Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

[CB92]

 

 

 

Mfalme Daudi

 

(Toleo 1.0 20061206-20061206)

 

Ingawa Daudi alikuwa na nia ya kuwa kiongozi wa Israeli, kifo cha saulo kwa haraka haikungamiza kutenda kwa kitendo hiki. Hii karatasi imechapishwa kutoka kwa aya ya 96-97 wa hadithi ya kibibilia toleo la nne na Basil Wolverton, na kuchapishwa na chuo cha mafunzo ya uchapisho ya ambassador.

 

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

 

 

(Copyright ã  2006 Christian Churches of God, ed. Wade Cox)

(Tr. 2009)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 

 


Mfalme Daudi [CB92]

 


Tunazidi kuendeleza katika karatasi hii, Daudi, Nabal na Abigail (No. CB91).

 

Daudi awalilia Saulo na Jonathan

 

Baada ya Daudi na watu wake kurudi kutoka kwa vita kati yao na wanameleka, waliishi Ziklag. Siku tatu baadaye mtu alijitokeza kutoka penye Saulo aliishi na nguo zilizoraruka na vibuibui kwenye kichwa chake – ishara ya mauti katika nyakati za kale. Alipomwendea Daudi aliinamishwa kichwa chake chini kumpa Daudi heshima (2Sam. 1:1-2).

 

Umetoka wapi? Daudi akamuuliza

 

Nimetoka kwenye makaazi ya waisraelu, alimjibu.

 

Ni nini kilitendeka, Daudi alimlazimisha, mambo vle vita iliendelea.

 

Wanajeshi wetu wote walikmbia na maelfu ya watu wameuwawa na kuumizwa kwenye uwanja wa vita. Saulo na wanawe Jonathan ma miongoni mwa waliokufa. Alijibu.

 

“Umejuaje wamefariki? Daudi alimwiliza (vv. 3-5).

 

Alimjibu nilikuwa kwenye mlima wa Gilbea nilimwona Saulo akiinamia mshale yake na mahasidi wakikaribia. Aliponiona aliniita ili nimje. Ainiuliza milokotoka nimwambia mimi ni meelejita. Aliniambia kuwa ameumizwa na alikuwa na uchngu mwingu. Aliniomba nimue kabla ya kakaripiwa na Wapelestina. Nilifanya alivyowashiria na kumdunga kwa maana mlijua hangejinusuru. Nilichuka alochokuwa nacho na kukuleta kiongozi wangu (vv. 6-10).

 

Haikukaribia kabla ya Daudi kutoka idhibati ya maombolezi ya kitaifa wa wanaziklag, kutokana na kitamaduni, walirarua nguo zao, walilia na kuombeleza kutokula chochote (vv.11-12).

 

Daudi akamwambia huyu mtu aliyemwendea kuwa “alitoka wapi?’

 

“Mimi ni Mwaamekite,” akajibu.

 

Mbona uliua Mfalme wa Mungu? Daudi akamuuliza.

 

Daudi akawambia wanajeshi wake kumpiga huyo mmelekita. Alimtwanga akaanguka na kufariki. Daudi akamwambia damu yako we kwenye kichani mwako. Wewe mwenyewe ndiye wanekiri kuwa umemua mfalme aliichaguliwa na Mungu (vv. 13-16).

 

Sababu Saulo alichaguliwa kuwa mfalme na Mungu Faudi hangekubali mtu amue. Daudi aliangukia mshale wake lakini ulingana na hadithi imelekita alamua. Mungu aliacha hiyo kutendeka sababu Saulo hakumwogoka Mungu kulikana na Agag na wanamelekita (1 Sam 15). Hata huoyo mtu alisema aliombwa na Saulo amue, hakuaminiwa na akauliwa sababu ya kumua mfalme.

 

Saulo alifariki kwa sababu ya kutengana na Mungu kwa ajili ya kuomba ushauri kutoka kwa mwanamke badala ya kumwendea Mungu. Sasa Mungu alimlinga na kifo na kumpa Daudi ufalme (1Sam. 28:7ff.; 1Chr. 10:13-14).

 

Kwa kuwapa heshima kiongozi wa Israeli na upendo wake kwa Jonathan, Daudi alitakikana kuwa na ushawishi tosha aligundua kuwa angekuwa kwa niaba ya Saulo na Jonathan (2Sam. 1:17-27).

