwa Kristo kuteuliwa na Mungu, alichaguliwa
kutoka katika kitu. Kama angekuwapo mwana mmoja tu wa kuteuliwa, basi Kristo
hangeteuliwa na Mungu. Ilikuwa lazima achanguliwe, aapishwa na kutumwa hapa na
kukubalika kabla.
Wateule walichaguliwa na Kristo (Yn 6:70;
15:6,19) chini ya uongozi wa Mungu (1 Pet 2:4) ambaye aliwaapisha kupitia kwa
roho mtakatifu (Matendo 22:14). Hivi ndivyo vilivyokuwa vitu dhaifu na vya
kujinga duniani (1Wak 1:27). Mafukara wa ulimwengu ni waliitwa ili wawe
matajiri wa imani na warithi wa ufalme ambao ameuahidi kwa wale wampendao (Yas
2:5). Katika mtazamo huu, ufalme u miongoni mwa wateule ila hampo hapa bado,
waja hatimaye pamoja na kurudi kwa masihi (Ufu 20:4-6) katika muktadha huu sisi
ni kuzazi kiteule na cheye thamani (1 Pet 2:4,9) Mungu na Baba wa Bwana wetu
Yesu Kristo alituchagua ndani yake kabla ya misingi ya ulimwengu, kuwa twapaswa
kuwa takatifu na wasio na lawama mbele zake (Waef 1:4).
Hivyo Mungu na Babaye Kristo alimteua nma kumwapisha Kristo katika uzima wa milele (Yn. 5:26) na kumpa ruhusu ya kuuweka kando na kuudhimisha tena (Yn. 10:18).
Yn 5:26 maana kama vile isaba ilivyo na uzima nafsini mwake vivyo alimpa na mwana uzima nafsini mwake.
Haitayakinka Kristo akiwa na uhai ndani
yake bila ya ruhusa ya baba. Hivyo Kristo si mwenzi wa kudumu wa Mungu. Sababu
hasa watu hawateki kulikubali hili ni kuwa hili huwatupa hadi katika hadi ya
utii. Ili kuwa na uzima wa milele, lazima tuwe waatiifu kama Kristo alivykuwa,
hadi hata wakati wa kufa.
Hakuna anayetaka kuwa mtiifu. Ndio sababu
wanataka nafsi na uzima wa milele bila utaratibu mwafaka, wala uapisho wa
Mungu. Wanataka kuwa na haki ya kuwa na uzima wa milele bali si kwa kuwa
watiifu kwa Mungu. Ndio sababu hakuna atakaye kusema kuwa ikiwa Kristo
aliumbwa, sisi tusimame wapi? Kristo amesimama wima katika utiifu wake na
kuhesabiwa kwake kuwa haki, hivyo wahataki kujifikisha kwenye neena na utiifu
wa Mungu. Hilo ndilo suala la hakika.
Haja ya awali kabla ya mapokezi ya uzima wa
milele ni kuelewa kifka kuwa Mungu ni nani na kuwa huyu tumwabuduye ni nani.
Yohana 17:1-3 maneno
haya aliyesema Yesu akinuoa macho yake kuelekea mbinguni akasema. Baba saa
imekwisha kufika, mtukuze mwanao ili mwana wake naya akufukuze wewe; kama vile
ulivyompa mamlaka ju ya wote wenye mwili ili kwamba wote uliompa awape uzima wa
milele. Na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe, Mungu wapekee wa kweli na
Yesu Kristo uliye mtuma.
