Makanisa ya Kikristo ya Mungu
[097]
Siku Takatifu Za Mungu
(Edition 3.0 19950325-2000022-20070710)
Karatasi hili unahusu umuhimu na matumizi wa siku takatifu. Shereke kama sehemu ya mpango wa wokovu. Sherehe kama sehemu ya mpangowa wokovu. Sherehe pia yameonyeshwa kwa sheria. Uamini wa kale unahusia kutolewa kwa serehe, ambazo zilihifadhiwa na kanisa za kale, inaonyeshwa kama sio sawa. Uhusiano wa sherehe za kanisa na hekalu na dhabiu amezungumziwa. Sherehe kuwa kati ya amani na ni kipande cha uungo zinaonyesha kuwa kati ya amani na ni kipande cha uungo wa Mungu.
Christian Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Copyright ă 1995, 2000, 2007 Wade
Cox)
(Tr. 2008)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia yanapatikana
Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org
and http://www.ccg.org
Siku
Takatifu Za Mungu
Kiingilio kwa sherehe na
mpango wa wokovu
Mpango na maana Mungu alihidhirisha kwa rali ya sherehe imewekwa chini katika Bibilia. Ukristo wa kisasa havangazii sherehe na laini hiyo bila usikuku wa mpango wa wokovu, wa Biblia. Makanisa ya kisasa hayahifadhi maagizo ambayo Biblia kianzio cha dini ya Tudeo – Ukristo inaonyesha iliifathewa katika hadithi ya uumbaji katika mwanzo na ilitolewa na Mungu kwa Munga na watumishi wake wanabii. Sheria hizi zinaonyesha tabia ya amani na kinasheria sherehe zake. Kujifanya kwamba dini linatoa maarifa ya Biblia kwa kristo, kuna kutojua kwingi katika sheria, yanajuishwa na maagizo.
Tumejaribu kifungu cha kutolewa kwa sheria (tazama nakala Distinction in the Law (No. 96)) na (Government of God (No. 174)) na inahusiano na kifungu kingine ya sheria.Sio swali tunataka kwenda kuho (kama mwana jeshi kama wana Israeli walikuwa jeshi) kwa ishirini nab ado wako kwa kazi ya jeshi la Mungu dhdi ya ulimwengu nzima. Kila mmoja angetokea mbele ya sherehe mara tatu kwa mwaka kwani hiyo inahusika na mpango wa wokovu na kazi na uhusiano wa Mungu na ulimwengu. Hayo kama jeshi la Mungu, kanisa linachukua jukumu iliyokuwa kwawana wa Israeli. Haya ndiyo yanaunganisha. Hayo yaliitwa kazi za torati ama MMT (tazama nakala The Works of the Law Text – or MMT (No. 104). Maandidhi ya Wafarisai na wengine wa Yuda wa karne ya kwanza yalikuwa tofauti kwani yalikuwa yanayochosha. Upinzani maranyingi kwa mtindo wa Yuda haikuwa ya dini lakini kupinga semiti.
Wayahudi walikosea sherehe na sabato na waliteswa na kukanwa na Kristo.
Mariko 7:6-9 ma aliwaambia ‘Je si Isaya alitabiria ufanyanyifu wenu, iliye andikwa’ ‘watu hawa wananiheshima na mifano yao, lakini mioyo yao ni mbali nami, 7 kwa uwongo wananitukusa wakifundisha kama matendo ya binadamu. 8 mmeacha agano ya Mungu na kuyashikika yale ya binadamu, 9 Na akawambia, mna njia nzuri ya kukataa torati ya Mungu ili kuyahifadhi matakwa yenu (RSV).
Andiko hili lilitolewa kutoka Isaya 29:13.
Isaya 29:13-16 na akawambia, ‘kwa sababu watu hawa wananikaribia kwa midomo na ndimi zao kunitukusa, mioyo yao iko mbali nani, na kuheshimu kwao kwangu ni kwa mitindo ya binadamu; kwa hivyo, nitakafanya mabaya kwao, na hekima ya werevu wao itakwisha, na ujizi wao hautapatikana. “Ole wao wanaomfichia bwana wao, ambao kazi zao ni za giza, na wanaosema, nani anatuosha? Nani anajua? Mnageuza vitu kinyume na mwenye kuumba atachokuliwa, kama chombo kwamba kilichotengenezwa kisema mtayarishi wake”, hakunitengeneza”, na kilichofanywa kiseme, hana ujuzi wa kufehanwa? (RSV).
Heshima kwa Mungu ilibalishwa kuna ya kale yanayeonda kinyume na sheria iliyoonyeshwa na Mungu kwa wanabii. Iliyonyeshwa kwa karatasi (The Bible (No. 164)). Maandiko yanayohusu Kristo na watume wa agano ya kale (Mat 21:42, 22:24, 26:54, 56, Mariko 12:24, 14:49, Luka 24:27, 32, 45, Johana 5:39, Mitume 17:2, 11; 18:24, 28, Warumi 1:2, na kashauka. Maandiko yote talipewa katika ukamilifu ili mwana wa Mungu akamilishwe kwa kazi zote nzuri (Tomotheo ya Pilin 3:16). Agano lazima likamilishwe na naliwezi kuvunjwa (Mariko 14:9, Johana 10:35).
Wafarisai waliifisadi maandiko kufundisha kwa njia ya binadamu hapo awali. Hiyo haikutowa siku takatifu.ilikuwa kwamba Kristo hakuhakikisha jinsi Wafarisai waliifashe. Yuda Kristo mwenyewe aliishi siku takatifu ule inayitakikana. Aliwaambia wateule wasitoe waandishi wa Wafarisai.
Mathayo 5:17-20 msikumbuke kwamba nimekuja kuyatoa sheria na watume, sijakuja kuyaruzilia bali ni kuyamalisha. 18 Kwa kweli, ninawaambia, hadi bingu na nchi kupita sio alama wala kituo, hatoka kwa sheria hadi ypte yakamilika, 19 Yeypte ataoye yeyote kati ya sheria hizi na ule zinazo fundisha, atatunishwa katika ufalme wa bingu, na yule anayefanya na kuyafundisha atatukuswa katika ufalme wa bingu. 20 Kwani manaambia ila utakosa wenu utiti ule wa waadishi na wafarisai, hamtaingia kamwe katika ufalme wa bingu. (RSV)
Kristo alinena kuhusu wafariai na kuwakanya (Mat. 23:1-39) aliifadhi sherehe, waliyofanya wao. Walikalia kiti cha Musa.walitakikama kuheshima hadi mamlaka yao kutolewa kwa msingi wa Kanisa. Mamlaka ya Wafarisai ilitolewa, lakini hii haikutoa sheria za Mungu.
