Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[155]
Sehemu wa Roho Mtakatifu [155]
(Toleo 2.0 19960310-19991008)
Mmoja wa mafunzo la kila mara lililo ngumu wa Wakristo ni Roho Mtakatifu .Zote tumeamini kuwa yupo lakini mawaidha mengi wa nini yeye liko.Wengione wan tumia aandiko ya Wagiriki ambao lina sema kuwa Roho Mtakatifu ni `` mme’’ na kumaliza kuwa Roho Mtakatifu ni Mtu.Katika nakala Hii ,aandisko haya yame tumiwa na mwisho wa sehemu wa Roho Mtakatifu zime tolewa.
Christian Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Copyright ã 1996, 1999 Wade Cox)
(Tr. 2009)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia
yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Sehemu wa Roho Mtakatifu
Karibuni barua liliandikiwa kwa kanisa ambao aliuliza hilo swali juu ya sehemu wa Roho Mtakatifu.Hilo barua ilikuwa ya muhimu kwa sababu ilikuwa akiamini funzo la uongo ambao inaonekana kwamba liko na nguvu katika ulimwengu wa lugha ya Kingereza, na iliungwa mikono sana na Trinitarian kwa sababu ilikuwa liki unga mkono funzo lao la uongo. Barua hilo lilitolewa kwa sehemu ili kuzaidie wengine ambo hawaja tabumbua shid hilo.
Nime ambiwa ya kuwa kanisa lako inafundisha kuwa Roho Mtakatifu siyo mtu katika kichwa cha Mungu, lakini ni nguvu tu za kawaida zake Mungu ndiyo inafanya kazi za ukweli ndani ya Wakristo.Nime amini hiyo kwa miaka mingi, lakini katika wiki chache ambao yame pita nime kuja kupata ya kuwa Roho Mtakatifu likisemwa ya kuwa ni Roho la Ukweli kwenye Yohana 16:13 inavyo seme ``mme’’.
Nime gundua kuwa kuna sehemu mengi katika Agano Jipya ambayo Roho Mtakatifu limetajwa kama mme, lakini katika tamko la sehemu tatu wa Wagiriki neno mme sio haza la Wagiriki. Wagiriki kila mara yana wacha nje masomo ya nguzo na, katika kufananisha Roho Mtakatifu, yana tamuko la kawaida la mwisho ambaye ni masomo yam me, mke, au kitu. Katika utafsiri ambazo nimewai kuona wakitumia mme, mke au kitu lime tumiwa tuu.
Katika Giriki, kama ilivyo katika Latino, Slavic na baadhi ya lugha wa Ugerumani, kila jina lime tumiwa kama sehemu na mwisho wake. Hili linaiitwa sehemu ya kunena na alita badilikwa. Hili aliwezi kueleweka au kutamkiwa kulingana na sehemu yake. Neno ya mme ni lugha linalotumiwa kwa mstari ambaoyo ni vyema kwa maana mme ni mwenye msipa, lakini neno kwa jua tena ni yenye msipa na hii lina gongana na maana kamili ya kitu. Kunena kwa Wagiriki linaitaji kuwa kama neno lime tajwa ten anyuma kuchukua mfano,mfano lazima lichukue tamko la sehemu jinsi jina limeichukua. Mawaidha lina tolewa na mwandishi pengine kwa maandishi lake kama mme ambao lina maanisha Roho kwa maana Roho ni kuumbe kilicho hai.
Katika Sura ya Yohana 14:26, 15:26 & 16:13, neno la Wagiriki kwa mme (i.e. [ekeinos]) kwa kweli lime tumiwa. Katika haya mmoja wa mbili mara moja, kama lugha lime tumiwa vyema na kulazimishwa, mmoja pengine ya weza kusema kuwa [ekeinos] lina maanisha huru [ho parakletos] au baba (patros) ambao zote ni misipa na kwa maana yaitaji mme na sio kitu. Ingawa katika Yohana 16:13 hakuna neno lolote katika sentesi ambayo mme (ekeinos) linaweza kutumiwa kama neno Roho (pneuma) katika vungu la Roho wa Kweli.
Neno la Wagiriki la Roho [pneuma] ni la asili kwa grama na yana hitaji tamko kitu [ekeino], lakini Yohana na maana alichangua kuitumia mme [ekeinos], sasa lazima Roho Mtakatifu kuwa mtu katika Kichwa cha Mungu.Kuendelea, neno la Wagiriki huru [perakletos] ni tamko tuu ambao linatumiwa katika jina. Neno hili ni la muhimu katika maongezo ambao lina weza kutumiwa kala mara (ie.misipa au msitari tisa) sehemu (parakletos) au katika sehemu asili [parakleton]. Huru limetumiwa katika Agano Jipya katika sehemu ya kawaida, i.e. [parakletos].
