Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[CB47_2]
Lakujifunza: Mkutano Wa Kora
(Toleo 1.0 20060825-20060825)
Katika hili funzo tuta angalia karatasi ya kusoma Kuachiliwa wa Korah (No CB 47) na kuangalia vitu muhimu kuhusina na
zile zenye ziko katika Bibilia. lengo ni kusaidia
watoto kuelewa muhimu wa kuachlia kwa Mungu na viongozi waliochaguliwa na
Mungu.
Christian
Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Copyright © 2006 Diane Flanagan, ed. Wade Cox)
(Tr. 2009)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia
yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Lakujifunza:
Mkutano Wa Kora
Kushugulikia fikira zinazoambatana na Korah na vita yake.
SABABU
1. Watoto watakuwa na uwezo wa kufahamu umuhimu wa kumtii Mungu.
2. Watoto watajua kwamba kuandamana kumpinga Mungu ni mbaya.
3. Watoto watauona maandamano mawili kutoka kwa bibilia.
4. Watoto watayafahamu kwamba wanawe Koran a wafuazi wake walijinuzuru, na walihusika katika maombi ya sinagogi na kuandika Zaburi tisa.
Mahala
Pa Kuzitoa
Maandamano ya Kora (No. CB47)
Sinagogi iliyo jangwani (No. CB42)
Kitakachotendeka tukifariki? (No. CB29)
Hesabu 16:20-21
Mwanzo na maombi
Uliza watoto kwanini wanafikiria maandamano ni mbaya funzo kutokana na maandamano ya Kora vitu vilivyohuzika na maandamano ya Kora.
Mwisho ni maombi
Funzo
Soma kupitia maandamano ya Kora (No. CB47) ikiwa imesomwa kama mafunzo.
Swali kwa watoto ikio kwa henyi inayoonekana
Sw1.
Ni nani Mungu alisema angekuwa makuhani
wake?
Jaw. Wanawe Arun waliotoka kwa ukoo wa Levi.
Sw2. Nani aliyekuwa Korah?
Jaw. Mmoja wa wanawe wakuu wa Levi na nduguye Musa na Arun.
Sw3. Je! ora alikuwa na
jukumu kule Israeli?
Jaw. Ndio alikuwa na afisi ya juu kwenye kumtumikia Mungu kwa sinagogi (tazama Hesabu 4:1-20) lakini alitaka afisi ya juu sana. Kazi ya makuhani aliyopewa Arun (vv. 8-1). Hakutosheka na kazi aliyopewa na Mungu.
Sw4. Je! unamfahamu
yeyote ambaye hakutosheka na kazi aliyopewa?
Jaw Ndio shetani (Ezekia 28:15-16).
Sw5.
Je! Korah alienda kwa
Musa pekee yake?
Jaw La, acichukua wana Ruben watatu – Dathan, Abiram na On na viongozi wengine mbili na hamsini wa Israeli ambao walikuwa na tashwishi lao. Walikuja kama kumchi kupinga na kuwakanganya Musa na Arun (Hesabu 16:1-3).
Sw6. Je! Korah alitaka kufanya
nini?
Jaw. Kora alimkanganya Musa, kwa ukweli (hesabu 26:9) kwa sababu Koran a wengine hawakuheshimu kiongozi wa Mungu ambayo Mungu aliweka aongoze. “Tuko hapa kwa sababu tunaamini mnachukua nguvu nying. Wana na makuhani yako mnajifanyia kama mko wasafi kushinfa sisi sote, kama tumechaguliwa na Mungu, kwa hivyo sisi sote tuko wasafi na Mungu ako nazi, kwa nini mnajiweka juu ya guaredi la Mung?” (Hes. 16:1-3).
Sw7. Je! unafikiria
Koran a wenzake waliyatenda fikira ya Mungu?
Jaw La, waliongozwa na shetani. Tumeona shetani akiyaribu kuchukua uongozi katika nyumba ya Mungu. Kwa wakati huo shetani alijazwa na kutokuwa sawa na fikira mbaya. Shetani alipoteza nafasi yake kwa kumfunika cherub kutokana na maandamano. Mungu hawezi kukaa na anayeandamana au kuwa katika uongozi kiroho kama hawawezi kuaminiwa.
