Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

[CB55]

 

 

 

Wakimu Wa Israeli

 

(Toleo  2.0 20060313-20061214)

 

Baada ya kifo cha Joshua, waisraeli walirudi kuomba Mungu na kusahau Mungu mmoja wa kweli, kwa hivyo Mungu alitoa ulimi wake kwa Waisraeli. Walipokumbwa na matatizo, walirejegeshia kwa Mungu na kutubu makosa na kutaka usaidizi kutoka kwa Mungu. Wakati huu Mungu alituma wakimli ili wakomboe Waisraeli. Ya Bibilia ili Basil Wolverton wa kuchapishwa na “Ambassador college press”

 

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

 

 

(Copyright ã  2006 Christian Churches of God, ed. Wade Cox)

(Tr. 2009)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 

 


Wakimu Wa Israeli [CB55]

 


Tunaendela hapa kutoka katarasi The Sun Stood Still (No. CB53).

 

Kupunguza kwa kazi sulubu ya Israeli walipotawlwa ulichukua muda mingi sana huko kanani, kuongezeka kwa idadi ilionekana.

 

Siku hiyo wakanani wengi ambao walihamia kuho kwa nchi jirani walikuwa wanarudi kwa jiji na mahali ambapo Mungu aliwatoa. Kuna jiji na mahali pengine sana sana huko Yordani ambapo Waisraeli hawakufkikia (Josh 13:1-6). Hii humaanisha kuwa vita vya Israeli havikuwa vimemalizika kama Waisraeli wangekuwa na heshima na kuaminiwa basi Kanani aingetengwa kuwa yao kwa muda mfupi sana.

 

Waisraeli walipoamua hapo mwishoni kuchukua silaha na kupigana na kushidna wakanani, kulikuwa na Sali moja ambapo ni kabila gain itatoka kwanza. Phinehas aliyekuwa kasisi mkuu baada ya kifo cha Eleozar alienda kwa Mungu na kutoka kufahamu kwa tabenakali na Mungu aimhakikishia ya kuwa kabila ya Yuda ndio wa kwanza kuendama atawasaidia wanajeshi wao kushinda mahasibu yao ama adui wao.

 

Halafu wanaume wa Yuda aliuliza wanaume wa kablia ya Simani kwenda nao mpaka kwa mahali waliotengewa na kuanza vita na Wakanani. Walikubali kuchukua mahali pao wakati ulipowadia. Hii ilimaanisha kuwa wanajeshi wengi na wenye nguvu na maarifa watatumia kulinfa haya mahali (Wamuzi 1:1-3).

 

Bezeka ailikuwa jiji ambayo ilikuwa maili si mbali na shilo. Hapa walikutana na Wanakani ambao walikuwa wamejiami. Hawa wakanani walifumia mfalme wao bila uwoga wowote. Wale ambao walikataa kumtumikia walipitia dhukluma na mateso mingi sana kama vile kukatwa kwa mkno na hata miguu. Waisraeli walikumbuka Mungu yao na hawakisifu kuanza vita dhidi ya mahasibu yao.

 

Katika vita hizo mahasibu elfu kumi  walianguka mhelu ya Yuda na Simoni. Wakati wa furaha hiyo, mfalme wa Bezek, Adnoni – Bezek aliweza kujificha na kuenda upande wa kusini. Waisraeli waliposikia kuwa alikuwa mkali sana, waliamua kushika Adoni – Bezek. Kulingana na idadi mingi ya Israeli, walimshika kuko kwa milima. Baadala ya kumwua walimpatia mafunzo au kichapo ambayo hawezi kusahau maishani mwake. Vile alivyokata mikono na miguu kiholela ndivyo alivyofanyiwa.

 

Adoni – bezek alichukua kuhumu kwa moyo mkunjufu na likubaili kuwa Mungu wa Israeli alikuwa anamtesa alivyokuwa anahitaji. Alifikiri kuwa wafungwa wake karibu sabibi na alikata mikono na miguu yao yote.

