Makanisa ya Kikristo ya Mungu
[110]
Nadharia Kuhusu Vita ya Haki
Kuruhusiwa na Kulewa Kwa Mpandafarasi wa Kwanza na wa Pili
(Toleo La 1.0 19950429-19991009)
Jarida hili linaelezea kuhusu Dhana ya kihistoria na kifalsafa kuhusu Nadharia kuhusu Vita vya Haki inayoonekana kuendelea kwa mchakato wa pamoja wa Augustine wa Hippo na kwenye imani za kiorthodoksi na kikatoliki tangua karne ya nne. Maana ya tangazo la kipapa lijulikanalo kama Unam Sanctam limeelezewa na madondoo yanayopelekea kuwepo kwa vita na Nadharia ya Vita vya Haki. Pamoja na dhana ya kanisa kama ilivyo kuwa ni shirika lisilopangilika, uanachama ulio muhimu kwa wokovu. Historia ya kimafundisho hadi kufikia nyakati za kisasa ina umuhimu mkubwa sana kwa Wakristo wanachukua nafasi yotote kwenye huduma za kijeshi na kivita.
Christian Churches of God
Email: secretary@ccg.org
(Hatimiliki ©
1995, 1999 Wade Cox)
(tr. 2016)
Masomo
haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa
kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na
tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia.
Hakuna malipo
atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu
fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila
kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia
yanapatikana Ulimwenguni katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Nadharia
Kuhusu Vita ya Haki
Hadi kufikia kipindi
cha matengenezo, Kanisa Katoliki la Roma lilikuwa linahalalisha kitendo chake
cha kutendea kazi mamlaka yake ya kikanisa kwa mikururu ya hila potofu za
kihila za kifalsafa. Ulaghai huu uikusudia kufafanua matumizi ya jeshi na uingiliaji
wa Kanisa kwenye mamlaka ya nchi pasi kujali makatazo ya biblia yaliyofanywa
kwenye Agano Jipya. Hoja hii ilikuja kujulikana kama ni Nadhaia Kuhusu Vita ya
Haki na, baada ya zama za Matengenezo ilijikuta ikikubalika kikamilifu ni kama
baadhi ya hoja zilivyochukuliwa kwenye maandiko kadhaa wa kadha ya
waliojulikana kama mababa wa kanisa. Kwa wanamatengenezo, mamlaka ya biblia peke
yake ndiyo kilikuwa kigezo na kipimo chao, na kwa hiyo, ndiyo dhana iliyoko
kwenye Nadharia ya Vita vya Haki na kufanya iwe ya kijamii na kidunia ili
kuweza kueneza maneno na itikadi zake kwa hiyo. Ili kuelewa chanzo na chimbuko
lake na, hata, kushughulikia na nafasi ya utekelezaji wake, basi ni lazima
ieleweke historia ya kuenea kwake.
Kutoka mwishoni
mwa karne ya kwanza, mafundisho ya Kikristo yalianza kupata mashambulizi kwa
vipindi kadhaa vya roborobo, mengine yakifanyika kama ya Kikristo, na mengine
yakituatia kama yakiwa yameratibiwa ya Kikristo, kama vile imani ya Kinostiki.
Dini kuu ya Kikristo ilikuwa ni ya mrengo wa kipasifisi na uliendelea sana kw
kiasi cha kuwa karibu kufikilia kikomo na utimilifu wake hadi mwanzoni mwa
karne ya 4 wakati wa mlipuko uliolazimishwa au kushinikizwa na Ukristo wa
Kimagharibi na makanisa ya Kielabagalistiki yaliyojitokeza chini ya Constantine.
Ili kurekebisha udanganyifu na mvuto wa utambulisho wa kifalme, mambo mawili
yalijitokeza yaliyojiita Ukristo lakini yaliyodumu tangu yalipojivika kwa njia
ya ukengeufu. Makundi haya ambayo hatimaye yalikuja kujulikana kama kundi la
Waathanasiani ambalo jana lake lilitokana na jina la Athanasius, Askofu wa
Alexandria (296-373 BK) na lingine la Waarian lililoitwa hivyo kutokana na jina
la Arius, Mzee wa Kanisa na Mwangalizi wa Alexandria (250-336), makundi haya
yote mawili yalitokana na sinodi kuu zilizokuweko na zilizoanzishwa na
kuendelezwa na Arius huko Alexandria mwaka 321 na lile la Athanasius wa huko Tiro
(Tyre) mwaka 335. Historia ya mgogoro huu imeainishwa kwa kina na kwenda hadi
huko lakini ilikuwa ikitumiwa vizuri sana kwa uzalishaji wa theory nyingi na
mafundisho na kwa mazao au matokeo yake yalikuwa ni Theori ya Vita vya Haki.
Kanisa
lilikabiliwa na mkanganyiko wa kuwa ni dini rasmi ya nchi au taifa na kuendelea
kuyatendea kazi mamlaka ya kidunia nay a kijeshi, kinume kabisa na maelekezo au
nasaha za mafundisho ya Kristo. Kwa hiyo, ilipasa kwamba ni budi mafundisho
yawe yameghoshiwa. Uainisho mkuu wa kwanza wa kibiblia tuliyonayo kwenye matumizi
ya nguvu za kijeshi yaliyojitokeza kwenye maandiko ya Augustine, mwanazuoni mahiri
wa Afrika Kaskazini, aliyebatizwa kuwa Mkristo na alipata elimu yake huko Punic,
akabobea kwenye elimu ya lugha mbalimbali za Kiebrania na Kilatini. Tangu miaka
ya 373-383, alikuwa muumini na mwanafalsafa mkuu na mbobevu wa mrengo wa Kimanichean
na Kiplatoni. Alibatizwa tena mwaka 387 kwenye mrengo wa Kiathanasian. Ambrose wa
Milan pamoja na Theodosius walipata mamlaka ya uthibiti na utawala wa Kanisa
Katoliki la Roma kwa mrengo wa Kiathanasian mwaka 381 na kuitisha Mkutano wa
Baraza Kuu la Mtaguso wa Constantinople. Kuhusishwa kwa Ambrose na Augustine kulikuwa
na umuhumu mkubwa sana kwa mtungo uliofuatia wa kilichojulikana kama ukiri wa
imani, ambayo kwa wakati ule bilashaka ulionekana kama jambo la busara. Theodosius
alikomesha na kuufutilia mbali upagani baada ya kumshinda Eugenius hapo Septemba
ya mwaka 394.
Kile kinachoitwa
au kujulikana kama hoja au malumbano ya Athanasian/Arian
yalipelekea kuibuka kwa mateso makali sana yaliyofanywa na waliokuwa wa mrengo
wa Waathanasians au Waamini tatu au Watrinitarian. Wagoths na Vandals walikuwa
Wayunitariani (Biblia ya Kigothiki inaaanzia tangu mwaka 351). Hatimaye
waliitwa Waarians na waliokuwa kwenye
mrengo wa Waamini Utatu au Watrinitarian, jambo walilolifanya kama hila ili
kupindisha sababu yenye mashiko ya hoja au malumbano haya. Mabishano haya
yaliendelea kibuka tena na tena hadi kipindi cha baadae wakati Mtawala Mwanamke
au Malkia Placidia aliwatuma Goths, waliowasaidiwa na Vandals, kupinga harakati
za maasi ya Jimbo la Boniface barani Afrika mwaka 427. Walisaidiwa na Maximinius,
Askofu Myunitarian. Augustine ilimpasa kuwatetea kwa wazi sana Waathanasian au
waamini Utatu au dini na imani ya Watrinitarian mwaka 428.
Kwa nina na kwa
upana, Theori au Dhana ya Vita vya Haki
inatuama kwenye maandiko ya Augustine wa Hippo.
Ni ubaguzi wa
kimadaraja ya uingizaji wa Ukristo kwa utohoaji wake kama ni taifa la kinadharia
ya kidini. Kuchukuliwa kwa Ukristo kuwa ni dini ya kitaifa kulimaanisha
kulipelekea kila mara kuhusisha miundombinu ya kijeshi na kijamii. Maranyingi,
mrengo wa Augustine uliwatesa wafuasi wa dini nyingine. Dhana hii ya Vita vya
Haki ilijaribu kuhalalisha harakati hizo.
Mrengo wa
Augustine na fikra zake zilichukuliwa na wanazuoni waliobobea kwenye elimu ya imani
ya kanisa kwenye shule zake na ambaye alikuja fanyika kuwa mwanafunzi wa mawazo
yake mwenyewe. Mtu huyu mwenye msimamo mkali na mwenyenguvu hatimaye alikuja
kufanyika kuwa Gregory 1 (au Mkuu). Alifanikiwa kikamilifu sana kujumuisha au
kuunganisha pamoja nguvu za kimamlaka ya kiserikali na kikanisa. Mwaka 590 alianzisha
muunganiko wa kiserikali wa kanisa na nchi. Muungano huu uliunda mikururu wa
vikundi vya kidola, ambavyo vilifanikisha mwendelezo kama huo huo hadi mwaka 1850
– ukihitimisha miaka hiyohiyo 1,260 kamili. Miaka 1,260 ni nyakati tatu na nusu
za hesabu za kinabii. Maana ya kipimo cha nyakati hakijapotea wala kusahauliwa
na wasomaji wa Biblia.
Mafundisho
yaliyoanzishwa na kina Augustine na Gregory kimsingi yalikuwa hayabadiliki
kabisa hadi matukio ya kwenye karne ya kumi na tatu na ambayo yalishirikishwa
na nadharia zilizoongezewa zaidi. Kwanza kabisa, Gregory IX mwaka 1232 kwenye
mgogoro wake na Wayunani. Mwaka 1236, Gregory IX akiwa na Frederick II aliyedai
kwamba Constantine Mkuu aliwapa nguvu bandia mapapa na kwamba watawala na
wafalme walikuwa ni wasaidizi, waliofungwa kutumia upanga halisi kwenye
maelekezo yake. Tangu miaka ya 1265-1272 Aquinas aliendeleza nadharia hii
kwenye kitabu chake cha Summa Theologica
(at II II, 40. c.~271) na pamoja na maandiko ya Bernard wa Clairvaux na Hugo wa
St Victor na vinginevyo ambavyo viliweka hamasa kwenye maandiko ya Tamko Kuu
lililojulikana kama Unam Sanctam lililotolewa
na Boniface VIII mnamo tarehe 18 Novemba 1302. Hili lilikujafanyika kuwa neno
muhimu kwa mabishano yenye nguvu za pande mbili zote na matumizi halali ya
nguvu.
