Makanisa
ya Kikristo ya Mungu
[CB70]
Funzo:
Amri
ya Kwanza
(toleo
2.0
20050914-20070202)
Amri ya kwanza ina sema: mimi ni BWANA, Mungu wako, niliye kutoa nchi ya misri, katika nyumba ya utumwa. Usiwe na mungu mwingine ila mimi.
Christian Churches of God
PO Box 369, WODEN
ACT 2606, AUSTRALIA
Email: secretary@ccg.org
(Copyright γ 2005, 2007
Erica L. Cox, ed. Wade Cox)
(tr. 2008)
Masomo haya yanaweza
kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila
kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na
tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa
mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza
kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka
maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia yanapatikana
Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org
and http://www.ccg.org
Funzo:
Kusudi:
Kuangalia na kuelewa Amri ya Kwanza.
Kuvutwa kwa Fikira:
Sura ya Ufananizi:
Kutoka 20:1-3
Fungu Kuu:
Kutoka 20:1-3 Mimi ni Bwana, Mungu wako, niliye kutoa katika nchi ya misri, katika nyumba ya utumwa, usiwe miungu mingine ila mimi.
Kumbu kumbu la torate 6:4-5. sikia, Ee Israeli; bwana Mungu wenu, bwana ndiye mmoja nawe mpende bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote.
Njia:
Fungua kwa ombi
Kazi
Fungua kwa maombi
NINI SHERIA NA UMUHIMU WAKE UPI KATIKA JAMII?
Q. Fikiria kuwa unacheza mchezo upendao zaidi na rafiki zako. Ni nini latokea kama kila moja akiamua kubadili sheria na hakuna hata mmoja ambaye alicheza akitumia sheria?
Q. Ni haki kweli? Je, ina leta furaha mtu huyo aliye danganya ili ashinde.?
Q. Nini kitafanyika kama mtu mmoja akiamua kuaacha kutii sheria za mchezo kasha adanganye? Utajisikiaje? Ni haki kweli? Je ina leta furaha kwa mutu huyo aliyedanganya ?
Q. Unaweza kukumbuka siku ya mwisho kuendeshwa shuleni na mama au baba yako. Barabarani kuna ishara za usalama barabarani ambazo humwambia mama wakii wa kuenda na wakati wa ksimama. Nini kinaweza kutokea ikiwa mtu aliamua kutupilia mbali a lama hizi za usalama barabarani?
Panga kanuni 2 zenu za Nyumbani?
2
Mama na Baba wana wanawakupa sheria kwasababu wana kupenda na wanataka kukulinda sheria za Mungu hufanya kazi vivyo hivyo.
Mungu alitupa amri kumi ilituzitumie katika maisha yetu, kuishi maisha yetu kwa kulingana na sheria za Mungu kuna maanisha kwamba tunaongeza maisha ya mafanikio ya maana ya fahara.
Kutotii au kuacha sheria ni njia ya ubinafsi na ni ya hatari.
Sheria zipo ili zitumike katika usalama.
Amri za Mungu zimegawanywa katika makundi mawili; kikundi cha kwanza cha amri 4 kina tufindisha jinsi ya kupenda Mungu na kinaitwa amri kuu ya kwama. Kikundi cha pili ni cha amri sita ambazo hutufundisha jinsi ya kupenda jirani na kinaitwa amri ya pili.
Kuna Mungu mmoja pekee wa kweli, yeye ni Mwenyezina Muumba wa Mbingu Nchi na vitu vyote (tazama karatasi Mungu ni Nanai? (na. CB1).
JINSI YA KUPENDA MUNGU
|
|
JINSI YA KUPENDA JIRANI YETU
|
Hapa tunaenda kujifunza juu ya Amri ya kwanza ya Mungu.
Kutoka 20:2 Mimi ni Bwana, Mungu wako niliye kutoa katika nchi ya Misri katika nyumba ya utumwa. Usiwe na miungu mingine ila mimi.
Andika Amri ya kwanza ya Mungu.
!_ Mimi ni _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _
_ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _
_
_ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _ _
Mungu anaposema kuwa hatupaswi kuwa na miungu mingine, Anamanisha kuwa hatupaswi kuwa na chochote maishani mwetu ambacho ni muhimu kuzidi alivyo au kuchukua nafasi yake.
Hakuna kilicho muhimu kumzidi Mungu. Mungu anatuhitaji kuomba bila kuacha kunyenyekea kwake kila mara, kumweshimu na kunpa sifa zote pasipo na mwingine, na kuendelea kuelewa kuwa yeyr pekee ndiye nyenzo muhimu katika maisha yetu.
