Makanisa ya Kikristo ya Mungu
[CB8]
(Toleo
2.020030825-20070122)
Nuhu alikuwa mtu mwenye mienendo mazuri na mcha Mungu, lakini Ulimwengu ulijaa ufisadi na mashindano miongoni mwa watu, wakati huo na Mungu akamwambia Nuhu ya kwamba ataharibu ulimwengu na watu wake. Hiki nakala kimetolewa kwa sura la 3 na 4 ya kitabu cha ‘Hadithi cha Bibilia’ toleo ya 1 na Basil Wolverton, iliyochapishwa na Ambassador College Press.
Christian Churches of God
PO Box 369,
WODEN ACT 2606, AUSTRALIA
Email: secretary@ccg.org
(Copyright ă 2003, 2007 Christian Churches of God,
ed. Wade Cox)
(Tr. 2008)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia
yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org
and http://www.ccg.org
Nuhu na Mfuriko wa Maji
Tulisha jifunza kwa masoma ya awali kuwa Adamu na Eva walitenda dhambi na walifukuzwa kutoka shamba la Edeni na hiyo ilikuwa kipashio cha hukumu yao. Mungu aliwapa wana wawili Kaini na Abili. Kaini alimuuwa nduguye Abeli. Kama hukumu, Kaini aliwekwa alama na kufukushwa bali na Familia yake ili awe mtu wa kurandaranda nje. Kisha Adamu na Eva wakawa na mwana wa kiume majina Sethi na kwa wakati walipozidi kuishi wakawa na wana wawili tena wakiume na wakike.
Tukiendelea tunapata kuwa maisha ya wana wa Adamu ilikuisha haribika na muovu shetani na ilibidi waharibiwe (Mwanzo 6:1-7). Angalia nakala Kaini na Abeli (CB7) kulingana na Nephilimu.Ingawa maisha ya Sethi ``iliyoitwa katika jina la Yesu ‘’(Mwanzo 4:25-26). Hii ilimaanisha kuwa walikuwa wenye mienendo mazuri na wafuata amri za Mungu.
Adamu alipoitimisha miaka 810, Mungu alirudisha miaka za binadamu hadi 120 (Mwanzo 6:3). Huamuzi uliwekwa kwa binadamu kulingana na vile ambavyo mienendo na mwili wake ungefanya kazi baada ya kifo cha Nuhu. Kuanguka kwa binadamu kwa majaribu ya shetani ni kwa minajili ya uamuzi wa Mungu. Adamu alikufa akiwa na miaka 930 na miaka 120 baada ya upungufu wa miaka na mungu. Trehe wa 810 wa Adamu ilikuwa miaka 3194 BCE.
Mungu mwenye enzi aliona unyonge wa binadamu ulivyojaa ulimwengu na kayipa pole kwake mmba binadamu. Mungu akasema ``Nitafuta binadamu kutoka kwa uso wa Ulimwengu –binadamu na wanyama (Mwanzo 6:5-7). Mungu alijua vyote hivi vitatendeka hata kabla hajaumba binadamu, vile pia alivyojaa kwamba wanawake watakatifu watatenda dhambi. Kwa ajili ya unyonge wa binadamua, Mungu aliamua kuaharibu Ulimwengu nzima kwa mfuriko wa maji na baadaye kuiumba tena.
Mungu alijua binadamu hangeishi katika maisha ya dhambi, wangejiharibika maisha yao wenyewe kwa uchungu mwingi.Njia yake ingekuwa wa huruma mwingi.Kisha angewaleta katika uzima miaka ya maelfu zijuzo wakati mwana wake Yesu Kristo ungekuwa mshindi kwenye Ulimwengu. Hii ilikuwa karne ufufuo wa pili .Tazama nakala God’s Holy Days (No. CB22) kwa maelezo zaidi kuhusu ufufuop wa pili. Kisha watu watakuja kutambua uzuri wa kumheshimu muumba wao, wakati waufufuko wa Pili, mafirika mabaya yatakwisha na itakuwa rahisi kwa watu kufuata Amri za Mungu.
