Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

[111]

 

 

 

Tufunze Kuomba

 

(Toleo 2.0 1995050506-19990912-20070809)

 

Karatasi hii inachunguza umbo sahihi la maombi chini ya uongozi wa yesu kristo.maana ya matumizi na umuhimu wa maombi katika ibada yameelezwa.vizuizi dhidi ya maombi vimechunguzwa na dondoo za kuongoza katika maombi yamependekezwa.

 

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

 

(Copyright ã 1995, 1999, 2007 CCG, ed. Wade Cox)

(Tr. 2009)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 

 


Tufunze Kuomba



Umuhimu wa maombi ni kuwasiliana na mungu ili aweze kutusikiliza na kutujibu. Mungu humpa kila mmoja wetu karama na talanta, ila maombi ni talanta ya kila mmoja. Mlango wa chumba chenye kiti cha ufalme cha mungu umefunguliwa kwetu kupitia maombi. Zipo njia bora na zisizo bora za kuomba, hivyo ni bora tuyafahamu kinachofunzwa na bibilia ili tuwe na maombi dhabiti.

 

Wengi wetu wamekuwa wakikariri maombi ya kuelekezwa kuomba mbele ya picha na sanamu, na kuomba kwa ajili ya watu. Kwa wengi ni vigumu kumuomba Mungu ambaye hatujawahi kumwona bila kujaribu kufanya taswira taamulini mwetu. Mungu afunguapo macho katika harakati za mwito, na mwanadamu kuanza kuidumiza biblia, maarifa ya kuwa mwanadamu huyo hakuwa akimwomba mungu sahihi yanaonekana. Kumtambua mungu basi kuwa sababu za maombi na ibada ni sehemu ya mwito wa toba na karama ya uokovu (Tazama karatasi The God we worship (No. 2)).

 

Mifano ya biblia tufunze kuomba.Harakati hii ni kuzifuata nyayo za mwalimu wetu ,yesu kristo.Ipomifano mingi katika biblia ambayo inaonyesha kuwa yesu alikuwa mtu wamaombi tukufu.

 

Luka 6:12 ikawa siku zile aliondoka akaenda mlimani ili kuomba akatisha usiku kucha katika kumwomba mungu

 

Mathayo 26:39 Akaenda mbele kidogo akaanguka kifulifuli akaomba akisema ,Baba ikiwezekana ,kikombe hiki kiniepuke ; walakini si kama nitakavyo mimi,bali kama utakavyo wewe.

 

Luka 22:4 mwenyewe akajitenga nao kama kiasi cha kutupa jiwe akapiga magoti akaomba.

 

Dua Ya Bwana: Umbo

Katika Luka 11:1 wanafunzi walimwuliza yesu “Bwana, tufunze kumba tufunze kuomba “katika kifungu sambamba na hiki katika mathayo Yesu alifanya sheria Fulani za jumla kuhusu maombi na akazifuatiliza na umbo la maombi, ambayo tunayaita dua ya bwana.

 

Mwanzo kristo alitoa mafunzo hasa kuhusu maombi, katiaka.

 

Mathayo 6:5-8 Tena msalipo msiwe kana wanafiki, kwa maana wao wapenda kusali hali wamesimama katika masinagogi na katika pembe za njia, ili waonekane na watu. Amin, nawaambia wamekwisha kupata thawabu yao…….. Nanyi mkiwa katika kusali msipayukepayuke kama watu wa mataifa maana wao hudhani yakuwa watasikiwa kwasababu ya maneno yao kwa mengi. Basi msifanane na wao, maana baba yenu anajua mnayohitaji kabla ninyi hamjamwomba. Basi ninyi salini hivi: kisha akapeana mafunzo chango. Kisha Yesu akamatiliza ni umbo la ombi.

 

Mtahayo 6:6 Lakini Mkuiomba, nenda katika chumba chako na ufunge mlango na omba kwa Baba ambaye anakuona atakupa zawadi. (RSV)

 

Alafu Yesu akamfuata kwa Maombi.

 

Mathayo 6:9-13. Basi ninyi silani hivi Baba yetu aliye mbinguni jina lako litukuzwe ufalme wako uje mapenzi yako yatimizwe hapa duniani kama huko mbingun, utpe leo riziki yetu utusamehevyo, wadeni wetu. Na usututie majaribuni, lakini utukuokea na yule mwovu, kwa kuwa ufalme ni wako na nguvu na utukufu hata milele amina.