Hivyo basi,
matakwa ya kuurithi uzima milele ni kuweza kutufautisha kati ya Mungu wa pekee
na wa kweli na Yesu Kristo ambaye alimtuma na kuwajua wote. Hivyo mojawapo kati
wa utatu na uwili haikubaliki katika mapokezi ya uzima wa miele. Basi utatu au
uwili ulio tumamu utajaliwa ufufuo wa pile na kufunzwa upya. Ni wazi kuwa
wateule hawakosi kuelewa wala hawapotoki kuhusiana na suala hili. Hili, bila
shaka halimaanishi kuwa wale wote walio wafuasi wa uwili watajaliwa ufufuo wa
pili. Maarifa ya wateule na uhusiano wao na Mungu wa kweli na wa pekee na
Kristo aghabu huwa muhiwa katika huduma
inavyohudumia. Nao uwezo wa kuurithi uzima wa milele umetabiriwa kutokana na
kuzidumisha amri za Mungu na ushududa wa Yesu Kristo watu hawa wameelezewa
katika Ufunuo 12:17; 14:12; 22:14.
Ufunuo 12:17 Joka
akamkasirikia yule mwanamke akaenda zake afanye vita juu ya wazao wake
waliosalia, wazishikao amri za Mungu na kuwa na ushuhusa wa Yesu naye akasimama
juu ya milinga wa bahari.
Funuo 14:12 hapa
ndipo penye subira ya watakatifu hao wazishikao amri za Mungu, na imani ya
Yesu.
Ufunuo 22:14 Heri
wazifua nguo zao wawe na amti kuendea huo mti wa uzima wa kuingia mtini kwa
mlango yake.
RSV yatumia
maandiko kulinga na maandiko ya Nestles Greek na tafsiri yake huwa sahihi yaani
“save” kwa ajili ya neno “right” ambalo kwa hakika ni “ezousia” au ruhusa juu
ya mti wa uzima ili kwamba waweze kuingia jijini kupitia kwenye lango lake.
Mlango haya ndiyo makabila kumi na miwili ya Israeli chini ya mitume.
KJV yatumia
“commandments” kutoka katika “peceptus” ambalo lina tamko makarivi oi poiountes
tus entolas autou, ina estai e ezousia autoon epi to zulontes zooes. Kwa
kisahihi hili ni wamebarikiwa wale ambao wanazitimiza amri zake kwani watakuwa
na ruhusa juu ya mti wa uzima kwa hivyo KJV ni:
Ufunuo 22:14 Heri
wazifuao nguo wawe na mari kuendelea huo mti wa uzima na kuingia mjini kwa
mlango yake.
Zote zatafsiri “ezousia” au “authority”
kama “rights”. Labda mtazamo huu huchipuza kutokana na tamaduni ya nafsi ambayo
wafuasi wa utatu huukumbatia na ambayo kwayo wanataka kuujenga uzima wa milele
bila ya utambuzi wa Mungu.
Haki ya mti wa
uzima, kwa hivyo, una dondoo kadhaa. Maarifa ya Mungu wa kweli na wa pekee na
mwanawe Yesu Kristo ni majarabu. Baadaye, baada ya maarifa hayo, utiifu kwa
amri za Mungu na ushuhuda wa Yesu yanafuatia. Kama jinsi kulivyo na viwango
viwili vya wateule ndivyo kulivyo viwango viwili katika maarifa.
Roho mtakatifu
hubeba ndani yake matakwa ya ukweli na uwezo wa kumtii Mungu. Wapo wengi
waelewao uhusiano kati ya Yesu Kristo na Mungu na walionjenga uhusiano wao
kwake Mungu na Kristo kupita mikataba waliyojua. Katika siku za mwisho wengi
watizidamisha amri za Mungu. Kupata ubatizo na kuwa mwili wa Kristo, wanakuwa
watiifu hata kufa kwako. Wataingia katika ufalme wa Mungu, kwa sababu wanazidumihsa
amri za Mungu na ushuhida wa Yesu. Hata hivyo, suala moja haliwezi kutengwa na
jingine.
Ikwa tumaweza
kulitambua suala la msingi basi ni sharti tutii na kufuata kiini cha sheria.
