Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[CB9]
Nimrodi na Dini ya Uongo
(Toleo 3.0 20030904-20070109-20140223)
Na
Kushi akamzaa Nimrodi naye
akaanza kuwa ntu hodari duniani. Jarida hili limechukua kisa kilichoandikwa
kwenye Sura ya 5 ya kitabu cha Historia ya Biblia Toleo la 1 cha Basil
Wolverton Kilichochapishwa na Idara ya Uchapaji ya Chuo kilichojulikana kama
Ambassador College.
Christian
Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Copyright ©
2003, 2007, 2014
Christian Churches of God, ed. Wade Cox)
(Tr. 2009, rev.
2014)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na
kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au
kufuta maneno. Jina la
mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe
pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote
atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja
ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Nimrodi
na Dini ya Uongo
Miaka mingi
ilipita na watoto wa Nuhu walipata watoto, na watoto wakakua, nao wakapata
watoto. Na kupitia hawa watoto nchi yote
ikaanea watu (Mwanzo 9:19).
Kwa vile miaka
ilipita watu waliongezeka zaidi. Na
wakati huu watu walikuwa na lugha moja n usemi mmoja. Watu waliposafiri pande za mashariki waliona
nchi tambarare katika nchi ya shinari (Mwanzo 11:1-2). Watu walianza kujenga nyumba, maghala na
manyumba makubwa na aina zote za mijengo.
Baada ya muda mufupi miji ilikuwa imetagawanyika kila pahari. Familia zilikuja pamoja na kuishi pamoja kama
walivyofanya mbele ya gharika.
Mawe na miti
yalikuwa machache. Pengine hawangenjenga
mji mkubwa ikiwa hawakufahamu vizuri mchanga wa kweli na bora kwa kujenga
matofali. Mchanga ulitengeneza matofali
na kugaweka kwa moto au ina ili iweze kukauka.
Watu walitumia
matofali badala ya mawe na lami badala ya chokaa (Mwanzo 11:3). Na wakasema, haya na tujijengee mji, na mnara
na kilele chake kifike mbinguni, tujifanyie jina, ili tusipate kutawanyika usoni pa nchi yote.
Hawakupendeza
Mungu. Mungu alijua watu wakikaa pamoja,
hawatapata mazuri alivypumba duniani, kama msituni, milimani, mito ndani ya
ziwa na jangwani. Na tena watu
wangevunja amri ya Mungu aliahidi Nuhu na familia yake watawanyike kote
ulimwenguni.
Wakati huu wa
historia ya mwanadamu pakaishi mtu kwa jina Nimrodi na alikuwa wa ukoo wa motto
wa Nuhu, Ham. Baba yake aliitea Kushi.
Nimrodi, tukiamini
ukweli wa majina ya kihebrania, jina Nimrodi linamaanisha wasi ama shujaa
kutoka kitabu cha (Strong’s Hebrew Dictionary 5248).
Waebrania
walihusisha jina hili na nasi, na kwa hivyo jina lenyewe likawa sawa. Naye Nimrodi aliishi kama jina lake, yaani
akawa muasi.
Kwa hivyo, hili
jina pengine ilitoka Mesopotamia ninurta, ilihusishwa na Mungu wa vita,
aliyeitwa mshale, shujaa hodari na aliyesifika na kuenezwa sana wakati wa
mwisho wa Karne ya pili BCE. Jina lake
lilionekana katika wafalme wa mwisho na katika ufalme wa assuru, na ndiye
alikuwa mfalme wa kwanza kutawala Babeli, akaitwa tukuti-ninurtal (ca.
1246-1206 BCE). Wasomi wamejaribu kusema ya kwamba, huyu mfalme ndiye mwanzo wa
jina ninurta. Kwa hivyo, pengine aliitwa
jina la Nimrodi wa hapa awali, na fundisho la uongo la Ninus, Mungu mwingine wa
kaskasini na alifananishwa na Ninurta.