 

Kutambulisha maombi haya, Yesu alisema; “kisha mwombe hivi” wala hakumaanisha tuyarudies maneno yayohayo bila maana. N umbo na maumbile ya maombi hayo, yanafaa kufanana na maombi yetu. Kama sehemu tatu za dua ya bwana.

 

Ya kwanza katika umbo hili linaangazia uzingativu wa Mungu kama sababu ya kuabudu. Hapana shaka kuwa hakuna wa kuabudiwa isipokuwa Mungu Baba.

 

Twapaswa kuaza kuwa mauna ya mapenzi ya hadi juu k. “Baba yetu aliye mbinguni, jina lako litukuzwe”. Jina la Mungu limetambulika tangu Agano la kale kama Eloah (Mat. 30:4-5).

 

Mamlaka yote yametolewa katika jina lake ambalo ndio mzizi wa yahu (JAH) (Zab 68:4) hivyo tunapata jina la kale la kiebrania, YAHO ambalo hubadilika Yehova (SHD 3068) na Yehovi (SHD 3069). Hivyo Yehova (Kut 6:3) linatokana na YAHU ambaye ni Yehova. Jina la Mungu lilikuwa kwa malaika wa nyikani, ambaye ilikuja kuwa (Kut 6:3) linatokana na YAHU ambaye ni Yehova. Jina la Mungu lilikuwa kwa malaika wa nyikani, ambaye ilikuja kuwa Yesu Kristo (Kut 23:21).

 

Mwanakondoo anasimama juu ya sayuni na 144,000 wote wakiwa na jina la Baba kwenye mapaji yao (Uf 14:1; 22:4). Jina la Mungu lenyewe linakuwa muhuri wa Mungu kwa waliofufuliwa na kuteuliwa. Alama ya kimwili ya hili pia yanapatikana katika sababu na pasaka. Kwa wakati ufaao jina la Mungu humshukia kila mmoja huku Kristo akiwa mwana wa Mungu mwenye nguvu tangu ufufuo kutoka kwa wafu (War 1:4).

 

Sehemu ya pili kujali ambapo uzingativu wetu inaelekezwa katika mahitaji yetu wenyewe k.m. “Utupe leo riziki yetu”.

 

Mpeano wa mahitaji yetu ni jukumu linaloendelea la Mungu pindi tu tujiwekapo mikononi mwake. Anakamilisha hili kwa kupitia kwa mwanawe kama mtumishi au malaika.

 

Mwanzo 48:13-16 Yusufu akawaweka wote wawili, Efraimu katika mkon wake wa kiume kuelekea mkono wa kushoto wa Israeli, na Manase katika mkono wake wa kushoto, kuulekea mkono wa kuume wa Israeli; akawasongeza karibu naye, Israeli akanyoosha mkono wake wa kuume akauweka juu ya kichwa cha Efrahim, aliyekuwa mdogo, na mkono wake wa kushoto akauweka juu ya kichwa cha Manase, huku akijua atiavyo mikono, maana Manase ndiye aliyezaliwa kwanza. Akambariki Yusufu akasema, Mungu, abaye baba zangu.

 

Ibrahimu na Isaka waliendenda mbele zake, yeyeb Mungu aliyeniokoa na maovu yote, na awabariki vijana hawa, jina langu na litajwe juu yao, na jina la baba zangu, Ibrahimu na Isaka; na wawe wingi wa watu kati ya nchi. Mtazamo wa wazi wa Israeli ulikuwa kwamba malaika wa Elohim au Mungu aliyembariki na kuulisha siku zote za maisha yake. Malaika huyu pia alimwokoa kutokana na maovu. Hapa wakati ujao uko katika ule ulipita. Hivyo masihi alikamulisha tendo hili kwa mapenzi ya Mungu. Kwa wenye haki, ahadi yao inapeanwa kuwa mkate wao na maji yao yatakuwa ya uhakika (Zab 37:25; Isa 33:15-16).

 

Sehemu ya tatu ya maombi ni msamaha kwa mapito mabovu. Tukihusika na mahitaji. Ya wengine msamaha hupeanwa kwao katika msingi ule ule wa agape k.m. “Na utusamehe mdeni yetu kama tuwasamehevyo wadeni wetu.”