Luka 10:25-28
(Imenukuliwa kutoka Kumb. 6:5). Na tazama mwanasheria mmoja alisamama mjaribu,
akisema mwalimu mfanye nini ili viurithi uzima wa milele? Akamwambia,
imeandikwa nini katika torati? Wasowaje? Akajibu akasema, mpende Bwana Mungu
wako kwa moyo wako wote na roho yako yote na kwa nguvu zako zote na jirani yako
kama nafsi yako. Akamwambia na jirani yako kama nafsi yao. Akamwambia umejibu
vema, fanya hivi nawe utaishi.
Dondoo la
kimsingi katika mandiko ya Yohana 17:1-3 ni kumjua Mungu wa kweli na wa pekee
na Yesu Kristo aliyemtuma. Tofauti hii ilifanywa na Kristo ili kuwa kielelezo
cha uongozi wa sheria, yaani amri ya kwanza (katika Kutoka 20:3; Kumb 5:7).
Kutokana na amri hii zile nyingine zote zapatikana. Hivyo wafuasi wa utatu au
uwili wanaharibu dondoo hili la msingi na nafasi hizo tu zatosha kuondosha
ufungamano wa uzima wa milele na ufufuo wa kwanza. Hivyo basi, suala hili ni
muhimu sana katika wokovu.
Dondoo la pili na
muhima pia ni kuamini kwake Yesu Kristo.
Yohana 6:40 kwakuwa
mapenzi ya Baba yangu ni haya, ya kwamba
kila amtazamaye mwana na kumwamini yeye awe na uzima wa milele; nami nitaufafta
siku ya mwisho.
Hili lajengeka
kutoka katika injili ya Yohana na kuletwa katika suala la kuzaliwa upya kupitia
ubatizo wa maji na roho. Kristo alisema kuwa:
Yohana 2:3, 5…… mtu
asipozaliwa mara ya pili hawezi kuona ufalme wa Mungu….. mtu asipozaliwa kwa
maji na roho hawezi kuingia ufalme wa Mungu.
Hivyo Kristo
amepewa uwezo wa kuwafufua wafu ambao wamebatizwa katika mwili wake (si katika
dhehebu lolote bali katika mwili wake tu) katika ufufuo wa kwanza pindi ajapo tena.
Huu ndio ufufuo wa maisha (Ya 5:29). Ufufuo wa pili ni ufufuo wa hukumu. Hili
hata hivyo halimaanishi maswala mauti bali ya marudio Kristo alikuwa na mtazamo
wa moja kwa moja kwa maandiko hayapeani uzima wa milele. Mtu anaweza tu
kuokolewa. Kwa kumwendea Kristo, huku Kristo alikuja kwa jina la Baba wala si
wake mwenyewe. (Ya 5:39-40,43)
Kristo alisema:
Yoh.11:25 Yesu
akamwambia, mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi ajapokufa
atakuwa anaishi.
Mataushi mwafaka ni by no means dies unto the age (ou me apothane eis
ton aioona) (see Marshall’s Interlinear).
Hivyo wateule wamewekwa na kristo kwenye
hirima au milenia ambap watapata ufufuo wa kwanza. Kisha wapewe uzima wa
milele. Faula la kufa kwenye hirima laonekana kuepulasa.
Faula la muda lajitokeza ikiwa tu kama
umfuano kati vitu. Kwa mfano siku hufitoke za tu kutokana namzunguko wa dunia
kwenye mhimili wake ikihusiana na jua.Ipo miaka kadha wa kadha ambayo
imehusishiwa na mzunguko wa mambo ya angani,Yaani Solar/ Sideral/ Galactic.
Ulimwengu wa hali ya upanzi ambayo inahusiana na mwondoko wakando kutoka kwenye
sehemu ya kimsingi.
Sehemu hii ya kimsingi ilitambuliwa na
Penrose kuwa ya kumi kwenye sehemu ya 10 ile nguvu ya 123. Hivyo kutokana na
mazamo rohifi wa nambari hii, lazima kulikuweko chimbuko, na hakuna kingine
ulimwenguni pote. Miondoko hii yote imeelezewa kwa namna ya muda ambayo
inahusiana na mfano wa kidunia.
