Makanisa ya Kikristo ya Mungu

[214]

 

 

 

 

Azazeli na Upatanisho

(Jarida 1.1 19970911-19970913)

 

Maana ashirio ya mbuzi kwenye Upatanisho, mara nyingi imekuwa ikichanganywa na jina Azazeli limekuwa mara nyingi likikosewa kupangiliwa au limekuwa likitumiwa vibaya. Kuna tafsiri ya kina ya maana yenye kuonyesha mfano ambayo ilianzia kutoka katika Waisraeli wa kale na inapatikana iliunganishwa na maandiko ya nyakati mbalimbali. Mfano unaoelezewa nakufafanuliwa hapa unatokana katika utimilifu wake wa Kimasihi na mfano linganishi wake wa siku za mwisho.

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

(Copyright ã 1997 Wade Cox)

(Tr. 2005)

 

Masomo haya yanaruhusiwa kunukuliwa na kuwagawia watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kutufa maneno. Jina la mchapishaji na anuami yake pamoja na hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpewaji kutoa au kuchangia kwa ajili ya nakala yoyote atakayopewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya maelezo na kilugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org au http://www.ccg.org

 


Azazeli na Upatanisho [214]


 

Utangilizi kuhusu Upatanisho

Katika kitabu cha Mambo ya Walawi 16:1-34, tumepewa maelekezo kuhusu jinsi ya utoaji wa dhabihu ya Upatanisho. Miongoni mwa zile nyingine ni mbuzi wawili ambazo kura zilipigwa ili kuwezesha kuamua kuhusu ni dhabihu ipi inafaa na itakayoweza kuchukua dhambi za watu.

 

Mambo ya Walawi 16:1-34 inasema:BWANA akanena na Musa, baada ya kufa hao wana wawili wa Haruni, walipokaribia mbele za BWANA, wakafa; 2 BWANA akamwambia musa, Sema na Haruni ndugu yako, kwamba msiingie wakati wo wote katika mahali pa takatifu ndani ya pazia, mbele ya kiti cha rehema, klicho juu ya sanduku, msije mkafa; maana, mimi nitaonekana kayika lile wingu juu ya kiti cha rehema. 3 Haruni akaingia katika patakatifu na vitu hivi; ng’ombe mume mchanga kwa sadaka ya dhambi, na kondoo mume kwa sadakaya kuteketezwa. 4 Ataivaa ile kanzu takatifu ya kitani, atakuwa na zile suruali za kitani mwilini mwake, atafungwa ule mshipi wa kitani, naye atavaa ile kofia ya kitani; haya ndio mavazi matakatifu, naye ataoga mwili wake majini, na kuyavaa. 5 Kisha ataitwaa mikononi mwa mkutano wa Waisraeli mbuzi waume wawili, kwa sadaka ya dhambi; na kondoo kwa sadaka ya kuteketezwa. 6 Na Haruni atamtoa ng’ombe wa sadaka ya dhambi, aliye kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe, na kwa ajili ya nyumba yake. 7 Kisha atawatwaa wale mbuzi wawili na kuwaweka mbele za BWANA mlangoni pa hema ya kukutania. 8 Na Haruni atapiga kura juu ya wale mbuzi wawili; kura moja kwa ajili ya BWANA; na kura ya pili kwa ajili ya Azazeli. 9 Na Haruni atamleta yule mbuzi aliyeangukiwa na kura kwa ajili ya BWANA, na kumtoa awe sadaka ya dhambi. 10 Bali yule mbuzi aliyeangukiwa na kura kwa ajili ya Azazeli atawekwa hai mbele za BWANA ili kumfanyia upatanisho, ili kumpaleka jangwani kwa ajili ya Azazeli. 11 Na Haruni atamsongeza ng’ombe wa sadaka ya dhambi, aliye kwa ajili ya nafsi yake, na kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe, na kwa ajili ya nafsi yake, na kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe, na kwa ajili ya nyumba; naye atamchinja yule ng’ombe wa sadaka ya dhambi, aliye kwa ajili ya nafsi yake. 12 Kisha atatwaa chetezo kilichojaa makaa ya moto yatokayo katika madhabahu iliyo mbele za BWANA, na konzi za uvumba mzuri uliopondwa sana, mikononi mwake, naye atauleta ndani ya pazia. 13 kisha atatia ule uvumba juu ya moto mbele za BWANA, ili moshi wa ule uvumba ukisitiri kiti cha rehema kilicho juu ya ushuhuda, asije akafa. 14 Kisha atatwaa baadhi ya damu  ya yule ng’ombe, na kuinyunyizia kwa kidole chake juu ya kiti cha rehema upande wa mashariki; na mbele ya kiti cha

 

rehema atainyunyiza ile damu kwa kidole chake mara saba. 15 Kisha atamchinja yule mbuzi wa sadaka ya dhambi, aliye kwa ajili ya watu, na kuileta damu yake ndani ya pazia, na kwa damu hiyo atafanya vile vile kama alivyofanya kwa damu ya ng’ombe, na kuinyunyiza juu ya kiti cha rehema, 16 naye atafanya upatanisho kwa ajili ya mahali patakatifu, kwa sababu ya mambo machafu ya wana wa Israeli, na kwa sababu ya makosa yao, naam, kwa ajili ya dhambi zao zote; naye atafanya vile vile kwa ajili ya hema ya kukutania, ikaayo pamoja na katikati ya machafu yao. 17 Wala hapatakuwa na mtu katika hema ya kukutania, wakati aingiapo ili kufanya upatanisho katika patakatifu, hata atakapotoka nje, baada ya kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe, na kwa ajili ya nyumba yake, na kwa ajili ya mkutano wote wa Israeli. 18 Kisha atatoka na kuiendea madhabahu iliyo mbele za BWANA na kufanya upatanisho kwa ajili yake; atatwaa baadhi ya damu ya yule ng’ombe, na damu ya yule mbuzi, na kuitia juu ya pembe za madhabahu pande zote. 19 Tena atanyunyiza baadhi ya damu juu ya madhabahu kwa kidole chake mara saba, na kuitakasa, ili machafu yote ya wana wa Israeli yaitoke. 20 Naye akiisha kufanya upatanisho kwa ajili ya mahali patakatifu, na hema ya kukutania, na madhabahu, atamleta yule mbuzi aliye hai. 21 Na Haruni ataweka mikono yake miwili juu ya kichwa cha yule mbuzi aliye hai, na kuungama juu yake uovu wote wa wana wa Israeli, na makosa yao, naam, dhambi zao zote; naye ataziweka juu ya kichwa chake yule mbuzi, kisha atampeleka aende jangwani kwa mkono wa mtu aliye tayari. 22 Na yule mbuzi atauchukua juu yake uovu wao wote, mpaka nchi isiyo watu; naye atamwacha mbuzi jangwani. 23 Na Haruni ataingia katika hema ya kukutania, naye atavua mavazi yake ya kitani, aliyoyavaa alipoingia katika patakatifu, atayaacha humo; 24 naye ataosha mwili wake kwa maji mahali patakatifu, na kuvaa nguo zake, na kutoka, na kusongeza sadaka ya kuteketezwa yake mwenyewe, na sadaka ya kuteketezwa ya watu, naye atafanya upatanisho kwa ajili ya nafsi yake, na kwaajili ya watu. 25 Na mafuta ya sadaka ya dhambi atayateketeza juu ya madhabahu. 26 Na mtu yule amwachaye mbuzi wa Azazeli aende zake, ataosha nguo zake, na kuosha mwili wake kwa maji, na baadaye ataingia katika marago. 27 Na yule ng’ombe wa sadaka ya dhambi, na yule mbuzi wa sadaka ya dhambi, ambao damu yao ililetwa ndani ifanye ukumbusho katika patakatifu, watachukuliwa nje ya marago; nao watachoma moto ngozi zao, na nyama zao, na mavi yao. 28 Na yeye awachomaye moto atafua nguo zake, na kuosha mwili wake kwa maji, na baadae ataingia maragoni. 29 Amri hii itakuwa ni amri ya milele kwenu; katika mwezi wa saba, siku ya kumi ya nwezi, mtajitaabisha roho zenu, msifanye kazi ya namna yo yote, mzalia na mgeni akaaye kati yenu. 30 Kwa maana siku hiyo upatanisho utafanywa kwa ajili yenu, ili kuwatakasa; nanyi mtatakaswa na dhambi zenu zote mbele za BWANA. 31 Ni Sabato ya raha ya makini kwenu, nanyi mtajitaabisha roho zenu; ni amri ya milele. 32 Na kuhani atakayetiwa mafuta na kuwekwa wakfu badala ya baba yake, ataufanya huo upatanisho, naye atayavaa mavazi ya kitani, yaani, yale mavazi matakatifu. 33 Naye atafanya upatanisho kwa ajili ya patakatifu, naye atafanya upatanisho kwa ajili ya hema ya kukutania, na kwa ajili ya madhabahu, naye atafanya upatanisho kwa ajili ya makuhani, na kwa ajili ya watu wote wa kusanyiko. 34 Na amri hii itakuwa amri ya milele kwenu, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya wana wa Isreali kwa sababu ya dhambi zao zote, mara moja kila mwaka. Naye akafanya vile vile kama BWANA alivyomwamuru Musa.

 

Siku ya Upatanisho imeamriwa na sisi tunaiona kutoka kwenye kitabu cha Mambo ya Walawi 23:26-32 kwamba siku ile inakuwa kuanzia jioni hadi jioni ya siku inayo fuata.

