Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[095]
Kipindi cha Milenia na Dhana ya Unyakuo
(Toleo
La 2.0 19950311-20000107)
Jarida hili
linachambua kuhsusu nafasi ya waamini mafundisho yahusuyo kipindi cha millenia
kwenye Kanisa dhidi ya dhana au mafundisho yaliyotapakaa ya siku hizi
yajulikanayo kama unyakuo. Mafundisho ya zama kale yanaendelezwa kutoka kwa
waandishi wa zamni. Chanzo au chimbuko la fundisho hili la unyakuo
kinachambuliwa pia. Utunzi wa mafundisho ya siku hizi au ya kisasa na pia harakati
za makasisi wa kimajeswiti kina Ribera na
mwenzake Bellarmine zinaelezew pia. Harakati za mtu aitwaye Samuel Maitland katika
kuanzisha au kuzua mafundishohaya ya uwongo pia kunachambuliwa kwenye jarida
hili.
Christian
Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Hati
Miliki © 1995, 2000 Wade
Cox)
(tr.
2015)
Masomo haya
yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu
bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni
lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa
nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa
kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Kipindi cha
Milenia na Dhana ya Unyakuo
Fundisho halisi
la Kanisa la kwanzalilikuwa ni la imani juu ya kipindi cha utawala wa
millennia. Kanisa lilingojea kwa hamu kurudi kwa Kristo na ufufuo wa watakatifu
wakati atakaporudi. Na ndipo watakatifu watakapotawala Dunia kwa kipindi cha
miaka elfu moja, na baada ya hapo ndipo Ufufuo wa (Jumla) wa Wafu ndipo
utatokea, na kuhumu itafuatia baada ya kipindi hiki cha miaka elfu moja.
Kuna
Maandiko Matakatifu mengi ya Agao la Kale yanayoshabihiana na maneno
yaliyoandikwa kwenye Ufunuo 20 aya za 1-15 na kushabihiana na aya hizo.
Tusipoelewa vizuri kuhusu fundisho ju ya ufufuo wa wafu na kipindi cha Milenia
hatutaweza kuelewa kinachotokea wakati wa kuja kwake Masihi. Kwa mfano,
hatutaweza kuelewa maana ya yaliyoandikwa kwenye Zekaria 14:16-19 kuhusu
kuendelea kuadhimishwa kwa Sikukuu ya Vibanda na ulazima au umuhim wa
kuwapeleka wawakilishi huko Yerusalemu. Waadventista Wasabato hawawezi
kuyaelewa Maandiko haya Matakatifu. Na pia hawawezi kuelewa maana ya andiko la
Isaya 66:20 na kurudishwa tena kwa maadhimisho ya Sabato na Miandamo ya Mwezi
Mpya, kwa kuwa wao wanaamini uzushi wa Milenia ya mbinguni. Hawawezi kuelewa hata
kidogo kuhusu maana ya nabii hizi za Agano la Kale zinazihsiana na marejeo ya
Masihi, kwa kuwa hawawezi kuelewa hali yenyewe halisi na mazingira ya jinsi itakavyokuwa
atakaporejea.
Watu
wengi sana huko je wamepotoshwa, na tatizo ni kwamba, dhana ya imani yao imesimama
kwenye mawazo ya kudhania na kufikirika tu na yasiyo halisi na yanayotokana na
msukumo wa kimawazo wa kwenye Dunia hii wanayokaa, inavyoamini kuhusu ujio wa
Masihi. Shetani amelishambulia sana fundisho la kweli kuhusu jambo hili na
kufanya liwe ni makosa na chanzo cha upotoshaji kwa kipindi cha takriban miaka 2,000.
Fundisho hili ni mojawapo ya mambo yanayolionyesha Kanisa la kweli na Ukristo
wa kweli na linaloelewa vizuri mafundisho ya Biblia.
Sasa hebu na tuone
Ufunuo 20:1-15.
Ufunuo 20:1-15
Kisha nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, mwenye ufunguo wa kuzimu,
na mnyororo mkubwa mkononi mwake.2 Akamshika yule
joka, yule nyoka wa zamani, ambaye ni Ibilisi na Shetani, akamfunga miaka elfu;
3 akamtupa katika kuzimu, akamfunga, akatia muhuri juu
yake, asipate kuwadanganya mataifa tena, hata ile miaka elfu itimie; na baada
ya hayo yapasa afunguliwe muda mchache.
Hapa
tunaona kuwa Shetani amewadanganya mataifa kwa kipindi chota hadi kuanza kwa
kipindi hiki cha Milenia na kurudi kwake Yesu Kristo. Moja na fundisho
analolipiga vita, na ambalo kwalo hulitumia kuwadanganya mataifa, ni la Mundo
wa Serikali ya Mungu na uwepo wake katika Siku za Mwisho. Na hii ndiyo sababu
kubwa itakayompelekea yeye kutupwa kwenye shimo refu lisilo na mwisho maarufu
kama kuzimuni, kwa kuwa yeye ni mdanganyifu na ambaye dini ya uwongo inatokana
na yeye.
4 Kisha nikaona viti vya enzi, wakaketi juu
yake, nao wakapewa hukumu; nami nikaona roho zao waliokatwa vichwa kwa ajili ya
ushuhuda wa Yesu, na kwa ajili ya neno la Mungu, na hao wasiomsujudia yule
mnyama, wala sanamu yake, wala hawakuipokea ile chapa katika vipaji vya nyuso
zao, wala katika mikono yao; nao wakawa hai, wakatawala pamoja na Kristo miaka
elfu.
Andiko hili ni
kiini au chanzo kikubwa sana cha mkanganyiko uliopo. Iliamriwa na baadhi ya
waamini fundisho hili la Milenia wa Kanisa la kwanza kuwa ufufuo huu wa wafu na
utawala au ufalme ni thawabu watakayopewa wafia dini peke yao. Yaani ni kwamba
itamlazimu mtu kuuawa kwa kukata kichwa kwa ajili ya kumshuhudia Yesu ndipo
atakuwa na sehemu kwenye Ufufuo huu wa Kwanza wa wafu. Hilo ndilo lilikuwa
fundisho la mwanzoni mwa uchanga wa Kanisa katika karne ya kwanza. Hata hivyo,
inaweza kusomeka hivyo kwa namna kama hiyo kwa kusema kuwa wale waliouawa kwa
kukata vichwa watakuwa sehemu nyingine tofauti na wale waliokataa kumsujudia
mnyama. Hawa ni wale walio na sehemu kwenye Ufufuo wa Kwanz wa Wafu.
Hii inamaana kuwa
nguvu za mnyama italazimu kuendelea na kudumu kwa kipindi cha miaka 2,000, vinginevyo
watakatifu hawatajaribiwa kwa kipindi hiki chote, na idadi kubwa ya watakatifu
hawatakuwa na sehemu kwenye Ufufuo wa Kwanza wa Wafu, bali ni wafiadini peke
yao. Kwa hiyo nguvu za mnyama ni lazima zitende kazi. Dhana hii ya kutenda kazi
kwa nguvu za mnyama haipaswi kuonekana kuwa ni tafsiri ya waona mbali wa
matukio ya Nyakati za Mwisho peke yao. Nguvu za mnyama zinapaswa kuwa ni kutu
kinachoendelea kutokea na kuendelea pia, ili kwamba huyu mnyama aweze kuungana
na kutenda kazi bega kwa bega na mkakati wa dini ya uwongo. Kwa hiyo, nguvu za
mnyama wa nyakati za mwisho ni budi awe mwendelezo wa mkakati wa imani ya dini
ya uwongo, lakini kuna atakayeukomesha muundo huu wa dini ya uwongo katika Siku
za Mwisho.
5 Hao wafu waliosalia hawakuwa hai,
hata itimie ile miaka elfu. 6 Huo ndio ufufuo wa kwanza.
Kwa hiyo ni wazi sana kwamba aina mbili za ufufuo wa wafu;
wafu waliosalia watakuwa kwenye
kipindi cha mwishoni cha Milenia. Kwenye Ufufuo wa Kwanza wa Wafu ni wa wale tu
walioifia dini na waliokataa kuipokea alama ya Mnyama. Kwa hiyo ni wazi sana
kabisa kuwa yatupasa sisi tujarbiwe hadi kufa, au tuikatae chapa ya mnyama, ili
tuwe na sehem kwenye Ufufuo wa Kwanza wa Wafu.
6 Huo ndio ufufuo wa kwanza. Heri,
na mtakatifu, ni yeye aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; juu ya hao mauti
ya pili haina nguvu; bali watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, nao
watatawala pamoja naye hiyo miaka elfu.
Hii hi dhahiri
shahiri. Kunakwenda kuwa na makuhani wa Mungu na wa Kristo na watatawala na Kristo
kwa kipindi cha miaka elfu. Wanakwenda kuwa makuhani wa mambo mengine. Mtu
hawezi kuwa kuhani kwa au wa Mungu, pasipo kuwa na kitu kinachompelekea yeye
kuwa kuhani wake, kama mkusanyiko.
7 Na hiyo miaka elfu itakapokwisha,
Shetani atafunguliwa, atoke kifungoni mwake; 8 naye
atatoka kuwadanganya mataifa walio katika pembe nne za nchi, Gogu na Magogu,
kuwakusanya kwa vita, ambao hesabu yao ni kama mchanga wa bahari.
Ni wazi sana kuwa
kuna nguvu zilizo je ambazo ni nguvu za kimwili. Kwenye mwishoni wa miaka hii
elfu kutakuwa na watu wenye mwili watakaochukua silaha na kuwaendea watakatifu
kwa nia mbaya.
Wakapanda juu ya upana wa nchi, wakaizingira kambi
ya watakatifu, na mji huo uliopendwa. Moto ukashuka kutoka mbinguni, ukawala. 10 Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika
ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao
watateswa mchana na usiku hata milele na milele.
Mnyama na nabii
wa uwongo watakuwa ndio watasimamia mfumo wa uongozi, na imani na kuisimamia
mikakati ya unabii wa uwongo. Hawatakuwa peke yao au mmoja mmoja. Nia
inayokusudiwa kwenye maandiko haya imefafanuliwa kwa kina kwenye majarida ya Ufufuo wa Wafu (Na. 143) na Hukumu ya Mapepo (Na. 80). Watu hawatupwi kwenye ziwa la moto, ispokuwa ni wakiwa na miili iliyokufa
ya wale waliokataa kuokolewa. Hakuna kitu kinachoitwa au kujulikana kuwa ni
mateso ya milele ya watu watakaokuwa kwenye hali ya roho watakaotupwa kwenye
ziwa la moto.