Mafundisho ya
kisasa ya Nadharia hii ya Vita vya Haki yanategemeana na kile kijulikanacho
kama status quo na uwepo wa taifa
kama lilivyo. Kwa utegemezi zaidi juu ya dhana ya kwamba jinai inayotokana na
matumizi ya nguvu za kupita kawaida ni kipimo cha kuanza kwa Nadharia hii ya
Vita vya Haki. Kufuatia kutoka nadharia hii, kulijitokeza mirengo ya kile
kilichojulikana kama Jus ad Bellum iliyoshughulika
na kutoa maamuzi ya Vita ya Haki na Jus
in Bello kuhusu mwenendo wa washiriki.
Ili kuona jinsi
tofauti hizi zilivyofanyika, na kutoka kule ilikotolea, yatupasa tuone kwenye mazingira
yaleyale ya Augustine na hatimaye yale ya Aquinas. Tutakwenda kujionea na
kutathimini kujitokeza kwake na kisha kuangalia na kusoka kwenye Unam Sanctam. Kutokana na adharia hii ya
Vita vya Haki ndpo tutajionea haya yafuatayo.
Kutokana na
nakala za maandiko ya kisiasa za Augustine, tunajionea fursa zifuatazo. Kwenye C
a, anaonyesha kwenye nyakati za mwanzoni za Waplatoni pale alipomnukuu hivi Cicero:
kwamba nchi inapasa ijumuishwe sana kwenye mkakati wa kikatiba kuwa iwe ni ya
milele. Kifo siyo kitu cha kiasilia kulikumba taifa kama kimkumbavyo mwanadamu,
na, hakuna vita itakayochukuliwa kuwa inaweza kuwezesha usalama wake au kwa
heshima.
Kutokana na rejea
ya uchaguzi au maamuzi ya Saguntine ya kuangamia kwa taifa zaidi tu kuliko
kuivunja imani anayoinyooshea kidole Augustine kwamba Cicero hakielezea kile
kilichokuwa kimeonyeshwa au kuelezewa, uasalama au imani (washriki wa baraza la
Saguntines walichagua kuitunza imani pamoja na washiriki wao kwa sababu ya neno
ingawaje walijua kuwa ni kukomesha). Kwa hiyo, mkanganyiko wa usalama, na
kusinda kwa uenezi wake, kunaonyesha dalili kuwa kwenye mgogoro na madili hapa ya
imani. Anahitimisha hapa kwa kusema hivi:
Lakini usalama wa
mji wa Mungu ni kitu ambacho kwamba kinaweza kurejeshwa au kuwezekana, au kwa
zaidi tu kunapatikana kwa imani na kwa kuitendea kazi imani, lakini iwapo kama
imani itaachwa au kupuuzwa hakuna atakayeipata.
Bado utaratibu wa
kiasili unaoitafuta amani ya mwanadamu, inaonyesha kwamba mfalme yampasa awe na
mamlaka na nguvu za kuielewa vita kama atadhania hii kuwa inafaa kuwa ni
ushauri mzuri na kuwa maaskari au wanajeshi wanapaswa kufanya harakati zao za
kivita kwa nia na lengo la amani na usalama wa jamii.
Anaendelea kwa
kuuliza maswali ya kawaida sana na yanayoulizwa kila mara yafuatayo.
Ni nini kilicho kibaya
vitani? Je, ni kufa kwa mtu ambaye atakufa tu hivi karibuni kwa namna
nyinginezozote na kifo chake kikasababisha wengine waishi kwa amani na utii? Huu ni woga tu na usio na maana na
usiotakiwa kuwepo kwenye hisia za kidini.
Kuna maeneo makuu
mawili ya utii kwenye uwanja huu.
·
La kwanza ni kwamba ni kinyume kabisa na amri za
Mungu na inajaribu kutia moyo kuwa watawala waliopo wa muda mfupi wanaweza
kumuagiza mtu afanye kitendo kilicho kinyume kabisa na sheria za biblia.
·
La pili ni kwamba, kama hoja hizi zitakubalika
kwamba kifo cha mtu kinakubalika, ili kwamba wengine waliosalia waishi kwa
amani na kwa utiifu, basi tutakuwa tunakubaliana na mkururu wa mafundisho; yuathanasia
kuhusu masuala ya kiuchumi nay a mauaji kwa msingi wa kimafundisho au hata kwa
kimaadili.
Augustine anajaribu kuorodhesha maovu halisi yanayosababishwa na vita kama
kupenda ugomvi, utatili wa kulipiza kisasi, uadui mkubwa na wenye uchungu mwingi,
upinzani wa kupigana maporini, na uchoyo wa madaraka, nk.
Haya yalioenekana kuwa ni malengo na shabaha ya hii iliyojulikana kama Jus in Bello (Haki Kwenye Vita) na kwa hiyo, inahusiana na kuwazuia au kuwapinga washiriki. Anajenga hoja zake kwenye andiko la Warumi 13:1 lisemalo: kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu, ili kumfanya mwenye haki aliye chini ya mamlaka ya mtu muovu aweze kuwa chini ya mtawala au mfalme muovu lakini aweze kupigana kwa sababu kuu mbili. Kwanza ni kuwa:
· Ni mapenzi halisi ya Mungu, au
· Inaweza kuwa ni amri mbovu na ovu kwa upande wa mfalme, lakini askari wake anakumbana kwa ajili ya nafasi yake aliyonayo inamfanya awe mtiifu kwenye kazi yake.
Zaidi sana alisema Ni kwa kiasi gani basi yampasa mtu awe safi pasipo hatia wala kulaumiwa anapokuwa anakwenda kuchukua majukumu ya vita kwa mamlaka ya Mungu? Ukomo wa mirengo hii ulikuwa wazi na dhahiri huko Nuremburg.
Augustine hana mashiko ya kibiblia kwa mikururu yake ya jambo hili. mwisho kabisa, mifano yake ya kibiblia kwa kuunga mokono maneno yake ya hapo juu ametumia vibaya na kimakosa. Luka 3:14 inahusiana na ubatizo wa Yohana Mbatizaji kabla ya kutambulishwa kwake na Kristo wa Agano Jipya. Kwenye mambo yote yale, wale waliobatizwa na Yohana kwa ajili ya toba walikuwa mara zote wakibatizwa tena na tena, hadi kuwekewa kwao mikono ili wapokee uweza au nguvu za Roho. Vita vilivyoruhusiwa kupiganwa kwenye Agano la Kale viikuwa kwenye awamu ya kwanza, vikikusudia kufanya uhakika wa mkakati wao wa kutamalaki usizuiwe na hatimaye kushindwa kuitwaa nchi yote ya Kanaani na Waisraeli kwa sababu kuu mbili. Ya kwanza, ni kuchukua nchi kwa kufanya mbadala, kitendo kilichokamilisha lengo la haki yake kwa kuasi aukutotii kwao na sababu ya pili, ni kuwezesha kiusalama sana kutoa maelekezo ya biblia nay a mpango wa wokovu.
Mathayo 22:21 inataja utoaji wa kodi ya fedha na kumpa Kaisari chochote kilicho cha Kaisari. Augustine anajaribu kuonyesha hivyo kwa kuwa fedha ya kodi ilitumiwa kuwalipa mishahara askari au wanajeshi, kwa hiyo Kristo alikuwa anawashutumu kwa njia ya mzunguko na kupigavita mambo haya ya vita.
Mathayo 8:9-10 inamtaja kadhi aliyemuomba Kristo akamponye mtumishi wake. Na kwa kuwa alisifiwa sana kwa mema na kwa imani yake ndipo hakuwa amekemewa wala kuziiwa na wala kuambiwa abadili kazi yake, na badala yake fursa ile ilitumiwa kwa kuelekezea kwamba kuna wale walioteuliwa na ambao siyo miongoni mwa Waisraeli, mfano huu ulitumiwa vibaya. Hakuna rekodi wala taarifa yoyote ya mtu aliyebatizwa akiwa askari isipokuwa Kornelio peke yake wa kwenye Matendo 10.
Hoja iliyo kwenye Warumi 13:1-6 inahitaji utii wa kuyatii mamlaka na kulipa kodi ikiwa ni jambo la lazima na muhimu waaminio. Ukweli wa kwamba wale wa dunia wanaouchukua upanga na kwamba wanatokana na Mungu haimaanishi kwamba wameitwa au wamechaguliwa kufanya hivyohivyo.
Majibu ya Kristo ya kwenye Yohana 18:36 yalikuwa Ufalme wangu sio wa ulimwengu huu. Kama ufalme wangu ungekuwa wa ulimwengu huu, watumishi wangu wangenipigania, nisije nikatiwa mikononi mwa Wayahudi. Kwenye aya ya 11 alimwamuru Petro kuurudisha upanga wake kwenye ala yake. Tangu kipindi cha Pentekoste haijanukuliwa, wala kuonekana kwenye biblia au kwenye rekodi za Kanisa la kwanza au Mtume yeyote yule au mzee wa kanisa yeyote yule kuonekana wamebeba silaha au mikuki mikononi mwao au wakionekana kuwa wanawaruhusu watu kuvimiliki.
Hoja ya Augustine inatokana na mambo au sababu mbili. Ya kwanza ni kwamba alikuwa ni wa mrengo wa mafundisho mapotofu nay a kiukengeufu ya Athanasian ambaye hakuwa ameuelewa mpango wa wokovu na, ya pili, ni kwamba mrengo wa Athanasian (ambao sasa wanaitwa Waorthodox au Wakatoliki) walikuwa wanajaribu kuieneza imani yao kwa kuifanya iwe ya kitaifa kwa mamlaka yao mpya waliyojiundia au waliyoianzisha, na mafundisho yakarekebishwa ili yaendane sawasawa.
