Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

[CB145]

 

 

 

Kazi ya Elisha Yaendelea

 

(Toleo 1.0 20090110-20090110)

 

Elisha anaendelea kutumia Vipawa Wa Roho Wa Mungu Kufanya Jambo kuu. Tuta ona kuwa kua muda wa Jambo kumi na Sita Ilifnyawa na Elisha. Hiki Karatasi imechukuliwa kuta kwa fungo 126-128, Volume V of The Bible Story by Basil Wolverton, published by Ambassador College Press.

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

 

 

(Copyright ă  2009 Christian Churches of God, ed. Wade Cox)

(Tr. 2009)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 

 


Kazi Ya Elisha Yaendelea


 

Tunaendelea hapa kutoka kwa karatasi Elisha Succeeds Elijah (No. CB144).

 

Jambo la mwanaseria aliye mgonjwa

 

Kwenye ardhi ya seria msichana wa irali, aliyedakiwa na kikundi cha wanaseria iligeuzwa kwa mke wa Naaman, mkuu wa majeshi wa seria. Naaman aliheshimiwa sana kwa uwezo wake, heshima na umakini wake. Hizi zote hazikuonekana kwa sababu ya kuwa na ugonjwa wa kuppoza (2Wafalme 5:1-2).

 

Alisumbuka sana kufahamu kuwa kiongozi kama yeye angekuwa na magonjwa yasoyoeleweka, mwanaisraeli ambaye ni msahidizi kwa nyumba alimwambia mwajiri wake wa kike kuwa mumewe amwendee mwanamume Israeli ambaye angemtibu Naaman kutokana na ugonjwa huo wa kupooza.

 

“Mwanaume huyo ambaye jinake ni Elisha ameyatenda kadhaa sababu ako karibu na mungu”. Msichana huyo alinena. akimuuliza mungu wetu kumponyesha mume wako, itatendeka!” (v.3).

 

“Naaman kwa Elisha,” mfalme alisema. Nitakupatia barua kwa mfalme wa Israeli kueleza uwepo wako kwa hiyo nchi.

 

Akiwa na watumishi wake, Naaman alitoka kwenda Samaria, zawadi kumi za shaba 6,000 za dhahabu na aina kumi za nguo (vv. 4-5).

 

Wakati Jehoram, mfalme wa Israeli soma boma kutoka kwa mfalme wa siria na kurama kamba zake kwa hasira na kusema, “mfalme wa Siria anaazisha vita nami. Ananitumia mwenye ugonjwa wa kupooza kuponyeshwa! Nafikiria mimi ni mungu ya kuwa na nguvu ya kuchukua na kupeana maisha?” (vv. 6-7).

 

Wakati Elisha aliyahafamu kuhusu tabia yake na kutuma neno kwa Jehoram akimwomba mfalme wa Israeli kumtuma Naaman kwake.

 

“Hili ni jambo ambalo mimi nafaa kulitumia boma ya Elisha ilisema. “Hakuna sababu ya kuathiriwa. Mfalme wa siria hakujaribu kutengeneza vita. Kiongozi wao anafaa kujua kuna Mungu mmoja wa ukweli na kuna mfanyikazi wa Mungu kule Israeli.

 

Sasa Naaman alienda na farasi na msafara wake na kuzimama kwa mlango penye mtabiri aliishi Elisha alimtuma mtume kumwambia. Enda ukajioshe mara saba kwenye mito Yordani na utasafishwa (vv. 8-9).

 

Lakini Naaman akakashirkika na kusema. Nadhani angenijia na kuita Mungu wake kutenda miujiza, na kupeperusha mkono penye kuna mapozi na kuponya. Ni fikira gani inayojengwa nikiambiwa niende nikajitumbukize kwenye mto wa Yordani mara saba? Mito za kwetu pia zina maji safi na inaonekana kuliko maji yoyote ya Waisraeli? Naweza kujiamulia kujitumbukiza kwenye mito hayo na kusafoshwa? Aligeuka na kurudi akiwa amedhika sana (vv. 10-12).

 

Kwa wakati huo Naaman aliambiwa na wafanyikazi wake kuwa ingekuwa vyema akitii maelekezo alizoambiwa.

 

Dhibitisho La Mungu

 

Ulimtarajia Elisha kutenda kitu kuu ambacho ni cha kuigiza kwa ajili yako, “walimkumbusha badala, alituma neno kwako kufanya kitu rahisi na chepesi”. Ilikuwa rahisi hadi ukaidharau. Kama umepewa maagizo kutenda jambo ngumu na kusichoeleweka sasa ungejiona kama uko muhimu ungejishawishi kutenda?”

