Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

[009]

 

 

 

Uhuru Wa Jukumu

 

(Toleo 2.0 19940327-19991022)

 

Karatasi hii inaangazia majukumu wakristo kibinafsi katika mwanga wa pasaka na mkate usiotiwa chachu. Kutitolea wa Yesu Kristo katika kusulubiwa badala ya watenda dhambi kama vile Barnaba pia kunachaguzwa.

 

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

 

 

(Copyright ă 1994 [edited 1996, 1999]  Christian Churches of God)

(Tr. 2009)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 

 


 Uhuru Wa Jukumu

 

 


Siku yakwanza ya mkate usiotiwa chachu inasherehekesha kuondoka kwa Waisraeli kutoka Misri au dhambini (iyumlisho wa msururu wa mambo yaliyofanywa na kuongozwa na mwasi Elohimu, mwenyeji mwovu wa ulimwengu huu).

 

Kimoja kati ya vitu vinavyoitambulisha Misri, au Misri ya kiroho, kama tunavyoijua, ni kifumo unaolenga kupinga ibada ya Mungu wa kweli, moja kwa moja, kwa mfano Mistari ilikuwa ikitumia kilenga ya jina. Hafautianayo na le iliyoikusudia Mungu aabudiwe kwayo. Waisraeli wangebakia Misri, ingewawia vigumu kumnadubu Mungu mmoja wakweli kwa muktadha huu tu. Utaratibu wa matumizi ya kutenda ya Kimisri yangewazua kufanya hivyo.

 

Sheria ya Mungu, pamoja na kutenda sasa yadumishwa. Hata hivyo hata ingawa tunahusika kuidumisha sheria hiyo. Yapo majaribu ambayo yanajaribu kupiromosha bidii ambayo imetiwa katika udumishaji wa sheria hiyo. Umekuwapo uvumizi dhidi sheria zisizobadilika za Mungu umewahi kuonekana, ni sheria hizo ndizo zinazotalazimu kuungana kama waksristo siku hizi.

 

Wengine wanasema kuwa siku takatifu ni tamaduni za Mungu za kibibilia. Ikiwa ni hivyo, basi ni tahisi mno kuzikana na kusema hazifai, hata kutofaa kuwannga pamoja wakristo.

 

Hapana shaka kuwa uasi wa sheria undadhirihika katika kanisa leo hii. Pindi ukiacha kumuwabudu Mungu wa kweli kwa sababu Miungu mingine au taswira ya mwakadamu uasi wa sheria unaonekana, kama ilivyoandikwa katika Warumi 1:18-32.

 

Kwa nini haya yahushishwe na msima wa Pasaka? Kwenye saa za mwisho za maisha ya wakristo, matukio mawili na watu wawili wanatajwa kuna funzo mnafaka la kujifunza kutokana na matukio hayo na kulichowatendekea watu hawa. Mathayo 27 inaongea kuhusu wa kwanza kati ya hawa wawili. Barhaba alikuwa mhalifu sugu wa palestina ya karne ya kwanza.

 

Mathayo 27:11-16 naye Yesu akasimama mbele ya ijwali liwali akamwuliza aliwe mfalme wa Wayahudi? Yesu akamwambaia, wewe wasema lakini aliposhtakiwa ba wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu hata neno. Ndipo Pilato akamwambia. “Husikii ni mambo mangapi wanayo kushuhudia?” Hakumjibu hata neno moja hata liwali akastaajabu sawa. Basi wakati wa sikukuu, liwali desturi yake ilikuwa kuwafungusha mkutano mfungwa mimoja waliyemtaka palikuwa na mfungwa mashahari aliyeitwa Baraba.

 

Marko 15:6-7 inaongeza dondoo zaidi.

Marko 15:6-7 basi wakati wasiukuu hawafungulia mfungwa mmoja wamwombaye palikuwa na mtu aliyeitwa Baraba alifungwa panga wa watu walifanya fituwa na uuaji na unaji katika fitina ile.