 

Siku baaday ya siku waumme wa Yuda na Simoni walielekea kusini kutoka wanajeshi walikuwa wanapinga. Waliolekea magharibi mpaka kwa jiji la Gaza kwa kiziwa na mashariki karibu na kusini kwa kiziwa cha chumvi.

 

Katika kampeni yao, Mungu aliwasaidia sana na wakafaulu lakini bado kuna wakanan! Wengine ambao walijificha na kuhama mpaka huko Yerusalemu. Haya yalijitokeza kwa sababu Waisreai hawakushimu. Mungu na kupoteza imani yao kwa Mungu (Wamuzi 1:4-20).

 

Wakati huo, kabila ya Ephraim (saa zingine inajulikana kama nyumba ya Yosefu) waliweka mpaka yao sana sana huko kusini magharibi ambayo ni Shilo na mahali katibu naye. Ephrahim waligundua kuwa jiji la Bithel ilikuwa ya nguvu sana ingawa Yoshua na wanajeshi wake waliharibu wakati walipokuwa wanataka kuchukua jiji moja hapo karibu ya Ai.

 

Bila ya kufahamu Bethel ilikuaje ama wanajeshi wangapi wlikuwa kwa kuta. Maofisa wa Ephraim walituma skaoti ili waweze kuelewa na kugundua vitu hizi. Wanaskaoti walijificha usiku miale si mbili sana na kutazama kwa karibu na kuyajibu kuangalia mahali pa kuingalia mahali pa kuingia na vile watakavyo ingia kwa Bithel.

 

Usaidizi Usiokuwa Unatarajiwa

 

Jioni moja usaidizi ulijitokeza usio wa kuaminiwa. Mtu wa Hitate alitoka nje kwa jiji na kulizwa “Yuonyeshe venye tunaweza kuingia kwa jiji na hatutakushulumu”. Huyo alikubali na akawaaonyesha njia na wakaua kila mtu ispokuwa familia ya yule aliyewasaidia. Mungu ndio pengine alituma huyo kuwajulisha waisraeli.

 

Baada yule mwanaume alienda kwa ardhi yao ya zamani na kuanza jiji kwa jina. Luz ambayo ilikuwa jina la zamani la Bithel (Wamuzi 1:21-26).

 

Wakahila wa Yuda, Simoni wa Ephiamu walifanya vizuri kwa kuchukuwa Kanani na iwe mfano bora kwa kabila zingine. Kabila nyingi hawakuweza kushinda mahasibu yao ingwa Mungu alikuwa mwaminifu kwa Israeli kwani alikuwa anawalinda vyem,a sana.

 

Badala ya kutoka kanisa kabisa Israeli waliamu waishi nao. Idadi ya Israeli ilipongezeka walifanya wakanani kufanya kazi sulubu sana lakini hawakuwafikina. (vv. 27-33).

 

Mahali zingine Waisraeli walichoka kupigana mahasibu wao. Waliamua kulingana na kushiriki nao. (vv. 34-36) kwa miaka mingi Israeli walioona na Wanakanani. Hii ndio uzuri wa muungano. Waisraeli walianza kuomba miungu mbalimbali na kusahau onyo waliopewa na Mungu kuwa, wasiungana (Ex. 20:3-7; Kutoka 23:31-33, Kumbukumbu la Torati 12:29-32; 6:4-7; 7:1-11; Josh 23:6-8; Wamuzi 3:1-7).

 

Baada ya kifor cha Yoshua na idadi ya Israeli kuzidi wengi wao walijitumbukiza kwa dhambi. Umaminifu wao ulikuwa inadidimia na walianza kuishi kama wakamani.

 

Idadi kubwa ya Israeli ulikuwa karibu na shilo-mlima Ephraim. Hata kwa kididimia kwao wakabila wengine walikuwa kwa tabenakali na kutoka mazao yao na kuonana na kasisi mkuu na niaba wake. Shilo ndiyo ilikuwa katikati ya nchi na katakior zilikuwa zinafanyika huko.

