Makanisa ya Kikristo ya Mungu

[059]

 

 

 

Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara Kwa Ujumla Kwenye Mafundisho ya Biblia

(Toleo La 1.1 20000730-20011208)

 

Mswali Yaulizwayo Mara kwa Mara kuhusu Biblia na mambo yanayohusiananayo yameorodheshwa ndani yake.

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

E-mail: secretary@ccg.org

 

 

(Hatimiliki © 2000, 2001 Wade Cox)

(tr. 2016)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 


Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara Kwenye Mafundisho ya Biblia

 


Yaliyomo

Biblia…Je Biblia ni Biblia ya kweli iliyo kama Biblia iliyoandaliwa kwa kuandikwa, Kitu muhimu kilichovuviwa na Roho chenye kuleta maana huko Gutenberg Bibli-NET Mafundisho ya Biblia Biblia ya Douay Nakala za Kughushi za Rheims-Sola Maandiko Matakatifu-Ni nini Maandiko Matakatifu-Jumbe za Kinabii za Mungu-Utaratibu au usomaji wa Biblia-Nyongeza-Marudio, mawazo na nia ya Septuagint/Kurios-ya Israeli Utaratibu wa Kuhifadhi historia-miaka 6,000 ya umri wa Dunia-Miaka iliyopimwa-Umiliki Bora wa fedha-Nakala Iliyofichwa-Iliyotiwa rangi

Hatima…Starehe za dunia-Hatima ya Mwanadamu-Mpango wa Mungu-Mateso na Masumbuko-Ni nani anayewajibika-Bahati/bahati mbaya au mikosi

Maana ya Tarakimu…72 sadaka-jinsi tarakimu zinavyopunguza-ukubwa wa 4-rejea zake hadi 300

Jamii…Bangi-Bangi na Biblia-Ufiraji-Ushoga-Aina ya Mazao- Ulaji Mbogamboga tupu au Uvijiteriani-Maji uchawi au ulozi-Wanyama wajulikanao kama-Dinosauria-Hereni au Vikuku-Uchomaji maiti-Uhai utakatifu-Kushindwa kuona wazi-Afisa wa Polisi-Wazazi wasiomcha wala kuzitii sheria Mungu-upandikizaji wa Viungo-Kutandika Fimbo Matakoni-Msamaha-Kuasili watoto au Kutohoa-Kotoa heshima kwenye bendera-Uwongo mweupe-Kileo-Uvutaji-Uchezaji Bahati nasibu-Kuapa na nadhiri-Matendo ya Kisodoma-Madawa au Tiba Mbadala-Kutowatii na kuwaasi wazazi-Wasio-amini-Mabadiliko ya tabia nchi-Uwashaji Moto siku ya Saabato-Jina la Mume-Kusaidia wahitaji-Utiaji damu mwilini kwa uparesheni-Utii

Desturi za Kipagani…Upagani wa Krismas-Kuzaliwa kwa Kristo-Mungu mungu Attis- Krismas-Mlimbo Nyekundu & ya kijani-Baba Krismas-Nyota ya Bethlehemu-alama ya kipagani ya Msalaba-Historia ya Msalaba-Siku ya Wamama au ya Wababa

Historia…Vita vya Kidini vya Crusades-Mababa Waliosafiri na Kuishi kwa Kuhama hama-Mateso ya Wakristo-John Bunyan-Mchungaji wa Hermas

Kanisa…Mpango wa Mungu-Magugu-Mchungaji/mtumishi/Mchungaji msimikwa-Utoaji sadaka za Watoti-Wito wa kuwa Mkristo-Dini Sahihi-Sadaka za kila juma-Kwanini Dini-Ubatizo wa kuzamishwa majini-Uponyaji-Eusebius-Ni Kanisa lipi-Watu wa Kitabu-Siri za Mungu

Maombi & Kufunga…Ni nani mlengwa wa maombi-Kujipigapiga kifuani-Kuomba Kanisani-Maombi yasiyo na mlengwaWakristo-Kufunika Vichwa-Mara 3 kwa siku-Kuvaa nguo za magunia na kujitia majivu-Kuwalisha wenye njaa wakati wa kufunga saumu.

Rohot…Roho Mtakatifu & roho za mashetani pamoja-Ni nini kinachomtoke mtu kama huyo-Je, hawa roho wanaweza kufa?

Kalenda…Kazi za kalenda zote mbili-Mstari wa tarehe au siku-Siku au saa

Fundisho la Uwongo…Ufufuo wa tatu-Mahali pema pa mapumziko

Wamataifa…Waedomu-Njia ya makabila yaliyopotea-Mungu Mbaguzi-Shekemu-Kipindi Maalumu cha Miaka 430-Hatima ya Ukristo-Kipindi cha Wamataifa-Maagano

 

************************************

Maswali Yaulizwayo Mara Nyingi kwa Ujumla

 

Biblia

Je, Biblia ni ya kweli?

Jibu: Mchakato wote wa Wanamatengenezo wa Kiprotestanti ulipigana kwa msingi wa “Sola Scriptura” yaani Kuweka Msingi Kwenye Maandiko Peke yake.” Biblia ilichukuliwa na kuaminiwa kama Neno la Mungu na Amri Kumi zilichukuliwa kuwa ni kigezo kinachowafungamanisha na kuwaunganisha wanaoikiri wote

 

Maandiko ya Apokrifa yalikataliwa miongoni mwa yale yenye uvuvio wa pumzi ya Mungu kwa kuwa yalijikanganya kimaelezo na Maandiko mengine yenye uvuvio na mtazamo wa Jerome ulikubalika, ambao kwa kiasi kikubwa, uliendana sawa na mtazamo wa baraza la Kiyahudi la Jamnia katika karne ya pili lililoyashutumu maandiko haya ya Apokrifa. Apokrifa [Apocrypha] maana yake ni “kilichofichwa” na hivyo ndivyo yalivyokuwa. Kanuni za kuyakubali maandiko za Agano la Kale zilizojulikana kama canon zilifungwa baada ya kufa kwa Ezra mnamo mwaka 323-1 KK na maandiko ya Apokrifa yalitumika kama maandiko yanayoweza kutumika lakini hayakuchukuliwa kama yaliyovuviwa. Hippo na Carthage walikubaliana na suala la kutumia hii canon na maamuzi yake.

 

Baraza Mtaguso wa Trent, kwa kujaribu kuwajibu wana Matengenezo, lilifanya kosa kubwa sana kwa kuvitangaza vitabu vya Apokrifa kuwa vimepitishwa na kukubalika kwenye mchakato wa kuvitenga vitabu vinavyoonewa mashaka uandishi wake, ikidaiwa kuwa ilifuatiwa na Augustine. Hivyo basi, unaposema kuwa Biblia ni ya kweli, mwingine anaweza kuuliza ni biblia gani? Tazama kama ilivyo kwenye jarida la Biblia (Na. 164).

 

Kwa bahati mbaya sana, kuitangaza Biblia kuwa ni kweli hakumaanishi kwamba watu, wanaofanya hivyo, wanafanya kile inachokisema. Huko Ulaya karne hii wakati wa Mauaji makubwa ya kibaguzi yajulikanayo kama Holocaust, kulikuwa na aina ya watu kwenye kambi za mateso walionyongwa kwa kuning’inizwa kwenye nguzo zilizopakwa rangi ya zambarau. Hii ilikuwa imeandaliwa kwa kuwanyonga waliojulikana kama “Bibelforschers” au “Watafiti wa Biblia.” Lilikuwa ndilo lengo la kufannyika kwa mauaji haya ya kuangamiza ya Holocaust ili kuifanya Ulaya iwe ni ni bara la madhehebu ya Kilutheri na Kikatoliki, na lenye Ukristo usiofuata maongozi ya Biblia, lisilo na Wayahudi washika Sabato na ni bara lisilo na Wakristo washika Sabato na wenye kuyaamini maandiko.

 

Inaonekana kuwa Walutheri waliichua mambo ya kwanza ya mateso iliyokuwa karibu na Hamburg kutoka kwa Waafrika ya Kusini mwishoni mwa mwaka 1932. Hii ilikuwa ni desturi ya zamani. Baada ya kipindi cha Matengenezo Walutheri walichukua mahala pa Wakatoliki wa Roma huko Transylvania. Rabbi Kohn anaandika kwenye kitabu chake chenye kichwa cha somo Wasabato wa Transylvania [Sabbatarians in Transylvania] (CCG Publishing 1998) kwamba Wakristo Washika Sabato wa Transylvania waliteswa vibaya na kwa ukatili mubwa kwa ajili ya kuzishika kwao Sheria au Torati ya Mungu. Mauaji haya ya kukatwa vichwa wakiwa wamesimama wima waliyofanyiwa watu wasio na hatia wa jamii ya Wakristo na wanawake kudhalilishwa mitaani yalitokana na kuwa walionekana wakifuga bata bukini wanene badala ya mafuta ya nyama za nguruwe majikoni mwao.

 

Idadi kubwa ya Waarmenia walitolewa nje na kuuawa kwa kupigwa risasi kati ya miaka ya 1919 na kipindi chenyewe cha mauaji haya ya Holocaust kwa kuwa waliishika Biblia na kuiamini kuwa ni kweli ya pekee. Kati ya Wasabato milioni moja hadi mbili, waliokuwa wamekimbilia ili kujihifadhi huko Bektashi Uturuki, walipotea tu baada ya mwaka 1927 papona na huenda idadi nyingine ya milioni tano ya Wabektashi.

 

Soma kwenye historia ya watu wa Mungu wanaoiamini na kuitii Biblia kwnye jarida la Wajibu wa Amri ya Nne Kwenye Historia ya Makanisa ya Mungu Yanayozishika Sabato (Na. 170). Kwa hiyo mtu anaweza kusema, “Ndiyo, Biblia ni kweli (pamoja na vitabu vya Apokrifa).” Hata hivyo, kuna tafsiri chache zisizo sahihi na nyongeza nyingine za uwongo zinzoyafanya baadhi ya maandiko yasiwe ya kweli (mfano ni 1Yohana 5:7 KJV na 1Timotheo 3:16 hasa kwenye tafsiri ya KJV, Kumbukumbu la Torati 32:8 kwenye tafsiri ya MT, na kwenye Biblia ningine zote zinazofuata tafsiri hizi, na kadhalika).

 

Unadhaniaje kuhusu nakala asilia ya Biblia kuwa ni halisi? Hasahasa, napenda kujua unavyofikiria kuhusu Biblia kuwa ni tafsiri nyingine ya tofauti na huenda kuwa ni maandishi ya zamani zaidi kuliko yale ya Misri ya ale, ya Kikushi na Kiaxumu? Ni kama mashairi ya zamani yaliyoandikwa kwenye kta za kaburi la Antef kwenye Misri ya kale yanaonekana kufanana sana kifungu kilicho kwenye Wakara kwa Wakorintho.

Jibu: Je, Biblia imechukua maandiko yanayofanana na kwendana sambamba kimtazamo na kimatendo wakati wote, kwa kipindi chote cha kuandikwa kwake. Agano la Kale limelinganishwa sana na karibia kuiondoa haraka kwenye eneo lake zote ili kulithibitisha kuwa lina makosa.

 

Vifaa kama, kwa mfano, taarifa za kifo cha Musa na waandishi zimechukuliwa kama ashirio la ukweli kwamba Musa hakuwa na taarifa za kifo chake, kwa hiyo ni mambo yaliyoandikwa baadae. Kurudiwa kwa mahusio ya Torati kwenye Kumbukumbu la Torati kunaaminika kuwa ni kazi iliyofanywa na nakala tatu za Vitabu vya Torati vya P, J, na Suali la kiuandishi.

 

Matumizi tofauti ya majina ya Mungu na ya watu wanaotenda kazi yake yamechukuliwa kama ushahidi wa mitindo mingine iliyo tofauti ya ibada za Wakanaani, zaidi ya kuzifanya kuwa ni ushahidi wa madai ya kijinga ya kiteolojia ya wawazuoni wenyewe, ambavyo ni suala lenyewe hasa. Ukweli wa kwamba kitabu cha Danieli kimeandikwa kwa lugha za kiebrania na Kikaldayo (Kiaramu) yamechukuliwa kama ushahidi kwa maandiko yaliyofuatia baadae, na sio kama ushahidi kwa muundo wa kiteolojia ya kiujumbe, unaoupa shauku kubwa na nguvu. Mgeni angeweza kuiharibu kabisa kazi yake ya uandishi kwa kuongeza Kiaramu kwenye maandiko ya Kiebrania aliyoyaghushi kwenye siku zilizofuatia baadae.

 

Rejea iliyo kwenye tafsiri ya LXX kwenye Agano Jipya inaonyesha matumizi na mazoea au uhusiano. Mpangilio wa kutenganisha faraseolojia kwenye kitabu cha Yuda unaonyesha kuwa watu walikuwa na taarifa za Enoshi, lakini hakiashirii kutokuwa na uvuvio. Kubadilishwa kwa Kiebrania cha Agano la Kale na baraza la Sopherim hakumaanishi kuwepo kwa utungaji mwingine uliofanyika baadae, bali ni zaidi sana tu kwenye tafsiri za DSS na LXX, tunajua kwamba walibadili maandiko, na wanateolojia waaminifu wanajua sababu yake.

 

Tatizo la upangiliaji wa kihistoaia ni kwamba kila mara unajiri na hali ya kutoelewa kabisa na utata wa wanazuoni wenyewe. Kwa mfano, maktaba ya historia ya Wamisri imeegama kwa Manetho. Wasomi wenye Shahada ya Uzamili ya Udaktari wamekuwa wakinufaika na muundo huo. Kwa hiyo, Biblia inashushwa hadhi ya kuaminika zaidi kuliko livyo kwa wasomi wengine wanaowaweka kwenye kipindi cha kihistoria kilicho sahihi. I. Velikovsky aligharimika sana kwa kuupinga utaratibu huo.

 

Mlolongo wa historia wa Wakaldayo ni vivyohivyo. Wahiti wanadhaniwa kuwa hawajawahi kuwepo kabisa bado, kwa kuwa ni kwa karne nyingi wamekuwa wakitajwa na kuonekana kwenye Biblia tu, peke yake. Sasa wameikuta na kuigundua miji yao. Kwa kipindi kifupi tu kijacho, watawaunganisha kwenye jamii ya Waseltiki kwenye muungano wa Israeli. Hadi sasa hambo hilo limekuwa kilipingwa kwa kuwa muundo wa Wazungu umekuwa na maumivu makali sana ya kuficha chimbuko lao halisi la mataifa yao kwa kuwa wanataka kutengeneza mtindo wa kimgeuzi wa kuondokana na sheria za Kiblia.

 

Historia ya Waanglo Saxons imebadilishwa kwa hila kwa makusudi kabisa na kwa njia ya kificho, hadi kipindi cha utawala wa Kaisari Julius, kwakuwa Kanisa Katoliki halitaki Waingereza kutafuta na kuupata ukweli kuhusu chimbuko lao hasa. Tazama jarida la Vita vya Wayunitariani na Watrinitariani (Na. 268) ili ujionee na kujifunza baadhi ya historia ya mataifa ya Ulaya

 

Mpango wa hivi karibuni ni kuipangilia Biblia kwenye hesabu za tarehe za baada ya mwaka 600 KK, na kisha kudai kuwa inatokana na maandiko ya Kihindi (Vedas na Upanishads), ambayo ni kulirudisha nyuma jambo hili kutoka mashambulizi ya Waaryani ya India mwaka 1000 KK. Wanatumaini kwa hiyo kuanzisha mtindo wa Teolojia Mpangilio kama Dini Mpya Ulimwenguni. Hii ilitokana na dini za Kihindu na imani ya Shintoism kutoka kwenye Shule ya Kyoto na kina Harteshorne na Whitehead. Kipimo cha wakati na shauku ya Biblia vimeelezewa kwenye jarida la Biblia (Na. 164).

 

Nimegundua kwamba wataalamu wengi wanaonekana kushikilia na kuamini mtazamo wa kwamba Biblia haijavuviwa na pumzi ya Mungu. Je, unaamini kwamba Biblia ni neno lililovuviwa na pumzi ya Mungu? Na kama ni hivyo, je, tunaweza kushawishika kwa kweli tunaungana na wasemao hivyo?

Jibu: Kama Maandiko Matakatifu ni nakala yenye uvuvio wa pumzi ya Mungu kwa hiyo ametupa maelekezo ya kuyafuata. Hata hivyo, tunaamini kwamba ina sifa zote mbili kwamba imevuviwa na haina makosa. Kwa jinsi tunavyoweza kukubaliana na sifa hizi mbili zote ila sawa na kusema "imevuviwa" kwa "kuamriwa".

 

Biblia “iliamriwa” kwa maana ya kwamba Mungu alizitoa Sheria zake kwa kupitia watumishi wake manabii. Injili ni maandiko ya viongozi na waalimu wa Kanisa la kwanza ili Kanisa letu lionekane kuwa lina Maandiko yenye uvuvio. Mungu alizitoa Sheria zake kwa kupitia watumishi wake manabii. Kwa jinsi hii, mfumo wote wa torati na manabii unasimama kwenye Amri Kuu Mbili. Soma mkururo wa majarida ya torati kutoka lile Sheria za Mungu (Na. L1).

 

Je, unao “mwongozo” unaoelezea kwa kina maana ashiria za maneno yaliyotumika kwenye unabii wa Biblia?

Jibu: Kuna mkururo wa miongozo ya kukusaidia uuelewa unabii. Nyakati husika zimeelezewa kwenye jarida la Ishara ya Yona na Historia ya Ujenzi Upya wa Hekalu (Na. 13). Unahitaji pia kujua baadhi ya makabila ni kina nani, na utambulisho wa Waisraeli wa sasa. Soma jarida la Vita vya Wayunitariani na Watrinitariani (Na. 268).

 

Matumizi ya neno, kwa mfano, “miti” yana maana yake (soma kwene jarida la Anguko la Misri ,Unabii wa Mikono Iliovunjika ya Farao (Na. 36)) ni kama ilivyo kwenye neno “mwanamke” linavyomaanisha makanisa, na miji ya watawala kwa karne kadhaa sasa kwa nyakati. Maana zake zinagusa kote kote ya yanatokana na maelezo na ufafanuzi wa maandiko. Hebu soma majarida haya na yatakufafanulia na kukuelezea maana ya ishara nyingi. Mji wa Mungu (Na. 180) itakusaidia kukuonyesha ni nini ishara kamili ya Biblia.

 

Ni lini ilipochapishwa Biblia ijulikanayo kama Gutenberg Bible? Ni lini ilipochapishwa Biblia ijulikanayo kama Geneva Bible na ni nani aliyeichapisha?

Jibu: Kwa faida ya wasomaji, tarehe za kuchapishwa kwa Biblia mashuhuri sana za Kiingereza ni kwamba: Wycliffe (Lollard Bible) (ni kama mwaka 1380); Tyndale (mwaka 1525); Coverdale (mwaka 1535); Matthews (mwaka 1537); Chapisho la kwanza la Biblia ya Cromwell au the Great Bible 1st edition (mwaka 1539) na toleo la 2 la ile inayojulikana kama ka Cranmers Bible; The Geneva Bible (mwaka 1557-1560); Bishops Bible (mwaka 1568); tafsiri ya Vulgate Reims ya Agano Jipya (mwaka 1582); Douay Bible (mwaka 1609-10). Biblia ya Gutenbergs ya mistari 42 ilihitimika mnamo mwaka 1453-1455. Aina ya mstari thelathini na sita inaonekana kuwa tayari mapema sana ya kabla ya muongo wa 4 ya karne.

 

Napenda kuipitia kwa kuitathimini Biblia mpya iitwayo NET Bible kuhusu uaminifu wake kwenye sehemu kubwa ya maandiko yake mengi ya zamani. Kinachoonyesha mfano wa aya za Agano la Kale & Agano Jipya kingekuwa kigezo kizuri kukitumia kwa kulinganisha nay ale yaliyo kwenye tafsiri ya NKJV? Sio kuwa ni lugha ya mwanazuoni au msomi tu, ningekutaka kuonyesha maana ya tofauti ndogo kuiangalia mbili zote. Nagundua kwamba zote mbili zilitafsiriwa & kuchukuliwa na waamini Utatu au Watrinitarian. Napenda pia kujua maoni yako kuhusu tafsiri hizi za NET na ile ya NKJV.

Jibu: Ni vizuri sana kuyachunguza maandiko. Tafsiri ya NKJV ililisahihisha tatizo hili kwenye Agano Jipya kwenye andiko moja kwa kubadilisha andilo lake asilia kwenye tafsiri yake ya Agano la Kale. Hivyo, zinamatatizo yote ya tafsiri ya KJV, na zaidi ya vile zilivyofanya wao wenyewe. Tazama maandiko kwene Kumbukumbu la Torati 32:8. Iwapo kama haisemi “wana wa Mungu”, ni uwongo.

 

Ezekieli 28 ni andiko zuri. Hebu tazama tafsiri ya Interlinear Bible na endelea kwenye andiko la Agano la Kale kwa kuitazama kamusi ya Strong’s pia: Yohana 1:18, 1Timotheo 3:16; 6:16; Wafilipi 2:5-9; 1Yohana 5:20; 1Yohana 5:7. Kwa mfano jarida la Stadi wa Uumbaji wa Mungu Kama Alfa na Omega (Na. 229) ni mwanzo mzuri kwa Ufunuo 1 na nyinginezo.

 

Ni Biblia gani inayostahili kuiamini na kuitumia kwenye ufundishaji kati ya hizi Biblia? Maelekezo mengi sana kwa ukweli wa kiujumla wa vifungu na maneno, kisha kupuuzia kabisa vifungu na vifungu ambazo ni vigumu kuzielewa. Ni nani anayehitaji msaada huu usiostahili? Nimekutana na Mafunzo ya Biblia ya tafsiri ya NIV kutoka kwenye tafsiri ya Zondervan iliyorekebishwa na K. Bakker, kwa mfano, pasipo na msaada kamili wowote isipikuwa ni kuamsha hasira tu.

Jibu: Tunaelewa unalomaanisha. Tafsiri ya NIV inakanganya pia. Inatetea imani ya Utatu na inaikataa na hata kuyafuta maandiko mengi muhimu. Maelezo mara nyingi yamekuwa yakituama uwazi na kupuuzia ugumu zaidi. Baadhi ya bango kitita yanathamani hata hivyo na yanaweza kutumika vizuri sana.

 

Tafsiri bora kabisa ya KJV unayoweza kuitumia ni ile ya Companion Bible iliyoandikwa na Bullinger. Uandishi wake ni mzuri sana isipokuwa pale inapouelezea Uungu au Kronolojia. Hizo zote ameziosea. Hatimaye baada ya uandishi wa Biblia kukamilika na ikachapishwa, aliyagundua makosa yake aliposhawishiwa na  A. E. Knock. Hata hivyo, alikuwa amezeeka sana na akamwachia imaliziwe na Knoch, ambayo ameifanya kwenye tafsiri ya Agano Jipya ya the Concordant Literal New Testament. Kwa hiyo, andiko hilo ni la muhimu sana.

 

Nyongeza hizi yana thamani bora sipokuwa, mara nyingine tena, kwa kronolojia na maelekezo yametuama kwenye hilo. Tafsiri ya Kiyunani ya The Marshall’s Greek English Interlinear ni nzuri na kama tafsiri ya toleo la RSV ni bora zaidi. Na sasa wanajaribu kuichapisha hii na tafsiri ya NIV zaidi kuliko ile ya RSV, ambayo ni aibu.

 

Tafsiri ya Green’s Interlinear Bible ni Interlinear nzuri pamoja na ile ya Strong’s ikihesabiwa inaweza kutumiwa kwa Agano la Kale. Agano Jipya limetuama kwenye tafsiri ya Receptus na kwa hiyo unaweza kuitumia tafsiri ya Marshall’s pia. Notisi za Bullinger inashughulikia matatizo yaliyo kwenye tafsiri ya Receptus kwenye bango kitita, kwenye Agano Jipya kwenye tafsiri ya the Companion Bible. Kitabu cha ufafanuzi cha Kiyahudi cha Agano la Kale ni ya Soncino. Inaendana na tafsiri ya Masoretic Text na haina mwingiliano lakini zaidi ni Kiingereza kizuri kilichomo. Ina nukuu za maandiko ya marabi, zinazoweza hata kukufanya hata ujihisi kuchoshwa sana kuliko kama ungekuwa na NIV kwa kupuuzia kwake kwa makusudi na marabi fulani na kushindwa kwa wengine kutenda kwenye kweli iliyo wazi ya kimasihi. Kwenye maeneo karibu mengi kuna majarida yaliyoandikwa yakitilia maanani maandiko hayo. Ni matarajio kuwa tutakuwa tunaweza kuzalisha andiko zuri lililoandikwa kwenye Mradi wa Kimataifa wa Biblia kwa kupitia Machapisho ya CCG, siku zijazo.

 

Hakuna kitabu cha Ufafanuzi zinazohusu Vitabu vya Apocrypha/Deuterocanonical vilivypoandikwa na Collins, ambavyo vitakusaidia pia wewe kwa kuvifanyia rejea. Tafsiri ya the New Oxford Annotated RSV pia ni nzuri pamoja na kwamba haijanukuu ila inaendana nayo.

 

Je, unaichukulia Biblia ya Douay Rheims kuwa inastahili na inaweza kusaidia kwenye huduma ya ufundishaji Biblia? Kuna vitabu vya ziada vinavyojumuishwa ambavyo havipo kwenye Biblia zingine, kwahiyo nashangaa ni kwa nini na ni lini vitabu hivi viliongezwa? Je, vitabu hivi ni vya kuhamasisha au vimeongezwa tu ndani mwake?

Jibu: Vitabu vilivyoongezeka ni uandishi ulioanzisha uwepo wa vitabu vya Apokrifa. Kundi hili la vitabu lilitangazwa kutokubalika kinanuni na Baraza la Mtaguso wa Trent. Vitabu hivi vyote viliandikwa baada ya kipindi cha Kukanunisha kwa maandiko na baada ya kufa kwa Ezra mwaka 323 KK. Vyote vina matatizo makubwa kutokana na maandiko ya Agano la Kale.

 

Kwa mfano, kitabu cha 1 Endhra kinatofautiana sana na kuwa na mgongano mkubwa na Kitabu cha Ezra. Endhra kina hadithi ya ujenzi wa Hekalu wakati wa utawala wa Dario Hystaspes, jambo ambalo haliwezekani kwa namna zote mbili, yaani kihistoria na kibiblia. Ni vya muhimu tu kwenye dini ya Kikatoliki ya Roma kwa sababu mbalimbali zisizo za kibiblia na za kipagani. Fundisho la pagatory linatokana na vitabu hivi vya Apokriyifa. Hivyo ndiyo maana kimeongezwa.

 

Kazi na uandishi wa historia ya Wamakabayo pia haukukubalika wakati wa kukanunisha, ila ni somo linalopendeza sana. Soma majarida ya Biblia (Na. 164); Ishara ya Yona na Historia ya Ujenzi Upya wa Hekalu (Na. 13); Mgawanyiko Mkuu wa Makanisa ya Washika Sabato (Na. 122) na Wajibu wa Amri ya Nne ya Historia ya Makanisa ya Mungu ya Washika Sabato (Na. 170).

 

Kitabu cha ufafanuzi wa maandiko kijulikanach o kama Heydock commentary (chapisho la 1851) kina rejea za muhimu sana, zinazoonysha kiini cha tatizo kwenye matumizi ya makala yenyewe inayohusiana tu na Mungu Mmoja, wa Pekee na wa Kweli na kwamba sio Kristo kabisa, kwa maana ya “theos” kwene Agano Jipya pamoja na makosa yake hapa. Andiko hilo limetokana na tafsiri ya Vulgate na inammaanisha Kristo kimakosa kwenye andiko happlieili. 

 

Umetaja hapo kabla kwamba kulikuwa na makosa kadhaa ya ughushaji na upotoshaji wa kiutafsiri kwenye Biblia fulani kadhaa. Je, unaweza kuziorodhesha nakala hizi kwa ukumbusho wetu na ni ipi basi tafsiri sahihi? Sina hakika ni ngapi unazoziongelea; kama zipo nyingi, ni zipi angalau 10 zilizo za muhimu sana kwa ushauri na muono wako za muanza nazo?

Jibu: Sawa, kuna mabadiliko mengi na upotoshaji wa kiutafsiri. Kwa bahati mbaya sana, tunazijua. Iliyo bora sana kuipata miongoni mwa kundi la tafsiri la KJV unayoshauriwa kuipata ni ile ya Companion Bible. Bullinger anayaonyesha yaliyokuwako kwenye maandiko ya kale na yale yaliyorukwa au kuachwa ndani yake kwenye notisi za kila aya.

 

Pia, kwenye majalada ya nyongeza kuna orodha ya maeneo 134 yaliyobadilishwa na tafsiri ya Sopherim kutoka jina “Yahova” likabadilishwa na kuwa “Adonai” (Nyongeza namba 32). Nyongeza hii ina maandiko yaliyogeuzwa na kuwa “Elohim”, na uchapishaji kwenye KJV unaashiria kubadilishwa na kuwa elohim. Tafsiri ya the AV inaonyesha kuwa maandiko yaliyo kwenye 2Samweli 5:19-25 na 6:9-17 yafaa yasomeke “Bwana.” Wakati tafsiri za the AV na ya Revised Versions bado inasomeka “Mungu” kwenye maandiko ya 1Nyakati na Zaburi, inaonekana namna hiyo kwenye tafsiri ya Companion Bible bali pamoja na mhuri wa mchapishaji.

 

Tafsiri ya Moja kwa moja ya Agano Jipya ya Concordant Literal ni ya muhimu sana, ni sawa tu na kama ilivyo tafsiri ya Kiyunani na Kiingereza ya Marshall’s Greek English Interlinear. Tafsiri nyingine ya Greens Interlinear Bible pia inatumika kwa Agano la Kale. Agano Jipya limetuama kwenye tafsiri ya Receptus, ambayo ina matatizo makubwa sana. La muhimu sana ni upotoshoaji, au ughashaji na makosa ya kiutasfiri, kwenye KJV ni kughushiwa kwa andiko la 1Yohana 5:7 inayosababisha kufanyiwa rejea na Waamini Utatu na ambalo halipo kwenye nakala yoyote ya zamani.

 

1Timotheo 3:16 kwenye KJV msingi wake ni andiko la kughushi kwenye Codex A iliyokutikana kwenye makumbusho ya mambo ya zamani ya Uingereza. Limekuwa na Herufi O iliyobadilishwa kwa kuongezwa “sigma,” na kuweka herufi zinazosomeka “theta sigma,” nah ii ilitafsiriwa kama neno “theos” na kufanya itafsirike “Mungu” badala ya “yeye ndiye.” Kughushi huku kumefanyika hata kwenye aina mbili tofauti za wino.

 

Wafilipi 2:6 kwenye KJV imefunikiliwa mbali na iko wazi sana zaidi kwenye RSV. Yohana 1:1 imefanyiwa uporoshaji na Watrinitarian. Yohana 1:18 ina neno “monogenes theos” lililoondolewa na kuwekwa neno “Monogenes Uios” kwenye Receptus na ndivyo lilivyo kwenye KJV. Watrinitarian wengi wanaendelea kuienzi tafsiri potofu. (kama ya Marshall’s Interlinear).

 

Waefeso 3:9 ina maneno “katika Yesu Kristo” yaliyoongezwa mwishoni mwa andiko, “Kwa Mungu aliyeviumba vitu vyote.” Tafsiri ya KJV ina neno “alfa omega” limejumuishwa kwenye KJV kwenye Ufunuo 1:8, ambayo yamerukwa kwenye maandiko ya kale. Mchakato huu na maandiko yake vimeainishwa kwa undani zaidi kwenye jarida la Stadi wa Uumbaji wa Mungu Kama Alfa na Omega (Na. 229).

 

Kumbukumbu la Torati 32:8, aya hii imebadilishwa usomekaji wake kwenye tafsiri ya Masoretic kutoka kusomeka “wana (malaika) wa Mungu” na kuwa “wana wa Israeli.” Ipo sahihi kwenye tafsiri ya RSV na tafsiri chache nyingine zinazotokana na muundo wa tafsiri za LXX na DSS zinazotokana na maandiko asilia ya zamani. Mwanzo 23:6 ina neno “mfalme wa elohim” kwenye Kiebrania na hii imetafsiriwa kama “mfalme mwenye nguvu.”

 

Tafsiri ya Companion Bible pia ina marekebisha au masahihisho ya tafsiri ya Sopherim hadi “Elohim” kwenye jalada la Nyongeza namba 33, ambayo kwamba walikuwa 18. Vipengele vya nyongeza kumi na tano vya tafsiri ya Sopherim vinaonyeshwa kwenye jadala la Nyongeza namba 31 la Companion Bible.

 

Gombo la Hekaluni lililochukuliwa hadi Roma na Tito, na likatolewa kwa Jamii ya Wayahudi na Mfalme Severin yapata mwaka 220 BK, lilikuwa na vifungu thelathini na mbili vinavyopingana na maandiko mengine. Orodha zake zilihifadhiwa kwenye Companion Bible inayoziorodhesha kwenye Nyongeza ya 34 na pia ina maandiko pembeni mwa aya zake. Tafsiri ya Companion Bible inaonyesha kuwa ni lazima na muhimu kwenye usomaji wowote wa kweli wa KJV. Tafsiri ya Annotated Oxford RSV ni ya muhimu pia.

 

Lina maana gani hili neno Sola Scriptura? Liko wapi neno hili kwenye Biblia? 

Jibu: Neno hili “Sola Scriptura” maana yake ni “kwa Maandiko Matakatifu peke yake.” Ni msimamo unaopinga kuyaingiza au kuyapa haki na nafasi aina yoyote ya mapokeo au desturi, ya ama Kanisa au imani ya Kiyahudi, kuyafanya yachukue mahala au nafasi ya Maandiko Matakatifu au kugeuza nia au lengo hasa yaliyokusudia maneno ya Mungu.

 

Maandiko ya Biblia ambayo yanafanya msukumo wa mtazamo huu kwenye Isaya 8:20 inayosema kuwa kama hawatanena sawasawa na Sheria na Ushuhuda hakuna nuru ndani yao. Andiko lingine linaloshughulika na dhana hii ni kwamba Maandiko hayana yafsiri nyingine ya binafsi. Kristo aliwakemea sana Mafarisayo kwa kuyahalifu maneno ya Mungu na kuyafanya kuwa hayana umuhimu kwa ajili ya mapokeao yao. Torati yote na Manabii vinafanya kuwa na Amri Mbili Kuu. Hakuna mapokeo yaliyojumuishwa ama kutiwa ndani yake. Kitabu cha Ufunuo kinafunga mchakato wote wa uandishi wa vitabu vya Agano Jipya. Utaratibu uliokemewa na Biblia yanatafuta nafasi ya kubadili nyakati na Sheria. Hivyo basi, Biblia eke yake ndilo Neno la Mungu ambalo kwalo kila mtu yampasa aishi kwalo: kila neno litokanalo kwayo. Hoja na mjadala wa uandishi na muundo wa Biblia imeelezewa kwa kina kwenye jarida la Biblia (Na. 164).

 

Ni yepi hasa “Maandiko Matakatifu” yenyewe? Nadhani kwamba ni njia anayoitumia Mungu kujidhihirisha mwenyewe, ila kuna mambo mengine yoyote unayoweza kuniambia?

Jibu: Ndiyo, Maandiko Matakatifu yamevuviwa. Hii inamaanisha moja kwa moja kuwa Mungu ameyapulizia pumzi yake. Inafuatia kwamba kama Mungu anaishi na kama alituumba sisi, wakati alipokuwa na umuhimu wa kiadili, kama atatuhukumu sisi kwa mwenendo wetu, ili atupe aina ya kanuni ya jinsi ya kuishi.

 

Alifanya hilo na alinena nasi kwa kupitia watumishi wake, manabii, ambao walivuviwa na Roho Mtakatifu wanene na kuiambia dunia. aliyanya hivyo hapo mwanzoni kwa njia ya mwana wa Adamu, na hatimaye kwa kupitia Nuhu, na kisha kwa kupitia wana wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo kwa taifa la Israeli.

 

Wakati Kristo na Mitume walipokuwa wanafundisha, Maandiko Matakatifu yalikuwa ni ya Agano la Kale peke yake. Agano Jipya ni nukuu ya mafundisho ya Kristo, kwa kile kinachojulikana kama injili, ikimaanisha ni “habari njema.” Kitabu cha Matendo ni ainisho au masimulizi ya historia ya Kanisa la kwanza na uhusiano wake kwenye Maandiko Matakatifu. Nyaraka zote zingine ni ama tafsiri ya Agano la Kale katika kusaidia kuyapa ufumbuzi matatizo yaliyojitokeza Kanisani kwa ufunuo aliowapa Mungu wanadamu kwa maongozi ya Roho Mtakatifu, au kwa Ufunuo wa moja kwa moja wa Mungu kwa Yesu Kristo, kwa mfano kama alivyoonyeshwa na kuelekezwa Yohana kama nabii. Jinsi ambavyo Biblia ilielekezwa kuandikwa na uandishi wake imeelezewa vizuri kwenye jarida la Biblia (Na. 164).

 

Haya “mahusia au maonyo ya Mungu” ni nini?

Jibu: Maandiko Matakatifu, na hasahasa Torati, ndiyo mausia au maonyo ya Mungu. Maneno haya ya maonyo walipewa watu wa Mungu kwa kupitia manabii na manabii hao wote walikuwa Waisraeli (ni sawa na ilivyo kwenye jarida la Maonyo na Mahusia ya Mungu (Na. 184)). Mwisho wa maonyo na mahusia ya Mungu kwenye fungu la kwanza yanatokea kwenye vitabu vya manabii Ezra na Nehemia. Agano la Kale lilihitimishwa na watu hawa. Mungu alinyamaza kimya kutoka kipindi hiki cha mwisho wa uandishi wa watu hawa na kutoendelea kuwafunulia watu zaidi kipindi hiki cha Agano la Kale hadi aliponena tena kwa huduma ya Roho wake kwa nabii Zakaria, baba yake Yohana Mbatizaji (Luka 1:5-30).

