Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

[088]

 

 

 

Mwanzo wa Funzo ya Imani wa Wakristo Mpaka Quartodeciman Schism wa 154-192 CE

 

(Toleo 1.0 20020810-20020810)

 

Trinitari hawaku kuja kuwa mpaka kutambuliwa wa kamati wa Constantinople katika 381. katika Nicea kwa 325 Wa trinitari hawaku tambulika. Ni mwamnzo wa Binitari waliwekwa hapo. Makanisa katoliki wote walikwa Untrinitari hadi jingo ya sasa Kuingia Roma kutokwa maombi ya Attis Mwanzo wa Kardne wa tatu.

 

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

 

 

(Copyright ă 2002  Wade Cox)

(Tr. 2009)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 


Mwanzo wa Funzo ya Imani wa Wakristo Mpaka Quartodeciman Schism wa 154-192 CE



Utangulizi

Maoni ya kanisa kwa Roma katika ya karne ya pili ni kwamba Kristo ndiye alikuwa malaika kuu wa agano la zamani aliyempa Musa sheria. Hayo yapo kwenye Justin Martyr’s First Apology kwa mkuu wa Ropma kwa miaka ya kanisa siku za 150-155CE. Kutokana unitaria kwa ya kanisa katikati mwa karne ya pili na viumbe vya wasioanini karne ya tatu na maoni ya Binitaria ya Nisea na kurudi kwa unitana kutoka 327 hadi trinitaria 381. Mahala katoliki ya kisasa kingeharibiwa kulingana na karne ya pili na tatu kule Roma. Ukiachana na maneno zuri shule ya wanynzi na Yesu.

 

Jukumu kuu wa ukristo unaonyeshwa katika karne ya nne. Zote zajaribu kuweka fikira za Constantinople kwa njia za mapema.

 

Nicene creed imetolewa na canone of Constantinople kwa mwaka wa 381. Canone ya nicea zilipotea na kridi mpya ilitengenezwa ili iwe kama iliyotengenezwa hapo awali.

 

Zote zinafanania na mafunzo ya wanafunzi wa Yesu.

 

Fikiria ya kuwa iliandikwa na wanafunzi wa Yesu siku ya pentekosti zinajulikana kwa miaka za kati zinazongamshwa kisasa na karne ya sita. (cf. Pseudo Augustine in Migne P. L. XXXIX, 2189 and Pirminius ibid LXXXIX, 1034; Catholic Encyclopedia Vol. 1, p. 629).

 

Ni wazi kuwa ihshazungumuzwa kwa maubiri ya ambrose (Migne P. L. XVII, 671; Kattensbusch I, 81). Maubiri hayo inadnya tofauti ambao wakageuka kama wanafunzi wa Yesu kumi na wawili.

 

Rufinus (ca 400) (Migne P. L., XXI, 337) inaapa. Mambo muhimu kutokana na utengenezi wa kridi ambazo watume wahosaidia siku ya pentekosti. Anatumia neno mfano kuichangamia uumini hao.

 

Dhibutusho ya zamani ya neno hili ulikuwa ca 390 bama iliyoandikwa baba mtakatifu siricuss kutoka kwa wakuu   wa milau (Migne, P. L. XVI, 1213)(cf. CE, ibid.).

 

Neno hilo lilikuwa Symbolum Apostolorum (Creed of the Apostles).

 

Hakuna dhibitisho na creed au mfano kabla ya kata ta Milan.

 

Ukamilisho linaonyesha hadharani kuwa baada ya Constantinople walikumbana na kazi tritania mpya zinalingana dhibitisho ya kutungeneza tena, zilizoiba utengenezaji wa cancel of constaninople tack to nicea at 325. Walitengeneza Kridi ya watume ungepewa fikira mpya wa triune kutokana na uelewano.

 

Neno symbolum hainichi kupitia Cyprian na firmalian kwa karne ya tatu. Firmilian yasema kwamba neno la uelewano imechanganywa na haki ya ubatiso. (Migne P.L III, 1165, 1143). Kattensbusch inayaribu kuuitafuta utumaji wa maneno kwa Terlulhan (cf. II, p. 80, zingatia na cf CE ibid., p. 630).

 

Jambo juu ya kundi imechukuliwa kuonekana kwa neno “regular fider, doctrine. Haya inatofautiana ukuaji wan chi ya watume na hakuna dhibitisho wa kazi hizo. Jambo ambalo limeandikwa kwa uamini zilizonekana kama karne ya nne kutokana na maandishi ya hapo awali.

 

Karne ya kumi na kanda theologiana Harnack uwasema kuwa wabiri wa watume inadhibitisha wshuhuda wa batizo wa kanisa kule kusini mwa Grand inayoongea kuhusu karne ya tano iliyopita (Das apostolishe Glaubensbekenntniss, 1892, p. 3; cf. CE ibid). Katoliki wa Roma, Herbert Thurston, inadhibitisha lakini haikuwa Gaul. Lakini Roma penye kridi ilipatikana ikiwa imemalizika (ibid; cf. Burn, The Journal of Theological Studies, July 1902).

 

Haya yote yanaonyesha kuwa ingine na ile ya zamani ilitwaya kwa karne ya pili kule Roma, na thurston inaonyesha tarehe na miaka za watume.

 

Maneno hayo ya mitume ni kama yafuatayo.

 

1)      Maoni kwa Mungu Baba mwenyezi

2)      Na Yesu Kristo mwanawe Mungu wetu.

3)      Aliyezaliwa kwa Roho mtakatifu kupitia mwanamke asiyejichafua kimapenzi

4)      Alidhulumiwa mbele ya Pontious Pilate na kuzikwa

5)      Siku ya tatu alifufuka kutoka kwa mauti.

6)      Alienda binguni

7)      Akaketi mkono wa kulia wa mwenyezi Mungu

8)      Ambapo atakuja kuwakimu waliohai na waliokufa

9)      Na kwa roho mtakatifu

10)  Kanisa uliohum

11)  Usamehivu wa dhambi

12)  Ufufuaji wa mwili

 

Haya ndiyo misema wa watume inayotolewa kutoa karne ya pili humo Roma.

 

Ithibati ta kwanza (p. 5 below) imesifiwa na wakatoliki wa Roma juu ya kufiia kiwango cha mwisho kule Roma kabla ya 700 CE (ibid).