 

Katika masiku yafuatayo Daudi ililazimika kuwa na uthefu kama mfalme Israeli na kuntazama Mungu kupitia abiatha muombaji wa kanisa kumwonyesha afaayo kufanya. Mungu aliweka kujilikana ili Daudi wa watu wake wote na familia zao kuenda Hebron kutoka Ziklag, mji mkuu wa Kabila ya Juda, daudi lwa heshima yake alienda wanajeshi wake mia sita (600) kutoka kwa ukoo wa Benjamin, Gad, Juda na Manandia (1Cor.12:1-22). Aikubaliwa baadaye kutembea Israeli bila ya oga ya kusigiriwa.

 

Daudi Kuwa Mfalme Wa Juda

 

Baada ya Daudi kuweka Hebron makao yake makuu, viongozi watatu wa Juda walikutana kutengeneza sherehe iliyonganishwa na Abiathar kumchagua na kumtangaza Daudi kama kiongozi wa kabila yake (2Sam. 2:1-4).

 

Wakati Daudi alipogundua wakati watu walivyojeruhi miili ya Saulo na mwanawe kutoka kwa Wafelistina. Aliwatuma watume barua na barua ya kuwasifi kwa kazi hiyo mufti. Hakutaka watu wagundue ilitoka kwa mfalme ambaye angekuja na hakutaka ijulikane kuwa yeye ndiye mfalme wa Juda (vv 5-7).

 

Vita Kati Ya Nyumba Ya Daudi Na Saulo

 

Ingawa Daudi angefaa kuwa mfalme wa Israeli. Kifo cha Saulo haikuipenda nafazi hiyo kutendeka. Abner mkuu wa majeshi wa Saulo alidhukua mwanawe wa kiume wa Saulo na kumplekea Mahanaim.Ingawa hakupewa idhibati na Mungu kufanya hivyo Abner alimweka mfalme wa Israeli. Wafalestina hawakuwa wamefika na waliokuwa walipeana heshima kwa Saulo. Wangealia mwanawe kama anayemfuata.

 

Makabila yote isyokuwa Judah yalimkutali Ishabeeth, na kuchukua hatamu ya uongozi kwa miaka miwili. Nyumba ya Juda walimfuata Daudi kwa muda mrefu Daudi alikuwa kiongozi wa Juda, kule Hebron ilikuwa na maika saba (vv. 8-11).

 

Abner na Ishbosheth hawakufurahishwa kwa maana Daudi na ukoo wake wa Juda walienda kutengana na Ishbosheth na uongozi wake. Baaday Abner na watu wa Ishbosheth waliacha Ibrahim na kuenda Gineon.

 

Yakubu kiongozi ya wanajeshi wa Juda na watu wa Daudi walienda kukutana na penye kidimbwi cha maji cha Gibeon. Yakubu na wanajeshi wake walitengeneza makaazi ya muda mbali na majeshi ya Abner. Abnet alimpigia Yakobo kupitia kidimbwi cha maji.

 

“Badala ya kukaa hapa kwa nini tusiwakubalia wanaume wetu wadogo kupigana mikono kwa mikono mbele yetu,” alisema.

 

Yakubu alikubali, sasa wanaume kumi na wawili walichaguliwa kila upande kupigana (vv. 12-14).

 

Baadaye kila mtu alimshika mhasidi wake kwa kichwa na kuichomoza mishale yao kiupande, wote walishuhusia ukali na umwagikaji walipoanguka pamoja (vv. 15-16).

 

Mapigano Ya Kifo Asahel

 

Wakati watazamaji waliwaona waume zao wakiagnuka, punde zote tatu zikaanza kupigana. Watu wa Yakubu waliwashinda wale wa Abner wake (v. 17).

 

Mandugu za Yakubu, Bisahai wote walikuwa kwenye vita. Asahe, alikuwa mkimbiaji halisi na kujipiga na kutoka kupigania na Abenr akiwa na nia ya kumshinda.

 

Wakati Abner alitazama nje na kumwona akija alimwita, wewe ni Asahel?

 

Ndio, mimi Asahel alimwambia.

 

Nenda ukamfuata mtu mwingine Abner akamwonya.

 

Lakini Asahel alikataa na kuendelea kumkaribia.