Haijalihsi vigezo vya upimaji vipi,
yamwezekama tu kuwa muda huchipuza pamoja na uhusiano wa vitu viwili au zaidi.
Hivyo muda ungeanza tu ikiwa kungekuwapo vitu viwili au zaidi. Mungu alikuwapo
kabla ya muda kizazi cha Elohim ndicho kwa hakika kilichokuwa mwanza wa muda –
mwanzo wa uumbaji wa Mungu (Uf 3:14).
Wakolosai 1:15 inasema kuwa Kristo ndiye
alikuwa mwana wa pekee wa kwanza wa maumbile (Tazama karatasi (see the papers The Pre-Existence of Jesus Christ (No. 243); How God Became a Family
(No. 187); and The Purpose of the
Creation and the Sacrifice of Christ (No. 160)).
Hivyo Bwana Mungu ni Alfa na pia ni Omega (Tazama karatasi Arche of the Creation of God as Alpha and Omega (No. 229)).
Ufunuo 1:8 Mimi ni
Alfa na Omega aliyeko na aliyekuwako na atakayejuka mwenyezi.
…anayekamilika
kuwa vyote kwa vyote (Eph. 1:23).
Mungu aliweka
vitu vyote chini ya miguu ya Kristo na akamfanya kiviongozi vitu vyote
kanisani.
Mungu alimwita Kristo
Waefeso 1:22
akivitia vitu vyote chini ya miguu yake vyote kwa ajili ya kanisa ambalo ndilo
mwili wake ukamilifu wake anayekamilika kwa vyote katika vyote.
Waefeso 1:22 kwa
waliokufa na kumfanya akaea kwa mkono wakulia katika mahali, far rule na Hukumu
na nguvu na dini, na kwa majina ambaye imetajwa, si tu kwa mwaka hii ambaye in
kuja; na ako na ameweka vitu vyote kwa miguu na amemweka ukumbwa wa kanisa, ambaye
ni mwili, kwa vitu vyote ambeye anaingia vyote.
Hivyo Kristo
amepewa uwezo juu ya majina yote, kwani hata jina lenyewe laashiria uwezo.
Amepewa uwezo juu ya vyote ili kanisa lije kuweza kujirithi kupitia Kristo
ambaye kwake ukaamtifu wa uongozi wa kuunga uliendeka kimwili (Wakol 2:9). Maana hapa ni kuwa uungu ulidumu ndani ya
Kristo kimwili. Ni ujao huu wa kiungu hali ya kiungu (Wakol 3:10).
Hawakuwa wayahudi
wala wayanani ila wote walikuwa wake Kristo kwani yuko katika wote (Wakol
3:11).
Analeta uwepo wa
watu, kupitia kwa nguvu za roho mtakatifu ili hatimaye Mungu awe yote katika
wote (1Cor. 15:28).
Vitu vyote
vilipoelekezwa kwame, naye mwana mwenyewe ataelekezwa kwake yeye aliyeviweka
vitu vyote chini yake, ili Mungu aweze kuwa (Yote kwa vyote KJV) (panta en
pasin) (see Marshal’s interlear and also col. 3:11) (panta kai en pasin). (see Marshall's Interlinear
and also Col. 3:11 (panta kai en pasin).
Wafuasi wa utatu wameanza kutafsiri
maandiko haya kama “kila kitu kwa kila mmoja”, ili kuuchelea upanuzi sahihi wa
uungu kuwafikia watu wote kama ilivyofanyika kwake Kristo kutokana na maandiko.
Ni Kristo atujazaye na ufazo w Mungu (Waef
3:19) ujazo wa Kristo kuwa uakisi wa Baba (Waef 4:13). Hicyo tunakuwa uakisi au
eikon wa Baba kama vile Kristo alivyokuwa na hivyo tunakuwa wana wa Mungu na
warithi wenzi pamoja naye Kristo katika ufalme wa Mungu (Mar 8:17; Jas 2:5), na
warithi kulingana na ahadi (Wagal 3:29) ya wokovu (Waeb 1:14) na warithi pamoja
wa neena (1 Pet 3:7), mwana wa Mungu hivyo anakuwa Baba wa milele (Isa 9:6)
ambaye ni kichwa cha ubaba wa kibinadamu, hivyo kuchukua nafasi yake pamoja na
ubaba wa mbinguni ambapo wapo wengi (tazama karatasi Isaiah 9:6 (No. 224)).