 

Fikira za kuneka Muumbaji wa bingu na dunia ihongezwa kama kwenda jahanamu “communion of Nahita” maisha inayodumu na maneno yaliyotolewa “kufa” na katliki.

 

Kama kungekuwa na idhibati ya kwanza na maoni ya tertulliana ili kutengenezwa tena.

 

Hakuna kutoamini kuwa watume wa zamani na mafunzo yao halidhibitishwa kuwa ya ukweli na ungekataliwa mbali na kanisa za awali.

 

Matunda ya imani kutoka Tertullian

Tumaweza kuliteneza mafunzo ya watume wa zamani kutokana na maandiko ya Tertulian Cazoo na Thurston waliofanya kazi yao kutoka kwa nakala ya zamani ya Catholic Encyclopaedia of 1907, vol. 1, p. 630.

 

Mandiko yake matatu iliyotumiwa ni

 

De Virg. Vel. (P. L, II 889).

 

1)      Kuamini Mungu mmoja mwenyezi, muumbaji wa dunia

2)      Na mwanawe Yesu Kristo

3)      Kuzaliwa kwa mwanamke asiyechafua kimapenzi.

4)      Kudhulumiwa kabla ya Pentius Pilato

5)      Siku ya tatu alileta uhai kutoka kwa mauti.

6)      Alikuwa binguni.

7)      Alikalia mkono wa kulia wa Mungu Baba

8)      Alikuwa kuwakimu waliohai na waliofariki

 

(12) Kupitia ufufuaji wa mwili

 

Adv. Prax ii, (P.L. II, 156).

 

1)      Tunaamini Mungu mmoja

2)      Na mwanawe ungu Yesu Kristo

3)      Kuzaliwa kwa mwanamke asiyejichaua kimapenzi

4)      Aliteseka, akafa na kuzikwa

5)      Aliletewa uzima tena

6)      Akapelekwa tena binguni

7)      Akakalia mkono wa kulia wa Bwana.

8)      Atakuja kuwakimu waliohai na waliofariki

9)      Aliyetuma kutoka kwa Mungu roho mtakatifu

 

Praeser, De, xiii and xxxvi (P.L.II, 26, 49).

 

1)      Naami kwa Mungu mmoja muumbaji wa dunia

2)      Neno litwayo mwanawe Yesu Kristo

3)      Kwa roho na nguvu ya Mungu Baba alitengeneza mwili (nyama) kwa tumbo ya Maria aliyemzaa.

4)      Kudhulumiwa msalabani

5)      Alifufuka siku ya tatu

6)      Akapelekwa binguni

7)      Akakalia mkono wa kulia wa mwezi Mungu

8)      \atarudi na roho kupeleka wazuri uzimani wabaya kwa motto wa milele.

9)      Alituma nguvu za roho mtakatifu

10)  Awalinde waumini (in this passage (9) and (10) procede (8) as noted by Thurston Ibid)

12) Uhifadhi wa mwili

 

Tunaona kutoka kwa haya dhibitisho baadaye ilitenegenzwa kutoka kwa yaliyokuwa liitwalo Thurston imekatalia kuwa shulubisho la zamani iliamiiwa kuwa nakala ya awali ya mafunzo ya watume, lakini hazingeweza kuiharibu yaliyomo.

 

Kwa umuhimu zinatofautiana dhibitisho la R na tertuthan zilikuwepo mwisho wa karne ya pili zinazoaniniwa kuwa Unitarian. Dhibitisho hayo zinaonyesha ukwepo wa Yesu kabla ya kufuka kwa Yesu na kuchukua mwili wa kibinadamu. Jambo hili limefanywa utafiti kwa Cox, The Pre-Existence of Jesus Christ (No. 243), (CCG, 1998).

 

Kuna uaminifu katika kufufuka kimwili hadi huduma na maisha ya milele.

 

Kufufuka kwa Yes siku ya tatu ni kwa sababu ya Bwana.

 

Alizaliwa kwa nguvu ya Mungu, roho mtakatifu; roho ni nguvu si ubinadamu.

 

Cheti la R inzungumza juu ya usamehevu wa dhambi, ambayo tertullian haonyeshi maandishi iliyoweka kuwa mantonist doctrines.

 

 Tertullian amefanya utafiki kuwa wayahudi waliheshimu siku ya kanisa, mwezi mpya na sherehe kuwa zilipendwa na waamini zaidi kwa sherehe zao kuzini Wakristo (Tertullian, On Idolatry, ch. XIV, ANF, vol. III, p. 70).

 

Ufufaji wa waliokufa ulikuwa na kimwili na uwepo binguni na jahanamu ilikataliwa. Tunaweza kudhibitisha kwa kulingana na maandishi yafuatayo.

 

Tunafahamu kuwa makanisa ya awali haikuwa na umoja wa Mungu, aliyekuwa Baba na kukatiliwa kuwepo wa bngu na jahanamu.

 

Tunajua kuwa umoja haukuwepo kuwa Wakristo kwa karne mbili za kwanza. Katika maandiko ya Theophilius of Antioch aliyetumia neno “trias” ambayo kwa ubaya ilichukuliwa kama umoja wa Mungu kulingana na matafsiri ya Kiswahili kazi yao. Jambo hili limaangaziwa kwa wazi Cox, Early Theology of the Godhead (No. 127) (CCG, 1995, 1999).

 

Justin Martyr ni utafiti muhimu na maoni ya kanisa mwanzo Waquartodeciman Disputes katika nyakati za kuenda kwa anicetus kwa afisi wa askafu wa warumi na uazilishaji wa “Easter” ya wazioamini badala ya pasaka (see Cox, The Origins of Christmas and Easter (No. 235) (CCG, 1998), and The Quartodeciman Disputes (No. 277) (CCG 1998).

 

Justin quite inadhibitisha kwa uwazi kuwa Kristo kama malaika aliyempa Musa sheria kule Sinai (First Apology, ch. LXIII, ANF, Vol. 1, p. 184). Ametambulisha Kristo kama msaidisi wa Mungu wa Israeli aliyeitwa na Mungu ilivyo katika kitabu cha Zaburi 45:6  (Second Apology, LXXXVI, ibid., p. 242).

