Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[176]
Hukumu Ya Kabla Kurejea Kwa Kristo
(Toleo 2.0 19960904-20000712)
Dr. Samuel Bacchiocchi wa chuo kikuu cha Andrews hivi karibuni amefanya uvumbuzi katika siku takatifu na kufikia tamatik kwa lazima yahifadhiwe. Hii kwa hakika imekuwa ikileta tatizo katika kanisa ya SDA kama vile katika alama ya kulipwa kwa dhambi na hukumu ya aliyechaguliwa imeegemea katika maadishi ya Ellen G. White ambayo yana dosari. Sam Bacchiochi hivyo basi ana shida ya kufanya kueleweka kwa masiku takatifu kulingana na jinsi wa SDA wanavyo iona. Kulingana na elimu ya kuanza kwa dunia. Hii kwa hakika inaleta utata kulingana na sababu zifuatazo. Wa Yuda vile vile wana tatizo lilo hilo kwa sababu hawaelewi kurejea kwa Messiah na ujumbe wa kikanisa. Hivyo, kuelewa kwao kwa njia ya hukumu pia ina kasoro. Ni dhahiri hivyo basi kuwa Sam Bacchiochi anapata shida kulingana na hukumu ya kabla ya kurejea kwa Kristo. Amewakilisha swali lifwatalo.
Christian Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Copyright ã 1996, 2000 Wade Cox)
(Tr. 2009)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia
yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Hukumu
Ya Kabla Kurejea Kwa Kristo
Dr. Samuel Bacchiocchi wa chuo kikuu cha
Andrews hivi karibuni amefanya uvumbuzi katika siku takatifu na kufikia tamatik
kwa lazima yahifadhiwe. Hii kwa hakika imekuwa ikileta tatizo katika kanisa ya
SDA kama vile katika alama ya kulipwa kwa dhambi na hukumu ya aliyechaguliwa
imeegemea katika maadishi ya Ellen G. White ambayo yana dosari. Sam Bacchiochi
hivyo basi ana shida ya kufanya kueleweka kwa masiku takatifu kulingana na
jinsi wa SDA wanavyo iona. Kulingana na elimu ya kuanza kwa dunia. Hii kwa
hakika inaleta utata kulingana na sababu zifuatazo. Wa Yuda vile vile wana
tatizo lilo hilo kwa sababu hawaelewi kurejea kwa Messiah na ujumbe wa
kikanisa. Hivyo, kuelewa kwao kwa njia ya hukumu pia ina kasoro. Ni dhahiri
hivyo basi kuwa Sam Bacchiochi anapata shida kulingana na hukumu ya kabla ya
kurejea kwa Kristo. Amewakilisha swali lifwatalo. Ni
ukweli kuwa Sam Bacchiocchi hivi sasa iko na shida kuhusu Hukumu kabla ya
kurejea kwa Kristo. Ame weka mwaswali haya kwa watu:
Swali: pia waadeventista wanafaa kuwazia kuhusu kuongeza kwa kina cha siku ya iliyotengwa ya kuomba msamaha katika hukumu ya masika kabla ya kuja kwa Kristo kwa kujumwisha sherehe ya mwaka mpya?
Sam Bacchiochi anatengemea misemo ya rabbi S.M lehranan inayosema kuwa.
“Bibilia ambayo huwa katika sababu ya kila wangalifu haifanyi hivyo kwa Rosh Hashanah (Mwaka mpya au sherehe ya tarumbeta), hivyo basi kutoka maoni. Tuwe katika imani na mungu . kuwa pamoja na walimu wa Bibilia na siku ya mwsiho ikifika tutakuwa pamoja nay katika makaji yake”.
Maoni kuhusu Walimu wa injili . maoni ya sherehe inapatikana katika Bibilia. Rabbinical wa Yuda haikubali agaono jipya. Matatizo zote katika katitabu. Matatizo ya pili ni ni ya kisabato na kabala 1844 ya sabato kufika katika sheria.