 

Patakatifu pa Patakatifu panasemekana pia kuwa palikuwa na sanduku na utukufu wake huko (hususan kuanzia 1Wafalme 6: 16,19,20). Huenda hii ilibakia kama tunavyoona, kutokana na ukweli kwamba Torati ilihifadhiwa huko na Mungu alijidhihirisha mwenyewe kwa kupitia unabii huko. Kilikuwa ni chumba chenye dhiraa ishirini (soma 1Wafalme 6:20). Hii inaitwa “naos” kwenye Agano Jipya, inayolitaja hasahasa Kanisa, ambalo ndilo lilikuwa naos (sawa na lisemavyo jarida la Sanduku la Agano (Na. 196)).

1Wakorintho 3:17 17 Kama mtu akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamharibu mtu huyo. Kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu, ambalo ndilo ninyi.

 

Kwahiyo, Kanisa ndilo hii “naos” au “Patakatifu pa Patakatifu” na ndilo hema na maskani ya Mungu. Maskani ya Mungu ndipo ilifanyika kuwa Kanisa kwenye Pentekoste ya mwaka 30 BK. Ndivyo hata sisi, ndipo tumeona kwawa ndivyo alivyomaanisha Paulo alipotaja hekalu la Mungu kwa maana pana na kwa maana iliyo sahihi zaidi.

 

Ningependa nianze kuisoma Biblia kutoka ukurasa hadi ukurasa mwingine. Je, kuna mpangilio wowote uliowekwa au kitu chochote kitakachoweza kunisaidia kuyaelewa maana yake?

Jibu: Usomaji wa Biblia kutoka ukurasa mmoja hadi mwingine kunaweza kufanyika kwa mwaka mmoja iwapo kama inaweza kusoma sura mbili au tatu kwa kila siku. Tatizo lililoko katika kuielewa Biblia, ni kwamba imeandikwa ili iweze tu kueleweka hapa kidogo, kuna kidogo, kipengele hadi kipengele, mstari hadi mstari. Kristo alinena kwa kutumia mifano ili watu WASIWEZE kuelewa kabla haujafika kuda wake wa wao kuelewa.

 

Mcakato huu ni wa muhimu katika kuuelewa muundo na lengo la Biblia. Kwenye mwisho huo, kuna Programu ya Mafunzo ya Biblia iliyoanzishwa ili watu waweze kujifunza kwa kuzingatia vichwa vya habari. Soma jarida la Programu ya Kusoma Biblia (Na. B1). Kuuelewa muundo wa mpango wa Mungu kumesaidiwa na jarida la: Kuiainisha Ratiba ya Nyakati (Na. 272). Kuuangalia mpangilio wa Biblia kunasaidia sana pia: Jarida la Biblia (Na. 164). Kuhusika kwa Kristo kwenye utunzi au uandisho Biblia kunaweza kuonekana pia kwenye majarida ya: Uhusika wa Masihi (Na. 226); na lile la Uwepo wa Yesu Kristo Kipindi cha Kabla ya Kuzaliwa Kwake Rasmi Duniani (Na. 243).

 

Naweza kuyapata maandiko ya Biblia ya kujisomea na kusoma li “niyafanye upya mawazo yangu?”

Jibu. Kama utatembelea tovuti yetu ya www.ccg.org utaiona sehemu yenye idadi kubwa ya mabo muhimu upande wa chini ya ukurasa wa ili wa CCG. Kwa juu, kuna Kitufe che majarida ya Kujisomea na pia Programu ya Kujisomea Biblia (Na. B1). Kama utakwenda kuwa kufuata mkururu kwenye jarida hilo utayaona takriban majarida 300 yaliyoorodheshwa kwa mpangilio. Majarida kama vile ya Kutubu na Kubatizwa (Na. 52) na mkururu wa majarida ya Asili ya Mungu yatakuambia ni “nani” kuhusu Mungu tunayemuabudu.

 

Majarida ya Uhusika wa Masihi (Na. 226) yatakuambia nafasi ambayo Kristo alihusika kwayo kwenye mchakato huu. Majarida kama lile la Kalenda ya Mungu (Na. 156) na majarida mengine mbalimbali ya Siku Takatifu, na ufafanuzi unaoyahusu haya, yatakueleza “jinsi” ya kuabudu. Pia kuna majarida yahusuyo mpango wa wokovu na lile la the various Holy Day papers, and explanations regarding them, will tell you the “how” of worship. There are also papers on the plan of salvation and the Kuiainisha Ratiba ya Nyakati (Na. 272) ili kukuonyesha mkururu wa matukio ya kinabii. Kuna machapisho mengi na yakutosha ya Maandiko nay a kihistoria huko ili kumfanya mwanafunzi aliyemaanisha ayatumie kwa miaka mingi kwa utafiri makini. Kisha unapokuwa mzee, utafaidi kufanya hivyo tena na tena kwa kuwa utaikabili kwa mtazamo wa ndani zaidi. Kwa watu wa Mungu, hakuna mwisho wa kujifunza.

 

Kama nitakuwa sahihi, Yahova ni neno ambalo limetafsiriwa kuwa Bwana na BWANA kwenye aya moja hiyo hiyo. Kama hiyo ni sahihi, kwa nini unadhani hazikuweza kudumu? Inaifanya ikanganyike tu. Unaweza kufafanua kwamba Septuagint ni nini na hii Kurios ni nini nayo?

Jibu: Tafsiri nyingi za Biblia, kwa kweli karibu zote, zimetafsiriwa kwa mtazamo wa waamini Utatu. Nyingine zinzficha kutumia jila “Yahova.” Kwenye tafsiri ya Sopherim, Waandishi wa Kiyahudi walilibadilisha neno “Yahovah” mara 134 kama ilivyo kwenye tafsiri ya Masoretic neno “Adonai.” Tafsiri ya Septuagint kwenye Biblia iliyotafsiriwa kwa Kiyunani kutoka Kiebrania chini ya Ptolemies huko Misri. Ufupisho wake, ni LXX inayomaanisha sabini, ambao ni waandishi sabini wanaodaiwa kuwa waliitafsiri. Imenukuliwa mara nyingi kwenye Agano Jipya na inawezekana kabisa ilikuwa ni Biblia ya kawaida na iliyojulikana na waliyokuwa wakiitumia kuliko nyingineyoyote. “Kurios” ni neno la Kiyunani la “Bwana” lililotumika kwenye Agano Jipya na kwenye LXX.

 

Mimi ni msomaji mzuri wa Biblia na ninayehitaji kuwa na vyanzo vingi iwezekanavyo kuipata Historia ya kieneo ya Israeli wa kale, na Historia eneo ya Agano la Kale. Kama una ushauri wowote ule nitaupenda sana kuyajua mambo haya. Ningependezwa mawazo ya wakongwe.

Jibu: Unaposema ukongwe, inapasa ijulikane kwamba Biblia imewahi kuharibiwa ili isiwe ni chanzo muhimu chenye mamlaka na uweza na dini za imani kongwe. Utakuta historia ya Kanoni na uandishi wake kwenye tovuti yetu kwenye jarida la Biblia (Na. 164). Pia kuna ufafanuzi zaidi kwenye jarida la Khristo na Koran (Na. 163). Utakwenda kukuta pia ufafanuzi kadhaa kuhusu kipindi cha kufungwa kwa kanoni kwenye majarida ya Jinsi Usomaji wa Torati Ulivyofanywa na Kina Ezra na Nehemia (Na. 250); na lile la Ishara ya Yona na Historia ya Ujenzi Tena wa Hekalu (Na. 13). Kitabu cha Historia ya Kanoni cha Westcott’s History of the Canon ni kizuri kama utakipata kimoja.

 

Nakumbuka kusoma kwamba mtu fulani peke yake alisifiwa kwa kusema kwake kwamba, kama yangekuwa ni matukio yaliyotokea kwenye nyakati na tarehe ndiyo yaliyoandikwa kwenye Biblia, dunia ingekuwa na umri wa miaka 6,000 tu. Je, unamjua mtu huyu alikuwa nani na unaweza kuniambia alipotajwa tafadhali?

Jibu: Inadhaniwa kwamba unamaanisha kronolojia iliyofanwa na Askofu Mkuu James Ussher kwenye maandiko yake yaliyoko kwenye tafsiri ya Authorised. Mfuatano huu wa nyakati na matukio kwa kweli ulikuwa ni kuanzia mwaka 6004 KK. Habari hii inapatikana kwenye toleo la Bilia ya Authorised ya mwaka 1701. Kwenye matoleo mengi yaliyochapishwa baadae ya notisi na rejea vimeachwa au kurukwa. Kwa hiyo kama ikipenda kwa hesabu ya kikronolojia kamili na orodha yake, hebu lipate toleo hilo kutoka kwenye maktaba iliyokaribu sana nawe yenye chapisho hili.

 

Ni kwa namna gani kulitumika kuipima miaka kwenye Biblia, yaani, waliwezaje kuujua umri wa mtu fulani?

Jibu: Biblia inaanza mwaka wake tangu mwezi wa Abibu, ambao ndiyo Mwezi wa Mpya uliokaribu zaidi na siku ya ikwinoksi. Kipindi cha mpito cha kutoonekana mwezi ndicho kinachoweka msingi wa kuamua mwanzo wa mwezi kwa Waebrania. Mwonekano wa Kidolegumba cha mungu Ashirat, au mwezi mchanga wa duara, ulikuwa ndiyo msingi wa mwanzo wa miezi ya Wababelonia na Wamisri. Kulikuwa na miezi iliyozidi ya kumi na tatu iliyopangwa mar asana katika kila kipindi cha miaka kumi na tisa. Miaka ilipimwa tangu siku ya 1 Abibu, au 1 Nisani kama ulivyoitwa hivyo na Wababeloni waliouita Nisanu. Soma majarida ya Kalenda ya Mungu (Na. 156); na pia la Mwezi na Mwaka Mpya (Na. 213). Mafarisayo walianzisha vyanzo vingine vya kuipatia miaka mipya baada ya kuangamizwa kwa Hekalu, kama tujuavyo kutokana na kile likichojulikana kama Mishnah lakini haikuwepo wala kuwa hivyo kipindi cha Hekalu. Mwanzo wao wa Mwaka Mpya tangu karne ya 3 ulikuwa ni Rosh Hashanah katika mwezi wa Tishri, au mwezi wa saba, jina walilolitohoa kutoka kwa Wababeloni baada ya kipindi chao cha utawanyiko.

 

Waebrania hawakuwa wakisherehekea siku za kuzaliwa kama ilivyokuwa ikifanywa kwenye imani potofu za Wababeloni, watazama nyakati mbaya na waumini wa imani nyingine potofu za waabudu jua. Watoto wa Ayubu waliuawa kwa sababu hii ya kujiungamanisha na ibada na imani hizi. Vitendo na imani za Unajimu pamoja na kuangalia mwenendo wa siku na tarehe pia vimetakazwa. Soma jarida la Maadhimisho ya Siku za Kuzaliwa (Na. 286). Tarehe ya kuzaliwa kwa Kristo imefichwa kwa makusudi kwa sababu hii hii ya kwamba imekatazwa kuadhimishwa.

 

Mwezi ulionaojulikana kama Adari II, ulioongezwa kwenye mwaka mrefu, ulianzishwa na kuwekwa kama “WeAdari” au “Na Adari,” na siku zote kwenye mwezi huu zilianzishwa zikiwa kama Adari kwa lengo la kibiashara. Kutoza riba kumekatazwa na madeni yote yaliamriwa kusamehewa ufikapo mwaka wa saba au mwaka wa Sabato wa mzunguko wa miaka. Utakuta maswali mwngi yakijibiwa kwenye majarida kwenye tovuti yanahusu mambo ya kalenda.

 

Ni mtu gani kwenye Biblia anajulikana kwa kumudu kutumia fedha zake au raslimali zake kwa busara? 

Jibu: Kuna mifano iliyo kwenye Agano la Kale na Agano Jipya. Ayubu alikuwa mtunzaji makini. Yusufu alikuwa ni mtunzaji makini zaidi wa fedha za wengine akifanya hivyo kwa uaminifu mkubwa kama mtumishi mwaminifu. Yakobo alimudu pia kuyatunza mashamba na mifugo ya baba mkwe wake na akajipatia utajiri hata yeye mwenyewe pia. Danieli alikuwa ni mfano mwingine pia wa mtumishi mwaminifu.

 

Mfano uliopo kwenye Agano Jipya ni wa mtu aliyefanyika kuwa mwaminifu na mwenye busara katika njia za ulimwengu. Hata hivyo, ilikuwa ni vigumu sana kumfuata. Sulemani alikuwa ni mfano wa Hekima na utunzaji wa raslimali za Ufalme, bali aliangika pia kwenye ibada za sanamu. Baba yake Daudi alikuwa pia ni mtu mwenye busara kwa kiasi hicho.

 

Napenda kujua kama kuna ukweli wowote kwenye madai yaliyofanywa na wale wanaotetea kwamba Biblia ni nakala au gombo lililofichwa?

Jibu: Biblia imeandikwa na watu wengi kwa mtindo kururu fulani kama nakala au gombo. Biblia pia inatumika kama kifaa au chombo chenye kuonyesha mambo yaliyoko mbele au yaliyfichika ikitumia mikururo kadhaa mbalimbali ya gombo. Na ndivyo ilivyokuwa pia kwamba hata Moby Dick aliitumia njia hii nayo imekuwa ikitumika kama tuonavyo hapa chini.

 

Nasaha zake za kimaelezo ilikuwa kama ifuatavyo:

“Kwa haraka sana ilielezewa, maneno yote mawili ya jozi yamewekwa kwa kukuta kwa kila ilipoonekana kwa wastani wake stahiki inayolingana na mkururo uliofuatia badae (ELS). Kwa kinadharia, mkururo hii ya wastani inaweza kuwa na idadi nyingine yoyote ya herusi (ingawaje sio ndefu kwa zaidi ya c. 78,000 iliyogawanyika kwa chini ya moja ya idadi ya herufi kwenye maneno); kimatendo, wameonekana kuwa ni fupi kwa kulinganisha na urefu kamili wa uandishi wa kitabu cha Mwanzo. Lakini ni kama tutakavyoweza kujionea, kwamba ELS halisi haikingani na matokeo.

http://www.meru.org/Codes/lettresp.html

http://www.meru.org/Codes/review.html”

 

“Kwenye mahojiano yaliyofanyika hivi karibuni, David Kazhdan, mkufunzi au profesa na mwenyekiti wa jopo la wana mahesabu kwenye Chuo Kikuu cha Harvard, aliwatahadharisha watu wenye mawazo ya kuionea mashaka gombo au uandishi wa kitabu cha Torati, akisema kuwa “Hali iliyopo ya kinadharia ni ya kweli. Hitimisho ulilolifikia kutokana na hii ni juu ya kila mtu peke yake mmoja mmoja.’ Kwa kuongezea, neno vifungu, kama ilivyotajwa kwenye vitabu vya kina Witztum na Drosnin na kile kinachoitwa gombo au maandiko ya kimasihi, ni mambo nadharia au mambo yasiyoweza kuthibiwa na ni vifungu sawa tu vinaweza kukutikana kwenye andiko lingine lolote lenye urefu sawa. Madai yoyote yenye mwonekano onekano wowote ongezeko kwa vifungu ni upotofu, kwa kuwa vimechapishwa kinyume na viwango vya kikanuni za kimizania na kitakwimu.

http://math.caltech.edu/code/petition.html

“Miongoni mwa watia saini walioorodheshwa hapa chini ni za wake walioamini kwamba Torati iliandikwa kwa maongozi ya Mungu kabisa. Hatuuoni mgongano wala mkanganyiko wowote kati ya imani ile na maoni tuliyoyaelezea au kuyatoa hapo juu.

Hebu pia fungua na kuisoma tovuti hii:

http://www.bible-prophecy.com/codes.htm

Hizi ni nakala nzuri zinazokanushwa:

http://cs.anu.edu.au/~bdm/dilugim/torah.html

Hii inaonyesha kwamba hizi ELS zinatabiri kuhusu mashambulizi kwenye Moby Dick. Kiingereza chenye vokali hakiwezi kabisa kufanya hili kuliko vilivyo konsonantya hili kuliko vilivyo konsonanti za Kiebrania.

http://cs.anu.edu.au/~bdm/dilugim/moby.html

 

Tunadhani kwamba nyingi ya aina hizi za Nakala za Biblia zina muono wa kupuuzia uwezo wa wanadamu wa kuishi kwa imani, na huenda hili lilikuwa ndilo lengo. Inaanzisha na kuendeleza tafiti kupata maarifa z siku za mbele ambayo yatawanufaisha kila mtu binafsi yake na siyo kiafya sana. Yapasa ijulikane pia kwamba hata Moby Dick ina ELS kama hii hii kwenye nakala yake ya Kiingereza.

 

Kuanzisha msingi wa kisayansi na kitakwimu wa kuthibitisha jinsi Maandiko Matakatifu yalivyoandiwa bado upo. Theomatikali za Agano Jipya ni maafisa wenye kauli kubwa na ya mwisho wa Kanisa waliojifunza au kusoma, na sasa Washburn analitendea kazi kwenye Agano Jipya.

 

Je, kuna mahala kwenye Biblia alipoelezea kuhusu rangi za samawati (bluu) na rangi ya chungwa? Kundi letu la wanawake kanisani kwetu linaandaa kinachoitwa chai upindi wa mvua.

Jibu: Ndiyo, kuna sehemu nyingi sana zilizoandikwa kuhusiana na rangi ya samawati, hususan kwenye maandiko yanayoelekeza utendaji wa huduma za Hekalu la Mungu kwenye maandiko ya Kutoka 25:4 hadi Kutoka 39:31. Kuna sehemu maelezo mengine kwenye kitabu cha Hesabu 4:6-12; 15:38; 2Nyakati 2:7,14; 3:14; Esta 1:6,6; 8:15; Yeremia 10:9; Ezekieli 23:6; 27:7,24.

 

Rangi nyingine zinazohusiana na Mungu na Hekalu la Mungu ni nyekundu, uzurungi na dhahabu. Kulikuwa na makomam. Hekaluni ila inaonekana kwamba yalikuwa ya rangi ya samawati na zambarau. Rangi ya nyekundu ilitumiwa kwa kuitia nakshi kanzu ya efodi na ilitanganishwa na kengele ndogo za dhahabu (sawa na ilivyo kwenye Kutoka 28:33; 39:24); au zilikuwa ni rangi za asili tu za nguo zenyewe.

 

Dhana ya kuwa na nembo ya Upinde wa Mvua inatokana na vuguvugu la imani potofu za “Kizazi Kipya.” Rangi za Chungwa au nyinginezo kama hizo hazionekani kutumiwa kwenye shughuli za Kihekalu. Rangi hii imetukuzwa na Wayunani na Warumi kama rangi bandia inayohitaji maandalio. Kulikuwa na aina mbalimbali za pigmenti zilizojulikana na watu wa kale. Kulikuwa na aina mbalimbali za rangi mng’aro na utomvu na salfeti zinzopatikana kutoka kwenye umbali mkubwa.

 

Makundi yalikuwa kwenye matabaka ya rangi ya nyekundu (ambayo inajumuisha kahawia na damu ya mzee, na miniamu kama rangi nyekundu inayopakwa ili kuzuia kutu ya kuwaongoza Warumi na Wayunani), rangi za manjano, kijani, samawi, blue nili, rangi ya nili, zambarau, udhurungi, nyeusi na nyeupe. Makundi na rangi za asili hizi zinaweza kukutikana kwenye Kamusi ijulikanayo kama Smith’s Dictionary of Greek and Roman Antiquities, 1848, p. 320-322 esp.p. 321). Rangi inayojulikana na kujulikana sana katika Israeli ilikuwa ni ya samawati. Warumi hawakuijumuisha rangi hii bali waliitumia rangi nyeusi. Uwekaji wa riboni ya rangi ya samawati kwenye pembe za nguo au mavazi kulitumika kama ukumbusho wa kumkumbusha aliyeishonea maagizo yaliyo kwenye Torati ya Mungu. Soma jarida la Riboni za Bluu (Na. 273).

 

Hatima

Naamini kwamba inatupasa kumkunjulia mikono ili kumsaidia mwenye mahitaji. Sisi sote tuliumbwa na Mungu huyohuyo mmoja. Nafahamu kwamba Mungu hapendi sisi tuangukie kwenye mtego wa kuipenda dunia. Hata hivyo, maana hasa ya neno “dunia” ni nini? Je, ni hara na mapenzi ya kidunia au kuipenda dunia? pia, ni kwamba kama tunautumia kweli muda wetu kwa kupenda Mungu na kuisoma Biblia na kuyatendea kazi mafundisho yake Mungu, basi hatungeweza kuipa shule iwapo kama haitusaidii tunapokufa na kwenda mbinguni? Ni kwa nini tunapoteza muda kwa kujifunza kitu chochote hapa duniani na kuweka malengo?

Jibu: Selemani alisema kwamba, hii ndiyo kazi impasayo mwanadamu: “Kuzishika Amri za Mungu” (Mhubiri 12:13). Watakatifu ni wale wanaozishika Amri za Mungu na ushuhuda au imani ya Yesu Kristo (Ufunuo 12:17; 14:12). Katika karne mbili za kwanza, kama kuna mtu angesema kwamba kulikuwa na Wakristo na kwamba kama wanakufa walikwenda mbinguni, basi ungejua kwa kusema kwao hivyo kwamba hawakuwa Wakristo chochote, bali walikuwa waamini wa mafundisho na imani ya Kinostiki waliojiingiza kanisani (sawa na kisemavyo kitabu cha Justin Martyr cha Second Apology (utetezi wa Pili), LXXX; na majarida ya Nafsi Hai (Na. 92); na lile la Ufufuo wa Wafu (Na. 143).

 

Sasa, kama ukiwauliza watu watakuambia, kama ulivyoandika hapa, wanashikilia na kuamini kwenda mbinguni. Ni kwa kuwa hawajui tu wala kuuelewa Mpango wa Mungu na hawajampata mtu wa kuwafafanulia na kuwafundisha kiusahihi jinsi isemavyo Biblia. Fursa ya kuelewa jinsi anavyofanya Mungu bado ipo, unaweza kujisomea majarida ya Kuchambua Ratiba na Nyakati (Na. 272). Pia soma jarida la Tangazo la Ukiri wa Imani ya Kikristo (A1). Maandiko hayo yatakupa mafundisho na imani asilia ya Imani ya Kikristo na iliyofundishwa na Masihi na Mitume.

 

Utakapouelewa Mpango wa Mungu, ndipo utajua linamaana gani swali na kwa nini Biblia imeandikwa kwa lugha ya mifano. Imefanywa hivyo ili watu wasielewe na kugeuka na kuokolewa kabla ya wakati wao.

 

Ni lipi tumaini kwa hatima ya wanadamu kwa mujibu wa kama ilivyoandikwa kwenye neno la Mungu? Tafadhali nijibu kwa kutumia nukuu za Maandiko Matakatifu.

Jibu: Je! Haikuandikwa katika torati yenu ya kwamba, Mimi nimesema, Ndinyi miungu? na maandiko hayawezi kutanguka. (Yohana 10:34-35). Sisi tutafanyika kuwa elohim, kama Malaika wa Yahova kwenye vipaji vya nyuso zetu (Zekaria 12:8). Sisi ni “naos” au “Patakatifu pa Patakatifu” pa Hekalu la Mungu (1Wakorintho 3:17) kwa njia ya Roho Mtakatifu.

 

Hatima yetu ni kufanyika kuwa Mji wa Mungu na Mungu akifanyika kuwa yote katika yote na ndani ya yote (Waefeso 4:6). Soma kwenye jarida la Mji wa Mungu (Na. 180). Siyo mapenzi ya Mungu kwamba yeyote mwenye mwili apotee. Kwa hiyo, amekusudia kuweka mfumo au imani itakayowezesha wokovu wa watu wote. Lundo la mkururo wa Maandiko Matakatifu yanayohusu mchakato huu yapo kwenye majarida ya Upembuzi wa Ratiba za Nyakati (Na. 272); Uwepo wa Yesu Kristo Kipindi cha Kabla ya Kuzaliwa Kwake Rasmi Duniani (Na. 243); Nafsi Hai (Na. 92) na Ufufuo wa Wafu (Na. 143). Na andiko la: Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma (Yohana 17:3).

 

Naja kuwa Mungu anajua kila kitu, hivyo basi, je, hatima yetu hasa maafa yetu yalitiwa mhuri na kuruhusiwa hata wahati tulipozaliwa ili kuhitimisha hali yetu kwa jinsi tunavyoishi kwenye maisha yetu, watu tunaokutana nao, magonjwa tunayoyapata, najua kuwa jenetikali yetu inahusika kwa sehemu kubwa kuamua habari ya afya yetu. Inakuwaje basi kama hatupati wasaa ya kukutana na ukweli, ndivyo hivyo alivyotupangia sisi tuwe? Swali langu linguine ni kwamba, iwapo kama mzazi akibatizwa, je, hii inaweza kuwalinda watoto ambao hawakuwahi kubatizwa?

Jibu: Hapana, maafa yetu “hayatiwa mhuri” kupasishwa. Sisi sote tuna uhuru wa kuamua na kuchagua. Mungu hajaanza kuuhukumu ulimwengu bado. Dunia hii bado iko chini ya Yule anayejulikana kama mungu wa dunia hii, na utawala wake utaishia hivi karibuni. Kwa sasa, Mungu anawafunza makada wa waalimu watakaochukua nafasi na kazi ya Mapepo wakati utawala wao utakapofikia kikomo. Watu hawa watafanyika kuwa wa ulimwengu wa roho na wataitawala dunia kwa kipindi cha miaka 1000 ya Millennia. Mwishoni mwa kipindi hiki cha Milenia Shetani atafunguliwa tena na dunia itakuwa kwenye maasi makuu kwa mara nyingine tena.

 

Ufufuo wa Pili wa Wafu utatokea hatimaye na watu wote walioko duniani wataishi tena kwa kipindi cha miaka 100. Hii itakuwa ni Hukumu kubwa ya kuwarudi ama ya marekebisho. Yeyote ambaye hakuwahi kuishi bado atapewa fursa ya kuokolewa kwa mtindo bora na mzuri zaidi na kwa mafundisho. Mwishoni mwa miaka hii 100, wale watakaokuwa hawajatubu bado na wakiwa wameongoka wataachwa wafe na miili yao itachomwa au kuungua kwa moto. Watatoweka tu na kupotea kutoka kwenye kumbukumbu za wateule na malaika wakibakia kukumbukwa tu kwenye fikra ya viumbe. Wale watakaotubu wataongolewa na Roho Mtakatifu na kisha watabadilishwa miili yao na kufanyika kuwa viumbe katika ulimwengu wa kiroho na kuungana na waalimu na watakaotoa hukumu kwenye Ufufuo wa Kwanza wa Wafu. Ndipo hatimaye, Mji wa Mungu utashuka hapa duniani na Mungu atafanyika kuwa yote katika yote na ndani ya yote. Soma majarida ya Nafsi Hai (Na. 92); Ufufu wa Wafu (Na. 143); Mchanganuo wa Ratiba ya Matukio ya Nyakati (Na. 272); na Mji wa Mungu (Na. 180).

 

Je, unaweza kunipa rejea za Biblia kuonyesha kwamba Mngu anamakusudi kwa ajili ya mateso yetu?

Jibu: Hili ni swali gumu. Tatizo la uwepo wa maovu au dhambi na mateso kwa watu wasio na hatia mara nyingi kunafanyika au kutokea kama tatizo kuhusu uwepo wa Mungu. Kama yeye ni Mungu mwema, ni kwa nini basi anaruhusu kutokee mateso mengi sana? Jibu linatuama kwenye maamuzi na machaguo yetu. Tuliumbwa na hali ya kuwa na uhuru wa kuchagua mambo tupendayo. Malaika wale waliopangiwa kutusimamia au kutulinda pia walipewa utashi wa kuamua mambo. Chini ya uongozi wa Shetani, malaika hawa waliasi. Adamuu na Hawa walitenda dhambi. Kwa hiyo, waliitendea kazi haki waliyopewa na Mungu wao ya kuwa na utashi na uhuru wa kuamua mambo au wa kuchagua walipendalo.

 

Tangia wakati huo dunia imekuwa ikifuata njia ya ridhaa yake, ilishinikizwa na Shetani na malaika waasi. Kadiri tunavyoelekea nyakati za mwisho za utawala wa mungu wa dunia hii (2Wakorintho 4:4) na cha kurudi kwa Masihi, mambo yataendelea kuwa mabaya kwa kuwa hawazishiki wala kuzifuata njia za Mungu.

 

Mungu atamtuma Masihi arudi ili kuweka utaratibu wa serikali yake kutoka Yerusalemu. Utawala huu utadumu kwa kipindi cha miaka elfu moja (kama inavyosema Ufunuo 20:1-15). Dunia itaponywa na mataifa yataponywa na tutazifuata Sheria za Mungu. Hadi wakati huo au kipindi hicho, mambo yanakwenda kuwa mazuri sana. Soma majarida ya: Matamko ya Ukiri wa Imani ya Kikristo (Na. A1); Lengo la Uumbaji na Dhabihu ya Kristo (Na. 160); Baragumu (Na. 136); Mihuri Saba (Na. 140); Baragumu Saba (Na. 141); Serikali ya Mungu (Na. 174); Milenia na Unyakuo (Na. 95); Nafsi Hai (Na. 92); Ufufuo wa Wafu (Na. 143); na Mchanganuo wa Ratiba ya Matukio ya Nyakati (Na. 272).

 

Kwenye majarida haya utajionea Maandiko yaleainishwa, na yatapuonyesha Mpango wa Mungu na jinsi vitu vyote vitakavyokuwa vizuri na kupangilika vizuri.

 

Nawajua watu wengi waliokuwa kwenye hatua yao ya mwisho, iwe ni ya mambo ya mihadarati, madeni au mambo mengine yaliyowafanya wakate tama na kuchanganyikiwa, waliokuja kwa Kristo, au waliokolewa, au walisema kuwa Yesu alikuwa anatembea ndani yao, na waliobadili mwenendo wa maisha yao. Swali langu ni kwamba, zina umuhimu kwa kiasi gani imani za kidini, kama zinamsaidia kumbadilisha mtu kutokwa kwenye tabia zake chafu? Ni vipi basi kama watadhani kuwa wameipata kweli na kwamba hucho tu ndicho wanachokijua. Je, Mungu atawahukumu? Utawezaje kujua, kwa kuwa kila mmoja anakushawishi akisema kuwa wapo sahihi? 

Jibu: Ni misingi ya imani zozote katika Mungu, kwamba Mungu anao wajibu wa kuonyesha au kudhihirisha mapenzi yake kwa mwanadamu kwa kupitia watumishi  wake. Biblia ni nakala inayokubalika kwa Wayahudi na Wakristo na pia hata kwenye Korani, iwapo kama waifuatwi na wale wanaoitwa Waislamu. Korani ni kitabu kinachoifafanua tu Biblia.

 

Biblia inasema wazi tu kwamba jambo analotakiwa kulifanya mwanadamu ni kuzitii tu amri za Mungu. Watakatifu ambao ni mbegu ya uzao wa mwanamke ambao ni kanisa na Israeli wa kiroho, ni wale wazishikao Amri za Mungu na Ushuhuda au Imani ya Yesu Kristo (Ufunuo 12:17; 14:12).

 

Watu wanaweza kwenda kwenye aina yoyote ile ya mchakato wa kisaikolojia unaowasaidia kuyatatua matatizo yao. Hiki sicho kinachomaanishwa kwenye masuala ya imani. Mungu anachagua mkururu wa watu kutoka kwenye ulimwengu huu ili waongoze awamu inayofuatia au ya utawala wa Milenia wakati Kristo atakapochukua utawala kutoka kwa mamlaka iliyopo sasa ya Shetani. Anafanya hivyo kwa kupitia mchakato wa uweza wake wa kujua kila kitu na kwa neema. Watu wamechaguliwa na kukusudiwa tangu mwanzo na kuitwa, kuchaguliwa, na kisha kuitwa, kisha kuhebiwa haki, na hatimaye kutukuzwa (Warumi 8:29-30).

 

Mungu hashughuliki na watu wote sasa. Uchaguzi ni rahisi. Kama mtu atakuwa amekusudiwa tangu mwanzo, basi wangeweza kuitwa kwa wakati muafaka na kuwekwa mafunzoni wakifundishwa na Roho Mtakatifu kuifanya kazi itakayohitajika waifanye kipindi cha utawala wa Milenia na kwenye Hukumu ya Ufufuo wa Pili wa Wafu.

 

Kama ktu hatakuwa sehemu ya mchakato huu, ndipo hawataweza kuelewa. Na kama watakuwa ni sehemu yake, ndiko Roho Mtakatifu atafungua moyo wake na ataelewa. Na hii ndiyo sababu kwamba Biblia imeandikwa kwa mifano. Imefanywa hivyo ili watu wasielewe na wakageuka na kuokolewa kabla haujafika wakati wao.

 

Torati itatumika kwenye maamuzi na maongozi yahusuyo sheria za Mungu kwa kipindi chote cha miaka 1000 chini ya imani moja nay a kweli. Iwapo kama wewe unapenda kuwa sehemu ya utawala hu wa Mungu kwa mchakato huu na kama Mungu amekujua tangu mwanzo kwa wito wako, basi utakuwa na imani iliyo sawasawa na imani waliyopewa watatifu mara moja tu.

 

Haijabadilika kwa kipindi chake chote cha miaka 2000. Hata hivyo, kuna baadhi ya wachache wanaoiona njia iliyonyooka na mlango ulio mwembamba.

 

Nimesikia kwamba Mungu anasema nasi mioyoni mwetu, basi hii ina maana gani? Wakati mwingine kuna swali kwamba ambalo silijui jibu lake, kwa hiyo naifunua Biblia bila mpangilio na kama nikilikuta neno ‘ndiyo’ ndipo nadhani kuwa hili ndilo jibu lake, na ndivuo ninavyochukulia pia ninapokutana na neno ‘hapana’. Kwa kweli naogopa sana kujikuta kikibahatika au kutobahatika kupata mambo kwa kutumia mtindo huu wa kubahatisha. Je, Biblia inasema chochote kuhusu kubahatika au kutobahatika?

Jibu: Mungu ni mwenye uweza wa kujua kila jambo. Hii inamaana kwamba anaelewa kila kitu kikamilifu sana kwa makusudio yoyote ya kweli. Ametuandalia na kuziweka kazi fulani tutakazozifanya baadhi yetu. Alimjua Yeremia hata kabla hajaumbwa kwenye tumbo la mama yake na Mungu akampangia kazi atakayoifanya. hii haimaanishi kwamba Mungu anatuamulia kinachotutokea, au hata kile anachokiingilia kwenye mambo fulani. Mungu anashughulika na baadhi ya watu wachache tu kwa wakati huu. Mungu wa dunia hii ambaye sasa ni Shetani na ana uthibiti wote kwa kipindi fulani na kifupi tu kilichoko mbele.

 

Kitendo unachokiongelea hapo kinaitwa “bibliomansi” na ni mtindo au aina ya ubahatishaji wa namna ya kiramli wa kutumia usomaji wa Biblia, ila ni sawa tu na upigaji wa ramli ya kishirikina, na haina tofauti yoyote. Mungu amekataza kusifanywe hivyo. Alichotuagiza ni kuishi na kuenenda kwa imani. Wala usitatishike zaidi na kitu ukifanyacho au ulichonacho au unachokwenda kukila au kuvaa. Mungu anajua unachokihitaji na atakupatia, iwapo tu kama utamkabidhi njia zako. Zishike tu Amri za Mungu na Imani au Ushuhuda wa Yesu Kristo, kwa kuwa hilo ndilo limfaalo mtu kulifanya. Nasibu ni imani za Kimisri, ambayo inahusiana na hali ya ubinafsi na kujipendelea wa mtu. Ni kama sehemu ya imani za maroho na haina nafasi wala sehemu kwenye imani ya Kikristo. Jaribu kumkabidhi na kumshirikisha matatizo yako Mungu na kuzishika Amri zake. Ndipo mkate wako na maji vitakuwa vitu vya uhakika au vitathibitika.

 

Maana ya Namba au Tarakimu

Nimesoma jarida la Maana ya Tarakimu (Na. 7) na kukuomba tafadhali nifafanulie kuhusu jinsi ulivyofika kwenye dhabihu za kwanza 71 ambayo pamoja na Mganda wa Kutikiswa inafikia jumla ya 72.

Jibu: Mwaka wa kinabii una miezi thenashara yenye siku thelathini kila mmoja. Kwa hiyo hii inaweza kuchukuliwa kuwa na jumla ya Sabato 52 kama ilivyo kwenye mwaka wa mzunguko wa jua. Miandamo ya Mwezi Mpya inatimiliza iko kumi na miwili na kufanya idadi ya 64. Kuna siku saba za sikukuu ya Pasaka na Mikate Isiyotiwa Chachu, Pentekoste, Baragumu, ambazo zinatolewa dhabihu maradufu za Baragumu na Mwandamo wa Mwezi; Siku ya Upatanisho, na Sikukuu ya Vibanda na Mkutano wa Makini. Hii inafikiliza 71 pamoja na Sadaka ya Mganda wa Kutikiswa, iliyoandikwa na kuamriwa kwenye Walawi 23 kuwa ni moja ya siku za lazima za sikukuu. Hivyo, inatufana tuwe na 72.

