Makanisa Ya
Kikristo Ya Mungu
[021F]
Ufafanuzi wa Kitabu cha Mika
(Toleo La 1.0 20150107-20150107)
Mungu aliwatumia
Mika na Isaya kutoa unabii unaofanana mmoja baada ya mwingine. Nabii Isaya anafuatiwa
na Mika takriban miaka kumi na saba baadae na jinsi unabii wao unavyofanana
imeelezewa kwenye kurasa za nyongeza za jarida hili. Kwa hiyo, Amosi, Hosea na
Isaya walimtangulia Mika na muundo wote mzima wa mpangilio wa unabii unaojiri
kutoka kipindi cha utumwa wa Waashuru hadi katika Siku au Ntakati za Mwisho na
kurudi wa Masihi na kuanza kwa utawala wa Milenia.
Christian
Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Hati Miliki © 2015 Wade Cox)
(tr 2015)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu
bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja
na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa
mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayopewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa
toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya
sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Ufafanuzi wa Kitabu cha Mika
Nabii Mika
alitokea kwenye ukand wa nyanda za chini wa Shefela karibu na mpaka wa
Wafilisti. Alihudumu kutoa unabii wakati wa utawala wa wafalme Yothamu, Ahazi na
Hezekia (739-693 KK). Alikuwa mdogo kwa
manabii wenzake waliohudumu wakati mmjo kina Hosea na Amosi (soma
Soncino ukurasa wa 153). Mika
ana mengi ya msingi pamoja na manabii wawili waliomtangulia na tunaona kutoka
kwenye maandiko kwamba aliulaumu utaratibu na makuhani na ushawishi au kwa
walivyovutiwa na dini za waabudu Jua ya Baali na unabii kwa jinsi Mngu
anavyowashughulikia Israeli. Isaya anafananishwa na Mika kwenye ukurasa wa
nyongeza.
Muundo wa
uandishi wa kitabu
Kitabu cha Mika
kama vilivyo vya manabii wote wengine kinajumuisha muundo mkuu wa ukemeaji na
mapatano kwa uande mmoja na kisha kuwafariji na kuwaahidi kwa upande mwingine.
Sura za 1-3 (isipokuwa kwenye aya mbili) kunahusisha makemeo ya dhambi na
tangazo la hukumu. Sura za 4 na 5 zina maneno ya matumaini nay a hamasa na sura
za 6-7 zina mambo mawili. Wakosoaji wa siku hizi wanadai kuwa kazi ilikusanywa
na nabii au wafuasi wake kwa utaratibu wenye mashiko zaidi ya utaratibu wenye mpangilio
na ulio sawa na pale walipokuwa wametolewa.
Kama tulivyoona
kutoka kwa mwingine kati ya manabii Kumi na mbili utaratibu kwa kweli unahusiana
na yatakayofanyika siku zijazo ya Mungu na Waisraeli na Yuda na sasa inampasa
Mungu kushughulikia na watu kwenye historia nzima hadi kwenye Nyakati za Mwisho
na Ujio wa Masihi na kwenye matukio mwngine hadi kufikia kwenye kiindi cha
millennia, Amosi na Hosea ni watangulizi kwenye utiisho na urejesho mpya wa
taifa. Waandishi wa tafsiri ya Soncino waliona kuwa ufafanuzi haukuwa sahihi na
kuuliza, kwa mfano, kwa nini tuna tafsiri nyingi kwa ghafla na mabadiliko ya
maana halisia ambayo hayakuwa yametarajiwa kwenye mpangilio wa kiutunzi.
Wanauliza, kwa mfano, ni kwa nini kuna mapatano na aya za utumwani 9 nk. Miongoni
mwa unabii wa Masihi wa sura ya 4. Tutaona kwa nini hili linatokea kadiri
tunavyoendelea.
Pia wanauliza
swali ya kuwa kwa nini kulikuwa na maonyo au hasira kwenye sura ya 6:9-7:6 ambayo
haikujumuishwa na maonyo au hasira kwenye sura 1-3. Jibu ni kwamba zinahusiana
na nyakati nyingine na kujikita kwenye dhambi nyingine za taifa. Mungu
huliadhibu taifa kwa viwangi vya kurudiarudia kwa mfululizo. Hata hivyo, makuhani wanafundisha kwa
nia ya kujipatia mshahara kama tunavyoona na wanalaumiwa na Mungu kwa ajili
hii. Utaratibu wa unabii uliangiliwa kwa utaratibu ambao Mungu aliouweka kwao
kwa nabii na kurejesha kwenye mlolongo wa hukumu na ufumbuzi uliopo mbele
kwenye karne ishirini na nane nyingine.
Kipindi cha
unabii
Kwenye karne ya
nane KK, Israeli ilifanyika kuwa taifa lenye mafanikio sana kutokna na misingi iliyowekwa na Yeroboamu II (mwaka 783-743)
kwa amani na usalama wa Israeli na kuanzishwa na Uzia (778-740 KK) kwa Yuda.
Walitawala kutoka
Damascus hadi Bahari ya Shamu na kutoka kwenye bahari ya Mediterranean hadi
kwenye Jangwa la Waebrania kisha waliamuru kufanyika kwa misafara mirefu ya
kibiashara za wakati ule.
Hata hivyo, waliharibiwa
na dhambi na hali ya kutojali maagizo ya torati ya Mungu na uwezo wa kimaono, hisani,
na upendano wa ndugu. Sheria ziliyoagizwa kwenye Biblia za ardhi ambazo
zinahaikikishia jamii ya wapenda usawa zilipuuziwa na jamii iligawanyika kwenye
makundi ya madaraja ambayo Biblia imewalinda watu kutoka kuwa hivyo. Marajiri
walizijenga nchi kwa msaada wa mahakama zilizobobea na kuharibika kwa ufisadi.
Walijenga nyumba kwa nyuma na shamba kwa shamba kama walivyokatazwa kufanya na
jamii iliashiria maovu yote tunayoyaona kwenye jamii zetu sasa kwenye nakati
hizi za mwisho. Hakukuwa na kuwafidia kwa masikini.
Miji ilijengwa na
wasio na ardhi walilazimishwa kuwa hmo kwa kutafuta maisha, kama ilivyo leo.
Utajiri na anasa viliishi kimkabala na dhambi na vibarua na maskini walikuwa anawasifu
kwa sababu ya hii.
Utaratibu wa biashara
uliletwa pamoja nayo miungu ya uwongo ya wapagani hasahasa kutoka kaskazini na
imani ya mchanganyiko wa Kiashuru na Kibabeloni na pia ya Kimisri. Baali na
Ashtorethi (au Ishtar) aliishambulia Israeli na kulichanganya taifa hili lote
na imani ya utajirisho wa biashara iliyofanyika na kuletwa.
Aliona kwamba
jamii iliyojengwa kwenye vitisho, ufisadi au dhuluma na viwango visivyolingana
vya afya na vya uwongo iliangamizwa na Mungu na maangamizo na huu ulikuwa ni
ujumbe ambao aliaminiwa kwao. Mika hakuelekezwa dhidi ya ibada za sanamu na
mavuguvugu ya kisiasa lakini zaidi sana ni kwa kupitia Mika, Mungu anawakemea
wanaowavunja moyo wengine kwa kutumia utajiri ambao unaathiti na kuharibu kiini
au chanzo kikubwa cha mahali pa muhimu au pa lazima wa mwanadamu na Mungu tangu
mwanzoni. Mika ametumiwa na Mungu kushambulia hali hii bandia ya jamii
iliyoharibika na kuchanganyikiwa. Kwa kupitia Mika Mungu anakemea unyang’anyi
au utaifishaji wa nyumba zote na nchi zote, matumizi mabaya ya sheria kwa kuwanyang’anya
au kuwapora wenyeji asilia, upotoshaji wa haki ya wadai madeni na haki
kuwadhulumu masikini na udhalimu wa watawala na mahakimu na hali ya kustusha ya
makuhani na manabii na ulaji wa rushwa na kujipatia utajiri kwa kujipendekeza
kwa kuwasifia mno matajiri.
Hapa ndipo Mungu
alipowatumia Amosi na Hosea kuelezea uwezo wa Israeli na Yuda na ibada zao za
sanamu na ukengeufu, alimtumia Mika kukemea kwa nguvu ufisadi na uharibifu wao
huu wa matengenezo ya kijamii kwa kutumia vibaya muundo wao wa kijamii na
maagizo yaliyotolewa kwa sheria na torati ya Mungu. Ni kama ilivyokuwa kwa
miaka 2800 iliyopita ndivyo ilivyo sasa vibaya au vibaya zaidi na Yuda na
Israeli na utaratibu wao wa kijamii potofu na isiyo matumaini kabisa na sifa au
tofauti za matajiri kwa maskini. Mabenki yaliichukua nchi na ili wasiwe na haki
kuichukua kwa sheria za Mungu. Utajiri ilimiliki ya raslimali za watu ambazo
ulipewa kurithi wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo. Waliumiliki utajiri huu kwa njia
za wizi na ufisadi. Asilimia 10 ya watu wa daraja la juu humiliki takriban asilimia
80 ya utajiri wa nhi ya Marekani. Ndivyo hata ilivyokuwa katika siku za Mika na
ndivyo ilivyo hata sasa na kile kilichosemwa na Mungu na kisha kwa kupitia Mika
zilikomeshwa kwa viongozi wa mataifa leo
na kuendelea hadi kipindi cha kuja kwa Masihi na kwa watu wanaosema kuwa wao ni
Wayahudi lakini sivyo, watakwenda utumwani. Hata hivyo, Mika anapewa maono ya siku
za mwisho na hatima njema ya taifa wakati Masihi atakapoanzisha tena chini ya
utaratibu wa Mungu na sheria za Mungu kwenye kipindi cha utawala wa millennia.
Tunaona kuwa Mika
(ni kifupi cha Mikaya ambaye maana yake ni nani
aliye kama Mungu) alikuwa anatoka katika mji wa Moreshethi-gathi (aya ya
14) (Maresha aya ya 15) au alikuwa anatabiri kwenye maeneo ya Yudea karibu na
Shefela kwanza kuhusu Samaria na kisha Yerusalemu.
1 Hili ndilo neno la Bwana lililomjia Mika, Mmorashti, katika siku za
Yothamu, na Ahazi, na Hezekia, wafalme wa Yuda; maono aliyoyaona katika habari
za Samaria, na Yerusalemu.
Kipindi cha kuitwa kwake kilikuwa ni cha kutoka utawala wa Yothamu na Ahazi
hadi cha Hezekia ambacho ni tangu mwaka 739-693 KK. Maono yake ilihusisha nchi
zote mbili, yaani Samaria na Yerusalemu na mapatilizo yao. Bado Samaria ilikuwa
ni mji mkuu wa taifa la Israeli na iliishia kwenye tukio la kwenda utumwani
mwaka 722/1 KK.
Adhabu na mapatilizo yaliwakumba wote, yaani Israeli na Yuda kwa ajili ya
dhambi za Samaria na Yerusalemu. Mika anawaona haa wote wakieelekea kwa haraka
kwa kukimbizwa kwenda utumwani, Samaria ambayo ilifanywa kuwa maganjo yaliyobomoshwa
mwaka 722 na kisha kuangamia kwa Yerusalemu kulitabiriwa pia (3:12) lakini
haikutokea hivyo hadi kipindi cha Wababeloni mwaka 597 bado hata hivyo haikuwa
na uhakika kama tunavyoona kwenye aya ya 9 hapo chini. Ilitabiriwa na
kutangazwa kwa kipindi cha miaka 100 kabla ya kutokea kwake. Maafa na kuanguka
kwa Samaria kulitabiriwa kama onyo kwa Yerusalemu balia kuanguka kwa falme
mbili zote kulitabiriwa na unabii na kisha ilichukuliwa kuihusisha Yuda na
Yerusalemu . mika anaelekezwa kwa Israeli wote kwenye miji mbalimbali na
maangamizo makubwa yatakayotokea na kuutesa ulimwengu wote kwa sababu ya
uasherati wa Israeli (sawa na aya za 2-4). Kwa hiyo hukumu itaupata ulimwengu
wote tangu mashambulizi ya Waashuru hadi kwenye Nyakati za Mwisho chini ya Masihi.
2 Sikilizeni, enyi watu wa kabila zote; sikiliza, Ee dunia,
na vyote vilivyomo; Bwana MUNGU na ashuhudie juu yenu, yeye Bwana kutoka hekalu
lake takatifu. 3 Kwa maana, angalieni, Bwana anakuja akitoka mahali pake,
naye atashuka, na kupakanyaga mahali pa dunia palipoinuka. 4 Na hiyo
milima itayeyuka chini yake, nayo mabonde yatapasuliwa, kama vile nta iliyo
mbele ya moto, kama maji yaliyomwagika tena kutelemka gengeni. 5 Kwa sababu ya kosa la Yakobo yametokea haya yote, na kwa
sababu ya makosa ya nyumba ya Israeli. Nini kosa la Yakobo? Je, silo Samaria?
