Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

[CB45]

 

 

 

Kulalamika na Kukataa

 

(Toleo 20:20050 122-20061125)

 

 

Sasa watu walilalamika kuhusu ugumu wao kwa kumsikia bwana na alipowasikia hasira yake iliongezeka. Karatasi hili limetolewa kutoka mlango wa 37 na hadhithi ya bibilia volume II nayoandika kwa Basil Wolverton ilichapishwa na ambassador college press na hujumlisha nambari mlango II na 12 katika bibilia.

 

 

 

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

 

 

(Copyright ã 2005 Christian Churches of God, ed. Wade Cox)

(Tr. 2009)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 

 


Kulalamika Na Kukataa



Twaendelea hapa kutoka kwa karatasi thawabu na hukumu (No. CB44).

 

Moto kutoka kwa Bwana

 

Kama kawaida kulikuwa na wale walioanza kulalamikia ugumu wa maisha. Mwishoni mwa siku ya tatu kutoka Sinai kulikuwa wengi walikuwa wakipiga kelele na kulalamikia shida zao kwao juu yao. Ungu aliposikia hasira yake lilipanda kasha moto kutoka kwa malaika ulichomeka miongoni mwao na kuchoma mpaka ya Kambi (Hesabu 11:1).

 

Mungu aliamua / alikata kauli

 

Kulalamikia jinsi Mungu anavyowaongoza watumishi wake ni mvutano katika serikali ya Mungu.

 

Kilio cha kuongofya na jinzi lilisikika kutoka kwa wana wa Israeli. Hukumu ya ghafla ya Mungu iliwakumbusha jinsi Mungu alivyoshambulia wakati wa pasaka ya Bwana (Pasaka) mwaka mmoja ulipopita wakati huo waliothiriwa walikuwa wa Misri. Wakati huu walikuwa wa Misri kwa kuwa wa Misri waliokuja kama sehemu ya mchanganyiko wa watu na Waisraeli na walikuwa wakulaumiwa. Lakini kiasi kikubwa cha waliokosea walikuwa wa Israeli.

 

Watu walipomlia Musa, alimuomba Mungu na moto ukazima (v. 2) hasira ya Bwana / Mungu ulikuwa na matokeo makuu kwa watu wengi mpaka wakaita sehemu hiyo Taberah, iliyomaanisha kuchoma (v. 3).

 

Hata baada ya onyo kila kwa walalamisho watu wengi walianza kulalamika kuhusu chakula vyao/chao. Walianza kutamani chakuala na tena Waisreali waliansa kulia na kusema “ikiwa tu tungekuwa na nymama ya kula” (v. 4).

 

Chakula chao kuu bado ilikuwa manna, chakula kizuri na chenye nguvu kutoka kwa Mungu. Kwa hiyo manna ikawa msingi / hoja wa walalamishi hao. Waliodhani manna haukuwa kibalisho kizuri kulingana na vyakula walivyosherekea Misri. Kwa hayo yote walisahau ugumu ambao walivumila Misri na ambao Bwana aliwatoa.

 

Wanadamu basi, kama sasa walikuwa wamezoea nguvu ya mawaidha, mawaidah majinga kama hayo yaliwafanya idadi kubwa ya Waisraeli kutokuwa na imani kuwa maana ulikuwa chochote kizuri kuwatoka watu hai. Kwa wakati huo, huo walalamishi walizidi kuwakumbusha wengine juu ya vyakula vizuri walivyo kula siku zilizopita “Twakumbuka samaki, matango, matikiti na mbonga na vitunguu saumu tuliopenda sana na kula Misri na sasa hatuna cha kutamani hakuna chochote ila manna tu” (v. 56).

 

Uchungu wazidi

 

Musa aliwasikia watu wa kila familia / jamaa walia, kila mmoja katika mlango wa hema yake. Alijua kuwa watu wengine ni lazima wangelalamika hata ikwawa walikuwa katika wakati gain. Malaika wa Bwana akakasirika zaidi, na Musa akataabika. “Nimetenda nini” alimuliza Mungu “kufanya taabu hii kunijia? Ni vichwa ngumu? Ni lazima niwabebe kama watoto, kwa nchi uliowahidi? Ni vipi naweza kuwaikomesha kuomba vyakula vingine?