 

Kwa hivyo Naaman alijiweka katika maji mara saba kama vile alivyo ambiwa na akatembea nnje ya maji na kugundua kuwa mwiliwake imerudi kama kawaida na amekuwa msafi kama mtoto mchanga! (vv.13-14).

 

Hapa tunaona nambari saba kama mfano uliojitosheleza. Inayotumika tena, kujiosha kwenye maji chafu na kutoka ukiwa msafi na kuponyeshwa ilionyesha hakuna uhusiano kati ya kusafisha na kuosha inayojulikana. Kwa kweli ilikuwa dhibitisho kupitia mtume wake na siyo nguvu ya mitume iliyomponyesha Naaman.

 

Naanam na wafanyikazi wake walirudi kwa mtumishi wa mungu na kumwambia Elisha. Hii inanidhibitisha kwamba huyo Mungu wako ndiye wa ukweli hapa duniani. Wengine wanaotiwa Miungu waliunganishwa hawangeweza kutenda miujiza kama hii! Sasa tafadhali kubali matoleo kutoka kwa mtumishi wako! (v 15).

 

“Sitachukua chochote” mtume alisema. Ingawa naaman alimshawishi, Elisha aliendelea kukataa.

 

Naaman akasema “Nikubalie kuchukua wale punda zangu mbili kubeba udongo wa Israeli. Kutokana nayo nitaitengeneza altari ya kumfanyia matolea” (vv. 16-17).

 

Zamani watu waliikiri kwamba Mungu angeabudiwa kwenye udongo wan chi ambapo alidhinishwa. Sasa Naaman alitaka kuchukua udongo wa Israeli ili awe na mahali kule Damaskas kumwanudu Mungu wa Israeli (see fn. to v. 17 in NIV Study Bible).

 

“Kutoka sasa hadi mwisho nitamwabudu Mungu mmoja wa ukweli” Naaman alijibu kutakuwa na wakati ambapo wenye miaka mingi na wafalme wengine watanishawishi niandamane ano kunafanyiwa mchomo wa Rimmo kwa Mungu wa jina ya angani. Naamani kuwa Mungu atamsamehe nikijitokeza kuabudu nikiinama na mfalme mbele ya altari.”

 

“Mungu kwa amani” Elisha alisema (vv. 18-19). Ni vizuri kufahamu kwamba Elisha hakusema chochote na shida za Naaman zijazo za kumwanamia miungu ya wasioamini.

 

Upendo Wa Vitu Vya Dunia Vinavyomilikiwa

 

Baada ya mwanaziria kuenda, mtumishi wa Elisha Gahasi aliyesikia mazungumzo kati ya mkuu wake na Naaman, aliambia kuwa mkuu wake alikuwa chepesi kwa Naaman kwa kukatalia alicholeta kama zawadi. Sasa alijaribu kuwafuata na kujipatia kitu kuvyake.

 

Naaman na wenzake walishaenda maili chache walipoona mtu akikimbia akiwaelekea. Naaman alisimama na msafewa na kutembea nyuma kuku.

 

“Kuna kitu mbaya?” Naaman alimliza.

 

“Kila kitu kiko shwari” Gehazi alijibu. “Mkuu amenituma kusema “watu wawili kutoka kwenye kambi ya mitume kutoka kwa mlima wa Ephraim wamenijia. tafadhali wape kipaja cha fedeha na vifungu mbili vya nguo.”

 

Naikambisha wakati huu kusaidia. Naaman alisema “chukua vipaji viwili vya fedha kwa mwajiri wako.”Alizifunga kwan mifuko miwili na vifumishi mbili vya nguo na kumpa wafanyikazi wake waliozibeba mbele ya Gehazi. Walipofika kwa milima, gehazi alivichukua hivyo vitu kutoka kwa mtumishi na kuviweka kwa vyumba thalafu wakatoka (vv. 20-24).

 

Gehazi alimdanganya Naaman ili alishisha tama yake. Angetaka kupata faida kwenye uso wa Mungu ulifanyiwa mtu kupitia mtume wa mungu. Lakini Mungu hajachekelewa tutakavyojulishwa.

 

Mwongo Agunduliwa

 

Wakati Geheza alienda kwa mwajiri wakeb, aliulizwa siku hiyo?

 

“Sikuenda popote” mtumishi akajibu.