 

Abner alimpigia kelele tena, toka hapa. Singeweka kumkapia ndugu yako Yakubu ikiwa naweza kukuua.

 

Lakini alikataa kumsikiliza na Abner akamchunga na mshale kwa tumbo na kupitia nyuma yake. Asahel alianguka chini na kufariki na Abner akaendelea na kazi ya vita. (vv. 18-23).

 

Yakubu na Abishai walimkimbiza Abner wakati jua lilipozama, walifika kwenye lima ya Ammah. Wakati wanabenjamin waliposikia haya wengi wa kabila yake walimuunga Abner aliacha vita na kuomba usalama kati yao.

 

Kwa nini haya mauaji lazima yaendele” abner alimlia Yakubu. Iataendelea kushababisha maangamizo baadaye! Sasa hivi tumejitayarisha na wanabenjamin kukupinga na tunaamimi utakubwashauri watu wako kuacha kuwafuata watu wao.

 

“Kwa uhakika vile Alunga anaaisha?” Yakubu akasema, kama hungeomba amani iwepo hatugeacha kuwafuata kabla ya asubuhi” (vv. 24-27).

 

Yakubu aliupuliza tammbeta na watu wote walipa heshima, waliacha kuwafuata wanaisraeli na kutopigana tena.

 

Wakati Abner aliona kuwa hatakuwa na shida ya kivita tena katika nyakati za Yakubu aliwatangulisha wanaume wake na kutembea usiku kucha kupitia Arabah. Walipitia mto wa Jordani na kuendelea hadi wakafika Mahanaim.

 

Hata kama Yakubu na wenzake walitembea usiku kucha kumdi Hebron ulipofika mchana. Walimbeba Asahel aliyekufa nao na kumzika kwenye kaburi la babake Asahel.

 

Kule Bethlehemu – kionyeseka kwa Asahel Yakubu aliwapoteza watu ishirini kwenye vita na Abner. Ilhani Abner aliwapoteza wanajeshi mia tatu na ishirini. Ilikuwa hadhara kuwa Mungu hakumsaidia Abner kwenye bidii yake kumeneza Ishbosheth kuwa mfalme wa Israeli (vv. 28-32).

 

Hiyo nchi ilikuwa mwanzo na vita ndefu kati ya wanajeshi wa Daudi na wale wa Ishbosheth. Nafasi ya Daudi ikaeneza na kuwa kubwa nay a nguvu hana nguvu (2Sam. 3:1).

 

Wanaume wengi walisaliwa kwa nyumba ya Daudi alipokuwa kule Hebroa. Mkubwa alikuwa Amnon mamake Alinoam. Mwanawe wa pili, chilead mamake Abigail, mkewe wa zamani wa Nabal wa carmel. Mwanawe wa tatu Abssolon alizaliwa na Maccah. Wa nne alikuwa Adonijah aliyezaliwa na Haggith. Halafu shephatiah alizaliwa na Abital na Ithream alizaliwa na Egbosheth. (vv. 2-5)

 

Kupunguzwa na nguvu za uongozi na kufanya jukumu kuchukua nguvu zaidi kwa wale walioendelea kwa mwanaminifu kwa Saulo.

 

Ingawa Ishbosheth na Abner walianza kutengaza wakati ishabosheth alisema alikuwa na mapenzi na Rizpah aliyekuwa mmoja wa wake wa Saulo. Kwa kusikiza haya Abner akakasirika.

 

“Unafikiria kuwa unaongea na mbwa?” Abner alipiga kelele akimwendea na kumwandama mwanawe wa kuime wa saulo. “Kama hangekuwa kwa sababu yangu, zamani ulikuwa kwa mkono wa Daudi. Nimejaribu sana mikuneke kwenye uongozi na uongozi wa Israeli kwenye mkono wa mmoja wa babaye aliyewachagua, na unataka kunikalia na kuharibu nia yangu kwa mambo mabaya kunihusu!”