 

Nimekuwa nikisoma jarida la Maana ya Tarakimu (Na. 7). Dhana yenyewe ni vigumu kwangu kuishika na nasifu na kuuhitaji msaada wako kuhusiana na moja na maneno yaliyopo. Kwenye nambari kumi na nne na pia nambari kumi na tano, sielewi maana ya “kupunguza tano” au “kupunguza sita” ina maana gani. Nambari hizi zinapunguaje?

Jibu: Mifumo ya Kigeometriki na kinumerali hupunguza nambari kwa kuongeza jumla zake ili kuzipunguza kwenye mifumo msingi ya tarakimu 1 hadi kumi. Ambavyo ni 14 ni 4+1 = 5 na kadhalika wakadhalika.

 

Kwenye rejea ya jarida la Maana za Tarakimu (Na. 7) unaposema: “Tarakimu Tatu ina maanisha ukamilifu kwa maana mistari mitatu kwenye umbo” – unakuwa unaelezea urefu, kina cha kwenda juu, na upana? Hakuwezi kuwa na kina au kipimo cha 4 ambacho kwa sasa hatujakijua bado?

Jibu: Ndiyo, huo ndio uhalisia wa mstari wa umbo unaofanya kuwa na kipimo cha tatu. Kipimo cha nne ni cha kiroho, kilichoko ndani mwetu tangu wakati wa ubatizo.

 

Jarida la Maana ya Tarakimu (Na. 7) ni zuri sana. Nilitaka kujua ni kwa nini nambari 300 haikujumuishwa kenye jarida. Kunaonekana kutajwa mara nyingi tarakimu hii ya 300 kwenye Maandiko Matakatifu. Hii ina maana gani?

Jibu: Huenda ilitakiwa iwepo miongoni mwake. Maana ya tarakimu hii ya mia tatu imeainishwa kwenye jarida la Jeshi la Gideoni na Siku za Mwisho (Na. 22). Tarakimu hii ya mia tatu inawakilisha vikosi vitatu kila moja kikiwa na wanajeshi mia moja, kwamba Mungu anawainua kutokana na Roho Mtakatifu ili kuyashinda majeshi ya waabudu Baali katika siku za mwisho. Hii ina maanisha kwa hiyo muundo wa Kanisa pia na ule utakaokuwa chini ya Masihi.

 

Jamii

Nimeliona jarida linaloelezea Bangi, na jinsi mafuta, na maua, tunayotumia kupaka au kutengeneza uvumba, bali ni kazi gani, kama ipo, inayofanya Bangi leo? Je, haistahili? Na pia, je, naweza kuelezea kuhusu Madawa, na kuelezea thamani vidonge vizuri na vibaya?

Jibu: Hili ni jambo lenye utata sana. Bangi ina madhara makubwa sana ya wazi na ya muda mrefu sana kwenye kromosomu yanayomkumba mwanadamu na yanaweza kuendelea kwa kupitia kwenye mfumo wa uzazi wanapozaliwa watoto. Hili ni jambo tata la kitabibu. Haiwezu kuelezewa kikamilifu na yote hapa.

 

Mimea yote tuliyonayo inatumika. Mkatani, ambalo ni jina lingine la mmea ina kamba nzuri na karatasi na mazao mengine. Unatengenezewa mikeka na mazulia na ukitunzwa na kukuzwa vizuri ungeweza kuwa suluhu la upungufu mkubwa uliopo kwa muda mrefu wa karatasi.

 

Ni kama vitu. Kila kemikali ina makusudi na inaweza kutumika kwa uzuri na una mambo mabaya. Mafuta ya Petroli inayapatia nguvu ya kinishati magari bali pia inaweza kulipuka mnuso au harufu ya moto kama gundi na hiyo inaharibu akili za vijana wengi nchini Australia. Cocaine inasaidia kupunguza maumivu lakini kama ukiinusa kwa kupitia matundu ya pua inaifanya ua yako kutoa mlio mkubwa.

 

Kanuni ya msingi kwenye mihadarati yote ni kuchukua kile tu unachotaka kukichukua ili kupata suluhu ya tatizo. Hebu fuata sababu na usiitumia sana kwa kuzidisha kipimo. Kilamara muulize mtu anayetumia mihadarati ni nini kilichopo na nini unachikifanya ili kukipata na ni madhara gani ya ndani yaliyopo. Kamwe usiitumie mihadarati kwa kujifurahisha na kujizoeza kijinga tu.

 

Vitu rahisi ni vya muhimu kwenye afya yetu. Hospitali ya kanisa la SDA hivi karibuni imefanya jaribio kwa wachungaji wake kwenye AU na kukuta kwamba 77% walikuwa wameathirika kwa sababu ya imani yao ya ulaji wa mbongamboga tupu au uvijiteriani. Mungu alitupa chakula bora kwa sababu. Kemikali wakati mwingine zinatusaidia kwa kupitia matatizo lakini kinsingi kama tunakula vizuri tunawezesha mfumo wetu uwe sawa.

 

Pia ni kama alivyosema Paulo kwamba tumia mvinyo kidogo kwa ajili ya tumbo lako. Unywaji wa Kiasi na utiaji chumvi usio na mashiko ya kimaandiko ya kinadharia na kifikra tu yanawajibika kwa ukweli kwamba Wamarekani wana kiwango ccha mara 2.5 cha ugonywa wa mapigo ya moyo ya Wafaransa wanaokunywa kiasi hichohicho cha kiwango cha mafuta. Wafaransa hunywa mvinyo mwekundu na unawasaidia kupunguza kiwango hiki cha magonjwa ya moyo.

 

Pia matumizi ya kemikali fulani zinazoendana na mazingira yake hitajika yanaruhusiwa yanayoendana na usalama wa mtumiaji na yanayozingatia maagizo ya sheria ya vyakula kwenye maandiko matakatifu. Hebu na zishike sheria za vyakula zilizoagizwa kwenye maandiko na ushuhudie kupungua kiwango cha mashambulizi ya magonjwa na ulishwaji wa sumu za kimekuria ufanywao pasipo kujua na wa chuma nyingine nzito. Soma majarida ya: Sheria za Vyakula (Na. 15); Uwiano (Na. 209); Uvijiteriani na Biblia (Na. 183); Mvinyo Kwenye Biblia (Na. 188).

 

Umefanya madai ya kwamba “Bangi ina madhara makubwa sana ya muda mrefu kwenye kromosomu iliyofanywa na wanadamu na inaweza kuendelea kupita ikiuathiri mfumo wa uzazi kwa watoto.” Je, unaweza kuufanyia usemi huo kwa kutoa uthibitisho halisi hasa? Nilidhani kwamba huenda ungegusia imani ya Rostafarian wa Jamaica na wafuasi wao na jinsi wanavyoitumia Bangi? Je, hawajawahi kusikia mijadala kuhusu matuizi ya Bangi kwenye Biblia? Je, haipo hivyo kwenye kuitafsiri calamus au jina la kutisha kama hilo?

Jibu: Calamus unayoitaja ina aina mbalimbali na tofauti na hakuna hata moja wapo iliyo na uhusiano na Bangi. Neno hili linatokana kwenye kamusi ya SHD 7070 quaneh kwa Kiebrania ni kawneh na kwa Kiyunani ni kalamos. Msingi wake ni neno kwa ajili ya kuhasiwa ikiwa ndiyo ile iiyosimama wima au iliyo sahihi.

 

Kwenye Kutoka 30:23 inatajwa kama Chupa cha Mafuta Matakatifu (qeneh bosem) (Gr. kalamos euodes) Inaitwa qeneh hattob kwenye Yeremia 6:20 au "Mafuta Mazuri." (Gr. thymiama) (Isaya 43:24; Kinnamomon na pia "marashi yene harufu nzuri" (Yeremia 6:20). Soma pia kwenye Wimbo Uliobora 4:14 ambapo kumetajwa pamoja na mdalasini.

 

Kuta tofauti kati ya ladha nzuri ya mafuta yaliyotajwa kwenye Isaya (huenda ni muwa: Saccharum officinarum L.) na vitu vyenye harufu nzuri nay a kupendeza inayotajwa kwenye vifungu vingine, ambavyo vinachukuliwa kumaanisha majani ya tangawizi liitwalo andropogon aromaticus Roxb, yanayopatikana kaskazini mwa India na yana harufu nzuri sana na kali.

 

Upingaji wa matumizi ya Bangi kwenye nchi nyingi unatokana na kuongezeka kukubwa kulikopo sasa kwa mambo ya kimadawa kama madhara makubwa ya kiuzao. Kwa hakika haijaelezwa kwenye maandiko ya Biblia kama Calamus kutoka na jinsi tunavyojua. Tutafanya utafiti mwingine zaidi na tutakapokuwa kwenye nafasi nzuri tutaandika jarida lingine litakalojiri na madhara ya kitabibu. Ni kama ilivyo kwamba hakuna hata mmoja wa watu wetu anayevuta aina yoyote ya mmea basi ni zaidi sawa tu na tulivyo sisi pia.

 

Sijui ni kwa nini Yesu hakukemea matendo ya ushoga ama ufiraji kwenye hata mojawapo tu ya Injili zake. Ni vipi badi Maandiko Matakatifu yanaweza kutumiwa ili kuelewa kwa nini Mungu haungi mkono wala kuafikiana na matendo haya ya ushoga, hususan kwenye Agano Jipya?

Jibu: Kristo hakuhitaji kusema au kuongelea matendo haya ya ushoga kwa kuwa yaiikuwa yamekwisha kukemewa na kulaaniwa kwa wazi kabisa na maandiko kwenye Torati ya Mungu. Biblia yote kabisa inakemea matendo haya ya ufiraji, kama inavyofanya hata kwenye uzinzi wowote wa kila namna. Hakuna mzinifu, wala mfirwaji. Na wala hakuna waoga, wasioamini, waongo, waabudu sanamu, wachawi, wachukizao, hawa wote hawatauingia ufalme wa Mungu (Ufunuo 21:8) wala chochote knacholitia unajisi Hekalu la Mungu.

 

Kuna Maandiko mengi Matakatifu yanayohusika na kukataza. Usagaji pia umekatazwa pamoja matendo ya Kisodoma na wazinifu na waasherati (1Wakorintho 6:9; sawa na Warumi Sura ya 1; Ufufnuo 21:8, 27). Soma jarida la Torati na Amri ya Saba (Na. 260).

 

Kumekuwa na makala za mwanzo kwenye habari za hivi karibuni kuhusu uweza uliopo sasa wa kupandikiza mitamba wanyama na mimi hata nadhani ingewezekana kuwapandikiza mitamba wanadamu pia. Kama nimelielewa vyema jambo hili, upandikizaji mitamba ni la kutoa toleo lingine la asilia na lisingeenda moja kwa moja kwenye mwendelezo wote mzima na mchakato wa kimafunzo kwa miaka. Unaweza kusema kwamba watu waliopandikizwa mitamba wanaweza kuchukuliwa kuwa ni wana wa Mungu?

Jibu: Mungu alikataa kufufuliwa au kuanzishwa tena fikra za Warefai au Wanefili. Suala hili la kupandikiza mbegu za mitamba ni tatizo kubwa sana. Upandikizaji huu unaendelea kutoka na kipimo cha DNA cha kila mtu, ila kinajiri na umri mmoja huohuo kama wa mtu alivyokuwa wakati ulipochukuliwa.

 

Kwa hiyo, kipimo cha DNA cha upandikizaji mbegu ya mtamba chapasa kichukuliwe kwenye umri wa mapema sana kutoka kwa mtu huyohuyo. Urefushaji wa maisha huenda ni matokeo ya hiyo bali uzoefu unaendelea kuonyesha kuwa ni matatizo makubwa ya kimaadili na kimaumbile ambayo yanakanganya sana kuendelea nayo. Kwa mfano, mtu halisia ana asili ya kimwili na kimaumbile ya kineflishi.

 

Je, unadhani kwamba Mungu anapendezwa na uumbaji pamoja na maumbile mapya ya mtindo huu wa kupandikiza mbegu au uzidisho wa kineflishi mara mbili? Kwa maneno mengine ni kwamba, ni kwa wingi kiasi gani wazaliwa wa kwenye mbegu hizi za mtamba watakuwa kwenye tukio la ufufuo wa wafu? Je, wote hawa watakuwa na fursa kama watakuwa na maisha au uhai? Swali hili gumu sana linahusisha na biashara ya spea.

 

Je, uundaji wa kichanga kwa njia ya vifaa vya spea kunaweza kuanzisha mauaji? Mwanadamu alichanganywa lugha na usemi pale Babeli kwa makusudi ili asiweze kuifikia hatua ya kiwango cha elohimu kwa mapema sana. Hii ni sehemu ya mchakato ambao Mungu aliuzuia. Kitendo cha kukipunguza kipindi cha utawala wa Shetani pia kina kitu cha kuhusiana na mchakato wa wokovu wa wateule pamoja na kuilinda hii sayari. Na pia itaangamizwa kabisa. Kristo anakuja ili awakute wenye mwili waookoka walio hai.

 

Maelezo yangu yanataja imani ya ulaji wa mbogamboga tupu yaani uvijiterian. Niliona kwenye habari kuhusu Serikali ya Marekani ilifanya tena piramidi ya chakula. Waliifanyiza ulaji ule wa nyama mara mbili au tatu kwa juma ambayo ilitufaidia sisi. Ndipo hatimaye tunaliona tena kundi la waamini ulaji huu wa mbogamboga peke yake likipinga na kuandamana na wakiitaka serikali ienekeze kikamilifu aina ile ya ulaji au ya chakula. Walisema kwamba lingekuwa jambo la kiafya sana kwa ulimwengu kufuata sheria zao za vyakula. Je, hii ndiyo jinsi ambayo Shetani atapata mitazamo yake ya kimsimamo kotekote?

Jibu: Imani ya Uvijiteriani haifungamani na suala la kiafya. Ni shutuma ya moja kwa moja dhidi ya Sheria au Amri za Mungu na muundo Mungu aliyowapa Israeli. Ni sehemu mojawapo ya hoja za Kiantinomia za Wakostiki na wala haina uhusiano wowote na Ukristo. Mtume Paulo aliyaita haya kuwa mafundisho ya mapepo na mshetani. Ni desturi na mapokeo yanayoendelea na kudumu yanayotokana na imani ya Kihindu.

 

Hospitali ya Waadventista Wasabato wa huko Sydney, Australia hivi karibuni wlifanya oparesheni ya upasuaji wakiwatibu wachungaji wa Kiadventista na wakagundua kuwa takriban asilimia 77% walikuwa na upungufu mkubwa wa nguvu yaliyosababishwa na tabia ya ulaji mbogamboga au uvijiterian. Ni chanzo cha kilichopelekea ukosefu wa kutenda kazi vizuri mishipa au neva na hali yake mbaya ulipelekea mabaya sana ya matatizo ya kiafya kwa vijana. Imani ya Uvijiteriani inahitaji kuwe na akiba nyingi nay a kutosha mwilini ambayo haihitajiki au isiyopatikana kwenye mlo wa kawaida wa nyama. Tutakabiliwa na matatizo makubwa yatakayoongezeka na kuendelea pamoja nao na mijadala au miswada ya kutetea uhuru wa wanyama kwa kipindi cha zaidi ya miongo kadhaa inayokuja mbele yetu.

 

Iwapo kama unataka kuyaona matatizo yanayosababishwa na uvijiterian yakienda India na kuona kwenye mtazamo mpana na mrefu wa mfumo wa uvijiterian. Soma kwenye majarida ya: Uwiano (Na. 209); Uvijiteriani na Biblia (No. 183); Mafundisho ya Mashetani ya Nyakati za Mwisho (Na. 48); Mvinyo Kwenye Biblia (Na. 188).

 

Nimejionea kazi ya “ushirikina wa kutumia maji.” Hapa ndipo mahali unaposhikilia yote mawili ya kijiti kilichoinuka na kuja juu (au waya 2 zilizopinda) na kuenenda na fimbo sambamba ardhini. Unapotembea juu ya maji, fimbo itajivuta kuelekea nyuma. Au waya zitakuwa zinavuka. Je, haya ni mazingaombwe ya kimapepo? Au je, hii inaweza kuwa tukio linalotokana na nguvu za asili? Kuna watu wanaoweza kufanya hivyo, na wengine hawawezi. Ni kemikali zinazofanya watu watofautiane au kuvutwa kwa nguvu za sumaku?

Jibu: Inchini Marekani neno hilo linatumika. Kwenye Jumuiya ya Madola ya Kiingereza inaitwa maji matakatifu. Mchakato unachukuliwa na watu wao wao kama maelezo ya kawaida ya nguvu za mashambani. Baadhi ya bodi za kidini hawaruhusu jambo hilo kama ushirikina bali nimeona hakuna maelezo ya Biblia ya makatazo haya.

 

Tukio la kuchimba linachokesha na pasipo hivyo yaonekana kuwa ni jambo lililo kwenye mchakato wa kihisia tu. Linaonekana kutokuwa na ushahidi au uthibitisho wa kisayansi wa mchakato huu ulinaoweza kupimika au kueleweshwa.

 

Ni habari au taarifa gani naweza kumpa mtu anayeuliza maswali na mwenye kuuonea mashaka Ukristo kwa sababu ya viumbe majitu waitwao dinosaurs ambao hawatajwi kwenye Biblia? 

Jibu: Hili ni tatizo tu kwa wale wanaozuia kipindi cha uumbaji kuwa kinajiri kwa urefu wa miaka 6000 cha uwepo wa wana wa Adamu. Jambo hili limeelezewa na kutathiminiwa kwa kina kwenye jarida la Wanefili (Na. 154). Kuna majarida mengine mengi sana kwenye tovuti yetu yanayoweza kukusaidia kuelewa jambo hili.

 

Je, wanaume au wanawake wanaruhusiwa kuvaa ndewe na hereni? 

Jibu: Hereni na ndewe zimekatazwa kuvaliwa na Waisraeli. Matundu ya mwili yalilindwa ili yasiingiwe na roho chafu kwa kutumia kujipamba huku kwa pete na vifaa vinginevyo. Mapambo haya, hasahasa pete yaliwalinda wavaaji kutokana na kuingiwa na maroho haya machafu. Ndama wa Dhahabu alitengenezwa kwa dhahabu iliyochukuliwa kutoka ndewe na pete za watu. Ndiyo maana Haruni alitumia uwingi alipowaelezea kwa kuwaambia, “hii ndiyo miungu…” nk. Wakati andiko lililo kwenye kitabu cha Nehemia ni usahihishaji wa kiuandishi kwa kile kilichochukuliwa kama makosa ya kigrama. Soma kwenye jarida la Ndama wa Dhahabu (Na. 222).

 

Wasraeli hawakuwa wanavaa mapambo haya ya vidani. Maneno yaliyotajwa kwenye tafsiri ya KJV kwa kweli yanakusudia kutaja vidani. Jambo hili limeainishwa vizuri kwenye jarida la Chimbuko la Uvaaji wa Vito Kwenye yakati za Kale (Na. 197).

 

Unamtazamo gani kuhusu kitendo cha kuchoma maiti? Je, ni kitendo kizuri au kibaya kwa muktatha wa Biblia? Je, kitendi hiki kinarahisisha na kisicho na gharama kuliko kile cha kumazika mfu kaburini hasa kwa siku zetu hizi?

Jibu: Je, Mungu anasemaje, kwa njia ya Kristo, kitakachotokea kwa mtu muovu ambaye hajatubu mwishoni mwa Ufufuo wa Pili wa wafu? Watahesabiwa kuwa wanastahili kwenda Jehanamu ya moto? Jehanamu ni jalala la kutupia takataka lililokuwepo zamani nje ya mji wa Yerusalemu. Kwa hiyo ni vizuri sana vya kutosha kwa Kristo kuwachoma na kuwateketeza watu waovu, pale inapokuwa sio dhambi kufanya hivyo.

 

Ufufuo wa wafu unategemea na nguvu za Mungu muweza. Kama mwili wako hauwezi kuungua ili wewe uufukie Ufufuo wa Kwanza wa wafu, ndivyo basi kwamba Mashahidi walioifia imani watakuwa kwenye hatari na matatizo makubwa. Kwa kuwa njia waliyoipitia ya ukatili uliofanywa na Mabaraza ya Mahakama ya kidini na mateso waliyofanyika hata kabla hawajateswa kwa kuchomwa moto. Pia, kuna watu wengi sana waliokufa kwa kuchomwa moto kwa vipindi vingine kadhaa.

 

Pia kuna watu wengi sana walio chini kwenye kilindi cha bahari, bahari itawatema na kuwatoa pia. Mizoga michache iliyotokana na kuliwa kwenye matumbo ya papa na mamba ni mfano mwingine. Mungu hazuiwi na mambo haya ya kuoza kwetu au jinsi zinavyofanyiwa maiti zetu kama ziliharibiwa au kuzikwa vizuri na kadhalika. Dhana nyingi za aina hii ya kishirikina zinatokana na imani za Kinostiki zinazoelezea kuhusu mbinguni na motoni. Soma jarida la Nafsi Hai (Na. 92) na lile la Ufufuo wa Wafu (Na. 143). Watu wengi walitiwa madawa wasioze walipozikwa kwenye karne ya kwanza kwa minajiri sawa na matendo na desturi za Wamisri na hapa ndipo wazo hili linapotokea. Kanisa la kwanza lilinchukulia mtu yeyote anayeongelea kuhusu imani au mawazo haya ya kwenda mbinguni kuwa ni Mkristo bandia au wa uwongo asiye halisia.

 

Ni kwa nini Wakristo na Waislamu wanaamini kuwa maisha ni utakatifu?

Jibu: Wanaamini kuwa maisha ni matakatifu kwa kuwa yalifanywa kuwa matakatifu na Mungu wa Pekee wa Kweli, kama sehemu ya uumbaji wake. Wote wawili wanaamini kwamba Shetani (au Ibilisi) na mapepo waliasi dhidi ya kuumbwa kwa mwanadamu na, kwa sababu hiyo, walitupwa chini duniani na waliwajibika kwa viumbe hawa.

Misaafu yote miwili, yaani Biblia na Korani zinasema kwamba maisha na kiumbe mpya vinatokana na kifo au mauti ya huyu Nyota wa Alfajiri Al Tarikh au Masihi. Soma majarida ya: Kristo Kwenye the Korani (Na. 163); Fundisho la Dhambi ya Asili Sehemu ya I Bustani ya Edeni (Na. 246); Fundisho la Dhambi ya Asili Sehemu ya 2 Kizazi cha Adamu (Na. 248); Torati na Amri ya Tano (Na. 258); na la Torati ya Mungu (Na. L1)

 

Nimefurahishwa kukuta mifano ya mazingira ambayo kwayo mtu (au jamii nzima yote kwa ujumla) hawaoni au kukifikiliza kile kilichoonekana kwa wazi sana kwa wengine. Kiuhalisia, nafikiria habari au hadithi ya Wapolynesians ambao (wanadhaniwa sana) hawakuiona meli ya Kaptani Cook – ingawaje ilitia nanga kwenye bandari yao, mbele ya macho yao – jambo ambalo lilisababisha mstuko wa aina yake "kutokana na jambo hili la duniani." Au hadithi au habari ya meli za Pizaro na za Wamayani (ambao nao pia hawakuiona meli ingawa nayo ilikuwa imekaribia sana kwenye upeo wa macho yao). Je, hadithi hizi ni za kweli? Je, zina mashiko au uungaji mkono wowote wa kiuandishi kwenye desturi za kiimani za kisaikolojia ama za kidesturi? Napenda kuepukana na imani mashuhuri za mithiolojia za kimila, na kusimamia na kile ambacho kwa kweli kimeandikwa na kukubalika kisayansi.

Jibu: Kitendo cha kushindwa kuona wazi, na cha kuyadhania mambo yasiyo bayana, yaonekana kujitokeza na kuhadithiwa mara nyingi kwenye nyakati zote za historia. Twaweza kuyaelezea matukio kadhaa fulani fulani kutokana na hadhithi za kiimani zinazowazunguka. Baadhi nyingine hatuwezi kuzielezea kirahisi. Tukio la kutoziona meli laweza kuwa ni la kweli, na laweza kuwa na maana yake fulani ya kimila. Napenda tu kutolea mfano kwenye hadithi ya Torres Strait, ili kujaribu huenda kuelezea muono na mtazamo wa Wapolynesiani.

 

Kwenye hadithi ya Torres Strait, meli za magharibi ziliitwa "Lamar Nar" ambavyo maana yake ni "meli za roho au mzimu." Jina hili lenyewe linatokana na lugha ya Kihindi yenye asili yake kwenye Sanskrit. Kwa hiyiyo ilitumika kwa kuwa ilitengenezwa kwa umbo la nguruwe mweupe, umbo lililoashiria kuwa ni kama roho au mizimu ya wakazi wa visiwani waliokwisha kufa hapo zamani. Wakazi wa visiwa vya Torres Strait, ambao wote walikuwa wamejikita kwenye shughuli za uwindaji hadi kwenye karne ya kumi na tisa, mara nyingi waliwaua kutokana na imani hii. Wakazi wa kisiwani wanaashiria au kuonyesha kila mtu na kumchukulia kama ndugu wa waanga waliokufa waliowaokoa baadhi ya watu, na wakawa hai na kuendelea kuishi kutokana na kutambuliwa kwao na kuchukuliwa kuwa ni ndugu wa kupanganisha na sio wa kuzaliwa.

 

Matokeo yake hatimaye yalitokana na makundi ya kutengwa na kukataliwa kwao kuliopelekea hali ya kutisha. Najua kwa ukweli kwamba baadhi ya wanawake, kwa mfano, kwa kweli hawaoni mambo kuwa yanatisha sana kwao. Wanaendelea tu kutoyatazama mambo hayo. Hali hii inafanywa na wanaume pia, lakini kwa ujumla ni pamoja na soksi na mashati na karatasi. Wapolynesiani wanaweza kuwa walikataa tu kuamini hatari ya meli hii iliyojaa mizimu na iliyopigwa mbiu kubwa na mizimu kwenye bandari yao, na vivyo hivyo tungeweza kuzuia kuiona mizimu. Hii inatupeleka kwenye kundi lingine la kuona maono.

 

Fatima ilikuwa ni mfano mzuri wa watu waliosumbuliwa na mipagawisho kwa wakati mwingi. Kwanza kabisa, hakuna aliyeona kitu chochote ila ni binti mmoja tu, peke yake. Kisha waliona, lakini hawakusikia kitu chochote. Baada ya muda, mamia ya watu walianza kuliona jua likitembea na likija karibu yao. Ruya ya umati wa pamoja ni kitu cha kawaida na ndicho tunachokiona sasa. Kitendo cha kulitazama jua kinasababisha jicho kuungua na kulihatirisha. Pia, huenda na sisi tuko tayari kabisa kuachana na hali halisi ya maumbile ya asili.

 

Kwenye jamii ya Waaborigine wa Australia, wanaume wa Kibain walikuwa wanaandamana sambamba na mabango yenye matangazo ya vita katikati ya majoka makubwa au nyoka, na watu waliwatazama. Siku hizi, uwezo huu waonekana kuwapotea. Uwezo wa watu kupokea ushiriki wa matukio ndicho kitu kilichopungua na kupotea kabisa. Kadiri ya mapendekezo na hali ya kujionea ruya, ndpo mtu anavyoweza kujitoa kushiriki au kuamini. Pia, watu wengi hawaoni vizuri kwenye umri unaowastahili kutumia miwani. Jambo hili limeainishwa vyema kwenye kitabu cha Imani za Fumbo na Siri Sura ya 1 [Mysticism Chapter 1] kwenye tovuti ya www.ccg.org/english/s/B7_1.html.

 

Je, kuna sababu yoyote ya kibiblia kuamini kuwa fi vyema kuwa afisa wa jeshi la polisi?

Jibu: Polisi ndiyo shambulio la Uingereza lililofanyika hivi karibuni kufanywa na Bwana [Sir] Robert Peel, ambapo jina “Mapolisi” au “Wamenyaji.” Mtume Paulo anasema tuwatii wale wanaokutawala na pia mahakimu hawaubebi upanga bure.

 

Jambo na mchakato wote wa kuianikiza Sheria na hukumu ya kuwaua watu kufa kwa mujibu wa maagizo ya Torati imeainishwa kwenye majarida ya Torati ya Mungu (Na. L1). Inashauriwa kwamba usome majarida ya Torati na Amri ya Sita (Na. 259) na pia Torati na Amri ya Tisa (Na. 262).

 

Kwa ufupi, jibu lake ni, “Hapana.” Unaweza kuwa afisa wa polisi, ni kama tu, anavyosema Kristo kwamba, mtosheke na mishahara yenu. Mzunguko wa zamu za kazi unaweza kukinzana au kukuzuia kuzishika Sabato na hili ndilo tatizo litakalokukabili kukuwezesha kupata fursa ya kuishika amri hii ya Sabato.

 

Iwapo kama mzazi wa mtu fulani haishiki kweli ya Biblia, ni kwa muda gani basi, kama ni kwa vyovyote, mtu anapaswa kuwatii wakati amri zao ziko kinyume kabisa na maagizo ya Torati yake Mungu? Nikiwa kama mtu mzima, je nawajibika kuwaonyesha makosa yao waliyopotoka kwayo? Je, inanipasa niharibu maadhimisho yao ya kipagani kwa kuwaonyesha makosa yao na upotofu wake? Ni mstari upi basi unaoweka ukomo kwa mujibu wa Amri ya Tano na kile anachokisema Kristo kwenye Mathayo 10:34-40?

 

Jibu: Ndiyo, Kristo alisema, adui wa mtu ni wale wa nyumbani mwake mwenyewe. Mwana halazimiki wala kufungwa kuwafuata wazazi wake kwenye matendo yao yaliyo kinyume na maagizo ya Torati yake Mungu. Wakati mtoto anapokuwa mtu mzima vya kutosha kuujua ukweli, wanaweza kumlaumu au kumshutumu sana. Mtoto anachukuliwa kuwa ni mwenye umri ulio chini ya mintaarafu ya sheria mbalimbali kwenye kila nchi. Biblia inasema ni Yule mwenye umri wa miaka ishirini. Iwapo kama wazazi wako wanazivunja Sheria za Mungu, ndipo unao wajibu wa kuzikosoa na kuwaonyesha upotoe wake. Kama wataendelea kuzishikilia, ndipo itakuwa ni juu yao. Kama wataendelea kuzisisitiza na kuzishikilia na kukulazimimisha uzigeukie na wakikutisha kwa namna mbalimbali, basi uachana nao nawe hulazimiki kuzirudia njia zao.

 

Yakupasa uwe tayari kutoa jibu la tumaini lako litokalo ndani yako. Yawapasa pia kufundishwa kutokana na maagizo ya maandiko kuhusu kile wanachokifanya. Wazazi wanaendelea bado kuwa wazazi hata kama watakuwa watenda dhambi. Familia nazo zinabakia kuwa ni familia tu hata kama watu wake watakuwa hawaafikiani. Jaribu kushuhudia uyajuayo kutokana na imani yako. Mara zote uwe mpole na mkimya unapowajibu. maneno laini yanauwezo wa kuibadilisha hasira ya mwanadamu.

 

Je, ni vizuri au vibaya kwa Mkristo kupiga punyeto? Tukijua kwamba sisi ni wanadamu, na nina hakika wavulana wote walio na umri wa miaka chini ya ishirini wanakua wakiwa na ghaiba ya namna hiyohiyo ya “mpagawo wa kingono.”

Jibu: Hakuna karipio lolote rasmi la Biblia linalokataza kupiga punyeto. Linaweza tu kujengewa hoja na kufanyizwa kutokana kwamba kitendo hicho ni cha kujidhalilisha kilichotajwa kwenye mtazamo wa Agano Jipya, lakini hilo halina mashiko yoyote kabisa.

 

Ni tendo la kawaida lililokuwa likifanywa na watu wa zama kale za ujima. Kima wa Kagedi hupiga punyeto na ni sawa tu na wanadamu nao hufanya hivyo. Mahala tu pa Biblia ni pale inapomtaja au kumchukulia Onani, ni jaribio la kuficha dhambi za Kanisa, ambalo lilibadilishwa na kupotoshwa kwenye tafsiri yao ya dhambi.

 

Dhambi ya Onani haikuwa upigaji wa punyeto. Bali Onani aliuawa kwa kosa la kushindwa kuzishika sheria za Kilevirate na kumzalisha Tamari mtoto, akimlazimisha avunje mwiko kwa kufanyenaye ngono za ukoo mmoja huku akiwa ni mjomba wake, Yuda. Kitendo chake cha kuzimwaga mbegu zake chini kilikuwa ni mkanganyiko wa moja kwa moja na ni machukuzo kwa sheria za Mungu na hakina uhusiano wowote na upigaji punyeto.

 

Sababu iliyopelekea upigaji wa punyeto uitwe Uonanismu na watu wa makanisa ni kwamba wanawashawishi watu wayatoe mashamba yao na kuyapa makanisa na jambo hili limekatazwa kabisa na Torati yake Mungu. Sababu iliyompelekea Onani kuuawa imeelezwa na kuainishwa kwa kina kwenye jarida la Dhambi ya Onani (Na. 162). Upigaji wa punyeto unaweza kuwa dhambi kwa kuktatha wa moja kwa moja na sheria au torati yake Mungu na kile kinachoelekea na kuendelea mawazoni mwako.

 

Yapasa iongezwe kwamba haina la maana lolote la kuwezesha kumuongeszea mtu kukua au maendeleo ya kiroho, na Biblia haijasema lolote kuhusu jambo hili. Andiko moja au mawili yameyumbishwa na kugeuzwa ili yaweze kutafsiriwa ili kujalizia fundisho hili, jambo ambalo linatiliwa mashaka makubwa sana. 

 

Je, ni vibaya kuitumia au kutengeneza michoro ya kingono kama namna ya kujikinga au kujilinda, iwapo kama itahusiana na "chi" au msukumo wa kimaisha au nguvu za uzima? 

Jibu: Kuna mambo mawili kuhusu michoro ya kimapenzi. Ubondia na mambo mengine yoyote ya kujilinda kwa mikono au miguu yamejumuishwa kwenye kundi hili.

 

Swali la kwanza linahusu mawazo ya anayekusudia kutuama nayo na utaratibu anaojifunzia kwao. Kusudi la kujifunza ili kujilinda mwenyewe ni moja ya sababu ya vita. Unataja habari za “chi” na inadhaniwa kuwa unataja aina na sanaa iliyo kwenye muundo wa Kichina.

 

Aina ya sanaa na michoro ya Shaolin ni ya mrengo wa kidini, ambayo imekatazwa kabisa kutumiwa na Wakristo. Viwango vya kimo vya Tae Kwando ni vya kunadharia na kufikirika tu kwenye viwango vya juu sana ya digrii muhimu ya ukanda mweusi. Kusudi la mafunzo haya muhimu ni kuendeleza “mawazo yaliyo kama maji mengi na mwezi.” Hapa ni mahali zilipo fikra na chanzo cha msisimko wa kujibu hamasa au kitendo. Mchezo wa Kareti “mikono tupu” ilianzia huko Okinawa ikiwa kama aina ya kujilinda dhidi ya washambulizi wa Kijapani wakati Waokinawa walipokatazwa kubeba silaha.

 

Sanaa hii, mkomo ni silaha kubwa. Hii imetokea mbali sana kwenye mwagiko au mtawanyiko yake tangu nyakati za Mas Oyama, bila shaka ilichochewa na kushinikizwa na Taekwondo, “namna ya kupanchi na kupiga kiustadi.” Mchezo wa ngumi ni mtindo wa kimagharibi, ambayo iliendelezwa chini ya kanuni zilizowekwa kutokana na kundi la Marquis wa Queensberry ili kuifanya zionekane kuwa ni miwani za kisasa na kistaarabu zaidi za mapigano ya mitaa ya London.

 

Kwa hiyo, kuna aina zisizo,za kianimisti moja kwa moja ila zinahusiana na “Chi,” au “Shinto,” au jambo linaloshabihiana na mabo ya kianimismu. Kama moja itakuwa huru na mbali kutoka kwayo, na moja italazimu kuwa na swali la kifalsafa litakalojitokeza kwamba ni kwa nini mtu afane hivi? Majeshi ya Marekani sasa yanaenda Uchina ili kuijifunza mifumo ya Kichina. Walikuwa na mifomo hiyo chini ya sanaa ya Mabondia wakati wa maasi ya Bondia na hatujasumbukia nayo hatimaye. Sasa, kwa nini ni muhimu sasa? Jibu linatuama kwene udhaifu wa kimaadili wa kimagharibi, na sio kwa mawazo yoyote ya makuu ya Kimashariki. Kujilinda mtu mwenyewe ni suala linalohisisha Mungu na mwanadamu mwenyewe. Wengine hutumainia, au wanashurutishwa kutumainia, Mungu pekee. Hivyo ndivyo mara nyingi ni kwa kuwa amefanya mataifa yetu kuwa huru kabisa.

 

Kwa kulijibu swali, la kwamba je, ungepigana ili kumlinda mtotnswer to the question, would you fight to proowako asidhuriwe na mwingilio kwenye nyumba uliyojaribu kuwaua? Jibu lake halina kigugumizi kuwa ni “Ndiyo,” watakavyojibu watu wengi. Mungu na sheria wanahitaji kwamba watu waletwe kwene haki na walipe adhabu ya uhalifu wao. Ili kufana hivyo, mtu anapaswa awe mlipakisasi cha damu. Wakati mwingine inabidi kushitakiwa kwa mashitaka na kuwazuiwa.

 

Kwenye dunia hii dhaifu na isiyo kamilifu tunakabiliwa na uchaguzi na kzi ili kuzilinda familia zetu na watu wetu kwa Sheria za Mungu. Wakati tunapokuwa chini ya ulinzi wake, hatuhitaji kujihusisha kila mara, ni kama Israeli walivyolindwa vitani kwenye kipindi cha Kutoka, na Mungu akawatangulia na kuwapiga maadui zao.