 

Kutembelea Kwa Malaika

 

Siku moja mtu asiyejulikana alionekana akitembea kuelekea Shilo upande wa Gilgal vile ilivyotazamiwa huyu alikuwa malaika wa Yehova.

 

“Nyamaza Israeli! Niliwatoa huko Misri mapaka hapa kwa ordhi nilivyoambia mababu zenu.

 

Tulikubaliana nanyi kwa nitawasaidia kwa kushinda wenzako ingawa tu mmeniheshimu. (Kutoka 23:23-28), tazima uharibifu. Hekalu yote. Hamtakikani / mlihukumiwa kuelewana na kuungana na mahasibu wako. Na hamjaniheshimu kwa nini? Kumbuka nilisema kuwa mkokosa kuondoa wakanani watakuwa kama miiba kwa mabavu yenu na miungu yao yawa hatari sana! (Wamuzi 2:1-3; Kutoka 23:31-33, Kumbukumbu la Torati 7:16; Zaburi 106:34-40; Josh 23:12-13). Sasa mmevunja makubaliano yetu na kuona na Wakanani msitamani chochote kutoka kwangu kwa kuwaondoa nje na nitawafanya wakutawale” (Wamuzi 2:1-3).

 

Baada ya malaika wa Mungu kumaliza kuonge, watu walifikirika machoni na kuita mahala hapo Bokim. Walitoa mazao kwa Mungu. (Wamuzi 2:4-5).

 

Kutubu dhambi haichukua muda mrefu. Siku zikipita na hakuna cha kutendeka, watu walianza kurudi kwa matendo yao mabaya. Bado walizidi kuonena na wakanani. Wote walikuwa miungu ambayo wliomba kishenzi na mahasibu yao.(vv. 11-13)

 

Kulingana na hasira yake, Mungu aliwaacha mkononi mwa mahasibu kila mahali na hawakuweza kuzuisa Waisraeli walipoenda kwa vita, mkono wa Mungu kaukuwa kwa upande wao na walikuwa wanashindwa vile alivyokuwa amesema. Walikuwa kwa taabu sana (vv. 14-15).

 

Mungu alituma wakimu ambao waliwakomboa kwa mkononi mwa mahasibu yao. Hawakusikia wakimu na kuendelea kwa kuomba Mungu. Ya Wakanani. Wakati wowote walikuwa na wakimu Mungu alikua nao na alikomboa Israeli kwa mahasibu wao. Wakimu walipoaga, Waisraeli kwa mienendo yao mabaya na kuomba yasio ya kweli. Ungu alikumbwa na hasira sana na kuacha nchi zingine kupima heshima wale Waisraeli ambao hawakuwa wamepiga vita na Wakanani. (vv. 16-32) hii alikuwa kuwafundisha vita kwa kuwa kulikuwa na ardhi nyingi kuchukuliwa( Wamuzi 3:1-2).

 

Waisraeli bado walizidi kuona na nchi ya karibu. Walifanya vitu vya mashetani na kusahau Mungu yao na kutumikia miungu za nchi zingine. Mungu alishikwa na hamaki sana na kuwatoa kwa mkono ni mwa mfalme wa Aram. Maisha mazuri ya Israeli yaliyelewekwa sana. Hii ilikuwa mateso ya Israeli kwa maika nane (Wamuzi 3:5-8).

 

Kutubu Huleta Ukombozi

 

Baada ya muda walipogundua kuwa hakuna njia ya kuepukana na matatizo yao Waisraeli walitubu dhambi zao. Kwa mingi, maisha yalikuwa ya kazi sulubu, machozi na maombi. Lakini haya miaka yote ya kutumikia yaliendelea.

 

Othniel

 

Mungu aliinua mtu mmoja kwa jina Othniel. Alikuwa na kabila wa Yuda shemeji wa Kaleb. Alijitambulisha kwa kuongoza wanajeshi mpaka huko Kanani mwaka wa mbeleni (Wamuzi 1:12-13; 3:9).