Ilimpasa Gregory achukue mdinu na fikra za Augustine za kuweka matabaka ya watu ili kuanzisha kipidni cha mpito cha kuwa na dola ya kidini yenye kushikwa hatamu zake na kanisa ikiwa chini ya mamlaka kuu ya Papa.
Gregory IX aliurudiarudia na kuusisitiza msimamo wa mrengo huu yaliyopelekea kuzuka kwa mafundisho ya kama yalivyokuwa kwenye mataifa yote waliyokuwepo kwa mamlaka ya Roma. Wakati mamlaka haya yalipoondolewa, ilionekana kwamba kulipelekea kuwepo kwa mkanganyiko mkubwa wa ndani kwa ndani, kwa kadiri nchi zote zilipokuwa zikiachiliwa kutokana na viapo vya waliowashirikisha.
Hoja iliyopelekea kuwepo kwa Ndharia ya Vita vya Haki vya kama vilivyokuwa ni kitu ambacho kwa kiasi kikubwa kinatokana na Mamlaka ya Kipapa. Nadharia ya vita ya haki ya kina Augustine na ya Gregory vilifanya kazi kwa ufanisi mkubwa mahali palipokuwa na adui mkubwa na mashuhuri au penye tishio la kudumu la ndani kwa ndani kwenye dola hii (ikiwavutia au kuchukuliwa kuwa ni ya kipagani). Hadi kufikia mwaka 1000 BK dola hii iikuwa inaenea na kujitanua vizuri kwa mbinu ya kuanzishwa kwa utawala shirikishi na Kanisa la Kikatoliki ambapo maaskofu wakuu wa Gniezno huko Poland mwaka 1000 na Gran iliyoko Hungary mwaka 1001, na mnamo mwaka 1018 Wabyzantine waliitwaa na kuikalia Bulgaria.
Mnamo mwaka 1031 Waislamu wa Hispania walimeguka na kumwondoa madarakani Khalifa wa mwisho wa Cordoba na mnamo mwaka 1050 walifukuzwa kutoka Sardinia. Mnamo mwaka 1092 Waalmoravids walianzisha utawala wao kusini mwa Hispania pamoja na jamhuri tatu zilizoachwa zenyewe. Mwaka 1094, El Cid aliitwaa Valencia. Mwaka 1095, Urban II alitangaza vita ya kidini maarufu kama Crusade iliyopelekea kuushambulia mji wa Constantinople mwaka 1097. Muonekano wa kihistoria wa hoja au mabishano yahusuyo hali halisi ilivyokuwa ulioekana tangu mwaka 1041 kwa kutwaliwa na kukaliwa kwa nji wa Melfi na Wanormans wakiongozwa na Tancred d'Hauteville.
Nchi zote za kikabaila huko Ulaya zilitegemea kanisa kwa kuendeshwa kiurahisi. Mfumo mkubwa zaidi wa kikabaila uliowahi kufanywa kuliko mifumo yote ulikuwa ni ule wa Ujerumani au ulioitwa pia kuwa ni Dola Takatifu ya Rumi. Kukaliwa na Wanormans wa Melfi kwenye mpaka wa Lombardy/Byzantine upande wa kusini mwa Italia kulionekana kuwa ni mkakati mkubwa wa kuanzisha ushawishi. Kwa kushirikiana na kusini mwa Byzantine na magharibi mwa iliyojulikana kama Dola Takatifu ya Rumi pamoja na Papa kujaribu kuwakomesha na kuwatokomezelea mbali bali walishindwa huko Civitate na Leo IX alikamatwa na kutekwa.
Mateso yaliyojirudiarudia mara kadhaa yaliendelea kutokana na hii na ni kama Papa alivyowalaumu wenyeji wa Byzantine kwa kushindwa huku. Matokeo yake yalikuwa ni kugawanywa kwa pande zake mbili za Mashariki na Magharibi kufikia mwaka 1054. Yakiwa ni matokeo ya msimamo na uwezo hafifu wa utawala wa kipapa, ndipo matengenezo kadhaa ya ndani kwa ndani mwa kanisa yalifanywa. Hata hivyo, Nicholas II alijitwika jukumu la kumchagua papa kutoka nje ya baraza la maaskofu na nje ya watu wa Roma kwa kutangaza mamlaka kamili ya Papa ya kuwachagua Makardinali. Na ili kurejesha uimara kwenye suala la mamlaka ndipo aliwatambua jamii ya Normans, ambao hadi kufikia mwaka 1060 walikuwa wameteka na kuumiliki upande wote wa kusini mwa Italia, na mnamo mwaka 1061 waliwafukuza na kuwaondoa Waislamu kutoka Kaskazini Mashariki mwa Sicily. Mabishano kuhusu vigezo vya kukutumiwa katika kuwachagua maaskofu likawa ni jambo muhimu sana kwenye hali hii. Malumbano haya yalilipuka tena kati ya Mfalme Henry IV na Papa Gregory VII (Hildebrand) mwaka 1076. Baada ya kuondolewa na kutengwa kwa Henry, kulikofuatiwa na kushindwa na kujisalimisha kwa toba na majuto ya mwaka 1077, hatimaye kulipelekea kutwaa na kutamalaki kwa Henry wa Roma mwaka 1084 na kuchaguliwa kwa Papa Clement III alitemtawaza yeye. Hildebrand alitekwa na kushikiliwa kama mfungwa kwenye Kasri ya Castel San Angelo ambako hatimaye alikua kuokolewa na Mnorman Robert Guiscard.
Mbali ya kuwa hafanani na washindaji wengine na ugomvi au mizozo, juhudi hizi za kufa na kupona zilikuwa za muhimu kwa suala la hali mbili halisi zilizoanzishwa na uhalali wa utambulisho wa nchi, jambo ambalo lilikuwa la muhimu sana kwenye Nadharia hii ya Vita vya Haki. Kwa kipindi chote cha kuanzia kuenea kwa Wanorman na tangu takriban mwaka wa 1066 mfoko au hasira kuu kwenye ujenzi na kutengenezwa kwa jumba la watawa kulifanyika. Tangu mwaka 1076 (huko Salerno) misingi iliwekwa au kujengwa kwa ajili ya kuanzishwa kwa Vyuo Vikuu. Mnamo mwaka 1098, Robert alianzisha mji wa Cistercians huko Citeaux na shule ya Lafudhi au Lugha au Matamshi ilifunguliwa na William wa Champeaux huko Paris mwaka 1104 iliyotanguliwa na chuo kikuu cha huko. Mnamo mwaka 1107 Sinodi ya Westminster iliusuluhisha mgogoro au mkanganyiko huu wa jinsi ya kuwachagua maaskofu, nchini Uingereza, kati ya Anselm, Akofu Mkuu wa Canterbury, na Henry I kwa mkujumuiko wa ki muafaka wa pamoja uliokubaliwa. Kwenye kipindi hikihiki pia, mwonekano wa mji ulianza mashariki mwa Ulaya na Kizazi cha Kujiuliza na Kutafakari (kilichosaidiwa hatimaye mwaka 1210 na kuanzishwa kwa shirika la Wafranciscans) kilikuwa kinaanza, ingawaje mafundisho ya Abelard yalishutumiwa na kulaaniwa na Baraza la Halmashauri Kuu ya Mtaguso wa Sens mwaka 1141. Mwaka 1115, Bernard alianzisha Makazi ya Watawa huko Clairvaux. Mwaka 1122, Mapatano ya huko Worms kati ya Papa Calixtus II na Henry V, Mjerumani au Mfalme wa Dola Takatifu ya Rumi, alisawazisha suala tata la kuchaguliwa au kuteuliwa kwa wazee wa huko Ulaya, jambo lililoonekana kuwa kufanya muafaka au mchanganyo kungekuwa ni kukaribisha kushindwa kwa Dola ambayo ilihitaji kwa kiasi kikubwa sana kutenganisha na utii wa wazee au maaskofu wake. Kwa uamuzi kama huu, ndipo uanzishwaji wa mataifa yenye hali hiyohiyo kulibakia kuwa imara ndani ya himaya hii ya papa.
Mwaka 1158, kutambua kwa haki za mwanafunzi kwa Frederick Barbarosa wa huko Bologna kuliweka mwanzo wa kawaida wa chuo kikuu huko na Chuo Kikuu cha Paris kiligawanyika kama bodi iliyoruhusiwa. Mwaka 1160-62 Henry aliyejulikana pia kama Simba Dume (the Lion Duke) wa Saxony aliishinda na kuuteka mji wa Wends wa Elbe ya Chini uliolazimika kuikubali imani Kaoliki ya Rumi na mwaka 1164 ofisi ya Askofu Mkuu wa Kiswidish wa Upsala ilianzishwa.
Kwa kuanzishwa kwa nchi thabiti ya kikabaila inayoendana nayo kimpangilio chini ya utawala wa Kanisa Katoliki la Roma kwa kuzitiisha kwa kusababisha migooro isiyokoma na vitisho visivyo na mwisho, mambo mawili yalijitokeza. La kwanza, kuongezeka kukubwa kwa idadi ya watu, na la pili, ni hamasa ya watu kupenda na kujifunza falsafa na sayansi iliongezeka.
Ushindi na utamalaki wa vita hivi vya crusade ulianza kushindwa, tangia mwaka 1145 kwa ushindi wa Waturuki wa Edessa na maangamizo ya Saladin ya Jesshi la Yerusalemu mwaka 1187. Hali hii ilimfanya Papa alazimike kutangaza vita vipya tena vya crusade iliyoongozwa na Wafalme wa Uingereza na Ufaransa, yaani, kina Richard Lionheart na Phillip II.
