Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[186]
Ukristo na Ulezi wa Mtoto
(Toleo
1.0 20050612-20050612)
Hata kama kuna
fasaha na maoni mengi kuhusu ulezi wa mtoto, karatasi itashughulika washike dua
wa kimsingi wa uhusiano na ulezi katika familia.
Christian
Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Copyright © 2005 Dana Hlburn, Diane Flanagan, ed. by Wade Cox
(Tr. 2009)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na
kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au
kufuta maneno. Jina la
mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe
pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote
atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja
ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Ukristo na Ulezi wa Mtoto
Maoni ya chama
Katika ulimwengu
wa sasa mtu anaweza kupata ushauri na maagizo kuhusu mada ya yote. Kuhusu masa
ya ukusafi wa mtoto maoni yatatoefautiana kwanzia kwa yale ya wazi kabisa hadi
kwa yale. Nchi mbali mbali pia zina tunaini viwango na kanuni ambazo
zinatathmini tabia za kukubalika au zizizokubalika. Kwa vile familia ndio
msingi wa jamii inaonekana wazi sababu ya shetani kufaribu kuharibu kila kiungo
cha familia kutoka kwa njia yote ile.
Bibilia inasema nini kuhusu majukumu ya mwanamme
na mwanamke?
Ni wazi kwamba
neno linasema “si vyema mwanamke kua pake yake! (Mwanzo 2:18). Mwanamke
alilimbwa kwa afili ya mwanamme. Kama mzaidizi wake (Mwanzo 2:18). Wawili hawa
walipaswa kuwa kitu kimoja na kuishi kama kitu kimoja. Mme na bibi walipswa
kuwa mwili mmoja, ndio kusema, wote wawe na amfukuna na wajibu mbalimbali
lakini wameunganishwa pamoja kimawazo na kiroho. Ni kama vile kafika maumbile
yetu miguu na viungo mbali mbali vimeumbwa bora kufanya kazi mbalimbali ndivyo
inavyopaswa kuwa katika ndoa vile.
Tulipewa sifa /
maumbile ya kuoa na kukuza watoto kwa mapenzi ya Mungu (Mwanzo 2:24; 9:1,7; Tim
5:14). Uamusi kama vile ni nani, ni wapi aolewe na ni lini kuzaa watoto
inategemea nafsi ya mahitaji ya mtu binafsi. Watoto ni baraka kutoka kwa Mungu
ambazo ameamua (Zab 127:3-5).
Mfano wa kiroho
Yesu ndiye
kichwa cha binadamu
Kristo alitoa
mfano mzuri kwa kuwa mnyenyekevu na mtiivu kabisa mbele ya Mungu na amri zake.
Wanaume wapaswa kufuata mfano wa Kristo na kuweka maisha yao jinni kwa wake zao
vile Massia. Alilifanyia kanisa. Wakati mwingine hii inaamisha kumtetea mke
hata kama haoni maana ya vitendo hici vyake (mwanmme). Kiongozi wa nyumba
lazima abebe wajibu kwa jinsi wa amri (cf. Kutoka 22:8 lwa wajibu wa sheria).
Baba anashtahili
kuwa chanzo cha uthabiti wa kimwetu
kimaumbile na kiroho kwa familia yako kama vile Kristo hukumu maslahi ya
kimaumbile na kiroho ya uumbaji bibi (kanisa) humpatia bwana yake (Masia) moyo
ili kuleta watoto wengi kwa uokovu
(Waebrania 2:10).
Bwana kama kichwa cha mwanamke
Waefeso 5:24 Vile
kanisa linawajibika kwa Mungu, ndivyo wanawake wanapaswa kuwa kwa waume zao. (RSV).
Mwanamke si
mtumwa wa mwanamme bali ni msaidizi wake (Tazama pia Zaburi 31). Bibi
hudhihirisha uwezo na uwajibikaji pakubwa kwa nyumba yake na watoto wake.
Mwanamke ni mfano wa aina ya kanisa. Tazama karatasi Zaburi 31 (No. 114). Ni
kupitia kwa, mfano wa mama na baba ambapo watoto hujifunza jinsi ya kumwogopa
Mungu na kutii amri zake.