Sw8. Je! shetani
alijaribu kupindua Mungu pekee yake?
Jaw La, alichukua thuluthi ya roho zingine (Ezekiel 28:6, Ufunuo 12:4). Hapa tunaona Kora kuwa kiongozi cha wanaoandamana na wengine kufuata fikira zake mbaya.
Sw9. Je! tunafaa
kuwafuata wale ambao wanayatenda mabaya?
Jaw La, usiwafuate umati kwa shetani (Kutoka 23:2) usiwafuate wengi kwa shetani, na usijaribu kuongea kuhusu upungufu wa wengie kupumzika (kutoka shtaka KJV).
Sw10. Kama mtu anatenda jambo
baya unafaa kufanya nini?
Jaw Watoto wanaweza kusema jawabu lolote hapa.
Sw11. Je! Musa alifanya nini?
Jaw Ahanguka na kutazama chini kwa sababu ilikuwa dhambi ambayo yalitendwa na hao (Hes 16:4).
Sw12. Je! Musa aliwaambia nini
Koran a wenzake walioandamana?
Jaw Asubuhi Mungu ataonyesha nani ni wake na ni msafi. Yule aliyechagua atakuja karibu naye naye atakuwa msafi. Ninyi walevi mmefika mbali, “Musa alimwambia Kora,” sasa sikiza, ninny walevi. Si inetosha kwako kwamba Mungu amewagawanya kwa ukoo wa kwako na kukeleta karibu naye kutenda kazi katika Israeli yake na kusimama mbele ya ukoo na sinagogi yke na kusimama mbele ya ukoo na kuwahubiria? Sasa ukataka pia kazi ya ukahani. Hayakubalikiwa na Mungu kwamba wewe na wafuasi wako wamengana pamoja. Nani ni Arun ambayo mnampigania?” (Hes 16:5-11)
Sw1.3 Je! Musa aliongea na
Kora pekee?
Jaw La. alimwita Dathar na Abiram (v12)
Sw14. Unafikiria kwa nini Musa alimwita Dathar na Abiram?
Jaw Musa alimwita ili waziwe mamoja wa wale wanaoandamana. Mungu anwaweka watu wake wanaoweza kugundua shida zao na kuwapa watu nafasi ya kutubu dhambi, lakini wakikataa kusiakia matokeao yataonekana papo hapo.
Sw15. Je! Dathan na Abiram
walisema nini?
Jaw Hatutakuja tumekataa kusikia yale unayoyasema inayotutoa kwa ardhi ya Misir hadi kwa jagnwani penye tunaenda kuyariki. Fikira yako kuliongoza bila kujua lile litakao wafuata” (vv. 12-14).
Sw16. Je! walikuwa na
fikira ya kubadilika na kutubu dhambi zao?
Jaw La.
Sw17. Ni vipi Musa aliyajibu
shtaka la maandamano?
Jaw Musa alikasirika kwa shtaka za uongo na kusema “Usikubali matoleo yao ambayo sijaichukua kama punda kutoka kwako hata sijawakosea” (v.15).
Sw18. Je Musa alimwambia Kora
nini?
Jaw Umeanzisha kitu ambacho utakuwa na shida kuikamilisha. Imani kuwa mtu yeyote anaweza kuwa katika cheo cha makuhani bila kuchaguliwa na Mungu ni oungo. Ingawa kama ninyi vyote mmejilazimisha kwa kujaribu kupata cheo kwa hiyo afisi kila mmoj wenu anafaa kuwa hapa kesho asubihi na matoleo na mtungi iliyojaa moka. Arun na wanawe watakuwa hapa na matoleo yao. Mungu atafanya itendeke ili atakazo zichagua kama makuhanui na wasaidizi wao” (vv. 16-17).
Sw19. Nini
kili tendeka asubuhi iliyofuata?