 

Ishbosheth hakuwa na chochote cha kusema Abna kwa sababu alijua bila Abna hangebakia kwenye kitu kinachopiganiwa (vv. 6-11). Abna alikasika sana na mtume wake kwa Daudi kuongea kuhusu jambo-ataungana na Daudi na kuwaleta pamoja wanaisraeli kama itamfurahisha Daudi kukubali kazi yake

 

Abner Amuendea Daudi

 

Daudi alikuwa na imani kuwa Abna alikuwa akitafuta kufaulu kwake, lakini alikuwa na tabia zinazofurahisha ya kuwa kiongozi ya wanajeshi sababu alionekana kama mtu mwdenye hekima. Hakuwa kuwa Abna alikasirika kwa sababu ya kushtakiwa na Ishbosheth.

 

“Nitaikaribisha usaidizi wako kwa njia moja”Daudi aliandika ujumbe kumwendea Abna. “Usije kuungana nami kabla hujaleta Michal, mwanawe wa kike wa saulo na mke wangu wa kwanza. Saulo alimchukuwa kutoka kwangu lakini bado namhitaji.”

 

Kwa wakati huo huo Daudi aliwatuma mitume kwa Ishbosheth akilazimisha kuwa Michal arudishwe kwake. Ishbosheth aliwaambia watu wake waende wakamletee Michal kutoka Phaltiel, aliye mpa Saulo baada ya Daudi kulamishwa kutoka  na kukimbilia msaada wake. Mumewe alimfuata akalia hadi Bahurim. Abna alijitokeza na kumlazimisha Phaltiel kumchi kwake na akaenda (vv. 12-16)

 

Ilikuwa muhimu kwa Abna kuwa anafaa kuwajulisha wakuu wa kijiji cha Israeli. Kuwakumbusha kuwa tangu zamani walimtaka Daudi kuwa mfalme.

 

“Sasa ni wakati 1” Kwa maana Mungu amesema. Ni kwa wafilistina na  masahibuwao wengine.

 

Baadaye, Abna na wanajeshi wake ishirini walimpeleka Michal pale Hebro.Daudi alifurahi na pengine hata Michal alifurahi kurudishwa kwa mume wake wa kwanza hata kama alikuwa karibu kuwa mfalme wa Israeli wote.

 

Daudi alimtoa Michal kwa sababu kisheria bado alikuwa mkewe. Kwa usawa mwingine kanisa ilipewa kwa messiya kupitia kwa kubatizwa. Tumeahidiwa kwa kristo na tutapewa kwake kama mfalme

 

Kujifunza Kuwa Mfalme

 

Kuonyesha shukrani kwa Abna kwa kuisaidia kuwaunganisha wana Israeli, Daudi alijitayarisha sherehe kwa Abna na wanaume wake. Sasa Abne alipata njia ya kumlipa kisasi Ishbosheth ya kuwa kuongozi wa Israeli.

 

Halafu akawambia Daudi, wadaa huenda mara moja na kuwasanya Israeli kwa sababu ya mfalme ili sababu umeitamani “Sasa Daudi alituma Aban na kubaki kwa amani (vv. 17-21).

 

Kuanguka Kwa Abna

 

Baada ya Abna kutoka yakutu na wanajeshi wengine wa Daudi walirudi Hebron baada ya mapigano. Walifurahi kwa sababu ya salaha muhimu na chakula na walivyoharibu vingine waliuchukua kutoka kwa mwadini wao. Fikira za Yakubu ailibadilika kigafla aliposikia Aban alimtembelea Daudi na kuambiwa aende kwa amani.

 

Yakubu hakupoteza muda wowote kumwendea Daudi Yakubu hakupenda Aban sababu alimua mmoja wa ndugu zake kwenye vita, na kwa sababu alijuwa Abne angechukua hatamu ya uongozi kama nahodha wa Daudi.

 

“Unawezaje kuwa marafiki na Abna?” Yakubu alimwuliza Daudi, kwa nini ulimwacha aende? Alikuja kukudanganya na kutazama mwendo wako na kujua kila unachofanya!

 

Yakubu aliwacha Daudi na kuwatuma watume kumfuata Aban na kumleta. Lakini Daudi hakujua Abna aliporudi Hebron, Yakubu alimpeleka pande kwenye lango kuu kuongea naye kisirisiri. Na hapo kulipa kisasi nduguye Abahel, Yakubu alimdunga tumbani na akafa (vv. 22-27).

 

Daudi kumuombeleza Abner

 

Wakati mauaji ya kinyana ilipomfikia Daudi, alihuzunisha kwa haraka alitangaza kwa kuwa yeye ni mfaleme wake haukuhusiana na kifo cha Abna. Alisema aliyehusika anafaa kuwa Yakubu na kuwakani Yakubu na wajukuu wake.