11 Kisha nikaona kiti cha enzi,
kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu zikakimbia uso
wake, na mahali pao hapakuonekana. 12 Nikawaona wafu,
wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi; na vitabu
vikafunguliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa, ambacho ni cha uzima; na hao
wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu, sawasawa
na matendo yao. 13 Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo
ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake.
Wakahukumiwa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake.
Hakuna ufufuo wa
tatu wa wafu unaokusudiwa kufundishwa kutokana na andiko la Ufunuo 13. Fundisho
hilo ni la kuzushwa kulikofanywa na baadhi ya wazushi kwenye Mkanisa ya Mungu
ambalo limetokana na hisia zao za woga na linaweza kuitwa kuwa ni fundisho la
uzushi na la woga (soma jarida la Uzushi Kuhusu Ufufuo wa Tatu wa Wafu (Na. 166)).
14 Mauti na Kuzimu zikatupwa katika
lile ziwa la moto. Hii ndiyo mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto.
Kuna wazo
linalowashwa kwenye ziwa la moto. Ni kwa mfumo mzima wote Duniani na kwenye
mchakato wake wa kimwili unaozidi kuendelea.
15 Na iwapo mtu ye yote hakuonekana
ameandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika lile ziwa la moto.
Hii ilitolewa na
Mungu na kumpa Yesu Kristo na ikaandikwa kwa kutofautisha na mtume Yohana. Hii
imesaidiwa na maandiko kwenye kitabu cha Isaya na Zekaria na kwenye Injili,
lakini kwa udogo au upana imetupilia mbali.
Mtazamo wa kurudi
kwa Masihi umefikia kuharibiwa, na mtazamo asilia wa Kanisa ukafanyika kupewa
jina la imani ya kuamini ujio wa Masihi kipindi cha kabla ya Milenia. Fundisho
la utawala wa kipindi cha Milenia au itikadi ya kuamini utawala wa Milenia
lilikuwa ndiyo mtazamo uliodumu na kuaminiwa na Kanisa la Wasabato. Ilifikia
kiasi cha kupingwa na kugeuzwa au kupotoshwa na hata jina ililochukua na
mafundisho ya uwongo na Teolojia ya Kiutatu.
Mtaaamo wa kwamba
watakatifu wanaotawala walikuwa ni wale tu walioifia imani ulikuwa sio mtazamo
Kanisa la Agano Jipya. Paulo alisema kuwa wale waliokuwa hai wasingewatangulia
(au kuwazuia kama ilivyoqandika
kwenye tafsiri ya Kiingereza ya KJV) waliokufa katika Kristo, lakini
watakufanyika pamoja nao ili kuwa na Bwana na kuwa pamoja nae milele (1Wathesalonike
4:15-18). Hii ndiyo ilikuwa imani asilia ya waamini kipindi cha millennia na
mtazamo wa Kanisa.
Waamini kipindi
cha utawala wa Milenia au wale wamaitwa waandishi wa mrengo wa Milenia walikuwa
ni Apollinaris, Commodianus, Hippolytus, Irenaeus, Justin Martyr (Mfiadini),
Lactantius, Methodius (ambao walikiona kipindi hiki cha Milenia kama siku ya
hukumu), Montanus, Nepos, Barnabas wa bandia, Tertullian na Victorinus. Dhana
au fundisho la kuchelewa kwa juma la 70 linahusiana na andiko la Danieli 9:25 kwa
Kristo hapo mwanzoni lilifundishwa na Hippolytus.
Fundisho hili
liliendelezwa au kukuzwa kwenye kile kinachoitwa Uchiliadi, ambalo kimsingi
kabisa ni fundisho la kile kinachoitwa Umilenianismu. Milenia ni neno lenye maana ya miaka elfu moja na kuna jina
linguine pia linaloitwa Chiliadi na
hili lina maana pia ya miaka elfu moja. Lakini kulikuwa na majina mengine
mawili tofauti. Chiliadi ilichukuliwa pia baadae kwenye mafundisho ya waamini
utawala wa miaka elfu wa Milenia, ambayo yalikuwa na mambo ya ziada na ya
kimwili kwake. Wanostiki walianza kuendeleza imani hii ya Uchilism ambapo
walikuwa na ziada ya namna ya kimwili na kipagani wa kuishi kwa kipindi cha
miaka elfu moja. Iliangukia kwa kumvunjia heshima au kumdhalilisha kwa sababu
ya waandishi wa Kinostiki.
Satani alilishambulia
fundisho hili la Millennia kwa kutumia ukweli ulio kwenye fundisho hili kwa kuliongeza
ili kuufananisha na mambo ya kimwili kwa namna zisizo za kawaida. Fundisho la
waamini melinia lilitofautiana kwa fundisho hili la Uchliani kutokana na
watakatifu walioifia imani watakavyotawala Dunia pamoja na Kristo, yakiwa
yakienea mara nyingi kwa maandishi ya Wakristo ya zama ziliofuatia na
kuwajumuisha Wakristo wengine wote watakaokutwa hai wakati atakapokuja Kristo,
badala ya wale waliokwisha kufa kwa kuuawa wakiwa wanamshuhudia Kristo au wafia
imani. Maandiko yaliyofuatia ya Uchiliani, hasahasa yale ya Lactantius na ya
zama zake, yaliangukia kwenye malumbano ya ziada yaliyoufananisha na utawala wa
kidunia ulioko Yerusalem, na wengine walifanya ionekane kuwa ni mafundisho ya
kimwili zaidi kutokana na maandiko waliyoyachukua kutoka kwenye vyanzo vingine
visivyo vya kbiblia.
Hatimaye Kanisa Katoliki
likadai kuwa dhana hii ya utawala wa Milenia ilikuwa ni fundisho-tata na lisiloeleweka
lililo kwenye imani ya Kiyahudi na wakapinga nia ya moja kwa moja ya tafsiri ya
kitabu cha Ufunuo.
Wakasema: Ingawa ni vigumu kuitazama mara moja taswira iliyotumika kwenye Ufunuo na mambo yaliyoelezwa na wao, bado kunaweza kusiwe na mashaka kwamba maelezo yao yote yanayolinganishwa na mambo ya kiroho yanayolinganishwa na Kristo na Kanisa kwa upande mmoja na nguvu zenye madhara na maumivu za jehanamu na ulimwengu kwa upande mwingine. Hata hivyo, idadi kubwa ya Wakristo wa kipindi cha baada ya Mitume ,hasa huko Asia ndogo, walijikita. kwenye mafunuo ya kimapokeo ya Wayahudi; wakijaribu kuyapa maana au tafsiri za moja kwa moja kwenye maelezo na maandiko haya ya Ufunuo wa Yohana; na matokeo yake yake yalikuwa ni kwambaimani ya waamini millennia ilienea na ikapata utetezi wa nguvu sio kwa miongoni mwa wazushi peke yao, bali hata na Wakristo Wakatoliki pia. (Catholic Enc.,Vol. X Millennium, p. 308)
Hii inatuonysha
sisi viwango vya upotoshaji. Kwa kweli Kanisa la Mwanzoni lilikuwa ni la waamini millennia. Sababu
iliyolifanya Kanisa Katoliki lisipende ufunuo huu wa Wayahudi ni kwa sababu
nguvu na mamlaka yake yaliegemea kwenye nchi na serikali ya Kiruma na Rumi
ilikuwa ni Dolan a haikupenda ifundishwe hivyo (kuwa itatokea hivyo huko
mwishoni) dhana hii ya utawala wa miaka elfu duniani na kwamba makao yake
yatakuwa huko Yerusalemu. Wazo la Kristo kutawala kipindi cha miaka elfu moja hapa
duniani na makao yake yakiwa Yerusalemu hi tatizo endelevu na lene dosari kwa
zama moja hadi nyingine kwa Wakristo wa Ulaya. Hawapendi Kristo awe Myahudi na
autawale ulimwengu akitokea Yerusalemu . na ndiyo maana watu hawa wanayapinga
maana iliyo wazi ya Biblia ya kuwepo kwa kipindi cha Milenia.
Cerinthus Mnostiki
alichora au kuchapisha picha za matukio ya
Milenia kwa rangi angavu sana (C.E.
ibid.) (Caius in
Eusebius, “Hist. Eccl.”, III, 28; Dionysius Alex. in Eusebius ibid., VII, 25).
Askofu Papius
wa Hierapolis, mwanafunzi wa Yohana alikuwa ni mtetezi mzuri wa imani hii ya
Milenia. Anadaiwa kuwa alikuwa Mkatoliki na J.P. Kirsch CE. (ibid.); hata hivyo
hilo haliwezekani kupewa mbinu za kimafundisho ya Athanasians kama kanisa. Wote
wawili, yaani Papius na Irenaeus walidaiwa kuwa walijifunza mafundisho ya
Milenia kutoka kwa Yohana. Irenaeus ameandika kuwa Mzee (Presbyteri) mwingine
ambaye alimuona na kumsikiliza mwanafunzi wa Yohana na aliyejifunza kutoka
kwake alifundisha na mwenyewe kuwa wa imani hii ya Milenia na hili alilifanya
kuwa ni sehemu ya fundisho alilofundisha Bwana.
Kwa hiyo hapa
tuna mashahidi wawili. Irenaeus anasema wazi sana maaskofu wengine wote na
viongozi wa makanisa kuwa walimuona na kumsikia Yohana akiwafundisha fundisho
hili la Milenia yeye mwenyewe. Kuna shuhuda wa macho. Mtu fulani aliyemuona
Yohana alijifunza kutoka kwake, na kwa wanafunzi wake. Walikuwa na mafundisho
ya Yohana ambayo yalikuwa ni mafundisho ya Milenia na kuwa yalikuwa ni sehemu
mafundisho muhimu ya Bwana, na kisha walisema kuwa ni mafundisho ya Kanisa ya
kwanza.
Kwa mujibu
wa Eusebius (Hist. Eccl., III, 39), Papius, kwenye kitabu chake, anadai kwamba
ufufuo wa wafu ungefuatiwa na kipindi cha ufalme mtukufu sana kuwahi kutokea
ulimwenguni ambao ni wa Kristo, na kwa mujibu wa Irenaeus (Adv. Her V, 32-33), alifundisha kwamba watakatifu nao wangefaidi raha
au starehe nyingi zisizoelezeka za hapa duniani kipindi hiki cha Milenia (soma
pia kitabu cha Cath. Enc. op.cit.). kwa
hiyo hata watakatifu wa hapa duniani wanaweza, kwa mujibu wa Irenaeus, kuchukua
umbo la kimwili na kuwa na sehemu kwenye utawala ule.