 

Hivyo basi, jibu lake sio rahisi sana. Ni kwamba, kunahitajika imani upande mmoja na kuwajibika kwa upande mwingine, na upendo wa mtu. Ni jambo gumu kumpenda jirani yako wakati unapokuwa kwenye hatua ya mwisho ya ghafla, wakati unapojaribu mambo yote mawili, kuharibiana kila mmoja wenu kwa kadiri inavyowezekana. Pia kuna usemi wa maonyo kwenye Biblia usemao: “Yeye aishiye na upanga hufa kwa upanga.”

 

Mwili wa mtu unapotaka kuonyesha kujiuliza maswali yahusuyo maisha yajayo ya ujana. Inaweza kuwa ni kujijenga kupendezako kwa mbururo au kipigo na sehemu za maeneo yaliyo kwenye mikono, miguuni na kichwani, na na mafunzo yafanyikayo kwenye ubao wa makiwara, lakini mtu pia anapaka sumu kwenye mikono hiyo iliyovunjika. Ile yabisi au homa inayoweza kusababishwa na mafunzo au lishe ya askari kwenye jumuia za siku hizi zinasababisha kuwa na matatizo makubwa kwenye mikono, miguuni, kwenye vifundo, magotini, na mgongoni. Kichwa na ubongo vinaharibika kiurahisi hususan kutokana na nguvu zitakazotumika kwenye “michezo” hii. Kwa hiyo, jibu ni “Hapana” kwenye imani za dini za Kimashariki numa ya sanaa hizi za kiwenza.

 

Jibu kwa sababu ya pili ni kwamba unapaswa kuchagua kwa umakini jinsi unavyopenda kuendeleza akili zako na amri ya kumpenda jirani yako. Swali linalofuatia hatimaye linahusu ni kwa jinsi ipi tunailinda nguvu ya kujilinda kwa sheria kamilifu? Swali linguine ni lipi kwa wakati mwingine.

 

Je, mtindo uliopo siku hizi wa kujichora na kujitoboa miili unatokana au kukubalika kimaandiko au ni namna tu ya kuulinda mwili kutokana na vipenyo wazi vinavyotokana na “maroho” ni sawa tu na kama watu waliyvofanya miaka mingi iliyopita?

Jibu: Ni masalia yatokanayo na imani fumbo na zenye maana ya siri na ni matendo ya kulinda vimelea vya mwili. Makuhani wa mungu Attis pia walikuwa wanafanya hivyo majira ya sikukuu ya Easter.

 

Unaweza kunijulisha ni kwa nini kutumia falaki au uaguzi ni vibaya? Najua kwamba Biblia inakataza jambo hili, ila basi je, kuna taarifa yoyote ya kihistoria kuhusu jambo hili na k8una madhara gani ya kusoma elimu ya nyota na ubashiri au ishara zake?

Jibu: Kupiga falaki au uaguzi kumekatazwa kwenye Biblia (Isaya 47:13). Chimbuko la upotovu huu ni imani machanganyiko ya Waashuru na Wababelni tangu nyakati za mapema sana za kabla ya millennia ya tatu KK. Wazo hili lilitokana na dhana au imani ya kwamba mwanadamu hafi moja kwa moja. Imani ya kishetani ndiyo iliyoanzisha maadhimisho ya sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa mwanadamu na kuifanya kuwa ni siku takatifu nay a kuitukuza sana kuliko zote katika mwaka. Wababeloni walikuwa na makundi matatu ya madaraja ya wanasayansi.

Walikuwa waandishi wa mambo yafuatayo:

1. Talasimu au hirizi alizovalishwa mtu aliye kwenye mateso au zilizowekwa majumbani.

2. Uzushi wa imani ya mzunguko wa kuzaliwa kwa viumbe kutoka umbile hili na jingine, fundisho lijulikanalo kama incantations: na

3. Rekodi za mchanganyiko wa watazama nyakati mbaya au watazama ramli au nyota pamoja na wenye elimu unajimu na mambo mengine yote ya angani. Imani hii pia ilidhania na kuamini hivyo kila mara au matukio ya kiushindi kama sababu zilizosababisha kutokea kwa kila moja na jingine, na kwahiyo ndipo imani ya kianimism ilianza kutokana na hii na funsisho la usababisho wa miili ya kimbinguni lilianzishwa pia.

 

Imani ya uchawis na ushirikina ya kutumia hirizi ilichelewesha maendeleo ya kisayansi kwa kipindi kirefu. Watoto wa Ayubu waliuawa kwa sababu ya kushiriki kwao maadhimisho haya ya “siku” ya kuzaliwa yaliyotokana na imani hizi. Tazama na kulisoma jarida la Maadhimisho ya Siku ya Kuzaliwa (Na. 286) ili ujifunze zaidi kwa kina kuhusu jambo hili na jinsi Biblia inavyosema.

 

Je, kuna kanuni yoyote ya kibiblia ambayo imemkataza mtu kukubali kuwekewa kiungo cha mtu mwingine mwilini mwake kama maisha ya mtu huyo yatakuwa yanafikia ukingoni au hata kama hayako hatarini kihivyo? Ninashangaa pia kuwa jambo kama hili litaendelea hata kwa kutumia viumgo vya wanyama vinavyotumika sasa kwa wanadamu?

Jibu: Malumbano au hoja inaweza kuonekana kuhusishwa sana kwenye jambo hili. Wazo au dhana ya kutumia viungo vya mtu ili kumpa uhai mtu mwingine lipo tangu mwanzoni sana mwa historia ya mwanadamu.

 

Na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu (Yehova Elohimu) akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu (Mwanzo 2:22). Kwa hiyo, alizaliwa kutoka mifupani mwake na kwenye mwili wake. Kwa hiyo, hakuonekani kuwa na kizuizi kutumia kiungo cha mtu mwingine ili kusaidia kuendeleza uzima au uhai wa mwingine, kwa kuwa sisi sote tumetokana na jozi moja nasi sote ni ndugu kwenye uumbaji tukiwa ni wamoja.

 

Hatua ya ili ni kufikia uamuzi kuhusu viungo vya wanyama. Hii ni sawa kama malumbano au hoja zilizoko kuhusu matumizi ya damu, hata hivyo, kuna maandiko mengine mengi yanayolenga moja kwa moja kuhusu hoja hii yanayokataza kuigusa mizoga na wanama najisi. Hivyo basi, yatupasa kuipunguza ni vyema kuwa na dawa ya insulini kutokana na ng’ombe na sio kwa nguruwe. Wengi wanaifanya tofauti hii kila siku.

 

Hii kwa kweli ni kitendo cha kupandikiza kiungo kingine kwa ukweli kwamba haya ni matokeo ya kiungo kilicholiwa na mwili, ila mtu anaweza kubisha, kwa hiyo ni maziwa ya ng’ombe. Hii ndiyo tofauti kati ya damu na maziwa. Vyote viwili vinatokana na mnyama aliye safi. Moja inaweza kuliwa na moja hailiwi. Hata hivyo, kupaka dawa ya insulini na kwa bidhaa ghafi zinaweza kutumika kwenye shughuli za utabibu.

 

Hii inatupeleka sisi kwenye hatua ya pili ya kimaadili. Je, ni dhambi na vibaya sana kula vyakula najisi? Jibu ni kwamba “Hapana” iwapo kama mazingira yatamsababishia mtu kufanya hivyo, basi anaweza kula ili kulinda uzima au uhai wake. Kwenye kambi za Mateso ilifanywa hivyo kwa makusudi kabisa ili kuwachukiza na kuwakwaza Wayahudi na waumini wa Kanisa linaloshika sheria ya Vyakula, hususan waumini waliokuwepo wa Kanisa la Mungu na wa SDA.

 

Mwanamke mmoja wa Kiyahudi, aliyepewa achague kati ya kula mkate au nyama ya farasi kwenye kambi hizi za mateso anajulikana kuwa alisema maneno haya. “Mimi nakula mkate mwaka mzima na wakati wa idi ya mikate isiyoliwa na chachu nakula nyama ya farasi. Hivi ndivyo n9inavyoishika imani yangu.” Kwa hiyo, inaruhusiwa ili kulinda uhai kwene mazingira yasiyo ya kawaida. Kwa hiyo tunaweza kuishia hapa tu kama inaonekana kuwa inafaa tunaweza kuchukua viungo vya wanyama na kuvitumia miilini mwetu kwa wanama wanaoonekana kuwa si najisi na tunaoweza kuwala, na kwenye mazingira magumu na adimu twaweza hata kuwatumia hata wanama walio najisi. Teknolojia sasa inaongezeka na kuendelea kwa kiasi kwamba tunaweza kuongeza siku za kuishi kwetu na kutumia vifaa bandia na hili ni jambo lignine linalojiri kwenye masuala ya kimaadili na desturi ambayo hayawezi kujadiliwa au kuelezewa kwa hapa.

 

Ni upi mtazamo wa Biblia kuhusu nidhamu kama vile kupiga matakoni, inaonekana kuwa watoto wadogo wanawatawala wazazi wao sasa.

Jibu: Biblia inasema wazi sana kabisa kuhusu nidhamu, kwa pande zote mbili, yaani kwa Mungu na kwa wazazi. Kitabu cha Mithali kinasema kwamba Yule asiyetumia fimbo anamchukia mwanae (Mithali 13:24). Fimbo ni fimbo ya kumrudi mtoto (Mithali 22:15). Utoaji wa adhabu stahiki kwenye maagizo ya Biblia umeainishwa kwa wazi kwenye jarida la Torati na Amri ya Sita (Na. 259). Moja ya sababu iliyovunjwa moyo au kukatazwa ni kwa sababu ilikuwa imetumiwa vibaya na wazazi walioongeza matumizi yake.

 

Wazo la kumdhalilisha mdhalilishaji jambo linalohusika. Wazazi walio kwenye jamii yetu leo, wenyewe tu wanahitaji kuadibishwa na hili ndilo moja ya tatizo kubwa. Nidhamu inapasa iwe kwa ndani na nidhamu binafsi ya mtu ni nzuri sana mara zote kuliko nidhamu ya kuagizwa au kuamriwa.

 

Hata hivyo, wakati taifa linapokuwa linaongezeka, Mungu anasema kuwa atawapa wanawake na watoto wa kuwatawala. Hiki ndicho hasa kinachofanyika kwenye mataifa yanayoongea lugha ya Kiingereza sasa. Soma jarida la Torati na Amri ya Tano (Na. 258)

 

Je, unaweza kumsamehe mtu fulani pasipo kuwasiliana, su mtu aliye sehemu ya maisha yako kama vile baba muumiza kichwa? Najua kwamba moja wapo ya amri za Mungu inasema kuhusu kuwaheshimu mama na baba, lakini inakuwaje basi iwapo kama yeye hatakuheshimu wewe? 

Jibu: Tenda mema kwao wanaokuchukia wewe na wanaokutumilia vibaya. Amri hii haisemi lolote kuhusu kuwapenda wale wanaokupenda wewe. Wasamehe wale wanaokuja na waombe msamaha na wanaozisalimisha wenyewe panga zao na wakaja kutubu miguuni mwako. Ni nini alikifanya Stefano walipokuwa wanampiga mawe hadi kufa? Wamekuwa wakituua sisi kwa kipindi cha karne kadhaa zaidi ya Milenia mbili. Ikiwa mtu amekuudhi wewe anangojea hadi anapokuja mbele yako kukuomba msamaha, ndipo atakuwa na sehemu kwenye Ufufuo wa Kwanza wa Wafu nawe hutaweza kuwepo huko.

 

Mtu tutakayekuwa na matatizo naye kwene Ufufuo wa Pili wa wafu wanaweza kuona makosa yao sio Manazi walioendesha kambi za mateso. Watakuwa rahisi kuwashawishi na kuwarekebisha. Ni wamama waliokuwa na watoto wao wachanga wameraruliwa mbele zao na wakatumika kwenye utafiti wa kimaabara za kitabibu, au wakapigwa hadi kufa, au wakawachoma kwa singe mbele ya macho yao, hii ni changamoto ya kweli tunayokutana nayo kwenye marekebisho au tunaporudiwa.

 

Msamaha ni jambo muhimu kwa ukuaji wako wa kiroho na sio kwa mwingine yoyote bali ni zaidi tu ya kama matokeo ya kile unachokifanya na kukifikiria. Kama tungekuwa mmoja wa watu wetu kwenye zama za Matengenezo na kipindi cha kabla ya Wakatoliki wa Roma, na hatimaye cha Walutheri, waliotembea majumbani mwetu wakati wanaume wakiwa nje ya mashamba na wakiwaua wake zetu mbele ya milango yetu kwa kuwa waliwapika kwa mafuta ya bata bukini na sio kwa mafuta ya nguruwe, ndipo sote tungejua nini nini maana ya msamaha. Hatari iliyoko kwenye jamii zetu hazitokani na dhambi. Bali mara nyingi inatokana na hali ya kujihesabia haki ambavyo itofautiana kabisa na historia, mara nyingi inaonekana kuwa ni vibaya. Soma jarida la Msamaha (Na.112).

 

Inaweza kuwa na ubaya gani kibiblia kumuasili mtoto wa jamii tofauti ya historia kuliko ile uliyonayo wewe mwenyewe?

Jibu: Musa aliasiliwa na Mmisri. Yusufu alimuoa binti Potifa. Mrithi wa Ibrahimu hakuwa wa kutoka kwene damu yake hadi alipopata watoto wake mwenyewe. Mataifa yote wameasiliwa kama wana wa Mungu.

 

Sioni katazo lolote la kibiblia kufanya hivyo machoni pa hii. Lakini ukweli ni kwamba mtoto anaweza kupenda kufuata mtazamo wa wazazi wake wa asili wakati anapokuwa mzee vya kutosha na kutambulika na watu wake mwenyewe, ambavyo inaweza kusababisha maumivu ya moyo. Unapasa pia kulitazama Kanisa ulilopo, kama wanavyofundisha wengine waweza kuwa na kasumba mbaya ya ubaguzi wa rangi na tabaka kwa walio tabaka geni lingine chini ya kisingizio cha kujifanya kuwa ni wa Yesu Kristo, ambayo inaweza kusababisha maumivu baadae. Kama atakuwa ni mwanume wa jamii ya Kimoabu, ndipo kuna uhusiano wa kimuuanganiko wa Kibiblia. Wanaonekana kuwa walikufilia na Waamori ndiyo pekee waliosalia kwenye makabila hayo.

 

Je, Wakristo wanapaswa kutoa heshima yao mbele ya bendera?

Jibu: Kristo alisema kumpa Kaisari kilicho cha Kaisari na kumpa Mungu kilicho chake Mungu. Mungu alifanya mataifa na akatuweka sisi ndani yake kama sehemu ya mpango wake. Kwa hiyo, una kazi mara dufu zaidi. Kazi yako ya kwanza ni kwa Mungu na ya pili ni kwa binadamu wenzako. Kama majukumu yako kwa wanadamu wenzako hayakinzani na wajibu wako kwa Mungu, basi hapo hatuzuiliki kutoa heshima zetu kwenye taratibu zozote za taifa ulilomo. Imeandikwa kwamba mahakimu wanaotoa hukumu hawaubebi upanga bure. Ia Kristo alisema kwamba maaskari walinzi yawapasa watosheke na mishahara yao. Haikatazwi kwenye Biblia kushika sheria za kulitolea heshima taifa la mtu. Kwa kweli, Mungu alitaka iwe hivyo.

 

Wakati nilipokuwa nakua mama yangu alinieleza kitu fulani akasema “ni vizuri kusema uwongo mzuri au uwongo mweupe” na kisha akajitetea. Nikiwa mtoto mdogo niliona kama uwongo ni uwongo tu haijalishi jinsi ulivyopenda kuuita. Je, dhana hii inaweza kuwa kama ni dhambi za kuchipukiza?

Jibu: Dhana hii inatokana na mtazamo wa uchawi mweupe na mweusi. Uwongo mweupe ni haunashida kwa kuwa haukusudii kumdhuru mtu, au vinginevyo utatafakariwa. Kwa msingi huu, kanisa limehesabia haki kuendelea kwake kuishika kweli na uuzaji wa jumla wa kukengeusha mafundisho. Sasa ni watu wenye kujiuliza na kutilia mambo maanani huwaambia watoto kuhusu kifo cha mtu fulani kinapotokea. Lakini wanawaambia “Oo, wako mbinguni sasa.”

 

Ilikuja kanisani kama mzaha, lakini sasa ni fundisho lililo kubalika, wakati likiwa ni fundisho lisilo la kibiblia na ni uzushi kabisa unaotokana na mafundisho potofu ya imani ya Kinostiki. Imani hii na mafundisho yake yameharibu kabisa imani ya Kikristo kuhusu Ufufuo wa wafu na bado tungali tukisikia hii ikiitwa kuwa ni “uwongo mdogo.” Sio tu kwamba imeiathiri imani yote ya Kanisa Katoliki peke yake, bali hata imani yote ya Kiprotestanti nchini Marekani inasema kana kwamba fundisho hili lisilo la kimungu na lenye mukufuru kwa kweli. Mifano mingine ni fundisho kuhusu anayeitwa kuwa ni Santa Claus. Mfano mwingine ni imani ya Utatu. Mifano mingine ni mafundisho na maadhimisho ya Krismas na Easter. Soma majarida ya: Chimbuko la Krismas nd Easter (Na. 235); Teolojia ya Kwanza ya Uungu (Na. 127); Nafsi Hai (Na. 92); Ufufuo wa Wafu (Na. 143).

 

Mimi ni aina ya waumini wanaoamini kwamba kutumia kileo, (aina yoyote ya kileo) hakiruhusiwi kutumiwa kwenye maisha ya Mkristo na kwamba utumiaji wa kileo unaweza kuwa ni dirisha analoweza kulitumia shetani kukamilisha matendo yake au kuwatesa watu. Natafuta furushi la maandiko maakatifu yanayounga mkono kuwa Mungu ameagiza na kupendezwa na msimamo wangu huu.

Jibu: Bilashaka, hutapenda vile tutakavyokuambia. Watu ambao pia wamefikiria kwa namna hii, walimshutumu Kristo kuwa ni mlevi na mlafi. Yeye pamoja na mitume walikunywa mvinyo, na Biblia imeutaja na kuukubali mvinyo kuwa ndio kitu cha kutumiwa kwenye kitendo cha maadhimisho ya sakramenti za msingi na muhimu kanisani.

 

Ukumbi uliojulikana kama Temperance Lobby ulisababisha chanzo cha dirisha la fursa ya kupanga matendo ya kihalifu nchini Marekani. Mataifa ya Marekani na Ufaransa na nchi za Scandinavia hula kiasi hichohicho cha mafuta kwa wakati mmoja, lakini bado Wafaransa wanakuwa na 40% ya magonjwa ya moyo na shinikizo la damu ukiwalinganisha na Wamarekani kwa sababu kubwa moja tu kwamba hawa wanakunywa mvinyo, na HAKUNA sababu nyingine yoyote ile. Soma majarida ya Uwiano (Na. 209) na pia la Mvinyo Kwenye Biblia (Na. 188). Jarida la Uvijitariani na Biblia (Na. 183) ni jarida ambalo ni la muhimu sana pia katika kulielewa fundisho hili.

 

Uvutaji wa tumbaku hadharani unakuwa ni chukizo kubwa sana kwa watu siku hizi. Sioni mahali popote unapokatazwa hasahasa, kwenye Biblia lakini wengi wanasema haufai kwa kuwa unauharibu mwili kwa kuuletea madhara na kuuumiza. Vinywaji vikali (vileo) hufanya uharibifu mkubwa sana na kuuchakaza mwili pengine hata kuliko uvutaji wa tumbaku na lakini bado umeachwa kueleweshwa au kutajwa kwenye Biblia. Kwa hiyo, ni ipi tofauti yake hapa? Na ia, Mungu mwenyewe anapendezwa na harufu ya uudi au ubani unapochomwa na moshi wake ukapaa juu pamoja na maombi ya watakatifu yakipaa kwenda juu mbele zake kama moshi. Anasema kuwa hiyo ni harufu ya kupendeza ya marashi kwake. Tafadhali nijulishe hili na kunipa msimamo wako. Unasemaje kwa hili? 

Jibu: Tunapingana na mtazamo wako na msimamo wako kuhusu kileo kwamba kinasababisha maafa makubwa kama yanayosababishwa na uvutaji wa tumbaku. Mvinyo unafaida kwa mwanadamu, kwa namna zote mbili, yaani kiafya na hususan kwa magonjwa ya moyo na kwa ushabihiano wa kijamii. Biblia inaunga mkono na kusisitizia kuutumia vizuri.

 

Uvutaji wa tumbaku unasababisha magonjwa ya moyo na mgando wa moshi wake unasababisha ugonjwa wa saratani. Ni kiasi gani basi cha kemikali kinachotumiwa na viwanda vya kusindika tumbaku kinachosababisha kiwango cha kutisha. Tumefikia kujionea sasa kwa amoja kwamba kulikuwa na biashara ya kupitia atlantiki kwenye tumbaku na kwenye mihadarati aina ya cocaine wakati wa zma za utawala wa Mfalme Daudi, na kwamba ilitumiwa na Wamisri yapata kama mwaka 1000 KK hivi. Kuna ushahidi wa matumizi ya tumbaku kwenye miili ya maiti wengi sasa waliopimwa kwenye nchi hizi mbili za Uingereza na Ujerumani.

 

Miili ya maiti wote waliopimwa kwenye jumba la makumbusho la Ujerumani pia wanaushahidi na dalili kwamba walitumia mihadarati aina ya cocaine. Vitu hivi yaonekana kuwa vililetwa huko na muungano wa wafanabiashara wa Kiisraeli/Kifoinike, biashara iliyoanzishwa na Daudi na Hiramu. Inaonekana kuwa kulikuwa na masalia ya watumiaji miongoni mwa Wamisri wa daraja la juu. Maiti za Waisraeli wakati ule zilihitajika pia kupimwa ili kuthibitisha kama alikuwa anatumia mihadarati hii.

 

Makatazo ya kutumia tumbaku yanatokana na madhara yake inayosababisha mwene mwili ulio Hekalu la Mungu, na jinsi kunavyosababisha kiurahisi magonjwa ya shinikizo la damu pamoja na saratani. Imekuwa pia ni tabia iliyofanya uwepo wa vitu hivyo na, ni kama vile, vinatokana na makundi hayohayo ya udhalilishaji wa watu, kama ilivyo kwenye vyakula na mvinyo. Sheria ya ulaji wa vyakula iliwekwa na ilikuwepo kwa nia ya kuwalinda au kuwaepusha watu dhidi ya magonjwa na, kama vile, tumbaku ilivyo na hali ya kemikali na kulinda kwene shughuli za kilimo, bali inapasa ichambuliwe na kuwekwa kwenye daraja au kundi la mihadarati inayolevya na kusababisha uteja na, ambayo kwamba inapaswa itumiwe kwa uangalifu na kwa tahadhari kubwa. Soma kwenye jarida la Sheria ya Vyakula (Na. 15). Kwa viwango tulivyonacho sasa vya kuelewa masuala ya kitabibu, ni mtu asiyejijali tu ndiye anayeweza kushobokea uvutaji wa tumbaku`.

 

Je, kwani kutumia pesa kwenye michezo ya bahatinasibu kila mara ni vibaya?

Jibu: Mchezo wa Bahatinasibu ni aina ya ubahatishaji. Makanisa mengi ya Kikristo yanapinga au kukataza aina zozote za ubahatishi kwa sababu za kibiblia na kifilosofia. Wazo lililoko numa yah ii ni kwamba watu wananufaika kutokana na mikosi wa wenzao wengine. Kila mmoja anaomba mwenzake akosee ili ashinde au apate yeye. Kitendo hiki kwa upande mwingine kinaweza kuonekana kama ni cha kumuwezesha mtu mmoja atajirike huku wengine wakifurahia kinachoendelea na wengine wakifilisika. Kwa kweli, uhalisia ni kwamba inaharibu na kupotosha mawazo yote na malengo aliyojaribu kukabiliana nayo Kristo kwenye injili. Mchezo huu unatafuta kuwafana wengine wajipatie utajiri wakati ujumbe aliowapa ni wa kuwatumikia wengine, na kuwapa utajiri wako wengine na kujiwekea akiba ya utajiri wako mbinguni. Fundisho lake la kudumu hapa ni kwamba yatupasa kujitoa sadaka kwa ajili ya wengine ili kuzifanya familia zetu na jamii zetu na taifa letu kuwa ni mahala pazuri kuishi. Hali hii ya “kujipatia” namna ya kuishi nay a kufikiria uharibifu na uhalifu inatokana na mchakato ule na watu wengi, wanaojitahidi kwa bidii na kwa moyo safi sana kumfuata Kristo wanaweza kuona hivyo.

 

Je, ni vizuri kwa Mkristo kufanya kazi ya uhakimu? Je, tunaweza kuapa au kula kiapo tuwapo mahakamani?

Jibu: Kama hamwezi kuhukumiana ninyi wenewe, mtawezaje kuwahukumu malaika (1Wakorintho 6:3)? Hakuna ubaya wowote kuhudumu kiumahiri kama utafanya kazi yako kwa haki. Mara tu walipoanza kumhoji Mkristo wa kweli hata hivyo, kutokana na kile tulichokiona, wanasheria wengi wa utetezi watakutolea udhuru kwa namna moja au nyingine.

 

Jamii yetu inapasa iendelee kufana kazi na mfumo wetu wa kimahakama unahakika ya kuwa na uadilifu. Mara tu tunapokuwa kwenye mfumo uliowekwa na dunia, chini ya mfumo wa Kimahakama wa Umoja wa Mataifa uliotuama kwenye Sheria za mataifa ya Ulaya na za Kimataifa, ndipo sote tutaona umuhimu na thamani ya mfumo wa kale wa Kianglo-Saxon-Useltiki wa Kidanish wa Sheria Zilizozoeleka, na pia wa kwetu wa Habeus Corpus. Hata hivyo, tutakuwa kwenye utumwa, tukiuzwa huko kwa ujinga wetu wenyewe na kwa kutokuwa na umakini na juhudi kwetu kwenye maamuzi yetu ya kuchagua viongozi. Soma jarida la Kuapishwa Na Mungu (Na. 32).

 

Jinsi ninavyoelewa ni kwamba neno “sodoma” kama lilivyo kwenye Biblia ni kwamba linamaanisha kitendo cha ufiraji. Maana iliyo kwene kamusi ijulikanayo kama Webster’s dictionary inajumuisha matendo yoyote ya kingono yanayofanyika kwa kuwashirikisha watu wa jinsia nyingine. Ni ipi maana hasa ya kibiblia kwa neno hili la sodoma? Je, ngono za kawaida hizi nazo ni dhambi kuzitenda?

Jibu: Kamusi ijulikanayo kama Oxford Universal Dictionary inalitafsiri neno Sodoma kuwa ni kama tendo la ngono lisilo la asilia na kawaida ya kimaumbile hasahasa linatendwa kati ya wanaume kwa wanaume. Na kutokana na hapo ndipo kamusi hiyo ya Webster’s imeendelea kujumuisha hadi ngono nyiginezo za jinsia moja kuwa ni kitendo kisicho cha kawaida kiasilia. Kanisa Katoliki la Roma na makanisa mengine ya Kiprotestanti wameenda mbele zaidi kujumuisha tendo hili hadi kwenye kitendo cha upigaji punyeto na kuutafsiri Umwagaji nje shahawa kuwa ni upigaji wa punyeto pia. Tumekumbwa na jinamizi la uvulana la kulala kwenye gulovus za maboksi ili tusalie wasafi. Hii ilifanyika ili kuiepa dhambi halisi ya Umwagaji nje shahawa, ambao ulikuwa unafanywa na kanisa lenyewe. Jambo hili limeainishwa kwa kina kwenye jarida la Dhambi ya Onani (Na. 162).

 

Sodoma maana yake hasa ni kitendo cha kumfira mwanaume. Mtu anayefanya tendo hili anaitwa kuwa ni Mfiraji au Msodoma. Mtu anayeshirii kitendo hiki cha kumfira mwanamke anaitwa Mkatami. Hivyo, chimbuko la maneno haya yanatokana na maneno “kat” na “sod.” Ushiriki wa ngono kwa watu wa jinsia moja kumetakazwa kwenye Biblia.

 

Neno sahihi la kukiita kitendo cha kufiraji mwamke ni "fellatio." Mwanaume mfiraji anaitwa basha au "fellator" na mwanamke mfirwaji anaitwa msenge au "fellatrix." Kitendo chenyewe kinaitwa ufiranaji au "fellatory" au "kitendo cha kufirana." Kinaitwa "fellation."

 

Biblia haisemi chochote kuhusu kitendo hiki cha kumfira mwanamke, yaani kinapofanyika kati ya wanandoa mume na mke wake. Dhana iliyopo ni kwamba wao ni mwili mmoja. Kufanya ngono kwenye majumba ya ibada za kipagani na mbele ya sanamu zao, kulikemewa sana na kufanywa na Waisrael. Zinaa na ukahaba vilikatazwa sana pia. Kwa hiyo, uzinzi ni kitendo cha kujamiiana kati ya mwanamke na mwanaume ambao wote hawajaolewa wala hawajaoana. Watenda ngono wa jinsia moja hawaitwi wazinifu bali wafiranaji na wafirwaji au wasaganaji na hivyo matendo yao yamekatwa pia kwenye sheria za Biblia. Kuna hukumu wanayokabiliwa watendao matendo haya yote, lakini hakuna kinachoelezwa kufanyika kutokana na wanaotenda tendo la ufiranaji kwene ndoa kati ya mke na mumewe au upigaji wa punyeto. Soma kwenye jarida la Torati na Amri ya Saba (Na. 260).

 

Ilipasa isemwe kwamba kazi muhimu na ya kwanza ya ngono ni uzaaji wa watoto, bali ia ni kwa ajili ya starehe za pande zote, wote wawili. Inapofanywa pasipo utaratibu na kwa ajili ya starehe tu inachukuliwa kama ni uzinifu au ukahaba au uasherati wa wote wawili, yaani mwanaume na mwanamke. Yuda alimchukua mwanamke kahaba akamlipa mashahara na kwa njia hiyo ndipo Tamari anamlaghai ili amzalie mtoto chini ya sheria za Kilevirate wakati alipowashikilia wanae. Soma pia kwenye jarida la Uzao wa Masihi (Na. 119).

 

Je, ni vibaya kujipatia afya njema kwa kupitia uwezekano wa madawa ya kitabibu, kama vile mboga na mimea tiba? Je, ni vibaya pia kukubali kutiwa damu au msaada wa viungo vya mtu mwingine?

Jibu: Suala hili la “Tiba Mbadala” ni gumu sana habari zake. Jibu lake yapasa liwe ni, “Hakuna ubaya” ila upatikanaji wake yapasa ujumuishwe na mtazamo wa kwamba ni uwezekano mbadala tu na hauhusu kukata kiu cha maswali yote. Hakuna ubaya wowote kabisa kutafuta msaada wa kitabibu kutoka kwa watu wenye ujuzi na sifa ya kitabibu. Kuna utata mwingi sana kwenye huduma hizi za tiba mbadala kuliko sehemu nyingine yoyote, hasahasa ni kwa sababu hazija ruhusiwa au kukaguliwa vizuri na zinawa na uhuru wa kuingia.

 

Watu wengine waliowahi kupewa ushauri na wahudumu wa tiba hizi mbadala wamewahi kupata mafanikio makubwa ya wagunduzi wa madawa ya kutuliza maumivu na hata kupona kabisa na mapungufu yaliyosababishwa na utabibu wao. Watu watakubaliana kwa hamasa kubwa ushauri kutoka kwa watu wasiowajua, na kuukataliwa na watu wa kwenye familia zao wenyewe na wahudumu au wagunduzi wa madawa wanaowajua.

 

Dini potofu nay a uwongo ya uponyaji ikiwemo ya Escalapius ilikuwa ni ya kuabudu mungu wa kigeni, na makuhani wake pia walitengeneza aina ya mazingira ya kisaikolojia. Kwa hiyo tofauti ilikuwa ni kwamba wewe unatafuta msaada kutoka kwa watu wasiopenda wewe uiabudu miungu migeni kwenye tendo la uponyaji.

 

Tiba Mbadala zina mambo yanayoshabihiana na vuguvugu la kipagani la Zama Mpya ndani yake kuliko tunavyotegemea kuona ilivyo kwenye madawa ya kisasa. Luka alikuwa tabibu. Hivyo basi moja ya injili zilizopo na kitabu cha Matendo ya Mitume viliandikwa na mtu wa tathinia ya utabibu.

 

Kanisa lilikuwa na watafiti wengi wa madawa na matabibu kwa muda mrefu na lingali bado linafanya hivyo na linao. Yakobo alipakwa dawa ili asioze na wataalamu Watabibu wa Kimisri. Ayubu anawaelezea watu awa pia kwa mtazamo chana, kama wanavyofanya wengine pia.

 

Watu wamekuwa wanajulikana kuwa wamekufa kwa kupitia mafundisho yanayowakataza watu wasitafute msaada wa kitabibu au kwa sababu ya mafundisho ya kanisa. Wale wote wanaotokana kwenye uelewa mdogo wa kiafidhina wa historia na mafundisho ya Biblia kuhusu uponyaji. Jibu ni kuchagua mshauri wako wa masuala ya kitabibu kwa uangalifu, pata ushauri, na usikubaliane na mabadiliko hasi ya lishe, au kufuata utapeli na ulaghai. Aina ya hatari sana ya utapeli katika karne ya ishirini ni fundisho la uvijiteriani, ambalo linawaumiza watu wengi (Soma majarida ya Uwiano (Na. 209), Uvijiteriani na Biblia (No. 183) na pia la Sheria ya Vyakula (Na. 15).

 

Kama ulikata kutandika wavu au neti ya mbu, ni vibaya kutumia taarifa ulizozipata kwa kuwa ulizipata kwa kutendakwako dhambi (kwa kuwanenea vibaya kinyume na mapenzi ya wazazi wako)?

Jibu: Swali hili ni dogo na tata huenda kama inayooonekana. Mtandao wa Internet ni chombo kilichopo cha kimasomo unachopaswa kukitumia, kisha ndipo ujihesabie haki na kujijengea uhalali.

 

Iwapo kama ulikuwa huwaheshimu wazazi wako, ndipo utakuwa umeivunja amri ya tano na wakati wote kuna adhabu inayofuatia. Some kwenye jarida la Torati na Amri ya Tano (Na. 258) ili kuona kila kinachotokea kwenye wajibu wa wazazi. Hakuna taarifa zilizowahi kupotea. Inatumika inapokuwa ni lazima au kusahauliwa hadi hitaji linapojitokeza. Nidhamu inategemewa na wazazi wako.

 

Nimekuwa Mkristo tangu nikiwa kijana mdogo sana bali ghafla ilinishangaza mimi jinsi ilivyo ya kipuuzi au ya kuchekesha dhana hii ya Mungu. Nililelewa na kukua nikijua kwamba kulikuwa na Mungu nje yangu anayenisaidia na anayenilinda na sasa siwezi ivyo tena. Siioni tena furaha niliyoiona wakati nilipoamini. Najisikia uchungu na ghadhabiko ndani yangu na naichukia hali hii. Nimejaribu kulitafuta jawabu kwa kujisomea vitabu, na kwa kuuliza mwaswali, bali sitapata ahueni yoyote bado. Nimegundua kuwa pasipo imani hii, maisha yangu hayatakuwa na maana yoyote. Kwa kweli napenda kuamini lakini akili yangu hainiruhusu mimi kufanya hivyo. Je, unaweza kunipa maelekezo?

Jibu: Watu wengi wanaelekea kwenda mchakato zaidi sawa na wewe. Wakati mtu anapoanza kuisoma Biblia, anaweza uona kuwa kuna mgongano au mkanganyiko na imani ya dini aliyonayo kutokana na jinsi inavyosema Biblia. Kwa mfano, ukweli rahisi tu kuhusu Sabato na ushikaji wa Amri ya Nne. Wakati unapouliza “Ni siku ipi hasa ya Sabato?” Dini kongwe za Kikristo zaweza kusema kuwa ni siku ya Jumapili. Kama utauliza, wanaweza kukuambia “Ilikuwa ni siku ya Jumamosi lakini tuliibadilisha.” Ni upuuzi mkubwa sana kwamba wanasema kuwa Mungu alitupa Amri Kumi lakini tunaweza kuzibadilisha Sabato na kuiweka siku nyingine ya Jumapili, na kumuua mtu yeyote anayeishika kikamilifu siku aliyoiagiza Mungu.

 

Ni nini anachokifanya Mungu? Jibu ni kwamba Mungu hauhukumu ulimwengu hivi sasa. Dunia ipo chini na Shetani. Mungu anashughulika na watu wachache tu kwa hivi sasa, na wanatolewa nje ya safari au harakati na kuchukuliwa na mapepo wakati anaporudi tena Masihi. Makasisi wa duniani hapa ni sehemu ya imani potofu na yakizushi ya kidini na wanaendeleza kwa makusudi kabisa uwongo kwa kiasi fulani, na pasipo ukweli wowote kwa mengine.

 

Soma kwenye Biblia na kama kuna Mungu aanayelazimika kujidhihirisha mwenyee na kuwahukumu wanadamu kwa sheria za haki na kwa utaratibu ambayo haimpendelei yeyote. Kwa hiyo haijalishi Biblia inasema nini ni neno la Mungu na hawa watu wengine hawajaitwa bado.

 

Iwapo kama Kristo ni Masihi wa kweli wa kwenye Biblia ndipo kiasi fulani kutapasa kuwa na kundi linaloelewa. Ndipo unapolazimika kuwa na wazee na watumishi wa Mungu na ubatizwe. Muombe Mungu akupe uelewa naye atakupatia kama utakuwa mtiifu kwa kile anachokupa ukielewe. Utii endelevu unapelekea kuwa na ujuzi au uelewa endelevu.

