Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

 

[067]

 

 

 

Kutoka Kipindi cha Daudi na Waekzilaki Hadi Kwenye Nyumba ya Windsor

 (Toleo La 1.1 20040703-20050509)

Kwenye jarida hili tutarudia tena kuelezea jambo kuhusu mstari wa uzao wa Daudi na nafasi au fursa waliyonayo kwenye Familia ya Ufalme wa Uingereza. Jarida hili linawiwa kuelezea mstari wa kuizao wa Zorobabeli au Zerubabeli kutoka kwenye biblia kupitia kwa hawa Waekzilaki, na kuendelea chini hadi kwenye Nyumba za watu wa Hanover na jamii ya Saxe-Coburg-Gotha, na kutoka huko kwenye Nyumba ya Windsor na Wafalme wa Uingereza tangu Mflmae George III. Itaonekana kwamba Mtukufu Elizabeth II, Malakia ya Uingereza na kiongozi wan chi zote za Jumuia ya Madola, kwenye mstari wa moja kwa moja wa uzao wa Daudi Mwana wa Yese, Mfalme wa Israeli, kwa kuutambua mstari wa uzao wa kifalme.

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

(Hati Miliki © 2004, 2005 Wade Cox)

(tr. 2015)

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayopewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 


Kutoka Kipindi cha Daudi na Waekzilaki Hadi Kwenye

Nyumba ya Windsor


Waekzilaki (au Exilarchs) walikuwa ni jamii ya watu kutoka Mstari wa Kifalme wa Daudi wa Yuda na waliunda jamii ya watawala wa Yuda tangu kwa Zorobabelu au Zerubabeli. Taarifa nyingi zinazofanya msingi wa rasilimali zinazowahusu wao hapa kwa kutona na kazi ya utafiti uliofanywa na David Hughes kazi inayoweza kuonekana kwenye wavuti ya:

http://www.angelfire.com/ego/et_deo/davidicdynasty.wps.htm

 

Uzao wa Daudi wa Nyumba za Kifalme za Jamii ya Saxe-Coburg-Gotha na Windsor

Mengi yamefanyika kutoka kwenye ukweli wa uzao wa kifalme kutoka kwenye nasaba au mstari wa uzao wa Daudi kupitia kwenye mstari wa jamii ya ki-Irish kutoka kwa Tea au Tamari Tefi (au Telphi), dada wa Sedekia aliyeolewa na mwanaume wa Ki-Irish mwama-mfalme, na kuingia kwaohuko Scotland na Uingereza. Hata hivyo, kwa kuongezea kwenye laini hizo, na mmja kupitia Odini, kuna laini ya tatu kwenye mstari wa familia ya Ufalme wa Uingereza ambayo pia ni ya moja kwa moja na inayoonyesha wazi kuwa ni ya Daudi na ilikuja Uingereza kutoka kwenye mstari wa jamii ya wafalme wa Hanoveriani pamoja na George III. Ipo kama ifuatavyo hapa chini:

George III Mfalme wa Uingereza na Amerika nk. Mwana wa;

Augusta aliyeolewa na Frederick Lewis, Mwana Mfalme wa Wales, na binti wa:

Frederick II wa Saxe-Gotha m. Magdalene Augusta wa Anhalt-Zerbst, mwana wa;

Frederick I wa Saxe-Gotha m. Magdalene-Augusta wa Saxe-Weissenfels, mwana wa;

Elizabeth-Sophia m. Ernest I wa Saxe-Gotha na Altenburg, d (binti) wa;

John-Philip m. Elizabeth wa Brunswick-Wolfenbuttel, mwana wa;

Anne-Marie m. Frederick-William I wa Saxe-Altenburg, binti wa;

Anne m. Philip-Ludwig wa Neuberg, binti wa;

Marie m. William V wa Cleves, Julich na Berg, binti wa;

Ferdinand I HRE m. Anne wa Bohemia, mtoto wa wa;

Juana [Joan aliyejulikana kama "the Mad" au Joan Mwendawazimu] mama wa Philip "Mtanashati" wa Austria, binti wa;

Fernando II/V wa Aragon mama wa Malkia Isabella I wa Castile mtoto wa;

Juana mama wa Juan II, Mfalme wa Aragon, binti wa;

Fadrique mama wa Mariana wa Cordova, mtoto wa;

Alfonso m. Juana de Mendoza, mtoto wa

Paloma m. Fadrique (mwaka 1358) ndugu wa Enrique II wa Castile, binti wa;