Injili ya Mt.
Barnaba inadaiwa pia kuwa na dhana hii ya kimilenia. Dhana ya kuwa na siku sita
za kazi za kila jma na Sabato kuwa ni siku ya ibada na mapumziko inaonekana
kudumu kwa kpindi cha miaka elfu sita ya Mpango wa kazi ya Mungu, na kipindi
cha miaka elfu cha mapumziko ya Milenia. Kwa hiyo kipindi cha miaka elfu saba ni
dhana na fundisho lililokuwa kwenye imani na mafundisho ya Wakristo wa zamani
wa Kiyahudi.
Kanisa la kwanza
lilielewa kwamba Sabato ya kila juma ilikuwa ni taswira ya kipindi hiki cha
miaka elfu sita cha utawala wa Shetani na cha kazi ya Mungu, na ile siku ya
saba ilikuwa ni taswira ya kipindi cha miaka elfu moja ya Milenia. Huu umekuwa
ndio mtazamo na imani ya Kanisa la Mungu, kwa kipindi cha takriban miaka 2,000 na
hii ndiyo sababu lilikuwa linashambuliwa. Fundisho hili limekuwa likipingwa
wakati wote, kwa kuwa tunaelewa hilo. Na ndio maana Sabato inapingwa na
kushambuliwa, kwa sababu Sabato pia ni taswira ya kipindi cha Milenia.
Mfiadini Justin wa
Roma kwenye mdahalo wake alioufanya na Trypho (Ukurasa wa 80-81) anafafanua
mahala pa Milenia kwenye Biblia. Anagundua kuwa hata hivyo kulikuwa na Wakristo
wengi sana ambao hawakuamini fundisho hili.
Melito, askofu wa
Sardi katika karne ya pili, alielezea mafundisho ya millenia na akafuatiwa na Irenaeus
kwenye mtazamo wake.
Waumini wa
mafundisho ya Montani walikuwa pia waaminifu na waliosimama imara wanaoamini
fundiho hili la Milenia. Tertullian aliyekuwa nguli au kiongozi wa waamini
mafundisho ya Montani aliyafundisha kwa kina mafundisho haya kwenye kitabu
chake ambacho kwa sasa kimepotezwa cha De
Spe Fidelium na kwenye kitabu cha Adv.
Marcionem, IV.
Kitendo cha
kuyakataa mafundisho na itikadi ya Milenia kimsingi kilitokana na imani ya Wanostiki
(soma pia kitabu cha Cath. Enc. op.
cit.). Hata hivyo, chanzo kikuu cha kukataa huku ni hawahawa wapinga imani ya
Kiyahudi au Usemitiki. Ilipingwa pia na Alogi huko Asia Ndogo, na walikataa sio
Ufunuo peke yake (wakimuonesha au kumlinganisha na Cerinthus) bali pia Injili
ya Yohana. Vita dhidi ya imani ya Milenia ilienda mkono kwa mkono na vita dihi
ya wafuasi wa Montana waliujlikana kama wa Montanists. Mafundisho ya uzushi yaliibuka
ambayo nayo yalifundisha imani ya Milenia. Ni tabia ya Shetani kufanya kazi
zake kwa namna hii kila mara. Atalianzisha kundi lenye mafundisho ya kizushi
mengi yanayochanganya na kweli ndani yake, na kuwakutanisha pamoja na kisha
wakaanza kushambuliana wenyewe kwa wenyewe. Kwa hiyo kwenye vuguvugu hili la
kweli kuchanganywa na uwongo hatimaye ile kweli inaondolewa mbali na uwongo
unashinda.
Kuelekea mwishoni
mwa karne ya pili na mwanzoni mwa karne ya tatu, mzee maarufu wa kanisa la
Kirumu kwa jina Caius aliyashambulia sana mafundisho haya ya Milenia pamoja na
mwingine aliyeitwa kwa jina Hyppolytus wa hukohuko Roma wakiyazuia yasiendelee wala
watu wake wasiyatetee.
Mpinzani
aliyekuwa na nguvu sana kupinga imani hii ya Umilenia alikuwa Origen wa
Alexandria. Kwa hiyo basi hii ilipelekea mgawanyiko wa kimafundisho huko Alexandria,
ambao uliishia kukomeshwa na sundisho la Uungu, ambalo lilishambulia pia maana
halisi yaliyoko kwenye Maandiko Matakatifu.
Kwa mtazamo wa kile
kinachojulikana kama Neo-Platonism ambayo kwayo ndipo mafundisho yake
yalitokana na mtindo wa tafsiri yake iliyojlikana sana kama ni ya kuyatafsiri
maandiko kwa kiroho peke yake ailioutumia katika kuyachambua Maandiko
Matakatifu, na asingeweza kushiriki kwenye imani ya Milenia. Aliyashikilia
mafundisho haya kwa kusisitiza sana na kuibuka na ushawishi mkubwa ambavyo
maandiko ya vitabu vyake yalituama kwenye teolojia ya kikanisa hasa kwenye nchi
za Mashariki, ndipo fundisho la millennia lilitoweka kidogokidogo kwenye mawazo
na mafundisho ya Wakristo wa Mashariki (Cath.
Enc. ibid., p. 309).
Nepos, askofu wa
Misri, aliupinga mtindo wa kuyachambua maandiko kwa tafsiri ya kiroho wa Origen
kwenye karne ya tatu akilitetea fundisho la millennia, akisisitiza umuhim wake
huko Arsinoe. Ilikuwa ni kwa kupitia mafundisho yaliyojulikana kama uplatoni wa
kisasa ndipo fundisho la Utatu lilianza kufundishwa. Origen alikuwa ni muumini
wa mafundisho haya ya uplatoni mpya. Kwa hiyo ndivyo tulipopata mafundisho haya
ya uwongo na kuingizwa kwake Kanisani yakipinga na kushambulia mafundisho ya
kweli, yaliyoanzishwa na kufundishwa na Kristo ya kuwa atatawala hapa duniani.
Hili ndilo lilikuwa lengo la mashambulizi yao. Dionysius wa Alexandria alionekana
kwa kiasi kikubwa sana kupendezwa na fundisho la Milenia na kuachana na mtazamo
wao wa kuzuia hila (Eusebius Hist. Eccl. VII, 14).
Mafundisho ya
Milenia yalibakia huko Misri kwa kipindi fulani na Methodius, askofu wa Olympus
na mpinzani mkubwa wa Origen aliutetea Umilenia kwenye Mdahalo wake (IX, 1, 5,
in Migne, Patr. Graec, XVIII, 178
sqq.). Apollinaris, askofu wa Laodikia aliutetea Umilenia kwenye kipindi
kilichofuatia cha karne ya kwanza hadi karne ya nne. Maandiko yake yaliwekewa
rejea na Basil wa Kaisaria (Waraka ( Epist.) wa CCLXIII, 4, in Migne, Patr. Graec.XXXII, 980); sma pia kweenye
Epiphaneus (Her. LXX, 36, in Migne loc. cit. XLII, 696); na Jerome (In Isa.
XVIII, in Migne Patr. Lat. XXIV, 627). Jerome anasema pia kwamba Mileniam
ilikuwa ni fundisho yaliyoenea na kujulikana, lakini baada ya hapo Kanisa
lilifanya juhudi kubwa ya kukatisha tamaa umhimu wake kimafundisho. Ni fundisho
lililokutokana huko Magharibi, kwa mfano huko Commodian (Instructiones (Mafundisho)
41,42,44 Migne ibid. V, 231 sqq) na huko Lactantius (Institutiones (Vyuo Vikuu)
VIII, Migne ibid. Vi, 739 sqq.) ambao pia waliyachukua kutoka kwenye unabii wa Sybilline,
ambao walikuwa ni Wanamilenia wa Kanisa la Kwanza. Nabii za Sibilline kimsingi
zimeorodheshwa kwenye Maandiko Bandia ya yasiyokubalika ya Agano la Kale. Ni nabii za Kimasihi. Iwe ni hivyo au
hapana, wao walikuwa ni Wakristo ni dhana ya kila mmoja. Ni wafuasi wa Masihi wenye
asili ya Kiyahudi na wanazifania rejea kanuni za kimwili za Masihi. Fundisho
hili linapatikana hasahasa kwenye Kanisa la mrengo wa Kiyunitari pia.
Kwa sababu ya
makosa makubwa na upotoshaji wa makanisa ya siku hizi, kurudi kwa Kristo na
marejesho mapya ya kipindi cha Milenia, wanateolojia wengi wa siku hizi,
wanadiriki kuzikumbushia ahadi zilizotolewa kwenye Agano la Kale wakiziingiza
kwenye matengenezo mapya kuwa ni kitu cha ajabu kisichowezekana, na wengi
hulichanganya neno Israeli na Wayahudi.
Hawajui kuwa Wayahudi ni sehemu tu ya Israeli na kwamba makabila kumi yaliyopotea
yapo nje bado na kwamba makabila haya yanaunda shirika, na kuna mtazamo wa
ujumla wa Kibiblia wa ulimwengu wote kufanyika kuwa Waisraeli.
Wanadiriki
kuziwekea matabaka ahadi za Mungu kwenye Agano la Kale, ni ushahidi wa zaidi wa
ushawishi wa Waetruscan na Waajemi kwenye mafundisho na hivyo, kuidunisha asili
yao iliyovuviwa. Mara nyingi sana, wakati mwandishi anapoyadunisha Maandiko
Matakatifu ya Agano la Kale hitimisho lao linakuwa kituko na si la kibiblia. Ni
kama tulivyojionea mara nyingi, kwa kweli, Maandiko Matakatifu yanamaanisha
Agano la Kale na Injili imejumuisha kwayo. Mitume walikuwa na Maandiko
Matakatifu, yaani, Agano la Kale na ndilo walilolitumia kufundishia. Maandiko
ya Mtume Paulo yalikuwa hayajakusanywa bado na nyaraka zake sio Maandiko
Matakatifu yanayostahili kuizidi Biblia. Bali ni nyongeza tu za Biblia.
Yatupasa kulijua hilo vizuri sana.