 

“Je wahisi” Mungu alimuuliza Musa kupita kwa malaika kuwa kazi hii niliyokupa ni mkubwa sana”?

 

“Najua tu,” Musa alijibu” Kuwa matakwa ya watu hawa elfu ni mengi kwangu sioni jinsi yeyote ya kuwatimizi wanayotaka au kuwakabidhi walivyo sasa. Nikikuwa kuwapa chakulawanachotaka waweza kuwa wazimu zaidi. Ukimruhusu hiki kitendeke, basi ichukue maisha yangu sasa. Sitaki kuwaona mvutano huu (vv. 10-15).

 

Mungu akamwambia Musa “Nikusanyie watu sabibi miongoni mwa wazee wa Israeli ambao wewe wawajua kuwa ndio wazee na watu hawa. Ukawalete katika hema ya kukatania wasimame huko name. nami nitashuka nisema nawe huko nami nitaitwa shene ya roho iliyoko juu yako na kuiweka juu yao, nao watachukua mzigo wa watu hawa pamoja nawe, ili usiuchukue peke yako (vv. 16-17).

 

Musa aliwambiwa awashauri watu waache kulalamika na wajiandae kwa sherehe ya nyama “waambie sherehe hii hitakuwa ya siku moja mbili, tano au ishiri. Waambie itakuwa baaba ya mwezi mmoja na watakuwa na nyama kingi ya kula hata wara ikinai. Waambie wamenung’unika sana kwa sababu ya kukosa chakula chochote ila mana. Hawataweza kuchukilia nyama tumboni mwao.”

 

“Lakini ni vipi waweza kupeana nyama ya mwezi mzima kwa mamilioni ya watu? Musa aliuliza. “Je makundi ya kondoo na ng’ombe yatachinjwa jwa ajili yao, ili kuwatosha? Au samaki wote wa baharini watakusanywa pamoja kwa ajili yao ili kuwatosha?”

 

“Kwa nini hauamini kuwa ninauwezo wa kutekeleza maneno hayo?” Bwana aliuliza kupitia kwa malaika “Nenda kafanye nilivyokuambia, na kasha utaona nilichopanga (vv. 18-20).

 

Musa akatoka na kuwaambia watu kuwa Mungu ameyasikia malalamishi yao na atawatumia nymama kingi mpaka watatamani hawageitisha.

 

Hapana shaka habari hii ilileta furaha katika makambi. Watu wengi walifurahia tu kwa kuwa Mungu aliwaahidi nyama mwezi nzima. Watu wengi hawakutambua kuwa alisema watajuta kuomba.

 

Wazee sabibi sachaguliwa

 

Musa aliowaleta wazee sabini na akawaweka wakasimama katika hema. Kasha malaika wa Bwana akashuka chini kutoka uwinguni na kanena naye, na akachukua roho aliyekuwa kwa Musa na kukiwekelea juu ya wazee wale sabini. Roho alipotulia kwao walitabiri. Lakini hawakufanya hivyo tena (vv. 24-28).

 

Wale wazee sabini walikuwa sanhedrini au governing council. Wale sabini walipewa roho sawa ambaye alikuwa kwa Musa na hili liliashiria wakati ambao Messiah aliwachagua sabini ya waliochaguliwa ambao walikuwa wakuu wapya wa Israeli. Walitumwa wawili/wawili (Luka 10:17 kama walivyokuwa wafuasi kumi na wawili (Marko 6:7).

 

Walakini watu wawili ambao majina yao ni Eldada na Medad waliokuwa miongini mwa wazee walio chaguliwa na Musa walikuwa wamebaki kambini. Hawakuenda kambini/hemani. Lakini roho alaiwashukia kwa wakati sawa na wengine na walitabiri kambini walipewa kuelwa kuwa au ulikuwa zaidi kutoka kwa Mungu kijana mmoja alikimbia akamuambia Musa Hesabu 11:26-27.

 

Twafaa kukumbuka kuwa Mungu hafanyi chochote isipokuwa anena kupitia kwa watumishi wake manabii, ambao ni wale ambao yeye mwenyewe anawachagua kutoka kwa watu wake.