 

“Magonjwa tofauti kama kisonono, kaswende and shida nyingi zitamjia Yakubu na waliomfuata! Daudi alisema,” watakuwa viwete, maskini na wahusika kwenye ajali mbaya vile Mungu anaitazama” (vv. 28-30).

 

“Daudi alimwambia Yakubu na watu wote walikusanyika hapo,” rarua nguo zenu na mweke kwenye gunia na wamwomboleze Abna.”

 

Daudi alifuata jeneza la Abna hadi kaburini kule Hebron na mfalme alilia kwa sauti kwenye kaburi ya Abana. Kulikuwa na milio nyingi za sauti ya juu kwa sababu mauwaji wa kinyama ya ulipazi uzazi.

 

Daudi alifunga kwa siku moja, ingawa marafiki wengi walimbembelza akule ili asiwe na fikira. Alihakikisha kufunga kwa siku nzima na watu walimenzi kwa kufanya hivyo. Sasa nchi nzima, Juda na Israeli walijua kuwa Daudi hakuhusika kwenye mauaji wa Abna.

 

“Wamentuma mtu mkuu kwenye kifo,” Daudi alisema. Lakini kama mfalme sitarajii kukabiliana nao kwa wakati huu. Nitamwachia Mungu na atakumbana nao vilivyo kuhusiana na dhambi zao. Mungu ndiye atakuwa mhakimu wao” (vv. 31-39).

 

Mipango Na Kuzungumziwa

 

Wakati Ishbosheth na wafuazi wake walisikia kifo cha Abna, walitatiza. Aligundua kuwa siku zake kama kiongoz wa kusinimwa Israeli inaangamia kwa sababu yote yalikuwa kwenye iligamka mara mbili Baanah na Rachab, kila mtu waliokuwa macho kwenye kichwa angekuwa na sihda zaidi (2 Sam 4:1-3).

 

Siku moja kama saa za alasiri, wakati kazi ilikuwa chini sababu ya joto Baanah na Rechab walifika kwenye boma la ishbosheth. Walidanganya walikuwa wakitaka ngano kutoka jikoni na kwa haraka kungia kwenye chumba cha kulalia cha Ishbosheth. Hawa wanaume wawili walimdunga akiwa analala na kukata kixhwa chake na kuenda nacho.

 

Walimletea Daudi kichwa kule Hebron na kumwambia mfalme, “ndio hii kichwa cha Ishbosheth mwanawe wa kiume wa mhasidi wako saulo aliyejaribu kukua. Leo Mungu amekupa ulipazi wa kizazi kwa Saulo na familiwa yake yote” (vv. 5-8).

 

“Kitu kama hili lilimjia zamani,” Daudi akasema akiwatazamia Rechab na Baanah. “Mtu alimjia kue Siklag na kuwambia kuwa yeye ndiye allimuuwa Saulo. Alitarajia pongezi na vile mnatarajia kupewa zawadi, hakukuwa na sababu inayowafanya mimi nimefurahia kwenye kifo cha Saulo kwa kweli sikufurahia na mkatoa onyo huyo mtu aangamizwe. Pia sina furaha kutazama kichwa cha Ishbosheth na mnasema kuwa mlimua na mtachkuliwa kama wauwaji. Kuma mtu akiwa uzingizini una zawadi mmoja.”

 

Daudi alitoa mari kwa watu wake na wakauwawa walikata mikono na miguu na kuwafanya kwenye kidimbiwi cha maji lililoko kule Hebron.

 

Kuonyesha heshima kwa Ishbosheth, Daudi alitaka mabaki zake zizikwe kwa heshima kwenye kaburi la Aban lililoko Hebron. Matendo haya zilihishiwa kwa wana Israeli kuwa Daudi anafuata haki lililimfanya ahehsimuwe zaidi (vv. 9-12).

 

Mlfame Wa Israeli Yote

 

Kwa mika kandhaa kabila zote zilifuata Daudi na kuwatangulia wengi kwa kumheshimu (1Chr. 12:1-22).