 

“Sikuenda nawe kwa roho wakati yule mtu alishuka chini kwa msafara kukut6ana nawe? Elisha alimwambia,” Hii ni wakati wa kuchukua pesa au kukubali zawadi? kwa hivyo, ugonjwa wa Naaman utakuandama na wale wote watakaokufuata milele.”

 

Gehazi alipotoka kwa Elisha alikuwa ugojwa huo akiwa mweupe kama theluji.

 

Kupona kwa Naaman ulikuwa miujiza ya kumi kupitia mtume ya kumi na moja ilikuwa kutadilisha ugojwa wa kupooza kutoka kwa mwanasiria kadi kwa Gehazi (vv. 25-27).

 

Kichwa Cha Shoka Kupaa Juu Ya Maji.

 

Miujiza ya kumi na mbili ilitendeka baadaye kwa wakati chache. Shule ya mitume mbele ya Jeriko ilikuwa na watu wengi penye waliishi ambapo wanafunzi walimshauri Elisha kuwa wakati mtu yao ilioko mto yordsani na kujenga nyumba. Elisha alikubali, na kuenda nao.

 

Wakati mmoja wao alikata mti karibu na mtu, kichwa cha shoka ulijitokeza kutoka kw3a kipini na kuanguka kwa maji.

 

“Haieleweki! nimepoteza shoka iliyoombwa” Mtu huyo alilia.

 

kwa wakati huo kichwab cha shoka kilikuwa ghali mno. Akiipoteza na hawezi kuleta lingine na mwenyewe angepiga bei na hilo shoka.

 

Elisha alienda kwa aliye na shida na kuuliza penye shoka lilianguka kwa mto. Aluipomwonyesha mahali, Elisha alikata kijiti na kuitupa kwa maji penye shoka lilianguka na kuifanya lipaae juu ya maji. Elisha alimwambia huyo mtu aiinue juu na akafanya vivyo hivyo (2 Wafalme 6:1-7).

 

Mwanasiria Aliye Kipofu

 

Katika wakati huu wanajeshi wa siria wahuliza mazingirio kisichoeleweka kwenye pahali pengine ya Israeli Lakini kazi hiyo ilikubwa nma shida ya kushindwa wanaisrali walifahamu mapema penye mazingirio ungefanywa. hii ilitendeka hadi mfalme wa siria aligundua na kuudhika. Baadaye akaita mkutano wa maafisa. Wkke (vv. 8-11).

 

“Mmoja wenu hapa anaendeza jambo kwa hazidi!” Alipiga kelele.

 

“Hakuna aliye msaliti, afisa mmoja akanena

“lakini lazima kuwa na anayewaeleza na huyo lazima awe Elisha, mtume wa Israeli. Badala ya kuwa mfanyikazi wa miujiza, na uwezo wa kuufahamu mambo yaliyofichika. Anaweza hata kijua unachosema kisiri kwenya chemba cha kulala. Bila tashwisha anajua mipango yenu ya vita na kumpa jambo mfalme wa Israeli” (v.12).

 

“Enda ukotafute pale aliioko;” mfalme alisema “ili nimshike.”

 

Wanasiria walikuwa kwa njia mwafaka kupata chanzo cha shida yao. Kila wakati wanaochagua mahali kuipiga, Mungu anamjulisha Elisha, halafu Elisha anamshawishi mfalme wa Israeli na wanajeshi wa Israeli wanakimbilia kuizuia au kuzuia udakizi.

 

Mapema vile iliyoripotiwa kuwa mtumishi wa Mungu alikuwa akiishi Dothau, mfalme wa siria aliwatoa wanajeshi wake wote kwa eneo hilo kumshika mtu hiyo Elisha.

 

Wakati mtumishi mtu wa Mungu aliamka na kuenda nje asubuhi na mapema, wanajeshi na msafara walisha zingiria eneo la mji huo.

 

“Ni kinachotujia?” Alijiuliza. “Usiwe na waziwazi” Elisha alisema. “Wale maelufu wanaweza jaribu kutuumiza na kuna wengine elfu moja wengi watakaotusaidia” (13-16).

 

Elisha aliomba “Ee Mungu, fungua macho ya hawa watoto ili watazame yasionekane kwa urahisi kwa wale ambao hawakuelewi,” Elisha aliuliza Mungu.

 

Mungu alifungua macho ya mfanyikazi na akatazame na kuona mlima umejaa farasi na msafara wa moto zote ikimzunguka Elisha. (v.17)

 

Elisha Awazingira Wanajeshi

 

Vile mahazidi walimjia Elisha alimwomba Mungu,”Uwaweke vipofu” Maombi ya Elisha ilijibiwa kwa haraka.