 

Miezi iliyopita, wakati Musa alikuwa amewaombea wana wa Israeli kushinda katika vita kwa kuwadhambulia wa Amaleki kijana mmoja kwa jina Yoshua alikuwa amewaongoza jeshi la Israeli katika vita ilhali Aruni na Huri walimshika Musa mikono wakati Musa alipokuwa akiomba (Kutoka 17:8-13). Yoshua alikuepo wakati ule na wakwambia Musa awakomeshe Eldad na Medad kwa kuongea na watu pengine alidhani / alihisi kuwa kwa vijaja wawili kunena vile ungewapelekea Waisraeli kutoka kiongozi mpya.

 

Lakini Musa hakuwa na wasiwasi. Alitambua kuwa hii litokana na Mungu kuwapa Eldad na Medad ueleo maalum pamoja na wale wakuu / wazee waliokuwa wamechaguliwa kusaidia Musa kuubeba mzigo wa wana wa Israeli.

 

Ingawa roho Mungu hakupatikana mpaka siku ya pentekosti in zo ch (Matendo 2:1-4). Alipeana roho wake kwa manabii na kuhakikisha wengine kuwa alitaka kuwaongoza watu wake. Tazama karatasi nini roho mtakatifu tu? (No. CB3).

 

Musa akamwambia Yoshua “Je umekuwa na wivu kwa ajili yangu? Ingekuwa heri kama watu wote wa Bwana wangekuwa manabii kama Bwana angewatia roho yake (Hesabu 11:27-30).

 

Kware rafika

 

Baada ya wale wazee kurudi kambini, na Musa kurudi hemani pake, pepo kubwa ulivuma kutoka kwa baharini na akawaacha wakanguka katibu na kumbi, kama kiasi cha mwendo wa siku moja upande huu, na kama kiasi cha mwendo wa siku moja upande huu, kuzinguka nao ukafikila kiasi cha dhiraa mbili juu ya uso wan chi. Siku hiyo nzima na usiku na siku iliyofuatia watu walikwenda nnje na kuwakusanya wale kwake aliyepata upungufu alipata hamri kumi. Walizigawa koto kambini.

 

Mwishowe Musa alijua jinsi Mungu alivyokuwa anaenda kuwapa nyama wana Israeli nyama waliokuwa wakidai. Alikumbuka pia jinsi Mungu alivyowaleta kwake Kutoka 16:11-13 wakati ambapo watu walimungunikia kula manna kila siku.

 

Baada ya miezi ya kuwa hai kula manna, wana Israeli hapana shaka walifurahia kwa kuwa walipokea nyama walikula nyama ya ndege ni kama walikuwa na njaa.

 

Lakini pengine haikuwa jambo zuri jinsi walivyotarajia. Mtu akijenga matakwa ya kula kitu, hageuka kuwa yatakikana katika akili kuliko katika ukweli. Na ndivyo ilivyozuwa na wana wa Israeli.

 

Na kama ahadi ya Mungu kuwapa wa Israeli nyamba kwa mwezi mmoja. Alitimiza ahadi yake kupita kiasi idadi kubwa ya ndege walijazwa katika mifuko yaw a Israeli ingekuwa vymea, ingekaa zaidi ya mwezi mmoja. Hata ingekuwa na walafi wa wana Israeli

 

Adhabu yaja

 

Lakini wakati ambapo nyama ile bado ilikuwa kati ka neon yao na kabla hawajamtafuna hasi-ra la Bwana ziliwaka juu ya watu; Bwana awakapiga kwa pigo kuu mno. Watu walikuwa walafi na nyama ilikuwa kigumu kuwashinda. Wengi walianza kuugua na kasha kifo kikafuatia. Matumbo yao yalizoe manna mwepesi kwa muda mrefu. Alifanyishwa kazi na nyama ile waliomeza.

 

Wakati pigo lile lilipokoma, sehemy iliyokaribu na kambi ulikuwa kaburi kubwa. Kwa hivyo mahali pale palitwa kibroth hataava, inayomaanisha maana hapi walizikwa hao watu waliotamani katika lugha ya Kihibrania, kwa kuwa hapo ndipo walipowazika wale waliotamani vyakula vingine (Hesabu 11:33-34).

 

Mungu aliwalisha wana wa Israeli kama walivyoweza kulishwa, hivyo ni aliwapa vitu vepesi vya kual (manna) wengine walikufa kwa kuwa matumbo yao hayangeweza kumudu nyama walipowala wale kware. Ni wakti tu ambapo watu wana nguvu nfipo atupa nguvu nyama na kutulisha kupitia kwa roho mtakatifu. Nyama ngumu ni kuelewa maajabu ya Mungu.