 

Mambo ya Walawi 23:26-32 inasema: Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia 27 Lakini siku ya kumi ya mwezi huo wa Saba ni siku ya Upatanisho itakuwa kusanyiko takatifu kwenu, nanyi mtazitesa nafsi zenu, nanyi mtasongeza sadaka kwa BWANA kwa njia ya moto. 28 Nanyi msifanye kazi yo yote siku hiyo; kwa kuwa ni siku ya upatanisho, ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu mbele za BWANA, Mungu wenu. 29 Kwa kuwa mtu awayeyote asiyejitolea mwenyewe siku hiyo hiyo, atakatiliwa mbali na watu wake. 30 Na mtu yeyote afanyaye kazi ya namna yeyote siku hiyo, mtu huyo nitamwangamiza atoke katika watu wake. 31 Msifanye kazi ya namna yeyote ni amri ya milele katika vizazi vyenu, katika makao yenu yote. 32 Itakuwa kwenu sabato ya kustarehe kabisa, nanyi mtaziteza nafsi zenu; siku ya kenda ya mwezi wakati wa jioni, tangu jioni hata jioni, mtaishika hiyo sabato yenu.

 

Kwa hiyo, hakutakiwi kufanyika kazi ya namna yoyote ile siku hii na wale wote ambao hawaitii amri hii inatakiwa wakatiliwe mbali na watu wao na kwa Mungu.

 

Mafuatano ya Matukio

Makuhani wanatakiwa wajitakase na kujiweka wakfu na kuna mfululizo wa mafuatano ya mambo yanayoendana na utoaji wa dhabihu hizi. Tumeona mahali pengine kuwa mtamba wa ng’ombe mwekundu alitakiwa atolewe dhabihu akiwa kama dhabihu kwa ajili ya dhambi (tazama jarida la Masihi na mtamba mwekundu [216]. Kwenye mwandamano huu wa mambo kunatakiwa kutolewe ng’ombe dume yaani maksai.

 

Tendo la kwanza katika kwa mujibu wa aya za kwenye kitabu cha Mambo ya Walawi kinavyosema ni kwamba watoto wawili wa kiume wa Haruni walikufa kwa ajili ya kosa la kutenda mambo kwa kubahatisha visivyo katika hali ya uhakika. Tukio hili linaendana sambamba na jingine lililotokea kule mbinguni viumbe wawili waliasi na kuwachukua theluthi moja ya Jeshi la malaika. Mkuu au kiongozi wa viumbe hawa alikuwa ni Shetani yule Joka Jekundu Mkubwa wa Mkuu wa lile Jeshi (Ufu. 12:3-17) ambaye ndiye mungu wa dunia hii (2Kor. 4:4). Kuielewa Lugha ya Kiebrania ilikuwa ni daraja lingine la juu iliyokuwa imehusishwa. Jina hili sio la muhimu. Hata hivyo, kitabu cha Henoko kinaonekana kumtaja kiongozi huyu kwa jina la Semyanza. Alama hii inaonekana kujiashiria yenyewe kupitia kipindi chote cha umlimwengu wa zama za kale akioneshwa kama ni viumbe wenye vichwa vilivyochanganyikana yaani kichwa cha mwanadamu na kichwa cha simba. Walionekana kwa taswira ya makerubi katika maandiko ya aya za Kiebrania (tazama Ezekieli 41:19). Jarida la Aeons katika imani za siri za kidini za imani potofu (tazama jarida la mwandishi David Ulansey la Chimbuko la imani za Siri za Kimithra, kwa Kiingereza, The origins of the Mithraic. Mysteries, Oxford, 1989). Kufahamu hata hivyo kunawezakuwa ni sawasawa lakini kulitazamwa katika mtazamo wa pande tofauti. Mfumo wa Waebrania unaonekana kulenga kwenye msimamo wao mpya kwenye hekalu la nabii Ezekieli. Kipindi hiki kinaonekana dhahiri sana kilikuwa ni cha Masihi kwa hiyo, pengine kinaonekana kama ni cha kujazilia wale viumbe au malaika waasi walioanguka na kuasi.

 

Azazeli

Karika mfumo wa imani ya Kiyahudi, Azazeli anachukuliwa au kujulikana ni malaika miongoni mwa wale wa Jeshi lililoasi na kutupwa chini, kwa mujibu wa Kitabu cha Henoko. Mtazamo wa kimapokeo ni unaamini kwamba kulikuwa na viumbe wawili waliofanana na mbuzi wawili walioelezewa hapa katika kitabu cha Mambo ya Walawi sura ya 16 mmoja kati ya viumbe hawa atambuliwa na Yahova na wa pili alitambuliwa na Azazeli. Fafanuzi za marabi humjua yeye kama ni miongoni mwa Jeshi lililoasi na kutupwa hapa duniani. Kura zilikuwa zinapigwa katika kumchagua mbuzi. Kila kura ilihusisha mmoja kwa Yahova na mwingune kwa Azazeli (kwa mujibu wa Rashi, Soncino na Walawi 16:8).

 

Kitabu cha fafanuzi au commentary ya Soncino kinafafanua aya ya Mambo ya Walawi 16:8 kwa kuonyesha kuwa neno Azazeli linavyoeleweka katika dini ya Kiyahudi lina maana ya el mwenye nguvu au mwenye uweza. (‘Azaz katika kamusi ya Kiebrania ya SHD 5811 inaaminika kuwa imechukuliwa kutoka kwenye kamusi nyingine toleo la SHD 5810 yenye maana ya kukazia iwe ngumu, kuifanya iwe shupavu, kushinda, kuiimarisha ijisimamie, na hivyo kuwa imara. Hii ni ngumu sana Kimasihi). Rashi anasema inaashiria kama genge la ukingoni mwa bahari. Mwana zuoni mwingine wa Kiyahudi anayeitwa Ibin Ezra anaelezea kuwa ilikuwa ni genge lililokuwa kwenye ukingo wa bahari uliokuwa karibu na Mlima wa Sinai mahali ambapo mbuzi alikuwa anatelekezwa. Kitendo hiki cha kumtelekeza au kumtupa mbuzi kwenye genge la ukingoni mwa bahari kwenye mabadiliko ya dondoo ambayo sio sehemu ya maelekezo ya kibiblia. Bila shaka hii ilikuwa inamzuia yule mbuzi asirudi tena nyumbani na hivyo kutokea tena katika Ishareli. Hata hivyo, hii haitokani na maelekezo ya Biblia na kurarua lile wazo lenyewe la neema ya Mungu.

 

Mwanazuoni mwingine Nachmanides anakariri toka kwa Pirke de Rabbi Eliezer kwamba malaika Sammaeli ambaye alipewa uweza kwa watu wote isipokuwa kwa Israeli katika Siku ya Upatanisho kama walifanya dhambi. Mbuzi wa pili anaeleweka na dini ya Kiyahudi kama alivyokusudiwa ili apelekwe kwa Sammaeli [Azazeli au mungu wa dunia hii] lakini kwa kadiri alivyokuwa haijaletwa kwenye madhabahu ya patakatifu, alifunguliwa na kuachiliwa aende jangwani. Hii ni ishara au dalili ya kuondolewa kwa taifa zaidi sana kuliko kutoa sadaka kwa sanamu. Kuondolewa kwa kiumbe ambaye dhambi ilimsumbua kama alivyoingia kwenye taifa ni kwa wazo lile lile kama ondoleo au kufungwa kwa Shetani katika siku za mwisho (Ufu. 20:1-10).

 

Chimbuko la hii Sammaeli inatokana na mtazamo wa ukengeufu (inafafanua SHD 8037) na, kwa hiyo, ilisafirishwa na giza na kwa hiyo, kaskazini kwnye upande wa kaskazini mwa kizio cha dunia au upande wa mkono wa kushoto (SHD 8040). Huu ni upande wa mkono wa kushoto wa Mungu kama inavyopata upinzani kwa upende wa mkono wa kushoto. Jina Shammai (kwa mujibu wa SHD 8060) ina maana ya chenye kuharibu (tazama SHD 8073).

 

Kristo alikuwa upande wa mkono wa kuume wa Mungu. Azazeli au Shetani alikuwa upande wa mkono wa kushoto.