Jaw Viongozi
mia bili na hamsini, ikayamuisha Korah, Dathar na
Abiram walijitokeza mbele ya sinagogi. Kila mtu alibeba kitu kulichokuwa na moto kuonyesha uwepo tayari kuenda mar moja kwa kazi ya
makuhani. Kwa saa hiyo wengi wa hawa watu hawakuwa
watu wa levi na wale waliokuwa wa Levi waliandama na dhidi ya Musa, Arun na
iliyo muhimu Mungu (vv. 18-19).
Jaw Mtenge kutoka guarefi hii ili nitie kikomo kwao mara moja (vv. 20-21) tunafaa kulitenda kutoka kwa wale wanaoandamana kukehuka sheria za Mungu.
Sw21. Mungu alikuwa anaenda
kufanya nini?
Jaw Wale waliokuwa pale walienda kuuwawa. Lakini Musa alimwomba Mungu kusazamehe sababu alishitenda hapo awali. (Taz Kut 32:9-11). Musa na Aruni walitazama chini na kulia, “Ee Mungu, Mungu wa roho ya ubinadamu, uwaweza kudhika na guaredi mzima wakati mtu mmoja pekee ndiye ameyatenda dhambi.
Sw22. Musa alifanya nini tena?
Jaw Aliwambia watu wote kutoka kwa kambo ya Kora Dathar na Abiram na kusema ‘Hivi ndiyo utakayomfahamu kwamba Mungu amemtima kufanya hivi kazi vyote na haikuwa fikira zangu. Kama hawa watu wamekufa kifo cha kawaida na kujua kile kitu cha pkee kinachotendeka wanaume, nayo Mungu hakuituma. Lakini kama Mungu maeileta kitu kipya na ardhi ikafunguka na kuwameza na wanaienda chini wakiwa hai kwenye kaburi na utajua kwamba hawa wanaume wamemtunza Mungu kwa ujaziri (vv. 25-30).
Sw23. Kile kinachofuata
haraka?
Jaw Ardhi ilijifungua na kulesema vituo vyote vilivyokuwa kwa nyumba na umiliki wa Korah na wat wote walioandamana (vv. 31-34).
Sw24. Je! Wengine waliwawa?
Jaw Ndio, watu mia mbili na hamsini waliomfuata Koran a walioleta vityu vyao walikimbia wakati ardhi iliyofungua. Ingawa ilikuwa mapema ilitapakaa ndani ya maeldu yaw engine, watu mia mbili na hamsini walikutana na kifo kigafla kupitia mioto iliyotoka kwa Mungu (v35)
Sw25. Kwa nini watu wengi
walifariki?
Jaw Mungu aliihitimisha maandamano kwa njia yake kama mfano kwa wengine wanaodaganya na jua lake. Hawa watu walikuwa wabaya na waandamanaji na tabia na mazungumzo yao ilikuwa kumpinga Mungu na wakuu wake na wale wanaotenda kwa jua lako na ilileta matenzo iliyo chungu.
Mungu anawateza wabaya kwa kutomtii. Ingawa tunajua kwamba wote walioishji walafufushwa kutoka kwa kifo na nafasi yao kuwa kipande cha familia ya Mungu. Kwa maelezo mingi tazama “Kile kinachotendeka tukifariki”
Sw26.
Je! Madini ya wanaume ilitumiwa baadaye?
Jaw Ndiyo, Elsea aliambiwa akusanye madini yaliyotapakaa kwenye mahali pa kuchomwa chuma. Zilipigwa na kupata viumpa vingine ‘vyuma vilivyokuwa ndani yao vilipelekwa mbele ya Mungu na akawa msafi” Mungu alieleza vitunze ili vitumike kutendeneza bakuli zingine kufunika altari ya matoleo ya kuchomwa. Na nache bakuli hizo kuwa maumbusho kwa watu kwamba hakuna nyingine isipokuwa wafuazi wa Arun kupelaka matoleo mbele ya Mungu. Yeyote atakayetenda watajiweka kwenye shida kama ya Koran a wale waliowafuata na fikira zao za kijinga” (vv. 36-40, 2 Kit cha mag 26:14-21, na Waebrania 5:4).
Sw27. Je! kuna yule
aliyesamehewa?
Jaw Ndiyo watoto (Hesabu 26:11).