 

Elisha aliwambia, “hii siyo njia au mji. Nifuate na nitrawaelekeza kwa yule mtu mnayemtaka. Aliwapeleka kule Samaria.

 

“Mungu fungua macho watu hawa ili waone”o Elisha aliomba.

 

Mungu alifungua macho yao na wanaziria waligunua kluwa wako samaria. Vile alipoilinda hakikisho ya kuwaongoza kwake, alifanya yale aliyosema atayafuata. Alichagua mahali pengine-Samariav siyo Dothan- kujulikana kwao (vv. 18-20).

 

Mfalme wa Israeli alifurahishwa na jambo hili na kumuuliza Elisha kamab anaweza kuwauwa wote. “La” mtume alijibu, “unaweza kuwauwa wale uliowashika na silaha zako? Wape chakula na maji ili wale nab kunywa na wahidi kwa mkuu wao.”

 

Mfalme wa Israeli aliwatenezea chakula na baada ya kula na kunywa, akawahima kwa njia zao na wanasiri wakakomesha kuwasumbua wanaisraeli. (vv. 21-23)

 

Ingawa, baada ya mwaka moja kupita, Benhadad mfalme wa siria akaanza kuubadili fikira zake. Ahamia kujaribu mara nyingine kuwapiga wanaisraeli-lakini siyo na msafara mdogo. kwa miezi aliwafunza kambi kubwa ya wanajeshi ambao aliwatoa kutoka kwa watu wao. Wanajeshi wake walitoka kwa ghafla na kuenda kuishi magharibi kuizingira samaria kabla ya wanaisraeli kufika kuwazuia.

 

Kitu kama hicho kikawa cha kushugulikiwa ndani ya mji mkuu wa Israeli, samaria, chakula hakuwa na watu walikula punda, ingawa zao si mzuri kuwa chakula. (wana levi 11) Mungu aliwakataza kukikula chakula cha mchana kiumbe kisicho safi. Hata pahali mbaya ya mnyama hiyo ilinumuhiwa kwa chochote kilichukuwa sawa na pesa nyingi kama dolla na pauni. Vitumbuizi ambayo hyavingetumiwa kwa chakula viliuliza kwa beui sawa ya kuchekesha kila siku shida ya kiliendelea kuwa mbaya. (2Wafalme 6:24-25).

 

Asubuhi mmoja Jehoram, mfalnme wa Israeli alikuwa akitembea katika ukuta wa samaria wakati mwanamke mmoja aliomba na kulilia wakati mwanamke mmoja aliomba na kulilia usaidizi.

 

“Kama Mungu hajakusaidia ni vipi vitakusaidia?”

 

mfalme aliuliza. alichosheka kwa kusikia mapingano akaongeza. Pengine ingekuwa ujinga nikikuuliza kama shida yako inahuziana na chakula. Una shida gani?

 

“Singekuwa na njaa kama mwanamke mwingine angeshikilia makubaliano tuliyoyafikia. “Mwanamke huyo alimwambia Jehoram, kila bmmoja wetu alikuwa na mtoto wa kiume, na tukakubaliana kama ningemtengeneza mwanangu kutuzuia kutokana na njaa angefanya vivyo hivyo siku iliyofuata. Lakini hakufanya hivyo badala,n akamficha” (vv. 26-29).

 

Mfalmehangeamini kwamba kukosekana kwa chakula kwa mji kungewaweka watu wawe wanakula unyama yao. Hiki ni kitu ambacho Mungu aliyesema kitambo ingetendeka kwa waisraeli kwa kila mara wakimwabudu Mungu mwingine. (kumb la Torati 28:15, 47-53)

 

Wengi wa Samaria walimwabudu Mungu. Lakini kutokana na fikira za Jehoram shida hili lilitokana na Elisha. Mfalme alimpelekea lawama sababu mtume wa Mungu hajapeleka miujiza yoyote kuwaokoa wanamji Jehoram aliudhika na kile alichoambiwa na mwanamke yule na akararua nguo zake.

 

Alivyoendelea kwenye ukuta watu walitazama na kushtukia kuona akiwa kwa matambara, mfano ya maombolezi. walifahamu kwamba mfalme alijua kilichokuwa na walinyolezeka. (2Wafalme 6:30)

 

Lakini Jehoram alikuwa na kitu kingine kwa akili yake. “Sababu ameiacha shetani kama hicho kujitokeza kwenye mji wake mkuu, Nataka Elisha auwawe” Jehoram alisema.