 

Sasa tunaweza kushughulika na jambo hili kwa umakini na mashiko zaidi. Kuna jarida linalochanganua suala hili la uumbaji kwa kiwango cha juu zaidi. Inahusu na usababisho wa Kiumoja na pia Uumbaji kama harakati ya maelekezo ya wakati na kutowezekana kwa uumbaji wote (soma jarida la Uumbaji (Na. B5). Pia unachohitaji kukifanya ni kuisoma Sheria ya Pili ya Mwendojoto na pia ile ya Kijoto. Unaweza kusaidika kwa kupitia tatizo hili na kusaidiwa kwenye masomo yako kama unapenda kikweli kweli kujifunza ukweli.

 

Hivi punde tumesikia taarifa kuhusu mabadiliko ya tabia nchi ulimwenguni na jinsi tunavyoweza kuyatarajia kuathiri hali yetu ya hewa na maisha yetu. Je, Biblia inasema lolote kuhusu tukio hili la mabadiliko ya tabia nchi ulimwenguni? Kama ni hivyo, kitu hiki ni nini?

Jibu: Ndiyo, angalau tunaanza kuona mwanzo wa kilele cha barafu zikiyeyuka, na sasa zinajulikana kwamba ni haraka sana. Soma jarida la: Mabadiliko ya Tabia Nchi na Unabii wa Biblia (Na. 218), lililoandikwa mwaka 1997. Watu, hapo mwanzoni, walidhani ilikuwa ni kengele ndogo ya kuashiria kitu. Liko hivyo hivyo tangu liliporekebishwa kiuandishi hadi sasa, iwapo kama kuna kitu chochote, limebakia hivyohivyo bila kubadilika. Mambo yahusuyo unabii wa Biblia yameandikwa kwene jarida hili.

 

Je, vi vizuri kuwasha moto kuni na kupika siku ya Sabato? 

Jibu: Haya ni madini ya zamani kutengeneza sufuria. Andiko linautaja moto uwashwao kwa malengo ya kikazi na sio kwa ajili ya kupika. Kuna amri maalumu inayoagiza kuwasha moto na kupika siku ya Sabato. Kwa hiyo, ufafanuzi na tafsiri inapasa ituame kotekote. Ufafanuzi kuhusu maandiko haya umeainishwa kwenye jarida la Ijuma'a: Maandalio ya Sabato (Na. 285).

 

Bilia inasemaje kuhusu kasumba ya mwanamke kubadilisha jina lake la mwisho na kulichukua la mume wake anapoolewa? Analazimika kufanya hivyo au ni kasumba na utamaduni tu? 

Jibu: Hili ni swali zuri sana. Linafanya taswira ya sherehe za arusi. Mwanume na mwanamke wanafanyika kuwa mwili mmoja kwenye ndoa. Hivyo basi, mwanamke anakwenda kwenye kabila la mume wake kwa mujibu wa kanuni na sheria za biblia. Hii inalinda utendaji kazi na urithi wa kabila.

 

Sheria za Kilevirate pia zinaonesha jambo hili. Shughuli za arusi na ndoa na ya Kilevirate imeandikwa na kuainishwa kwenye majarida ya Torati na Amri ya Tano (Na. 258); Torati na Amri ya Saba (Na. 260); Uzao wa Masihi (Na. 119); na jarida la Ruthu (Na. 27). Hakuna uhalali wa kisheria kwenye nchi nyingi wa kubadilisha jina la mwanamke, ila Biblia iko wazi kwamba yeye na mume wake wanafanyika kuwa mwili mmoja na anakwenda kwenye kabila la mume wake.

 

Wakati mwingine ninakuwa sijui la kufanya au jinsi ya kuwasaidia watu wengi wanaonioba chakula au kazi. Biblia inasemaje kuhusu nifanye nini katika mazingira haya? 

Jibu: Tunakabiliwa na tatizo hali kila mara. Tumedhibiti raslimali, vipaumbele vya muhimu na uwezekano usio na mwisho na mahitaji. Jibu ni kwamba tunafanya kile tunachokiweza kwa raslimali zilizopo kwetu. Tunakitoa kile tulichonacho, kama Biblia na neno la Mungu lisemavyo “kuinunua kweli lakini tusiiuze.”

 

Ikiwa kuna watu miongoni mwetu ni wahitaji, tunajaribu kuwasaidia, kama tuwezavyo. Wakati mwingine, ili kuwasaidia wengine, yakupasa kujipima kama upo kwene nafasi au hali inayoruhusu kufanya hivyo. Hii inamaana kuwa ni kuhakikisha kuwa una afya nzuri na kwamba umewajibia vyema kwenye majukumu yako, na ndipo sasa unaweza kuwasaidia wengine iwezekanavyo. Maskini wataendelea kuwepo kati yetu. Fanya vile uwezavyo kwa uwezo wako wote kwa mwili wako kama unavyojaliwa kama vile kuihubiri Sheria au Torati ya Mungu kwa usahihi iwezekanavyo kama Biblia inavyokuambia ifanyike. Sehemu nyingine iliyobakia mwachie Mungu. Mkabidhi yeye mambo yako yote, naye atamwambia Kristo ashughulikie kila hitaji lako. Kumbuka pia kuwa maombi ya mwenye haki yana nguvu sana.

 

Waweza kuniambia kwamba kama Biblia inaruhusu uhamishaji wa damu na kumtia mwingine. Biblia inakataza ulaji wa damu. Je, utoaji huu wa damu na kumtia mwingine ni kitu kimoja hichohicho kama ulaji? Hata hivyo, je, iwapo kama tukichomwa sindano za kileo au mihadarati kwenye miilini mwetu tunaweza kuwa walevi au waovu.

Jibu: Biblia inasema kuwa tusiile damu, kwa kuwa kwenye damu kuna uhai ndani yake. Tunafana utiaji wa damu kwa mhitaji pale uhai wetu unapokuwa atarini. Kwa kufanya hivyo, hatuili damu. Hoja na malumbano kuhusu utiaji wa damu kwa mhitaji kumetiliwa chumvi sana kama fundisho la mashahidi kurudi kwa Masihi. Mtu asitarajie kuelewa mashiko yake kwa kuwa haipo. Limeandaliwa ili kuhalalisha makosa ya kiimani mwanzoni mwa karne hii.

 

Ni sawa na misingi wa kipuuzi kwa Kashrut kwenye imani ya Kiyahudi. Maziwa yatachemka tumboni pamoja na nyama na inawezekana kuwa tutatenda dhambi kama tutanunua kuyapata maziwa ya ng’ombe wakati huku tukiwa tunakula nyama ya ndama wake, ingawaje andiko linasema inamaanisha ndama na maziwa ya mbuzi. Usijaribu kutafakari sana nje iliyotata na isiyo na mashiko ya malumbano ya hoja.

 

Maambukizi ya UKIMWI hayakusaidia kujiuliza kwa ujinga. Wala, hakuna shaka, kwa ng’ombe kuwa na maradhi ya wazimu. Hata hivyo, haina misingi kwa kweli au sababu. Adhabu pekee aliyopewa mtu aliyedhulumu ni kwa vijana waliofungwa kwaa kutokuwa na heshima na asiyeweza kuisoma biblia kuwasomea wazazi wake.

 

Kuwa mtiifu kuna maana gani? Je ni kwa kuzishika amri au kile alichofundisha Yesu? 

Jibu: Yote mawili. Samweli alisema kuwa Mungu anataka utii zaidi kuliko dhabihu. Kwenye Ufunuo kunasema kwamba uzao wa mwanamke watakaopigwa vita na Joka ni wale wazishikao Amri za Mungu na Ushuhuda au Imani ya Yesu Kristo. Apa ndipo penye subira ya Watakatifu (Ufunuo 12:17; 14:12). Soma kwenye majarida ya Totari ya Mungu (Na. L1) na mkururo wa majarida ya somo hili na pia jarida la Uhusiano Kati ya Wokovu na Neema na Torati (Na. 82).

 

Desturi za Kipagani

Niliambiwa kwamba Krismas ilianza kutokana na sikukuu za kipagani. Je, Krismas ilianzaje na iliwezaje kuwa ni sikukuu ya Wakristo na huku ikiwa imetokana na upagani? 

Jibu: Ni sikukuu ya kale ya kipagani iliyohusiana na imani au dini za waabudu jua. Ilinuia kuadhimisha kuzaliwa kwa mungu jua asiyedhahiri baada ya majira ya baridi ya pande za kaskazini mwa dunia wakati jua linapoanza kuchomoza na kuwaka kwa nguvu kutoka kwenye lindi la majira ya baridi kali. Inamjumuiko na miungu Lupercalia na Saturnalia walioabudiwa kwa mapokeo au desturi za wapagani wa zamani za kale.

 

Ilikuwa inajulikana kuwa ni ya kipagani kabisa hadi mwaka 375 BK wakati ilipoingizwa kwenye imani ya Kikristo huko Syria ya Anthiokia, na kisha huko Yerusalemu mwaka 386. Kimsingi, Krismas ilikuwa ni kilele cha mafundisho ya kizushi yaliyopelekea kujipenyeza kwa imani na dini za kuabudu Jua kwenye Ukristo. Ilikuwa ni chanzo cha kukubalika kwa ibada za Jumapili huko Roma katia karne ya 2. Sambamba na hiyo ndipo sikukuu nyingine ya kipagani ya Easter iliingizwa Kanisani huko huko Roma kutoka Anicetus yapata kama mwaka 150 na kisha ikashurutishwa kuingizwa kwa shinikizo kutoka Roma kwa amri ya mfalme Victor mwaka 190-192.

 

Chimbuko la sikukuu hizi za Krismas na Easter limeainishwa kwa kina kwenye jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235). Soma pia kwenye majarida ya Hoja na Malumbano ya Wakwartodesiman (Na. 277) na Fundisho la Dhambi ya Asili Sehemu ya I Bustani ya Edeni (Na. 246).

 

Kama huamini kwamba Kristo alizaliwa siku ya Desemba 25, basi ni lini wewe unasherehekea kuzaliwa kwake? 

Jibu: Sisi hatusherehekei kuzaliwa kwake. Sherehe za kuzaliwa zinatokana na imani na dini za Kibabeloni zinazofungamana na imani za waabudu jua na dhana iliyokuwepo ya mwanadamu kufanyika kuwa mungu mdogo pasipo kuwa na uweza wa Mungu Mwenyezi. Soma jarida la Maadhimisho ya Kuzaliwa (Na. 287).  Inaonekana kuwa Kristo alizaliwa karibu na wakati wa Sikukuu ya Vibanda. Kwa kweli hakuzaliwa mwezi huo wa Desemba. Biblia imenyamaza kwa makusudi kuelezea wakati wa kuzaliwa kwake.

 

Biblia inasema siku ya kufa kwake mtu ni bora kuliko siku ya kuzaliwa kwake. Mungu ametupa mkururu wa sikukuu zinazojiri na taswira ya Mpango wake wa Wokovu na mchakato wa harakati za Mungu na wanadamu. Haya yote yameainishwa kwenye majarida ya Kalenda ya Mungu (Na. 156); na Siku Takatifu za Mungu (Na. 97). Pia kuna majarida mengine mengi yanayoelezea umuhimu wa sikukuu hizi.

 

Unasema kwamba mungu Attis alihusika kwenye maadhimisho ya Krismas. Nilidhani kwamba Mithris ndiye alijumuishwa. Je, kitendo cha kuiabudu miungu hii kinakishana kwa namna yoyote?

Jibu: Ndiyo, wanapishana kwa kuwa wote wawili ni vitu vinavyotokana na Dini potofu za Sirifumbo na za imani za waabudu jua. Miungu hiyo yote imetokea pande za Mashariki ya Kati. Mithras alikuwa ni sanamu ya Dume la Ng’ombe lililochinjwa na alitumika sana kwene mambo yahusuyo dunia au elimu ya kosmolojia kwenye miaka ya 2000 KK. Ni sanamu adimu na iliyoabudiwa kiuficho yenye umbo la kiume. Umbo la wazi la hadharani la mungu huyu lilionekana kama Sol Invictus Elagabal, au Uelagabalismu. Kitendo cha kushiriki mkate na maji kiliingia kwene imani ya Kikristo kutokana na mapokeo ya ibada za huyu mungu Mithras.

 

Imani au dini ya Mithras ilienekezwa kwa Solstice, na ndipo tulipoipata Krismas kutokana Mithras na kuzaliwa kwa jua Lililokuwa halionekanu kwa kitambo kulikuwa ni sehemu ya sherehe hii. Maendeleo kwa kupitia Saturnalia, Lupercalia, Shrove, na Shamrashamra au Matamasha vilifanywa pia vikijumuishwa na Bacchanalia. Imani ya Easter ilijumuishwa na mungu Attis kwa upande wa Magharibi na Adonis upande wa Mashariki.

 

Attis ni mungu mfu aliyekuwa na mti uliokatwa msituni na ukapambwa kwa fedha na dhahabu kwa nembo za mauti na kuzaliwa tena. Hizi sita ziliashiria nyota za dhabihu ambazo pia zilihusika na Baal-Easter na inaonekana kwenye ibada ya Atargatis. Soma majarida ya Daudi  na Goliathi (Na. 126) na pia la Piñata (Na. 276).

 

Mtoto anayeonekana kwenye pango na kupiga gwaride au maandamano ya Kristo mtoto na alama au nembo ya jua vimetokana na imani ya Kimisri na ni alama nyingine mojawapo iliyokuwa inatumika kumhusisha mungu mfu iliyokutikana kwenye dini za sirifumbo za Isis, na Osiris, na Horus. Pia ni ashirio la kuzaliwa au kuonekana tena kwa jua. Soma kwenye jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235) itakupa historia ya mapokeo au desturi nyingi na vyanzo vyake.

 

Je, unajua kwamba kuna wanaomaanisha Krismas kuwa ni X-Mas? Je, wanajaribu kumweka nje Kristo na maana ya siku hii? 

Jibu: Kristo hajawahi kuwepo wala kuhusika kwenye siu hii. Krismas ni sikukuu ya kipagani kabisa kwa asilimia zote na ambayo iliingizwa kwenye Ukristo tangu mkutano mkuu wa Antiokia wa mwaka 375 BK na ilikubaliwa na Kanisa la Yerusalemu na la Roma baadae. Sikukuu yenewe kila mara ilikuwa ikiadhishwa au kusherehekea huko Roma kabla ya wakati huu na ilikuwa inamhusu au ilikuwa ya mungu Attis.

 

Herufi hii X inaweza kuwa inahusishwa na herufi ya Kiyunani Chi. Hata hivyo, kuhusishwa kwa upagani kwenye Krismas kulijulikana sana wakati wote na watu wetu kwamba Krismas ilipingwa sana na iliharimishwa au kupigwa marufuku na Henry VIII wakati wa Matengenezo. Ilinenwa tena na binti wake Mkatoliki aliyeitwa Mary Tudor. Elizabeth hakuikataza au kuipiga marufuku au kuharamisha tena alipoingia madarakani. Jumukumu hilo aliachiwa Cromwell aliyeielezea Krismas kuwa ni sikukuu ya kipagani lakini alipofarii ndipo Stuarts aliruhusu kuwa ianze tena kuadhimishwa rasmi.

 

Kwa hiyo, matumizi ya herufi X kwenye Xmas huenda ni kitendo cha kukubaliana kuwa hakukuwa kamwe na uhusia wa Kristo kwenye Krismas. Soma jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235)

 

Rangni za kijani na nyekundu zimetokana na nini kwene rangi za Krismas? 

Jibu: Nyeupe na Kijani ni rangi za zamani za dini potofu za kipagani. Ni za kokwa na za majani tunazoziona kwenhye mapambo ya Krismas. Upandaji wa magogo ya Mholi, Muivi, Mlimbo, Myule na kadhalika yote yanahusiana na mambo mengi mbalimbali yamhusuyo mungu wa Utatu.

 

Muivi ulikuwa ni mti mtakatifu kwa Attis na makuhani wake walichorwa michoro ya tatuu pamoja na chale (soma jarida la Kujichora Tatuu (Na. 5). Msunobari ulikuwa ni mti wake mtakatifu. Ulikusanywa na kupambwa kwa riboni na vito vya chumba na mapambo yake ya juu yanaashiria au kuwakilisha rutuba ya dini au imani iliyoshikiliwa kwa kwa mwaka na kuchomwa kwa ajili ya mwaka unaofuatia. Soma jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235).

 

Je, unajua chochote kuhusu Mti wa Ulimbo na jinsi ilivyokuja kuunganishwa kwenye maadhimisho au sikukuu za Kikristo? 

Jibu: Mistletoe ilikuwa takatifu kwa wa Druids na wa Aryans kwa ujumla. Mti wa Ulimbo ilikutwa kwenye mwaloni na kwa kweli hasahasa ilikuwa inaheshimiwa. Wazo au dhana linatokana na ukweli kwamba Mti wa Ulimbo iliyoenea na kuja na kuingia kwenye mti kutoka mbinguni na haikugusa kabisa ardhini.

 

Mara zote ilikatwa na mundu maalumu wa dhahabu. Imeshirikishwa au kufungamanishwa na sadaka ya mwanadamu kama ilivyokuwa kwenye imani yote ya Kikristo. Ufafanuzi umetolewa kwenye jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235).

 

Je, ni Baba Krismas kweli yule?

Jibu: Hapana, Baba Krisma au Father Xmas si mtu wa kweli. Imetuama kwenye mkururu wa hadithi za kipagani na biashara ya nchini Marekani ya zaidi ya miaka 150 ya mwisho. Chimbuko la hadithi ya Krismas na kweli halisi nyuma ya desturi au mapokeo yaliyokuwa yanaadhimishwa kwa siku ile yanayotokea kwenye dini au imani za kipagani mapema kabla ya Kristo, na ambayo yamefungamanishwa na siku za kishenzi za sadaka. Hadithi ya kweli imeelezewa kwenye jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235).

 

Nimekuwa nikitafiti kuhusu habari au taarifa kuhusu Nyota ya Bethlehemu iliyowapelekea Mamajusi kwenye mahali alipozaliwa Yesu na rejea yoyote kwenye tukio la kuzaliwa kwenye unabii wa Agano Jipya. Ni dhahiri sana kwamba hii ilikuwa kimondo, ijulikanayo kama tukio la kinajimu, hivi tunajua kama inaweza kutokea tena?

Jibu: Andiko linasema kwamba waliiona nyota upande wa mashariki. Walitokea upande wa Kaskazini Magharibi, kwa ukaribu kama tunavyoweza kusema, huenda kutoka kwa Waisraeli, nk, kwenye dola wa wa Parthian. Kujitokeza kwake kunapasa kuchukuliwa kama ni kitendo cha kimiujiza na hiyo inalifanya jambo kuwa zaidi ya mambo ya kufikirika tu. Unabii ulio kwenye Hesabu 24:17-19 ni kwamba nyota itatokea kwa Yakobo. Hii ni rejea ya moja kwa moja iliyokuwa inamhusu Masihi. Yeye ndiye fimbo ya ufalme ambayo itainuka kutoka Israeli. Hii inahusika na Nyota ya Alfajiri ya kwenye hii sayari yetu. Kristo atachukua nafasi ya Shetani, ambaye kwa hivi sasa ndiye Nyota ya Asubuhi, atakaporudi.

 

Suala hili limeainishwa kwa kina kwene jarida la Lusifa: Mbeba Nuru na Nota ya Asubuhi (Na. 223). Mapokeo au desturi ni kwamba kulikuwa na mamajusi watatu, lakini hii haina misingi kwenye Biblia. Rejea kuhusu hawa watatu ni ya aina tu ya zawadi walizoleta. Chanzo cha idadi watatu ya Mamajusi inatokana na dini potofu ya Demeteri (soma jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235).

 

Wakati wa kuzaliwa kwake unadhaniwa kuwa huenda ni katikati ya miezi ya Septemba/Octoba kwenye kipindi cha kuanzia mwaka 8 hadi 5 KK. Inaweza kuwa ni mapema sana na hata kuwa ni mapema kabla ya mwaka 12 KK, lakini huenda ilikuwa ni mwaka wa 5 KK. Haikuwa kwa kweli sio baadae, kama alivyokufa Herode kati ya siku 1-13 Nisani, mwaka 4 KK. Haikuwa ni wakati wa Krismas kwa kuwa kondoo hawakuwa kwenye mashamba wakati huo wa mwezi Desemba.

 

Nyakati za kuanzia mgawanyiko wa Abiya alipokuwa kwenye huduma Hekaluni kwenye umoja au vikao vya ukaaji kwenye maono ya Zekaria inaonyesha kuwa Septemba unaweza kuwa uenda ni wakati wa tukio hili. Kwa hiyo ilikupasa ufanye mchoro wa jedwali la vuguvugu la sayari zote na nyota kwa miezi ya Septemba/Oktoba tangu mwaka wa 12-5 KK kuona kama kuna ushahidi mzito wa hii kuhusiana na hayakimondo. Ni kama ilivyosemwa hapo mapema, mawazo yote yameondolewa kama itakuwa inachukuliwa kuwa ni ya kimiujiza.

 

Je, sio kweli kwamba msalaba ni nebo ya zamani za kale zaidi, na kwamba kanisa la kwanza kamwe haikuutumi huu kuwa ni alama ya imani yao? Hata Drury (kwenye Kamusi ya Imani za Siri na Okaliti) anauelezea msalaba kuwa ni: “Ni nembo ya zamani mno za kale za kabla ya Kristo iliyotfsiriwa na wataalamu wa okaliti kama ni muunganiko wa uume wa mwanaume (mstari wa mima) na uke wa mwanadamu (mstari wa ulalo). Na pia ni alama ya pande nne na ni silaha yenye nguvu dhidi ya uovu.” Kwa hiyo, ilikuwaje basi hata msalaba ukafanywa kuwa ni nembo au alama ya Wakristo?

Jibu: Ndiyo, hivyo ndivyo inavyosema. Msalaba ulitumika kwenye nyakati za zamani, kipindi kirefu kabla ya Ukristo na inawakilisha uwepo wa nguvu. Kwenye Roma ya zamani, ilikuwa ni mwaloni uliosimama wima ndiyo iliyomwakilisha mwanaume Genii wa Roma. Nembo ya kinazi au kishabiki ya swastika nit oleo la nembo hii. Msalaba ulitumika huko Misri kwenye milenia ya tatu KK, sambamba na inzi, akiwa kama alama au nembo ya imani ya Utatu na Beeli Zebubu, mungu wa Ekroni, alikuwa ni “Bwana wa Mainzi.”

 

Kanisa la kale la Kikristo kamwe halikuutumia msalaba, ulitokana na upotofu. Kwa kweli, hoja na malumbano ni kwamba Kristo alisulibiwa kwenye mti wa wima, na sio msalabani. Dhana ya msalaba inatokana na matumizi ya Kilatini ya neno “crux” katika kulitafsiri neno la Kiyunani la “stauros.” Baadaye, mtindo wa usulibishaji wa Warumi uliainishwa kwa nyongeza zaidi kwa kuongeza mti uliokinzana ili kufanya msalaba. Huu ulitumika wakati fulani kwa kunyongea wafungwa.

 

Habari za chanzo na kuendelezwa kwa matumizi na dhana ya msalaba inakutikana kwenye jarida la Msalaba: Chanzo Chake na Maana Yake (Na. 39). Makuhani wa mungu mfu, Attis kila wakati walijitengeneza sanamu zao za msonubari, na hii ndiyo sababu mabaki ya msalaba wakati wote ni ya mti wa msonubari kwa kuwa ulikuwa ni mtakatifu kwa Attis. Huu ndio pia mwanzo au chanzo cha matumizi ya mti wa Krismas. Soma kwenye jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235).

 

Napenda kuijia historia ya msalaba. Rafiki yangu aliniambia kuwa Msalaba wa Wakristo ulitumika kuwa ni Nyota ya Daudi na Wakristo na Msalaba pia ulitumika ili kuwakilisha au kuonyesha dini ya Kiyahudi. Je, unaweza kunipa taarifa yoyote kuhusu somo hili?

Jibu: Hakuna msalaba, wala Magani “Daudi” iliyotumiwa na Wskristo au Wayahudi. Nyota ya Daudi ni nembo au ishara ya uharibifu iliyotoka kwenye imani za siri. Inahusiana na utoaji wa sadaka za wanadcamu na huenda ni nyota ya mungu Remphan aliyetajwa kwenye maandiko na aya za Biblia (Matendo 7:43).

 

Msalaba ni nembo ya zamani sana iliyoendelezwa kutokana na jua na dini potofu za kisirisiri. Ulitumiwa kwenye michoro ya tatuu na Wamisri wa kale kwenye milenia ya tatu KK sambamba na alama ya inzi, inayoonekana kushabihiana na Beelizebubu mungu wa Ekroni. Soma jarida la Uchoraji wa Tatuu (Na. 5).

 

Historia ya nembo au alama na tofauti zake inaonekana kwenye jarida la Msalaba: Chanzo Chake na Maana Yake (Na. 39).

 

Inakuwa vibaya kusherehekea au kuadhimisha 'Siku ya Wamama' na siku shirika yake ijulikanayo kama 'Siku ya Wababa'? kuna uwezekeno pia wa kwamba siku hizi zikawa za chimbuko la kipagani?

Jibu: Imani potofu ya kuadhimisha siu za Wamama na Wababa iliyotoholewa na Warumi na inayounda imani ya Utatu kama ilivyoelezewa kwenye jarida la Fundisho la Dhambi ya Asili Sehemu ya 1 Bustani ya Edeni (Na. 246).

 

Siku za Wamama na Wababa zilizoko siku hizi zinatofautiana kutoka taifa moja hadi jingine. Ningi zake ni za kibiashara lakini baadhi yake zimefungamanishwa na imani za zamani pia. Soma kwenye jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235).

 

Nimegundua kuwa kuna idadi kubwa ya washiriki waliovalia nguo nyeupe na ya mistari na mishipi myekundu wanaokimbia na mafahali ya g’ombe 6 na mishikio 11 kwenye mbio za meta 825 wakikimbia kutoka kwenye tumbawe hadi kwenye ukingoni. Mamia kwa maelfu walitazama matendo haya huko Pamplona. Ni nini chanzo cha mashindano haya ya cha yale mapigano ya mafahali ya ng’ombe?

Jibu: Mashindano ya madume ya ng’ombe yalianzishwa hivi karibuni kama tutakavyoelezea huko Crete kwa desiuri ya kukimbia huku wakiwa wamepandwa migongoni mwao kwa mjumuisho na kwa ujumla. Imani na dini hii ya ng’ombe dume inayohusiana na Zimwi na imani ya Ndama wa Dhahabu.

 

Dini potofu za imani ya kuchinja Dume la Ng’ombe zilihusiana na Mithras huko Ulaya na ilitokea Roma. Ilienea sehemu zote za Ulaya na ilikuwa ndiyo dini iliyokubalika sana jeshini. Michezo hii tunayoiona siku hizi ni mwendelezo tu wa kile kilichokuwa kiifanywa kwenye ibada za kuchinja Dume la ng’ombe iliyokuwa ikifanyika yapata takriban miaka elfu moja iliyopita kwenye dini na ibada za kuchinja Dume la ng’ombe.

 

Je, wazo la kwamba Kristo kuwa alizaliwa katia usiku wa kuuangalia sana katika mwezi wa kwanza siku ya 15, ni wazo lililoazimwa tu au lina chimbuko lake fulani?

Jibu: Wazo la kuzaliwa kwa Kristo linatokana na nadharia ya imani za dini potofu za kipagani za waabudu jua. Tarehe 25 Desemba ni siku inayojulikana kama majira ya Solstaisi au siku ambayo jua linaonekana kwa mara ya kwanza baada ya kipindi cha kutokuonekana kilichochukuliwa kuwa jua lililopotea lilikuwa limezaliwa rena. Hali ya Usiku wa Manane ni sehemu kuhimu ya undani sana ya usiku ya siku muhimu ya kina kikubwa sana katika mwaka. Kutoka kwenye hali hii, jua linaanza kufanya njia yake irudi. Wazo la kutukuza kitoto kichanga cha Kristo lilitokana na imani za dini za siri za huko Misri, kitoto kichanga kilichokea kutoka pangoni na kubebwa kwa gwaride na makuhani wa Kimisri. Ukweli wa mambo ni kwamba sisi hatuna uhakika kuhusu siku halisi hasa aliyozaliwa Kristo lakini yanadhaniwa tu kuwa huenda ilikuwa ni karibu na mwezi Septemba na sio baada ya mwaka 5 KK.

 

Hali au mazingira ya usiku inatokana na kujitokeza kwa malaika waliowatokea wachungaji waliokuwa makondeni usiku. Hawa ndiyo waliokuwa karibu zaidi waliofika kwenye tukio hili. Usiku wa Kuuangalia Sana wa maadhimisho ya Pasaka, siku ya 15 Abibu unawezekana kuwa na la kuhusiana na wazo hili. Hata hivyo, mazingira yanayolizunguka tukio yote yanatuama kwenye imani za waabudu jua yanayohusishwa na kuzaliwa kwa jua. Soma jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235).

 

Imani inayojulikana sana ni kwamba kulikuwa na mamajusi 3 waliomtembelea Yesu alipozaliwa. Je, hivi ndivyo hasa Biblia inavyosema? 

Jibu. Biblia haitaji idadi ya watu hawa ilikuwa ni wangapi. Bali inataja tu aina tatu ya zawadi walizomletea: dhahabu, ubani na manemane. Dhana ya kuwa mamajusi hawa walikuwa watatu inatokana na mbinu za kufungamanisha tukio hili na sherehe za kipagani za uzazi alizofanyiwa mungumke aitwaye Demeter. Na ndiyo sababu mmoja wao kila mara anaonyeshwa kama anaigezia nyuma sura yake.

 

Mungu huhu mfu mwenye sura inayogeukia nyuma na mungumke ndiyo chimbuko la kuanzishwa kwa michoro ya Masihi mweusi na pia ya Madonna mweusi. Huyu Madonna Mweusi ni mungumke aitwaye Demeter. Kitendo hiki kimeendeleza mchakato mrefu kuhusu Kristo na bado ungali unaendelea. historia imebuniwa na majina ya hao mamajusi watatu yameainishwa kwenye jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235).

 

Bibi yangu aliye huko Ufilipino anatajwa kuwa anawaponya watu kwa kuwagusa tu na kuwaombea. Ni dhahiri sana kwamba alimeza jiwe alilopewa na kibeti, lililompa nguvu na uweza. Aliweza kumfanya binti mdogo aweze kuongea na mahoho au mizimu. Alikuwa ni Mkatoliki aliyejitoa sana kwenye imani hiyo na ilisemekana kuwa sanamu alizokuwanazo nyumbani mwake zilimsaidia kupata nguvu na uweza huo wa kuponya. Baada ya kufa kwake ilisemekana kuwa maroho haya yalimpagaa shangazi yangu. Mimi ni Mkristo na sio Mkatholiki, hivyo sikubaliani na kuomba kipande cha sanamu, na nadhani kwamba nyingi ya hii inayoitwa miujiza yawezekana inatoka kwa ibilisi. Bali je, inawezekana kuwa miujiza yake yeye ilitoka kwa Mungu?

Jibu: Watu wa nchi za Ufulipino, Indonesia, India, na sehemu nyingine kubwa wana asili ya kutoka kwenye oitwa uanimism. Wanatokana na dini ya eneo lao hilo wakati mungu wa kundi bora anapokuwa na nguvu zaidi. Na ndiyo maana dini ya Wakatoliki ilikuwa na nguvu sana na mshuhuri nchini Ufilipino. Waindonesia waliingia Uislamu lakini wanakutana na matatizo makubwa sana na imani ya Kianimism kati ya watu.

 

Sio watu wanaoponya, bali imani waliyonayo kwenye hayo maroho wanayotaabudu. Kwa hiyo, kama watu wakiyaamini ndipo hayo mapepo yanawaponya baadhi yao. Unachokisema na kukielezea hapa ni ushirikina wa wazi kabisa, wenye msingi wa imani ya kishamanism yenye mchanganyiko na kianimistiki. Jiwe hilo ndilo kiini cha miujiza hiyo. Mara nyingi wanayameza hayo mawe au vitu vingine kama hivyo. Hii haimaanishi kwamba watu wa Mungu hawawezi kutumiwa kwa uponyaji. Tukio unalolitaja, kwa bahati mbaya, halitokani na nguvu za Mungu.

 

Je, kuna nini nyuma ya utamaduni wa kukimbiza Mwenge wa Olympiki ambao unakimbizwa kutoka nchi moja hadi nyingine, na mji mmoja hadi mwingine?

Jibu: Inahusiana na mawazo yaliyokuwa yakiaminiwa kwenye imani za kdini za Wayunani na Warumi walioamini Olympus kuwa ni kama kiti au kitovu cha miungu wao. Miali ya moto inawashwa kwa kuashiria kuzindua michezo na unabebwa kutoka kwenye kiti cha imani au cha dini ya taifa linalodhamini au kuandaa michezo hiyo, na kisha mizimu ya mapepo ya miungu inakuja kufanya makao kwenye mji unaoandaa michezo hii.

 

Na ndiyo maana wapagani wanauhusiano wa karibu na jambo hili la kukimbiza mwenge. Mchawi mkuu aliyetoa hotuba kwenye Michezo hii huko Los Angeles alielezea hukusu maana ya kichawi ya kitendo hiki cha kuwasha mwenge. Alikuwa ni mwenye mtazamo uliokuwa na tukio la maana zaidi lililopangwa kwa ajili ya mji wa Sydney iliyohuana na uchawi au ushirikina.

 

Mwaka huu (wa 2000) binti wa Kiaustralia aliingizwa kimbadala huko Athens ili aubebe mwenge, uliokuwa na maana yake fulani. Neno la Bwana litaichukua imani ya Wayunani na kuiangamiza katika siku hizi za mwisho na wakati wake utakoma. Wakati wa Waisraeli utaanza mara moja kama nuru ya Mungu na chachu ya ulimwengu. Soma pia jarida la Jeshi la Gdeoni na Nyakati za Mwisho (Na. 22).

.

Nilipokuwa nayatazama maana ya neno “elfu,” nilikuta namba 505 kwenye kamusi ya Strongs ya Kiebrania. 505 'eleph prop. ni sawa tu kama 504 kwa hiyo (kichwa cha punda kuwa ni herufi ya kwanza kwenye alfabeti, nah ii hatimaye ilitumika numerali) elfu moja-elfu. 504 'eleph kutokana na 502 familia; pia (kutokana na maana ya kumfungia nira au hatamu) punda au ng’ombe:-aina ya familia, punda. Mambo yanayonivutia mimi ni kwamba Masihi yuko upande wa magharibi mwa alipo ng’ombe dume karibu na kiti cha enzi, na Ayubu 33:23-24 inawaelezea malaika kama waombezi, “mmoja katika elfu, Ili kumwonyesha binadamu hayo yampasayo;.” Inakuwa imejitokeza tu kwa lugha ya Kiebrania kwamba inayonekana kwamba lugha inaonekana ni karibu ielezee jambo fulani la wazo hili?

Jibu: Dini potofu za ibada za kuchinja mafahali ya ng’ombe za waabudu Mithras zote zilipata msukumo karibia na vilimia yapata takriban mwaka 2000 KK, na uchinjaji wa dume la ng’ombe. Pia Perseus alihusishwa na Gorgon, ambaye kwa hapo zamani alihusishwa pamoja na samba. s anciently associated with the lion. Gorgon ni nyua ya Simba au imani ya Aeon.

 

Imani na dini ya Perseus inahusiana na Aeon na ni inapingana na imani ya Fahali la Ng’ombe, na pia ile ya Aeon, ambayo ni ya Gorgon na kichwa cha Medusa. Tunatazama hadithi za zamani za mapigano au vita huko mbinguni ambako Perseus (mwenye kofia ya Phrygian) na Aeon wanammiliki Ng’ombe dume na ni sehemu ya imani ya kichwa cha Simba. Genii wa imani ya Wababeloni pia anaonyesha kiumbe mwenye kichwa cha tai. Hivi ni vita vya zamani huko mbinguni ambayo Kristo alihusikanayo. Shetani kama Perseus, anamuua Kristo na imani ya Ng’ombe mume. Moja ya elfu hii huenda inautaja ukweli huo. Tena hii ni ya kisirisiri.

 

Nilikuwa natazama onyesho lililofafanua kwamba nembo yenye mishumaa saba juu yake na samaki chini yake inayounganishwa katikati ili kufanya nyota ya Daudi, kuwa ilikuwa alama asilia iliyotumika na Wakristo wa kwanza. Je, ni kweli?

Jibu: Hapana, hiyo sio kweli. Kile kinachoitwa kuwa ni Magan ya Daudi ni nembo au alama ya kipagani ya uzao kupitia dhabihu. Inahusiana pia na Nyota ya mungu Kemoshi au Raifani, ambaye alikuwa wanamtolea sadaka za wanadamu.

 

Samaki alikuwa ni mtakatifu kwa Atargatis, ambaye ni mungu wa dini potofu ya Kisirisiri katika Mashariki ya Kati ambaye pia aliitwa Derceto au Cato. Nembo hii yenye kinara cha taa pia inatumika kwenye gematria.

 

Ufafanuzi kuhusu imani ya kipagani wanazowakilisha unakutikana kwenye majarida ya Daud na Goliathi (Na. 126); Ndama wa Dhahabu (Na. 222); Piñata (Na. 276); na Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235).

 

Kwa kulinganisha na sadaka ya Kaini na ile ya Abeli, Biblia inaonyesha kuwa Mungu alipendezwa zaidi na sadaka ya wanyama iliyotolewa na Abeli kuliko alivyopendezwa na sadaka ya mazao iliyotolewa na Kaini. Nagundua kwamba sadaka ya Kristo imelipa gharama ya dhambi za wanadamu mara moja na kwa wote, bali bado inaonekana pia kuwa sadaka au dhabihu zilihijajika, ambazo sio za aina ya upatanisho. kwa nini watu wanaziamini sadaka zilizotolewa na kitu kama hicho kama maua na chakula kwa miungu yao?