 

Katika msamaha wa pili aliongea kuhusu wakuu wa Warumi.

 

Ukiwa imetofautiana na Wakristo lakini hawaamini na kujidanganya Mungu wa Abrahamu, Isaka, Yakobo wanaosema hakuna kufufuka na roho zao hupelekwa binguni, usiamini kuwa ni Wakristo (Ibid, ANF bid P. 239).

 

Justus kwa toleo hili andadhibitisha kuwa ufufuaji ni kwa wale wenye mioyo safi. Lakini mimi na walio na roho safi wanahakikishwa kuwa kutakuwa na ufufuaji wa waliokufa, miaka elfu moja ilopita kule Yerusalemu, ambaye baadaye itajengwa kulindwa na kuenezwa (as) wajumbe Ezeieli Isaya na wengine wadadibitisha (ibid).

 

Hakuna kutokuwa na uaminifu kuwa Uristo waliokuwa nguzo kuu wakitazama Gnostic doctrines wa binguni na jahanamu kama miungu wa fikira za udanganyifu (see also Cox, The Soul (No. 92) (CCG, 1995); The Resurrection of the Dead (No. 143) (CCG).

 

Wakristo wakweli wa zamani waliamini kwa maneno wa ufufuaji kama kuingia maisha ya milele na maisha ya kuandisha na chilhoood kwa wakati wa miaka elfu moja, utawala kutoka na hukumu wakati wa mwisho.

 

Kutoka kwa maandiko ya oreanaus inayoeneza neno za bibilia. Tunafahamu kuwa utawala wa celestiral utakuwa kama watakatifu kuwa ya koroho. Ziliandikwa na Elohim naye kama Malaika wa Mungu juu yao (Zech 12:8). cf. Cox, The Elect as Elohim (No. 1) (CCG 1994, 1999)). 

 

Ilikuwa maoni yao kuwa waliochaguliwa wataanza jukumu kama wakuu wa Elohim kwa usaidizi wa Kristo. Ilikuwa maoni kuwa Mungu alijieneza kama Elohim kwa umoja Eloah na kuwa walichaguliwa watakuwa miungu kama Mungu na kuwa na Mungu. Ilikuwa hivi ndio maana Mungu alijieneza na roho takatifu ndio nguvu iliyotumika Cox, Consubstantial with the Father (No. 81) (CCG, 1994, 1999) and The Holy Spirit (No. 117) (CCG, 1994, 2000).

 

Uanzishi wa maombi ya jumapili kwa wayahudi ilisababishwa na vitu visivyoeleweka (see S. Bacchiocchi, from Sabbath to Sunday, pontifical Gregorian university press Roma 19/5). Kosa hili ilifuatwa na uzinduzi kadhaa kama uawishaji wa Easter. Wakati Easter ilipoanzishwa na anacetus kwa sabato ya kisiasa, ilikuwa na kanisa nje uyahudi ambao msemaji alikuwa mwanafunzi wa Yesu, Yohana, kama Polycarp.

 

Wakati Askofu Victor Ca 192 alijilazimisha kanisa ya Warumi ambapo Polycap alichukulia jukumu kwa tatizo ambalo lilikumba kanisa na kuelekea kwa kuwagawanya. Haya yalitolewa na Victor ambaye alinena kwa wale ambao hawakuamini “Easter” na pasaka (Cox, (No, 277 op.cit).

 

Ugawanyiko wa kwanza ilifanyika 192 ambapo kulikuwa na tatizo kuhusu pasaka/”Easter” ambapo “Easter” iliazishwa huko Roma kwa lazima (cf. (cf. The Quartodeciman Disputes (No. 277). Kufikiria 325 kamiti ya NICEA walitazama wale wasioamini Mungu ulienea huko Attis.

 

Maombi ya Nisamne ulizinduliwa hapo 381 kutoka kwa Constantinople kwani kanuni zao zilipotea (Tazama Cox (Binitarianism and Trinitarianism (No. 76) (CCG, 1994, 2000)).

 

Cheti cha Thurston (loc. cit.) ilikuwa inasema:-

 

1)      Nasadiki Mungu mmoja muumba mbingu na dunia

2)      Na mwanawe Yesu Kristo.

3)      Aliyetiwa mamba yake kwa roho mtakatifu na kuzaliwa na Bikira Maria.

4)      Aliyetewa kwa Pilato, kusulubishwa, akafa na kuzikwa

5)      Siku ya tatu akafufuka kutoka kwa wafu

6)      Alipaa mbinguni na kukaa kwa kiti cha kulia cha Mungu

7)      Na atarudi kuhukumu waliohai na wafu

8)      Nimeamini roho mtakatifu

9)      Kanisa katoliki takatifu la mitume

10)  Kuondolewa kwa dhambi

11)  Kufufuka kwa mwili na uzima wa milele

12)  Maisha ya milele

 

Thurrton alitofautisha kati ya cheti R na T na kuonyesha cheti cha R hakuna muumba mbingu na dunia, kufufuka katika wafu, mitume, uzima wa milelem wala “kupekelewa, kuteswa, kufa na katoliki hazijatajwa kwani Thurrston anaziona kama maneno mengi na hayo yalijulikana tu na YEROMI wa Palestina ca 380  (referring to Morin in Revue Benedictine, January, 1904, ibid).

 

Ili tukubali haya basi utata ulijitokeza punde tu kable ya kuja kwa Constantinople hapo 381.

 

Kuanzishizwa kwa Islamu haikuweza kuzuiliwa. Mnamo 632 CE kulikuwa na ugawanyiko wa thiolojia na “monotheism” wasomi wa irirarian hidithic na Talmudic waliodanganya na kuharibu historia ya waamini ili kujifainisha na kuua yoyote aliyenena kuhusu amani yao ya kwanza.

 

Trinitarianism and Nicea

Ukristo wa sasa huamini kuwa Mungu huwa katika mifano tatu ambayo ni Baba, Mwana na Roho Mtakatifu yanamaanisha miungu tatu kwa moja. Na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe.