Bibilia inasema
zote tunapswa kuwa na furaha katika Kristo (Waefeso 5:27). Siku zijazo
hatutatoa au kupatiwa katika ndoa (Mat. 22:30). Lakini katika kuvuvuka kwa mara
ya kwanza wote wanaume na wanawake wa
furahia Kristo (Ufunuo 19:7-10). Tikiwa hai tunajifunza baadhi a najaribu na
nguvu za kijinsia kupitia kwa wapenzi wetu.
Watoto katika kuwanyenyekea wazazi wao
Zote tumeumbwa kwa mfano wa Baba (Mwanzo 1:27; 2:7). Tuhamriwa tuendelee na kuonmgoza idadi na kujifanya mpya maumbile ya dunia. Hapa tunaona mtendo wa Mungu ukiwa hata zaidi au ehyer asher ehyer (Kut. 3:14 fn. to Companion Bible; meaning I will be what I will become.)
Kumaanisha
“nitakuwa kile nita kuwa”. Tunapokuwa na watoto na kuwalea kataka unyenyekevu
na kumwogopa tunapanua familia ya Mungu (1 Wakolosai 3:16). Tunazaidi katika
upanuzi na ukuwaji wa familia ya Mungu mpango wa Mungu ikiwa unaendelea wakati
upita.
Sisi sote
Tutakuwa wana wa Mungu (Warumi 8:14; Phil 2:15; 1Yhn 3:1-2).
Jukumu La Baba / Wajibu Wa Baba
Kwa jumla baba
ndiye anayewajibika zaidi katika maswala ya nche ya familia. Mwanamme ndiye kichwa cha familia na
huwakilisha familia katika pana na hata taifa lote.
Kazi ya Baba ni
kiikidhi mahitaji ya kimaumbile ya familia kama vile chakula, nyumba n.k mtu
yeyote asipokidhi mahitaji ya jamaa yake hasa familia yake ya ndani basi amekaidi
uaminifu ni mwovu kuliko asiyeamini (1Tim 5:8) pia “kama mtu hafanyi kazi
hatakula (2 Watesalonika 3:10).
Kazi baba si tu
kakadiria mahitaji ya kimaumbile ya familia bali pia ya kiroho. Ni kupitia kwa
unyenyekevu wake ambapo bibi na watoto wake husema na kujifunza.
Sahihi ya baba ni
muhimu sana. Wanawake na watoto katika familia zinazomwogopa Mungu huhitaji
sahihi na uzaidizi kutoka kwa baba na mme.
1 Yohana 4:18 Hakuna
hovu (5401) kwa upendo lakini upando thabiti (5046) huvunja hovu, kwa sababu
hovu hujumwisha adabu (2851) na mwenye kuogopa (5399) hana upendo thabiti.
“Kundi au familia
yenye hovu haiwezi / haliwezi kudumu kwa musa. Watu huwa na shida sana kukaa au
kufanya kazi katika hovu. Mungu ni Mungu wa upendo (1 Yohana 4:8).
1 Yohana 4:16-17 Na
tumejua na kuamini upendo ambao Mungu anatupenda. Mungu ni upendo na mwenye
kuwa na upendo umethihirika kwetu, tuwe na ujasiri siku ya hukumu ikifika
maanake vile yeye hako pia nasi duniani humu.
Tumekwisha sote
kuwa wazazi wenye upendo. Baba lazima wajitahidi kuwa makini wasiwakere watoto
wao hadi wakasirike.
Waefeso 6:4 na
nyinyi Baba wazazi msiwaudhi watoto wenu (3949); ila walee kiuzazi (3809) na
maagizo (3559) ya Mungu (KJV).
Rathi ni SHD 3949
parogizo kuwa Rathi, kuingilia, au kuwa na hasira.
Lakini inapaswa tuwalete juu na kuwangalia. Kuwaangalia ni paideia (SGD 3809). (See also 2Tim. 3:6; Heb. 12:5,7,8,11.)
Ila tunapaswa kuwalea na kuwatunza
(See also 2 Tim. 3:6 Waeb 12:5,7,8,11.)
1) Mafunzo yote na elimu ya mtoto (ambao huhusiana na ukusaji wa mawazo na mienendo) wakati mwingine hujumuisha amri na madharti, uhafiki na adabu. Pia hujumwisha mafunzo na utunzaji wa mwili.