Sheria inayohusu sherehe ilifanyika katika
hatua nne kwa vitabu vya kwanza kuanzia kutoka hadi kumbukumbu la torati. Hatua
ya kwanza inapatikana kwa kutoka katika sura nyingi. Kutoka 20 inahusu swali
landoa vya nymba na nyumba inayohashiria mtindo wa torati katika kilapahali.
Kutoka 22 inahusu ongezeko wa haki chini ya torati, Kutoka 23 inaangazia na
ushahisi wa uwongo kuendelea inahusia sheria ya nne na kuipanua kuongesha matumizi
yake kwa jamii.hakusikia na juma pekee bali inahusu jubili na mtindo wa sabato
Kutoka 12 inahusu pasaka (tazama nakala The
Law of God (No. L1)) na uchunguze na hatua za makarati ya sheria (Nos. 252-263)
Kutoka 23:10-33 ”kwa miaka misita mtapanda kwa mashamba zenu na kusanya, 11 ‘lakini kwa mwaka wa saba msipande ili maskini kati yenu wapate chakula, na walichokiacha na nyama wa msituni wale. Mtafanya hivyo na shamba zenu za fulai na matunda, 12 Siku sita mtafanya kazi zenu lakini siku ya saba mtapumzika, ili fahali na punda pia wapumzika na wana wa wajakazi pia wapumzike.
Inaenda kwa miaka sita na siku sita kwanin ni muda. Muda wa miaka saba inafuatilia Kutoka 23, ili hatua ya jubilii inapovunjwa uya sabato.
13 Siku lizeni kwa yote niliyowaambia na msije majina ya mwingu mingine ama yalikike uunywani mwenu. 14 Mara tatu kwa mwaka mtahifadhi sherehe kwangu. 15 Mtaifadhi sherehe ya mkate wa wishwa niliiyaagiza mtaketa mkate wishwa siku saba yalivyoaguliwa kwa mwezi wa Abib kwani kwao militoka Misri. Hakuna atakaye kuja mbele zangu mkono mtupu. 16 Mtahifadhi sherehe za mavuno ya matunda ya kwanza ya kazi zenu, ambayo mlipanda shambani maratatu kwa mwaka wakike wenu wataonda mbele za Bwana Mungu na mtindo wake ilikuwa moja wa hatua zake za matunda mnayo vuna. 17 Mara tatu kila mwaka wana wenu wakiume katakuja mbele za Bwana Mungu.
Sio swali kama tunatake kuenda kule (i.e kama wana jeshi, kama kusanyiko wa Israeli ilikuwa jeshi) miaka ishirini kuendelea ilikuwa ya kuwa mwana jeshi ana ilikuwa jinis Mungu ameipanga didhi ya mataifa lingine za ulimwengu. Kila mtu alikuwa akiende mbele kwa sherehe mara tatu kwa miaka kwa maana hiyo ilikuwa pamoja na mipangilio wa wokovu na a vitendo za Mungu kwa ulimwengu. Sasa, kama mjeshi wa Mungu Kanisa inachukua jukumu hio ambao iliwekwa kwa Waisraeli. Haya ni ya milele.
18 Hamtatoa damu ya shabio na mkate wa wishasa, ama muache mafuta ya sherehe yangu kubakia hadi asubuhi.
Tunatutajika kutoa matoleo yetu mwanzoni wa
sherehe na hatutakubaliwi kuwachilia dhabiu hadi asubuhi. Natfuta ingesambazaa
ili maskini wapate chakula siku hiyo. Hiyo ndiyo sababu kazi ya msanyiko iko
kwa usiku wa kwanza wa sherehe. Angalia nakala Ingathering (No. 139).
19 Kila kwanza kwa mavuno ya kwanza ya shamba lenu mtaleta katika nyumba ya Bwana Mungu wenu. Hamtapika mwana kwa matuta ya mamake. 20 Namtuima malaika mbele yenu kuwalinda njiani na kuwaleta kinyume naye, kwani m,ajina yangu yako kwake. 21 Basi jina la Mungu aishie ilikuwa kwa malaika huyu. Malaika huyu aliwatoa wana wa Israeli jangwani alikuwa Yesu Kristo.
Sasa, Jina la Mungu aliye hai ilikuwa kwa Malaika. Hii Malaika aliye chukuwa wana Israeli kupitia jangwaniilikuwa Yesu Kristo.
22 Lakini hakimsikiza kwa umakini na kufanya yote iliyosema, basi nitakuwa adui kwa maadui wenu. Malaika alienda mbele yenu, na kuwaleta kwa wa amshi, na Haiti na wa Kanai na nikawatoa nje, 24 na mtahinamisha vichwa vyenu kwa Mungu yao ama kuwatumikia, kufanya kulingana na kazi zao, ila mtawapiga na kuwashinda, 25 mtamtamkia Bwana Mungu wenu na nitabariki mkate na maji yenu na nitatoa magonjwa kati yenu. 26 Hakuna atakayezika mwanake ama kutozaa kati yenu, nitakamilisha siku zenu 27 nitatuma utisho wangu utangulie mbele yako,name nitawafathaisha watu wote utakaowafikilia ,name nitawafanya hao adui zako wote wakuonyeshe maungo yao. 28 Nami nitapeleka mavu mbele yako, watakaomfukuza Mhivi, na Mkaanani, na Mhiti, watoke mbele yako. 29 Sitawafukuza mbele yako katika mwaka mmoja; nchi isiwe ukiwa, na wanyama wa bara wakaongezeka kukusumbua. 30 Nitawafukuza kodogo kidogo mbele yako, hata utakapoongezeka wewe, na kuiridhi hiyo nchi. 31 Nami nitakuweka mpaka wako tangu Bahari ya shamu hata bahari wa Wafilisti, tena tangu jangwani hata huo mto; kwa kuwa nitawatia wenyeji wan chi mkononi mwako; nawe utawafukuza mbele yako. 32 Usifanye maagano pamoja nao, wala pamoja na miungu yao. 33 Wasikae katika nchi yako, wasije wakakufanya kunitendea mimi dhambi; kwa sababu ukiitumikia miungu yao,jambo hili halikosi litakuwa ni tanzi kwako (RSV)
Mungu alimtuma malaika wa agano kuwatoa wa Israeli nje ya jangwani kwa urithi wao. Unyenyekevu kwa sheria wake uliyepewa ulikuwa katika mtindo wa wokovu. Wokovu waukuwa kupita sheria lakini kwa nehema wa uaminifu kwa Mungu.Na ujusi hii ni sehemu ya wokovu kuendelea (tazama nakala The Relationship Between Salvation by Grace and the Law (No. 82)).