 

Othniel alipokea roho wa Bwana na akawa wakimu wa Israeli na kwenda nao kwa vita (3:10). Mwishowe baaday ya miaka inane kama wataliwa. Israeli walikuwa huru. Mungu alisikiliza kwa makini maombi ya wale waliotubu. Aliteua Athniel kuongoza Israeli kuwa huru. Kwa hakika Mungu alichagua Othniel kama wakimu aliyejawa na roho kuongoza Israeli kwa miaka mingi ujao.

 

Tabia za watu zilibadilika sana baada ya kutumikia kwa miaka minane na walikuwa tayari kusheshimu Mungu kwa sana. Walikubaliana na kushirikiana na Othnile kwa ujenzi alipotaka kwa uzuri wan chi yao. Kuona na Wakanani na hata kuomba miungu yao ilikataliwa. Walioendela kufanya haya walikuwa wanahukumiwa vilivyo. Matokeo yalikuwa ni Israeli waliishi kwa furaha sana na amani na hata walijiendeleza kimaendeleo kushinda nchi yoyote.

 

Kwa oungozi wa Othniel mteule wa Mungu, Israeli waliishi kwa amani kwa miaka aronanne. Siku ya hizi miaka arobanne Othniel alikuwa mmoja wa viongozi kuanzia wakati wa Yoshua – alijulikana kama wakimu. Hawakuwa wakimu walieliwa tu kama waume kupitia hukumu ya haki bali walikuwa viongozi waloonyoza Israeli kuanzia wakati wa Yoshua mpaka wakati wa Samweli (Wamuzi 3:11).

 

Mafunzo Kusahaulika

 

Othnuel alihakikisha kuwa sheria ya hata ilite kelezwa Israeli. Baaday ya kifo cha Othniel, watu hawakuwa na kiongozi dhabiti kwa hivyo walirudi kwa matendo yao ya zamani pia huonekana kuwa Waisraeli walienda kuachiliwa na Mungu na hawakuwa na fununu yeyote venye Mungu atawahukumu.

 

Nchi ya Moab iliongozwa na aliyejulikana kama Eglon. Mahali walipokuwa wanaishi Israeli mashariki ya Yordani ilikuwa kipande cha Moab hapo beleni na Eglon alikuwa tayari kuchukua ardhi hiyo. Hakugundua kuwa tamani lake kunyakua ardhi hiyo ilikuwa mpango wa Mungu aliyemtaka atesi Israeli.

 

Baada ya kujenga nyumba za wanajeshi na kuwa na wanajeshi wa nguvu, Eglon alitoa wanajeshi, elfu na elfu kutoka kwa Ammonita na Amelekiti – nchi mbili ambazo hazikuwa zinakubaliana na Israeli kwa sababu Waisraeli waliswashinda kwa vita na kuwanyakua (Wanuzi 3:12-13) kwa miaka kumi na nane Waisraeli walikuwa chini ya uongozi wa Eglon (v.14).

 

Ehud

 

Kama iliyotarajiwa, waisraeli walitubu dhambi zao. Walikashifu sana kuingia katika dhambi kama hiyo. Kuteswa kwao, machozi na maombi yaliguza moyo wa Mungu aliyeteua Ehud kuwasaidia (v. 15).

 

Hatua ya kwanza ya Ehud kukomboa Israeli ni wakati alipoongoza watume kwa mfalme wa Moab kuwaomba msamaha. Wakati huo Ehud alikuwa na nguvu na ujuzi wa kutumia mkono wake kushoto, alificha silaha yak echini ya nguo zake. Baadaya kutembea elgon, Ehud ana wanake walianza kurudi huko Shilo. Ehud hakuenda mbali ya alifika kwa mapka ilitotengenezwa kwa mfano kwa jiwe. Ehud aliambia kwenda Shilo bila yeye. Kwa haraka alirejea kwa ikulu ya mfalme kwa kudai kuwa alikuwa na arafa ya siri ya Eglon. Walinzi walipoambia mfalme kuwa Ehud alirudi na habari ya siri, mfalme alimwaloka kwa ikulu pahali pa siri na kutoa walinzi na hata watumizi wake (Wamuzi 3:16-20).