Matokeo ya kupendeza ya hali hii mpya yalikuwa kwamba ni roho ya uvumilivu ambayo iliinukia huko Ulaya. Kanisa la Mungu lilianza upande wa kusini mwa Ufaransa, Hispania na kwa kiasi fulani huko Ujerumani, Austria na Hungary na Ukraine upande wa mashariki. Kitendo cha kuzishika sikukuu hizohizo kama Kanisa la kwanza la Wayahudi lilivyofanya, kulionekana na kukubalika na Wayahudi. Mnamo mwaka 1182, Phillip II alitangaza sheria ya kuwakomesha na kuwadhulumu au kuwafukuza Wayahudi wote huko Ufarasna. Upande wa kusini uliundwa ama na visiwa vilivyotumia kugha za Kiingereza au ardhi zilizodaiwa na wao na hasahasa kanisa, la wale waliojulikana kama Waalbigensian, ambao walikuwa bado wanayakalia na kuyamiliki maeneo ya Toulouse, Languedoc, Gevaudan na sehemu ya maeneo ya Provence na Guyenne kwa kufanyika kuwa mahali pa kuwatunzia kwa kuwadhulumu na kufuzwa kwa “Wayahudi” kama ilivyofanya Uhispania na baadaye Ureno.
Mnamo mwaka 1208, mwaka ulioshuhudia kuanzishwa kwa Chuo kikuu cha Oxford, na ndipo Innocent III aliitisha vita vya crusade ili kupigana na hawa aliowaita wazushi. Dini iliyojulikana kama ya Cathars (yaani ya Cathari au Puritans) iliibuka na kuenea kwa nguvu kwenye maeneo hayahaya na ilikuwa ni kile kilichodaiwa kuwa matendo yao ndiyo yaliyopelekea kuhalalisha kwa vita hii ya crusade.
Mwaka 1226, Louis VII aliitwaa Avignon kama sehemu ya mafaniko ya crusade na kulikuwa na mfululizo wa matangazo yaliyotolewa yakihusiana na uhalalishaji wa vita hivi vya crusade. Mwaka 1229 vita hivi vya crusade viliisha kwa kusimiwa kwa ufalme wa Ufaransa na kujumuisha Languedoc na Baraza la Mahakama iliyojulikana kama Inquisition iliyoanzishwa huko Toulouse. Mwanzoni kabisa, Benedictine alithibiti, kuanzishwa kwa shirika la Wadominican huko Toulouse mwaka 1215 ili kuthibiti kile kilichojulikana kama uzushi huu wakionekana wakichukua uthibiti wa Mahakama hii ya Inquisition. Chini ya hawa Wadominican, Mahakama hii ya Inquisition ilifikia kwenye upeo wa juu sana wa ukengeufu, upotoshaji, ukatili au unyama na ulafi wa mali.
Kuenea kwa mfumo na chuo kikuu cha Cambridge
mwaka 1213 na Padua mwaka 1222 (kutoka Bologna) kulishuhudia kuwepo kwa tabaka
la kifalsafa lenye nadharia hii ya Vita vya Haki na vya krusedi na kukomeshwa
kwa kile walichokiita uzushi kanisani. Kanisa likafanyika kuwa lililonywesha na kuleweshwa damu ya
watakatifu.
Ujinga huu wa mamlaka ya Vita vya Haki ulifanyika kwa migogoro au migongano kati ya Gregory IX na Mfalme Frederick II, wakati Gregory alipomtenga Frederick kwa ajili ya kukataa kwake kwenda au kujiunga na vita vya krusedi mwaka 1227, kwa kwenda kwake au kujiunga na krusedi ya mwaka 1228 na kwa kuutwaa kwake tena mji wa Yerusalemu, bila kupewa ruhusa na papa mwaka 1229.
Mwaka 1241 Wamongolia walizishambulia Poland na Hungary. Walijiondoa kwa kupokea habari au taarifa ya kifo cha Ogadai Khan, lakini kushindwa kwa Henry wa Silesia huko Liegnitz na Bela IV wa Hungary huko Mohi kulizua mtafaruku.
Kuzalishwa au kuongezwa kwa vituo vya mafunzo na mahojiano, na matatizo ya kifalsafa ya kufuatilia uhalali wa vita vilikuwa vinazua maswali magumu miongoni mwa waumini wa makanisani na ya kifalsafa na kuibua maswali mengine mengi ya kimaadili yaliyoibuliwa na krusedi ya wa Albig(h)ensian na kuanzishwa kwa Mahakama ya Inquisition iliyohitajika ufafanuzi.
Ili kuliponya na kulinusuru Kanisa la Roma kutokana na mkanganyiko wake wa kifalsafa, Thomas Aquinas, akiwa ni mmoja wa wataalamu wa mapokeo ya kanisa, maarufu kama dogma, alilazimika kufanya kazi za Augustine na kuanzisha mfululizo wa mahakama nyingi za kidini. Majibu kuhusu hatua za wanaojiuliza maswali kuhusu Swali la 40 kuhusu Vita yalikuwa ya muhimu sana ili kuhalalisha Nadharia hii ya Vita vya Haki kwa Wakristo wa mrengo wa Athanasias na hatimaye kwenye ulimwengu wa wote wa kimagharibi.
Vipengele vya
Aquinas kuhusu mahakama hii ni:
1. Je, ni vita
kama vilevile ndivyo vilivyoruhusiwa?
2. Je, watu wenye
msimamo mkali ndiyo waliojiunga kwenye vita hivyo?
3. Je, wapiganaji
au wachokozi wente hila?
4. Je, vita hivyo
vinaweza kulipiwa siku za sikukuu?
Kwa kukijibu kipengele
cha kwanza, Aquinas anaonyesha waziwazi lakini si kwa weledi mkubwa kwamba mara
zote imekuwa ni dhambi kuilipia vita kwa makundi yanayofuatia:
a. Inakuwa imekatazwa
na Mungu kwa hukumu iliyoainishwa, kwa kuwa wote wanaoishi kwa upanga watakufa
kwa upanga.
b. kinaendana
kinyume na maagizo matakatifu ya Maandiko Matakatifu. Mfano anaoutumia Aquinas ni
kutoka kwenye Mathayo 5:39 ambapo Kristo ameiondoa kwa fundisho la jicho kwa
jicho, kwa kusema:
Lakini
mimi nawaambia, Msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kuume,
mgeuzie na la pili, nk.
Hii pia inaainishwa
na Mtume Paulo kwenye waraka wake kwa Wakorintho (kwenye 2Wakorintho 11:20).
Maana
mwachukuliana na mtu akiwatia utumwani, akiwameza, akiwateka nyara, akijikuza,
akiwapiga usoni. (ingawa yeye
mwenyewe alikuwa mdhaifu sana kwenye holo).
Kipengele hiki
kiliwekwa baada ya ukweli wa kwamba Shetani anajigeuza na kuwa kama malaika wa
nuru na watumishi wake pia hujigeuza na kuonekana kama watumishi wa haki na
utakatifu (aya za 12-15). Andiko hili linafanana au kuendana sana na suala hilo
lote zima la vita vya haki na kurekebisha au kusahihisha mambo ya uwongo na
upotofu.
2Wakorintho 11:12-21 Lakini nifanyalo nitalifanya, ili niwapinge hao watafutao nafasi wasipate nafasi; ili kwamba katika neno hilo wajisifialo waonekane kuwa kama sisi. 13 Maana watu kama hao ni mitume wa uongo, watendao kazi kwa hila, wanaojigeuza wawe mfano wa mitume wa Kristo. 14 Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru. 15 Basi si neno kubwa watumishi wake nao wakijigeuza wawe mfano wa watumishi wa haki, ambao mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi zao. 16 Nasema tena, mtu asidhani ya kuwa mimi ni mpumbavu; lakini mjaponidhania hivi, mnikubali kama mpumbavu; ili mimi nami nipate kujisifu ngaa kidogo. 17 Ninenalo silineni agizo la Bwana, bali kama kwa upumbavu, katika ujasiri huu wa kujisifu. 18 Kwa sababu wengi wanajisifu kwa jinsi ya mwili, mimi nami nitajisifu. 19 Ninyi, kwa kuwa mna akili, mnachukuliana na wajinga kwa furaha. 20 Maana mwachukuliana na mtu akiwatia utumwani, akiwameza, akiwateka nyara, akijikuza, akiwapiga usoni. 21 Nanena kwa jinsi ya kujidhili kana kwamba sisi tulikuwa dhaifu. Walakini, akiwa mtu anao ujasiri kwa lo lote, (nanena kipuuzi), mimi nami ninao ujasiri.
Tena kwenye Warumi
12:19
Wapenzi, msijilipize
kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu; maana imeandikwa, Kisasi ni juu yangu
mimi; mimi nitalipa, anena Bwana.
c. Chochote
kilicho kinyume na haki au uadilifu ni dhambi. Na kwa kuwa vita inaendana
kinyume na amani basi wakati wote itakuwa dhambi.
d. Kwenye kipengele
cha nne, Aquinas anaweka taswira ya kanisa la siku hizi, ambapo linaondoa au
kutangua mashindano ya vita na kukana madhara yanayotokana na mazishi ya
kikanisa. Mara nyingi kama matendo ya vita hayafai ndipo kitendo chenyewe kwa hiyo
kinakuwa ni upotoe wa wazi sana.
Licha ya jambo
hili kuwa wazi, Aquinas bado anaendelea kutofautisha hali hii na kutajwa kwa
idadi ya falsafa zinazoanzisha na makosa ya kiutafsiri ya Augustine kuhusu andiko
la Luka 3:14 inayohusiana na ukweli wa kwamba Yohana hakuwaambia maaskari
kushusha chini mikono yao bali ni kwamba wasimuudhi
wala kufanya fujo mtu yeyote. Ni kama tulivyoona, hii ilikuwa ni kipindi
cha Agano la Kale na Kristo aliweka maelekezo ya wazi sana ambayo Augustine aliyapuuza.
Majibu yake
kwenye jambo hili yanatuama kwenye ukweli wa kwamba mamlaka za utawala wa
kidunia yaliyoruhusiwa na Mungu yanapaswa yaheshimiwe kwa kuwa hayanabebi
upanga bure yakiwa kama watumishi wa Mungu kwa kuwahukumu na kuwapatiliza
watendao maovu. Wakati kwamba akatalwaye na mtu fulani, au vikundi vya Kikristo
wanaweza kuchukua mahala pa mamlaka ya kidunia kwa kutumia silaha.