 

Kwa hiyo, hakuna shaka yoyote kuwa Azazeli alijulikana na marabi na kwenye hekalu la pili katika dini ya Kiyahudi kama inavyoonekana kwa kupewa uweza kwa wazo la mataifa la Israeli kiumbe yule alijulikana kama ni mshitaki wa Israeli, Shetani. Ilijulikana kama Sammaeli katika nakala za maandiko ya marabi. Jina hili linaweza kuchukuliwa kwa maana ya Jina au Jina la Mungu, au Mungu amepewa jina. Kwa hiyo, angeweza kueleweka kuwa imetendwa kwa jina la Mungu au mamlaka kwa hatua moja. Kiumbe aliyepewa uweza kwenye juu ya Jeshi la malaika kwenye Kitabu cha Henoko ni Semyaza neno ambalo linaweza kuwa limechukuliwa kwenye maana ya asili yenye maana sawa na hii. Jina hili la S[h]emyaza (hzhYmv) maana yake ni Anaona jina au jina lililoonekana (tazama kwenye jarida la Knibb, p.67-68). Noth (Die Israelitischen Personnanamen im Rahmen der Gemeinsemitischen Namengebung, Stuttgart, 1928, p. 123f.; cf. Knibb p. 68) inahusianisha na jina Shem (mv) na jina la kimbinguni HaShem (svh) ambalo lilijulikana kutoka katika nakala za maandiko Maarufu. Jina hili, kama lilivyo HASHEM, (svh) linatumika kwenye maandiko ya kale ya kwenye mawe maarufu yalijulikana kama Chumash kwa ajili ya kutaja Yahova. Majina ya wote wawili, yaani Semyaza na Asaeli yanaonekana kuwa yamebadilishwa kwenye sura za awali za kitabu cha Henoko. Katika nakala za aya za Kiethipia za 1Henoko 8:3, jina Semyaza limebadilishwa kabisa kutoka maana yake halisi ya asili. Knibb anadhani kuwa nakala hizi za Kiethiopia zimepotoshwa (Knibb, p.71). neno Shemu maana yake ni jina moja. HaShem maana yake ni Jina maarufu. Linatamkwa shame. Wazo linatokana na mtazamo ulio dhahiri na nafasi iliyo ya wazi sana. Ni jina la kicheo linalotumika kutofautisha au kuweka alama ya mtu binafsi yake. Wazo ni kwamba, Shemyaza au yeye aliyeona jina alishindwa kutokana neema na kwa hiyo akataabika na mabadiliko ya kicheo yaliyotokana na mabadiliko ya jina. Kwa hiyo, ndivyo ilivyotokea pia kwa Asaeli. Azazeli ni badiliko kwenye cheo cha kiongozi au kiongozi wa Jeshi lililoasi na kuangushwa. Wazo hili la mabadiliko ya cheo hayajatathminiwa mahali popote kwa sababu inapingana na mawazo yaliyokualika kidini ya mfumo wa baadhi yao. Azazeli anaonekana pia kwenye Gombo lililogunduliwa kwenye Bahari ya Chumvi (kwa kifupi DSS) katika sehemu ijulikanayo kama 4Q180-181 ambapo panapelekea katika kifungu kingine cha 4Q180. Inaonekana kuwa ni nukuu za aya za kitabu cha 1Henoko sura za 6-11 na Yubile 4:22 (Mwa. 6:1-2,4). Aya hii (na hasa hasa mistari ya 5-9) inaonekana kuwa na uhusiano na hii 4Q181 sehemu ya 2, mistari ya 1-4 (kwa mujibu wa Wise, Abegg na Cook kwenye jarida lao la Gombo la Bahari ya Chumvi: Tafsiri Mpya, ya Hodder na Stoughton, 1996, pp. 238-239). Hakuna shaka yo yote kuamini kuwa Azazeli anaaminika kuwa ni kiongozi wa lile Jeshi la malaika waasi, kwa mujibu wa aya za kwenye lile gombo la DSS na anawajibika kwa dhambi zote zinazofanywa na wanadamu kama tunavyoweza kuona katika kanuni za Upatanisho.

 

Matumizi ya HaShemu kama Jina maarufu badala ya kuongelea jina la Yahova ambalo linawakilisha mamlaka ya Mungu akiwa kama ni kiumbe anayejitanua anayeonekana kutokea kwenye matendo ya kale ya kipagani. Matumizi haya yamenakiliwa kwenye kazi Kubwa na maarufu. Matendo haya pengine yalitokea kote kuwili yaani kwa Wamisri na Wababeli na hatimaye yakaingia kwa Wayunani na Warumi. Imehusianishwa na teolojia inayo amini kuhusu “Majina Matakatifu” na imani za kishirikina za kizamani zinazodai kuwa na uweza wa kimungu kwa matumizi sahihi ya jina. Kwa hiyo, mungu msimamizi wa Warumi hakutajwa kamwe na siri ililindwa kwa maumivu ya kifo. Wazo lililokuwepo lilikuwa ni matamshi sahihi ya jina na maadui kungewawezesha waaguzi wao kumiliki uweza wa ulinzi wa kimungu na hivyo kwamba wangeweza kukamata taifa kwa maswali. Wazo hili huenda likawa ni msingi kwa ajili ya matumizi ya nano HaShemu badala ya Yahova miongoni mwa Wayahudi baada ya utumwa wa Wakaldayo.

 

Hakuna tatizo katika kuelewa kile kinachotokea katika Upatanisho uliochukuliwa kutoka kwenye mafungisho ya teolojia dhaifu zenye mamlaka kwazo zenyewe tu. Beberu la mbuzi aliyechaguliwa kwa Azazeli alikuwa ni ishara ya taifa iliyowekwa juu ya kichwa chake na kwa kuhani aliyekuwa kwenye zamu au mwandishi au mwenye hekima (itategemea jinsi anavyojua) na kupelekwa katika nchi isiyozaa kitu, kama vile jangwani na kwenye ardhi isiyotoa mazao yoyote. Kwa maneno mengine, mtunda au matokeo ya mbuzi huyu ilikuwa ni kuachwa ukiwa (tazama Law. 16:21-23 katika Soncino na nakala zingine).

 

Ushahidi wa historia uko kinyume cha tafsiri ya kuwa mbuzi wa Azazeli anamwakilisha Masihi. Hata hivyo, mtazamo huu umetokana na idadi ya nyanja tunazoweza kutathmini hapa kwa kushughulika na somo hili. Pia kuna maelekezo ya tatu ambayo tutayafanyia tathmini pia.

 

Muonekano wenye maana mbili

Bullinger, kwa mfano, alishikilia kuamini kuwa wale mbuzi wawili walikuwa wanamlenga Kristo. Hata hivyo, utimilifu huo wa mambo mawili unahusisha kupigwa kwa kura mbili – yaani moja ikiwa ni ya Yahova na nyingine ikiwa ni ya Azazeli. Ili kuweza kuupa haki utambulisho wa umoja, utambulisho wa jina la pili hufutwa na kupigiwa kura au kujumlishwa kwa maana ya kuruhusu au kama maana sawa ambayo haiwezekani kutokana na elimu ya asili ya maneno.

 

Imekuwa sasa ni suala la duniani kote kwa kupitia kwenye aya za maandiko matakatifu ni kama inavyoonekana katika kila mojawapo ya mawazo haya.

 

Mambo ya Walawi 16:1 inasema: BWANA akanena na Musa, baada ya kufa kwa hao wana wawili wa Haruni. walipokaribia mbele za BWANA, wakafa,

 

Huyu ni Yahova anayesema na Musa. Usemi wa Yahova akanena umetumika katika kitabu hiki cha Mambo ya Walawi mara thelathini na tano kwa nyakati tofauti na katika njia zenye maana kumi mbali mbali.

 

Alinena:

  1. na Musa peke yake (Law. 5:14; 6:1,19; 8:1; 14:1; 22:26 mara mbili);
  2. na Musa ili amwambie Haruni peke yake (Law. 16:1);
  3. na Musa ili amwambie Haruni na Watoto wake (Law. 6:8,24; 22:1);
  4. na Musa ili awaambie makuhani, wana wa Haruni (Law. 21:17);
  5. na Musa ili amwambie Haruni na wanawe na wana wa Isareli wote (Law. 17:1; 21:16; 21:24; 22:17);
  6. na Musa ili awaambie wana wa Israeli (Law. 1:1; 4:1; 7:22,28; 12:1; 18:1; 20:1; 23:1,9,23; 24:1,13; 25:1; 27:1);
  7. na Musa ili awaambie kusanyiko lote la wana wa Israeli (Law. 19:1);
  8. na Musa na Haruni kwa pamoja (Law. 13:1; 14:33);
  9. na Musa na Haruni ili awaambie wana wa Israeli (Law. 11:1; 15:1);
  10. na Haruni peke yake (Law. 10:8)

 

Kila moja ya tofauti hizi zinaeleweka kutoka kwenye maana yake. Bullinger anaweka alama kwa tofauti hizi hizi kwa jinsi anavyoielezea Mambo ya Walawi 5:14.

 

Hapa katika sura hii ya Mambo ya Walawi 16, tunaona kuwa Musa anapewa amri ili ampe Haruni ili kwamba asisogelee Mahali Patakatifu kiholela, hadi pale tu atakapopewa maelekezo, kama vile katika siku ya Upatanisho ili asije akafa, kama Yahova alivyokuwa anatokea kwenye wingu hapo kwenye kiti cha rehema au alivyokuwa anafunika kwenye Sanduku la Agano (tazama jarida la Sanduku la Agano [196].

 

Katika aya ya 1 tunaona kuwa watoto wa Haruni walikufa kwa sababu walitoa sadaka kwa Yahova. Lugha ya Kiebrania imeiweka karibu (karab). Maneno yasemayo moto wa kigeni yameongezwa kwenye maandiko ya kale (Onk. Jon., ya Septuagint yaani LXX, ya Kisyria, na Vulgate kama ilivyoonyeshwa na Bullinger; n. hadi kwenye 16:1).

 

Mambo ya Walawi 16:2 inasema: BWANA akamwambia Musa, Sema na Haruni ndugu yako, kwamba asiingie wakati wowote katika mahali patakatifu ndani ya pazia, mbele ya kiti cha rehema, kilicho juu ya sanduku, asije akafa, maana, mimi nitaonekana katika lile wingu juu ya kiti cha rehema.

 

Hapa aya hii ina maana sio tu kwa wakati mwingine wowote. Mahali Patakatifu panapoongelewa hapa ni Patakatifu pa Patakatifu. Sura hii aitumii neno hili la Patakatifu pa Patakatifu lakini tu neno Mahali Patakatifu (aya za 3,16 mara mbili, 20,23,27, pia tazama Kut. 3:5, kwa maelezo ya Bellinder).