Gedaliah, ambaye alikuwa mtoto wa kiume na mstati wote mzima ulikuwa kama ifuatvyo:

Shlomo Ha-Zeken (mwaka 1299)

Yosef (mwaka 1264)

Yahya Ha Nasi au Don Yahya "El Negro" Mjumbe wa baraza la Mabwana wa Aldeia dos Negros, Ureno (mwaka 1222)

Yaish (mwaka 1196)

Hiyya Al Daudi (mwaka 1154)

David

Hizkaya

David

Zakkai

Abraham

Nathan

David (anayedhaniwa kuwa rabi)

Hazub (Mfalme wa Mwisho wa Kizazi cha Ufalme wa Daudi aliyetajwa kwenye maandiko ya kumbukumbu za Wayahudi za kipindi cha zama kati, kizazi kilichojulikana kama Seder Olam Zuta)

Pinkhas, Prince (Phinehas au Pinchus)

Abbai, Mfame

Abdimi, Mfalme

Nehemiah, Mfalme

Magis, Mfalme (Magis id. Pamoja na Misas)

Haninai, Mfalme

Shemaiah, Mfalme

Yakov, Mfalme

Sutra II, Mfalme (Mar-Zutra)

Guriya, Mfalme

Saadia (Sa’adyah) Mfalme wa Judah

Sutra [I] (Mar-Zutra) "Rav" Mfalme wa Yuda mwana  wa 30 Exilarch Mar-Zutra II, Sutra I alikuwa mtoto wa kiume wa mke wa ili wa baba yake na alichukua jina la baba yake. Alizaliwa siku aliyouawa baba yake. Alichukuliwa na kupelekwa Palestina. Alipofikia umri wa utu uzima alikubaliwa kuwa kama Nasior Mfalme Mwanzilishi na alianzisha kizazi kipya cha kifalme cha Wapalestina Nesi’im yapata mwaka 550 BK, na kuhitimisha kipindi cha kabla kutawazwa mfalme kilichofuatia kuwekwa madarakani kwa Gamaliel VI mwaka 425 BK.

 

Mar-Zutra II, Liwali wa 30 alitawala kwenye miaka ya 512-520 akimrithi Ahiya I. Alitawala kwanza kwa kukaimiwa na Pahida ndugu wa mke wake wa kwanza, (508-512), ambaye aliwekwa na baba yake Haninai, ambaye hatimaye alishirikiana na mwanae kwenye utawala. Kuuawa kwa Mar-Zutra II kulifuatiwa na ombwe kwenye ofisi ya Uliwali tangu mwaka 520-550 BK. Mtoto wa kwanza wa Mar-Zutra II alikuwa Ahunai (Huna Mar II) ambaye alikuwa ni Mfalme tangu miaka ya 550-560 aliyerejeshwa baada ya kipindi ambacho mfalme alikuwa hajachaguliwa. Kutoka kwenye mstari wake wa uzao kiliibuka kizazi kipya cha kifalme cha Wafalme kupitia kwa Hofnai, Exilarch miaka ya 560-581 ambaye watoto wake walikuwa ni Haninai (Exilarch 581-589) na Bostani (I) ambaye alianzisha kizazi kipya cha kifalme.

 

Mar-Zutra II alikuwa ni mtoto wa Hava(h) (mwaka 493) mrithi wa kike. Kaka yake alikuwa Hizkiah baba yake David, baba wa Mar Zutra III (Exilarch 589), ambaye kuuawa kwake kulifuatiwa na kipindi kingine cha kabla hajatawazwa Liwali mwingine.

 

Hava(h) aliolewa na Haninai, mtoto wa kiume wa Maremar, mtoto wa Zutra, mtoto wa Kahana, mtoto wa Nathan, mtoto wa Kahana. Hii ilikuwa ni mara ya pili kati ya mara chache sana ambazo urithi aliachiwa mtoto wa kike sawa na maagizo ya torati kwenye Hesabu 27:8 na Hesabu 36:8 ambako kunaruhusu jambo hili. Alikuwa ni binti na alikuwa ni mtoto wake wa pekee wa:

Huna VI (alitawala miaka ya 484-508, akiwa amepewa ufalme huo baada ya kipindi cha mpito).

 

Kahana II (aliyetawala miaka ya 456-465). Ndugu zake wengine walikuwa ni:

Nosson II Exilarch 470 aliyeuawa mwaka 470 na ofisi yake ilibakia wazi baada ya kuuawa kwake hadi mwaka 484 wakati mpwa wake Huna VI alipotawala.

