Makanisa ya Kikristo ya Mungu

 

[CB70]

 

 

 

Funzo:

Amri ya Kwanza

 

(toleo 2.0 20050914-20070202)

 

Amri ya kwanza ina sema: “ mimi ni BWANA, Mungu wako, niliye kutoa nchi ya misri, katika nyumba ya utumwa. Usiwe na mungu mwingine ila mimi.

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369, WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

Email: secretary@ccg.org

 

(Copyright γ   2005, 2007 Erica L. Cox, ed. Wade Cox)

(tr. 2008)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org and http://www.ccg.org

 

 


 

 

Funzo:

Amri ya Kwanza



Kusudi:

Kuangalia na kuelewa Amri ya Kwanza.

 

Kuvutwa kwa Fikira:

  1. Watoto watakuwa na ulewano wa maana ya Amri ya Kwanza.
  2. Watoto watakuwa na uraisi wa kupanga vitu singine ambao zina weza funja Amri ya Kwanza.
  3. Watoto wata elewa kati ya miungu.
  4. Watoto wata elewa kwa nini Mungu alitengeza Amri kwetu wanadamu.
  5. Watoto wata elewa njia ambayo tuna weza kupendeza Mungu.

 

Sura ya Ufananizi:

Kutoka 20:1-3

Kumbu kumbu la Torati 6:4-5

 

Fungu Kuu:

 

Kutoka 20:1-3 “ Mimi ni Bwana, Mungu wako, niliye kutoa katika nchi ya misri, katika nyumba ya utumwa, usiwe miungu mingine ila mimi.

 

Kumbu kumbu la torate 6:4-5. sikia, Ee Israeli; bwana Mungu wenu, bwana ndiye mmoja nawe mpende bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote.

 

Njia:

 

Fungua kwa ombi

Kazi

Fungua kwa maombi

 

 

NINI SHERIA NA UMUHIMU WAKE UPI KATIKA JAMII?

 

Q. Fikiria kuwa unacheza mchezo upendao zaidi na rafiki zako. Ni nini latokea kama kila moja akiamua kubadili sheria na hakuna hata mmoja ambaye alicheza akitumia sheria?

 

Q. Ni haki kweli? Je, ina leta furaha mtu huyo aliye danganya ili ashinde.?

 

Q. Nini kitafanyika kama mtu mmoja akiamua kuaacha kutii sheria za mchezo kasha adanganye? Utajisikiaje? Ni haki kweli? Je ina leta furaha kwa mutu huyo aliyedanganya ?

 

Q. Unaweza kukumbuka siku ya mwisho kuendeshwa shuleni na mama au baba yako. Barabarani kuna ishara za usalama barabarani ambazo humwambia  mama wakii wa kuenda na wakati wa ksimama. Nini kinaweza kutokea ikiwa mtu aliamua kutupilia  mbali a lama hizi za usalama barabarani?

 

 

          stop sign              bus           motorcycle                  

 

Panga kanuni 2 zenu za Nyumbani?

 

 

1…………………………………………………………………………………………

 

 

2…………………………………………………………………………………………

 

 

Mama na Baba wana wanawakupa sheria kwasababu wana kupenda na wanataka kukulinda sheria za Mungu hufanya kazi vivyo hivyo.

 

Mungu alitupa amri kumi ilituzitumie katika maisha yetu, kuishi maisha yetu kwa kulingana na sheria za Mungu kuna maanisha kwamba tunaongeza maisha ya mafanikio ya maana ya fahara.

 

Kutotii au kuacha sheria ni njia ya ubinafsi na ni ya hatari.

 

Sheria zipo ili zitumike katika usalama.

 

 
Amri Kumi Za Mungu

 

Amri za Mungu zimegawanywa katika makundi mawili; kikundi cha kwanza cha amri 4 kina tufindisha jinsi ya kupenda Mungu na kinaitwa amri kuu ya kwama. Kikundi cha pili ni cha amri sita ambazo hutufundisha jinsi ya kupenda jirani na kinaitwa amri ya pili.

 

Kuna Mungu mmoja pekee wa kweli, yeye ni Mwenyezina Muumba wa Mbingu Nchi na vitu vyote (tazama karatasi Mungu ni Nanai? (na. CB1).

 

 

 

 

JINSI YA KUPENDA MUNGU

 

  1. Usiwe na miungu mwingine ila Mimi.
  2. usijifanyie sanamu wa kuchonga wala mfano wa kitu chochote kilichojuu binguni, wala kilicho majini chini ya dunia usijudia wala kuvitumikia.
  3. usilitaje bure jirani la bwana Mungu wako.
  4. ukumbuke siku ya sabato uitafakari.

 

 

 

JINSI YA KUPENDA JIRANI YETU

 

  1. wahesimu babayako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyangi; katika nchi upewayo na Bwana Mungu wako.
  2. usiue
  3. usizini
  4. usiibe
  5. usimshudie jirani yako uongo.
  6. usitamani nyumba ya jirani yako, mkewe wala mtumwa wake, wala ngombe wake, wala punda wake wala chochote alicho jirani yako.

 

 

Hapa tunaenda kujifunza juu ya Amri ya kwanza ya Mungu.

 

Kutoka 20:2 “ Mimi ni Bwana, Mungu wako niliye kutoa katika nchi ya Misri katika nyumba ya utumwa. Usiwe na miungu mingine ila mimi.”

 

Andika Amri ya kwanza ya Mungu.

 

!_ Mimi ni _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _

 

_ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _

 

Mungu anaposema kuwa hatupaswi kuwa na miungu mingine, Anamanisha kuwa hatupaswi kuwa na chochote maishani mwetu ambacho ni muhimu kuzidi alivyo au kuchukua nafasi yake.