Na nini mahali pa Yuda palipoinuka? Sipo Yerusalemu? 6 Kwa ajili
ya hayo nitafanya Samaria kuwa kama chungu katika shamba, na kama miche ya
shamba la mizabibu; nami nitayatupa mawe yake bondeni, nami nitaifunua misingi
yake. 7 Na sanamu zake zote za kuchonga zitapondwa-pondwa, na
ijara zake zote zitateketezwa kwa moto, na sanamu zake zote nitazifanya ukiwa;
kwa kuwa amezikusanya kwa ujira wa kahaba, nazo zitaurudia ujira wa kahaba. 8 Kwa ajili ya hayo nitaomboleza na kulia, Nitakwenda
nimevua nguo, ni uchi; Nitafanya mlio kama wa mbweha, Na maombolezo kama ya mbuni.
Ni ukahaba wa waabudu sanamu wa Israeli huko Samaria kama wa kibiashara na
ustaarabu wa mijini ambayo ni jeraha chungu katika Yuda kama tuonavyo leo, na
ukahaba wa kibiashara na ukahaba wa uabudu sanamu wa imani mchanganyiko za
Kiashuru na Kibabeloni utaiangamiza dunia kwa hasira ya Mungu. Israeli
waliwekwa huko ili kuzuia maangamizo na ukahaba wake utashindwa. Yeremia 4:23
nk inaonyesha jinsi Mungu anavyoonyesha kwa kupitia manabii kwamba kushindwa na
ukahaba wa Israeli ni sababu ya maafa ya matetemeko ya ardhi na maangamizi
ambayo yamepunguza ulimwengu mzima (soma aya za 4-5 hapo juu). Kwa hiyo waliruhusu
kuendelea kwa ibada za Mahali pa Juu kama ibada za sanamu pia.
Kutoka kwenye aya ya 9 andiko lipo kwenye unabii uliotimia yanaonyesha
kwamba utakwenda kutimia na hakuna kitakacho lisimamisha. Yerusalemu ni lango la watu wa Israeli na Yuda
kama kiti cha Hekalu la Mungu.
9 Kwa maana jeraha zake haziponyekani; Maana msiba
umeijilia hata Yuda, Unalifikia lango la watu wangu, Naam, hata Yerusalemu. 10 Msiyahubiri haya katika Gathi, msilie kamwe; Katika
Beth-le-Afra ugae-gae mavumbini. 11 Piteni; uende ukaaye
Shafiri, hali ya uchi na aibu; Hivyo akaaye Saanani hajatokea nje; Maombolezo
ya Beth-eseli yatawaondolea tegemeo lake; 12 Maana
akaaye Marothi ana utungu wa mema; Kwa kuwa msiba umeshuka toka kwa Bwana,
Umefika mpaka lango la Yerusalemu. 13 Mfungie gari la vita
farasi Aliye mwepesi, ukaaye Lakishi; Alikuwa mwanzo wa dhambi kwa binti
Sayuni; Maana makosa ya Israeli yameonekana kwako. 14 Kwa hiyo utaipa Moresheth-Gathi zawadi ya kuagia; Nyumba
za Akzibu zitakuwa kijito kidanganyacho wafalme wa Israeli. 15 Bado, ukaaye Maresha, nitakuletea yeye atakayekumiliki;
Utukufu wa Israeli utafika mpaka Adulamu. 16 Jifanyie upaa, jikate
nywele zako, Kwa ajili ya watoto waliokufurahisha; Panua upaa wako kama tai;
Kwa maana wamekwenda mbali nawe utumwani.
Andiko hili linasheheneza kwenye Paronomasia au linajiri kwenye maneno na
haiwezekani kuiwekwa kwenye tafsiri.
Maneno yasemayo Usiseme jambo hili katika
Gathi unafananishwa na andiko lililo kwenye 2Samueli 1:20. Gathi
ulikuwa umetwaliwa kutoka kwa Wafilisti na mfalme Uzia (2Nyakati 26:6) na ndipo
hawakuwa huko kabisa na yawezekana ni maneno tu ya mdomo ya sasa (soma Soncino
fn.).
Usemi wa hatukuzishika kabisa (Usemi rahisi ni kwamba Muombolezaji
asiomboleze (kwa Kiebrania Bacho al tibku); tafsiri ya the LXX inaonyesha kuwa
usemi wa msiomboleze kwenye Mujibu wake) Utajwaji wake huenda ulikuwa unamtaja
Baali, ambaye ni Mungu Jua pia (likiruka neno ‘ain’) kwa kumtaja Baali, ambaye
ni Mungu Jua (soma Soncino fn.) na kwa maangamizi yanayokuja.
Jina la beth-le-afra maana yake ni nyumba
ya vumbi na haijulikani. Huenda inayataja mahekalu ya Baali na Dagoni wa
Wafilisti. Ni kethib hithpallashti au nimejiviriga mwenyewe lakini inaonekana kuwa ni ashirio la maneno
yaliyowataja au kumaanisha kuwa ni Wafilisti.
Aya ya 11 inasema pitilia mbali linalochukuliwa
kumaanisha utumwani. Hii ni kwa falme zote mbili, yaani Israeli na Yuda.
Neno uchi linachukuliwa kumaanisha kwenye
mkatale wa utumwa (soma aya ya 8).
Zaanani inachukuliwa kumaanisha Zenani ambayo ni Shefela (Yoshua
15:37). Msije ni neno linalotokana na vebu Yatsa kama
kwenda. Zaanani
linapuuzwa na kuomboleza kutoka Beth-ezel (Nyumba ya karibu ya jirani) linawavunja
moyo.
Marothi (aya ya 12) ni uchungu lililo kinume na mwma au msaada.
Funga magari (aya ya 13) limechukuliwa kumanisha jiandae
kwa vita. Hata hivyo, lina maana ya kina. Mji wa Laishi ulikuwa ni Kitovu cha
kaskazini mwa Dani karibu na jangwa la mapepo la Hermoni. Lakishi ni mji katika
Yuda ulio njiani kati ya Yerusalemu na Gaza lakini dunia pia ni jumuisho la Larecheshi hadi feleji za kuchuja. Yuda walipaswa kuitegemea Misri kwa farasi wa
vita. Ilikuwa ni ngome za upande za mbele au umuhimu wa kimbinu kati ya
Yuda na Misri iliyojengwa kwa kuzungushiwa na Daudi na kisha na Rehoboamu (2Nyakati
11:9) na huenda Asa aliuimarisha (14:7). Sanekarebu aliuufanya kuwa Makao Makuu
yake ya muda mwaka 701 KK. Inaweza kuonekana kuelekea katika kuwafunga mapepo.
Hili linasaidiwa na neno chanzo wa dhambi
ambayo inachukuliwa kama awamu isiyojulikana na wachambuzi. Chanzo cha dhambi
kinatokana na mapepo kwenye Mlima wa Hermoni. Wanazuoni mahiri wa ufafanuzi wa
Kiyahudi wanasema kwamba Lakishi ilikuwa ni kiti cha aina ya ibada za sanamu (ambayo
tunaijua kama Ndama wa Dhahabu wa Dani ambaye alipewa jina kutokana na mungu
Mwezi aitwaye Sin, kama Yeriko ilivyo pia Mji wa Mwezi). Ni kituo cha
zamani sana na ulitumika katika
utawala wa Hyksos na unatajwa kama La-ti-sa kwenye Kizazi cha kifalme cha 18
cha Ahmosid. Ulikuwa chini ya utawala wa Wamisri na wa Hyksos tangu
kizazi cha kifalme cha 12 hadi cha 22.
Moreshath-Gathi ulikuwa kwenye eneo la Wafilisti na ni mji usio na umuhimu
au dinu wa Akizibu huko Shefela (Yoshua 15:44) ni usemi unaomaanisha kitu cha uwongo ambacho ni akizabu ambayo ni sio mkondo wa kudumu (sawa
na Yeremia 15:18). Kwa leo ni mwiba kwa Waisraeli.
Mika anapewa maono kutoka kwenye mji wa nyumbani kwake na anaona mbali kwa
kina kutokana na mashambulizi ya ya Siku za Mwisho. Miji hii iliyotajwa hapa
toka aya ya 10-15 haipo katikati ya Samaria na Yerusalemu bali ni kati ya
malango ya Yerusalemu na pwani mwa bahari uwanda wa Wafilisti. Huu ulikuwa ni
msafara ambao kwamba washambuliaji wa Yudea waliokuja kutika Sargon (719 KK dhidi
ya Misri na mwaka 711 dhidi ya Ashdodi), na Senakaribu mwaka 704-1 wakati alipoishambulia Shefela kwa mfululizo pamoja
na kushambuliwa kwa Yudea; kulikofanywa na Wamisri na Warumi chini ya Vespasian
na kipindi cha Zama-Kati chini ya Saladin na Richard (kwa mjibu wa G.A. Smith; sawa
na Soncino fn). Unabii huu unaonyesha kuwa Mika anaona mbele kwenye mashambuliaji
yote na jinsi yatavyotokea katika Siku za Mwisho na hatimaye kwenye kipindi cha
Utawala wa Mnyama na cha Mfalme wa Kaskazini wa Danieli 11:40-44.
Sura ya 2 ni
mwendelezo zaidi wa dhambi ambazo hazijatubiwa bado zilizo kwenye sura ya 1. Inajulikana
kwa kuzivunja sheria Mungu kuhusu Yubile umiliki wa ardhi na mashamba. Kwa
ajili ya dhambi yao Mungu aliwapeleka utumwani. Hawana wa kumtumikia kwenye
Mkutano wa Mungu kwa kura. Hii inajiri na marejesho mapya ya ardhi kwa kupigiwa
kura kwenye Yubile. Kwa kuwa hiyo pia ilikuwa ni nchi ya Kanaani iliyogawanywa
miongoni mwa makabila. Hata hivyo, hawakuzishika sheria za Mungu na hawakurejesha
familia na watumishi kwenye Sabato na Yubile. Hadi leo, makanisa ya Mungu na
kuifuata kalenda ya uwongo ya Yud wa sasa. Kwa dhambi hizi watahukumiwa. Wimbo
wa dhihaka ni wimbo wa maombolezo au maombolezo yaliyochukuliwa kama tuonavyo
pia kwenye Yeremia 9:9; Amosi 5:1. Mashamba makubwa ilipata kinyume na haki
kabisa kutatawanyika na kupangiliwa kwa majeshi ya ushindi ya mataifa yenye
dhambi.
1 Ole wao wakusudiao mambo maovu, na kutenda
mabaya vitandani mwao! Kunapopambazuka asubuhi huyafanya, kwa sababu ya katika
uwezo wa mikono yao. 2 Nao hutamani
mashamba, na kuyashika; na nyumba pia, nao huzichukua; nao humwonea mtu na
nyumba yake, naam, mtu na urithi wake. 3 Basi Bwana
asema hivi, Angalia, nakusudia jambo baya juu ya jamaa hii, ambalo hamtazitoa
shingo zenu, wala hamtakwenda kwa kiburi; kwa maana ni wakati mbaya. 4 Siku hiyo watatunga mithali juu yenu, na kuomboleza kwa
maombolezo ya huzuni nyingi, na kusema, Sisi tumeangamizwa kabisa; Yeye
analibadili fungu la watu wangu; Jinsi anavyoniondolea hilo! Awagawia waasi
mashamba yetu. 5 Kwa hiyo
hutakuwa na mtu atakayeitupa kamba kwa kura katika mkutano wa Bwana.
Hapa tunaiona fursa kwenye unabii wa Mika ikitokea kwa makuhani waovu na
manabii. Wanafundisha kwamba kuaibisha hawatawapiku wao bali ni Mungu
anayewakemea na sio Mika. Nyumba zinazopendeza ni familia yenye furaha
wanaziangamiza. Haya ni maambukizi leo na kwa hiyo watakwenda utumwani na kupambanua
utajiri wao.
6 Msitabiri, ndivyo watabirivyo; wasiyatabiri
mambo haya; lawama hazikomi. 7 Je!