Hiyo torati lime endelezwa hadi hatua za maisha. Siku takatifu na sabato yaliyo hadithiwa na mataifa lazima yawe kutoka kwa torati la Mungu. Masbato na sherehe tatu zimetajwa. Kutoka mtindo mwingine wa siku takatifu, yaliyowekwa na Biblia ni sawa na usherati. Tusipohetushi shenke na tuondolee na kazi kwa siku hizo, tunawafuata Mungu ya ulimwengu ya ulimwengu kondoo wa Kristo wanamtia na kufanya matakwa yake.
Yohana 10:27-30 kondoo zangu husikia sauti yangu, na mnawajua na wananifuata, 28 na niliwapa uzima wa milele na hawatakuta na hakuna atakaye watoa mikononi mwangu. 29 Baba yangu aliyeniwapa ni mkuu kushinda wote, na hakuna awezae kuwaninyanganya. Mimi na Baba na moja (RSV).
Hiyo ndiyo sabato kanisa limehitaji mtindo huu kwa miaka elfu mbili kufuatia sauti ya Kristo. Wamehukumiwa na kuuwawa pasipo hatia kwa uaminifu wao (Tazama nakala The Role of the Fourth Commandment in the Historical Sabbath-keeping Churches of God(No. 170 ) na (General Distribution of the Sabbath-keeping Churches (No. 122)
Kanisa liligawanywa mwanzoni mwa historia yake. Wengine walijaribu kutenganisha mtindo wa agano ya kale kutoka kwa Kristo, kupuzi ila mengi ya agano jipya. Hili ulipata kiwango kingine ila ufafanuzi wa Biblia na mpangilio wake na matarajio ya shida ya wokovu ambayo hawa walitaka kutafanua.
Hatua hii ilionezwa. Ile inayofai kwa ukristo ni chini ya hili. Mtindo huu ni kinyume na mbaya kulingana na Gnostic. Watu wengi wanaofai kuwa wakristo sio-ni Gnostic
Sherehe za Biblia zinapatikana kwa Walawi 23. Imefafanuliwa kwa upana hadi kutikia kutoka 23 inazidi Kutoka 20 na Walawi 23 inaangazia kutoka. Hesabu 15, 28 na 29 inahusu yote pamoja na miezi mapya na matumizi yake kwa Kumbukumbu la Torati 5 na 14.
Uumbaji uridhinihishwa ili nuru wa bingu
liwasha kuonyesha utakatifu sio wa usiku na mchana, ila pia ishara na masiku na
miaka (Nwa 1:14). Hivyo sabato na hata za mwono yamehifadhiwa kwa miezi miwili
kutoka kaskazini na kusini. Saa na sheria yalionwa hapo mwanzo. Kalenda
takatifu pia ilishenishwa (God’s
Calendar (No. 156)).
Sherehe iliwapwa Musa na Yahova (au Yehova). Haya sherehe yalikuwa yatangaswe kama siku ya kipekee. Haya yalikuwa sherehe ya Bwana na aliyaita Sherehe yangu (Walawi 23:2). Waliitwa kama sherehe za Bwana kwenye Walawi 23 na 2Mambo ya Nyakati 2:4. Neno Sherehe yangu ilitumiwa tena kwenye Hesabu 15:3 na 29:39. Neno Sherehe yao imetumiwa kwenye Isaya 1:14 na 5:12 kwa kutowa, kama chini. Sherehe haikuwa ya kawaida kama ya walimwengu. Haikuwa raisi kupinduliwa au kuwacgwa isipokuwa kwa mpango wa wokovu, ambao yamesimamia, yamepinduliwa au yamewachwa.
Kama utu wa Mungu haiwesi kupinduliwa na kwa mpango wake wa kuumba, neno hii ni ngumu. Na ulinganisho ni Isaya 1, sana 1:14 ambao Mungu alisema kuwa hataki mwezi mpya na sherehe zao, za zingine hataki sherehe. Vungo hiyo ni ya kinyume na sherehe na kuwa Bwana hataendelea na ambayo haikuwa yake (Waebrania Yakol) kuwa bila sherehe (Isaya 1:13).
Isaya 1:13-14 Msilete tena matoleo ya ubatili; uvumba ni uchukizo kwangu; mwezi mpya na sabato, kuita makutano; siyawezi maovu hayo makutano ya ibada 14 Sikuku zenu na mwezi mpya na karamu zenu zilizoamriwa, nafsi yangu yazichukia; mambo hayo yanilemea; nimechoka kuyachukua.
Yahova (Jehova) au Malaika ya saa yote hakuwa hakiweza kufanya bila sherehe. Hakuwa akiweza kuendelea bila sherehe kwa maana Yeye (Yahova) kama Elohim wa Israeli (Ezakieli 11 (angalia esp vv.7-21 kwa umoja wa kila moja) alipewa mpangilio ya sawa kama yanaelekea sherehe. Alitumwa na Yahova wa Utukufu (Zekaria 2:5-13).