Hakuna kilicho muhimu kumzidi Mungu. Mungu anatuhitaji kuomba bila kuacha kunyenyekea kwake kila mara, kumweshimu na kunpa sifa zote pasipo na mwingine, na kuendelea kuelewa kuwa yeyr pekee ndiye nyenzo muhimu katika maisha yetu.

 

Luka 18:18 Tena mtu mkubwa mmoja alimuliza, akisema, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili nipate kuridhi uzima wa milele? Yesu akamwambia “ mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, naye ndiye Mungu. Wazijua Amri, usizine, usiue, usiibe, usishudie uongo, wahesimu baba na mama yako” Akasema , hayo yote nimeyashika tangu utoto wangu, Yesu aliposikia hayo akamwambia, “umepungukiwa na neno moja bado; viuze ulivyo navyo vyote, ukawagawanya maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni, kasha njo unifuate.”

 

Utakuwa na hazina mbinguni; na njoo, unifuate “lakini aliposikia hivyo, alihuzunika sana kwa maana alikua tajiri sana.”

 

Q:  Je, kiongozi hiyo alivunja Amri ya kwanza ya Mungu?         

 

       ! Weka http://jira.atlassian.com/browse/JRA-5098 sanduku isio sahihi.

 

 
NDIO 

 

 

   HAPANA

 

Q: Viringisha, kasha utaje kilicho kuwa muhimu sana kwa kiongozi zaidi ya Mungu.

 

                                                            

 

Q: Je, unaweza kuwaza juu ya mifano ya vitu ambayo tuweza kujali zaidi ya Mungu.

 

Jifikirie jinsi picha zilizoko hapa chini zaweza kawa miungu mwingine.

 

 

 

business mansecretary             dollar sign                 wrist watch      school house

 

 

Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuendea huo mti wa uzima na kuingia mjini kwa milango yake. (Ufu. 22:12-14)

 

Kristo ali tuambia kuwa yeyote asikiaye neno lake na kulitii ni kama mtu mwenye hekima ambaye alijenga nyumba yake katika mwamba (Mt. 7:24) mvua ikanyesha, pepo zikavuma zikapiga nyumba ile, isianguke kwa maana missingi yake iliwekwa juu ya mwamba (1Kor. 10:4).

 

 

light house

 

 

 

 

 

Hata hivyo, kuna watu ambao hafanyi yale Mungu anayoagiza. Wao ni kama watu wajinga wajengao nyumba za mchangani; mvua ikaja, pepo zikavuma, na nyumba ikaanguka. Mungu anataka kuwa msingi wetu. Anatuhitaji kumweka wa kwanza katika maisha yetu (Mt. 4:10). Mungu anatutaka tumtumikie kwa ajili yetu kwa sababu Mungu anajua shida na mahitaji yetu ; Anafahamu vyote kutuhusu; anajua kinachotufurahisha na kinacho tuhuzinisha. Anajua kuwa tumwekapo kama wa kwanza  maishani mwetu, tuna kuwa wenye furaha. (Mithali 29:18)

 

 

sand castle

 

Leo tumezangaswa na miungu mingi ya uengo ambayo yametengenezwa na watu. Mifano ni Santa Claus, Esther Bunny, Tooth Fairy, Budha, Krishna, hata Kristo amewekwa kama mungu na sanamu aitwaye kama menz aliye sawa au mwenza wa kimilele na Mungu wa Kweli wa pekee ambaye ni Baba (Isa 2:8; Yoh 17:3).

 

 

easter bunny with egg            Santa                                pumpkin          

 

 

 

 

HAYA NI MFANO WA SIO KWELI NA TABIA ISIO KWELI KWA BINADAMU-

UMBA MUNGU!

 

Bibilia ina mifano mingi ya watu waliotengeneza miungu mingine kutokana na fikra zao.

Mungu aliwaangamiza watu waliojifanyia miungu na kuharibu sanamu zao!

 

Nchi  nyingine kama Afrika, ina miungu mingi ya uongo. Waahii hufikiri ni kitu cha kufurahisha na kisicho dharahu kuchukua mfano wa kawaida wa miungu hii na kwenda nayo nyumbani. Bibilia inatudharisha kuwa miungi hii itaharibiwa pamoja na wamiliki wao. Watengenezao miungu hii hudhani kuwa wana nguvu za kipekee. Ilhali ukweli ni  kuwa hawana nguvu (Hos 4:12; Yoh 2:8).

 

Mungu ndiye Mungu aliye hai awezaye kutusaidia wakati wa mahitaji; yeye ni  muumba na mpaji wa vitu vyote. Mungu ana nguvu ya kutusaidia tunapozihitaji (Zek 9:7).

 

Wao wahuduo miungu wa uongo badala ya mungu wa kweli wa pekee na wasio tii Amri za Mungu watangmizwa.

 

Sote tunafanya makosa na kutenda dhambi; utendaji dhambi ni pale tunapo vunja Amri za Mungu na kuasi na kumwacha Mungu (Isa 59:2; 1 Yoh 3:6). Ni vyema kufahamu tulicho tenda pale tunapo asina kufany juhudi za kurekebisha makosa yetu. Infaa tumwambie Mungu kuwa tumefanya kitu kibaya na kuwa tunasema pole. Hiki kinaitwa kutubu.

 

Mhubiri 10:13 “Tusikizeni mwisho wa mambo: mheshimu Mungu na tii Amri zake kwa maana hii ndio jukumu zima la binadamu.

 

Funga kwa ombi.

  q