Litasemwa neno hili, enyi nyumba ya Yakobo, Roho ya Bwana imepunguzwa? Je! Haya
ni matendo yake? Je! Maneno yangu hayamfai yeye aendaye kwa unyofu? 8 Lakini siku hizi mmeinuka kama adui za watu wangu;
mwaipokonya joho iliyo juu ya nguo za hao wapitao salama kama watu wasiopenda
vita. 9 Wanawake wa watu wangu mwawatupa nje ya
nyumba zao nzuri; watoto wao wachanga mwawanyang'anya utukufu wangu milele. 10 Ondokeni, mwende zenu; maana hapa sipo mahali pa raha
yenu; kwa sababu ya uchafu mtaangamizwa, naam, kwa maangamizo mazito sana. 11 Mtu akienda kwa roho ya uongo, akinena maneno ya uongo,
akisema, Nitakutabiria habari ya mvinyo na kileo; mtu huyu atakuwa nabii wao
watu hawa. 12 Hakika nitakukusanya, Ee Yakobo, nyote pia;
Bila shaka nitawakusanya waliobaki wa Israeli; Nitawaweka pamoja kama kondoo wa
Bozra; Kama kundi la kondoo kati ya malisho yao; Watafanya mvumo kwa wingi wa
watu; 13 Avunjaye amekwea juu mbele yao; Wamebomoa
mahali, wakapita mpaka langoni, Wakatoka nje huko; Mfalme wao naye amepita
akiwatangulia, Naye Bwana ametangulia mbele yao.
Kutega na
kuwanasa kwa hila mbovu za riba, baraza la rehani, na usaidizi wa mashahidi nay
a rushwa kwenye kutoa hukumu unafuatiwa kwa haraka na utekelezaji
Makuhani na
manabii huwahubiria uwongo na kuwabiria utajiri, mafanikio na vinywaji vikali
na kuwatumia vibaya wanawake na watoto na kuchukua mali, ambao ni Israeli wa
Mungu, na kuitumia vibaya.
Kisha kwenye Sura
ya 3 tunaona uovu uliofanywa katika Israeli kwa watu maskini na wahitaji.
1 Nikasema, Tafadhali sikieni, enyi vichwa vya
Yakobo, mnaoitawala nyumba ya Israeli. Je! Haiwapasi ninyi kujua hukumu? 2 Ninyi mnaoyachukia mema, na kuyapenda mabaya; ninyi
mnaowachuna watu ngozi yao, na nyama mifupani mwao. 3 Naam, mnakula nyama ya watu wangu, na kuwachuna ngozi
zao, na kuivunja mifupa yao; naam, kuwakata vipande vipande kama kwa kutiwa
chunguni, na kama nyama sufuriani. 4 Ndipo
watakapomwomba Bwana, asiwaitikie; naam, atawaficha uso wake wakati huo, kwa
kadiri walivyotenda mabaya kwa matendo yao.
Waalimu wa dini
na hasahasa manabii huihubiri amani kwa makelele mengi wanapokuwa wamelishwa
vizuri lakini huwatangazia vita wale wasiowalisha kwa sababu ya maovu yao. Na
ndivyo lilivyo Kanisa la Mungu kwa kuwa kwa zaidi ya kipindi cha karne moja ya
Siku za Mwisho. Wanajitangaza kuwa ni manabii wa Mungu kwenye makanisa ya Mungu
tulimo kwenye yale ya Ufunuo sura 10 ambao wanautoa unabii kuwa mtamu kama
asali midomoni lakini matumbo yatakuwa machungu kwa ajili yake. Mungu
atashughulika na waalimu hawa wa uwongo katika Siku za Mwisho. Sio mara moja
kwenye karne ya ishirini kwa manabii hawa wa uwongo wa makanisa ya Mungu kutoa
kiusahihi unabii na waliwaongoa watu kutoka gizani (soma jarida la Unabii wa Uwongo (Na. 269)).
5 Bwana asema hivi katika habari za manabii
wanaowakosesha watu wangu; hao waumao kwa meno yao, na kulia, Amani; na mtu
awaye yote asiyetia kitu vinywani mwao, wao humwandalia vita. 6 Kwa hiyo itakuwa usiku kwenu, msipate kuona maono; tena
itakuwa giza kwenu, msiweze kubashiri; nalo jua litawachwea manabii, nao mchana
utakuwa mweusi juu yao. 7 Na hao
waonaji watatahayarika, na wenye kubashiri watafadhaika; naam, hao wote
watajifunika midomo yao; kwa maana; hapana jawabu la Mungu. 8 Bali mimi, hakika
nimejaa nguvu kwa roho ya Bwana; nimejaa hukumu na uwezo; nimhubiri Yakobo kosa
lake, na Israeli dhambi yake. 9 Sikieni haya, tafadhali, enyi vichwa vya nyumba ya Yakobo, mnaoitawala
nyumba ya Israeli, mnaochukia hukumu, na kuipotosha adili. 10 Wanaijenga Sayuni
kwa damu, na Yerusalemu kwa uovu. 11 Wakuu wake huhukumu ili wapate rushwa, na
makuhani wake hufundisha ili wapate ijara, na manabii wake hubashiri ili wapate
fedha; ila hata hivyo watamtegemea Bwana, na kusema, Je! Hayupo Bwana katikati
yetu? Hapana neno baya lo lote litakalotufikia. 12 Basi, kwa ajili yenu, Sayuni utalimwa kama
shamba lilimwavyo, na Yerusalemu utakuwa magofu; na mlima wa nyumba utakuwa
kama mahali palipoinuka msituni.
Ufisadi
unaongezeka sana kwenye mataifa ya dunia kiasi kwamba inabidi hukumu ya kifo
irudi tena ili kwamba wanasiasa wote na wakiritimba wa vichwa ngunu na mahakimu
na wenye vichwa vikorofi na mafisadi wahukumiwe kifo na wauawe ili kuyaondoa
maovu kama haya katika yetu.
Sura ya 4 kisha
inaenda mbele kwenye Nyakati za Mwisho wakati mlima wa nyumba ya Bwana
utakapoanzishwa huko Sayuni kipindi cha utawala wa Masihi. Sheria zilizoagizwa
kwenye Torati ya Mungu zitaanza kutumika na ulimwengu wote utazishika pamoja na
taratibu zote na Sikukuu au vinginevyo wataadhibiwa na hawatapata mvua kwa
majira muafaka na watataabika kwa magonjwa au tauni ya Misri kama Mungu
anavyowaonyesha wanadamu kupitia nabii Zekaria, na walimuua kwa sababu ya unabii
wake. Kikanuni, makuhani na manabii wa Israeli wamekuwa ni chanzo cha uovu
zaidi a kuwa ufumbuzi. Ni wao ndio waliwaua manabii ambao Mungu aliwatuma kwao na
kuwatesa wateule wa kanisa la Mungu. Walibobea kumuabudu Baali na kumwamini
Mungu Jua na kuacha kuzishika sheria na Ushuhuda wa Mungu.
Unabii huu ni wa
millennia kutokana na tukio na mchakato wa nyakati za utumwa.
1 Lakini itakuwa katika siku za mwisho, ya
kwamba mlima wa nyumba ya Bwana utawekwa imara juu ya milima, nao utainuliwa
juu ya vilima; na watu wa mataifa watauendea makundi makundi. 2 Na mataifa mengi watakwenda na kusema, Njoni, twende juu
mlimani kwa Bwana, na nyumbani kwa Mungu wa Yakobo; naye atatufundisha njia
zake, nasi tutakwenda katika mapito yake; kwa maana katika Sayuni itatoka
sheria, na neno la Bwana litatoka Yerusalemu. 3 Naye
atafanya hukumu kati ya watu wa kabila nyingi, naye atawakemea mataifa wenye
nguvu walio mbali; nao watafua panga zao ziwe majembe, na mikuki yao iwe
miundu; taifa halitainua upanga juu ya taifa lingine, wala hawatajifunza vita
tena kamwe. 4 Bali wataketi kila mtu chini ya mzabibu wake,
na chini ya mtini wake; wala hapana mtu atakayewatia hofu; kwa kuwa kinywa cha
Bwana wa majeshi kimesema hivi. 5 Kwa maana
mataifa yote watakwenda, kila moja kwa jina la mungu wake, na sisi tutakwenda
kwa jina la Bwana, Mungu wetu, milele na milele. 6 Katika siku
ile, asema Bwana, nitamkusanya yeye achechemeaye, nami nitamrudisha yeye
aliyefukuzwa, na yeye niliyemtesa. 7 Nami
nitamfanya yeye aliyechechemea kuwa mabaki, na yeye aliyetupwa mbali kuwa taifa
lenye nguvu, na Bwana atawamiliki katika mlima Sayuni tangu sasa na hata
milele. 8 Na wewe, Ee mnara wa kundi, kilima cha binti
Sayuni, utajiliwa; naam, mamlaka ya kwanza yatakuja, ufalme wa binti
Yerusalemu. 9 Sasa mbona unapiga kelele? Je! Hakuna mfalme
kwako, mshauri wako amepotea, hata umeshikwa na utungu kama mwanamke wakati wa
kuzaa? 10 Uwe na utungu, utaabike ili uzae, Ee binti
Sayuni, kama mwanamke mwenye utungu; maana sasa utatoka mjini, nawe utakaa
katika mashamba; utafika hata Babeli; huko ndiko utakakookolewa; huko ndiko
Bwana atakakokukomboa katika mikono ya adui zako. 11 Na sasa mataifa mengi wamekusanyika juu yako, wasemao, Na
atiwe unajisi; macho yetu na yaone shari ya Sayuni. 12 Lakini wao hawayajui mawazo ya Bwana, wala hawafahamu
shauri lake; kwa maana amewakusanya kama miganda sakafuni. 13 Haya, simama upure, Ee binti Sayuni; kwa maana nitafanya
pembe yako kuwa chuma, na kwato zako kuwa shaba; nawe utaponda-ponda mataifa
mengi, na faida yao utaiweka wakfu kwa Bwana, na mali zao kwa Bwana wa dunia
yote.
Kwa hiyo Yuda
waliambiwa mapema kuwa watakwenda utumwani na hawakutubu na ndipo walirudi ili
kuanzisha mchakat kwa ajili ya Masihi na kisha uteka au utumwa wa pili na
utawanyiko ulitokea tangu mwaka 70 BK mwishoni mwa majuma 70 ya miaka ya nabii
Danieli 9:23-27 (pia soma jarida la Ishara ya Yona na Historia ya Ujenzi Tena wa Hekalu (Na.
013)).
Sura ya 5 nayo
inaendelea kwa kueleza kwa kina ujio wa Masihi na mahali pa ukoo wake huko Bethlehemu
Ef’rata. Ndipo unabii unaendelea mbele kwa kina na Masihi akatolewa (soma
Zaburi 110:1ff) hadi ndugu zake wote, ambao ni wateule wa Mungu (wa Zekaria
12:8) wanapelekwa kwenye Yubile ya 40 ya kanisa kuwa jangwani sawasawa na unabii
wa Ishara ya Yona ya Yubile moja kuilinganisha na mwaka mmoja.
1 Sasa utajikusanya vikosi vikosi, Ee binti wa vikosi;
yeye amemhusuru; watampiga mwamuzi wa Israeli shavuni mwake kwa fimbo. 2 Bali wewe, Bethlehemu Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni
mwa elfu za Yuda; kutoka kwako wewe atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika
Israeli; ambaye matokeo yake yamekuwa tangu zamani za kale, tangu milele. 3 Kwa sababu hiyo atawatoa, hata wakati wa kuzaa kwake
aliye na utungu; ndipo hayo mabaki ya nduguze watawarudia wana wa Israeli. 4 Naye atasimama, na kulisha kundi lake kwa nguvu za Bwana,
kwa enzi ya jina la Bwana, Mungu wake; nao watakaa; maana sasa atakuwa mkuu
hata miisho ya dunia. 5 Na mtu huyu atakuwa amani
yetu; wakati Mwashuri atakapoingia katika nchi yetu, na kuyakanyaga majumba
yetu, hapo mtaondokesha wachungaji saba juu yake, na wakuu wanane. 6 Nao wataiharibu nchi ya Ashuru kwa upanga, na nchi ya
Nimrodi katika malango yake; naye atatuokoa na Mwashuri, atakapoingia katika
nchi yetu, na kukanyaga ndani ya mipaka yetu. 1 Sasa
utajikusanya vikosi vikosi, Ee binti wa vikosi; yeye amemhusuru; watampiga
mwamuzi wa Israeli shavuni mwake kwa fimbo. 2 Bali wewe,
Bethlehemu Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka kwako
wewe atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israeli; ambaye matokeo yake
yamekuwa tangu zamani za kale, tangu milele. 3 Kwa sababu
hiyo atawatoa, hata wakati wa kuzaa kwake aliye na utungu; ndipo hayo mabaki ya
nduguze watawarudia wana wa Israeli. 4 Naye
atasimama, na kulisha kundi lake kwa nguvu za Bwana, kwa enzi ya jina la Bwana,
Mungu wake; nao watakaa; maana sasa atakuwa mkuu hata miisho ya dunia. 5 Na mtu huyu atakuwa amani yetu; wakati Mwashuri
atakapoingia katika nchi yetu, na kuyakanyaga majumba yetu, hapo mtaondokesha
wachungaji saba juu yake, na wakuu wanane. 6 Nao
wataiharibu nchi ya Ashuru kwa upanga, na nchi ya Nimrodi katika malango yake;
naye atatuokoa na Mwashuri, atakapoingia katika nchi yetu, na kukanyaga ndani
ya mipaka yetu.