 

Kwa hiyo, kuna kitu kinacho elezewa hapa kwenye mfano huu ambacho ni kitu cha kupita. Kijina rehema pia hutumika kijisifa. Usemi wa Nami nitatokea ni Nami sitatokea (tazama Kut. 25:22).

 

Mambo ya Walawi 16:3 inasema: 3Haruni akaingia katika patakatifu na vitu hivi; ng'ombe mume mchanga kwa sadaka ya dhambi, na kondoo mume kwa sadaka ya kutekelezwa.

 

Neno kwa hiyo kwa kweli lipo nayo. Haruni ameelekezwa kuleta damu za mafali ya ng’ombe kwa ajili ya dhabihu za dhambi na kondoo waume kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa. Hili lilikuwa ni tendo la utakaso wa Mahali Patakatifu na kuhani mkuu. Hii ilifanyika kwa maana maalumu na mavazi yalikuwa ni ya aina maalumu.

 

Mambo ya Walawi 16:4 inasema: Ataivaa ile kanzu takatifu ya kitani, atakuwa na zile suruali za kitani mwilini mwake, atafungwa ule mshipi wa kitani, naye atavaa ile kofia ya kitani, hayo ndiyo mavazi matakatifu, naye ataoga mwili wake majini, na kuyavaa.

 

Vazi la hariri la kuhani mkuu hapa lina ashiria kama alama ya ujio wa kwanza wa Masihi wa Haruni, au kama Masihi kuhani. Alikuwa bado hajawa Masihi mfalme. Mfalme Masihi aliwakilishwa na kanzu ya kifalme ya utawala na hii iliwakilisha ujio wa pili, na sio wa kwanza. Utendaji huu wenye maana mbili wa Masihi akiwa kwa sehemu zote yaani kama mfalme na kuhani mkuu ilieleweka na dini ya Kiyahudi mapema sana kabla ya Kristo.

 

Sasa inaeleweka kutoka kwenye lile gombo la bahari ya chumvi yaani DSS kwenye. Sheria au kanuni za mjini Damascus (VII) na vipande kutoka kwenye pango IV ambayo Masihi wote wawili ilieleweka kuwa ni Masihi mmoja (tazama jarida la G. Vermes la Gombo la Bahari ya Chumvi lililoandikwa kwa lugha ya Kiingereza, toleo la 2., uandishi wa Pelican, 1985, kifungu cha 49).

 

Mambo ya Walawi 16:5 Kisha atatwaa mikononi mwa mkutano wa Waisraeli mbuzi waume wawili, kwa sadaka ya dhambi; na kondoo kwa sadaka ya kuteketezwa.

 

Neno hili lililotafsiriwa wana mbuzi ni mbuzi waume au beberu wenye fujo au utukutu.

 

Mambo ya Walawi 16:6 inasema: Na Haruni atamtoa yule ng'ombe wa sadaka ya dhambi, aliye kwa ajili ya nafsi yake, na kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe, na kwa ajili ya nyumba yake.

 

Tunaona hapa kuwa ng’ombe dume alifanyika kuwa ni sadaka ya Upatanisho kuhani. Hii ilikuwa ni wawmu ya kwanza. Masihi alistahili kama kuwa na sifa kama kuhani mkuu kabla haja fanya maombi ya kuombea msamaha.

 

Dhabihu hii ya ng’ombe mume na kondoo mume walioelezwa hapa walitumika pia kutathmini maafa ya nabii katika Israeli kama tuonavyo sasa kutoka kwenye gombo la bahari ya chumvi yaani DSS (kwa mujibu wa Wise, Abegg na Cook, ibid, kurasa aa 336-337). Josephus kwenye jarida lake la Kupingana na Apioni anasema katika (1.8; tazama tena kwa Wise, Abegg na Cook, ibid., ukurasa wa 336, iliyokaririwa kwa makosa kama 1.41).

 

Kuanzia wakati Artashasta mpaka siku zetu hizi kumeandikwa historia nyingi sana kamilifu, lakini hazichukuliwi kama zinazostahili kuaminiwa na nakili za zamani sana kwa sababu ya kutokuaminika kuhusu ufuasi uliochukua mahala pa manabii waliotangulia.

 

Kwa hiyo, manabii waliendelea lakini kulikuwa na mabishano kama katika uthabiti na, kwa hiyo, kanuni ilifungamanishwa na Ezra katika mwaka huo huo kama mfalme Iskanda Mkuu (tazama kwenye uandishi wa Seder Olam Rabba 30 na jarida lisemalo Biblia, [164] na lile la Manabii wa Mungu [184].

 

Mambo ya Walawi 16:7-8 inasema: Kisha atawatwaa wale mbuzi wawili na kuwaweke mbele za BWANA mlangoni pa hema ya kukutania. 8Na Haruni atapiga kura juu ya wale mbuzi wawili, kura moja kwa ajiri ya BWANA, na kura ya pili kwa ajili ya Azazeli.

 

Neno hili la mbuzi mhanga hapa limetafsiriwa kutoka kwenye neno lililo katika mrengo wa Lunga ya Kiebrania ambalo linadhaniwa na baadhi kwa kumaanisha kuondoa kabisa. Kwa mfano, mwandishi Green (katika Biblia ya Intrlinear, ukurasa wa 102) kumewekwa neno kama lilivyochukuliwa kutoka katika SHD 5799. Neno hili linamaannisha kwa maana ya namna zote mbili za mbuzi wa mhanga na pili ni kwa maana ya kuondolewa kabisa (tazama ukurasa wa 102). Hata hivyo, neno moja linahusishwa, liitwalo al Azazeli (lzazl). Kiuwazi kabisa, neno moja linachukuliwa kuwa na maana mbili tofauti na halmashauri ya Septuagint yaani LXX, kwa mujibu wa Biblia tafsiri ya mfalme Yakobo maarufu kama KJV na kwa mujibu wa Green ili kuwezesha tafsiri hii. Gombo la bahari ya chumvi maarufu kama DSS na aya za kane ya kwanza KK zinashikilia kuamini kuwa Azazeli waki maanisha kuwa ni kiongozi wa Jeshi la malaika waasi.

 

Wasomaji wa Biblia iitwayo kama Soncino Chmash kusoma aya hii kwa kusema kuwa:

Na Haruni atawapigia kura mbuzi hao wawili; kura moja ni kwa Bwana na mwingine ni kwa azazeli.

 

Wasomaji wa Biblia ya Kiingereza ya RSV husoma aya hii ikisema:

na Haruni atapiga kura kwa mbuzi hawa wawili, kura moja ni kwa Bwana na mwingine kwa Aza’zeli (RSV)

 

Kwa hiyo, pia ilipelekea na toleo la Stone ya Chmash isemayo:

Haruni ataweka kura kwa mabeberu ya mbuzi wawili: kura moja kwa “HASHEMU” na mwingine kwa “Azazeli”.

 

Mmbo ya Walawi 16:9-10 inasema: Na Haruni akaleta mbuzi aliyeangukiwa na kura kwa ajili ya BWANA, na kumtoa awe sadaka ya dhambi. 10 Bali yule mbuzi aliyeangukiwa na kura kwa ajili ya Azazeli atawekwa hai mbele za BWANA ili kumfanyia upatanisho, ili kumpeleka jangwani kwa ajili ya Azazeli

 

Neno hili fell hapa katika Lugha ya kiebrania lina maana ya njoo hapa. Kwa maneno mengine, lilitokea kwenye kimkoba kilicho kuwa kinajumuisha Urimu na Thumimu liliokuwa na maana ya kuchukua kura za Yahova au hukumu (tazama kitabu cha Kutoka 28:30).

 

Aya hii ni kipande chenye matata. Watu wanaweka madai ya kuondolewa kote kwa Azazeli na hakuna muundo wa neno ambalo wanaweza kuutumia katika kuelezea. Stone anaonyesha aya hii ikisema:

9 Na Haruni atamleta karibu mbzi mume aliyeangukiwa kura kwa HASHEMU. Na kumfanya kuwa ni sadaka ya dhambi. 10Na mbuzi huyu mume aliyeangulkiwa na kura kwa Azazeli atasimamishwa akiwa hai mbele za HASHEMU, ili kufanya upatanisho kwa yeye, na kumpeleka kwa Azazeli jangwani.

 

Hakuna mashaka kuwa neno limechukuliwa na umaarufu wa marabi wasomi ili kumaanisha Azazeli. Neno lililotumika kwenye kila tukio ni al Azazeli lzazl.

