Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

[CB110_2]

 

 

Mafunzo:

Kinara cha taa Katika Makaazi ya Mungu

 

(Toleo 1.0 20060218-20060212)

 

Hiki somo ni ya kawaida kwa karatasi mahali pa taa kwa Mungu (No CB110). Tuta iangalia kwa kawaida ukweli kuwa mahali pa taa na zingineko wa vitu zingine kwa kuweka kwa mchezo na vitu za muhimu.

 

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

 

 

(Copyright ã 2006 Diane Flanagan, ed. Wade Cox)

 (Tr. 2009)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 

 


 Mafunzo:

Kinara cha taa Katika Makaazi ya Mungu



Lengo

 

Ktazimia tena dhamira kuu yanayohusiana na vinara vya taa katika maakazi ya Mungu.

 

Matarajio

 

1)      Watoto wataweza kusema ni vinara vya taa vingapi vilikuwa katika tabanako jangwani

2)      Watoto wataweza kusema ni vinara vya taa vipangi vilikuwa katika hekalu alilojenga la Suleimani

3)      Watoto wataweza kusema ni taa ngapi yalikuwa kwenye vinara vya taa

4)      Watoto mawazo juu ya maana yanayo uhusiana na vinara vya taa.

 

Chemichemi (Resources)

 

Hekalu alilojenga Suleimani (Nambari CB107)

Vinara vya taa vya makaazi ya Mungu (Nambari CB110)

Tabanako jangwani (Nambari CB42)

 

Maandiko

 

Kutoka 25:31-40; 31:8; 37:17-24; 1 Wafalme 7:48; 2 Chronicles 4:7; Zakaria 4:2

 

Memory scriptures

 

Kutoka 25:37 “Nawe zifanye taa zako saba; nao wataziwasha hizo taa zake zitoe nuru mbele yake.”

 

Mpangilio (format)

 

Anza kwa maombi

Waulize watoto wanachofikiria vinara vya taa yawakilisha na kazi inayofanya

Endelesha mafunzo juu ya vinara vya taa katika makaazi ya Mungu (Nambari CB110)

Endesha kazi yanayohusiana na vinara vya taa.

Tazamia tena maswali na majibu

Malizia kwa maombi

 

Mafunzo:

 

Soma karatasi vinara vya taa katika makaazi ya Mungu (Nambari CB110) ispokuwa kama mahubiri, watoto wakiwemo.

Maswali ya watoto yameandikwa kwa ukubwa.

Hii ni mtazamo wajumla wa vitu vilivyosemwa katika hadithi ya Bibilia. Zunguka ukiuliza maswali kwa watoto kila mtoto akizungumza

 

Swali 1. Nani ndiye baba wa mwangaza / nuru?

 

Jibu. Eloah, Mungu Baba (Jas 1:17)

 

Swali 2. Je amri za Mungu taa kwa miguu yetu, na mwangaza kwa ulimwengu?

 

Jibu. Ndiyo (Zaburi 119:105; Prov. 6:23)

 

Swali 3. Kinara cha taa ulitengenezwa kwa kutumia nini katika tabanako jangwani?

 

Jibu.ulikuwa dhahabu na ulitengenezwa na kipande kimoja cha chuma (KUtoka 25:31-45; 31:8; 37:17-24).

 

Swali 4. Kutoka kwenye “shaft” moja uliokatikati au kinara ni belauri ngapi vya mafuta vilikuwa juu ya kila matawi?

 

Jibu. Ulikuwa na “shaft” moja katikati na matawa matatu kutoka kila upande na pahala pa taa saba juu ya kila tawi.

 

Swali 5. Ni mara ngapi ambayo taa hizo zilisafishwa au kutengenezwa?

 

Jibu. Taa zingevishwa maanake tambe ungekatusa na mafuta kuongezwa kila siku.

 

Swali 6. Mataa hayo saba yawakilisha nini?