 

Luka 23:13-25 namalizia.

Luka 23:13-25 Na pilato akawakutanisha wa kuu wa makuhani, na wakubwa na watu, akawaambia mtu huyu mmemleta kwangu kana kwamba anapotosha watu, nami, tazama, nimeamua yake mbele yenu. Ile sikuona kwake kosa lolote katika mambo hayo mliyomshitaki wala hata herode kwa maana amwemrudhisha kwetu, basi tazama hakuna lolote alilolitenda lipasalo kufa. Kwa hiyo alimrudi kisha nitamfungua (maana alimlazimu kuwafungulia mfungwa mmoja siku ya sikuu) wakapiga kelele wote wakisema “mwondoe huyu, utufungulie Baraba”. Naye ni mtu aliyefupwa gerezani kwa ajili ya fitina iliyotokea mjini, na kwa unajili. Basi Pilato alisema nao kwa mara ya pili akasema vile alivyotaka kumfungua Yesu. Lakini wakapiga kelele wakisema msulubishe, msulubishe. Akawaambia kwa mara ya tatu, kwa sababu gani? Huyu ametenda uovu gani? Sikuana kwake hata neno moja lifaalo kufa. Basi nilishamrudi, nitamfungua lakini wakatoa sauti kwa nguvu sana wakitaka asulubiwe. Sauti zao zikashinda Pilato akahukumu kwamba haja yao ifanyike.Akamfungua yote aliyetupwa gerezani kwa ajili yaitina na uuaji, yale waliyemtaka akamtoa Yesu wamfanyie watakavyo.

 

Tunaona picha ya kustaajabisha. Hapa yapo mtu, Baraba, mhalifu sugu. Alishitakiwa kwa ajili ya kitina na uuaji, kumfamlisha kuhawa kulingana na sheria za kinimi na za Kiyahudu. Ilhali asiachwa huru badala ya mtu asiye na hatia, Yesu Mesia. Yesu hakuvunja sheria za kirumi wala za Kiyaudi (ambazo ni za Mungu). Hapakuwa na msingi katika ruhusa ya mauaji yake.

 

Zaidi ya hivi shughuli yote ya hukumu iliinga na athari Yesu alisalitiwa ba mmoja kati ya wanafunzi wake. Akafikishwa mbele ya baraza la mwakuhani kwa kosa la kulidhalilisha jina ya Mungu na pia fitina dhidi ya warumi wakati ambapo alikabidhiwa Pilato baada ya kukaguliwa na Pilato, makosa hayo hayakuonekana kwake.

 

Pilato akatoa hukumu kwa mtutano. Mkutano ule kwa kahika ukapekea damu ya Kristo kuwa juu yao.

 

Mathayo 27:25 watu wote wakajibu na kusema damu yake na iwe juu yetu, na watoto wetu.

 

Katika kufanya hivyo, walikuwa wanautimiza unabii, kumbuka mwanakondoo wa Pasaka alipochinjwa, damu ilipakwa katika vizingiti na milangini katika kutaka damu ya Kristo kuwa juu yao Waisraeli na Wayahudi kama walivyo hapa walitimiza kile kilichoashiriwa na kupakwa kwa samu, milangoni na vizingitini – kuwa ndani ya damu ya mwakondoo wa Mungu wa Pasaka.

 

Lakini hebu firikia kumhusu Baraba. Alistahili kifo ila aliachiliwa huru, waza juu ya hisia alizojawa nazo Baraba. Jaribu kujiweka katika nafasi yake na uzingatie yale yote utakayoyawazia. Uhuru wa kanisa na aila yake, afiki na kamaa kwa mara nyingine. Tunu ya kipekeee maishani mawazo ya “Ni mtu gani aliyetayari kufa badaya yangu”

 

Kilichomtendekea Baraba hata hivyo hakikuwa kitu ay tukio la kupita tu. Hadithi yake ni muhimu kwani alikuwa na uaina katika ubinadamu . sote tu watenda dhambi alikuwa tumejiwekea adhabu ya mauti (War 6:23).