Waefeso 3:14 kwa hiyo nampigia Baba magoti
ambaye kwa jina lake ubaba wote wa mbinguni na wa dunani unaitwa.
Neno familia hapa
ni patria au ubaba. Hivyo nemsi Baba, ni nemsi teule inavyoonyesha
jukumu la moja kwa moja kwa kila kiongozi katika kila mmoja kwenye familia.
Hivyo utaratibu ni kutoka kwake Mungu kuja kwa Kristo hadi kichwa kiume cha
nyumba (1 Wak 11:3). Ni sharti ajiachiliavyo majukumu yake kama Mungu
ayaachiliavyo kwa Kristo, na wana wengine wa Mungu ambao ni Elohim na jinsi
ambavyo Elohim hao nao wanavyoyaachilia majukumu yao kwa wale walio chiwi yao.
Elohim haa ndio
nyota ya asubuhi ya Ayubu 38:7 na wana wa Mungu ambao wako mbele za uwepo wa
Mungu (Ayu 1:6; 2:1). Hawa ndio wana wa Mungu kama, jinsi tukavyokuwa wana wa
Mungu aishiye (Hos. 1:10). Nyota hizi za asubuhi ndizo ambaye miendo yake si ya
kimwili walikuwa ni wa kiroho. Walikimuishwa baraza la ndani la Mungu (Zab
89:6-8) walipewa ndiwo quedosim au wale walio takatifu na wote walikuwa wana wa
Mungu. Baraza hili latambulishwa katikaufunuo 4 na 5 ndiwo wenzi metoxons wa
kuhani mkuu wa nyumba ya Mungu (Waeb 10:21) ambaye ndiye mwana kondoo
aliyeyeuliwa, kama Elohim wa Israeli (Zab 4:6-7 na Waeb 1:8).
Zaburi
zinasherehekea uapishwaji wa Yehovah of israel kama mfalme wa mataifa ni Zaburi
47, 93; 96; 97; 98. Wenzi hawa walikuwa baraza la Elohim waliokuwamo miongozi
mwa maumbile ya mwanzo ya Mungu. Harakati za mwanzo umba wanawe. Elohim hawa
wakanzisha muda kwa shughuli zao kulingana na Baba. Kristo aliumbwa pamoja na
Elohim hawa wote walikuwa vizazi vya baba waliokuwa na hale ya uungu kupitia
kwa Roho mtakatifu (Tazama karatasi How God Became a Family (No. 187)).
Kristo
alitungulezwa kama kuhani mkuu katika uongozi kutokana na ukubaliano wake kwnye
ukombozi wa mwanaadamu, kutoka kwenye maasi.
Waebrania 5:8-9 na
ingawa ni mwana alijifunza kutii kwa mates ohayo yaliyompata. Naye alipokwisha
kukamilishwa akawa sababu ya wokovu wa milele kwa watu wote wanashitii kasha
ametajwa kwa Mungu kuwa kuhani mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.
Hivyo Kristo
alipewa kazi kama kuhani mkuu kwa sababu ya hali ya utii wake. (Tazama karatasi The Purpose of the Creation and the Sacrifice of
Christ (No. 160)).
Hivyo hakuwa mara kwa mara kwenye nafasi ya
juu dhidi ya wenzi wake. Dondoo hili ambamo Kristo aliyaweka maisha yake na
kuichukuwa damu yake mwenyewe katika mtakatifu wa watakatifu ndio sababu hangeweza
kuwa dhabihu.