Huna V Exilarch 465-470

Wote walikuwa ni watoto wa:

Mar-Zutra I (aliyetawala miaka ya 442-456)

Nathan (mwaka 413)

Kahana I (aliyetawala miaka ya 400-415) Ndugu zake walikuwa ni:

Safra (mwaka 400) (huenda alikuwa ni babu wa Moses wa Crete alivyodhaniwa)

Nathan II, Exilarch 370-400 baba wa Hachni Exilarch 400, baba wa Kahana, baba wa Rechemiah, baba wa Nathan baba wa Julian wa Kanaani (alivyodhaniwa).

Abba (alitawala miaka ya 350-370)

Mar-Ukba III/II alitawala miaka ya 320-337. Ndugu zake walikuwa ni

Isaac alitawala 337-8

Huna III (Huna-Mar I) (alitawala miaka ya 337-350)

Nehemia I Mfalme 270-313 (alirithiwa na Mar-Ukba II aliyetawala kwa siku moja tu)

Kizazi cha kifalme cha Wafalme kutoka Ahiya mwaka wa 135 BK hadi Nehemia I mwaka 270 BK, kilichoendelea kutokana nay eye hadi mwaka 642 BK, kilikuwa kama ifuatavyo, kikifanya kazi kwa kuelekea nyuma:

Nathan I Mfalme 260-270, Kaka yake alikuwa Nosson I, Mfalme 270

Huna II Mfalme miaka ya 240-259 alikuwa ni mtoto wa Mar Ukba I (Nathan) hao chini:

Watawala wa kipindi cha Wafalme wa Mpito Mfalme walikuwa ni: Hanan 260

Chiya 259

Mar-Ukba 1 215-240 alikuwa mtoto wa Nakhum II hapo chini:

Watawala wa kipindi cha Mpito cha Mfalme walikuwa ni: Yakobo I 210-215, baba wa Hama, baba wa Joseph, baba wa Rava Gaon" (mwaka 352), alikuwa ni mtoto wa Huna I ?-210 mwana wa Nakhum II chini.

Shaphat

Johanan [II] 170-?

Nakhum [II] 145-170; alikuwa ni ndugu wa Johanan Mfalme na baba wa Shaphat Mfalme, na mwana wa; Ahija(h) 135-145 Mfalme

Hii ilifanya mwanzo wa kizazi kipya cha pili Wafalme wasiotokana na uzao wa mstari wa mzee wao Ahiya kati ya Mfalme Akkub mwaka 220 KK na alikuwa ni Mfalme. Mstari wao ulikuwa hivi:

Yakov (120 CE) mwana wa

Shlomo (90 CE) mwana wa

Hunya (60 CE) mwana wa

Nathan (30 CE) mwana wa

Shalom mwana wa

Hizkiah mwana wa

Shechaniah mwana wa

David (100 KK) mwana wa

Shemaiah mwana wa

Shlomo mwana wa

David mwana wa

Akkub Mfalme 200 KK.

 

Kizazi cha kwanza cha kifalme cha Wafalme kilikingiwazwa au kuingiliwa mwaka 13-9 KK hadi karibu mwaka 30-33 BK, kijitokeza kwa nadra na tendo la kusulibiwa kwa Kristo mwaka 30 BK. Kwa hiyo hakukuwa na mfalme mahiri au aliyeshindania wa mstari wa ufalme wa Yuda aliyechukua kiti cha enzi, katika kipindi chote cha maisha ya Kristo. Hiki ni kitendo cha muhimu sana kwa Mungu na uthibitisho wa uhalali wa Kristo kuwa ni mfalme wa Yuda aliyefanyika hivyo kwa mujibu wa sheria na ni mfalme. Herode na familia yake walikuwa Waedomu na ni wa kizazi cha Esau.

 

Mfalme Shecaniah III mwaka 50-80 BK alikuwa amejulikana. Alikuwa ni Mfalme Mfalme wa 40 kwenye wakati wa kuangamizwa kwa Hekalu la Pili mwaka 70 BK. Mstari mkuu wa kizazi cha Mfalme kilifanyika kuwa cha tofauti yapata kama mwaka 100 BK na jina la kicheo la kiti cha ufalme kilikuwa na uhamishiaji ufalme kwenye laini ya pili ya Nyumba ya Ufalme wa Daudi. Mstari huu tumeuorodhesha hapo juu hadi kufikia kwa George III. Kwa hiyo, Mstari wa Kifalme wa Ufalme wa Yuda katika Yuda tangu Mfalme hatimaye uliondolewa na kupelekwa katika Israeli vyema kwa jamii ya Hanoverians. Hii inaonyesha awamu ya tatu na muunganiko wa mistari mikuu wa kizazi cha kifalme kwa kupitia kwa kila mgawanyo na matawi ya kifalme.