 

“Ni habari gani ya siri aliokuwa nayo ana mimi?” Mfalme akauliza.

 

“Je itakukera ukisikia kuwa inetoka kwa Mungu” Ehud akasema.

 

“Unamaanisha nin imetoka kwa Mungu?” Eglon alitaka kujua akinyanyuka kitini na mwili wake mkubwa na kuelekea upande wa Ehud.

 

“Ninamaanisha hii” Ehud akasema. Mkono wake wa kushoto ikitoa silaha yak echini ya mavazi yake kwa haraka sana na hata mfalme hakuweza kupiga mayowe. Ehud, kwa haraha yake alimdunga kwa silaha yake na kuacha hapo kwa haraka na kufanya mlango. Haki ilikuwa imetendeka.

 

Baadaye walizi waliporudi na kupata mlango umefungwa walidhani kuwa mfalme wo hakutaka kusumbuliwa. Walingoja kwa muda mfupi wa walipoona kuwa hakuna mabadiliko waiamua kufungua mlango. Kwa kustaajabu kwao walipata kiongozi wao ameaga dunia kutokana na kudungwa na silaha (Wamuzi 3:21-26).

 

Watumizi wa mfalme walipokuwa wanaongoka, Ehud alihamia huko Siera.

 

Mungu Ni Mwerevu Na Mwenye Haki

 

Kwa wakati huu na mahali mengi kwa hadithi ya Bibilia, wasomo wachache watashikwa na bumbuazi. Hawataamini kuwa, kwa nini mteule wa Mungu anweza kuwa mwingine na kwa nini hadith iko katika bibilia na kuandikwa sana sana kwa watu wadogo.

 

Bibilia yafaa kusomwa na wadogo kwa wakubwa. Ni ufafanuzi kuhusu histroria ya Israeli na kwingine kufafanua matatizo yaliyoletwa na binadamu. Kwa kusema hivyo hakuna ubaya wowote kwa wanadamu.

 

Mungu litauwa Israeli kwa kutimiza jambo Fulani na moja yakawa kuwafukuza wananani mahali walipokuwa wanaishi. Kwa siku moja Mungu atawapa wakati wa kuwakomboa (Mat. 12:41-42; Ufunuo 20:11-12; Isa 65:19-25). Vile Mungu alivyokuwa anafahamu ni kuwa hakuna makosa kwa wanaisraeli kuua mfalme aliyekuwa ananyanyasa wengine, na ilikuwa ni haki mwanajeshi wa Israeli kuua wanajeshi mahasibu kwa vita.

 

Kumbuka kuwa Israeli ilikuwa nchi ambayo wananchi wake hawakuwa wamegeuzwa-Bali tu wengine wachache kama vile wanabii na wakimu. Ni mungu pekee ndiye ana amri ya kumfanya mtu aue mwenzake Ilikuwa ni kupenda kwa mungu kama ilivyoandikwa kwa sheria yake, kuamua wakati mtu mwenye matendo mabaya kuuwawa kwa uzuri wake na wale waliokaribu naye. Siku hizi si jukumu la wakristo kutenda matendo kama hii .Ni wale ambao hawajageuzwa ndio wanakimbilia dunia hii yesu alisema kuwa ufalme wake si wa hapa dunia  (Jn.18:36). La  sivyo watumizi wake watapigana . Kama ncha hutawalwa na wakristo basi hutawalwa na kwa sheria za Mungu.Israeli ilikuwa ya hii dunia. Na ufalme wa mungu ni dunia ya kesho. Na kristo atapigana na kuanza aliporudi tena.