Ili kulipinga n kulishambulia
fundisho la Milenia, kwa kweli inawapasa kukiamini Kitabu cha Ufunuo. Hiyo
ilipandekezwa kuwa ni ufumbuzi na kwa kipindi fulani walijaribu kukiondoa
kitabu hiki cha Ufunuo kutoka kwenye Biblia. Kuna mambo kidogo yanayotatanisha
maana yake kwenye kitabu hiki cha Ufunuo. Ni jambo la wazi na muhim na
linaloshutumu au kuzikemea kwa ukali imani na dini za uwongo, na ni wazi kabisa
kuwa Kristo anakwenda kushughulikia ulimwengu huu.
Kuondolewa kwa kitabu
cha Ufunuo kwenye Mchakato wa Kuyarasmisha Maandiko maarufu kama Kanuni au Canon
Ilikuwa ni kutokana
na madai haya ya ziada ya Kichiliasm ndipo Ufunuo (kitabu cha Ufunuo) kiliondolewa
kutoka kwenye orodha ya vitabu vilivyokubaliwa na hili waliloliita Baraza la
Kanuni Takatifu kwa muda fulani, ingawaje sababu ya kweli yawezekana kabisa ni
mapokeo ya Kimithraiki yalikuwa kujitilia chumvi mno yenyewe kwenye Kanisa na
kitabu cha Ufunuo kilikuwa wazi sana na kilikuwa kinaeleweka kinavyosema.
Mwishoni mwa karne ya pili kitabu cha Ufunuo kilitambuliwa na kukubalika kuwa
ni kitabu chenye ujumbe wa kitume na kimevuviwa na Kanisa zima lote, isipokuwa
nakala iliyoandikwa kwa lugha ya Kisyria kilijikuta kikiangukia kwa muda kwenye
kudunishwa na kutoaminika, kwa sababu ya upinzani uliokuwepo wa kuwapinga
Wamilenia wenye itikadi ya Kichiliani yaliyofanywa na Dyonisius wa Alexandria (aliyefariki
mwaka 265). Wote wawili, yaani Cyril wa Yerusalemu (aliyefariki mwaka 368) na
Gregory wa Nazianzus (aliyefariki mwaka 389) walikitenga kitabu cha Ufunuo
utoka kwenye orodha yao ya vitabu vya Agano Jipya na Chrysostom (aliyefariki
mwaka 407) hakuweka nukuu mahali popote kutoka kwnye kitabu hiki (soma jarida
la Uasili na Usawa na Baba (Na. 81)).
Ni kina nani watu
hawa? Gregory wa Nazianzus na Gregory wa Nissa na Basil wa Kaisaria, walikuwa
ni watu watatu walioanzisha fundisho la Utatu. Watu hawa kwa wazi waliyaendeleza
mafundisho ya Utatu na walieneza uvumi wa umuhimu wake ili wayaendeleze (kama
anavyosema Basil mwenyewe) kuwa ni Mungu. Walikuwa ni mojawapo ya waanzilishi
wa Kanisa Katoliki.
Mtaguso wa Laodikia
(mwaka 366) ulikiacha na kukitenga orodha ya vitabu vilivyokubalika na kutambuliwa
na Kanuni.
Kipengele cha kanuni
cha 29 cha maraza hilo kilisema kuwa Wakristo hawatafuata seria za Kiyahudi na
kupumzika siku ya Sabato, bali wafanye kazi siku hiyo; lakini wakaiweka Siku
nyingine ya Bwana ambayo watapaswa kuiadhimisha kwa makini na ambayo inaweza
kuwa ni siku ya ibada za Wakristo, ambayo ikiwezekana kwayo hawatafanya kazi
yoyote siku ya dominika. Na kama watakutikana kwa namna yoyite wakiyashika
maagizo ya dini ya Kiyahudi, basi watatengwa na kanisa na kutangazwa kuwa
wamelaaniwa na Kristo.1
Kumbuka kuwa tarakim 1. Hefele kwenye Historia ya Mabaraza ya Kanisa [Councils
of the Church, Volume 2, page 316] ameitaja siku ya Sabato kuwa ni Jumamosi na
akalitumia neno “wafukuziwembali na kufungiwa nje ya Kristo".
Kwa hiyo baraza
hili lilikipiga marufuku kitabu cha Ufunuo na kuipiga marufuku Sabato. Hii
inawapa wanafunzi wa Biblia wazo muafaka la nia ya kiroho ya Baraza la Mtaguso
wa Laodikia.
Kanuni nyingine
za Mtaguso huo zilitoa ruhusa ya usomaji wa Maandiko Matakatifu yanayotoa mkate
wa kipindi cha Kwaresma; na kuwaadhimisha wafia dini kwenye ibada za Sabato na
zile za Jumapili. Baraza hili likuwa linaona bado Sabato kuwa ni siku takatifu
loitunza Sabato, lakini huku likiifanya na kuitangaza kuwa ni siku ya watu
kufanya kazi ba huku ikiipigia chapuo kwa hila zote siku ya Jumapili na
kuitangaza kuwa ndiyo siku ya mapumziko na ibada za kanisa.
Hivyo ilikomesha
au kuhitimisha makosa na upotove wa Mtaguso wa Nikea wa mwaka 325 BK wakato
walipoketi kikao cha jakamoyo kilichoitishwa na Constantine tangu mwaka 321 BK.
Ushindi haukuwa kamili, hata hivyo, kwa kuwa Athanasius katika mwaka 367 BK aliijumuisha
hii kwenye orodhai yake na kwenye Mtaguso wa Hippo (mwaka 393) na wa Carthage (mwaka
397) waliitangaza kuwa inakubalika Kikanuni.2
Notisi namba 2. Dondoo za historia iliyokumbana na matatizo ya kitabu cha
Ufunuo yalijumuishwa kwenye kitabu cha Askofu B F Westcott cha Udadisi wa Jumla
wa Historia ya Kanuni ya Agano Jipya 1875 ukurasa wa.2C.
Walishinda
vita waliyohitaji kushinda na mnamo mwaka 367 mwaka mmoja baada ya Mtaguso wa
Laodikia, Athanasius ambaye alikuwa ni mmoja kati ya mababa waanzishi wa Kanisa
Katoliki (wanaitwa Waathanisani kwa kuwa walikuwa waamini Utatu) kisha
wakakiachilia mbali kitabu cha Ufunuo na kuktoa kwenye Kanuni hii.
Constantine aiharibu
Imani
Ilikuwa ni
Constantine pia ndiye aliyeharakisha kukomeshwa kwa fundisho la kipindi cha
Mileniai na mauti au iifo cha kusikitisha ya Imani yetu ya mwanzoni kutokea.
Kuongezeka kwa mafundisho ya mali na utajirisho, Uchiliasm kulisukuma upinzani
na kwanza ilionekana kwa mwonekano wa Origen wa Alexandria. Kwa kufanya tafsiri
ya kiroho na tafsiri ya kiroho na yenye kutilia chumvi alilifanya Kanisa kwenye
barabara inayoelekea upande wa chini ya kilima. Dhana ya kwamba Ufalme wa
milele wa Mungu unamaana ya uwepo wa Kanisa Linaloendelea Kudumu Duniani
lililotokana kwa mlango wa nyuma wa maandiko ya Tichonius na yalianzishwa na Eusebius
yakifuatiwa na “mjadala” wa Constantine kwa Wakristo. Constantine alibatizwa na
Eusebius wa Nicomedia alipookuwa mahututi mahutihuti. Alibatizwa akiwa na imani
ya Kiyunitariani (yaani kile kinachitwa iamani ya Uariani au Ueusebiani) na sio
Ukatoliki. Constantine hakuwa Mkatoliki kabisa na aliikataa imani yao na kwa kweli
aliitwa Mueusebiani. Alikuwa Myunitariani. Aurelius Augustine, Askofu wa Hippo,
kwenye jhudi yao ya kupinga imani ya kichiliastiki uliansiahi wenye hamasa kwenye
maandiko yake ya kutafsiri kirohoroho kila kitu pamoja na Milenia yenye msingi
wake kwenye theory iliyena iliyofundishwa na Tichonius. Hii inaonyesha kuwa
kitabu cha Ufunuo kinajirudia chenyewe kikiandika matukio yote ya zama ya
Wakristo chini ya alama ya makanisa saba, mihuri saba, baragumu saba, wanyama
na kisha Milenia. Kwa hiyo kutokana na watu hawa na umashuhuri au heshima ya Constantine,
Shetani wa bandia alizaliwa na fundisho la utawala wa kipindi chaa baada ya
milenia yaliibuka na kuenea.
Milenia ya Mbinguni
Sambamba na uibukaji
wa mafundisho ya kuwepo kipindi cha baada ya millennia, kulikuwa na malumbano
yaliyoibuliwa na Jerome kwamba kipindi hii Milenia itafanyika mbinguni na sio
duniani. Hoja yake ilituama kwenye dhana tu au theory na ni wazi sana kwamba
alimshawishi na kumvutia Augustine kwenye maandiko yake. Inaendelea kudumu hata
sasa na kuwezesha sarakasi au mtafaruku wa kifikra kuhusishwa, ya kwamba
yatupasa kuzipuuza au kuzikataa nabii zote za Agano la Kale.
Ni jambo la
kusisimua kuona kuwa hata Augustine alikuwa mwamini fundisho hili la Milenia (Kitabu
cha City of God [Mji wa Mungu], XX, 7). Hata hivyo, anaonekana kudaiwa kuwa
aliamini kuwa kipindi cha Milenia kitakuwa baada ya ufufuo wa wafu Wote na ni
huenda ni kiroho zaidi (Sermo, CCLIX, in Migne, ibid., XXXVIII, 1197). Anaaminika
pia kuwa alikuwa anasaidia mrendo wa waamini milenia ya baada ya kipindi cha
ufufuo wa wote na anaungwa mkono pia na baadhi ya wanazuoni wa elimu ya mambo
ya siku za mwisho kwa kuanzisha au kufundisha theory ya milenia. Watu wengi
wanaenda nyuma hadi kipindi cha Augustine na kudai uungwaji mkono wa mitazamo
yao kutoka kwake.