Kwa wakati huo Mungu alimtambua mtu mmoja tu aliyetaka kufuata amri zake. Huyu mtu alikuwa Nuhu (Mwanzo 6:8). Jina Nuhu linamaanisha kuwa ``Pumshiko’’ kutokana na kamusi ya Waebrania 5146. Babaye, Lameki aliona kuwa Nuhu angetumiwa na mUngu kuleta pumshiko kwa binadamu kutokana na ulimwengu aliyowisha laani (Mwanzo 5:28-29). Nuhu alikuwa mwema na “mtakatifu kwa kizazi huo’’. Hii inamaanisha kuwa hakuunga mkono ufisadi wakati wake na Niphilimu ambao walinyimwa bala ya ufufuko, na waliofaa amri zake Mungu. Kama Babaye na Babu alivyo kuwa hapo hawali. Nuhu alikuwa mwenye mienendo mazuri (Ezakieli 14:14,20).
Kwa Miaka 500th wa Nuhu baada ya kulea wana wake watatu (Mwanzo 5:32) Shemu kitinda mimba wake, Hamu wa pili na Japhethi wa kwanza (Mwanzo 10:21). Nuhu alipewa onyo na Mungu kuwa ataharibu Ulimwengu na tabia mbovu za wanadamu na mashindano ya ulimwengu kutumia maji ya mfurimuko. Nuhu aliambiwa na Mungu kuwa alitengeneze safina kubwa na awaonye wanadamu dhidi ya matendo yao mabaya na hukumu uliyotarajiwa. Watu walipewa Jubili mbili ya miaka 50 kwa kila miaka (100) ya kutubu. Wat hawakumuamini Nuhu .Kwa miaka 600th wa Nuhu na kifo cha Methusela, mtu mzee aliyeishi Duniani na mwaminifu wa hali ya juu mpaka wakati wa Nuhu, Mungu akaleta mfuriko wa Maji.
Mungu alipewa Nuhu maagizo maalum jinsi ambavyo angejenga safina (Mwanzo 6:14-22). Nuhu akubagua wala kusita wito huo na kuambia Mungu kuwa hatafanya.Aliitikia wito huo na kufuata maagizo alizopewa (Mwanzo 6:22). Alikuwa na imani na kuamaini Mungu ingawa haneweza kuyaona matendo yake wakati ule. Kwa kumchaa Mungu aliokoa Familia yake bali waliokata walilia na j=kusaga meno (Waebrania 11:7). Imani yake ilemwelekeza mahali ambapo alienda kujenga safina na hapa kuwepo na maji.
Wana wake Nuhu alipokuwa wa kubwa walimzaidia baba yao kujenga safina na kuwa hudumia watu na wanyama waliokuwa wanaenda kupanda safina hii. Watu waliposikia hotuba hii ya safina, walikimbilia mahali hapo na kuwa kijeli na kucheka ambacho walikuwa wakitenda Walimkujeli Nuhu na kuchukua kuwa alikuwa mwenda wazimu.
Miaka zilipita na safina kuwa kubwa na karibu kumalizika, na watu walizidi kukejeki Nuhu na wanawake watatu. Lakini hawakujali, bali walijenga safina karibu miaka 100. Na wakati wote Nuhu aliwakumbusha watu dhidi ya mfuriko wa maji ambao ulikaribia. Kwa kukosa kumtii Nuhu, bali wale ambao wangetubu na kumcha Mungu wange bahatika. Hakuna aliyemwamini Nuhu ila familia yake tu.
Watu waliliangalia lile safina kwa mshangao pale ambapo palijengwa halingelea juu ya maji. Hili safina lilikuwa kubwa kushinda jingo lolote ulimwengu; na jingo la juu lilikuwa mara kumi kwa kumi! Ilipangwa kuwa kubwa na kulea juu zaidi. Ndani mligaliwa kulingana na wanyama kiumbe ambao walitaraji kuingia mle ndani. Ndani kulikuwa na maji ya kunya, pahala pakulala na hata pakulia na lile ambacho kiumbe anaweza kutumia kilipatikana mle.