 

Elisha alikuwa akiishi kule Samaria na 8mfalme alikuwa ameanza kazi mbaya. Mtume alikuwa akikutana na wakuu wengine anakoishi.

 

“Naujua mpango wa kuchukua maisha yangu.” Elisha aliwambia, “Mfalme, ambaye ni mwanamme muuwaji kumtuma mtu akate kichwa changu! Usimwambie aingie. shiuka mlangon kwa wakati wowote! usimwambie aingie. Shika mlango! si hiyo sauti ya mguu wa mkuu wake nyuma yake?”

 

Baada ya kumtuma wanajeshi na mkataji njiani kwa Elisha. Jehoram aliamua kwamba alitoa agizo mbaya na akageuka kwa haraka na kuwafuata haraka kuzuia ukataji.

 

Wakati Elisha bado alikuwa akiongea nao mfalme aliingia na kusema “shida hii imetoka kwa Mungu. Kwa nini nimengojea Mungu hivi? (vv. 31-33)

 

Elisha alisema, “Hii ndiyo kitu ambacho Mungu anasema: chakula kingi kutakuwA wakati siku nyingine kitafuata. kutakuwa na wingi wake ambapo watu watauza kile wasichokihitaji kwa bei za chini” (2Wafalme 7:1).

 

Mmoja wa maafisa wa mfalme alisema, “tunafaa kuumini kuwa Mungu ataufungua mlango wa binguni na kumwaga chakula kwa Samaria?”

 

Utaiamini baada ya kuona kisho ikitendeka. Mungu hadurahishwi bawe kwa kutokuwa na imana kwake kwa kupeana chakula kwa Wasamaria. Hatapata chochote kutoka kwake” (v. 2).

 

Wenye Ugonjwa Wa Kuppoza Na Ujumbe

 

Bila kujua kwamba ugonjwa wao ungeenezwa kwa wengine, wenye ugonjwa wa kupooza hakukubaliwa kuishi kwenye mji wa Israeli. Wenye ugonjwa huo waliishi penye imezingirwa na kuomba kwa wale wanaopita. Ilikuwa hivi kwa lango kuu ya Samaria. Wenye ugonjwa huo wanine waliishi hapo kwa wakati mwingine. Na mji ikiindwa na lango kuzibiwa lakini walijimudu kuishi. Jioni baada ya Elisha kukutana na kifo, wenye mapozi waliamin kuende kwenye maombi ya Wanasiria na kwamba chakula. Walitoa sababu kwamba wakimwawa na hao, ingewatoa kwenye shida ya kufariki kwa njaa kwa siku mbili zinazofuata (vv. 3-4).

 

Ingawa, kwenye kambi ya masahibu iliyozunguka Samaria kitu kischoeleweka olitendeka. Wanaosiria walifikiri kungekuwa na ngurumo za radi kama sauti za kwato za farasi mingi na kukimbia kwa miguu ya msafiri ya magari. Sauti ilikuwa kwa sauti na sauti kuu.

 

“Wanaisraeli waliwaita wanajeshi wa watuti kutoka kwa Asia ndogo na mahasibu wa Misri kutuzingira!” Ndio fikira za uogovu iliwafikia Wanasiria.

 

Wakati sauti iliwekwa kwenye akili na Mung alianza kuwa kuu inayoanya huo kuwa karibu, Wanasiria walianza kutetemeka. Walitoka kwa kambi kwa miguu yao kuwaacha farasi yao (vv. 5-7).

 

Baadaye usiku, huo wenye ngonjwa wa kupooza walipofika kwenye mwish wa kambi na kuingia ndani ya kapera. Walikula na kunywa na kuenda na fedha, dhahabu na nguo na kuenda na kusificha. Walimchi na kuingia kwenye kapera na kuchukua vitu kutoka kwao na kuvificha pia.

 

Halafu wakaambiana “badala ya kuchukua vitu vingi tunafaa kuvuripoti hivi kwa Wanasiria wameenda kabla yao kugundua. Mfalme akigundua hivi kutoka kwetu, anaweza kutupa zawadi.

 

Walipata msakilizano na wachunga lango kuu na kuwambia kuwa Wanasiria wamepotea wakicha nyumba vitu wanavyomiliki kama mifugo, farasi na punda.

 

Walinda lango walieneza jambo hilo na ikamfikia mfalme. Ingawa mfalme ameamini kwamba ingekuwa mipango ya kuwatoa Wanaisraeli nje ili mahasibu wanaojificha kila mahali, wanaweza kuzingira na kuingia kwa kupitia lango kuu (vv. 8-12).