Wakati wa zama
iliyojlikana kama ya Matengenezo wote walikwenda kwa Augustine na hawakurudi
nyuma hadi kwenye Kanisa la Kwanza. Matengenezo haya bado yamewajumuisha au
kuwakumba watu na kuwatia kwene imani ya Utatu (na Waabudu Jumapili), kwa kuwa
hawakurudi nyuma hadi ya nyakati za Augustine. Imani ya milenia ya baada ya
Ufufuo wa wote haikuwa imani rasmi ya Kanisa Katoliki la Roma, hadi baada ya
Thomas Aquinus alipowashinda wapinzani wake na haikuwa imekubalika kiujumla
hadi baada ya mwaka 1700. Kitabu Wakatoliki kilichojulikana kama “The new
Catholic Commentary on Holy Scripture, 1953 p.1207”, Kitabu kipya cha Ufafanuzi
wa Maandiko Matakatifu cha mwaka ulioandika hapo, kinawashauri viongozi wake
kwa kusema hivi: “kuhusu mabadiliko ya Shetani na utawala wa Watakatifu kwa
kipindi chote kunajiri kwa taratibu na dhana ya mabadiliko ya maumblle ya mtu
kupitia kwenye kchakato kadhaa hadi awe mwanadamu".
Kutokana na madai
ya kubadilika kimchakato hadi kuzaliwa kwa Kristo au incarnation, na kufufuka
kwa Kristo, na matokeo ya mavuno mengi ya Kanisa, Kanisa Katoiki la Roma
linadai kuwa na serikali, mamlaka na uweza wa kimamlaka sasa. Imani yao ni
kwamba wao ni mamlaka inayotawala na yenye nguvu, na kwamba Milenia (Ufalme wa
Mungu) ni sasa na uko haoahapa duniani.
Imani ya Milenia
Mchanganyiko
Imani ya mchanganyiko
wa kipindi cha milenia inachekesha sana na ni fundisho potofu na la uwongo. Wanafundisha
kwamba Ufunuo 20 inafundisha tu ukweli wa kiroh kwa lugha ya ishara. Inadai
kuwa hakuna millennia yenyewe hasa wala utawala wake, au vinginevyo
inachukuliwa kama ni makosa na upotofu ulioko kwenye imani ya Kikristo
iliyodumu kwa vipindi vyote. Aina mbili za ufufuo wa wafu inaunganishwa kwenye
mmoja tu na Kristo anakuja katika mwisho wa dahari kuhukumu ulimwengu. Mtindo
huu wa kuunganisha mambo unakuwa unatimika na kupendwa na watumishi au wahubiri
wa kimagharibi na waamini Utatu kwa ujumla.
Tofauti iliyoko
kati ya waamini millennia ya baada ya kipindi
cha ufalme wa mbinguni duniani na hawa wanaounganisha kipindi cha
milenia ni ndogo saana, lakini hata haijalishi kama wanatofautiana.
Mabadiliko Kwenye Imani
ya Milenia ya Baada Kiyama
Waamini milenia
ya baada ya kiyama wamekwenda wakibadilika badilika, na mnamo mwaka 1190,
Joachim wa Flores na Joachimite Spirituals, waliamua kuanzisha kanisa lisilo na
doa. Masalia wa Kanisa la Roma waliwasukuma wale waliojisikia kuwa wanaishi
katika Kristo kutafuta kitu kingine zaidi cha ziada. Huku wakiwa mabaki ya
kiuchanga au kimwili viongozi wa Kanisa waliojulikana kama wafalme wa Kanisa na
utendaji kazi wa aliyejipachika cheo cha kuwa ni Mwakilishi wa Kristo hapa
duniani, mtu asingekuwa na namna nyingine bali ni kutarajia tu kwamba kulikuwa
na maelezo mengine ya Mpango wa Mungu hapo juu na zaidi kipindi cha milenna,
ambacho kilidhaniwa kuwa kiwango cha juu sana cha hamasa ya mwanadamu iliashiriwa
kwenye Serikali ya Kanisa la Rumi.
Mafundisho ya Utatu na ya
Kanisa Lisilo na Doa
Kanisa jipya
lisilo na doa, hata hivyo lilkuwa limetuama kwenye mafundisho na imani ya Utatu
na mapokeo yake mbalimbali yanayotuama kwenye utofautishaji; umri wa Mungu
Baba, umri wa Mwana wake na umri wa Roho Mtakatifu. Joachim alishikilia kuamini
kuwa umri wa Roho Mtakatifu ulikuwa ni kuanzia mwaka 1260 BK kwa kanuni ya
hesabu yamwaka mmoja sawa na siku moja. Umri ujao wa Roho Mtakatifu ulielezwa
pia na Wafransiskani wa Kiroho. Wakati huu Kanisa lilikuwa linajihusisha na
kutoa maelezo au mafundisho ya kuwezesha kuaminika kwa mafundisho ya kizushi ya
Utatu kwa namna zote mbili, yaani kiasili na kiufunuo. Aya iliyo kwenye 1Yohana
5:8 kwenye tafsiri ya Biblia ya the Textus Receptus na kisha kwenye King James inayosema:
"Kwa maana wako watatu
washuhudiao [mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni
umoja," ilikuwa ni aya
ya kughushi au iligushiwa. Ilijumuisha maandishi mengine zaidi, kwa kuwa
hakukuwa na aya nyingine kwenye Biblia iliyosaidia dhana hii ya miungu ya imani
za Kimisri, ambazo zilikuwa zimekwisha anza kuchanganywa na kukubalika kwenye
Ukristo wa Kirumi. Tarakumu hii ya tatu ilikuwa pia na maana yake kwenye dini
ya kale ya mngu mke, ambaye alionekana wazi kabisa kuwa ni mwenye umbo la kike
na ni desturi shirikishi iliyojmisha asili ya ibada na maumbo ya uasilia au
ubinadamu, ambayo hatimaye ilionyoshwa kama ishara ya ushirikina. Kwa hiyo bila
ya kuwa na msingi wa ki biblia kwa ajili ya kulifikia lengo hili la kuwapotosha
watu kwa imani hii ya Utatu waliama kuigushi aya hii.
Msingi wa kitendo
cha wana vuguvugu hawa wa kiroho ilikuwa ni kutoka kwenye kipindi zama cha muongo
moja uliokuwa kwenye kanisa la zama za kati. Wafransiskani, waliponywa na Pierre
Jean D’Olivi (aliyefakiri mwaka 1298), aliyeiona ile hali ya vyeo au madaraja
ya kanisa ni kama siri za kimafumbo ya Kibabeloni,
na Ubertino wa Casale (yapata mwaka 1312) aliyemfananisha na kumchukulia Papa
kama alama ya Mnyama, pamoja na Joachimites, walikuwa wamechefuliwa sana na upotkatishaoshaji
mkubwa na Kanisa lilikuwa linazama au kudidimia, na ndipo waliona umuhimu wa
kufanya matengenezo. Kwa hiyo mengi yalifanywa ili kuleta msukumo na kwamba
wengi waliwaona mapapa kama Wapingakristo.
Hiki ndicho kilio kilichosikika kutoka kwenye Makanisa ya Kiprotestanti, wakitoa
mwito kwamba watoke kutoka kwenye ukengeufu wa Kibabeloni.
Kosa la kiteoojia
la Waprotestanti lilikuwa kwamba hawakuenda mbali na kwa kina kuangaza historia
ya nyuma kwenye mkakati wao huu wa kuurejesha ki kwelikweli ukweli uliopotoshwa
na kupotea kwenye Kanisa, zaidi ya kumnuku Augustine wa Hippo na ambaye
asingeweza kuwaokoa kutokana na makosa au upotofu uliofanywa na mabaraza ya
Nikea, Laodika, Constantinople na Kalkedoni. Kwa hiyo hawakurejesha Ukristo wa
Kanisa la kwanza kabisa, na wakashindwa.
Kilio kikubwa cha
kulisafisha Kanisa la hawa wazushi wa kwanza kilisikika kupigwa wangwi na
Milicz wa Kremsier (alifariki mwaka 1374) kabla ya ulaji wake haujaathirika.
Edward Gibbon anasema
anaposhughulikia kuenea kwa ushawishi wa Vatican, “wakati wa karne kumu za
upofu na utumwa, Ulaya ilipokea ushauri wake wa kidini kutoka kwa unabii au
mafundisho ya Vatican, na ni mafundisho hayohayo, tayari yamekwisha futiliwa
mbali na kutu ya uovu yaliyoingizwa bila kupingwa kwenye ukiri wa imani ya wana
matengenezo walioukataa uhalali wa mamlaka ya Papa wa Roma”. Sinodi ya Kalkedoni
ingali bado inashika dau la Makanisa ya Kiprotestanti. Wallfanya matengenezo ya
kinafiki, lakini hawakurudi kwenye ushikaji wa Amri za Mungu na hadi leo
wanaendelea kuzinajisi Sabato, pasipo na mamlaka nyingine zaidi ya ile ya
Askofu wa Roma.
Arnold wa
Villanova aliyefariki mwaka 1313 akitarajia kutokea kwa matengenezo ya ndani ya
Kanisa, huenda angechefuliwa na kuchukizwa sana na matengenezo haya bandia
yaliyopokelewa mahala pake, ambayo, yaliponywa au kuokomeshwa na baraza la
mahakama ya kidini, lililoua maelfu ya watu wa Mungu ambao habari zao
hazisimuliwi kwa njia mbalimbali na za hatari ambayo watesaji na wauaji
waliizitumia. Kanisa lisolo
na doa la waamini Milenia lilichuja na kufifia kidogokidogo kutokana na mateso
haya. Walikuja kuwakilishwa na vikundi vilivyopoa kama vile cha wa Anabaptists.
Upinzani dhidi ya
imani ya Kirumi ulikutikana huko Ulaya na Wasabato ambao walikuwa ni
Wayunitariani (soma jarida la Jukum la Amri ya Nne Kwenye Historia ya Makanisa ya Mungu ya Washika Sabato
(Na. 170)). Kimsingi, wa Waldensians walikuwa ni sehemu
ya Wasabato na walikuwa Way8unitari wa imani ya Milenia. Kitendo chao cha
kulikataa fundisho na imani ya Utatu kilikuwa ni moja ya kile kilichoitwa
“uzushi” wa wa Waldensians, (Kwa mujibu wa kitabu cha Rev. A.C. Shannon cha Papa na Mafundisho ya Uzushi Katika Karne
ya Kumi na Tatu [The Pope and Heresy in the Thirteenth Century, p.7]).
Wachilisti Wenye Wivu wa
Kupindukia
Imani yaw a Milenia
ilikwenda kwenye msononeko baada ya hii, hususan baada ya Wanamatengenezo wa
Kiprotestanti waliouona wivu wa Wachiliasti kuwa wanakata tama na kufadhaika.
Hasahasa wale waliojulikana sana walikuwa wa Munsterites kwenye Bara, na
hatimaye wamonaki au Watawa wa Kwanza wanaume wa Uingereza ambao walijaribu kuanzisha
Ufalme wa Mungu hapa Duniani kwa kutumia njia za ksiasa na za kijeshi kwa
wakati wao walioishi.