Wakati amabpo jingo lili malizika na kupakwa rangi ya kimaji. Nuhu alikuwa na miaka 600! Wana wake walikuwa na miaka 100 wakati huo mfuriko ulianza. Waliwazidi watu wengi wa leo kwa umri wakati ambapo walikufa. Lakini kazi nyingi lazima zifanywe. Kulikuwa na kazi ya kuweka chakula na nyazi mle ndani ambazo zingehitajika kwa kila kiumbe mle ndani.
Watu walizidi kucheka kazi hiyo. Hawangeweza kuamini kuwa ulimwengu mzima ingeharibiwa. Bali waliduani kuwa alikuwa na mahitaji ya kuchukua dunia nzima iwe wake kwa kuhubiri.
Na vivyo hivyo sisi tuko hai tumepewa kitabu cha Ufunuo ambacho kinatuonya dhidi ya kitimisho ya dunia. Nasi piatunahitajika kuwa na imani tukiungoja Mesia amabo tunatarajia. Wanabii pia wanatuonya juu ya Mesia wa Mungu na mwisho wa Dunia.Kanisa pia liantoaonyo kwa dunia nzima dhidi ya vitendo vya ugaidi amabyo linalizitiza dunia yote na watu wote. Badala ya kuchukua onya hizi watu wengi wanatafuta njia ya kuishi maisha ya ustarehe na kufanya kazi ndogo. Vile vile wajinga kulivyo nyamazishwa wakati wa Nuhu, watu wa siku hizi pia watanyamazishwa nao. Katika kitabu cha Mathayo 24:36-38 na Luka 17:26-33.
Vile vile wakati wa Nuhu pia wakati huu onyoinazidi kuenea kote. Na wengi hawatii onyo huu. Mungu hapendi kuhukumu watu wake kabla haja wapea onyo kupitia wanabii (Amosi 3:7).
Haikuwa kazi rahisi kwa Nuhu kuyasikia kujeli ya watu miaka nenda miaka rudi. Lakini alikuwa na imani kwa Mungu Alikuwa na imani kuwa karibuni safina yake lingekuwa na kazi na akalijenga mlango pande zote mbili. Hili wanyama wangeweza kuingia ndani. Hii ilikuwa miongoni mwa imani ya Nuhu kwa miaka 100 ya kuabudu Mungu.Safina ilikuwa linajengwa na watu kupewa onyo.
Siku moja wale ambao walikuwa wakimkejeli Nuhu walizima na kutazama safina kwa mshangao. Kila aina ya ndege na wanyama wali kusanyika karibu na kuingia safinani (Mwanazo 7:8-9). Mungu aliwapa viumbe vyote maagizo na waliingia safinani kwa mpangilio wa kipekee, ingawa wengine walikuwa wakati kwa viumbe.
Wanyama na wandege wasafi wa kuliwa na wanadamu, kwa maandamano ya wawili wawili wasabi waliingia ndani na kwa wanyama wasiyo wasafi wawili tu ndio walioingia. Mungu akamagiza Nuhu iliachukuwe wanyama wengine wasafi ambao watakuwa duniani baada ya mfuriko kutolewa. Wasafi wange tumia kwa chakula na dhabihukwa mungu. Kwa minajili ya hiyo angependa wanyama wasafi wawe wengi. Kwa habari zaidi kuhusu wanyama wasafi na wachafu tazama The Biblical Food Laws (No. CB19). Kwa wakati mfupi wanyama wote walikuwa kwenye nyumba yake ndani ya safina, ambapo ingekuwa mahala pao kwa mwezi mingi.
Nuhu na mke na wana watatu na wake zao waliingia kwa safina kwa siku ya kumi wa mwezi wa pili (Mwanzo 7:7). Mlaongo za safina bado zilikuwa wazi, Lakini watu wengi walizangaa kuona wanyama wakiingia safina na kuanza kuzangaa kama neno za Nuhu ni kweli. Lakini watu wengi hawakuamini onyo wa Nuhu kama ya maana. Na kama sasa watu hawatambuhi ukweli kwa sababu hawataki kuheshimu Mungu.