Zekaria 2:5-13 Kwa maana mimi, asema Bwana, nitakuwa ukuta wa moto kuuzunguka pande zote, nami nitakuwa huo utukufu ndani yake. 6 Haya! haya! ikimbieni nchi ya kaskazini, asema Bwana, kwa maana mimi nimewatawanya ninyi kama pepo nne za mbinguni, asema Bwana. 7 Haya Ee Sayuni, jiponye, wewe ukaaye pamoja na binti Babeli 8 Kwa maana Bwana wa majeshi asema hivi, Ili nitafute utukufu amenituma kwa mataifa wale waliowateka ninyi; maana yeye awagusaye ninyi aigusa mboni ya jicho lake 9 kwa maana, tazama nitatikisa mkono wangu juu yao nao watakuwa mateka ya hao waliowatumikia; nanyi mtajua ya kuwa Bwana wa majeshi amenituma.
Huyu Ni Yahova anayeongea kwa Israeli kupitia Ezakieli.Anasema Yahova (Jehova) wa utukufu amenituma.
10 Imba, ufurahi, Ee binti Sayuni; maana,tazama, ninakuja, nami nitakaa kati yako ,asema Bwana. 11 Na Mataifa mengi watajiunga na Bwana katika siku ile, nao watakuwa watu wa wangu; name nitakaa kati yako, nawe utajua ya kuwa Bwana wa majeshi amenituma kwako. 12 Na Bwana atairithi Yuda, iwe sehemu yake katika nchi takatifu, naye atachagua Yerusalemu tena. 13 Nyamazeni,ninyi nyote wenye mwili, mbele za Bwana; kwa maana ameamka ,na kutoka katika maskani yake takatifu. (RSV)
Yahova wa Utukufu alituma Jehova (Wa Israeli) hapa imenakiliwa kwa RSV kama Bwana kwa Waisraeli kuwa mataifa kuungana pamoja na Israeli kwa siku za mwisho.
Yahova wa Utukufu alikuwa Bwana, ambao ni Bwana wake (Zaburi 110:1).
Zaburi 110:1
Zaburi wa Daudi Neno la Bwana kwa Bwana wangu, uketi mkono wangu wa kiume, hata
niwafanyapo adui zako kuwa chini ya miguu yako’’(RSV)
Alikuwa Elohim wake (Mika 5:2-4).
Mika 5:2-4 Bali wewe, Bethlehemu Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni, mwa elfu za Yuda; kutoka kwako wewe atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israeli; amabye matokeo yake yamekuwa tangu zamani za kale, tangu milele. 3 Kwa sababu hiyo atawatoa, hata wakati wa kuuza kwake aliye na utungu; ndipo hayo mabaki ya nduguze watawarudia wana wa Israeli. 4 Naye atasimama, na kulisha kundi lake kwa nguvu za Bwana, kwa enzi la jina la Bwana, Mungu wake; nao watakaa; maana sasa atakuwa mkuu hata miisho ya dunia (RSV).
Alikuwa Elohim ambayo alimpaka kama Elohim (Zaburi 45:6-7, kurudiwa kwenye Waebrania 1:8-9 kama kuongea juu ya Kristo).
Waebrania 1:7-9 Lakini kuhusu Malaika wake kuwa pepo, na watumishi wake kuwa ndimi za moto.’’ 8 Lakini kumhusu mwana, Mungu alisema ``Ufalme wako ee Mungu wadumu milele na milele wewe wawatawala watu wako kwa haki. 9 Wewe wapanda uadilifu na kuchukia uovu. Ndiyo maana Mungu, Mungu wako amekuweka wakfu na kukuminia furaha kubwa zaidi kuliko wenzako.’’(RSV)
Hivyo masiku takatifu ni maagizo yaliyopewa wanadamu na Yesu Kristo kutoka kwa Mungu Baba ambayo ni Mungu. Hakuna aliye na uwezo wa kubadilisha siku na torati. Uwezo wa kristo umejumuishwa katika uwezo wa kuifadhi Roho mtakatifu na basi kupitia rehema. Kristo aliifadhi kila sabato, miezi mpaya na sherehe mataifa katika mataifa yatiifadhi sherehe hizi pia (Isa 66, 23; Zak 14:16-19).
Messia alikuwa msingi na umeshimu wa mavuno ya Mungu ili imeonyeshwa kwa pasaka lakini alikuwa kama Elshim wa Israeli, mjakazi wa Eshim wake alikyekuwa Elshot. Musa hakuongea na Mungu (Baba kama Eloah (Alla) ana Thin kama Johana anayesema kwamba hakuna mwenye amenuona Mungu kamwe (Johana 1:18). Alikuwa Elohim huyu aliyeitwa kama Malaika wa uwepo ama malaika wa hukumu mkuu (Isaya 9:6 LXX).
Sherehe yamepewa na Mungu kwa Kristo na Kristo anahimiza mtindo kwa wateule wake na mataifa. Kristo na yule jana, leo na milele (Wahibrania 13:8). Mungu hutetemeshwa (Mal. 3:6); Jas 1:17). Haya hayakubadilika na hivyo masiku yalishikilia kama takatifu kwa binadamu ule ilivyopewa na sheria haibadiliki.
Mazungumzo ya kithiolejia ya zamani kuhusu kutolewa kwa sherehe
Kwa Isaya 1:4 kila mara inatymika kwa kuhuhifadhi sherehe za kaldia wa Disemba kinyume na maandika ya Biblia. Naandishi ya mfalme James kwa Mitume 12:4 imetafsiriwa kwa kosa kusomeka kama Esta sasala ya pasaka.
Matendo ya Mitume 12:4 na tulipomuliza aliwekwa gerezani na kumweka kwa walinzi wane, kumwangalia baada ya Esta kumleta kwa watu (KJV).
Matendo ya Mitume 12:4 na alipodukuliwa, aliwekwa gerezani kusema kuwa kristo angekubalia kanisa kushikilia pahala pa sherehe wa mpango wa wokovu na wasio amini, wakati sherehe yaliangaziwa chini ya maagizo ya Mungu, inaoonekana miujiza. (RSV)
Kusema kuwa Kristo angetowa rusa kwa Kanisa kuchukua sherehe wa mpangom wa wokovu, na sherehe ya wlimwengu,kama sherehe ilitolewa nay eye kwa amri ya Mungu. Ulionekana ya ajabu an kutoeleweka. Tertullian alingilia kwa shida kama waliongea na Marcion juu ya Sabato. Kutolewa kwamba Messiah alikuwa Elshim na malaika wa Yehova wa agano ya kale na Kristo wa agano jipya kuhusu sabato. Kutumia Isaya kama hapa juu kwa agano ya kale ni kusema kuwa Kristo.