 

Kuendeleza na hadithi: Ehudi hakupoteza wakati kufika mlima Ephraim ambapo aliamri waume wa israeli kuwaambia wengine kilichotendeka.

 

Ehud aliwaambia kuwa wanajeshi wa Moab walitawala na hiyo ilikuwa uamuzi wao. “Na waliposikia kuwa kiongozi wao amekata roho, walipoteza roho kutulinda na watahitaji  kuhama kupitia Yordani mpaka nchi yao. Ni kulingana na tamani wa Mungu na mchukie silaha zao na kunifuata!” (Wamuzi 3:27)

 

Kwa hivyo walimfuata na kuchuakua vitu vyao na kuelekea Moab. Hawakukubali mtu yeyote kupitia hapo wakati huo walishika karibu watu elfu kumi na hakuna yeyote aliliama. Israeli sasa ilikuwa huru dhidi ya dhuluma ya Moab na waliishi kwa amani kwa miaka themanini.

 

Sababu ya uwezo wake wa kuongeza, Ehud alikuwa kiongozi wa pili waisraeli aliyekuwa wakimu. Ehud alikuwa kwa mamlaka kwa miaka mingi ya amani na maendeleo sababu  watu walikuwa na heshima kwa Mungu na sheria zake (Wamuzi 3:28-30).

 

Shamgar

 

Wamuzi 3:31 hutambua mmoja Kwa jina shamga kama kiongozi bora. Alikuwa wakimu mdogo wakati wa Ehud huko magharibu mwa kanani.Wafilisi, nchi yenye majimbo karibu na kiziwia kubwa waliungana  na Moab kwa kupigana na wanaisraeli na kuwafanya watumwa kwa miaka mingi sana kwa kufanya kazi kwa shamba

 

Kazi yao ilifika kwa kikomo walipogeuza mtawala wao kwa kutumia silaha za shamba. Kulingana na vita hii Shamga alitumia silaha yake kwa jina OX-goad kwa akili na kwa haraka na kuua wafilisi  mia sita, na hii pian ilitokana na usaidizi kutoka kwa wakulima.

 

Kurejea Kwa Njia Za Zamani

 

Ni mambo ya kuhunika kuwa baada ya kif cha wakimu Ehud katika kambo israeli walianza kubishana na Mungu. Pia Mungu alitumia mfalme pagani kuwatesa. Wakati huu alikuwa Jabin, kiongozi wa nguvu kutoka huko kanani kaskazini. Ilikuwa ni ukoo wa Johin ambao kwa miaka mingi walijaribu kunyaka israeli kwa kutumia Charioti wa vyuma. Jabin alishindwa na Yoshua alishindwa na Yoshua na kuelekea kwa jiji lake kuteketezwa kwa moto. Jobin alijenga jiji lingine huko Hazor na alikuwa kiongozi wa nguvu sana na kushinda na kunyaka israeli waliokuwa kaskazini mwa kanani. Amini usiamimi Jobin alitumia chariot mia kunyaka na kushinda israeli.

 

Kwa miaka ishirini ya majuto israeli waliteseka chini ya kiongozi jabini (Wamuzi 4:1-3) kama kawaida israeli walirudi kwa Mungu na kuomba msamaha. Walijitetea kutubu kwao kwa kuach matendo yao maovu yasiyotakikana na Mungu.

 

Dibora

 

Ili kuokoa israeli Mungu alitumia mwanamke kwa jina dobora. Alikuwa anaishi huko mlima Ephrain na kulingana na kupitia wakimu na mawazo yake mazuri israeli waliimjia kwa maarifa. Mungu alitumia Dibora ambaye ni nabii wa Ephraim kusaidia israeli kwa njia mingi sana (vv. 4-5).

 

Kwa kitu kimoja, Mungu alimpa Dibora maarifa ya yatakayotendeka kwa huruma wa israeli nani muhimu kwa maamaume ambaye ni mwanajeshi abaye ni mwanajeshi kiongozi kutekeleza mpango huo. Jina lake lilikuwa Barak. Alikuja kutoka kwao kaskazini alipokuwa anamhitaji.