 

Wakati mwingine Mungu atupa tunachooomba hata ikiwa ajua haitatufai ili tuweze kujua kutokana na matokeo yake. Lazima tushukuru kwa yale yote ambayo Mungu ametupa. Vutu vya kuvutia ambao wengine wanazo ambazo hatuna, au tama ya vitu ambavyo twaona ni mema kuliko yale tuliyonayo haipendezi Mungu.

 

Mungu ajua mahitaji yetu na ametupa katika mpango wake wana wa Israeli walipewa manna ili mkate na maji wao angekuwa hakika, ambao ni ahadi ya Mungu kwetu katika siku za mwisho jangwani (Zaburi 37:25; Isa 33:16).

 

Minamu na Aruni wampinga Musa

 

Kulingana na Josephy The antiquities of Jews Bk 11, Chax Musa alimuona mwanamke wa kama sehemu ya viya dhidi ya Ethiopia kushina kakubaliano ya kucha vitu, miaka arobaini kabla ya kutoka. Musa kama mwana wa mfalme katika nymba ya mfalme ya kutoka. Musa generali wa jeshi la Misri na mkewe alikuwa binti wa mfalme wa Ethiopia. Alimshawishi babake aache sehemu ya juu ya mto Nile ikiwa atamowoa Musa. Yaonekana ndiye aliyewaunganisha wana wa Israeli siku ya kutoka.

 

Hasira za Bwana ziliwaka juu yao (v. 9). Musa aliona aibu na alikasirika alipojua kuwa alienewa vibaya na nduguze isitoshe aliwahurumia kwa kuwa alijua Mungu angewahukumu.

 

Miriamu na Aruni walishusha pumzi walippona wingu limetoweka kuotka hemani. Aruni aliyeuka na kumtazama miriamu na akaruka kwa mstuko. Ngozi ya uso, shingo, mkono wa dadake ulikuwa mweupe; ulikuwa na ukomo. Aruni alitetemeka akiondoa uso wake kwake. Kwani alijua dadake alikuwa na ukoma (v. 10).

 

“Musa” Aruni alimwita kwa sauti ya kuogofya.

 

Ni kwanini Mungu alimwaadhibu Miriamu na Aruni

 

Musa alikuwa akitoweka polepole wakati huu. Alirudi kwa kuwa alihisi huzumu sauti ya Aruni. Alipomwona Miriamu alikasirika kwa mara ya kwanza Miriamu aliyoona mikono yake alizimia na kuanguka. Aruni alipoga magoti kando yake na kumwangalia Musa akimsihi akisema:

 

“Ee Bwana wangu nakusihi sana usituwekee dahambi juu yetu kwa kuwa tumefanya ya upumbavu na kufanya dhambi. Suimuache Mungu amchukuwa kwa ungonjwa huu mbaya.” Alisihi “Muumba atusamehe dhambi zetu pumbavu na amponye” (vv. 11-12).

 

Musa alipiga magoti, akainamisha uso wake chini na akamwita Mungu “tafadhali mponye”. Musa alimlilia Mungu “Wahurumie na umsaheme na Aruni dhambi zao. Tafadhali ondoa ugonjwa huu kwa dadangu saa hii” (v. 13).

 

Kasha Mungu akajibu Musa ghafla. “Kwa kutotii minamu lazima afungwe nje ya kambi na kuwa mbali ya uso wangu kwa siku saba”.

 

Kwa hofu na aibu, minamu aliongzwa nje ya kambi, ili akae katika taabu.

 

Kasha, Waisraeli walijiandaa kwa safari tena. Lakini mawingu yalisonga mbele nah ii ilimaanisha kuwa Mungua alikuwa akiichelewesha safari mpaka pale Miriamu angali rudishwa ndani tena (vv.14-15).

 

Baada ya wiki kupita, alitetwa ndani ya hema. Mungu alyajibu maombi yake na kumponya, eyey Aruni na Musa walichukuru wakati huo Miriamu alitubu kwa kujiyamba na kuongea vibaya kumhusu Musa. Ikiwa hangetubu, Mungu hangemuaondolea ugonjwa dhidi ya ile wa ukoma, na ungemsababisha kifo popoleple mwanywe mbali na watu wake kwa sababu yoyote, kulikuwa na jicho na ukatalivu kwa Miriamu, baadaye Musa na ndani na Aruni. Miriamu alijaribu kumshambulia Musa na kuvunja ukuu wake na alitumia mkewe Musa kama msingi wa shambulizi.