Kuhani mkuu aliichukuwa damu yake mwenyewe
ili kufanya upatanisho wa Mungu katika mtakatifu wa watakatifu. Ndio sababu
utatu wenyewe ni utovu wa utimamu. Kiongozi ni sharti ahudumu na pia awe tayari
kujitolea kimaisha kwa ajili ya nduguze. Ni lazima aweze kushinda dhana ya
ubinafsi ambao ndio mtazamo wa pendo la agape ambalo huwa hali kiungu Kristo
alilazimika kufanya hivi na hata ndiyo yaliyokuwa maana ya dhabihu yake. Wala
hhaikuhusiana na utushelevu wa Kristo (Tazama karatasi The Purpose of the
Creation and the Sacrifice of Christ (No. 160)).
Hivyo, hamna suala la Kristo kuwa mwenzi wa
milele pamoja na Mungu kabla ya kuumbwa kwa Elohim. Wala hanma maoni yeyote
kuwa alikuwa mwenzi sawasawa na Mungu kwani alimtegemea Mungu kwa mamlaka yake.
Aliyapata mamlaka hayo kupitia utiifu. Alipea mamlaka hayo kwakuwa liyatekeleza
majukumu yaliyohusika. Alitengewa Israeli ilhali wenyeji wengine wote
walitengewa mataifa ikiwa ndani ya majukumu
yao ya kibinafsi (K.M Dan 10:13, 20; 12:1 Kumb 32:8 [Tazama LXX na DSS)
pia tazama karatasi The Elect as Elohim (No. 1)). Kupitia Israeli chini ya
Elohim huyu mungu au Eloah angebomoa mpango wa wokovu.
Basi suala hapa ni kuwa Kristo alikuwa na
uwezo wa kutofariki, lakini alitengewa uwezo wa kutofariki pamoja na Elohim
wengine wote. Hafi kwa kuwa namjua na kumtii baba. Nadi twafaa kujivika uwezowa
kutofariki (1 Wak 15:53-54) Kristo anahifadhi uwezo huo wa kutofariki kupitia
utiifu kwa Baba. Hali ya uwezo wa kutofariki tuliyonayo ni sawasawa na ile
aliyopewa Kristo (Tazama karatasi On Immrtality (No. 165)).
Mungu atupa uhai wa ‘aionioni’ (1 Yn 5:11) ambao alituahidi
(1 Yn 2:25) uzima wa milele waweza tu kudumishwa kwa ibada na kwa kumjua Mungu
wa kweli na wa pekee (Tazama juu Yn. 17:3) ila pia unaweza kupotezwa kwa
kutozitii sheria. Yule ambaye hampendindugu yake ataupoteza uzima wake wa
milele (1 Yn 3:14-15). Kwa hivyo tunajua
kuwa Mungu ni Mungu moja na Yesu Kristo ni Mwanawe.
1 Yn 4:15 kila akiriye kuwa Yesu ni mwana wa
Mungu, Mungu hukaa ndani yake naye ndani ya Mungu.
Hivyo Mungu hudumu ndani ya wateule nao
ndani yake. Mteule asipomtii Mungu ataupoteza uzima wa milele. Hivyo lazima
wawe na uwezo wa kufa.
Elohim pia wana adhabu hiyo hiyo. Ibitisi na Kristo wote ni sehemu ya baraza
la ndani la Elohim au walio takatifu. Ibilisi aliteuliwa kama kerubi (Isa
14:12ff; Ezek 28:14,16).
Mungu akamtoa kwa
nguvu kerubi kutoka kwenye mlima wa Mungu na akamuangamiza. (Eze 28:16
afaangamizwa kwa moto na kutupwa duniani kama jivu. Haya ni maelezo
yaliyolamishwa kuhusu mwenyeji aliyetupwa. Ni nafsi za kiroho na hivyo ni ngvu
za kiroho. Namna ya kushughulika na ibilisi na wanadamu waasi katika ufufuo wa
pili na hukumu imeshugulikiwa kwa undani katika karatasi the judgement of the
Demons (No. 80) na lost sheep and the prodigal son (No. 199). Kilicho muhimu ni
kujua kuwa udamishaji wa uzima wa milele ni kwa kudumisha utiifu kwa baba. Sisi
wa nyumba ya mfalme tulizaliwa kuwa Elohim kama malaika wa yehova katika
uongozi wetu (Zak 12:8). Uzima wetu wa milele ni kama Elohim.