Kwa hiyo ni budi
kuwa Masihi alikuwepo hata kabla ya kuzaliwa kwake duniani na alisimama kwa
uweza wa Bwana Mungu wake (kama tulivyoona kwenye Zaburi 45:6-7; pia soma
Zaburi 72:7; Isaya 9:6-7; Zekaria 9:10). Pia soma jarida la Mika 5:2-3 (Na. 121).
Masihi amepewa wachungaji
saba wanaouathiri na kuipiga vita imani mchanganyiko ya Waashuru na Wababeloni
na pia wafalme wanane wa wanadamu. Ukweli ni kwamba kuna malaika saba wa
Makanisa Saba na zama saba za uwepo au vipindi vya Makanisa ya Mungu. Hawa
wanaiathiri na kuitokomeza imani na mapokeo ya kidini ya dini za waabudu Jua na
Imani za Kisirisiri na Kifumbo. Na pia wafalme nane wa wanadamu ni nguvu
iliyopo kutoka kwa watu wa Mungu chini ya kiongozi wao kwenye Nyakati za Mwisho.
Wanaunda mataifa manane na vikosi vinane vya majeshi. Nguvu za imani na mfumo
mchanganyiko wa Kiashuru na Kibabeloni vitaangamizwa na kusukumiwa tena huko
Mashariki ya Kati.
Masalia wa Yakobo
watatumiwa katika mataifa ili kwamba Wamataifa waletwe ndani na Waefraimu watasimama
kama jumuia ya mataifa na kwa yeye Mataifa watawatumainia (Mwanzo 48:15-16).
7 Na hayo mabaki ya Yakobo yatakuwa kati ya kabila nyingi
mfano wa umande utokao kwa Bwana, mfano wa manyunyu katika manyasi;
yasiyomngojea mtu, wala kuwakawilia wanadamu. 8 Na hayo
mabaki ya Yakobo yatakuwa kati ya mataifa, kati ya kabila nyingi, mfano wa
simba kati ya wanyama wa msituni, kama mwana-simba kati ya makundi ya kondoo,
ambaye, akiwa anapita katikati, hukanyaga-kanyaga na kurarua-rarua, wala hakuna
wa kuokoa. 9 Mkono wako na uinuliwe juu ya adui zako, na adui zako
wote wakauliwe mbali. 10 Kisha itakuwa katika siku
hiyo, asema Bwana, nitawakatilia mbali farasi zako watoke kati yako, nami
nitayaharibu magari yako ya vita; 11 nami nitaikatilia mbali
miji ya nchi yako, na ngome zako zote nitaziangusha; 12 nami nitakatilia mbali uchawi, usiwe mkononi mwako; wala
hutakuwa tena na watu wenye kutabana; 13 nami
nitakatilia mbali sanamu zako na nguzo zako, zitoke kati yako; wala hutaiabudu
tena kazi ya mikono yako. 14 Nami nitayang'oa maashera
yenu, yasiwe kati yako; nami nitaiangamiza miji yako. 15 Nami nitajilipiza kisasi katika hasira na ghadhabu juu ya
mataifa wasiosikiliza.
Ila Utaratibu na
imani yote itatakaswa kwenye hivi Vata vya Nyakati za Mwisho na Vikombe vya Ghadhabu ya
Mungu (Na. 141B). Imani na dini za waabudu siku ya
Jumapili ya Mungu Siri wa Jua ambayo
pia ni waadhimishaji wa Krismas na Easter zitangamizwa na kukomeshwa na kila
kasisi wa imani ile atatubu au vinginevyo atakufa. Watazishika Sabato na Miandamo ya Mwezi Mpya, la sivyo
watakufa (Isaya 66:23-24). Wataziadhimisha sikukuu za Mungu vinginevyo watakufa
(Zekaria 14:16-19).
Kila minara
mirefu na zakhari zilizosimikwa juu ya majengo ya makanisa madogo, makanisa
mkubwa wanayosalisha maaskofu wakuu, mahekalu au misikiti na kila sanamu na
alama kuu za kidini, vitaangamizwa na kutokomezwa. Hakuna kasisi asiyetubu,
wala rabi, wala imamu, au sheikh, gombera au mtawa atakayeachwa akiwa hai.
Sura ya 6 ndipo
Bwana anawataka Israeli na waliosalia humo wa kuingilia kwake kati na wokovu
wake kwao na hawakumsikiliza wala hawakumshukuru.
1 Basi sasa, sikieni asemavyo Bwana; Simama,
ujitetee mbele ya milima, vilima navyo na visikie sauti yako. 2 Sikieni, enyi milima, mateto ya Bwana, na ninyi, enyi
misingi ya dunia iliyo imara; kwa maana Bwana ana mateto na watu wake, naye
atahojiana na Israeli. 3 Enyi watu
wangu, nimewatenda nini? Nami nimewachosha kwa habari gani? Shuhudieni juu
yangu. 4 Kwa maana nalikupandisha kutoka nchi ya
Misri, na kukukomboa utoke katika nyumba ya utumwa, nami naliwapeleka Musa, na
Haruni, na Miriamu, watangulie mbele yako. 5 Enyi watu
wangu, kumbukeni sasa alivyouliza Balaki, mfalme wa Moabu, na alivyojibu
Balaamu, mwana wa Beori; kumbukeni toka Shitimu hata Gilgali, mpate kuyajua
matendo ya haki ya Bwana. 6 Nimkaribie
Bwana na kitu gani, na kuinama mbele za Mungu aliye juu? Je! Nimkaribie na
sadaka za kuteketezwa, na ndama za umri wa mwaka mmoja? 7 Je! Bwana atapendezwa na elfu za kondoo waume, au na elfu
kumi za mito ya mafuta? Je! Nimtoe mzaliwa wangu wa kwanza kwa kosa langu, mzao
wa mwili wangu kwa dhambi ya roho yangu?
Mungu amewaonyesha
kuwa hahitaji dhabihu kubwa bali anataka haki na rehema na kuenenda kwa unyenyekevu
na Mungu wetu. Anataka utii
na sio sadaka ama alivyosema kupitia nabii Samweli.
8 Ee mwanadamu, yeye amekuonyesha yaliyo mema;
na Bwana anataka nini kwako, ila kutenda haki, na kupenda rehema, na kwenda kwa
unyenyekevu na Mungu wako! 9 Sauti ya Bwana
inaulilia mji, na mtu mwenye akili ataliona jina lako; isikieni hiyo fimbo na
yeye aliyeiagiza. 10 Je! Hata
sasa hazina za uovu zingalimo nyumbani mwa wabaya, na kipimo kilichopunguka,
ambacho ni chukizo? 11 Je! Naweza
kuwa safi nami nina mizani ya udhalimu, na mfuko wa mawe ya kupimia ya
udanganyifu? 12 Kwa maana matajiri wake wamejaa jeuri, na
wenyeji wake wamesema uongo, na ulimi wao una udanganyifu kichwani mwao.
Hatimaye Mungu
anawalaumu na kuwakemea watawala na matajiri wa Israeli wa makundi yote mawili,
yaani wa kabila na wa mji. Walikuwa
walaghai sana na waongo na utajiri wao ulikuwa na maovu mengi. Vipimo vy
udanganyifu na mizani ya uwongo zilikuwa pamoja nao na ushahidi wa uwongo
uliongezeka miongoni mwao. Mungu aliwatangazia maafa yao. Ameanza kuwapiga na
atawafanya kuwa ukiwa kwa sababu ya dhambi zao. Atatuadhibu kwa njaa na
hatutaweza kuokoka na kila tunachokifanya ni kujiingiza kwenye mkatale wa
upanga. Ziku zote za Nyakati hizi za Mwisho mambo haya yataongezeka ili kwamba
kama Masihi hakurudi mapema, basi hakuna mwenye mwili atakayebakia hai.
13 Basi, kwa ajili ya hayo, mimi nami nimekupiga kwa pigo
liumizalo sana; nimekufanya kuwa ukiwa, kwa sababu ya dhambi zako. 14 Utakula, lakini hutashiba; na fedheha yako itakuwa kati
yako; nawe utahama, lakini hutachukua kitu salama; na hicho utakachochukua
nitakitoa kwa upanga. 15 Utapanda,
lakini hutavuna; utazikanyaga zeituni, lakini hutajipaka mafuta; na hizo
zabibu, lakini hutakunywa divai. 16 Kwa maana
amri za Omri ndizo zishikwazo, na matendo yote ya nyumba ya Ahabu, nanyi
mnakwenda katika mashauri yao; ili nikufanye kuwa ukiwa, na wenyeji waliomo
humo kuwa zomeo; nanyi mtayachukua matukano waliyotukanwa watu wangu.
Kumbuka kuwa
wanazishika sheria za uwongo na potovu za mataifa na za dini za miungu Jua,
Dini za Kisirisiri za Ahabu na Yezebeli lakini sio Torati ya Mungu. Wanazishika
sheria zilizotungwa na Wababeloni na zile za Mataifa Yaliyoungana na kuiacha
Torati ya Mungu. Kwa sababu hii wataadhibiwa wote. Kila kitu kinachotumika
kwenye dini hizi za waabudu Jua na Dini za Imani Fumbo vitaondolea mbali na
kufutwa chini ya mbingu.
Kwenye sura ya 7 tunaona
kwamba hakuna wachamungu walioachwa juu ya dunia wa namna yoyote au kiwango.
Hakuna mwenyehaki au mchamungu aliyeachwa. Wanadanganya wakivizia damu na kila
mmoja anamuwinda ndugu yake kwa wavu. Kwa hiyo, ni sasa na kwa ulimwengu wote
na Wasemitiki wamebadilika kuwa wadhalimu na washenzi. Uadilifu na uchamungu na
haki vimekimbia kutoka kwa wanadamu. Rushwa na ufisadi vimetawala ulimwenguni kote.
Usimwamini mtu
yeyote hata Yule wa kifuani mwako. Hata kwenye makanisa ya Mungu tumewaona
watoto wakiwafanyia wazazi wao vibaya na tumewashuhudia waliokufa wakiwa vijana
kwa sababu ya uzushi wao.
Hata hivyo, mwenyehaki
ataishi kwa imani na watakombolewa na Mungu kama tunavyoona hapa.
1 Ole wangu! Maana mimi ni kama hapo
walipokwisha kuyachuma matunda ya wakati wa hari, kama zabibu zichumwazo baada
ya mavuno; hapana shada la kuliwa; roho yangu inatamani tini iivayo kwanza. 2 Mtu amchaye Mungu ametoweka, asionekane katika nchi, wala
hapana mtu mwenye adili katika wanadamu; wote huotea ili kumwaga damu; kila mtu
humwinda ndugu yake kwa wavu. 3 Mikono yao
inayashika mabaya wayatende kwa bidii; mtu mkuu aomba rushwa, kadhi yu tayari
kuipokea; mtu mkubwa hunena madhara yaliyomo rohoni mwake; hivyo ndivyo
wayafumavyo hayo pamoja. 4 Mtu aliye
mwema miongoni mwao ni kama mbigili; mtu aliye mwenye adili miongoni mwao ni
mbaya kuliko boma la michongoma; hiyo siku ya walinzi wako, yaani, siku ya
kujiliwa kwako, imefika; sasa kutatokea kufadhaika kwao. 5 Msimwamini rafiki, msimwekee kiongozi tumaini; ilinde
milango ya midomo ya kinywa chako ili mkeo alalaye kifuani mwako asijue habari.
6 Kwa maana mwana humwaibisha babaye, na binti
huondoka ashindane na mamaye; na mwanamke aliyeolewa hushindana na mavyaaye;
adui za mtu ni watu wa nyumbani mwake mwenyewe. 7 Lakini mimi,
nitamtazamia Bwana; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia. 8 Usifurahi juu yangu, Ee adui yangu; niangukapo, nitasimama
tena; nikaapo gizani, Bwana atakuwa nuru kwangu. 9 Nitaivumilia
ghadhabu ya Bwana, kwa kuwa nimemwasi; hata atakaponitetea teto langu, na
kunifanyia hukumu; atanileta nje kwenye nuru, nami nitaiona haki yake.