Siku zili pita n abado hakukuwepo na dalili ya mvua. Karibu wiki moja ilipita (Mwanzo 7:4). Watu walizidi kuchekelea Nuhu.Habari kuhusu safina kwenye maji mkavu ulienea kote na watu walikusanyika kushuhudia.
Nuhu na wanawe walijenga lango kwenye upande wa safina. Mungu akaufunga milango huu kabisa (Mwanzo 7:16). Watu walipotazama huu, walishikwa na mshangao.
Kwa siku 17th wa mwezi wa pili vitu vilibadilika kabisa na watu waliweza kutambua kuwa mawingu yalivuma kwa kasi. Kulikuwa na jua kali na ilibidi kila mtu atafute pakujificha. Mawingu hayakuwa ya kawaida na wakati mawingu mweusi yalipo tanda angani watu wakawa na hofu.
Kuongeza kwa kukwa wa tendo, kulikuwa na tetemeko kwa ardhi. Giza ilikuwa mbaya zaidi. Tetemeko ilikuwa zaidi mpaka ulimwengu ulianza kupasuka.Halafu, siku saba baada ya Mungu alihamuru Nuhu aingie kwenye safina,bahari za dunia zilifunguliwa na fikio zote zikafunguliwa na nchi ikajaa na maji (Mwanazo 7:11).Kwa wakati huo,bahari ilipasulia na maji ya mfuriko ikatanda kote .Mpasuko wa radi ilitanda na kufuatwa na radi .Maji yalimwagika kote na giza totoro kuikumba dunia.
Na hii ilikuwa mwanzo wa vitu ambavyo Nuhu alikuwa akiwaonya watu duniani. Hii ilikuwa mshangao na ajabu ambao alijawahii kusuhudiwa tangu shetani alete dhambi ulimwenguni ardhi ikapashuka na hakuna aliyeweza kuishi duniani.
Kwa wakati huu watu walianza kuwa na hofu. Kuzidi walicho jaribu kutenda maji yalizidi, na kuwazinda. Hakuna aliyeweza kunusurika bila nyumba, na pia hapakuwa na pakukaa milele. Maji ya bahari yalitandaa kote hadi bonde walikokaa watu wote. Na kwa ajili ya mfuriko wa maji iliyozidi kujaza milima na mabonde. Maji haya yalijaa miti, bonde, jiwe na matope na watu walitambaa juu ya maji. Ni watu wenye nguvu ndiyo waliyoweza kufika kwenye nchi sakafu, na mwishowe wakufe kutokana na mfuriko wa maji au maumivu makali aua mapigano kati yao wenyewe.
Baadaye maji yalijaa na kuinua safina kutoka chini. Waliokuwa wakimkejeli Nuhu waliokuwa ni tu mle ndani ya safina ndimo mlikuwa pakukalia (Mwanzo 7:18). Wachache ambao walifika karibu na safina na kupiga mayowe ilikufunguliwa. Na mvua alizidi na hakuna aliyeweza kusikia chochote ndani ya safina. Wengi walijaribu kupanda kando ya safina lakini mvua ilipozidi walianguka chini na kuzama ndani ya maji.
Na kwa Nehema wake mkubwa, Mungu aliwapa watu miaka 100 ya kutubu kupitia Nuhu mjakazi wake. Tunavyojua kwamba watu hawakumtii Nuhu, ni kama kutomtii muumba na kwa wakati huo muda ulikwisha na ulikuwa wakati wa kuomba au kubadili mienendo yao ilikupata usaidizi. Ni kawaida kuchukua muda kupata usaidizi kutoka kwa Mungu tukizidi kuomba usaidizi kupita kiasi kinachohitajika na Nehema wa mungu wetu.
Siku kwa siku maji yalizidi kufurika kutoka angani mpaka nchi ikajaa. Yakajaa mpaka milima mirefu yakapotelea ndani (7:20). Kwa wakati huo kila kiumba na hata binadamu walikwisha kufa wote ila tu familia ya Nuhu na wanyama waliokuwa ndani ya safina alivyo sema Mungu (2Petro 2:5). Bibilia yasema kuwa watu wanane waliokoka kutokana na maji, nah ii inalinganishwa na ubatiso ya wokovu (1Petro 3:20-21).