Wote Ninurta na Ninus walihusishwa pamoja na Nimrodi wa hapa
mwanzo.
Nimrodi alikuwa
mtoto wa kuishi; na Farao Amenophis III (1411-1375) amehusisgwa ba yeye, ni
wasomi wale wapinga Bibilia. Hi ni kwa
maana watoto wa kushi walihama Mesopotamia na kwenda Ethiopia, hata ingawa
wanaonekana kama walitoka kussi, iliyo kaskasini mwa Mesopotamia, na watoto
wengine wa kushi walienda kaskasini zaidi karibu na Indus River basin, iitwayo
sasa Pakistani na ndani mwa India.
Assuru pia
iliitwa nchi ya Nimrodi na akajenga miji bakeli, Ereku na Akadi na Kalne katika
nchi ya shinari na ndiyo jina la awali la sumeria. Na ilihusishwa ninawi na kala ni ikawa mji
mkubwa wa Assuru wakati wa ufalme wa Assuru.
Nchi hii sasa, iko karibu Iraq ya sasa.
Bibilia yasema
Nimrodi alikuwa “Hodari kuwinda wanyama mble za Bwana” kwa hivyo akawa mtu
mwenye nguvu uwezo na kuogofya hapa duniani.
Kwa anjili ya nguvu, hekima na utalamu kama mwindaji hodari wa wanyama
waliovamia watu, alifahamika kama hodari, shujaa na kiongozi wa kabila lao
(Mwanzo 10:8-9) kama wengine wa siku zake walijua sheria za Mungu lakini,
walisichukia sheria hata kuamini, Nimrodi waliamini wakiishi na sheria za Mungu
hatafurahia maisha. Aliishi na sheria
zake na kujaribu kuwafundisha wengine kuishi na kuamini kama wao.
Nimrodi akawa kiongozi wa watu walioishi nchi
ya Shinari. Pengine kuna watu hawakufurahia uongozi wa watu walioishi nchi ya
Shinari. Pengine kuna watu hawakufurahia
wongozi wake, lakini wanyama walipowavamia Nimrodi na wawindaji wake
waliwakinga watu wote. Nimrodi pia
alijenga ukuta kuzunguka mji wote, matendo kama haya yalimfanya kuheshimika
kama kiongozi hodari na kufanya familia nyinyi kuketi chini yake.
Baada ya miaka
michache mji ulienea na kuwa mji mkubwa ilikuwa mji wa kwanza mkubwa kujenga
duniani baada ya yule wa gharika.
Ulikuwa mji wa ajabu, watu alitoka mbali kuja kuitazama mijengo, ukuta
na manyumba. Nchi hii baadaye iliitwa Babylonia na mji Babeli (Mwanzo
10:10). Jina hili Akadi mwanzo na maana
yake ni “Miango kwa Mungu” (Mwanzo 10:10, 11:9, NIV Study Bible).
Na akawa mtu wa
kuogofya sana ulimwenguni. Nguvu zake na
utajiri wake ukakua kama vile Babeli ilikua.
Alitengeneza sheria na kusema, watu wa Babeli hawataongozwa na Mungu wa
Noah tena, mbali wataongozwa na serikali ya binadamu. Nimrodi tena akawaamuru kutii shetani kwa
kuabudu vyombo walivyoona kwa macho yao, kama jua, nyoka na zingine nyingi
(Arumi 1:21-23).
Jina la Mungu wa
Babeli ni Bel na ni kama jina la Mungu Baali au Bwana, jina lingine ni merodach
au “Mungu wa vita” (Yer 50:2) kwa jina la kihibiriania ni Baali au Mungu wa jua
Ashtoreth, Ishtar or Easter na hapa sikukuu Easter ikaitwa. Bel ni Mungu hodari katika miungu mingi. Nimrodi aliheshimika sana kwa kujifanya
kuhani mkuu wa Bel au Baali wa Merodach.