Kumbuka kuwa
yatupasa kuwa na hasira ya Bwana kwa kuwa tumetenda dhambi sisi sote. Mtu yeyote
mkali anayesema kuwa hana dhambi ni muongo na kweli haimo ndani yake (1Yohana
1:8-10).
Kwa kupitia
upendo na utauwa wa wateule watu wote watarudi kwenye nchi ya Israeli kutoka ulimenguni
kote. Dunia itabaki ukiwa na maganjo kwa sababu ya dhambi zake lakini watarudi
ili warejeshwe tena na miujiza ya Mungu chini ya Masihi italeta toba kwa
mataifa.
10 Ndipo adui yangu ataliona jambo hilo, na aibu
itamfunika, yeye aliyeniambia, Yuko wapi Bwana, Mungu wako? Macho yangu
yatamtazama; sasa atakanyagwa kama matope ya njia kuu. 11 Ni siku ya kujengwa kuta zako! Siku hiyo mpaka
utasongezwa mbali. 12 Siku hiyo
watakujia kutoka Ashuru na miji ya Misri, na kutoka Misri mpaka huo Mto, na
kutoka bahari hii mpaka bahari hii, na kutoka mlima huu mpaka mlima huu. 13 Hata hivyo nchi itakuwa ukiwa kwa sababu ya hao wakaao
ndani yake, kwa sababu ya matunda ya matendo yao. 14 Walishe watu wako kwa fimbo yako, kundi la urithi wako,
wakaao peke yao, mwituni katikati ya Karmeli; na walishe katika Bashani na
Gileadi, kama siku za kale. 15 Kama katika
siku zile za kutoka kwako katika nchi ya Misri nitamwonyesha mambo ya ajabu. 16 Mataifa wataona, na kuzitahayarikia nguvu zao zote;
wataweka mikono yao juu ya vinywa vyao, masikio yao yatakuwa na uziwi. 17 Watayaramba mavumbi kama nyoka, kama vitu vitambaavyo juu
ya nchi watatoka katika mahali walimojificha, wakitetemeka; watakuja kwa Bwana,
Mungu wetu, kwa hofu, nao wataogopa kwa sababu yako. 18 Ni nani aliye Mungu kama wewe, mwenye kusamehe uovu, na
kuliachilia kosa la watu wa urithi wake waliosalia? Hashiki hasira yake milele,
kwa maana yeye hufurahia rehema. 19 Atarejea na
kutuhurumia; atayakanyaga maovu yetu; nawe utazitupa dhambi zao zote katika
vilindi vya bahari. 20 Wewe utamtimilizia
Yakobo kweli yako, na Ibrahimu rehema zako, ulizowaapia baba zetu tangu siku za
kale.
Utawala au
kipindi cha milenia utaendeshwa kutoka Yerusalemu na kwa kuwatumia wana wa
Yakobo na uzao wa Ibrahimu kutoa viongozi na utaratibu kupitia Masihi na
wateule.
Sehemu ya
Nyongeza ya Ufafanuzi wa Kitabu cha Mika
Mika anatoka
karibu kwenye zama moja hiyohiyo na Isaya na Amosi. Maisha ya Isaya kwenye
kitabu yanafananishwa kwa sehemu na 2Wafalme hususan 18:13-20:21. Inadhaniwa
kuwa alizaliwa Yerusalemu mnamo mwaka 760 au kabla yake. Wito wake aliupata katika mwaka ambao Mfalme
Uzia alifariki (yaani mwaka 742). Alioa na anamtaja mke wake kuwa ni nabii mke
(Isaya 8:3). Huduma yake idumu kwa miaka 40 wakati wa tawala za wafalme Uzia, Yothamu,
Ahazi na Hezekia (Isaya 1:1). Tunapomsikia Isaya kwa mara ya mwisho ni
kwenye kitisho cha Senakaribu kuuitishia Yerusalemu mwaka 701 KK.
Alipata wito wake
akiwa Hekaluni karibu na mahali patakatifu au maskani.
Anaripotiwa kuwa
aliuona nusu wakati wa utawala wa Manase mwana wa Hezekia (687-642 KK) (sawa na
Waebrania 11:37 na 2Wafalme 21:16 na Yoshua Antiq. x, 3.1). Manase
alikuwa na umri wa miaka 12 wakati alipoanza kuwa mfalme na alipendezwa na
ibada za Waashuru na alirudisha ibada za Baali na kupajenga tena Mahali pa Juu
pa kumfanyia ibada. Bila shaka alipingwa na kukemewa na nabii Isaya na manabii
wengine na inaripotiwa kuwa aliwaua wengi sana miongoni mwao.
Pia Yeremia
aliyanukuu moja kwa moja maandiko ya Mika 26:16-19 na kudhania kuhusu baadhi ya
maandiko ya Mika yasiyoandikwa na yeye mwenyewe ni mambo yanayodhaniwa kuwa ya
uwongo.
Inaonekana kwamba
Isaya na Mika walichaguliwa na Mungu ili kuweka hukumu yake kwenye modomo ya
mashahidi wawili (soma Isaya 1:1 na Mika 1:1).
Aliona kuwa Mika
alikuwa ni wa kutoka mara tu kabla ya mwisho wa utawala wa Yothamu mwaka 735 tangu
mwaka 739-693 KK. Kwa hiyo Isaya alikuwa ameitwa na kuanza kutumika rasmi tangu
mwaka 742 KK na Mika alifuatia miaka kadhaa baadae na aliishia miaka minane baada
ya tuliposikia mara ya mwisho kutoka kwa Isaya lakini huenda ni miaka michache tu
baada ya kufa kwake. Tarehe alizokadiria Bullinger sio sahihi kwa sababu hii. Kwa
vyovyote vile, amefanya ulinganisho yanayotumika kwenye maandiko yaliyo kwenye
tafsiri ya the Companion Bible.
Bullinger anasema
kuwa tunaweza kuona “kwa kulinganisha Mika 4:10 na Isaya 39:6, tuna jambo
linguine lenye maneno yanayofanana linalojitokeza kwa manabii wawili tofauti,
na mengine yamehitimishwa kwamba nabii mmoja alinukuu kutoka kwa mwenzake,
inatokana na hii, ni dhana fulna iliyojengeka kwa watu hadi leo, nk. Lakini
hakuna mabishano yaliyopo yanaweza kuchukuliwa kuwa msingi kwenye matukio kama
haya; kwa sababu rahisi ambazo hatushughuliki nazo na maneno ambayo Mungu
anayanena ya manabii, lakini maneno ambayo Mungu aliyanena kwa kuwatumia wao (Waebrania
1:1, nk). Kwa hakika Mungu anaweza kunena maneno hayohayo, hata kwa maneno
yanayolingana tu, kwa manabii wake wawili, watatu au hata zaidi. Kama mahitaji
yalikuwa ni sawa, ni kwanini basi maneno yasilingane?" kama tulivyoona
kipindi karibu kinajiri kwa Mika na Isaya kilikuwa ni cha karibu ni kilekile
kabisa. “Si ajabu basi kwamba mzingira yalihitaji maneno hayohayo, yakisisitiza
uthibitisho wa Neno la Yehova ‘kwa kinywa cha mashahidi wawili au watatu’. Wote
wawili walikuwa peke yao, wakiwa hawana wazo la ‘kunukuu’ aliyoyasema mmoja wao
na kuyatia kwa mwingine, kama inavyodaiwa na mwandishi wa kitabu shajara toleo
la kumi na moja maarufu kama The Encyclopedia Britannica, eleventh (Cambridge)
edition, 1910, 1911, vol. xviii, p. 357, anayesema: ‘haiwezekani kuwa hivyo,
kama moja ya kurasa hizi (Mika 4-7) zinaweza kumwelezea Mika mwenyewe’. Hii inasemekana
kwenye uso wa ukweli kwamba Yeremia (Mika 26:16-19) yawezekana alinukuu na
kumtaja Mika.
Maandiko
yafuatayo kutoka kwenye milinganisho inayotumika:
Mika 1:9-16, Isaya 10:28-32.
Mika 2:1, Mika 2:2, Isaya 5:8.
Mika 2:6, Mika 2:11,
Isaya 30:10,11.
Mika 2:11, Isaya 28:7.
Mika 2:12, Isaya 10:20-23.
Mika 3:5-7, Isaya 29:9-12.
Mika 3:12, Isaya
32:14.
Mika 4:1, Isaya 2:2.
Mika 4:4, Isaya 1:20 .
Mika 4:7, Isaya 9:7.
Mika 4:10, Isaya 39:6.5.
Mika 2-4, Isaya 7:14.
Mika 5:6, Isaya 14:25.
Mika 6:6-8, Isaya 58:6, Isaya 58:7.
Mika 7:7, Isaya 8:17.
Mika 7:12, Isaya 11:11.
Notisi za Bullinger
kutoka kwenye tafsiri ya Companion Bible ni kama zifuatavyo.
Maangamizi katika Israeli na Yuda Mika 1:1
Neno la BWANA. Mahali pekee palipojitokeza usemi huu kwenye kitabu hiki:
kunatufanya tupokee hii kutoka kwa Yehova, na sio Mika, na kuiona kalamu ya
Mika lakini ikiandika maneno ya Yehova.
BWANA. Kwa Kiebrania Yehova, ukurasa wa Nyongeza 4.
Mika = Ni nani kama Yehova? Ni kifupi cha Mikaiya (2Nyakati 18:7, nk.); limeatumika
kwenye Yeremia 26:18 (kwa Kiebrania). Linganisha na 7:18.
Watata: Mareshah (aya ya 15) au Moreshethi-gathi (aya ya 14); sasa ni Tel
Sandahanna, huko Shefela, au uwanda, kati ya Yudea na Ufilisti. Kwenye uchimbuzi
katika Sandahanna jina la zamani linalonekana kama Marissa. Marissa lilikuwa ni
koloni la Wasidoni (karne ya 3 KK), na baadae ulitumika kama mji mkuu wa Idumea ya Waedomu
wakati wa utumwa wa Yuda (tazama Taarifa za Nyuma, au Records of the Past, vol.
iv, part x, pp. 291-306).
Aliyoiona. Linganisha na Isaya 1:1. Obadia 1:1. Nahumu 1:1.
Kuhusu, nk. Hii inahitimisha somo au fundisho.
Mika 1:2
Sikieni watu wote. Mika anaanza kwa kuweka maneno ya kuhitimisha na mengine
ya Mika au Mikaya (1Wafalme 22:28), na inarudiwa kwenye 3:1, 9; 6:1, 2. Mara
tano, sio mara tatu, kama wanavyosema wengine; na hawafanyi namna yoyote ya
kimuundo wa kitabu chote. Rejea kwenye vitabu vya Torati. (Kumbukumbu la Torati
32:1). Nyongeza 92.
Ninyi nyote = enyi watu, wao wote.
watu = enyi watu wote. Inajumuisha na sisi wenewe.
Vyote vilivyomo ni = utimilifu wake.
Mungu na awe shahidi. Rejea kwenye vitabu vya Torati, (Mwanzo 31:50).
Bwana. Kwa Kiebrania Adonai. Nyongeza na. 4.
MUNGU, kwa Kiebrania Yehova, Nyongeza na. 4.
BWANA*. Moja ya maeneo 134 ambayo Sopherim anasema waliyabadilisha
"Yehova" kwenye maandiko ya zama kale na kuandika "Adonai".
Tazama Nyongeza na. 32.
Kutoka kwenye hekalu lake takatifu. Linganisha na Zaburi 11:4. Yona 2:7.
Habakuki 2:20.
Takatifu. Tazama kwenye Kutoka 3:5.
Mika 1:4 milima, nk. Aya hii inatabiri maafa au msiba wa kwenye 2Wafalme 17 na 25.
Mika 1:5
Kutenda maovu = uasi. Kwa Kiebrania pasha'.
Nyongeza na. 44.
Dhambi. Kwa Kiebrania chata'.
Nyongeza na. 44. Aramu, na Syria soma imba.
Nini = Ambaye.
Je, sio Samaria? = je, sio za Wasamaria [ibada za sanamu]? Lugha ya mfano. Erotesis. Nyongeza na. 6.
Mahali pa Juu. Linganisha na 1Wafalme 12:31; 14:23. Ezekieli 6:6. Hii ilidumu
katika Yerusalemu (Yeremia 32:35); ndiyo kutajwa kwao kwenye maswali zaidi. Lugha
ya mfano. Erotesis. Linganisha na 2Wafalme 16:4.