Kama Roho Mtakatifu ni nguvu za Mungu jinsi gani unaweza kuhesabu pointi haya mbili?
Jibu la shida hilo yana engemea kwa mara kaadha ya kawaida wa funzo lauongo, katika shida hii, ambao ni ekeinos kumaanisha mme. Haija maanisha, hata ya kutafsiriwa kama, mme. Hii ni kama imeongea juu ya mtu mwingine kama ya kutoa pointi na baadaye kuwa jinsi ilivyo. Neno mme ambao limetumiwa katika Yohana 16:13 lime tolewa katika grama na kuwekwa katika Kingereza, jinsi limekuwa pahali popote.
Katika Kingereza neno la ngono na sehemu ni ngumu kuelewa sababu, katika lugha hii, sehemu inamaanisha ngono. Katika lugha mengi, sehemu linachukuliwa kutoka katika grama. Sio wazi ya kuambatana na ngono jinsi ilivyo katika Kingereza.Shida ina jaribu kuchukua zingine kutoka kwa lugha ya ngambo kwa kutumia mawazo la kingereza kuendelea. Line weza kutolewa kuwa hatari, kweli, kutengeneza theologia kutoka mwelekeo au bila barua ya Wagiriki sigma kwenye Yohana 16:13 (kutafsiriwa kama huyo moja; tazama tena 16:14), kutoa maelewano katika 1 Timotheo 3:16, kwenye Condex Aleph, pamoja na barua sigma na theta kujenga Theos pahali ambapo hakuna lolote. Jawabu hii ni la uongo kulingana na vungu la KJV. Tena 1 Yohana 5:7 ilikuwa ya uongo katika Receptus, na tena kuharibu ya KJV. Kuwe jinsi ilivyo, tutakubali ekeinos kama ya sasa kwa sababu sio la ngumu katika poiti.
Ekeinos yana maana huyo moja na sio mme katika mara zote lina tumiwa katika husioano wa Roho Mtakatifu katika fungu. New Thayer’s Greek English Lexicon (p.194) inaonyesha kuwa ekeinos haimaanishi mme. Intokana kutoka mawazo moja hapo. Kama lina semawa inamaanisha mtu huyo, mke au kitu. Ina tumiwa kukaza. Ingawa, limepewa neno lingine kwa mwisho os kuonyesha ujenshi wa grama ambao lina tokea. Na mwisho pia lina weza kutoa neno zingine, os linatoa maana languvu kwa kiwango, n au on inatoa mwelekeo (ingawa theos (theos letu au elohim) na ton theon (Mungu) kwenye Yohana 1:1). Neno mme katika Yohana 16:13 linatokea kwa maneno ambao haiambatani kwa maana moja kama sio kutoka kwa ujensi. Marshall’s Interlinear inaonyesha kuwa Roho inachukua maana ya kawaida ya meme na kutangaza au kuilinganisha kwa wandugu. Roho hii ni ya baba kwa sababu Kristo alisema katika sura inayoifwata kuwa Zote ambazo ni za baba, ni zangu (zizi) (tazama Marshall’s Yohana 16:13-15). Fungu la Interlinear inaunga mkono maana kuwa Roho ni nguvu wa Mungu. Ujenshi wa grama iliyo tumiwa kwa sababu inaongea kwa Baba na matendo zake au nguvu.
Marshall’s Interlinear inaonyesha jinsi shida lenye nguvu lina tafsiriwa. Wagiriki wana Rumia ili yawe raisi kwa kusoma.
Otan
de althe ekeinos, to pneuma tes aletheias
Lakini akija huyo Roho wa Kweli moja.
Odegesei
umas eis ten aletheian pasan
Hata wa tunza katika ukweli pekee.
Ou
gar lalesei aph eautou, all osa
Kwa maana sio kwa pensi lake anaongea lakini vitu za
Akouei
lalesei, kai ta erchomena
Asikiayo yeye ataongea na vitu zijazo
Anaggelei
umin
Hata waambia ninyi.
Tambua kuwa neno mme ni ya kila mara katika ujenshi huo. Neno mme inaweza kuwa katika swala kama jinsi maandishi ya kichwa za Marshall.
Nakala sahihi lazima saa zingine inaonyesha na tamko au tamko la kipekee. Hii ni sawa na pahali sehemu zingine za mwili yana patikana; e.g., Mathayo 8:3. Pengine limetumiwa `Kwa hali ya juu’- hiyo ni, lazima litolewe `mme’ (au pengine kulingana na sehemu) au ``hao’’ tazama Mariko 10:4.
Marshall anaendelea kumenyana na swali ya sehemu katika karatasi la xi.