Katika Babei mafundusho ya uongo yalianza na imenea kote karibu kwa kila
dini na hata siku ya leo watu wengi wale wangetamani kuishi vyema, hawajui jia
zao cha kuabudu zinafanana na za kale kwa kuabudu sanamu. Wakristiano siku ya leo wanaungana na Babeli
kwa kuishika siku za Krismas na Ishtar ambayo Yesu mwenyewe alikufa ijumaa na
kufufuka jumapili. Hii imebeba majina
mengi ya mafundisho ya uongo kama ya kaskasini Adonis ya wayunani Orpheus na
Dionysus kati ya wayunani.
Mnara wa Babeli
Hila moja ya
Nimrodi ya kukusanya watu pamoja, ili aweze kuwaongoza ilikuwa ni kujenga mnara
wa ajabu na kuogofya kwa mtu. Ulikuwa mji na mnara wa kustaajabisha kote
duniani na wa Mungu wa jua (Mwanzo 11:5).
Watu wakawa
watumwa wakijaribu kuweka msingi wa Babezi, baadaye mnara ukainuka pole pole
ukiangalia mawingu; Mpango wa Nimrodi ukaendelea vyema na kujenga mnara.
Mungu akaigia kati, aliona Babeli ilikuwa
mwanzo tu ya mwanadamu kujifanyia njia na mambo yake bila Mungu. Wangeachiliwa dunia ingesambaratika na kuishi
kwa miaka elfu sita, muda ambao umeruhushiwa shetani kutawala mwanadamu. Watu wangefanana na miugu na kwa hivyo lazima
wangesimamishwa (Mwanzo 11:6). Tafakali
kungekuwa aje ikiwa Nimrodi alikuwa na silaha za kisasa.
Kwa hivyo kuabudu
kwa uongo kukaingiliwa kati na lugha ikachafuliwa na wakatawanyika kote ulimwenguni kwa sababu mwanadamu alipata
maarifa ya kuji,aliza kabla ya muda
uliowekewa shetani.
Bwana akasema,
tazama watu hawa ni taifa moja, na lugha yao ni moja, na haya ndiyo wanayoanza
kuyafanya, wala sasa hawatasuiliwa neon wanalokusudia kulifanya. Haya, na tushuke huko, tuwachafulie usemi wao
ili wasisikilizane maneno wao kwa wao (Mwanzo 11:5-5). Walianza kuongea lugha tofauti moja na yule
mwingine, kutoshikizana kukaingia, hata wakapigana na mwishowe wakaacha kujenga
yule mnara (Mwanzo 11:7-8). Bwana akawatawanya kutoka huko waende usoni pa nchi
yote; kwa sababu hiyo jina lake likaitwa Babeli, maana hapo ndipo Bwana
aliwachafulia lugha. (SHD 894) katika usemi wa Noah Babeli ni kuchafuliwa
lugha.
Bila kusikizana
familia nyingi zilienda mbali kutafuta riziki nah ii ndiyo ilikuwa mapenzi ya
Mungu mwanzo 10:25 (Kumbukumbu la torati 32:7-8). Njia ya Mungu ya kuwatawanya
kwa kuwachafulia lugha ilikuwa pigo kubwa kwa ufalme wa NImrodi, hata kuishi na
kukaa kwa mwanadamu kukageuka.
Hata ingawa watu
wengi walitawanyika wengine waliachwa huko Babeli na hata wengine kutoka mbari
walitembelea Babeli na watu wakaongozeka katika idadi.