‘Hata kama hakuwa Kristo Wayahudi, [i.e Kristo wa Agano jipya] hakuonyesha upendo kwa siku kwa kutopenda sabato huu, kuwa alifafanua haya kupitia Isaya moyo wangu ulikuakia sherehe na sabato yenu; Mwezi mpya wako na sabato moya wangu’(Bacchiochi kwa kutoka sabato hadi jumapili- Historia uchunguzi kwa asubuhi wa jumapili kulingana na Wakristo wa kwanza,Pontifical Gregorian University Press, Rome 1977 kuongea juu ya kinyume wa Marcion 1,1 ANF Vol. III, p.271; (lakini umoja ni kuendelea na kazi)
Maoni ya Bacchiocchi ni kuwa Tortullia kwa vitabu 1,2,4 na 5 yalionyesha, kinyume na mafutisho ya markion, sabato iliyofufunishwa na Mungu kwa agano ya kale na ile ya Kristo. Matumishi ya agano zote yalikuwa na amani. Yote yalitolewa kwa Mungu moja aliyekuwa Mungu wa wote. Hata hivyo, kwa kuongea kwa amani alipunguza sabato kwa shule ambao Mungu ametufunza (Bacchiocchi, ibid., p.187, fn.61).
Tertullian kuongea kutoka Galatia na sehemu zingine, na kidongo mbaya, kuwa Mungu ameondowa Sabato na sherehe zake:
`Ndio mtunze siku na mwezi, na saa, na mwaka [Wagalatia 4:10] Sabato, nawambia na uhandalisho [ANF kunakiliwa `Coenas Puras’: kama kwaida [paraskeuai au kutengeza Siku takatifu sawa na mara. Kuhandalia] wa John xix 31 tazama sehemu `Pasaka’ kwa maana ya jambo] na kufunga na `siku ya juu’ [Yohana 19:31 tena?]. Kwa uzaidishi wa haya mambo, hakuna lolote kama zio kutariwa, kulipakwa na muumbaji ,ambayo alisema kwa Isaya ,`Mwezi mpya yako na Sabato yako ,na siku yako ya juu sitachukua ;kufunga kwako ,na sherehe na sikuku moyo wangu haya taki’ [Isaya 1:13-14]; tena na Amosi `Siyataki sherehe yako na sita nukia kwa makutano yenu’ [Amosi 5:21]; na tena Hosea ` Nitafanya kupotea wa sherehe yako na sabato yako na mwezi mpya yako na makutano zako zote [Hosea 2:11]. Sheria ambayo yaliandalia mwenye unauliza amehifunja? Ndio ila yeyote. Ama kuliko mwengine kuyafunja, alizaidia kwa sababu ya uumbaji ,kwa kutowa kilicho mbaya.Na lakini hapa sio pahali pa maswali kwa nini muumba anafunja amri zake .Ni yakutosha kujua mawazo lake juu kufunja,ali yafuatwe na watume kwa mawazo lolote lakini ya muumba, kwa maana kufunja yatoka kwa Muumba.
Tertullia anaonyesha Marcion kuwa wakwanza na urithi na tofautiu wa injili na Amri (Against Marcion, ibid., Ch. XXI, p. 286). Sana ni ya Marcioni ambayo ni mara nyingi kwa Wakristo wa leo kutawanywa na kutowa matarajio wa Amri, kutoka kwa Kuabudu na sherehe, haza Sabato. Njia ya Philosophia kutowa kwa njia lingine (tazama nakala Distinction in the Lawa (No. 96)) na The Works of the Law Text – or MMT (No. 104). Inakuwa ya kawaida kutoka kwa masomo wa Tertullia kuwa haichukui asili nyuma ya neno ya Isaya, Amosi na Hosea .Kwa hayo sikuku kufadhiwa na Isareli na Yuda ilikuwa ovyo. Ilikuwa umbunguvu wa Ukweli na utakatifu (Amosi 5:24) hiyo ilikuwa shida, hata kwa wasomi.
Ukristo wa Tertullia uliaribiwa na Mithra na wabudu Jua kwa hiyo saa hakuchukua simamo kamili na mpango wa wokovu au cosmologi. Kweli Tertullia alikuwa kiongozi wa kundi wa Montani miaka kumi baada ya huru wake. Hii ilikuwa shida kwa wakuu wa Kanisa la Rumi.Inamaanisha kuwa pembe wa Danieli 7, ambao ni pembe-kumi wa ufalme kwenye Ufunuo ``Walikuwa watakatifu wa Aliye Juu, na kufikiria ubadilisho wa saa na amri’’ (Danieli 7:25).
Nguvu hii ya kipimo ni tofauti na Danieli na ni kawaida kutokana na amri jinsi ya utu wa Mungu. Kubadilisha saa na Amri ilikuwa kwa alama wa uongo wa dini ya ulimwengu na wanasiaza, ambao baadaye wata tawala ulimwengu, lakini kuharibiwa kwa kurudi kwa Mesia. Kumenyana na shida hii yote wa amri inaweza kukumbuswa neno moja la mwisho kuwa dhambi ni kinyume ya amri (1 Yohana 3:4) na usianao huu ni kati wa shida wa dahmbi.
Maangizo hii ilikuwa ikilenga kutoweka wa amri wa Hibrania na Amri wa Mungu wa Hibrania, hili watengeze Kristo kama mungu tofauti na mtindo lingine na utu wa Warumi.Walikuwa wakitaka mungu wa Rumi kutoka kwa Yesu Kristo – na hiyo ndio walifanya.
Masherehe kama sehemu ya amani ya kizazi
Masherehe kutoka kwa sabato ya kila wiki sherehe ya mavuno na siku ya maombolezi yena maana wazi kwa hali na maana ya kazi za Bwana kwa kuumba binadamu. Itafualitilia kwamba kondoo ya pasaka hakuwa na maana kama mkombozi ma Messiaya wa Aruni, aliyetarajiwa na karne ya kwanza la Israeli, sio ya maana (angalia (The Passover (No. 98) kwa maelezo). Kondoo alichijwa kisu ya pasaka ama hakuwa Mesia, kulikuwa na maana kila siku. Hivyo toleo la kondoo kwa siku isiyo hakuwa kondoo ya pasaka. Hali hii inalinganishwa na heshimu 14 mapimo ya usubulishi na ufanuo (Timing of the Crucifixion and the Resurrection (No. 159)).