 

Mmoja wa maafisa tuchukue farasi tano bora zilizobakia na tuzunguke nayo nchi, kama hatutamdi kwa masaa machache, utajua uahazidi ako karibu sana.

 

Walichagua msafara mbili na farasi zao na mfalme akawatuma baada ye wanajesheji wa Siria.

 

kwa haraka wakapata nguo, silaha na vitu vingine vilivyotapakaa kwenye ardhi. Hii ilikuwa dhibitisho tosha kwamba watu wa Siria walishaondoka kuelekea nchi yao ya nyumbani. Walindikia kwamba mahasidi wao walishaondoka Israeli na hakueleweka kwa nini waliyatenda haya kwa haraka. Wajumbe walirudi kwa mfalme na kumpa ripoti. Halafu watu wakatoka nje na kuvamia kambi ya watu wa siria (vv. 13-16).

 

Sasa mfalme aliweka afisa aliyelinda lango kuu na vile watu walikimbilia vitu ambavyo waliachwa na Wanasiria, aliangushwa chini na kukanyagwa hadi akafariki. Huyu ndiye mtu ambaye hakuamini neno la Mungu siku iliyotangulia, sasa tunaona dhibitisho la utabiri wa Elisha kwa afisa huyu hangekula chakula ambacho Mungu atateta.

 

Wanaisraeli walikimbilia kambi ya wanasiria na kuchukua kila kitu, kwa dakika chache vitu vyote vilivyomilikiwa na mahasidi wao kujumuisha mifugo zilichukuliwa na wanasamaria, kulikuwa na sherehe kubwa kwa mji huo. Watu waliviuza vitu vya watu nwa Siria. Wale ambao hawangeweza kunyakua vitu kwenye kambi, wangevinunua kwa bei rahisi kutoka kwa wale walionyakua. utabiri wa Elisha umekuwa kweli kwamba chakula kingi ingewafikia wanasamari kwa siku moja (vv. 17-20).

 

Makao Ya Mwanamke Wa Shunam

 

Kwa siku chache watu wa Samaria wangeweza kuwahurumia watu kuliko watu wengi wa Israeli. Mimea hayangetosha kwa wakati mrefu. Wanaisraeli hawakuwa wa chakula cha kutosha na ihendelea kwa miaka saba kabla ya mvua mingi na mimea kadhaa ilionekana tena kwa ardhi hiyo.

 

Elisha alijua kwamba janga la njaa ingechumu. Alikwambia wafuasi wake kwamba waenda kwa nchi jirani kuishi hadi ukame uishe. Miongini mwao kungekuwa na mwanamke kutoka Shanan ambaye mwanawe wa kiiue alifariki na ambaye Mungu kupitia mitume alizaidia maisha.

 

Kuacha nyumbani kwao na vitu vyake, mwanamke huyo na familia yake walienda nchi ya Filistia. Nyakati hizo Wafilistia hawakuwasumbua Israeli na majeshi yao. Hawakuwa na amani, watu wan chi hizi mbili waliruka mipaka bila kutofuata (2Wafalme 8:1-3).

 

Miaka baadaye, walipogundua kuwa chakula kulikuwa kingi kule Israeli, mwanamke huyo na familia yake walirudi. Alienda kwa mfalme kuomba nyumba yake na ardhi. Pengine mahala pake pa kukaa kulichukuliwa au ulimilikiwa na mfalme sababu iliachwa.

 

Ilitendeka kwa wakati huo Jerohim alishakisia siku za Elisha zilizopita. Alimwita Gehasi ambaye alikuwa mtumishi wa Elisha.

 

“Niambie kuhusu vitu kuu ambavyo Elisha ameyatenda aliuliza.

 

Gehazi alikuwa katika harakati ya kumwambia vile Elisha alimsaidia kwa kufufua mwanawe wa kiume wakati ambapo mwanamke huyo alimjia mflame kuomba kukuhusu nyumba na ardhi yake.

 

“Yule ndiye mwanamke ambaye mwanawe alifufuliwa!” Gahasi alisema akiwa na furaha. Mfalme alimuliza mwanamke huyo kuhusu jambo hilo na akamhadithia.

 

Mfalme huyu alichagulia afisa na kumwambia ameregesha vile alivyonavyo na mazao kutoka shambani kuanzia siku aliyotoka hadi akamdai (vv. 4-6).