 

Baaday ya Ishobosheth kuuwawa, kabila yote ya Israeli walikusanyika kule Hebron. Walimkumbusha Daudi kuwa kwa sababu wana Israeli wote in familia moja, na Daudi nimwerevu na kiongopzi shupavu zamani na chifu chini ya Saulo, walitakia kufahamu kama mfalme Israeli (2Sam. 5:1-3, 1Chr. 12:23-40).

 

Sasa Mungu alitenda na kufanya vitu iwe hivyo kwa saa hiyo, Daudi baada alichaguliwa kama kiongozi wa Israeli. Alikuwa na mika thelathini na saba alipochaguliwa. Angefurahia kama angejua angekuwa mfalme kwa miaka thelathini na tatu (2Sam. 5:4-5, 1 Chr. 29:27).

 

Daudi alimwekwa mfalme kwa wanaisraeli wote akiwa na mika thelathni na kuongoza miaka arobaini kwa jumla. Kutokana na wakati Samweli aliteua mpaka awe na mika thelathini. Daudi alikuwa akijifunza kuwa mfalme. Kule Israeli mwanaume angefaa kuwa na miaka thelathini ili awe mwalimu kwa sababu hii Kristo hakuanza kufundishwa hadi alipokuwa na miaka thelathini.

 

Daudi Azingira Jerusalemu

 

Jambo moja la kuistiwa iliyofanywa na Daudi ilikuwa ni utoa wanajeshi kuwazingiwa mji wa Yerusalemu. Mahali hapa ulilindwa na wanajeshi wana Canani wa zamani. Ilikuwa mbaye na wanaisraeli kuwaacha maadui yao kuendela kuishi katikati mwa nchi.

 

Wakati Daudi na wanajeshi wake walingia Yerusaelmu, mkuu wa Yerusalemu aliwatuma watume wake kwa Daudi ili amwambia kuwa ukuta wa Yerusalemu inalindwa na viwete na vipofu sababu wana nguvu na wanauwezo wakuwasaidia wanajeshi wa Israeli. Hii ilikuwa kama matuzi kwa Daudi, Daudi alizingiranyi wa Zaioni (2Sam. 5:6).

 

Daudi aliwaambia wanajeshi wake kuenda uu kupita bomba maji na waamribu viwete an vipovu wa wanajebaisita. Kwa muda mfupi Yerusalemu ilichukuliwa na wanajeshi wa Daudi. Daudi alianza kuuishi humo na kuiita mji wa Daudi. Aikuwa anazidi nguvu kwa kila mara kwa sababu Mungu alikuwa naye. (vv. 7-10).

 

Mfalme Wa Kirafiki, Mfalme Hiram

 

Wakati mfalme Hiram alisikia haya kuwa wanaisraeli wamechukuwa Yerusalemu alifurahi. Kama zawadi kwa Daudi ambaye angetaka wawe marafiki, Thram aliwatuma mafundi kule Yerusalemu kujenga mahala pa kuishi ya wanaisraeli. Alituma mbao za kutoka pwani (vv. 11-12). Daudi alisifu huu tendo wa ima nziri. Wanainchi wake hawangeweza kujenga vizuri kama wale wa Tyre. Mwaka nyngi za shida imewazuia kujeendeleza kwa kinjengo waliyotaka.

 

Alivyosikiwa kule Yarusalemu na nchi yake ikawa ya nguvu na kuungana. Daudi alingundua kuwa Mungu amempa uongozi. Alishukumu na kuwa mpole. Alilazimisha kupewa heshima kwa Mungu na sheria zake. Hauacha kuwakuumbusha nci umuhimu wa sababu za kuwa mwaminiu kwa muumbaji.

 

Hata Daudi hakurajibu kuzuia kuwa na nia kuwaoa wanawake wengi na wafanykazi. Wamaume bna wasichana wengi walizaliwa kwa Daudi na wake wengi wafanyikazi (vv. 13-16).

 

Daudi Anashinda Wafilistina

 

Wakati wafilistina walosikia kuwa Daudi alipewa cheo cha kuwa mfalme wa Israeli. Walijitokeza kumzungira Daudi. Ujumbe zikaanda kimingilai Daudi kuwa Wafilistina wanataka kummaliza na kuenda kwenye maombi ya lazima. Wafilistina walifika na kugawanyana kwenye vale ya Rephaim.