Kukwazo cha jambo
hili ni kwamba maelezo na fafanuzi za Kristo kwenye Yohana 18:36 kwamba ufalme
wake haukuwa wa dunia hii kunakinzana kwa wazi na tafsiri hii ya kina Aquinas na
Augustine. Ili kuendana sawa na lengo hili ilikuwa ni lazima kwa Gregory na kanisa
kuutangaza Ufalme wa Mungu hapa duniani kwa maana au mwonekano wa Kanisa Katoliki
na Kidola, na kwamba cheo cha upapa kiwe ni Mwakilishi wa Kristo.
Malumbano au hoja
hizi ni hazina maana kwa sababu au maana zifuatazo;
Kwanza kabisa,
Danieli 2:44 inaonyesha kuwa katika siku za mwisho za wafalme kumi, Mungu wa
Mbinguni atausimamsha Ufalme ambao hautaangamizwa. Utazivunja vipande vipande falme
hizo zote, na kuzikomesha. Maana hapa ni kwamba hadhi ya utawala wake
hataachiwa mtu yeyote. Jiwe litajwalo hapa ni Kristo na falme hizi zote
zinazotajwa hapa zitakomeshelewa mbali kwa ukomo wa milele. Ukweli wa kwamba
kuna idadi kubwa na kadhaa ya maonyo kwa mataifa yanayoendelea yanayosaidia
ushindi wa hoja za Warumi.
Pili, maelezo
yaliyo kwenye kitabu cha Ufunuo yanaonyesha miaka 1,000 ambayo Roma inajaribu
kulinganisha nayo na Aquinas bila shaka anakubaliana kuwa iliishia mnamo mwaka 1590
pamoja na hukumu na ufufuo wa wafu. Ni kama tujuavyo, mwaka 1590 ilifika na kupita
zake pasipo kutokea kwa tukio kama hilo na ndani yake kukawa na malumbano.
Kitabu cha Ufunuo kilibidi kipangilia upya na kitafsiwe tena ili kukifanya kiendane
na mafundisho ya nadharia ya Kikatoliki kama ilivyo kwenye Danieli sura za 2 na
11, maandiko ambayo yamepingwa na kukataliwa sana. Majibu ya Aquinas kwenye
hoja ya kwanza kwa hiyo hayaendani na ukweli kwenye Ukristo na mahitaji yake
matatu ni mabahatisho ya kifalsafa tupu yaendanayo ya tabia na asili ya dalili
za kidunia ya mahafidhina wakengeufu.
Hoja zake tatu za
muhimu za kuandaa Vita ya Haki ni:
1. Mamlaka ya
nchi huru kwenye maamrisho hayo ya vita yanalipiwa (kwenye mamlaka ya baraza na
kutangaza vita itokanayo na mamlaka hizo kuu).
2. Sababu ya haki
inahitajika. Kutokana na Augustine inaelezwa kama kitu kinacholipia visasi vya
upvu, iwe ni kwa kuzihukumu nchi zilizokataa kurekebisha mpangilio uliofanywa
na kasomo au kureiesha kile kile kilichotwaliwa kinyume na sheria.
Hoja hii
haiendani kabisa na nia njema ya maelezo ya Kristo kwenye Mathayo 5:38-42 ambapo
mtu yampasa ashangae ukanganyiko wa Aquinas kwa kisema kwake hivi.
Mathayo 5:38-42 Mmesikia kwamba imenenwa, Jicho kwa jicho, na jino
kwa jino; 39 Lakini mimi nawaambia, Msishindane na mtu
mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kuume, mgeuzie na la pili. 40 Na mtu atakaye kukushitaki na kuitwaa kanzu yako,
mwachie na joho pia. 41 Na mtu
atakayekulazimisha mwendo wa maili moja, nenda naye mbili. 42 Akuombaye,
mpe; naye atakaye kukopa kwako, usimpe kisogo.
Sambamba na
uiingizaji kwenye vita ili kujivisha tena au kujiosha na uovu kunapelekea
kudhibiti zaidi ya ukubwa na asili au tabia ya vita au kwamba kuchukua mateka
ya mali ni kitu kinachoonekana kuwa ni kikubwa zaidi kuliko vile
ilivyotathminiwa kuwa vilipotea kwenye vita. Historia imeonyesha kiwango hiki kuwa
ni makosa makubwa sana ni kama kwa kweli ilivyoonyeshwa sana kuwa ilikuwa ni
wakati Aquinas alipoandika. Lengo lake liliuwa ni kuhalalisha (sambamba na
kipengele cha tatu) mwenendo wa vita vya krusedi vya ndani na vya nje.
3. Lengo sahihi.
Washiriki yawapasa wakududie kuenekeza mambo mema na kujiepusha na uovu. Aquinas
anaitaja tena hoja ya Augustine kwamba
Miongoni mwa wamuabuduo
wa kweli Mungu, vita hivyo vinaonekana kuwa ni kama uwekaji amani ambao
umelipiwa ama kutokana nakujitwalia wala kiukatili, lakini ni kwa lengo la
kulinda amani, au kuzuia uovu au kusaidia wema.
Aquinas anaruhusu
kwamba vita inaweza kuwa na masharti mawili ya kwanza na lakini inaweza kuwa
mbaya kwa sababu ya kupotosha lengo na nia yenewe. Mtazamo wa Augustine wa kusudio
na maandalizi yake yanatumika kama udhuru wa kundi hili na hivyo kwamba mtazamo
wa Jus wa huko Bello kwa pamoja sana ulichukuliwa au ulichukuliwa kwa uweza
unaweza kuwa ni kigezo cha Jus ad Bellum.
Hoja za Augustine
ni kwamba kuchukua upanga kunamaanisha
kujidhuru mwenyewe au kumwaga damu bila ya kuamriwa au kuruhusiwa na maafisa wa
ngazi za juu au na mamlaka iliyowekwa kisheria. Aquinas anapinga wazo hili
kwamba kutumiwa kwa upanga na mamlaka yaliyo juu, au mtumishi wa umma mwenye
juhudi ya kutafuta haki ni kwa mamlaka,
kwa hiyo ni kusema ya Mungu na kwa hiyo kwa ajili ya hukumu.
Ukweli wa mambo wa
kwamba hata wale wanaoutumia kwa kutenda dhambi sio ndiyo wanaouawa mara nyingi
bali mara zote watakufa kwa upanga kwa
kuwa watahukumiwa milele kwa matumizi yao ya kidhambi kama hawatatubu.
Hoja ya Aquinas hapa
haina msingi wa kibiblia, na kwa kweli iko kinyume sana na Maandiko Matakatifu
na kwa hakika ni matokeo ya mtazamo wa kidunia.
Makala ya pili ya
Aquinas ya Nasaha ni kwamba iwapo kama ni
vyema kwa wahafidhina na maaskofu kupigana.
Kwa kushughulikia
hoja anaitumia mamlaka ya Gregory (Hom in Ev XIV) na yale ya Leo IV aliyewaamuru
wahafidhina wakutane na Wasaracens. Naye anaweka uwanja mkubwa sana pia kwenye
nadharia ya kusamehe na kutohesabia hatia maovu wakati anapoanzisha lengo la 3 kwamba
kwa mujibu wa Warumi 1:32, inasema: ya kwamba
wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali
wanakubaliana nao wayatendao. Wale, juu ya yote wanaoonekana kubobea kwenye kit uni wale ambao wana
washurutisha wengine wafanye hivyo. Ni kama Adrian alivyomshurutisha Charles kwenda
vitani pamoja na Lombards kwa utangulizi huu, wanaruhusiwa pia kupigana.
Ingeonekana hapa kwamba Aquinas anapinga kwamba kuwashurutisha wengine sio tu
kwamba ni kutowachukulia hatua au kuwasamehe bali pia ni kukubali au ukiri wa
ushiriki kwa mwendelezo mpana. Kwa kweli, hiki ndicho kinachotakiwa kupunguzwa
kutoka kwenye hii.
Kwenye kipengele
cha 4 Aquinas anapuuzia wazo la kuifanya vita ya krusedi au Vita Takatifu kuwa
ni kizuizi cha maandiko ya wazee au maaskofu wa zamani lakini hapohapo anamnukuu
Kristo kwenye Mathayo 26:52 pamoja na Petro kwa Rudisha
upanga wako mahali pake (tafsiri
ya the Vulgate inasema mahala pake ingawaje
neno alani linatokea kwenye Yohana
18:11).
Ni kwa muono hu
ndipo Aquinas alianzisha wazo la wapiganaji wasio na kombati rasrmi za kijeshi
kwa muono wa umuhimu wa kazi. Vita haikuruhusiwa na wahafidhina kwa maana ya
kwamba ilikuwa na asili ya kidunia (kutokana na 2Timotheo 2:14 mbapo Aquinas alifafanua
maana ya maelezo ya Mtume Paulo). Lienekeza maamrisho zaidi akisema kwamba
umwagaji wa damu lisiwe ni jambo la kawaida na kwa hiyo, wahafidhina au
wanadini wangeonekana kutofaa kwa kazi zao muhimu za vita ilipelekea uwagaji wa
damu. Kwa sababu hizi, yeyote aliyeitwa kwenye imani, huduma au sio, ilimlazimu
kutojumuishwa, ila Aquinas halizungumzii jambo hili.
Kueleza kwamba
jamii ya Maaskofu hatimaye wanaachwa kujumuishwa na kwa maana ya kwamba silaha
walizonazo ni za kiroho kama ilivyosemwa na Mtume Paulo kwenye 2Wakorintho 10:4
Maana silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina
uwezo katika Mungu. Kwa uhafidhina wa uwezo
wa Aquinas wa kupinga kwamba wahafidhina wanaachwa kujumuishwa kwenye masuala
ya kijamii kwa andiko hili na kupinga mahala pengine kwamba walei wanaruhusiwa
kujishirikisha au kushiriki vita ni upuuzi. Aya iliyopita inasema Maana ingawa tunaenenda katika mwili, hatufanyi
vita kwa jinsi ya mwili. Aya ya 4 ilipunguzwa pia na Aquinas na anajumuisha usemi wa rudicha kwenye ala upanga wako.
2Wakorintho 10:4 maana
silaha za vita vyetu si za mwili, bali zina uwezo katika Mungu hata kuangusha
ngome.