 

Elisha Na Hazaeli

 

Bila kuzita wanajeshi wake walivyotoka bure kutoka Samaria ilimzumbua Ben – Hadad mfalme wa Siria. Alikuwa na kisoa kuwa kitu kingine kinachomhusu Elisha na Mungu wa Israeli. Ingawa, alikuwa mgonjwa sana kuhusu nyakati hizo na kiyisira kwamba angeweza kufanikiwa.

 

Halafu siku moja aliambiwa kwamba Elisha alikuwa ameenda Damaskus, mji mkuu wa Siria Ben – Hada alifurahi aliposikia hivyo. Fikira yake ya kwanza ni kwamba aliishi yake yayayo. Alidhani kluwa Elisha angemwomba Mungu wa Israeli kumpona. Alituma ngamia ambaini kubeba vitu vya bei ghali, chakula na ngua kwa mtume. Kila mmoja wao ilibeba kitu cha manufaa ili Eliha aone maonyesho ya hali ya juu.

 

“Baada ya kumpatia zawadi, uliza Elisha kama na lini nitapona kutoka kwa ugonjwa huu” Ben – Hadad akamwambia Hazael, mtu anayefuata katika uongozi chini ya mfalme kwa serikali ya Siria.

 

Wakati Hazael alimwendea Elisha, alisma pengine vile unavyoyajua, mfalme ni mgonjwa sana. Angetaka kujua kutoka kwako kama pengine atafariki kutokana na ugonjwa huo.”

 

“Unaweza kumwambia kwamba nafahamu kupitia kwa Mungu kuwa ugonjwa huo hautasababisha kifo chake,” Elisha alijibu. Lakini kitu kingine kisichojulikana kutamzababisha kifo (vv. 7-10).

 

Hazael hakufurahishwa na jambo hili. Pia alishangazwa na fikira ya mtume aliobadilika. Elisha alificha uzo wake kutoka kwa Hazael. Ilionekana kwamba aliyajibu kuficha machozi yaliyokuwa yakimdondoka kwa macho.

 

“Sababu gani imekuweka kuwa mwombolezi?” Hazael aliuliza. Nasifikiwa vitu ambavyo utawafanyia wana Israeli, “Elisha alijiu,” mengo yatachomwa vijana watauwawa, watoto watatumbukizwa kwa kifo na waja wazito wataachwa uchi wa mnyama kwa silaha. Wanajeshi wa Sira watayafanya haya kutokana na amri yenu!”

 

Hazael akasema, “Ni vipi mtu mwenye ushamishi mdogo akatenda jambo kama hilo?”

 

“Wakati utakapowadia amri ili wanajeshi wa Siria wayatende haya,” mtume akaendelea, “kwa siku zingine chache utakuwa mfalme wa Siria, na utalazimishwa nguvu ya kiongozi aziye na haya kwa Waisraeli” (vv. 11-13).

 

Hazael aliporudi kwa Ben – Hadad, mfalme alikuwa na haja ya kufahamu mara moja kile ambacho mtume amesema kuhusu maisha yake yajayo.

 

“Anasema hutajariki kutokana na ugonjwa huu ulio nalo,” Hazael akawambia mkubwa wake.

 

Lakini kwa siku iliyofuata alichukuwa nguo iliyo mzito, baridi na kuweka kwa uso wa mfalme kumkatizia hewa.

 

Ben – Hadad alipofariki Hazael akawa mfalme inacyodhibitsha upande moja wa utabiri wa Elisha. Ingawa zilizo kali zingetendeka kabla ya muda mrefu (vv. 14-15).

 

Jehoram, Mfalme Wa Yuda

Kwa wakati huu, katika nyumba ya yuda mwana wa Jehoshaphat kutokea mfalme. Jina lake ni jehoram, kama lili la mfalme wa Israeli. Mkewe Athaliah alikuwa dadaye mfalme jehoram wa Israeli na mwana wa kike wa Ahab na Jezebel wanao abudu miungu. Athalia alimbadilisha mumewe kuwa mwabudu wa miungu kule yuda hadi watu wote wakaamua kuabudu shetani huo. Kama mungu kakumhakikishia Daudi kuwa kungekuwa na mtu kutoka kwa nyumba yake ambaye angekuwa mfalme na mfalme angeiaribu yuda kwa wakati huu (2Wafalme 8:16, Kitabu cha mafunzo 2:5-7).

 

Jehoshaphat babaye Jehoram alifariki miaka minne baada ya kumpa mwanawe Jehoram uongozi.