 

Msamaha ndilo suala la kati katika uhusianowetu na mungu. Zaidi ya yote mungu anahitaji utiifu kutoka kwetu . Matakwa ya msamaha huchipuka kutoka kwenye makosa.Wengine hututendea makosa nasi pia humkosea mungu kupitia kutomtii na sheria zake. Makosa wengine hututendea makosa nasi pia humkosea Mungu kupitia kutomtii na sheria zake. Makosa kwa wengine huja kutokana na uharibiu wa sheria za Mungu. Kadhalika ni uharibifu wa Amri kumi (Kut. 20) au katika utamuzi wao kama Amri kuu ya kwanza nay a pili (Mat 22:37-39) Daudi angemsemea Mungu kuwa dhidi yake, alitenda dhambi.

 

Zaburi 51:1-4 Zaburi ya Daudi, mwanamziki mashuhuri wakati Nathani, malaika alipomwendea baada ya kuenda kwa Bethsheba. Ee Mungu unirehemu, sawasawa na dadhili zako makosa ynagu, naioshe kabisa na uovu wangu unitakase dhambi zangu. Maana nimejua mimi makosa yangu na dhambi yangu I mbele yangu daima. Nimekutendea dhambi wewe peke yako na kufanya maovu mbele za macho yako. Wewe ujulikana kuwa una haki unenapo na kuwa safi utaapo hukumu.

 

Suala muhimu la kuzaliwa akilini ni kuwa makosa dhdi ya firani ni kosa dhidi ya Mungu. Tunavyowasamehe wenzetu, nasi twasamehewa. Mwendedo wa kutusamehe wenzetu husababisha mtu kushughulikiwa na Mungu mwenyewe na ikiwa utovu wa msamaha unaendelea, basi mtu huyu wa msamaha anaendelea, basi mtu huyu huondolewa katika ufalme wa Mungu na kushushulikiwa katika ufufuo wa jumla.

 

Hatuwezi kuhifadhi vizuri dhidi yaw engine, wala hatuwezi kuenda kinyume cha wale walio na uchungu, haswa wale watokao katika familia zetu. Mzizi ya uchungu huharibu Roho Mtakatifu ndani ya wateule na kuwondoa kutoka katika mfalme wa Mungu. Ni sharti tuweke mifano ya misamaha yetu kwa wengine ili waweze kuona Roho Mtakatifu ndani yetu akitenda kazi. Hili halimaanisha tujitie upofu kwa dhambi wala tusiwe na heshima kwa wengine. Dhambi isiyokemewa ndani ya wateule ni aibu kwa wote, kama ilivyo dhambi isiyotubiwa. Sehem muhimu katika uhusiano wetu na Mungu ni kuweka mambile tokatifu kama ilivyofanya Kristo. Hivyo pendo la Agape ni la kati katika harakati zetu za kimawazo.

 

Bila ya kuimarisha uhusiano wetu na Mungu kwanza, maombi yetu ya kujali layatakuwa na majibu wala maombi yetu kwa ajili ya wengine aliyakuwa na nguvu. Tukiwa na mtazamo bora kila mara, twaweza kuomba wakati wowote kwa Mungu na atatufikia. Hatufui kuvanjwa moyo katika imani. Yesu alisema katika Luka 18:1 kwamba imewapasa kumwuomba Mungu siku zote wala msikate tama. Paulo alituhamasisha katika 1 Wathesalonike 5:17: imbeni bila kukome. Mungu anakosoa kwa hukumu na si kwa shadhabu, ili kutuhifadhi (Yer 10:24).

 

Kuvunjwa moyo ni silaha kuu Daudi maandiko haya hayamaanishi kuwa tunapaswa kuomba kila saa ila tunapaswa kuwa na mtazamo mwema kwa Mungu, kila wakati tukibarikia karibu na Mungu kila wakati tunaweza kumfikia haraka zaidi katika nyakati za dharura, maombi yetu ya kijali yanapokesa kufaulu, twapaswa kujichunguza, au matokeao ya matakwa yetu. Zipo sababu nyingi ndani ya Bibilia za maombi yasiyojibiwa.

 

Kadiri tunavyoomba ni suala la kibinafsi, hata hivyo tunaona kutokana mfano wa Danieli kuwa lilikuwa kwake jambo la kawaida kuenda magotini mari tatu kila siku.