Je, hao sio Yerusalemu? = Je, hii sio ya Yerusalemu [madhabahu za vinyago]?
Mika 1:6
Gundua, nk. Hii sasa ni ya hivi karibuni (1911) ilifanwa ni kilimwengu na
wauza mvinyo Warabu.
Mika 1:7
Sanamu za kuchonga. Kwa kiebrania pesilim.
Rejea kwenye vitabu cha Torati. (Kutoka 20:4). Nyongeza na. 92.
Warithi. Ni neno la kitaaluma la kwenye vitabu vya Torati linalomaanisha
ajira ya kahaba, ambayo kwayo ibada za sanamu zinalinganishwa kwayo. Linganisha
na Hosea 8:9, 10; 9:1. Rejea kwenye Kitabu cha Torati. (Kumbukumbu la Torati
23:18). Linganisha na Nyongeza 92.
Watarudi, nk.: yaani, mali au utajiri uliopatikana kutokana na ibada za
sanamu utachukuliwambali na waabudu sanamu wa Kiashuru.
Mika 1:8
Lia kwa huzuni = ombolaza. Linganisha na Muundo hapo juu; na kufanya
uzito wa “mzigo” wa nabii.
Majoka = mbweha.
Bundi. Kwa Kiebrania ni kilio cha mabinti makahaba.
Mika 1:9
Jeraha = mshituko. Kwa Kiebrania makkah (maarufu)
Hiki. Kwa KiaAramu na Kisyria husomeka "yeye mwanamke". Inamaanisha
mstuko wake, ambao ni maarufu.
Yeye mwanaume = mwanaume, inataja wale maadui wasiotajwa. Kwa Kiaramu na
Kisyria husomeka, “mwanamke”, ikionyesha “mshituko” wa hukumu.
Lango. Linganisha na Obadia 1:11, 13.
Mika 1:11
Unipitie mbali: yaani kwenda utumwani.
Saphir, kupata aibu yako, nk. Hapa tunakuwa na mkanganyo. Saphir = Mji
mzuri, aibika pamoja na uzuri wake; sasa es Suafir.
Mkazi wa Zaanani ambaye hajaja bado. Kwa Kiebrania hajaenda . . . Zaanani. Kwa
Kiebrania. Kwa lugha fumbo ni Paronomasia (Nyongeza na. 6): lo yatz'ah . . .
tz'anan = hajatoka nje [kuomboleza] ana mkazi wa Nyuma ya nje.
Asubuhi . . . kiwango chake. Inaanza na sentensi nyepesi hapa; “matatizCo
ya Beth-ezeli (Mji-jirani) utakuwa ni jirani asiyefaa". Mkuu "kwa
mapenzi ya nyumba ya Bystander, kutoka kwako nenda kwenye chumba cha kusimama
au sebuleni".
Atapokea, nk; au atachukua kutoka kwao msaada wake.
Mika 1:12
Maroth alingojea kwa uangalifu mkubwa. Wanawake wakazi wa mji Mchungu
muuzunikie kwa uchungu mwingi kwa bidhaa zake [alizonyang’anywa].
Uovu = maafa makubwa. Kwa Kiebrania ra'a'.
Nyongeza 44.
BWANA. Kwa Kiebrania Yehova. Nyongeza 4. Sio kwa nasibu.
Lango la Yerusalemu. Kwnye Silinda ya Taylor, Senakarebu anataja kuvunjika
kwa lango lake (col. iii, lines 22:23).
Mika 1:13
Mwanaume mkazi = mwanamke mkazi.
Lakishi . . . chekecha maziwa. Kumbuka kugha Fumbo Paronomasia (Nyongeza na. 6). Kwa Kiebrania larekesh . . . lakish = [funga gari la farasi] kwenye
nyumba, Ewe Mwanamke mkazi wa Mji wa farasi,
Lakishi. Sasa Ummtum Lakisi, au Tell el Hesy. Soma notisi kwenye 2Wafalme
14:19; 19:8.
mwanamke. Kwa dhahiri ni Samaria. Linganisha na aya ya 5:9; 6:16.
Mika 1:14
Toa wakilisha kwa = toa raslimali kwa.
Akizib . . . uwongo. Kumbuka lugha Fumbo ya Paronomasia, = nyumba ya mji wa
Uwongo ('Akzib) atabaini uwongo (iakzab).
Achzib. Sasa es Zib (Yoshua
15:44; 19:29. Waamuzi 1:31).
Mika 1:15
Mrithi . . . Mareshah. Kwa Kiebrania mmliki (hayyoresh) . . . Ee
Raslimali (Mareshah). Mmiliki ambaye Yehova angemleta ilikuwa ni Ashuru.
Atakuja, nk. Utukufu: yaani muungwana (Isaya 5:13) wa Israeli atakwenda (au
kukimbilia) kwenye [pango] la Adulamu; kama Daudi alivyofanya (1Samweli 22:1).
Mika 1:16
Nyoeni vipara, nk. Ishara ya kuomboleza. Linganisha na Ayubu 1:20. Isaya 15:2; 22:12. Yeremia 7:29; 16:6; 47:5;
48:37). Hii imeelekezwa kwa Yuda. Ilikatazwa chini ya sheria (Kumbukumbu la
Torati 14:1). Yuda wamekuwa kama wamataifa: na waomboleze kama wamataifa
wapagani.
Watoto = wana.
Olee kwa Wadhulumaji Mika
2:1
Uovu. Kwa Kiebrania 'aven. Nyongeza na. 44. Sio neno linalofanana
kama lilivyo kwenye 3:10. Kumbuka uponzi kwenye aya za 1, 2. Soma muundo
uliopo, ukurasa wa 1253.
Kazi = mpango.
Uovu = udhaifu. Kwa Kiebrania ra'a'.
Nyongeza ya 44.
Ni = uwepo. Kwa Kiebrania yesh. Soma andiko la Mitahli 8:21.
Kwa nguvu za mikono yao. Kiambishi cha vitabu vya Torati. Rejea kwenye
kitabu cha Torati (Mwanzo 31:29). Linganisha na Mithali 3:27. Nehemia 5:5. Halionekani
pengine popote.
Mika 2:4
Chukulia kama mfano. Rejea kwenye kitabu cha Torati (Hesabu 23:7, 18; 24:3,
15, 20, 23). Imetokea mara mbili kwenye Ayubu (Ayubu 27:1; 29:1); mara moja kwenye
Isaya (Isaya 14:4); mara moja kwenye Habakuki (Habakuki 2:6). Halipo pengine
popote. Nyongeza ya 92. Kumbuka lugha ya Mafumbo FigChleuasmos (Nyongeza ya 6).
Omboleza kwa maobolezo na huzuni. Kumbuka lugha
Fumbo Polyptoton na Paronomasia (Nyongeza ya 6), kwa msisitizo. Kwa Kiebrania
venahah nehi nihyah = sikitika masikitiko ya ole.
Badilika = badilika [kwa ubaya]. Kwa Kiebrania mur; sio halaph = imebadilika
[kwa uzuri]. Soma Walawi 27:10.
Kugeukia mbali = kuwa mpagani mmataifa: yaani adui wetu Muashuru.
Mika 2:5
Pigia kura mnyororo. Inamaanisha desturi, ambayo, inayokizunguka kila
kijiji katika Palestina, nchi ligawanywa kwa kura kila mwaka kwa familia
mbalimbali; kwa hiyo, maelezo yaliyo kwenye Zaburi 16:6, "kamba" lililowekwa
kwa lugha Fumbo ya Metonymy (kwa kweli), Nyongeza ya 6, kwa eneo
au kipande cha ardhi kilichowekwa alama na hiyo. Ni kwa hiyo = gawanya urithi
wako. Rejea kwenye Torati (Hesabu 26:55, 56). Nyongeza ya 92.
Kusanyiko = mkusanyiko. Linganisha na Kumbukumbu la Torati 23:1-3, Kumbukumbu
la Torati 23:8.
Mika 2:6
Unabii = Sio kubwabwaja.
Wakiasemezana wao kwa wao unabii = kwa hiyo walisemasema hovyo.
Hawatatabiri. Sio neno la kawaida kwa unabii, lakini kwa Kiebrania ni
nataph.
Wao: yaani hawa manabii wa uwongo.
Wao = kama kwa vitu hivi: yaani matendo haya ya Yehova.
Kwamba, nk. Kuwapa, "[usemi], ni lazima awaondolee mbali hawa watesaji
na wadhulumaji".
Mika 2:7
Yakobo. Tazama maandiko ya Mwanzo 32:28; 43:6; 45:26, 28.
Ni Roho, nk.? Reja kwenye Totati (Hesabu 11:23, ni neno moja hilihili). Nyongeza
ya 92.
Roho. Kwa Kiebrania ruach. Nyongeza ya 9.
Haifanyi = hawataki?
Yangu. Tafsiri ya Septuagint inasomeka "Yake", kama kwenye fungu
lililotangulia: au = si maneno yangu mazuri [asema Yehova]?
Tenda mema = ya kupendeza.
Mika 2:8
Hata kwa kuchelewa = Ni jana tu, au hivi karibuni: ukabaji na uporaji huu
wa barabarani ni mpya na uovu wa hivi karibuni.
Mika 2:10
Inuka wewe, nk. Kwa kawaida imenukuliwa kimakosa kwa nia njema; ila Muundo
unaonyesha hii kuwa ni sehemu ya maombolezo (ukurasa wa 1253).
Hii = hii [nchi].
Rejea kwenye Torati. (Kumbukumbu la Torati 12:9). Nyongeza ya 92.
yake: yaani hii [nchi].
Imechafuliwa. Rejea kwenye Torati. (Walawi 18:27, 28, ni neno moja). Nyongeza
ya 92.
Itaangamiza. Rejea kwenye Torati (Walawi 18:28; 20:22; 26:38). Linganisha
na Ezekieli 36:12-14.
Mika 2:11
Mvinyo. Kwa Kiebrania yayin.
Nyongeza ya 27.
Kinywaji kikali. Kwa Kiebrania shekar.
Nyongeza ya 27.
Nabii = kubwabwaja; kama kwenye 2:6. Kwa rahisi mletaji [wa maneno].
Mika 2:12
Nitafanya, nk. Tazama Utaratibu, ukurasa wa 1253.
Israeli. Tazama maandiko ya Mwanzo 32:28; 43:6; 45:26, 28.
ya Bozra: au, kwenye Septuagint, kwenye dhiki au mateso. Mshirika (aya za
12, 13) haiongelei rehema, lakini ya hukumu, ikienda sambamba na mshirika (1:2-4).
Sio "mabadiliko kamili", na hakuna "ahadi
kwa waliosalia" linganisha na Isaya 34:6. Amosi 1:12.
Piga kelele kubwa = kuwa kwenye rabsha.
Wanaume = wanadamu. Kwa Kiebrania 'adam.
Nyongeza ya 14.
Mika 2:13
Mvunjaji = Mtu anayefanya mavunyiko au anayevunja. Muashuru. Kwa Kiebrania paratz,
kama kwenye Kutoka 19:22, 24; 2Samweli 5:20. 1Nyakati 14:11; 15:13. Kwa ujumla
ni maana au mtazamo mbaya.
Iliyovunjika = iliyovunjwa.
Tolewa nje = tolewa kwa shuruti . . . [kwenda utumwani].
Itapita = imepita.
Juu ya = kwenye: kwa kuwa ni hukumu ya Yehova. Linganisha na 1:2-4.
Watawala Walimshutumu Mika
3:1
Sikia. Hii haina dalili ya Kimuundo. Ni uendelezaji wa vitisho dhidi ya
watawala (3:1-4, ukurasa wa 1253, kufananisha na "-3", 3:9-12, hapo
chini).
Wafalme = waamuzi.
Mika 3:3 wakatekate vipande,
kama wanakwenda kupikwa kwenye chungu = watawanyie
mbali, kama nyama za mwili kwa kuipika kenye chungu.
Mika 3:5
Kusea = potoka.
Uma kwa meno yao. Kuwapotosha kwa matendo ya kuabudu sanamu za wamataifa
wazungukao madhabahu za Baali, wakiuuma mzabibu kwa vinywa vyao na walihubiri
“amani”, ambapo mzabibu ukiwa ni mfano wake (Mfano 8:11). Linganisha na Zekaria
9:7.
Na yeye, nk = lakini ni kinyume chake asiyeweka [mzabibu] kinywani mwake
waliotangaza vita.
Vita = ya kupigania dini au ya kidini.
Mika 3:6 kwamba hatakuwa wa mbinguni. Rejea kwenye Torati, (Kumbukumbu la Torati 18:10,14. Hesabu 22:7; 23:23). Nyongeza ya 92.