 

Ingiwa alijua kuwa Miriamu alifanya vibaya kwa kumuonea jicho na kuwa alikuwa akijaribu kueka masharti zaidi. Aruni alikubali kuwa Musa hakufaa kuamua pekee yake bila kushauriana na dadake. Lakini alitaka maneno yale yaachiliwe pale wakajadiliane pahali pasiri na Musa lakini Miriamu hakukusaidia kufanya vile.

 

Miriamu aliendela “kweli Mungu anatunyeshewewe na mimi kwa kile kinacho faa kufanya. Lakini Musa ajifanya kama kwamba ni yeye tu aliye na uhusiano na Mungu. Ikiwa hatakomeshwa atachokoa utukufu kwake mwenye na kufanya apendavyo na watu.

 

“Pengine umesema kweli” Aruni alisema. “Kujihisi mkuu zaidi unaweza kuwa na katokeo mabaya kwa mtu yeyote hata ndugu yetu Musa.”

 

Ni lazima ukumbuke mapigano kati ya mandugu katika bibilia lakini aliamua nduguye Abeli nduguze Yesufu walimwuuza utumwani, Yakobo aliiba haki ya kuzaliwa ya nduguye Esau na kulikuwa na wivu kati ya Rachael na Laha. Twafaa kukumbuka kuheshimu Mungu na tujaribu kuzuia shada katika familia au baina yetu.

 

Hakuna chochote ambacho kimewahi fanywa, fikiriwa au semua bila ya Mungu kujua. Ingawa Aruni na Miriamu walikuwa watumishi waliochaguliwa na muumbaji wao, walimchukiza kwa matendo yao, wivu na maneno mabaya waliyosema juu ya mtumishi mwingine aliyechaguliwa aliyekuwa juu yao.

 

Na malaika wa Bwana aliyasikia haya yote mara moja akamwambia Musa, Aruni na Miriamu. “Tokeni nje ninyi watatu mwende hemani mwa kukutania basi hao watatu wakatoka nje (Hesabu 12:4).

 

Aruni na Miriam waadhibiwa

 

Kasha malaika wa Bwana kama uwingu akasimama mlango ni mwa hema na kunena na Aruni na Miriamu.

 

Kasha malaika akasema “sikizeni basi maneno yangu; akawaponabii kati yenu, mimi Bwana nitajufunua kwake katika maono nabii kati yenu, mimi Bwana, nitajifunua kwake katika maono nitasema naye katika ndoto sivyo ilivyo kwa mtumishi wangu Musa; kwake nitanena mdomo kwa mdomo; maana waziwazi wala si kwa matumbo. Na umbo la Bwana yeye ataliona mbona basi ninyi hamkuoyopa kumenenea mtumishi wangu hayo Musa (vv. 3-8).

 

Miriamu alifunzza funzo ambao kila mmoja apaswa kujifunza kuwa kumena maovu dhidi ya watumishi ambao Mungu amewachagua. Kumtumikia au kumwakilisha ni kuongea maovu kuhusu aliyeimba ulimwengu na kila mmoja wetu. Mungu atuambia kwamba mwanzo wa hekima ni kwa kumheshimu (Zaburi 111:10 na Pro 9:10).

 

Baada ya Miriamu kuletwa ndani ya kambi/ hazerothi watu walisafiri kaskazini kwa siku saba. Ingawa ilikuwa msimu wa jua, walisafiri kupitia jangwa la Paran na kasha wakafikia kidimbwi kutuoacho kadesh au kadesh – barnea Hesabu 12:16 na 13:26).

 

Ni katika mipaka ya nchi ya Kanani mawingu yalisimana kwa muda. Baidi ya usiku mmoja Waisraeli walipata visima vingi pale na kulikuwa na nyasi ya kuototosha kwa mifugo yao. Ilidhihirika wazi kuwa Mungu alikuwa amekwisha panga kuwa wa Israeli wangeoa, wangepiga kambi pale kwa siku hadhaa.

 

(Bibilia nya the new international bible ndiyo ilitumika kwa kuadhiria katika karatasi hili)

 

 

 

q