Luka 18:18 Tena mtu mkubwa mmoja alimuliza, akisema, Mwalimu mwema, nifanye nini ili nipate kuridhi uzima wa milele? Yesu akamwambia mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, naye ndiye Mungu. Wazijua Amri, usizine, usiue, usiibe, usishudie uongo, wahesimu baba na mama yako Akasema , hayo yote nimeyashika tangu utoto wangu, Yesu aliposikia hayo akamwambia, umepungukiwa na neno moja bado; viuze ulivyo navyo vyote, ukawagawanya maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni, kasha njo unifuate.
Utakuwa na hazina
mbinguni; na njoo, unifuate lakini aliposikia hivyo, alihuzunika sana kwa
maana alikua tajiri sana.
Q: Je, kiongozi hiyo
alivunja Amri ya kwanza ya Mungu?
NDIO
|
|
HAPANA |
Q: Viringisha, kasha utaje kilicho kuwa muhimu sana kwa kiongozi zaidi
ya Mungu.
Q: Je, unaweza kuwaza juu ya mifano ya vitu ambayo tuweza
kujali zaidi ya Mungu.
Jifikirie jinsi picha zilizoko hapa chini
zaweza kawa miungu mwingine.
Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuendea huo mti wa uzima na kuingia mjini kwa milango yake. (Ufu. 22:12-14)
Kristo ali tuambia kuwa yeyote asikiaye neno lake na kulitii ni kama mtu mwenye hekima ambaye alijenga nyumba yake katika mwamba (Mt. 7:24) mvua ikanyesha, pepo zikavuma zikapiga nyumba ile, isianguke kwa maana missingi yake iliwekwa juu ya mwamba (1Kor. 10:4).
Hata hivyo, kuna watu ambao hafanyi yale
Mungu anayoagiza. Wao ni kama watu wajinga wajengao nyumba za mchangani; mvua
ikaja, pepo zikavuma, na nyumba ikaanguka. Mungu anataka kuwa msingi wetu.
Anatuhitaji kumweka wa kwanza katika maisha yetu (Mt. 4:10). Mungu anatutaka
tumtumikie kwa ajili yetu kwa sababu Mungu anajua shida na mahitaji yetu ;
Anafahamu vyote kutuhusu; anajua kinachotufurahisha na kinacho tuhuzinisha.
Anajua kuwa tumwekapo kama wa kwanza
maishani mwetu, tuna kuwa wenye furaha. (Mithali 29:18)
Leo tumezangaswa na miungu mingi ya uengo ambayo yametengenezwa na watu. Mifano ni Santa Claus, Esther Bunny, Tooth Fairy, Budha, Krishna, hata Kristo amewekwa kama mungu na sanamu aitwaye kama menz aliye sawa au mwenza wa kimilele na Mungu wa Kweli wa pekee ambaye ni Baba (Isa 2:8; Yoh 17:3).
HAYA
NI MFANO WA SIO KWELI NA TABIA ISIO KWELI KWA BINADAMU-
UMBA
MUNGU!
Bibilia ina mifano mingi ya watu waliotengeneza miungu mingine kutokana na fikra zao.
Mungu aliwaangamiza watu waliojifanyia miungu na kuharibu sanamu zao!
Nchi nyingine kama Afrika, ina miungu mingi ya uongo. Waahii hufikiri ni kitu cha kufurahisha na kisicho dharahu kuchukua mfano wa kawaida wa miungu hii na kwenda nayo nyumbani. Bibilia inatudharisha kuwa miungi hii itaharibiwa pamoja na wamiliki wao. Watengenezao miungu hii hudhani kuwa wana nguvu za kipekee. Ilhali ukweli ni kuwa hawana nguvu (Hos 4:12; Yoh 2:8).
Mungu ndiye Mungu aliye hai awezaye kutusaidia wakati wa mahitaji; yeye ni muumba na mpaji wa vitu vyote. Mungu ana nguvu ya kutusaidia tunapozihitaji (Zek 9:7).
Wao wahuduo miungu wa uongo badala ya mungu wa kweli wa pekee na wasio tii Amri za Mungu watangmizwa.
Sote tunafanya makosa na kutenda dhambi; utendaji dhambi ni pale tunapo vunja Amri za Mungu na kuasi na kumwacha Mungu (Isa 59:2; 1 Yoh 3:6). Ni vyema kufahamu tulicho tenda pale tunapo asina kufany juhudi za kurekebisha makosa yetu. Infaa tumwambie Mungu kuwa tumefanya kitu kibaya na kuwa tunasema pole. Hiki kinaitwa kutubu.
Mhubiri 10:13 Tusikizeni mwisho wa mambo: mheshimu Mungu na tii Amri zake kwa maana hii ndio jukumu zima la binadamu.
Funga kwa ombi.
q