Tunaona kutoka nakala Distintion in the Law (No. 96) kwamba kizazi iliyotolewa kwa hiari, upatanisho ulikwama kutengeza imani asili wakati ilipopewa kwa watume (Yuda 3) na wali kaguliwa kutokana.
SikuTakatifu wa sabato ni ya kipekee. Hii ni ahadi kuwa Mungu mwenyewe alifanya kupitia wanabii Mungu alinunua kupitia nmabii Amos na kulinganisha Israeli na siku za mwisho ya matunda kikapuni (Amos 8:1 ikawaendelea) kukosa kauli Mungu ni matunda muhimu. Adhabu ya hili ni kwamba sabato na sherehe yamebadilishwa ya maombolezo. Inafuatiliwa na njaa ya kisikia neno la Mungu Johana (Amos 8:11-14). Kwa kukosa kujua hali ya Mungu moja anayeishi (Johana 17:3) watu wanahukumiwa (Hos. 8:5-9). Hata mapepo yanajua Mungu na wanafetumeka mbele yake (Jas 2:19). Makubwa ya torati la Mungu yaliandikwa kwa Israeli kwani waliwahesabu kama wa njia na kuvunja sheria ya kwanza na matunda yao ya dhambi kwa kuabudu (Hos. 8:11-12 angalia Interlinear Bible).
Nexus kati ya sheria na shabiu imetolewa kwa kumbukumbu 12:8-14 ilitolewa pamoja na mexas kati ya dhabiu na sabato ya kila wiki. Hali zote za serikali ya Mungu iliwekwa wazi kutoka kwa hali ya shabiu pamoja na sabato na hali ya siku takatifu Kristo alipotimiza dhabiu hakuitoa, haliikamisha mara moja na kwa yote. Hivyo shabiu yametolewa na masiku bado yanahesashiwa. Dhabiu yalifanyika hekaluni kulikuwa na maturate 24 katika ukahani walio kuwa kazini kwa muda sherehe. Waliokuwa wanamtoa na kutuma maombi nyumbani (kama masomo ya Biblia) na hiyo ilikuwa Yuda ya kizamani.
Dhabihu ilipomalizika watu hawa walidumu maombi na kwa masomo ya bibilia ambayo ni moja wa hali ya shabiu. Kristo peke alitolewa mara moja. Bado tunahitajika kufanya matoleo ya kila siku ya sabato na siku takatifu kwa maombi na masomo ya Biblia. Ksristo kama kondoo wa pasaka alitolewa mata moja ya mwisho kwa matoleo yote kwanzia pasaka hadi sabato ya kila wiki na siku takatifu, sherehe na miezi mapya. Tunahitajika sote tuwe kazini.
Pasaka iliazika kabla ya torati kutolewa mliman Sinai. Hawawezi kupuzilia hili hadi siku kuu ya mwisho. Kila sherehe linahashiria mpango wa Mungu ambao bado unaendelea. Torati ni kiwili cha kitu vya kuja (Wahib. 10:1). Kuvuli kinaonyesha ukweli haukutolewa kwako kivuli hicho kilitoka kuwa shabiu (Wahib 10:1-10) bali sio sherehe.
Wakatoliki na makanisa ya wokovu bado wanashikilia kuwa sherehe za mwanzo lazima zifashiliwe. Klameda nyingikiwa ya pasaka na esta. Kwa kutojua kwao ufalme wa Mungu na kukataa utashili wa kimwili na ufufuo wa pili hawajui sherehe za mwisho. Kwa kosha ya kuelewa wa funzo wa Ufalme wa Mungu na kukana kimwili kuokowa miliniumu, na ufufuo wa pili, wata elewa sherehe ya mwisho.
Biblia inashikilia kuwa machafu kwa sherehe yanafanywa na wale wa mwili ambao wamejiacha wengine kwa msaada kwa Baalam na kutia kule kora (Juda 11:12). Kwa njia ingine, wanafundisha na kifanyanga kwa sherehe na ujuzi wa sheria na ushuta. Hakkuna nuru (Isa. 8:20 KJV) au chini (RSV) wamekufa mara mbili. Watu hawa bila roho wanaweka magawanyiko kwa siku za mwisho (Juda 19). Upinzani wa kora ni hatua inayoendelea dhidi ya neno la Mungu.
Ni muhimu kuwa mtindo mzima wa tabia na ukatuzi wa sherehe inajulikana kuwa kwa wateule. Tuna kazi kila mmoja kwa Kristo ambaye kichwa chake ni Mungu, na sherehe hizi ni lazima kuetu na lazima tuziheshimu bila kuangalia ndani iliyosanyika. Neno halinangamizwa hadi wa mwisho wa 144,000. Hiyo siyo mbali sana, idani nzima ya 144,000 iko karibu kumalizika na hiyo ikifanyika, mwisho utakuja. Nguvu za wenzetu utavunjiliwa na hatimame Kristo atakuja.
Kristo anaweza kuwahifadhi wateule na kuwaleta mbele za Mungu mkombozi (Juda 24-25 angalia Marshall’s Interlinear RSV). Ila magawanyiko kwa mwili wa Yesu Kristo yamekubaliwa ili itayarishwe nani ana ukweli na thabithi wa Mungu (Wakorintho wa kwanza 11:19) masemo kuwa Wagalatia 3:10 inaondoa sherehe inaonyesha kupulizia kuwa na hali ya uumbaji na sabato kwa Sinai. Ufashili wa shere dini ya njia ni mahitaji kwa kuongezea mwanzo wa miaka elfu mia moja (Zak 14:16-19). Masabato na mwezi mpya pia yatahi tulewe (Isa 66:20-23).