Siku arobaini usiki na mchana mvua ilizidi na kwa uwezo wa Mungu mbingu na mawingu hayakuwa safi mno. Mvua ikamalizika. Kwa muda mwingine nambari 40 inafumika kwa majaribu au walimu. Kwa mfano Mesia alifunga kula na kuomba kwa siku 40 akijaribiwa na shetani. Mesia alirudi dunia baada ya kifo chake na kuwahubiria watu kwa siku 40.Musa pia alikuwa kwenye mlima wa mungu kwa siku 40 akifunziwa na malaika wa Yahova.
Siku arobaini imetumika katika Bibilia kwa kuomba msamaha. Nineva alipewa siku arobaini kutubu na akatenda vile. Yuda pia alipewa siku arobaini ya kutubu kutokana na kifo cha Mesia. Yuda hakutubu na walimalizwa na kutezwa. Tangu kifo cha Kristo watu wa dunia walipewa Jubili 40 au 2000 ya kutubu.
Wakati huu ni wachache ambao wametubu kwa sayari huu. Hizi ni chache ya mfano ya matumizi wa 40, lakini nambari na tarehe ya mUngu inatumika ni muhimu. Twaitaji kufuatilia kalenda ya mungu ilikufahamu mipango ya Mungu.
Inhali kwa wakati huu maji yalirudi chini kidogo kidogo hadi ikawa kama kawaida. Lakini Nuhu na familai yake walilea juu ya maji kama vile watu wa rubani wanainuka juu ya mawingu!
Kwa siku 150 maji yalirudi chini. Wakati huu watu waliokuwa ndani ya safina walikuwa wamefurahi. Kwa kazi ambayo wamekuwa wakitenda kwa siku yote ndani ya safina na kusukumwa na wimbi ya mawingi. Mungu akaamuri wingu hiyo kuvuma ilielekeza maji kwa haraka (Mwanzo 8:1). Akafunga milango na madirisha ya mbingu ma mvua kuu ikakoma (Mwanzo 8:2).
Muda si muda kilele cha milima ilianza kuonekana. Safina ikatwaa juu na mlima yaw a Ararat (Mwanzo 8:4). Safina ilitwa hapo baada ya siku ya 17th wa mwezi wa saba. Mwezi tano baada ya mfuriko wa maji kuanzika .Hii ilikuwa siku mbili wa sherehe ya hekalu kulingana na kalenda ya mungu. Maji ilizidi kurudi chini.ikiwacha safina likiwa limesimama juu ya mlima. Siku ya kwanza ya mwezi kumi milima ikaanza kuonekana (Mwanzo 8:5). Nuhu alisubiri kwa mwezi miwili wa siku 40 Nuhu alifungua dirisha la safina na kutuma ndege. Tena akatuma kuguru mwingine na alipata hapakuwa na pakupaa ndege akarudi kwa Nuhu (Mwanzo 8:6-9).
Nuhu alisubiri siku saba na kutuma ndege tena. Alirudi jioni na tawi la mti kwenye mdomo .Na hili lilionyesha Nuhu kuwa maji lilikwisha kabisa na mimea ilianza kutoa matawi na watu wangeweza kuishi tena (Mwanzo 8:10-11). Nuhu alisubiri tena siku saba zikapita na kutuma ndege tena lakini hakurudi (Mwanzo 8:12).
Siku ya kwanza wa mwezi wa kwanza Nuhu alitoa mfiniko wa safina na kuona kuwa ardhi ilikauka (Mwanzo 8:13). Hii ndipo iliyokuwa mwezi mpya ya mwaka mpya katika kalenda ya mUngu. Huu ndio mfano wa kwanza katika Bibilia ambapo Mungu alitenda kitendo ya ajabu siku ya kwanza wa mwezi wa kwanza. Mifano mengine ni Tabenakali ilijengwa (Kutoka 40:20), upoatanisho wa Hezekia (2Mambo ya Nyakati 29:17); Upatanisho wa Ezra (Ezra 7:9); na kutoa onyo kwa wenye waliokuwa na wake wengi au washerati (Ezra 10:17).