2) Kwa watu wazima tabia njema hujengwa kwa kurekebisha makosa na kukinga raha
a) Masharti ambayo yanalenga katika kuongeza mema
b) Mungu huwapaka wanaume kwa manufaa yao. (Waebrania 12:5-11)
Jinsi Kristo huturekebisha na kutuelekeza ndivyo mwanamme / Baba anapaswa kwa bibi na watoto wake. Ukweli ni kuwa Bibi ni chombo dhaifu (1 Petro 3:7). Kutegemea umri wa mtoto, anaweza kuwa au kutokuwa na fikira zenye mfano au ueledi uliokamilika kabisa. Wanaume wanapaswa kujitahidi kuwa kama Kristo kafika kushughulika makosa, hitlafu na masuala ya kukuwa kwa bibi na watoto wao.
Nakala za funzo
kuu la Bibilia katika 3559 ni kama ifwatayo.
Ndiposa baadaye
matunda ya amani na wema kwao ambayo yanaliwa hapo. Katika masomo haya tunaona
jinsi Mungu anavyoshughulika nasi na vile tunavyopaswa kishughulika na watoto
wetu.
Nouthesia admonition kutoka nous (3563)
Fikiria, na Thesisi kuweka. Vebi noutheteo (3560) kutoka nous fikiria na a
tithemi 5087 kuweka au kuwekwa kwa fikiria. Nouthesia kwa mazoezi wa maneno wa
kujiendelea ikiwekwa kuwa , lakini pia kwa maneno wa kuabudu, kuangalia kwa
makini, kjeia, paedia (3809) kupewa mawaitha na kuwa na adabu Nouthesia ni neon la katikati ambyae paideia
aitaa kuwa sawa bila, Nouthesia injumika kurekebisha kuwa inavyo takikana, kwa
maneno hayo yote kuna nura ya kutumika.
Wahebrania 12:11
kila adhabu wakati wake haionekani kuwa kitu cha furaha, bali cha huzuni;
lakini baadaye huwaleta wao waliozea nayo matunda ya haki yenye amani.
Wakolosai 3:21 adds “fathers don’t expatriate your children, that they may not lose heart (NASV).
Exasperati ni 2042 kutoka kwa aliyejadiliwa wa 2054 ili ichangamuke (Kuwa na hasira): kuingamiza.
Tena tunaona onyo kwa akina baba dhidi ya kuchochea au kukasirisha mtoto. Kwa bahati mbaya hili likitokea inasababishia kazi ngumu mtoto ya badilidhaji ujuzi finye huu ambao amekuwa na mazoea nao kutoka kwa Babake maishani. Hali hii hata huleta kazi ngumu katika kuelewa upendo wa Mungu kwetu.
Mikataba
ya upatanisho
Jini ya sheria ya Mungu, Baba au mme anaweza kutotilia maanani kiapo ambacho Bibiye au Binti wake ambaye hajaolewa huweka (Heb 30:1-16).
Hii ni aina nyingine ya utetezzi ambao
unatolewa kwa Bibi kupitia kwa mmwe na jukumu la mwanamme kama kichwa cha
nyumba yake. Tazama pia Sheria
na amri ya tana (No. 258).
Jukumu la mama
Akina mama wana
jukumu la kazi ya ndani ya familia nyumbani. Aliumbwa na ni wazi kuwa mzaidizi
wa mmewe kwa bahati mbaya katika jamii za siku hizi wanawake hujifunza jinsi ya
kuwadunisha na kuwaharibia waume zao uwezo wao. Makabiliano dhidi ya sifa za
bwana yanadhiribu saidi. Jukumu la mwanamme na watoto. Badala ya kujifunza
jinsi ya kumtii Mungu na amri zake, watoto hushuhudia ushahidishi ambao ni uchawi (1 Sam 15:23; Deut. 18:10-14). Wakati mwingine wanawake ni kama
hawaoni makali au hadhari ya maneno yao.
Pia wanaume ni hicyo. Wote hawa wanapswa kuwa maakini jinsi wanavyotumia
maneno yao baina yao. Ulimi unaweza kuwa silaha hatari (Jas 3:5-8). Watoto wetu
watafunzwa kupitia mifano yetu.