Pia Aquinas anapingana
na maelezo ya Yoshua 6:4 kwamba wahafidhina wanaruhusiwa kujiunga na kuungana
na majeshi vitani lakini siyo kujijumuisha. Pia anadai kwamba ni wajibu wa wahafidhina
kuwashawishi na kuwashauri watu wengine kujiunga kwenye Vita vya Haki lakini
wamekatazwa kubeba silaha, siyo kwamba
ilikuwa ni dhambi bali kwa kuwa kitendo cha kuteka maeneo na kuyakalia kwa
nguvu si jambo lililokuwa ni tabia na desturi yao.
Pia anadai kwamba
ingawa si vizuri kulipia Vita vya Haki inaonekana na kuchukuliwa kuwa ni kitu
cha haramu na kisichofaa kwa wahafidhina kwa sababu hizohizo kama ndoa
inavyofanyika kuwa muhimu kwa wale wenye kiapo cha ubikira.
Wakati ikiwa ni ya
kuchokesha, mifano iliyonukuliwa hapo juu haina maana kwa kufikia kwenye
kiwango cha suala la kiakili linalohitajika kuainisha migogoro yote mizima
inayoibuka kutoka kwenye mitazamo iliyochukuliwa na kanisa kati ya karne ya nne
na ya kumi na tatu. Mitazamo kama hii zinasumbua mawazo ya mwanadamu na
zimeharibu nia na misimamo yake karibia zaidi ya marekebisho.
Kitendo cha kutoa
msamaha wa kutohesabiwa hatia kwa maafa yanayofanywa vitani na jukumu la watu
wasioingia jeshini yanaonekana wazi kwa Aquinas. Kutokana na hoja hii, inaingia
maanani sana kuamini kwamba wahafidhina wanapaswa kupigwa risasi mara moja ni
kama suala la harakati kubwa za kijeshi kwa maana ya ukalifu mkubwa uliopingwa
kuliko ushiriki. Mafundisho yake yanaruhusu kuwepo kwa mauaji ya kuangamiza
yanayofanywa kwa kuwalenga wanaokusudiwa mmoja mmoja kutokana na hii na
kufuatiwa na mitazamo ya wahafidhina wote wanaopinga suala hili la kuwepo kwa
Vita vya Haki.
Makala ya tatu ya
Aquinas inaonyesha wazi sana sababu inayopelekea vita kufanya hila na uwongo
ulio kwenye mfano wake Kunakurupusha na
kwamba jambo hili linakinzana moja kwa moja na sheria za kibiblia (kama vile
Mathayo 7:12). Kwenye kile kinachoonekana kila mara kama kichekesho cha desturi
ni kwamba wahafidhina hawa wanahalalisha unyeti kwenye kuifanyia kampeni, na siyo
kwa maana ya kujikita moja kwa moja, lakini kwa mujibu wa Mathayo 7:6 inasema: Msiwape mbwa kilicho kitakatifu. Zaidi sana, inapingwa kwenye kitabu cha
Augustine (QQ in Heptateuch, qu X super jos), akisema: kushauri au kudhania kwamba vita vya haki haihusiani na haki hata kama
itachukuliwa kwa uwazi sana au kwa misukumo, linathibitika hili kwenye Yoshua
8:2.
Yoshua 8:2 nawe
utautenda mji wa Ai na mfalme wake kama ulivyoutenda mji wa Yeriko na mfalme
wake; lakini nyara zake na wanyama wake wa mji mtavitwaa kuwa mateka yenu
wenyewe; huo mji uuwekee waoteaji upande wa nyuma.
Aquinas anaonyesha
sababu iliyopelekea kuwepo kwa kanuni za mikanganyiko ya kimisukumo ya mwenendo
mtafatifu na mzuri na ikiwa imepindukia lengo hili kwa mitizamo ya kuchokesha zaidi.
Kwa hiyo, sisi
tunaendeleza kutoka kwa hili kwamba Nadharia
ya Vita vya Haki hapo havina kikomo cha kudanganya au kufanya ropaganda.
Aquinas anapinga, hata hivyo, kwamba kuna ukomo wa kudanganya. Kumdanganya adui
kwa kutumia usemi wa uwongo au kwa kuvunja ahadi ni kuvunja haki ya vita na
maagano au makubaliano ambayo yalipaswa kuhushimiwa. Hii imechukuliwa kutoka
kwenye kitabu cha Ambrose (De Offic 1). Kushindwa kote kwa kuteda kazi kwa maono
na mgogoro wa mawazo ya Aquinas ni wazi sana.
Aquinas anayapinga
maandiko ya Kiapokrifa (1Wamakabayo sura ya 41) kwamba inaruhusiwa kupigana katika
siku takatifu. Huenda hii ndiyo sababu makosa haya ya kiuandishi yamejumuishwa
kwenye kanoni za Kikatoliki.
Yuko macho na
muono wa Isaya kwenye andiko lake la 18:3 la kulinganisha na lile la kwanza,
nk, katika siku za kufunga saumu lakini anakanganya haya na Sabato. Kwenye
vipande visivyo vya kawaida sana mtu angejaribu kumfikiria kuwa anaweza,
amehalalisha, kutokana na Yohana 7:23, kwamba kwa kuwa Kristo alimponya mtu
siku ya Sabato basi kwa hiyo inaruhusiwa kwamba pia kila mmoja anaweza kuchana
vipande vipande siku ya Sabato ili kulinda
hali ya kawaida ya uaminifu kwa kuwa siyo kupigana kungalikoweza kumjaribu Mungu.
Mafundisho ya Kikatoliki
yalifanyika kuwa yakutegemea kwenye uwianisho wa uhafidhina na kwenye Mtaguso
wa Trent kile kilichojulikana kama Summa
Theologica kilitukuzwa sambamba na maandiko au nyaraka za kipatristiki na
Maamrisho kwenye usawa na Maandiko Matakatifu vikiwa kama nguzo kuu tatu za imani
ya Kikatoliki (soma kitabu cha fasihi cha Catholic Encyclopedia makala ya St. Thomas).
Unam Sanctam
Kutoka kwenye
maandiko haya, mikusanyiko ya Nadharia ya Vita vya Haki ilitokana na Tangazo la
Amrisho la Unam Sanctam [kwa Kilatin –
Yeye Aliye Mtakatifu (yaani Kanisa)].
Lilitolewa tarehe 18 Novemba 1302 wakati wa malumbano na Phillip Mtenda Haki
yaliibuka kutoka kwenye Mtaguso wa Oktoba 1302 na lilishirikishwa kwenye kile
kilichojulikana kama Corpus juris canonici na hivyo ilianzishwa kama kanoni
halisi kisheria kwenye suala la mamlaka na nguvu za kijeshi.
Madai mengi ya
kimapokeo au ya kidogma kuhusiana na umoja na umuhimu wa kuwa kwenye ushirika
wa kanisa na nafasi ya Papa kama kiongozi mkuu asiyeweza kupingwa na wajibu
wake viliibuka kutoka humo na utaratibu wa kumnyenyekea ili kuupata wokovu.
Jambo hili linachukuliwa kuwa ni la kusisitiziwa umuhimu wake kwa kiasi kikubwa
kiroho kwa uhusiano wake na mambo ya kidunia.
Kusudio kuu la
kutolewa kwa Tangazo hili la Amrisho ni:
Kwanza, umoja wa
kanisa na umuhimu wa kuwa kwenye ushirika wake kulikochukuliwa na rejea kwenye safina
moja ya gharika na kuwa kwene vazi lisilotoboka na lisilo na doa la Kristo. Na
kwa kuwa kuna umoja wa mwili kwa hiyo kuna umoja wa kiongozi ndani ya Papa
akiwa kama halifa wa Petro, yaani, yeye asiyekuwa chini ya Papa na asiyemtii
yeye basi atakuwa anapinga kuwa yeye ni kondoo wa Kristo. Fundisho hili
linapingwa sana na liko kinyume kabisa na mafundisho ya Kanisa la Agano Jipya
na imani yake kwa ujumla, amoja na unabii wa Agano Jipya, hususan kitabu cha Ufunuo
sura za 2 na 3.
La pili, kanuni
nne zifuatazo na hitimisho lake zinatuama kwenye Amrisho hili:
1. Chini ya udhibiti
wa Kanisa kuna panga mbili, yaani, nguvu au mamlaka mbili ambazo zinaelezewa
kuwahi kuwepo kwenye nadharia ya panga mbili, moja ya kiroho na nyingine ni ya
kimwili. Hivi ndivyo ilivyoainishwa na rejea za kimapokeo kuhusu nadharia ya
upanga ilivyojulikana na Mitume wakati wa kukamatwa kwake Kristo (Luka 22:38
& Mathayo 26:52).
Luka 22:38 Wakasema,
Bwana, tazama, hapa pana panga mbili. Akawaambia, Basi.
Mathayo 26:52 Ndipo
Yesu akamwambia, Rudisha upanga wako mahali pake, maana wote waushikao upanga,
wataangamia kwa upanga.
2. Panga mbili zote
zinachukuliwa kuwa ni nguvu ya kanisa, iliyotunzwa alani kiroho kwa mikono ya
wazee au maaskofu na ule wa kidunia unaotumiwa na kanisa kwa mokono ya mamlaka
ya kidunia lakini kwa maelekezo ya nguvu za kiroho (hii inajibu kiukamilifu
sana andiko la Ufunuo 13:15).
Ufunuo 13:15 Akapewa
kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu ya mnyama inene, na
kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe.
3. Upanga mmoja
yapasa uwe no mdogo kwa mwingine, mamlaka ya dunia yapasa ijiweke chini ya ile
ya kiroho ambayo ina utangulizi kwa ajili ya ukubwa wake na uweza wake ikiwa pia na haki ya kulinda na kuanzisha
mamlaka ya kidunia, ikiwa na mamlaka ya kuihukumu wakati inapokuwa inashindwa
kuhukumu vyema. Mamlaka ya kidunia yamehukumiwa na mamlaka ya kiroho, ambayo
kinyume chake inahukumiwa na mamlaka iliyo juu sana ya kiroho (yak papa) ambayo
kinyume chake imekwishahukumiwa na Mungu. (Inaonekana kutokana na hii kwamba
mamlaka ya Vita ya Haki ni upotoe mkubwa au ni madaraja ya kivyeo).