Jibu: Hakuna mashaka kwamba damu iliyotolewa sadaka ilihitajika. Kristo alilipa gharama ile na alichukua sadaka yote kwake yeye mwenyewe mara moja na kwa wote. Kwa nini basi tuna watu wanaotoa sadaka za matunda na mbogamboga leo? Kwenye imani ya Kikristo, kitendo hiki kinatoka kwenye mchanganyiko mgeni wa sikukuu au sherehe za mavuno za Bibliaa na zile zilizo kwenye imani ya Kikristo bali sanasana zilihusiana na sikukuu za mungu mfu, ambayo hatimaye iliingizwa kwenye Ukristo kutoka kwenye imani ya Baali-Easter. Jambo hilohilo lilikuja kufanyiza utaratibu wa kutoa Zaka pia. Somo hilo limeainishwa kwa kina kwenye jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235). Soma pia majarida ya Kusudi la Uumbaji na Dhabihu ya Kristo (Na. 160); Fundisho la Dhambi ya Asili Sehemu ya I Bustani ya Edeni (Na. 246); Utoajii wa Zaka (Na. 161); na Uvejitariani na Biblia (Na. 183).

 

Naelewa kwamba alama ya gurudumu la jua imekuwa ikihusishwa na waokaliti na wataalamu wa nyota kwenye desturi zilizopita za zamani (huenda na hata pia siku hizi). Wakati Israeli walipokengeuka, walitengeneza magari yaliyowekwa wakfu kwa mungu jua, ambaye alizaniwa, alisafiri kuzunguka mawingu kwa gari kubwa. Hicho ndicho chanzo na chimbuko la gurudumu la jua. Kwa nini alama hiihii imepewa kipaumbele sana kwenye imani ya Kikatoliki? Unaweza kutazama tu kwenye viwanja vya Mtakatifu Petro! Pia kwenye makanisa mengi ya Kikatoliki unaweza kukuta mchoro wa gurudumu hili la jua umechorwa madirishani. Ni kwa vipi gurudumu hili la jua, alama ya wapagani wa zamani, ikawekwa na kukubalika kwenye Ukristo?

Jibu: Gurudumu la jua la imani na dini za zamani za kipagani lilihusishwa pia na dhana ya kuishi au maisha baada ya kifo na imani ya kubadilikabadilika kwa viumbe kutoka kiumbe mmoja hadi mwingine mtu anapokufa. Imni na dini za waabudu jua na za dini za siri huunda msingi wa imani yote ya kiibada ya imani ya kidini ya ulimwengu. Kwa kipindi cha miaka 1700 ya mwisho, iliutumia Ukristo kama gari au chombo chake kwa kuwa imani ya Kikristo ilikuwa inafanya njia ya kujipenyezea dhidi yake. Hivyo, imani ya Kirumi ililazimika kuichukua nembo au alama hii kuwa haiwezi kuiondoa au kuachana nayo.

 

Walizidi kuyaingiza mafundisho yake kwenye imani za kidini za Warumi. Gurudumu la Kuzaliwa tena ilikuwa pia ni alama au ishara ya Waseltiki na waliamini kwa nguvu kubwa sana kuhusu hali hii ya viumbe kuhamia maisha mengine baada ya kufa kwao. Waliaunda kundi la Aryans ambalo huenda lilishambulia India kutoka kwenye kingo (yapata mwaka 1000 KK), huenda hata na washirika wa Waisraeli wakati wa Daudi.

 

Kinachopita kwenye Ukristo leo ni mwendelezo wa uliojaa imani ya dini ya mungu jua na dini za siri. Alama za jua ni kiini cha imani za kisirisiri ya imani hii ya kidini. Soma kwenye majarida ya: Ndama wa Dhahabu (Na. 222); Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235); Malumbano ya Wakuartadesimani (Na. 277); na Musa na Mungu wa Misri (Na. 105).

 

Historia

Swali hili linahusu Vita vya Kidini mashuhuri kama Crusades. Ni nani aliviamuru vita hivi na kuna madhara gani zilizosababisha kwenye jamii za zama za kati? Pia, ni madhara gani lililopata kanisa kwenye maisha ya kipindi hiki cha zama za kati na zilikuwa na umuhimu kwa kiasi gani?

Jibu: Kuna idadi kadhaa ya vita hivi na vilipiganwa kwa malengo tofauti tofauti. Nyingine zilipiganwa kwa lengo la kupanua umiliki wa mfumo na dini ya Ulaya huko Mashariki ya Kati wakitumia dhana ya kuidai na kuirejesha kwao Nchi Takatifu kama lengo lao la kwanza. Vita vingine, kama vile vita vya kuwapelekea maradhi Watoto, ziliishia kwa madhara na maafa makubwa sana. Nyingi zimekuwa anzishwa au kupangiliwa kwa amri ya papa kwa malengo ya kisiasa.

 

Moja ya vita mashuhuri sana ilikuwa ni Crusade ya Albigensian, ambayo ilianza katika karne ya kumi na tatu kwa makusudio ya haraka ya kumuu kila MKristo anayeishika Sabato na asiye Mkatoliki kutoka Ufaransa na Hispania. Hii ilikuwa ni sehemu ya maazimio ya Mabaraza la Kidini ya Hukumu. Dondoo za vita hivi vya Crusades na msingi wa Mabaraza ya Hukumu ya Kidini zinapatikana kwenye majarida ya Migawanyo Mikuu ya Makanisa Yanayozishika Sabato (Na. 122) na Kazi ya Amri ya Nne Kwenye Historia ya Makanisa ya Mungu Yanayozishika Sabato (Na. 170).

 

Sababu ya migongano iliyoibuka kwenye Vita hivi vya Crusades ni ya mapema mno na zinaweza kuwa zinaonekana kwenye jarida la Vita ya Waunitariani na Watrinitariani (Na. 268). Hii itakupa pia wazo la chimbuko la mataifa ya Ulaya.

 

Kuna makala nzuri sana kuhusu vita hivi vya Crusades kwenye kitabu cha Fasihi ya Dini na Maadili [Encyclopaedia of Religion and Ethics, Vol. 4.pp 345-351.] Pia sababu kubwa ilikuwa ni Kuchomoza kwa Seljuk Waturuki na ushawishi wao kwenye Uislamu. Kwenye karne ya tisa na ya kumi mtengano kwenye Uislamu kati ya Makhalifa wa Mashariki na wa Magharibi hawakuonyesha tishio kwenye mji wa Constantinople. Hata hivyo, kuinuka kwa Seljuks na kujengwa kwa kikosi cha jeshi la majini kwa ajili yao na watumwa wa Kigiriki kuliutisha mji wa Constantinople. Waliwaomba Walatini wawasaidie mwaka wa 1088. Hii ilikuwa baadae kwenye waraka alioandikiwa Robert wa Flanders kutoka kwa Alexius Comnenus.

 

Mawazo ya watu wa zama za kati yalikuwa na aina isiyozidi, ambapo walidhani kwamba mambo yote ya kimwili yalikuwa yamejawa na roho ya namna na kwamba ilikuwa ni lazima kuwa na sanamu hizi za kuziabudu. Walidhania kwa maana ya mbali zaidi kuliko tunavyodhania leo. Hivyo, kwa mtazamo na muono ule kulipelekea hamu ya kumiliki sehemu zote takatifu na kuzijaza sanamu na kuharibu kitu chochote kinachopingaa na mtazamo ule. Mawazo haya ya kisanamu yaliwekwa kwenye mwelekeo wa kimafundisho ma Mabaraza ya mahaama ya Kidini, na kwa ujumla iliishia kwenye Mauaji ya Kuangamiza Halaiki ya Holocaust yaliyotokea katika karne ya ishirini.

 

Huu ni mwanzo halisi wa Mababa Wasafiri wa Imani. Walitokea wapi na ni nini kilichowatokea?

Jibu: Mababa wa Imani Wasafiri walikuwa ni Wayunitariani Walioitunza Siku ya Saba (Jumamosi) na  ni dini ya Washika Sabato wa Kanisa la Mungu walioitwa au kujulikana kama Brownists au Wasioamini au wasio wafuasi wao. Walikimbilia Uholanzi na kuishi huko kwa miaka mingi. Baada ya kifo cha Oldenbarneveldt kundi lao waliamua kuondoka na kwenda Marekani kwa sababu za kiuchumi wengi wao kama sio wengi waliishi huko Uholanzi.

 

Waliweka alama ya Mayflower na Speedwell na kuondoka kutoka Uholanzi kwenda Uingereza na hatiaye wakashukia Marekani, ila iliwabidi kugeuka na kurudi nyuma kwa kuwa Speedwell alikuwa anaomba maji. Waliwachukua pamoja nao “wenye kujali na kutilia maanani” wa mambo ya kiuchumi na walifuatwa baadae na ndani ya miaka ishirini waliteswa kwenye koloni lao wenyewe na walipaswa kujipanga kwenye sehemu nyingine iliyojulikana kama Uingereza Mpya au New England.

 

Habari hii na utunzaji wa taarifa vinapatikana kwenye jarida la Uhusiano wa Wadachi na Mababa wa Imani Wasafiri (Na. 264).

 

Watu wengi wako chini ya kutoshikamana kote na Mababa wa Imani Wasafiri. Wasafiri hawa waliwachukulia Wapuritani washika Jumapili kama ni watu waliopotoshwa ambao walikuwa hawakuitwa kwenye imani na waliteswa bila huruma na Wapuritans waabudu siku ya Jumapili wa sehemu zote mbili, yaani Uingereza na Marekani wakati walipowafuata wao huko.

 

Ni kweli kabisa kwamba Wakristo washika Sabato waliteswa, wakiwemo Wayahudi wakati wa mauaji ya kuangamiza ya Holocaust?

Jibu: Ndiyo, kwa hakika ni kweli. Katika nchi za Romania watunza Sabato wa Kihungari walipelekwa kama Wayahudi na kuchomwa moto wakiwa hai kwenye kambi za mateso za Manazi. Matatizo yaliyojitokeza kwenye upangaji wa madaraja ya Wasabato kuwa ni kama dini kwenye baadhi ya mataifa huko Ulaya ya Mashariki, na hatimaye idadi kubwa ya watu waliorodheshwa kuwa ni kama Wayahudi kwa kweli walikuwa ni Wakristo Wasabato. Nafasi ya kihistoria kwenye matatizo haya, hata kwenye muongo uliyopita, yameainishwa kwenye utanguliz wa kitabu cha Rabbi Samuel Kohn, cha Wasabato wa Transylvania [The Sabbatarians in Transylvania, (CCG Publishing, USA, 1998)].

 

Kwenye makambi, kulikuwa na mikatale ya pembe tatu iliyogeuzwa juu chini ya rangi ya zambarau, ambayo iliwakilisha tabaka lililoitwa “Bibelforscher” au “Watafiti wa Biblia.” Begi hii ya kujitwalia kirahisi ilijumuisha wanazuoni wa Kisabato, wengi wao wakiwa ni Mashahidi wa Yehova, na wasomi wa Biblia wa namna zote ambao hawakuwa Walutheri au Wakatoliki, ambazo Hitler aliamua kuwa ndio ziwe dini mbili pekee a Ulaya. Wasabato wengi waliuawa kama Wayahudi kwasababu ya kuzishika kwao na kuziadhimisha Siku Takatifu na Sheria ya Vyakula.

 

Mauaji ya kutisha yaliyofanyika kwenye makambi ya mauaji ni kama horrendous tu. Inaonekana kuwa na kambi za mahojiano na za mateso kiasi cha 15,000 katika Ulaya. Kwenye baadhi ya nchi, kama vile nchini Romania na Croatia, waathirika wa tukio hili walichomwa moto wakiwa hai

 

Nchini Croatia, kwa mara ya kwanza kwenye historia ya mwanadamu, kulitaarifiwa kuwa zizlianzishwa kambi tatu zilizotengwa rasmi kwa kuwauwa watoto na kwamba inadhaniwa kwa tuhuma ya ushahidi uliotolewa kwenye kamati ya mauaji za Holocaust huko New York mwaka 1997, zilisimamiwa na wafanyakazi au wahudumu watawa wakshriua la wa Franciscans. Tutajionea zaidi kuhusu tuhuma hizi zilizotolewa kuhusu jambo hili baadae. Picha za makda chini ya Pavlic na maaskofu wa Kikatoliki zinakutikana kwenye kitabucha, “Jasenovac, Then and Now: A Conspiracy of Silence” cha William Dorich. Kililetwa kwenye Mkutano Mkuu wa Kwanza wa Kimataifa wa Kuthibitisha Kambi za Mahijiano ya Kimateso ya Wajasenovaki mwezi Octoba 30-31 1997 (Ilifadhiliwa na Kituo cha Akiba ya Utafiti wa Mauaji ya Holocaust, Chuo cha Kijamii cha Kingsborough, C.U.N.Y., N.Y.). Dondoo zake zipo kwenye tovuti ya www.holocaustrevealed.org.

 

Jarida la, Jukumu la Amri ya Nne Kwenye Historia ya makanisa ya Mungu ya Washika Sabato (Na. 170) litakuonyesha pia dondoo za mateso ya Wasabato kwa kipindi chote cha historia.

 

Uhusu suala la wafia dini au mashujaa wa Kikristo, unaweza kuniambia kuwa huyu John Bunyan alikuwa nani? Alikuwa ni mtu wa namna gani huyu? Alifanya nini kipindi cha maisha ya Kikristo? Ni kitabu gani ni chaguo bora zaidi kufanyia utafiti kuhusu yeye?

Jibu: Kuna makala nzuri sana kuhusu John Bunyan kwenye kitabu cha the Encyclopaedia of Religion and Ethics, Vol. 2:pp. 897 ff. Ni mzaliwa wa Elstow karibu na Bedford mwaka 1628 alifariki huko London mwaka 1688. Alikuwa ni mtu wa tafakari aliyemfuata baba yake. Alikuwa ni kijana askari mwaka 1645 kama maisha yake yalivyofunika kipindi cha vita vya wenyewe kwa wenyewe. Mtazamo wa Brown (kitabu cha Life, p. 49) ulikuwa kwamba alikuwa ni Mwanasheria wa Bunge nah ii inaonekana kumpendeza. Wataalamu wa mambo ya historia wamefuata mawazo ya kujilinda kuhusu jambo hili.

 

Mke wa kwanza wa Bunyan alimsaidia kuongeza elimu ndogo aliyokuwanayo na kuipoteza kwa ajili ya kutoitumia. Alimleta kwenye maelekezo ya kwanza ya utendaji kazi wa dini. Wote wawili walikuwa maskini sana lakini vitabu alivyoleta mke wake na yeye vilikuwa vya Arthur Dent, cha “Ukweli Njia Nyembamba ya Mwanadamu kwenda Mbinguni, ambayo kwamba kila mwanadamu anaweza kuona wazi sana kama anaweza kuokoka au kuangamia [The Plaine Man’s Pathway to Heaven, wherein every man may clearly see whether he shall be saved or damned],” na cha Lewis Bayly, cha “The Lewis Bayly’s, cha “Mazoezi ya Pietle, kumuelekeza Mkristo jinsi ya kuenenda ili aweze kumpendeza Mungu [The Practice of Pietie, directing a Christian how to walk that he may please God].”

 

Alisaidiwa na John Gifford ofisa wa matengenezo ya mwanzo aliyepoteza maisha wa Jeshi Tiifu aliyefanyika kuwa mhubiri wa kusanyiko la wasioamini au wasio wafuasi huko Bedford mwaka 1650.  Baada ya kupotea kwa mke wa Bunyan mwaka 1655, alihamia Bedford na aka mhubiri. Mnamo mwaka 1666, baada ya kama miaka mine hivi ya mapinduzi, aliandika kitabu cha, “Neema Tele kwa Mwenye Dhambi Mkubwa.” Brown amasema aliandika vitabu 60 kwa ujumla. Hii ni pamoja na vipeperushi.

 

Baada ya kitendo cha kufanana yalijitokeza matatizo kwa wasio wafuasi na mapema sana ya mwezi Machi mwaka 1658, inaonekana kutokana na rekodi ya kanisa kwamba inaashiria kuwa alihubiri huko Eaton. Hakuna kinachoonekana nayo, lakini mnamo mwaka 1660 alitiwa mbaroni na kufungwa gerezani. Ufungwaji wake jela wa kwanza ulikuwa ni kwenye Kaunti ya Gaol huko Bedford na kifungo chake kiliishia miaka kumi na mbili, kwa mapumziko katikati na kwa uhuru ulioonekana unafaa wa nyakati. Kipindi cha pili cha kufungwa kwake kilikuwa kwenye Mji wa Gaol huko Bedford Bridge na kiliishia miezi sita mwaka 1675.

 

Alikuwa mashuhuri baada ya kifungo chake cha kwanza na mahubiri yake rahisi na yenye nguvu yalilileta kundi kubwa kuja kumsikiliza. Alijulikana kama Askofu Bunyan na alisafiri mara nyingi hadi London. Kitabu chake cha “Maendeleo ya Wasafiri [Pilgrims Progress],” baada ya kutafsiriwa kwa lugha ya Kidachi mwaka 1682, Ufarasa mwaka 1685, na Welsh mwaka 1688, mwanzoni mwa karne ya ishirini kilitafsiriwa kwenye lugha 112 na kabila kadhaa. Anachukuliwa kama ni mmoja wa wainjilisti wakubwa kwa kuwa alikuwa pia mwongofu mkubwa.

 

Nimesikia kuhusu nakala za kwanza zikitajwa kama za Mchungaji  wa Hermas; je, unaweza kunieleza zaidi kuhusu kitabu hiki?

Jibu: Mchungaji wa Hermas ni kitabu pekee cha kanisa kilichochukuliwa kama Maandiko Matakatifu na Kanisa lilikitumia hadi katika karne ya nne. Kilisomwa kwenye ibada kwa kipindi cha karne nne. Irenaeus na Tertullian (wakati akiwa Mkatoliki) alikitangaza hiki kuwa ni Maandiko Matakatifu. Tertullian, wakat alipojiunga na imani ya Montana, ndipo alikishambulia wakati Papa Callistus alipokitangaza kuwa kinakubalika. Tertullian alipinga kuwa kilikuwa hakimo miongoni mwa vitabu vilivyokubalika kwenye baraza la kanuni la maandiko la Roma nah ii inaonyesha kuwa ni sahihi (C. E. Hermas vol. VII, p. 268).

 

Sababu ya kutokijumuisha kwake ilikuwa ni kwa sababu alikuwa ni Myunitariani na alikuwa anayachambua maandiko ya Biblia na ujenzi wa Hekalu la Mungu kwa maana ya Uyunitariani, na kwa hiyo ndipo kilipunguziwa umuhimu hadi wakati uliofuatia baadae. Clement wa Alexandria anasema kiliandikwa na Hermas aliyetajwa na Mtume Paulo kwenye Warumi 16:14. Huu kwa kweli ndiyo ulikuwa ni mtazamo wa Irenaeus na Tertullian wakati akiwa Mkatoliki, kabla ya nyakati za Wamontana. Sasa, Irenaeus alikuwa ni mwanafunzi wa Polycarp huko Smyrna na ni shule ya Mtume Yohana, ambapo ndipo palikuwa kitovu cha kazi ya aadae ya mitume.

 

Athanasius pia alipinga kuwa hakikuwa sehemu ya vilivyokubalika kwenye kanoni ila alisema kuwa kinastahili kuheshimika. Mashambulizi ya Wamontana juu ya hiki barani Afrika yanaonekana kuwa yalisaidia kihivyo, kwamba kutoka wakati wa Clement wa Alexandria hadi wakati ule wa Cyprian, tunakuta kuwa kiliachwa kutumiwa. Ni kama alivyofanya Cyprian kutokinukuu, kwa kuwa hakikuwa kinatumika kwenye miongo ya mwanzoni ya karne ya tatu. Ni hata hivo, kilinukuliwa kama Maandiko Matakatifu kwenye maandiko ya uwongo ya Cypriani. Kilipitwa na wakati kwa pande za Mashariki zaidi kuliko pande za Magharibi, ambako kilinukuliwa kwenye Zama za Kati na ndicho tulichonacho sasa.

 

Ni Gombo lijulikanalo kama Sinaiticus pamoja na waraka wa Barnabus mwishoni mwa Agano Jipya. Jaribio la kukiweka kitabu hiki na Hermas, ndugu wa askofu, mwaka 185 ni uwongo wa wazi, kwa kuwa Irenaeus hakukichukulia kitabu hiki kuwa ni Maandiko Matakatifu huko Lyons iwapo kama yaliandikwa wakati akiwa huko. Suala la rekodi ya Clement wa Alexandria ni sahihi, na iliandikwa na Hermas wa kwenye Warumi 16:14. Andiko hili pia lina misukumo ya muundo wa kanoni ya kabla ya kitabu cha Ufunuo kwenye maandiko ya Paulo na Petro, na pia ya Yohana, na hivyo ni sehemu ya kanoni ya Agano Jipya ya kipindi cha kabla ya maandiko ya Ufunuo. Hili litaelezwa na kuainishwa kwenye kitabu kinachokuja cha ufafanuzi kuhusu mchungaji. Kimsingi, Wamodalists au proto ambao ni Wagiriki Waamini Utatu na Warumi, na Wabinitarians wa Afrika walikuwa ni wagumu nacho, ni kama ilivokuwa kwa Wayunitarian wasiopingika.

 

Kanisa

Nawezaje kuijua njia anayotaka Mungu tuishi kwayo maishani mwetu?

Jibu: Kristo alituambia sisi kwamba hatuitupasi tuishi kwa mkate tu, bali ni kwa kila neno litokalo kinywani mwa Mungu. Kanuni ya msingi tunayoifuata ni kama Mungu anasema tufanye hivyo. Kama anatuambia tuzishike sikukuu tatu kwa mwaka, ndipo yatupasa tuzishike. Kama akisema tutoe zaka, ndipo yatupasa kutoe. Kama akisema tuishike Pasaka tangu siku ya 14 Abibu na kuula Mkate Usiliotiwa Chachu kwa muda wa siku saba tangu siku ya 15 Abibu, tufanye hivyo. Kama akisema tuzishike Sabato zake na Miezi Mipya, tufanye hivyo. Kama akisema tuadhimishe Ibada ya Mganda wa Kutikiswa, na Pentekoste, na Baragumu, na Upatanisho na Vibanda na Siku ya Kusanyiko la Makini, na tufanye hivyo. Tunazishika sheria za vyakula na tunapendana kama alivyotuamuru Mungu.

 

Kama anasema kushike Amri Kuu Mbili na ambazo kwazo zinatuama Amri Kumi pamoja na Torati yote na Manabii, ndipo na tufanye hivyo. Tukijikuta kuwa tuna kitu kisicho sawa, basin a tubadilike, kwa manufaa na kwa kuwashirikisha wapedwa. Hili limetokea kwa miaka kadhaa iliyopita kutoka kipindi kimoja na kingine, kwa namna zote mbili, yaani kwa maongozi na kwa mafundisho.

 

Mtu mzima aliyebatizwa aliyejiunga kuwa mshirika anaruhusiwa kuyapigia kura mambo yote muhimu Kanisani kwetu, kama lilivyofanya Kanisa la kwanza. Hii ni pamoja na ili kumpata anayetakiwa kuwa mhubiri au mchungaji. Viongozi wa mataifa na Viongozi wa Kidunia wote wanapatikana kwa kupigiwa kura, kwa hiyo Mungu anaamua yupi ni kiongozi, ni kama ilivyofanyika kwenye Hekalu la Israeli la zamani katika Kuwapata Makuhani Wakuu na Kuhani Mkuu.

 

Kwenye Makanisa ya Mungu ya Kikristo utapewa kila fursa ya kusoma neno la Mungu na kulijadili kwenye mijadala ya wazi au ukiwa pamoja na wazazi wako na rafiki zako pia. Ni moja ya utendaji wetu wa muhimu na unaothaminiwa zaidi na watu wetu. Wengi wa wanaokuja kwenye sikukuu au kujifunza neno na sisi kwa mara ya kwanza, wanajionea hali ya kuhamasika kiasi cha kufikia kujiuliza maswali kwenye kila kichwa cha somo na wanachangia kwenye mijadala. Kuna kanuni chache tu, kama vile kuelezea lengo la swali na kuonyesha kuonyesha na kulisoma andiko kwa kila mmoja kama wanafuatia kwenye Biblia zao na ndivyo tunajua mambo yote kwenye majadiliano. Kuheshimina na kuzuilia au kujinyima kwa ajili ya kiasi ni kitu cha muhimu sana kwa kila mtu.

 

Vijana wadogo watajionea roho ya kijamii ya marafiki wengine na furaha ya ushirikiani wa pamoja kwenye sikukuu za Mungu. Utapata pia mapumziko mara mbili kwa mwaka, kama vile Pasaka na Idi ya Mikate Isiyotiwa Chachu ambacho pia ni majira makuu ya sikukuu kama ilivyo sikukuu ya Vibanda. Tunakusanyika sote kwenye kambi la mkusanyiko mahali ambapo “Bwana amepachagua kwa mkono wake,” ambapo ndipo mahali kanisa limeamua kuwa ni mahali muafaka na panapofaa. Pentekoste, kama wewe huenda unajua, ni sikukuu inayoadhimishwa kwa siku mbili, na inasherehekewa na makundi madogomadogo kwenye sehemu au maeneo mahalia. Ni kwa takriban kama miaka thelathini iliyopia, kimsingi, jumuia au sharika zote za Makanisa ya Mungu zilitoka nje kwenda kuziadhimisha sikukuu zote mbili kama zilivyoamriwa na Biblia.

 

Utawapata marafiki wazuri na utajifunza kumuweka Mungu mbele kwa mambo yote yahusuyo Amri zake au Imani ya Yesu Kristo aliyemtuma.

 

Kwenye mashamba ya ngano kuna ngano nyingi sana kuliko magugu, lakini kwenye hii dunia kuna kiasi kikubwa sana cha Wakristo wa uwongo kuliko wa kweli. Je, huu ni mlinganisho mbaya na uliokosewa wa Keisto? Unawezaje kuiambia ngano kutoka kwenye magugu?

Jibu: Kama hawaneni sawasawa na sheria za torati na ushuhuda hakuna nuru ndani yao (Isaya 8:20). Watakatifu ni wale wanaozishika Amri za Mungu na Ushuhuda wa Yesu Kristo (Ufunuo 12:17; 14:12). Sio tu suala la wewe kuweza kusema. Kanisa linapaswa kushughulikia hayo yote. Utawatambua wakati Kristo atakapowashughulikia mwishoni. Hadi hapo, tuna mamlaka ya kuhukumu na kumshughulikia kila mmoja wao. Hivyo tunafanya kwa namna zote za rehema kama iwezekanavyo. Kile ambacho Mungu anachukuamuru ufanye na muache Mungu ashughulike na mengine yaliyosalia.

 

Ni nini tofauti kati ya mchungaji, mhudumu au mtumishi na mchungaji msimikwa? 

Jibu: Vitu vingine kuhusiana na mapokeo. Njiwa, samba na baba vilikuwa ni vyeo na madaraja kwenye imani ya Mithras ya dini potofu ya waabudu jua wa zama za imani ya wachinja ng’ombe dume.

 

Ndivyo ilivyo kwa habari za “mchungaji msimikwa.” Kwa ufupi, vyeo au majina haya hayana misingi wa mashiko ya kibiblia. Ni vyeo vilivyotolewa na wanadamu tu kwa wale wanaoshikilia amri za kusimamia taratibu takatifu. Hivyo, makanisa mengi hayatumii vyeo hivi ama vya mchungaji msimikwa au reverend au baba. Kuna aina mbili tu kwenye Biblia; kuna wazee wa kanisa na mashemasi. Mzee wa kanisa anachaguliwa na kupewa huduma ya kuwashirikisha sakramenti za Kanisa. Mashemasi wanaweza kuwasaidia kuhudumu kushirikisha watu huduma hii kwa ruhusa na maelekezo ya wazee, na hawa wazee wanaitwa maaskofu kwenye mkururu huu wa madara ya uongozi.

 

Tofauti kubwa ya kiutendaji kwenye Biblia ni kwamba hawa wazee wanaweza kuwaweka wakfu kuwasimika hawa wote, yaani mashemasi na wazee wa kanisa kwenye wakfu wa Kanisa. Vyeo au huduma za mtume, mchungaji, mwinjilisti au mwalimu, na mwangalizi ni kazi au hudma ambazo shemasi au mzee wa kanisa anaweza kupangiwa (kama kwenye Waefeso 4:11). Mahemasi wanaweza kufanya kazi ya maongozi ili kwamba wazee wasiwe wamefungwa na shughuli nyingi kwa mahitaji ya kishughuli. Wakati mwingine, hiyo haiwapi uhuru sana wazee kwa kiasi cha kadri wanavypenda.

 

Kumbuka kuwa Mtume Petro alijinena mwenyewe kama ni mzee wa Kanisa la Mungu. Waangalizi wakuu wanashughulika na kazi hizi kwa wao wenyewe na wanaweza kuwachagua watu na kuwapangia huduma za wainjilisti na mitume na wachungaji kwenye eneo lao.

 

Sasa, muwakilishi wa kweli na halisi ni Roho Mtakatifu, anayezifanya karama za Mungu zionekane na kulisaidia Kanisa liwaone walio na karama na wito wa Mungu. Kwa namnahyo, makosa yanaruhusiwa kufanyika Kanisani ili kumuonyesha wale waliokubalika au kuthibika na Mungu. Kuna aina nyingi za maongozi bali Bwana ni mmoja. Kimaendo, kazi au huduma hizi na maono yake vimekanganywa na yamerahisishwa sana kwa mambo Fulani, au kugeukia kwenye mfumo mgumu wa kimadaraja ya vyeo kwa wengine. Wengi wamechukua majina fulani ya kivyeo ambayo hata hayajatolewa wala kuruhusiwa na Biblia na hata kwa yale yaliyokatawa kabisa kujiita mtu na biblia, kama vile jina au cheo cha mtu kuitwa “baba.”

 

Je, unatweza kufafanua tafadhali ina maana gani utakaso wa watoto? Je, neno watoto linaonyesha cheo au jina la mtu wa umri fulani?

Jibu: Andiko hili linaelezea ukweli kwamba watoto hawapaswi kubatizwa ha hawana jukumu lolote la kufanya wafikie kiwango cha kutakasika kwa kupitia juhudi zao wenyewe, kama wafanyavyo wateule ambao wametakaswa na Mungu kwa Roho Mtakatifu tangia pale wanapobatizwa. Soma kwenye majarida ya Toba na Ubatizo (Na. 52); na lile la Kuwa Wamoja na Baba (Na. 81).

 

Watoto wanatakaswa kutokana na wazazi wao hadi wanapofikia umri wa kubatizwa kwao, au wa kuchagua kufuata njia zao wakiwa watu wazima. Huu ni umri wa miaka ishirini kwa mujibu wa torati. Huu pia ndiyo umri wa kubatizwa wa muumini anayehesabiwa kuwa ni mtu mzima. Watu wengine wanaweza kubatizwa mapema kabla ya umri huu kutegemea na hali na mwonekano wao. Inategemea hali aliyonayo mtu, lakini miaka 20 ni umri wa mwanaume kuandikishwa kuingia kwenye Jeshi la Mungu (ni sawa na ilivyoagizwa kwenye jarida la Kumbukumbu la Torati 20 (Na. 201)). Kanisa la kwanza halikufanya ubatizo wa watoto wachanga. Soma jarida la Utakaso na Tohara (Na. 251).

 

Kwenye dini hii unawaambiaje watu cha kufanya ili wafanyika kuwa Wakristo? 

Jibu: 1) Sikr.....Waebrania 11:6 na Warumi 10:17; 2) Sikia... Marko 16:16 na Matendo 16:31; 3) Tubu.... Luka 13:3, Matendo 2:38; 4) Kiri...Mathayo 10:32-33,16:16 na Matendo 8:37-38.

 

Hatua hizi nne za kwanza ni za muhimu, na ni kwa njia ya Roho Mtakatifu afanyapo kazi na sisi ndipo unaweza kuelewa umuhimu wa neema iokoayo ya Mungu kwa kupitia dhabihu ya Yesu Kristo (soma kwenye jarida la Kusudi la Uumbaji na Dhabihu ya Kristo (Na. 160)). Kitendo cha kukiri ni cha Mungu, na kukiri dhambi walizotendeana watu mara nyingi haimaanishi kuwa ni mjadala wa jumla au kusanyiko la watu wenye akili nyingi la wazee au maaskofu

5) Batizwa...Marko 16:15-16, Matendo 2:38 na 1Petro 3:19-22.

Unapokuwa mzee vya kutosha kwa kwenda kwa hatua za kwanza, itakupasa ubatizwe kwa kuzamishwa kwenye maji mengi ikiwa ni ishara ya kialama ya kuziosha dhambi za kale za mtu na kuwa amezaliwa upya tena kwenye familia ya Kristo. Kuingia kwenye jeshi la Mngu ni kwa mujibu wa maagizo ya Torati yake na hivyo, umri wa miaka 20 ulikuwa ndio wa kuandikishwa kujiunga na jeshi. Soma kwenye jarida la Kumbukumbu la Torati 20 (Na. 201).

6) Ishi kwa uaminifu kwenye mafundisho yake...IIPetro 1:4-11 na IWakorintho 10:12-13.

Sote tunajua kwamba hatupo wakamilifu, lakini tunajaribu kuishi maisha yetu kwa kujitahidi tuwe wakamilifu zaidi ili tufanane na Kristo. Sasa jambo hili linahitaji kulikuza na kuliendeleza kwa kuwa wengi hawafanyi hivyo. Kila mtu ama majaaliwa yake kwa Mungu ya kupata mwito wake. Kristo hakuamua tu ni nani awe mtu wake. Mungu alimpa watu hao naye hakuwapoteza. Tumechaguliwa, tukaitwa na kisha tukahesabiwa haki na kutukuzwa (Warumi 8:29-30).

 

Mchakato wa kuhesabiwa haki ni kwa kukamilishwa kwenye Sheria na Torati ya Mungu. Hii ndiyo impasayo mtu kuifanya: “Kumcha Mungu na kuzishika amri zake” (Mhubiri 12:13). Kuielewa imani ni jambo la muhimu. Soma majarida ya Nafsi Hai (Na. 92) na Ufufuo wa Wafu (Na. 143). Ubatizo wako ni lazima ufanywe na mzee au na shemasi aliyepewa ruhusa na aliyesimikwa kumtumikia Mungu kwenye mwili wa Kristo, na sio wa kwenye imani nyingine yoyote au kikundi chochote tu cha kidini au dhehebu. Hiyo inamvuta tu mtu awe wa kidini tu kama wanavyotaka kukubatiza wewe kwenye kanisa. Mara tu unapoanza kutoka na kupita kwenye njia au barabara ndefu, yakupasa ufanye kile alichokitenda Kristo na Mitume, na hiyo iliwapelekea Wakristo wengi kuuawa na wengine wanaodai kuwa ni Wakristo kwa kipindi cha miaka elfu moja na mia nne. Soma jarida la Jukumu la Amri ya Nne Kwenye Historia ya Makanisa ya Mungu Yanayozishika Sabato (Na. 170).

 

Njia imesonga na mlango ni mwembamba inayoingia kwenye Ufalme wa Mungu, na wengi hawaioni. Kanisa la Mungu linaitwa moja ya mji na wawili wa familia. Hawa ndiyo wale wanaozishika amri za Mungu na Ushuhuda wa Yesu Kristo (Ufunuo 12:17; 14:12). Fanya kile kinachoelekezwa kwenye Biblia na uzitii amri zake, na utajikuta ikiwa kwenye njia yako pekeyako, lakini ni mtu mwenye marafiki na ndugu wa kiume na wa kike uwapo njiani ambao ni marafiki wa kweli na Wakristo wa kweli. Zaidi ya yote, mtii na kumcha Mungu na ufuate kile Biblia inachokifundisha.

 

Sijawahi kuisoma Biblia kabisa na uelewa wangu ni wa wastani tu. Naamini … kuna Mungu mmoja tu; haijalishi ni dini gani uliyonayo kwa Mungu bado atasikia maombi yako; tunapaswa kuomba dua na kumshukuru; Mungu anatupenda sisi sote sawasawa iwe kwamba ni wema au wabaya, tajiri au maskini; tunautashi na lengo la kukamilisha; tunapasa pia kushiriki ngono na wapenzi wetu wa muda mrefu au marafiki wa kimoyo tu; ndoa ni ya muhimu; hakuna mtu anayepaswa kuhukumu kimakosa, ni suala la dhamira tu; kwa ajili ya utaji mimba na kwa kizuia mimba: HAKUNA mtoto anayepasa kuzaliwa akiwa hahitajiki na akiwa hapendwi; Mungu ni ndiye aliyehusika katika kutuumba sisi sote. Ni dini gani iliyo nzuri na sahihi?

Jibu: Unaonekana kuendeleza itikadi ya imani ambayo unajihisi kuridhika nayo. Unakubaliana na uwepo wa Mungu. Kwa kupewa ukweli huo, tunaweza kufanya mahijiano na kukupa mtihani kutokana na uhalisi ulionao. Kama sisi ni viumbe wa Mungu, basi Mungu ana apenda kutushirikisha mapenzi yake. Kama ameweka kiwango ambacho kwacho tutahukumiwa kwacho, ndipo ana maagizo ya kila mara ili kutimiliza kanuni hizo kwetu sisi.

 

Kuna andiko moja tu ambalo ni mwambatano wa kiimani yake na lengo kutoka mwanzo hadi mwisho. Hiyo ni Biblia. Kurani ni kitabu cha ufafanuzi tu wa Biblia. Kama unamwamini Mungu ndipoo inakupasa pia ukubali kuwa yeye hawezi kuzibadilisha sheria kwa kiumbe wake kama Hukumu ingekuwa si ya haki.