Kuakumbatia utatu
au uwili ni sawasawa na kutekeleza manafi nafsi ya kiroho hakika ni ishara ya
wateule kuweza kutofautisha makosa. Nafasi isyodhihiri ya utatu ilitolewa
katika karatasi Binitarianism and Trinitarianism (No. 76).
Hapa
tunaifululiza nafasi hiyo ili kushughulika na dondoo kadhaa zikizo dhahiri
kuhusu unaji (Taz. Karatasi Soncinianism, Arianism and Unitarianism (No 185).
****
Uwili hupatikana
baina ya makosa mengi ya marua moja, kwa mapana na marefu, kama tu utatu. Watu
wengi ambao ni wafuasi wa utatu ni watu ambao huna hali isyo ya kibibilia ya
utatu ili wanatazani kudumisha baadhi ya nyadhifa za Kristo, ambalo
halitawatenga asilimia na utatu.
Hili, bila shaka
haliwezekani. Mfuasi wa uwili ambaye anashikiliakuwa Mungu na Kristo ni sawa na
tatokao kuwachanganya ni sharti amruhusu Roho mtakatifu kuwa ndani yake.
Hivyo ikiwa roho
mtakatifu ni binadamu au gnvu uwili unadhurutishwa kuchanganyika na roho ndani
ya vyote viwili na hivyo mazungumzo hayo yanakita kwenye namna ambavyo vitatu
hivi vilivyo kimoja kutokana na hivyo uwili haiwezi kusmama na vivyo hivyo,
hado kwenye karne ya ishirini wamekuwamo wafuasi wachache wa usili (Taz. Karatasi God Revealed Chapter 1: Acient Monotheism (No. 61); The
Golden Calf (No. 222) na The Origins of Christmas and Easter (No. 235)).
Wafuasi wa uwili ambao wandhugulikia kuwa
Mungu na kristo ni nafsi mbili tofauti, ambayo kisahili ni “Ditheism” (kinyuma
la Yn 17:3; 1 Yn 5:20, 1 Tim 6:16) wanazo shida zifuatazo
*
Ikiwa
Mungu na Kristo walikuwapo toka awali kabla ya muda, basi muda, kama kihusishi
baina ya vitu haiwezekani. Hivyo Mungu na Kristo si viumbe. Viumbe au nafsi,
kwa maelezo vipi kwa hivyo Mungu na Kristo hawapo. (Yaani, Mungu na Kristo
hawakuwa nafsi kama ilivyotangulizwa na wafuasi wa utatu wa kanisa lake Mungu
kwenye miaka ya hivi majuzi. Hali hii ya kuyaelewa masuada haya haonekana
kutanda hadi kwenye taaluma za mafunzo ya kidini na pia kutanda hadi kwenye
dhana ya kutokuwako katika ubudhi wa
uhindi.
*
Ikiwa
Mungu na Kristo walikuwako kama wenzi wa milele basi kuna nafsi mbili
zinazotumia majina Mungu na Kristo. Jina Kristo laamanisha aliyepakwa mafuta.
Hivyo nafsi moja tu ndiyo ilipakwa mafuta dhali ile nyingine haikupakwa mafuta.
Hili huleta maswali haya.
*
Ni nani aliyempaka mafuta huyu mmoja?
*
Upako hutokana na mamlaka hivyo hawakuwa ni wenzi
wenye usawa. Ikiwa hawakuwa na wenzi wenye usawa, uwiano u wapo ikiwa hawakuwa
wenzi wa milele.
*
Hivyo, bila shaka, mmoja ana nguvu kuliko mwengine
kwa hivyo, labfa hawana uwenzi sawa.