Kama hatutaki
kuonyesha mfano mbaya, tunahitaji kufanya bidii na kuwaiga wanawake wa nyakati
zilizopita, wanawake watakatifu waliotegemea Mungu na waliojinyenyesha wazi kwa
waume zao (1 Pet 3:5).
Wanawake heri
wajaribu kwa bidii kuwa mke na mama wa Methali 31. Tafadhali pia tazama “Jukumu
la mwanamke mkiristo (No. 62); “Ndoa (No 289) na sheria na amri ya
saba (No. 260). Maagizo yanayotolewa katika Methali 31 ni vigumu kutumikia kuyafwata,
lakini haja kusema ni yenye dhamani kwa mwanamke binafsi na kanisa (cf
makaratasi Methali 31 (No. 114) and also Song of Songs (No. 145).
Wengi siku hizi
hawajui kuwa wana mashahidi muhimu wa watoto wao kupitia kwa mifano yao. Watoto
wadogo hawana mawazo / fikira bila mifano. Wanatazama na baina ao na hujifunza
tabia hivyo watoto kweli wanaweza kuwa vya tabia za wakubwa wao ziwe tabia
mbaya au nzuri.
Nyumba ambayo
imegawanyika haiwezi kusimama (Mat 12:25). Kauli hii huadhiri familia pia.
Watoto kimaumbile hutafuta ukweli na
usalama, wakati mwingine watawauliza wazazi wao wote kila mmoja vyake kuhusu
ruhusa ya kitu Fulani. Wazazi wanapowapatia watoto majibu tofauti inakuwa vigumu
mbali na kutatanisha kwa mtoto. Mtoto anapokua mkubwa hapo atajifunza kufanya
yale aliyoyapata ili kupata chenye anataka. Hata hivyo, kamwe Mungu na amri
zake hawatungiziki (Malaki 3:6; 1 Sam 15:29; Hes 23:19; Jas 1:17).
Kristo alifanya
alichomwona baba akifanya. Tunahitaji
kujitahidi katika ukweli huu uwazi na uhusiano wetu kimaumbile jinsi Kristo na
kanisa wanaonyesha umoja wa kimawazo na vitendo.
Tunahitaji kuwafunza watoto wetu
Tunahitaji
kuwafunza watoto wetu na kuwalea ndani ya uhitaji wa bwana (Deut 4:9,10; Zab
78:1-7).
Tunahitaji
kuwafunza watoto wetu wakati wote:
Deut 11:19 na
mtawaambia (3925) watoto wenu, mkiwangoeleza mkisha ndani ya nyumba zeni na
mnapotembea barabarani na mnapolala na manapoamka (NASV).
SHD 3925
Lamad ku soma, kuwa na uwezo na; kufunza
kujifunza kufundisha, kufunzwa, kufundiswa, kutolwa kwa malmad (4451) ilikuwa
ni muumbo wa ngombe. Lamad inauwezo wa kufunza na elimu. Ugiriki initaji maneno
mawili mathano (1321) kufunza, kufikia kitu ambacho wahebrania wanafanya kwa
malad. Uwezo wote inatokana kwa kuogopa wa Bwana (Kumb. 4:10; 14:23; 17:19;
31:12,13; Pro 1:7) hakuna mwneye anamfundisha au kumpea mawaitha (Isa 40:14) ni
chanzo cha ukweli (cf. NASV nenp muhimu kwa Bibilia).
Methali 1:8 hear my son your father’s instructions and do not forsake your mothers teaching (8451).
SHD 8451 Towrah au Torah. Nomino hii ya
kigiriki hutokana kutoka 3384. Maanake ni utamaduni wa maagizo, masharti mfano
picha (ya binadamu) sheria (takatifu) sheria kimkusanyiko……….. mwishowee Torah
inakuwa sawa na Pentateuch ….hivyo Torah inakuwa zaidi ya sheria au kundi la
sheria, haikuwa ieleweke kama vikwazo ila njia kwafaka ambazo mtu angetumia ili
akika katika kiroho kamili. (NASV
nakala ya somo kuu la Bibilia)
Methali 22:6
funzo (2596) mtoto.
Mithali 22:6 Traini
(2596) Mle motto katika njia impasayo Naye hataicha, hata atakapokuwa mzee.