 

Daudi hangejua ratiba yake ya kivita ingekuwaje alijyuwa na ukumu la kumwuliza Mungu afanye hivi. Alipoambiwa wanaisraeli wangeshinda ikiwa wangekafiliana na hawa majazuzi na imani yake ikarejeshwa.

 

Hakuwakimbiha haraka wafilistina sababu alijua Mungu anweza na angeweza kumsaidia. Alitumia mbinu nzuri ambayo Mungu alimtarajia kufanya. Naye Daudi akatoka kupigana nao.

 

Makabiliano kisichoeleweka cha Israeli haikueleweka na Walistina. Wengi wao waliwawa na Waisraeli hadi wakashindwa. Wafilistina waliacha Mungu yao hapo, Daudi na wenzake walibeba (vv. 17-21).

 

Wafilistina walirudi na kujigawanya kwenye shime ndufu ya Rephaim (vv. 22). Tena Daudi alimwuliza Mungu atakachofanya. Mungu alimwambia asimwe na kulanza kuwakabili ilhali aende nyuma na kuanza kuwakabili kutoka nyuma na mtu inayoombeloza (SHD 1057, perhaps mulberry trees KJV). Na alikuwa Balsam kwa tabia ya miho yao. Alifaa kuongea nyuma na watu wake hadi upepo mkali nje na kusababisha mlio ya miti. Hii ndio ilikuwa mwanzo wa makabilian ya wanaisraeli.

 

Daudi alitenda alivyoagizwa na Mungu na kuwashinda waisraeli kutoka Gibeon hadi Gezer (vv. 23-25).

 

 

Daudi Aleta Chombo Cha Masikilizano Yerusalemu

 

Daudi aliwachukia wanajeshi elfu thelathini na kuwapelekea Baale wa Juda kuleta chombo cha mazikilizano Daudi alienda kwa boma la mtu anayeitwa Abinadah aliyekuwa Gibeah (2Sam. 6:1-2, 1Chr. 13:5-6) chombo hicho kimewahi kuwa hapo kwa miongo mingi penye ililiachwa na Mwilisti Eleazar mmoja wanawe Abibadab wa kiume (1Sam. 7:1-2).

 

Chombo hicho kiliwekwa kwenye mkokoteni mpya aliyoushwa kwa sababu ya kuidaficha ingawa Mungu hakutarajia hivyo. Uzzah na Ahio, wawili wa wanawe Abinadalo waliwaongoza na kufuata fahali waliobeba chombo hicho kupeana nafasi ya sherehe ya kuipekwa Yerusalemu, wanamuziki na Daudi walitembea mbele ya mkokoteni wakipuliza sanaa zo za ngoma. Daudi alitembea nyuma ya mkokoteni na nyma yake ni maelfu walioenda naya kuchukua chombo hicho (2Sam. 6:3-5).

 

Hapa fanaone Daudi anafuata mfano wa walishina (see 1Sam 6:8) isiyo mwelekezo wa Mungu (Ex. 25:10-16; Num. 4:5-6,15). Chombo hicho kingefaa kubebwa kwenye bega la wanalivi (see 1Chr. 15:13-15) kinachofuata ni kuona italeta tatizo lolote.

 

Wakati sherehe ilikaribia Yerusalemu mmoja wa fahali ilijogonga kwenye kisiku. Chombo hicho kwenye mkokoteni ilidanadana hadi karibu iharibike.

 

Bila kutoka usaidizi wa yeyote ambayo ingetokea, Uzaah alifikia kuishi mkono mmoja kilichokuwa tendo lake la kimaisha (2Sam 6:6-7). Chombo hicho kingefaa kuguzwa tu na miti aliyowekwa na kuiguza haitakikani. (Num 5:15) Mungu hakumwonea Uzzah uruma ingawa nia yake haikuwa ile mbaya. Uzzah angejua yatakayofuatia kwa sababu wanalevi walikuwa. Nakala ya maneno ya Mungu. Walitakiana wajne walichokuwa wakitenda na kuweka maandiko huu mbele yao. (Deut. 17:18-20) see also the paper. The Ark of the Covenant (No. 196).