4. Mamlaka,
ingawa yametolewa na yanafanyiwa kazi na mwanadamu, ni ya kimungu au matakatifu
na amepewa Mtume Petro kwa agizo takatifu na amethibitishwanayo na kwa warithi
wake. Yeyote anayeyapinga mamlaka haya yaliyotolewa na Mungu, basi anapingana
na sheria za Mungu na, kama asemavyo Manichean (aliyeshikilia kuiamini teolojia
ya kuwili), kuzikubali kanuni mbili. Na
sasa kwa hiyo, tunatangaza, kusema, amuani na tangazeni kwamba kwa kila
mwanadamu aliyeumbwa ni lazima kwa wokovu kuwa aitii mamlaka ya Papa wa Kanisa
la Roma.
Kutokana na
tangazo la pambizo la andiko la rekodi ya sentensi ya mwisho imeonekana kama
tafsiri ya kweli ya Tangazo hili la Maamrisho. Declaratio quod subesse Romano Pontifici est omni humanœ creaturœ de
necessitate salutis (tafsiri yake ni imesemwa
hapa kwamba kwa wokovu ni lazima kwamba kila mtu au kila mwanadamu aliyeumbwa
na aitii mamlaka ya Papa wa Roma).
Haya yamekuwa ni
mafundisho ya mara kwa mara ya kanisa na yalitangazwa kwa nana hiyohiyo na
baraza la Tano la kikumene la Lateran la mwaka 1516. ... Tangazo hili la Maamrisho
pia limetangaza kuyatii mamlaka ya kidunia kwenye yale ya kiroho kama kwa yeye
aliye kwenye mamlaka ya juu na anafanya hitimisho kwamba mwakilishi wa mamlaka
ya kiroho anaweza kuwaheshimu waliyonayo wenye mamlaka ya kidunia na wanaotoa
hukumu kuwahukumu viongozi ...
Hii ni kanuni ya
muhimu sana, ambayo yametokana na maendeleo mazima yote kwenye kipindi cha Zama
za mwanzo za Kati ya kipindi cha zama kati za mamlaka au utawala wa kipapa
kwenye familia ya kitaifa ya Kikristo ya Magharibi mwa Ulaya. Imekuwa
ikielezewa tangu kwenye karne ya kumi na moja na wanateolojia kama akina
Bernard wa Clairvaux na John wa Salisbury, na kwa mapaa wengine kama akina
Nicholas II na Leo IX. Boniface VIII aliielezea kwa kina sana kwa kukandamiza
waliokuwa wakipinga utaratibu na mchakato wa Mfalme wa Ufaransa. Ushauri mkubwa
umechorwa kwenye maandiko ya Mtakatifu Bernard, Hugo wa St Victor, St Thomas
Aquinas na nyaraka za Innocent III.
Tangazo la
Maamrisho na nafasi ya Kikanoni iliyochukuliwa kwenye mazingira au hali halisi ya kipindi cha zama kati ya Ulaya Magharibi (Catholic
Encyclopaedia (1912), article Unam
Sanctam, pp. 126-127).
Na kwa hiyo ilionyeshwa
kuchokesha sana kutoka hapo juu kwamba wazo la kuwa na Vita ya Haki ni fundisho
la Kanisa Katoliki la Roma na inahusiana na kuhalalisha kwa ushindi wake wa nje
na kuenea kwake na mateso yake yalitosababishwa nayo ya ndani kwa ndani.
Tangua mwaka 590 hadi
1850, kwa miaka 1260, mamlaka hii ilijaribu kufanikisha mkakati wake wa
kuitawala na kuithibiti dunia kwa kutumia mbinu zozote kama zilivyoelezewa, kwa
kutumia mamlaka yote mawili, yaani, ya kidunia na ya kiteolojia, wakiruhusu
kila kitu cha kisheria na kijamii, wakitumia mamlaka yote kamili na kuithibiti
au kuiongoza. Kwa hofu na vizuizi, walihalalisha kwa uyakinifu wa kifilosofia
na kibiblia, ikafanyika kuwa mwanamke kahaba
aliyejikita na kuzamia kwa wachache wake waundani na kulewa damu ya watakatifu na mashahidi wafia dini au imani (Ufunuo
17:6).
Wakati wa Matengenezo
ya karne ya kumi na saba wanamatengenezo walitaka kurudisha mwenendo wake wa kimaadili
na huku ikimtaja au kumtangaza au kuendana na mamlaka ya papa na ikajikuta
yenyewe ikiwa kwenye mkanganyiko mkubwa wa kifilosofia na wa kihistoria.
Kwenye kuihusianisha Nadharia ya Vita vya Haki, pasipo mamlaka ya Roma, fundisho la kinachojulikana kama Status quo haina maana yoyote. Kwa hakika, ni wazi sana kabisa kushmbulia sambamba na mstari maridhawa wa kitabu cha Stalin (kisemacho: How many divisions has the Pope? Yaani, Kuna majimbo mangapi aliyonayo Papa?) na kile cha Napoleon (cha God is on the side of the big battalions; yaani: Mungu yuko upenda wa bataliani kubwakubwa). Fundisho hili linaendelea kudumu tu kwa kadiri ambayo mataifa yanapoyatambua na kujizuia yenyewe kutoka kwayo.
Kwa sababu ya tatizo hili mtambuka ambalo mataifa na viongozi wamelitafuta jinsi ya kuiunganisha au kuijumuisha Roma kwenye mamlaka ya mamlaka ya kdunia ulimwenguni na vuguvugu lililopo hivi saaa kwakuwa Serikali ya Dunia inakusanya hamasa ilinayosaidiwa na Ulaya ya Kati ambayo mataifa yake yanaona na kuushuhudia uamsho au kuinuka upya kwa kile kilichojulikana hapo zamani kama Dola Takatifu ya Rumi yenye udhibiti wa ulimwengu wa Wazungu wa Ulaya. Muunganiko huu mpya ujulikanao kama Muungano wa Kimadola wa Ulaya ilipangwa na kukususudiwa iunganishwe pamoja na kuanza harakati zake rasmi mnamo mwaka 1992 na iwe ni dola au jumuia kamili inayotenda kazi zake. Mnamo mwaka 1990 kulishuhudiwa usaliti ikifanywa na iliyokuwa ikijulikana kama Umoja wa Kujihami wa Kambi ya Mashariki iliyojulikana kama Warsaw Pact.
Uingereza ilipitisha Muswada wa kufanikisha mkakati wa Kuanzishwa kwa Ulaya Moja wa mwaka 1986 na ikakomesha mamlaka ya Bunge la Ulaya ianze kuondoleambali kitendo cha kuupigavita ufalme na mamlaka ya kamili ya nchi ya Uingereza na watu wake (habari hizi kwa kina zipo kwenye kitabu cha T. C Hartley, Foundation of European Community Law, Oxford, 1981 (yaani cha Kuanzishwa kwa Sheria ya Jumuia ya Ulaya ya Oxford, mwaka 1981) na kuonyesha muendelezo wake uliofanywa kwenye show the development from the Treaty of Rome leadingMkataba wa Mapatano au Makubaliano ya Roma ambayo kupangiliwa kwake upya kwa kiundani wa ksiasa kunaweza kuwezekana tu kisheria kwa kurithisha kutoka Ulaya ambavyo kwa yenyewe tu inaweza kutangazwa kisheria na Ulaya ingeihalalisha mashambulizi kwa visingizio vya kwamba ni Vita vya Haki kama tulivyoeleza hapo juu.
Chini ya mafundisho yaliyoanzishwa na sheria ya kanoni, amani ya dunia haiwezekani kama Ulaya na Roma haitapata uthibiti kamili wa kuitawala dunia ikitamakali mamlaka kamili ya kuongoza kanisa na mamlaka. Historia imeonyesha kutilia maanani Ulaya iliyofanikiwa na Roma itafanya kazi ili kugundua lengo hili. hivyo, kihistoria, Nadharia ya Vita vya Haki inaweza kuonekana tu kama kifaa au silaha ya kujihalalishia kwa Wakristo wa Ulaya wa mrengo wa Kiathanasian kwa kupenda kwao kujihusisha kwenye tamaa ya kujumuisha pamoja dini na siasa. Fundisho hili linaendana sawa na mafundisho ya sasa ya Hadithi za Kiislamu na kwenye fikra za Kimaxisti na Uleninisti. Majaribio ya sasa ya kuyaenekeza mno fikra za Kimaxisti kwenye Teolojia ya Kirumi huko Amerika ya Kusini kunaonekana kama ni nje ya kuondosha kwa vikundi hivi viwili. Vuguvugu la kidini la kizazi kipya ni upande mwingine wa almalgamu ya kisinkretiki kwa mamlaka ya dunia na kwa hiyo ilianzisha miuundo ya kimamlaka, inayohalalisha hali ilivyo.
Kitabu cha Ufunuo kinaonyesha kwa lugha ya picha na mafumbo, jinsi mkururu huu wa kihistoria inakuja kupita. Inaonyesha mkururu wa chanzo na matokeo ukianza kwa mpanda farasi wa kwanza aliyeonyeshwa kwa lugha ya Kimafumbo au ya Kipicha: ambayo ni dini ya uwongo, ambayo inajinyooshea yenyewe kwa uta au upinde na ikitafuta jinsi ya kushinda na kupangilia mnyororo wa matukio na ambao yamedumu kwa kipindi cha zaidi ya miaka 1,400 na hasahasa kupelekea hatimayake kuanzishwa kwa serikali moja ya dunia, ambayo itapewa mamlaka kamili, yatakayowatesa wale walio kwenye mamlaka yake, nasiokubaliana nayo, hadi itakapoondolewa au kupinduliwa wakati atakaporudi Kristo. Wanafalsafa, kwa kweli, wanayaacha mambo ya kidini ya kimabishano na kupenda kufanya mambo yabishaniwayo kwenye kustahili na kisha kushindwa kufikia upeo wa malengo yake na vigezo vyake.