 

Stone anasema neno hili linamaana ya uimara la na uweza (la). Mtazamo huu unachukuliwa na mamlaka ya kirabi katika kitabu cha fafanuzi cha Soncino pia (tazama mwanzoni hadi kufikia ukurasa wa 706). Kwa hiyo, Biblia ya Kiingereza inayoitwa Oxford Annotated ya RSV, Soncino na kwenye chimbuko katika Strong wote wamekubali. Mtazamo wa mrengo unaopinga umeliweka hili kwenye SHD 5799 ikihitaji tofauti mbili na maana tofauti kwa neno moja ambalo Strong hakuweza kwa kweli kuelekeza. Kuna kitu fulani kibaya ambacho kwayo uwekaji wa maneno umehusishwa. Kamusi ya SHD 5799 ambayo kwayo, ‘aza’zeli ameandikwa kama mjumuidho wa maneno mawili kwa mujibu wa kamusi ya SHD 5795 na 235 na, kwa hiyo, huleta maana ya mbuzi wa kuondoka. Hii kupelekea mijumuisho kama maana mbuzi kwa mujibu wa kamusi ya SHD 5795 isemavyo, ‘ez au aze lenye maana ya jike la mbuzi lenye maguvu ktika muundo wa kisarufi wa umoja lakini jike kwa maana ya uwingi pia manyoya ya mbuzi. Neno hili hutokana na kamusi ya SHD 5810 isemayo ‘azaz shina kuu lenye nguvu, lenye kuwa gumu, au kuwa imara kujiimarisha wenyewe, au kujiimarisha. Hali hii ya kujitegemea inayoonekana nayo ni wazo la kunyenyekeana katika mujibu wa sheria. Neno hili linachukuliwa kuwa limeunganishwa na kamusi ya SHD 235 lisemalo ‘azal likiwa ni chanzo kikuu katika kwenda zake, na hivyo humaanisha kutokomea, kuanguka, kuishilia mbali, kwenda huku na huko. Neno hili linatoka katika kitabu cha nabii Ezekieli 27:19 kwa wengi kama kutoka Uzal na kwa wngine kama kitani. Ina maana ya kutokwa au kutumiwa. Green anasema inaendelea mbele. Biblia ya Kiingereza ya KJV inasema ni tendo la kutembea huku na huko yaani kutanga tanga. Bibliia ya Soncino inasema ni kama kitani kwa msingi wa me’uzzal katika aya za biblia anafahamika kwa kujusha shina azal (na Aleph) kwa lugha ya Kiaramu azal (na ain), kusokota. Maandiko halisi mbali mbali na kadhaa ya Kiebrania na Septuagint au LXX husoma me’uzzal, ‘kutoka Uzzal’. Jina hili lipo katika Mwanzo 10:27 na ni muonekano wa Sanaa, mji mkuu wa Yemeni katika Kaskazini ya bara Arabu. Tafsiri hatimaye ingekuwa ni Vedan na Javan uliyetolewa au kupelekwa na majengo ya Uzzal.

 

Matumizi ya shina la neno azal ni mbali na uwekaji sawa na muungano wa neno ‘azazel linaloweza kuwa na maana kujiimarisha yenyewe el na pia mbuzi wa anguko au mbuzi aendaye huku na huko au kutanga tanga jangwani. Al’Azazel huweka kijina halisi cha nano. Hii inaonekana kuwa viumbe wawili halisi iliyohusishwa na wanahusisha mbuzi wote wawili – mmoja akiwa ni kwa Yahova na wapili ni kwa kwa makusudi mengine au kwa mahali paitwapo al’Azazel. Hii ingeongeendeleza pia ufafanuzi matumizi ya jinsi ya kutofautisha kati ya kondoo na mbuzi katika mfano wa jinsi mataifa yatakavyo tenganishwa katika (Mat. 25:31-34) wakati wote wawili wakiwa wenyewe ni wanyama safi wasio najisi.

 

Je, kuna wazo gani linaloelezewa hapa? Neno hili linaonekana pia kujumuisha neno rahisi tsav katika (SHD 6673) ambalo maana yake ni kuweka njia panda, amri au fundisho. Hii tsawlatsaw ni fundisho juu ya fundisho kutoka ambako sheria imewekwa imara (tazama pia jarida lisemalo Wanikolai).

 

Hapa tunaonekana kuwa tunaona kuwa neno likabiliana nafundisho ya Mungu. Amri za Mungu zilizo kwenye sheria ni zile zilizowekwa juu ya mbuzi. Je, ‘Azazeli lilikuwa na maana gani basi? Tunajua kuwa kulikuwa na mtazamo wa wenye kuchanganya au kuunganisha majina ya Asaeli las na Azazeli lzaz kwenye nakala za maandiko ya zamani na Knibb inayoweka alama ya ukweli huu katika tafsiri ya Kitabu cha Kiethipia cha Henoko (vol. 2, Oxford, p. 73).

 

Neno Asaeli maana yake ni Mungu amefanya. Azazeli maana yake ni kitu kingine tena. Knibb anashikilia kuamini kuwa inaelekea maandishi ya Kiethiopia ya Henoko katika sura ya 8:1 yametokana na uharibifu wa Asaeli au Mungu aliyefanya katika nakala za maandiko ya Kiethiopia au Kiyunani. Kwa hiyo ‘Azaeli anafanyika hapa kuwa ni ‘Azazeli kwa mujibu wa Knibb. Mabadiliko huenda yasiwe uharibifu lakini ni dalili ya mabadiliko ya wadhifa. Badiliko katika wadhifa huwa sawa na mabadiliko katika jina kitu kilicho sawa na hicho. Kristo amepewa jina jipya katika kitabu cha Ufunuo kwa sababu aliendana na mabadiliko ya heshima ya wadhifa wake. Kwa namna inayolingana na hiyo, sisi pia tumepewa jina jipya linaloashiria wadhifa wetu mpya. Kitabu cha Kiethiopia cha Henoko kinaonekana kufanana na maandiko ya Mambo ya Walawi 16:21 na pia kinaunda wazo linalopatikana katika Targumi wa Pseudo Jonathan katika maandiko haya kama inavyofananishwa katika sehemu ya Dudaeli. Maandiko haya husomeka kama hivi katika sura ya 10:

 

4 Na zaidi sana Bwana akamwambia Rafaeli akasema: ‘Mfunge Azazeli mikono yake na miguu yake, kisha atupwe kwenye giza. Kisha utenganishe wazi jangwa lililoko dudaeli na umtupe huko. 5 Na (2v,b20) umtupe ukingoni na kwenye mawe makali, kisha umfunge usoni kwa kitambaa cha giza; na kisha umwache pale milele, na umfunike uso wake ili kwamba asione mwanga. 6 Na kisha katika siku iliyokuu ya hukumu atupwe motoni. 7 Na ifanyiwe matengenezo dunia ambayo iliharibiwa na malaika waasi au mapepo, (2v, b25) kisha.kutangazwe matengenezo ya ulimwengu, kwa kuwa nitaitengeneza dunia ili kwamba wana wote wa wanadamu wasiangamizwe na siri fumbo za kila kitu a,bazo Watazamaji wajulishwe na wawafundishe watoto wao. (Knibb anaema kuwa maana ya neno wajulishwe au funuliwa ni ya lazima hapa).

 

kitu muhimu kukitilia maanani hapa ni kwamba mbuzi huyu alikuwa hatumiki kwa ajili ya upatakisho lakini zaidi sana ni kwamba upatanisho ulifanywa kwa ajili hii. Kwa Kiebrania inasema kwa ajili yake na sio ndani yake. Kwa hiyo, hatimaye mbuzi aliachiliwa huru.

 

Kinacho fikiriwa hapa kuhusu Dudaeli ni kuaminika na Dillmani (ona Tafsiri 100) ili kuweza kuvumbuliwa na kuiiga kutoka kwenye jina wenye kumpinga Mungu. Charles katika tafsiri yake ijulikanayo kama (Tafsiri 22) humuunganisha Dudaeli kutoka jinsi ilivyotajwa na Targumi Pseudo Jonathan kama mahali ambapo mbuzi aliwekwa wakfu kwa Azazeli alivyoongozwa. Kwa wakati mmoja, Miliki alikubali ufafanuzi huu na kuchukuliwa jina kutoka kwenye Michongoko au maporomoko ya Milima ya Mungu. Neno cheza mchezo wa kutupa kwenye maporomoko na mawe makali linachukuliwa na Knabb kufanya tuhuma zi mkuu (Ibid, p.87).

 

Kwa hiyo, fikra inatuama katika kitabu cha Henoko na Targumi ambavyo vimechukuliwa kutoka kwenye fikra inayopatikana katika kitabu cha Torati humu kwenye Mambo ya Walawi 16. Mtazamo huu umethibitika na Gombo la Bahari ya Chumvi maarufu kama DSS. hata hivyo, mbuzi huyu alikuwa hauawi ila badala yake aliachiliwa aende zake atange tange jangwani.

 

Tunaona mamlaka ya marabi hayakuwa na maida kamili ya maandiko ambayo sasa inapatikana kwetu lakini walikuwa na wazo linalohusiana na jambo lenyewe kama lilivyokuwepo kwenye Torati. Jambo muhimu zaidi sana, ni kuwa jina Azazeli ni linaonekana sana likilenga katika  kitabu cha Mambo ya Walawi 16. Ilikuwa, zaidi ya yote, ilionekana na kueleweka kuwa hapa kutoka katika maandiko ya kale ya mfumo wa Kiyudea.

 

Hii inatuongoza sisi kuelekea kwenye mtihani zaidi wa mchakato endelevu wa majina ya Jeshi la malaika. Je, ni kwa jinsi gani Asaeli au hata Semyaza limekuja kuwa kuitwa Azazeli? Je, ni lini basi jambo hili lilikuja kutokea na jambo hili lina maana gani?