Mpango wa
Nimrodi wa kutawala ulimwengu
Miaka ilipopita
Nimrodi akanjenga miji mingine katika nchi tambarare ya shinari huko
Babeli. Ufalme wake ukaenea huko
Assuru. Watoto wa kushi, baba yao na
ndugu zao wanenea mpaka Asia na Europe na wengine wakaenda mpaka Misiri na
Ethiopia hapa Africa.Kila pahali walipoenea mafundisho ya Nimrodi ya kuabudu
shetani ilienea, kuabudu shetaniakiwa jua ama nyoka, Nimrodi aliamini shetani
ndiye mwenye uwezo tu wa kufungua na kuongeza watu maarifa ya kisiri. Jina NImrodi, wasomi wa Bibilia waligundua ya
kwamba linamaanisha Petero ama Pawtah na lugha ya chaldea Babeli na Kiebrania.
Kwa hakika watu
wengine hawakushugulika na hali ya Nimrodi ya kuabudu sanamu, Hao walionana
vyema wamwabudu Mungu wa kweli na wengine hawakujali lolote.
Shemu ndiye mtoto
wa umri mdogo katika familia ya Nuhu na shemeji mkubwa wa Nimrodi. Shemu kama kuhani mkuu wa Mungu alienda
kinyume na Nimrodi na kukataa habari yake.
Kifo cha Nimrodi
hakijulikana vyema, lakini alikufa.
Shemu aliye kuhani mkuu wa Mungu, aliishi Jerusalemu na hata wafalme
wengine huko wakawa makuhani, kama Melchizedeki ama Adonai-zedeki kumaanisha
Bwana yangu ni mtakatifu. Abrahamu
mwishowe alitoa fungu lake la kumi kwa shemu au mmoja wa makuhani wa
Yerusalemu.
Kifo cha Nimrodi
kiliwashangaza wengi wa wafuasi
wake. Hawakuamini vile Mungu wa jua ama
kahani wao aliweza kufa. Wafuasi wengi
wakapoteza imani na Nimrodi na mpango wake wa dini ya uongo ikaisha nguvu na
kusambaratika.
Naye satani,
akukoma kupigana na Mungu kwa kuwafanya wanadamu kuachana na Mungu wa ukweli,
hila zake ni kufaulu kwa miaka elfu nyingi. Satani alikuwa na mpango wa kuwa na
kanisa la wasioamini Mungu ambaye itakuja kuwa mauurufu san kati ya waamini
katita ulimwengu.
Mke wa Nimrodi
Jina la Bibi wa
Nimrodi ni Ishtar ama Easter. Bibilia
yamtaja kama Ashtoreth. Watu wengi
walimwita Semiramis na Frazer, (The Golden Bough, ii 275). Njia za hila zake kufanywa kusini mwa Uganda.
Jina lingine la Semiramis ni Phrygian Cybele na Assuru Atargati. Jina Atargati ni la kiyunani, kusema Baali ya
Tarsus, huko sasani Assuru. Jina lake
zamani ilikuwa Atheh-Atheh kumaenisha Mungu mwanamke wa Tarsusi. Mafundisho yake ya uongo ilienea mpaka kaskazini
mwa Hieropolis Bambyce karibu na mto Frati (Frazer ibid. v, 162 and n
2,3).
Bwana wake
alipokufa, bibi alinyakua mamlaka na kwa sababu watu wengi walikuwa wamepoteza
matumaini ya Nimrodi kuwa kama Mungu, kama alivyosema. Seminari aliogopa kupoteza mamlaka yake, na
akatafakari hila ya kuondoa ili wamkubali.
Hila ya kuwashtua na miuliza ya kufanya waamini kweli Nimrodi alikuwa
Mungu.
Baadaye seminari
akapata motto wa kiume, Hii ilikuwa njama na hila ya kudanganya wafuasi
wake. Alieneza uvumi ya kwamba motto
hakuwa na baba, lakini alizaliwa kwa mimjiza kutokana na miale ya jua. Alifahamika kama motto wa kurithi ufalme wa
Nimrodi.