Makanisa wa Mungu pamoja na Kristo na makanisa ya watume (Mat 26-17-20, Lk 2:41; 22:15, Johana 2:13; 23, 5:1, 7:10, 10:22 Mitume 18:21 (KJV) 19:21, 20:6, 16:24; 11:17) yalihifadhi sherehe kwa miaka elfu mbili bila kanisa moja kutoka karne ya kumi na tisa ambalo halikuhifadhi hame. Tatumbeta yaliokuliwa kama mwezi mpya katika nyimbo za kansisa hili. Vivaa vya utashi wa sabato katika kanisa la upora ambao haukufuntewa kwa kutoshihi torati ama kuanguka yalipotea (angalia nakala General Distribution of the Sabbath-keeping Churches (No. 122) na tena The Role of the Fourth Commandment in the Historical Sabbath-keeping Churches of God (No. 170).
Kama kristo watume wengine Paul pia alihifadhi sherehe tunaiosha kutoka Mitume. Pia siku inaelezwa kwa Mitume 27:9 ambayo ilikuwa pa mageuzo kwa hali ya hewa katika katikati wa Esia. Paul hivyo na hata wachilia sherehe za Mungu.
Ingawa Paul alitamani kuridi Yerusalemu kwa sherehe hizo kwa Mtume 18:21 na 19:21(angalia KJV The Interlinear Bible), andiko la Mitume 20:6 inaonyesha kuwa Paulo aliifadhi sherehe ya mkate wa wishwa kule Filipi kwa kucheleweshwa. Baadaye alitaka kuwa Yerusalemu kwa Pentekosti (Mitume 20:16). Kanisa la Filipi hiyo ilikuwa likifadhi sherehe mitihani ya kuulizia inaonyesha kuwa masherehe yalitumikia kuonyesha urithi. (n.k C.Roth, The Spanish Inquisition, pp. 77ff.). Masherehe pia yanahifashiwa hadi siku hii kule. Mashariki wa Uropa. Wayahudi na Wakristo wanahifadhi serehe hizi kwa utafauti.
Hekalu iliagaliwa kama hekalu la kufanyia flabiu (Wakorintho wa pili 7:12) baada ya mahewa na shabiu, Daudi na hesron na hema ilikuwa kule shilo. Ilhali masherehe hayakufanyika hekaluni pekee.
Wayahudi wanatufanya kuamini hii kama ukweli. Walijaribu kutunganisha kwa hekkalu. Walijaribu kuiweka katikati kuani pesa ilitumika malezo hayo ndiyo ya kushindikiza matoleo kwa kamanisa walitaka kuweka kati usambazaji wa pesa.
Bwana alichagua zaguri kama ya kulisha kwake (Zab 132:13-14) ila iamuzi huo haukuandalizwa kwa kanisa linalozurura kule jangwani hadi kurudi kwa Mesia.
Kanisa ilikuwa kwa mzangao kwa muda wa miaka elfu moja. Hiyo ni Jubili arobaini. Ishara hiyo inaweza kulinganiswa na Sign of Jonah kwa miaka/siku/Jubili. Mzangao wa Kanisa ililinganizwa na miaka arobaini chini ya nguzo la moto na mawingi kwa jangwani. Mtindo huo inaonyesa kuwa Kristo alikuwa akifanya kazi na kati ya kuabudu wa waliochanguliwa. Wazo hii na watume ambao wali linda sherehe katika sehemu tofauti.
Pasaka / Easta yalipimwa kati ya hadi ya kanisa lisilikuwa na la kufanya na Yerusalemu na hivyo, hekalu lilikabibiwa kwa karne wakati magawanyiko ilifika kileleni mwake (angalia nakala The Quartodeciman Disputes (No. 277)). Kaoni hayo hayakuwekwa kwa dhabu ya hekalu an dhabiu haikudukuliwa kama kielezo. Messiah hayadungwa hekaluni. Yanatangulia na kuendeleza hekalu dhabiu pekee Wahibrania (Karatasi God’s Calendar (No. 156); cf. Schuer, History of the Jewish in the Age of Jesus Christ, Vol. II, pp. 292-313).
Matarafu ishirini na nne ya watu yaliwekwa
kwa kazi na wakuhani na yalibakia manyamba kwa maombi na masomo ya Biblia ya kila
siku na wajumbe wao walitumwa Yerusalemu (ibid.). 293). Hekalu katika
elofantina uliharibiwa kwa vita. Barua ya Aramai kwa Pritkat, iliyotasiriwa na
Ginsberg inaonywa ushahidi na pasaka kwa mfalme aliyetajwa kwa Ezra (karatasi The Sign of Jonah and the History of the
Reconstruction of the Temple (No. 13).
Matokeo kwa ufadhi wa hekalu ndio hali ya uaribifu wa hekalu wa elfu mia katika mwaka wa 14 wa Darius II wokovu wa Yesu walikuwa na mamkala dhidi ya wakuhani wa elfantina. Dhahabu ilimalizika na agano jipya na uaribifu wa mwisho wa hekalu Yerusalemu kwa 70 CE, ile sherehe za umbali yaliendelewa. Ukuhani wa hekalu kule Yerusalemu ilijaribu kupunguza maana ya shabu kule hesntopolig (skira, pp 146 – 147). Kwa wakati wa Antiokus upato (164 – 162 BCE), kuhani onlas IV, mwana wa kuhani mkuu Onias III, alienda Misri na kupata nehema kwa toleni VI filometana, cleoptra walimpatia hekalu iliyoaribiwa kule leontopolis sawa na hiyo ni mahali lingine), ambao kitambo ilikuwa wa agria Boubastis. Ilikuwa karibu mili 20 (40km) Ilikuwa karibu Hokilorita kaskazini mwa Mlemtis kile delta. Ilijongwa kwa mtindo wa hekalu ya Yerusalemu ila ilikuwa ndogo (angalia Josephus The Wars of the Jews, Bk.VII, Ch.10.3, pp. 426-432; cf. Schuer, ibid., p.146).
Ibada ya hekaluni ya Yahudi iliwekwa kwanzia 160 BCE ikiendelea kwa hekalu ilijengwa hapo kulingana na maalezo ya Mungu kwa Isaya (Isa 19:19). Mungu aluweka hekalu hii kwa kazi moja. Kuonyesha kwamba mwanake alikuwa Misri na kutoka Misri ataitwa mwana. Kulikuwa na Hekalu na dhabahu mtindo, na sio kwa saa lolote Kristo aliingilia kuongea juu ya Hekalu na Mungu. Hekalu la Leontopolis kulifungwa kwa amri wa Vespasian kati 71 CE kulingana na Bullinger (Companion Bible, Kurasa 81) au 73 CE kulingana na Schuer (Vol. III, p.146). Hekalu hii ilitengeswa kwa Goshen ambako mwangaza ilikuwa langu Kutoka, sasa Mesia hakuwesa kukaa kwa maana Herode kama mtoto. Dhabihu hapa iliwapwa orodini na Mungu kupitia wanabii.