Uhamiaji
Mtazamo wa
Wachiliastiki, hata hivyo, ulikuwa ni kuanzisha kwa njia ya Mikusanyiko na kendesha
ibada zao kwa njia hii na hatimaye wakawa Wabaptist, ambao baadhi yao
walikwenda Marekani. Wabaptisti wengine walikuwa ni washika Sabato ambao
kutokana nao walianzisha kanisa lililojulikana kama Seventh Day Baptists. Kutikana
na kikundi hiki ndipo walitokea Waadventista Wasabato (SDA) na Makanisa
meingine ya Mungu ya washika Sabato yalitokea pia. Lakini Waadventista Wasabato
hawapo miongon mwa hawa Wachilialisti, bali zaidi sana wao wameyachukua na
kuyaamini mafundisho na mtazamo wa Jerome wa Miienia ya Mbinguni, bila shaka
walisababishwa na kupata msukumo kutokana na kushindwa kut Wachi imia kwa
unabii wa mwanzilishi wa kanisa lao William Miller na kusaidiwa na Ellen G.
White na matarajio ya kwamba tarehe 22 Octoba 1844 ingekuwa ni siku ya kurudi
kwake Kristo duniani.
Kuanza Tena kwa
Mafundisho ya Kweli na Mabadiliko ya Fikra
Nuru ndogo ya ukweli
ilijitokeza tena ikiletwa na Joseph Mede, ambaye aliufundisha mtazamo au imani
iliyodumu kwenye historia ya milenia moja ya wakati wa kurudi kwa Mwokozi, bila
shaka ni kupingana na mtazamo na mafundisho ya Kanisa la Rumi ya millennia ya
baada ya kipindi cha kiyama.
Aina mpya ya imani
ya millennia ya baada ya kiyama ilianzishwa na kufundishwa na Daniel Whitby mwaka
1703, inayoamini kwamba Kurudi kwa mara ya pili kwa Masihi kutatokea tu baada
ya kipindi cha miaka elfu moja na zaidi au kabla kidogo, wakati dunia itakuwa
na amani tele, haki, utauwa na wema kwa ujumla wa mwanadamu, ambapo kwamba
ulimwengu wote kwa ujumla utakuwa umeongoka na kuingia kwenye imani ya
Kikristo. Bilashaka hii inatokana na malsha safi ya dunia, ambavyo itamshinda Shetani,
awapate Wayahudi, Waislam na mtu mwingine yeyote na kukomesha vita vyote. Jonathan
Edwards na Samuel Hopkins walianzisha mafundisho huko Marekani na mnamo mwaka 1800
ilifanyika kuwa ni mtazamo wa kimafundisho au mafundisho ya msingi. Wandishi
hawa walidai kwamba hili tendo la kufungwa na kufunguliwa kwa Shetani ni mfano
tu, lakini nguvu za Shetani zinaweza kushinda kwa kitambo kabla ya kurudi kwa
Kristo. Waovu wengine waliosalia wanaweza kuangamizwa baada ya kuja kwake na
ndipo Ufalme wa Mille wa Mungu utaanza.
Wakristadelfians
wanadai kwamba Shetani hayupo, kuokoka nl dhana tu, na kwa hiyo inaweza
kuangukia kwenye mtazamo wa kutumia akili wa kinamna hiyo au wa kujiuliza
akilini, lakini kwa mafundisho tofauti sana na ya kila namna yanayofanana na
imani au mtazamo wa kimilenia.
Imani au mitazamo
kuhusu Ufufuko wa wafu imetiwa giza au kufifishwa kwa namna hiyohiyo na wafuasi
hawa wa Whitby. Whitby na Vitringa wanapinga kwamba Yerusalemu Mpya ni Baraka
za Kanisa la kwanza kwenye kipindi cha Milenia, wakati kwamba wengine walio
kama Brown na Faber wanaamini hii kuwa ni kundi la watakatifu baada ya Milenia.
Theori au
fundisho hili lilikuwa limeharibiwa zaidi katika karne ya 20 wakati
Vita Kuu ya 1 ilipolipuka. Ni kama itakavyoweza kudhaniwa, wakati mwaka 1914 ulipokuja
kwenye tetesi zake na dunia ikaingia kwenye vita – Vita Kuu kwa ajili ya
ustaarabu – kisha kwa ghafla fundisho zoma lote ilifungiwa na kutopewa nafasi.
Sisi tupo kwenye vita na unabii na unabii uhusuo Nyakati za Mwisho. Hawakupenda
kuukabili ukweli kwamba nabii hizi zilikuwa wazi na kwamba walikuwa wanakwenda kwenye
vita vya mwisho na mtu Yule alikuwa hawezekani au aishindwi, pasipo msaada ya
Roho Mtakatifu, wa kuendeleza mfumo au utawala mpya na dunia mpya na kupatawala
mahali hapa kwa utawala wa Yesu Kristo. Huenda ilitabiriwa kipindi kirefu cha
nyuma kwenye mwaka 1139 wakati Mt. Malachi alipomita Papa wa wakati huo kuwa ni
"Religio Depopulata" Mwangamiza Dini. Hata hivyo, vita n, vita ni
fundisho la unabii wa kibiblia (soma jarida la Anguka la Misri: Unabii wa Mikono Iliyovunjika ya Farao (Na. 36)).
Whitbyists alisema
kuwa mwanadam amefanya maendeleo makubwa sana kujaribu kuchokoza iwepo vita
nyingine. Waamini wote wa mafundisho ya milenia ya baada ya kiyama tangu
Augustine hadi Whitby walikabiliana na tatizo ambalo ulimwengu hauishi kwalo
kwenye ubashiri wao na mawazo yao ni kinyume na fundisho la biblia. Biblia iko
wazi sana kuhusu kile kinachotokea. Tunafurahi kuona na kutazma mbele kwa kuwa
tuajua kitakachotokea. Kwa kuendeleza uhusiano wetu na Mungu tumeona kuwa
usalama wetu upo kwa Mungu, na furaha ni jinsi tunavyoweza kuishi pamoja.
Kushindwa kwa
mafundisho haya kulisababisha kufufuliwa kwa imani ya milenia ya wakati wa
kurudi kwa Masihi. Wale waliotazamia kile kilichonenwa na Biblia na kukinukuu
walilazimika kugawanyika ki matawi na kuwa wafasiri maandiko kama yalivyo na
sio kwa kiroho na walipingwa na wafasiri maandiko kwa kutumia mtindo wa kiroho,
lakini kama ilivyo kawaida ni kwamba mawzo ya kujilinda yaliezwa kwa watu
wakipuuza na kukataa neno lililoandikwa na kutafsiri ujumbe. Tatizo lililokuwepo
kutoka kwa watu walioacha kuyachukulia maandiko kuwa ni kama maneno au usemi wa
vile yanavyomaanisha.
Mafundisho yaliyofuatia
baadae
Mafundisho yaliyofuatia
baadae yamejumisha imani waliyodai kuwa ni Unyakuo
wa SIri, fundisho lililoanzishwa na Edward Irving, aliyeanzisha kanisa
lililojulikana kama Kanisa Katoliki la Mitume au Catholic Apostolic Church mwaka
1832. Aliondolewa kutoka madhabahuni mwaka 1832 na kuondolewa kwenye wadhifa
wake wa ukasisi wa Kanisa la Scotland mwaka 1833. Wengi wa wafuasi wake walimfuata
kwenye Kanisa lake Jipya. Alifukuzwa kwenye Kanisa la Scotland kutokana na
kipeperushi alichokiandika kilichosema kuwa Yesu alikuwa na mwili wa kawaida wa
kibinadamu unaoweza kutenda dhambi. Alifundisha kuwa dhiki kuu itatokea kwenye
kipindi cha kati ya Ufufuo wa Wenye haki au wa Watakatifu na Kunyakuliwa kwa
Watakatifu na kupinduliwa kwa Shetani, tukio ambalo lingefuatiwa na kipindi cha
utawala wa Kristo wa Milenia. Kutofautiana kuhusu msimamo wa imani hii ya
unyakuo kumeibuka tangu wakati huu, lakini misingi yake ni mimoja. Dhumni
lenyewe halisi linaonekana kuwa ni kuuepuka ukweli kuhusu dhiki kuu.
Mafundisho yote
yanayohusiana na habari hii ya unyakuo, kukiwemo na fundisho la mahali pa usalama
yaliyofundishwa na kuvumishwa kwenye Makanisa ya Armstrong, na ndivyo
ilivyokuwa kwenye fundisho hili la kunyakuliwa kwa kutumiwa majina
tofautitofauti mbalimbali. Ni suala tu la kuachananayo kutoka kwenye dhiki kuu
na kuyakwepa mambo yote yasiyopendeza na ya kuchukiza yanayokuja na kujitokeza,
kwa kuwa hatupendi kurekebisha mwenendo wetu wa kibinadamu (soma pia jarida la Mahala pa Salama (Na. 194)).
Wakati wafuasi wa
mafundisho haya wanapokuwa wanakabiliwa dhiki kuu, wao pamoja na makanisa yao
wanayoabudu watakuwa na ugumu wa kuwa kwenye nafasi zao na watu wao. Wote wawili,
yaani waalim wanaofundisha huu unyakuo wa kabla ya kutokea kwa dhiki kuu, kina J.N.
Darby na Irving, ambao walikuwa na ushawishi mkubwa kwa wahaidhina wene msimamo
mkali wa imani ya millennia ya kipindi cha kurudi kwa Masihi wa nyakati hizi s.
Irving alifariki kwa ugonjwa wa pumu au tibii mwaka 1834.
Matawi mengi ya siku
zilizofuatia ya waamini milenia ya wakati wa kurudi kwa Masihi yalikua na
kuenea kutokana na mtazamo uliotofautiana kama vile:
1. Wamileriti,
ambao walitetea yasiyo ya muda mfupi na kwenye maneno yao, Milenia isiyo ya
Wayahudi (ambayo ilionekana kuonyesha mapungufu yao ya uelewa kwenye mataifa na
wajibu au nafasi ya Waisraeli);
2. Ndugu Wapendwa
wa huko Plymouth, waliodai kuwa ni watu wenye mtazamo wa kutazama nyakati
zijazo, na kufundisha wafundisha mtawanyiko.
Tofauti iliyopo
kwenye mfundisho na imani hizi za Milenia ya wakati wa kurudi kwa Yesu na ile
ya Milenia ya baada ya kiyama inazidi kuongezeka, mtu anaweza kusema, karibu
kila siku.