 

Mungu wa pekee wa kweli na Kristo uliyemsamee nasi twajua ya kwamba mwana wa Mungu amekwisha kuja naye ametupa akili kwamba tumjue yeye aliye kweli. Mitume na kanisa wa awali hawakuelewa venye miungu Yohana (17:3 na 1Yohana 5:20) tatu inakuwa moja au vile Mungu mmoja amegawanyika kuwa tatu. Warava wa Zamani Mungu 1Timothy 6:16. Ndio waliamini miungmbalimbali mpaka huko Asia. Haya waliingia lwa Ukristo kutoka kwa Ugiriki na matendo yao kwa Warumi.

 

Hao watu wa ajabu wa wazee walikuwa ni Girrorim ama Gibborim. Tukiangalia Green’s International Bible ikichukuliwa tu hivyo. Wanefili walikuwemo duniani nyakati hizo na hata baadaye walipokuja kwa wana wa Mungu neno la Mungu ni “HaElohim” yaani wa nwa Mungu kwa mabinti wa wanadamu neno hapo ni Adamu huye na wakawazalia wana walikuwa mashujaa neno la Rumi.

 

Usaidi wa kwanza ya muhukumu watatu jukukumu la Mungu katika Kristo

Mwana wa Mungu na pia madada wa wanadamu. Haya yote ndiyo kiini cha watatu wa kali (c.180 CE) na pia yameandikwa hata katika Mungu kijikaratasi ya angazia tu (Theophilus to Autolycus.ANF watu wa Titans,) na wa Raksasa w aroma yana, na wafu wa Cahari ambaye yana tambaa, (De Pud, c. xxi, P. G., II, 1026).  na Gibbowrim na Rephaim, wana tumia usawa mbali mbali katika haya kazi, nikuwa.

 

Mwana wa Mungu na pia madada wa wanadamu. Haya yote ndiyo kiini cha watatu wa kali (c.180 CE) na pia yameandikwa hata katika Mungu kijikaratasi ya angazia tu (Theophilus to Autolycus.ANF watu wa Titans,) na wa Raksasa w aroma yana, na wafu wa Cahari ambaye yana tambaa, (De Pud, c. xxi, P. G., II, 1026).  na Gibbowrim na Rephaim, wana tumia usawa mbali mbali katika haya kazi, nikuwa

 

Si vizuri kuelewa roho na nguvu ya Mungu kama kitu chochote isipokuwa “neno ambaye ni Yesu Kristo mwana wa Mungu.

 

Kwa hivyo Justin hufikiria kuwa Mungu alitumia “neno” kueleza mamabo tofauti ambayo roho inaweza kutenda.

 

Malaika pia walionekana kama mfano wa Mungu kuanzia mstari 13,16 na 61 hivyo basi justini hakuhukumu kuabudiwa kwa malaika

 

Justin pia alitachia kwa kutekodi kuanzishwa kwa maombi siku ya jumapil (First Apol. Ch. LXIII).

 

Justin pia alitachia kwa kutekodi kuanzishwa kwa maombi siku ya jumapili (tazama backoocch kutoka sabato hadi Jumapili pp. 223 ff) ingawa bado alikuwa tu msaidizi. Alitoa maoni kuhusu kuomba kwa sabato na kunena kuwa alikuwa ni muwadhamu Wayahudi (p.225) maoni yake hayakubaliwa na Wakristo wakati huo na Baccchiochi alinena kuwa kanisa ya Wakristo hawakubali na maoni yake. Upatanisho kati yake na Tyrpho kulikubaliwa kuwa siku za sabato na siku takatifu zilifaa kutiliwa maanani na ifanyika na kutumika huko Roma mnamo katikati mwa karne ya pili.

 

Mungu aliwaanzia kutahiri na sabato (Yahudi) ili watofautishe na mataifa mengine na hata wakristo ili Wayahudi wateseke kivyao. (Dial 16:1, 21:1, see also Bacchiocchi) haya yalimfanya Mungu aonekane kama mwenywe alifanya makosa. Kulingana utata haya Mungu ndiye alikuwa mkuu. Ingwa alitoa maoni ambayo inahusiana na hayo ya kale. Justin hakukubali mafundisho ya kiroho na mbinguni.

 

Si vizuri kuelewa roho na nguvu ya Mungu kama kitu chochote isipokuwa “neno ambaye ni Yesu Kristo mwana wa Mungu.

 

Kwa hivyo Justin hufikiria kuwa Mungu alitumia “neno” kueleza mamabo tofauti ambayo roho inaweza kutenda.

 

Malaika pia walionekana kama mfano wa Mungu hivyo basi justini hakuhukumu kuabudiwa kwa malaika

 

Justin pia alitachia kwa kutekodi kuanzishwa kwa maombi siku ya jumapil (First Apol. Ch. LXIII).

 

Justin pia alitachia kwa kutekodi kuanzishwa kwa maombi siku ya jumapili (tazama backoocch kutoka sabato hadi Jumapili pp. 223ff) ingawa bado alikuwa tu msaidizi. Alitoa maoni kuhusu kuomba kwa sabato na kunena kuwa alikuwa ni muwadhamu Wayahudi maoni yake hayakubaliwa na Wakristo wakati huo na Baccchiochi alinena kuwa kanisa ya Wakristo hawakubali na maoni yake. Upatanisho kati yake na Tyrpho kulikubaliwa kuwa siku za sabato na siku takatifu zilifaa kutiliwa maanani na ifanyika na kutumika huko Roma mnamo katikati mwa karne ya pili.

 

Mungu aliwaanzia kutahiri na sabato (Yahudi) ili watofautishe na mataifa mengine na hata wakristo ili Wayahudi wateseke kivyao. (Dial 16:1, 21:1, see also Bacchiocchi) haya yalimfanya Mungu aonekane kama mwenywe alifanya makosa. Kulingana utata haya Mungu ndiye alikuwa mkuu. Ingwa alitoa maoni ambayo inahusiana na hayo ya kale. Justin hakukubali mafundisho ya kiroho na mbinguni.

 

Maneno Ya Irenaous Kuhusu Mungu:

Alilazimika na wakaumbwa. Alinena na wakatengeneza. Je, nani aliyemwamrisha. Maneno ambayo Mungu alinena yalianzishwa kwa mbinguni na haya yote alifanya nguvu wa Bwana (ps. 33:6) Adu haer. 116 VIII, 3).