 

Jehoshaphat alikuwa na watoto saba wa kiume na kabla ya kufariki aliwafanya sita kuwa viongozi kwenye miji mingi ya Yudah. Miaka minne baada ya mwanawe mkubwa kuwa mfalme, aliwatumawatu kuwamaliza wale sita na wale wengine kule Yuda (2 wafalme 1:1-4). Kuongeza kwa kuwa mtu mbaya, Jehoram aliwagundua wengine walio na nguvu. Hakutaka apingwe na na kusema vikali kwamba wale watakaompinga wanafaa kuuwawa bila haya.

 

Katika nyakati za Jehoram na uongozi wake watu wa Edom waliokuwa wakipeana zawadi kwa Yuda tangu nyakati za Solomon walikataa kutoa zawadi lolote tena. Walilinda mfano wao. Kwa Jehoram hii ilikuwa nanzisho la vita, kwa hivyo alichukuwa wanajeshi wengi wa kutembea msafara na wengi kuenda Edom. Watu wa Edom walizingira na vitu vyake vyote lakini bila ushindi. Hadi sasa Edom hawasikilizani na Yuda

 

Kuweka mambo kuwa mabaya nchi ya Lebanon pia iliacha kupeana zawadi kwa mfalme wa Yuda. Libriah walishababisha ghasia sababu Jehoram alimdharau mungu wao mungu wa baba yao. Pia ali wapotosha watu wa Yuda na kuwashababisha kutenda dhambi kuabudu miungu ya uongo (2Wafalme 8:20-22; 2Kutoka 21:8-11).

 

Elija Atoa Onyo Kwa Mfalme

 

Siku moja mjumbe alienda anakoishi mfalme kupeana barua kwa mfalme pengine kutoka kwa mtume Elijah. Hii ndiyo aliyoisoma.

 

“Basi Bwana akasema, Mungu wa Daudi Baba yako: “ Umechagua kuwa hai kama wapegani – kupenda wafalme wa nyumba wa Israeli hila kama Mungu wakuogopwa wa nyumba ya Yuda. Umefanya watu wako kukaa hivi. 

 

“Kwasababu yah ii, na kwasababu ulihua ndugu yako, ambaye alikuwa na tabia nzuri  kukushinada, Vintu mingi ya kuteseka itikuja kwa watu wako. Zilisiliweki watashika watoto na bibi zako. Mali yako na unazo zitachukuliwa kutoka kwako. utakuwa mgonjwa zaidi. Siku baada ya siku utateseka hadi mwili yako ya ndani kuwa na maradhi na zitaondoka. Hilo ndiyo siku utakufa, na si mbali mbali” (2Kor. 21:12-15).

 

Nikama alijaribu kupuuza kutoka kwa fikiria zake kuwa Elija, maybe alipelekwa juu kwa maajabu kwa mapepo kali mwaka mengi (2Kgs 2:1-18) bado alikuwa hai na kujuwa kwa vitendo vayke. Hatabila kuogoppa nikama alisikia Johoram kutuweka mabadiliko namna ya kuhisi.

 

(Tz: Ndiko wa 2Wak. 21:12-15 kuhusu barua wa Elija hapatikani kwa ndiko lile lingine w 2Ks 8. pia imetajwa kwa Elija kwa kronikali. Angalia pai Bullinger kueleza kwa footnote kwa v. 12 kwa Companion Bibilia. Maandiko ni wazi kwa unabii kupitia Elija kuwekwa wakati huu. Nabii kuweka haijandikwi (ed).] 

 

Hukumu la Mungu

 

Jeroham alisema kuwa siku moja wakati Bwana ata simama masinyiko wa wafilipino na warabu hawakumtaka. Walimwenda Yuda na kuibeba vitu zake ku patika kwa mafalme, pamoja na watoto wake na bibi. hakuna bintiye uliyon achwa bali ni Johoahaz Mdogo (2Chr. 21:16-17).

 

Baada ya hayo Bwan alimweka kwa njumba na ugojwa isyo tobika. Kwa hali hiyo wa wakati, dada ya mwaka miliwili, hili chumba ikaja njee ya ugojwa na akafa kwa kilio. 

 

Kwasababu ya uzembe zake na watu wake, Jehoram hakuwa maarufu ni somo lake. Ali zikwa Yerusalemu lakini waka mahali pa wafalme, lakini si kwa Ujabu (2Kgs. 8:23-24; 2Chr. 21:17-20).

 

Tutaendlea na hiki historia ya Bibilia kwa karatasi More Kings of Judah and Isreal (No CB146).

 

 

q