SHD 2595 chanak
ni kuweka kufundisha, kutiaa bidii
kurekebisha, Kukewaka juu. Hii heb, Verbi inkuwa mara 5. ni kama kupaswa udongo
kwa sjerehe;” Mafunzo wa mapema sana kwa watoto vile imewekw kwa Mthali 22:6.
ni ktiu ya Makundi (NASV kifunguo neon wa kusma kwa Bibilia).
Kupitia kwa
maneno tofauti ya kusomesha na kufunza, tunaona mbinu ikikuwa. Tunahitaji
kuwaunza watoto wetu tangu uchanga wao. Mbwa anaweza kufunzwa na watoto wetu
wana dhamani kubwa kuliko wanyama hicyo wanaweza a wanahitaji kufunzwa kwa
utiivu kwa amri zote za wazazi. Mafunzo tunayowapa watoto wetu wadogo
huwasaidia kukuza roho zao thibiti ili kujizoeza kujizuia na haja yake katika
maisha yao yote. Mtoto anavyokuwa, anahitaji kufunzwa njia za Mungu.
Wazazi hufanya
kazi ya kuwa wathamini wa watoto, walinzi na watetezi wao hadi mtoto awe mtu
mkubwa ambapo anaweza kama hathari za maovu na hatari ambazo mzazi anamkinga
mtoto dhidi yao ni nyingi basi na alama za kimaumbile na kiroho atakazozipata
mtoto akiwa mtu mkubwa zitakuwa chache. Lakini hii haimanishi mtoto akuwe
katika mahali tinye.
Watoto wetu ni
watakatifu na wametakazwa kwetu (1Wak 7:14). Bado tunahitaji kuwa takaza
kupitia kwa maagizo yetu kwa maneno na kwa vitendo. Ni kama ile sherehe ya
kuapishwa ambayo huweka msingi ambapo jingo litengewa juu yako. Kama msingi ni
thabiti jendo litakuwa thabiti. Mungu ametupatia imani yake kutufanye viumbe
bila malipo kwa kutupa watoto; hali sio jukumu ambalo linahitaji kujukuliwa
hivi hivi.
Mtoto anapokuwa
kujifunza kuwa na uthibiti wake mwenyewe kiroho na utiivu huwa msingi wa mswala
magumu saidi ya sheria za Mungu kumduza mtoto au mwari / kijana kwa desturi za
uaminifu kwa Mungu, hivyo wanaweza kufikia kiwango cha kiroho.
Watoto wetu wanastahili
kumzikia na kumwogopa Mungu na kufuta maneno yote ya sheria (Deut 13:12,13; Zab
34:11, Meth 5:1,2; 6:20-24; 23:26). Hawa funzi nyumbani pekee bali pia katika
mkusanyiko ya Mungu (Yos 8:35; Kut 13:8-10; 14-16; Deut 31:12). Kanisa inatenda
kazi kama jamii ya waumini ambao husaidia katika mafuzo ya mtoto kwa maneno au
kwa mifano.
Tukiwasomesha
watoto wetu, familia zetu za ndani na baadaye taifa zitabarikiwa (1 Wahubiri
2:1-4) kama hatuwasomeshi kwa unyenyekevu na kuwangopa Mungu, madhara mabaya
yatafwata (Deut 4:25-28; 8:18-20; 17-19). Kuwa na watoto ni baraka na wajibu
muhimu. Ni wajibu wa wazazi kuwafunza watoto wao kumwogopa Mungu.
Hata kama adabu
ni ya kibibilia na yenye kututajika swala la kuwafunza watoto na linahitajika
ni kuwasifu wanapofanya uamuzi wema na
kamili. Ni ile Mungu anatuambia
kuchagua maisha na tullafunza baraka. Watoto huitaji kupewa moyo na sifa wakati
wote kwa kufanya jambo zuri watu wengi wadogo kwa wakubwa hutafuta na hutaji
upendo na uzikivu. Wakati mwingine watoto watafanya maamuzi mabaya kwa
madhumuni ya kupata majibu kutoka kwa wazazi.
Tusidumishe
dhamani ya kuwasifu watoto wetu na kuzikuza tabia zak kwa kuyasifu maamuzi
mazuri wanayoyafanya. Mungu hutufanyia hivi wazi kwa vile tunapokea baraka zake
kwa kuwa watiivu (Deut 28) na kuelewa kazi kwa sheria zake (Meth 16:3).