*
Kama kwa hakika wana usawa, na neno kupakwa mafuta
latokana na maamuzi basi ndiko kusema wote wawili wangejitoa kama dhabihu.
*
Ni vipi Bwana angeweza kumwambia Bwana wa Danieli,
ambayo alikuwa masihi au yehova wa Israeli:
Uketi mkono wangu wa kuume hata niwafanyapo adui zako kuwa chini ya miguu
yako (Zab 110:1)
*
Iweje Kristo akae kwenye mkono wa kuume na yule
waliye sawa naye?
*
Kama wangekuwa wenzi wa milele, wngeketi sako kwa
sako. Mungu angekaa kwenye upande wa kushoto wa Kristo
*
Neno Mungu latokama na ‘uzuri’ je, hili lamaanisha
kuw yule mwingine si mzuri? Wote waitwa Mungu?
*
Je, hilo
basi lamaanisha kuwa wangelishara kuhusu yule ambaye angekuja duniani
kusulubiwa (kama ilivyopendekezwa na baadhi ya wana utatu kwenye nyakati za
1989 – 1990)
* Ikiwa mmoja ni Mungu Baba
na mwengine ni Mungu mwana, tofauti iwapo dhidi ya utatu au ibada ya Mungu
Attis? (Tazama karatasi The Origins of the Christmas and Easter (No. 235)).
*
Iweje
Kristo awe na wenzi ilhali yenye anao wenzi na Mungu? Si hili langemaanisha kuwa Mungu ana wenzi? Ni vipi basi angekuwa Baba?
*
Ikiwa
nafsi zina wenzi wa milele, ni vipi ubaba na wana unaweza kutabirika bila
kuptotosha maana kwenye lugha?
*
Ikiwa
ubaba na uana vyamaanisha kinyume cha kinachojitokeza katika lugha, basi hakika
taswira zinazojitokeza bibilia ni potovu. Kama ndivyo, ni vipi maandiko yaweza
kuwa ya kweli? Ikiwa mandiko hayana ukweli, Mungu aweza vipi kuwa na kwel? Na
ikiwa Mungu si wa kweli, aweza vipi basi kuwa Mungu lakini Mungu ni Mungu wa
ukweli, hivyo basi; lazima awe baba na Kristo awe mwana na hivyo hawa wenzi wa
milele
Ikiwa mtu hana wenzi wa milele basi yeye ni
Mungu au Elohim kwa upangaji au urithi, kama walivyo wana wote wa Mungu, wa
mbinguni na hata duniani (Taz pia Zak 12:8) Elohim ni wingi Eloah ni umoja.
Eloah ndiye baba (Meth 30:4-5) ambaye ndiye wa kuabuduwa na kutolewa dhabihu
kwenye hekalu yake, kwani ameliweka jina lake Yerusalemu (Ezra 4:24 hadi 7:26)
Ikiwa hamna usaidizi katika wadhifu wa Yesu Kristo, basi agano lote jipya limeandikwa kwa lugha ya kupotosha. Hivyo manfiki ya utiifu kupotoka pia. Haileti maana hata ikiwa Bibilia ikifuatiliwa kama ilivyo au itiwe upake ndani ya taswira yeyote ambayo yaweza kuelezewa kwa nmna sahihi au kwa lugha.
Fauka ya hayo, yapo maswali kutoka
“problems of evil” yanayohusiana na “Dualism” ambayo inahusika na ukristo.
Ukriato hauwezi kutiwa katika umoja na miungu wawili wenye wenzi wa milele.
Yupo Mungu mmoja tu wa kweli na mwnawe Yesu
Kristo, kichwa chetu, baada ya kupakwa mafuta na Mungu wake (Zab 45:6-7); Waeb
1:8-9). Hivyo basi nafasi ya Bibilia na “Potatinal theism” ni ya kiumoja na
siuwili wala utatu. Uzima wa milele hutabirika kutokana maarifa haya na utiifu
kwa Mungu.
q