Nadharia ya Vita vya Haki inafuatia kwa
ukaribu sana mitazamo iliyowekwa na wanateolojia wa Kikatoliki. Mazingira yaliyopo ni kwamba:
1. Mamlaka Sahihi
2.Sababu ya Haki
3. Nia na Lengo
la Haki
4. Lengo lenye
amani
5. Mazingira waridhawa,
a. Uzuri unaofikiwa unaofikiwa unapasa upimwe madhara yanayofanywa
b. Hupaswi kutumia maana tata ili kufanikisha kuhitimisha mwisho wako
6. Uwezekano wa
mafanikio.
Mazingira ya
kiuwiano yaliongezeka kutoepukika kwa masuala ya kiuadui kama yanavyoongezeka.
Mapokeo ya Vita Vitakatifu yawezekana kabisa kuwa yanapingwa kwenye mjumuisho
wa Nadharia ya Vita vya Haki lakini ni kama ilivyoonyeshwa kuhusu Nadharia hii
ya Vita vya Haki ilivyoendelezwa kama ni kuhalalisha Vita vya Haki iliendelezwa
kama ni uhalalisho wa Vita Vitakatifu na mateso ya kidini.
Wanafalsafa wa
Kiprotestanti wapo kwenye mkanganyiko mkubwa sana. Kwa kupewa kwao upotoe
kuhusu tabia ya kibaguaji ya kibiblia inayotuama kwenye Nadharia hii ya Vita
vya Haki iliyotungwa na kuanikizwa na kanisa la Roma, wanajikuta wakiachwa na
uwezekano au fursa chache. Fursa zenyewe kiukubwa ni zile za kipasifiki au
ukengeuzaji huohuo au ubaguaji. Ningi zimebagua.
Wakati vita
ilipokuwa inakaribia kutostaarabika, hii ilikuwa kwa yenyewe tu kuwa kwa kiasi
fulani haina madhara. Hata hivyo, mwendelezo au kuendelea kwa vita kwa awamu
zake za sasa tangu mwaka 1860 pamoja na Vita ya Wenyewe kwa Wenyewe ya
Wamarekani hadi kwenye vita vya karne ya ishirini vimeoyesha upuuzi mkubwa wa
ukomo wa Nadharia hii ya Vita vya Haki. Kutokana na Clauswitz, tumeona vita
hivi vya kisasa vikielezewa kwa maneno, yanayoonyesha dalili yake kwenye
utimilifu na ukamilifu wote na kiasi kikubwa cha uharibifu. Kama ni kitendo cha uchokozi kilichosukumwa
kilichofungamanishwa, ndipo hatimaye ipewe nafasi ya kuangamiza ulimwengu
kama tunavyojua, kwamba vita ni lazima ionekane kama ni kitendo cha ukosefu wa
hekima au busara kwa aina yote nzima ambapo mwanadamu na maisha yake yote
yaliweza kuharibiwa au kangamia.
Vikomo vilivyoko
siku hizi vimewekwa juu yake ni, aina au mtindo wa juu sana wa kubahatisha.
Kimaadili inaonekana ni kama kutokuwa na wenye mahusiano a kimataifa ikiwa ni
ulaji wa inyumbani. Kwa kweli hamasa inaonekana kuwa ni kama hatari sana kwenye
mitizamo hii na maslahi ya nchi inaonekana kuwa ni kama jambo linalotiliwa
maanani sana kimaadili. Ni kwa sababu hii ni kwamba mamlaka na nguvu zote mbili,
yaani ya kibilia na ya kidunia yanaonekana kujumuisha serikali ya dunia. Hoja
za kibiblia ziondolea mbali au zinatangua wakati atakaporudi Kristo. Viongozi
wengine wa siasa kuunga mkono serikali
ya dunia. Kudhania kwamba serikali itapigana vita kubwa kunachukuliwa kama
kweli na gharama inayoukumba uhuru wa kila mtu peke yake unapuuzwa. Matokeo
yake ya mwisho ni maangamizo makubwa sana.
Kwenye mabadiliko
ya taratibu ya vita kama silaha ya kisiasa tumeona kukomesshwa taratibu kwa utiliaji
maanani au mwamko wa heshima na hisia au hamasiko. Kwa kiasi fulani hamasa hizi
maranyingi zimekuwa zikitolewa kafara juu ya madhabahu kwa ufanisi, kivitendo
na kwa ufanisi. Ufanisi wa matendo ni wa muhimu na kwa utofauti wa fundisho la
mwisho kuna halalisha maana ya dharura.
Kutokana na
hamasa hizi, mtazamo wa kuelekea utimilifu au uhakika marazote kunaondoa michoro
an mwelekeo unaoshikamanisha au ukomo uliowekwa juu yake. Muono wake kwenye utimilifu
kutaoinyesha na kuifanya iwe tegemezi wa kuwa nje ya uthibiti na kwa hiyo
kuyageuza malengo yake ya kisiasa.
Vita yenye ukomo inawezekana
tu wakati upande mmoja ukiwa unetishiwa na kushindwa kukubwa na kuna umuhimu au
ubora kwenye silaha kwa kiasi cha kuthibi hatima yake. Wakati mataifa mawili
yanapofungiwa pamoja na kisawasawa kwenye vita, yanahitimika tu kwa teknolojia yao
na mengine yanakubaliana na kusimamishwa kwao kwenye kuonekana kwake kama kile
kinachojulikana kama Jus in Bello. Kuhusu
suala la vita vya kutumia silaha za kemikali ni mfano wake mmojawapo, ingawaje
vita vya Mashariki ya Kati vinaonyesha kwamba mwanzoni kabisa mawazo
yaliyochukuliwa kuhusu hamasa hizi ni mambo yanayodhaniwa tu.
Vita vina kile
kinachoonekana kuwa ni matokeo ya mwisho na kilamara itafikia kwenye hali
mbaya. Sababu zake zitachimbuliwa kwa undani kwenye maana yenye makosa makubwa
ya dini au mtazamo wa kifilosofia, ambao unahalalisha kitenco cha kuua au
kuidhulumu uhai wa mtu na ulazimisho wa imani ya kidini au kinadharia la kuua mtu
aliye na hatia na wala asiyefanya fujo au vikundi vidogovidogo. Wakristo wahafidhina
watapinga kwamba hairuhusiwi kupigana hata kwa madhumuni ya kulilinda taifa la
mtu na uhai na wanafalsafa wengine wanafikia kudai kwamba harakati zilizopangwa
ili kujilinda ndizo pekee zinazoruhusiwa kwenye harakati hizi za Nadharia ya
Vita vya Haki. Kwa hiyo inaonekana hata hiyo ni kosa na uwongo.
Kitendo kisicho
cha fujo kinaonekana kutenda kazi yake pale tu ambapo nguvu za utawala zinajumuishwa
na miakati, ambayo inapelekea kwenye mafanikio. Kwa habari ya India, kwa
utaratibu halali uliohalalisha ushiriki aina fulani ya mtandao wa halali kwenye
utendaji kazi wake. Inatia mashaka makubwa sana kama Ghandi angeweza kufanikiwa
zaidi dhidi ya Hitler kwa mfano.
Ni sawasawa tu,
haiwezi kupigwa kwamba mitizamo ya Jus in
Bello haituami kwenye uwanja mwingine uwao wote kuliko ule ambao washiriki
wanakubali kuwa ni kiwango kinachchokubalika cha mwenendo wa wakati ule. Hata
hivyo, hakuna viwango kamilifu kwayo. Kwa kweli, kumfanya mtu ajiondoe kwenye
vita, ustawi wa siku hizi unadai mazingira kama hayo yanafanyika na inawezekana
kabisa kulazimishwa kwa njia tu ya silaha bora.
Nadharia ya Vita
vya Haki sasa haikubalii kama ilivyokuwa wakati wahafidhina wa Kirumi
walivyoianzisha ili kuhalalisha tamaa isiyongojea hata kufikia ufungaji wa ndoa
kwa kuitawala dunia, mamlaka na utajiri. Uanachama wa bodi au shirika la
kidunia si wa lazima kabisa kwa ajili ya wokovu. Fundisho lile lisemalo kwamba Kanisa
ni shirika au ni mfumo wa kimwili na unaoonekana au shirika ambalo uanachama au
ushirika wake ni muhimu kwa kuupata wokovu, ni mafundisho ya kizushi kabisa.
Huo unakuwa ni uzushi mkubwa zaidi hasa kwa ale kanisa hilo linapokuwa
linahubiri mambo yaliyo kinyume sana na Sheria za Mungu. Kichwa cha kila
mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo
ni Mungu (1Wakorintho 11:3). Wateule
wake Kristo watamfuata kokote aendako. Wale 144,000 wanamfuata kutokana na
kutiwa kwao mhuri. Hawajatiwa unajisi na mfumo wa imani ya kanisa. Wanatembea
na Kristo, nguzo ya Moto na Winguu (soma kwenye Ufunuo 14:1-5).
Mpanda farasi wa kwanza aliye kwenye kitabu cha Ufunuo au Apokalipse, ambaye anawakilisha dini ya uwongo, alitolewa kutoka kwenye Mabaraza ya Kanisa la kwanza. Lilianzishwa na kupangilia kwa mwendelezo wa mpanga farasi wa pili wa vita. Wakati miaka 1,260 ilipotimilika, imani ya dini ya uwongo iliimiliki na kuitawala dunia. Iliigawanya kwenye makambi ya kijeshi na kuanzisha mifumo ya kijeshi ambayo yalifanya kuwepo kwa milolono ya matukio ya kimapinduzi na ustawi wa kivita. Kilichofuatia sambamba na teknolojia ya kivita ni kwamba kuzuka kwa ii wa kisasa. Kuanzishwa kwa Vita ya Wenyewe kwa Wenyewe ya Wamarekani, vita vingine vya kwanza na vya kisasa, iliendelea kwenye vita vingine vya karne ya ishirini. Kilichofuatia sambamba na teknolojia hii ya vita ni kwamba uroho wa mali na utajiri ulioibuka kwenye miradi ya viwanda vya kutengeneza silaha. Mpanda farasi wa tatu na wa nne wanafunguliwa na wanafuata kutoka kwa wale wawili wa kwanza. Hebu na uombe kwa bidii “Ufalme wako na uje”.
q