Kwa habati mbaya
katika jamii ya siku kupata watu wawili waliongamshwa pamoja katika ndoa
takatifu ni nadra sana. Lakini vitu vyote vinawezekana kwa Mungu. Hivyo hali
yoyote iwayo: ndoa kwa mtu ambaye hajaikoka, thaka au kifo kuna mifano mingi ya
jinsi Mungu anavyowafunza wafana na wasio na baba. Ni jukumu la wazazi wa
wazazi pamoja na kama kusaidia kufika kuwalea watoto ndipo watoto wajidunza juu
ya usawa wa majukumu ya mwanamme ya yale mwanamke.
Tunahitaji kuwapatia adabu watoto wetu
Vile tunahitaji
kuwafunza kuwasomesha na kuwachimisha watoto wetu ndivyo tunavyohitaji
kuwaadhibu kuwaadhibu na kuwarekebisha wakati inabidi.
Methali 13:24 Yule
ambaye hampatii mtoto wake kiboko anamfikia lakini yule ambaye humpenda mtoto
wake humwaadhibu.
Methali 19:18
“Mwadhibu mtoto wako matumaini yangalipo na usitamani mauti yake”.
Methali 22:15
“Ujinga hupatikana ndani ya roho ya mtoto; kiboko kitamtoa kabisa kutoka kwa
roho yake.”
Methali 23:13-16
“Usizuie adabu kutoka kwa mtoto hata kama unamchapa (5221) kiboka (7626) na
kuhamisha roho yake kutoka sheol.”
SDH 5221 ina
maanisha: chapa 1 kupiga kugonga kujinja kuua (Niphal) kupigwa au kugongwa
(Paul) kuoigwa au kugongwa (Hiphil).
Kugonga, kupiga
piga umiza, kofi shangilia pea msukumo.
Kugonga, ua,
jinja (binadamu au wanyama)
Kugonga fihia
famia na kuaribu dhida nyanganya.
Kugonga, adhibu,
toa hukumu, adhabu, aribu d) (Hopal) kugongwa kupatiwa mapigo 2) kudhuriwa 3),
kupigwa 4) kuognwa (vibaya), kuwauwa, kujinjwa.
Kufamiwa na
kutekwa
Kugongwa (na
ugonjwa)
Kuadhiriwa (kwa mimea)
SHD 7626 mti
1- Mti, bakora, tawi, kijimbo
SHD 7626 rodi
1) rodi, wafanyi kazi, ukoa, kwaleki, clubi, Vimu, kabil, shaft (of sehena, darti) (of mchunga mnyama) truncheoni, (Alama ya uongozi) ukoo, kabila.
Hapa tunaona neno “piga” lina maana pan asana kuanzia kugonga hadi kuua na kuteka, pamoja na maana zingine. Vile vile hali hiyo ya upana wa maana iko katika neno mti-kuanzia kuwa tawi au mkuki, hadi kwa ishara ya utawala.
Kutoka na haya, maneno ya “kiebrania” tunajufunza kuwa tunahitaji kuwaadhibu watoto wetu, lakini jinsi ya kuadhibu huko ni uamuzi wa mzazi. Kuna masharti muhimu katika mataifa mengi kama vile ngumi, kupiga kofi ambalo hufanywa mikono ikiwa imefunuliwa dhidi ya ngumi, kupiga kofi ifanywe kupitia kwa nguo. Kupiga uso au kichwa hakutajikani. Ni wazi kwamba kufumia knyaye za stima n.k kama njia ya kuadhibu hukukuliwa kama kudharau haki.
Kutengemea nchi, wale walio katika mshapitali na kulingana na sheria nchi wanapswa kupiga ripoti juu ya mikiwaruzo au mifupa iliyovunjika kwa masharika ya kuwatetea watoto / au na polisi. Tunahitaji kutumia hekima katika kuwaadhibu watoto wetu na tusije tukawa wakali na matumizi ya nguvu.
Vile Mungu hutuadhibu kibinafsi marekebisho yanastahili kuwa ninafsi kwa mazazi na mtoto. Mungu hajawahi kutuadhibu akiwa na hamaki. Vile vile nasi tusiwarekebishe watoto wetu kama tuko na harira kitu cha muhimu ni kuwa mazazi awe na uthibiti kwa hasira zake kabla ya kumwadhibu mwanawe ambaye amepotoka kinidhamu.