 

Jibu. Mataa hayo saba yakilisha iliyoeleweka kama roho saba mbele ya kiti cha enzi cha Mungu (Ex. 27:20-21; Lev. 24:2-3).

 

Swali 7. Ni nini Tuna fikiria taa saba zina simamia?


Jibu. Hizi taa saba nikama zina simamia kitu kilicho lewekana kama Roho saba kwa ufalme wa Mungu.

 

Swali 8. Bilahuri saba yakikilisha nini?

 

Jibu. Bilauri saba yawakilisha kilichoeleweka kama roho saba mbele ya kiti cha enzi cha Mungu yaliyofanya kazi katika kila “stages” kumi ya imani yaliyoendelezwa kwa utenda kazi wa Messiah na makanisa saba na mashahidi wawili na maombi yao.

 

Swali 9. Je nambari saba yawakilisha nini?

 

Jibu. Saba yawakilisha ubora wa roho.

 

Swali 10. Ni upande upi wa tabanako ambao kinara cha taa kilikuwemo?

 

Jibu. Kinara cha taa kilikuwa upande wa kusini mwa tabanako (Kutoka 26:35; 40:24).

 

Swali 11. Ni aina gani ya mafuta uliowekwa katika kinara cha taa na ulitengezwaje?

 

Jibu. Mafuta ya kinara cha taa ulikuwa mafuta zeituni haukusagwa katika mashine bali ulipondwa kwa ajili ya mafuta safi zaidi (Kutoka 27:20)

 

Swali 12. Je twapaswa kuwa mwangaza kwa ulimwengu?

 

Jibu. Ndio twafaa kuangazia mwangaza wa roho mtakatifu wa Mungu kwa ulimwengu.

 

Swali 13. Je miongoni mwa wana wali wale, kumi kuna aliyekosa kushungulikia, aliyejaza, mkasirisha roho mtakatifu na kujipata bila mafuta / roho mtakatifu katika taa zaidi?

 

Jibu. Ndio wanawali watano waliowapumbavu walijipata bila mafuta na kukosa pahala pao katika ufufuko wa kwanza (Mathayo 25:1-11)

 

Swali 14. Ni vinari vya taa vingapi vilivyokuwa katika hekalu alilolijenga Suleimani?

 

Jibu. Vinara vya taa kumi vya dhahabu (1 Wafalme 7:48 na 2 Chr 4:7).

 

Swali 15. Ikiwa kila kinara cha taa kilikuwa na bilauri saba juu yake? Ni bila uri ngapi yaliyokuwamo kwa ujumla?

 

Jibu. Saba mara kumi -  bilauri 70 kwa ujumla.

 

Swali 16. Ni nini tena wawezafikiria kuhusu nambari 70?

 

Jibu. Baraza la Mungu iliyo na viumbe 70.

 

Swali 17. Vinara vya taa viliwekelewa wapi katika hekalu alilolijenga Suleimani?

 

Jibu. Vinara vile kumi vya dhahabu vya hekalu la Suleimani yaliwekelewa tano upande wa kulia na tano upande wa kushoto (1 Wafalme 7:48 na 2 Chr 4:7)

 

Swali 18. Je, wafikiria vinaravta taa kumi uyawakilisha nini?

 

Jibu. Messiah ndiye kinara cha taa kuu ambapo vinara vya taa vingine vya toka. Hivyo basi tuna mafutano wa vinara vya taa kumi ulitengezwa na Messiah makanisa (Ufunuo 1:20 na washihidi wawili Rev. 11:4).

 

Swali 19. Katika kitabu cha Zakaria mlango wa 4 nini maana ya vinara vya taa 10 vya dhahabu na miti miwili ya zeituni katika pande zote mbili za kinara?

 

Jobu. Messiah ndiye kinara kuu na miti miwili ya zeituni kila pande ya kinara ni washahidi wawili.

 

Swali 20. Ni kwa muda gani ambao mshahidi waliko watakuwa duniani?