 

Profesa Russell alisema kwamba Torati haiwezi kuendelea kutoka kwake yeye na inapasa itoke kwenye misingi fulani zaidi kuliko kwenye maagizo au amri ya mbinguni. Hii ndiyo sababu iliyompeleke asiwe Mkristo. Hakuelewa sawasawa kwamba Torati ilitoka na kuendelezwa kutoka kwenye asili halisi yake yeye Aliye Mungu wa Pekee na wa Kweli, ambaye hakuna mwanadamu aliyewahi kumuona au wala atakayeweza kumuona. Yeye hazuiliwi kusikika na alitupa sheria zake kwa mikono ya mjumbe wake na mwombezi wetu.

 

Kila mmoja wetu ameagizwa kuonyesha vile ilivyo na kile ambacho Mungu aliachowasiliana nasi. Hivyo, una wajibu wa kusoma makusudi mazima na ya moja kwa moja ya Biblia. Huenda hujui wito wa Mungu. Hajaanza kuuhukumu ulimwengu kwa hivi sasa. Anawaita watu na kufungua mioyo yao kwa Roho Mtakatifu na anawapeleka kwenye hukumuni kila mmoja kwa wakati wake mwenyewe.

 

Na ndiyo maana Biblia iliandikwa kwa mifano. Ili kwamba watu wasiielewe na wakageuka na wakaokolewa kabla ya wakati wao. Kuuelewa mpango wa Mungu kunaweza kuonekana kutoka kwenye majarida yaliyo kwenye tovuti yetu. Hebu soma majarida kuanzia lile la Tangazo la Msingi wa Imani ya Kanisa la Kikristo (A1). Soma pia kwenye jarida la Torati ya Mungu (Na. L1) na majarida yanayofanya mkururu wa masomo ya aina moja. Mazingira ambayo kwayo utoaji mimba unaruhusiwa yameelezwa ndani yake. Marfab tu unapoanza kufanya moja kwa moja basi utajipatia hukumu.

 

Wakati nilipokuwa mdogo na kwenda kanisani na wazazi wangu, nakumbuka kuwa kulikuwa na utoaji sadaka wa kila juma. Je, kufanya vile ni maagizo ya maandiko matakatifu? Je, kuhusu matangazo ya ripoti za makusanyo ya fedha yanayotangazwa kanisani yanayoonyesha ni kiasi gani kinatolewa na kila familia. Hii ilionyesha kuwa si maagizo ya maandiko matakatifu. Au vipi?

Jibu: Hapana, imeandikwa “Kifanywacho na mkono wako wa kushoto kisijulikane na mkono wako wa kuume.” Nchini Marekani, ni lazima kupewa risiti kwa sababu za kikodi na kwa hiyo ni lazima makanisa yatunze rekodi. Lakini imeandikwa kwamba kuna mara tatu kila mwaka ambavyo wanaume wanapaswa kukusanyika pamoja na hawaruhusiwi kuja mikono mitupu. Zaka yapasa itolewe Kanisani na Kanisa linapasa litoe zaka yake ya zaka makao makuu.

 

Kwa hiyo, sadaka za aina tatu zimeamriwa zitolewe kila mwaka na sio 52. Zaka ndizo zimeamriwa lazima zitolewe. Moja ni kwa kila miaka saba, zaka ya pili inabidi itolewe kwa ajili ya maskini ikiwa ni kama zaka ya tatu. Mtume Paulo aliwatolea mwito watoe changizo siku ya Kwanza ya juma ili kulisaidia kanisa la Yerusalemu. Kutokana na tukio hili ndipo kumeibuka na kuenezwa mafundisho ya uzushi nay a uwongo yaliyolenga kuhalalisha ibada za kipagani za Jumapili na utoaji wa sadaka za kila wiki.

 

Suala lote ya ukusanyaji wa sadaka na zaka limefafanuliwa kwenye jarida la Utoaji wa Zaka (Na. 161). Kama watu watu watalazimika kutoa hesabu kwa kudai stakabadhi kwa sababu za utunzaji taarifa zao, basi Kanisa litalazimika kuweka wazi dondoo ili kuwaonyesha maafisa wenye dhamana wanaohitaje kujua.

 

Kwa nini watu wamejifanyia Mungu na ni kwa nini sisi tuna dini? 

Jibu: Hili ni swali lililoshiba lenye mashiko. Inadhaniwa kwamba nafasi ambayo mwanadamu amejifanyia aina ya Mungu na dini ni kweli. Watu wa kale hawakuhoji wala kuonea mashaka uwepo wa Mungu. Huenda kama umekuwa umeondolewa kutoka Misri kwa kupitia Bahari ya Shamu, ungekuwa na imani. Lakini tunaona kwamba hata Waisraeli baada ya kuvumilia hali hii bado walitenda dhambi walipokuwa Sinai. Adamu alimjua muumba wake na alisema kwenye Bustani na malaika nab ado alitenda dhambi.

 

Sheria au kanuni za Sayansi ya Mwendojoto zinadai muumbaji. Uumbaji unatangaza uwepo wa Mungu. Hakuna ushahidi kwa itikadi ya mabadiliko ya kimaumbile ijulikanayo kama evolusheni kuwa rekodi ya uumbaji kuwa haiendelei na imeishia hapohapo. Uchaguzi wa sauti ya anga ya dunia inataka pointi rahisi ya chanzo na si vinginevyo. Kwa karidi tujuavyo, ndipo tunapopata uhakika zaidi kuhusu nguvu za uumbaji.

 

Kama ulivyoonyesha hapo kabla, historia ya Kanisa la Kikristo, liualojulikana pia kama Kanisa Asilia la Kikatoliki la Kirumi, linaweza kuwa limeingiza na kudumu na mafundisho yake tangu miaka 2000 iliyopita, na mafundisho haya hayajabadilika kabisa. Nimesoma kwamba baadhi ya magofu ya makanisa ya zamani ya kanisa hili Kikatoliki la Kirumi yana visima virefu ndani yake vya kubatizia, ambavyo vinaashiria kwamba waliwahi kuwa na ubatizo wa kuzamisha waumini wao kwenye maji mengi. Unaweza kunieleza kama jambo hili lina ukweli wowote?

Jibu: Bila shaka kwamba Kanisa la kwanza na mwanzoni huko Roma lilikuwa na ubatizo huu wa maji mengi, na tuna ushahidi wa kimamlaka wa mfia dini Justin Martyr kwa ukweli. Kisima kukubwa cha kubatizia watu kilichokuwa karibu na Ravenna kilijengwa mwishoni mwa karne ya sita, lakini kwa sasa hilo linapingwa na kuonekana kama imani ya Kiyunitarian ya Kigothiki kuwa ilikuwa imetamalaki huko Italia na Roma hadi kufikia karne ya sita, kwa hiyo hii hi pointi ya muhimu sana kujua. Soma jarida la Utakaso na Tohara (Na. 251).

 

Natafuta shirika la kujiunganalo na kushirikiana nalo. Watu wengi walinishauri nijiunge na Wayunitariani au kanisa lililojulikana kama Kanisa la Maisha Ulimwenguni, au Universal Life Church. Unaweza kunieleza kiusahihi kuhusu ni nini hasa maana ya Uyunitariani?

Jibu: Wayunitarians wamegawanyika kwenye makundi. Wayunitariani asilia, na ambao watu wetu sisi ndivyo walivyo, wanaamini kwamba kuna Mungu mmoja tu wa pekee na wa kweli na kwamba alimtuma Jesu Kristo kumdhihisha huyo Mungu wa Pekee na wa Kweli kwa wanadamu. Tunafundisha mafundisho hayohayo kama yanavyokutikana kwenye kanisa asilia la kwanza la Mungu kama lilivyoanzishwa na Kristo na Mitume. Utakuta kwamba Kanisa la Kwanza la Kikatoliki lilikuwa la mrengo wa Kiyunitariani na lilikuwa la mamna moja hata huko Roma katika karne ya pili. Tembelea kwenye tovuti yetu ya www.originalcatholicchurch.org

 

Tawi linguine la Kanisa la kiyunitarian ni lile tunaloliita Uyunitarian wa Kihafidhina. Wanapinga uwepo wa Kristo wa zama za kabla ya kuzaliwa kwake rasmi hapa duniani. Aina hii ya imani pia imetokea kwenye Uislamu baada ya Muhammadi na Makhalifa wake Wanne Waliochukua Haki ya Kuongoza dini. Uislamu unakubaliana na matoleo hayo mawili hapo juu lakini unapinga kuwa ni uzushi na upotofu imani ya Utatu. Kwa hiyo, Uislamu pia ni moja wapo ya makundi ya Uyunitarian.

 

Kwnye Matengenezo, vikundi hivi vilivyokuwa vya Wayunitarian wahafidhina pia viliiingiza imani yaw a Waldensian na pia walikuwa shirika na waabudu siku za Jumapili kutoka kwenye Uprotestanti. Kwa hiyo, matawi haya mawili yanatofautinana sana. Habari hii imesimuliwa na Rabi Kohn kwenye kitabu chake cha Wasabato wa Transylvania [Sabbatarians in Transylvania, (CCG Publishing, 1998)]

 

Hivi karibuni sana, Wayuniveso walijiunga kwenye makanisa au mashirika ya Wayunitarian wahafidhina na kuunda kile kilichojulikana kama mashirika ya Wayunitarian wa Kiyuniveso. Wako tofauti kabisa na Wayunitarian Wasabato.

 

Maelezo kuhusu mitizamo hii miwili yameainishwa na kuandikwa kwenye majarida ya Usosiniani, Uariani na Uyunitariani (Na. 185). Na kwa uelewa vizuri zaidi historia hii ya fundisho kuhusu asili ya Kristo, tazama kwenye jarida la Uwepo wa Yesu Kristo Kipindi cha Kabla ya Kuzaliwa Kwake Rasmi Duniani (Na. 243).

 

Tofauti zao zina maana na ziko wazi sana. Kundi moja linafanya kile kilichofanywa na kanisa la karne ya Kwanza, na lingine kwa makusudi kabisa linapuuzia Mafundisho ya Biblia yanayotuama kwenye Torati ya Mungu. Kama unapenda kujua zaidi kuhusu upande mwingine wanavyosema na kuamini basi fungua tovuti kwa maneno ya “Unitarian Universalist” yaani “Wayuniveso Wayunitariani” kwenye kitufe cha kutafutia tovuti na watakupatia tovuti kadhaa, zinazoweza kukuorodheshea maeneo yaliyo karibu yako. Kama unatafuta kumtii na kumcha Mungu na Sheria zake, basi tutajaribu kukusaidia.

 

Makundi yote mawili yanakubaliana na tofauti ya imani ya upande mwingine na kwamba kila kundi linafuata njia yake kwa Mungu na kwenye kweli? Au je, makundi yote yanachukua msimamo wa kushupaza shingo zao na kujiona bora na kudai kufikia kikomo kuhusu Mungu na kusema kuna njia moja tu na kweli? Kristo alisema kwamba kuna njia moja tu na mlango mmoja tu mwembamba inayoingia kwenye wokovu na kwenye Ufalme wa Mungu, na ni wachache tu ndiyo wataiona.

 

Je, ni kweli kwamba Mungu huwa anaponya papo kwa papo au kazi hii ni ya Yesu Kristo? Je, tunaweza kupokea uponyaji kutoka kwa magonjwa yetu kama tutaomba? 

Jibu: Mara nyingi Mungu anaponya hapohapo na mara nyingine anaamua kutoponya. Mtume Paulo walitumiwa kuwaponya wengine lakini hakujihudumia mwenyewe kujiponya. Haimaanishi kuwa tunaishi maisha au hali ya dhambi ndiyo maana hatuponywi. Fundisho linalosema kuwa magonjwa yanasababishwa na dhambi ni mafundisho ya mapepo. Magonjwa kwenye jamii hii ni matokeo mtambuka ya kuzikataa Sheria za Mungu na wakati mwingine mtu hawezi kulaumiwa, au kuwa na mbinu yoyote ya kuthibiti kile kinachowatokeza.

 

Mara nyingi magonjwa kwenye Kanisa la Mungu ni matokeo ya kuila Pasaka visivyostahili na wakati mwingine hali hiyo inasababisha vifo. Hata hivyo, unapaswa kuogopa sana na mtindo wa uponyaji wa jumla na wa watu wengi unaofanyika kwa maonyesho ya wahubiri wa kwenye Runinga ambayo yanaonyeshwa kila siku. Usimuache mungu nje ya taswira au picha, bali uyachukulie maonyesho haya ya kibinadamu na punje ya chumvi. Watu wengi hudhania kuwa wamepona nah ii ni tabia nzuri ya mara kwa mara iliyopo akilini. Lakini kinyume chake wakati mwingine ni kwa wale watu wanaoshiriki kwenye tiba hizi zisizo na mashiko wala maana zinazosimamishwa wakati wakiwa sivyo, na kwa hiyo wakifanya uponyaji wao sawia. Wengine hufanya hivyo kama maonyesho wakionyesha wanachodhani kuwa ni utakatifu.

 

Watu wema na watakatifu wamekuwa wakipakwa mafuta na wakafa. Wadhambi nao wamekuwa wakipakwa mafuta na kupona. Vitambaa vilivyotiwa mafuta zimekuwa vikipelekwa maeneo mahalia ya vijijini na mtu akapona hata kabla kitambaa chenyewe hakijaanza kusafirishwa. Wanaume na wanawake nchini India wamekuwa wakipakwa mafuta na kupona kutoka kwenye sumu iliyotokana na kuumwa nyoka na na maradhi na miujiza mingi mingine inayoweza kukushangaza. Watu wamekuwa wakidai pia kinyume ili kuonyesha au kujipatia umaarufu.

 

Kuna sababu nyingine nyingi tofauti na aina nyingi za tofauti za uingiliaji kati wa Mungu. Wakati mwingine Mungu huruhusu kuwaachia watu wafe sasa, zaidi kuliko kuirefusha hali. Wakati mwingine Mungu anakuwa wala hafanyi kazi kwa na yeyote kati ya watu hawa wanaoshughulika na mambo haya na wanakuwa ni watumishi wa mungu wa dunia hii. Mifano mingi ya kile unachoongelea inatokana na misisimko ya mipagao ya kihisia au ya kikarismatiki.

 

Kuna pia wengi wanaofanya mbinu au hila ya kujionyesha wakitumia ibada au maonyesho haya ya kwenye aina ya mahema. Jibu lake ni kwamba uwe na imani, omba kwa bidii na kumtumaini Mungu na sio kwenye maonyesho haya ya kwenye mahema ya kufundishia kwa kupayuka. Tafuta ushauri wa maana na uachane na mambo haya yote.

 

Nimeisoma “Historia ya Kanisa” na kwenye Kitabu cha I, Sura ya 12.3, Eusebius anahusishwa kukiri kuwa Yesu alikuwepo. Sambamba na hilo, anatoa au kuandika mambo au maelezo kuhusu Yesu yaliyo kwenye Kitabu cha Flavius Josephus, cha “Antiquities.” Baada ya hapo anatoa maelezo au ufafanuzi ufuatao akisema:

"Wakati mwana historia kutoka kwa Waebrania wenyewe amepamba kwenye maandiko yake mwenyewe kwa karibia rekodi za wakati mmoja au zinayofanana na Yohana Mbatizaji na Mwokozi wetu pia, kinachofanya udhuru ni kwamba viliachwa pasipo kuzikemea ukosefu wao wa uadilifu usio na haya wa wale walioighushi MTAALA KATIBA au MEMORANDA waliichafua yote miwili...?"

Nashangaa kwamba Eusebius alimaanisha na “Memoranda?” je, anataja aina nyingine ya kitabu au maandiko? Je, unajua aina ya malighafi ya memoranda hii ni na huenda ndiye aliyekiandika?

Jibu: Nakala uliyonayo haijakamilika na ina mapungufu kwenye tafsiri na tarakimu. Andiko unalolitaja kwa kweli lipo kwenye Kitabu cha 1 sura ya 11 mwishoni.

Kinasema:

“Tangu mwanahistoria ambaye ni mmoja wa Waebrania wenyewe, ameandika kwenye kitabu mambo haya kuhusu Yohana Mbatizaji na Mwokozi wetu, ni udhuru gani basi ulioachwa kwa kuto shawishi wao kuwa hawakuona aibu yoyote, aliyeghushi matendo yaliyo kinyume nao? Basi na acha sadaka yako hapa.”

 

Kughushi kulikopo na inayotajwa haikuwa ya matendo ya Pilato. Nukuu ya sura ya 8 na ya 9 inasema kwamba Eusebius anachotaja hapa sio Matendo ya Pilato yaliyoandikwa na Wakristo, ambao kwamba wengi wao wangali wapo bado (sawa na Kitabu cha II, sura ya 2, sehemu ya 1), bali kwa vile vilivyogushiwa na adui zao na uthibitisho wa mfalme Maximinius (tazama hapo chini Kitabu cha IX. Sura ya 5).

 

Hivyo, neno “memoranda” kwa kweli ni “Matendo” na kinaitaja hali hii ya kughushi kulikofanyika chini ya Maximinius. Kuna sehemu kama hapo juu na pia inataja maandiko kwenye kipengele cha 12 hadi sura ya 11.

 

Ninamwamini Mungu na Yesu Kristo, lakini siielewi tofauti iliyoko kati ya Myahudi, Mkristo, Mkatoliki, Mashahidi wa Yehova, nk. Ni kivipi mtu anaweza kuchagua kanisa na kubatizwa? Sijaelewa tofauti yao ni ipi na nende wapi?

Jibu: Kuna Mungu Mmoja tu aliye wa Pekee na wa Kweli. Sote tulikabiliwa na tatizo hili moja. Jibu lake linatuama kwenye kweli ya wazi ya Biblia nay a historia ya Kanisa lililofuata imani ile. Tazama na usome jarida la Maelezo ya Msingi wa Imani ya Kikristo (A1). Kinafanya kazi sambamba na maagizo ya Biblia, kizitilia maanani rejea na maandiko yhenyewe. Kisha, kinaanza kumuonyesha Mungu ni yupi na ni sheria zipi alizokupa wewe uzifuate unapomwabudu. Jarida la Programu ya Kujisomea Biblia (Na. B1) litakupa majarida unayoyahitaji.

 

Je, umewahi kusikia kuhusu watu wanaotajwa kuwa ni Watu wa Kitabu?

Jibu: Watu wa kitabu au Watu wa Maandiko Matakatifu ni Wayunitariani washika Sabato wa Kanisa la Kikristo katika Mashariki ya Kati, waliotambuliwa na Mtume Muhammadi na Korani kama Kanisa la Kwanza la Waaminio. Hivyo kundi hili likijulikana kama Waislamu mara nyingi walikuwa wamepewa ulinzi na hiyo. Waliendelea kwa jina la Wapaulicians katika siku za mwanzoni za Uislamu. Hawa ni pamoja na Wakristo Wayunitarian wakiwemo Vandals. Vandals walikuwa ni watu wa daraja la juu na mhimili aliomudu kuviteketeza sanamu kwa kigezo cha kwamba wanaitii Amri ya Pili ya Mungu.

 

Wengine wanaziamini Siri za Mungu na kuziona kwamba ni siri zinazostahili kukubalika kwenye imani bila kuelewa. Je, inaruhusiwa na Maandiko Matakatifu?

Jibu: Huu ni mtazamo ulioainishwa na eneo ambalo haiwezi kuwa na mashiko ya mafundisho ya karne ya 4 yakaingizwa Kanisani. Walitengenezwa karibu na mungu wa utatu wa zama kale, hususan kutoka Roma. Kwa kweli walikuwa hawashikamani kwa kwa hiyo ililazimu yafafanuliwe kama imani za siri. Hichohicho ndicho kinachofanyika kwenye nyororo wa 15 wa maombi ambao umeshuka chini kama “Fumbo la Rosary”.

 

1Wakorintho 4:1 inaonyesha kwamba makanisa ni watumishi au wahudumu wa Siri za Mungu.  Hii inamaanisha kwamba inawabidi waweze kuziainisha na kuwafafanulia. Kuna mambo yanayopasa yakubalike kwenye imani. Imani ni kuwa na hakika ya mabo yatarajiwayo na mabo yaliyoahidiwa. Sio utiifu tu wa kufumba macho kiakili kwa sababu yenye mashiko. Kwa mfano, tunajua kwamba vitu vinavyoonekana vimetokana na vile visivyoonekana. Haitupasi kuweza kuifafanua Theori ya Kimakenikali ya Quantum isipokuwa uumbaji wa Mungu. Biblia inasema kwamba uzima wa milele ni huu, kwamba wakujue wewe Mungu wa Pekee na wa Kweli na Yesu Kristo uliyemtuma (Yohana 17:3). Hii inamaana kwamba inawezekana kumjua Mungu wa Pekee wa Kweli na Yesu Kristo aliyemtuma. Haimaanishi kwamba hawezi kuwa iligunduliwa tena kama Mungu wa Utatu na kuishia kwenye “Fumbo” lisilo na maana..

 

Kama utakuja karibu na mtu anayesema kwamba hawawezi kuielezea Asili ya Mungu kwa kuwa ni fumbo au Siri za Mungu hazijulikani na kwenye kizimba cha Kanisa, ndipo huenda unaweza kukuta kwamba watu wale wale watasema kwamba wanapokufa watakwenda mbinguni na maasimu wao watakwenda motoni kukabiliana na mateso ya milele. Kanisa Katoliki la Kwanza huko Roma katika karne ya 2 lilimwambia mfalme kwamba kama mtu angekuja mbele yao akasema kuwa wao ni Wakristo na kwamba wakifa wanakwenda mbinguni, usiwaamini kwa kuwa wao sio Wakristo chochote. Soma majarida ya Nafsi Hai (Na. 92) na Ufufuo wa Wafu (Na. 143).

 

Wakristo hao hao wa uwongo au Wakostiki wanapita karibu kwenye uwingi sasa wakielezea kwamba kila kitu ni fumbo kwa kuwa walikuwa wameharibu kabisa na heshima waliyoweza kuwa nayo. Waliichukulia na kuilinganisha sayansi sambamba na Biblia kwa ufafanuzi wao mahiri kutokana na Augustine. Kwa ufupi, siri hutokea kutokana na ujinga wao wa Kinostiki na Kiantinomia. Soma kwenye majarida ya Uvijiteriani na Biblia (Na. 183), Wanikolai (Na. 202), na lile la Siri za Mungu (Na. 131).

 

Maombi na Kufunga

Ni nani ninayepaswa kumlenga ninapoomba dua, ni Yesu, Mungu, au mmojawapo ya malaika, au Mariamu? 

Jibu. Kristo alituambia Tuombe kwa Baba kwa jina lake. Simjui mwingine anayestahili kulengwa au kuombwa. Kosmolojia yenyewe ya Biblia inakuzuia wewe kumuomba Mariamu au Watakatifu kwa kuwa wao bado wako makaburini wakingojea Ufufuko wa Wafu.

 

Soma kwenye jarida la Ufufuo wa Wafu (Na. 143). Biblia inakataza. Hakuna mtu aliyewahi kushuka kutoka mbinguni isipokuwa mwana wa adamu (Yohana 3:13). Kama wote wamekufa basi kuna sababu gani ya kuwaomba wao. Ufunuo 4 na 5 inaonyesha kwamba maombi kwa Mungu yanakusanywa kama ubani wenye harufu nzuri na baraza la Mungu Mwenyezi. Soma jarida la Tufundishe Kuomba (Na. 111).

 

Nimesikia maandiko haya yakitumika na “mtu akijipiga kifuani mwake” anapokuwa akiomba; andiko hili linamaana gani? Nakumbuka watu wakijipiga vifuani mwao wanapokuwa wanaomba lakini wala hawajui ni kwa nini wanafanya hivyo.

Jibu: Neno linalotaja matendo ya watu wanaoingiza mambo ndani na toba hii ya kina na maumivu mara nyingi inaashiria na matokeo haya ya kimwili. Kwa sababu ya ukweli huu, watu wengi wanaonyesha vitendo vya “Mea Culpa,” ambayo yamefanyika kuwa ni mtindo au tabia tu kutokana na andiko hili, na hawamaanishi chochote kutokana nayo. Kristo alitaja maombi yenye toba ya kweli ya watenda dhambi na kulinganisha na hali ya kujihesabia haki ya wanaojiita wanadini.

 

Nawajua watu fulani wanaoamini kuhusu mahali pazuri sana pa kufanyia maombi ni Kanisani wakiamini kuwa “Mungu anaishi humo na hivyo tutasikia kila mara maombi kwamba yakitolewa hapo.” Je, knna mashiko yoyote yenye msingi wa kimaandiko kwenye mstari huu wa kifikra?

Jibu: Inatoka kutoka kwenye dhana ya utaratibu wa zamani wa hekalu na kuliona kanisa kama jingo badala ya kuwa ni kundi la watu. Kristo anasema kwamba walipo wawili au watatu kati yenu wamekusanyika pamoja kwa jina langu, nitawasikia. Na pia alituambia kuingia vyumbani mwetu peke yetu na kuomba huko. Usiende na kuomba hadharani. Mwanzini kabisa, kanisa lilikutanika kwenye sinagogi ambapo kimpokeo na kidesturi  walikuwa wanaitafakari na kujadiliana kuhusu Torati ya Mungu na manabii wake. Huko Roma, walikutanyika majumbani. Kidesturi, walijaribu kuwafungamanisha na mashambulizi ili kuepuka mateso. Hakuna jingo linalohitajika ili kufanikisha maombi

 

Je, Mungu anasikia na kujibu maombi ya asiye Mkristo? Pia, inawezekanaje mtu amuombe Mungu na ikiwa kama hajawa muongofu bado? Ni nini anachopasa kukiomba?

Jibu: Mlango wa Wokovu umefunguliwa kwa Wamataifa. Mtu yeyote hapa duniani anaweza kumrudia Mungu, naye atasikia na kujibu iwapo kama mtu atamtafuta kwa bidii na kumtii kwa moyo wake wote (Matendo 13:47; Waebrania 5:9).

 

Iwapo kama, kwa namna yoyote ile, mtu ni mwabudu sanamu, ndipo yeye hatamsikiliza. Kuna maandiko mengi sana yanayoonyesha jinsi Mungu alivyokataa mara nyingi kuyasikiliza maombi ya waabudu sanamu. Wengi wa watu wanaojidai kuamini kuwa Kristo ni Bwana au Bwana wao, hawazitii Amri za Mungu. Watakatifu ni wale wazishikao Amri za Mungu na Ushuhuda wa Yesu Kristo (Ufunuo 12:17; 14:12). Mungu anahitaji utii zaidi kuliko sadaka.

 

Je, wanawake na wasichana wanatakiwa kuvaa kofia au kitu fulani ili kufunia nywele za vichwa vyao wanapoomba?

Jibu: Dhana iliyo kwenye andiko ni kuonyesha uhusiano wa muundo au utaratibu wa uumbaji. Haimpasi mwanaume kufunika kichwa chake anapoomba, kwa kuwa kichwa cha kila mwanaume ni Kristo, na Kichwa cha Kanisa ni Mungu. Mwanamke anatakiwa kuwa na nywele ndefu kuliko za mwanaume kama ishara ya uhusiano wake kwa mwanamume wake na baba yake. Hizi nywele ni kwa ajili ya malaika.

 

Hii ni kutokana na uasi wao na anguko lao na umoja uliosababishwa na Wanefili (soma jarida la T Wanefili (Na. 154). Kwa mwanamke nywele ndefu ni utukufu kwake pamoja na kuzifunika kwake.

 

Yampasa mwanaume asifunike kichwa chake anapoomba, kwa kuwa nywele ndefu ni aibu kwa mwanaume kwa sababu hiyo. Ni kujivunjia heshima kwa moja kwa moja na ni kuudhalilishwa uwanaume wake na kunaathiri uhusiano wake na Mungu na Kristo pia. Mwanaume anayefuga nywele ndefu au anayevaa kofia anapokuwa anaomba na kwenye ibada, anaweka kipingamizi kati yake na Mungu na ni kinyume kabisa na maagizo ya Torati. Mwanamke mwnye nywle ndefu anaonyesha ishara ya kuwa ni mtiifu kwa mumewe, na hata kwa Mungu na kwa Kristo pia. Mwanaume mwenye nywele ndefu au mwanamke anayenyoa nywele zake kama mwanamume anakidhalilisha kichwa chake.

 

Huu ni ukusiano muhimu na wa msingi kwenye Kanisa na Torati ya Mungu. Pia tazama kwenye majarida ya Torati na Amri ya Tano (Na. 258); Torati na Amri ya Saba (Na. 260); Utakaso na Tohara (Na. 251).

 

Nimegundua kutokana na jibu linguine kwamba ulisema Wakristo wanapaswa kuomba mara tatu kwa kila siku. Je, kuna namna bora ya kuomba? Je, yatupasa tujigeuze na kujikatia tamaa wenyewe? Je, “maombi ya harakaharaka” yanakubalika na kumpendeza Mungu?

Jibu: hakuna kikomo au ukomo wa kuomba. Unaweza kuomba ukiwa unatembea kwenye ufukwe wa bahari, au ukiwa umeketi kwenye viwanja vya ufukwe wa bahari, au hata ukiwa katikati ya matatizo. Maelekezo yaliyoelekezwa ni kuingia chumbani mwako na kumuomba Baba, kwa jina la Mwana wake, na ndipo maombi yako yataheshimiwa. Masharti yake kwa kweli ni kwamba yawe ni maombi sahihi tu na yenye nia njema kwa wengine na yanayozingatia mapenzi ya Mungu, na kwamba uwe ni mmoja wa wateule. Watu wote wanaweza kumjongolea Mungu na kumuomba Roho na ufahamu naye atawapa wanachomuomba, lakini wanapaswa kukitendea kazi kile walichopewa kukiendeleza. Tazama jarida la Tufundishe Kuomba (Na. 111).

 

Inaonekana kama yapasa kuwe na ishara kwenye rejea zote za mtu kufunga saumu aliwa amejivika nguo za magunia na kujitia majivu kichwani. Kama ni hivyo, maana yake ni nini?

Jibu: Kinachokusudiwa hapo ni kuonyesha mwonekano wa wazi kutokana na maombolezo yako, kama dini potofu za siri zilizvyokuwa zikifanya kwenye maombolezo yao kumuombolezea Osiris huko Misri, au Attis, au Adonis, au mungumke aliyejulikana kama mungu Mama, wa dini na imani ya Malkia wa Mbinguni wa Easter (soma jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235)). Jivu wanalopakwa kwenye vipaji vya nyuso lijulikanalo kama siku ya Jumatano ya Majivu linatokana na mapokeo ya maombolezo yaliyokuwa yanafanywa na wapagani Maombolezo ya kidini kwenye maadhimisho ya sherehe za kipagani. Mungu anachukia aina hii ufungaji wa saumu na kujionyesha wazi ujulikane na watu wote. Aina ya kweli ya ufungaji saumu inakutikana kwenye Isaya sura ya 58. Soma jarida la Upatanisho (Na. 138).

 

Nimesikia watu walishauri kwamba tunapofunga saumu tunapaswa kutoa chakula cha siku hizo kuwapa wenye njaa kutokana na andiko la Isaya 58:7. Je, hicho ndicho kinachomaanishwa na aya hiyo?

Jibu: Bila shaka hiyo ilikuwa ni tafsiri potofu ya watu kutoka kwenye makundi yanayofuga nywele ndefu zilizotawanyika.

 

Ndiyo, unahitajika kuwapa mkate au chakula chako maskini na kwa jinsi hiyo, chakula unachobakiwa nacho pasi kutumika wakati unapofunga saumu yapasa uwagawie masikini, ndiyo. Hata hivyo, ina maana kwamba mahitaji ya maskini liwe ni jambo muhimu na la kwanza. Ufungaji wako saumu yapasa iwe ni kwa ajili ya kuwasaidia wengine na ni kwa ajili ya kuzivunja nira za uovu na kuvunja kila nira.

 

Mtazamo huu ni njia mujarabu ya kuchangisha au kuokoa fedha ambazo ungezitumia kwa chakula walichopewa maskini.

 

Totari ya Mungu inajiri mahitaji ya watu maskini kwa msingi mkubwa kuliko kuwapa tu maskini chakula kilichohifadhiwa wakati wa kufunga. Soma jarida la Utoaj wa Zaka (Na. 161).

 

Kuhusu Roho na Aina Zakei

Kwani inawezekana kwamba watu waweza kuwa na Roho wa Mtakatifu wa Mungu na wakaingiwa na maroho ya kishetani au mapepo kwa wakati mmoja? 

Jibu: diyo, inawezekana kuwa hivyo kwa mazingira fulani maalumu. Sehemu ya kwanza ni wakati ule ambapo mtu anaongoka. Pepo anakabiliwa vikali kwa kuondolewa au kufukuzwa na ndipo Roho Mtakatifu huingia. Kwenye matukio mengine, pepo anaweza kusikika akitubu, kama ilivyotokea kwenye Kanisa kwa nyakati kadhaa mbalimbali. Katika siku za mwanzoni tuliruhusiwa kwenye miji fulani na sio kwa wengine. Hii ilionekana kuwa ni kama matokeo yaliyosababishwa kutokana na mapepo yaliyosimamia ya maeneo maalumu yaliyotujilia.

 

Kwenye hali ambayo pepo yupo sambamba na Roho Mtakatifu akiruhusu uwepo wa pepo, ndipo hilo laweza kutokea. Kwa kawaida, Roho Mtakatifu hana uhusiano na uovu na Roho huondoka kutoka mahali ambapo mapepo yameruhusiwa au kupewa fursa ya kubaki. Ni kama alivyosema Kristo, wakati nyuma inapokuwa tupu na imefagiwa na Roho anapoondoka, mazingira au hali yake inakuwa mbaya zaidi kuliko ilivyokuwa hapo zamani.

 

Kitendo cha kumzima Roho Mtakatifu kinaruhusu kurudi tena kwa mapepo. Huu sio mchakato wa haraka haraka. Watu wanajaribiwa wakati wote na inatoa mwanya kwamba mapepo yarudi na kuingia tena. Yatupasa tusisahau kwamba Malaika waasi wakati fulani waliwahi kuwa wana wa Mungu. Wapo chini ya hukumu wote na wataendelea kuhukumiwa na sisi kwenye Ufufuo wa Pili wa wafu. Soma majarida ya Jinsi Mungu Alivyofanyika Familia (Na. 187); Hukumu ya Mapepo (Na. 80); na Kondoo Aliyepotea na Mwana Mpottevu (Na. 199).

 

Ni nini kitamtokea mtu ambaye Roho Mtakatifu na roho za mapepo vimeruhusiwa vyote kuwa ndani yake na ikiwa kama roho za mapepo hazijatubu? Inamaanisha kutokuwa na haki au kwa kiasi fulani inamletea shida mtu huyu kuwa na roho za aina zote mbili wakiwa wamekutana pamoja na huyu muovu. Nashangaa pia kwamba ni nani aliyechagua kuwa kuiruhu itokee hali hii – ni huyu mtu, pepo au kitu kingine?

Jibu: Roho Mtakatifu ni muimla wa yote yanayojitokeza. Kwa kawaida hakai pamoja na uovu. Hata hivyo, Mungu anamuelekeza kuwa ni uweza wake na wakati mwingine atakuwa anashughulikia vitu vile anavyovijua tu. Anaweza kuwa aliamua kueneza roho ya toba kwa mapepo yanayohusika. Anaweza asikudhuru na hatimaye anaweza kuongoka. Kanisa la kwanza waliamini kwamba uongofu unaweza kuendelea hata kuwafikia mapepo, na ukweli wa kwamba kanisa limeruzukiwa Kuwahukumu viumbe hawa inatuambia kuwa yawapasa kuongoka (sawa na 1Wakorintho 6:3).

 

Kama mtu atajua ya kwamba hivi ndivyo ilivyo, kisha basi kwa kawaida kwenye ubatizo watakuwa wangekuwa wameomba kuondolewa kwa mapepo. Angekuwa ni mlalaji usingizi na, kwa mfano ule, mtu anaweza kuomba aondolewe au kuongolewa kwake. Mungu atawapatia wakiomba wateule. Yatupasa kuwa waangalifu sana kwa tunachokiomba na tunachokifanya, kwa kuwa sisi ni wateule tunaozishika sheria na amri za Mungu na Ushuhuda wa Yesu Kristo, tuliye na uweza wa kuziangusha ngome. Soma kwenye jarida la Hukumu ya Mapepo (Na. 80) na pia lile la Kondoo Aliyepotea na Mwana Mpotevu (Na. 199).

 

Inasemekana kuwa Shetani ni Roho na hivyo hawezi kufa. Lakini ni wazi kabisa kwamba Shetani na mapepo wanakwenda kuchomwa na kuunguzwa motoni milele. Je, roho zinaweza kufa?

Jibu. Mungu anasifa ya kipekee ya kuwa na nguvu na uwezo wote. Hii inamaana kwamba yeye ana nguvu na uweza wote. Yeye pia ni Mungu wa pekee wa kweli nay eye peke yake ndiye hafi (1Timotheo 6:16). Hii inamaana kwamba ni Mungu peke yake ndiye asiyeweza kufa. Aliwaumba Malaika wa mbinguni nao wanaweza kufa wote. Kristo alidhaniwa kuwa alikuwa ndiye mwenye umbo la Mungu na hakupenda kushikilia kuwa sawa na Mungu. Bali alitoa umbo lake halisi na akafanyika mwanadamu na akawa mtii hadi mauti yake pale mtini (Wafilipi 2:5-8).

 

Kristo alikufa na Biblia inanatuambia kuwa hata hawa malaika nao watakufa. Watatupwa chini kwenye shimo kubwa na watakufa kama mwanadamu mwingine yeyote afavyo. Mwandamano huu wa matukio umeandikwa kwenye Isaya sura ya 14 na Ezekieli sura ya 28. Mungu anaweza kuwafufua viumbe wote na kumuuliambali kiumbe yeyote.