Sw28. Je! tuna rekodi ya
wanwe Kora popte kwa bibilia? na kama ipo walifanya
nini?
Jaw Ndio 1 Kitabu cha Mafunzo 9:15 inazungumza kuhusu utenda kazi ya wanawe Kora kwa Mungu (Tazama pia Zaburi 84,85,88)
Sw29. Baada ya maandamano kutamatishwa, Je! watu walifurahi kuwa na Musa na Arun kama viongozi vyao?
Jaw La, waliendela kupiingania na kuwaumu Musa na Arun kuhusu vifo wa wanaisraeli wenzao. Hawakuamini kwambauharibifu ya siku iliyopita ilitoka kwa Mungu (Hesabu 16:41).
Sw30. Na nini ilitendeka?
Jaw Mungu alikasirika na kutoka kuwamaliza watu Musa na Arun waliogopa kwa ajili ya watu. Mungu alituma matezo na watu walikufa kila mahali.
Sw31. Je, Musa na Aru
walifanya nini baadaye?
Jaw Musa alimwambia Arun kuchukua matoleo zake na kutengeneza zawadi ya dhambi za binadamu (vv. 46-48).
Sw32. Je! Mungu alitamatisha
shida?
Jaw Ndiyo, kwa sababu ya imani ya Musa na Arun, Mungu alijibu maomb yao na kutamatisha. (v.50) lakini maelfu wengi walipoteza maisha yao (v.49). Walikuwa waandamanaji na wasioamini ambao wangepata funzo yao kwa njia iliyongumu, vile wengine wetu wa siku hizi.
Maanamano yamechukuliwa kutoka kwa karatasi ya maandamano ya Kora (No. CB47).
- Karibu kutoka kwa wandamano - Ni mchezo wa kukimbia na watoto kuchukua tabia ya umakilifu au kuandamana.
- Mapokezi – Nafasi ya kukimbia, mpanglia ya maswali yaliyogawanywa mara mbili.
- Maungo – Weka swali zingine mbili kwa mahali mbili tofauti penye timu mbili zinakaha.
- Sheria – Gawanya watoto kwa timu mbili, chukua kila mmoja kutoka kwa timu kuchukuwa swali na kumbi kwa timu na swali. Mtoto anasema swali kwa timu yake na wanajadiliana na kutoa jibu yao wanapoitwa.
- Maisha ya upweke – Inajumuisha akili, unakini na uzinduzi wa tabia ya kuwa mtufa au mwandamanaj.
- Pokezi – Karatasi 26 za rangi kulinganishwa ya zile 4 mara 6 mayofikisha 24 na mipangilia ya maswali
- Maungo - Tengeneza mipangilia za 4 na mara 6, karatasi moja mbele na ingine mwisho ya kumalizia. Kwenye mpagnilia weak mahali pa kutoa madini hadi tatu na kuziandika X na usiwakubalie watoto kutazama. Mahali pa kutoa madini uabaki vivyo hivyo hadi mchezo ukamilike.
Sheria: Watoto kuzunguka wakupitia ndani ya mezi. wanamuza kuomba usaidizi lakini hawawezi kabla ya kuomba usaidizi. Vile hatuwezi kupeana roho mtakatifu kwa wengine, tunafaa kujilinfa, ingawa tunaweza kuomba usaidizi na maombi kutoka kwa wengine. Watoto lazima wakayayage dhara moja, wanaweza kukanyaga yanayozidi moja kwa kila mpangilia. Kwa wakati mwingine watoto wanaweza kuchukua hatua moja inayozidi dhara moja ili unie kama wamekanyaga mahali pa madini kwakikanyaga mahali pa machine watafaa kulingeneza swali na jawabi na kukaa chini hadi iwe wakati wao. Mmoja anaweza kujadiliana kuomba usaidizi hata kama watoto hawajaomba usaidizi. Mtu akipita mchezo huo wanasema kile ambacho wanaifurahia kuhusu sherehe. Mtu anayefuata anafaa kubadilisha kitu ili wafaulu. Ingawa tunaweza kusoma kutoka kwa makosa yao ambao wameona tofauti tukuwa njiani kuenda bingini.
Mwisho ni maombi.
q