Makanisa La
Wakristo Wa Mungu
[CB48_2]
Funzo:
Maji
kutoka Mwamba
(Edition 1.0 20060825-20060825)
Katika hii funzo tutaangalia na kusoma karatasi maji kutoka Mwamba (No. CB48). Lengo ni kusaidia watoto kuelewa mwelekeo kulingana na Mwamba na Maji na mfano ambayo injiushisa kilamtu.
Christian Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Copyright ă 2006 Diane Flanagan, ed.
Wade Cox)
(Tr. 2008)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia
yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org
na http://www.ccg.org
Funzo:
Maji kutoka Mwamba
Kuangalia kwa makini mambo ambayo inaushisa mwamba na maji na mfano amboyo imejiushwa kati yao.
Lengo:
Kutoka:
Maji kutoka Mwamba (Nu. CB48)
Maandiko kama hizo:
Esabu 20:7-12
Muundo:
Fungua kwa maombi.
Uliza watoto kitu wanacho fikiria kuhusu mfano wa Musa kuchapa Mwamba.
Zoezi inacho husisa Maji kutoka Mwamba.
Funga na maombi.
Somo:
Q1.
Ni mwaka mingambi Wanaisraeli walichukua katika mateso?
A. 40 (Num. 32:13).
Q2.
Numbari 40 ina mfano gain?
A. 40 ni nambari ya kujikinga (kutubu).
Q3.
Ni nini pia unaweza fikiria kuhusu nambari 40?
A. 40 jubili ambayo kanisa ilikuwa kwa mateso; Yuda alipewa mwaka 40 kutubu baada ya kifo cha kristo baada ya hekalu kuvunjuliwa; Nineveh alipewa siku 40 kutubu; Kristo na Musa wali funga kwa siku 40 kila mtu; kuna kweko 40 katika mwongozo wetu.
Q4. Israeli aliweka tenti wapi waki cha kifo ya Miriamu?
A. Kadeshi.
Q5.
Kuna maji kadeshi sasa hivi?
A. Hapana.
Q6.
Wanaisraeli wali fanyanini baada ya kugundua wana Maji kidogo?
A. Walilalamika (Num. 20:1-15).
Q7. Musa alifanyani baada ya wanaisraeli kulalamika na kulalamika?
A. Musa na Aroniwalienda kwa tenti ya kukutana na kuomba Mungu.
Q8. Jibu La Mungu ilikuwa nini?
A. “Twaa ile fimbo, ukuwasanya mkutano, wewe na Haruni ndugu yako, Ukauambie mwamba mbele ya macho yao utoe maji yake, nawe Utawatokezea maji katika mwamba, na hivyo utawanyashwa maji Mkutano na wanyama wao.”
Q9.
Musa alijibuaje?
A. “Sikizeni, enyi waasi; je! Tuwatokezee maji katika mwamba huu? Musa Akainua mkono wake akaupiga ule mwamba kwa fimbo yake mara mbili; maji yakatoka mengi.” (vv. 9-11)
Q10.
Kupiga mwamba kulimaanisha nini?
A. Kupiga mwamba na maji kutoka kulimaanisha kristo kama mwamba war oho (1Cor.10:4) kuwa uwezo ambayo tunapata maji ya uzima kutoka Roho mtakatifu wa Mungu (Jn. 7:37-39).
Q11.
Mwamba na maji inamanisha nini?
A. Mwamba inamanisha Eloah, na maji inamanisha Roho Mtakatifu.
Q12.
Nikwakati ngani wakwanza Mungu aliambia Musa apige mwamba?
A. Angali kutoka 17:6
Q13. Kulikweko na wakati wengine Musa aliambiwa kutoa
maji kwa Mwamba?
A. Ndio. Angalia Hesabu 20:8ff.
Q14. Je Musa alifanya yote Mungu alimwambia?
A. Hapana. kwa mara ya kwanza (Kt 17:6) Musa ali sikia maagizo ya Mungu. Katika Mara ya pili (Hes. 20:8). Mungu aliambia Musa kitu cha kuambia Mwamba, lakini Musa alichapa Mwamba mara mbili.
Q15. Kwanini Musa alichapa mwamba lakini Mungu
alimwambia aonge naye?
A. Aliwach hasira yake kwa watu kupata kizuri kutoka kwake na alipiga au Kuchapa mwamba mara mbili na Haroni.
Q16.
Jibu la Mungu ilikuwa nini?
A. “Kwa kuwa hamkuniamini mimi, ili kunisnistahi mbele ya macho ya wana wa Israeli, basi kwa sababu hiyo, hamtawaingiza kusanyiko hili katika nchi Niliyowapa (v. 12).
Q17. Je musa
alonyesha nia nzuri kweli?
A. Hapana. Kwa matetondo yake Musa alipewa watu tabia kuwa kupitia kwa nguvu Zake na sio uwezo wa Mungu itatowa maji, Haroni, aliongea na kuelewana kwa nia Mbaya ya ngunguye.
Q18.
Mungu anapendelwa upande moja kweli?
A. Hapana, ispokuwa Musa na Haroni walitubu makosa yao na matendo zao, hawaku kubaliwa kuenda misiri. Hata kama tuna tubu dhambi zetu mara kwa mara Bado tuna pewa tu wakati.
Zoezi: Maji Baluni Mwamba
Vitu zinazo takikana: 1 heliumi baluni kwa kila motto, maji, gazeti, Elemer’s Glue, masaini kubwa au kikombe kwa kila motto, rangi na kijiti cha kupaka rangi. Weak watoto wavae nguo yao ya zamani ua wakunya kazi nje ya nyumba au pahali pa kucheza.
Funga na maombi.
q