Kuewelewa kwa adventi
katika maadhara ya dini kuhusu hukumu ya kabla kurejea wa Kristo iko katika
mabo ya kihistoria. Hiyo sherehe ni kuwa kristo Aliingia katika santuri kama
vile Usuda ilisema mwaka wa 1844 katika
wakati huo.
Hi tarehe ilikubaliwa na kutokana na sehemu.
Maoni ya kanisa kwa Roma katika ya karne ya pili ni kwamba Kristo ndiye alikuwa malaika 1,260 kuu wa agano la zamani aliyempa Musa sheria. Hayo yapo kwenye Justin Rev 12:6,14 (see Rev 12:1-18) Martyr’s First Apology kwa mkuu wa Ropma kwa miaka ya kanisa 538 siku za Kutokana 1798 unitaria kwa ya kanisa katikati mwa. karne ya pili na viumbe vya wasioanini 1842-44 karne ya tatu na maoni ya Binitaria ya Nisea na kurudi kwa unitana kutoka hadi trinitaria. Mahala katoliki ya kisasa kingeharibiwa kulingana na karne ya pili na tatu kule Roma. Wali fanya makosa haya.
1) Waliamua kuwa Roman empire takatifu ilishiria wakati wa enzi yawa French wengine wakaona wakati huo kuisha 1798. E.G.White, na wengineo alikuwa katika shule hii. Wakatengeneza elimu wa kidini ya kufanya Ushaidi kuwa Agano la kale na Agano la jipya.Walitembea katika Paris n.k.Tarehe ya kurejea kwa kristo ikawekwa kwa mnamo mwaka 1842. Tarehe hizi zikarekebishwa mnamo siku ya pasaka na siku ya kuomba msamaha hadi 1844. Kristohakurejea na hivyo kazi kuachwa kwa waliobaki; kama vile E.G. White kuleta kutoeleweka kwa unabii ya uongo.
Ellen White alifaa kusanya hayo maelezo yote na kuanza upya, kwa kutafuta makosa yaliyoko katika maelezo hayo.Dosari ilikuwa changa. Roman empire takatifu haikuishia 1798 ama mwaka wa 1814 kama vile waadventista wengine wa Church of God walivyo sema. Maoni mengine yalikuwa kuwa Nepoleon ndiyo ilikuwa mwisho wa Roman Empire takatifu na walifaa kutambuapiointi za kwanza ya kipindi hiki cha 1260. Mwanzo wa Roman Empire takatifu pia iliwekwa katika tarehe tofauti zisizo za halali mnamo wakati wa kutengenezwa upya kwa Justinians na tangu Busta Gallorum n.k.
Tatizo ni kwamba Napoleon hakushindwa hadi 1815 katika vita ya Water loo ndipo iliposhindwapia hakuwa mmoja wapo wa Roman Empire takatifu. Hakika ni kuwa aliamua kusimamisha Roman Empire takatifu isifanye 1806 kazi baada ya kushindwa kwake mnamo mwaka wa 1815 ndipo ilipofunguliwa upya kama muungano wa nchi ya ujerumani chini ya uongozi wa Austrian.
Maoni yanayolingana na elimu ya mfululizo ni muhimu maana ya sherehe inapatikana ndani ya bibilia. Sheria ya Wayuda ya kielimu haitambui agano jipya. Hivyo basi kuweko kwa shida. Sehemu ya pili ya shida ni jinsi waadrenhista wanavyoelewa hukumu kabla ya kurejea kwa Kristo kwa mara ya pili.
Kuelewa kwa waadventista kwa imani ya hukumu kabla kurejea kwa Kristo inalazia mawazo yasiyo ya kweli ya kihistoria. Mawazo haya ya uongo ni kwamba Kristo aliingia ndani ya Sunduary kulingana na unabii ambayo inatambua mwaka kama 1944 kama wakati wa tendo hilo.Tarehe hii ilikwekwa kupitia kwa maneno ya uongo.
Mambo ya kwanza yaliyo na kasoro ilikuwa kwamba Roman Empire takatifu ambayo kiunabii ilijumuisha kadri ya miaka 1,260 na nyakati, wakati na nusu wakati kulingana Naufunuo 12:6, 14 (Tazama ufunuo 12:1-18) iliisha na wakati wa enzi ya French.