 

Danieli 9:8-10 sasa Ee mfalme piga marufuku ukatie sahihi maandiko haya, yasibadilike kama ilivyo sheria ya wamedi na waajemi, isiyoweza kubadilika. Basi mfalme Dario akayatia sahihi maandiko yale, na ile marufuku.Hata Danieli alipojua ya kuwa yale maandiko yamekwisha kutuwa sahihi akaingia nyumbani mwake na madirisha katika chumba chake yalikuwa yamefungiwa kukabili. Yerusalemu akapiga magoti mara tatu kila siku akasali, akashukuru mbele za Mungu wake kama alivyokuwa akifanya tokea hapo.

 

Maandiko haya yanatueleza kuwa wateule wanafaa kuomba mara tatu kwa siku, na wasiruhusu chochote cha kuduma kuliharibu hilo.

 

Vuzuri Dhidi Ya Maombi

 

Ikiwa kuna dhambi isyosemwa, Mungu hatatusikia.

 

Isaya 59:2 lakini maovu yenu yamewafikisha moyo na Mungu wenu, na dhambi zenu zimeficha uso wake usione, hata hataki kusikia.

 

Zaburi 66:18 kama mnjaliwaza maovu moyoni mwangu, Bwana asigesikia.

 

Methali 15:8 sadaka ya mtu mbaya ni chikuzo kwa Bwana, bali maombi ya mtu myofu ni furaha kwake.

 

Roh ya kutasamehe kwa ndigu au yeyote huziuia majibu ya maombi

 

Mathayo 5:23-24 bas wateule sadaka yako madhabahuni na huku ukikubuka ya kuwa ndugu yako ana neon juu yako licha sadaka yako mbele ya madhabaha uenda zako upatane kwanza na ndugu yako kisha urudi utoe sadaka yako.

 

Mariko 11:25  Na wakati wowote uki simama kuomba, sameheana, kama una kitu mbaya kwake; ili Baba pia  ambaye yuko Mbinguni atakusamehe makosa yake. (RSV)

 

Tatizo na msamaha ni haki ya kibinafsi ilhali kwa nyakati nyingine ni furaha yenye feraha. Ikiwa kuma tatizo na msamaha twapaswa kuchunguza mitazamo yetu na kutazama uhusiano yetu na Mungu. Je, tunaiona thamani yetu ya chini katika uhusiano wetu na Mungu? Au tunajiona bora kuliko wengine? Hatu[paswa kujilinganisha na wengine, ila kumarisha nafasi zetu na Baba na kueneza mapenzi yetu kwa wengine kama alivyotuenezea yake.

 

Ikiwa tunaipata katika makosa ya haki za kibinafsi basi tuko katika hali ngumu zaidi.

 

Ni vigumu kwa Mungu kutuandaa kwa ufufuo wa kwanza tukiwa na mtazamo wa haki kibinafsi. Watu wengine huenda kanisani kulingana na jinsi waendavyo watu wengine. Wengine ano huchagu kanisana uao kwa muktadha wa wizara zilisomo na wala si torati zilizomo.

 

Luka 18:10-14 inaonyesha tatizo la haku ya kibinafsi machoni pa Mungu.

 

Luka 18:10-24 watu wawili walipanga kuenda hekalni kusali, mmoja Furisayo, wa pili mtosha ushuru. Yule Farisayo akasimama akiomba hivi moyoni mwake. Ee Mungu nakushukuru kuwa mimi si kama watu wengine wanyang’anyi, wadhalumu, wazinzi, wala kama huyu mtoza ushuru. Mimi nafunga mara mbili kwa jma, hutua zaka katika mapato yangu yote. Lakini yle mtoza ushuru lisimama mbali, wala hakuthubutu kinua macho yake kuelekea mbinguni bali alijipiga poja kifua akisema, EE Mungu uniwie radhi mimi mwenye dhambi. Nawaambia huyu alishuka kuenda nyumbani kwake amehesabiwa kuliko yule, kwa maana kila ajikwezaye atadhiliwa; na yule ajidhiwe atakwezwa.

 

Farisayo alikuwa akijingansha na wengine na machoni mwa Mungu hakuwa na haki na akakataliwa. Hili lilikuwa kosa kuu katika makanisa ya Mngu katika karne ya ishirini.

 

Ufunuo 3:14-19

Na kwa malaika wa kanisa la lililoko Laodakia andika; haya ndiyo amenayo yeye aliye Amina. Shahidi aliyemwaminify na wa kweli, mwanzo wa kuomba kwa Mungu. Nayajua matendo yako kwa kuwa huu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto. Basi kwa sababu unauvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu. Kwa wasema mimi ni tajiri, nimejitajirisha, wala sina haka ya kitu nawe hujui ya kuwa wewe u mnynge na mwenye mashaka, na maskini, na kupovu na uchi. Nakupa shauri ununue kwangu dhahabu iliyosatishwa kwa moto, upate kuwa tajiri na mavazi meupe upate kuwa tajiri na wavqzi upate kuvaa aibu ya nchi yako isionekanel na dawa ya macho ya kujupaka macho yako, upate kuona wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi basi uwe na bidii, uakatubu.