Huu undanganyifu
ulikuwa wa hali ya juu wa kuamini, lakini seminari alifaulu kutawala
ufalme. Nimrodi alionekana sana kama
motto wa Mungu. Na kwa ajiri ya juhudi
zake za undanganyifu seminari aliabudiwa kama ndiye mama wa Mungu. Alijuukana kama “Mama Bikira” au malkia wa
mbinguni (Jer 7:18, 44:17-19,25). Ni
yeye mama wa kwanza kuwa wa dini ya uongo.
Mafundisho ya uongo yaliyomfuata ni ya “Cybele ka mama Mungu huko kati
ya mashariki.
Haya yote
yametendeka zaidi ya miaka elfu nne iliyopita.
Ulikuwa mwanzo wa kuabudu sanamu na imekuwa na uwezo kwa karne nyingi
zilizopita, hata siku ya leo, watu wengi wanamwabudu “Malkia wa mbignuni” hata
ingawa hakuna mtu kama huyo.
Shetani amefanya
hila na njama zake, hata mifano ya kuabudu sanamu, siku, mila, mawao na mapokeo
ya zamani na hizi zimechanganywa pamoja katika hali ya kuabudu Mungu siku ya
leo. Haya mambo yamekuwa siri, na
imefanya wengi kutoweza kutii Mungu.
Siku za
wasiojua Mungu zangaliwa kanisani
Mungu ametuonya
kupokea mila za wale wanaoabudu sanamu (Kum. 12:30-31) Viongozi wengi wa kanisa wanatuambia ni
ushenzi kutoshika na kuheshimu 25 Decemba kama sikukuu. Hii siku ilisherekewa na washenzi kwa ajili
ya kuzaliwa kwa motto na malkia wa mbinguni aliyehusishwa na Nimrodi kama Mungu
wa jua.
Seminaris na
wafuasi wake wakasema tarehe 25th Decemba mti ulinenepa kwa siku
moja huko Baberi na Nimrodi angerudi kwa siri tarehe hiyo kila mwaka kuacha
zawadi kwa huyo mti. Huyu ni mwanzo wa
krismasi. Soma karatasi “Kwa nini
tusisherehekee krissimasi. Why we don’t celebrate Christmas (No. CB24).
Siku ingine ya
kusherehekea ulimwenguni ni ya kuzaliwa kwa Ishtar (Seminari). Anasema aliishi kama roho kabla ya gharika,
na aliteremuka kama yai kubwa kutoka mbinguni na kuanguka mto frati. Mungu
aliyekuja kama yai, si mwingine bali ni seminamis.
Easter imeandikwa
katika (KJV) (Mitume 12:4) lakini ni makosa ya watafusiri wa Bibilia, wanyea
ndika neon pasaka. Pasaka ndiyo ya
kipekee Mungu angetaka tuisherehekee, lakini Easter Jumapili ni ya washenzi
(1Cor. 5:7-8), (Angalia karatasi Siku takatifu za Mungu (No. CB22).
Sasa tunaweza
kuona vile Nimrodi na seminamis walivyotumiwa na shetani kuhandaa ulimwengu
kuamini uongo (Ufunuo 12.9) kama vile alivyopelekea hawa kuamini uongo.
Miungu mwingine
kudanganya binadamu ni Mungu Ahis, aliyejulikana kama Mungu mmoja aliye wote
baba na mwana aliyekuja hapa duniani na kuuawa kwa mti na akaingia kusimu siku
ya Ijumaa na Jumapili alifufuka. Hii ni
hadithi ya Easter na si kama ya Kristo ya kufa siku ya pasaka,
Na tena ni mwanzo
wa mafundisho ya utatu wa Mungu. Huu ni
uongo uliopenya duniani.
Hata ingawa
shetani hataweza kundanganya ulimwengu siku zote. Siku zaja, wakati nguvu zake
ztakomeshwa kwa miaka elfu moja (Ufunuo 20:1-3) na mafundisho ya uongo
yatakwisha. Na ulimwengu utafurahia
ukweli uliofichwa machoni mwetu. Vitu ambavyo imefichwa kwetu kwa muda mrefu.
q