 

Lakini anapendezwa sana kuwapa wateule wote uzima wa milele wakiwa kama wana wa Mungu kwa uweza kama alivyofanya kwa Kristo aliyemfufua toka kwa wafu (sawa na Warumi 1:4).

 

Kalenda

Kama huzitambui waka kuziadhimisha Krismas na Easter, na nyingine zinazofanana nazo, unaihalalishaje siku yeyote ya juma au mwezi wa mwaka? Nyingi zake zimeitwa majina yake kwa miungu ya kipagani! Je, unazitumia kalenda zote mbili pasipo kujisikia kuhukumiwa na dhamira? Je hujikuti kama umekwama kwenye ukuta? Ni kama Jumamosi ambayo kwa Kiingereza inaitwa Saturday jina hili linatokana na mungu Saturn; hakuna mahali kwenye kanisa palipo kama la kwenu ninyi!

Jibu: Dhamira yako pamoja na akili zako mwenyewe zinaweza kukupa jibu. Katiba iliyo kwenye tovuti (A2) inakuonyesha kuwa Kanisa linaendeshwa kwa kufuata Kalenda Takatifu inayoanzia siku ya I Abibu au mwezi Nisani na serikali zinatambua haki yetu ya kufanya hivi.

 

Miezi inahesabiwa na tunaadhimisha Miezi Mipya kila mwezi. Siku za juma zimetajwa sawa na mwezi kwa miungu ya kipagani. Hilo sio jukumu letu. Zingali bado pia zikitajwa kutoka siku ya kwanza hadi ya saba ya juma. Sabato inaonekana kuangukia kwenye siku ya saba ya juma, ambayo pia inaitwa Jumamosi au kwa kimombo Saturday. Tunaiita hii kuwa ni Sabato. Lawezaje kuleta mkanganyo jambo hili?

 

Wakati atakapokuja Kristo, kalenda ya kipagani itaondolewa kabisa na tutarudi kwenye Kalenda halisi ya Hekaluni. Soma kwenye majarida ya Kalenda ya Mungu (Na. 156); Mwezi na Mwaka Mpya (Na. 213); Kalenda na Mwezi: Ni Uhairisho au Maadhimisho? (Na. 195); na Torati na Amri ya Nne (Na. 256). Tungali bado tunaishi duniani, ambayo inaendeshwa kwa nguvu za mungu wa dunia hii na roho za uasi, lakini si kwa muda mrefu sana.

 

Vipi kuhusu mstari wa tarehe au mabadiliko ya siku nyingine? Siwezi kusaidia na wala sijui, bali nadhani tu kwamba Sabato, Mwezi Mpya, Siku Takatifu na kila siku kwa jambo hilo zapasa zianze kwa kuzama kwa jua huko Yerusalemu na ndipo iendelee ulimwenguni kote. Je watu waishio mashariki mwa Yerusalemu wanaanza kufikwa na Siku Takatifu kwanza na tunafanyaje kabla ya mstari wa kubadilika kwa siku haujaanza?

Jibu: Inchini Australia tunauona Mwezi Mpya, Sabato, na siku za Sikukuu kabla ya maeneo yote mengine kwa kuwa sisi tupo mashariki mwa Yerusalemu. Hakuna mashaka kwamba sheria zinatoka Yerusalemu na siku inatakiwa ianzie tangu kipindi cha mpito cha siku ikilinganishwa na Yerusalemu.

 

Huenda Masihi atapangilia siku za kuanza kwa siku bali hadi hapo utaratibu huu tulionao ndio sahihi na muafaka pamoja na uchokeshaji wake na unakubalika na watu wengi. Yaonekana kuwa ni dhahiri unasoma kwa bidii na huenda unapaswa upate masomo mengine mengi zaidi kutoka kwenye majarida ya Kalenda ya Mungu (Na. 156) na Mwezi Mpya na Mwaka Mpya (Na. 213).

 

Nimesoma mahali fulani penye maneno yasemayo “hakuna mtu aijuaye siku wala saa” ni lahaja ya Kiebrania ya Sikukuu ya Baragumu inayokusudia kuionyesha siku ya 1 ya mwezi wa 7. Je, kuna ukweli wowote katika hili?

Jibu: Hapana, hiyo haina maana yoyote kabisa. Wala na haiingii hata kwenye imani na mfumo wa Hilleli. Inaonekana kuwa ni waadhimishaji wa Karaite potofu ili kuhalalisha masharti ya maadhimisho yao.

 

Hesabu ya vipindi vya mpito kuliondolewa kama siku nyingi sana za nyuma sana za Nuhu, na kumbukumbu za kihistoria wangali bado wamerekodiwa na Wachina. Habari zao yaonekana kuwa ni miaka 2000 ya kabla ya Meton. Imani yote ya siku za zamani tangu zama za Nuhu, na sio tu kuwa walijua tu kuhesabu mifumo bali pia walifanya hivyo na kulazimisha kuhesabu. Baadhi ya wataalamu wa nyota na anga wa Kichina walishindwa kutangaza kupatwa kwa mwezi na jua, tukio linalodaiwa lilitokea mwaka 2158 KK na Mwana wa Mfalme Tin alipelekwa kuwaadhibu. Mfalme wa rangi ya Manjano Hwang Ti anarekodiwa kuwa alishurutisha kuhesabu ya mzunguko wa mwaka wa tisa wa jua na kipindi cha mpito cha mwezi mnamo mwaka 2698 KK. Inaaminika kuwa hiki kilikuwa ni kipindi cha kabla ya gharika kuu. Mtazamo sahihi wa wakati umeainishwa kwa kina kwenye kitabu cha Imani za Siri kwenye sura ya 8 ya tovuti ya www.ccg.org/english/s/B7_8.html.

 

Mafundisho ya Uwongo

Hapo zamani ilifundishwa fundisho la Ufufuo wa 3 wa wafu. Ni wapi kwenye Biblia linakotokea wazo hili? Je, kuna rekodi yoyote ya kihistoria inayoonyesha kama fundisho hili liliwahi kufundishwa na kanisa? Ufufuo wahuu wa 3 wa wafu unalenga watu gani na unakusudia nini?

Jibu: Fundish la Ufufuo wa Tatu wa wafu kwa kweli ni uchafu na ni mashambiulzi makubwa na yenye kukatisha tamaa ya Herbert W. Armstrong na huduma yake kwa kudhibiti mamlaka ya Kanisa. Fundisho hili lilitungwa kwa lengo la kuwafanya waumini wa kanisa wamilikishike na lilikusudiwa kwa wazo kwamba kwa kuwa wewe u sehemu ya ushirika wa kanisa lake la Worldwide Church of God, baada ya kubatizwa kwako, basi unaweza kuurithi Ufalme wa Mungu. Hii ina maana ya kuwa na makubaliano au maafikiano kamili kwenye huduma ya kanisa hili la WCG na mambo mengine yote waliyoyafanya. Kama uliinuka na kupiga kuyakemea matendo yasiyo halali au mafundisho yasiyo sahihi, basi walikuwa wanakufukuzilia mbali kutoka kwenye ushirika wa kanisa lao. Kilichokuwa kizuri kuliko kubakia humo, kama kufukuziliwa mbali huku ni kukupelekea wewe kuwa na sehemu kwenye Ufufuo wa Pili wa wafu..

 

Kitu kibaya sana kilikuwa ni kuondoka kwa maana ile, machoni mwa kanisa, ni kuondolewa hadi kwenye Ufufuo wa Tatu wa wafu. Usimamizi huu mbaya au mpotofu na wenye kuhuzunisha sana, ilikuwa ikidhaniwa kwenye mawazo au nia ya Mungu, ilikuwa ni kumfufua kila mmoja ambaye alikuwa hajawekezwa bado au kuaminishwa mafundisho haya yasiyo na mashiko huko na sio “kukalishwa na kuomba na kulipa” kama mmoja wa wainjilisti wa zamani wa Armstrong alivyoandika hata hivi karibuni. Wangefufuliwa ili watupwe kwenye Ziwa la Moto. Kwa maneno mengine ni kusema kuwa Mungu alikuwa anakwenda kuwafufua watu hawa kwa lengo la kwenda kuwaua tu tena kwa kuwatupa kwenye Ziwa la Moto. Hii ingepelekea kufanyika kwa moyo wa mzito na huzuni kubwa kufanya hivyo. Walipokea fumbo la kimafundisho kwa kipande cha kushangaza sana cha chuma cha kisarakasi.

 

Kwenye Ufunuo, sura ya 20, tunaona kwamba kuna aina mbili za Ufufuo wa Wafu. Ufufuo wa Kwanza wa Wafu ni wa mwanzoni mwa kipindi cha Milenia atakaporudi Masihi. Fufuo huu utalihusu Kanisa pekeyake. Wale wote wasio watakatifu wanaozishika Amri za Mungu na Ushuhuda au Imani ya Yesu Kristo watafufulwa kwenye Ufufuo wa Pili mwishoni mwa kipindi cha Milenia na chakufunguliwa kwa Shetani kwa vita vya mwisho. Ufufuo wa Kwanza utafuatiwa na kitendo cha kufungwa Shetani kulikoandikwa kwenye Ufunuo 20:3. Ufunuo 20:7 inasema Na hiyo miaka elfu itakapokwisha, Shetani atafunguliwa, atoke kifungoni mwake. Kwenye aya 8 tunaona kwamba atatoka na kwenda kuwadanganya mataifa kwenye pembe zote nne za dunia. Baada ya uasi wao, ndipo Ufufuo wa Pili utafanyika na roho ya ibilisi na ya mnyama nay a nabii wa uwongo au ya unabii wa uwongo vitatupwa kwenye Ziwa la Moto. Ufunuo 20:11-14 inaendelea kuelezea kutokea kwa Ufufuo wa Pili na kufanyika kwa Hukumu itakayofanyika wakati huo.

 

Sasa, ni kwa vipi imani ya Armstrong imejitungia fundisho hili la Ufufuo wa Tatu ni kwa kuligawanya sehemu mbili kiutafsiri andiko la Ufunuo 20:13 kutokana na Ufunuo 20:11 na 12. Haya ni matokeo ya kutojua kulitafsiri vyema andiko lisemalo “Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake” wakadhani kwamba huu ulikuwa ufufuo mwingine zaidi utafuatia. Sasa, upuuzi mkubwa wa kumfanya kila mmoja aliyekufa baharini apelekwe kwenye Ufufuo wa Tatu haukufafanuliwa kuwa ni awamu ipi na Armstrong mwenyewe au kurambishwa kwake. Armstrong alikuwa na uongozi wa hila uliowagawa asilimia 50% ya waumini wa Kanisa wawachukie asilimia nyingine 50%, yaani nusu yao wawachukie nusu nyingine ili apate mwanya wa kumudu kulitawala na kulithibi kanisa na kuwatawala. Ukweli wa mambo ni kwamba, mfumo huu ulipelekea hali ya kila upande kujiona kuwa wako sawa na wenye haki zaidi ya wenzao kiasi cha kupelekea kuwa na “doa la Walaodikia” (na huku wakifundishwa kuwa walikuwa Wafiladelfia). Fundisho hili la Ufufuo wa Tatu lilifanywa ili kufanya kukithi haja dhidi ya jakamoto la kihisia kwa watu ambao hawakuwa wameondolewa ili wasiwemo kwenye ushirika wa kanisa lao, kuliko kuwa wametupwa wachomwe kwenye Ziwa la Moto kusoko na fusra ya kuokoka. Hali hii ya kutawala akili za watu kwa hila ilikuwepo sana wakati huo.

 

Ilikuwepo sana kiasi kwamba ilichukua mawazo mazito kuikaribisha na ili kuyaona kuwa ni mafundisho ya kijinga kwa jinsi yalivyokuwa. Kuna watu wengi sana bado kwenye kanisa hili la WCG wasioamini neno la Teolojia mpya ya Waamini Uatu, bali wanabakia hivyohivyo kwa kuwa lilikuwa ni kanisa walilobatizwa nalo, na wakidhania kwamba kama wataliacha watajikuta wakitupwa kwenye Ziwa la Moto. Tabia ya kuwathibiti watu ilikuwa kubwa sana kiasi kwamba kwao walikuwa wamejitoa moja kwa moja kumwabudu mwanadamu na kuyafumbia macho matendo yote yasiyo ya haki yaliyotendwa na Armstrong akiwa kama kazi za mtumishi wa Mungu. Unaona, kwa kubadilisha hali ya ubaguzi wa kitabaka au rangi ya mtu ambaye aliweza kumsamehe kwenye tuhuma mbaya ya kuigiza na kuiiba kazi ya mtu ambapo, mtu yeyote mwenye ujuzi wowote ya fundisho lolote analolijua la WCG, liliibiwa kutoka kwenye kitabu cha Allen cha Fimbo ya Ufalme wa Yuda na Haki ya Uzliwa wa Kwanza ya Yusufu [Judah’s Sceptre and Josephs Birthright]. Wangeteswa sana na kutozwa faini kubwa sana kama wangefanya hivyo leo. Kwa jinsi hiyo, walisamehe wizi uliofanywa kwenye kitabu cha G. G. Rupert. Walikubali kuchanwa kwa katiba na kujaza makabrasha yaliyopotoshwa ya Armstrong na maafisa wake, wakijua hayakuwa ya kweli. Ni dhahiri kabisa kwamba Armstrong aliliiba kanisa kutoka kwa waumini wake na kuyachambua na kuandika upya wakati watu wake wamebakia kuduwaa kwa kile kilichokuwa kinaendelea. Walibakia kuduwaa kama mbwa bubu kwa kuogopa wasije wakaingia kwenye Ufufuo wa Tatu kama wataachwa. Mzuri waliokuwa wanautumainia na kuungojea ni ule wa Pili kama watatupwa nje au kufukuzwa kanisani. Wewe bilashaka umeyajua hayo yote na zaidi. Tumeandika na kufafanua juu ya fundisho hili kwenye majarida ya Uwongo Kuhusu Ufufuo wa Tatu (Na. 166); Ufufuo wa Wafu (Na. 143); na la Nafsi Hai (Na. 92).

 

Nimeitazama video ihusuyo Jebel el Laws/Jebel el Musa. Ni wapi hapa mahali salama pa maficho? Ninashawishika sana (kwa kiasi kikubwa) hiki ni kitu gani na kam dhana ya kuwepo mahali kuitwako Petra si ya kweli.

Jibu: Petra ni jangwani, ni mji wa Edomu, na hatutaweza kudanyanyika na hila za wazi kama hiyo. Mahali Salama ni mikononi mwa Mungu. Injili inasema kuwa hatutamaliza kukimbilia miji ya Israeli hadi mwana wa Adamu atakaporudi (Mathayo 10:23). Kwa hiyo, Kanisa litakuwa kwenye mateso, kila mara kwa kipindi chote. Uwongo kuhusu hoja au malumbano ya Petra na Mahali pa Salama yamefafanuliwa kwenye jarida la (Mahali pa Salama (Na. 194). Kanisa hili la Worldwide Church of God lilisema lilikwisha kuwa Petra kwenye miaka ya 1970. Kabla ya hapo, ulikuwa huko Canada mahali fulani. Kuna idadi kubwa ya makanisa yanayofundisha kuwa yako Petra kwa kutokana na kuelewa vibaya kuhusu neno Selah lililo kwenye Agano la Kale.

 

Mataifa

Unaweza kuniambia ni taifa lipi au mataifa yapi ni taifa la Edom kwa mujibu wa unabii? 

Jibu: Waedomu wametawanyika. Waedomu walikuwepo na walijulikana kwene karne ya 13 hadi ya 8 KK. Waedomu walitumikishwa kazi mbalimbali za shokoa makabila ya Yuda wakiwa kama maadui zao. Hatimaye Yuda walichukuliwa utumwani Babeli, ndipo Waedomu waliingia kufaya makazi Kusini mwa Yudea, na Hebroni wakaufanya mji mkuu wao, na wakabakia huko.

 

Waideumeans au Waedomu walijichanganya au kuchanganyika katika Yuda kwa kuinuka kwa Herode na kizazi chake. Waedomu wengi walisalia na walienea katikati ya Wanabateans. Tangu kipindi cha Wamakabayo, John Hyrcanus (takriban mwaka 120) aliiongoza Idumea na akawaingiza kwa shuruti Waidumeans kwenye dini ya Kiyahudi (Josephus A of JJ XIII, ix,1; XV, vii, 9).

 

Kwenye awamu ya mwisho ya kuanguka kwa Hekalu na mji wa Yerusalemu, Waidumeans, waliokuwa wamezidisha anguko lake kwa takriban miaka mia sita kabla walikuwa walinzi wa kushangaza sana s (Interpreters Dictionary of the Bible, Edom, vol. 2, p. 26).

 

Wanaweza kuchukuliwa kama walifanya kiini cha mapokeo ya Wayahudi ya kipindi cha baada ya Hekalu. Wengi wao wanaweza kuwa ni miongoni mwa Waarabu wa Saudi Arabia. Kujihusisha kwao kama washirika wa biashara ya Wafoinike kumeelewa pia.

 

Unaweza kuonyesha mapito yao makabila yaliyopotea ya Israeli (uingiaji wao Visiwani)? Ninakuwa nimevutiwa na namna ya uingiaji wao makabila haya yaliyopotea pamoja na kiini na misingi ya Manisa lako na jinsi inavyohusiana na imani ya Kiyahudi na la Ukristo wa kwanza.

Jibu: Ni mlolongo mgumu tunaouchimbua. Mungu anatuamsha pale anapotaka. Kuingia kwa makabila kulikuwa na awamu tatu kwa kura za Waisraeli, na huenda ni mara tatu kwa Yuda/Lawi na sehemu ya Benyamini au wale tunaowaita Wayahudi. Wa kwanza kutoka walikuwa ni makabila ya Gadi, Rebeni na nusu ya kabila la Manase. Waliondoka kwanza kwenye tukio la kutekwa utumwa wa Waashuru mwaka 722. Walipelekwa ande za kaskazini mwa Araxes na wakaishi kwenye eneo la Caucasus na kwenye kingo za kusini.

 

Wahiti (Wahati au Wakalti) waliwatangulia. Walikuwa na ushirikiano na Waisraeli wakati wa Daudi, kama walivyokuwa Waamori na baadhi ya makabila mengine. Daudi alikwenda nje kwenye nika au majangwa yaliyoko Mesheki na Tubali katikati ya miaka 1000 KK na uasi. Inaonekana kuwa alichukua mikono ya Wahiti pamoja naye, kwa ajili ya kuwakuta Waselts kwa wakati ule huko Scythia. Jeshi hili kubwa linaonekana pia kuwa liliharakisha mashambulizi ya India ya Waaryans, na yawezekana huenda yalikuwa ni matokeo ya majeshi ya Waebrania kwa wakati ule.

 

Muungano wa Washirika wa Kifoenike ulioongozwa na Daudi na Hiramu pia waliendelea mbele hadi kwenye misafara ya Baharini kwa pande mbili zote, yaani kutoka Eilati iliyo upande wa mashariki na kutoka Tiro na Sidoni upande wa magharibi. Mji wa Carthage ilianzishwa ili kulinda muungano huu na Visiwa vilijaa wanenaji Walioshituka wa Kiebrania. Hii ndiyo sababu ya kufanana kati ya Suala la Kibrythonik na Kipuniki kwa upande mwingine wa Anglo-Saxon na maneno ya Kiebrania kwa upande mwingine, na licha ya muundo wa Kiashuru.

 

Waskochi walijiunga mkono Wamilesians huko Ireland baada ya kushindwa kuwashambulia Waingereza kutoka Gaul. Walikwenda Uskochi mwaka 501 BK. Waseltiki nchini Uingereza waliitwa Waseltiki wa Hyperborean. Tangu kuanguka kwa Ufalme wa Kaskazini tunajionea vuguvugu la Waselti upande wa magharibi hadi huko Danube ulioko Ulaya kutokana mahali pake upande wa kaskazini mwa Ashuru.

 

Waamori waliojiunga kwenye ushirika wa Israeli walikwenda na Waselts na wakafanya makazi huko Amorica, ambao kwa sasa unaitwa Brittany. Wamilesians asili yao walikuwa ni waamini Mungu mmoja. Mamajusi, ambao walikuwa ni kabila kutoka kwenye jamii ya Wamedi, waliwaongoa na kuwaingiza kwenye dini ya waabudu Ndama wa Dhahabu. Hatimaye waliitawanya sumu hii maeneo yote ya Ulaya na Wayunani iliwapasa kuendeleza Filosofia ili kuidhibiti hali hii.

 

Baada ya kuinuka kwa dini ya Wababeloni, Waashuru waliingia huko Ulaya kama mwanzo wa wa Teutons. Waisraeli, kaskazini mwa Araxes, walikaa mahali na walikuwepo huko wakati wa Kristo, wakaunda Dola ya Parthian. Wajomba wa upande wa magharibi mwa Uingereza waliitwa Waingereza. Huu ni muunganiko na mshabihiano wa maneno mawili ya Kiebrania ya “Berith” au “agano” na “ish” maana yake ni “mtu.” “Parthia” maana yake ni sawa tu na kama “nchi ya agano” - Perithia. “Ain” ni “nchi” pia. Kwa hiyo kulikuwa na wajomba. Walipigwa na kushindwa na Waajemi katika karne ya 2; baada ya kudhoofishwa na Warumi hapo mwanzoni. Kwa hiyo, makabila haya yalichukua hatua na kuondoka yakielekea Magharibi mwa Ulaya mbele na nyuma ya Ujerumani, wakiwasumumia pande za chini hadi kwa Warumi. Hatimaye waliibuka kama matokeo yaliyokuweko huko Ulaya. Soma majarida ya Vita Vya Wayunitariani na Watrinitariani (Na. 268). Majarida yaliyo kwenye tovuti ya www.Abrahams-Legacy.org yatakupa dondoo hizi kwa kina.

 

Israeli hawakuruhusiwa kujichangana au kuoana na watu wa makabila mengine (au rangi nyingine). Kwa kuwa Mungu alichakugua kufana kazi na mambo yake yote na kizazi cha mtu fulani binafsi yake, nah ii haioneshi alikuwa mbaguzi? Tunaambiwa kwamba kuchagua kwetu kuoa tu na watu wa jamii yetu kuwa ni ubaguzi. Nitashukuru ukinijibu na kunipa mtazamo wako kwa hili

Jibu: Mataifa hayana ubaguzi. Kuna tabaka moja tu hivi sasa, baada ya kuangamia kwa Wanefili, nalo ni tabaka la wanadamu (soma kwenye jarida la Wanefili (Na. 154)). Kabila la haki ya kuzaliwa ya Yusufu ni Efraimu na Manase alilokuwanalo huko Misri kama mama. Katazo la kuoana na Wamataifa liliuwa na misingi ya kidini. Wazo lilikuwa ni kwamba watu wa Mungu wasifungiwe nira pamoja na wasioamini. Kuna makabila ya mataifa ambayo Biblia inasema kuwa yatapotea. Baadhi ya mataifa haya yamekwishapotea, na mengine yatakujapotea, na kujumuishwa ndani ya Israeli.

 

Mungu alifanya mpango wa wokovu ambayo kwamba mataifa yote yatakuja kwenye familia ya Mungu kupitia Israeli na Masihi. Masihi atakaporudi, atauweka utaratibu na imani na mfumo wa kiutawala au serikali hapa duniani kwa mujibu wa maagizo ya sheria za Torati ya Mungu. Nchi ya Israeli itakuwa ni kitovu cha cha utawala huu, na mataifa yote wataitii Torati na watazishika sikukuu zilizoamriwa na Mungu. Utawala huu pamoja na hali hii vitaendea kwa kipindi cha miaka elfu.

 

Mwishoni mwa kipindi hiki, Ufufuo wa Pili wa wafu utashuhudia wau wote wakifufuliwa na watahukumiwa bila upendeleo na wataongoka hadi pale watu wote watakapofanyika kuwa ni wana wa kiroho wa Mungu chini ya Yesu Kristo. Kisha ndipo Mungu ataanzisha utawala wake hapa duniani, na ndipo Mungu atafanyika kuwa yote katika yote na ndani ya yote (Waefeso 4:6). Hapa ndipo hakutakuwa na mgeni. Yeye ajitakasaye, na hao watakaotakaswa watakuwa wa chimbuko moja na wote wataruzukiwa uweza wa kuwa kama Mungu. Soma kwenye majarida ya Ufufuo wa Wafu (Na. 143); Kufanana na Baba (Na. 81); Kuchanganua Ratiba ya Zama na Nyakati (Na. 272); na Mji wa Mungu (Na. 180).

 

Maana yake ni nini kuhusu kinachojulikana kama mahali pa Shekemu? Inaonekana kama kuna matukio mengi kadhaa yaliyotokea hapo.

Jibu: Shekemu ni “shingo” na unatokana na mtazamo wa kwamba kuujaza mzigo mgongo katikati ya mabega kama mzigo. Nyumba ya Israeli walipokuwa chini ya uongozi mbaya, walijiingiza wenyewe kwenye mzigo na hivyo likataabishwa sana vibaya na mataifa waliowatawala. Linatumika hapa kama mahali pa mzigo na kushindwa kwa Waisraeli kwa kupitia dini na utawala ule mbaya.

 

Unaweza kufafanua maana ya kipindi maalumu (cha miaka 430) na kinauhusiano gani au kitakuwa kwenye tukio la Kutoka la Ujio wa Pili wa Masihi? Ni ninini kitatokea SIKU ILE?

Jibu: Israeli walichukuliwa na kupelekwa utumwani Misri kwa malengo mawili. Utumwa ule ulikuwa ni adhabu lakini pia ulitumika kama kuwaokoa Israeli na kulifanya taifa hili likue na kuongezeka chini ya maadui zao, lakini bado likiwa salama. Jaribio la kuwaangamiza Waisraeli kwa kuwaua wazaliwa wa kwanza hatimaye liliwarudia Wamisri wenyewe. Wazaliwa wa kwanza wa Kiisraeli walikuwa ni watakatifu kwa Mungu.

 

Mungu aliwatoa Israeli kutoka utumwani na kuwanao jangwani kwa kipindi cha miaka arobaini. Tunaona tofauti ya kiuzawa ikiongezewa ambayo ni mfano wa wazi sana, lakini hata hivyo iliashiria muundo wenewe. Taifa hili lilikuwa chini ya Wamisri na dhambini utumwani, na kisha likatolewa utumwani na kutembea jangwani kwa kipindi ch miaka arobaini. Miaka arobaini tunaweza kuilinganisha na miaka elfu nne ya tangu Uumbaji hadi kuzaliwa kwa Kristo.

 

Hizi ni nyakati mchanganyiko lakini miaka arobaini ya kuwa jangwani ni kipindi cha matazamio. Arobaini wakati wote inafananishwa na kipindi cha matazamio (Soma jarida la Maana ya Tarakimu (Na. 7). Hii inalinganishwa na miaka elfu mbili, au yubile arobaini, ya kanisa kuwa jangwani tangu kipindi cha Masihi.

 

Mwishoni, yaani, miaka thelatini ya kuondolewa kwa wafalme, makuhani na manabii ni sawa kama miaka siu thelathini alizofanyiwa maombolezo Musa mwishoni mwa miaka arobaini. Masihi atarudi hivi karibuni na kuanzisha utawala wake utakaoduu kwa kipindi cha Milenia. Baada ya vita ya Armagedon, mataifa yatafanywa upya na watu wake watatumwa waende Yerusalemu kama tunavyoona kwenye Isaya 66.

 

Tukio hili la Kutoka litakuwa kubwa kuliko la kwanza na lenye watu wengi sana wa kutoka mataifa mengi. Soma kwenye majarida ya Upimwaji wa Hekalu (Na. 137); Milenia na Unyakuo (Na. 85); Mchanganuo wa Ratiba ya Nyakati (Na. 272); na Siu ya Bwana na Nyakati za Mwisho (Na. 192).

 

Kutakujakuwa na wakati ambapo maonyo yaliyotolewa kuionya dunia, kuhusu kuangamizwa kwake ghafla na ujio wa Siku ile ya Bwana, Iiyokuu na ya Kutisha, itatangulia na kuchukua mahala pake kwa mahubiri ya injili ya Ufalme wa Mungu? Kama ni hivyo, ni lini itakuwa hivyo, na tunajuaje? 

Jibu: Mungu hafanyi kitu chochote hadi awaonye watu kwa kupitia watumishi wake manabii. Hivyo, yampasa kulionya taifa kuhusu kuja kwa Masihi, na Maandiko Matakatifu yanasema kwamba hiyo itafanyika kwa sauti ya Dani/Ufraimu kama tuonavyo kwenye maandiko ya Yeremia 4:15. Jambo hili limechambuliwa kwa kina kwenye majarida ya Maonyo ya Nyakati za Mwisho (Na. 44) na Moto Kutoka Mbinguni (Na. 28).

 

Wakati huohuo kuna kazi ya kuihubiri injili ya Ufalme wa Mungu. Kimsingi huu ndiyo Ujumbe wa Malaika wa Kwanza wa Ufunuo 14. Kuna jumbe nne kwenye maandiko na zinakuja kwa mkururo. Kanisa linao wajibu wa kuufanyia kazi Ujumbe wa Malaika wa Kwanza bila kukoma, hadi utakapotolewa au kuhubiriwa mwishoni na mashahidi na kisha na Kanisa linatakiwa bado kuwaunga mkono kwa kuwasaidia.

 

Nabii Yeremia 4:15, bila shaka ni sehemu ya Kanisa katika siku za mwisho na inaweza kuwa kabisa kuwa ni Kanisa zima lote kwa haki yake lenyewe na hasahasa Ujumbe wa Ufunuo 14 na unachukua matendo yanayohusiana na Jeshi la Gideoni. Haya mambo mengine yamechambuliwa kwa kina pia kwenye majarida ya Jeshi la Gideoni na Nyakati za Mwisho (Na. 22); na Ujumbe wa Ufunuo 14 (Na. 270).

 

Ni nini hatima ya Ukristo?

Jibu: Ukristo utapungua idadi ya masalia waaminifu na ndipo Kristo atakaporudi, kisha utarejea tena kuwa ni dini pekee ya ulimwenguni kote kwa kipindi cha miaka 1000. Hii inayojulikana sasa kuwa ni Ukristo itaondolewa kwa kuwa hii ni dini ya uwongo.

 

Dini za Kiyahudi, Uislamu na Ukristo zitafanywa upya na kurejeshwa kwenye imani ya kweli na kuwa ndiyo dini moja tu ya ulimwengu. Kabla haijafanyika hivyo, Makanisa ya Kikristo ya waamini Utatu yatajaribu kuungana na kuunda mfumo na dini moja chini ya sheria itakayojulikana kama Agizo Kuu Jipya Ulimwenguni [New World Order]. Waslamu watalazimisha kuzuka kwa vita vya Mfalme wa Kaskazini na Kusini. Hii ndiyo inayoendelea kupiganwa sasa. Wafalme wa Mashariki watayapinga na kupigana na majeshi ya magharibi na kuwasaidia wanaharakati wahafidhina wa Kiismalu wa maeneo yanayozalisha mafuta kwa wingi.

 

Waislamu watapata msukumo wa kuishambulia Ulaya, na Ulaya itakuja juu na kuwaangamiza kabisa. Umoja wa mataifa ya Ulaya na dini yao kuu wataishambulia Mashariki ya Kati na watautwa Yerusalemu na kuufanya kitovu cha Makao Makuu. Hatimaye watashurutishwa na kusukumiwa kwenye Nyika za Urusi ingawa Iraq na hapo vita vya Baragumu ya Tano nay a Sita italipuka na kushuhudia theluthi moja ya dunia itaangamia.

 

Kipindi cha mwisho cha miaka mitatu na nusu ya mchakato huu, mashahidi watasimama huko Yerusalemu na kisha watauawa. Kisha watafufuka baada ya siku tatu na watapaa juu ili kumlaki Masihi. Tangu wakati huo, Masihi ataiharibu imani na mfumo wa dini ya uwongo hapa duniani, na kuyakusanya mataifa chini na kuyaangamiza majeshi yake ya vita kwenye vita vya Armagedoni.

 

Karibu dunia yote watakwenda kufanya vita na Kristo kwa kuwa dini kuu za uwongo za ulimwengu watamtangaza yeye kuwa ni Mpingakristo kwa kuwa atasisitiza ushikaji wa maagizo ya Torati ya Mungu aliyepewa nabii Musa. Umuhimu wa maongozi ya Torati utarejeshwa tena.

 

Watu kwa ujumla watapaswa kuwa Wakristo na wenye kuzishika Amri za Mungu na Ushuhuda wa Yesu Kristo kwa kuwa dunia itajulishwa na kufundishwa na itakubali kuupokea mfumo na imani ile ya kuabudu. Shetani na imani hii ya uwongo ya kiantinomia watatupwa kwenye shimo refu kwa kipindi cha miaka elfu. Hiyo ndiyo Siku ya Bwana na Milenia ya Mungu.

 

Soma kwenye majarida ya: Milenia na Unyakuo (Na. 95); Kuiainisha Ratlba ya Nyakati (Na. 272); Mihuri Saba (Na. 140); Baragumu Saba (Na. 141); Siku ya Bwana na Siku za Mwisho (Na. 192); Ufufuo wa Wafu (Na. 143); na  Baragumu (Na. 136).

 

Unaweza kufafanua kwa hakika maana ya “utimilifu wa mataifa?” je, hiki ni kile kipindi cha miaka 3 1/2 cha dhiki kuu? 

Jibu: Wakati wa Wamataifa umegawanyika kwa awamu zake kadhaa. Ulianzia kutoka mtawanyiko wa Babeli. Hata hivyo, mwandamano halisi ni wa kipindi halisi na kikamilifu, kilichanzia kutoka zama za Kichwa cha Dhahabu cha Nebukadneza kwenye vita ya Karkemishi. Hatimaye kikaendelea tangu vipindi vya miaka arobaini arobaini tangu zama za ebukadneza hadi Kuanguka kwa dola ya Misri chini ya Cambyses mwaka 525 KK, na kisha kwa nyakati saba au miaka 2,520 iliyoishia mwaka 1997.

 

Huu ndiyo ulikuwa ni mwisho wa wakati wa Wamataifa au wa Utimilifu wa Mataifa. Kwa kipindi cha zaidi ya miaka thelathini, dunia itakuwa imetolewa kwenye mamlaka ya Mnyama na atainuka na kutawala kwa muda wa saa moja na kisha ulimwengu utaangamia kwa maaafa makubwa. Itakapofikia mwaka 2027 mwezi wa miaka utakamilika na Masihi ataanza kutawala kutoka Yerusalemu kwa kipindi cha miaka elfu moja. Soma majarida ya: Muainisho wa Ratiba ya Zama (Na. 272); Anguko la Misri, Unabii wa Mikono Iliovunjika ya Farao (No. 36); Ujumbe wa Ufunuo 14 (Na. 270); Ishara ya Yona na Historia ya Ujenzi Upya wa Hekalu (Na. 13); na Upimaji wa Hekalu (Na. 137).

 

Ningependa kupata taarifa za kupangilia wazo la maagano kutoka kwenye Agano la Kale na Agano Jipya, yaani, ni kama vile; ni maagano yapi yalifanywa? Ni kwa kiasi gani yanafanana au kutofautiana? Ni kwa namna gani yanahusiana na maagano ya zama Kale ya Mashariki ya Karibu? Ni mawazo gani ya kiagano tuliyoachiwa mwishoni mwa Biblia ya Kiebrania?

Jibu: Agano lilifanywa na nabii Nuhu na wanawe, na kisha likafanywa na Ibrahimu. Limetolewa kwa ahai mbili, moja ni kwa kupitia Isaka na Yakobo au Israelina lindinge ni kupitia kwa Ishimaeli. Wote wawili walikuwa ni chanzo cha kuwepo makabila kumi na mawili kwa kila upande. Torati ilifundishwa na Musa, sio kwakuwa ilikuwa ni mpya bali ni kwa kuwa ilipungua msisito wake walipokuwa utumwani Misri.

 

Wazo la kuyatenganisha na kuyaita Agano la Kale na Agano Jipya ni potofu na kimsingi ilitumika ili kuendeleza nadharia ya Kinostiki inayosema na kufundisha kuwa  Torati ilikuja komeshwa na Kristo. Hivyo basi, wamefundishwa na kukazana na kuukataa na kupinga ukweli wa kwamba ni huyuhuyu Kristo ndiye aliyemkabidhi Torati nabii Musa. Huo haukuwa mtazamo kabisa wa Kanisa la kwanza.

 

Msingi wa agano ni ahadi ya Mungu aliyeitoa kwa kupitia Malaika wa Agano au Uwepo wa Mungu. Pia liliwekwa na Mungu kwa Malaika wa Agano aliyewapa Israeli kama urithi wake. Kiumbe huyu alikuwa ni Kristo. Soma kwenye jarida la Uwepo wa Yesu Kristo Kipindi cha Kabla ya Kuzaliwa Kwake Rasmi Duniani (Na. 243).

 

Agano aliloliweka Mungu na Waisraeli chini ya Kristo lilikuwa la milele. Asili ya agano lile imeelezewa kwa kina kwenye jarida la Agano la Mungu (Na. 152). Neno “Agano Jipya” ni la kuwapotosha watu ili wafikiri kuwa kuna agano jipya lingine lililotolewa. Sio kweli. Agano halisia la kwanza lilikamilika kwa kitendo cha kutolewa sadaka, iliyomlenga Masihi ambaye alikuwa ndiye mwisho wa utoaji wa dhabihu.

 

Ahadi waliyopewa Ibrahimu, Isaka na Yakobo zilitimilizwa pia, bali hazikutimia mara moja ila hadi karne kadhaa zilizofuatia baadae kwa mtazamo wao wa kimali. Ni sawa tu na ilivyo kwa Ishimaeli. Matokeo ya mwisho yameandikwa na kuainishwa kwenye jarida la Mji wa Mungu (Na. 180).