 

Irenaeus Alishikilia Kuwa:

Imeshihirishwa kuwa wanabii na mitume hawakuwa na Mungu yoyote bali Mungu mmoja waliomwamini Mungu huyu hakuuumbwa na hama mwanzo wala mwisho na hakoso chochote. Alicho nacho kunamtosha humpatia yeypte haya aliyo nayo.

 

Irenaeus aliensa na kuwa Mungu (theos Elohim) kwa neno ya yale aliyotenganisha. Alishajiweka katika cheo cha Mungu na mwanawe na wanawe wote wa Mungu katika kitacbu cha tatu, chapter IV.

 

Ni dhahiri kuwa Intenaeus alikuwa anataka kuwa mkuu kama Mungu kulingana na maoni yake. Waliokuwa waanimifu walikuwa katika kamiti. Waaminiao pia wakawa Eklisia ya Mungu. Haya yalikuwa maelewano ya karne ya kwanza kuhusu kanisa kutoka kwa Yohana na Polycarp.

 

Clemet Of Elexandria Aliena:

Mwana ndiye nguvu wa Mungu kama aliyekuwa na Mungu hapo mwanzoni na kukuwa na maarifa mingi sana kwa hivyo anaitwa mwalimu way ale aliyo yatengeneza.

Nguvu ya mwana hutoka kwa Mungu naye mwana huongeza na nguvu ya Baba (storm VII, II, Pg IC 410).

 

Clementi alielwa kuwa ukingoni mwa walioteuliwa ni kuwa Miungu. Alinena kuwa ukiongea kuhusu “Gnosis” humaanisha kuna vitu vingine ambavyo mtu anaweza kufanya akiwa bado hai hapo duniani.

 

Hufika wakati ambapo mauti hufa naye roho hupaa angani kuelekea alipotoka ili apumxike na kunekana na muumba wake uso kwa uso (theoi) (S.R.C. Lilla Clement of Alexandria a study in Christina platoonism and Gnosticism, oxford 1971, p 142).

 

Hapa tunaona unganishi wa Ugiriki “Gnosis” na mafundisho ya kale na kutoka maana “Theoi” au Elohim”. Hakuwa na udhibitishi wowote kuwa Kristo na “Theoi” walikuwa wakuu kushinda Mungu.

 

Hippolytus says and most significantly:

Noctus alihakikisha kuwa mwana na Baba wako pamoja aliendelea kunena kuwa, Kristo alikuwa hapo mwanzoni naye Mungu na wakati alipofika mungu aliamua kutoa mwanawe na si mwana wa Yusufu. Kwa hivyo anahitaji kuleta utawala wa Mungu milele kwani wao wawili walikuwa manoya kwani hakuna aliyetoka kwa mtu mwingine tofauti. (Hippolytus repeats this opinion in his summary books X). (Con 14, The refutation of all heresies “BK IX, Ch, V, ANF Vol V, PP 127-128).xxxx

 

Kulinyana na mwandishi, Yesu alikuwa mfano wa Mungu. Naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote. Kwa maana tumekuwa washirika wa Kristo, kama tulishikamana na mwanzo wa udhabiti wetu kwa nguvu mpaka mwisho. Kwa maana ametupwa chini mshitaki wa ndugu zetu na Warithio pamoja na Kristo vyote vilifanyika kwa huyo wale pasipo yeye hakikufanyika chichote kilichofanyima. Wakolosai huonyesha uumbaji wa vitu vyote.

 

The New Catholic Encyclopedia (N.C.E.) article Trinity, Holy, Vol. XIV, McGraw Hill, N.Y., 1967, p. 296 huonyesha bila wasisi kuhusu mafundisho ya Hippolytus.

Hippolytus alieleza kinagaubaga kuwa Mungu alikuwa mmoja lakini wengi hapo mbeleni.

 

Hii ni tofauti sana kulinganan na maandiko ya kwanza ya Hippolytus.

 

Tertullian Alishiilia Kuwa

Hutu Mungu mmoja pia alikuwa na mwana “neno lake” ambaye alichukua jukumu lake, Mungu wote ni mmoja kulinganan na ratiba ya Mungu Baba, mwana na roho mtakafifu. Walikuwa watatu si kwa mashartui bali kwa shahada, tena si kwa nguvu bali kwa matendo lakini masharti, na nguvu zilikuwa kwani alikuwa tu Mungu mmoja ambazo hizi shahada hutokea katika Baba, mwana naye roho mtakatifu.

 

Tertulian alenena kuwa Mungu alifufua mwanawe kutoka kwa wafu. Pia alitoa uhusiano wao watatu kulignana na shahada waliokuwa nao. Wmana na roho mtakatifu wametoka kwa Mungu na kuwa wasaidizi wa Mungu.

 

Tertullian alinena kuwa roho mtakatifu alitoka kwa Mungu kuupitia kwa mwana Yesu Kristo. Alishikilia kuwa Baba na mwana ni watu wawili tofauti.

 

Inadhirihishwa kuwa Bibilia na wanathilojia wa kanisa wa zamani walikuwa wasaidizi na waunganishaji. Mungu ndiye aliyekiwa Baba wa Masihi aliyekuwa mzaliwa wa mwanza. Wana wa Mungu, malaika hafikia mmoja kupitia kwa roho mtakatifu.

 

Maewlwano haya ymepotea kutoka kwa mafundisho ya uongo katika kanisa ya zamani. Bacchiocchi alifanya utafiti kuonyesha mabadilisho yaliyokuwa kwa kuomba kutoka siku ya sabato mpaka jumapili na pia kuanzishwa kwa sherehe ya waumini na kudhamini Mungu kama vile Krismasi na Ista.

 

Waliokuwa kwa ukristo kutoka kwa maombi ya Miungu ulitoa nguvu waliokuwa wangajifanya eti wanaomba lakini matendo yao yalikuwa tofauti. Kuokokwa kwa watu kulitia hofu kwa kamiti ya Nacaea.

 

Kamiti ya nicapa walikubali na sherehe ya pasaka na hata kuanzishwa kwa sherehe ya Ista. Pia walikubali kutoa maombi ya siku ya sabato na kuweka siku ya maombi Jumapili.

 

Kanisa Ya Karne Ya Kwanza

Kanisa ya katoliki ya kwanza waliamini:

1)      Kwa Mungu mmoja ambayo wama wake hata Yesu Kristo walitoka kwake.