 

Umaskini likuwakatika roho dhahabu iliyosafishwa kwa moto ilikuwa ni Roho Mtakatifu. Kanisa hili lilifikiri ulikuwa ni utajiri wa roho ili sivyo. Yalitolewa kutka kinywani mwa Mungu kwa sababu ilikuwa haina tofauti na sheria za Mungu. Haikuwa badili ingawa ilidhaniwa hivyo. Ilitiwa toba.

 

Makanisa machache yalitiwa haki na kupewa nafasi katika ufalme. Hili pa lilitendea katika kanisa la Sardia. Lilikuwa limelafa ila si lote. Lililazimika kuitia nguv ile sehemu iliyokuwa ife (Ufu 3:2). Haukuwa dhabiti katika matendo yake. Hata hivyo hali haki ya kibinafsi ya wa walaodikia halikuwa tatizo nyeti la Sardis.

 

Utovu wa imani sababu ni nyingine ya kutofaulu kwa maombi.

 

Yakobo 1:6-7 ila na oambe kwa imani pasipo shaka yeyote maana mwenye shaka ni kama kupeperushwa huku na huku.

 

Hebrania 11:6 lakini kama huna imani si kweli kwa, kwa yeye ambaye ana kuja kwa Mungu ni lazima kuwa atatuzwa na Mungu kwa yeye. (NKJV)

 

Maana mtu kama yule asidhani ya kuwa atapokea kitu kwa Bwana. Mtu wa nia mbili husutasita katika njia zake zote Waebrania 11:6 lakini pasipo na imani haiwezekani kumpendeza; kwa aana mtu amependaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale wamduatao.

 

Yesu alipowaponya watu, aliaambia, “Imani yako inekuponya”. – kutoka katika Mathayo 9:22 Marko 10:50 na Luka 17:19.

 

Warumi 10:17 inasema

Basi imani chanzo chake ni kuskia, na kusikia haja kwa neno la Kristo.

 

Kwa usahihi zaidi ingeandikwa hivi:-

Basi imani chanzo chake ni kilichosikiwa; na kulichosikiwa huja kwa neno la Mungu na ahadi maka zilivyopeanwa kupitia kristo na kujua kuwa atatuweka huru.

 

Ilikujua ahadi ya Mungu, twapaswa kuisoma Bibilia kwa makini. Ameyaorodhesha matakwa yake katika Bibilia. Bibilia ina maagizo yu kuishi mema sasa na kuhitimu katika uokovu wa milele. Tito 1:2 inatueleza kuwa Mungu hawezi kufanganya.

 

Tito 1:2 katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliniahidi tangu milele.

 

Twapaswa kuamini kuwa Mungu atajaribu maombi yetu, na kuanza kumshukuru kwa hilo kabla tumaini la wateule linachipua kutoka kwa imani yao. Hivyo huwa udhabiti mtulivu.

 

Marko 11:24 kwa sababu hiyo nawaambia yoyote nyaombayo mkisali aminini ya kwamba mnayapokea nayo yatakuwa yenu.

 

Luka 11:9-10 nami nawambia ombeni nanyi mtapewa, tafuteni nanyi mtaona, bisheni nanyi mtafunguliwa kwa kuwa kila aombaye hupekea naye atafutaye huona, naye abishaye hufunguliwa.

 

Kulinda saa mara kwa mara katika maombi ni muhitona. Mungu atatenda kwa wakati ufaao kwa sababu za kivyake. Kusongezwa kwa muda huwa ni kwa kuwa sababu itafimizwa katika wakati ufaao. Maombi ya mara kwa mara huitwa ni ya sababu mbaya na taamali ya mtu inahusika mno na suala la imani.

 

Katika Yohana 11:41, Yesu alimshukuru Mungu kabla ya ufufuo wa Lazaro.

 

Yohana 11:41 basi wakaliondoa lile jiwe Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba, nakushukuru kwa sababu umenisikia.

 

Maisha yayumbayo yatafanya maombi yasijibiwe au yasuiliwe.