 

Baba wa Akkub (Mfalme wa 25, mwaka 200 BK) alikuwa Elioenai, Mfalme wa 17. Ndugu zake walikuwa ni:

Delaiya

Pelaiya

Eliashibu, Mfalme wa 24 (baba wa Mfalme wa 29)

Hodaviya, Mfalme wa 23 (baba wa Mfalme wa 28) mwana wa

Johanan (I) Mfalme wa 22 (baba wa Mfalme wa 27)

Ananai (II) Mfalme wa 21 mwaka 200 KK).

Elioenai 17th Mfalme alikuwa ni mtoto wa Nearia, Mfalme wa 15. Ndugu zake walikuwa ni:

Hezekieh I, Mfalme wa 18 baba wa Na(k)hun, Mfalme wa 19; na

Azrikam, Mfalme wa 20.

Neahri, Mfalme wa 15 alikuwa mwana wa Shemaiya, Mfalme wa 13; watoto watano wengine wa Shemaiah walikuwa ni:

Hattush, Mfalme wa 14,

Shemida, Mfalme wa 16

Igeal

Baria

Shaphat

Shemaiah, Mfalme wa 13 alikuwa mtoto wa Shecaniya (I), Mfalme wa 12. Shemaiya mtoto wa Shekaniya ndiye mtu aliyemsaidia Nehemia Liwali wa Yuda kuujenga ukuta (Nehemia 3:29). Magumu yaliyodaiwa kujitokeza mfululizo na baadhi ya wanazuoni wa Biblia yalishindwa na kufumbuliwa wakati tarehe sahihi za ujenzi wa Hekalu zilipobuniwa. Mwandamano wa matukio na habari zake kwa kina vimefafanuliwa na kuelezewa kwa kina kwenye jarida la Ishara ya Nabii Yona na Historia ya Ujenzi Mpya wa Hekalu (Na. 13).

 

Shekaniya, Mfalme wa 12 alikuwa ni mtoto wa:

Obadia, Mfalme wa 11 mwana wa

Arnani mwana wa

Refaiya, Mfalme wa 10 wa

Yeshaiya, Mtawala au Mfalme wa 8 ambaye kaka yake alikuwa Pelatiya (Phaltial).

 

Hanania alikuwa ni mtoto wa Zorobabeli kwa mke wake wa tatu. Ndugu yake aliyempata kwa mke wake huyohuyo alikuwa Meshulamu ambaye alihesabiwa kuwa wa 4 kwenye orodha ya Watawala au Wafalme. Dada yake wa wazazi hawahawa ni Shelomithi, mke wa Elnathani, Liwali wa Yuda miaka ya 510-490 KK. Ndoa hii iliwezesha kuwepo kwa mstari mwingine wa uzao wa Daudi.

 

Zorobabeli alikuwa ni wa kizazi cha 23 kwenye mstari wa uzao wa wanaume kutoka kwa Mfalme Daudi (Na. 1). Alikuwa ni mrithi aliyekubalika. Habari zaidi kwa kina kuhusu uzao wake na ufumbuzi wa mababa wawili vimeorodheshwa kwa ajili ya yeye kuwa Shealtieli na Pediya (1Nyakati 3:19) vimeelezewa kwa kina kwa Sheria za Kilawi za Uzao na ufafanuzi wake uko kwenye jarida la Kizazi na Uzao wa Masihi (Na. 119).

 

Zorobabeli alikuwa mrithi wa ufalme wa Kiyahudi na ni Mfalme wa 3 wa Babeli mnamo mwaka 545 KK. Alikuwa ni Liwali wa 8 wa Yudea mnamo mwaka 537-536 KK. Alikuwa Mfalme wa Yuda mwaka 515 KK na alirudishwa tena na kufungwa gerezani mwaka 513 KK na aliuawa mwaka 510 KK.