Chanzo cha adhabu na matokeo haraka ndio mtoto aone na msimamo katika kuwarekebisha watoto wao na adhabu iliyochelewa inaonekana sio adhabu. Sharti mtoto afahamu na kuelewa ni kipi ilikosea na aelewezwe wazi kinachotakikana pia adhabu inahitaji kuwa sambamba na kiasi. Mtu hawezi kupatia mwenye makosa adhabu kali kwa kila kosa. Pia mtu anahitaji kufikiria maumbile ya mwenye makosa. Watoto wengine wanaweza kusababishwa kulia na kufuta kupitia kwa kuangaliwa kwa macho makili. Watoto wengine wanahitaji kuchapwa bado wengine huitaji kupoteza au kukosa zawadi au mifano ndio wafikiria matokeo ya matendo yao.
Uhusiano ya mtoto
huanzia pale anapozaliwa. Ni juu ya mzazi kuamua ni lini na ni lini mtoto
anapaswa kuaddibiwa akuapo. Mungu alimpatia binadamu na mwenyeji wake ushahifi
wabure wa heshima, pia na iwe kwa watoto wetu. Tunapswa kuwalea, kuwafunza
kuwaelimisha na kuwalekeza katika sheria za Mungu.
Pia lazima
tuwarekebishe kwa hekima. Baada ya marekebisho mtoto anahitaji kujua kuwa bado
mzazi anampenda hata kama angekuwa amefanya chaguo bovu au makosa kama tutaweka
mpango wa Mungu mbele katika mawazo yetu wakati tunashughulika na watoto wetu
tunongeza uwezekano wetu kutekeleza marekebisho katikatifu. Uwezo wa kujifunza
kutokana na marekebisho ni ishara ya hekima (Meth 15:31-33).
Kwa mujibu wa
amri ya Mungu watoto wanawajibika kwa wazazi na wanatengwa na hukumu ya kifo
kama watakuwa wakaidi (Deut 21:18-23). Hukumu ya kifo hupatikana kwa wazazi
wetu. Tazama karatasi Sheria na mari ya tano (No. 258). kama kawaida hakuna
mwenye kuhitaji mauti kwa mtoto hivyo watende inavyostahili.
Wazazi wanapswa
kushughulika na kukimu haja ya watoto wao.
2 Wakorintho
12:14 “Kumbuka mara ya tatu niko tayari kuja kwenu, na sitakuwa mzigo kwenu
kwani ninafaulu sio chenu ila nyinyi; kwa vile watoto hawapaswi. Kufungua mamba
hupewa sehemu mara dufu ya urithi wa wote ule na hivyo anawajibika kutafutia na
kufanyia wazazi wake wakiwa wazee (Deut 21:15-17; 25:31).
Majukumu na wajibu wa watoto
Mungu aliweka
wazi juu kile anataka tutende katika uhusiano wa familia/ amri hii ya tano
inalenga familia (Mk 10:19, Lk 18:20; Waefeso 6:1-3).
Kutoka 20:12
“Waheshimu babako na mamako siku zako zitakuwa nyingi katika nchi ambayo bwana
Mungu wake anakupatia.”
Deut 5:16 “Wahedhimu
baba yako na mama yako, vile Bwana Mungu wako amekuamuru ndio siku zako ziweze
kuwa nyingi na ndio huweze kuishi siku nyingi duniani.”
Amri ya tano
huelesekwa kuwa amri ya kwanza ya ahadi.
Waef 6:1-3 “watoto
waheshimu wazaziwetu katika Mungu kwani huu ni haki. Waheshimu baba na mama
yako ambayo ndio sheria ya kwanza yenye ahadi – ndio uwe vyema nawe na ndi
uwezee kwishi kwa siku nyingi duniani.”
Tunapaswa
kuwaheshimu kuwauezi na kuwakumbuka mama na baba yetu wazee na Mungu (Lev 19:3;
32; Muhubiri 12:1; Math 19:19).
Watoto wanapswa kuwa watiivu
Wakolosai 3:20
watoto kueni watiivu kwa wazazi wenu katika mambo yale, kwani hili humpendeza
bwana. (KJV)
“Watoto waheshimu
wazazi wenu” (Mwanzo 28:7; 47:30).