 

1 Petro 3:7 kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili, na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu, na kama warithi pamoka wa neema ya uzima, kusudi kuoba kwenye kusizuiliwe.

 

Mara nyingine sisi hutishwa visivyo.

 

Yakobo 4:2-3 mwafamani wala hamna kitu; mwana na kuona vivu, wala hamwezi kupata.

 

Mwanafanya vitu na kupigana, wala hamua kitu kwa kuwa hamwombi. Hata mwaomba hamwezi kupata kwa sababu kwaomba vibaya ili mvitumie kwa tama zenu. Twaweza kuwa wabahili katika maombi yetu tukizingatia sana saidi mahitaji yetu wenyewe. Sababu ya kumsingi ya kuomba yafaa kuwa ni kumtukuza Mungu na kujenga uhusiano kati yetu na Mungu. Huwa twaendelea na maisha yetu, na kufanya mipango yetu na kuyaomba mapenzi ya Mungu wakati mambo ni mabaya. Maombi ni zaidi kuyatariri maneno tu. Ni kujenga mnamana dhabiti kati ya Mungu na nafsi husika kupitia kwa Kristo.

 

Tunaifua kuzifuara nyay za Yesu. Hivyo tukiomba tunaomba katika jina la mwana wa Mungu, Yesu Kristo.

 

Yohna 14:13-14 nanyi mkiomba lolote kwa jina langu, hilo nitalifanya ili Baba atukuzwe ndani ya mwana. Mkiliomba neni lolote kwa jina langu nitaufanya.

 

Ili kupata nafasi hii, ni lazima tuzutii Amri (Yn 5:10) maneno ya Kristo yanadumu ndani yetu kupitia kwa matendo. Tunacyotenda ni uakisi wa kudumu kwa Roho Mtakatifu ndani yetu.

 

1Yohana 3:21-24 wapenzi mioyo yetu isipotuhukumu tuna hukumu kwa Mungu na lolote tuombalo twalipokea kwake kwa kuwa twazishika amri zake na kuyatenda uapendizayo machoni pake. Na hii ndiyo amri yakle kwamba tuliamini jina la mwana wake Yesu Krist na kupendana sisi kwa sisi kama alivyotupa amri.

 

Naye azishakaya amri hukaa ndani yake yeye naye ndani yake. Na katika hili tunajua ya kuwa anakaa ndani yetu, kwa hivyo Roho aliyetupa.

 

Methali 28:9 Yeye aliyeuzaye sikio lake asiisikie sheria hata sala yake ni chukizo.

 

Tazama Pia Tumwobe Mungu Sahihi.

 

1 Wakorintho 8:5-6 kwa maana yasipokuwa wapo waitwao Mungu ana mbinguni an duniani. Kama vile walivyoko miungu mingi na makubwa wengi. Lakini kwetu sisi Mungu si mmjoa tu, aliye Baba, ambaye vitu vyote vimetoka kwake nasi tunaishi kwake. Yuko na Bwanammoja Yesu Kristo, ambaye kwake vitu vyote vimekuwapo.

 

Maandiko hayo yanaonyesha mganyiko wa kitarakimu wa Elohim au theoi, matamshi theoi na Kurioi kwa ajili miungu na makubwa yanarejelea wenyeji. Hamua upotovu wa maneno ya nakala ya mwanzo. Maandiko yanaonyesha kuwa Kristo alipeanwa kwey kama bwana chini ya Mungu mmoja wa kweli. (Yohn 17:3; 1 Yn 5:20).

 

Kuna vitu Mungu analegemea tufanye peke yetu. Ikiwa Mungu ametupa suluhisho, ni sharti tulituie. Kwa mfano, tukiomba chakula pesa kisha tukinunue. Mkulima anaweza kwa ajili ya mavuno bora ila, bila kulima, kupanda na kupalilia, kuna uwezokano wa Mungu kurompa mazao.

 

Yakobo 2:14-17 inasema:-

 

Ndungu zangu, yafaa nini mtu akisema ya kwamba anayo imani lakini hana matendo? Je, ile imani yaweza kumwokoa? Ikiwa ndugu mwanamume au mwanamke ya nchi, na kupungukiwa na riziki, na mtu wa kwenu kawaambia, enendeni zenu kwa imani kaote moto na kushiba lakini asiwape mahitaji ya kimwili. Yafaa nini? Vivyo hivyo na imani sipokuwa na matendo imekuta nafsi mwake.