Katika Giriki, sehemu ni ya neno na sio lazima litajwe kwa lile limesimamia kwa neno; jinsi ilivyo katika Kingereza tunachukua mawazo wa misipa, mistari tisa, na utu wa mume, muke na kuwacha kazi zao. (Kingereza, pengine, ni lugha kubwa ya kisasa) Muda lazima lipewe hiki unakili: saa zingine ni raisi kubadilisha mawazo hii kutoka lugha moja kwa lingine, lakini sio saa yote. Maandishi katika Ufunuo 13:1, pengine lina weza kutumiwa.
Maandishi katika Ufunuo 13:1 ni la muhimu kwa maana naye pia anamenyana mwelekeo wa sehemu kutoka kwa grama na kulingana na kwenye 16:13 na tafsiri wa neno kwake mwenyewe.
[autou], kweli inaweza kuwa asili au misipa - ``kama ni’’ au ``yake’’ [drakon] kuwa mwenye misipa (= Shetani), tumeifadhi kwa misipa. Lakini [therion] ni asili. Hata hivyo hiki simamia mtu, kama [arnion] jinsi inavyo simama, yeye pia lazima aifadhiwe, kama la tamko, kama la misipa.
Hii Mwenyewe ni maonyesho la neno ambayo inweza kuwa asili au misipa. Maonyesho la mwenyewe ni pamoja na kusanyiko na tabia wa Mungu. Utafsiri ni wazi na ukweli ni mara moja kutoa fungu katika njia hiyo.
Marshall tena anifanya maandiko kwa maana ya moja ambayo hiko na nakala moja (Maelezo, p. vix).
Mmoja lina weza kutumika, na nakala moja, na, kusema, ``moja’’ imeeleweka, pahali inatubidi tumumie jina au usiano wa vungu; e.g. Kila mara, [ho pisteuon] = ni [moja] imani = waamini au yeye anaye amini. Hapa maelezo linaendelea; kwenye Luka 1:45, ni la muda (na, utu, misitari tisa kwa sehemu jinsi inavyo semekana kwa Maria kwa njia moja ya kazi wa Imani kwa kuongea). Kama mbili ya maelezo zimetumikana kwa maelezo moja la muhimu kwa nakala, vile kwenye Yohana 5:24, maana ni kuwa mtu mmoja ameongezeka kwa maelezo, sio watu wawili wafanyao kazi mbili tofauti.Maandishi hii lime fadhiwa katika utafsiri wetu.
Yohana alikuwa Mhibrania anaye tumia lugha ya Aramia kama tamko wake kulinganisha Aramia na maana ya Hibrania na Theologia ya Hibrania. Kuna hata marudio jinsi njili ziliandikwa kwa asili kutoka kwa Wagiriki. Kuangalia kihini wa Roho Mtakatifu lazima turudi katika kihini ambao Roho Mtakatifu limetolewa na Utabiriwa. Hiyo ni Agano la Kale.
Lazima tuwe na amani kati ya Agano la Kale na Agano Jipya. Bibilia alifuritani mwenyewe kuhusu vitu za kiroho. Roho Mtakatifu lime tajwa mara kadhaa katika Agano la Kale. Roho wako na usiano moja na Mungu kama Roho wa Bwana. Neno Kuach (tazama SHD 7303). Ni roho lakini kwa kiwango cha kuishi (tazama Strong’s). Tamko hilo halichukui shida moja kwa maana ujenshi wa grama wa Hibrania sio lenye nguvu kwa njia moja kama katika Ugiriki. Kingereza pia linapata shida huu wa kawaida kila mara.
Katika Brown-Driver-Briggs-Gesenius Hebrews English Lexicon kwa karatasi nambari 924-925 inaonyesha roho katika mwandamu kuwa sawadi na kiumbe wa Mungu (Kulingana na Zekaria 12:1; Ayubu 27:3 cf. Isaya 42:6). Mungu aliifadhi yeye (Ayubu 10:12; cf. 12:10; Hesabu 16:22; 27:16; Mithali 16:2). Lexicon anamalisha kuwa sasa ni Roho wa Mungu (Mwanzo 6:3) kutoka kama kifo (Isaya 38:16; Ayubu 17:1; 34:14; Isaya 57:16; Mhubiri 8:8).
Lexicon anamenyana na Roho wa Mungu kutoka mwelekeo mbali mbali kwa asili. Tunaiita hilo kama Utabiri uliyo na upako na nguvu ambayo ilikuwa infanya wanabii kutowa maangizo au onyo. Hii ilikuwa Unabii wa kwanza (Zekaria 7:12; Nehemia 9:30).
Zekaria 7:12 Naam, walifanya mioyo yao kuwa kama jiwe gumu, wasije wakaisikia sheria na maneno ya Bwana na majeshi, aliyoyapeleka kwa roho yake kwa mkono wa manabii wa kwanza; kwa sababu hiyo ghadhabu kuu ikatoka kwa Bwana wa majeshi (KJV).