 

Alioa wake watatu. Mke wake wa kwanza alikuwa Amytis, Binti Mfalme wa Babeli, ambaye aliitwa kuwa ni mke mgeni. Alimzalia mtoto aliyeitwa Shazrezzar, ambalo lilikuwa ni jina la Kibabeloni. Alikuwa ni babu au mwendelezaji wa ukoo na mstari mkuu wa Daudi.

 

Mke wa pili wa Zorobabeli alikuwa Rhoda ambaye alikuwa ni binti mfalme wa Kiajemi ambaye baadae aliolewa tena na mwana mfalme wa Kiajemi na aliitwa pia kuwa ni mke mgeni au mmataifa. Alimzaliwa kijana aliyeitwa Reza (Jina la Kiajemi). Alidaiwa kuwa ni ndugu wa upande mmoja wa mzazi kupitia kwa mama yake Dario, mfalme wa Uajemi. Ni mstari huu ndio uliotajwa kuwa ni wa uzao wa Mariamu kama tukikubali kuwa mstari Zorobabeli ulikuwa ni kweli unapitia kwa Nathani na mtoto wa kuasiliwa wa Yekonia, aliyeitwa Shealtieli ambaye alikuwa ni mwana halisi wa Neri(a). Kuvikwa Taji kwa Binti wa Mfalme aliyeitwa Tamari kulipekelea kubadilika kwa mstari huu. Hili ni tukio lingine la Binti Mfalme Tamari aliyekuwa anatumika kuuhamisha ufalme. Tutaliongelea na kulifafanua kwa kina jambo hili baadae hapo chini.

 

Jambo la tatu, ni kwamba Zorobabeli alimua Esthra, ambaye alikuwa ni binti mfalme wa Kiyahudi na ambaye kutokana na yeye mstari wa sasa wa familia ya kifalme imetokea.

 

Unabii kuhusu kiti cha enzi na nafasi ya Zorobabeli inavyoendelea inaonekana kuwa ni sehemu mchakato wa ahadi ya haki ya uzaliwa wa kwanza ya siku za mwisho.

 

Kumbuka kuwa baba wa Zorobabeli alikuwa Shealtieli/Pedia na baba wa Shealtieli kwa kweli hakuwa Jekonia. Alikuwa ni mtoto wa kuasiliwa tu kwa Yekonia na alikuwa ni mrithi aliyekubalika na anayestahili (Mathayo 1:12). Alikuwa ni mtoto wa mke wa Mfalme Yehoyakini au Yekonia wa ume wa zamani wa Binti Mfalme Tamari, aliyeitwa Mwana Mfalme Neri(a). Soma pia kwenye Luka 3:27. Sasa ukweli huu unatoa chokochoko ya kuamsha wa mambo ambayo kwayo mstari wa uzao wa Zorobabeli ulikuwa ni uzao halisi.

 

Tunaona kwamba mstari ulioonyeshwa kwenye Luka ulikuwa wa Daudi kupitia Nathani, na mstari ulioelezewa kwenye Mathayo ulikuwa ni wa Daudi kupitia Sulemani. Iwapo kama ufafanuzi huu utatiliwa maanani, kisha mstari wa Yekonia na laana iliyotmkwa juu yake imeshindwa kwayo kwenye mstari wa wa kupitia kwa Zorobabeli ni kwa kupitia Shealtieli. Hata hivyo, ukweli ni kwamba baba alidaiwa kuwa ni Pedaia chini ya sheria za Kilawi za Mwendelezo na Uzao inaendelea hadi kwenye mstari wa baba. Mstari ule kwa kweli ni wa Nathani kupitia kwa Neri au Neria. Huenda ni kwa sababu hii ndiyo ilitumika kuishinda laana iliyotamkwa kwenye mstari au uzao wa Yekonia. Shealtieli anaonekana kuwa ni mtu muhimu kwenye mjumuisho wa mistari. Mstari huu kwa kweli umetuama kwenye kiti cha enzi cha Yuda, ingawa walikuwa utumwani, na imefanywa hivyo kwa karne kadhaa, na hasa ikilengazaidi ya makabila kumi.

 

Ukweli wenyewe mkuu kwa yote haya ni kwamba tunaweza kuuweka uzao huu kwenye nyumba za ufalme wa Israeli na kuelekea chini hadi kwenye Kaskazini mwa Ujerumani na Dola ya Ufalme wa Uingereza ambao ni yale Makabila ya Kaskazini ya Israeli. Ufalme unabakia katika Israeli hadi leo hadi kurudi kwa Masihi ambaye hii ni haki yake na anastahili.

q