 

1 Yoh 3:15 kila amchukiaje ndugu yake ni mwuaji nanyi mnajua kuwa kila mwuaji hana uzina wa milele ndani yake.

 

Neno “chuki” linamaanisha “machukizo” ila pengine pia laweza kutumiwa kwa muktadha wa mapenzi ni roho ya uuaji. Ni dhambi ikiwa mmoja wetu amewahi kumchukia mtu mwengine au kuonyesha ugavi, basi tutakuwa tumehishishwa katika roho ya uuaji iliyosemwa katika Yohana.

 

Baraba, bila shaka, alikuwa mwuaji kwa mtazamo rahisi. Baraba pia alipatikana na kosa la fitina. Huunda tusihusike moja kwa moja katika fitina na uuai katika mataifia yetu lakini sote tu waasi dhidi ya Mungu, na hivyo kuhusika, kwa njia isyo ya moja kwa moja, katika roho ya fitina dhidi ya Mungu.

 

Kwa hivyo Baraba alianishwa na binadamu kwa ujumla na kibinafsi. Sasa Baraba aliachiliwa huru badala Kristo wa kimwili msalaba ya Yesyu ulimaanishwa kuwa wa Baraba. Dhiki na mapigo yote aliyeyapata Yesu yalimaanishwa kuwa ya Baraba. Hivyo mfano wa Baraba unatounyesha thamani kubwa iliyopiwa uhuru wetu.

 

Mwisho tunaona kitu cha kushangaza kwenye jina “Baraba” jina hili lamaanisha “mwana Baba” “Bar” ni “mwana”. Kwa mfano Simioni Bar-Yoyia, mwana wa Yona, “Aba ni Baba” kwa hivyo sisi ni wana (kwa muktadha wa mbegu za vizazi) wa baba yetu aliye mbinguni (War 8:15). Hivyo tunaona mfano wa Baraba ukitufunzwa kati ya vitu vingine, thamani ya juu tuliyolopiwa kuwa wana na mabinti za baba yetu-wana na mabinti walioachiliwa huru kutoka katika mauti tunayostahili – kwa bei ya damu ya kaka yetu mkubwa Yesu Mesia.

 

Ounde tu baada ya kuachiliwa kwa Baraba, Kristo aliondoshwa. Tunaona hadithi hii kwenye Luka 23:26.

 

Luka 23:26 na walipokuwa wakimwindoa, walimkamata mtu mmoja Simioni mkirene aliyekuwa ametoka shamba, wakamtwika msalabani auchukue nyumba yake Yesu.

 

Tafakari hali hii, mahangaiko aliyeyapokea Kristo yalikuwa ni kifo cha kiaina. Kristo angetiwa unyonge, majeraha na kukoseshwa nguvu. Awali askari wa kirumi walimweka ule msalaba mgongoni pa Yesu.

 

Yoh 19:17 akatoka hali akijichukulia msalabani wake mpaka mahali paitwapo furu la kichwa au kwa Kiebrania Golgotha.

 

Yesu alijibebea msalabani wake. Hata hivyo yaonekana kuwa pengine Yesu alijikwaa au aliteleza au labda aliangushwa na uzito wa msalaba hatujeetezwa na ilikuwa wazi kwa wale askati kuwa Yesu hangeweza kuubeba hadi Golgotha, mahali pa mvu la kichwa. Mmoja wa askari akamtwao mmoja katika mkutani ili mawite jamaa aliyekuwa akipita, Simon Mkirene. Hebu fikiria alikuwa Simon kwa musa huo”mbona wananisumbua? Sijafanya kosa lolote. Sitaki kujihushisha la hili. Na je itakuwaje wakihitilafika na kunisubishwa badala yake? Sijui alitenda kipi kustahili kifo hiki?’”