Waadventista chini ya Muller na White walishirikia kuwa ilianza katika 538 na kuisha 1978 au tarehe kama hizo. Hili lilisababisha kuweko kwa kundi ya wanaosubiri kurejea kwa Kristo kuan 1842-44. Walitoa sababu ya kweli kuwa Roman empire takatifu ni mkondo wa mnyama mwitu na Malaya. Mkondo huo wa waadrentista haikuelewa kwa kina upande kwa kina wa wakati wa empire au alama ya mnyama mwitu ilikuwa ikimaanisha nini. Wakafanya hitilafu zifuatazo.
Muungao ulikuwa hadi mnamo 1950 wakati ambapo ulivunjiwa. Wanajeshi nao ulivunjwa mnamo1972. Matumizi ya mwisho ulikuwa mnamo 1923-1946 katika majengo ya papa (tazama M Martin kuanguka kwa kanisa wa Roma) kwa hivyo hakuna kilichotendeka hadi 1950. Hakuna Mmerikani yeyote alielewa kitu kwani wote walikuwa bongo finyu kuhusu siasa ya bora na kukosa kushiriki katika vita vya Napoleonic. Hakungekuwa na adventi mnamo 19844 kwa kuwa mapatano alikuwa anaendelea na miaka 1260 hazikuwa zimekamilika. Muungano huu ulianza 590CE kutoka kwa amri ya Gregori. Utabiri wa manabii haukuwa wa kweli.
2) Ellen White alijaribu kutetea utabiri wa wanabii isiyokuwa wa kweli kwa kuwa na nafasi ya mbingu katika hekalu. Hapo kimya kimya kwa hali isiyo ya kweli alidai uwa Kristo aliingia kwa santuri mnamo 1844 na hiyo ndiyokumbukumbu alitobiriwa. Adventi kulingana na maoni yao ulikuwa wa kweli kwani kumbukumbu ndio haukutafsiriwa vizuri. Kutoweza kukubaliana na tatizo alizoa utata kwa urafa kwa siku za mwisho kwa nusu karne. Kristo aliingia kwa santuri kwwa hiari yake. Wahibrania 8:1-2 huonyesha Kristo kama padre mkuu na waziri wa santuri ya Tabenkol. Hii ilikuwa hapo karne ya kwanza ni wateule waombe Mungu msamaha. Kumbukumbu hii ilifanyika jumapulu 18 Nisan anma 9 Aprili 30 AD (Tazama karatisi Timing of the Crucifixion and Resurrection (No. 159). Hebrania 9:12 huonyesha kuwa alikuwa ashiingia baada ya kupata ukombozi kwa watu wote. Huu ulikuwa mtazamo wa kanisa ya zamani kwa karibu karne kumi na tisa. Kama Kristo hangeingia kwa santuri mnamo 1844 basi waumini na watakatifu wangekufa kwa hasira mtazamo kuhusu hii santuri alikaa katika mioyo ya waumini kanisani.
3) Kumbukumbu ya 1844 ulifeli kutazama na kueleza utabiri ya wanabii ambapo waumini hawakuelewa. Utabiri huu ulionyesha kuwa adoenti haiwezi kutekelezwa kwa miaka mia moja na tisini. Haukuelewa na Russell pamoja na Jehova’s Witness na kueleza kutofanya kwao kulingana na utabiri wa 1914. utabiri ufanana na kuanguka kwa Egypt (Tazama the fall of Egypt No. 36) utabiri kuhusu kuvunjika kwa mabavu ya Fero. Utabiri huu ulifanya kanisa ya Egypt kutafuta muungano na Roma mnamo 1996 baada ya kuwa vipande viwili tofauti mnamo 451 CE.
Hakuna ya mwanzo ya adventi ulianza kwa kubadilishwa kwa kanisa ya pentecosti 30CE. Hukumu hii ulianza kutoka advensti ya kwanza na si ya pili.