 

Ni dhahiri kuwa jina Azazeli liliandikwa kwenye muundo wa zamani wa Torati. Sptuagint, yaani LXX ilitafsiri maandiko haya kwenda kwenye Lugha ya Kiyunani kama ikionyesha mbuzi wa mhanga na Kiyunani kinashikilia kumaanisha kuwa ni kumpeleka mbali kwa ajili ya kumuondoshelea mbali (tazama nakili za tafsiri za Brenton). Hata hivyo, maoni haya mawili tofauti yana ashiria kwenye maneno yaliyotafsiriwa kama mbuzi wa mhanga katika Septuagint yaani LXX. Fikwa hizo hizo zinachukulia kwenye tafsiri ya Biblia ya Kiingereza ya mfalme yakobo maarufu kama KJV. Kamusi ya Strong inaweka ujenzi unaoegemea kwenye maana ya SHD 5799 kama kuwa kutoka kwenye SHD 5795 na SHD 235 zaidi sana kuliko ilivyokuwa tu kutoka kwenye SHD 5810 na rahisi zaidi ‘el. Muunganiko wa maneno hauna maana ya kujiazima yenyewe kiasi cha kufikia matumizi rahisi ya neno el (SHD 410). Neno hili linaonekana kuwa kwenye ubora wa azel lza (kutoweka au kukwea, au vile vile uzal au kitani, kama katika SHD 235, SHD 236). Kwa hiyo sisi tunaonekana kuwa na shitaka la mbuzi aliyepotea au kutelekezwa.

 

Tafsiri zenye Maana mbili: majibu yenye maana mbili kwa pamoja

Kuna jibu jingine ambalo lingeweza kujumuisha maana zake. Mbuzi mwenye kujiitutumua pia ni el mwenye kujitegemea. Tatizo ni kwmba mbuzi hawa ni wakiume na sio majike. Kwa hiyo, neno kuteuliwa sio sahihi kwa vile tu ni mbuzi mmoja ambaye hana maana nyingine yeyoye ya zaidi. Mbuzi huyu anaweza kuwa ni jike katika hali ya umoja kama lilivyo kanisa na wakiume katika uwingi kama tulivyo wana wa Mungu. Mbuzi alitelekezwa jangwani wa Yubile arobaini baada ya kutolewa dhabihu kwa Masihi, ambaye ni mbuzi wa Yahova. Wote wawili yaani Masihi na kanisa walijulikana na kukusudiwa tokea mwanzo wa kuwekwa kwa misingi ya dunia. Kwa hiyo, pia, mpango umepigiwa dira kwa Jeshi lote zima la malaika na ukombozi wao na upatanisho (tazama jarida la Kondoo Aliyepotea na Mwana Mpotevu, Na. 199). Yule joka akamfuata yule mwanamke jangwani (Ufu. 12:10-17).

 

Vile vile, mshitaki amefanya dhambi tokea mwanzo (1Yoh. 3:8) walakini alikuwa mkamilifu tokea wakati wa kuumbwa kwake mpaka pale uovu ulipoonekana ndani yake (Eze. 28:15). Kwa hiyo, mwanzo unaosemwa hapa sio wanzo wa uumbaji.

 

Kuna pia jambo lingine la kulitilia maanani. Katika Septuagint, yaani LXX, kuliandikwa kule Alexandria chini ya uangalizi wa Ptolemy Philometor. Mfumo wa mchanganyiko kati ya Wayunani usingeweza kuvumilia fikra za kimaongozi za kutoka kwa Yahova katika Yerusalemu chini ya sheria, na kufungasha kwa utawala wa mataifa. Kwa sababu hiyo hiyo, kunaona kwamba mfumo wa mwamini utatu mmoja maarufu kama Christian - iwe kwamba alikuwa ni kutoka Rumi au Canterbury – asingeweza kukubaliana kuwa utawala wa Masihi haukuwa ni Kanisa chini ya mfumo wake uliopo wa amri ya sheria lakini zaidi sana ulikuwa unakwenda kuungwa mkono na Azazeli aliyetolewa kwa kipindi cha maelfu ya miaka. Umilenia (au Uchiliani kama ulivyokuwa ukiitwa na kanisa la kwanza) umekuwa ukifutwa kama fikra kwa sababu unapingana na mawazo ya utawala wa Rumi na wa kanisa la kutoka Rumi. Kwa sababu hiyo hiyo, mamlaka ya marabi yasingeweza kuichukulia hii katika awamu inayofuata ya tafsiri ni sawa na wangalivyo weza kumtambua Masihi kuwa anakuja kwa awamu mbili na awamu ya pili ingeweza kuwa kulingana na Kitabu cha Ufunuo kinavyosema ambacho chenyewe tayari wameisha kukikataa. Kwa hiyo, jambo lenyewe lilikuwa halijafunuliwa bado katika ufasaha wake kama siri ya Mungu. Wakati ilipofunuliwa na Masihi, kisha ilikuja kufichika kwa uwazi iwezekanavyo na waumini wa dini ya Kiyahudi. Kama mbuzi alihusishwa, inahusisha pia fikra ya kutanga tanga, na kwa hiyo uuaji wa mbuzi ni kwenda kinyume na fikra hii iliyohusishwa hapa. Upatanisho umefanywa na mbuzi na ameachwa huru, bila kuuliwa (tazama hapo juu kama anavyosema Bullinger, katika Biblia iitwayo.Companion Bible, n. hadi v. 10)

 

Uficgaji wa marabi wa maana yake katika fikra ya mbuzi anaye uliwa (wakati ambapo katika Septuagint, LXX haielezei jambo hili kabisa) inaashiria pia katika siri za baadae za Wayahudi zaidi kuliko wapinzani wa bidii ya waliokuwa katika imani ya Kimasihi.

 

Tunaelewa sasa kitu kilicho zaidi ya mashaka kuwa fikra hii ilikutikana katika ufunuo 20:4 sisi pia tunaelewa kutokana na Gombo la Bahari ya Chumvi yaani, DSS kama ilivyokuwa katika ufufuo wa wafu na marejesho katika Milenia (tazama 4Q521 kifungu cha 7 na kifungu cha 5 unganisha na sura ya 2; Wise na Abegg na Cook, kifungu cha 421). Fikra hii ilikutikana kwenye Ufunuo 21:12-13 ambayo pia hupatikana katika 4Q554 kifungu cha 1 kifungu kidogo cha 1 msitari wa 9 hadi kisehemu cha 3 mstari wa 10, ibid, pp. 180-182).

 

Hivyo basi, Agabo la Kale liliweza kueleweka kwa mtindo huu kama ulivyokuwa ni lazima kwenye mpango ingawaje injili hizi (hapa kuna maana ya ile ya Mat. 22:30-32), 1Wakorintho 15:12 na Ufunuo zilikuwa bado hazijatolewa.

 

Kuna wazo jingine katika mbuzi aliyetolewa kwa ‘Azazeli jangwani. Masihi aliuawa na kutumika katika upatanisho. Roho Mtakatifu kanisani aliachwa na kutanga tanga jangwani kwa kipindi cha yubile arobai au miaka elfu mbili na kwa namna hii hii alipewa Azazeli kwa kutoa kikamilifu dhambi za ulimwengu. Kwa hiyo, hatimaye tunapata maana za aina mbili kwa sadaka ya na kwa eneo la dhambi kutawanyikia jangwani. Jangwa ilikuwa ni ishara ya dhambi na uovu (tazama Isa. 13:21; 34:14; Mat. 12:43; Lk. 8:27; 11:24; Ufu. 18:2). ‘Azazeli alikuwa ni utambulisho wa yote yaliyokuwa makuu na yakutisha hapa (tazama Kum. 1:19; 8:15; Yer. 2:6). Kwa hiyo, upatanisho ulikuwa na maana tatu kwa Azazeli, kwa ajili ya Azazeli na kama azazeli. Hapa Mwana wa Mungu, ni Azazeli au mbuzi aliyeanguka na kuasi.

 

Kwa jinsi hii pia, tunauona mfumo wa Upatanisho ukifanyika katika kipindi cha baadae klichofuata kutoka sadaka ya Pasaka ya Masihi. Uvaaji wa baadae wa mfalme Masihi baada ya kanuni za upatanisho huu unaonyesha utimilikaji mara mbili wa Masihi na kwa ujio wake. Bullinger anasema maana yake hapa kwa nakili hii hadi kwenye aya ya 8 akisema kuwa:

Hii ni ‘kwa’ inaonekana kama majibu ya muonekano dadi ‘kwa Yahova’. Kama huyu atakuwa ni Muovu ambaye amemaanishwa kisha hii itakuwa ni utukufu wake. Kwa kuwa, katika upatanisho wa aya ya. 10 umefanywa kwa mbuzi huyu, na anatakiwa aachwehuru aende. Mahali ulipo upatanisho lazima uwepo msamaha. (Tutaendeleza mtihani huu katika aya ya 22)

 

Maelekezo haya fikra ya rehema na wema wa Mungu. Upatanisho, mwisho wake, umeendelea hadi kwa Jeshi la malaika waasi kama utandaji wa neema ya wema wa Mungu na utimilifu wa dhabihu ya Kristo katika zoezi la uwezo wa Mungu wa kuwepo kila mahali (tazama jarida la Hukumu ya Mapepo, Na. 180).

 

Mambo ya Walawi 16:11-12 inasema: Na Haruni atamsongeza ng'ombe wa sadaka ya dhambi, aliye kwa ajili ya nafsi yake, na kufanya upatanisho kwa ajili yanafsi yake mwenyewe, na kwa ajili ya nyumba yake; naye atamchinja yule ng'ombe wa sadaka ya dhambi, aliye kwa ajili ya nafsi yake 12 Kisha atatwaa chetezo kilicho na makaa ya moto yatokayo katika madhabahu iliyo mbele za BWANA, na kozi mbili za uvumba mzuri uliopondwa sana mikononi mwake, naye atauleta ndani ya pazia.