2)      Kufufuka kwa wafu na utawala wa Yesu Kristo huko Yerusalemu

3)      Sacramenti mbili za kanisa

4)      Waliheshimu sabato ya Bibilia, mwezi mpya na sherehe zingine, kulingana na kalenda yao.

5)      Waliamini sana watakatifu waliokufa na kuongojea kufufuka wakati Kristo atakaporudi.

6)      Waliami kuwa kahuna ambaye amepaa angani ila tu ni Yesu Kristo aliyepaa huko mbinguni.

7)      Waliamini kuwa Kristo ndiye aliempa Musa sheria na kuwatos Waisraeli huko Egypt

8)      Waliamini pia Kristo alizaliwa na mwanamke Bikira ambaye alikuwa na watoto wengi hapo baadaye na matakatifu anayeongoja kufufuka kwa wafu.

 

Siku takatifu hazikutolewa vile tunavyosoma katika tabia za wanafunzi wa Kristo.  Wakaweka baada ya mikate isyotiwa chachu. Wakatoka Filipi wakafikia troa safari ya siku tano. Hatu alipotimia siku ya Pentekoste walikuwakutano. Hata lipotimia siku ya pentekoste walikuwaku wote mahali pamoja. Hawakuenda mahli popote kwani hawangepokea roho mtakatiu siku ya sabato pia waliweka takatifu kable ya sherehe mbili.

 

Na wakati mwingi ulipokwisha pita na safari ikiwa ina hatari sasa kwa sababu siku za kufanya zilikuwa zimekwisha kupita. Kristo ndiye pasaka na alituambia tutazame siku maankuli ya mwisho na wanafunzi wake usiku ambayo alisalitiwa na mmoja wa wanafunzi wake.

 

Kanisa zilikuwa zinatazama siku za sabato, mwezi mpya na siku takatifu kwa mwaka zaidi ya 1975. Na akiuma ya kuwa imewapendeza Wayahudi akendelea akamshika na Petro. Siku hizo zilikuwa siku za mkate isiyo chachwa. Wakorintho pia hutuoneysha venye walitazama siku ya mkate isiyochachwa.

 

Hakuna maandiko yoyopte iliyokuwa inadadilika sabato, hata maandiko yalitoambia kanisa wasitazame sabato, mwezi mpya na sherehe. Paulo alichukua siku ya kwanza ya wiki kuwa wakati wa kukutana na ilikuwa Jumapili. Hii ilikuwa inasemwa kuwa hii ilikuwa “siku ya kwanza kwa wiki”.

 

Agano Jipya huonyesha kuwa walitazama sheria ya chakula, kalensa takatifu na Pasaka. Quartodeciman alikasifu mgawanyiko wa kanisa mnamo 192 na kanisa waliotazama siku ya sabato walikuwa pamoja na kanisa wa warumi kuanzia tarehe hiyo Tazama The Quartodeciman Disputes (No. 277).

 

Bibilia ya KJV ima maandiko ya kuwa “lazima utahiriwa ili utazame sheria zilizowekwa” nah ii hiikuwa katika maandiko ya zamani na hata katika Bibilia zingine.

 

Katika Wakorintho Paulo huongea kuhusu sherehe ya mkate isiyochuchwa, pasaka ambayo ilikuwa matayarisho siku ya kumi na nne ya ihib pia aloazisha mloo wa Mungu siku ya jioni ya 14 ibib, chakula au mlo wa chaggia ambayo ilizishwa siku ya pasaka.

 

Kama mtu hawezi kutazama siku ya mkate isyochuchwa basi hajui kutubu dhambi zake kupitia kuteseka na kushadumiwa kwa Kristo, Paulo na mitume na hata kanisa walitazama sherehe zote (Tazama Cox, The Quartodeciman Disputes (No. 277). See also Cox, The Passover (No. 98); The Old and the New Leaven (No. 106a); and The Wave Sheaf Offering (No. 106b).

 

Modalism

Kanisa ya ukristo uligawanyika katika vipande viwili, wauminitaria na Wainitaria kutoka karne ya nee. Wayunitaria wameamini kuwa Kristo ndiye malaika mkuu katika agano ya kale. Wainitaria walikuwa wapagani wa ROMA ambao walikuwa walikuwa wanaomba “JUPITA, Juno na minevera Bikira immaculate,

 

Maombi ya miungu Attis aliingia ukristo kutoka Roma na pia Adonis kutoka mashariki. Iligunduliwa mnamo karne ya tatu na akawa Binitaria kwa “nicaza” mnamo 325 mnamo karne ya nne. Baadaye ya kugunduliwa kwa Mungu tatu “Trinity” kutoka kwa Constantinople mnamo 351, imani ya watu pia ikagawanyika. Iligawanyika wakati wa kuunzishwa kwa ista mnamo ya karne ya pili. (cf Cox the quartodeciman disputes (No. 277) na the origin of chrismas and easter (No. 235).

 

Wa yunitaria walipigana na wanatrintia kwa karne yayejulikana. Tazama the Unitarian / Trinitarian wars (No. 268) wayunitaria walikuwa wanatazama sabato.

 

Mnamo karne ya nne kanisa ya waabisi walituma askofu Mueses huko Unchina kupitia India na kuanzisha Ukristo huko Uchina na wale waliotazama sana sabato. Watu wengi sana walioundwa kulingana na biashara ya Warabu waliokuwa waislamu. Hii ilijulikana kama Hue Hue. Wasabataria bado wako huko Uchina ambayo wako karibu millioni. Wengine walinena kuwa Yesu ni Mungu na Baba.

 

Kwa uunganishi kanisa ya Wahibrania waligawanyika kwa matawi mawili. Moja ulitoka kwa wanaprotestanti ambao walikuwa wanafanana siku ya Jumapili vile Katoliki walikuwa wanavyofanya. Na walikuwa wasabattataria. Ukoo wao yuko hukko Yuropa mpaka leo. Tatizo latazamiwa kwa karatasi he role of forth commandment in the historical Sabbath keeping churches of God (No. 170) na socianism, arianism and Unitarianism (No. 185.