Kanisa hukuja kwa hakimi kutoka kwa ubatiso wakati umewadia kwa hukumu na kuanzia na waumini wa Mungu na ikianzia na sisi basi hakueji kwa wale ambao hawaheshimu Mungu (1 Pet 1:17). Hukumu ulianza na waumini kwa karne ya kwanza CE kabla Peter kuandika.
Kwa njia hiyo tumeteuliwa na kuitwa naye Kristo shetani tayari amehukumiwa. Hukumu Yetu ni sasa hivi. Dunia naye itahukumiwa siku ya mwisho.
Sherehe ya tarumbeta na “atoment” hawana huruma kwa hukumu. Wanahunima kwa wanaongundua na kutubu dhambi zao. Tarumbeta kuashiria sauti kwa kuja kwa masihi na kuanguka kwa utawala ndogo ndogo za dunia. Kuna tarumbeta mbili (Num. 10:1). Hayo yalitabiriwa siyo tu kwa ufunuo na pia Joshua huko Yeriko. (Tazama karatasi: The Fall of Jericho (No.142) na pia Esta (Tazama Commentary of Esther (No. 63)).
Atomenti hakuanga na muhimu katika mabadiliko ya waumini ya kwanza ni Padre masihi ambaye hatahulishwa na mavazi yake nguo. Ya pili ni mfalme masihi ambaye hatumbulishwa na utawala wa padre mkuu. Mbuzi ya azazel huashiria shetan ili utawala wa masihi uamilike.
Kulieleweka kuwa haya mifano iliashiria masihi wawili, masihi wa Aaron na masihi wa Israeli na hawa wote alikuwa masihi mmoja. Hii ilieleweka kabla ya wakati wa Kristo nah ii maelewano imerekodiwa kwa DSS kwa Damascus Rule VII na zingine ndogo ndogo kutoka kwa cave IV (see Vermes, The Dead Sea Scrolls in English for explanation).
Maana ni kuwa padre masihi alitamani na kuombana msamaha Israeli kwa kusubishwa, kufufuka kwa wafu na hata adventi ama matayarisho.
Hukumu yetu sasa. Mkorintho alitiwa mikononi mwa wakombozi ili maisha yake ukombolewe (1Cor. 5:5). Alitubu dhambi zake na kurengeshwa kanisani. Dunia hakukumwi leo lakini itahukumiwa baada ya karne na siku kuu ambayo huashina Shujaa mkuu Nyeupe wahukumu Rev 20:11ff. ufunuo wa utawala wa wokovu. Hii ndio maana siku ya mwisho ni sherehe kivyake. Hii huashiria matayarisho kwa kuja kwa Mungu duniani baada ya utawala wa mwanawe Yesu Kristo kama masihi mfalme na watume na watakatifu kwa muda ma miaka elfu moja. Kufufuka mara ya pili ni ufufko kwa hukumu na s kama vile Kerekebisha (Krisis) kuangashwa kama KJV iko nayo(Jn 5:29). Mtazamo wa dunia ni kuwa kawawezi kuelza jinsia ya Mungu (Tazama karatasi The Resurrection of the Dead (No. 143)).
E.G. White aliunga mtazamo wa Yerimi kuhusu mbinguni ya kame ambayo alipuziliwa mbali na makanisa waliotazama sabato kwa karne kumi na saba. Utabiri uliofeli ulimfanya Hellen kufanya hii kwani hakuwa anatoa maana yeyote nzuri. Adventu ndio ilimfanya mtazamo wake kuangushwa na kuachwa kabisa na waumini. Maandiko yake kuhusu Millennium ni muhimu sana. Hiyo ndio somo ya karatasi nyingine.
Mtu hawezi kutia divai kwa ngozi ambayo imezeeka. Zaburi 16:3 hakuna kuwa tukimpa Mungu matendo yetu na hata maisha yetu basi atashungulikia mafikira yetu na si kwingine vile. Kama Mungu amefungwa macho yetu ili tusherekeaa basi lazima tazame sherehe na maelwano yetu yataongezeka.
q