Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[CB108_2]
Mafunzo:
Altare Ya Dhahabu Ya Kuteketezwa
(Toleo 1.0 20070912-20070912)
Mafundisho haya yatazamia dhamira kuu yanapatikana katika kartasi dhahabu ya kuteketezwa nanbari CB 108) Na yapeana njia tofauti ya kujenga upya azimio kuu.
Christian Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Copyright ã 2007 Diane Flanagan, ed. Wade Cox)
(Tr. 2009)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia
yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Mafunzo:
Altare Ya Dhahabu Ya Kuteketezwa
Altare ya dhahabu ya tuketekezwa
Lengo
Kutazamia dhamira yanayo husiana na altare ya dhahabu ya kuteketezwa na maana yake katika ujumbe.
Matarajio
1) Watoto wataweza kuelewa maana ya sadaka iliyochinjwa katika altare ya dhahabu ya kuteketezwa.
2) Watoto wataweza kuonyesha / kujua nyakati mbili kwa siku ambapo dhahabu hiyo itatolewa.
3) Watoto wataweza kujua altare ya dhahaby ya tuteketewa yaliyoongezeka kwa kipimo tokea tabanacle tagwani hadi kwenye hekalu ya Suleimani (Solomon)
4) Watoto wataelewa kwa nini hakuna altare ya dhahabu ya kuteketezwa katika jiji la Mungu.
5) Watoto wataelewa maana ya altare ya dhahabu ya kutekenzwa.
Chemichemi
(resources)
Hekalu alilolijenga Suleimani (Solomon)
Altare ya dhahabu ya kuteketezwa (Nambari CB42)
Tabanako katika jangwa
Maana ya nambari (Nambari CB2)
Tarumbeta (Nambari 136)
Jiji la Mungu (Nambari 180)
Zaburi kutoka kwa kuabudu hekalu (Nambari 87)
FAQs juu ya Ezekiel mlango wa 36 mstari 48 na kutakaswa kwa hekalu (Nambari 292)
Maandiko
Muhimu:
Exodus 27:1-8;
38:1-7; 2Chronicles 4:1; Psalm 118:27; Hebrews 9:1; 1John
1:7.
Mpangilio
- Anza kwa maombi
- Waulize watoto wanachofikiria altare ya dhahabu ya kuteketezwa ya simamia/ wakilisha
- Endesha mafundisho juu ya altare ya dhahabu ya kuteketezwa
- Endesha kazi inayohusiana na altare ya dhahabu ya kuteketezwa.
- Maliza kwa maombi
Mafundisho
1) Soma karatasi la altare iliyoteketezwa (Nambari CB108) isipokuwa ikisomwa kama mahubiri.
2) Maswali na majibu
Swali
1. Unapoelekea katika uwanja wa hekalu ni aina gani ya kifaa ambacho utakiona
kwa mara ya kwanza kabisa?
Jibu. Altare ya dhahabu ya kuteketezwa
Swali
2. Je altare ya kwanza ya dhahabu ya kuteketezwa katika nabatako ya jangwani
ilikuwa mdogo au mkubwa kuliko altare ya pili katika altare la Solomoni?
Jibu. Mdogo
Swali
3. Ni aina gani ya chuma uliyotumiwa kufunika altare?
Jibu. Shaba au “kopa”
Swali
4. Ni nini yalikuwa katika pembe nne ya altare ya dhahabu ya dhahabu
kuteketezwa?
Jibu. Pembe nne za kuzikanisha dhahabu hizo
Swali
5. Taja wanyama watano waliotumiwa kama kafara / toleo / sadaka / dhabihu?
Jibu. Ngombe dume, kondoo, mbuzi, kondoo dume, njiwa.
Swali
6. Ni kwanini makuhani walitoa dhabihu/sadaka hizo kwa mwenyezi Mungu?
Jibu. Kuwapatanisha watu au kuwapatanisha wenye dhambi kwa Mungu
Swali
7. Ni masaa gani wakati wa mchana ambapo dhabihu hii au matoleo haya
yalifanywa?
Jibu. Sasa tatu asubihi na kuanzia saa tisa mchana
Swali
8. Ni kwanini siku hizi hatutoi mnyama kama kafara wa kuteketezwa?
Jibu. Kristo alikuwa sadaka la kuteketezwa na akakamilisha yaliyotakiwa kwa mnyama aliye kama kafara.