 

Wayanitaria hawakuamini kuwa Yesu alikuwa hapo kale na hata Waislamu wakaidhibitisha hii. Hakuna maandiko yao yoyote yalipokuwa yanamtaja masihi na hata Bibilia ya Wayahudi. Historia ya kanisa ya transy/vinia inapatikana kwa maandiko ya mwalimu samweli Kohn. Tazama, The Pre-existence of Jesus Christ (No. 243).

 

Mwongo chuche uloopita kanisa waliotazama sabato walikuwa wasioiritaria. Wana (SDA) wakawa trinitaria mnamo 1978 WCG mnamo 19993/4 na kanisa ya Mungu (8D) wakawa Binitaria mnamo 1995.

 

Kanisa zingine za Mungu zilitokea iritaria mpaka kwa Bunitaria.

 

Kuteuliwa Kama Elohim

Makao halisi ya mteule ni kuishi kama Elohim au kama chini ya nguvu na dnani ya roho ya mwenyezi Mungu. Nafasi hii ilishikiliwa na Kristo (Yoh 10:34-35; Zab 52:6) na ilikuwa ufahamu halisi wa kanisa katika Bibilia, maneno yatumikayo kwa Roho tanatumika kwa Mungu mwenyezi na kwa kawaida ni kwa umoja. Mungu mmoja wa kweli. Neno Elohim (SDH 430) ni wingi na utumika kwa waakilishi wa Roho kama ville wakili ama viongozi kuonyesha neno hili kutumika kwa wanadamu pia kama wenye utu wa kimalaika. Jina hili linachukuwa mamlaka kama lilivyopewa na Mungu.

 

Marehemu Sea Scrolls, ugarit na Nag Hammadi maandishi yao yamaumuhimu wa wangaza kwa kile ambacho kilieclewe kama ukweli ya maana ya maandiko ya kibibilia kwa wakati wa Kristo. Bibilia unatambua washairi wa Elohim au Elim na neno kuongezwa kwa njia nyingine kuzidi upili au utatu. Bene Elohim anatambulika kama mwana wa Mungu , kama vile Bene Elyon, mwana wa aliyejuu zaidi. Zaburi 89:6-8 inafahamisha malaika au watakatifu (qesdosim) ambao, ni washirika wakaribu wa Mungu na nemo inatumika kujumuisha roho ya wanadamu (Waebrania 8:5).

 

Serikali ya utawala ya Waezraeli wa zamani ilikuwa mfano wa binguni. Mfano huu ulieleweka kote Bibiliani. Ilikuwa Mungu aliyesema nia yake katika amri zake kwamba angeandika sheria zake katika nyonyo na akili za watu ili wamtambue (Waeb 8:10-11). Agano la kale ninaeleza ushirikiano wa Elohim, na pia intambua malaika YHNH katika mtindo wa kipekee. Yeye pia anatumbulika kama malaika ama mjumbe wa uwepo wa Mungu (Isaya 63:9).

 

Kwa kweli kuna wingi wa malaika wanaotambulika kama YHVH. Kupa ghafla katika mwanzao 19 wakati watatu walimtokea Abrahamu, hakukuwa na utofauti baina yao. Katika uaribifu wa Sodom ulifanywa na Elohim (Mwanzo 19:24, 29). Hapo Yehovah au YHVH mdogo ni kiumbe mrithi kutoka kwa Mungu aliyejuu zaidi au Elohim, YHVH mkuu wa Elohim wa Israeli, Mungu tofauti kwa malaika wawili ambao wajumbe kutoka kwa Elohim. Malaika wa YHVH alitokezea mara nyingi ya kabadilika. Alikuwa Elohim na misingi mingi ya kubadilika. Alikuwa Elohim wa Wapatriarchs (Kutoka 3:6); Alikuwa penile uso wa Mungu (mwa 32:24-30). Amri mkuu wa majeshi ya Mungu (Jos 5:15); malaika wa kubadilika (Mwanzo 48:16). Alikuwa yeye ndiye alimwongoza Musa nje ya Misri kama malaika wa mawingu (Kutoka 13:21; 14:19) na akampa Musa amri na kuteswa wakuu saba wa Israeli (Kutoka 24:9-18).

 

Yeye ni malaika au mjumbe wa YHVH, Mungu aliyejuu zaidi ambaye hatawihi kuonekana au kusikika na mtu yoyote (Yoh 5:37; 6:49). Ni mwanakilish wa Mungu au Elohi wa Israeli aliyetuliwa na Mungu wake, Eloah wandani (Zab 45:6-7; Wae 1:5-13) malaika huyu ama YHVH alizungumza na Musa ana kwa ana (Kutoka 33:11). Alikuwa uwepo wa Mungu ana uso wa Mungu. Malaika huyu ni neno la Mungu kama mamra na kueleweka kuwa Messhiah (Zakaria 3:1-9) malaika na uwezo wa mamlka na niuamuzi wa kweli kwa agano na elohim (Zab 82:1) yeye ni tawi la Jeremiah 23:5 na Isaya 11:1.

 

Unabii wa Aaron aliendelezwa na kubadilishwa kwa unabii wa milele wa Mechisedek (Zab 7:24). Kristo ni nabii mkubwa na waitwao na Mungu ni wanabii 1 Petro 2:4; 9; Ufunuo 1:6; 20:6).

 

Elohim, Mungu mkuu ana mwana ambye urithi wake ni Israeli. Yeye ndiye Elom wa isreali, lakini siyo kiumbe cha maombi au zaka. Huyu Elohim alipakwa mafuta na Mungu na ana cheo cha Elohim (Zab 45:6-7), husimama katika gwaride la El na mawili wa walioko duniani (Zab 82:8). Haya makao ya mteule huwa Elohim kama malaika wa YHVH katika vichwa nyao (Zakaria 12:8). Huku kuwa kiongozi katika nyumba ya isreali ni Messiah, mwana wa Mungu kuzaliwa kama mwanadamu, Yesu Kristo.