 

Ikiwa tuko katika nafasi ya kupeanwa na hatufanyi hivyo, hukumu umuhimu kumwombe Mungu. Mungu natukata tufanya kitu pia na kisha atayajibu maombi yetu.

 

Lazima Tutubu Dhambi Na Tubadilike.

 

Isaya 55:6-7 mtafuteni Bwana maadamu anapatikana, mwiteni maadamu ya karibu. Mtu mbaya na aache njia yake na amrudie Bwana. Naye atamrehemu na arejee kwa Mungu wetu nayo atamsamehe kabisa.

 

Yakobo 5:16 inasema:

Unganeni dhambi zeni ninyi kwa ninyi na kuombeana mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii.

 

Hili halimaanishi tuungane dhambi zetu hadharani wala dhambi zetu za kibinafsi baina ya sisi kwa sisi. Tunaungana makosa yetu baina yetu wenywe na kuungana dhambi zetu kwa Mungu. Harakati za uponyaji ni za koroho na kisaikolojia nasi za kimwili.

 

Cha Kuombwa

Mungu ameahidi kuyajibu maombi ya wenye haki ipo mijano mingi ya hili katika bibilia.

 

Methali 10:24 aogopacho mtu asiye na haki ndicho kitakachomjia na wenye haki watapewa matakwa yao.

 

Methali 15:8 sadaka ya mtu mbaya ni chukizo kwa Bwana. Bali maombi ya mtu mayofu ni furaha yake.

 

Yakobo 5:16b kuomba kwake mweye haki kwafaa sana akiomba kwa bidii.

 

Zaburi 102:17 atakapoyaelekea maombi yake aliye mkiwa aisyadharau maombi yao.

 

Zaburi 10:17 bwana Umesiki tama ya wanyonge utaitengeneza miyo yao, utalitega sikio lako

 

1)       Tuombe tukishukuru kwa hal yoyote tuliyoko.

Wafilipi 4:6 msiumbane kwa neno lolote bali katika kila neno kwa kusali na kuomba pamoja na kushukuru, haka zenu na zijuliane na Mungu

 

Wakolosai 4:2 Dumuni sana katika kuomba mkikesha katika maombi huku na shakrani mkituobea na sisi pia kwamba Mungu atufunfulie mlango kwa lile neno lake.

 

Ni sharti tumtambue Mungu kama chanzo cha baraka zetu na kumshukuni.

 

2)      Tuombeane

Waefeso 6:18-18 kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati Roho mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote. Pia na ajili yangu mimi nipewe useme kwa kufumbua kinywa changu ili nihabiri kwa ujasiri ile siri ya njili.

 

Warumi 15:30 ndugu zangu nawashihi kwa Bwana wetu yesu Kristo na kwa       upend wa Roho, jitahidi pamoja nami katika maombi yenu kwa ajili yangu mblele za Mungu.

 

Yohana 17:9 mimi nawaombea hao; siombei ulimwengu, bali hao ulimpa, kwa kuwa hao ni wako.

 

3)      Tuwaombee Viongozi Wetu

 

1 Timotheo 2:1 basi kabla ya mambo yote natka dua na sala, na maombezi na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote.

 

4)      Tuwaombee Audi Zetu

 

Luka 6:28 wabarkieni wale ambao walalaani ninyi, waombeni wale ambao wanaomeanyini

 

Na ikiwa hatuji cha kuombea, tunapewa msaada

 

Warumi 8:26-27 kadhalika roho naye hutusaidia udhaifu wetu kwa maana hatujui kuomba jinsi itupasavyo lakini Roho mwenyewe kutuombea kwa kuungua kusikoweza kutamkwa. Naye alichuzaye mioyo aijua nia ya Roho ilivyo, kwa kuwa hawaomba watakatifu kama apendavyo Mungu.

 

 Kama maombi Itabaki bila jibu tuna ambiwa tuendelee kuomba.

Luka 11:9-10 “ Kwa hivyo na wambia, omba, na mtapewa; tafuta na utapata; gonga na utafunguliwa. Kwa wote waomba wana pata, na wenye wanatafuta wanapata, na kwao wano gonga watafunguliwa” (NKJV)

 

Maombi yasipojibiwa, tunahimizwa kuendelea kuomba.