 

“Mungu aliniahidi kuwa kama naweza kupata mtu mwenye uwezo kama wewe anayeweza kusanya wanajeshi elfu kumi wa israeli kwa mlima Tabo, na atawapa ushindi dhidi ya mahasibu yao. Kanani ambao wanawataka kwa vita” Dibora kamwambia Barak “Kwa makubaliano kwa hiyo kutoka kwa Mungu, je kuna sababu yoyote ambayo yanaweza kukataa mwito kama huu kuongoza hawa kukubaliana na kanani? (Wamuzi 4:6-7).

 

Baraka alijibu, “ukienda nami, nitaenda, na ukikataa kwenda nami pia sitaenda.” Dibora alikubali na kumwambia Baraka kuwa njia aliyokuwa natumiwa Mungu atamruhusu mwaname kuharibu na kushinda General Sisera.

 

Baraka alienda kikosi kutoka kabila ya kaskazini wa Naphtali na Zebulun na walimfuata Dibora pia alienda nao (vv. 8-10).

 

Sisera alipogundua hii alisanya wanajeshi wake na kuelekea kwa mlima Tabo ambaye israeli walikuwa. Alienda na kikosi kubwa sana karibu Charioti mia tisa na maelfu wa wanajeshi ambayo Waisraeli sana (vv. 12-13).

 

Njia Ya Amani

 

Mungu pekee kupitia usaidizi wake wa kutoaminiwa ndiye awezaye kukomboa israeli

 

Kuchaguliwa na kupewa roho ya uhabiri na Mungu Dibora alimwwarifu Barak kuwa Waisraeli wanafaa wateremka chini kwa kubaliana na mahasibu wao na uwezo wa Mungu usiominiwa utaonekana ukiwasaidia (v. 14) Baraka alifurahishwa na imani ya Dibora na akaamini wanaume wamfuate akiteremka chini ya mlima.

 

Nafasi aliyokuwa nayo Barak na kupitia usaidizi wa Bwana aliweza kuwa charisti na wanajeshi wa Sisera na silaha yake nna Sisera aliacha Chariot yake na kuhamia kwa miguu. Barak aliwafuata wanajeshi mpaka huko Horosheth Haggoyim. Wanajeshi wote wa Sisera walishindwa na kuuwawa wote na hakuna yeyote aliyebaki Mungu alianza kupinga vita ya israeli alivyokuwa amewahidi (v.15).

 

Sisera alihama kwa miguu mpkaka kwa tenti ya Jael mkwewe Heva wa Kenite kwa sababu kulikuwa na uhusiano mwema kati ya mfalme Jabin wa Hazor na familia ya Heva wa Kenite.

 

Jael alitambua Mkanani aliyekuwa amechoka sana akijikamua katika kwa tenti alienda kwa kumlaki.

 

Utabiri Mbaya Wa Sirera

 

“Kuja upate mapumziko kwa tenti yangu”, alimwambia akimsaidia (Wamuzi 4:15-18).

 

Ndani ya tenti alilalal chini akiwa amechoka kupitia kukimbilia huru yake. Sisera aliuliza maji ya kunywa, Jael alimpa maziwa na kumfanya alale sana kinono na kumfunika na balanketi (Wamuzi 5:25).

 

“Mtu yeyote akuja na kuuliza umeniona, usimwambie kuwa umeniona,” Sisera alimwonya Jael. “Utazawadiwa kama umelinda kutoka mkononi mwa israeli wale walioheshimu Mungu!”

 

Hayo ndio meneno yaliyotamkwa na Makanani Ssera. Hakuwa anajiweza na akalala papo hapo. Jael alitega sikio mpaka akalala kifudifudi. Baaada ya kulala Jael alifunfa tenti yake pole pole na kuchukua yunfo yake. Alinyemelea pole pole na akaingia kwa nyumba alipokuwa amelala na kuchukua maisha yake. Papo bila hata ya kupoteza wakati (Wamuzi 4:19-21; 5:26).