 

Agao jipya itatambulisha malaika akapeana amari katika Sinai (Matendo 7:53) na kutambulisha Kristo kama malaika wa agano la kale. Hii inaeleza kukamilifu ungana na upole wake kwa Mungu Baba. Umoja wa Elohm inatumika kwa Mungu Baba na hakutumika kwa Kristo. Ndilo la jumla ambalo hutumika kuendeleza chini ya mamlaka ya Baba ni Elohim. Elohim hukainu wajumla na wakuu na kutawala wanadamu. Ilikuwa ufahamu ulioleweka katika karne ya kwanza kwamba utawala wa Elohim uliendelezwa hadi kwa wanadamu jinsi walivyo kuw katika familia ya Mungu, pamoja na Kristo (Wagalatia 4:1-7). Katika agano jipya neno la kiugiriki theoi ilitafsiriwa Waebrania kutoka waebrania Elohim.

 

Upangaji wa mataifa kulingana na idadi ya wana wa Mungu au Elohim / Eliym ilifafanua zaidi kuendeleza (mamba ya nyakati 32:8-9). Hii ilieleweka kuwa sabuni kama wingi wa viongozi wa Elohim. Sanhedrin wa Israeli ulioundwa katika Sinai ilikuwa ya aina yake; kuongeza mbili, kuwa Mungu (Baba na Kristo Yehova wa Israeli, Israeli utakuwa taifa katika kurudi kwa Yesu kutawala ulimwengu.

 

Inatambulika kwamba idadi ya Elohim walimpinga Mungu, (anieli 10:13; Kumb 32:18-19; Ufunuo 12:7-9). Kuanguka kwa watawala walikuwa wameakilishwa katika utawala wa wateule mwanzo katika kufufuka kwa kwanza. Utawala wa Elohim ni kwa mamlaka kwa kuteuliwa na Mungu. Ni wingi wa neno kutimika katika umalaika na unabii na wakili, kabisa Musa. Ilikuwa kutambulisha kwamba Elohim utawala wake na Mungu na utu wake ungeendelezwa kuaibisha wanadamu. Elohim ni umoja na utumika kwa Mungu pekee (Baba). Bila yeye hapangekuwa na Elohim. Hii inaleta wazo la amri ya kwanza.

 

YHVH wa isreali ni mgawanyiko wa utu, Messiah, nabii mkuu wa nyumba au hekalu la Mungu wakuu wa Elohim alikuwa mkuu kama nabii, mkuu katika (Waeb 8:5). Unabii wa hekalu ilijumuisha mgawanyiko wa manabii ishirini na wane na nabii mkuu wa kati. Hii maagnaziwa na wakuu wa Ufunuo 4:5. Hili kundi liliidadisha watu ishirini na kujumnisha Cherebin au viumbe vinavyo ishi wanne. Hivyo vipande thelathini vya shaba (pia bei ya watumwa) ilitajika kwa kuthihakiwa kwa Kristo (Matayo 27:3-9, Zakaria 11:12-13) kama ilivyo kuwa hatia katika utawala Mungu uliongoza. Wakuu wanahukumiwa na kutatilia kwa maombi ya waombaji, (Ufunuo 5:8). Kristo, nabii mkuu, alipatikana mtafaruku peke yake kufungua mpango wa Mungu.

 

Kutumikia haki za binadamu huonyesha ukombozi wa mwisho ambayo hutendeka hapo kuja kwa Kristo mara ya pili kama mfalme.

 

Trinitaria kukubali na kupanyaza uwezekano wa Elohim kuwa katika vipande vitatu na kukataa kuwa ni mteule wa mbinguni. Kwa kutilia mpatanishi Elohim, Kristo kwa kiwango sawa na Eloa Mungu Baba kanisa ya zamani myetazama kuwa ni kati ya wale hawakuheshimu sheria ya kwanza. Hii ni dhambi satani ambaye alijitambulisha kama El wa kamiti ya Elohim. Umoja wa Mungu, ambayo ni muhimu kwa monotheism imeongezwa kwa umoja nyuma ya imani na kukubaliana na urohio ambayo roho na nguvu ya Mungu huelekea upande wa Kristo.

 

Kanisa za zamani hutazama Mungu kama jiwe ambalo lote limetokea, jiwe la Israeli na ukombozi wao. Mungu wetu ndiye jiwe letu, jiwe la milele. Mata mesihi alitoka kwa hili jiwe ili aongoze dunia mzima. Mungu na si Kristo wala Peter ndiye jiwe ambalo Mungu alijongea kanisa, Masihi ndiye jiwe la pembeni la hekalu wateule ndio jiwe la uroho wa hekalu na Naos ni mapumziko ili Mungu awe ndani Yetu. Kristo ndiye mtumishi wa Mungu kwa wakati wowote ufaao.

 

Ufunuo hushikilia kuwa malaika ni mtume wa mteule. Kristo alinena kuwa mateule na malaika ni sawa kwa kiwango. Yesu ndiye mwana wa Mungu aliyejuu sana.

 

Sisi wote ni wana wa Mungu kama Kristo na hata Elohim. Ili mtu awe Elohim ni kama hakimu Mungu ameweka kwa waliompenda na imeandikwa kuwa “Nilisema nyinyi ni miungu: na maandiko haiwezi kuvunjwa.

 

BIBLIOGRAPHY

Ante Nicene Fathers, Vols. 1-10, T &T Clark, Eerdmans, 1993 print.

 

Bacchiocchi, S., From Sabbath to Sunday, Pontifical Gregorian University Press Rome, 1975.

Burn, The Journal of Theological Studies, July 1902).

 

Catholic Encyclopaedia Vols. 1-12, 1907-1912.

 

Cox, W. E.,

·        The Elect as Elohim (No. 1) (CCG 1994, 1999).

·        Binitarianism and Trinitarianism (No. 76) (CCG, 1994, 2000).

·        Consubstantial with the Father (No. 81) (CCG, 1994, 1999)

·        The Soul (No. 92) (CCG, 1995);

·        The Holy Spirit (No. 117) (CCG, 1994, 2000)

·        Early Theology of the Godhead (No. 127)

      (CCG, 1995, 1999)

·        The Resurrection of the Dead (No. 143) (CCG, 1994).

·        The Origins of Christmas and Easter (No. 235) (CCG, 1998),

·        The Pre-Existence of Jesus Christ      (No. 243), (CCG, 1998).

·        The Quartodeciman Disputes (No. 277) (CCG 1998).

 

Migne P. L. III, 1143 1165; XVI, 1213; XVIII, 671; XXI, 337; XXXIX, 2189 LXXXIX, 1034; 

 

 

q