Waguhishi walioko nje ya Israeli walifadhi sabato, miezi mpya na shaherehe. Upitishaji wa Horce (skuti Vol III, p 144). Sehemu hii wa Horace (Sat 1,9,69 GLAJJ I No. 129, Schuer p 144) inaonyesha kuwa mwezi mpya uliitwa kama hodia trasima sabato ama sabato la kumi la tatu. Kama hekalu ya ukulani ilijibu kufinylia shabiu Yerusalemu mlo wa shabiu yalitangiwa pahala pote kule nje (cf. Skura ibid.).
Hawa waliifadhi sherehe siku ya usawa lakini kulikuwa na utafauti. Wasioamini walifadhi siku ya jumapili. Hii ilifanyika pia kwa kanisa. Wa essena walifadhi sherehe siku ya mwisho iliyokuwa kama kalanda kama juma tano pasaka-juma nne sherehe (Angalia nakala The Wave Offering (No. 106b); The Passover (No. 98); God’s Calendar (No. 156)) na The Omer Sount to Pentecost (No. 173).
Kanisa limeweka masherehe chini ya hukumu kwa miaka elfu mbili.
Waamuzi wanachunguzwa kwa ujuzi wao kwa Mungu mmoja wa kweli kupitia hekina ya Mungu ujuzi kwa sheria anataririka na kwa mawazo na moyo ya mmoja.
Kihisirio sio sabato ama masherehe ama torati. Ni kuwa Mungu Baba ndiye Mungu mmoja wa kweli (Johana 17:3) Johana wa kwanza 5:20) nay eye mwenyewe hati (Timotheo la kwanza 6:16). Mmoja awaweza kuhifadhi sabato nab ado wa urithi. Jusipashikilia ukweli huu tutablewa kwa wateule na kupewa kwa shuki kubwa na kuamini uwongo (Wathesalonika wa pili 2:11). Hawawezi kujisaidia wengine kamwe wametolowa kwa wateule na ujuzi wao umenyakuliwa. Hawawezi kufahamu, hata kama wangependa kuona makosa.
Ufahamu wa mateule umewekwa kwa uhusiano na Mungu mmoja wa ukweli na hekima ya Mungu na mwanaye, Yesu Kristo (Johana 17:3; Johana wa kwanza 5:20). Kristo aliwasha sheria na kuwa kipawa cha imani, lakini kwa sheria ya kwanza inahashiria kuwa masherehe yablewe. Hayawezi fadhiliwa, hata kama makosa yao yamue kuyanifadhi. Mungu ataonekana mwanzoni. Mungu anaweza kubalia makosa ya wana wa Biristaria, kwa mfano kuenda sambamba na ufadhili wa sherehe. Ilhali ilijilikana kuwa pasaka hajahifadhi upasavyo kwa ulinganisho na kosa hili. Mfano mzuri kanisa la kimataifa la Mungu linahifadhi pasaka katika miaka za 1960s. makosa ya wana wa Birirutia ilipolewa, Pasaka pia ilihadilishwa kwa njia isiyofaa na Kumbukumbu 16:6-7 haikuhifishwa tena. Kwa miaka thelathini kanisa lilikuja trinitaria. Masherehe yalibadiliwa kuwa makazi, na chakula cha mwisho cha Bwana kilifanya mara kwa mara.
Kwa wanaohifadhi torati, masheria ni ukumbusho wa mpango wa Mungu. Ufadhili wa lazima wa Kristo dini ya hatua hii inaonyesha kuwa masherehe yanahitajika na ni baraka kwa wafuasi. Ila kuwa mtuusi wa Ysus Kristo, mmoja lazima ufathina na Mungu kupitia Kristo masherehe yanaonyesha hatua hizi.
Masherehe yanafanyiwa kwa laini.
Masabato ya kila siku yanahitajika kulingana na sheria kwa binadamu baada ya kubatiswa kupokea roho mtakatifu, kuzoea alama ya wokovu inayoitwa hitimisho la Mungu. Pasaka ni hahitaji ya pili kuonyesha kuwa torati la Mungu liko mokonini mwake (Matendo) na kuchwani mwaka (mawazo) (Kit. 13:9). Adhabu ya kutihitaji siku hio ni kukatwa nje kwa watu wote (angalia nakala Atonement (No. 138). Watu ni Israeli la kihoro ama kanisa.
Watumishi wa Mungu wamehimizwa vichwa vyao (Ufunuo 7:3; 9:4) na kwa mikono (Kutoka 13:9). Jina la Baba pia liko kwa wateule (Ufunuo 14:1). Alama ya ibada ya dhehabu zore. Imefanuliwa kama mtindo wa kinyama wa siku za mwisho (Ufunuo 14:9). Siku takatifu yanayolifashiwa kwa kazi ya Mungu yamewekwa kando na yanatoa tofauti katika hali ya koroho inayotawala mitindo yetu.
Mtindo unaohifadhi sabato na masabato ni ule wa kibibilia ule unahifadhi siku za jua na mesherehe za jua, kwa upamoja sio ya kibiblia, kwa kweli mtindo unaweza kuwa kinyume kabla na Mungu. Ktismasi ni ile ya wasioamini na uzaha mwa mkiristo kuonekana (angalia nakala The Origins of Christmas and Easter (No. 235). Kiazilisho cha kikrismasi na effa (No. 235). Ni vigumu kudhani ule mmoja anaoweza kufanya mtindo uliombili na biblia katika hali ya kuabudu. Vile tuko wajakazi kwa tunaowafanyia, unyenyekevu kwa neno la Mungu ni muhimu kwa imani.
Kila mmoja wetu yuko chini ya mamlaka kuhifadhi sherehe sawa kama vile niko chini ya mamlaka kuhifadhi sabato na miezi mapya mtindo huo wa Mungu ni wazi, nani chini ya sheria.
q