Mafundisho ya Irving
ya Unakuo wa Siri yanaonekana kuwa yameanzishwa kwa kutokana na maono ya
wanaroho wa Bibi Margaret McDonald mnamo Machi 1830, ambaye alinena akiwa
amepagawa na kuweweseka kutokana na kile alichokiita kuwa ni Maono ya Ujio wa
Kristo. Hii ilikuwa ni ruya aliyoiona na ambayo aliitafsri kiuvumi na uzushi,
ambayo hatimaye ilifanyika kuwa fundisho. Haina msingi wowote wa kimaandiko.
Ilijipenyeza na kuenea kwa Wapendwa wa huko Plymouth kupitia kwa John Nelson
Darby (miaka ya 1800-1882) aliyeyaleta mafundisho haya kwenye tafsiri ya jmla
ya kinabii. Kwa hiyo, sisi tuna dhana au mtazamo wa zama kale sana ya
Utawanjiko iliyoelezwa na mamilioni kama unabii wa Kimaandiko, ambao kwa kweli
hauna msingi wowote ule zaidi ya kuwa tu ruya ya kimaono ya binti mdogo kwenye tukio
la kupagawa la Machi 1830, wakati wa kipindi ambacho ilikuwa ni mtindo mzuri
kuwa na maono kama hayo. Kwa bahati nzuri, sio Wandugu wote wa huko Plymouth walidanganyika
na huyu Dr. S.P. Tregelles alipewa jina hili kwa jinsi ilivyokuwa kwenye mwaka 1864
(kwa mujibu wa kitabu cha Tregelles, The
Hope of Christ’s Second Coming, pp. 34-37).
Sikujua kuwa kulikuwa na mafundisho yoyote yenye ushawishi mkubwa yaliyosema kuwa kutakuwa na Unyakuo wa Siri wa Kanisa kwenye ujio wake Masihi wa siri hadi ilipofundishwa kwa msisitizo na nipomsikia ikinenwa kwenye kanisa la Bwana Irving kwa kile kilichopokelewa hatimaye kuwa ni kama sauti ya Roho. Bali hata kama kuna yeyote anayedai kit kama hicho au hapana ilikuwa ni kutokana na kile kinachoaminiwa kuwa ni ufunuo ambao fundisho la kisasa na uainishaji wa kisasa vinatilia maanani kuibuka kwa mafundisho haya. Hayakuja kutoka kwenye Maandiko Matakatifu, bali ni kutoka kwenye kile walichokifanya kwa uwongo mkubwa kuwa ni Roho wa Mungu."
Darby anatajwa
kuwa ni baba wa Mtafaruku, kwa hiyo kwenye upendeleo wowote ule alipasa kulaumiwa
kwa uenezaji wake wa uwongo na fundisho la kijinga. Alisimikwa kuwa shemasi
kwenye Kanisa la Uingereza mwaka 1825, lakini kwa ajili ya mauaji ya
kihafidhina wa wazee na makasisi wa Kianglikana wa wakati ule, yeye pamoja na wenye
kuabudu walioondolewa wakfu wao walijikusanya pamoja na vuguvugu jipya lilianza
huko Dublin, lakini iliendeleza kituo chake huko Plymouth na kwa hiyo
wakajulikana kama Ndugu Wapendwa wa Plymouth.
Ilikuwa ni kwa
kupitia mtazamo huu ndipo vuguvugu hili jipya ambalo Darby alilienezea mafundisho
ya Irving yenye msingi wa “maneno” ya Bi McDonald ila mengi yaliongezwa kwenye Tregelles,
aliyakataa. Hawa walikuwa ni miongoni mwa wengine ni B.W. Newton, Charles
Spurgeon, William Booth na George Millar, bali hii haikukomesha kuenea kwake
hadi huko Marekani na Canada kwenye miaka ya 1860 na-1870. Ni kama Darby mwenyewe
alivyotembelea Marekani mara sita, vuguvugu hili linaweza kuwa lilifundishwa
kipindi cha mapema sana cha hata kabla ya mwaka wa 1840, lakini hii haieleweki
vizuri.
Iwapo kama kitu fulani
kimenukuliwa mara nyingi vha kutosha, watu walianza kuamini kuwa ilikuwa ni
kweli, a baaba ya maandiko ya Charles Henry Mackintosh (miaka ya 1820-1896) watu
walianza kuyakubali kwa ujumla. Bado anaendelea kusomwa. Yeye, pamoja na William
Blackstone na wafuasi wengine wa mafundish ya Darby kama vile kina Malachi
Taylor na J.H. Brooks, walikuwa na ushawishi mkubwa sana kwa Cyrus Ingerson
Scofield (1843-1921).
Tafsiri ya Scofield inamtajwa na kusifiwa na Darby
kuwa ni kama Biblia Bora na nzuri sana ya wanazuoni au wasomi wa nyakati hizi. (Dr C.I. Scofield's Question Box, p. 93)
na baada ya kutumika kwenye vita vya kiraia akiwa kama mwanajeshi, alichaguliwa
kuwa mwansheria huko Marekani kwenye jimbo la Kansas wakati wa Kuchaguliwa kwa Grant.
Alifanyika kuwa mhubiri na kiongozi wa hawa wanaokusanyika Kimakundi mwaka 1882.
Ingawa uchapishaji
huu wa Biblia iliyojulikana kama Scofield Reference Bible, na hasahasa uanndishi
wake kwenye unabii, alisaidia kutokea kwa mateso ya kimafundisho ambayo hayakuwa
ya uzima na mapotofu na yasiyotokana na maandiko na yanayoleta mdhara makubwa
kwenye ukubalikaji wa muhimu na wa msingi wa Maandiko Matakatifu. Kwa hiyo,
wote wawili, yaani kina Darby na Scofield walikuwa watu waaminifu, wapenda
kweli na ni watu wene maamuzi magumu na wasioonewa shaka. (utunzi wa vitabu 30
vya Darby unashuhudia hilo.) kwa hiyo walichepuka kutoka kwenye Maandiko Matakatifu
inasikitisha sana.
Dini na Matengenezo
Yaliyofanywa na Mwanadamu
Uendelezaji wa dhana
au theory hii iliyofanywa au kuanzishwa na mwanadamu, ambayo imeondoka kutoka
kwenye mafundisho ya Mitume, kulitokea kwenye kipindi chote cha karne ya 18. Mapokeo
ya wanadam yalishika dau na kuifunika Imani.
Inafurahisha
kuona maneno ya kimtazamo ya Luther kuhusiana na misingi ya Imani. Wakati
alipombiwa ajitokeze mbele ya Diet wa Worms, Martin Luther alitoa jibu
lifuatalo wakati alipoambiwa aikane harakati yake,
Kwa kuwa wewe mtukufu mheshimiwa sana na uweza wako mkubwa sana hivyo uliponiomba nikupe jibu lililo wazi, la rahisi na lenye kueleweka, nitakupa jibu moja, nalo ni hili: Siwezi kuiweka imani yangu kwa mtu yeyote, iwe ni kwa \papa au kwenye mabaraza, kwa kuwa ni wazi sana kama siku siku waliyoyatenda makosa mfululizo na kujikanganya kila mmoja na mwingine. Ispokuwa hata hivyo, nimeshawishika kwa ushuhuda wa Maandiko Matakatifu au kwa dhamira safi kabisa hadi niliposhawishika kwa kupitia vifungu nilivyo nukuu na isipokuwa kwa yale yanayogusa dhamira yangu inayofungamana kwa neno la Mungu; siwezi na sitoweza kuikana kwa kuwa sio salama kwa Mkristo kunena kinyume na ilivyo dhamira yake. Hapa nasimama, siwezi kufanya kitu kingine chochote zaidi; Mungu nisaidie mimi. Amina. (J.H.Merle D’Aubigne, History of the Reformation of the Sixteenth Century. Book 7, Ch.8.)
Matengenezo
haya hayakwenda mbali vya kutosha; makanisa yakachukua baadhi ya kweli
iliyotangazwa. Kwa namna nyingine ni kwamba matengenezo haya yalikuwa yanarudi
nyuma au yanarudi kinyumenyume. Mwaka 1542 Henry VIII alitangaza kuwa Krismas
ilikuwa ni sikuku ya Kipagani na akaipiga marufuku kuadhimishwa. Sikukuu hii
ilirudishwa upya tena mwaka 1554 baada ya Mkatoliki wa Roma Mary Tudor alipochukua
kiti cha enzi cha ufalme. Elizabeth 1 alikosa mbinu za kumuwezesha kumpinga na
kurudisha maamuzi yale tena. Cromwell pia akaipiga marufuku tena sikuku hii ya
Krismas kwa kipindi cha miaka 12, lakini ilirejeshwa tena na Stuarts na mafundisho
ya kizushi yakaendelea.
Tunasikitishwa
hapa na kufifia pilepole kwa mafundisho ya Kanisa yanayoamini na kufundisha
ujio na utawala wa Kristo hapa Duniani.
Kuhusu Mpingakristo,
fundisho la waamini kunyakuliwa lilitofautiana. Mafundisho ya namna mbalimbali
yalisema kwamba Mpingakristo ni mkanamungu au kutoaminika au kukosa uadilifu au
Myahudi aliyekengeuka imani. Maelezo haya sio sahihi. Mafundisho haya
yanaonekana hadi sasa yanatoka kwenye manabii wa Zama za Giza au wa Zama za
Kati za Kanisa na huenda haikuwa sahihi na yalitokana na kuacha kwao
kutosikiliza kutoka kwenye vyanzo halisi ili kujifunza chanzo halisi cha
kutokea kwa shiku kuu.
Mwaka 1534 wa
Anabaptists walianzisha huko Munster, Westphalia, Ufalme mpya wa Sayuni, ambao
ulihusisha na kitendo cha kugawana mali zao (ilidaiwa kuwa hata) wanawake kwa
kawaida, ikiwa ni sharti muhimu kufanywa kwenye Ufalme Mpya wa Kristo (Cath. Enc. loc. cit.). kusitasita kwao
kuliwapelekea Wongofu wa kina Augsberg (art. 17) na wa Helvetian (ch. 11) kuyakana
mafundisho na hivyo waamini Milenia ya kipindi cha kuja kwake Masihi wakajikuta
kuwa hawakubaliki kwenye imani ya Kilutheri na kwenye teolojia za wana
Matengenezo (ibid.).