Mika 3:10 uovu = udanganyifu. Kwa Kiebrania. 'aval. Nyongeza ya 44. Sio neno moja na
lililo kwenye 2:1.
Mika 3:12
Sayuni. Soma Nyongeza ya 68.
Kulimwa kama shambani. Hii ni kweli kwenye kiwanja cha Ofeli, lakini sio
kweli kwa kiwanja kilichozoeleka kusini magharibi mwa Yerusalemu. Tazama jarida la Nyongeza la 68. Linganisha na 1:6. Yeremia 26:18.
Yerusalemu. Mji ulio sawa na Mlima wa Moria.
Misaada = maangamizo. Kumbuka lugha ya Mfano Paronomasia (Nyongeza ya 6). Kwa Kiebrania yirushalaim 'iyyin. Linganisha
na 1:6.
Mlima wa nyumba. Moria na Hekalu. Soma Nyongeza ya 68.
Mahali pa juu msituni = kimo cha urefu wa msitu.
Maandiko kweeye tafsiri ya Companion Bible 1909, imasema hivi:
Mika 4:
Siku Zinazokuja za Amani
Mika 4:1
Katika siku za mwisho = katika mwisho wa siku zote. Hapa kunapelekwa kwenye
siku fulani iliyo mbele yetu. Rejea kwenye Torati (Mwanzo 49:1, ni andiko
hilohilo. Hesabu 24:14). Nyongeza 92. Linganisha na Isaya 2:2, nk. Ezekieli
38:8, 16. Hosea 3:5
Mlima, nk. Linganisha na 3:12; na soma Isaya 2:2-4. Nabii zote mbili
zinajitegemea, na ni ujalizo (soma Zaburi 24:3. Ezekieli 28:16).
BWANA. Kwa Kiebrania Yehova.
Nyongeza 4.
Imeanzishwa: kujikita sana: sio kwa wakati fulani tu.
Watu = manabii.
Mika 4:8
Mnara wa kundi. Kwa Kiebrania mnara
wa 'Eder. Rejea kwenye
Torati (Mwanzo 35:21; hakuna mahali pengine). Umetumika hapa kwa Bethlehemu (linganisha
na Mwanzo 35:19 na 5:2); hapa imejumuishwa na "Opheli" kwenye fungu
la maandiko, "mahali alipozaliwa Daudi" na ni "Mji wa Daudi".
Ngome kuu. Kwa Kiebrania 'Ophel.
Soma Nyongeza 68 na Nyongeza 54, mstari wa 21, "ngome", ukurasa 78. Soma
maandiko ya 2Nyakati 27:3.
Kwanza = zamani. Kwa kuandika hii linganisha na Kutoka 34:1 (meza). Hesabu 21:26 (wafalme).
Kumbukumbu la Torati 4:32; 10:10, nk. (siku). 2Nyakati
9:29; 16:11; 20:34 (matendo).
Mika 4:9
Kwanini wewe Unalia? Hii inamaanisha maumivu ya uzazi ya taifa jipya
litakalorudishwa tena katika siku hiyo na kwa wakati ule. Linganisha na Isaya
13:8; 21:3, nk.
Mika 4:10
Sasa = wakati huohuo: yaani kabla ya siku ile. Linganisha na 4:11 na 5:1.
Hata kwa = kwa kadiri ya. Linganisha na Isaya 39:7; 43:14.
Babeli. Yawezekana "ilivyokuwa machoni na upeo wa kisiasa wa Mika",
lakini ilikuwa ni ya Yehova. Linganisha na Amosi 5:25-27. Matendo 7:42, 43.
Hapa . . . kule. Sio marudio ya msisitizo: yaani kule na kisha katika siku
za mbele zijazo.
Komboa = komboa [kama ndugu wa damu wa karibu]. Kwa Kiebrania ga'al. Soma Kutoka 6:6.
Mika 4:11
Sasa = Wakati huohuo: kama ilivyo kwenye 4:10; 5:1. Rejea kwenye hali ya haraka
na kusukiza inayoashiria uadui.
Mataifa mengi. Linganisha na Isaya 33:3. Maombolezo 2:16. Obadia 1:11-13.
Jicho. Kwa hiyo baadhi ya maandiko, zenye machapisho mawili yaliyochapishwa
ya zamani kwa lugha za, Kiaramu., Kisyria, na Vulgate; lakini kwenye maandiko
ya Kiebrania inasomeka "machos". Linganisha na Zaburi 54:3.
Mika 4:12
Hawajui kitu chochote. Linganisha na Isaya 55:8. Yeremia 29:11.
Mawazo = makusudio, au mipango: yaani kwa Israeli kwa kulitakasa kutokana
na ibada za sanamu kwa dhiki na mateso yake.
Mashauri: yaani pamoja na wao wenyewe. Sababu inayofuatia.
Kwa: au, kile.
Sakafu = sakafu ya kupuria nafaka.
Mika 4:13
Kupura = kupura kama kwa kumtumia maksai.
Pembe . . . kwato. Inammnisha nguvu za ng’ombe dume maksai, na kwenye
uhitimisho wa mapatilizo au maangamizi. Rejea kwenye Torati (Kumbukumbu la
Torati 25:4). Nyongeza 92. Linganisha na Isaya 41:15. Yeremia 51:33.
Nitafanya. Kwa Kiaramu, Septuagint, Kisyria, na kwenye Vulgate inasomeka
"utafanya".
Kutakasa = kujitoa; kama ilivyo kwenye Yoshua 6:19, 24. Linganisha na Zekaria 14:14. Rejea kwenye Torati (Walawi 27:28).
BWANA. Kwa Kiebrania 'Adon.
Jina takatifu, linalohusiana na mamlaka au utawala wa duna. Soma jarida la
Nyongeza 4.
Mika 5:
Kuzaliwa kwa Mfalme katika Bethlehemu
Mika 5:1
Sasa = Wakati huohuo; kama kwenye 4:10, 11. Inaonyesha kuwa 5:1 inahusiana
na kipindi cha mpito kati ya kile kipindi kilichopo na “siku ile” ya 4:1, 6.
Jikusanyeni pamoja, nk: au, nanyi mtakumbana na dhiki kubwa (kwa dhambi
zenu), binti zenu watateseka.
Yeye mwanaume: yaani adui. Muashuru.
Sisi. Nabii anajijumuisha mwenyewe.
Mwamuzi. Liwali ambaye ndiye mtawala (linganisha na 1Wafalme 22:24. Maombolezo
3:30; 4:20; 5:8, 12), ambaye alikuwa ni mfano wa Masihi (Mathayo 27:30).
Fimbo = fimbo ya enzi ya mfalme. Kwa Kiebrania shebet = rungu (la kujilindia), kama ilivyo
kwenye 7:14; kwa hiyo, au ofisi; na sio fimbo, bakora au fimbo (ya kusaidia), kama
ilivyo kwenye 6:9. Soma andiko la Zaburi 23:4.
Mika 5:2
Lakini wewe. Hii inaonyesha Muundo au Utaratibu. Linganisha na 4:8 na 5:2. Imenukuliwa
kutoka kwenye Mathayo 2:5, 6. Yohana 7:42.
Beth-lehemu Efrata. Jina kamili illopewa kama kwenye Mwanzo 35:19, ambalo
linahusiana na Mwanzo 35:21 na 4:8.
Jina = alichukua jina la cheo [hadi kwenye cheo kilichopo]. Linganisha na 1Wakorintho
1:27-29.
Maelfu = wilaya kadhaa (1Samweli 23:23). Kama ilivyo kwenye migawanyiko ya
Kiingereza cha zamani, iliyoitwa “mamia”. Linganisha na Kutoka 18:25. Rejea
kwenye Torati (Kutoka 18:25).
Jikusanyeni mje. Ione tofauti hapa kati ya neno la Kiebrania (yatza)
na bo' = jongeeni mje, kwenye Zekaria 9:9. Matukio
yote yaliyo katikati ya hizi mbili yanafanya kipindi tunachokiita “Ujio wa
kwanza”, na huu ni tasira ya ule “Ujio wa pili”; ujio wa mtu aliyeandikwa
kwenye 1Wathesalonike 4:16, na ujio wa mtu aliyeandikwa kwenye 1Wathesalonike
5:2, 3, na 2Wathesalonike 2:8, mtu wa kale aliye kwenye neema, hatimaye hukumuni.
Kipindi cha namna hiyohiyo kitatokea kwa ujio wa mtu ambaye siye mfano wa ujio
wa kipindi cha mfano 5:2, na Zekaria 9:9.
Ndani yake = kwa.
Milele. Linganisha na Zaburi 90:2. Mithali 8:22, 23. Yohana 1:1, 2.
Mika 5:3
Hadi ufike wakati: yaani mwishoni mwa "wakati huohuo" (aya ya 1).
Yeye asafiriye. Linganisha na 4:9, 10-, hapo juu na ona hapa; pia kwenye Yohana
16:21, 22, na Ufunuo 12:1-6.
Watoto = wana.
Mika 5:4
Yeye mwanaume: yaani Mchungaji wa Israeli. Rejea kwenye Torati (Mwanzo
49:24). Nyongeza 92. Linganisha na Zaburi 80:1. Yeremia 31:10. Ezekieli 34:23.
Lisha = tunza au chunga, au mchungaji (kama kundi). Linganisha na 7:14. Isaya
40:11; 49:10.
BWANA. Kwa Kiebrania Yehova. Nyongeza 4.
Mungu. Kwa Kiebrania. Elohim.
Nyongeza 4.
Wao. Israeli, Kundi lake.
Watakaa. Kwa ilinzi wa milele.
Atakuwa Mkuu. Linganisha na Zaburi 22:27; 72:8; 98:1. Isaya 49:5, 7; 52:13. Zekaria 9:10.
Luka 1:32. Ufunuo 11:15.
Mika 5:5
Mtu huyu, nk. = huyu [Mchngaji mkuu wa Israeli]. Linganisha na Zaburi 72:7. Isaya 9:6, 7. Zekaria 9:10.
Muashuru. Hii imesisitizwa kwenye
Kiebrania.
Wakati, nk. Linganisha na Isaya 7:20 8:7-10; Isaya 37:31-36.
Kisha, nk. Linganisha na Isaya 44:28; 59:19. Zekaria 1:18-21; Zekaria 9:13;
10:3; 12:6.
Wachungaji saba . . . wanaume. Wakati wakati huo utakapokuja maana ya hii
itaonekana.
Watu wanaume. Kwa Kiebrania 'adam.
Nyongeza 14.
Micah 5:8
Itakuwa, nk. Hii inamaanisha kuwarejesha au kuwafanya upya Israeli "katika
siku hiyo"; sio kwa watu wengine wowote wale sasa.
Watu. Kwa Kiebrania
= watu wenhi.
Kama simba, nk. Rejea kwenye Torati (Hesabu 23:24; 24:9). Nyongeza 92.
Mika 5:9
Watatolewa na kupelekwa mbali. Tazama lugha ya Mfano Anaphora (Nyongeza 6),
kwenye marudio, "ondolewa mbali", mara nne kwenye aya za 9-13. Yote
yanayotajwa haya hatimaye yanawarejesha Israeli.
Mika 5:10
Katika siku ile. Utaratibu huu unahusiana na 5:10-14 pamoja na 4:6 -- 5:8, na
inaonyesha kuwa ni sawasawa, na tena kwenye wakati ujao, iliyoitwa kwenye 4:1
"siku za mwisho".
Asema BWANA = [ni] nabii wa Yehova.
Nitawakatiliambali, nk. Oma kwenye 5:9. Rejea kwenye Torati (Kumbukumbu la
Torati 17:16). Nyongeza 92. Linganisha na Isaya 2:7. Zekaria 9:10.
Mika 5:12
Uchawi = ushirikina au matendo ya kichawi. Rejea kwenye
Torati (Kutoka 22:18. Walawi 19:26. Kumbukumbu la Torati 18:10). Nyongeza 92.
Mkono. Mandiko
kwenye tafsiri ya Septuagint, na Kisyria, zinasonasomeka "mikono".
Wabashiri au
wapiga ramli; yaani watumiaji wa picha za zenye tafsiri nyingine ya siri au
sanaa za kiokaliti.
Mika 5:14
Kuchukua au
uchukuzi = kung’oa, au kuangusha chini.
Glovu zako = 'Ashera
zako. Nyongeza 42. Rejea kwenye Torati (Kutoka 34:13. Kumbukumbu la Torati 7:5;
12:3).
Miji yako.
Ginsburg anadhani "vinyago vyenu". Bango kitita zilizo kwenye tafsiri
ya A. V. Inasema "maadui".