Ni uamuzi kuwa
mwenywe hekima na kumja Mungu (Meth 10:1; 23:15; 27:11; 29).
Watoto wanaweza
kujifunza kuwa mfano mzuri kwa wengine.
1 Tim 4:12 “Yeyote
asiudharau ujana wako, ila kwa vitendo maneno, upendo, imani na usafi
kujionyesha mfano kwa wale wanaoamini.
Tunaambiwa katika
2 Tim 2:22 tuache tama za ujana na kutauta wema imani upendo na imani, kwa
ushirikiano na wale wanaomtafuta bwana
kutoka roho mtakatifu.
Ahadi kwa watoto kwa uaminifu
Meth 1:3-8 Mtoto
wangu usisahau amri yangu lakini roho yake ieshimu amri zangu; kwa sababu
zitakuongezea siku zingi na maisha maregu na amani. Zingine hakuna na ukweli
sizikupite. Shingoni mwako, ziandike katika jiwe la roho yako! Hivyo utapate
upendo wa heshima. Mwaini BWANA kwa roho yako yote; na usiegemee katika
kujielewa na njia zakozote, mwambie na atakuelekeza njia zao. Usiwe na hekima
kwa macho yako pekee. Mwogope BWANA, na toka kwa dhambi, itakuwa afya kwa ngozi
yako, na kwa mifupa yako.”
Mithali 3:1-8
Mwanangu, usiisahau sheria yangu, bali moyo wako uzisikie amri zangu. Maana zitakuongezea wingi wa siku. Na
miaka ya Uzima, na amani. Rehema na kweli zisifarakane nawe; zifunge shingoni
mwako; Ziandike juu ya kibao cha moyo wako. Ndivyo utakavyopata kibali na akili
nzuri, mbele za Mungu na mbele ya mwana damu. Mtumaini Bwana kwa Moyo wako
wote, wala usizitegemee akili zako mwenyewe; katika njia zako zote mkiri yeye
naye atanyosha mapito yako. Usiwe mwnye hekima machoni pako.
Maisha marefu ni
baraka kwa wale wanaoamini maneno ya Mungu (Meth 4:10, 11, 20-23; 8:32, 33).
Matokeo kwa watoto kwa kutokuwa wattvu
Meth 30:17 Jicho
ambalo lina dharau baba yake na kuyakaidi mama yake tilangolewa na ndege na
ponde na watoto wao watalikula (KJV).
Mariko 7:10-13 Miusa
akasema “waheshimu baba na mama yako; na mwenye amelaaniwa na Babake au mamake
na afe mauti. Lakini akasema kama mtu atakuwa mwaminifu kwa wazazi wake atakuwa
zawadi kubwa kwa wazazi wake na atakuwa huru, na ambaye ataangmia kwake hana
mengi ya kufanya katika baba au mama kufanya kazi ya Mungu hakuna madhara
kupitia mambo ya kidamatimu, ambaye wewe utakuwa umepatia na mengi kama vita
ambavyo tunafanya (KJV).
Kwa upendo kila
mmoja awaheshimu wengine zaidi yake pekee (Phi 2:3). Sisi zote na tujaribu
kutenda majukumu yalivyotokwezwa na Mungu na kusaidia familia ya Mungu kulewa
katika utukufu wa Mungu.
Vile wakati
unapita na kizazi hiki kinapojukuliwa kwa ufugaji wa kazi wacha tufanye kazi
mwangaza ukiwa na tutumie upendo na hekima kifike malezi yake watoto wetu.
James 3:17-18 lakini
hekima ambayo hutoka juu ni takatifu halafu yenye amani na nyenyekevu (na)
rahisi kutendekwa inayojaa huruma na matunda mena, bila ubaguzi na bila
ufanganyifu. Na tunda la wema hupa – dwa kwa amani ya wale wanaotenda amani.
Tuombe watoto
wetu wajufunze kupitia sisi upendo thabiti wa baba kwa kile mmoja. Mungu na
mwana wake na kanisa wanaonyesha hili kwetu. Marekebisho yoyote wanayoyapokea
kutoka kwetu watoto wetu, na yazae matunda ya imani ya wema.
(Matoleo yote
kutoka Strong’s yanatoka kwa nakala ya “Blue Letter” isipokuwa yameelekezwa).
q