Shetani
akaanzisha tena kanisa la mafundisho ya kizushi akiwatumia kanuni za kijanja za
Mpingakristo, na kisha akachanganya na haya au ndani yake mafundisho ya Milenia
ya wakati wa kurudi kwa Masihi. Ndipo yalikataliwa kabisa na halmashauri ku ya
kanisa kwa kuwa hawakuwa wanakijua kile ambacho Kanisa la kwanza lilikuwa
linakifundisha na hawakuichukulia Biblia kama ilivyo.
Malumbano
ya Matengezo yalikuwa makubwa sana kuhusiana na jinsi ya kumtambua Mpingakristo
na wengi wali waliamini na kufundisha kuwa ni kile cheo cha Upapa, na kwamba
mnamo mwaka 1516 Mkutano wa Tano wa Halmashauri Kuu ya Kanisa la Kilutheri ulimwenguni
lilipitisha azimio la kukataza mtu yeyote kuandika au kuhubiri somo kuhusu
Mpingakristo. Kwa sababu ya uharibifu uliofanywa kwenye Kanisa na
Wanamatengenezo wa Kiprotestanti kuhusu suala hili la jinsi ya kumtambua
Mpingakristo, mashambulizi ya kitafsiri yalikutikana. Wanateolojia wa kwenye
Jamii ya Yesu walifanya hii tafsiri ya kimashambulizi.
Mwanzilishi
alikuwa Francisco Ribera (miaka ya 1537-1591) wa Salamanca Uhispania, aliyechapisha
kitabu cha ufafanuzi chenye kurasa 500 aliyekusudia kujibu kwa mashambulizi
mafundisho ya Kiprotestanti uliofundisha kuwa huyu Mpingakristo si mwingine ila
ni ofisi ya Papa. Mtu huyu kimsingi ndiye mwanzilishi wa Mtindo wa Tafsiri ya
Mambo yajayo, maarufu kama Futurist School of Interpretation (soma pia kitabu
cha Encyclopedia Brittannica, 11th Edition, Vol. 23, p.213, article ‘Revelation’ for further comment on
the Futurist School).
Fundisho
lote zima kuhusu unyakuo ni utetezi mtupu, na lililoanzishwa na kuibuliwa tu na
wanazuoni wa teolojia ambao ndio walilolikuz fundisho lenyewe na pia kwa wale
waliokusudiwa walipinge.
Mafundisho
ya Ribera yaliendelezwa na Kardinali Robert Bellarmine (miaka ya 1542-1621) wa
Italia, Mjesuiti mwenye taaluma ya Kukanganya mafundisho aliyesema kwa Danieli,
Yohana, na Paulo walikuwa wameyaacha kuuelezea uweza wa Papa na kwamba unabii
wao na mafundisho yao yalituama kwenye kumtaja Mpingakristo atakayekuja baadae
katika siku za mwisho.
Kasisi
mstaafu wa Kikatoliki, Joseph Zacchello anasema kuwa: “Wajesuiti walitaka
kupindisha fikra za watu kwa kuonekana utimilifu wa unabii wa Mpingakristo
kwenye kanisa la Kipapa. Ribera ameleta imani ya kuona kuwa mambo yatatokea
huko mbele, yanayodai kuwa Mpingakristo hajaja bado”. Kwa kusema hivyo
anaongeza, “Waprotestanti wanaotetea mafundishohaya ya mambo kutokea baadae wanampendezesha
au wanajikomba kwa Papa na wanacheza kwenye mikono ya Roma” (kwa mijibu wa
kitabu cha J. Zacchello – cha Ni nani
Mpingakristo [Who is the Antichrist] – kilichonukuliwa pia na Woodrow).
Ukweli ni kwamba
wao ni mchakato endelevu. Biblia iko wazi sana kwamba kuna Wapingakristo wengi.
Mpingakristo alikuwepo hata ndani ya Kanisa la Yohana huko Efeso. Wanaendelea
kuwepo hadi katika siku za mwisho.
Wafasiri mambo
kwa mrengo wa siku zinazokuja mbele na misingi yao ya imani ya unyakuo ilikuwa
ni mafundisho ya Wakatoliki hadi kwa Mkutubi wa Asfofu Mkuu wa Canterbury,
Samuel R. Maitland (miaka ya 1792-1866) kwa zaodi ya kipindi cha miaka ya 1826-30
alifanyika kuwa Mprotestanti wa kwanza kuikubali imani na tafsiri ya waamini
kila kitu kitatokea Siku za Mbele yaliyofungwa na Mjesuiti Ribera. Alifuatiwa
na Edward Irving mwaka 1832 aliyeendeleza fundisho hili la Unyakuo wa Siri. Maitland
lilikuwa kanisa la mrengo wa juu la wanabaraza kuu waliokuwa na mtazamo au
msimamo mkali walioshinda vita vya Matengenezo yenye mashindano au malumbano. Mtu
huyu kwenye baadhi ya vitabu vyake 50 alifanya uharibifu mkubwa na wa dhahiri kwenye
Kanisa la Uingereza na kwenye Makanisa ya Matengenezo kwa ujumla na alisaidia
kuongezea na kuzieneza propaganda isiyo ya kimaandiko kwa kiwango ambacho iliwavuna
mamilioni ya watu.
Msukumo wa msingi
ulio nyuma ya mkakati wa kushamirisha na kuyafawezesha kuwa maarufu madundisho
haya ya Unyakuo na fikra yake ni kwamba ni ukwepaji. Watu hawawezi kukabili
ukweli na kuwa tegemezi kwa rehema na uingiliaji kati wa Mungu. Warumi 8:7 inaonyesha
uadui dhidi ya Torati. Hata hivyo, hii inaendana na kushindwa kuikabili kweli.
Watatubu au vinginevyo watakabiliwa na maafa makubwa.
Baadhi ya wana
itikadi hii ya Unyaku wanabashiri ujenzi upya wa Babeli ya Nyakati hizi za
Mwisho kwenye jaribio la kuishamirisha imani ya tayaona yaliyoandikwa yatatokea
siku za mbele mbali na kuiona Roma kuwa mlengwa. Babeli bado ipo hata sasa
ikiwa kama maangamizo makubwa karibu na mji unaojlikana siku hizi kama El
Hillah, Iraq. Babeli ya kwenye Ufunuo ni wazi sana kuwa ilikuwepo tangu kipindi
cha Kristo, kuelekea mbele hadi kwenye kipindi cha zaidi ya miaka elfu mbili ya
mwisho na inaendelea kuwepo hadi leo.
Kwa kundi la watu
kupinga kuwa Kanisa na Roho wa Mungu yapasa liondolewe kabla ya watu bilioni
moja hawajamuongokea Kristo kwenye kipindi cha miaka mitatu na nusu ya dhiki
kuu kikiwa kimeanza. Hii ni juhudi kubwa sana kuliko ile ya Kanisa ililoweza
kuwa kwenye historia. Hitimisho zaidi ni pia limekubalika kuwa inapasa kuwe na
nguvu kuu zaidi Roho wa Mungu au vinginevyo, watu hawa watakuwa sio waongofu,
au vinginevyo malumbano haya ni ya uwongo na udanganyifu. Hakuna shaka kwamba malumbano
haya ni sahihi na ni kile kile ambacho kinaelezwa kwenye historia; ni sehemu ya
propaganda za Kiijesuiti, iliyopangwa na kuwa kwenye mkakati wa makusudi wa
wataalamu wa kuitetea dini walio na uweza kama wa kina Maitland, Irving, Darby,
Scofield, Estep na waandishi wengi wengine wa kaliba ya chini inayojulikana na
kuaminika sana.
Waamini Unyakuo
wanaweza kuwa sahihi sana kuliko wanavyofikiri, kwa hiyo wataepuka dhiki kuu
pekee ya kukabioliana na maafa ya tauni au magonjwa ya ghadhabu ya Mungu, kwa
kuwa hawana Mhuri au Alama ya Mungu kwenye vipaji vya nyuso zao, au kwenye
mikono yao ya kuume (Kumbukumbu la Torati 6:8), wakiwa wanaendelea kuivunja
Amri ya Mungu. Bila shaka waamini Unyakuo ni wakweli, wenye juhudi kumtafuta
Kristo na wanasumbukia sana mambo yajayo. Lakini kwa kuzifuata kwao hadithi za
kizee zisizo na msingi wa kibiblia, hata hivyo hakutawasaidi mzigo wao kuwa
mwepesi; inawaongoza tu kwenye kuyafuata mafundisho ya uwongo na kwenye
ukengeufu.
“Agano Jipya halifanyi
tofauti yoyote kati ya parousia, ufunuo, na hali ya kuonekana na kuwepo siku za
nyuma za kabla ya kuzaliwa kimwili ya Yesu Kristo. Majina haya yanaashiria
taswira ya mtu mmoja, au mtu binafsi, hali ya kutoonekana ya ujio au kurudi kwa
Kristot” (kwa mujibu wa kitabu cha Hans K. La Rondelle, cha Israeli wa Mungu kwenye Unabii; au The
Israel of God in Prophecy, p. 188).
Utawala wa
kipindi cha Milenia utakuwa umeanza. Biblia iko wazi sana na ni kweli na
tusipoichukua Biblia na kukielewa kipindi cha millennia na utawala wa Kristo
kutoka Yerusalemu kwa kipindi cha miaka elfu moja, ndipo hatutaweza kuuelewa
Mpango wa Mungu. Hatutaweza kujua kinachofanyika kwenye Mpango huo na
hatutaweza kujua kinachokwenda kutokea kwenye unabii wa Agano la Kale. Wala hatutaweza
kuelewa unabii wa Zekaria, Isaya, Yeremia na Ezekieli. Ni muhimu kwamba hatudanganyiki
na watu hawa, na kwamba tunajua kulitarajia tumaini letu katika Yesu Kristo na
kwamba tunapata hatima yenye utukufu kwa pamoja.
Tunalindwa. Ni
suala la kuenenda kwa imani na Mungu na kuifanya kazi yetu pia kama tuwezavyo.
Sisi sote tuna mahala petu pa usalama, ambapo ni Mungu. Mungu ni mwamba wetu na
nguvu yetu na wokovu wetu. Hatuhitaji kitu kingine chochote zaidi.
Tunahitajiana kila mmoja na mwingine ili tuweze kukusanyika pamoja, ili tuweze
kumwabudu vizuri Mungu wetu wapekee na wa Kweli. Na usipoteze imani kwa nia ya
moja kwa moja ya ahadi ya Mungu.
q