 

“Ubeba sasa” askari wangerukemea. Bila shaka alikuwa ujiani; nyuma au mbele ya Yesu aliyejeruhiwa au kupigwa. Bali kuufikisha msalaba, labda alitokomea kwenye halaiki haraka iwezekanavyo.

 

Mara hii tena, kilichotendekea Simoni funzo kwetu. Alichofanya Simon Mkirene kinamanishwa ya yale tufanyao kufanya. Ni sharti tuwe kama Yesu na tusaidiane kuubeba mzigo wake.

 

Mathayo 10:24-25 mwanafunzi hampiti mwalimu wake wala mtumwa hampiti bwana wake yamtosha mwakafunzi kuwa kama mwalimu wake na mtumwa kuwa kama bwana wake. Ikiwa wamemwita mwenye nyumba Beebebuli, je, si zaidi wale walio wa nyumbani mwake?

 

Mtumwa si mkubwa kuliko bwana wake. Kujitolea kwa Yesu kunalipia adhabu ya dhambi zetu ila haiondoi jukumu letu kumtii Mungu. Yapo mengi bado, ambaye Mungu yamepeanwa, mengi yatahitafiwa. Hivyo kuna uwiano baina ya huduma ya Simon kwa Kristo katika siku hiyo ya pasaka na kile Mungu anakitarajia kutoka kwetu.

 

Yesu alipokuwa akitembea kutoka barabara zenye vumbi huku Yudea, ni wengi waliomfuata wengine walikuwa na maswali m,engi walitaka upangani na msaada. Wengine walitaka kuona mizinga cha maonyesho ya nguvu na kiungu.

 

Wangine walitaka mlo. Lakini ni wachache tu waliokubali mafunzo yake. Wakati fulani Yesu alisimama na kuliweka jukumu zito mabegani mwa wale walioyaubali mafunzo yake. Leo hii pia Yesu anatumwekea majukumu yayo hayo na kutupa fursa ya uanafunzi.

 

Luka 14:26-27 kama mtu akija kwangu naye humchukii baba yake, na mama wake, na mke wake, na wanawe na ndugu zake waume na wake, naam, na hata nafsi yake mwanyewe hawezi kuwa mwanafunzi wangu.

 

“Chuki” iliyotimika hapa imaanisha kuwa chini kwa ulinganisho wa kimapenzi. Mfani wa Simon ni kuwa alikuhuskika kutika kubeba msalaba wa Kristo. Msalaba akaja ukawa alama wa kupekee ya wakristo. Ilikuwa ni alama ya aibu (Waeb 12:1-3; 1 Wakorintho 1:8-25). Swala lote la msalabani mapenzi ya mtu kuyakanyagia chini maisha yake kwa ajili ya wengine. Yesu alinuia kufanya hivi (Yoh 15:9-17) Yesu aliangamizwa kwa ajili ya ujumbe, kadhalika, tunaangamizwa tukiwa waaminifu kwa unumbe huo. (Yoh 15:18-21) Yesu alinuia kuyakanyangia chini maisha yake kibinadamu na kwa yeye kuhukumiwa na kuuliwa kiabu na kwa njia isiyo ya kisheria.

 

Yesu anasema kuwa natahesabu kama rafiki zake. Ikiwa ni hivi, lazima nasi tayari kuyakanyagia maisha yetu chini kama ailivyofanya kwa yeye na kwa matazamo mpaud, Yesu ni kuubeba mzigo wa Bwana (Wag 6:2; Wafil 2:1-4). Lazima pia tujitayarishe kuyakanyagia chini maisha ikiwa ndivyo Mungu atakavyo (Luka 14:28-33).

 

Funzo la Baraba na Simon mkerene ni uala. Tumeachiliwa huru na Kristo ili tuwe wana na mabinti za Baba yetu. Baada ya kukmbolewa, tunalo jukumu la kubeba, namana ya maisha ya kuishi na ujumbe kukiri. Hebu na tujishughulishe na shughuli za Baba yetu.

q