Tena katika
kitabu cha Ezekieli 45:18-20 tuna funziwa kuwa vitu ambavyo vilianzika siku ya
kwanza wa mwezi wa kwanza na kuendelea hadi tarehe 21 wa mwezi wa kwanza, nah
ii ndio mwisho wa sherehe ya mkate usiochachwa. Utakasho zinaanzika siku ya
kwanza na inahusu kanisa wa Mungu nasi ndiyo kanisa. Kila mtu ambayo amebatiswa
ni kinakilisho cha Mungu na kujitenga kando. Siku saba wa mwezi wa kwanza watu ambao wamebatiswa wa Kanisa wanaomba na kufunga ambao niwapumbavu
(Ezekieli 45:20). Ni jukumu yetu kujifunga au kujinyima nafsi yako
ilikuwasaidia ndugu na dada zetu ambao hawajui Mungu au hawajajikaza kiimani.
Siku 21 ikiunganishwa na siku saba za mkate usiochachwa ni muhimu kwetu Tazama
nakala God’s Holy Day (No. CB22).
Maisha Mapya Kuanzia
Kwa mwezi wa pili tarehe 27 dunia ilikauka na mUngu kanena na Nuhu ``Toka nje ya safina‘’ (Mwanzo 8:14-16). ``Toka na viumbe. Nataka kila kiumbe watengane kila mahali na kuanzisha familia mpya’’ (v.17).
Baada ya kuwa ndani ya safina, nchi mkavu alikuwa pahali pazuri sana kwa Nuhu na familia yake. Bali iliuzubisha kuishi pahali ambapo alinyamaza hapakuwa na mtu. Ilikuwa ajabu mno kuwa wao tu kuishi dunia nzima. Hawa watu ambao walinusurika ndani ya safina waliabudu nehema wake Mungu, ulinzi na mpango wa kupeleka familia yao kuanza maisha mapya.
Mlango wa Safina ulifunguka na mwendo ukaanzika mpaka chini. Viumbe vyote wakaachwa kuona nchi mpya na kuanza maisha mapya.
Lakini Nuhu hakuwaacha wanyama na ndege wote Nuhu alitoka kumshukuru muumba wake kwa kumwacha na familia yake alijenga dhabahu juu ya milima huo na kutoa wanyama wasafi kama dhabihu kwa Mungu (Mwanzo 8:20).
Mungu alifurahishwa na Nuhu.Alimbariki n awanawe, Shemu, Hamu na Yafethi. Wakaamrishwa kujenga nyumba na kuzaa watoto wengi duniani ambapo wenye tabia mbovu walikuisha tolewa.
“Sita leta tena mfuriko wa maji kote kwa sayari’’. Mungu aliambia Nuhu na wanawe (Mwanzo 9:11). “Kama ahadi wetu halitatendeka tena tazama ishara ambao saa zingine uonekana kwa mbingu’’ (vv.12-17).
Kwa wakati huo Mungu akatoa ishara ajabu lenye rangi saba iliyopita pande moja hadi mwingine wa Mbingu hiyo ilionyesha kuwa Mungu hata wahi haribu ulimwengu tena kwa maji wa mfuriko. Ishara hii ilikuwa ya kuonyesha kuwa Mungu hata wahi kuharibu wanyama na wanadamu kwa maji ya mfuriko. Ishara hii ilikuwa agano kati ya Mungu na Nuhu.
Mmoja ange sutuka kuwa watu wangapi wange kuwa ulimwengu wakiangalia ishara huo. Wakati tumeona ishara hii ya kisuiya mvua. Wengu hao wachache wanafikiria juu ya kutubu dhambi zao na kurudi kwa Mungu mbele yake na kuruhuzu nguvu mwingi kuchukua. Bibi liam inatuelezea kuwa ni vyema kwa watu kutubu kufikapo mwisho wa Jubili 120 au 6000, kwa maana ulimwengu ulilaaniwa na shamba la Edeni kulifunguliwa.