 

Jibu. Miaka tatu unusu au miezi 42 (Ufunuo 11:3)

 

Swali 21. Mashahid utakufa kivyao? Na je huzi kwa?

 

Jibu. Hapana watauliwa na watakuwa katika njia ya mji. Kwa muda wa siku tatu unusu (Ufunuo 11:7-9).

 

Swali 22. Je mashahidi watabakia watu milele?

 

Jibu. Hapana roho ya uzima / uhai kutoka kwa jibu Mungu utakuja kwao na watafufuka (Ufunuo 11:11) na watakutana na Messiah ambaye atajerea duniani kama mfalme wa wafalme.

 

Swali 23. Je Messiah ndiye mwanga wa ulimwengu?

 

Jibu. Ndio (Matendo 26:23) na Yohana 8:12 yadhibitisha.

 

Swali 24. Eloah atakaporejea duniani je jua na mwezi yatakuepo? Kama havitakuwa mwanga utatoka wapo kwa walio duniani?

 

Jibu. Mji hauhitaji jua wala mwezu. Utukufu wa Mungu utaitia nuru na taa yake utakuwa mwanakondoo. Milango yake yatakuwa wazi wakati wa mchana na usiku hautaingia (Ufunuo 21:23-26). Bwana Mungu atakuwa nuru, nao watatawala milele na milele.

 

Swali 25. Nani atakaye kuwa ile nyota ya kung’aa asubuhi?

 

Jibu. Messiah ndiye aliyemshinda shetani kama nyota mpya inayong’aa asubuhi (Ufunuo 22:16).

 

Kazi

 

  1. Kutengeneza vinara vya taa kwa hekalu alilojenga Suleimani

 

Mahitaji - mabomba mawili ya dhahabu kwa kile kinara. Utahitaji vinara vya taa kumi kuwaajili  ya hekalu alilojenga Suleimani na kinara kimoja kwa ajili ya tanazako jangwani kifaa cha kukatia (Phers) kuyakata mabomba.

 

Matayarisho – kwa kila kinara kata 7mm, 5mm, 5mm kipande cha bomba la dhahabu. Hii itakupa kinara chenye urefu wa inchi 3. tena hakuna kipimo kamili kilichopeanwa kwa ajili ya uredu wa kinara, lakini twatumia inchi moja kwa dhiraa moja, kwa hivyo itakuwa dhiraa tatu kwenda juu  (ambayo yatoshana na fiti 4 inchi). Ni rahisi kuweka vifaa katika mfuko kuzuia mchanganyiko wa vipande.

 

Mpangilio – kunja kila kipande kilichokatwa. Chukua bomba refu ambayo haikukatwa na ukunje milimita tatu. Tumia mkonjo kama guide weak bomba kubwa  ziunguke vipande vitatu vilivyokatwa. Bomba lile refu itakuwa katikati au bilauri ya saba ya kinara; unda vipande vile vingine yakunje kuelekea juu. Kipande kirefu kilichosalia katika bomba ambacho haikukatwa itakunjwa inchi moja chini ya taa. Kutoka kwa kinara kunja bomba lililobaki izunguke the shaft kutengeneza sakafu. Ikiwa hatasimama pekee yake weak udongo chini ilikusaidia.

 

  1. Flashing jeopardy

 

Mahitaji – tochi kwa kila kikundi mbao, makasi, tape, nakala ya Q na A katika umbo la mraba / kadi.

 

Matayarisho – shikanisha kadi Q na A katika kile mbao; gawa maswali katika rangi 4-5 pindi maswali yanaposhikanishwa katika kile mbao katika ule upande mwingine, weak alama yale maswali – kama 1000, 2000 nakadhalika katika kila rangi.