Mika 6:
Shutuma ya
Mungu kwa Watu Wake
Mika 6:4
Niliwaleta huku,
nk. Rejea kwenye Torati (Kutoka 12:51; 14:30; 20:2. Kumbukumbu la Torati 4:20).
Nyongeza 92.
Na aliwakomboa
inyi. Rejea kwenye Torati (Kutoka 6:6; 13:13-16).
Nyumba ya watumishi = nyumba ya utumwa. Rejea kwenye Torati (Kutoka 13:3,
14; 20:2. Kumbukumbu la Torati 5:6; 6:12; 7:8).
Niliwatuma mbele . . . Miriamu.
Rejea kwenye Torati (Kutoka 15:20, 21. Hesabu 12:4,
10, 15; 20:1; 26:59). Miriamu
hakutajwa baada ya Kumbukumbu la Torati 24:9, isipokuwa kwenye 1Nyakati 6:3.
Mika 6:5
Kumbuka sasa,
nk. Rejea kwenye Torati (Heabu 22:5; 23:7; 24:10, 11; 25:1; 31:16. Kumbukumbu
la Torat 23:4, 5). Nyongeza 92.
Balaki. Hakutajwa
tangu kwenye Waamuzi 11:25.
Balaamu. Hakutajwa
tangu kwenye Yoshua 24:9, 10, isipokuwa kwenye Nehemia 13:2. Linganisha na 2Petro 2:15, na Yuda 1:11. Ufunuo 2:14.
Utakatifu = mwenendo wa haki au mtakatifu.
Mika 6:8
Mtu mwanaume. Kwa Kiebrania 'adam.
Nyongeza 14.
Neema = kupenda wema, au rehema.
Kuenenda kwa unyenyekevu. Usemi wa Kiebrania ni (hatzene' leketh) inaonekana
hapa peke yake. Aya hii inajumuisha kanuni zinazotawala maongozi ya Yehova chini
ya Torati au Sheria, ila sio chini ya Injili. Sasa inatubidi kuwa na imani ili
kumweka Mbadala wake yeye aliyemtoa kwa ajili ya wenye dhambi; na haki yake ni
budi iweondolewa kutoka kwenye neema. Soma Nyongeza 63. IX: na 72. Linganisha
pia na Warumi 3:23, 24. Waefeso 2:3-9. Tito 3:5-8, nk.
Mika 6:9
Mji. Limewekwa kwa lugha Mfano Metonymy (ya Somo), Nyongeza 6, kwa wakazi.
Mtu mwenye hekima ataliona Jina lako = [kama inavyopasa kuwa] uthabiti (au
usalama) vitalizingatia Jina lako. Tafsiri ya Mugah Codex,ilinukuu kutoka
kwenye tafsiri ya Massorah (Nyongeza 30), inayosomeka: "ni kama kutoa heshima
kubwa".
Hekima. Kwa Kiebrania tushiyah.
Soma andiko la Mithali 2:7.
Yako. Tafsiri ya Septuagint linasomeka: "na yeye (BWANA) atawaokoa
kama mtaliheshimu jina lake".
Fimbo. Kwa Kiebrania matteh = bakora (ya kusaidia au ya kuadhibia). Sio
neno moja na lililo kwenye 5:1; 7:14. Vinginevyo linaweza kuwekwa kwa lugha
Mfano ya Metonymy (kwa sababu yake), nyongeza 6, kwa
kuadhibia adhabu stahiki, au kutoa Umboyai kwamba: "sikieni enyi fimbo, na [yeye] mwenye kupanga
[adhabu], “kiambishi cha vebu, ‘hiki’, ni kangaga.; wakati "fimbo" ni
harakoa. Kwa hiyo tunaweza kutoa “adhabu” (kwa Kiebrania tokahath), ambayo ni fem.
Mika 6:10
Uovu . . . muovu = ukengeufu . . . kengeuka. Kwa Kiebrania rasha'.
Kipimo kidoho, nk. Tazama neno "machukizo" hapo chini. Kwenye
muundo hiuu, ni kwenye Mithali 22:14 peke yake.
Kipimo = efa. Tazama Nyongeza 51.
Machukizo. Rejea kwenye Torati. Kutokana na maneno yaliyotoholewa, kwenye
Kiebrania za'am limechaguliwa kwenye Hesabu Num 28:7,
8, 8, "najisika" = limenajisika. Limejitokeza mara nane peke yake
mahala penginepo. Nyongeza 92.
Mika 6:14
Utakula, nk. Rejea kwenye Torati (Walawi 26:26).
Utashushwa chini = kutoridhika kwako au kuwatupu na kupungukiwa. Kwa Kiebrania yeshach. Linatokea hapa peke
yake.
Nitakuwa katikati yenu = [nitabakia] pamoja nanyi.
Shikilia. Nyaraka zingine zikiwa na toleo moja ya machapisho ya zamani (gombo za
Marabi), zinasomeka "chukua milki au tamalaki".
Mika 6:16
Muundo. Kwa Kiebrania hukkoth = kwa mtazamo wa kidini (Walawi 20:8. 2Wafalme 17:34. Yeremia 10:3).
ya Omri. Linganisha na 1Wafalme 16:31, 32, kama kwenye ibada ya Baali.
Ilishikwa = ilishika kikamilifu. Linganisha na Hosea 5:4.
Nyumba ya Ahabu. Linganisha na 1Wafalme 16:30. nk.; 21:25, 26. Tazama Nyongeza
65.
Ndipo ningeweza kufanya, nk. Rejea kwenye Torati (Kumbukumbu la Torati
28:37).
Mika 7:
Nabii Anaijua Siri za Israeli
Micah 7:3
Uovu. Kwa Kiebrania ra'a'.
Nyongeza 44.
Anaomba = anaomba [zawadi]. Rejea kwenye Torati (Kumbukumbu la Torati
16:19). Nyongeza 92. Linganisha na 3:11. Hosea 4:18.
Mwamuzi anaomba = mwamuzi [anahukumu], nk. Dhana ya lugha ya Mfano ya Umboyai. Linganisha na 3:11. Isaya 1:23.
Zawadi = hongo au rushwa.
Tamaa mbaya sisyotimilika = kutofikisha hamu ya moyo wake. Kwa Kiebrania nephesh. Nyongeza 13. Linganisha na 3:9-11.
Wao: yaani mfalme na mwamuzi.
Zinga kwa kuzungushia = ifume pamoja. Linaonekana hapa peke yake.
Hiki. Kwa kiambishi cha Kiebrania ni fem., kwa hiyo inatupasa kutoa nauni
kangaga: kwa mfano zimmah = kusudi la kidhalimu, au kitendo
kiovu. Isaya 32:7.
Mika 7:4
Siku ya walinzi wangu. Imewekwa kwa lugha Mfano ya Metonymy (ya Kiunganisho), nyongeza 6:. siku [ya
hukumu] iliyotabiriwa na walinzi.
Mika 7:5
Msimwamini = Msimtumainie. Kwa Kiebrania ni 'aman. Soma Nyongeza 69.
Msimtegemee yeye. Kwa Kiebrania batah.
Soma Nyongeza 69. Kwa hiyo tafsiri ya Wamasori wa Magharibi. Watu wa Mashariki,
wakiwa na matoleo matatu ya kale, yaani, Septuagint, Syria, na Vulgate, inasomeka
"kuondoa au kutoiweka", nk. Imenukuliwa kutoka kwenye Mathayo 10:35,
36; Luka 12:53.
Mika 7:6
Kutoheshimu au kudharau, nk. Rejea kwenye Torati (Kutoka 20:12. Kumbukumbu
la Torati 5:16). Nyongeza 92.
Ni ya mtu mwanaume. Kwa Kiebrania ‘ish. Nyongeza 14. II.
Mwanaume. Kwa Kiebrania ni uwingi wa 'enosh.
Nyongeza 14. III. Aya ya 6 haiishi "ghafla sana", wala hapa haitendi
"yawn karne moja". Aya ya 7 inatoa ahueni ya kweli kinyume na ahueni
zisizopo kwenye aya za 5, 6.
Mika 7:8
Wakati niangukapo: yaani kwenye maangamizo; sio kwenye dhambi. Kwa usemi wa
Moja kwa moja ni Nimeanguka, Nimeinuka; ingawa naweza kuketi gizani, YJehovah, nk.
Mika 7:11
Amri = ilielezea au kumaanisha kikomo au mpaka. Kwa hiyo, kitabu cha Oxford Gesenius, uk. 349. Linganisha
na Ayubu 26:10; 38:10. Mithali 8:29. Isaya 24:5. Yeremia 5:22. Kwa Kiebrania chok.
Ondolewa mbali = kuwa mbali: yaani kuongezwa. Soma kitabi cha Oxford Gesenius, uk. 935. Kwa Kiebrania rachak, kama ilivyo kwenye Isaya
26:15. Tazama lugha ya Mfano ya Paronomasia (Nyongeza 6), yir'chok.
Mika 7:12
Yeye = mmoja. Lakini husasan usomaji mbalimbali inaitwa Sevir (Nyongeza ya
34), inasomeka "wao": yaani watumwa wako waliouhamishoni, wanakuja = rudini
nyumbani; kama kwenye 1Samweli 11:5. Zaburi 45:15. Mithali 2:10, au, kwenye Baraka;
kama ilivyo kwenye Zaburi 69:27. Hakuna “kilichoangukia chini” kwenye andiko!
Ashuru. Tazama neno “adui” kwenye 7:10.
Miji yenye maboma = miji ya Matzor (yaani yenye maboma) weka Minsri. Linganisha
na Isaya 19:6; 37.
Mika 7:14
Kuwekwa huru, nk. Kumbuka hapa, maombi ya Mika. Utoaji Umbo
yai: "[Ndipo Mika aliomba, na kusema: Ee Yehova] Na uwaweke
huru Watu wako", nk.
Weka huru = wachungaji wako (mwanaume).
Fimbo. Kwa Kiebrania shebet,
kama ilivyo kwenye 5:1; sio kama kwenye 6:9. Hapa ni kanuni inayosemwa.
Inayokaa, nk. = uwe nasi (kangaga): yaani "kundi". Kwa Kiebrania tz'on (linganisha na jinsia).
Upweke = pweke. Rejea kwenye Torai (Hesabu 23:9. Kumbukumbu
la Torati 33:28). Nyongeza 92.
Kama ilivyo
kwenye siku za zamani = kama ilivyo kwenye zama zilizopita: ndivyo itakavyokuwa
tena kwenye siku ya usoni ya kuungana kwake Israeli; sio katika siku za Mika,
wakati Israeli walikuwa kwnye umiliki wa Bashani, nk. Hakuna jinsi kwa hiyo, ya
kuweka tarehe yalivyofanyika maombi haya “kwenye kipindi cha karibu sana kwa
historia ya Israeli, siku za nabii Hagai na Zekaria", kama inavyodaiwa.
Mika 7:15
Kwa mujibu, nk.
Aya za 15-17 ni majibu ya Yehova kama kutiishwa kwa maadui wa Israeli. Rejea
kwenye Torati. Soma maandiko kwenye 6:4. Nyongeza 92. Sio mwendelezo wa maombi
ya Mika.
Nitajionyesha kwake.
Rejea kwenye Torati (Kutoka 34:10).
Mika 7:16
Wawawekea
mikono yao, nk weka kwa lugha ya Mfano Metonymy (ya Kiunganisho), nyongeza 6, kwa
ukimya, ambao ulikuwa ni usemi uliosikiwa masikioni mwao. maandiko fulani, ambazo
kwenye ishara nne zilizochapishwa. Soma Ayubu 21:5; 29:9; 40:4.
Masikio yao.
Baadhi ya nyaraka au maandiko, pamoja na hasira zilizochapishwa hapo kale, zinasomeka
"na zao".
Mika 7:17
Ramba vumbi.
Imewekwa kwa lugha ya Mfano Metonymy (ya Kiunganisho), kwa upole na
unyenyekevu wa hali ya juu, kama ilivyo kwenye Mwanzo 3:14. Linganisha na
Zaburi 72:9. Isaya 49:23.
Ondoa = njoo
kwa kutetemeka.
Mashimo = ukazaji.
Kwa Kiebrania misgereth.
Minyoo. Rejea
kwenye Torati (Kumbukumbu la Torati 32:24, ni neno moja hilohilo). Limejitokeza
sehemu hizi mbili peke yake.
Mika 7:20
Ingawa atafanya,
nk. Imenukuliwa kutoka kwenye Luka 1:72, 73.
Kuapishwa kwa
mababa zetu. Rejea kwenye Torati (Mwanzo 50:24. nk.) nyongeza 92. Soma Zaburi
105:9, 10, 42,
q