Mungu kwanza alifanya usiono na Adamu.Adamu na Eva wakapewa kozea mti wa Uzima (Mwanzo 2:16-25). Inhali, Adamu alikosha na kulingana na dhambi ya wanadamu na kuanguka kwa muumba kutolewa, na hili mpango wa Mungu ifadhiwe bila mapigo.
Na ulimwengu iliharibiwa wakati wa Nuhu, lakini Mungu alifanya agano na Nuhu (Mwanzo 6:18; 9:9-17; Isaya 54:9). Baada ya Nuhu Mungu aliandaa agano kuwekwa kati ya watu ili atumie kama mfano kwa mataifa. Tutajifunza mengi juu ya hii agano tuki angalia adithi ya Ibrahimu.
Tukishika agano wa Mungu, tutapata uzima wa milele na tukiharibu agano hiyo, tutakufa (Warumi 6:23). Kutoka wakati wa Kristo Ubatiso wetu ndio agano yetu. Ubatiso huu inalinganishwa na msing wa kutahiriwa kwa Israeli. Na sasa kutahiri wa kimwili ni sawa na kutahiri wa kimoyo.
Wana
wa Nuhu
Wana wa Nuhu ambao walitoka kwa safina ni Shemu, Hamu na Yafethi.Hamu ndio alikuwa babake Kaanani. Kutoka kwa hawa wana Ulimwengu ulijaa tena (Mwanzo 9:18-19).
Nuhu alikuwa mkulima hodari na kupanda matunda mazuri. Siku moja Nuhu alikunywa divai nyingi na mwana wake wa kitinda mimba alifanya kitu isioyahesima akiwa amelala kutokana na divai. Kama Nuhu alisimama na kujua kilicho fanyika, alikasirika. Alilaani Kaanani, mwana wa Hamu, na kusema kuwa kaanani hawe mtumwa wa ndugu zake. Na wakati huo Nuhu alibariki wana wake Shemu na Yafethi (Mwanzo 9:20-27). Hii laana ya Kaanani na Baraka wa Shemu ilikuwa lazima yatimishwe kwa kizazi sijao na mataifa.
Nuhu aliishi kwa miaka 350 baada ya mfuriko wa maji (Mwanzo 9:28). Kwa wakati huo alihubiri kuhusu mienendo, wa Mungu na matakwa zake kila alipopata nafasi (2Petro 2:5). Kutokana naye wengine waliamini agizo lake kuhusu Mungu na mpango na amri zake. Kwa bahati mbaya watu wengi waliishi mbali na wengine na hawakuamini na kupuuza maisha yao kwa matakwa la Mungu.
Mungu alimpa Nuhu maisha marefu. Ingawa Nuhu aliishi kwa miaka 950 na baadaye akafa (Mwanzo 9:28-29).
Huo ni muda mwingi kuishi, sana sana tukilinganisha na maisha tunaoishi siku hizi. Ilhali wale ambao wametubu dhambi na kurudi kwa Yesu kutokana na maisha yao mabaya na kutafuta Mungu na njia zake wana furahia maisha marefu sana. Wata hishi milele kama Roho iliyohai (1Wakorintho 15:44-45,53), na baadhi yao wata anza maisha hiyo kama wenye sheria wa ulimwengu karibuni na Yesu Kristo kwa muda wa miaka 1000! (Ufunuo 2:26-27; 5:9-10).
Hii ni baadhi ya vitu vizuri ambao Mungu ameliandaa kwa wale wanampenda. Jinsi Nuhu aliambia watu juu ya amri za Mungu kwa neno na matendo, hivyo tofanye leo. Sio mbali sana mbeleni, Mesia atarudi kwa sayari na tena tunaona nguvu za ulimwengu kutolewa kwa maana ya tabia na kutofanya kazi vyema kwa sayari. Saa ya kutubu na kubadilika ni sasa.
q