Swali
9. Nani aliye na jukumu la kubomoa na kupanga tabanako?
Jibu. Kuhani (mhubiri)
Swali
10. Kujitolea kwa Kristo kama sadaka ya
tusafisha kutokana na dhambi na kutuleta kwa baba ikiwa tutafanyaje?
Jibu. Tubu dhambi zetu
Swali
11. Je patakuwa na altare ya dhabahu ya kuteketezwa katika hekalu ya
millennial?
Jibu. Ndio lakini kwa sababu ya kuteketezwa ya asubihi tu.
Swali
12. Je patakuwa na altare ya sadaka ya kuteketezwa katika jiji la Mungu?
Jibu. Hapana kwa kuwa hapatakuwa na dhambi tena
Swali
13. Ni kwa nini hapatahitajiki hekalu tena katika Yerusalemu mpya?
Jibu. Kwa kiwa Mungu na Kristo watakuwa mwangaza na hekalu lenyewe.
Swali
14. Kristo aliketi wapi baada ya kufufuliwa na kwenda kwa baba?
Jibu. Kwa mkono wa kulia wa baba
Jibu. Katika mbingu latatu, kaskazini kwa mbingu kwa dunia.
Kazi
(activities)
1) Watoto watatengeneza wanyama wasafi wanaowakilisha matoleo /
kifaraalrati ya kuteketeza. Kazi ya ujenzi.
· Yanayohitajika: udongo, rangi ya kupawa wanyama wale
· Watoto wachore majina yafuatayo ili uone ni watoto wapi watakaotengeneza wanyama wapi, ngombe dume, kondoo, njiwa, kondoo dume, mbuzi.
· Oka udongo unapo hitajika
· Unapokuwa mgumu, wapake wanyama rangi unapohitajika
· Watoto pia wanaweza kutengeneza ndoo, kwa altare iliyoteketezwa na mfalme
2) Wanyama (kazi ya kutembea)
· Wacheze nje au eneo ya ndani ambapo hamtajali kelele
· Wagawe watoto katika vikundi vitano ngombe dume, kondoo, njiwa, kondoo dume, mbuzi: watoto lazima waokote-wachague mchugaji wa wanyama kwa kila kikundi
· Ficha maharague matika uwanja wa kuchezea kabla ya watoto kufika
· Pindi ambapo watoto wanapogawanywa katika vikundi na wachungaji wa wanyama kuchaguliwa, sheria yana elezwa kwa watoto. Lengo la mchezo ni kupata vipande vingi zaidi ya viakula (maharagwe iwezekanavyo) wanyama hawataweza kuokota chakula; ni mchungaji tu anaweza kufanya hivyo. Mtoto anapopata haragwe yeye atafaa kupasa sauti kama vile mnyama wa kikundi chao angepaza na mchungani anafaa kukimbia kukusanya haragwe/chakula.
· Muda unapomalizika kikundi kilicho na chakula kingi zaidi ni mshindi
· Jadiliana kwa nini wanyama waliotajwa hawali walitumika kumaanisha wanyama wote safi kwa toleo au kafara. Kwa kifupi ongea kuhusu wakati ambapo toleo / kafara yalitokea na wanyama wapi walioteketezwa kila siku ya sabato na Nambari 28 yakuhakikishia kwa sadaka / toleo / kafara
3) Ufalme
wa wanyama mswali na majibu (cognitive type: activity)
· Endelea kuwaweka mtoto katika vikundi vilevile na yatazamiwe tena tu maswali na majibu ukiazia na kikundi kumoja cha watoto / wanyama na kuendelea kwa kikundi kingine mpaka wata kapolijibu swali kwa usahihi.
· Upande mwingine pia waweza chezwa kwa kusoma maswali na kukindi kinachotaka kujibu lazima wamfanye mnyama wao apaze sauti kwa jibu.
· Upande wa tatu utakuwa kwa kila mtoto kuwa na kipande cha karatasi ambapo yeye atachora picha ya mnyama wake. Pindi tu swali linaposomwa, ni lazima alinue karatasi lake lililona wanyama wao wa kafara juu yake ili kujibu lile swali
q