 

Mungu alimkubalo Jael kuchukua maisha ya Sisera kibaridi ili iwe kama onyo kwetu. Hao Wanakanani walikuwa waziri kama amekata roho. Wakanani walikuwa wanatoa watoto wao kwa hekalu ya Baal. Kama unajenga nyumba familia ya kanani walikuwa wanatoa na kuuwa watoto wao na kuweka wao kwa mianza ya nyumba ili kele nia njema. Waakeologia waliopata mifupa madogo madogo ya hawa watoto walishangaa sana ni kwa nini Mungu haku haribu kanani haraka iwezekanavyo. Angefanya tu hivyo kama israeli wangekuwa wamemheshimu kwa kutimiza amri yake ya kunyaka na kuharibu mfano ambayo wakanani walikuwa wanaabudu (Kumbukumbu la Torati 7:1-6).

 

Kwa sababu Sisera alikuwa mpenda mfano wa kanani, na alikuwa nanafaa atolewe hapa duniani baada ya kutumika kuwatesa israeli na kuwaleta kutubu dhambi zao. Kama mmoja aliyefaa kuharibu amri ya israeli na linyimwa uheshimiwa wa kufa kwa vita kama mwanajeshi mkuu kama inavyotakikana.

 

Baaada ya muda mfupi Jael alitazama vile Israeli walioshinda wakipitia. Alikimbia mbee yao kwa kutingiza mkono kuwaarifu kuwa kuna jambo muhimu ambayo walikuwa walifaa kufahamu. Alipowkaribia aliwaambia kuwa ana habari muhimu kwa kiongozi wao na Barak alimwendea kusikiza ni habari gani alikuwa na kusema.

 

“Kama mtataka Jenerali Sisera, basi ninaweza kuwapeleka mahali aliko,” Jael waliwaambia.

 

Kwa hivyo alienda nayo kwa tenti alipokuwa aliwawa kwa hekalu akiwa amekata kamba / roho. Baraka alikumbuka unabii wa Dibora kwa mwanamke ndiye atakayeua Sisera na Barak alikuwa na imani sana kwa Dbora. Baraka aligundua kuwa hakuwa na imani dhabiti na kufahamu hiyo ni dhambi mbele ya Mungu. Alitubu dhambi zake na Mungu akamsamehe na akamwamini sana (Waibrania 11:13,32,39).

 

Ingwa walishinda na kuwa huru, aliyepanga ushindi dhidi ya israeli bado alikuwa mahali pazuri huko kaskazini. Hyo alikuwa Jabin, mfalme wa kanani ya kaskazini. Kwa kusikisa kushindwa kwa mwanajeshi wake alihama kwa nchi nyingine na baada ya siku chache aliangukia mkononi mwa mahasibu na kupoteza maisha yake (Wamuzi 4:22-24).

 

Waisraeli walikuwa na kuandaa sherehe kubwa sana kupitia kwa kutolewa kwa mkononi mwa wakanani, nyimbo zilitungwa na Dibora na Barak waliongoza wengine kuomba Mungu. Asante kubwa sana na watumaini mengi mmno (Wamuzi 5:1-37). Wengi wao waligundua kuwa muumbaji alikuwa kiongozi ya nguvu yao ingwa saa zingine walikuwa wanasahau mambo muhimu sababu kila mtu alikuwa anafanya yale ambayo alidhani ni kizuri (Wamuzi 17:6).

 

Mungu aliwaamri (watu wake) kuwa wasifanye waliona kama ni kizuri (Deut 12:8) kwa hivyo mia hivyo ilikuwa kubaya na hueekea kwa kifo (Methali 14:12; 16:28). Wengi wa Israeli hawakuwafahamu kuwa mafikira yao hayatawasaidia na lazima kwataambia Mungu muumba ili kuwaonyesha njia ya kuisha (Kumbukumbu la Torati 12:32).

 

 

 

q