 

Moto huu ulichukuliwa kutoka madhabahuni mahali ambapo dhabihu ya Upatanisho ulifanyika. Moto ule peke yake ulifaa kuwashia uvumba katika madhabahu ya dhahabu katika Mahali Patakatifu (tazama Law. 10:1,7 na vile vile nakili za Bullinger hadi 10:1,7). Moto huu ulikuwa unafanana na ule wa Roho Mtakatifu. Moto mwingine wowote mbali ya huu ulikuwa ni moto wa kigeni. Kumbuka kuwa watoto wa Haruni waliuawa kwenye dhabihu hii. Tunaona pia kuwa ubatizo wa Yohana mbatizaji ulikuwa sio wokovu. Roho Mtakatifu alikuwa ametolewa na Mungu moja kwa moja baada ya ubatizona alichagua kutenganisha na ukuhani mpya moja kwa moja. Yohan alikuwa ni mtoto wa kuhani mkuu wa Abia na ni Mlawi, hata hivyo ubatizo wake haukumpeleka kwenye wokovu. Kwa hiyo, zaidi sana, mfano huu unaelekeza kwenye tukio lile.

 

Mambo ya Walawi 16:13 inasema: Kisha atatia ule uvumba juu ya moto mbele za BWANA, ili moshi wa ule uvumba ukistiri kiti cha rehema kilicho juu ya ushuhuda, asije akafa.

 

Hakuna mtu aliyewahi kumuona Mungu (Yoh. 1:18; 1Tim. 6:16; 1Yoh. 5:20). Ni kuhani mkuu tu alibakia Mahali Patakatifu na kisha na ni kwa siku ya Upatanisho tu na ni mara moja kwa mwaka. Hii iliashiria kwa Kristo akiwa kama kuhani mkuu na kwa ajili ya ufufuo wa wafu. Masihi alkkuwa ni mwana wa Mungu mwenye nguvu toka kufufu kwake kutoka kwa wafu (Rum. 1:4).

 

Mambo ya Walawi 16:14 inasema: Kisha atatwaa baadhi ya damu ya yule ng'ombe, na kuinyunyizia kwa kidole chake juu ya kiti cha rehema upande wa mashariki; na mbele ya kiti cha rehema atainyunyiza ile damu kwa kidole chake mara saba.

 

Hapa tunaona kuwa ng’ombe mume ameuawa – kwanza ni kwa ajili ya ukuhani ili kumtakasa kuhani mkuu na hatimaye mbuzi aliuawa ili kutakasa kutaniko. Kisha hii ilikuwa ni utaratibu wa kudumu. Masihi pia alitimiza masharti yote haya. Utaratibu huu ulilenga kwenye matukio ya Pasaka inayoishia kutoka siku ya wa 14 hadi ya 15 ya mwezi wa Nisani na halafu hadi kufikia kwenye siku ya Sadaka ya Mganda wa Kutikiswa siku ya Jumapili asubuhi yapata saa 3 kamili ya asubuhi. Hii halafu inapimwa hadi saa 3 asubuhi ya siku ya Jumapili ya siku ya Pentekoste, siku hamsini kamili zinazofuata baadae na kanisa linakuwa limeishavunwa. Hatua hii inaendelea mbele hadi mwishoni mwa ufufuo wa pili. Jeshi la malaika waasi na kutaniko la jangwani ni kundi ambalo kwalo mbuzi wa pili hufanya upatanisho. Sisi kwa hiyo, tuna fikra za mkono wa kuume na wakushoto wa Mungu ambao ni upatanisho wa dhambi. Damu ya mbuzi wa Yahova inaletwa kwenye Mahali Patakatifu kwa maana ile ile kama damu ya mafahali. Hii ni kwa wana wa Israeli ambao ni kanisa.

Mambo ya Walawi 16:15-16 inasema: 15 Kisha atamchinja yule mbuzi wa sadaka ya dhambi, aliye kwa ajili ya watu, na kuileta damu yake ndani ya pazia, na kwa damu hiyo atafanya vile vile kama alivyo fanya kwa damu ya ng'ombe, na kuinyunyiza ndani ya kiti cha rehema, na mbele ya kiti cha rehema. 16 Naye atafanya upatanisho kwa ajili ya mahali patakatifu, kwa sababu ya mambo machafu ya wana wa Israeli, na kwa sababu ya makosa yao, naam, kwa ajili ya dhambi zao zote; naye atafanya vile vile kwa ajili ya hema ya kukutania, ikaayo pamoja na katikati ya machafu yao.

 

Tunaona kutoka kwenye aya hii kwamba hakutakiwi kuwa na mwanaume yeyote, kwa mfano hakuna ‘adamu au kiumbe, katika hema la kukutania na pengine linaitwa maskani hadi pale kuhani mkuu atoke nje na amefanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe. Kwa hiyo, ukuhani ni ni kitu cha chini katika tendo hili na hakuna ukuhani wenye kuleta maana wakati ambapo mpinga ashirio yuko kwenye pazia (tazama Ebr. 4:14; 6:20; 9:24).

 

Mambo ya Walawi 16:17-19 inasema: 17Wala hapakuwa na mtu katika hema ya kukutania, wakati aingiapo ili kufanya upatanisho katika patakatifu, hata atakapo toka nje, baada ya kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi yake mwenyewe, na kwa alili ya nyumba yake, na kwa ajili ya mkutano wote wa Israel. 18Kisha atatoka na kuiendea madhabahu iliyo mbele za BWANA na kufanya upatanisho kwa ajili yake; atatwaa baadhi ya damu ya yule ng’ombe, na ya damu ya yule mbuzi. 19Na kuitia juu ya pembe za madbabahu kwa kidole chake mara saba, na kuitakasa, ili machafu yote ya wana wa Israeli yaitoke. .

 

Wazo la kuwa takatifu maana yake ni kuwa mbali au kutengwa mbali na vingine. Ni Mungu tu ndiye aliye Mtakatifu. Matumizi ya neno hili yanahusiana na kile kilichotengwa mbali kwa ajili ya kazi yake ya utumishi. Kwenye aya inayofuatia neno kupatana lina maana ya kufanya upatanisho.

 

Mambo ya Walawi 16:20-21 inasema: Naye akiisha kufanya upatanisho kwa ajili ya mahali patakatifu, na hema ya kukutania na madhabahu, atamleta, yule mbuzi aliye hai; 21 Na Haruni ataweka mikono yake miwili juu ya kichwa cha yule mbuzi aliye hai, na na kuungama juu yake uovu wote wa wana wa Israeli, na makosa yao, naam, dhambi zao zote; naye ataziweka juu ya kichwa chake yule mbuzi, kisha atampeleka aende jangwani kwa mkono wa mtu aliye tayari.

 

Uwekani juu wa mikono yote miwili ni kwa maadhimisho na linatumika hapa peke yake. Tendo hili lina maana ya ukamilifu au kutiiliza ambako kwayo Masihi anachukua jukumu kama kuhani mkuu na ujumla wa uwekaji wa kanisa na Jeshi la watu wa Mungu mikononi mwake.

 

Kwa jinsi hii, mbuzi wote wawili wanaweza kuwakilisha kikamilifu na Kristo na pia utimilifu wa Kristo na pia utimilifu wa upatanisho wa Jeshi la kibinadamu na la kiroho. Kwa jinsi hii pia, hukumu ya Jeshi la malaika walioasi imekwisha kamilika kama kwa kadiri upatanisho ulivyofanywa kwa ajili yao na kasha wamepewa kanisa na utaratibu mikononi ili kwamba kwa kushughulika kwao waweze kupimwa na pia sisi tujaribiwe kwayo. Kwa hiyo, ili Kristo aweze kuishi kama na katika aina mbili ya mbuzi ingawaje huyu mmoja alitolewa kwa ‘Azazeli na upatanisho ulifanyika pia kwa ajili yake. Mgongano ni kwamba unahusika. Kama mbuzi mmoja, Kristo aliuawa katika mwili lakini alifanyika hu hai kama kwa roho. Hii ni kwa njia ya ufufuo ambako amefanyika kuwa ni mwana wa Mungu katika uweza (Rum. 1:4; 1Kor. 15:45; 1Pet.3:17). Huyu alikuwa ni mbuzi wa kwanza. Alifanyika kuwa dhambi kwa ajili yetu ili kwamba tufanyike kuwa wenye haki ki namna ya mbinguni katika yeye (2Kor. 5:21). Kwa jinsi hii, tulipatanishwa na Mungu na kupelekwa katikati ya mbwa mwitu. Kwa hiyo, pia, wakati ambapo Jeshi lote la Mungu likipatanishwa na Mungu na halafu ‘Azazeli alikuwa pia akisamehewa, kama sisi nasi tulivyofanyiwa, ingawaje haikuwa katika nguvu zake hasa bado.

 

Azazeli atafungwa kwa kipindi cha miaka 1,000 cha utawala wa Milenia na alipatanishwa baada ya hiki.

 

Mambo ya Walawi 16:22 inasema: Na yule mbuzi atachukua juu yake uovu wao wote, mpaka nchi isiyo watu, naye atamwacha mbuzi jagwani.