 

Mfuatilio – weak kadi zile kwenye ukuta. Ile yenye alama ya chini kabisa na paana kuwekwa katika makundi kulingana na rangi. Mchezo huu utachezwa kama jeopardy isipokuwa wana kikundi wanapasha muliika tocho zao kuashiria swali wanalolitaka. Wanapojibu swali kwa usawa wanatizwa alama.

 

Ikiwa swali si swali la kweli / uongo yaweza kuwaendea kikundi kingine yanayozingatiwa; hii hawezekana ziwa mwangu mweusi itapatikana kumulika kadi.

 

Zingatia mwanga, mweusi uashiriwa kama “UV lights” waweza kujua mengi katika http://en.wikipedia.org/wiki/balcklight

 

  1. Flashing tag “kuwasha vinara vya taa”

 

Mahitaji – tochi moja kwa kila mtoto na chumba anachoweza kutembelea huru na salama. Mchezo unaweza kuchezwa jioni kama bado kuna mwangaza / nuru.

 

Mpangilio

 

Wasichana ndio vinara vya taa na wanaume watakuwa wakuhani watakaowasha vinara vile. Wasichana watasimama wakiwa wameinua mikono juu na tochi zao zikiwa zimezimwa. Mtoto wanaume anapomulika tocho yake kuelekea kwa msichana, atamulika tocho yake na kuwa kuhani ya anaweza kuwasha vile vinara vya taa vingine.

 

Pindi vinara vyote vinapashwa majukumu yanabadilisha wasichana kawkohani na wanaume vinara.

 

  1. Flashing tag

 

Mahitaji- tochi pahala salama pa kucheza yaweza kuwa pahala pa giza au mwanga mdogo.

 

Pangalio – watoto watatembea  kwenye giza na kujaribu wasiguzwe na ule tochi.

 

Sheria – mechezo huu utakuwa mzuri ukichezwa sehemu iliyona giza na wafaa kuchezwa usiku. Kwanza, eleza pahala pa kujificha. Hii yaweza kuwa chumba au pembeni mwa chumba. Mtu ambaye ni “kitu” atangoja pale pahala pa kujificha akihesabu moja hadi thelathini kila mmoja akijificha. Wanaojificha wanaruhusiwa kutembea na hawafai kukaa pahala pamoja. Kisha kwa kutumia tochi yule mtu ambaye ni “kifo” atawatafuta wale wengine ambao wamejificha. Ni lazima tocho uwe wazi kila mara na haufai kufunikiwa yeule mtu anapompata mtu, lazima watumie tocho kutambua aliyepatwa na kuita jina lake.

 

Katika mchezo huu “tagging” anafanywa kwa kitaja majina na wala si kwa kugusa mtu

 

Kinachofanyikwa mtu anapopatwa. Yapeana “varnation” wa mchezo huu.

 

Variation moja ni kupitisha tochi kwa aliyepatwa kwa hiyo yeye ndiye atakuwa “kitu” au na kutafuta.

 

Variation nyingine ni kuwatuma waliokamatwa mafichoni kungoja mpaka kila mtu akamatwe. Mtu wa kwanza kupatikana / kamatwa ndiye atakayekuwa “kitu”.

 

E. Mechezo wa kinara cha taa

 

Mahitaji – mbao ya kinara wa mchezo, maswali, kalamu (vifungo) dice au mviringo ulipakwa rangi kutambua ni nafasi ngapi mtu atetembelea.

 

Mpangilio – tengeneza / chapisha mbao wa mchezo, na maswali; panga kalamu, “dice”U spinners. Mchezo waweza ukatengezwa juu ya “florescent tag board” na kuchezwa katika giza.

 

Sheria – watoto wataanza chini ya kinara na mara ngapi amepinduka (roll na kujibu mswali sawa mara wachezaji wanapofika kwenye njia lazima aelekee bilauri iliyombali kabisa na wapili kumfuata na vivyo hivyo kwa wale wengine. Mchezo utamalizika ikiwa kila mmoja atakuwa na mchezaji mmoja katika kila bilauri.

 

 

 

q