 

Daudi alippona kuwa Uzzah amefariki alikazirika. Sherehe iliyokuwa iliharibika. Hii ilikuwa kama kielekezo kwa Daudi  kuwa wanaomtaminia bwana wanafaa kusheshimu sheria zake. Daudi aliogopa na kuamua kutopeleka chombo hicho mbali kilciho alipofikia. Alipeleka kwenye boma lililokuwa karibu litalo Abededom aliyetoka Gath. Alihakia hapo kwa miezi mitatu na Mungu akawabariki Obededom na familia yake yote (2Sam. 6:8-11).

 

Wakati Daudi aliyasikia haya aliamua kwenda mara moja kule Yerusalemu.

 

Wafilistina walihukumiwa na magonjwa na shida mbalimbali walipokuwa na hicho chombo kama yao. Ingawa hii nyumba liyomwogopa Mungu alibarikiwa inatuonyesha kuwa uokovu ungeenezwa kwa wale wasioamini.

 

Baada ya kupanga na kuutengeneza vizuri Daudi na mhubiri mkuu waliwalekeza watu wa Levi vile wanavyofaa kuibeba (1Chr. 15:2). Walibeba wakitembea walivyofaa kufanya wakiwa wameshuka vyiti kwenye mabega yao. Wanamuziki na waimbaji walienda mbele na muziki ulikuwa bila kusimamishwa na kupiga kelele kwa hali ya juu. Kama awali umati kuu ulifuata, kila mara walikuwa na hiki chombo wamliki wangetoavyao na tolea kucokema kwenye altari yawakati vitu ambayo iliyengwa jiani kuelekea Yerusalemu.

 

Wakati walipokuwa wakiingia mjini, Daudi alifurahi na kushukuru na walionyesha moyo wa kucheza mbele ya Mungu na uwezo wao. Ahraa nguo ya mbinguni mkuu. Umati ulifurahi (2Sam. 6:12-15). Hata Mungu pengine alifurahishwa sababu bibilia inasema tunafaa kumwabudu Mungu na nyibo muziki na hata kucheza vizuri (Zauri 33:1-3).

 

Muziki na kuimba ilikuwa moja wao wa vitu vya maombi vya Israeli chini ya Daudi. Tunafahamu kuwa daudi alikuwa mpiga muziki na aliandika zaburi na kuiba.

 

Sasa hicho chombo cha maelewano ililetwa na kelele nyingi muziki na kucheza. Kila mtu alifurahi isipokuwa mfalme Daudi. Lakini kilikuwa na yule aliyetazama kupitia dirisha kama kungekuwa na kitu bali furaha. Alikuwa Michal mwanawe wakike wa Saulo na mkewe Daudi (2Sam. 6:16, 1Chr. 15:29). Hakumtaka mumuwe kwa sababu ya yale aliyotatenda. Alifikiria ni jambo la kushishtajaabisha Daudi kucheza kama mtu yeyote.

 

Chombo hicho kilipelekwa kwenye chandama lilitengenezwa na Daudi kwa ajili yake. Toleo na vitu vingi vililetwa na kutengenezwa. Chakula kingi kiligawanywa umati uliokuwa hapo kama mkate nyama na mayai. Baada ya kila mtu kukula Daudi aliwapa baraka na wote walirudi kwao (2Sam. 6:17-19).

 

Daudi alifurahi kwa sababu ya kilichokuwa kikitendeka kwa siku. Kama ilikuwa imeisha na kila mtu alienda nyumbani. Daudi alienda kuwabariki familia yak. Alkini Mihal alitoka nje kukutana naye akiwa amudhika.

 

“Vile mfalme msifiwa wa Israeli alikuwa leo! Alijionyesha kwa masehamia njiani kama mtu wa kawaida.”

 

Nilikuwa nacheza mbele ya Mungu aliyechagua mbele ya babako na familia yake; na aliyemchagua kama kiongozi wa Israeli. Kwa hivyo mlijifanya kama mjinga kuonyesha furaha yangu kwa Mungu. Naamini waliomtazama wana heshima nyingi kwa tabia yangu kushinda Mungu wana kama yako unayeona kwa kunishtaki kwa kujionyesha kwa wanawake wadogo!

 

Kwa sababu ya kuongea vibaya kwa mfalme. Daudi, Mchal hangezaa motto yeyote (vv. 20-23).

 

Kwa mambo ingi za ndani kuhusu uongozi wa mfalme Daudi na kazi zake za kiroho zilizohusika, see the paper Rule of the Kings Part II: David (No. 282B).

 

q