Nehemia 9:30 Lakini miaka mingi ukachukuliana nao, nawe ukawashuhudia kwa roho yako kwa vinywa vya manabii wako; wao wasitake kusikiliza; kwa hiyo ukawaitia katika mokono ya watu wa nchi (KJV).
Shura hii inaifanya wazi kuwa Roho Mtakatifu ni mmoja wa Mungu mwenye enzi ambayo alituma Roho Mtakatifu wake kwa Wanabii. Isaya 11:2 inaonyesha kuwa Roho inapunsika kwa Mesia.
Roho Wa Mungu ilikuwa ikizaidia kuleta nguvu kwa njia ya vita na hali ya juu na kupeana nguvu kwa Waisraeli wa Kwanza (Wahamuzi 3:10; 11:29; cf 6:34; 13:25; 14:6,19; 15:14; 1 Samueli 11:6; 16:13,14 na Isaya 32:15). Ilionekana kama ana pumsika kwa Enzi wa Mesia (Isaya 11:2). Alionekana kama ana wapa kila mmoja sawadi tofauti, e.g Ni funzo la kiteknologia (Kutoka 31:3; 35:31), Kuelewa (Ayubu 32:8), kama ya kumwagika kwa hekima ya utakatifu (Mithali 1:23). Alionekana kama nguvu wa Uzima (Mwanzo 1:2), na kama nguvu la kipekee (Isaya 31:3) (Na kwa Kirubi ya wana jeshi kwenye Ezekieli 1:12 cf. vv. 20-21).
Kundi cha Lexicon waliweka roho kwa kundi la mwisho kama kuwa uhai wa kwanza Malaika wa Saa Huo na baadaye Shekina (Isaya 63:10-11; cf. tena maana katika Nehemia 9:20). Kuwaq Roho alitambulika kwa Waisraeli kwanza kama Malaika wa Wakati, ambayo baadaye alikuwa Mesia. Mesia yu pamaja na Roho kama Nguvu wa Mungu. Baadaye alionekana kama Shekina. Lexicon wana chukua unabii huo wa Upatanisho kuwa na mimba wa Roho mtakatifu kama anaye simama kati wa Israeli na karibu kutimisha Ahadi zote za utakatifu (Hagai 2:5; Zekaria 4:6). Maana huu inauleta utakatifu wa wakati na kuwa [Mungu ni] Yupopote (tazama p. 926).
Horo ni Nguvu wa Mungu. Sio ya kwaida au tu Nguvu wa Mungu. Hakuna maana wa Roho Mtakatifu kama mtu wa tatu kwa Utatu uliyo fungika ambaye inaweza kuchukua Omnipresent zote kuleta kuiendelea wa utu na binafsi wa Mungu ambao atalazimiza kwenye mwelekeo wa Mungu kuwa yote kwa yote (1Wakorintho 12:6; 15:28 KJV; Waefeso 4:6). Nguvu ya waliochanguliwa itakuwa nguvu wa Mungu katika Roho Mtakatifu na watakuwa Elohim (Zekaria 12:8) kama Malaika wa Jehova katika vichwa yao, ambao ni Mesia. Watakuwa Israeli na wata tawala kama Mungu.
Kwa Historia, ni la mihumu kuelewa maendeleo wa funzo wa Utatu. Halikuwa lime semwa kuwa Roho Mtakatifu alikuwa mtu ama haikuchukuliwa kama hivyo mpaka kwa Baraza wa Constantinople katika 381 CE.
Roho Mtakatifu haikuingiswa katika funzo kule kwa Baraza wa Nicea (325). Hali kosha kupata fomula kule kwa Constantinople (381). Pekee tu kwa Baraza wa Chalcedon katika 451 ambao funzo iliwekwa. Hakuna ushaidi kuwa mtume au watume wa kwanza waliona Kristo kama sio tu wa kuumbwa na Roho kama sio tu Nguvu wa Mungu mpaka mwisho wa karne ya tatu, peke kwa Modalist na Gnostics.Hili kuwa haya makundi ndio baadaye walitoka na maoni ya Trinitarian na kazi chini ya Theodosius katika 381 na kupitia nguvu wa maelezo ya waliotangulia.
Utatu lazima ya punguze kazi ya Roho Mtakatifu kwa njia ya kukana kitambulisho wa Israeli na wateule. Kimila cha Wagiriki na Philosophia wako zote kwa usiano juu wa epistemology ili kutowa maana kamili ambao inaitajika wa sheria wa bibilia jinsi ilivyo pewa katika mlima Sinai. Muhimu wa mme na misipa wa sehemu ni pande tu wa mwelekeo kwa muhimu wa binafsi hadi tabia wa Mungu ambao wateule wana pata Nguvu.
q