 

Neno atachukua linaelekea kuchukulia mbali (tazama Isa. 53:4). Nchi isikaliwe kwa Kiebrania lina maana kuwa nchi itakatiliwa mbali. Janwa la dhambi ni nchi iliyokatiliwa mbali na Mungu. Upatanisho umefanyika au kutokea kwa mbuzi wa kwanza. Hapa, kuna matatizo yaliyo changanyika. Kiumbe yuko kwenye uhuru lakini kutanga tanga jangwani ambako ni kwa jina la ‘Azazeli ambaye yeye mwenyewe anao upatanisho ambao unafanyika kwa ajili yake mwenyewe. Kama kanisa, tulitanga tanga kwenye jangwa hili kwa kipindi cha Yubile arobaini kama Israeli walivyo tanga tanga kwenye jangwa la dhambi kwa miaka arobaini kabla hawajaiingia na kuimiliki nchi ya ahadi. Wakati walipoingia na ulikuwa ni muda wa kutiishwa kwa mataifa, walipatanishwa kutoka kwenye Pasaka ya Gilagali. Masihi aliungana nao kama amiri wa Jeshi la BWANA na kwa muda wa siku saba waliuhusuru mji wa Yeriko (tazama jarida la Kuanguka kwa Yeriko, na. 142).

 

Mambo ya Walawi 16:23-28 inasema: Na Haruni ataingia katika hema ya kukutania, naye atavua mavazi yake ya kitani, aliyo vaa alipo ingia katika patakatifu, atayaacha humo; 24 naye ataosha mwili wake kwa maji mahali patakatifu, na kuvaa nguo zake, na kutoka na kusongeza sadaka ya kuteketezwa yake mwenyewe, na sadaka ya kuteketezwa ya watu, naye atafanya upatanisho kwa ajili ya nafsi yake, na kwa ajili ya watu. 25 Na mafuta ya sadaka ya dhambi atayateketeza juu ya madhabahu. 26 Na mtu yule amwachae mbuzi wa Azazeli aende zake, ataosha nguo zake, na kuosha mwili wake kwa maji na baadaye ataingia katika marango. 27 Na yule ng'ombe wa sadaka ya dhambi, na yule mbuzi wa sadaka ya dhambi, ambao damu yao ililetwa ndani ifanye ukumbusho katika patakatifu, watachukuliwa nje ya marango, nao watachoma moto ngozi zao, na nyama yao na mavi yao. 28 Na yeye awachomaye moto atafua nguo zake, na kuosha mwili wake kwa maji, na baadaye ataingia marangoni.

 

Hapa tunaona mwili na nguo (ukitoa zile za kuhani mkuu ambazo zinabakia Hekaluni) na vitambaa vyote vya dhabihu hizi viliunguzwa kwa moto na wale waliokabidhiwa majukumu haya ambao walitakiwa waoge maji. Hivyo tunaona kwamba damu ya dhabihu za Masihi inatupatanisha sisi sote na ya kwamba kwa kupitia kwa hiyo tunaweza kuweka mbali mwili kwa ukamilifu wote na kwamba, kwa njia ya ubatizo, tunatamani na kuuongojea ufufuo wa roho. Viumbe wote watakuwa wamepewa roho na fursa ya kutubu, hata ‘Azazeli. Mlolongo huu wa mafuatano ya mambo ni kwa amri katika ndani ya jangwan ambalo limekatiliwa mbali na Mungu. Kunajisika kwa mtu binafsi hakutaendelea hadi kwa kuhani mkuu ambaye ni tayari amekwisha takasika wakati alipozikiri dhambi kwa njia ya mbuzi wa pili. Kutoka katika kitabu cha mambo ya Walawi 10:17, tunaona kwamba Mungu amemtoa kukupa ili kuchukua udhaifu na maovu ya kutaniko, ili kufanya upatanisho kwa ajili yao. Hivyo basi, kukabidhiwa kwa majukumu kunaonekana kuhusisha masharti ya utakaso na hii inaweza kufanyika tu kwa kubatizwa kwenye maji. Hata kuhani mkuu lazima avue nguo zake na kuziweka kando kisha aoge katika Mahali Patakatifu kabla hajarudi.

 

Jangwa lina tafsiri yenye maana mbili. Ya kwnza kabisa, ni kukatiliwa mbali na Mungu ili kuwa chini ya uadui, pia, inamaaanisha tendo la kuondolewa kwa dhambi. Jangwa la usahaulifu ni tendo la kutozikumbuka dhambi zetu tena au kuzisahau (Isa. 43:25, Yer. 31:34). Katika tendo hili aliziharibu nguvu za adui kama tunavyoona katika Waebrania 2:14; Luka 13:1-9 ambako inaonekana masharti ya toba kwa ujumla. Hii inahusisha na ukiri wa dhambi. Kwa mtazamo huu tumewekwa huru kutokana na hukumu za dhamira mbaya ya adui kama ilivyokuwa ni Mungu yule atuhesabiaye haki (Rum. 8:33-34). Kwa hiyo ni kwamba tumewekwa huru nyuma mbali ya hukumu za dhamira zilizokuwa zimewekwa juu yetu siku kabla ya upatanisho na Kristo uliotuweka huru kutoka kwenye ukweli wa toba yetu. Sisi sasa tumewekwa mfumo wa adui na tunaweza kusema (kama ilivyonakiliwa na Bullinger (n. hadi 22) anayethubutu kutuua na kwa ajili hii tumehesabiwa haki na Mungu. Na pasipo kumwagika damu hapakufanyika ondoleo la dhambi au msamaha wa dhambi. Kwa hiyo, mauti imechukua mahala pa ukombozi wa maovu. Mafundisho haya yanapatikana kwenye Waebrania 9:15, 22, 26.

 

Bullinger anafanya ulinganisho wa ndege wawili katika Mambo ya Walawi 14:51-53 kama mfano mwingine wa hatua hii kama inavyofanyika kwa taifa lote. Kuhusu hawa ndege, nyumba ilipona na ugonywa wa tauni. Damu ya ndege wa kwanza ilimwagwa na ndege aliye hai alizamishwa kwenye maji yanayokimbia na damu ya ndege wa kwanza. Kasha nyumba ilinyunyiziwa au kupakwa mara saba na nyumba ilioshwa nayo na mbao ya mti wa mshita na hisopo rangi nyekundu kama damu ya mzee. Mara saba ilionyesha utakaso wa makanisa saba. Ndege mzima hatimaye aliachiliwa huru kwenye shamba lililo wazi. Hivyo basi, ndipo nyumba ikatakasika kwa ajili hii na vitu vingine vyote, vya kibinadamu na vya mbinguni, vitakuja kwenye taifa moja na vitatawala kama Mungu ambayo ni kwa maana ya jina la Israeli.

 

Wakti tu kila utawala na nguvu na mamlaka yanayotii kisha Masihi atayarudisha nyuma hadi kwenye ufalme wa Mungu yeye ambaye ni peke yake anabakia na mamlaka alyompa Masihi (1Kor. 15:22-28).

 

Wakati mambo haya yatakapokuwa yanatokea, Masihi na Jeshi la watu wa Mungu watakuwa wanapatanishwa.

 

‘Azazeli (au Shetani) hataweza kuendelea kuishi tema. Mahali kama hapa, tutakuwa ni viumbe vipya na majina mapya, yaliyoandikwa na Mungu. Wala mauti haitakuwapo tena, wala unabii wa uwongo wala uwongo, wala yule mnyama na mfumo wake. Kama isemavyo, watakuwa wameisha kufa na kutupwa wakachomwe kwenye ziwa la moto (tazama Ufu. 19:20; 20:14).

 

Mambo ya Walawi 16:29-34 inasema: 29Amri hii itakuwa amri ya milele kwenu; katika mwezi wa saba, siku ya kumi ya mwezi, mtajitaabisha roho zenu, msifanye kazi ya namna yo yote, mzalia na mgeni akaaye kati yenu. 30 Kwa maana siku hiyo upatanisho utafanywa kwa ajili yenu, ili kuwatakasa; nanyi, mtatakaswa na dhambi zenu zote mbele za BWANA. 31 Ni sabato ya raha ya makini kwenu, nanyi mtajitaabisha roho zenu; ni amri ya milele. 32 Na kuhani atakayetiwa mafuta na kuwekwa wakfu badala ya baba yake, ataufanya huo upatanisho, naye atayavaa mavazi ya kitani, yaani, yale mavazi matakatifu. 33 Naye atafanya upatanisho kwa ajili ya patakatifu, naye atafanya upatanisho kwa ajili ya hema ya kukutania, na kwa ajili madhabahu, naye atafanya upatanisho kwa ajili ya makuhani, na kwa ajili ya watu wote wa kusanyiko. 34 Na amri hii itakuwa amri ya milele kwenu, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya wana wa Israeli kwa sababu ya dhambi zao zote, mara moja kila mwaka. Naye atafanya vile vile kama BWANA alivomwamuru Musa.

 

Ni kwa njia ya utaratibu huu tunaweza kuingia kwenye mwili wa Israeli. Hii ndio maana mtu asiyeiadhimisha Siku ya Upatanisho na kujua maana ya dhabihu ya Kristo na upatanisho kwa njia ya ubatizo katika Roho Mtakatifu atakatiliwa mbali na Mungu. Ni kwa njia ya upatanisho huu na ubatizo wenye maana.

 

Dhabihu ya Masihi ilipatanisha viumbe vyote na Mungu. Masihi alifanya upatanisho kwa kila kiumbe akijumlishwa na ‘Azazeli au Shetani, na hii ndio maana katika mbuzi wale wawili tunayaona matendo ya Masihi na pia bado tunaweza kujionea mpango endelevu wa Mungu ukikumbatia watoto wake wote. Mpangu huu umetimia na ni mkamilifu kwa ajili ya uweza wa kujua mambo yote na uweza wake wenye nguvu zote zisizoshindwa na kitu. Rehema zake na wema wake ni kamilifu na zadumu milele.

 

 

q