 

Luka 18:1-8 akawaambia mfano ya kwamba amewapasa kuoba Mungu siku zote wala wasikate tama. Akasema; palikuwa na kadhi katika mji Fulani, hamchi Mungu, wala hajali watu, mjane aliyekuwa akimwendea andea akimwambiee; nipatie haki na adui wangu. Naye kwa muda alikafaa halafu akasema moyoni mwake, ijapokuwa simchi Mungu wala sijali watu, lakini kwa kuwa mjane huyu ananiudhi, nitampatia haki yake akasema, sikilizeni asemavyo yule kadhi dhalima. Na Mungu, Je! Hatawapatia haki wateule wake wanaoambia mchana na usiku na ni mvumilivu kwako? Nawaambia, atawapatia haki upesi: walakini atakapokuja mwana wa Adamu, Je! Ataima imani duniani?

 

Saa nyingi Mungu hutusubirisha ili tujifunze subira na kushinda dhambi au kupata funzo Fulani. Huenda tusiwe tayari kuyapkea MAJIBU AU PENGINE aweze kuwa na jingine tofauti akilini kwa ajili yetu. Aghalabu huwa ni suala la nyakati mwafaka kwa mambo tusiyotafahamu.

 

Si kwa kujifikirisha pamoja na Mungu. kwanza mungu huhimiza “Njooni tusemezane” (Isa 1:18). Kupita harakati hii tuswira zetu zaweza kufanywa kuwa safi. Dau zetu zisikizwe kuingina na mitazamo yetu kwa upendo wa Mungu. Abrahamu alimwomba Mungu kuhusiana na mipango yake ya kuliharibu jiji la Sodoma (mwa. 18:22-23).

 

Musa alimwomba Mungu kuhusu Waisraeli wakatili, Mungu alisema kuwa angewaadhibu kwa ibada ya visanamu ila Musa akaingilia kati na hivyo Waisraeli wakasambaa. Hili lafaa kuwa ushahidi kwao nasi (Kut. 32:9-14).

 

Mapenzi Yako Yatimizwe

 

Yalikuwa ni mapenzi ya Mungu Yesu kupitia mateso na kifo. Tunaitwa kuzifuata nyanyo za Yesu hivyo tunatambua kuwa si mapenzi ya Mungu kutupa sote thakili. Maombi yetu yafaa kuoana na mapenzi ya Mungu. Twafaa kumjumuisha Mungu katika mipango yetu tangu mwanza na si kuanza kumwomba kuhusu jambo ikiwa ni suluhisho la mwisho. Hatupaswi kumwendea Mungu wakati wa shida tu.

 

Mungu huwezi kutikiswa na maombi yatolewayo kwa hisia na taadhima. Twapaswa kuziweka nyoyo zetu katika maobi. Hatuko peke yetu katika mapambano. Mungu ndiye mwenye uwezo wote na maarifa yote. Y tayari kutusaidia kuishi maisha ya Kikristo.

 

Isaya 66:2 maana mkono wangu ndio uliofanya hivi vyote, vitu hivi vyote vikapata kutokea, asema Bwana; lakini mtu huyu ndiye nuitakayemwangalia mtu aliye mnyonge asikiapo neno langu.

 

Mungu anatafuta mtazamo mnyenyekevu na anayataka maombi yetu na hisia ya kimoyo. Yesu alimwomba kwa dhati na moyo wake wote, kama tulivyoona katika Luka 22:44.

 

Luka 22:44 naye kwa vile alikuwa katika dhiki, akizidi dana kuomba, hari yake ikawa kama matone ya damu ya kidondoka chini.

 

Maombi si suala la kumshukuru Mungu kutenda tuyatakayo, ila ni kunai Mungu kwa imani kuu kuwa atatupa tukitakacho. Mungu hujibu maombi ya imani ila si tutakavyo kila wakati. Anafahamu vyema kwa mahitaji yetu ya kila siku, mahitaji yetu ya kiroho ya kuwa muhimu zaidi kuliko yale ya kimwili. Twapaswa kulitambua pendeleo hili kuu yaani kuja mbele za uwepo wa Mungu kwa maombi.

 

Tunafahamu ya kuwa twafaa kuomba kwani katika Mathayo 6:7 Yesu alisema “ila mnapoomba” hakusema “mkiomba”. Hivyo kwa kuomba tunautambulisha utegemevu wetu kwenye chanzo ambacho kiko nje yetunguvu ya juu. Tunamfanya Mungu kuwa sehemu yetu, ambapo ndio mpango.

 

Hicyo Mungu huwa yote kwa yote (Wak 15:28; Waef. 1:23).

 

 

q